Blandina Chagula 'Johari' ambaye ni mmoja wa washiriki wa filamu mpya ya Wrong Hope amewaponda wasanii wa filamu wanaokubali kukatishwa viuno mbele ya hadhara na kueleza kwamba kamwe kwa upande wake hawezi kufanya jambo hilo hata kwa malipo namna gani...!!!
"Siwezi kujidhalilisha mbele ya umati kwa kukata kiuno, ni ulimbukeni tu kukata viuno
Johari awaponda waigizaji wanaokatishwa Viuno mbele ya hadhara.....
↧
↧
Boko Haram yateka wanawake wengine 20 nchini Nigeria
Wapiganaji wanaoshukiwa kuwa wanachama wa Boko Haram
wamewateka nyara wanawake 20 kutoka jamii inayohamahama Kaskazini
Mashariki mwa Nigeria.
Wanawake hao walichukuliwa katika Makazi ya
Gakini Fulani karibu na mji wa Chibok ambako zaidi ya wasichana
wanafunzi 200 walitekwa nyara Aprili, mwaka huu.
Walioshuhudia tukio hilo walisema
kuwa wapiganaji hao waliokuwa wamejihami kwa
↧
Tazama Picha za Diamond akiwa studio na Mafikizolo ambao wamemuomba afanye nao collabo
Tumezoea kuona wasanii wa Tanzania wakiomba kufanya collabo na
wasanii wakubwa wa kimataifa kwa lengo la kujitangaza kimataifa, lakini
Diamond Platnumz amefikia hadhi ya yeye kuombwa collabo na wasanii
wakubwa.
Kundi la Mafikizolo la Afrika Kusini limemuomba hit maker wa ‘Number
1′ Diamond Platnumz afanye nao collabo, na jana (June 9) waliingia
katika studio ya Oskido iliyoko
↧
Mfalme wa Mapenzi: Video nyingine inayotabiriwa kufungiwa hivi karibuni
June 9 ilitoka rasmi video ya wimbo wa msanii wa kike wa Kenya aitwae
Sanaipei, unaoitwa Mfalme wa Mapenzi na ndani ya siku mbili tu
uliangaliwa YouTube zaidi ya mara 59,000.
Video hiyo iliyoongozwa na Mhando Brian imetabiriwa kufungwa
isichezwe kwenye vituo vya television vya Kenya kwa kuzingatia
kilichotokea kwa wimbo wa Sauti Sol, Nishike.
Mfalme wa Mapenzi inawezekana imeenda
↧
Agness Masogange: Umaarufu wake, Skendo zake na Mafanikio yake
Unapozungumzia warembo wazuri ndani ya jiji la Dar es Salaam ni wazi kwamba huwezi kuacha kulitaja jina la Agness Gerald maarufu kama Masogange. Jina lake limekuwa kubwa sana kutokana na mrembo huyu kujishughulisha na upambaji wa video za wasanii mbalimbali wa bongo fleva......
Historia ya Masogange:
Kumbukumbu zinaonesha kuwa Masogange
↧
↧
Magazeti ya leo Jumatano ya tarehe 11 June 2014
↧
"Nikifa sitaki kusifiwa" - Hii ni kauli ya msanii Riyama Ali
RIYAMA Ali mwigizaji wa kike asiye na kashifa katika tasnia ya
filamu Bongo, amefunguka kwa kusema kuwa kama kuna msanii mwenzake au
mtu mwenye mapenzi naye angependa kama ana sifa kuhusu yeye katika
umahiri wa kuigiza na mengineyo basi atumie nafasi hiyo akiwa hai,
haitaji kusifiwa akifariki kwani anaamini kuwa sifa hizo hatazisikia.
“Nasema mapema kabisa sitaki kusifiwa nikifa, sifa
↧
Nuh Mziwanda adai kuwa tattoo ya jina la Shilole ni ya kudumu na atakufa nayo hata wakimwagana
Juzi, Nuhu Mziwanda alipost picha kwenye Instagram ikionesha Tattoo
aliyochora yenye jina la mpenzi wake Shilole ikiwa imeandikwa
‘ShiShiBaby’.
