Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Usikate Tamaa....Okoa Ndoa yako kwa Tiba Hii ya Asili

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

GALIMBO 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0620510598  / 0743543944

Amuua Mwanafunzi kwa kumchinja na sime kisa pete

$
0
0
Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro linamshikilia Kereto Likoko [Mmasai] kwa madai ya kumuua Mwanafunzi Samson Conradi anayesoma katika Chuo cha Faraja kwa kumkata na sime shingoni kwa madai ya kushindwa kumlipa fedha ya pete ambayo alikuwa akiuza.

Akizungumza jana Jumatatu Februari 11, 2019, Kamanda wa Polisi Mkoa wa  Kilimanjaro, Hamis Issah alithibitisha kutokea kwa tukio hilo.

Kamanda Isah amesema taarifa za awali zinaonyesha kuwa kabla ya kifo marehemu akiwa na mwanafunzi mwenzake, Andrew Charles, walikuwa katika mazungumzo ya kuuziwa pete na mtuhumiwa huyo.

“Wakati wakiendelea na mazungumzo hawakuelewana na mtuhumiwa akitaka kupatiwa fedha yake, na alichomoa sime na kumjeruhi  marehemu shingoni. Alivuja damu nyingi na amefariki dunia,”amesema Kamanda Issah

Wafanyabiashara Mikoa ya Kanda ya Kaskazini Kutumia Bandari ya Tanga

$
0
0
WAFANYABIASHARA wa mikoa ya Kanda ya Kaskazini wameonesha nia ya kuanza kutumia Bandari ya Tanga kupitisha shehena ya mizigo yao baada ya kuridhishwa na mabadiliko makubwa ya mfumo wa utendaji wa bandari hiyo.

Wameonesha nia hiyo kwenye mkutano wa siku moja baina ya uongozi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) na wafanyabiashara na wadau mbalimbali kutoka mikoa ya Tanga, Kilimanjaro na Arusha.

Meneja wa Bandari ya Tanga, Percival Salama alifafanua kuwa katika kuhakikisha bandari hiyo inatoa huduma bora kwa wateja wake, imeboresha miundombinu na mifumo ya utendaji na ulinzi katika bandari hiyo.

Alisema kuwa kutokana na maboresho hayo taratibu za uchukuaji wa mizigo zinatumia muda mchache tofauti na awali kutokana mamlaka zote za serikali zinazohusika na bandari zipo kwenye jengo moja.

“Tunataka kuwaondoa hofu wafanyabiashara kuwa sasa hivi bandari ya Tanga ni nzuri, salama kwa mizigo na ni ya uhakika kwa vile tumeboresha kuanzia mifumo ya ulinzi, miundombinu, utendaji kazi na Tehama,” alisema na kuongeza:

“Kutokana na maboresho hayo ikiwa mteja atakamilisha taratibu zote za uchukuaji wa mizigo basi kuanzia mizigo kufika bandarini atatumia siku tatu tu”.

Katika kusogeza huduma zake kwa wateja wa mikoa ya Kilimanjaro na Arusha, alisema tayari uongozi wa Mkoa wa Arusha kupitia Mkuu wa Mkoa huo, Mrisho Gambo umetoa eneo lenye ukubwa wa ekari 500 la Malula katika Wilaya ya Arumeru kwa ajili ya ujenzi wa bandari kavu.

“Wafanyabiashara wa Arusha na Kilimanjaro mtakuwa hamna haja ya kuja hadi Tanga kuchukua mizigo, mtakuwa mnasubiri mizigo yenu huko huko Arusha sisi tunawaambia gharama zetu tu mnalipia moja kwa moja na sisi tutajuana na Shirika la Reli( TRC) ambao tunategemea ukarabati wa reli ukikamilika uwatumie wao,” alisema.

Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Lydia Mallya aliwasihi wafanyabiashara hao kutumia bandari hiyo kwani tayari ni bandari ya viwango vya kimataifa. Mwenyekiti wa TCCIA Mkoa wa Kilimanjaro, Patrick Shirima alisema waliikimbia Bandari ya Tanga na kuhamia Bandari ya Mombasa nchini Kenya kutokana na urasimu uliokuwa unafanywa na taasisi za serikali zilizokuwa zinahusika na utoaji wa mizigo, jambo ambalo lilikuwa linachelewesha mizigo.

Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara, wenye Viwanda na Wakulima(TCCIA) Mkoa wa Arusha, Walter Maeda aliongeza kuwa wafanyabiashara wa Arusha wanafahamu kuwa kikwazo kikubwa katika Bandari ya Tanga ni taasisi za serikali katika kuchelewesha mizigo ndiyo maana waliachana nayo.

“Sisi tuliikimbia bandari ya Tanga na kuamua kutumia Bandari ya Mombasa kutokana na nenda rudi zilizokuwa zinafanywa na TRA,TFDA (Mamlaka ya Chakula na Dawa), TBS (Shirika la Viwango) kwa kweli walikuwa hawana ushirikiano mzuri hali iliyotuletea taabu sisi wafanyabiashara,” alisema.

Dawa Mpya Asilia Ya Nguvu Za Kiume

$
0
0
Baada Ya Watu Kuhangaika Mda Mrefu Bila Kupata Dawa Ya Uhakika Ya Kumaliza Na Kuondoa Tatizo La Nguvu Za Kiume Sasa Dr.mbulana Ana Dawa Mpya Ya Mitishamba Ambayo Ni Komesha Kabisa Kwa Tatizo Sugu La Nguvu

SUPER MGUNO ;Ni dawa ya mitishamba inatibu kabsa tatizo la nguvu za kiume inakufanya uwe na uwezo wa kuchelewa kufika kileleni pia inakufanya uweze kufanya tendo mara 3 hadi 4 bila kuchoka

SUPER MGUNO2; Hi dawa ya mitishamba inayo nenepesha na kurefusha Uume mfupi ulio sinyaa na kuufanya uwe imara na inasafisha mirija ya uume na kuupa nguvu wakat wa tendo.

