Tuhuma za Beyonce kumsaliti Jay Z na kutoka na mlinzi wake
aitwae Julius De Boer zilisambaa mwezi uliopita huku likiwaacha
mashabiki wao midomo wazi.
Katika hali inayoonekana kuwa Jay Z amezifanyia kazi kwa msisitizo
zaidi, Beyonce ameonekana mitaani akiwa mlinzi mwingine ambaye
hakufahamika huku wengi wakiuliza nini kimemkuta Julius? Au ndio
katimuliwa kabisa?
Taarifa za
Jay Z amemtimua bodyguard aliyedaiwa kuchepuka na Beyonce!
↧
↧
Dodoma wamchefua Waziri Mkuu Pinda, agoma kukagua zahanati
ILE hali ya kufanya kazi kwa mazoea iliyojengeka kwa baadhi ya watendaji wa Serikali jana iliwatokea puani watendaji wa Manispaa ya Dodoma wakati Waziri Mkuu alipoamua kufanya ziara kukagua miradi ya maendeleo.
Akiwa katika eneo la kwanza ambalo alipangiwa kukagua ujenzi wa Kituo cha Afya cha Mkonze, Waziri Mkuu alipokea taarifa ya ujenzi wa kituo na kubaini kuwa hawajafanya chochote ili
↧
Lowassa ataka Viongozi wanaouza Ardhi Wang'olewe
WANANCHI wa Jimbo la Monduli wilayani Monduli mkoani Arusha wametakiwa kuwang’oa madarakani viongozi wa vijiji wanaoshiriki kinyume na utaratibu kuuza ardhi bila ya kufuata utaratibu kwa kuendekeza zawadi ya bia na nyama choma.
Kauli hiyo ilitolewa juzi na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Edward Lowassa mara baada ya kuzindua bwawa la maji la Leken lililopo Kijiji cha Selela, Kata ya Selela
↧
Babu wa miaka 97 asaka mtoto...Alioa akiwa na miaka 94, mkewe ana miaka 83...Wafunga safari hadi Zambia kufanya tambiko
BABU aliyefunga ndoa mwaka 2011 akiwa na umri wa miaka 94, Mathias Kisokota mkazi wa Kitongoji cha Isunta, Namanyere wilayani Nkasi ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 97, amehamia na mkewe katika Mji wa Mpulungu mwambao wa Ziwa Tanganyika nchi jirani ya Zambia miezi sita iliyopita kwa lengo la kufanya tambiko la kumwezesha mkewe mwenye umri wa miaka 83 kupata mtoto wa uzeeni.
Mke wa mzee
↧
Millen Magese: Kifo cha Kanumba kiliharibu Mipango yetu
Mrembo Millen Magese amekumbuka kauli ya kwamba mipango si matumzi, kutokana na kuwa na mipango mingi na marehemu Kanumba enzi za uhai wake katika kuikomboa sanaa ya filamu nchini, lakini kabla hawajakutana naye mauti yalimkuta...
Millen na muigizaji mashuhuri nchini Nigeria, Ramsey Noah walipanga kukutana na Kanumba lakini kabla siku hiyo
↧
↧
Matokeo ya Tuzo alizoshiriki Diamond kwenye MTV Africa Music Awards 2014 ni kama Ifuatavyo.....
Leo Diamond alikuwa
anawania tuzo mbili lakini hajafanikiwa kushinda hata moja kati ya hizo....
Tuzo ya best collabo imechukuliwa na Uhuru ft DJ
Bucks,Oskido,Professor,Yuri Da Cunha na wimbo wa Y-tjukutja....
Tuzo ya mwisho aliyokuwa anawania Diamond kwenye MTV MAMA 2014 ilikuwa
ni Best Male Artist lakini imechukuliwa na Davido
Lakini sio mbaya watanzania wamefanya kazi
↧
Tuzo za MTV MAMA 2014: Diamond hajabahatika kubeba tuzo yoyote, Mafikizolo wabeba tuzo kubwa zaidi, orodha kamili ya washindi iko hapa
Safari ndefu ya ya mchakato wa tuzo za MTV (MAMA2014) Ulioanza rasmi
April 16 baada ya kutangazwa majina ya nominees na kuanza kupigiwa kura
imefikia ukingoni usiku huu, ICC Arena, Durba Afrika Kusini.
