Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Vunja Kero 3 Power: Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
VUNJA KERO 3 POWER ni dawa Bora ya vidoge asilia hutibu tatizo la nguvu za kiume na huanza kufanya kazi baada y dk 30 
(1)Huongeza nguvu za kiume Mara dufu 
( 2) Huimarisha misuli ya uume iliyolegea na kusinyaa  pia dawa hii itakufanya ufurahie tendo la ndoa zaidi ya Mara ( 4) nne bila kuchoka
 ( 3) Hunenepesha na kurefusha uume kwa saizi uipendayo kuanzia nchi (6-7) 

Pia dawa hii hutibu maumivu ya mgongo ,kiuno tumbo kujaa gesi na kuunguruma ,kutopata choo vizuri ,ngiri na busha bila kupasuliwa         

Dr saidi anauwezo mkumbwa aliyojaliwa wa kumvuta na kumrudisha mmeo  ama mpenzi wako alikuacha au aliyembali nawe au hakutimizii shida zako

Pia Dr saidi anadawa ya kutibu kisukali,vidonda vya tumbo na miguu kuwaka Moto.  

DR SAID ANAPATIKANA DAR ES SALAAM BUGULUNI ROZANA  KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU NO 0758 199338 Au 0786243789

Afande Sele Afunguka Mambo MAZITO Baada ya Simba Kupigwa Bao 5-0

$
0
0
Baada ya  Simba SC kufungwa 5-0 dhidi ya Al Ahly katika mchezo wao wa tatu wa hatua ya makundi wa CAF Champions League,msanii wa Bongofleva Afande Sele ametumia ukurasa wake wa instagram kuandika ujumbe mzito kuhusu ishu za ujanja ujanja Simba SC.

“Wakati ule wanasimba wanafurahia ujio wa Mo wakiamini kwamba timu itakua bora kwa sababu itakua na mahela ya udhamini sisi wengine tulikaa kimya tukisubiri kuona hayo mabadiliko ya uendeshaji wa timu atakaokuja nao Mo ambayo tulitegemea angeitoa Simba ktk uendeshwaji wa kikariakoo uliozoeleka na kuiendesha kitaalamu kama inavyotakiwa lakini kumbe Mweh”

“Udhamini wa Mo simba umefanana na shehe aliyebadilisha kanzu wkt yeye ni yuleyule kwa sababu pamoja na udhamini wa Mo Simba imeendelea kuendeshwa kienyeji na kisanii tu hadi wkt mwingine mtu timamu unajiuliza hivi huyu ni Mo yuleyule mdau mkubwa wa soka la bongo anaelijua nje na ndani au huyu ni Mo mpya na mgeni kabisa wa soka letu?”

“Chini ya udhamini mnono wa Mo lkn Simba imeendelea kuwatumia madalali wapiga dili walewale ktk usajili wa wachezaji hadi benchi la ufundi..Simba pamoja na udhamini wa Mo lkn bado inasajili wachezaji magarasa kutoka nje ya nchi ambao hata timu zao za taifa haziwajui kabisaaa na matokeo yake wanachukua wachezaji wa kuja kujaribiwa badala ya kuja kucheza”

“Mfano ktk hao mapro wa Simba ukimtoa Kagere na Chama ni nani mwingine anaechezea timu yake ya taifa?…hii maana yake ni kwamba ktk kusaka wachezaji Simba chini ya Mo bado inawatumia wapiga dili walewale wa miaka yote ambao wao wanaangalia ten percent yao tu wala sio kuisaidia Simba na soka la Bongo kiujumla”

“Nakumbuka baada ya Simba kutobolewa tundu na Kagera sugar mbele ya Rais Jpm huyu mzee aliongea kiroho safi tu kwamba kwa wachezaji na uchezaji ule Simba inakwenda kutia aibu ktk mashindano ya kimataifa labda ifanye usajili mkubwa wenye tija kitu ambacho bila shaka viongozi wa Simba na mdhamini wao walichukulia poa tu na sasa wanavuna uvivu wao wa kutochukua hatua stahiki”

“Maajabu ya dunia ambayo yanapatikana Simba pekee ni vile et msemaji wa timu ananguvu na ushawishi mkubwa kuliko hata benchi la ufundi na kisa anajua maneno ya kumpamba bosi mkuu kiasi cha yule boss kuona misifa anayopewa na huyo msemaji ni sawa na pafyumu..hahahaaaaa..et Simba inakikosi kipana hivyo size yetu ni Barcelona,Madrid,Arsenal,Man U nk…full maneno ya khanga half viongozi,wanachama na mdhamini wanachekelea kama majuha tu matokeo yake ndio haya 5+5”- Ameandika Afande Sele

Alichokisema Haji Manara Baada Ya Simba Kutandikwa Bao 5-0 kwa mara ya pili

$
0
0
Afisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara ameibuka kwa mara ya kwanza kufuatia kichapo cha pili mfululizo cha mabao 5-0 dhidi ya Al Ahly ya nchini Misri.
 
Kupitia ukurasa wake wa Instagrma, Haji Manara amewapa pole mashabiki wa klabu hiyo na kuwapa ahadi kuwa Simba lazima ipate pointi 6 za nyumbani na itafuzu hatua inayofuata ya michuano hiyo.

Simba imepoteza mchezo wa pili mfululizo wa ugenini, kwa idadi sawa ya mabao 5-0. Mchezo wa kwanza ukiwa dhidi ya AS Vita Club ya DR Congo.

Wekundu hao wa Msimbazi bado wako katika nafasi ya tatu kwa pointi tatu, wanayo nafasi ya kusonga mbele endapo watafanikiwa kushinda michezo yao yote iliyobakia, miwili wakicheza uwanja wao wa nyumbani na mchezo mmoja wakicheza ugenini dhidi ya JS Saoura.

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Mvuto Wa Mapenzi

$
0
0
*************************
KIBOKO YA  MATATIZO YA  NGUVU  ZA  KIUME MAUMBILE MADOGO MVUTO  WA  MAPENZI .
MAGONJWA SUGU
*************************
Wanaume  wengi wana  upungufu wa  nguvu  za kiume nakuwa  na  maumbile madogo  ya kiume magonjwa kama  kisukari, presha, ngiri  korodani kuvumba, busha, tumbo kuunguruma na kujaa  gesi  na  kutopata  choo  vizuri, punyeto  NK.
___________________________
Huchangia kwa  kiasi kikumbwa upotevu  wa nguvu  za kiume tumia dawa nzuri ya  mitishamba ambayo haina madhara kwa mtumiaji ata uwe  na  miaka 80 inatibu na kumaliza matatizo  hayo:

 SUPER SHAFT 
********'****************
HII NI DAWA  YENYE  UWEZO  MKUBWA WA  KUOGEZA  NGUVU ZA KIUME MARA  DUFU NA MAUMBILE MADOGO  YA KIUME
************************
(1) Itakufanya uwe  na nguvu za  ajabu ukiwa unafanya tendo la ndoa.
___________________________
(2 ) Inaongeza hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi  ya mara  tatu bila kuchoka.
___________________________
(3)Itakufanya uchelewe kufika kileleni ndani ya dk 30 nakukupa nguvu ya ajabu.
___________________________
(4) Pia itakupa nguvu za kusimamisha uume wako barabara kama msumari wakati wa tendo la ndoa.
___________________________

