Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Rudisha heshima yako Kwa Mpenzi Wako, Mke Wako...Tumia Tiba Hii ya Asili

$
0
0
Rudisha heshima yako sasa kwa kutumia Dawa hii iitwayo SUPER GAFINA, kwa ajili ya nguvu za kiume na NKOLOMIJE ni kwaajili ya kuongeza maumbile.

Kwa mwanaume aliye kamilika anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara mbili ,ila ukiwa unapiga moja tena kwa shida wewe ujue  unamatatizo ya upungufu wa nguvu za kiume.

TIBA YA TATIZO LAKO NI; Dawa iitwayo SUPER GAFINA, dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge na unga wa asili ambavyo havina madhara kwa mtumiaji ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja;-

1).itakufanya urudie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuchoka.

2).ltakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dk.15 hadi 20 kwa tendo la kwanza.

3).lnaimarisha uume uliolegea na uliosinyaa na kuupa nguvu maradufu.

Je unamaumbile madogo pamoja na uume mfupi? NKOLOMIJE ni suluisho la tatizo lako. Na ni dawa inayoboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi kuanzia inch. 5 hadi 8 kwa muda mfupi sana .Dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk.30 ukisha tumia guarantee miaka 50  ikishakutibu.

Pia ninatibu;- KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU, MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE ,BP, NK.

IGULYATI, ni dawa ya mvuto wa biashara, kazi,kupandishwa cheo na humfanya mfanyakazi kupendwa na mwajiri wake. Pia humvuta mke,Mme,hawara ,mchumba unae muitaji utampata kwa dk.30 tu na atatulia na kumfunga asitoke nje ya ndoa, Pia natoa Pete za bahati ambazo zimetajirisha wengi.

Pia ipo dawa ya kupunguza matiti,unene ,tumbo,na kitambi ,hupunguza mafuta ,kuondoa makovu,chunusi,michilizi mwilini na kuongeza hipsi, makalio na mguu wa bia nk. 

Kwa maelezo zaidi wasiliana na DR,HOSUTWA .Anapatikana Mbagara

Simu no, 0756241666 na 0672186977.

       Huduma hii utaipata popote ulipo

Super Mkongo: Kiboko ya Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
********************************
SUPER MKONGO MPYA,
_______________________________
********************************
Ni dawa bora ya kutibu na kumaliza matatizo yote ya nguvu za kiume na sababu zake zote kama vile,

- kuwahi kufika kileleni dakika moja ushakojoa
- maumbile kusinyaa na kulegea wakati wa tendo
- kukosa hamu ya tendo la ndoa
- kushindwa kurudia tendo la ndoa
- uume kusimama kwa kulegea
- uume kulegea katikati ya tendo
- kuathirika kwa kujichua kwa muda mrefu
- kuishiwa nguvu kutokana na punyeto.

Epuka aibu hii leo kwa kutumia SUPER MCONGO MPYA, kiboko ya matatizo haya.
_______________________________
Pia kuna MCONGO POWER Kiboko ya uume mdogo inaboresha maumbile ya uume kwa kurefusha na kunenepesha kwa saizi uipendayo haijalishi umri hata kwa walioathirika na upigaji punyeto.
_______________________________
Kwanza fahamu sababu zinazopelekea kuwa na upungufu wa nguvu za kiume na uume mdogo.
_______________________________
(1) kujichua (punyeto) kwa muda mrefu maana hupelekea misuli ya uume kulegea.
(2) ngiri
(3) kuugua chango la uzazi kwa muda mrefu.
(4) kupungukiwa hormone za testosterone.
(5) ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi na visivyo na virutubisho  vya kutosha.
(6) kutokufanya mazoezi na mwenendo wa maisha.
(7) kisukari.
(8) tumbo kuunguruma na kujaa gesi.
(9) maumivu ya kiuno nk.
_______________________________
Kwanini uhangaike? Kwanini uhuzunike?
Hii ni spesho kwa waliotumia madawa mengi bila kufanikiwa hakika hautajuta kuitumia. _______________________________
WASILIANA NA:
DR. MCONGOMANI
SIMU NO:
📞0658816558
📞0682323682
Popote ulipo huduma hii inakufikia
_______________________________
********************************

Upelelezi Kesi Ya Amber Rutty Na Mumewe Wakamilika.....Kusomewa maelezo ya awali Machi 7

$
0
0
Upelelezi katika kesi ya kufanya mapenzi kinyume na maumbile inayomkabili msanii Rutyfiya Aboubakary maarufu Kama Amber Rutty na mume wake Said Mtopali umekamilika na sasa kesi hiyo itaanza kuunguruma Machi 7 kwa washtakiwa hao kusomewa maelezo ya awali.