Dawa hii ni dawa inayo tibu mtu yeyote ambae amepata tatizo ili kutokana na sababu mbali mbali kama vile kupiga punyeto kwa mda mrefu,magonjwa kama vile kisukari,ngiri,vitonda vya tumbo n.k

Pia DR.MBULANA ANATIBU MAGONJWA KAMA KISUKARI,NGIRI,VIDONDA VYA TUMBO,UZAZI N.K

DR huyu anapatika DAR ES SALAAM PIA HUDUMA HII UNATUMIWA POPOTE ULIPO NA MIKOANI TUNATUMA KWA NJIA YA MABASI

MAWASILIANO
DR.MBULANA
0714092127

Waziri wa Kilimo: Tunajiandaa kuja na Sheria ya Kilimo kwa ajili ya kumtetea Mkulima

$
0
0
Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) amesema ipo haja ya kuanzishwa kwa Sheria ya Kilimo itakayotoa suluhisho la changamoto zinazamkabili Mkulima na Sekta hiyo kwa ujumla.

Waziri Hasunga ameyasema hayo jana tarehe 11 Februari 2019 wakati wa kikao cha siku mbili baina yake na Watafiti wa kilimo kutoka Taasisi mbalimbali za kilimo nchini.

“Kuna kila sababu ya kuanzishwa haraka sheria ya kilimo, kwa sababu hatuna Sheria ya Kilimo na inayotumika sasa ni Sera ya Kilimo, iliyotungwa mwaka 2013 ambayo pia inahitaji kupitiwa upya” amesema

Mhe. Hasunga ameongeza kuwa Sheria zinazotumika kwa sasa ni za Bodi za Mazao mbalimbali, ambazo pia zinachangamoto zake na kuna mazao ambayo hayana Bodi kiasi kwamba kuwatetea Wakulima wa mazao hayo inakuwa vigumu.

Mazao yaliyo katika utaratibu wa Bodi ni pamoja na zao la Pamba, Kahawa, Chai, Korosho, Pareto na Tumbaku kwa upande wa mazao ya biashara, mazao ambayo hayana bodi ni yale ya chakula ambayo nayo yana mchango mkubwa katika uchumi wa Taifa.

Waziri Hasunga amewataka Watafiti hao kutumia kikao hicho kutoa michango yenye tija, nini kifanyike katika Sekta ya Kilimo kwakuwa Watafiti wana wigo mpana wa kuitoa Sekta hiyo kutoka sehemu moja hadi nyingine.

Kwa upande wake Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. Omary Mgumba alisema kikao hicho ni cha kipekee kwakuwa kimewakutanisha Wataifiti na Wataalamu kutoka Taasisi za utafiti na watafiti wakufunzi wabobevu kutoka vyuo vya kilimo nchini.

“Ni furaha kuwaona leo hii kwa wingi wenu, eneo kubwa la kutiliwa mkazo ni katika suala la masoko, tunafanya tafiti nyingi kuhusu mbegu bora lakini hatuna tafiti za kutosha kuhusu masoko ya mazao ya kilimo,” Alikaririwa Naibu waziri wa Kilimo Mhe Innocent Bashungwa

Mtafiti kutoka Kituo cha Utafiti wa Kilimo Naliendele Dkt. Fortunus Kapinga alisema kikao hicho kimekuja wakati muafaka ambapo utafiti wenye tija na wenye kuzingatia wakati unahitajika zaidi ili kutatua changamoto za kilimo nchini.

“Kazi yetu Watafiti nikuhakikisha utafiti wa kina unafanyika ili kuondoa changamoto za wakulima, naamini tutabadilishana uzoefu lakini pia tutaishauri serikali kuangazia katika tafiti zaidi na kutujengea uwezo ili tuzalishe tafiti zenye tija na uzalishaji bora,
”alisema

Kikao kama hicho kitaendelea leo Tarehe 12 Februari 2019 baina ya wizara na wadau wa kilimo wa sekta binafsi na baadaye kikao kama hicho kitafanyika pamoja na wadau wa maendeleo ya kilimo wakimataifa na waliopo nchini.

Baada ya vikao hivyo Wizara na wadau wote wataamua muda gani sera ya kilimo ipitiwe upya na kuanzishwa mchakato wa muswada wa sheria ya kilimo na hatimaye kupata sheria ya kilimo.

MWISHO

Ofisa TAKUKURU Atiwa Mbaroni Akituhumiwa Kumbaka na kumlawiti Mtoto wa Dada yake

$
0
0
Ofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Rukwa, Jonas Jackson (34) anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kumbaka na kisha kumlawiti mtoto wa dada yake aliyekuwa akiishi naye.

Ofisa huyo alikamatwa Februari 7, 2019 baada ya mtoto huyo kwenda kuripoti kituo kikuu cha polisi mjini Sumbawanga kufuatia kuchoka kufanyiwa vitendo hivyo.

Kamanda wa polisi Mkoa wa Rukwa, George Kyando amethibitisha kukamatwa kwa mtuhumiwa jana Jumatatu Februari 11, 2019 baada ya mlalamikaji mwenye umri miaka 18, kwenda polisi kutoa taarifa ya vitendo vya unyanyasaji anavyofanyiwa.

Msichana huyo amedai amekuwa akifanyiwa vitendo hivyo na mjomba wake tangu Septemba, 2018.

