Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Super Mkuyati: Tiba Sahihi ya Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
ASILIMIA 45-88 YA WANAUME WAPO TOFAUTI NA WENGINE KUTOWATIMIZIA NYEMA WAKE ZAKE ZAO AU WAPENZI WAO SUPER MKUYATI NI TIBA YA MARADHI YAKO
------------------
SUPER MKUYATI; nidawa  iliyo katika mfumo wa vidonge  na  unga , inapambana  na magonjwa sugu  yakina baba.  dawahii inaNguvu  (3) inafanya kazi kwa pamoja (1) inaongeza nguvu zakiume ( 2) itakufanya kuchelewa kufika kileleni  kwa muda wa dk 10-15(3)inazalisha homoni  kwa wingi na kuku fanya uwe na mbegu nyingi zenye vimeleo vingi nya uzazi vilivokomaa
------------------
MDINGO POWER nidawa inayo lefusha na kunene pesha maumbile madogo yaliyosinyaa kunzia nchi
6-8 upana 3-4     dawa hizi hazina madhara hata kwa wazee    TUMIA LEO UONE MAJABU YAKE TIBA HIZI NIZAKUDUMU
------------------
DR GATUNDU anazo dawa zakutibu mangonjwa sugu kama vile kisukali presha henia ngili ya kushuka bila upasuji vidonda vya tumbo kuondoa sumu mwilini  kushikwa na ganzi mwilini
------------------
DR GATUNDU ANA PATIKANA DAR-ES SAALM  WALE WAMIKOANI WATA TUMIWA KWA NJIA YA MABASI PASIPO NA MASHAKA TIBA NI WITO NYOTE MNA KALIBISWA
 DR GATUNDU📞 0716 948950

Super Mkongo: Kiboko ya Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
********************************
SUPER MKONGO MPYA,
_______________________________
********************************
Ni dawa bora ya kutibu na kumaliza matatizo yote ya nguvu za kiume na sababu zake zote kama vile,

- kuwahi kufika kileleni dakika moja ushakojoa
- maumbile kusinyaa na kulegea wakati wa tendo
- kukosa hamu ya tendo la ndoa
- kushindwa kurudia tendo la ndoa
- uume kusimama kwa kulegea
- uume kulegea katikati ya tendo
- kuathirika kwa kujichua kwa muda mrefu
- kuishiwa nguvu kutokana na punyeto.

Epuka aibu hii leo kwa kutumia SUPER MCONGO MPYA, kiboko ya matatizo haya.
_______________________________
Pia kuna MCONGO POWER Kiboko ya uume mdogo inaboresha maumbile ya uume kwa kurefusha na kunenepesha kwa saizi uipendayo haijalishi umri hata kwa walioathirika na upigaji punyeto.
_______________________________
Kwanza fahamu sababu zinazopelekea kuwa na upungufu wa nguvu za kiume na uume mdogo.
_______________________________
(1) kujichua (punyeto) kwa muda mrefu maana hupelekea misuli ya uume kulegea.
(2) ngiri
(3) kuugua chango la uzazi kwa muda mrefu.
(4) kupungukiwa hormone za testosterone.
(5) ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi na visivyo na virutubisho  vya kutosha.
(6) kutokufanya mazoezi na mwenendo wa maisha.
(7) kisukari.
(8) tumbo kuunguruma na kujaa gesi.
(9) maumivu ya kiuno nk.
_______________________________
Kwanini uhangaike? Kwanini uhuzunike?
Hii ni spesho kwa waliotumia madawa mengi bila kufanikiwa hakika hautajuta kuitumia. _______________________________
WASILIANA NA:
DR. MCONGOMANI
SIMU NO:
📞0658816558
📞0682323682
Popote ulipo huduma hii inakufikia
_______________________________
********************************

Makanga 3 Power, Dawa Bora Za Nguvu Za Kiume

$
0
0

Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.

Tupo dar es salam Buguruni

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348.

Urusi yajipanga kuzima Intaneti ili kujilinda na maadui

$
0
0
Urusi inajipanga kuzima mtandao wa intaneti kwa muda, na hivyo kujitoa kwenye mawasiliano na dunia kama sehemu ya majaribio yake ya kujikinga dhidi ya mashambulio ya kimtandao.

Zoezi hilo litafanya mawasiliano baina ya raia na mashirika ya Urusi kubaki ndani ya nchi badala  ya kupitia njia za kawaida za kimtandao kimataifa.

Rasimu ya sheria ya kuruhusu mabadiliko ya kiufundi ili kuiwezesha nchi hiyo kuendesha mtandao wake wenyewe iliwasilishwa bungeni mwaka jana.

Jaribio hilo linatarajiwa kufanyika kabla ya tarehe mosi Aprili, lakini siku rasmi ya kuzimwa mtandao haijatajwa.

Rasimu hiyo ya sheria, iliyopewa jina la Programu ya Taifa ya Uchumi wa Kidijiti, inawataka watoa huduma za intaneti nchini Urusi kuwa na uwezo wa kuendelea na huduma zao hata pale ikitokea nchi za kigeni zikiamua kuitenga Urusi.

Nchi wanachama wa Nato na washirika wake wamekuwa wakitishia kuiwekea vikwazo vya kimtandao Urusi ambayo wanaituhumu kwa kufanya mashambulio ya kimtandao.

Njia mojawapo inayopangwa na Urusi katika kujilinda huko ni kutengeneza mfumo wake binafsi wa anuani za kimtandao ufahamikao kama DNS, waweze kupata mawasiliano hata pale watakapotengwa ama kujitenga.

Kwa sasa, kuna taasisi 12 zinzoshughulikia suala la utolewaj na matumizi ya anuani hizo na hakuna hata moja iliyopo Urusi.

Hata hivyo tayari kuna chapa nyingi za mfumo huo wa DNS nchini Urusi hali inayoonesha kuwa nchi hiyo inaweza kuendelea na shughuli zake za kimtandao hata ikitokea imetengwa leo.

