Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Mabilioni ya FIFA Yatua TFF

$
0
0
Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limetengua zuio la gawio la fedha kwa TFF ambalo lilidumu kwa takribani miaka mitatu.

Hayo yalibainishwa jana February 2, 2019 katika hotuba ya Rais wa TFF Wallace Karia  kwenye Mkutano Mkuu wa TFF 2019

Kwa sasa TFF inatarajia mgao wake wa fedha za miradi mbalimbali kutoka FIFA.

“Kutokana na usimamizi wa rasirimali fedha kuimarishwa na kutekeleza mambo mbalimbali ya msingi, FIFA wamekubali kulipatia fedha shirikisho letu kama ilivyokuwa hapo awali.

“Baada ya kuimarisha usimamizi na kuwasilisha hesabu zilizokuwa zinahitajika FIFA kama ulivyokuwa utaratibu na matakwa mengine yote ya kiuhasibu, kuanzia mwaka huu tumeingia katika mpango wa kupewa fedha na FIFA kama nchi nyingine tofauti na ilivyokuwa awali.

“Fedha ambazo tulikuwa hatujazipokea nazo tutazipata. Shirikisho bado linachukua hatua thabiti kwenye usimamizi wa rasilimali fedha kwa kudhibiti matumizi yasiyokuwa ya lazima, kuhakiki madeni kabla ya malipo na kufanya malipo kwa njia ya ki-electronic.”-Alisema Karia

Bunge lashauri michezo ya kubahatisha iongezwe kodi

$
0
0
Serikali imeshauriwa kuongeza kodi kwenye mapato anayopata mchezaji kwenye michezo ya kubahatisha  ili kupata mapato zaidi na wakati huo kupunguza ushiriki.

Ushauri huo ulitolewa jana bungeni na Mwenyekiti wa kamati ya Bajeti, George Simbachawene wakati akiwasilisha taarifa ya mwaka kuhusu utekelezaji wa majukumu katika kipindi cha Januari 2018 hadi 2019 pamoja na tathimini ya utekelezaji wa bajeti kipindi cha nusu mwaka 2018/19.

Simbachawene alisema michezo ya kubahatisha imekuwa ikikua kwa kasi sana nchini huku asili yake ikiwa si ya kiuzalishaji hivyo haina mlolongo wa thamani ambapo ina madhara makubwa kwa Taifa.

Alisema serikali inaweza kuweka kiwango cha dau la chini ambalo mshiriki atapaswa kuwa nalo ili aweze kushiriki michezo hiyo.

Alisema hatua hiyo ni kinyume na ilivyo hivi sasa ambapo kiwango cha chini ni sh. 500 ambacho hata mtoto chini ya miaka 18 anaweza kupata.

“Kamati inashauri  Serikali kuendelea kuongeza kodi kwenye mapato  anayopata mchezaji  ili kupata mapato zaidi  na wakati huo huo kupunguza ushiriki,’alisema.

Simbachawene ambaye ni Mbunge wa Kibakwe(CCM) alisema  Serikali inaweza kuweka kiwango cha dau la chini ambalo mshiriki atapaswa kuwa nalo ili mshiriki aweze kushiriki michezo hiyo kinyume na ilivyo sasa ambapo kiwango cha chini ni shilingi 500 ambacho hata mtoto anaweza kukimudu,”alisema.

Akichangia taarifa hiyo,aliyewahi kuwa Waziri wa Viwanda Biashara na Uwekezaji,Charles Mwijage ambaye ni Mbunge wa Muleba Kaskazini Charles Mwijage (CCM) aliunga mkono  kuongezwa kwa kodi katika michezo hiyo

Mwijage alisema kwa kiasi kikubwa michezo ya kubahatisha imeleta uzezeta katika jamii na watu kushindwa kufanya kazi.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne Ya January 4

Serikali Kuendelea kumuenzi mgunduzi wa Madini ya Tanzanite

$
0
0
Serikali imeahidi itaendelea kumuenzi mgunduzi madini ya Tanzanite, Jumanne Mhero Ngoma (80) aliyefariki na kuzikwa wiki iliyopita.
 