Amebainisha kuwa mtuhumiwa huyo mara kwa mara anapotoka kwenye starehe zake na kurejea nyumbani akiwa amekunywa pombe alikuwa na tabia ya kumnywesha pombe, kuanza kumbaka na kumwingilia kinyume na maumbile.

Kamanda Kyando amesema mtuhumiwa huyo anashikiliwa na polisi na muda wowote atafikishwa mahakamani.

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Mvuto Wa Mapenzi

$
0
0
*************************
KIBOKO YA  MATATIZO YA  NGUVU  ZA  KIUME MAUMBILE MADOGO MVUTO  WA  MAPENZI .
MAGONJWA SUGU
*************************
Wanaume  wengi wana  upungufu wa  nguvu  za kiume nakuwa  na  maumbile madogo  ya kiume magonjwa kama  kisukari, presha, ngiri  korodani kuvumba, busha, tumbo kuunguruma na kujaa  gesi  na  kutopata  choo  vizuri, punyeto  NK.
___________________________
Huchangia kwa  kiasi kikumbwa upotevu  wa nguvu  za kiume tumia dawa nzuri ya  mitishamba ambayo haina madhara kwa mtumiaji ata uwe  na  miaka 80 inatibu na kumaliza matatizo  hayo:

 SUPER SHAFT 
********'****************
HII NI DAWA  YENYE  UWEZO  MKUBWA WA  KUOGEZA  NGUVU ZA KIUME MARA  DUFU NA MAUMBILE MADOGO  YA KIUME
************************
(1) Itakufanya uwe  na nguvu za  ajabu ukiwa unafanya tendo la ndoa.
___________________________
(2 ) Inaongeza hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi  ya mara  tatu bila kuchoka.
___________________________
(3)Itakufanya uchelewe kufika kileleni ndani ya dk 30 nakukupa nguvu ya ajabu.
___________________________
(4) Pia itakupa nguvu za kusimamisha uume wako barabara kama msumari wakati wa tendo la ndoa.
___________________________

NYATI POWER
*****************
INAREFUSHA NA KUNENE PESHA MAUMBILE YA KIUME  SAIZI UTAKAVYO kuazia Inchi 1 -8 unene sm 2-4.
*************************
(5) Itaimarisha mirija ya uume iliyolegea au kusinyaa.
___________________________
(6)lnasaidia kisafisha mishipa ya kwenye uume na hivyo kusaidia kuogeza kasi ya msukumo wa damu kwenye mishipa ya uume.
___________________________
(7) Usaidia kuurudisha nje uume ulioingia ndani.
___________________________
(8) Inasaidia kuogeza  manini  nyingi abazo vinaviini vya  uzazi.
___________________________
(9)Husaidia kutibu  madhara ya punyeto.
___________________________
Matumizi makali ya madawa  ya kizungu mirungi, bangi na  sigara.
*************************
TUNATIBU MAGONJWA YOTE SUGU, NGIRI, KORODANI KUVIMBA,  BUSHA BILA KUFANYIWA OPARESHENI, TEZI DUME, KISUKARI, PRESHA AINA ZOTE, UGONJWA WA MOYO STROKU. KWIKWI, KICHOMI MIGUU KUFA NGAZI NK
*************************
ANAPATIKANA MAGOMENI MIKUMI, KARIBU NA  KANISA KATOLIKI, TUMAINI HEARST CLINC NDIYO  SULUHISHO LA MATATIZO YOTE
*************************
PIGA  SIMU
📞0745495181 AU
📞0682644040 
*************************
WOTE  MNAKARIBISHWA
*************************
Kama huna nafasi ya kufika ofisini  kwetu  huduma  hii  utaletewa mahali  ulipo na wa mikoani  mtaipata kirahisi.
KWA MENGINEYO INGIA HAPA
*************************

Umoja Wa Afrika Waipongeza Tanzania Katika Mapambano Dhidi Ya Rushwa

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema nchi za Bara la Afrika zimeitaja Tanzania kuwa ni miongoni mwa nchi zinazofanya vizuri katika mapambano dhidi ya rushwa.

Ameyasema hayo jana (Jumatatu, Februari 11, 2019) wakati akitoa muhtasari wa yaliyojiri kwenye Mkutano wa 32 wa Wakuu wa nchi za Afrika (AU) unaofanyika Addis Ababa, Ethiopa.

Waziri Mkuu ambaye amemuwakilisha Rais Dkt. John Magufuli katika mkutano huo amesema katika mkutano huo pamoja na mambo mengine Serikali barani Afrika zimesisitizwa kupambana na wala rushwa, ambapo Tanzania imetajwa kuwa miongoni mwa nchi zilizopiga hatua katika mapambano hayo.

Mbali na kupiga hatua katika mapambano dhidi ya rushwa, pia Waziri Mkuu amesema ripoti ya kamati maalumu iliyoundwa kuhusu masuala ya afya inaonesha Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizofanya vizuri.

Waziri Mkuu amesema Tanzania imefanya vizuri katika kusimamia na kudhibiti malaria, mapambano dhidi ya ukimwi pamoja na utoaji wa huduma za afya kwa wananchi mpaka vijijini.

“Imetupa faraja kwa sababu ukaguzi uliofanywa na kamati maalumu ya maendeleo ya afya, iliyotembelea nchi za Afrika kuona mwenendo wa utoaji wa huduma za afya imeonesha kwamba Tanzania tupo kwenye kiwango kizuri.”

Waziri Mkuu amesema mafanikio hayo yamekuja baada ya Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Magufuli kuongeza bajeti ya afya wizara kutoka sh. bilioni 37 hadi kufikia sh. bilioni 269.