Watoa huduma za intaneti wanatarajiwa kuelekeza mawasiliano yote yanayopita kwao kwenye vituo vya serikali kwenye zoezi hilo. Mawasiliano yote ya ndani ya Urusi yataruhusiwa kuendelea lakini yale yatokayo nje ya nci yataminywa.

Mwishowe, serikali ya Urusi itakuwa na ubavu kama wa China wa kupanga mawasiliano gani raia wake wapate kutoka nje ya nchi. 

Credit:BBC

Waziri Lugola Kuanza Ziara Ndefu Mkoani Arusha Kesho Kufuatilia Maagizo Yake.... Awataka Wananchi Kumletea Kero Katika Mikutano Yake Ya Hadhara

$
0
0
Na Felix Mwagara, MOHA-Arusha.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amewasili jijini Arusha leo, kwa ajili ya kuanza ziara yake ya kikazi ya siku kumi kwa kutembelea Wilaya zote za Mkoa huo akisikiliza kero za wananchi pamoja na kufuatilia maagizo yake aliyoyatoa kwa vyombo vya ulinzi na usalama vilivyopo ndani ya Wizara yake.

Waziri Lugola anatarajia kuanza ziara hiyo rasmi kesho Februari 13, 2019 jijini humo kwa kukutana na Mkuu wa Mkoa pamoja na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa na kupokea taarifa ya Kamati hiyo, kabla ya kuanza kuzungumza na Wakuu wa vyombo vyake na baadaye atakutana na Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa, na kumaliza kwa kuzungumza na Baraza la Askari na Watumishi wote wa Wizara hiyo waliopo jijini humo.

Akizungumza na Mwandishi wa habari hii, leo, Lugola amesema baada ya kuzungumza na Askari na Watumishi wa Wizara yake pamoja na kupokea changamoto zao, atafanya mkutano mkubwa wa hadhara wa wananchi utakaofanyika katikati ya Jiji hilo ili wananchi wengi waweze kufika kwa wingi na aweze kusikiliza kero zao na Waziri huyo kuweza kuzitatua.

“Nitafanya mkutano mkubwa wa hadhara katika jiji la Arusha, ambapo utaanza saa 10:00 hadi 12:00 jioni, hivyo nawaomba wananchi wa Jiji hili wajitokeze kwa wingi kunisikiliza kile ambacho nimepanga kuwaambia na pia nitawapa nafasi wananchi waulize maswali bila woga, waniambie kero zao nami nitazitatua katika mkutano huo,” alisema Lugola. 

Pia Lugola alisema lengo la ziara hiyo ni kufuatilia maagizo yake mbalimbali ambayo aliyatoa mwaka jana 2018 katika mikutano yake kama yalifanyiwa kazi na viongozi wa Taasisi anazoziongoza au yalipuuzwa, yakiwemo ya dhamana zitolewe saa 24 katika vituo vyote vya polisi nchini, na pia kupiga marufuku tabia ya baadhi ya Polisi kubambikizia kesi wananchi, na pamoja na agizo la pikipiki zote zilizopo vituoni ziondolewe.

Lugola alisema katika ziara yake aliyoifanya mwaka jana Mkoani Kigoma na mwezi Januari Mwaka huu Mkoa wa Kagera, aligundua wananchi wanakabiliwa na changamoto mbalimbali hivyo hawezi kulala akiwa ofisini, lazima afanye ziara nchi nzima kuwasaidia wananchi  kutatua kero zao ambapo wengi wao wakiwalalamikia Polisi wakiwaonea.

Waziri Lugola ameongeza kuwa, kupitia mikutano yake ya wananchi  mkoani Kigoma na Kagera ndipo ameamua kufanya ziara ya tatu kwa kuutembelea Mkoa wa Arusha ambao changamoto zake zinafanana kwa sehemu kubwa kwa kuwa mikoa hiyo ni ya mipakani na changamoto kubwa ni uwepo wa wahamiaji haramu pamoja na matukio kadhaa ya ujambazi ambayo kwa kiasi kikubwa Serikali inaendelea kuyadhibiti.

“Wananchi wanapojitokeza kwa wingi inasaidia kusikiliza matatizo yao yanayowakabili, ndio mana nimepanga kufanya ziara kama hizi nchi nzima, hii inasaidia sana kujua matatizo mbalimbali ya wananchi pamoja na kuangalia utendaji kazi wa Taasisi zangu zilizopo ndani ya Wizara hii, na hakika Serikali ya Rais Dokta John Magufuli inawajali wananchi wake ndio mana inawafuata mahali walipo, ili wazungumze na Serikali yao uso kwa uso,” Alisema Lugola.

Waziri Lugola baada ya kumaliza ziara yake Jijini Arusha, ataenda Wilaya ya Arusha ambayo itakua Februari 14, Meru Februari 15, Arumeru, baadaye Longido, Monduli, Karatu na ataimaliza ziara yake akiwa Wilaya ya Loliondo mkoani humo.

Katika Wilaya zote atakazozitembelea pia atazungumza na wananchi pamoja na watumishi waliopo ndani ya Wizara yake ambao ni Jeshi la Polisi, Idara ya Uhamiaji, Jeshi la Magereza, Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa, Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, pamoja na Idara ya Probesheni ambayo jukumu lake kuu ni kupunguza msongamano gerezani na kusimamia wafungwa waliopewa adhabu mbadala na Mahakama au wafungwa waliopata msamaha kupitia sheria ya huduma kwa jamii na kutumikia kifungo chao nje ya Gereza.

JKT Tanzania Yamalizia Hasira Zake Kwa Timu Ya Daraja La Pili,yaipiga 4-0 Asubuhii

$
0
0
Na Roda Kimati.
Baada ya kupigwa bao 1-0 na Yanga Sc katika michuano ya ligi kuu Tanzania bara inayoendelea kwa sasa , JKT  Tanzania ya Tanga asubuhi ya  leo jumanne Februari 12 imemshushia kichapo cha mbwa Koko Usalama Sports Club ya daraja la pili mkoa wa Manyara  kwa  Mabao 4 bila majibu.