Akizungumza wakati wa mazishi yake yaliyofanyika Jumamosi Waziri wa Madini, Dotto Biteko, alisema Serikali inatambua na kuheshimu ugunduzi wa Tanzanite uliofanywa na Mzee Ngoma.
 
Alisema ugunduzi wake umeijengea Tanzania heshima kubwa Duniani kote na kuboresha maisha ya watu wengi ndani na nje ya nchi kutokana na kazi zake nzuri.Alisema Mzee Ngoma ni shujaa wa Taifa.
 
"Inasikitisha kuona kuna baadhi ya wenzetu ambao wana tabia ya kuenzi ugunduzi uliofanywa na watu wa nje na kupuuza ule unaofanywa na Watanzania, si ajabu kusikia ya kuwa kuna Watanzania wenzetu ambao pia walipinga ugunduzi uliofanywa na Mzee Ngoma, jambo ambalo halipendezi," alisema na kuongeza;
 
"Sisi kwa upande wetu kama Serikali tutaendelea kumuenzi Mzee Ngoma na ugunduzi wake alioufanya na wakati huo huo kukabiliana na wale wote ambao wanalenga kudhoofisha na kuhujumu kazi nzuri aliyoifanya shujaa huyu wa Taifa letu, hii ndiyo itakuwa siku zote tofauti yetu na wale wote wasioitakia mema Tanzania na watu wake."
 

Sheria ya uvuvi kufumuliwa....Waziri Luhaga Mpina Afunguka

$
0
0
Serikali imeamua kuifumua Sheria ya Uvuvi Namba 22 ya mwaka 2003 na kanuni zake za mwaka 2009 ili kuondoa vikwazo vya kibiashara na uwekezaji katika sekta ya uvuvi.

Pia kwenda na kasi ya mabadiliko ya Serikali ya awamu ya tano inayolenga kujenga Tanzania ya viwanda, kuwatetea na kuwalinda wanyonge.

Akizungumza katika uzinduzi wa ukusanyaji maoni ya wadau kuhusu rasimu ya Sheria ya Uvuvi na Sheria ya Ukuzaji viumbe kwenye maji jijini Dar es Salaam, Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina, alitaja sababu nyingine zilizosababisha kuwapo mabadiliko hayo.

Sababu ya kwanza pamoja na kutoa ulinzi madhubuti wa rasilimali za uvuvi, kuongeza uzalishaji na kuwa na masoko ya uhakika sambamba na kudhibiti utoroshwaji na uingizaji holela wa mazao ya uvuvi nchini.

Aidha, Mpina alisema sheria hiyo mpya inatakiwa iendane pia na mabadiliko na matumizi ya sayansi na teknolojia katika uvuvi na ukuzaji viumbe kwenye maji ili kwenda sambamba na mahitaji pamoja na kuwapo mwamko mkubwa wa ufugaji wa samaki kwenye maji uliojitokeza miongoni mwa wananchi.

Alisema pamoja na rasimu ya sheria hizo mbili pia Serikali iko kwenye hatua za mwisho za kuzifanyia marekebisho Sheria ya Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu Namba 29 ya mwaka 1994 na Kanuni zake za mwaka 2009 na Sheria ya Bahari Kuu Cap 388 na Kanuni zake za mwaka 2007 na 2016.

Hivyo Waziri Mpina aliwasihi wananchi kutoa maoni yasiyofungamana na upande wowote na kuacha tabia ya kila mmoja kuvutia upande wake ili kuwezesha kutunga sheria madhubuti.

Aidha Waziri Mpina alieleza utajiri wa kipekee wa rasilimali za uvuvi nchini ikiwamo kuwa na eneo kubwa la maji lenye kilomita za mraba 346,337 sawa na asilimia 36.7 ya eneo lote la nchi, fukwe ndefu na za kuvutia, kuwapo kwa samaki na viumbe vingine ambavyo vimetoweka na vingine vikiwa kwenye tishio la kutoweka duniani.