Uamuzi huo umetolewa leo Jumatatu Februari 11, 2019  na Hakimu Mkazi , Augustine Rwezile baada ya upande wa mashtaka kuieleza mahakama hiyo kuwa upelelezi wa shauri hilo umekamilika.

Wakili wa Serikali, amedai kuwa kesi ilikuja kwa ajili ya kutajwa na kwamba upelelezi wa shauri hilo umekamilika hivyo wanaomba tarehe nyingine kwa ajili ya kuwasomea Maelezo ya awali.

"Kesi ilikuja kwa ajili ya kutajwa na kwamba upelelezi wa shauri hilo, umekamilika hivyo tunaomba terehe nyingine kwa ajili ya kuwasomea Maelezo ya awali," amedai Nguka.

Nguka baada ya kueleza hayo, Hakimu Rwizile ameahirisha kesi hiyo hadi Machi 7, 2019.

Mbali na Amber Rutty, washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni Said Mtopali na James Charles maarufu kama 'James Delicious'.

Washtakiwa hao walifikishwa Kisutu kwa mara ya kwanza Novemba 2, 2018 wakikabiliwa na kosa la kufanya mapenzi kinyume na maumbile.

Katika kesi hiyo kosa la kufanya mapenzi kinyume na maumbile linamkabili Amber Ruth na anadaiwa amelitenda kati ama baada ya Octoba 25, 2018 ambapo alimruhusu Said Bakary kumuingilia kinyume na maumbile, kosa ambalo amelikana.

Pia kosa jingine la kufanya mapenzi kinyume na maumbile, linamkabili mshtakiwa wa pili Said Bakary ambapo anadaiwa kati ama baada ya Oktoba 25,2018 jijini Dar es Salaam alifanya mapenzi na Amber Rutty kinyume na maumbile ambapo alisema si kweli.

Kosa la tatu la kuchapisha video ama picha za ngono, linalomkabili James Charles au James Delicious akidaiwa kati ya Oktoba 25, 2018 alisambaza video za ngono kupitia makundi ya Whatsapp.

Kosa jingine la nne ni kusababisha kusambaa picha za ngono linamkabili Amber Ruth na Said Aboubakary ambapo wanadaiwa kati ya Oktoba 25, 2018 walisababisha kusambaza picha za ngono kupitia makundi ya Whatsapp. Kosa ambalo wamelikana.

Rais wa Misri, Abdel Fattah al-Sisi Achaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Umoja wa nchi huru za Afrika-AU

$
0
0
Rais wa Misri, Abdel Fattah al-Sisi amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Umoja wa nchi huru za Afrika (AU) akipokea kijiti kutoka kwa rais wa Rwanda, Paul Kagame

Akihutubia umoja huo nchini Ethiopia, Abdel Fattah al-Sisi amesema kuwa atajikita zaidi katika kuimarisha masuala ya kiusalama na kudumisha demokrasia.

Aidha, kuchaguliwa kwake kumehitimisha mwaka mmoja wa uongozi wa Rais wa Rwanda, Paul Kagame ambaye amemaliza muda wake wa uongozi ndani ya AU.

Hata hivyo Shirika la Kimataifa la Amnesty International limeonya kuwa kuchaguliwa kwa Abdel Fattah al-Sisi kunaweza kudidimiza haki za binadamu.

Tangu mwaka 1995 viongozi wa Misri hawakuwa wakihudhuria mikutano ya AU baada ya jaribio la kuuawa kwa aliyekuwa Rais wake wa wakati huo, Hosni Mubarak.

Ondoa Kibamia Na Tibu tatizo la Nguvu Za Kiume Kwa Dawa Hii Ya Mitishamba

$
0
0
JILO HERBAL CLINIC

ONDOA KIBAMIA NA ONGEZA NGUVU ZA KIUME KWA DAWA HII YA MITISHAMBA AMBAYO NI KOMESHA KWA TATIZO SUGU LA NGUVU ZA KIUME

SUPER MBONGOSHI; Ni dawa ya mitishamba ambayo inatibu tatizo la nguvu za kiume inakufanya kuchelewa kufika kileleni na kuongeza hamu ya kuendelea kufanya tendo.
 
SUPER MBONGOSHI2 Ni dawa ya mitishamba ambayo ina nenepesha na kurefusha maumbile mafupi au yaliyosinyaa na kuufanya kuwa imara dawa hii inasafisha mishipa ya Uume ambayo imedhurika na matatizo mbali mbali kama vile kupiga punyeto kwa mda mrefu,ngiri,kisukari,vidonda vya tumbo na mengine mengi.
 