Wengi walihoji kuhusu tattoo hiyo kuwa ni tattoo inayodumu au ni ya kuonesha kwa muda itafutika.
Katika Majibu yake, Mziwanda alieleza kuwa tattoo aliyochora ni ya kudumu katika kipindi
chote atakachokuwa duniani na kwamba haitafutika
↧
Malawi Yaanza Chokochoko zake.....Ndege yake yaonekana ikizunguka huko Ileje, wananchi waingiwa hofu....Mbunge ahoji ukimya wa Serikali
MBUNGE wa Ileje, Aliko Kibona (CCM) ameomba Serikali ieleze juu ya ndege kutoka Malawi, ambayo imekuwa ikitia hofu wananchi wa Ileje, kwa kuzunguka angani kila mara.
Mbunge huyo alisimama kutoa hoja hiyo baada ya kipindi cha maswali na majibu na kuomba mwongozo wa Spika, Anne Makinda kuhusu suala hilo. Kibona alisema:
“Nazungumzia jambo mahsusi linalotokea katika mpaka wa Tanzania
↧
↧
Jennifer Lopez abadili mawazo, atashiriki ufunguzi wa kombe la dunia kesho
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Jennifer Lopez amebadili
msimammo wa kutohudhuria sherehe za ufunguzi wa fainali za kombe la
dunia, na kutangaza kuwa atakuwa sehemu ya sherehe hizo zitakazofanyika
kesho huko Arena de São Paulo, mjini São Paulo.
J-Lo ambae hakutoa sababu za kutohudhuria sherehe hizo siku mbili
zilizopita, amesema ameona kuna umuhimu wa kuhudhuria katika sherehe za
↧
Vurugu kubwa zaibuka jijini Mwanza, Mabomu ya machozi yarindima kila kona...Barabara, maduka yafungwa
JESHI la Polisi mkoani Mwanza, limelazimika kutumia mabomu ya machozi
kuwatawanya wafanyabiashara wadogo maarufu kama machinga waliokuwa wakipinga
kuondolewa katika eneo la Kempu na eneo la soko la Makoroboi jijini Mwanza. ...
Hatua hiyo imesababisha vurugu kubwa na kusimamishwa kwa shughuli
mbalimbali za kijamii, ikiwemo kufungwa kwa maduka hadi katikati ya eneo
la jiji na
↧
Sad News: Majambazi wavamia kituo cha Polisi KimanziChana na kuua Askari.....Wamepora bunduki mbili na Risasi 100.
Mnamo tarehe 11/06/14 majira ya 0100hrs huko
kituo kidogo cha Kimanzichana Pwani,watu wasiojulikana waliojifanya
kuwa ni raia wema waliingia kituo kidogo cha Polisi Kimanzi Chana huku
wakikimbia wakiwa na silaha za jadi kiasi cha askari wa zamu kuamini
kuwa ni watu wanaohitaji msaada.
Cha kushangaza watu hao walimvamia askari mwenye silaha ambaye amefahamika kwa jina la
↧
Majibu ya Mbunge Salvatory Machemli wa CHADEMA kuhusu picha za utupu zilizosambazwa Mitandaoni zenye sura yake
Siku chache zilizopita kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii
zilisambazwa picha mbalimbali za Wabunge wa Bunge la Tanzania
zikionyesha wakiwa kwenye sehemu za faragha sehemu ambazo hutumiwa zaidi
na wapenzi na zaidi ni namna picha hizo zilivyotoka maana zingine zilikua ni
zaidi ya nusu utupu.
Salvatory Naluyaga Machemli mbunge wa Ukerewe kupitia Chadema ni
miongoni mwa
↧
↧
Breaking News: Moto wateketeza soko la Mitumba la Karume jijini Dar usiku huu
Pichani ni mwanga wa moto unaotoka ndani ya soko la mitumba la Karume lililopo maeneo ya Ilala jirani na Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume jijini Dar es salaam ambalo linateketea na moto usiku huu.