Kadhalika, Waziri Mkuu amesema viongozi hao walizungumzia kuhusu mwenendo wa biashara kwa kutumia anga, bahari na biashara za nchi kavu ambazo zinafanywa na Bara la Afrika na Tanzania ni miongoni mwa ambazo zilikubaliana na uundwaji wa mkataba wa korido ya biashara.

Amesema viongozi hao wametakiwa waimarishe biashara na Serikali imetoa fursa ya wazi kwa wafanyabiashara wa ndani na nje waje wawekeze na Tanzania iko tayari kuungana na Mataifa yakayofanya biashara nchini.


Katika mkutano huo, viongozi wa AU wamekutana kwa ajili ya kujadili masuala mbalimbali kuhusu biashara, wakimbizi na usalama, pia wamemchagua  Rais wa Misri, Abdul Fatta Al Sisi kuwa Mwenyekiti mpya wa umoja huo.

Al Sisi anachukua nafasi hiyo kutoka kwa Rais wa Rwanda Paul Kagame kumaliza muda wake baada ya kushika wadhifa huo kwa kipindi cha mwaka mmoja.

Kwa upande wake, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Antonio Guterres amesema licha ya changamoto zote zinazolikabili bara la Afrika, bara hilo limeacha milango yake wazi kwa wakimbizi, hivyo ameyataka nchi za Ulaya ambazo zimefunga milango yake kwa wakimbizi zijifunze kutoka kwa Afrika.

Guterres ameyasema hayo katika Mkutano Mkuu wa 32 wa viongozi wa nchi wanachama za AU ambao kauli mbiu  ya mkutano wa mwaka huu nı " Wakimbizi na waliorejea makwao".

Kiongozi huo wa AU ameongeza kuwa Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa unakabiliwa na changamoto kuu tatu ambazo ni amani na usalama, maendeleo endelevu pamoja na mabadiliko ya hali ya hewa.

(mwisho)
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,

Waziri Wa Fedha Na Mipango Aridhishwa Na Kasi Ya Ujenzi Wa Ofisi Za Wizara Ya Fedha Na Mipango –ihumwa

$
0
0
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) amesema ameridhishwa na kasi ya ujenzi wa Ofisi za Wizara ya Fedha na Mipango zinazojengwa katika Mji wa Serikali Ihumwa Jijini Dodoma. 

Mpango ameyasema hayo  jana alipotembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa Ofisi hizo ambazo zinajengwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC).

‘Nafikiri tunaenda vizuri, quality of work inanifurahisha, ikifika tarehe 1 Machi, 2019, nijisikie  nipo huru sasa nabadilisha ofisi nipo Ihumwa’ alisema. 

Aidha Dkt. Mpango ameuagiza Uongozi wa Wizara kuanza mchakato wa ujenzi wa Jengo kubwa la Ofisi ili kuweza kutosheleza Watumishi wote wa Wizara ya Fedha na Mipango.

Kwa upande wake Msimamizi wa ujenzi wa Ofisi hizo kutoka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Mhandisi Elisante Ulomi amesema ujenzi wa awamu ya kwanza umejumuisha Ofisi ya Waziri, Naibu Waziri, Katibu Mkuu na Manaibu Katibu Wakuu, ukumbi wa mikutano, ofisi za madereva, pamoja na ofisi za Wakurugenzi saba.

Mhandisi Ulomi amesema ujenzi kwa sasa umefikia asilimia 92, na utakamilika tarehe 28 Februari,2019.

Iran Yaapa Kuendelea Kutengeneza Makombora

$
0
0
Rais wa Iran, Hassan Rouhani amesema kuwa nchi yake itaendelea kutengeneza makombora ya aina mbali mbali bila hofu na katu hailazimiki kumuomba idhini yeyote kutekeleza azma yake hiyo.

Ameyasema hayo katika maadhimisho ya kumbukumbu ya miaka 40 ya mapinduzi ya Kiislamu yaliyo uangusha utawala wa Shah Mohammed Reza Pahlavi uliokuwa ukiungwa mkono na Marekani.

Amesema kuwa kamwe utawala wa nchi hiyo haitompigia magoti mtu yoyote au kuomba ridhaa ya mtu kuendelea na harakati zake za kujiimarisha kijeshi.

Katika hotuba yake, Rouhani imetilia mkazo kwamba njama zinazofanywa na adui dhidi ya Iran zitashindwa kwa namna zote, na kuonya kwamba sasa nchi hiyo ya Jamhuri ya kiislamu ina nguvu kubwa zaidi kuliko wakati ilipopambana na Saddam Hussein wa Iraq katika vita vilivyosababisha maafa makubwa na uharibifu kutoka mwaka 1980 mpaka 1988.

Aidha, amesema kuwa ulimwengu unapaswa kutambua kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran  ina uwezo mkubwa zaidi kuliko siku za vita, pia ameipuuza miito kutoka Marekani na Ulaya ya kutaka pafanyike makubalino mapya ya kuzuia mpango wake wa Nyuklia.

”Mwaka huu tunasherehekea miaka 40 ya kinachoangaliwa kama siku ya ushindi katika mapinduzi ya kiislamu ya mwaka 1979 ya nchi yetu dhidi ya njama za wahalifu, Wamarekani,wazayuni na nchi zilizopitwa na wakati za kanda hii ambazo zinataka kuwaangusha watu wetu kupitia shinikizo na vikwazo. 

