Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

PICHA: Waziri Mkuu Majaliwa Akutana Na Viongozi Wa Viongozi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Taifa

$
0
0
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Viongozi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Taifa, ofisini kwa Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma, Januari 25, 2019. 

Kutoka kushoto ni Makamu wa Rais , Deus Seif, Mweka Hazina , Abubakar Allawi, Katibu Mkuu, Christopher Banda na Wapili kulia ni  Rais wa CWT , Leah Ulaya.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Super Mkongo: Kiboko ya Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
********************************
SUPER MKONGO MPYA,
_______________________________
********************************
Ni dawa bora ya kutibu na kumaliza matatizo yote ya nguvu za kiume na sababu zake zote kama vile,

- kuwahi kufika kileleni dakika moja ushakojoa
- maumbile kusinyaa na kulegea wakati wa tendo
- kukosa hamu ya tendo la ndoa
- kushindwa kurudia tendo la ndoa
- uume kusimama kwa kulegea
- uume kulegea katikati ya tendo
- kuathirika kwa kujichua kwa muda mrefu
- kuishiwa nguvu kutokana na punyeto.

Epuka aibu hii leo kwa kutumia SUPER MCONGO MPYA, kiboko ya matatizo haya.
_______________________________
Pia kuna MCONGO POWER Kiboko ya uume mdogo inaboresha maumbile ya uume kwa kurefusha na kunenepesha kwa saizi uipendayo haijalishi umri hata kwa walioathirika na upigaji punyeto.
_______________________________
Kwanza fahamu sababu zinazopelekea kuwa na upungufu wa nguvu za kiume na uume mdogo.
_______________________________
(1) kujichua (punyeto) kwa muda mrefu maana hupelekea misuli ya uume kulegea.
(2) ngiri
(3) kuugua chango la uzazi kwa muda mrefu.
(4) kupungukiwa hormone za testosterone.
(5) ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi na visivyo na virutubisho  vya kutosha.
(6) kutokufanya mazoezi na mwenendo wa maisha.
(7) kisukari.
(8) tumbo kuunguruma na kujaa gesi.
(9) maumivu ya kiuno nk.
_______________________________
Kwanini uhangaike? Kwanini uhuzunike?
Hii ni spesho kwa waliotumia madawa mengi bila kufanikiwa hakika hautajuta kuitumia. _______________________________
WASILIANA NA:
DR. MCONGOMANI
SIMU NO:
📞0658816558
📞0682323682
Popote ulipo huduma hii inakufikia
_______________________________
********************************

Idara Ya Kumbukumbu Na Nyaraka Za Taifa Yatakiwa Kufuatilia Utunzaji Wa Nyaraka Kwenye Taasisi Za Umma Ili Kuondoa Tatizo La Uvujaji Wa Siri Za Serikali

$
0
0
Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa imetakiwa kufanya ufuatiliaji wa utunzaji wa nyaraka na kumbukumbu katika taasisi zote za umma kwa lengo la kuondoa tatizo la uvujaji wa siri za serikali.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) wakati akizungumza na watumishi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa alipofanya ziara ya kikazi katika ofisi hiyo jijini Dodoma, yenye lengo la kuhimiza uwajibikaji, kufahamu kwa kina majukumu ya idara hiyo na kujiridhisha namna idara hiyo inavyotekeleza majukumu yake ya kila siku.

Mhe. Dkt. Mwanjelwa amesema, Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa ndiyo inayohusika na masuala yote ya utunzaji wa kumbukumbu na nyaraka hivyo inatakiwa ijiwekee utaratibu wa kufanya ufuatiliaji wa namna ya nyaraka zinavyotunzwa na kushauri namna bora ya utunzaji wa nyaraka hizo.

“Tujenge tabia ya kufanya ufuatiliaji wa Miongozo tunayoitoa ili kuona kama inatekelezwa inavyotakiwa kwani tusipofanya hivyo taasisi zinafanya inavyotaka na matokeo yake ni kuvuja kwa siri za serikali,” Mhe. Dkt. Mwanjelwa amesisitiza.