DR.JILO Pia anatibu magonjwa mengine kama vile kisukari,ngiri,ugumba,pressure n.k

KWA HUDUMA ZA JILO HERBAL CLINIC WASILIANA NA DR.JILO SASA UPATE DAWA HII .UTATUMIWA POPOTE PALE ULIPO PIGA SIMU
0752723508

Wasafirishaji Dawa za Kulevya Wazidi Kubanwa.....Kamishna Jeneral Rogers Sian’ga ataka watanzania kuunganisha nguvu

$
0
0
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kupambana na Kudhibiti Dawa za Kulevya Rogers Sian’ga amesema kwa sasa wamefanikiwa kidhibiti njia ambazo zilizokuwa zinatumiwa na wafanyabiashara wa dawa za kulevya kuingiza dawa hizo nchini.

Amesema kwa sasa njia ambayo inatumiwa na baadhi ya wanaojihusisha na biashara haramu ya dawa hizo imebaki ya Kusini ambako dawa zinapitishwa kutokea nchini Msumbiji na tayari wameweka mikakati ya kuidhibiti njia hiyo.

Sian’ga amesema hayo leo jijini Dar es Salaam wakati anazungumza na waandishi wa habari kuhusu Kongamano linalotarajiwa kufanyika Februari 13 ambalo litawakutanisha wasanii wa fani mbalimbali nchini ili kujadili athari za dawa za kulevya ambapo mgeni rasmi atakuwa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan.

Hivyo pamoja na kuzungumzia kongamano hilo, waandishi walitaka kufahamu ni kiwango gani Mamlaka hiyo imedhibiti biashara ya dawa za kulevya nchini ambapo amejibu uingizwaji wa dawa upo lakini umepungua kwa kiwango kikubwa sana ukilinganisha na miaka ya zamani kabla ya mamlaka hiyo kuwepo.

” Kwanza ifahamike kuwa usafirishaji wa dawa za kulevya sio Tanzania peke yake bali lipo katika nchi mbalimbali duniani.Tunashirikiana na nchi nyingine katika kupambana na dawa za kulevya na kuna njia ya Kusini ndio imeibuka.

“Katika mapambano hayo katika njia ya baharini mwaka jana zimekamatwa tani 9000 kutokana na ushirikiano wa nchi mbalimbali katika ukanda wa baharini.Pia mwaka jana dawa za kulevya aina ya heroin zilikamatwa kilo 185 na sehemu chache ya dawa hizo zinakwenda Msumbiji ambazo baadae zinaingizwa nchini Tanzania,” amesema.

Amefafanua kwa ujumla kiwango cha uingizwaji dawa za kulevya nchini kimepungua na kwa sasa hata wafanyabiashara wakubwa wa dawa hizo wameingia woga na kiasi wanachoingia ni kidogo ambacho ni kati ya kilo nne hadi kilo tano.”Wengi wao wanaogopa kukamatwa.”

Pia amesema dawa za kulevya aina ya Heroin na Cocaini matumizi yamepungua na hivyo dawa ambazo zinatumika ni dawa za hospitali.
 
Kuhusu kongamano la Februari 13 mwaka huu ,Kamishna Jeneral Sian’ga amsema lengo kuu ni kuhakikisha Watanzania wanaunganisha nguvu katika mapambano ya dawa za kulevya.

Hivyo kupitia kongamano hilo ambalo litawakutanisha wasanii mbalimbali nchini ambapo kupitia kongamano hilo itatolewa elimu inayohusu athari za matumizi ya dawa za kulevya, hivyo ametoa rai ya wasanii kujitokeza kwa wingi ili nao watoe maoni yao ya nini kifanyike kukomesha uingizwaji wa dawa za kulevya.

Wakati huo huo Kamishna wa Kitengo cha Kinga na Tiba wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Dk.Peter Mfisi amezungumzia umuhimu wa wasanii wa mashirikisho mbalimbali kushiriki kongamano hilo hasa kwa kuzingatia kuna baadhi ya wasanii wamekuwa wakitumia dawa za kulevya na wengine wanatumika kukubebeshwa dawa.

“Tatizo la dawa za kulevya ni la dunia nzima na wanaoatharika zaidi ni vijana wakiwamo wasanii maarufu ambao wengi wao wameathirika zaidi na wengine wamepoteza maisha kutokana na utumiaji wa dawa za kulevya.

“Si kwamba wasanii hawajui kuwa dawa za kulevya zina athari,wanajua lakini wanaangalia leo lakini ukweli athari zake ni nyingi sana.Kwa bahati mbaya wanaotumia athari zake ni kubwa. Wapo wasanii ambao wametumika kubeba dawa za kulevya kutokana na ahadi za fedha badala ya kuelezwa na matatizo yanayopatikana kupitia dawa hizo. Hivyo kupitia kongamano hilo wataeleza athari zake,” amesema Dk.Mfisi.