Pia kuwapo kwa mito, mabwawa na maziwa yenye sifa za kipekee ikiwemo Ziwa Victoria ambalo ni la pili kwa ukubwa duniani na Ziwa Tanganyika ambalo ni la pili kwa kina duniani na la kwanza kwa ujazo wa maji duniani.

Alisisitiza kuwa wakati nchi inakwenda kutunga sheria hiyo mpya ya uvuvi, ni muhimu kama Taifa kujiuliza maswali kadhaa ikiwamo matumizi sahihi ya rasilimali hizo.

"Lazima tujiulize tunapata wapi uhalali wa kuagiza samaki kutoka nje ya nchi?, tujiulize kwa nini tumeshindwa kulihudumia soko la ndani na la nchi jirani, Afrika na dunia?, kwa nini tuzidiwe uzalishaji na mauzo na nchi ambazo tunazizidi kwa mbali kwa rasilimali?,.

"Vilevile Kwanini tuwe na wavuvi masikini tena ambao hawana zana bora za uvuvi, kwanini biashara, uwekezaji na ujenzi wa viwanda ni wa kusuasua ? haya ndio maswali tunayopaswa kujiuliza kama Taifa," alihoji Mpina.


Hivyo Waziri Mpina alisema kutokana na ugumu wa maswali
hayo ndio maana wizara yake ikaamua ni bora kuifumua Sheria ya Uvuvi Namba 22 ya mwaka 2003 na Kanuni zake za mwaka 2009 ili kusaidia kupata majawabu ya namna gani kama taifa litatoka kwenye mkwamo huo.

Video Ya Wimbo wa Nandy- Hazipo

$
0
0
Video Ya Wimbo  wa Nandy- Hazipo

Watumishi sita chuo cha elimu maalum Patandi wasimamishwa kazi Arusha kwa tuhuma za ubadhirifu.

$
0
0
Waziri  wa Elimu  Prof. Joyce  Ndalichako amewasimamisha kazi  watumishi sita wa chuo cha elimu maalum  Patandi  mkoani Arusha kwa tuhuma  za kushindwa kusimamia majukumu yao na pia matumizi  mabaya ya zaidi ya bilioni 2.3 zilizotolewa na serikali  kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya chuo hicho.

Waziri Ndalichako amechukua hatua  hiyo baada ya kutembelea chuo hicho kukagua  mradi wa majengo ya chuo hicho ambao licha taarifa  kuonyesha kuwa umechelewa kukamilika bila sababu za msingi  pia thamani ya fedha zinazotajwa inapingana na hali halisi na  pia ubora wake,na amemuagiza Katibu mkuu kupeleka watendaji wengine  wakati uchunguzi ukiendelea na ikithibitika sherika itachukua mkondo  wake.


Watumishi waliosimamishwa ni mhasibu mkuu, Rose Kijaka; makamu mkuu wa chuo, Isack Myovela; mwenyekiti wa kamati ya mapokezi, Peter Mosha; boharia wa chuo, Charles Njarabi; na Henry Matei aliyehamishiwa Chuo cha Ualimu Monduli ambaye ameagiza arudishwe kujibu tuhuma zinazowakabili.

Kuhusu mkuu wa chuo hicho, Janes Liana amemuagiza katibu mkuu wa wizara hiyo, kumuondolea madaraka na kuendelea na utumishi kutokana na maradhi yanayomsumbua kwa muda mrefu.

Kanisa la Shekinah Presbyterian Tanzania Latoa vifaa mbalimbali kwa ajili ya wanafunzi Wasio na Uwezo wa kumudu baadhi Ya Mahitaji ya shule.

$
0
0
Kanisa la Shekinah Presbyterian Tanzania limetoa vifaa mbalimbali kwa ajili ya wanafunzi wanafunzi wa shule za msingi na sekondari ambao hawana uwezi wa kumudu baadhi ya shule. 