Mhe. Dkt. Mwanjelwa amemtaka Mkurugenzi wa idara hiyo kuwa mkali na kuchukua hatua za kinidhamu kwa taasisi zote za umma zinazoshindwa kutekeleza ipasavyo jukumu la utunzaji wa kumbukumbu na nyaraka na hatimaye kusababisha siri za serikali kuvuja.

Aidha, Mhe. Dkt. Mwanjelwa ameipongeza idara hiyo kwa kutumia njia za kisasa za TEHAMA katika kutunza kumbukumbu na nyaraka na kuwataka kuongeza kasi ya kuzihifadhi nyaraka hizo kidigitali ili kuimarisha usalama wake.

Naye Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, Bw. Firimin Msiangi ameyataja majukumu ya idara yake kuwa ni pamoja na kuweka mifumo ya utunzaji kumbukumbu na nyaraka katika taasisi za umma, kutoa ushauri juu ya utunzaji bora wa kumbukumbu na nyaraka na kuratibu mipango ya kutunza na kuhifadhi kumbukumbu muhimu katika taasisi za umma, kuweka na kusimamia viwango vya utunzaji wa kumbukumbu na nyaraka katika taasisi za umma.

Bw. Msiangi ameendelea kutaja majukumu mengine kuwa ni kukusanya na kuhifadhi nyaraka zenye umuhimu kitaifa ili kulinda urithi andishi wa nchi yetu, kuandaa na kusimamia utekelezaji wa Miongozo ya kutunza na kuteketeza kumbukumbu katika taasisi za umma, kufanya tathmini ya kumbukumbu tuli (majalada yaliyofungwa) ili kutambua majalada yenye umuhimi wa kudumu kwa ajili ya kuyahifadhi, kuhifadhi nyaraka kwa kutumia teknolojia ya kisasa ili kurahisisha upatikanaji na kulinda nakala halisi na kukusanya, kutunza na kuhifadhi kumbukumbu za vitu vya Waasisi wa Taifa.

Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa ilianza kutekeleza majukumu yake kama idara inayojitegemea kuanzia mwezi Julai, 2015 baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Awamu ya Nne kupitisha muundo wa Idara tarehe 12 Februari, 2015. Hata hivyo idara hii inaanzia mwaka 1963 wakati Rais wa Awamu ya Kwanza, Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipotoa Waraka Na.7 wa Mwaka 1963 ulioelekeza kutunza, kuhifadhi na kuteketeza nyaraka za Serikali.

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 60

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA   
“Sawa, muunge mkono mama.”
“Acha basi nieeleke nyumbani kwake. Tutawasiliana mume wangu”
“Nashukuru”
Biyanka akanipiga busu na kutoka ndani humu. Majira ya saa sita usiku nikaondoka hotelini hapa na kwenda kwenye hoteli Ramada, nikawatarifu Qeen na Latifa waweze kufika katika hoteli hii na nikawapa maelekezo ya chumba nilichopo. Baada ya kama dakika aruboini hivi wakaweza kufika hotelini hapa.
“Mkurugenzi umetuita usiku sana vipi kuna tatizo?”
“Hakuna tatizo, ila tunakwenda kuianza kuianza kazi ya kumuangusha mgombea wenu munaye mpenda bwana Poul Mkumbo katika uchaguzi huu”
Qeen na Latifa wakabaki wakiwa wameduwaa, kwani wanafahamu uhusiano wangu wa kimapenzi na Biyanka na mtu ninaye hitaji kumfanyia ukatili ni baba yangu mkwe mtarajiwa.