NYATI POWER
*****************
INAREFUSHA NA KUNENE PESHA MAUMBILE YA KIUME  SAIZI UTAKAVYO kuazia Inchi 1 -8 unene sm 2-4.
*************************
(5) Itaimarisha mirija ya uume iliyolegea au kusinyaa.
___________________________
(6)lnasaidia kisafisha mishipa ya kwenye uume na hivyo kusaidia kuogeza kasi ya msukumo wa damu kwenye mishipa ya uume.
___________________________
(7) Usaidia kuurudisha nje uume ulioingia ndani.
___________________________
(8) Inasaidia kuogeza  manini  nyingi abazo vinaviini vya  uzazi.
___________________________
(9)Husaidia kutibu  madhara ya punyeto.
___________________________
Matumizi makali ya madawa  ya kizungu mirungi, bangi na  sigara.
*************************
TUNATIBU MAGONJWA YOTE SUGU, NGIRI, KORODANI KUVIMBA,  BUSHA BILA KUFANYIWA OPARESHENI, TEZI DUME, KISUKARI, PRESHA AINA ZOTE, UGONJWA WA MOYO STROKU. KWIKWI, KICHOMI MIGUU KUFA NGAZI NK
*************************
ANAPATIKANA MAGOMENI MIKUMI, KARIBU NA  KANISA KATOLIKI, TUMAINI HEARST CLINC NDIYO  SULUHISHO LA MATATIZO YOTE
*************************
PIGA  SIMU
📞0745495181 AU
📞0682644040 
*************************
WOTE  MNAKARIBISHWA
*************************
Kama huna nafasi ya kufika ofisini  kwetu  huduma  hii  utaletewa mahali  ulipo na wa mikoani  mtaipata kirahisi.
KWA MENGINEYO INGIA HAPA
*************************

Wachimbaji Wadogo Kufikishiwa Umeme Kwenye Mashimo Yao

$
0
0
WACHIMBAJI wadogo mkoani Geita wanatarajiwa kufikishiwa Umeme katika mashimo yao ili kuwawezesha kufanya shughuli zao za uchimbaji kwa ufanisi mkubwa.
 
Hayo yalisemwa na Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani wakati akizungumza katika mkutano wa hadhara kwenye kijiji cha Imwelu kilichopo wilaya ya Chato mkoani Geita.
 
Alisema kuwa Serikali inatambua mchango wa wachimbaji wadogo katika maendeleo ya nchi na kwa sasa umeme utafikishwa katika mashimo ya wachimbaji ili kurahisisha shughuli zao za uchimbaji.
 
“Ndugu zangu wachimbaji tumeshaanza kuwapa transfoma kwa hiyo kama wewe ni mchimbaji na unataka uchimbaji wao uwe wa kisasa,utajaza fomu itakayowezesha kuendesha mashine zenu za kuchakata madini”Alisema.
 
Waziri huyo aliwasihi wachimbaji wadogo kutumia fursa ya umeme ili kuleta tija katika uchumbaji wao na hivyo kuweza kuongeza pia ufanisi mkubwa.
 
Hata hivyo Waziri Kalemani alimtaka Mkandarasi na Tanesco kufikisha umeme katika kijiji hicho ndani ya siku ishirini (20)

Rudisha heshima yako Kwa Mpenzi Wako, Mke Wako...Tumia Tiba Hii ya Asili

$
0
0
Rudisha heshima yako sasa kwa kutumia Dawa hii iitwayo SUPER GAFINA, kwa ajili ya nguvu za kiume na NKOLOMIJE ni kwaajili ya kuongeza maumbile.

Kwa mwanaume aliye kamilika anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara mbili ,ila ukiwa unapiga moja tena kwa shida wewe ujue  unamatatizo ya upungufu wa nguvu za kiume.

TIBA YA TATIZO LAKO NI; Dawa iitwayo SUPER GAFINA, dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge na unga wa asili ambavyo havina madhara kwa mtumiaji ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja;-

1).itakufanya urudie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuchoka.

2).ltakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dk.15 hadi 20 kwa tendo la kwanza.

3).lnaimarisha uume uliolegea na uliosinyaa na kuupa nguvu maradufu.

Je unamaumbile madogo pamoja na uume mfupi? NKOLOMIJE ni suluisho la tatizo lako. Na ni dawa inayoboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi kuanzia inch. 5 hadi 8 kwa muda mfupi sana .Dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk.30 ukisha tumia guarantee miaka 50  ikishakutibu.

Pia ninatibu;- KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU, MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE ,BP, NK.

IGULYATI, ni dawa ya mvuto wa biashara, kazi,kupandishwa cheo na humfanya mfanyakazi kupendwa na mwajiri wake. Pia humvuta mke,Mme,hawara ,mchumba unae muitaji utampata kwa dk.30 tu na atatulia na kumfunga asitoke nje ya ndoa, Pia natoa Pete za bahati ambazo zimetajirisha wengi.

Pia ipo dawa ya kupunguza matiti,unene ,tumbo,na kitambi ,hupunguza mafuta ,kuondoa makovu,chunusi,michilizi mwilini na kuongeza hipsi, makalio na mguu wa bia nk. 

Kwa maelezo zaidi wasiliana na DR,HOSUTWA .Anapatikana Mbagara

Simu no, 0756241666 na 0672186977.

       Huduma hii utaipata popote ulipo

Kamati ya Bunge ya Bajeti yatoa angalizo Serikali kuchukua mikopo ya biashara

$
0
0
Kamati ya Bunge ya Bajeti imesema nchi inabeba mzigo mkubwa wa kugharamia mikopo kupitia mapato ya ndani na kuathiri utekelezaji wa bajeti kwa miradi ya maendeleo.

Imesema hali hiyo inatokana na Serikali kujikita katika kukopa mikopo ya biashara ambayo ina riba kubwa kuliko mikopo yenye masharti nafuu ambayo kwa sasa ni migumu kupatikana.

Akizungumza bungeni jana wakati akiwasilisha taarifa ya kamati hiyo katika kipindi cha nusu ya mwaka 2018/19, mwenyekiti wake, George Simbachawene alisema, “Kwa sasa Serikali imelazimika kujielekeza kukopa mikopo yenye masharti ya kibisahara (non concessional loans) kuliko yenye masharti nafuu (concessional) kama ilivyokuwa awali.

“Kamati inaona mikopo hiyo ina riba kubwa na hivyo kuwepo kwa mzigo mkubwa wa ugharamiaji wa mikopo kupitia mapato ya ndani.”

Simbachawene alisema hadi Novemba mwaka jana, Deni la Taifa lilikuwa Sh61.8 trilioni ambazo zimetokana na ukuaji wa deni hilo kwa taratibu kutokana na uwekezaji kwenye miradi ya maendeleo na kijamii nchini kwa ajili ya kukuza uchumi.

Alisema deni la Serikali linaendelea kukua likijumlisha fedha zilizokopwa kutoka vyanzo vya ndani na nje na sekta binafsi kwa ajili ya kugharamia miradi.

“Kamati inatambua kuwa Serikali hukopa kwa ajili ya miradi ya maendeleo na kupata fedha za kigeni na kukopesha taasisi za ndani za umma kwa ajili ya kutekeleza miradi ya kimkakati,” alisema.

