Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Usikate Tamaa....Okoa Ndoa yako kwa Tiba Hii ya Asili

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote .

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0620510598  / 0743543944

Kakakuona 2: Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume

$
0
0
_________________________
'DAWA BORA YA NGUVU ZA KIUME KAKAKUONA 2''.
_________________________                                     Inakadiriwa 75% ya Wanaume katika Nchi Za Jangwa la Sahara wanakabiliwa na Tatizo la Upungufu wa Nguvu za Kiume. SABABU KUU ni:
 🔖 (i) Mfadhaiko wa Mawazo pindi anapotaka kufanya Tendo la Ndoa hupelekea msukumo wa Damu na Mapigo ya Moyo kwenda Kasi kulingana na Hofu ya Kumudu Tendo la Ndoa/
🔖 (ii) Mwili kupatwa na Magonjwa ya Mara kwa Mara (Body Disorder dieses) kama vile KISUKARI, MAGONJWA YA ZINAA, MALARIA SUGU, BP, VIDONDA VYA TUMBO, BAWASIRI, NGIRI, ( hernia) , Matatizo ya Mgongo na Kiuno/
🔖(iii) Magonjwa Sugu kama Cancer, Kisukari , Bp, Ukimwi, Kifua Kikuu, Tambazi, BAWASIRI na Vidonda Tumbo. Hupelekea kupungua kwa Hormones za vichocheo/
🔖 (Iv) Constipation ni kuaharibika kwa Mfumo wa Ulaji wa Chakuala na Mmeng'enyo wa Chakula Mwilini na kupelekea kupata choo kigumu na Tumbo kuunguruma na kujaa gesi/
📎Hii hupelekea mwanaume kuwahi kufika kileleni na kushindwa kurudia Tendo la Ndoa📎
________________________
TIBA YA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME KWA DAWA ZA ASILI.
📍KAKAKUONA 2 Ni dawa ya Bora zaidi inayotibu na kuponya kabisa Tatizo la upungufu wa Nguvu za Kiume , hukufanaya urudie Tendo la Ndoa zaidi ya 4 _kwa siku.
📍Pia KAKAKUONA 1 Hurefusha na Kunenepesha Maumbile ya umme kwa siku 5 tu./
📌Dawa hizi hutumika kwa umri zaidi ya 18 tu.pia Tunatibu Matatizo ya:
🔖Uzazi/,
🔖Muwasho Sehemu Za siri/
🔖Fungus/
🔖Kisukari/
🔖BAWASIRI/
🔖Mgongo/
🔖Kiuno kuuma/
🔖Tumbo kujaa gesi/
🔖Maumivu ya Misuli ,Miguu ,Bp, Mwili kukosa Nguvu nk.
_________________________
Fika kwa KAKAKUONA HERBAL CLINIC.
SIMU NO:
📞0713 29 39 88  na
📞0758 07 82 80
DR THOMAS NAPATIKANA MBAGALA RANGI TATU __________________________

BUNDA: Wanafunzi 103 Washindwa Kujiunga Sekondari

$
0
0
Na GHAROS RIWA, Bunda
JUMLA ya wanafunzi 103 waliomaliza elimu ya msingi mwaka jana na kuchaguliwa kujiunga na  sekondari ya kata ya Hunyari iliyoko katika wilaya ya Bunda mkoani Mara, bado hawajajiunga katika shule hiyo kutokana na upungufu wa vyumba vya madarasa.

Taarifa hiyo imetolewa na mkuu wa shule hiyo Desdery Fabian, kwenye mwendelezo wa sehemu ya sherehe za miaka 42 ya kuzaliwa kwa CCM, zilizofanyika katika viwanja vya shule hiyo iliyoko katika tarafa ya Chamriho wilayani hapa.

Fabiani amesema kuwa wanafunzi wa kidato cha kwanza waliochaguliwa mwaka huu kujiunga na sekondari katika shule hiyo ni 253, lakini waliokwishapata nafasi kulingana na vyumba vya madarasa vilivypo ni 150 na kubaki wanafunzi 103.

Aidha, amesema kuwa changamoto nyingine inayoikabili shule hiyo ni pamoja na utoro warejareja na sugu kwa wanafunzi, na kwamba utoro huo unawahusisha wazazi kwani hawashirikiani na walimu ipasavyo, kuhakikisha watoto wao wanahudhuria shule bila kukosa.