Kwa upande wake Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu nchini Tanzania Joyce Fissoo ametumia nafasi hiyo kuwahamasisha wasanii wa mashirikisho mbalimbali kushiriki kongamano hilo huku akifafanua kundi ambalo linaathirika na utumiaji wa dawa za kulevya ni la wasanii.

“Tunaamini kuwa kupitia kongamano hilo ambalo mgeni rasmi atakuwa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan ,wasanii watapa fursa ya kupata elimu inayohusu athari za dawa za kulevya.Tunaomba wasanii wote wajitokeze kwa wingi na wale wa mikoani tanaomba wafuatilie kongamano hilo kupitia vyombo vya habari,”amesema Fissoo.

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres asifu mafanikio ya Afrika wakati wa mkutano wa AU

$
0
0
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameuhutubia mkutano wa kilele wa Umoja wa Afrika ambapo amesifu mafanikio katika chaguzi za hivi karibuni, mikataba ya amani na jinsi Afrika inavyowashughulikia wakimbizi.

Wakati wa hotuba yake iliyojaa matumaini Guterres aliunga mkono juhudi za bara la Afrika katika kuifungua mipaka na milango yake na kuonesha mshikamano wa hali ya juu katika kuwasaidia wakimbizi.

Gutteres aliwaambia viongozi wa Afrika na wanadiplomisia wa ngazi ya juu wanaohudhuria mkutano huo kuwa katika juhudi za kutafuta suluhisho la kudumu kwa tatizo la wakimbizi bara la Afrika limekuwa kielelezo cha maana kwa ulimwengu na kwa chombo anachokiongoza.

Kuhusu Afrika inavyojitoa katika kusaidia suala la wakimbizi Guterres amesema "Licha ya changamoto binafsi za kijamii, kiuchumi na kiusalama, serikali za afrika na watu wake zimefungua mipaka, milango na mioyo yao kwa mamilioni ya watu wenye uhitaji.”

Afrika ndiyo inahifadhi zaidi ya theluthi ya wakimbizi na watu walioyahama maskani yao kote ulimwenguni.

Katibu mkuu huyo wa Umoja wa Mataifa amesifu pia juhudi za kusaka amani katika mataifa ya Sudan Kusini na Jamhuri ya Afrika ya Kati pamoja ya kuyapongeza mataifa ya Mali, Madagascar na DR Congo ambayo yalifanya uchaguzi hivi karibuni.

Credit:DW

Je Kwanini Baadhi Ya Wanaume Wengi Wana Ukosefu Ama Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
JE KWANINI BAADHI YA WANAUME WENGI WANA UKOSEFU AMA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO ???

Pata sululisho la matatizo haya na  magonjwa mengine utapona kwa mda mfupi sana hatakama ulihangaika mpaka ukakata tamaaa 

GALIMBO 3 MIX  ni dawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa aina mbili ili kukidhi mahitaji ya mtumiaji, imetengenezwa kwa muundo wa vidonge pamoja na unga kwaajili ya kuponesha tatizo moja kwa moja , huimalisha misuli ya uume iliyolegea wakato wa tendo la mdoa ,na kukufanya ucherewe kufika kileleni kwa mda wa dk ( 20 - 45 ) itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu nira hamu kuisha wara kuhisi kuchoka vilivile huzalisha viini vya uzazi ( manii ) 

YOLAN  hurefusha na kunenepesha  maumbile madogo ya uume na kuwa na uume kuanzia nchi (6-8) tiba kwa mda mfupi sana

Zipo sananu nyingi sana zinazosababisha matatizo hayo  km vile -:punyeto, kisukali,ngili,chango,vidonda vya tumbo,  tumbo kuunguluma na kujaa gesi maumivu ya mgongo ama kiume ,kolodani moja kuvimba ama kuingia ndani  presha nk 

Matatizo haya yote sio mageni, kigeni ni tiba sahihi ya kuponesha matatizo hayo

SUPER MBUKE -:  nidawa ya kuponesha tatizo la kisukali kwa mda mfupi sana , usihangaike wara kuteseka tumia dawa ya mitishamba kwaajili ya tatizo hili na upone kabisa

NTINJIWA  nidawa ya mvuto wa biashara,kazi, kupandishwa cheo,kumfanya mfanyakazi apendwe na bos wake

Pia ninadawa za kumvuta mme , mke,mchumba,hawara, au mtu yoyote unaemuhitaji katika maisha yako hata km yupo mbali na atatulia na kukutimizia cjovjote utakacho na kumfunga asiwe na mtu mwingime ,

Pata tiba za magonjwa mbalimbali ikiwemo miguu kuwaka moto, mgongo,bawasili ,kaswende ,gono na mengine mengi

KWAUSHAULI NA TIBA WASILIANA NA DR CHIKAGO    0759 208 637

Km huna nafasi ya kufika ofisini hudumahii utaletewa hapo ulipo , kwa wale wa mikoani natuma kwanjia ya basi

Fahamu Hili: Ukiwa na Nyumba Zaidi ya Moja Katika Kiwanja Kimoja Kodi ya Pango Utayolipia ni ya Nyumba Moja TU

$
0
0
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Bunge, imepitisha sheria mpya kwaajili ya kodi ya nyumba ambazo zimejengwa kwenye eneo moja.
 