Mchezo huo wa kirafiki umepigwa majira ya saa tatu za asubuhi katika dimba la shule ya sekondari Singe mjini Babati na kuchezeshwa na marefa kutoka Babati, mchezo ambao haukuwa na amsha amsha wala shamra shamra yeyote kwani haukuwa na  watazamaji kutokana na muda ulipangwa mchezo huo wengi wao wapo katika majukumu yao.

Msemaji wa Usalama Sc Elia Kimani amesema mchezo huo haukuwa na faida yeyote kwao lakini wachezaji walijitahidi kucheza kadri wawezavyo.

“JKT  Tanzania walikuwa wanatupima tu nguvu,kwa hiyo mchezo huo wala haukuwa na faida yeyote kwetu sisi Usalama ila tumejifunza kitu na makosa yaliyopo mwalimu atayafanyia kazi,vijana wamejitahidi wameonyesha kiwango kizuri”.

Afisa habari huyo amewaomba mashabiki wa Usalama Sc kujitokeza kuishangilia timu yao na kuishauri na sio kulalamika baada ya kusikia matokeo mabaya kupitia vyombo vya  habari.

Akizungumzia mchezo huo kuchezwa asubuhi,Kimani amesema  ni kulingana na  Ratiba ya Maafande hao , kwani wanahitajika kufika mapema mjini Singida kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao wa michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam (Azam Sports Federation Cup – ASFC) dhidi ya Singida United wiki hii katika uwanja wa Namfua Singida.

MWISHO.

Watuhumiwa watatu wa mauaji ya watoto Njombe wapandishwa kizimbani

$
0
0
Watuhumiwa watatu wa matukio ya mauaji ya watoto mkoani Njombe Leo Jumanne February 12, 2019 wamefikishwa mahakamani katika mahakama ya hakimu mkazi Njombe akiwemo Joel Nziku  ambaye ni mtuhumiwa wa mauaji ya watoto watatu wa familia moja ya Danford Nziku mkazi wa Ikando halmashauri ya wilaya ya Njombe.

Watuhumiwa wengine ni Nasson  Kaduma na Alphonce Danda. 

Nje ya mahakama hiyo ulinzi umeimarishwa kutokana na polisi kusambaa kila kona, huku msafara wa watuhumiwa hao ukisindikizwa na magari sita ya polisi.

Magonjwa 8 Yanayoshambulia KUKU Pamoja na Tiba Zake

$
0
0
Hivi Karibuni tuliona namna unavyoweza kuwa milionea kupitia ufugaji wa kuku. Tulisimulia namna unavyoweza anza na mtaji wa 250,000 tu na ndani ya miaka miwili tukaona unavyoweza  kujipatia milioni 390 kupitia ufugaji wa kuku wa kienyeji.

Leo tutazungumzia magonjwa yote yanayosumbua kuku ili sasa uyajue na ukabiliane nayo na hatimaye uweze kutimiza ndoto zako za kuwa milionea.

 1.Rangi ya kinyesi
==>>Mharo mweupe(pullorum bacilary diarrhoea)
ugonjwa huu huathiri zaidi vifaranga kabla ya wiki nne
huharisha mharo mweupe,

Tiba
Usafi  kwenye banda na kuepusha maji yasimwagike ovyo

2.Kipindupindu cha kuku(fowl cholera)
-Kinyesi cha kuku ni njano
-Tumia dawa za salfa, eg Esb3 au amprollium

3.Coccidiuosis
mwanzo kinyesi cha kijivu na baadae huharisha damu iliyochanganyika. Tumia dawa ya VITACOX au ANTICOX

4.Mdondo(Newcastle)
-kuku hunya kinyesi cha kijani (NB; sio kila kijani ni newcastle)
-HAKUNA TIBA. (Kuku wapewe  chanjo  tangu  vifaranga wa  umri wa  siku 3,  baada ya  wiki 3  – 4,  na baadaye  kila baada  ya miezi 3)

5.Typhoid
-Kinyesi cheupe
-kinagandia sehemu za nyuma au hulowana sehemu za haja
-dawa ni Eb3

6.Gumboro
-Huathiri zaidi vifaranga
-kinyesi huwa ni majimaji
-Dawa hakuna, tumia vitamini na antibiotic

7.Kideri
Ni ugonjwa unaosababishwa na virusi ambao hushambulia aina zote za spishi za ndege, ijapokuwa kuku ndio aina inayoathirika zaidi

Dalili
•Vifo vya ghafla bila kuonesha dallili zote
•Kuvimba kwa kichwa na shingo
•Kuhalisha uharo wa kijani
•Utagaji wa mayai kushuka kwa kiasi kikubwa au kusimama kabisa
•Kutetemeka, kichwa kugeuzwa upande mmoja
•Kupooza kwa mabawa na miguu.

Jinsi unavyoenea
•Chanzo cha maambukizi ni maji, chakula kill Hoxha fulls a na kinyesi cha kuku wagonjwa.
•Pia maambukizi huweza kupitia mfumo wa hewa ktoka kwa kuku wagonjwa
•Kuku, vifaa vya kazi na bidhaa zitokanazo na kuku ( nyama, mayai, manyoya na mbolea) kutoka mashamba yenye ugonjwa zinaweza kueneza ugonjwa
•Faranga anaweza kupata maambukizi kutoka vituo vya kutotolea vifaranga kutokana na maganda ya mayai yaliyochafuliwa
•Kuku kuzubaa na kuacha kula
•Kuku kukohoa, hupiga chafya na kupumia kwa shida

Matokeo Kwa Kuchunguza Mzoga Aliyeathirika
Ugonjwa huathiri zaidi mfumo wa hewa na njia ya chakula, hivyo mabadiliko yanayoonekana kwenye mzoga ni pamoja
•Madoa ya damu kwenye mfumo wa hewa
•Kamasi nzito zenye Tangu ya njano kwenye koromeo
•Utandu mweupe kwenye mfumo wa hewa
•Bandama kuvimba
•Uvimbe kwenye kichwa na eneo la shingo
•Madoa madogo madogo ya damu kwenye kifua, mafuta na utandu wa tumboni
•Damu kuvia kwenye mfumo wa usagaji chakula, juju, firigisi, tumbo na utumbo.

