Watanzania leo wanaelekeza macho na masikio yao mjini Dodoma, kusikiliza Hotuba ya Bajeti ya Serikali, inayotarajiwa kusomwa saa 10 kamili bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum.
Tayari Waziri Saada alishaeleza kuwa makadirio ya Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2014/15, unaoanza Julai mwaka huu, yatakuwa Sh trilioni 19.6 kutoka makadirio ya Sh trilioni 18.2 ya Bajeti
Bajeti kuu ya Serikali itasomwa leo Bungeni Dodoma....Watanzania wasubiria bidhaa zitakazopanda na kushuka, Wafanyakazi nao wasubiria mishahara mipya
↧
↧
Magazeti ya leo Alhamisi ya tarehe 12 June 2014
↧
Video: Bonyeza hapa ujionee jinsi soko la Karume lilivyoteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo
Hali ilikuwa tete usiku wa kuamkia leo katika mabanda ya Wamachinga
eneo la Soko Karume , Ilala jijini Dar baada ya kutokea
moto mkuwa na kuteketeza mabanda yote ya wafanyabiashara eneo hilo.
Fire
walifika katika eneo la tukio na kuondoka baada ya kukubali kushindwa
kuzima moto huo. Nguzo za umeme zimeungua pia.
Chanzo cha moto huo kinadaiwa kuwa ni sehemu ya Mama ntilie
↧
Mwanamke mwingine abakwa na kuning’inizwa juu ya mti India
Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 19 amekutwa amening’inizwa juu ya
mti katika kijiji kimoja Kaskazini mwa India, likiwa ni tukio la tatu
kutokea ndani ya wiki moja katika Jimbo la Uttar Pradesh.
Mwili wa mwanamke huyo umekutwa katika eneo la Moradabad ambapo
familia yake imewaambia polisi kuwa alibakwa huku uchunguzi wa madaktari
ukiendelea kufanyika.
Mwanamke mwingine
↧
Exclusive Interview: Agnes Masogange afunguka jinsi maisha yake ya jela yalivyokuwa Afrika Kusini (Video)
Video vixen Agnes Gerald a.k.a Agnes Masogange amefunguka kuhusu
matatizo aliyoyapata mwaka jana baada ya kukamatwa uwanja wa ndege wa
Or-Tambo, Afrika Kusini (July 5 2013) na mzigo uliosemekana kuwa ni dawa
za kulevya.
Agnes ni miongoni mwa Watanzania waliokwenda Durban, Afrika Kusini
kumsupport Diamond Platnumz katika Tuzo za MTV (MAMA) weekend iliyopita,
na Bongo5 ilipata nafasi
↧
↧
Huu ni wimbo mpya wa Diamond Platnumz uitwao ...." Mdogo Mdogo", Bofya hapa kuusikiliza
↧
Hotuba ya Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2014/2015
UTANGULIZI
1.Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako Tukufu lijadili na kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka 2014/2015.
Pamoja na hotuba hii, nimewasilisha vitabu vinne vinavyoelezea kwa kina takwimu za Bajeti. Kitabu cha Kwanza ni makisio ya mapato; Kitabu cha Pili ni makisio ya matumizi ya kawaida kwa wizara, idara za Serikali zinazojitegemea,
↧
Mechi ya Ufunguzi wa Kombe la Dunia: Brazili yapata ushindi wa mabao 3 dhidi ya Croatia walioambulia 1
Neymar akishangilia bao lake la kwanza.
WACHEZAJI Neymar na Oscar wamepeleka vilio Croatia baada ya kuipa
ushindi wa mabao matatu timu yao ya Brazil kwenye mechi ya ufunguzi wa
Fainali za Kombe la Dunia 2014 zinazofanyika nchini Brazil.
Croatia walikuwa wa kwanza kupata bao katika dakika ya 11 ambalo ni la kujifunga likiwekwa kimiani na beki Marcelo wa Brazil.
Baadaye wenyeji
↧
Amina Maige anayetuhumiwa kumng’ata na kumchoma pasi msichana wa kazi apandishwa kizimbani....Wananchi wavamia mahakama na kuanza kumzomea, Shughuli za Mahakama zasitishwa kwa muda.
Mahakama ya hakimu mkazi Kinondoni jijini Dar es salaam ilisitisha
kwa muda shughuli zake baada ya zomeazomea iliyosababishwa na umati
mkubwa wa watu waliofika mahakamani hapo kushuhudia kesi inayomkabili
Amina Maige aliyeshitakiwa kwa kosa la kumjeruhi binti kwa kumng'ata na
kumuunguza kwa pasi ....
Ndivyo hali ilivyokuwa katika mahakama hiyo mara
baada ya mtuhumiwa huyo kufikishwa
↧
↧
Washitakiwa wa mtoto aliyefungiwa Ndani ya Boksi na kufariki dunia wakabiliwa na kesi ya MAUAJI......
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro imewabadilishia mashtaka washitakiwa watatu katika kesi ya marehemu, Nasra Mvungi (4) waliokuwa wanakabiliwa na makosa ya kula njama na kufanya ukatili, sasa wanashitakiwa kwa kosa la kusababisha kifo cha mtoto huyo.
Watuhumiwa waliofikishwa, mahakamani hapo jana ni pamoja na baba mzazi wa Nasra, Rashid Mvungi (47), mkazi wa Lukobe na
↧
Unyama Mwingine: Hausigeli ( binti wa kazi ) mwingine Ajeruhiwa vibaya na bosi wake na kulazwa Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar
Hausigeli aitwaye Melina Mathayo mwenye umri kati ya miaka 15,
ameumizwa vibaya sehemu za kichwani na kulazwa katika Hospitali ya
Mwananyamala jijini Dar es Salaam baada ya kupigwa na bosi wake aitwaye
Yasintha Rwechungura mkazi wa Boko.