Taarifa zilizotufikia katika meza ya habari usiku huu zinasema kuwa moto huo ulianza kidogo kidogo katika baadhi ya vibanda ambavyo wenye navyo walikuwa hawapo, kabla ya kushika kasi na
↧
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Anna Tibaijuka Anusurika Kufa baada ya gari lake kugonga Punda huko Kahama
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Anna Tibaijuka juzi alinusurika kifo baada ya gari alilokuwa akisafiria kutoka Bukoba kwenda Dodoma kupata ajali kwa kugonga punda katika Kijiji cha Wendele wilayani Kahama, mkoani Shinyanga.
Ajali hiyo ilitokea juzi saa 11.07 jioni likijumuisha gari namba STK 5857 alilokuwa akisafiria Waziri huyo akiwa na familia yake likiendeshwa na
↧
Shilole azungumzia uamuzi wa Nuh Mziwanda kujichora Tattoo ya jina lake isiyofutika.....Asema yeye hana mpango wa kujichora
Mwanzoni mwa wiki hii, Nuh Mziwanda ambaye ni mpenzi wa Shilole aka
ShiShi Baby alijichora tattoo ya kudumu yenye jina la Shilole.
Akiongea na The Jump Off ya 100.5 Times Fm, Nuh Mziwanda alisisitiza
kuwa tattoo aliyochora ni ya kudumu na kwamba atakufa akiwa na tattoo
hiyo.
Aliongeza kuwa hata kama Shilole atakuja kumuacha yeye hajali
kitakachotokea anachojali ni kuwa anampenda
↧
Flora Mbasha azungumzia tuhuma za mumewe kubaka.....Azungumzia jinsi alivyomkaba na kumtishia kumuua
Emmanuel Mbasha, mume wa mwimbaji wa injili Flora Mbasha hivi
karibuni aliwashituwa watu mbalimbali baada ya kutuhumiwa kumbaka binti
ambaye awali alitajwa kama mdogo wake Flora.
Akiongea na Global TV, Flora Mbasha amezungumzia tuhuma hizo na
kuelezea kuwa kabla ya kufanya tukio hilo alikuwa hamuelewi kabisa mume
wake ambaye Jumapili alimbadilikia kutoka na kile anachosema
↧
↧
Wizi NMB Mwanga: Wakenya wawili wahukumiwa kunyongwa hadi kufa
Raia wawili wa Kenya, Samweli Saitoti (Saimoo) na Michael Kimani
(Mike), wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia
ya kumuua polisi wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), PC Michael Milanzi
mwaka 2007.
Raia hao ambao walipambana na polisi jijini Arusha
kwa saa sita wakijihami kwa silaha za kivita yakiwamo mabomu ya kurusha
kwa mkono na bunduki aina ya Sub Machine
↧
Serikali yawatoa Hofu Wananchi kuhusiana na Ndege za Malawi zilizoonekana Ileje na Kyela jijini Mbeya
SERIKALI imesema kuwa ndege zinazoonekana mpakani mwa Tanzania na
Malawi ni maalumu kwa ajili ya kufanya utafiti na vyombo vya udhibiti
wa anga vimezipa vibali vya kuwa katika maeneo hayo.
Kauli hiyo ilitolewa jana bungeni na Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison
Mwakyembe wakati akijibu mwongozo wa Mbunge wa Ileje, Aliko Kibona
(CCM), aliyetaka ufafanuzi wa uwepo wa ndege hizo
↧
Waganga wa kutibu kwa sharti la Ngono Wakamatwa jijini Dar.....Wakutwa na nguo za ndani za kike 22 za wanawake waliofanya nao Mapenzi
Polisi Mkoa wa Kinondoni, imewakamata vijana wawili wanaodaiwa kujifanya waganga wanaotoa tiba kwa wanawake, ambao masharti yake ni kushiriki nao ngono bila kinga na kuacha nguo za ndani, ili zifanyiwe dawa zaidi.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alidai vijana hao Juma Hemedi (32) na Abrahman Mulsin, wote
↧
More Pages to Explore .....