Ameongeza kuwa  changamoto nyingine ni kuongezeka kwa watoto wa kike kupata ujauzito na kwamba tatizo hilo ni kubwa, ambapo inadaiwa kuwa linafadhiliwa na wazazi wenyewe.

Amesema kuwa uongozi wa shule unajitahidi kudhibiti tatizo hilo, lakini unaelemewa kutokana na mazingira yanayotokana na tamaduni, pamoja na mifumo ya kiupelelezi kwa jeshi la polisi.

Akihutubia katika sherehe hizo katibu wa CCM wilayani Bunda Mobutu Malima, ametoa wito kwa wananchi wa kata hiyo ambao wengi wao ni wafugaji kuchangia ujenzi wa vyumba vya madarasa ili kuondokana na changamoto hiyo.

Aidha kutokana na changamoto hiyo ya upungufu wa vyumba vya madarasa katika shule hiyo katibu huyo wa CCM wilayani Bunda, aliamua kuanzisha harambee katika sherehe hiyo, ambapo zilipatikana zaidi ya shilingi milioni mbili, mifuko 43 ya saruji, ng’ombe watatu na kondoo mmoja.

Mwenyekiti wa CCM wilayani Bunda Justin Rukaka, amewataka wanachama wa chama hicho wilayani humo, kuwa mstari wa mbele na kuwa mfano wa kuigwa katika kuchangia miradi ya maendeleo.

Mke Amuua Mumewe Kwa Kumchoma Kisu Tumboni Wilayani Ludewa

$
0
0
Na Amiri kilagalila
Mkazi wa kitongoji cha Ukindo kijiji cha Lugalawa wilaya ya Ludewa mkoani Njombe aliyefahamika kwa jina la Osmund Joseph Mwinuka anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 37 amefariki dunia kwa kuchomwa na kisu maeneo ya tumboni na mke wake kwa sababu ya Mapenzi.

Akizungumza na mtandaao huu kwa Njia ya simu mmoja wa mashuhuda aliyefika katika tukio hilo ambaye hakutaka kutajwa jina lake,amesema kuwa mwanaume huyo fundi piki piki na mkulima wa kijiji hicho alichomwa na kisu na mke wake Marselina Mtweve majira ya jioni baada ya kurudi nyumbani kwake akitokea kilabuni.

“Kwa kweli wananchi walikuwa na hasira kali ila huyu mama alichukuliwa na askari jana ilele maana wananchi walitaka kumpiga na usiku ule ule Yule mwanaume alipochomwa na kisu alipelekwa hospital akafia njiani

"Ila usiku alipokamatwa ilipofika asubuhi watoto wakubwa wawili walichukuliwa na kwenda  kutolea ushahidi mtoto mmoja alieleza kuwa baba na mama walikuwa wanagombana ndipo mama akachukua kisu akamchoma baba akaenda kukiosha baada ya hapo akaenda kuficha ardhini ndipo akaunyanyua mlango ukae vibaya ili watu waseme alijingonga mlangoni ndipo akaenda kupiga kelele majirani waje yaani huyu mama alikuwa akijichanganya kwa kila mtu”alisema mwananchi

Aliongeza kuwa wananchi wa kijiji hicho wanasikitishwa na kitendo hicho kwani mama huyo amekuwa sio mwaminifu kwenye ndoa yake na kusababisha kumkwaza mume wake mara kwa mara lakini mama huyo ameamua kuchukua uamuzi huo ili kuepusha usumbufu aliokuwa akiupata kutoka kwa mume wake.

Kwa upande wake mwenyekiti wa kijiji hicho ndugu.Erasto John Mhagama amethibitisha kutokea kwa mauaji hayo katika eneo lake huku chanzo cha mauaji hayo kikiwa ni mgogoro wa Mapenzi.