Tukio hilo limefanyika katika maeneo ya Madale, Mbande-Kisewe, Kibaha pamoja na kanisa lililo katika mtaa wa Kulangwa jijini Dar es salaam. Vifaa vilivyotolewa ni sare, daftari, kamusi kwa wanafunzi wa sekondari na fedha taslimu Tsh. 10,000 kwa kila mwanafunzi wa shule ya Msingi, na kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Tsh. 20,000. 

Akizungumza katika hafla ya utoaji wa msaada tarehe 1/2/2019 huo katika kanisa la Mbande Kisewe, mchungaji kiongozi wa Shekinah Daniel John Seni alisisitiza kwamba mojawapo ya majukumu ya kikanisa, ukiachilia kuhubiri Injili ni kuwasaidia watu wa makundi tofauti.


 Aliongeza kwamba “sisi tumeona tushughulike na suala la Elimu, kwa sababu ni haki ya mtoto kupata Elimu.” Hata hivyo aliwalaumu viongozi wa serikali za mtaa wa Msongola-Mbande Kisewe kwa kushindwa kushirikiana na taasisi kama za kidini ili kuwasaidia watoto wa eneo hilo. 

Alisema “nashangaa kwa nini hakuna kiongozi hata mmoja wa serikali ambaye amehudhuria tukio hili? Nimesikia walipata mwaliko, lakini hakuna hata mwakilishi hata mmoja. Ninawaomba watu wa namna hii wakija kuomba kura msiwape kwa sababu wao wanawatumia kwa faida yao wenyewe.” 

Aliwapongeza wanafunzi waliopokea msaada huo alisema kwamba “ninyi wanafunzi someni kwa bidii, hakuna sababu ya kukosa shule eti kisa huna sare za shule, tumekununulia sare mpya kabisa, tumieni vizuri.”

Akitoa msaada huo katika eneo la Kibaha kwa Mfipa (Galagaza) tarehe 2/2/2019 Mchungaji Seni aliwashukuru viongozi wa serikali na waalimu wa shule ya msingi Galagaza kwa kushiriki tukio hilo. Aliwasihi wazazi washirikiane pamoja na waalimu kwa ajili ya kuhakikisha kwamba watoto wanapata elimu bora katika maeneo yao. 


Alisisitiza kuwa “ingawa ni wajibu wa serikali kujenga madarasa kwa ajili ya watoto, lakini sisi kama wazazi ni lazima tujitoe mali zetu kwa ajili ya kujenga. Ingawa elimu inatolewa bure, lakini kuna masuala mengine ambayo wazazi lazima tuwe na ufahamu wa kuyatatua badala ya kushitaki kwa wakuu wa wilaya.” 

Vilevile akitoa msaada katika eneo la Madale, Jumapili tarehe 3.2.2019 mchungaji Seni alisisitiza kwamba, “pesa hizi ni sadaka ambayo watu wa Mungu wamejitolea kwa ajili ya watoto wa Tanzania, ni vyema itumike kama ilivyokusudiwa kwa kuwasaidia wanafunzi. Ingawa ni kiwango kidogo, lakini kitawasaidia kwa namna yake.” 

Katika msaada huo, ni jumla ya watoto mia moja na thelathini na nane (138) wamepata msaada huo. Mchungaji Seni aliwashukuru sana wachungaji Shadrack Misungwi wa Shekinah Mbande Kisewe, mchungaji Marko Shija wa Shekinah Galagaza, pamoja na Mwinjilist Maria Masanja wa Shekinah Kulangwa kwa bidii zao katika kazi ya Mungu na kwa jamii pia. 


Alisema kuwa “ hawa watumishi wa Mungu wanastahili pongezi kwa sababu pengine wangeamua kukataa kwamba tusilete msaada kwenu, na kweli tusingeleta. Wana moyo wa Upendo, tuwaombee kwa Mungu ili awatie nguvu zaidi na zaidi.”