NB:
Haya matokeo yatakusaidia wakati pale kuku amekufa banda bila kujua nini tatizo, kabla ya kumtupa mchinje na kumkagua tatizo lilikuwa nini.

Kudhibiti
Kuna namna za kuchanja kuku wako dhidi ya ugonjwa wa kideriI.Kudondoshea tone moja jichoniII.Kwa kidonge

Kudondoshea tone moja jichoni
•Pata chanjo kutoka kwa wakala au duka la mifugo lililokaribu nawe. Chanjo inayopendekezwa ni chanjo ya kideri 1-2 (1-2 NEWCASTLE VASSINE)
•Kamata kuku kwa uthabiti huku ukiwagemeza upande
•Dondoshea tone moja la chanjo ya kideri kwenye jicho moja
•Subiri kuku achezeshe kope ndipo umuachie.
 
Kwa kidonge
•Pata chanjo kutoka wakala au duka la mifugo lililo karibu nawe, hakikisha hifadhiwa kwenye barafu ili isiyeyuke kabla ya kutumika
•Kidonge hicho kimoja kitatumika kwa kuwekwa kwenye kiasi cha maji Lita 20
•Ukisha changanya kidonge na maji, hakikisha inatumika ndani ya Masaa 2 baadaya masaa hayo kupita haitafaa tena kwa matumizi.

Muhimu:
Chanja kila baada ya miezi 3 kwa kuku umri zaidi ya miezi mitatu na kuendelea tofauti na vifaranga
Chanja kuku kwenye afya tuu. ( uki chanja mgonjwa atakufa)

Sababu za kuku kula mayai
Kuku hula mayai kwa sababu nyingi sana ambazo zingine au zote zinaweza kuzuilika,
1.Tabia yao tu- Hapa utakuta ndo uzao wao wanatabia ya kula mayai hivyo kuku hufanya muendelezo wa kula mayai,
2.Kuto kupata chakula cha kutosha- Hii ni moja ya sababu kubwa kabisa inayo pelekea kuku kula mayai.
3.Kukosa madini joto- Hii inaweza kuwa ndo sababu kuu ya kwa nini kuku wanakula mayai, kuku wakikosa madini joto ni lazima wale mayai na hata kulana wao wenyewe, na jua kwamba kwenye yai kuku huwa anatafuta lile ganda la juu pekee sema anapo donoa na kulipasua yai hujukuta anakula na ute na kiini ila yeye lengo lake hasa ni ganda la juu
4.Kuku kutagia sehemu nyeupe sana yenye mwanga mkari hupelekea kuku kula mayai.
5.Mayai kukaa muda mrefu bila kukusanywa baada ya kutaga- Hapa ni kwamba mayai yanapo kaa muda bila kukusanywa na kama yapo sehemu ya wazi sana hupelekea kuku waanze kutest na some time kushangaa nini hiki cheupe? katika kushangaa ni kitu gani hiki cheupe cha mviringo hujikuta wanatest kudonoa na matokea yake ni kupasua yai.
6.Lishe mbaya
7.Nafasi ndogo
8.Vyombo havitoshi
9.Kukosa shughuli
10.Banda chafu (Manyoya)
11.Ukoo

Namna ya kuzuia kuku kudonoana au kula mayai
1.Chakula cha kutosha ni muhimu sana, ili kuwafanya wasitake kula mayai ili kushiba.
2.Mayai yakusanywe mara tu anapo taga na usiyaache muda mrefu bandani.
3.Sehemu ya kutagia iwe na giza la kutosha ili kufanya kuku ashindwe kuona yai alilo taga.
4.Madini joto ni muhimu sana.
5.Kuku wenye tabia za kula mayai unaweza chinja au kuuza.
6.Kuweka idadi ya kuku inayolingana na sehem ulionayo.
7.Usizidishe mwanga.
8.Banda liwe safi.
9.Weka vyombo vya kutosha.
10.Wape lishe bora.
11.Wape kuku shughuli kwa kuwawekea bembea na sehemu ya uwazi kwa ajili ya mazoezi.
12.Kata midomo ya juu.
13.Epuka ukoo wenye tabia hizo.

VIDEO: Watuhumiwa wizi wa hati za viwanja Dodoma wakamatwa

$
0
0
 Jeshi la Polisi mkoani Dodoma linawashikilia watuhumiwa wanne kwa makosa ya wizi wa hati za viwanja, kubadili ramani za mpango mji na kuuza viwanja kwa njia ya utapeli.

Akizungumza na waandishi wa habari leo, Kamanda wa Polisi mkoani humo, Gilles Muroto amesema watu wamekuwa wakipelekea migogoro ya ardhi kwa wananchi kutokana na tabia hiyo.

"Wanasababisha migogoro mingi ya ardhi katika Jiji letu la Dodoma, wanashirikiana na watumishi ambao sio waaminifu na kupelekea kuingilia mifumo ya halmashauri ya ardhi," amesema.

Amesema kuwa watuhumiwa wote wanahojiwa kuhusiana na kugushi nyaraka za ardhi na wamepekuliwa na nyaraka wamekutwa nazo na muda wowote watafikishwa mahakamani pindi uchunguzi uatakapokamilika.