Kwa mujibu ya matokeo ya mchakato mzima, Tanzania hatujabahatika kupata
tuzo hata moja kati ya tuzo mbili alizokuwa anawania Diamond Platinumz
(Best Male Artist na Best Collaboration)
↧
Breaking News: Muigizaji mkongwe nchini, Mzee Small Afariki Dunia
Muigizaji
mkongwe nchini, Mzee Small Wangamba amefariki dunia usiku huu akiwa
katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Mzee Small amefariki kwa ugonjwa wa
presha baada ya kuugua kwa muda mrefu kabla ya kuzidiwa jana na
kupelekwa Muhimbili.
Mtoto wa marehemu aitwaye, Muhidin amethibitisha
kifo cha Mzee Small. Mungu alizale Roho ya Marehemu Mahali pema Peponi-Amina.
<!--
↧
Shamsa Ford afunguka baada ya Picha Chafu za Utupu zinazodaiwa Kuwa Zake akiwa na Mh. Mbunge Salvatory Machemli ( CHADEMA ) kusambaa mtandaoni
Picha chafu zinazodaiwa kuwa za star wa filamu nchini Shamsa Ford na
mbunge wa Chadema, Salvatory Machemli zimeanza kusambaa kwa kasi
mitandaoni tangu juzi.
Picha hizo zinawaonyesha wawili hao wakiwa
kitandani kwenye mahaba mazito. Hata hivyo picha hizo zinatia shaka kuwa
sio halisi , ni za kutengenezwa ingawa Mpekuzi haina uhakika kwa asilimia zote
kwa sababu msichana anayedaiwa
↧
↧
Kauli ya kwanza ya Diamond Platnumz baada ya kushindwa kuchukua tuzo za MTV MAMA-2014
Macho na masikio ya Watanzania wengi kwa siku ya Jumamosi June 07
yote yalielekezwa Durban Afrika Kusini, sehemu ambako zilikua zikitolewa
tuzo za wateule wa MTV Afrika Music Award ‘MAMA’.
Furaha tuliyokuwa nayo Watanzania ilikua kubwa baada ya kuona kijana wetu toka nyumbani Tanzania akiwa ni miongoni mwa vijana wanaochuana kwenye
tuzo hizo tena akiwa katika vipengele viwili,ingawa
↧
Picha ya Mzee Small akiwa na mtoto wake Jana kabla ya mauti kumfika
Pichani ni mzee Small akiwa na mtoto wake
kipenzi Mahamood usiku wa kuamkia jana.
Mtoto huyo anasema alimuaga
baada ya chakula cha usiku kwamba anakwenda kulala,ilipofika asubuhi ya
kuamkia jana hakuweza kuongea tena mpaka mauti yalipomfika majira ya
Saa4 usiku wa kuamkia leo.
(Picha na Awadh Ibrahim KwanzaJamii akiwa
nyumbani kwa marehemu)
<!-- adsense -->
↧
Mzee Small Kuzikwa Kesho Makaburi ya Segerea jijini Dar
MWILI wa msanii mkongwe wa vichekesho nchini,
Said Ngamba ‘Mzee Small’ utazikwa kesho saa 10 jioni katika makaburi ya
Segerea jijini Dar es Salaam.
Marehemu alifariki dunia jana
usiku akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa anapatiwa
matibabu.
Mzee Small alifikishwa hospitalini majira ya saa mbili asubuhi ya jumamosi ya June 7 ( jana ) baada ya kuzidiwa.
↧
Watu 6 wafariki katika ajali ya basi la Ndejela jijini Mbeya
Watu Sita wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa baada ya basi la
Kampuni Ndejela Express lenye namba za usajili T 257 CMP aina ya TATA
likiendeshwa na Dereva wa kike Vailet Mbinda(31) mkazi wa Sokomatola
kugongwa kwa nyuma na roli la mizigo kisha kupinduka Kijiji cha Nanyala
Kata ya Nanyala wilaya ya Mbozi Mkoani Mbeya.