 Mwisho alimaliza kwa kusema kwamba  Watanzania ni lazima tushirikiane na serikali ya awamu ya tano ambayo imeonesha nia ya kuwasaidia watoto wapate elimu bure, tuunge mkono shughuli za maendeleo na wala siyo kupinga. Alisisitiza kwamba “kanisa hili litaendelea kushirikiana pamoja na serikali kwa ajili ya kuhakikisha kwamba wanafunzi wanapata mahitaji yao ya msingi kwa ajili ya kuelendelea na masomo yao”

Imetolewa na uongozi wa kanisa
Shekinah Presbyterian Church/ Madale
P.O.BOX 32807 Dar es salaam
0769080629


Katibu Mkuu CCM Dkt. Bashiru Ally Amvaa Tundu Lissu

$
0
0
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally amemtaka Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema) kuacha kutoa matamshi yanayoichafua Serikali na vyombo vya usalama na kumualika kujiunga na chama hicho kama ameshindwa kufundwa kisiasa aliko.

Dkt. Bashiru ameyasema hayo alipokuwa akizungumza kwenye mkutano wa ndani wa chama chake, ambapo alilaani kauli zilizotolewa na Lissu kuhusu tukio lake la kushambuliwa kwa risasi na jinsi anavyovihusisha vyombo vya usalama na Serikali.

“Kama amechoka kwenye chama kisichokuwa na itikadi aje CCM. Afundwe, afundishwe namna ya kuwasiliana na umma, namna ya kuchagua maneno, namna ya kuheshimu Mamlaka, namna ya kupenda nchi yako,” alisema Dkt. Bashiru.

“Haifai, kiongozi anayetaka kuwa Rais wa nchi hii kuwa na matamshi ambayo hayachagui na haangalii athari zake. Kazi yetu ni kuchapa kazi, ataumbuka,” aliongeza.

Aidha, Katibu huyo wa CCM alitoa mifano ya matukio ya kiusalama na ajali zilizowahi kuwapata viongozi wa kitaifa awali, akieleza kuwa matukio hayo pamoja na ukubwa wake hayakuitikisa nchi na kuichafua.

Alisema kuwa Lissu anasema alipigwa risasi ‘mchana kweupe’, matukio mengine kama yake dhidi ya viongozi wa Serikali na wanausalama yalifanyika hadharani kweupe.

“Anasema alishambuliwa mchana kweupe, hata marehemu [Edward] Sokoine alipata ajali mchana kweupe. Askari wetu kule Rufiji waliuawa mchana kweupe. Na matukio ya namna hiyo yanandelea mchana kweupe. Na wote wana thamani ileile ya uhai. Naomba kutumia wasaa huu kuwakumbusha wanasiasa kuwajibika na matamshi yao na kuacha ubinafsi,” alisema Dkt. Bashiru.

Katibu huyo wa CCM alisema kuwa vyombo vya ulinzi na usalama nchini vinafanya kazi kubwa ya kulinda usalama na ndani ya nchi na mipaka yake na vimepata heshima tangu kupatikana kwa uhuru

Ommy Dimpoz Afunguka Baada Ya Kurejea Nchini

$
0
0
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz amerejea nchini akitokea kwenye matibabu baada ya kuugua kwa muda mrefu alipokuwa amelazwa nje ya nchi.

Akizungumza katika Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam alipokuwa amewasili Ommy Dimpoz amesema haamini kama amerudi nyumbani licha ya watu mbalimbali kumzushia kuwa amekufa.

"Hali kama unavyoiona mimi mwenyewe siamini naona nimefika nyumbani, kiukweli kuhusu uzushi wa kifo nishazoea kwa sababu ya kazi niliyoichagua inatufanya tuzoee hali kama hii.

"Lakini wanachojisahau duniani wote tunapita kila mtu atakufa na mimi nitakufa, kuhusu kuanza kuimba kwa sasa siwezi kuzungumzia chochote." amesema Ommy Dimpoz.

Msanii huyo kwa kipindi kirefu amekuwa akisumbuliwa na maradhi ya koo baada ya kusemekana kula chakula chenye sumu hali ambayo ilimfanya afanyiwe upasuaji Afrika Kusini

Vannesa Akanusha Kuongeaza Matiti.