ENDELEA   
“U..nataka kuniambia kwamba mtu tunaye hitaji kumuangusha katika hii kazi ni muheshimiwa Poul Mkumbo?”
Qeen aliuliza huku macho yakiwa yamemtoka.
“Ndio.”
“Ethan huoni kwamba huu unaweza kuwa ni mtihani mkubwa sana?”
 
“Kila mtihani una majibu yake na kila mtihani kuna kufaulu na kufeli. Ukiweka asilimia nyingi za kufeli ndivyo utakavyofeli na ukiweka asilimia nyingi za kufaulu ndivyo utakavyo faulu. Mumenielewa warembo?”
“Ndio Ethan”
“Kaaeni pale, nina kikao kidogo na wafanyakazi wangu”
“Kikao?”
“Ndio mbona muna shangaa?”
“Kikao si tupo wachache kiasi hichi?”
“Sio nyinyi mutawaona”
Nikafungua laptop yangu na kufanya mawasiliano na wakurugenzi nilio waachia kampuni zangu ninazo zimiliki. Ndani ya dakika tano wakurugenzi wote tukawa tunaonana kwenye mtandao huu. 
 
“Habari zenu?”
“Salama mkuu”
“Nahitaji uwakilishi wa maendeleo  ya kila mmoja katika kampuni yangu. Wakurugenzi hawa ambao nikikutana nao mimi ndio raisi wao wakaanza kuwakilisha ripoti ya maendeleo kama nilivyo waagiza waweze  kuwakilisha. Kila ripoti ya kila mmoja ina maendeleao makubwa, na kampuni zimepata faida kubwa toka nilipo anza kuziongoza na ubadhilifu wa mali za kampuni zangu umepungua kwa asilimia kubwa sana.
 
“Kazi nzuri kwa kila mmoja wenu. Ila kwa sasa tuna kazi ambayo nina hitaji muweze kunisaidia”
“Kazi gani raisi?”
“Nahitaji kuunga mkono juhudi za chama cha upinzani hapa nchini. Nahitaji kuangusha chama kilocho madarakani”
“Ahaa muheshimiwa raisi, kumbuka sisi ni wafanya biashara na endapo tukiingilia siasa za nchi fulani itaweza kutuletea matatizo hapo baadae”
“Ninalitambua hilo. Kila kitu kitakwenda kwa siri sana, na endapo raisi wa upinzani ataongoza nchi, hiyo pesa tunayo kwenda kuiwekeza, ndani ya miezi sita itarudi mikononi mwetu kwa maana kuna migodi mingi na mali nyingi ambazo watatupatia”
 
“Hapo sawa raisi, nini unahitaji tufanye?”
“Kila oda ya nguo za siasa ambazo wahahitaji mkurugenzi Jong utashuhulika katika kiwanda chako cha kutengeneza nguo. Kuna kiasi cha dola za kimarekani bilioni mbili, nitakihitaji kutoka kwenu, kila mmoja atafahamu anatoa kiasi gani sawa”
“Sawa muheshimiwa”
Kikao kikamalizika na nikazima laptop yangu na kuwageukia Qeen na Latifa.
“Hivi hao wazee wote wapo chini yako Ethan?”
“Ndio wote ni wafanyakazi wangu. Kuna wachina humu, waingereza, warusia, wajerumani, waspain, wabrazil na Wamarekani”
“Aisee unajua sisi tulikuwa tunahisi kwamba kampuni unayo imiliki ni hii moja?”
“Mumesahau nili waambia ni kampuni ngapi ambazo nina miliki?”
 
“Mimi nimesahau.”
“Tuachane na hilo, hembu wasiliana na yule shemeji yako”
“Usiku huu?”
“Ndio, kila kitu kitakuwa kinafanyika usiku usiku tu, hatuna muda wa kupoteza zimebaki wiki mbili kampenzi zianze”
Latifa akawasiliana na shemeji yake, kisha akanipatia simu niweze kuzugumza naye.
“Ndio boss”
“Nahitaji kuonana na viongozi wako. Vipi ulisha lipanga hilo jambo?”
“Ndio nilisha lipanga na nilisha waeleza”
“Basi kesho majira ya saa nane usiku nitawalekeza ni wapi tuweze kuonana.”
 