"Leo uwepo wa umma mitaani katika sherehe hizi za kumbukumbu kote nchini kunamaanisha kwamba njama za maadui zimeshindwa. Uwepo huu unamaanisha kwamba adui hatofanikiwa katika malengo yake ya uovu,”amesema Rouhan

Hata hivyo, Rouhani ameipuuza miito kutoka Marekani na Ulaya ya kutaka pafanyike makubalino mapya ya kuzuia mpango wake wa Nyuklia., lakini kwa upande mwingine Kamanda wa ngazi ya juu katika jeshi la kimapinduzi la Iran amenukuliwa akisema nchi hiyo itaiangamiza miji ya Israel ya Haifa na Tel Aviv ikiwa Marekani itaishambulia jamhuri hiyo ya kiislamu.

Mkurugenzi wa Mabasi ya Mwendo Kasi, Robert Kisena Kortini Kwa Kusababisha Hasara ya Bilioni 2

$
0
0
Mkurugenzi wa UDART, Robert Kisena(46) na wenzake watatu wamesomewa mashitaka 19 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ikiwemo utakatishaji fedha wa Mil.603 na kuisababishia hasara UDART ya Bil.2.41.

Mbali ya Kisena, Washtakiwa wengine kwenye kesi hiyo ni Kulwa Kisena (33), Charles Newe (47) na Cheni Shi (32).

Washtakiwa hao walisomewa mashtaka yao jana mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba.

Upande wa Jamhuri uliongozwa na Mawakili wa Serikali, George Barasa, Ester Martin, Moza Kasubi na Imani Imtumezizi.

Barasa alidai kuwa washtakiwa wanakabiliwa na mashtaka hayo likiwamo moja la kuongoza uhalifu, kujenga kituo cha mafuta bila kibali, kuuza mafuta sehemu zisizoruhusiwa, wizi wakiwa wakurugenzi, mashtaka manne ya utakatishaji fedha, manne ya kughushi, manne ya kutoa nyaraka za uongo, mawili kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na moja la kuisababishia mamlaka hasara.

Katika shtaka la kwanza, ilidaiwa kuwa kati ya Mei 25, 2015 na Desemba 31, 2016 kwa mamlaka waliyokuwa nayo waliusababishia mradi wa UDART hasara ya Sh.bilioni 2.41.

Katika shtaka lingine, ilidaiwa kuwa mshtakiwa wa kwanza na wanne, Robert na Shi, wanadaiwa kati ya Mei 26, 2016, wakiwa benki ya NMB tawi la Ilala, wakiwa wakurugenzi wa Kampuni Longway Engineering huku Kisena akiwa Mkurugenzi wa UDART walifanya muamala wa Sh. milioni 603 kupitia akaunti ya benki ya UDART kisha kuzihamishia fedha hizo katika akaunti ya Longway na baada ya siku mbili wakijua fedha ni za kughushi.

Katika shtaka lingine, ilidaiwa kuwa Mei 30, 2016, Robert na Shi katika benki ya NMB tawi la Ilala, walijipatia nyaraka kwa njia ya udanganyifu kutoka katika benki hiyo ikiwa na jina la Fund Transfer Request Form ikiwa na tarehe ya Aprili 6, 2016, kwa lengo la kuonyesha Sh. milioni 750 zimelipwa na Kampuni ya Longway kwa ajili ya ujenzi wa uzio wa kituo cha UDART Kimara, Kivukoni, Ubungo na Morocco, huku wakijua ni uongo.

Martin alidai shtaka la Robert na Shi, Juni 8, 2016, katika benki ya NMB tawi la Ilala walijipatia kwa njia ya udanganyifu Sh. milioni 595.92 kutoka UDART kwa kuonyesha zimelipwa na kampuni ya Longway ambayo imehusika katika kutengeneza vitu mbalimbali vya mradi huo, huku wakijua ni uongo.

Ilidaiwa kuwa Aprili 6, 2016 katika benki ya NMB tawi ya Ilala, Robert, alighushi nyaraka hiyo kwa lengo la kuonyesha Sh. milioni 594 zimelipwa kwa kampuni ya Longway ambayo imejihusisha na uandaaji, utengenezaji wa vitu mbalimbali wakati ni uongo.

Katika shtaka la kutakatishaji fedha linalowakibili washtakiwa wote wanne, wanadaiwa kuwa kati ya Mei 25, 2015 na Desemba 31, 2016 wakiwa jijini Dar es Salaam kwa nia ovu walibadilisha thamani ya mafuta ya zaidi ya Sh. bilioni 1.21 kuwa fedha ya thamani hiyo baada ya kuyauza mafuta hayo, huku wakijua mafuta hayo ni zao la kosa la wizi.

Kosa lingine ni la kujenga kituo cha mafuta bila kuwa na vibali vya EWURA ambalo linamkabili Robert na Kulwa ambao wanadaiwa walilitenda Januari 1, 2015 na Desemba 31, 2017 maeneo ya Jangwani Ilala.

Inadaiwa kuwa washtakiwa Robert na Kulwa wakiwa wakurugenzi wa Kampuni ya Zenon Oil na Gas Ltd kwa pamoja walijenga kituo hicho cha mafuta bila kuwa na kibali cha EWURA.

Washtakiwa hawakutakiwa kujibu chochote kutokana na mahakama hiyo kutokuwa na kibali cha kusikiliza kesi hiyo.

Upande wa Jamhuri ulidai kuwa upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika na uliomba tarehe ya kutajwa.

Hakimu Simba alisema kesi hiyo itatajwa Februari 23, mwaka huu na washtakiwa walipelekwa rumande kwa sababu mashtaka yanayowakabili hayana dhamana.

