Watu watatu wakazi wa Mwananyamala Jijini Dar Es Salaam wamejeruhiwa
katika tukio lililohusisha risasi za moto linalodaiwa kufanywa na
polisi baada ya kukutwa wakikesha kwenye ngoma maarufu za Kigodoro, ambazo
tayari zimekwishapigwa marufuku na jeshi la polisi kanda maalumu ya Dar
es Salaam.
Tukio hilo lilitokea majira ya saa kumi na nusu jioni katika eneo la shule ya msingi
Watatu wajeruhiwa kwa Risasi za Moto baada ya kukutwa wakicheza ngoma za Vigodoro bila nguo
↧
↧
Magazeti ya Leo Ijumaa ya tarehe 20 June 2014
↧
Vitambulisho vya kura kutolewa upya.....Vituo 40,015 kutumiwa kuwaandikisha upya Watanzania, Wenye miaka 17 Ruksa kujiandikisha
VITAMBULISHO vya kupiga kura nchini, vitatolewa upya kwa wananchi wote, ikiwa ni sehemu ya mchakato wa kuboresha daftari la kudumu la wapigakura. Mchakato huo wa kutoa vitambulisho upya, utakaotekelezwa Septemba mwaka huu, utagharimu Sh bilioni 293 .
Tofauti na vitambulisho vya awali vya karatasi vilivyotolewa kwa mara ya kwanza mwaka 2004, vipya vitakuwa vya plastiki. Vimebadilishwa
↧
Urembo Wa Batuli Kwishaa .....Aamua kuuza Mihogo Ya Kukaanga Ili Kujikimu Kimaisha.
↧
Sakata la Mumewe kupandishwa kortini kwa Ubakaji....Flora Mbasha ajikuta akiambulia AIBU kuu tatu ( 3 )
Wakati jana mumewe Emmanuel Mbasha (32) akipandishwa
kizimbani kwa mara ya pili kwa soo la ubakaji wa shemejiye, mwimba
Injili kinara Bongo, Flora Mbasha (31) amepitia katika hatua tatu za
aibu.
Mbasha ambaye naye ni mwimba Injili na mfanyabiashara alitarajiwa
kupandishwa kizimbani jana kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Wilaya ya
Ilala, Dar akitokea mahabusu Keko akikabiliwa na
↧
↧
Marekani yaiadhibu Uganda kwa Kupinga Ushoga
Marekani imeadhidhibu Uganda kwa kuweka sheria kali ya kupinga mapenzi ya jinsi moja katika taifa hilo.
Msemaji wa Whitehouse, Caltlin Hayden ameeleza katika barua yake kwa
vyombo vya habari kuwa sheria iliyopitishwa na bunge la Uganda ikiuka
haki za binadamu.
Vikwazo vya Marekani kwa Uganda kama adhabu, vinajumisha kuwapiga
marufuku wanaharakati waliopigia debe sheria hiyo
↧
Jamaa anaswa akifanya Mapenzi na mke wa Rafiki yake Mabibo jijini Dar ....Mtaa wafungwa, atakiwa kutoa Milioni 1.2 ili aachiwe Mke
Mume aliyejulikana kwa jina moja la Ngosha, mkazi wa Mabibo jijini
Dar, amemfumania rafiki yake aitwaye Jazira akiwa chumbani na mkewe Jack
wakiivunja amri ya sita ya Mwenyezi Mungu.
Tukio hilo lilitokea
Jumanne iliyopita saa 12 alfajiri ambapo ilidaiwa kuwa Jack alikuwa
chumbani na mwanaume huyo ambaye ni mpangaji, wenzake wakipeana maraha.
Imedaiwa kuwa, wawili hao walikuwa
↧
Mitandao ya kijamii sasa kudhibitiwa
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), inajipanga kuja na mfumo
wa kompyuta utakaoratibu taarifa zote zinazopakiwa mtandaoni ili
kukabiliana na vitendo vya udhalilishaji vinavyofanywa na watu wasio na
maadili ya uandishi wa habari.