$
0
0
Mwanadada anaetamba na kufanya vizuri kwa sasa na wimbo wa thats for me,  Vannesa mdee amefunguka na kukanusha taarifa kuwa amefanya surgery na kuongeza sehemu ya mwili wake hasa upande wa matiti.

Akiongea na refresh ya wasafu tv, Vanesa aliulizwa swala la kizushi kuhusu mwili wake kuwa sehemu kubwa ya maziwa yake kwa sasa imeongezeka na sio kama ilivyokuwa hapo awali, mwanadada huyo alisema kuwa habari hizo sio za kweli na kwamba hajafanya kitu kama icho.

Akiongea kwa kujiamini, Vanesa anasema kuwa katika maisha yake hajawahi kufanya upasuaji kwa ajili ya kuongeza kitu chochote katika mwili huo na hata swala la maziwa watu wamekuwa wakimwangalia kwa wasiwasi lakini hajafanya chochote.

==>>Sikiliza Full Interview hapo chini

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati Zenye Uwezo wa Kubadili Maisha Yako

$
0
0

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara, Msanii wa Maigizo, Mwanamziki, ama mwanafunzi tunazo Dawa na PETE za Bahati zenye uwezo mkubwa wa kuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu.

Kutana na Sheikh Jumaa Bilal. Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota za binadam na bingwa wa tiba za asili Afrika mashariki. 

Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. Sheikh Jumaa Bilal ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOASHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA-  Sheikh Sasa amezianza ziara zake za mikoani na atayatembelea maeneo mbali mbali ndani na Nje ya nchi.

Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nayasiojulikana kwakutumia QUR_AN MAJI , KIOO MAJINI NA MITISHAMBA.

Anazo dawa za mapenzi( Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu LIMBWATA) kumrudishaa alipote, kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizpotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi, Kutoa kinga ya mwili, nyumba, Biashara, kufukuza majini wabaya, KUUZA kwa haraka (shamba, NYUMBA, GARI..), Kuweka Zindiko ya mwili, nyumba, shamba, Gari, kupata Kazi na kupandishwa cheo, mali na UTAJIRI bila masharti na mengine mengi ya Siri. (Anazo Pia Pochi zisizo kwisha Hela MAGIC WALLET)

*{لَا يُؤَاخِذُكُمُ اللَّهُ بِاللَّغْوِ فِي أيْمَانِكُمْ وَلَٰكِنْ يُؤَاخِذُكُمْ بِمَا عَقَّدْتُمُ الْأَيْمَانَ ۖ فَكَفَّارَتُهُ إِطْعَامُ عَشَرَةِمَسَاكِينَ مِنْ أَوْسَطِ مَا تُطْعِمُونَ أَهْلِيكُمْ أَوْ كِسْوَتُهُمْ أَوْ تَحْرِيرُ رَقَبَةٍ ۖ فَمَنْ لَمْ يَجِدْ فَصِيَامُ ثَلَاثَةِ أَيَّامٍ ۚ ذَٰلِكَ كَفَّارَةُ أَيْمَانِكُمْ إِذَا حَلَفْتُمْ ۚ وَاحْفَظُوا أَيْمَانَكُمْ ۚ كَذَٰلِكَ يُبَيِّنُ اللَّهُ لَكُمْ آيَاتِهِ لَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ }* ﴿٨٩﴾

✨Wabillahhi Tawfiq Asallam  Alaikum

Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa
nambari ya simu

+255 688 745 790
+255 672 861 042
Whatsapp :  0762 252 102

Je Unaupungufu Wa Nguvu Za Kiume au Maumbile Mafupi na Membamba...Suluhu iko hapa

$
0
0
Acha kusubilia mpaka mke au mpenzi wako akwambie Mme wangu wewe ni dhaifu tuwepo kitandani,unatakiwa ujitambue mapema ,kwa mwanaume aliyekamilika  na mwenye nguvu za kutosha  ili kumridhisha mke au mpenzi wake anatakiwa awe na uwezo wa kurudia zaidi ya Mara mbili lakini kama unakomea moja au mbili hapo ujue umejilidhisha wewe tu sio na yeye, ili uwe mwanaume mwenye uwezo kamili tumia dawa yako hii hapa