Mbunge huyo wa Kibakwe alisema kutokana na sababu nzuri za ukopaji ikiwamo uhimilivu wa deni, bado kamati yao inashauri Serikali iangalie uwiano uliopo kati ya mwenendo wa upatikanaji wa mapato ya ndani pamoja na ulipaji wa deni la Serikali na athari zake katika bajeti a uchumi.

Kamati hiyo ilishauri kuwa, umefika wakati Serikali ipange bajeti yake ya maendeleo kwa kutegemea mapato yake ya ndani na mikopo ya ndani ambayo upatikanaji wake ni wa uhakika.

Aliitaka Serikali kuhakikisha kuwa ukopaji wake katika vyanzo vya ndani hauathiri upatikanaji wa mikopo kwa sekta binafsi huku akiipongeza kwa kuendelea kufanyia kazi mapendekezo mbalimbali yanayotolewa na kamati hiyo.

Ufugaji wa nguruwe : Gharama na Faida Zake

$
0
0
 Utangulizi
Nguruwe ni mnyama amabaye hutumika kama chakula / mboga na pia ni zao la biashara kwa mfugaji, mjasirimali na mfanyabiashara.
 
NGURUWE HUTEGEMEA SANA MAMBO YAFATAYO
1 . Banda imara na rafiki kwake
2. Usafi ni muhimu sana katika banda la Nguruwe
3 Mchaganyo bora wa chakula
4. Tiba bora na kinga
5. Maji na Lishe ( access ya vyakula Muhimu kwake )
 
CHANGAMOTO
KATIKA UFUGAJI WA NGURUWE KUNACHAGAMOTO ZAKE LAKINI ZAWEZA KUTATULIWA KWA KUFATA MAMBO KADHAA.
Katika ufugaji wa nguruwe kunachagamoto ya vifo vya nguruwe wachanga ambao hupunguza faida ya biashara ya nguruwe kwa kupunguza idadi ya nguruwe wazima wa kuuzwa lakini utunzaji mzuri wa nguruwe wachanga huepusha vifo vinavyotokana na shida kama:
 
Matatizo ya kupumua
Ni kifo kinachosababishwa na mama anapomlalia nguruwe mchanga.chagamoto hii inaweza kutatuliwa kwa kuwatenga au kuwa na mabanda makubwa ya kulelea watoto.
 
Baridi
Nguruwe wachanga huathiriwa na baridi haswa katika majuma mawili au matatu ya mwanzo. Hii ni kwa kuwa wana kiwango kidogo cha utando wa mafuta wa kuwakinga.
 
Unashuriwa kuwaweka katika hali ya joto, wape matandiko na utumie vipasha joto kama vile kuwasha globu za joto kama utakuwa umewaweka kwenye mabanda ya kuta au nyumba yenye sakafu baridi.
 
Namna bora utunzaji wa nguruwe wachanga
Nguruwe moja wa kike ana uwezo wa kuzaa watoto 12. Namna ifuatayo itasaidia kupunguza idadi ya vifo vya nguruwe wachanga:
1.Pale nguruwe awapo na kidonda nyunyizia dawa ya ayodini 5% kwenye kovu ili kuzuia kuambukizwa kwa magonjwa.
2.Wawekee matandiko (nyasi kavu au maganda ya miti) mahali pa mapumziko ili wapate joto au utumie globu za joto.
3Wadunge sindano ya madini ya chuma (iron) siku ya tatu baada ya kuzaliwa ili kuzuia upungufu wa damu.
3. Yalainishe meno ya vichaga kabla ya masaa 24 ili kuzuia uharibifu wa matiti wakati wanaponyonya.
4. Watie vibandiko au utoboe masikio ili uwatambue na uhifadhi rekodi zao kama kuna umuhimu kama vile wafanyavyo wafugaji wa ng’ombe.
5. Wapime uzani wanapozaliwa na uhifadhi rekodi hiyo itakusaidia kujua ukuaji wao na maendeleo yao
6. Wahasi wale wa kiume juma la tatu, wale ambao hawafai katika kuendeleza kizazi kwa kutumia mtindo wazi (open method) kama unaona inafaa.
7. Wapatie dawa ya kuzuia minyoo pia zipo dawa za asili kama unga wa mkaa na majivu pia zipo za kitaalamu, wasiliana na wataalamu wa mifugo
8.Waachishe kunyonya katika juma la nane au wafikapo kilo 14 hadi 20 hii itasaidia kujitegemea na kukua kwa haraka.
 
Nguruwe Walioachishwa Kunyonya
1.Walioachishwa kunyonya wawekwe makundi ya 10 hadi 12 kulingana na uzito au ukubwa wao kwenye eneo ambalo watajitosheleza.
2.Watenganishe wakubwa kwa wadogo ili kuzuia kupigana.
3.Wakati wa kuwaachisha kunyonya mwondoe mama yao kutoka kwa watoto ili kupunguza usumbufu.
4Watoto wa nguruwe wa mama tofauti wasiwekwe pamoja maana hii husababisha mapigano kati yao na
5.Unapowachanganya watoto wa mama tofauti wapake mafuta ya gari yaliyotumika kwenye ngozi yao au mafuta ya kula ili kuiondoa harufu ya kutambulika ili wasipigane
 
FAIDA YA UFUGAJI WA NGURUWE
Faida kuu ya nguruwe ni zao la chakula lakini pia ni zao la kukuongezea kipato ukiwa kama mjasirimali / mfanyabiashara.
Lengo langu nikueleza namna unavyoweza kufuga na kutupa faida, Steps zifatazo ni muhimu kuzigatia.
 
JIPE MTAJI WA MILLION 4 / 3.5 KWA NGURUWE 50
UANDAAJI WA BADA WEKA MAKADILIO YA LAKI TANO (800,000/=) .
Hapo nazugumzia banda lenye heru U yenye mstatili ikiwa na kitako kirefu
Eneo lenye ukubwa wa mita 50 kwa 50 litafaa zaidi ili kuhakikisha usalama wa nguruwe wako na ukuaji bora.
1. Tafuta mabati used kwa bei ya 5000 mfano mabati 20 ya futi 10 /10 = 100,000/=
2. Tafuta mabazi ya futi 10 kwa 2000 kila moja utapata mabazi pic 100 = 200,000/=
3. Tafuta miti ya nguzo na kechi ya 1000 na 2000 miti ya 1000*70 na 2000*3 = 120,000/=
4. Tafuta chagalawe / moramu trip 10*3000 =30000/=
5. Cement mifuko kwa ajiri ya sakafu na mashimo ya kulishia 5 *18000 = 90,000/=
6. Misumari ya aina 4, nch 6 kg5,nch 3 kg5 nch 5 kg10 na nch4 kg10, Bawaba na komeo =100,000/=
7. Malipo ya fundi 75000 fundi uashi na 75000 fundi seremala =150,000
JUMLA HAPO INAKUWA 790,000/= MAKADILIO INAKUWA 800,000/=
 
UNUNUZI WA NGURUWE WA KUANZIA .
Nguruwe wadogo wadogo ni vinzuri zaidi kuanza nao kwa sababu watakuzalia watoto wengi na kwa muda mrefu . Chukua mfano MILLION 2.5 . Nguruwe wadogo wa dogo wanauzwa 50000 au 40000 inategemeana na mahala na maelewano . Milioni 2.5 inakupa vitoto 50 au 55 . Hivyo unawexa kuwa na vitoto jike 50 na vidume 5. baadaye ukaongeza madume matano ya kuazima au kukondi kwa ajiri ya kupandishia
 
MAANDALIZI YA CHAKULA
Mchaganyiko wa chakula cha nguruwe na gharama zake tunaweza ukadilia kujitosheleza kwa laki tatu kwa mwenzi mmoja kwa nguruwe hao 50, kwa 300,000/= , ambapo itajumuisha tiba / kinga, lishe, vyakula vya nguruwe vinaweza kuwa pumba ya mpunga ile laini,pumba ya mahindi, mashundu, mabaki ya magada ya vianzi amba mabaki ya chakula yaliyosalama
 
MALIPO YA MSIMAMIZI NA ENEO LA KUWEKEZA
Katika kipengele hiki makadilio ya juu ama ya chini kwa msimamizi wa kazi yako waweza mlipa 100,000/= ama chini yake pia kwa mwenye eneo huwa nimaelewano tu aunaweza pata kwa fair au kukakodi kwa laki tatu, 300,000/= kwa mika miwili.
 