“Sawa sawa muheshimiwa”
“Namba yako nitaichukua kwa huyu binti hapa”
“Sawa kiongozi”
Nikakata simu na kumrudishia Latifa simu yake.
“Kesho latifa nahitaji namba ya simu mpya ambayo sio ya kampuni yetu pamoja na simu ndogo sana. Umenielewa?”
“Sawa sawa mkuu”
“Qeen fikiria ni eneo gani la siri ambalo kesho sote tunaweza kuonana na kupanga mpango  wa kujua ni jinsi gani tunaweza ninawasiaida”
“Nimekuelewa mkuu”
“Kwa leo ni hayo, sijui muna mpango wa kurudi nyumbani kwenu au kwa maana sasa hivi ni saa kumi kasoro dakika kumi”
 
Nilizungumza huku nikiitazama saa ya mkononi mwangu.
“Hapana ni hatari kwa mtoto wa kike”
“Sawa nimewaelewa, jambo jengine la msingi. Hakikisheni kwamba muna tunza siri hii. Hii ni vita ambayo mmoja wetu atakapo kuwa na domo la kubwabwaja maneno. Ninawaahakikishia kwamba atakufa, siwatishi ila ninahitaji kuwaleza ukweli juu ya hilo”
“Tumekuelewa mkuu”
Nikajitupa kitandani, Qeen na Latifa wakanifwata huku wakinitazama kwa macho ya matatamanio.
 
“Nimekumbuka jambo moja muhimu sana”
Nilizungumza huku nikika kitako kwa maana leo sijisikii kufanya mapenzi na wasichana hawa isitoshe tupo katika wiki ya kufanya kazi, ni lazima akili yangu iweze kupata nafasi nzuri ya kuweza kufirikia mipango yangu muhimu ya kuhakikisha nimpiga adui yangu kimya kimya.
“Ninahitaji mwana sheria mmoja aliye soma, mwenye ujuzi mkubwa sana na anaye weza kuzugumza na bubu”
“Bubu!!?”
“Ndio”
“Kuna nini?”
“Kuna kijana mmoja jana mchana tulikwenda kumtazama pale Central Polisi, alikamatwa kwa kosa la kuiba kuku mtaaani huko ila wao wamebambikia kesi ya kunitishia kuniau. Munaweza kukumbuka juzi nilivyo toka kuchukua pesa, nilisoma meseji moja na nikapoteza amani hadi wewe ukaendesha gari”
“Ndio ninakumbuka”
 
“Sasa sihitaji kijana yule aweze kubeba kesi moja akubwa namna hiyo ikiwa ana hitaji kuwa huru. Yule ambaye amefanya tukio hilo hapo nina mtambua vizuri sana, ila nitahitaji mtu sahihi ambaye anaweza kunifanyia kazi ya kuweza kumtafuta kimya kimya na kumkamata kwa maana ni mtu hatari”
“Boss kama unamfahamu ntu huyo ni kwa nini usitoe ripoti polisi wakamkamata?”
“Siwaamini polisi kwa maana wao wanakula sahani moja kabisa mgombea uraisi. Unahisi kuna nini kitakacho endelea hapo”
“Mmmm na kweli polisi Hawato fanya jambo lolote kwa huyo jamaa”
“Nani muna mjua jua mwenye uwezo wa kupigana pigana”
“Kwa mimi sifahamu”
“Hata mimi kwa kweli sifahamu”
“Basi acheni, nitalishuhulikia mwenyewe”
 
Mazumzo yalivyo  kata, Qeen, akaanza uchokozi wa kunishika shika mapajani, nikatamani kuzungumza jambo fulani ila jog** wangu tayari alisha anza kunyanyuka na kujikuta nikikubaliana nao tu waweze kufanya kile walicho kikusudia kukifanya. 