 SUPER MAJINJAS MIX; dawa hii ni tofauti na ambazo uliwai kutumia inamichanganyo ya miti na matunda zaidi ya saba ndio maana inakupa uwezo wa ,KURUDIA TENDO ZAIDI YA MARA TATU,NA ITAKUFANYA UCHELEWE KUFIKA KILELENI DAKIKA 10-15 KWA TENDO LA KWANZA,NA PIA HUIMALISHA MISULI ILIYOLEGEA NA KUSINYAA KWA WALE AMBAO WALIPIGA SANA PUNYETO,dawa hii ni ya vidonge na unga na haina madhara yoyote

MAKAKANUA NO 5 MPYA; dawa hii uboresha uume saizi upendayo UREFU WA INCHI 5,6,7,NA 8 NA UPANA WA CM 2,3,4 NA 5 dawa hii ipo ya kunywa na kupaka  na pia usahidia zaidi kwa mwanaume aliyefanyia tohara ukubwani,

ISENYE NO 3; hii ni dawa kwa wenye kisukari dozi siku 21 tatizo la kisukari na ndio chazo kikubwa cha kuishia nguvu za kiume,

NGWALUSA ; hii ni dawa ya uzazi ambayo ufungua milija ya uzazi ata kwa wale walifungwa uzazi,zipo dawa za busha,vidonda vya tumbo,miguu au viungo kufa gazi kupungza kitambi,minyama uzembe,na matiti makubwa 

TUNAPATIKANA DARES SALAAMU buguruni na MOROGORO YUPO WAKALA na MWANZA YUPO MTAA WA BIZA C, NA KAHAMA MJINI kwa mawasiliano zaidi piga simu 0744040721, 0683645920 DR BRUNO pia unaweza ukaletewa popote ulipo

Usikate Tamaa....Okoa Ndoa yako kwa Tiba Hii ya Asili

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

GALIMBO 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0620510598  / 0743543944

Harmonize Amjibu RC Makonda....." Bangi naisikia kwenye Bomba, Manara ndiye anayestahili kuwekwa ndani akirudi Bongo "

$
0
0
Msanii wa muziki kutoka WCB, Harmonize amejibu tuhuma iliyotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kwamba huwenda akawa anatumia bangi baada ya kuonekana akivuta sigara yenye moshi mzito katika moja ya video ambayo aliiweka mitandaoni.

Mkuu huyo aliyasema hayo hivi karibuni wakati akizungumza na wasanii katika mkutano wa kusikiliza changamoto za wasanii na kuzitatua ambapo alizungumzia suala la nidhamu kwa wasanii hao.

Baada ya kauli hiyo, Harmonize ambaye yupo nchini Afrika Kusini amejibu tuhuma hizo kwa njia ya matani huku akilihusisha na suala la Simba kufungwa goli 5 na Al Alhy ya Misri.

Harmonizi alipost video ambayo inamuonyesha mtu akilia na kuandika; “Wakati mwingine tuacheni utani tuweni serious …!!! hivi mie niliejipost na mimoshi ya Sigara tena Sigara Embasy Hiyo Bange yenyewe naisikia kwenye Bomba…!!! na hawa wachezaji wa @simbasctanzania Nani wakusokomezwa ndani tukitua Bongo…???? 🤣🤣🤣 hebu angalieni wanavotesa watu wasiokuwa na hatia 😭 
 
Minazani tungeanza na @hajismanara Kwanza akamatwe achunguzwe….!!! 🤣🤣🤣🙏🙏"

VIDEO: Serikali Yatoa Ufafanuzi Madai Ya kununua korosho chini ya bei elekezi ya sh. 3,300

$
0
0
Serikali imetoa ufafanuzi kuhusu madai ya watu wa kada mbalimbali, akiwemo mbunge wa Mchinga (CUF), Hamidu Bobali kuwa korosho inanunuliwa chini ya Sh3,300 kinyume na agizo lililotolewa na Rais John Magufuli.