“Chanzo cha yote hayo ni wivu wa mapenzi kwasababu nilikuwa naongea na yule mama wakati mgonjwa amefikishwa hospital, akasema chanzo cha mgogoro wetu ulianzia kirabuni mpaka tumefika nyumbani ndipo alipomchoma na kisu kwasababu alimwambia anatembea na wanaume wakati sio kweli na hawa nininavyofahamu mimi wamekuwa na ugomvi wa mara kwa mara”alisema mwenyekiti

Hata hivyo mtandao huu ulimtafuta kamanda wa polisi mkoa wa Njombe Renata Mzinga ambaye amethibitisha kuzipokea taarifa hizo.

“Ni kweli taarifa hizo zipo,ila kwa sasa tunamaliza kwanza  hili la watoto nitatoa taarifa”alisema Kamanda Mzinga

Mtuhumiwa huyo mwenye watoto saba kwa marehemu amefikishwa katika kituo cha polisi wilayani Ludewa huku uchunguzi dhidi yake ukiendelea.

Super Moringa : Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
SUPER MORINGA DAWA BORA YA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME NA KUNENEPESHA UUME
_________________________
🔖🌸SUPER MORINGA Ni dawa bora ya nguvu za kiume  yenye mchanganyiko wa mitishamba (7) yenye maajabu yafuatayo/

🔖 (1) inatibu upungufu wa nguvu za kiume mara dufu na kuimalisha misuli ya uume uliolengea wakati wa tendo la ndoa/
🔖 (2) Kurefusha uume uliorudi ndani kuazia nchi 5 - 9/
🔖 (3) kunenepesha uume cm 5 ya upana itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15 - 20 kwa tendo la kwanza na utakuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya 2-4 bila hamu kuisha/

📌 Na inatibu kabisa
 📌 Haijalishi umri hata kama una miaka 85 itumie huanza kufanya kazi dk 50 tu na haina madhara yoyote kwa mtumiaji/

🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳            
MATATIZO HAYA HUSABABISHWA NA.
_________________________
🔖 (1)Tumbo kujaa gesi, na kuunguruma chini ya kitovu/
🔖 (2)Choo kama cha mbuzi/
🔖(3)Ngiri/
🔖(4)Kama umejichua sana punyeto/
🔖(4)Kaswende/
🔖(5)Gono/

📌Haya yote husababisha kuishiwa nguvu za kiume na kuwa na uume mdogo/
📌 Itumie leo, bado hujachelewa ni tofauti na nyingine.
_________________________
DAR ES SALAAM OFISI IPO BUGURUNI SHELI AU UNAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO.
___________________________
WASILIANA NA
Dr ATHUMAN SIMU.
📞0714 884 677
📞0767 104 343
____________________________
*****************************

Dawa Za Nguvu Za Kiume Na Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa

$
0
0
Asilimia 45-80 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kutowatimizia vyema wake au wapenz wao na kuwasababishia kutoka nje ya mahusiano yao. 

NINI CHANZO CHA HAYO? Kupiga punyeto,Ngiri, Vidonda vya tumbo, Korodani moja kuvimba, Msongo wa mawazo, Presha, Magonjwa ya zinaa, Kufanyiwa tohara ukiwa na umri mkubwa, Kisukari. 

DR. LUTAJA Sasa anakuletea tiba sahihi ya tatizo la Nguvu za kiume. 

NTOMBO :Hii hutibu na kuponya kabisa tatizo la Nguvu za kiume, utakuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kafika kileleni kwa mda wa dk 20-45. Dawa hii imechanganywa na miti 18,Hata wazee wenye umri mkubwa wa zaidi ya miaka 85 wanapona kabisa okoa mahusiano yako, ndoa yako sasa. 

SUNGURURU MIX:Ndio tiba sahihi kwa wale wenye maumbile madogo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo nchi 3-8 na unene cm 2-5,dawa hii ipo katika mfumo wakupaka nakunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji :Hii ni tiba tofauti kabisa nazile ambazo umekwisha wahi kutumia. 

Pia tunadawa za , Uzazi, Pumu, Malaria sugu, miguu kuwaka moto, Kaswende, Kisonono pamoja na mvuto wa mpenzi.

 DR. LUTAJA ANAPATIKANA DAR-ES-SAALAM Simu 0713-821823 kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote ulipo.

Serikali Kurudisha kodi kwenye taulo za kike

$
0
0
Serikali imesema itarudisha kodi ya wanaoagiza taulo za kike endapo hawatashusha bei.