Nkoma: Tiba Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
NKOMA
_________________________
NKOMA Ni dawa bora ya nguvu za kiume  yenye mchanganyiko wa mitishamba (7) yenye maajabu yafuatayo/

🔖 (1) inatibu upungufu wa nguvu za kiume mara dufu na kuimalisha misuli ya uume uliolengea wakati wa tendo la ndoa/
🔖 (2) Kurefusha maumbile ya kiume yaliyorudi ndani kuazia nchi 5 - 9/
🔖 (3) kunenepesha uume cm 5 ya upana itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15 - 20 kwa tendo la kwanza na utakuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya 2-4 bila hamu kuisha/

📌 Na inatibu kabisa, unashauriwa uitumie dawa hii kama kinga ya magonjwa sugu./
 📌 Haijalishi umri hata kama una miaka 85 itumie huanza kufanya kazi dk 50 tu na haina madhara yoyote kwa mtumiaji/

📍📍📍📍📍📍📍📍📍
            MATATIZO HAYA HUSABABISHWA NA.
_________________________
🔖 (1)Tumbo kujaa gesi, na kuunguruma chini ya kitovu/
🔖 (2)Choo kama cha mbuzi/
🔖(3)Ngiri/
🔖(4)Kama umejichua sana punyeto/
🔖(4)Kaswende/
🔖(5)Gono/

📌Haya yote husababisha kuishiwa nguvu za kiume na kuwa na uume mdogo/
📌 Itumie leo, bado hujachelewa ni tofauti na nyingine.
_________________________
DR MAKOBA ANAPATIKANA DAR ES SALAAM, PIA UNAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO.
___________________________
WASILIANA NA
Dr MAKOBA SIMU.
📞0754832349
📞0683490600
____________________________
*****************************

Je Kwanini Baadhi Ya Wanaume Wengi Wana Ukosefu Ama Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
JE KWANINI BAADHI YA WANAUME WENGI WANA UKOSEFU AMA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO ???

Pata sululisho la matatizo haya na  magonjwa mengine utapona kwa mda mfupi sana hatakama ulihangaika mpaka ukakata tamaaa 

GALIMBO 3 MIX  ni dawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa aina mbili ili kukidhi mahitaji ya mtumiaji, imetengenezwa kwa muundo wa vidonge pamoja na unga kwaajili ya kuponesha tatizo moja kwa moja , huimalisha misuli ya uume iliyolegea wakato wa tendo la mdoa ,na kukufanya ucherewe kufika kileleni kwa mda wa dk ( 20 - 45 ) itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu nira hamu kuisha wara kuhisi kuchoka vilivile huzalisha viini vya uzazi ( manii ) 

YOLAN  hurefusha na kunenepesha  maumbile madogo ya uume na kuwa na uume kuanzia nchi (6-8) tiba kwa mda mfupi sana

Zipo sananu nyingi sana zinazosababisha matatizo hayo  km vile -:punyeto, kisukali,ngili,chango,vidonda vya tumbo,  tumbo kuunguluma na kujaa gesi maumivu ya mgongo ama kiume ,kolodani moja kuvimba ama kuingia ndani  presha nk 

Matatizo haya yote sio mageni, kigeni ni tiba sahihi ya kuponesha matatizo hayo

SUPER MBUKE -:  nidawa ya kuponesha tatizo la kisukali kwa mda mfupi sana , usihangaike wara kuteseka tumia dawa ya mitishamba kwaajili ya tatizo hili na upone kabisa

NTINJIWA  nidawa ya mvuto wa biashara,kazi, kupandishwa cheo,kumfanya mfanyakazi apendwe na bos wake

Pia ninadawa za kumvuta mme , mke,mchumba,hawara, au mtu yoyote unaemuhitaji katika maisha yako hata km yupo mbali na atatulia na kukutimizia cjovjote utakacho na kumfunga asiwe na mtu mwingime ,

Pata tiba za magonjwa mbalimbali ikiwemo miguu kuwaka moto, mgongo,bawasili ,kaswende ,gono na mengine mengi

KWAUSHAULI NA TIBA WASILIANA NA DR CHIKAGO    0759 208 637

Km huna nafasi ya kufika ofisini hudumahii utaletewa hapo ulipo , kwa wale wa mikoani natuma kwanjia ya basi

Serikali Yazidi Kuimarisha Mazingira ya Uwekezaji

$
0
0
Na Grace Semfuko-MAELEZO
Serikali imeweka mpango wa kuboresha mazingira ya Biashara na uwekezaji kwa wawekezaji wa ndani na nje ya nchi mpango unaolenga kurahisisha vibali na upatikanaji wa ardhi kwa ajili ya ujenzi wa Viwanda na maeneo ya Kilimo.

Hayo yamebainishwa Jijini Dar Es Salaam na  Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji)  Angellah Kairuki wakati akizungumza na Waandishi wa Habari kwenye makao makuu ya Kituo cha Uwekezaji Tanzania TIC, baada ya kupokea ujumbe wa raia saba wa Hongkong China waliowasili Nchini wakiwawakilisha wafanyabiashara wa nchi hiyo waliokuja kufanya utafiti wa maeneo ya kuwekeza.

Waziri Kairuki alisema hivi sasa Wizara yake iliyopo Chini ya Waziri Mkuu imeanza kuufanyia kazi mpango huo ambapo pamoja na kuimarisha uchumi wa Nchi kwa kuingiza fedha za kigeni pia utaongeza ajira kwa watanzania.

“Sisi kama Serikali lengo letu ni kuhakikisha kuwa tunaimarisha uwekezaji, mpango huo ambao ulifanyika mwezi Mei mwaka jana unalenga kuondokana na vikwazo vya kibiashara na kuharakisha vibali na kutoa ardhi kwa ajili ya uwekezaji, tunayafanya haya ili kuongeza ufanisi katika sekta ya uwekezaji, tunataka Watanzania wanufaike” alisema Angellah Kairuki.