Hayo yalisemwa na mkurugenzi wa teknolojia ya
habari na mawasiliano wa mamlaka hiyo, Dk Joseph Kilongola katika
kongamano la kimataifa la habari lililo
↧
Msami akiri kuwa mpenzi wa Irene Uwoya, azungumzia tofauti ya umri na mipango yao
Mkali wa Sound Track ambaye pia ni mkali wa kuvunja (dancer)
amezungumzia uhusiano wake na muigizaji mrembo wa Bongo Movies, Irene
Uwoya.
Akiongea na Times Fm, Msami alizunguka sana mbuyu kutaka
kutoa maelezo kuhusu ukweli wa mambo kati ya wawili hao lakini kwa mara
ya kwanza aliamua kuiambia Times Fm kauli yake kutokana na
jinsi alivyoulizwa.
“Kaongea kwa upole huyu jamaa,
↧
↧
Wafahamu Wasanii Wa Afrika Watakaoperform Kwenye Tuzo Za BET 2014
Tuzo za BET mwaka huu zitatolewa wikend ijayo, July 28/29 mwaka huu huko
Los Angeles Marekani na kushuhudia wasanii wengi wakubwa duniani
wakiperform kwenye jukwaa hilo kubwa..
Majina ya wasanii wakubwa wa Afrika yaliyotajwa ni pamoja na rapper
kutoka Nigeria, Sarkodie, Tiwa Savage wa Nigeria na kundi la Mafikizolo
la Afrika Kusini ambao watajumuika na wenzao kuperform Live katika
↧
Undani wa Sakata la Mnenguaji wa Kundi la Kanga Moko aliyepigwa Risasi na Askari Polisi
Mnenguaji wa Kundi la Kanga Moko, Zawia Hamis
ambaye usiku wa Jumatano iliyopita alipigwa risasi mbili mwilini na mtu
aliyedaiwa ni askari polisi, ameweka undani wa sakata hilo.
Akizungumza na Risasi Jumamosi juzi nyumbani kwake Mwananyamala jijini
Dar, majeruhi huyo alisema tukio hilo lilijiri maeneo ya Mwananyamala-
Kisiwani karibu na Ofisi za Chama cha Wananchi (Cuf) na
↧
Wakati Mbasha akiwa nje kwa dhamana kesi ya kubaka.....Mchungaji Gwajima apasua Jipu, Aitisha kikao kizito kumnusuru Mbasha....Akiri Injili kutikisika
Wakati mume wa mwimba Injili Bongo, Flora Mbasha,
Emmanuel Mbasha akiachiwa huru kwa dhamana kufuatia kesi ya kudaiwa
kumbaka shemejiye, Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima la jijini Dar
es Salaam, Josephat Gwajima ameibuka na kunena mazito kuhusiana na
sakata hilo.
Mbasha aliachiwa kwa dhamana juzi akitokea Gereza la Keko, Dar baada
ya kupandishwa kizimbani kwa mara ya kwanza
↧
Madiwani 5 wa CCM na mmoja CUF wavuliwa udiwani na Mahakama
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi wa Mkoa wa Kagera, imewavua madiwani sita nyadhifa zao baada ya kubainika kuwa, walishindwa kuhudhuria vikao vya kikanuni vya halmashauri ya manispaa hiyo, hivyo kupoteza sifa za kuendelea kuwa madiwani. Madiwani hao waliovuliwa nyadhifa zao jana, pia wametakiwa kulipa gharama za kesi hiyo.
Akisoma hukumu hiyo kwa zaidi ya saa mbili jana, Hakimu Mfawidhi wa
↧
↧
Ajali mbaya yatokea eneo la Makongo.... Watu 10 wanahofiwa kupoteza maisha
Magari mawili aina ya Coaster
yanayosafririsha abiria kati ya Mwenge, Tegeta na Mbezi jiijini Dar,
yamegongana na na kuua abiria wanaokadiriwa kufikia zaidi ya 10.