Taarifa ya msemaji mkuu wa serikali Dkt. Hassan Abbas imeweka wazi juu ya mabadiliko ya sheria za kodi ambayo sasa itampa haki mmiliki wa nyumba zaidi ya moja katika kiwanja kimoja kulipia nyumba moja tu.

''Bunge limepitisha mabadiliko ya sheria za kodi, ambapo sasa kifungu cha 9(b) kinaainisha kuwa mtu akiwa na nyumba zaidi ya moja katika kiwanja kimoja atalipia nyumba moja pekee'', imeeleza taarifa ya Abbas.

Mbali na kodi hiyo pia serikali ipo kwenye mchakato wa kutengeneza sheria ambayo itawalinda wamiliki wa nyumba pamoja na wapangaji wao juu ya namna bora ya ulipaji kodi ikiwezekana kodi ilipwe kwa mwezi mmoja mmoja badala ya miezi sita hadi mwaka mmoja.

Papa Francis Amteua Askofu Renatus Nkwande kuwa Askofu Mkuu Jimbo Kuu Katoliki Mwanza

$
0
0
Kiongozi wa Kanisa Katoliki, Papa Francis amemteua Askofu Renatus Nkwande kuwa Askofu wa Jimbo Kuu Katoliki Mwanza. 

Askofu Mkuu Mteule Nkwande alikuwa Askofu wa Jimbo Katoliki la Bunda tangu Februari 20, 2011.

Habari kutoka makao makuu ya kanisa hilo, Vatican zilizonukuliwa na Idhaa ya Kiswahili ya Redio Vatican, zimesema askofu Nkwande anakwenda kuziba nafasi iliyoachwa wazi, baada Papa Francis kumteua Yuda Ruwa'ichi kuwa Askofu mkuu mwandamizi katika Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Juni 21, mwaka jana.

Askofu Nkwande alipata upadri Julai 2, 1995 1995 na Novemba 27, 2010 akateuliwa na Papa Benedict XVI kuwa askofu wa kwanza wa Jimbo Katoliki la Bunda.

Aliwekwa wakfu na Kardinali Polycarp Pengo, Askofu mkuu wa Jimbo kuu la Dar es Salaam, kuwa Askofu wa Bunda Februari 20, 2011.

Amepata uaskofu akiwa na miaka mitano ya upadri na uaskofu mkuu akiwa na miaka saba ya uaskofu.

Askofu mkuu mteule Nkwande alizaliwa Novemba 12, 1965, katika Parokia ya Sumve, Mwanza

Nkoma: Tiba Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
NKOMA
_________________________
NKOMA Ni dawa bora ya nguvu za kiume  yenye mchanganyiko wa mitishamba (7) yenye maajabu yafuatayo/

🔖 (1) inatibu upungufu wa nguvu za kiume mara dufu na kuimalisha misuli ya uume uliolengea wakati wa tendo la ndoa/
🔖 (2) Kurefusha maumbile ya kiume yaliyorudi ndani kuazia nchi 5 - 9/
🔖 (3) kunenepesha uume cm 5 ya upana itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15 - 20 kwa tendo la kwanza na utakuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya 2-4 bila hamu kuisha/

📌 Na inatibu kabisa, unashauriwa uitumie dawa hii kama kinga ya magonjwa sugu./
 📌 Haijalishi umri hata kama una miaka 85 itumie huanza kufanya kazi dk 50 tu na haina madhara yoyote kwa mtumiaji/

📍📍📍📍📍📍📍📍📍
            MATATIZO HAYA HUSABABISHWA NA.
_________________________
🔖 (1)Tumbo kujaa gesi, na kuunguruma chini ya kitovu/
🔖 (2)Choo kama cha mbuzi/
🔖(3)Ngiri/
🔖(4)Kama umejichua sana punyeto/
🔖(4)Kaswende/
🔖(5)Gono/

📌Haya yote husababisha kuishiwa nguvu za kiume na kuwa na uume mdogo/
📌 Itumie leo, bado hujachelewa ni tofauti na nyingine.
_________________________
DR MAKOBA ANAPATIKANA DAR ES SALAAM, PIA UNAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO.
___________________________
WASILIANA NA
Dr MAKOBA SIMU.
📞0754832349
📞0683490600
____________________________
*****************************

VIDEO: Best Naso - Anawaza

Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) sasa yaanza kusafirisha mahindi

$
0
0
Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) umeanza kusafirisha mahindi kwenda nchi zenye njaa tani 36,000 ikiwa ni sehemu ya mkataba baina yake na Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula (WFP).