Hatua hiyo imefikiwa kutokana na wauzaji na wasambazaji wa taulo hizo kushindwa kupunguza bei zake itakayomsaidia mwanafunzi kumudu gharama.

Hayo yameeelezwa jana Februari 15, na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu wakati akifungua mkutano wa siku mbili  wa kupinga mimba za utotoni uliyoandaliwa na Taasisi ya Girls Inspire kutoka nchini Canada kwa kushirikiana na Australia, ambao umewakutanisha wadau mbalimbali wa elimu.

Alisema tayari amemwandikia barua Waziri wa Viwanda na Biashara pamoja na Waziri wa Fedha na Mipango, kuanza kushirikiana kusimamia suala hilo ikiwa ni pamoja na  kupunguza gharama na kuongeza idadi ya taulo hizo badala kuweka sita au nne waweke nane au 10.

“Tuliwapunguzia kodi waingizaji na watengenezaji wa taulo hizo kuhakikisha wanashusha gharama,  bei haijapungua kabisa hivyo inabidi tuirudishe maana haijaleta tija kwa watanzania hasa watoto waliopo vijijini ambao hawana uwezo wa kununua taulo hizo kwa kiasi cha Sh 2,000 jambo ambalo hatutalivumilia ,” alisema Waziri Ummy.

Alisema takwimu zilizopatikana baada ya utafiti uliofanywa  na Serikali mwaka 2015/16 zinaonesha kati ya watoto wa kike 100 kati yao 27 wamepata mimba  wakiwa na umri chini ya miaka 18 ambapo  licha ya watoto hao kupata mimba lakini pia wamesababishiwa matatizo mbalimbali ya kiafya.

Alisema madhara ya ndoa na mimba za utotoni nchini ni makubwa kwani licha ya mtoto wa kike kupata matatizo ya kiafya pia husababisha kundi hilo kukosa elimu na hatimaye kuwa maskini kwa kushindwa kutimiza ndoto walizojiwekea.

Aidha Waziri Ummy ameongeza kuwa serikali imejitahidi kuchukua hatua mbalimbali kudhibiti hayo yasiendelee ikiwa ni pamoja na kuanzisha sera ya elimu bure iliyoongeza fursa za watoto wa kike na kiume kupata elimu za msingi na sekondari.

Naye Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia William Ole nasha amesema ndoa na mimba za utotoni zinamfanya mtoto wa kike ashindwe kusonga mbele hivyo serikali itaendelea kuchukua hatua madhubuti kuhakikisha watoto wa kike wanabaki shuleni na kutimiza ndoto zao.

Rais Trump Atangaza hali ya Hatari Marekani

$
0
0
Rais wa Marekani Donald Trump jana Ijumaa alitangaza hali ya dharura ya kitaifa, hatua ambayo inampa uwezo wa kuhamisha fedha kutoka sehemu nyingine katika bajeti ya serikali kuu na kuzitumia kwa ujenzi wa ukuta kati ya Marekani na Mexico, ambao umezua utata.

Trump, alisema hatua ya kutangaza hali ya dharura inalenga kuangamiza ulanguzi wa dawa za kulevya, uhalifu na makundi ya uhalifu anaodai wanaingia Marekani kupitia mpaka wa kusini.

Hatua ya Trump inajiri baada ya baraza la waakilishi na Seneti kukataa kumpa dola bilioni 5.7 kwa ajili ya ujenzi wa ukuta huo.

Mswada wa Seneti, unampa dola bilioni 1.3 kwa ajili ya ujenzi wa uzio wa takriban kilomita 90 ikiwa ni chini ya kiwango cha awali alichotaka cha dola bilioni 5.7 kwa ujenzi wa ukuta wenye urefu wa kilomita 322.

Trump hata hivyo alisema kufuatia hatua yake ya kutangaza Dharura ya Kitaifa, anatarajia upinzani mkubwa mahakamani lakini akasema yupo tayari kuitetea kutoka mahakama ya chini hadi ya juu akieleza imani kwamba mwishowe, atapata pesa anazotaka kwa ujenzi wa ukuta huo.

"Ninajua nitapelekwa mahakamani, lakini niko tayari kutetea hatua yangu hadi kwa mahakama kuu," alisema Trump.

