Staa wa kike wa filamu za kibongo, Jackline Wolper amefunguka kuwa kwa sasa hana wazo kabisa la kubeba mimba kwani staili ya kifo cha Recho Haule inamuumiza sana kichwa....
Ingawa Wolper anaamini kuwa ni wajibu wa kila mwanamke kuzaa, lakini aina ya kifo ambacho rafiki yake kipenzi Recho amekufa nacho kimekuwa ikimtesa sana moyoni na
Kifo cha Recho Haule kimemfanya Jackline Wolper afute mipango yake ya kuzaa akihofia kufa
↧
↧
Dude azikana tuhuma za Uchawi
Msanii 'kiwango' wa filamu nchini Kulwa Kikumba 'Dude' amekanusha taarifa za kuwepo kwa imani za kishirikina katika misiba inayoikumba tasnia ya Filamu kwa kipindi cha mwezi mmoja sasa.
Dude amesema kuwa, katika vifo hivyo vya wasanii hakuna uchawi wowote unaohusika kama watu wengi wanavyosema ambapo amedai kuwa vifo hivyo vimekuwa
↧
Millen Magese: Watu warefu na Weusi tunanyanyasika Viwanja vya Ndege
Kukamatwa kwa baadhi ya watanzania katika nchi mbalimbali wakihusishwa na ubebaji wa dawa za kulevya kumeathiri idadi kubwa ya wasafiri wanaotumia hati ya kusafiria ya Tanzania kutokana na kukaguliwa kupita kiasi....
Mmoja wa waathirika wa ukaguzi huo ni Miss Tanzania wa mwaka 2001, Happines ( Millen ) Magese ambaye alisema kukamatwa kwa
↧
Mke wa Chaz Baba amchapa makofi mke Mwenza Chooni
Mke halali wa Rais wa bendi ya mashujaa musica Charles Gabriel Cyprian 'Chaz Baba', Rehema Sospeter Marwa mwishoni mwa wiki jana alizua timbwili la mwaka baada ya kumchapa makofi msichana mmoja ajulikanaye kwa jina la Husna....
Tukio hilo lililoshuhudiwa na mwandishi wetu lilitokea majira ya saa nane za usiku katika ukumbi wa Letas ( zamani
↧
Vilio vyatawala katika Wodi aliyolazwa Housigeli ( Mfanyakazi wa ndani ) aliyechomwa Pasi na kuteswa kwa miaka mitatu na bosi wake
Kelele za vilio jana zilisimamisha kwa muda shughuli katika
Wodi ya Wanawake ya Hospitali ya Mwananyamala, Dar es Salaam baada ya
mama mzazi wa msichana, Yusta Lucas (20) anayedaiwa kuteswa kwa
kung’atwa na kuchomwa kwa pasi mwili mzima kumwona mwanawe kwa mara ya
kwanza.
Zilikuwa dakika 10 ngumu kwa mama huyo, Modesta
Simon kuamini hali aliyomkuta mwanaye aliyelazwa hospitali hapo
↧
↧
Kilichosemwa Bungeni juu ya picha chafu za Utupu za watu maarufu zinazosambazwa mitandaoni
Sakata la kusambaa picha zisizokuwa na maadili mitandaoni zikiwemo za
watu maarufu hapa nchini leo limezungumziwa tena katika bunge la
Tanzania kule Dodoma ambapo katika kipindi cha maswali na majibu Mhe.
Habib Mnyaa ameonekana akihoji serikali inachukua hatua gani juu ya watu
wanaotuma picha zao zisizo na maadili mitandani zikiwemo za kina Wema
na Diamond wanazopiga wakiwa chumbani na
↧
Picha: Kinachoendelea katika Msiba wa Mzee Small, Tabata Dar es Salaam
Waombolezaji mbalimbali kwa sasa wamejumuika nyumbani kwa marehemu
Said Ngamba 'Mzee Small' eneo la Tabata, Mawenzi jijini Dar wakisubiri
utaratibu wa mazishi ya msanii huyo mkongwe aliyefariki dunia usiku wa
kuamkia Jumapili.