Hayo yalibainishwa jana na Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa NFRA, Vumilia Zikankumba, wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu usafirishaji huo.

Zikankumba alisema kuwa wameshasafirisha mahindi takribani tani 15,000 kwenda  Uganda na Sudani Kusini.

Alisema mkataba huo ambao uliingiwa kati ya NFRA na WFP ambao pia ulishuhudiwa na Rais John Magufuli, na katika awamu ya kwanza ya mkataba watasafirisha tani 36,000.

"Tumeshasafirisha nusu ya mkataba wetu unaotutaka kusafirisha mahindi tani 36,000, ambapo hadi hivi sasa kama mnavyoona hapa shughuli zinaendelea na tumesafirisha nusu ya mkataba ambapo tani 15,000 zishakwenda nje ya nchi," alisema Zikankumba.

Aidha, aliwataka wakulima kutumia fursa hiyo ya NFRA, kuuza mahindi nje ya nchi ili kulima kwa wingi na kuzingatia ubora.

“Kiasi hiki tunachokiuza sasa hivi tunakitoa kwenye hifadhi yetu, hivyo basi tutatakiwa kuingiza mahindi mengine kutoka kwa wakulima, hivyo ni fursa kwao wakulima kuhakikisha kuwa wanalima mahindi ya kutosha na kuyauza hapa NFRA,” alisema.

Naye, Kaimu Meneja wa NFRA Kanda ya Dodoma, Felix Ndunguru, alisema usafirishaji huo unaendelea vizuri na wanatarajia watakamilisha kwa muda mfupi. Mahindi hayo ambayo yanasafirishwa kwenda Uganda kutoka Kanda ya Dodoma yanakusanywa kutoka katika kanda saba nchini.

"Hapa Dodoma ni kama sehemu ya kuondokea tunayatoa katika kanda zetu saba za NFRA nchini, ambazo ni Kanda ya Dar es Salaam, Songea, Makambako, Shinyanga, Arusha na Dodoma,” alisema.

Wabunge Wa CCM Wazungumzia Miswada Ya Sheria Iliyopitishwa Na Bunge Jijini Dodoma

$
0
0
Wabunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM )leo wamekutana na waandishi wa Habari na kuzungumzia miswada sita iliyowasilishwa katika Bunge lililomalizika  huku wakionekana kufurahia zaidi mswada wa Sheria mpya ya vyama vya siasa.

Akizungumza mbele ya waandishi wa Habari Katibu wa Wabunge wa Chama cha Mapinduzi CCM Jason Rwekiza  amesema wamelazimika kuja kuzungumza na  waandishi wa Habari ili wananchi wapate kile ambacho kimefanyika Bungeni kupitia Bunge hilo.

Amesema moja ya miswaada ambayo imepitishwa na Bunge ni pamoja na miswaada wa Wakala wa maji vijijini ambao wamefanikiwa kuupitisha kwa maslahi mapana ya wananchi.

Akizungumzia kwa kirefu kuhusu mswada  wa Sheria ya vyama vya siasa Mbunge wa Jimbo la Mbinga Mjini Sixtus Mapunda alisema mswada huo ni muhimu sana kwani vyama vinaondokana kuwa vyama  vya mfukoni na kuwa Taasisi.

Mbunge Mapunda amesema  kuwa wamelazimika kulizungumzia hilo kwasababu wao ndio wenye Serikali na ndio watakaobeba lawama mwisho wasiku  na ndio maana wamejitokeza mbele ya waandishi kuzungumzia miswaada hiyo ili watanzania wajuwe kazi inayofanywa na wawakilishi wao na Serikali ya Chama cha Mapinduzi .

” Kuhusu Sheria ya vyama vya siasa inakwenda kubadili kabisa mfumo wa vyama  vya siasa Kutoka kuwa vyama vya mfukoni na kwenda kuwa taasisi kamili” alisema

Nakuongeza kuwa miaka 26 sasa tangu uwepo wa vyama Vingi wamejifunza mengi na hakuna asiyejuwa kuwa kulikuwa na malalamiko mengi juu ya matumizi ya fedha za ruzuku sasa kupitia Sheria hiyo itamfanya Mwenyekiti wa Chama kutokuwa mdhamini wa Chama husika.