​Lakini muda mfupi baada ya rais huyo kutoa kauli hiyo, Spika wa baraza la wawakilishi la Marekani, Nancy Pelosi na kiongozi wa walio wachache kwenye Seneti, Chuck Schumer, wametoa taarifa ya pamoja na kusema kwamba hawatamruhusu rais Trump 'kuikatakata vipandvipande" katiba ya Marekani.

Sera ya uhamiaji kwa jumla, hususan suala la ujenzi wa ukuta, limezua mgawanyikao mkubwa kisiasa Marekani, na lilipelekea kufungwa kwa baadhi ya shughuli za serikali kwa siku 35, hatua ambayo ilikosolewa vikali na wapinzani wa Rais Trump.

Credit:VOA

Kuwa Wakwanza Kupokea Habari Zetu....Download App Yetu Kwa Kubonyeza Hapa, Huhitaji tena kuwa na Computer

$
0
0
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa urahisi kabisa kupitia simu yako ya mkononi muda wowote hata usiku wa manane au ukiwa kazini...

Pata kurasa za mbele Magazetini, habari za kitaifa, matukio yote ya kisiasa, burudani na udaku   kupitia simu yako ya mkononi.

Huhitaji tena kuwa na Computer. Ingia Play Store, pakua App yetu  tukuhabarishe masaa 24.

Kesi ya Zitto Kabwe Dhidi ya Spika Ndugai Kuendelea March 26

$
0
0
Mahakama  Kuu imeahirisha kesi ya kikatiba kuhusu kinga ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad na mamlaka ya Bunge kuwahoji watu wanaotuhumiwa kulidhalilisha Bunge.

Kesi hiyo ya kikatiba namba 1/2019, imefunguliwa mahakamani hapo masjala kuu na Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe, dhidi ya Spika wa Bunge, Job Ndugai na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG).

Kesi hiyo inasikilizwa na jopo la majaji watatu, wakiongozwa na Jaji Firmin Matogolo, Jaji Benhajj Masoud na Jaji Elinaza Luvanda na kuahirishwa hadi Machi 26, mwaka huu kwa ajili ya kusikilizwa.

Zitto ambaye pia ni Kiongozi wa ACT Wazalendo, anawakilishwa na Wakili Fatma Karume, waliiomba mahakama hiyo itoe tafsiri ya kinga ya CAG iliyopo kikatiba na pia kutoa tafsiri ya Sheria ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge katika kushtaki watu wanaosemekana kudharau Bunge.

Katika kesi hiyo, wanaiomba mahakama itamke na kuamuru kwamba amri ya Ndugai kwa CAG ni kinyume cha Katiba kwa kukinzana na masharti ya Ibara za 26 (1), 18(a) (b) na (d) za Katiba ya Tanzania na kwamba wito huo ni batili.

Waleta maombi hao pia wanaiomba mahakama hiyo zuio la kudumu kumzuia Ndugai, watumishi wake au wakala wake kutokuchukua hatua yoyote ikiwamo kuamuru au kuelekeza mtu yeyote kumkamata au kumchukua CAG kwenda Dodoma kuhojiwa na Kamati ya Bunge kuhusu kauli yake hiyo.

Hata hivyo, CAG alihojiwa kuhusiana na kauli yake aliyoitoa akiwa nchini Marekani ya kudai kuwa Bunge la Tanzania ni dhaifu kulingana namna ambayo taarifa zake za ukaguzi zinavyofanyiwa kazi.

Tumia Vunja Kero 3 Power: Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
VUNJA KERO 3 POWER ni dawa Bora ya vidoge asilia hutibu tatizo la nguvu za kiume na huanza kufanya kazi baada y dk 30 
(1)Huongeza nguvu za kiume Mara dufu 
( 2) Huimarisha misuli ya uume iliyolegea na kusinyaa  pia dawa hii itakufanya ufurahie tendo la ndoa zaidi ya Mara ( 4) nne bila kuchoka
 ( 3) Hunenepesha na kurefusha uume kwa saizi uipendayo kuanzia nchi (6-7) 

Pia dawa hii hutibu maumivu ya mgongo ,kiuno tumbo kujaa gesi na kuunguruma ,kutopata choo vizuri ,ngiri na busha bila kupasuliwa         

Dr saidi anauwezo mkumbwa aliyojaliwa wa kumvuta na kumrudisha mmeo  ama mpenzi wako alikuacha au aliyembali nawe au hakutimizii shida zako

Pia Dr saidi anadawa ya kutibu kisukali,vidonda vya tumbo na miguu kuwaka Moto.  