Wasanii Watajwa Kuwa Waathirika Namba Moja wa Madawa ya Kulevya

$
0
0
Mamlaka ya Kupambana na kuzuia  Dawa za Kulevya nchini imepanga kukutana na wasanii mbalimbali ili kuwapa elimu ya madhara ya dawa za kulevya ikiwa wao ni miongoni mwa wa  waathirika wa dawa hizo kwa kutumia au kutumiwa kama wabebaji.

Hatua hiyo imefikiwa baada ya utafiti uliofanywa na mamlaka hiyo kugundua kuwa wasanii ni waathirika wa matumizi ya dawa za kulevya hivyo wamepanga kutoa vipeperushi vya kila aina ya dawa za kulevya vinavyoeleezea athari zake lengo ikiwa ni kufikisha taarifa kwa watu wengi zaidi.

Hayo yamesemwa na Kamishna  Mkuu wa mamlaka hiyo Rodgers Sianga alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam  jana Jumatatu Februari 11, ambapo amesema wamepanga kukutana na wasanii hao Jumatano Februari 13 na Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan.

“Uingizwaji wa dawa nchini umepungua, tulipodhibiti nchi kavu walihamia katika njia za bahari ambapo kwa mwaka jana pekee tulikamata tani 9, 000 za dawa za kulevya zilizotaka kuingizwa nchini kwa njia ya majini na kwa nchi kavu tulikamata kilo 1, 000 za dawa kwa kushirikiana na majeshi ya majini bila hivyo hali yetu ingekuwa mbaya sana.

“ Kuhusu matumizi hatujajua yamepungua kiasi gani hivyo tunapanga mwishoni mwa mwaka huu kufanya tafiti ili tujue yamepungua kwa kiasi gani upatikanaji wake na matumzi yake kwa waathirika wa dawa ya kulevya na ndiyo sababu ya kuwaita wasanii ili watusaidie kufiklisha elimu kwa watu wengi” amesema.

Aidha Kamishna Sianga amesema wamejipanga kuhamishia nguvu katika mipaka ya Kusini ili kudhibiti uingizwaji wa dawa kutokea nchini Msumbiji kupitika katika ya mikoa ya kusini.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Itigi Kortini Tuhuma za Mauaji Kanisani

$
0
0
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Itigi, Wilaya ya Manyoni, Pius Luhende (54) na maofisa sita wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Singida wakikabiliwa na kosa la mauaji ya Isack Petro.

Petro anadaiwa kuuawa kwa kupigwa risasi akiwa kwenye Kanisa la Wasabato lililoko Kijiji cha Kaskazi wilayani Manyoni mkoani Singida Februari 2, mwaka huu.

Wakisomewa mashtaka yao mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Consolata Singano, Wakili Mkuu wa Serikali, Michael Ng’oboko kwa kushirikiana na Wakili Emily Kiria, walidai Luhende na wenzake sita wanashtakiwa kwa kutenda kosa hilo Februari 2, mwaka huu, katika Kijiji cha Kaskazi wilayani Manyoni.

Washtakiwa wengine ni ofisa wanyamapori wa halmashauri hiyo, Rodney Ngalamba (42), askari wanyamapori wa Kijiji cha Doroto katika Hifadhi ya Rungwa, Makoye Stevin na Mwanasheria wa Halmashauri ya Itigi, Erick Paul (31).

Wengine ni Ofisa Tarafa ya Itigi, Eliuta Augustino (43), Ofisa Kilimo na Mifugo wa Halmashauri ya Itigi, Silvanus Lungwisha (50) na Ofisa Mtendaji wa Kijiji cha Kaskazi katika halmashauri hiyo, Yusuph John (25).

Ng'oboko alidai washtakiwa kwa pamoja walishirikiana kumuua kwa kumpiga risasi Isack Petro ambaye ni mkazi wa kijiji hicho.

Wakili Kiria alidai mahakamani kuwa, washtakiwa hao walifanya kosa hilo kinyume cha Sheria Kanuni ya Adhabu Kifungu cha 116 na 197.
 
Wakili Ng’oboko alidai mahakama kuwa upelelezi wa shauri hilo bado haujakamilika, na kuomba mahakama kuahirisha kesi hiyo hadi tarehe itakayopangwa.

Hakimu Singano aliwataka washtakiwa kutojibu chochote kutokana na mahakama hiyo kutokuwa na mamlaka ya kusikiliza shauri lao. Kesi hiyo ina hadhi ya kusikilizwa na Mahakama Kuu.

“Mahakama hii haina mamlaka ya kusikiliza shauri lenu, hivyo naahirisha shauri hili hadi siku ya Februari 25, mwaka huu, kwa ajili ya kuja kutajwa, washtakiwa wote warudi mahabusu," alisema Hakimu Singano.

Waziri wa Kilimo aita wawekezaji kuwekeza kwenye miwa, chikichi

$
0
0
Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga, amesema  wawekezaji zaidi wanahitajika kwenye mashamba ya miwa na michikichi ili kukabiliana na upungufu wa sukari na mafuta ya kula nchini.

Hasunga amesema hayo jana  Jumatatu Februari 11, jijini Dar es salaam wakati akizungumza na wataalamu wa kilimo na watafiti waliokutana  kwa ajili ya kuweka mikakati ya kukuza kilimo kitakachosaidia kuingia katika uchumi wa kati kuelekea uchumi wa viwanda nchini.

Amesema tani 670,000 zinahitajika kukidhi mahitaji ya Watanzania lakini uwezo wa uzalishaji ni tani 300,000 hivyo kuna upungufu wa tani 370,000 ambazo zinaagizwa kutoka nje.

“Wawekezaji wakijikita zaidi katika kulima miwa tatizo hilo litakuwa historia na hata sukari itakuwepo ya matumizi na biashara pia,” amesema.