HIVYO JUMLA YOTE YA GHARAMA ZA UAZISHAJI UWEKEZAJI WA NGURUWE 50 ZITAKUGHARIMU MILLION 4 AMA MILLION 3.5 KWA MAANA KUWA HAPO JUU NIMETUMIA MAKADILIO YA JUU NA UKIINGIA KWENYE UHALISIA KAMA MJASIRIMALI LAZIMA IPUNGUE NA KUFIKIA 3.5

KIPATO AU FAIDA YA UFUGAJI NGURUWE
Nguruwe wanafaida ya haraka na nimradi wa uhakika kabisa, ukipitiia mchanganuo hapo juu wa nguruwe 50 utatupa faida kama ifatavyo
 
Nguruwe huzaa Mara mbili kwa mwaka na huzaa watoto zaidi ya watanoyaani huzaa watoto 12 ama nane .
Basi chukua nguruwe 50 * vitoto 5 yaani ufanye kuwa nguruwe wako 50 wakupatie vitoto vitano vya uhakika
Nguruwe 50*5 = 250 ukijumlisha na wale 50 wa mtaji umakuwa nao 300 . Chukua zao la nguruwe la 250 na uza kwa 200000 kwa kila nguruwe yaan bei ya kawaida kabisa. Utapata Million 50.

Hivyo zao la kwanza ndani ya robo tatu ya mwaka inakutegenezea million 50 pia na mienzi sita ijayo inakupa tena 50 na zaidi ili kukamilisha uzao wa pili hii inkupa uhakika wa kutegeneza million 100 za uakakika ndani ya mwaka mmoja na nusu ama miaka miwili ukijipa timeframe work lakini kumbuka hapo tumefanya kwa hesabu ya uzao wa chini kabisa ambapo tumeangalia na hasara ya vifo kama vifo visipotokea na uzao ukawa mkubwa utakuwa na uhakika wa kutegeneza million 150 kwa miaka miwili.

Kwenye hesabu ya kuwale unaweza kuwaza sana kuwa itaongezeka na kukughalimu sana jibu ni hapana mpka kufikia kuuza hawatokugharimu zaidi ya million 7 je million 7 kwenye million 150 ni kitu kisicho nafaida ?
 
NB . jambo lolote linahitaji umakini naa dhamira ya dhati pia kushirikisha wataalamu na wenye uzoefu ili kufikia leng Ewe ndugu kila kitu kinawezekana UTAYARI WAKO / UTHUBUTU WAKO, UAMINIFU .NA MAAMZI YAKO.
 

Video Mpya: Beda Andrew - Mbali Sana

$
0
0
Video Mpya: Beda Andrew - Mbali Sana

PICHA: Zijue Alama za barabarani pamoja na matumizi yake

Super Mkongo: Kiboko ya Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
********************************
SUPER MKONGO MPYA,
_______________________________
********************************
Ni dawa bora ya kutibu na kumaliza matatizo yote ya nguvu za kiume na sababu zake zote kama vile,

- kuwahi kufika kileleni dakika moja ushakojoa
- maumbile kusinyaa na kulegea wakati wa tendo
- kukosa hamu ya tendo la ndoa
- kushindwa kurudia tendo la ndoa
- uume kusimama kwa kulegea
- uume kulegea katikati ya tendo
- kuathirika kwa kujichua kwa muda mrefu
- kuishiwa nguvu kutokana na punyeto.

Epuka aibu hii leo kwa kutumia SUPER MCONGO MPYA, kiboko ya matatizo haya.
_______________________________
Pia kuna MCONGO POWER Kiboko ya uume mdogo inaboresha maumbile ya uume kwa kurefusha na kunenepesha kwa saizi uipendayo haijalishi umri hata kwa walioathirika na upigaji punyeto.
_______________________________
Kwanza fahamu sababu zinazopelekea kuwa na upungufu wa nguvu za kiume na uume mdogo.
_______________________________
(1) kujichua (punyeto) kwa muda mrefu maana hupelekea misuli ya uume kulegea.
(2) ngiri
(3) kuugua chango la uzazi kwa muda mrefu.
(4) kupungukiwa hormone za testosterone.
(5) ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi na visivyo na virutubisho  vya kutosha.
(6) kutokufanya mazoezi na mwenendo wa maisha.
(7) kisukari.
(8) tumbo kuunguruma na kujaa gesi.
(9) maumivu ya kiuno nk.
_______________________________
Kwanini uhangaike? Kwanini uhuzunike?
Hii ni spesho kwa waliotumia madawa mengi bila kufanikiwa hakika hautajuta kuitumia. _______________________________
WASILIANA NA:
DR. MCONGOMANI
SIMU NO:
📞0658816558
📞0682323682
Popote ulipo huduma hii inakufikia
_______________________________
********************************

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 65

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA      
 
“Umewaua hawa?”
“Hapana hakuna niliye muua. Ila kuna sumu fulani ya kisindano Dany alinifundisha nimeweza kuwashoma mmoja baada y mwengine na nimeweza kuwaleta hapa”
“Ehee huyu ndio kijana ambaye ameniletea simu yake nizungumza na bosi wake.”
“Simu yake hii hapa ninayo na nimeweza kuangalia muda ule ni nani aliweza kumpigia nimeweza kupata ni nani uliye zungumza naye”
“Ni nani?”
Camila akanionyesha picha ya mwanaume mmoja ambaye kwa haraka sana niliweza kumfahamu kwani ni miongoni mwa watu nilio kutana nao kikao cha siri nilicho fanya na viongozi wa chama cha upinzani nchini Tanzania.

ENDELEA
“Vipi mbona unashangaa mume wangu?”
“Huyu , huyu mtu nina mfahamu”
“Huyu mzee una mfahamu?”
“Ndio”
“Anapatikana wapi?”
“Tumemuacha nchini Tanzania, katika ule mpango wangu wa kulipiza kisasi kwa mzee Poul Mkumbo huyu mzee, nimeamua kudhamini moja ya chama cha siasa ili kiweze kumuondoa madarakani. Sasa huyu mzee ni muhisika”
“Ohoo basi kutakuwa na jambo linalo endelea hapo katikati?”
“Yaa”
“Basi kama ni hivyo, muhusika mkuu yupo Tanzania, itabidi hawa tuwaweke chini ya ulinzi wa serikali?”
 