DR SAID ANAPATIKANA DAR ES SALAAM BUGULUNI ROZANA  KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU NO 0758 199338 Au 0786243789

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Mkurugenzi anayesimamia kampuni ya Mfalme ya OBC apandishwa kizimbani

$
0
0
Mkurugenbzi  wa Kampuni ya wawekezaji kutoka Falme ya Kiarabu ya Ortello Business Cooperation (OBC), Isack Mollel (59), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha, akikabiliwa na mashtaka 10 ya kuajiri wafanyakazi 10 wa kigeni bila vibali vya kufanya kazi nchini.

Mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Niku Mwakatobe, Mwendesha Mashtaka wa Serikali kutoka Idara ya Kazi, Emanuel Mweta, alisema mshtakiwa huyo alitenda makosa hayo huku akijua ni kinyume cha sheria katika kipindi cha Novemba 2018 hadi Februari mwaka huu.

Upande wa utetezi katika shauri hilo la jinai, ulikuwa ukiwakilishwa na mawakili, Daudi Haraka, Method Kimomogoro na Goodluck Peter, ambapo inaelezwa baadhi ya wafanyakazi hao waliajiriwa kama mafundi magari, wapishi na madereva.

Aliwataja wafanyakazi hao raia wa kigeni walioajiriwa bila kufuata taratibu za sheria kuwa ni Darweshi Jumma, Riaz Aziz Khan, Mohammad Tayyab, Ali Bakhash, Abdulrahman Mohammed, Imtiaz Ahmad Fiaz, Zulfiqar Munin, Martin Crasta, Hamza Sharif na Arshad Mohammad.

Wiki iliyopita wafanyakazi hao walipandishwa kizimbani na kusomewa mashtaka ya kufanya kazi nchini pasipo kufuata sheria.

Jana baada ya Mollel kufikishwa mahakamani, Mwendesha Mashtaka huyo alidai mahakamani hapo kuwa upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika na kuiomba Mahakama hiyo kuweka masharti magumu ya dhamana kwa mshtakiwa huyo kwani upatikanaji wake ni mgumu.

Alisema inatilia shaka uwepo wake hivyo mahakama iweke masharti magumu kwani awali walishindwa kujua alipo wakati wafanyakazi hao wanafikishwa mahakamani.

Wakili wa utetezi Haraka, alidai mahakamani hapo kuwa ombi hilo halina mashiko kwani awali mshtakiwa huyo hakupewa hati ya kuitwa mahakamani hapo hivyo hakujua kama anahitajika mahakamani na kwa kuwa shtaka hilo lina dhamana Mahakama impe dhamana kwa masharti nafuu.

Hakimu Mwakatobe alikubaliana na ombi hilo na kutoa masharti kwa mshtakiwa huyo kudhaminiwa na wadhamini wawili ambao kila mmoja anasaini hati ya dhamana yenye thamani ya Sh milioni 40 kila mmoja ambapo kesi hiyo imeahirishwa hadi itakapotajwa Februari 22, mwaka huu.

Mwishoni mwa wiki iliyopita wafanyakazi hao 10 wenye asili ya Asia wa kasri la mfalme wa Abu Dhabi inayosimamiwa na OBC iliyopo eneo la Loliondo wilayani Ngorongoro, mkoani hapa, walipandishwa kizimbani kwa kosa la kufanyakazi nchini kinyume cha sheria za ajira kwa wageni.

Februari 22, mwaka huu Mkurugenzi huyo na wafanyakazi hao watafikishwa tena mahakamani hapo kesi zao zitakapotajwa.

Awali, Februari 13 mwaka huu, akizungumza na waandishi wa habari jijini hapa Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola, aliagiza kukamatwa au kujisalimisha kituo cha polisi kwa Mkurugenzi huyo kwa tuhuma za kuwaajiri wafanyakazi hao bila kufuata utaratibu.