Mwili wa marehemu utazikwa leo saa 10 jioni katika makaburi ya Segerea, Dar.
(Credit: Global Publisher)
↧
Picha za Rais Kikwete akiwa Msibani kwa Mzee Small kuwapa pole Wafiwa
Rais
Jakaya Kikwete akiwasili nyumbani kwa marehemu Mzee Small eneo la
Tabata, Mawenzi Dar kuwapa pole wafiwa. Kulia ni Rais wa TAFF, Simon
Mwakifwamba.
Msanii mkongwe wa maigizo, Mashaka akiwa msibani na Zamaradi Mketema.
Wasanii wa Bongo Muvi, Shamsa Ford, Shija Deogratius, Cathy na Sandra wakiungana na waombolezaji.
Mohammed Fungafunga 'Jengua' akiwa
↧
Watuhumiwa wa Kesi ya Mtoto wa Boksi kusomewa Mahitaka Upya.....Wananchi wavamia gari ya Polisi na kuanza kuwazomea watuhumiwa
Difenda iliyobeba watuhumiwa wa kesi ya mtoto wa boksi, Nasra Rashid ikiwasili Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani Morogoro.
Baba mlezi wa mtoto Nasra, Mtonga Omari akishuka kwenye gari la polisi kwa staili ya kuruka.
Bi. Mariam Said ambaye ni mama mkubwa wa Nasra, akishuka kwenye gari hilo.
Baadhi ya wananachi wakiwazomea watuhumiwa waliokuwa kwenye gari hilo
↧
↧
Picha za Mazishi ya Mzee Small katika makaburi ya Segerea jijini Dar
↧
Jennifer Lopez kutoshiriki ufunguzi wa kombe la dunia Brazil
Mwanamuziki mashuhuri duniani Jennifer Lopez, amejiondoa
katika shamra shamra za ufunguzi wa fainali za kombe la dunia ambazo
zitafanyika mjini Sao Paulo siku ya Al-khamisi, kabla ya mchezo wa
kwanza fainali hizo ambao utashuhudia wenyeji Brazil wakicheza dhidi ya
timu ya taifa ya Mexico.
Taarifa za mwanamuziki huyo kutoka nchini Marekani zimethibitishwa na
shirikisho la soka duniani
↧
Picha: Tuzo Nyingine Aliyoshinda Rihanna na Vazi Alilovaa....
Rihanna alikabidhiwa tuzo na mchekeshaji Kevin Hart
Wiki iliyopita baada ya Rihanna kupokea tuzo ya mitindo ya CFDA,
kivazi alichovaa kikimuonesha nusu mtupu kilikuwa gumzo kiasi cha
kushambuliwa na waimbaji wa kundi la TLC kuwa anajiuza huku Jay Z
akijitokeza kutoa ushauri wake.
Hata kabla wiki haijaisha, Rihanna alitangazwa tena kuwa mshindi wa
tuzo ya Most Desirable Woman kwenye
↧
Nuhu Mziwanda achukua Uamuzi Mgumu juu ya Penzi la Shilole
Mapenzi ya Nuhu Mziwanda na Shilole yanazidi kupiga hatua na kuwa surprise kwenye story za mahusiano ya mastaa wa bongo.
Nuh Mziwanda ameamua kuuonesha upendo wake kwa vitendo zaidi kwa
kujichora tattoo ya jina la Shilole ‘Shi Shi Baby’ na kwa msisitizo
Tattoo hiyo haifutiki.
“Coz nampenda mke wangu nimeamua kuchora jina lake! Ila imeuma kuliko tattoo iliyopita! Siju kwa nn?”
