Rais Jakaya Kikwete amesema mfumo wa vyama vingi vya siasa ni mzuri, umeleta matumaini kwa kupanua wigo na kufungua zaidi uwanja wa kisiasa na kuiwajibisha Serikali.
Hata hivyo, Rais Kikwete amesema kuwa ili mfumo huo uboreshwe zaidi na uweze kuimarisha misingi mikuu ya maendeleo, ni lazima uendeshwe kwa watu kufuata sheria na wala siyo kuingiza matumizi ya nguvu, ambayo yanaweza
Vyama Vingi Vya Siasa nchini Vyamkuna Rais Kikwete....Asema vimeleta matumaini na kupanua wigo wa kisiasa
↧
↧
Rais wa Malawi aoa kwa Shilingi Milioni 155
Baada ya miaka 30 ya kuishi bila ya ndoa, Rais mpya wa Malawi, Profesa Peter Mutharika, hatimaye amefunga pingu za maisha na mbunge wa zamani wa Jimbo la Balaka, Gertrude Maseko.
Kabla ya ndoa yao iliyofungwa jana kwenye Kanisa la Mtakatifu Michael na Malaika Wote jijini Blantyre, Maseko aliwahi kuolewa, lakini ndoa yake ilivunjika miaka kumi iliyopita; na mwaka jana mume wake huyo,
↧
Skendo zamuhamisha nchi Agness Masogange
Siku chache baada ya Agness Gerard 'Masogange' kukimbilia nchini Afrika Kusini 'Sauzi' kwa kile alichodai ni kutafuta maisha mazuri, rafiki wake wa karibu aliyejitambulisha kwa jina la Jenifer ameibuka na kuweka kila kitu hadharani juu ya nini kilichomkimbiza mrembo huyoJennifer alisema kuwa kilichomuondoa nchini mrembo huyo ni vidole vya watu ambao wamekuwa wakimnyooshea kila alipopita
↧
Serikali ya Kenya yawataka Wakenya kuangalia mechi za Kombe la dunia nyumbani.
Serikali ya Kenya imewataka wananchi kuangalia mechi za michuano ya
kombe la dunia katika maeneo ya majumbani badala ya sehemu za wazi
zilizojazana na ambazo hakuna ulinzi.
Ushauri huo umetolewa kufuatia siku mbili za mashambulizi katika mji wa Pwani wa nchi hiyo na kusababisha vifo vya watu 60.
Mashambulizi hayo yalianzia katika eneo la Mpeketoni ambako mashabiki walikuwa
↧
Kauli ya Uganda baada ya kuwekewa vikwazo na Marekani kwa kupinga ushoga
Katibu mkuu wizara ya mambo ya nje wa Uganda, Balozi James Mugume,
amesema kuwa Uganda haitishwi na vikwazo ilivyowekewa na Marekani kama
hatua ya kupinga sheria yake kali kuhusu Ushoga.
Kwa mujibu wa BBC, Balozi Mugume ameelezea kuwa serikali ya Uganda
hata hivyo itafanya mazungumzo na Marekani ili kufafanua hatua
waliyochukua.
Amesisitiza kuwa wataieleza Marekani sheria hiyo
↧
↧
Wema Sepetu Afunguka Kwa Uchungu baada Ya watu Kumtukana Mama Yake Mzazi
Wema Sepetu ameonekana kufungukia wale wanaomtukana kila siku na sasa kufikia hatua ya kumtukana hadi mama yake mzazi...
Kupita mtandao mmoja wa kijamii, Picha moja ya mama mzazi wa Wema Sepetu iliyotengenezwa na kuwa CHAFU ilitolewa na kisha kuanza kushushiwa matusi mazito...
Baada ya Picha na Matusi hayo, Wema amefunguka kwa uchungu kwa kuandika:
"Dah...!
↧
Mbasha Anena: Asema Maisha ya Jela hayafai hata kidogo
Kufuatia Mahakama ya Ilala jijini Dar kumuachia kwa dhamaa Emmanuel Mbasha ambaye ni mume wa muimbaji wa nyimbo za Injili maarufu nchini Flora Mbasha anayekabiliwa na tuhuma nzito za kumbaka mdogo wa mkewe, inaelezwa kuwa siku moja tu aliyokaa mahabusu ilimfanya kubadilika muonekano kutokana na kudhoofika.....
Emmanuel Mbasha ambaye
↧
Kondomu zakutwa kwenye ukumbi wa bunge
Inaweza kuonekana ni kituko cha aina yake, lakini ni kweli
kimetokea kwenye Ukumbi wa Bunge la Kaunti ya Nairobi na kuwaacha
wabunge vinywa wazi.
Katika hali isiyo ya kawaida, boksi la kondomu
lilikutwa ndani ya ukumbi huo na kuwashtua wabunge wote akiwamo spika wa
bunge hilo.
Mwakilishi wa eneo la Karura, Kamau Thuo ndiye
aliyekuwa wa kwanza kuliona boksi hilo na kuwashtua
↧
Dr. Reginald Mengi Akava Jarida La Forbes Africa La July.... K-Lyinn Amuandikia Ujumbe Mzuri
Mwenyekiti mtendaji wa makampuni ya IPP, Dr. Reginald Mengi amekava
jarida la Forbes Africa la mwezi July kama mfanyabiashara aliyefanikiwa
zaidi kutoka kutembea peku hadi kuwa na utajiri wa zaidi ya $550 million
(Barefoot to $550 Million).
Dr. Mengi ambaye December mwaka jana alitajwa na jarida hilo akishika
nafasi ya pili kama mmiliki binafsi wa vyombo vya habari tajiri Afrika
↧
↧
Kampuni Mbili za Umeme kuanzishwa badala ya TANESCO
Mpango wa kuligawa Shirika la Umeme (Tanesco) kuwa mashirika mawili umeiva, baada ya Serikali kupitisha Mkakati na Mwelekeo wa Sekta Ndogo ya Umeme (ESI).