Naibu waziri wa Kilimo, Omar Mgumba ametoa ufafanuzi kuhusu bei ya korosho leo  February 4, 2019 akibainisha kuwa korosho inanunuliwa kwa Sh3,300 kwa kilo moja, kwamba maagizo ya Rais hayajakiukwa.

Mgumba amesema kiasi cha Sh3,300 kwa korosho daraja la kwanza, daraja la pili ndio hununuliwa kwa Sh2,640.

Mgumba alikuwa akijibu swali la nyongeza la mbunge wa Ndanda (Chadema), Cecil Mwambe aliyetaka kujua kwa nini wanunuzi wa korosho wamekiuka agizo la Rais Magufuli na kuanza kulipa chini ya kiwango ambacho hakikuelekezwa.

==>>Tazama hapo chini

Kiongozi wa upinzani DRC, Martin Fayulu akataa mwito wa maridhiano wa Tshisekedi

$
0
0
Kiongozi  wa  upinzani nchini DRC, Martin Fayulu amekataa juhudi za Rais mpya,  Felix Tshisekedi za kutaka maridhiano, baada ya uchaguzi mkuu wa kwanza wa kidemokrasia kumalizika.

Mwito huo wamaridhiano ulitoleawa na Rais huyo  mpya katika jitihada za kutafuta maridhiano ya kisiasa nchini hapa.

Hata hivyo jitiahada hizo za Rais Tshisekedi zinaonekana kugonga mwamba baada ya  Fayulu kusema kuwa  pale unapopewa mkono ambao ni mchafu, hupaswi kuupokea.

Kauli ya Fayulu imekuja siku chache baada ya Rais  Tshisekedi kusema katika hotuba yake aliyoitoa baada ya kuapishwa kwamba  nchi yake haitakuwa ni ya upande mmoja ama ukabila, huku akisisitiza kuwa tayari kukutana na wapinzani ili waweze kushirikiana kujenga Congo imara.

“Tunataka kujenga Congo imara  katika utamaduni wake. Tutakuza maendeleo  kwa amani na usalama. Congo ni ya kila mmoja  ambapo kila mtu ana nafasi yake mwenyewe, “alisema Tshisekedi.

Fayulu alitoa kauli hiyo juzi katika mkutano wake wa kwanza  tangu aliposhindwa kwenye uchaguzi wa rais uliofanyika mwishoni mwa mwaka jana wakati akiwahutubia  mamia ya wafuasi wake waliokusanyika mjini hapa.

Hata hivyo pamoja na kukataa wito huo wa maridhiano, kiongozi huyo aliwataka wafuasi wake wasifanye fujo wakati anapoendelea kupinga uchaguzi anaodai ulikumbwa na udanganyifu.

“Hakuna haja ya kufanya vurugu ila tutaendelea kupaza  sauti zetu katika jumuiya za kimataifa ili haki ipatikane,”alisema kiongozi huyo.

 Aliuhimiza Umoja wa Mataifa (UN) na wa Afrika (AU) kutopokea maagizo kutoka kwa mtu anayedai kuwa Wakongo hawakumchagua

Irene Uwoya Amwaga Ajira Kwa Vijana 30

$
0
0
Mwigizaji kiwango wa Bongo Movie, Irene Uwoya, ametoa ajira kwa vijana 30 wa Jiji la Dar es Salaam watakaohudumu katika baa yake mpya New Last Minute Pub itakayozinduliwa Februari 8, mwaka huu jijini Dar es Salaam.
 
Akizungumza baada ya usaili uliofanyika jana, Sinza Mori chini ya majaji, Johari na Miriam Ismail ‘Mama Kubwa’, Uwoya alisema mamia ya vijana wamejitokeza kuwania nafasi hizo za kazi na 30 wamebahatika katika nafasi za wahudumu, mhasibu na meneja.
 

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala- Dar
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images