Alimwagiza Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Longinus Ribishumbwamu, kumsaka mkurugenzi huyo kabla hajamaliza ziara yake jijini Arusha, ambapo taarifa zinadai Mkurugenzi huyo alijisalimisha polisi jioni ya siku hiyo agizo hilo lilipotolewa.

Video: Ally Mahaba - Sina Ujanja

$
0
0
Video: Ally Mahaba - Sina Ujanja

Tazama Hapa Jinsi Juma Nature Alivyoamua Kumuaga Godzilla

$
0
0
Wakati wasanii wengine wakiendelea kupost katika kurasa zao za mitandao jamii na kuelezea hisia za kuguswa na kifo cha Golden Jacob 'KingZilla', hiyo imekuwa tofauti kwa mkongwe Juma Nature 'Kiroboto'.

Nature aliyewahi kutamba na ngoma kama Hakuna kulala na Sonia, yeye amemuaga Zilla kitofauti baada ya kuachia nyimbo ambayo ina ujumbe wa kumuaga msanii huyo.

Ukaribu wa wasanii hawa ulianzia pale Zilla alipomuomba Nature kufanya marudio ya wimbo wa Sonia (Remix) na kibao hiko nacho kilitamba vile vile kutokana na aina ya miondoko ya mistari ya mashairi iliyotumika katika ngoma hiyo.

Katika wimbo huu wa mwisho wa Nature alioandika maalum kwa marehemu Zilla, alisikika akiimba zaidi kwa sauti ya manung'uniko huku mstari wake wa mwisho akimalizia kwa kusema "Resting in peace my blood".

==>>Usikilize hapo chini

Alichokisema Waziri Lugola Baada ya Kufika kaburini kwa Kijana aliepigwa risasi Kituo cha Polisi

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola amefika nyumbani kwa kijana Richard Peter, ambaye amefariki siku za hivi karibuni kwa kupigwa risasi akiwa katika kituo cha polisi.

Akizungumza mbele ya familia hiyo ambapo alifika kwa ajili ya kutoa salamu za pole kutoka kwa Rais wa Magufuli, Lugola amesema polisi linaendelea na uchunguzi juu ya tukio hilo ili watuhumiwa waweze kufikishwa mahakamani.

Lugola amesema; “ Rais alipopata taarifa zilimshtua na sababu moja kubwa ya kumshtua ni kwamba amefia kwenye eneo la polisi, kwa hiyo amenituma niwapeni pole sana”

"Niwaombe watanzania mliamini jeshi la polisi maana si jehi la kuua watu na wala hatufundishi askari wetu kuua watu kwa hiyo isitafsiriwe jeshi letu ni la kuua watu muwe nasubira" .Ameongeza Kangi Lugola.

Waziri huyo kwa sasa yuko ziarani Mkoa wa Arusha ambapo siku ya kwanza alizungumzia kuhusiana na tukio la kushambuliwa na Tundu Lissu pamoja na kuzungumza na madereva wa bodaboda mapema jana.

Makanga 3 Power, Dawa Bora Za Nguvu Za Kiume

$
0
0

Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.

Tupo dar es salam Buguruni

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348.

Nkoma: Tiba Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
NKOMA
_________________________
NKOMA Ni dawa bora ya nguvu za kiume  yenye mchanganyiko wa mitishamba (7) yenye maajabu yafuatayo/

🔖 (1) inatibu upungufu wa nguvu za kiume mara dufu na kuimalisha misuli ya uume uliolengea wakati wa tendo la ndoa/
🔖 (2) Kurefusha maumbile ya kiume yaliyorudi ndani kuazia nchi 5 - 9/
🔖 (3) kunenepesha uume cm 5 ya upana itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15 - 20 kwa tendo la kwanza na utakuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya 2-4 bila hamu kuisha/

📌 Na inatibu kabisa, unashauriwa uitumie dawa hii kama kinga ya magonjwa sugu./
 📌 Haijalishi umri hata kama una miaka 85 itumie huanza kufanya kazi dk 50 tu na haina madhara yoyote kwa mtumiaji/

📍📍📍📍📍📍📍📍📍
            MATATIZO HAYA HUSABABISHWA NA.
_________________________
🔖 (1)Tumbo kujaa gesi, na kuunguruma chini ya kitovu/
🔖 (2)Choo kama cha mbuzi/
🔖(3)Ngiri/
🔖(4)Kama umejichua sana punyeto/
🔖(4)Kaswende/
🔖(5)Gono/