“Alafu?”
“Tunamfwatilia huyo mwengine?”
“Huoni kwamba hiyo inaweza kuvujisha siri na kumbuka kule Tanzania tumewekeza kwenye kampuni kubwa na kama adui nimeweza kumuweka karibu yangu jambo ambalo ni hatari sana”
Nilizungumza kwa msisitizo huku nikimtazama Camila usoni mwake.
“Basi tuwaue?”   
“Hilo nalo ni kosa jengine ambalo tutalifanya mume wangu na kumguka kwamba hapa ni Ujerumani na upelelezi ukianza kufanyika haijalishi mimi ni mtoto wa nani, mwishowe nitaishia jela na nitamchafua baba yangu”
 
“Nimekuelewa mke wangu”
“Nampigia baba na ninamueleza juu ya swala hili na akikubaliana tuwashikilie chini ya ulinzi wake basi tunaweza kufanya hivyo”
“Sawa”
Camila akafanya kazi hiyo kama nilivyo mueleza. Baada ya lisaa kikiso maalumu cha makachero ambacgo kina fanya kazi chini ya raisi kikafika nyumbani hapa. Wakawabeba wahalifu hawa kimya kimya pasipo watu wengine walipo kwenye msiba huu kuweza kufahamu ni kitu gani kinacho endelea. 
 
Siku iliyo fwata taratibu zamazishi zikakamilika , na maiti ya bi Jane ikapelekwa katika kanisa la Lutheran kwa ajili ya kufanyiwa ibada ya mwisho, wingi wa watu na umaarufu  wa familia hii ukafurika hapa kanisani, watu wengi wakazidi kutoa pole zao kwa mimi na dada Mery. Tulipo maliza ibada tukaelekea katika eneo alilo zikwa mzee Klopp miaka kadhaa ya nyuma iliyo pita. Tukauaga mwili wa marehemu kwa mara ya mwisho kisha akazikwa. 

Kusema kweli kama ni kubaki yatima basi sasa ni yatima mkubwa, hata ukiwa na pesa nyingi sana duniani, ila umuhimu wa wazazi ni mkubwa na ni wa muhimu kuiko hata pesa. Mazishi yalipo malizika tukarudi nyumbani huku muda wote Camila akiwa pembeni yetu mimi na Mery kwani yeye ndio mtu wa pekee anaye weza kutufariji.
 
Baada ya wiki mbili tukaendelea na shuhuli zetu za kawaida. Nikanza kufanya ziara za kustukiza katika kampuni zangu zote za hapa nchini Ujerumani. Nilipo hakikisha kwamba ziara yangu ya siku tano imekwenda kama nilivyo hitaji, nikanunua ndege yangu binafsi aina ya The Boeing 747-8 VIP private jet ambayo imenigarimu kiasi cha dola za kimarekani milioni mia tatu na sabini. Jet yangu hii ina sifa zote nilizo kuwa nina zihitaji, kwanza ina uwezo wa kusafiri kwa umbali mkubwa sana, pili ina seble kubwa, chumba cha kulala chenye bafu na choo. Pia ina ofisi kubwa ambayo ninaweza kufanya vikao na wafanyakazi wangu baadhi.
 
“Ohoo Mungu wangu”
Camila alizungumza kwa furaha mara baada ya kumfungua kitambaa nilicho kuwa nimemfunga usoni mwake, mara tu ya kuingia kwenye ndege hii kubwa. Kwani katika mipango yangu ya ununuzi ndege hii sikuweza kumshirikisha mtu wa aina yoyote na Ethan pekee ndio aliye fahamu na uzuri yeye si binadamu.
 
“Ethan unataka kuniambia kuanzi hivi sasa hii ni ndege yetu?”
“Yaa ni ndege yetu, popote ambapo tutahitaji kwenda basi tunaweza kwenda”
“Ohoo Mungu wangu nakupenda sana mume wangu”
“Ninakupenda pia mke wangu”
Nikaanza kumtembeza Camila ndani ya ndege hii, kila sehemu aliyo ingia hakuamini macho yake, kwani imetengenezwa katika mtindo mzuri sana ambao umeendana na kiasi cha pesa ambacho nimenunulia.
“Camila fumba macho yako”
“Kwa nini?”
“Wewe funga tu mpenzi wangu”
Camila akanitii na kufumba macho yake. Taratibu nikatoa kisanduku kidogo cha kuhifadhia pete, nikapiga goti moja chini kisha nikamuomba aweze kufumbua macho yake.
 
“Je upo tayari kuwa mke wangu?”
Camila akapatwa na mshangao mkubwa ulio ambatana na furaha kubwa pamoja na machozi mengi sana.
“N…dioo Ethan”
Taratibu nikamvisha pete hii iliyo nigarimu kiasi kikubwa cha pesa. Camila akaninyanyua na kunikumbatia kwa nguvu huku akiendelea kulia. Taratibu tukaanza kunyonyana midomo yetu na kutokana tupo ndani ya chumba chetu cha kulala hatukuona haja ya kunyimana haki inayo stahili katika penzi letu
 
Usiku wa siku ya leo tukalala katika ndege yetu siku iliyo fwata tukaelekea ikulu ya Ujerumani ambapo sasa ndipo familia ya Camila inapo ishi. Tukawaleza wazazi wake juu  ya swala zima la mimi kuhitaji kumuao mtoto wao pale nitakapo maliza kufanya kazi yangu ambacho itanirudisha nchini Tanzania.
Wazazi wa Camila hawakuana kipingamizi chochote na mimi, kila mmoja akaonekana kujawa na furaha kubwa sana kwa pendekezo langu kwa mtoto wao.
 
Tukamueleza Mery juu ya mpango wetu wa sisi kufunga ndoa. Mery kwa upande wake hakuwa na pingamizi la aina yoyote kwani naye mapenzi yake na rafiki yangu Ethan yamekoaa na wanapenda sana. Nikaka Ujerumani kwa siku mbili kisha nikaanza safari ya kurudi nchini Tanzania na safari hii nikiwa peke yangu katika ndege yangu hii ya kifahari. Nikiwa angani nikawasiliana kwa njia ya skype na Qeen pamoja na Latifa na nikawaomba waweze kuniandalia hoteli ambayo nitafikizia kwa siri sana.
 
“Tunafurahi sana mkuu kwa kurudi kwako kwa maana katika kipindi hichi cha wiki tatu tumekuwa tunapelekeswaha sana na huyu mwanamke wako”
“Musijali, kila jambo litakwenda sawa na hii ndio safari yake ya mwisho ya yeye kuweza kuumia”
“Sawa mkuu, tunafurahi kuendelea kusikia hivyo”
“Lile swala la yule mzee katika kikundi cha kile chama mume lishuhulikia?”
 
“Ndio mkuu tunakusubiria wewe ufike ili kama ni kumteka aweze kutekwa na kuweka chini ya uangalizu maalumu si unajua tayari watu wamesha anza kampeni?”
“Ndio natambu hilo. Clara je munakwenda kumtembelea?”
“Ndio hata leo tumetoka huko na ameweza kutuulizia”
“Sawa, nahitaji muje kunichukua uwanja wandege”
“Saa ngapi?”
“Sijajua marubani wangu wanaweza kutumia muda gani kufika nchini Tanzania, ila nina ndege ambayo ipo vizuri sana”
“Kuna taratibu za kutua nchini Tanzania kwa ndege binafsi je umezikamilisha?”
“Ndio nimezikamilisha, na nimepewa ruhusa ya kutua nchi karibia ya ishirni barani Afrika”
“Sawa mkuu tukutakie safari njema”
“Nanyi pia”
 
Tumaliza mazungumzo haya, nikaingia kwenye upande wa barua pepe katika simu yangu na nikaanza kupitia ofa kadhaa za timu kubwa barani Ulaya ambazo zinahitaji niweze kucheza mpira. 