Mpango huo utekelezaji wake unaanza Agosti mwaka huu, na lengo lake ni kuhakikisha uzalishaji wa umeme, unaongezeka kutoka megawati 1,583 zinazozalishwa kwa sasa hadi kufikia uzalishaji wa megawati 10,000 ifikapo mwaka 2025.
↧
Wiki ya Majibu ya Waziri wa Fedha Yaanza
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum, anasubiriwa wiki hii kutegua kitendawili cha hoja za wabunge, kuhusu punguzo la kodi katika mishahara, vyanzo vipya vya mapato na utekelezaji wa miradi wa maendeleo.
Leo ndio siku ya mwisho kwa wabunge kujadili hotuba ya bajeti ya Waziri Saada na kesho Waziri ataanza kujibu hoja akishirikiana na Naibu wake, Mwigulu Nchemba na Adam Malima.
↧
Sekretarieti ya Ajira Yazipa Rungu Serikali za Mitaa
Serikali za mitaa zitaruhusiwa kuanza kuajiri watumishi wa baadhi ya kada za chini katika mwaka wa fedha wa 2014/2015.
Akihojiwa katika Maonyesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam, Msemaji wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Riziki Abraham, alithibitisha kuwa Sekretarieti hiyo itakasimu sehemu ya madaraka yake ya kuendesha mchakato
↧
Mzee Majuto: Maisha Yangu ni Komedi tosha
Mchekeshaji wa muda mrefu Amri Athuman 'Mzee Majuto' ametoa kali ya mwaka baada ya kusema kuwa maisha yake ni komedi tosha kutokana na kumvunja mtu mbavu bila kujali yuko mahala gani....
Akizungumza na mwandishi wetu, Mzee Majuto alisema yeye hutoa shoo muda wowote bure bila kujali yuko katika wakati gani kwani maisha yake ni komedi tupu
↧
↧
Hii ni Aina Mpya ya Uhalifu wa Kimtandao inayokuja kwa Kasi nchini Tanzania
Miongoni mwa makosa yanayofanyika mtandaoni ni hili lijulikanalo kama “Phishing” ambapo kosa hili limekuwa likidumu na kukua kwa kasi sana katika nchi mbali mbali.
Nchi mbali mbali zimechukulia uhalifu huu kuwa ni hatari kwani unaweza kuwa na madhara makubwa kwa mtendewa ikiwa ni pamoja na kupelekea kumfilisi mtu, kupata taarifa za watu kinyume na sheria au makubaliano na hata
↧
Magazeti ya Leo Jumatatu ya tarehe 23 Juni 2014
↧
Jamaa anusurika Kunyofolewa Jicho baada ya kufumaniwa akingonoka na Mke wa Mtu ......Alivizia mwenye mke kasafiri, akazama Chumbani
Mkazi wa Mtaa wa Lagos, Wazo Mivumoni, Msitu wa Pande jijini Dar es
Salaam, Nuru Makala ‘Baba Eliza’ (42) Jumatano iliyopita alikumbwa na
majanga baada ya mwanaume aliyejulikana kwa jina la Yusuf Ally ‘Mgosi wa
Ndima’ kudai amemfumania Baba Eliza akiwa na mkewe ambaye jina
halikupatikana.
Tafrani hiyo ilijiri usiku wa Jumatano iliyopita, Juni 18, mwaka huu kwenye nyumba yake iliyopo
↧
Kichanga Chatupwa kwenye Dampo la Taka
Kichanga
kinachokadilwa kuwa na umri wa miezi kati ya 6-7 kimekutwa kimetupwa
kwenye dambo karibu na mahakama ya mwanzo mkabala na ofisi za manispaa
ya Iringa, mkoani Iringa na mwanamke mmoja ambaye hakufahamika mara moja
leo.
Kamanda wa Polisi mkoani Iringa, Ramadhani Mungi amethibitisha
kuwepo kwa tukio hilo na kusema wanamtafuta mwanamke aliyefanya kitendo
hicho ili sheria iweze
↧
↧
Mwanamke aliyehukumiwa kifo nchini Sudan kwa kuasi dini ya Kiisilamu na kukubali kuolewa na Mkristo ameachiliwa huru.
Mwanamke aliyehukumiwa kifo nchini Sudan kwa kuasi dini ameachiliwa huru.
Wakili wake ameambia BBC kuwa mwanamke huyo aliyekiuka dini kwa kwa kuolewa na mwanamume mkristo aliachiliwa huru Jumatatu
Hukumu ya kifo iliyotolewa dhidi ya Meriam
Ibrahim,ilibatilishwa na mahakama ya rufaa, kwa mujibu wa shirika la
habari la Sudan Suna.
Meriam ameolewa na mwanamume mkristo na
↧
Watoto kuanzia Umri wa Miaka 10 wataanza kupewa Kondomu Bure na dawa za kupanga Uzazi
Kuna sheria mpya inatarajiwa kuwasilishwa katika Bunge la
Senet ambayo sheria hiyo itawaruhusu watoto kuanzia miaka 10 kupewa
mipira ya kondomu na dawa za kupanga uzazi.
Sheria ya afya ya uzazi ya mwaka 2014 ambayo tayari ipo mbele ya Senet, inasema
kuwa elimu kwa watoto kuhusu afya ya uzazi na ngono wapewe watoto
pengine hata bila ya wazazi kutoa idhini.
Sheria hiyo
↧
Magazeti ya Leo Jumanne ya Tarehe 24 Juni 2014
↧
More Pages to Explore .....