📌Haya yote husababisha kuishiwa nguvu za kiume na kuwa na uume mdogo/
📌 Itumie leo, bado hujachelewa ni tofauti na nyingine.
_________________________
DR MAKOBA ANAPATIKANA DAR ES SALAAM, PIA UNAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO.
___________________________
WASILIANA NA
Dr MAKOBA SIMU.
📞0754832349
📞0683490600
____________________________
*****************************

Je Kwanini Baadhi Ya Wanaume Wengi Wana Ukosefu Ama Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
JE KWANINI BAADHI YA WANAUME WENGI WANA UKOSEFU AMA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO ???

Pata sululisho la matatizo haya na  magonjwa mengine utapona kwa mda mfupi sana hatakama ulihangaika mpaka ukakata tamaaa 

GALIMBO 3 MIX  ni dawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa aina mbili ili kukidhi mahitaji ya mtumiaji, imetengenezwa kwa muundo wa vidonge pamoja na unga kwaajili ya kuponesha tatizo moja kwa moja , huimalisha misuli ya uume iliyolegea wakato wa tendo la mdoa ,na kukufanya ucherewe kufika kileleni kwa mda wa dk ( 20 - 45 ) itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu nira hamu kuisha wara kuhisi kuchoka vilivile huzalisha viini vya uzazi ( manii ) 

YOLAN  hurefusha na kunenepesha  maumbile madogo ya uume na kuwa na uume kuanzia nchi (6-8) tiba kwa mda mfupi sana

Zipo sananu nyingi sana zinazosababisha matatizo hayo  km vile -:punyeto, kisukali,ngili,chango,vidonda vya tumbo,  tumbo kuunguluma na kujaa gesi maumivu ya mgongo ama kiume ,kolodani moja kuvimba ama kuingia ndani  presha nk 

Matatizo haya yote sio mageni, kigeni ni tiba sahihi ya kuponesha matatizo hayo

SUPER MBUKE -:  nidawa ya kuponesha tatizo la kisukali kwa mda mfupi sana , usihangaike wara kuteseka tumia dawa ya mitishamba kwaajili ya tatizo hili na upone kabisa

NTINJIWA  nidawa ya mvuto wa biashara,kazi, kupandishwa cheo,kumfanya mfanyakazi apendwe na bos wake

Pia ninadawa za kumvuta mme , mke,mchumba,hawara, au mtu yoyote unaemuhitaji katika maisha yako hata km yupo mbali na atatulia na kukutimizia cjovjote utakacho na kumfunga asiwe na mtu mwingime ,

Pata tiba za magonjwa mbalimbali ikiwemo miguu kuwaka moto, mgongo,bawasili ,kaswende ,gono na mengine mengi

KWAUSHAULI NA TIBA WASILIANA NA DR CHIKAGO    0759 208 637

Km huna nafasi ya kufika ofisini hudumahii utaletewa hapo ulipo , kwa wale wa mikoani natuma kwanjia ya basi

Mama Ajifungulia Kwenye Ndoo Ya Maji Na Kuua Kichanga.

$
0
0
 Na John Walter-Babati
Jeshi la Polisi Mkoa wa Manyara linamshikilia mwanamke wa mtaa wa Nangara Babati mjini, Ramla Omary (23) kwa kosa la kutupa kichanga katika shimo la kichuguu karibu na nyumbani kwako mara baada ya kujifungua.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana ijumaa Februari 15.2019 na kamanda wa polisi mkoa wa Manyara Agustino Senga inaeleza kuwa, kabla ya tukio hilo mtuhumiwa huyo alihisi uchungu kumuuma ndipo alipoamka na kuchukua ndoo yenye maji ambayo aliikalia kisha kujifungua kichanga hicho ambacho hata hivyo alifariki baada ya kukosa pumzi ndani ya maji.

Kamanda Senga amesema mtuhumiwa huyo anadai kuwa  sababu ya yeye kumuua kichanga hicho ni ugumu wa Maisha aliokuwa nao.

Hata hivyo mwili wa Kichanga hicho umehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti katika hospitali ya mji wa Babati [MRARA].

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images