Sikuhitaji kujibu  ujumbe hata mmoja kwa maana nina hitaji kuikamilisha ndoto yangu ya kumfilisi bwana Poul Mkumbo na nina imani kwamba hapo akili yangu inaweza kuwa tayari katka kucheza mpira na kuendelea kuishia katika kipaji changu ambacho siku zote mzee Klopp alinihusia niweze kukifanyia kazi. 

Nikawauliza marubani wangu ni muda gani ambao ninaweza kufika nchini Tanzania, walipo nipa muda husika, niwatumia meseji Qeen na Latifa na kuwajulisha kwamba nitaingia nchini Tanzania majira ya saa kumi usiku. 
 
‘Tutakuwepo hapo mkuu’
Niliipokea meseji hii kutoka kwa Latifa. Majira ya saa kumi usiku kwa mara ya kwanza ndege yangu toka nianze kuitumia ikatua katika ardhi ya nchini Tanzania. Nikashauriana na wa marubabi wangu waweze kurudi Ujerumani na ndege yangu baada ya siku mbili kwani sinto weza kuiacha ikae katika uwanja wa ndege wa hapa Tanzania, moja inaweza kutumia na maadui wangu kama moja ya sehemu ya kujipatia kipato kwani endapo  wataamua kuiteka na kudai pesa nyingi basi itanilazimu kutoa kiasi kikubwa cha pesa. 
 
Kwajinsi nilivyo vaa kofia pamoja na jinzi na tisheti ni ngumu sana kwa watu wa kawaida kuweza kunifahamu. Baada ya kukaguliwa begi langu la nguo nikatoka nje ya uwanja huu na kukutana na Latifa pamoja na Qeen. Tukaingai kwenye gari walilo kuja nalo ambapo siku kadhaa za nyuma niliwatumia pesa za kutosha kwa ajili ya kununua gari maalumu kwa kazi ambazo zimetuleta huku.
“Kuna update yoyote kwa masaa haya kadhaa ambayo hatujawasiliana nanyi?”
“Hapana mkuu”
 
“Huyo kijana muliye sema kwamba atakuwa ni mlinzi wangu wa siri je anajiweza katika kila idara ya kunilinda au mumemchukua mbeba vyuma ambaye akipigwa ngumi moja tu anaanguka?”
“Hahaaa hapana ni kijana mmoja smart na hata ukimona huto weza kutegema kama anaweza kuwa ni mpambanaji mzuri sana”
“Nahitaji kuonana naye usiku huu huu”
“Sawa”
Latifa akampigia simu kijana huyo na kumueleza aweze kufika katika hoteli ambayo tunaiendea hivi sasa. Tukafika katika hoteli moja iliyo nje ya jiji la Dar es Salaam. Moja kwa moja tukaeleka hadi katika chumba walicho nikodishia, baada ya muda kidogo kijaan huyo akafika. Ni mwembaba, ana sura nzuri na ya upolea sana na kwa haraka kwa kweli huwezi kufahamu kama ana uwezo wa kuweza kufanya mambo makubwa sana.
 
“Ethan huyu anaitwa Raman kwa kifupi tunamuita Roma. Roma huyu ndio bosi wetu ambaye yeye ndio anatufanya tuweze kuishi hapa mjini naa kupendeza”
“Nashukuru sana bosi kwa kukufahamu”
Sauti ya Roma ni ya upole sana.
 
“Nashukuru pia. Unaweza kunipa sifa ya kazi yako?”
“Ndio. Niliishi South Korea kwa miaka zaidi ya kumi na mbili. NIliweza kuiingia katika vikosi vyao ya kijasusi na nimefanya kazi katika vikosi hivyo kwa miaka zaidi ya saba. Nimerudi nchini Tanzania baada ya mikataba yangu kuisha katka vikosi hivyo”
Roma alizungumza huku akinionyesha picha zake za zamania kiwa katika vikosi hiyo kwa kupitia simu yake ya mkononi mwake. 
 
“Wewe ni Mtanzania?”
“Ndio ni Mtanzania, mama yangu ni mkorea, ila baba yangu ni mtanzania”
“Sawa ndio maana unaonekana kuwa mpole mpole”
“Ndio mkuu”
“Nina imani kwamba unajua jinsi ya kulinda siri za mkuu wako na nina amani kwamba unajua jinsi ya kufanya mission zote nzito na kali?”
 
“Ndio”
“Nashukuru. Tusipoteze muda sana, tuna kazi moja nina imani kwamba mabinti hapa wamekupa maelezo ya juu ya mzee huyo?”
“Ndio nimesha andaa mazingira ninasubiria amri yako”
“Nimekuruhusu, inaweza kufanyika leo hiyo kazi?”
“Kwaleo hapana mkuu ila kabla ya siku ya kesho kuisha nitakuwa nimeikamilisha hiyo kazi”
“Basi fanya hivyo”
“Nashukuru mkuu”
“Basi nikutakie usiku mwema”
“Asante”
 
Roma akatoka ndani hapa na kuniacha na Qeen na Latifa.
“Ehee kampenzi zao zinakwenda vipi?”
“Huwezi kuamini mkuu, yaani ni mafuriko”
“Mafuriko ndio nini?”
“Yaani watu wanajaa, kampenzi ni za nguvu na sasa zinaingia hadi vijijini huko ndani ndani yaani ni raha sana.”
“Tuna video hapa tunaweza kukuonyesha jinsi pesa yako inavyo leta nguvu kwa wananchi. Pia shemeji yangu yaani ananiambia kwa miaka yake yote aliyo fanya siasa hajawahi kuona jinsi mikutano na chama chao kinavyo pendwa kama msimu huu”
“Kwahiyo inatia matumaini?”
“Asilimia mia moja matumaini yanaonekana katika kampenzi hizi”
 
“Watala nao vipi?”
“Yaani wao wana henya henya. Mkuu wao hana sera yaani huyo mke anavyo tukazania tuweze kumuunga mkono baba yek na hapa kesho huwezi amini ametuambia watu wote tuelekee jangwani kwenda kusikiliza kampeni za baba yake hapa Dar es Salaam”
“Yaani wafanyakazi wote, kesho wanao weza kubaki ofisini ni mainjinia tu”
“Munakwenda saa ngapi?”
“Kuanzia saa kumi ndio tunakwenda hivyo kuanzia saa nane mchana hivi magari yote ya kampuni yatatumika katika kuwapeleka wafanyakazi katika kampeni”
 
Nikatoa simu yangu na kuweka laini ninayo itumia nchini Tanzania kwa siri, nikampigia mkuu wa ulinzi wa katika kampuni yangu hii ya simu na kumpa onyo la kuto kuruhusu gari yoyote ya kampuni kutoka nje ya viwanja vya kampuni yangu ikiwa na wafanyakazi. Onyo langu likaeleweka, majira ya saa kumi na mbili alfariji Qeen na Latifa wakaondoka hotelini hapa na nikawahisi kwamba nitafika ofisini muda wowote. 