Ajali
hiyo imetokea mchana huu eneo la Makongo. Mashahuda wa ajali hiyo
wamesema kuwa uzembe uliofanywa na dereva wa daladala iliyokuwa ikitoka
Tegeta ndio uliosababisha ajali hiyo kwani alipita upande usio wake.
<!
↧
Babu Seya na Mwanaye Papii Kocha watumbuiza kwenye maadhimisho ya Magereza Day
Msanii
Nguza Viking (kulia) na Mwanae Jonson Nguza Maarufu kwa jina la Papii
Kocha ambao wanatumikia Kifungo chao kwenye Gereza la Ukonga jijini
Dar,wakiwa na Bendi ya Wafungwa wakiimba Wimbo Maalum kuhusu
Urekebishaji wa Wafungwa unavyofanyika Magerezani...
Wanamuziki hao
walitumbuiza katika Maadhimisho ya Magereza Day yaliyofanyika Juni 20,
2014 katika Viwanja vya Chuo cha Maafisa
↧
Moto mkubwa Wazuka Chuo Kikuu cha Dodoma ( UDOM) Usiku
Uchunguzi
umeanza leo asubuhi kujua chanzo cha kuzuka kwa moto karibu na hostel za
wasichana katika skuli ya sanaa na lugha (School of Humanities) katika
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) usiku wa kuamkia leo. Athari za moto huo
bado hazijajulikana.
Wakaazi
wa mji huo walisikia vingo'ra vya magari ya zimamoto yakielekea chuoni
huko kwa kasi, na miali mikubwa ya moto kuonekana katika
↧
Nuh Mziwada: Utaficha wapi Sura yako Shiole akikupiga chini?
Siku chache baada ya mpenzi wa Zuwena Mohamed 'Shiole' Nuhu Mziwanda kuweka kwenye mtandao wa 'instagram' picha zikionyesha tatoo aliyojichora yenye jina la mpenzi wake huyo, wadau wa filamu nchini wamesema kijana huyo atakuja kujuta siku akitemwa na kubaki na alama zake hizo kama kumbukumbu.Wakizungumza na mwanahabari wetu kwa nyakati tofauti, wadau hao walisema kuwa Shiole aliwahi
↧
↧
Mwimbaji wa kike wa Nigeria ajitoa kwa Boko Haram ili wasichana 200 waachwe huru....Asema yupo tayari kuhudumia wanaume 12 kwa Usiku mmoja
Mwimbaji wa kike wa Nigeria mwenye umri wa miaka 23 anaefahamika kwa
jina la Adokiye ameeleza anachofikiria kuhusu wasichana zaidi ya 200
wanaoshikiliwa na kundi la Boko Haram.
Mwimbaji huyo ambaye anafahamika sana kwa comments zinazotengeneza mijadala hudai kuwa yeye ni bikira.
Mwisoni mwa wiki hii ameiambia Showtime kuwa anajitoa yeye kwa kundi
la Boko Haram kama inawezekana
↧
Picha nyingine 6 za Ajali ya dalala iliyoua watu zaidi ya 10 jijini Dar leo mchana
Magari mawili aina ya Coaster
yanayosafririsha abiria kati ya Mwenge, Tegeta na Mbezi jiijini Dar,
yamegongana na na kuua abiria wanaokadiriwa kufikia zaidi ya 10.
Ajali
hiyo imetokea mchana huu eneo la Makongo. Mashahuda wa ajali hiyo
wamesema kuwa uzembe uliofanywa na dereva wa daladala iliyokuwa ikitoka
Tegeta ndio uliosababisha ajali hiyo kwani alipita upande usio wake.
↧
Lowassa atangaza Uamuzi Mgumu
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Edward
Lowassa ametangaza kuanza kwa hatua za kuyarejesha kwenye Mamlaka za
Serikali za Vijiji mashamba 21 ya wawekezaji yenye ukubwa wa zaidi ya
ekari 10,000, ambayo hayajaendelezwa.
Akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Lomooti,
Kata ya Lolkisale wilayani humo alipokwenda kutembelea boma la kisasa la
mfugaji Isaya Lembekure,
↧
More Pages to Explore .....