Ajali hiyo imetokea
majira ya saa tisa alasiri barabara ya
↧
↧
Historia ya Marehemu Mzee Small
Jina lake ni Said Ngamba maarufu kwa jina la Mzee Small (58).
Amezaliwa mwaka 1955. Alikuwa msanii mkongwe wa vichekesho na maigizo
hapa Bongo.
Mzee Small alipata elimu ya msingi katika Shule ya Mingumbi huko
Kilwa mkoani Pwani. Mbali na kuwa mkongwe, Mzee Small kila ulipozungumza
naye alikuwa na kawaida ya kutamba kuwa yeye ndiye msanii wa kwanza
kabisa Tanzania Bara kuchekesha
↧
Chanzo cha Ugonjwa wa Wasichana kuanguka Shuleni chatajwa
Ugonjwa wa kuanguka na kupiga kelele unaowakumba baadhi ya wasichana katika shule mbalimbali nchini, umetajwa kusababishwa na maambukizi ya hofu inayosababisha mwili kupata dalili za magonjwa yasiyokuwepo.
Mtaalamu wa saikolojia na theolojia, Mchungaji John Rowse kutoka taasisi ya The Uhakika Christian Education Trust Fund kutoka Mbeya, alisema hayo hivi karibuni baada ya kutembelea
↧
Magazeti ya Leo Jumatatu ya tarehe 9 June 2014
↧
CHADEMA Yasambaratika chuo kikuu cha SAUTI Mwanza.....Mamia ya wanachama wake waikimbia na kujiunga CCM
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amepeleKa ‘msiba’ Chadema, baada ya kusomba wanachama wa chama hicho wanaosoma katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine (Saut), tawi la Mwanza, wakiongozwa na Rais wa Serikali ya Wanafunzi (Sautso), Philbert Saimon.
Wanachama hao wa Chadema waliamua kuhama chama hicho jana, katika mkutano wa hadhara uliofanyika
↧
↧
Wasichana waliotekwa nyara na kundi la Boko Haram waonekana Wakioga na kuwapikia wanamgambo hao.....Mabinti hao wamefichwa katika kambi tatu tofauti nje ya Nigeria
Mamia ya wasichana waliotekwa na kundi la Boko Haram nchini Nigeria wanadaiwa kuonekana wakioga na kuwapikia wanamgambo wa kundi hilo.
Aidha taarifa zinaeleza wengi wa wasichana hao wanashikiliwa katika kambi tatu tofauti nje ya Nigeria.
Mmoja wa viongozi wanaohusika katika majadiliano ya kutaka wasichana hao waachiliwe huru, Dk Steven Davis alikaririwa na Shirika la Utangazaji
↧
Penzi la Lulu Michael na Amir Nando wa Big Brother laanikwa hadharani
Uhusiano wa staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth
Michael ‘Lulu’ na mshiriki wa Shindano la Big Brother Africa 2013, Amir
Nando umewekwa kweupe.
Kabla ya wawili hao kufunguka, kulikuwa na madai mazito kuwa Lulu na
Nando ‘wanachepuka’ mara tu baada ya Nando kutolewa BBA kwa ukosefu wa
nidhamu.
Kuna habari kuwa Nando ndiye aliyevujisha ishu hiyo, jambo ambalo Lulu hakupendezwa nalo
↧
Mwanamke aliyeonekana Pichani na Kapten Komba asakwa.....Aliyevujisha naye matatani
Mrembo aliyeonekana kwenye picha inayodaiwa kutengenezwa kitaalam akiwa na mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapten John Komba, anasakwa kwa udi na uvumba....
Kusakwa kwa mwadada huyo anayedaiwa kuishi maeneo ya Kinondoni jijini Dar es salaam, kumekuja siku chache tangu mbunge huyo atoe taarifa kwamba hauhusiki na picha hizo na ana imani kwamba
↧
More Pages to Explore .....