Nikajipumzisha hotelini hapa hadi majira ya saa sita mchana, nikajiandaa na kuanza safari ya kueleka ofisini kwangu tena kwa kutumia usafiri wa bajaji. Majira ya saa nen kasoro hikafika katika geti kuu na kuwakuta walinzi wa kampuni niliyo wapa dhamana ya kulinda ofisi yangu wakiwa wametanda katika geti hilo huku Biyanka akionekana kufoka sana na kuwaamrisha walinzi hao waweze kuondoka la sivyo atawafukuza kazi. 

Kutokana hakutarajia kuweza kuniona kwa wakati huu, taratibu nikashuka kwenye bajaji hii huku nikiishusha kofia yangu chini kidogo na kufika nusu uso. Watu wa pekee walio weza kunigundua na Qeen na Latifa ambao wapo mbele ya moja ya gari aina ya Costa wakisubiria kuelekea kwenye kampeni za mzee mkumbo. 

==>>ITAENDELEA KESHO

Mwana FA aiangukia TFF

$
0
0

Baada ya timu ya Simba SC kupata kichapo cha  5-0 kutoka kwa waarabu shabiki wa timu hiyo ambaye ni Msanii wa Muziki nchini Mwana FA amelitaka Shirikisho la mpira wa miguu TFF kutoahirisha mechi ya watani wa jadi (Simba & Yanga) kwa sababu yoyote.

Mwana FA ameyasema hayo baada ya kejeli za mashabiki wa Yanga kuzidi ambapo ametaka wakutane ili kuwaweka sawa.

"Ndugu zangu TFF, kwa hisani yenu msiahirishe mechi ya tarehe 16 kwa sababu yeyote ile iliyo ndani ya uwezo wa kibinadamu, kuna maneno yametukera tunataka tuwekane sawa. Ahsanteni".

Mechi ya marudio ya Simba na Yanga inatarajiwa kuchezwa  Februari 16 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Kaburi lenye miili hamsini iliohifadhiwa lapatikana Misri

$
0
0
Miili 50 iliokuwa imehifadhiwa na inayodaiwa kutoka katika enzi za Ptolemaic (miaka ya 305-30BC imepatikana na mwanakiolojia, kulingana na wizara ya vitu vya zamani.

Miili hiyo ambayo 12 kati yao walikuwa watoto ilipatikana katika makaburi manne yenye kina cha urefu wa mita tisa katika eneo la Tuna El-gebel huko Minya kusini mwa mji mkuu wa Cairo.

Baadhi ya miili hiyo ilikuwa imefungwa ndani ya kitambaa huku mingine ikiwa ndani ya majeneza ya mawe na yale ya mbao, Hawajatambulika ni watu gani , maafisa wanasema lakini huenda walishikilia nyadhfa za juu.

TanTrade yawashauri wadau wa Zao la Muhogo kuzalisha kitaalam

$
0
0
Wazalishaji wa Zao la Muhogo nchini wameshauriwa kuzalisha zao hilo kitaalam, kwa ubora, kiwango kinachohitajika kwenye soko na kwa kutumia mbegu bora inayozalisha mavuno mengi.

Rai hiyo imetolewa na Dkt Edwin P.Mhede Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Viwanda Biashara na Uwekezaji wakati wa ufunguzi wa mkutano wa wadau wa Zao la Muhogo ulioratibiwa na kufanyika katika ofisi za Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) jijini Dar es Salaam.

“Wengi mnafahamu kuwa changamoto katika zao hili ni upatikanaji wa mbegu bora, aina ya mbegu inayoweza kukabiliana na magonjwa mbalimbali mabadiliko ya tabia nchi yanayosababisha uhaba wa upatikanaji wa mavuno ya kutosha na uzalishaji mdogo unaochagizwa na kilimo cha mashamba madogo madogo” alisema Mhede

Alisisitiza kwa kuiomba Wizara ya Kilimo na Vituo vya Utafiti vya Kilimo kuendelea kutafiti juu ya changamoto hizi na kuimarisha huduma za ugani zenye kulenga uzalishaji wa tija ili kupata mazao mengi zaidi.

Aliongeza kwa kusema kuwa kwa muda mrefu zao hili lilikuwa linategemewa kama zao la chakula pekee lakini kutokana na maendeleo ya uchumi na teknolojia kukuaa katika nchi zinazoendelea zimekuwa zikitumia Zao la Muhogo kutengenezea wanga ambao unatumika kwa matumizi mbalimbali viwandani vikiwemo viwanda vya karatasi, vinywaji na bidhaa kama nguo na makaratasi na kwa nchi nyingine wanatumia kuzalishia nishati mbadala aina ya Ethanol na kuzalisha sukari ya viwandani yenye ubora wa juu.

Naibu Katibu Mkuu aliendelea kusema kuwa Zao la Muhogo ni zao rasmi la biashara hivyo linasaidia katika kuongezea pato la taifa. Kwa takwimu zilizopo katika kipindi cha mwaka 2015/16 Zao la Muhogo lilichangia asilimia 13.63 ya pato la taifa huku likiajiri wakulima wadogo zaidi ya milioni 1.3 Kati ya mwaka 2012 na 2016 kiasi cha tani 59,447,754 za Muhogo chenye thamani ya Dola za Marekani 4,804,926 uliuzwa nje ya nchi.

Kwa upande wa masoko serikali inaendelea kuimarisha mfumo mzuri ambao utasaidia upatikanaji wa masoko hasa nje ya nchi. Zipo hatua zilizofanyika kwa nchi kama ya China yenye uhitaji wa Zao hilo kwa kuwa na mikataba ya pamoja uliohusu punguzo la ushuru wa forodha kwa bidhaa za Tanzania kuingia soko la China, mkataba wa itifaki ya Muhogo wa namna ya uingizaji wa zao hilo nchini China na kupitia mahusiano kati ya nchi na nchi. Na matokeo ya juhudi hizi zimeonekana kwa makampuni mbalimbali kutoka China kama vile Epoch Agriculture, Foshang Guangji Co. Ltd na Dar Canton Co Ltd zinazojishughulisha na ununuzi wa Muhogo na zikijiandaa kwa ujenzi wa viwanda nchini.

Nae Bw Edwin Rutageruka, Mkurugenzi wa TanTrade alisema kuwa lengo la mkutano huo ni kujadili changamoto zinazolikabili Zao la Muhogo ili kujua jinsi ya kulikabili ingawa changamoto kubwa katika uzalishaji wa Muhogo ni namna ya kuliongezea thamani ili kuepuka changamoto za kimasoko

Aidha aliongeza kwa kusema kuwa TanTrade itasimamia uanzishwaji na usajili wa Chama cha Wazalishaji na Wachakataji wa Muhogo Tanzania, lengo ni kuwa na sauti ya pamoja katika kuendeleza zao hilo. Chama hicho kitakuwa chini ya uangalizi wa TanTrade na makao makuu yake yatakuwa katika ofisi za TanTrade.