↧
↧
Kauli ya Profesa Jay Baada ya Diamond Kukosa tuzo za MTV MAMA
Diamond Platinumz alikuwa mshiriki kwenye kinyang’anyiro cha tuzo za MTV
MAMA mwaka huu na kwa bahati mbaya hakushinda tuzo katika vipengele
vyote viwili alivyokuwa akiwania.
Msanii mkongwe Profesa Jay ambaye anakumbukwa kwa kufanya mapinduzi
kwenye muziki na kuwashawishi wazazi kuwaruhusu watoto wao kuimba
kupitia kazi zake, amemuandikia ujumbe Diamond kupitia Instagram.
“Hapo
↧
Fahamu Gari la Kifahari la Nay wa Mitego alilojinunulia kama zawadi ya Birthday pamoja na Umri wake kwa sasa
Jana June 9 Nay wa Mitego alisharehekea siku yake ya kuzaliwa ikiwa ni mwaka wake wa mafanikio zaidi katika muziki.
Nay ameweka wazi kuwa amefikisha umri wa miaka 29 na kwamba ameamua kufanya birthday party kwa mara ya kwanza tangu azaliwe, na pia
amejinunulia zawadi ya gari la kifahari lenye thamani ya shilingi
milioni 36. Kibongobongo ni pesa ndefu.
“Nimejinunulia gari aina ya
↧
Magazeti ya Leo Jumanne ya tarehe 10 June 2014
↧
Mapacha wa Miaka 6 wafa Maji wakiokoana
Watoto mapacha wenye umri wa miaka sita, wamekufa
baada ya kutumbukia kwenye kisima cha maji wakati wakicheza.
Kamanda
wa Polisi wa Mkoa wa Pwani, Ulrich Matei alisema watoto hao walitumbukia kwenye kisima kilicho jirani na
nyumbani kwao.
Kwa
mujibu wa kamanda huyo, tukio hilo ni la juzi saa 10 jioni katika Kijiji cha Pipani
– Kiwangwa, Kata ya Kiwangwa tarafa ya Msata wilaya
↧
↧
Upelelezi wa kesi ya Wilfred Rwakatare na wenzake bado haujakamilika......
Upelelezi wa kesi ya kula njama ya kudhuru kwa
sumu inayomkabili Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema, Wilfred Rwakatare
na mwenzake Ludovick Joseph, haujakamilika.
Wakili
Mwandamizi wa Serikali, Tumaini Kweka alidai hayo jana mbele ya Hakimu Aloyce
Katemana wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakati kesi hiyo ilipotajwa.
Hakimu
Katemana alisema kesi hiyo itatajwa tena Julai 8
↧
Msichana wa kazi ( Hausigeli ) aliyechomwa Pasi na kuteswa kwa miaka mitatu na bosi wake akabidhiwa kwa wanaharakati
Hatimaye Yusta Lucas (20), binti aliyekuwa akiteswa kwa
kuchomwa pasi na kung’atwa na mwajiri wake, Amina Maige ameruhusiwa kutoka Hospitali ya
Mwananyamala alikokuwa amelazwa na kukabidhiwa kwa wanaharakati wa
Taasisi ya Jipange.
Hatua hiyo ilifikiwa baada ya maridhiano kati ya
Ustawi wa Jamii, mama mzazi wa Yusta, Modesta Simon, Kamati ya Ulinzi na
Usalama Kata ya Makumbusho na
↧
Nick Minaj ayaanika Maziwa yake Jukwaani
Mwanamziki Nick Minaj mwishoni mwa wiki jana alifanya tukio la kushangaza baada ya kuamua kuonesha matiti yake wakati akitumbuiza jukwaani katika tamasha la muziki la Summer Jam Hip-Hop lililofanyika New Jersey nchini Marekani ambako wasanii kadhaa wa Hip Hop walitumbuiza.....
Minaj alipanda jukwaani hapo huku akiwa amevalia suruali ya kubana,
↧
More Pages to Explore .....