Akiongea na mwanahabari wetu akiwa katika hospitali hiyo, Melina
amesema amekuwa akipigwa na bosi wake huyo mara kwa mara kwa kutumia
waya, brenda
↧
Magazeti ya leo Ijumaa ya tarehe 13 June 2014
↧
Florah Mbasha awagawa Wachungaji.....Baadhi yao watangaza kususia hudumza zake, wadai hawawezi kuhudumiwa na mwimbaji Mzinzi
Mpasuko wa ndoa ya wasanii wa nyimbo za Injili, Emmanuel Mbasha na mkewe Florah umewagawa wachungaji wa makanisa mbalimbali nchini baada ya kibao kumgeukia Flora kwamba ndiye anadaiwa kusuka mpango wa kumwangamiza mumewe ili afungwe kwa kosa la ubakaji.....
Wakizungumza na wanahabari wetu kwa nyakati tofauti, wachungaji hao walisema endapo
↧
↧
Unyama: Mtoto afungwa Minyororo kwa miezi minne
MATUKIO ya ukatili dhidi ya watoto, bado yameendelea kushika kasi kwenye maeneo mbalimbali nchini ambapo katika Mkoa wa Simiyu, mtoto mwenye umri wa miaka 17 (jina tunalihifadhi), mkazi wa Bariadi Mjini na mwanafunzi wa Shule ya Msingi Bariadi, amejikuta akifungwa minyororo mikononi na miguuni kwa miezi minne nyumbani kwa mganga wa kienyeji.
Mganga huyo amefahamika kwa jina la Mdeli
↧
Polisi aliyeuawa na Majambazi kuzikwa leo.....Majeruhi mmoja kati ya wawili Afariki dunia
WAKATI mwili wa askari polisi mwenye namba, D 9887 Koplo Joseph Ngonyani wa Kituo cha Polisi Mkamba, Wilaya ya Mkuranga, mkoani Pwani ukisafirishwa leo kwenda mkoani Songea baada ya kuuawa na watu ambao wanadhaniwa kuwa jambazi, majeruhi mmoja kati ya wawili Venance Francis ambaye ni mgambo, naye amefariki dunia.
Francis ambaye naye alijeruhiwa katika tukio hilo baada ya watu hao kuvamia
↧
Lori la diesel lateketea kwa moto baada ya kugongana na lori lingine.
Lori la
kusafirisha mafuta likiwa na shehena kubwa ya mafuta aina ya Diesel
limeteketea kwa moto baada ya kupata ajali ya kugongwa na lori lingine
katika eneo la igurusi wilayani mbarali.
Ajali hiyo imetokea ikihusisha lori lenye namba za usajili T417
ABF, mali ya kampuni ya Camel oil ambalo lilikuwa likisafirisha lita
35,000 za mafuta aina ya diesel kutoka jijini Dar es salaam
↧
Baada ya miezi tisa ya kubeba Mimba, mwanamke ajifungua Mjusi...
Mwanamke mmoja nchini Indonesia amejifungua mjusi badala ya mtoto.
Mwanamke huyo Debi Nubatonis, mwenye umri wa miaka 31, ameanza kupata
vitisho kutoka kwa kundi la vijana kutokana na kitendo hicho
wakimtuhumu kwa uchawi ambapo sasa mamlaka za nchi hiyo zimetuma timu ya
wataalamu kwa ajili ya kumaliza utata wa tukio hilo lisilo la kawaida.
Wanasayansi katika timu inayofanya
↧
↧
Mlipuko wa Bomu watokea huko Zanzibar na kuua mtu mmoja
Taarifa tulizozipata ni kuwa Bomu limelipuliwa baada
ya mhadhara wa ndani ya msikiti huko Unguja na kuua mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Muhammad
mkombolaguha. Sheikh Abulfadh'li Qassim ambaye anadaiwa kuwa mlengwa wa
shambulio hilo amejeruhiwa mkono na mguu na yupo akipatiwa matibabu hospitalini .
Tutaendelea kukuhabarisha tukipata habari mpya kuhusiana na sakata
↧
Wasomi 10,500 wasailiwa uwanja wa Taifa kujaza nafasi 70 tu za Uhamiaji.......
Katika hali inayoashiria ukubwa wa tatizo la ajira katika sekta rasmi nchini, wasomi wa ngazi ya Chuo Kikuu 10,500 walijitokeza jana (pichani) kwenye usaili wa Idara ya Uhamiaji nchini inayohitaji kuajiri watu 70 tu.
Wengi wakiwa ni vijana wasomi wa fani mbalimbali wenye umri wa kati ya miaka 22 na 30, walifurika kwenye uwanja huo uliopo Kurasini, katika Manispaa ya Temeke, Dar es Salaam
↧
Jack Wolper akutwa na Mume wa mtu wakiwa katika mahaba mazito
Baada ya kutoonekana katika pozi za kimahaba kwa muda mrefu, kwa mara
ya kwanza, staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe ‘Gambe’
amenaswa ‘live’ na mwanaume anayedaiwa kuwa ni mume wa mtu.
Kwa muda mrefu Wolper amekuwa makini na picha zake za kimahaba tangu
alipokuwa akitoka kimapenzi na mfanyabiashara maarufu jijini Dar,
Abdallah Mtoro ‘Dallas’.
Awali, chanzo makini
↧
More Pages to Explore .....