Alisema mwaka 2018 mwezi  Mei Serikali iliweka mkazo katika andiko la mpango wa kuboresha biashara na uwekezaji  pamoja na mpango mkakati wa kuhakikisha kuondoa vikwazo vya biashara mpango ambao unafanikiwa kwa kiwango kikubwa.

Nae Jessica So ambaye ni Mwakilishi wa Balozi wa Heshima wa Tanzania Hongkong alisema lengo la ujio wao ni kufanya utafiti wa maeneo ya uwekezaji na  kibiashara ambapo wanaanza kwa kuangazia maeneo manne yaliwepo ya Sekta ya Dawa, Kilimo cha Ufuta na Korosho pamoja na Sekyta ya Utalii.

“Sisi ni ujumbe wa watu saba kutoka Hongkong China, tumekuja hapa kuangalia ni kwa namna gani tutashirikiana na Tanzania katika kuwekeza kwenye maeneo manne ya Dawa, Ufuta,Korosho na Utalii, tunawawakilisha wafanyabiashara wengine na tutawapelekea ujumbe wa tutakayoyaona hapa Tanzania” alisema Mwakilishi wa Wajumbe hao Jessica So Raia wa HongKong China.

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania TIC Geoffrey Mwambe alisema  tayari walishafanya mazungumzo na Mamlaka ya maendeleo ya biashara Hongkong ambayo inashughulikia biashara na uwekezaji kusaini makubaliano ya kuhakikisha wafanyabiashara wengi wanatumia fursa zilizopo Hongkong na Tanzania.

Ujio wa Wajumbe saba kutoka Hongkong  Nchini China ni sehemu ya wafanyabiashara wengi kutoka Jijini humo wenye nia ya kuwekeza nchini Tanzania hatua ambayo imekuja kufuatia kuwepo kwa hamasa ya uwekezaji na kuimarishwa kwa mazingira hayo nchini.

Wimbo Mpya wa Navy Kenzo - Roll It

$
0
0
Wimbo Mpya wa Navy Kenzo - Roll It

Serikali Yakanusha Taarifa Hizi Zinazosambazwa Mitandaoni

Kapteni wa Zimamoto kizimbani kwa kuvua samaki eneo la hifadhi

$
0
0
Kapteni wa Zimamoto, Selemani Ally na wenzake watatu wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka mawili likiwamo la kuvua samaki kwenye eneo la hifadhi ya bahari Bougoyo. Washtakiwa wengine ni Hifadhi Khamisi, Said Imani na Mohamed Njugu.

Mwendesha mashitaka, Groria Mwenda, akisoma hati mashtaka mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Augustino Rwezile jana Jumatatu Februari 11, 2019 amedai katika shtaka la kwanza washtakiwa kwa pamoja kati ya Julai 11, 2018 maeneo ya hifadhi ya bahari Bougoyo jijini Dar es Salaam walikutwa wakimiliki vifaa vya uvuvi huku wakijua ni kosa la kisheria.

Katika shtaka la pili washtakiwa kwa pamoja Julai 11, 2018 katika maeneo ya hifadhi ya bahari Bougoyo jijini Dar es Salaam walikutwa wakivua samaki huku wakijua kufanya hivyo ni kosa la kisheria.

Mwenda alidai kuwa upelelezi wa shauri hilo bado haujakamilika na aliiomba mahakama ipange tarehe nyingine ya kutajwa.

Baada ya kusomewa washtakiwa kwa pamoja walikana mashtaka yote yanayowakabili.

Hakimu Rwezile alisema dhamana ipo wazi kwa washitakiwa ingawa wanatakiwa kuwa na wadhamini wawili wenye barua zinazotoka taasisi zinazotambulika watakaosaini bondi ya Sh5 milioni kila mmoja.

Mshtakiwa wa kwanza Ally alishindwa kutimiza masharti ya dhamana amerudishwa rumande wakati wenzake watatu wametimiza masharti na wapo nje kwa dhamana.

Rwezile ameahirisha shauri hilo hadi Machi 6, 2019 kesi hiyo itakapotajwa tena.

Amuua Mwanafunzi kwa kumchinja na sime kisa pete

$
0
0
Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro linamshikilia Kereto Likoko [Mmasai] kwa madai ya kumuua Mwanafunzi Samson Conradi anayesoma katika Chuo cha Faraja kwa kumkata na sime shingoni kwa madai ya kushindwa kumlipa fedha ya pete ambayo alikuwa akiuza.

Akizungumza jana Jumatatu Februari 11, 2019, Kamanda wa Polisi Mkoa wa  Kilimanjaro, Hamis Issah alithibitisha kutokea kwa tukio hilo.

Kamanda Isah amesema taarifa za awali zinaonyesha kuwa kabla ya kifo marehemu akiwa na mwanafunzi mwenzake, Andrew Charles, walikuwa katika mazungumzo ya kuuziwa pete na mtuhumiwa huyo.

“Wakati wakiendelea na mazungumzo hawakuelewana na mtuhumiwa akitaka kupatiwa fedha yake, na alichomoa sime na kumjeruhi  marehemu shingoni. Alivuja damu nyingi na amefariki dunia,”amesema Kamanda Issah

Wafanyabiashara Mikoa ya Kanda ya Kaskazini Kutumia Bandari ya Tanga

$
0
0
WAFANYABIASHARA wa mikoa ya Kanda ya Kaskazini wameonesha nia ya kuanza kutumia Bandari ya Tanga kupitisha shehena ya mizigo yao baada ya kuridhishwa na mabadiliko makubwa ya mfumo wa utendaji wa bandari hiyo.

Wameonesha nia hiyo kwenye mkutano wa siku moja baina ya uongozi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) na wafanyabiashara na wadau mbalimbali kutoka mikoa ya Tanga, Kilimanjaro na Arusha.

Meneja wa Bandari ya Tanga, Percival Salama alifafanua kuwa katika kuhakikisha bandari hiyo inatoa huduma bora kwa wateja wake, imeboresha miundombinu na mifumo ya utendaji na ulinzi katika bandari hiyo.