Pia Mapunda alizungumzia Sheria hiyo imetoa Heshima ya kuheshimu uwepo wa mapunduzi ya Zanzibar  na pia Sheria imeleekeza nyaraka zote za vikao na maamuzi yake  kutunzwa kwa msajili wa vyama vya siasa ambaye kimsingi ndio mlezi

Aliongeza kuwa kuhusu elimu ya uraia kwa wanachama hakuna masharti na kama kuna mafunzo mengine labda kutoka nje  lazima waombe kibari Kutoka kwa msajili wa vyama vya siasa.

Kwaupande  upande wake Mbunge wa Mlalo Rashid Shangazi alisema pia yamefanyika marekebisho mbalimbali ya Sheria ikiwa pamoja na Kupandishwa hadhi kwa hifadhi na kuwa Hifadhi za taifa ambapo Tanapa wataweza kujenga Hotel na mambo mengine ya kitalii.

Alitaja baadhi Hifadhi hizo ni Hifadhi ya Biharamulo,Rumanyika,na zinginezo ambazo kwa ujumla wake zitaleta tija kwa taifa na kutoa wito kwa Tanapa  kuwekeza katika maeneo hayo.

Hata hivyo wabunge hao akiwamo Alani Kiula  Iramba Mashariki,walitolea ufafanuzi juu ya malalamiko ya madai ya kupotea kwa Fedha shilingi tirioni 1.5 na zinginezo na kusisitiza kuwa hakuna Fedha iliyopotea kwa mujibu wa taarifa ya CAG aliyowasilisha Bungeni

Alisema hata baada ya kutokea kwa hoja hizo Serikali iliagiza Ofisi ya CAG kuweza kupitia tena ukaguzi wake ili kubaini kama kuna upotevu wa fedha hizo na nyinginezo lakini bado taarifa ilionyesha hakuna upotevu hivyo wao kama wabunge wamelazimika kulitolea ufafanuzi juu ya jambo hilo.

Credit:Fullshangwe

Makamu wa Rais Samia Suluhu mgeni rasmi tuzo za mashindano ya fasihi ya Afrika

$
0
0
Makamu wa Rais Samia Suluhu anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tuzo za mashindano ya fasihi ya Afrika zinazotarajiwa kutolewa Ijumaa Februari 15, 2019  katika ukumbi wa Mlimani City jijini hapa.

Hayo yamebainishwa leo Jumatatu Februari 11, 2019 na  Isamba Kasaka ambaye ni mkuu wa masoko wa kampuni ya utengenezaji vifaa vya ujenzi ya Alaf Tanzania ambao ni miongoni mwa wadhamini wa shindano hilo.

Kasaka amesema mashindano hayo ya uandishi wa ushairi na riwaya kwa lugha ya Kiswahili huhusisha wanafunzi wote wa vyuo vikuu vilivyopo Afrika na awamu hii kazi 116 ziliwasilishwa.

"Sisi tunadhamini tuzo hizi za fasihi ya kiswahili kama sehemu ya kuunga mkono juhudi za kukuza na kuendeleza lugha ya kiswahili katika bara la Afrika na dunia kwa ujumla,"amesema Kasaka.

Amewataja washindi watakaopewa tuzo siku hiyo kuwa ni Ngumbau Julius raia wa Kenya ambaye ni mshindi kwa upande wa ushairi kwa shairi lake linaloitwa Moto wa kifuu na Mtanzania Zainab Baharoon kwa upande wa riwaya kwa riwaya yake iitwao Mungu hakopeshwi.

Aidha kila mshindi wa tuzo hiyo atapeawa zawadi ya Dola za Kimarekani 5,000 sawa na Sh11.6 milioni.

FIFA kupambana na rushwa kwenye soka afrika

$
0
0
Shirikisho la Mpira Duniani (FIFA), limesema limewekeza nguvu kwenye ulinzi na usalama,kupambana na rushwa na elimu ili kuwezesha mchezo wa mpira kuchangia maendeleo ya Bara la Afrika.

Akizungumza kwenye Mkutano wa Wakuu wa nchi za Afrika,unaendelea mjini Addis Ababa,Ethiopia, Rais wa FIFA, Gianini Infantino amesema suala la ulinzi na usalama ni muhimu sana na kwamba kwa FIFA itahakikisha hakuna vifo wala vurugu kwenye mchezo wa mpira.

Amesema pia shirikisho limewekeza nguvu katika kupambana na rushwa ili kuhakikisha mpira huo unakuwa na kwamba watashirikiana na AU kuhakikisha wanafanikiwa.

Aidha, amesema elimu ya mpira pekee haitoshi bali elimu ya kuwasaidia wachezaji kwa kuwa kwenye mpira watajifunza sheria na kanuni lakini kuna elimu nyingine ambayo ni muhimu.

“Kwenye elimu nyingine watajifunza kuwa kuna kushinda na kushindwa,inapotokea wameshindwa kwenye mchezo wowote watatambua kuwa kuna mchezo ujao ambao wanaweza kushinda,” amesema.