Bi Upendo Mndeme Afisa Kilimo Mwandamizi kutoka Wizara ya Kilimo amewashauri wazalishaji wa Zao la Muhogo ili liwe la Kibiashara hasa katika nchi ya China lazima wazingatie vigezo vilivyoainishwa katika itifaki ya soko la Muhogo ambapo baadhi ya vitu ni bidhaa za Muhogo zisiwe na visumbufu vya wadudu na magojwa, wazalishaji na makampuni ya kuuza Muhogo nchini China kutambulika Kisheria, ubora wa bidhaa, bidhaa zifungashwe kulingana na matakwa ya soko la China, ukaguzi wa bidhaa kabla ya kuvuna na Wizara ya Kilimo au Kampuni/ Taasisi iliyopata kibali cha Wizara kwa ajili ya kazi hiyo n.k

Baadhi ya Viwanda vya ndani vilivyojitokeza kununua Zao la Muhogo wamethibisha utoshelezi wa soko la ndani na uhitaji wao wa Zao hilo na wamehakikisha kuwa watalipandisha thamani Zao hilo kabla soko la nje kuwa na uhitaji mkubwa zaidi

Hadi sasa mikoa inayozalisha Muhogo kwa wingi ni Mwanza, Mara, Kagera, Shinyanga, Lindi, Morogoro, Tanga, Dar es Salaam, Pwani na Kigoma

Waziri Mkuu Akutana Na Mawaziri, Wakurugenzi, Watendaji Wakuu Wa Serikali Leo Jijini Dodoma

$
0
0
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akizungumza na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Hussein Mwinyi (kutoka kushoto), Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Alphaxard Lugola, Waziri wa Katiba na Sheria Paramagamba Kabudi na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Augustine Mahiga, ofisini kwake Mlimwa jijjini Dodoma Februari 3, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akioneshwa jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania Richard Mayongera, ofisini kwake Mlimwa jijjini Dodoma Februari 3, 2019.


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akizungumza na Mtendaji Mkuu wa Mahakama Hussein Katanga, ofisini kwake Mlimwa jijjini Dodoma Februari 3, 2019

Sakata la Korosho Laibuka Tena Bungeni

$
0
0
Sakata la ununuzi wa korosho limeendelea kuwasha moto bungeni baada ya Mbunge wa Mchinga (CUF), Hamidu Bobali kusema yupo tayari kujiuzulu ubunge iwapo itathibitika kwamba wakulima hawalipwi Sh2,640 kwa kilo badala ya Sh3,300 iliyotangazwa na Rais John Magufuli.

Akichangia taarifa za kamati za Bunge za Bajeti na ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) jana, Bobali alisema kwa taarifa zilizotolewa na Serikali ni wazi kuwa kilo moja ya korosho imeuzwa kwa Sh4,180 na kuitaka kueleza kama itaendelea kuwalipa wakulima korosho daraja la kwanza kwa Sh3,500.

“Tunataka kauli kama mmeuza kwa Sh4,180 hii iliyozidi mtawarudishia wakulima? Jambo la pili, hivi sasa ninavyozungumza wakulima wanalipwa Sh2,640 kwa kilo ya korosho sio tena Sh3,300,” alisema.

Hoja ya mbunge huyo ilimfanya Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Stella Manyanya kusimama akitumia kanuni ya 64 A na kusema kuwa Bobali amelidanganya Bunge.

Kauli hiyo ilizua kelele kwa baadhi ya wabunge kupinga kwamba kanuni hiyo iliyotumiwa na Manyanya haipo kwenye Kanuni za Bunge hali iliyomfanya Spika amruhusu Bobali kuendelea na kuchangia hoja yake.

Akiendelea kuchangia, mbunge huyo alikazia kauli yake ya awali kuwa wakulima wanalipwa Sh2,640 kwa kilo moja ya korosho badala Sh3,300 kama ilivyoahidiwa na Rais Magufuli.

Akijibu hoja hiyo, Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga alisema kumekuwa na taarifa za upotoshaji juu ya bei ambayo Serikali inanunulia korosho.

Alisema wapo watu wengi wanasema wamenunua kilo moja ya korosho kwa Sh3,300 lakini si kweli kwa sababu ukijumlisha gharama zingine, inakuwa zaidi ya Sh3,600 kwa kilo.

“Nataka niseme kuwa bei tuliyonunulia si kama ilivyokuwa miaka ya nyuma, utaratibu uliokuwapo ulikuwa ukishanunua kwa bei ya Sh3,300 ndiyo unaanza kutoa gharama za magunia na vitu vingine,” alisema Hasunga.

Alisema ukijumulisha ushuru (Export levy) ambao ni Sh360, kilo moja ya korosho inakuwa imeuzwa kwa zaidi ya Sh4,160 kwa kilo. Alisema hadi sasa, Serikali imeuza tani 100,000 za korosho na wanaendelea kuuza na kwamba, wakishawalipa watu wote watafahamu wamepata faida kiasi gani.

Urusi Yajitoa Mkataba wa INF. ....Yatangaza Kuunda Makombora Mapya

$
0
0
Urusi imejiondoa katika mkataba wa kupinga uundaji wa makombora ya masafa marefu uliofikiwa enzi ya vita baridi kufutia uamuzi sawa na huo uliochukuliwa na Marekani.

Rais Vladimir Putin amesema taifa hilo litaanza kuunda makombora mapya.

Marekani ambayo kwa muda mrefu imekuwa ikiilaumu Urusi kwa kukiuka mkataba huo ilitangaza kujitoa siku ya Ijumaa.

Mkataba huo uliofikiwa kati ya Marekani na muungano wa Sovieti, USSR na kutiwa saini mwaka 1987 ulipiga marufuku mataifa yote dhidi ya matumizi ya makombora ya masafa mafupi na yale ya kadri.

"Washirika wetu wa Marekani wametangaza kujitoa katika mkataba huo nasi pia tunafuata mkondo wao,"alisema Bw. Putin siku ya Jumamosi.

Katibu mkuu wa muungano wa kijeshi wa mataifa ya magharibi Nato, Jens Stoltenberg amesema: "Washirika wote [Ulaya] wameunga mkono hatua ya Marekani kwasababu Urusi imekiuka mkataba huo kwa miaka kadhaa."

Urusi imekuwa ikikanusha tuhuma za kukiuka mkataba wa vita baridi.

Rais wa Putin aidha amesema tuhuma za Nato dhidi ya taifa lake ni kisingizio cha Marekani kujiondoa katika mkataba huo.
 
Marekani imesema ina ushahidi kuwa kombora jipya lililoundwa na Urusi ni moja ya mokombora yaliyopigwa marufuku katika mkataba wa INF.

Baadhi ya maafisa wa Marekani wanasema kuwa makombora ya aina ya 9M729 - yanayotambuilwa na Nato kama SSC-8 tayari yameanza kutumika.

Katika mkutano wa Jumamosi akiandamana na mawaziri wake wa ulinzi na wa mambo ya nje, rais Putin alisema wataanza kuunda silaha mpya ikiwa ni pamoja na makombora ya kulipua meli na mengine yaliyo na kasi ya mara tano zaidi ya mlio wasauti.

Bw. Putin hata hivyo amesema kuwa hatajihusisha katika mradi wa gharama ya juu ya uundaji silaha na kuongeza kuwa taifa lake litatumia silaha hizo endapo marekani itaanza kuzitumia.

Video mpya: Linex Ft Lady Jaydee – Too Late

$
0
0
Video mpya: Linex Ft Lady Jaydee – Too Late
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images