Akizungumzia uhitaji wa mafuta ya kula,  amesema yanazalishwa asilimia 36 na asilimia 64 yanaagizwa nje ya nchi na kufanya nchi kutumia mabilioni ya fedha.

“Hapa ni lazima tushirikiane kwa pamoja watafiti wasomi wetu na wakulima kuhakikisha inawekwa mikakati kamambe kuwavutia wawekezaji waweze kulima mashamba makubwa ya miwa na michikichi ili kupata mazao hayo ambayo licha kuwa chakula pia ni biashara,” amesema Hasunga.

Wafanyabishara Mitandaoni Kusakwa ili Walipe Kodi

$
0
0
SERIKALI ya Mkoa wa Iringa imetangaza kuwasaka wafanyabiashara wa mitandaoni kama moja ya mkakati wake wa siku 90 hadi Mei 7, mwaka huu, unaolenga kila anayefanya biashara mkoani humo alipe kodi au awe na kitambulisho cha machinga.

Mkakati huo ulitangazwa juzi na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Hapi baada ya kupokea taarifa ya ugawaji wa vitambulisho 25,000 vya awali vya machinga katika hafla iliyohusisha ugawaji wa nyongeza ya vitambulisho vingine 35,000 kwa halmashauri tano za mkoa huo.

Taarifa hiyo inaonesha tangu vitambulisho hivyo vya awali 25,000 vianze kugaiwa kwa Sh 20,000 kwa wafanyabiashara ndogo wa halmashauri hizo Desemba mwaka jana, vitambulisho zaidi ya 9,000 vilikuwa vimeshachukuliwa hadi wiki iliyopita. 

Akitangaza mkakati huo ambao lengo lake pia ni kuongeza ukusanyaji wa mapato ya serikali, Hapi alisema; “Ndani ya mkoa wa Iringa hatutaki kuwa na mjasiriamali ambaye hayupo katika moja kati ya mifumo mitatu inayoiwezesha serikali kuwatambua.”

Alitaja mifumo hiyo kuwa ni ule wa leseni za biashara zinazotambuliwa na halmashauri, unaopitia Namba ya Utambulisho wa Mlipakodi (TIN) katika Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na wa vitambulisho vya wajasiriamali wadogo vilivyoanza kutolewa hivi karibuni na Rais John Magufuli. 

Alisema anayefanya biashara bila kuwa na moja kati ya vitu hivyo vitatu, huyo hana tofauti na mhujumu uchumi na ni lazima atafutwe ili afuate utaratibu.

“Wanauza nguo, keki, vyakula, bidhaa za tiba za jadi na biashara yoyote ile mkoani kwetu kupitia mitandao ya kijamii, katika simu za mikononi na vifaa vingine vinavyotumia teknolojia ya kisasa ya mawasiliano, watatafutwa ili wasajiliwe katika moja ya mifumo hiyo,” alisema.

Alisema mzigo wa kuendesha nchi hii ni wa kila Mtanzania mwenye shughuli halali inayomuingizia kipato na akataja watu wengine ambao hawapaswi kusahaulika katika utaratibu huo kuwa ni wale wanaoendesha vikundi vya kuweka na kukopa fedha. 

“Wanaokopa kwenye Vicoba kwa ajili ya shughuli za ujasiriamali lazima watafutwe na wapewe vitambulisho na kama biashara zao zina sifa za juu ya vitambulisho waingizwe kwenye utaratibu wa kulipa kodi kupitia TRA,” alisema.

Alisema mkoa umetoa muda wa miezi mitatu kwa wajasiriamali wote kuingia katika moja ya mifumo hiyo na “baada ya hapo tutafanya oparesheni kubwa ya kuwasaka wasio kwenye mfumo wowote kati ya hiyo.”

 Aidha Mkuu wa Mkoa aliiagiza TRA kutumia pia siku hizo 90 kufanya msako wa wafanyabiashara walio katika mfumo wa Malipo ya Kielektroniki (EFDs); wanaouza bidhaa na huduma bila kutoa risiti za mashine

Super Moringa : Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
SUPER MORINGA DAWA BORA YA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME NA KUNENEPESHA UUME
_________________________
🔖🌸SUPER MORINGA Ni dawa bora ya nguvu za kiume  yenye mchanganyiko wa mitishamba (7) yenye maajabu yafuatayo/

🔖 (1) inatibu upungufu wa nguvu za kiume mara dufu na kuimalisha misuli ya uume uliolengea wakati wa tendo la ndoa/
🔖 (2) Kurefusha uume uliorudi ndani kuazia nchi 5 - 9/
🔖 (3) kunenepesha uume cm 5 ya upana itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15 - 20 kwa tendo la kwanza na utakuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya 2-4 bila hamu kuisha/

📌 Na inatibu kabisa
 📌 Haijalishi umri hata kama una miaka 85 itumie huanza kufanya kazi dk 50 tu na haina madhara yoyote kwa mtumiaji/

🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳            
MATATIZO HAYA HUSABABISHWA NA.
_________________________
🔖 (1)Tumbo kujaa gesi, na kuunguruma chini ya kitovu/
🔖 (2)Choo kama cha mbuzi/
🔖(3)Ngiri/
🔖(4)Kama umejichua sana punyeto/
🔖(4)Kaswende/
🔖(5)Gono/

📌Haya yote husababisha kuishiwa nguvu za kiume na kuwa na uume mdogo/
📌 Itumie leo, bado hujachelewa ni tofauti na nyingine.
_________________________
DAR ES SALAAM OFISI IPO BUGURUNI SHELI AU UNAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO.
___________________________
WASILIANA NA
Dr ATHUMAN SIMU.
📞0714 884 677
📞0767 104 343
____________________________
*****************************

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Kuwa Wakwanza Kupokea Habari Zetu....Download App Yetu Kwa Kubonyeza Hapa, Huhitaji tena kuwa na Computer

$
0
0
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa urahisi kabisa kupitia simu yako ya mkononi muda wowote hata usiku wa manane au ukiwa kazini...