Alisema kuwa kutokana na maboresho hayo taratibu za uchukuaji wa mizigo zinatumia muda mchache tofauti na awali kutokana mamlaka zote za serikali zinazohusika na bandari zipo kwenye jengo moja.

“Tunataka kuwaondoa hofu wafanyabiashara kuwa sasa hivi bandari ya Tanga ni nzuri, salama kwa mizigo na ni ya uhakika kwa vile tumeboresha kuanzia mifumo ya ulinzi, miundombinu, utendaji kazi na Tehama,” alisema na kuongeza:

“Kutokana na maboresho hayo ikiwa mteja atakamilisha taratibu zote za uchukuaji wa mizigo basi kuanzia mizigo kufika bandarini atatumia siku tatu tu”.

Katika kusogeza huduma zake kwa wateja wa mikoa ya Kilimanjaro na Arusha, alisema tayari uongozi wa Mkoa wa Arusha kupitia Mkuu wa Mkoa huo, Mrisho Gambo umetoa eneo lenye ukubwa wa ekari 500 la Malula katika Wilaya ya Arumeru kwa ajili ya ujenzi wa bandari kavu.

“Wafanyabiashara wa Arusha na Kilimanjaro mtakuwa hamna haja ya kuja hadi Tanga kuchukua mizigo, mtakuwa mnasubiri mizigo yenu huko huko Arusha sisi tunawaambia gharama zetu tu mnalipia moja kwa moja na sisi tutajuana na Shirika la Reli( TRC) ambao tunategemea ukarabati wa reli ukikamilika uwatumie wao,” alisema.

Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Lydia Mallya aliwasihi wafanyabiashara hao kutumia bandari hiyo kwani tayari ni bandari ya viwango vya kimataifa. Mwenyekiti wa TCCIA Mkoa wa Kilimanjaro, Patrick Shirima alisema waliikimbia Bandari ya Tanga na kuhamia Bandari ya Mombasa nchini Kenya kutokana na urasimu uliokuwa unafanywa na taasisi za serikali zilizokuwa zinahusika na utoaji wa mizigo, jambo ambalo lilikuwa linachelewesha mizigo.

Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara, wenye Viwanda na Wakulima(TCCIA) Mkoa wa Arusha, Walter Maeda aliongeza kuwa wafanyabiashara wa Arusha wanafahamu kuwa kikwazo kikubwa katika Bandari ya Tanga ni taasisi za serikali katika kuchelewesha mizigo ndiyo maana waliachana nayo.

“Sisi tuliikimbia bandari ya Tanga na kuamua kutumia Bandari ya Mombasa kutokana na nenda rudi zilizokuwa zinafanywa na TRA,TFDA (Mamlaka ya Chakula na Dawa), TBS (Shirika la Viwango) kwa kweli walikuwa hawana ushirikiano mzuri hali iliyotuletea taabu sisi wafanyabiashara,” alisema.

Waziri wa Kilimo: Tunajiandaa kuja na Sheria ya Kilimo kwa ajili ya kumtetea Mkulima

$
0
0
Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) amesema ipo haja ya kuanzishwa kwa Sheria ya Kilimo itakayotoa suluhisho la changamoto zinazamkabili Mkulima na Sekta hiyo kwa ujumla.

Waziri Hasunga ameyasema hayo jana tarehe 11 Februari 2019 wakati wa kikao cha siku mbili baina yake na Watafiti wa kilimo kutoka Taasisi mbalimbali za kilimo nchini.

“Kuna kila sababu ya kuanzishwa haraka sheria ya kilimo, kwa sababu hatuna Sheria ya Kilimo na inayotumika sasa ni Sera ya Kilimo, iliyotungwa mwaka 2013 ambayo pia inahitaji kupitiwa upya” amesema

Mhe. Hasunga ameongeza kuwa Sheria zinazotumika kwa sasa ni za Bodi za Mazao mbalimbali, ambazo pia zinachangamoto zake na kuna mazao ambayo hayana Bodi kiasi kwamba kuwatetea Wakulima wa mazao hayo inakuwa vigumu.

Mazao yaliyo katika utaratibu wa Bodi ni pamoja na zao la Pamba, Kahawa, Chai, Korosho, Pareto na Tumbaku kwa upande wa mazao ya biashara, mazao ambayo hayana bodi ni yale ya chakula ambayo nayo yana mchango mkubwa katika uchumi wa Taifa.

Waziri Hasunga amewataka Watafiti hao kutumia kikao hicho kutoa michango yenye tija, nini kifanyike katika Sekta ya Kilimo kwakuwa Watafiti wana wigo mpana wa kuitoa Sekta hiyo kutoka sehemu moja hadi nyingine.

Kwa upande wake Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. Omary Mgumba alisema kikao hicho ni cha kipekee kwakuwa kimewakutanisha Wataifiti na Wataalamu kutoka Taasisi za utafiti na watafiti wakufunzi wabobevu kutoka vyuo vya kilimo nchini.

“Ni furaha kuwaona leo hii kwa wingi wenu, eneo kubwa la kutiliwa mkazo ni katika suala la masoko, tunafanya tafiti nyingi kuhusu mbegu bora lakini hatuna tafiti za kutosha kuhusu masoko ya mazao ya kilimo,” Alikaririwa Naibu waziri wa Kilimo Mhe Innocent Bashungwa

Mtafiti kutoka Kituo cha Utafiti wa Kilimo Naliendele Dkt. Fortunus Kapinga alisema kikao hicho kimekuja wakati muafaka ambapo utafiti wenye tija na wenye kuzingatia wakati unahitajika zaidi ili kutatua changamoto za kilimo nchini.