Amesema mpira huwaleta pamoja wasomi na watu wa kawaida na ndiyo maana wanafurahi kushirikiana na AU kuhakikisha Afrika inafanya vizuri.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya February 12

Serikali Yakanusha Taarifa Hizi Zinazosambazwa Mitandaoni

Ntunzu Herbarist Clinic : Ni Kituo Cha Tiba Asilia Kitoacho Huduma Bora Na Sahihi

$
0
0
Acha kuongopewa at kukaa ukilalamika kuwa umetumiwa madawa mengi sana bila mafanikio... acha kukata tamaa kumbuka atafutaye hupata 

SASA DR   BRUNO  kakuletea tiba bora ya nguvu za kiume ni hii hapa;

 GASAMILO POWER ;ni dawa bora kwa sasa ambayo hutibu matatizo manne kwa pamoja kama vile 1 kuwai kufika kileleni  kabla ya mwenzi wako  2. kukupa hamu ya kurudia tendo zaidi ya Mara Mbili 3. kuimalisha misuli ya uume uliyolegea na kusinyaa asa kwa Wale waliojichua 4 .Huondoa uchofu pale umalizapo kufanya tendo 

Dawa hii hutumiwa ata na wazee pia tunatibu kile kinachochangia kuishiwa nguvu Kama vile,vidonda vya tumbo, kisukari, presha, tumbo kuunguruma na kuuma chini ya Kitovu ,ngiri,korodani korodani kuvimba, magonjwa ya moyo 

NI NINI KINASABABISHA  KUWA NA maumbile  MaFUPI NA MEMBAMBA? 1.kufanyia tohara ukubwani 2 unene kupita kiasi 3. kuridhi kutoka kwa wazazi, 4 .uvaaji wa nguo za kubana sehemu ya uume 5. chango na ugonjwa wa zinaa 

Ili uweze kuwa mwanaume mashine ebu tumia dawa hii 

MKULULU MIX; dawa hii huongeza uume saizi upendayo inch urefu wa inch 5 adi 8 na unene wa sentimita 2 adi 5 dawa hizi hazna madhara yoyote ata kwa miaka ya baadaye 

FUNGA RUZIZI ;ni dawa ya uzazi inatoa matokeo ndani ya siku kumi na mbili tu 

KWA USHAURI NA TIBA FIKA  OFISINI KWANGU MBAGALA ZAKHEMU njoo mpaka pale kwenye ukumbi wa DAR LIVE... ni dakika tano tu kufika ofisini kwangu MOROGORO,MWANZA,NA KAHAMA WAPO MAWAKALA au piga simu 0744 040 721 AU 0683 645 920. Kama hauna nafasi utaletewa

Kapteni wa Zimamoto kizimbani kwa kuvua samaki eneo la hifadhi

$
0
0
Kapteni wa Zimamoto, Selemani Ally na wenzake watatu wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka mawili likiwamo la kuvua samaki kwenye eneo la hifadhi ya bahari Bougoyo. Washtakiwa wengine ni Hifadhi Khamisi, Said Imani na Mohamed Njugu.

Mwendesha mashitaka, Groria Mwenda, akisoma hati mashtaka mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Augustino Rwezile jana Jumatatu Februari 11, 2019 amedai katika shtaka la kwanza washtakiwa kwa pamoja kati ya Julai 11, 2018 maeneo ya hifadhi ya bahari Bougoyo jijini Dar es Salaam walikutwa wakimiliki vifaa vya uvuvi huku wakijua ni kosa la kisheria.

Katika shtaka la pili washtakiwa kwa pamoja Julai 11, 2018 katika maeneo ya hifadhi ya bahari Bougoyo jijini Dar es Salaam walikutwa wakivua samaki huku wakijua kufanya hivyo ni kosa la kisheria.

Mwenda alidai kuwa upelelezi wa shauri hilo bado haujakamilika na aliiomba mahakama ipange tarehe nyingine ya kutajwa.

Baada ya kusomewa washtakiwa kwa pamoja walikana mashtaka yote yanayowakabili.

Hakimu Rwezile alisema dhamana ipo wazi kwa washitakiwa ingawa wanatakiwa kuwa na wadhamini wawili wenye barua zinazotoka taasisi zinazotambulika watakaosaini bondi ya Sh5 milioni kila mmoja.

Mshtakiwa wa kwanza Ally alishindwa kutimiza masharti ya dhamana amerudishwa rumande wakati wenzake watatu wametimiza masharti na wapo nje kwa dhamana.

Rwezile ameahirisha shauri hilo hadi Machi 6, 2019 kesi hiyo itakapotajwa tena.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images