Pata kurasa za mbele Magazetini, habari za kitaifa, matukio yote ya kisiasa, burudani na udaku   kupitia simu yako ya mkononi.

Huhitaji tena kuwa na Computer. Ingia Play Store, pakua App yetu  tukuhabarishe masaa 24.

Katibu Mkuu Vijana CCM Ashangazwa Na Wanasiasa Wanaoichafua Nchi Ughaibuni

$
0
0
Na Amiri kilagalila
Viongozi mbali mbali wa chama cha mapinduzi CCM wamewataka wanasiasa na watanzania kwa ujumla kuungana kwa pamoja katika kupambana na vitendo vinavyoendelea katika baadhi ya maeneo nchini yakiwemo mauaji ya watoto yaliyotokea mkoani Njombe kuliko kuendelea na siasa za uchochezi katika mataifa ya ughaibuni.

Hayo yalisemwa na katibu mkuu wa umoja wa vijana Taifa ndg.Raymond Mwangwala wakati akizungumza na baadhi ya wazee na viongozi wa dini katika ukumbi wa Turbo uliopo  Njombe mjini.

"Wazazi wangu tumepoteza watoto hatuelewi ni nani alikuwa Rais katika hao,hatuelewi nani alikuwa mchungaji katika hao, na hatuelewi na alikuwa mkombozi sahihi wa Njombe inayokuja katika miaka hamsini ijayo,wamepotezwa na watu waliokosa upendo kwa uchungu huu tulioupata wazee tusaidieni,tuonyesheni njia wapi tumekosea vijana wenzangu wanaangamia kwa kukosa maarifa hakuna kufanikiwa bila kufanya kazi"

"Dawa ni ninyi wazee waambieni vijana nini mmefanya mpaka mmefika hapa ninawaombeni sana,haya yanatokea watanzania tuungane na tushikamane kwa kuwa wamoja lakini kwa bahati mbaya zaidi wapo watanzania wenzetu hata matukio kama haya hawayaoni wanafanya siasa za nje ya nchi,wanachafua Taifa letu huko nje ya nchi 

"Tuna uzalendo wa namna gani kama hujampenda jirani yako wa Njombe unazungumza maswala ya nchi yako huko nje,wako watu wanachafua taswila ya taifa letu ni katika vyama hivi hivi tunavyoviita ni vyama vya upingaji na sio vya upinzani unaenda sehemu mbali mbali unasema mimi sijaonwa 

"Rais ametuma wawakilishi kwenda kumuona,makamu Rais amekwenda kuona lakini unaenda nchi za watu unasema mimi sijaonwa hizi ndio roho za chuki zinazofaa kukemewa kwa namna yeyote ili kuwe na ukweli katika vizazi vijavyo na vya sasa"alisema katibu wa vijana

Aidha katibu huyo amewaonya wanaolenga kufanya tena matukio hayo kwa kuwa serikali ipo macho na ulinzi upo mkoani Njombe na atakayethubutu kufanya hivyo atakutana na mkono wa sheria,hivyo amewaomba wazee kuendelea kutoa ushauri kwa vijana.

Kwa upande wake Frank Awasi katibu wa uchumi na fedha wa CCM Taifa na mlezi wa mkoa wa Njombe  ambaye ndiye alikuwa mgeni rasmi katika mkutano huo alisema kuwa wameamua kuongea na wazee pamoja na viongozi wa dini kwa kuwa hao ndio wana nafasi kubwa kuhakikisha mji wa Njombe unakuwa na usalama ili kufanya kazi kwa uhuru.

Askofu wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Kusini Njombe Isaya Japhet Mengele Amekiri Kuwa Serikali Imesikiliza Kilio Cha Wananjombe Kwa Kufanyia  Kazi Vitendo Vya Utekaji na Mauaji ya Watoto Yaliyoshika Kasi mkoani humo,na kuiomba serikali uponyaji kwa watu ambao waliguswa na vyombo vya usalama wakati wa kupata taarifa.

"Tuombe tena baada ya hapo kuwepo na uponyaji wa namna fulani kwa wale ambao kwa namna moja au nyingine vyombo vyetu vya usalama pengine viliwagusa watu fulani kutaka wasaidie kutoa taarifa, ili wasielewe vibaya na kuanza kutoa taarifa tofauti katika jamii yetu kwa kuwa tumejiridhisha kwamba wako salama hawahusiki hivyo ni vizuri kidogo wakapata uponyaji wa nafsi zao"alisema Mengele

Viongozi mbali mbali wa chama hicho Taifa wamefika mkoani Njombe pamoja na kutoa rambi rambi kwa baadhi ya famili zilizopatwa na matatizo hayo ambapo mpaka sasa jumla ya watuhumiwa 30 ambao kesi zao zimekamilika dhidi ya mauaji ya watoto waliofikia 8 mpaka sasa wanategemea kufikishwa mahakamani.

BREAKING: Basi la Abood Lateketea kwa Moto

$
0
0
Basi lenye namba za usajili T 877 DJP mali ya kampuni ya Abood linalofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Morogoro limeteketea kwa moto katika eneo la Chalinze mkoani Pwani baada ya kupata hitilafu ya umeme. Hakuna madhara kwa binadamu yaliyotokea.

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images