“Kazi yetu Watafiti nikuhakikisha utafiti wa kina unafanyika ili kuondoa changamoto za wakulima, naamini tutabadilishana uzoefu lakini pia tutaishauri serikali kuangazia katika tafiti zaidi na kutujengea uwezo ili tuzalishe tafiti zenye tija na uzalishaji bora,
”alisema

Kikao kama hicho kitaendelea leo Tarehe 12 Februari 2019 baina ya wizara na wadau wa kilimo wa sekta binafsi na baadaye kikao kama hicho kitafanyika pamoja na wadau wa maendeleo ya kilimo wakimataifa na waliopo nchini.

Baada ya vikao hivyo Wizara na wadau wote wataamua muda gani sera ya kilimo ipitiwe upya na kuanzishwa mchakato wa muswada wa sheria ya kilimo na hatimaye kupata sheria ya kilimo.

MWISHO

Ofisa TAKUKURU Atiwa Mbaroni Akituhumiwa Kumbaka na kumlawiti Mtoto wa Dada yake

$
0
0
Ofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Rukwa, Jonas Jackson (34) anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kumbaka na kisha kumlawiti mtoto wa dada yake aliyekuwa akiishi naye.

Ofisa huyo alikamatwa Februari 7, 2019 baada ya mtoto huyo kwenda kuripoti kituo kikuu cha polisi mjini Sumbawanga kufuatia kuchoka kufanyiwa vitendo hivyo.

Kamanda wa polisi Mkoa wa Rukwa, George Kyando amethibitisha kukamatwa kwa mtuhumiwa jana Jumatatu Februari 11, 2019 baada ya mlalamikaji mwenye umri miaka 18, kwenda polisi kutoa taarifa ya vitendo vya unyanyasaji anavyofanyiwa.

Msichana huyo amedai amekuwa akifanyiwa vitendo hivyo na mjomba wake tangu Septemba, 2018.

Amebainisha kuwa mtuhumiwa huyo mara kwa mara anapotoka kwenye starehe zake na kurejea nyumbani akiwa amekunywa pombe alikuwa na tabia ya kumnywesha pombe, kuanza kumbaka na kumwingilia kinyume na maumbile.

Kamanda Kyando amesema mtuhumiwa huyo anashikiliwa na polisi na muda wowote atafikishwa mahakamani.

Umoja Wa Afrika Waipongeza Tanzania Katika Mapambano Dhidi Ya Rushwa

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema nchi za Bara la Afrika zimeitaja Tanzania kuwa ni miongoni mwa nchi zinazofanya vizuri katika mapambano dhidi ya rushwa.

Ameyasema hayo jana (Jumatatu, Februari 11, 2019) wakati akitoa muhtasari wa yaliyojiri kwenye Mkutano wa 32 wa Wakuu wa nchi za Afrika (AU) unaofanyika Addis Ababa, Ethiopa.

Waziri Mkuu ambaye amemuwakilisha Rais Dkt. John Magufuli katika mkutano huo amesema katika mkutano huo pamoja na mambo mengine Serikali barani Afrika zimesisitizwa kupambana na wala rushwa, ambapo Tanzania imetajwa kuwa miongoni mwa nchi zilizopiga hatua katika mapambano hayo.

Mbali na kupiga hatua katika mapambano dhidi ya rushwa, pia Waziri Mkuu amesema ripoti ya kamati maalumu iliyoundwa kuhusu masuala ya afya inaonesha Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizofanya vizuri.

Waziri Mkuu amesema Tanzania imefanya vizuri katika kusimamia na kudhibiti malaria, mapambano dhidi ya ukimwi pamoja na utoaji wa huduma za afya kwa wananchi mpaka vijijini.

“Imetupa faraja kwa sababu ukaguzi uliofanywa na kamati maalumu ya maendeleo ya afya, iliyotembelea nchi za Afrika kuona mwenendo wa utoaji wa huduma za afya imeonesha kwamba Tanzania tupo kwenye kiwango kizuri.”

Waziri Mkuu amesema mafanikio hayo yamekuja baada ya Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Magufuli kuongeza bajeti ya afya wizara kutoka sh. bilioni 37 hadi kufikia sh. bilioni 269.

Kadhalika, Waziri Mkuu amesema viongozi hao walizungumzia kuhusu mwenendo wa biashara kwa kutumia anga, bahari na biashara za nchi kavu ambazo zinafanywa na Bara la Afrika na Tanzania ni miongoni mwa ambazo zilikubaliana na uundwaji wa mkataba wa korido ya biashara.

Amesema viongozi hao wametakiwa waimarishe biashara na Serikali imetoa fursa ya wazi kwa wafanyabiashara wa ndani na nje waje wawekeze na Tanzania iko tayari kuungana na Mataifa yakayofanya biashara nchini.


Katika mkutano huo, viongozi wa AU wamekutana kwa ajili ya kujadili masuala mbalimbali kuhusu biashara, wakimbizi na usalama, pia wamemchagua  Rais wa Misri, Abdul Fatta Al Sisi kuwa Mwenyekiti mpya wa umoja huo.

Al Sisi anachukua nafasi hiyo kutoka kwa Rais wa Rwanda Paul Kagame kumaliza muda wake baada ya kushika wadhifa huo kwa kipindi cha mwaka mmoja.

Kwa upande wake, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Antonio Guterres amesema licha ya changamoto zote zinazolikabili bara la Afrika, bara hilo limeacha milango yake wazi kwa wakimbizi, hivyo ameyataka nchi za Ulaya ambazo zimefunga milango yake kwa wakimbizi zijifunze kutoka kwa Afrika.

Guterres ameyasema hayo katika Mkutano Mkuu wa 32 wa viongozi wa nchi wanachama za AU ambao kauli mbiu  ya mkutano wa mwaka huu nı " Wakimbizi na waliorejea makwao".

Kiongozi huo wa AU ameongeza kuwa Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa unakabiliwa na changamoto kuu tatu ambazo ni amani na usalama, maendeleo endelevu pamoja na mabadiliko ya hali ya hewa.

(mwisho)
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images