Ndani ya dakika chache tukajikuta tukizama kwenye penzi zito huku nikihakikisha kwamba kila mmoja nina mpatia haki yake sahihi. 

Tulipo maliza mizunguko mitatu tukajiandaa na kuanza kuondoka majira haya ya saa kumi na moja alfajiri. Nikawapitisha hadi kwenye nyumba wanayo ishia kisha nami nikarudi hotelini kwangu. Sikuhiataji kulala, nikabadilisha nguo na kuelekea ofisini ili niwahi foleni ya jiji hili la Dar as Salaam.
 
“Habari ya asubuhi mkurugenzi”
Wafanyakazi wangu walinisalimia
“Salama”
Niliwajibu huku nikiingia nao kwenye lifti, tukapandisha hadi gorofani ambazo ndipo zilipo ofisi za baadhi ya wafanyakazi wa vingengo mbali mbali pamoja na ofisi yangu.
 
“Mkurugenzi za kuamka”
Sekretari wangu alinisalimi  huku akiwa na tabasamu pana usoni mwake.
“Salama, ehee niambie kuna mpya gani?”
“Ahaa raisi wa TFF, ameomba aweze kukutana na wewe leo saa tatu asubuhi”
“Raisi wa TFF, ndio nani?”
“Ohoo ni raisi wa shirikisho la mpira wa miguu hapa Tanzania. Nahisi jana aliweza kupokea lile pendekezo la kampuni yetu kuanzisha kombe lake”
“Ahaa sawa mkaribishe”
“Sawa mkurugenzi”
 
Nikaingia ofisini kwangu, nikaikagua ofisi hii nilipo jiridhisha na usafi ulio fanywa na sekretari wangu nikaka kwenye kiti changu.Majira ya saa tatu nikapata ugeni huu wa raisi wa TFF, nikamkaribisha ofisini kwangu kwa mazungumzo zaidi.
“Heshima yako mzee”
“Nashukuru. Nafurahi kukutana na wewe Ethan”
“Nashukuru muheshimiwa.”
“Jana nilipo pokea pendekezo la wewe kuanzisha ligi yako. Kwanza nilistuka kidogo kwa maana ni wawekezaji wachache sana wa Kitanzania wanao penda kuwekeza katika soka, tena nchini Tanzania. Nilipo kuja kujua dau ni dola laki moja na nusu, nikasema ahaa hapa si pakupaachia paende bure bure au wewe ndio utufwate”
 
Mzee huyu alizungumza huku akijichekesha chekesha.
“Ndio unajua mimi ni mchezaji”
“Mchezaji?”
“Ndio, inabidi uweze kufwatilia baadhi ya mechi zangu. Ila ngoja”
Nikaingia katika mtandao wa YouTube kwa kutumia simu yangu ya mkononi na kutafuta baadhi ya video zangu na nikamuonyesha mzee huyu. Akaanza kuzifwatilia, uso wake ukazidi kunawiri kwa tabasamu  pana usoni mwake, kwani vitu nilivyo vifanya kwenye mpira ni vya kustajabisha.
 
“Aisee ni kama Messi vile”
“Yaaa nina uwezo mkubwa wa kucheza mpira, hapa nina subiri mambo yangu fulani yakikaa sawa, basi nitachagua moja ya klabu kubwa duniani nitaichezea”
“Kwa nini usichezee Simba au Yanga ili uendelee kuborosha vipaji vya wachezaji hapa Tanzania”
“Hahaa, hakuna timu ambayo ina mchezaji mwenye kiwango changu. Njia nzuri ya mimi kuboresha mpira wa miguu hapa Tanzania ni kuanzisha hiyo ligi. Kingine nitahakiksha kwamba nina miliki timi yangu ambayo itaanzia chini kabisa daraja la chini hadi ipande darala la ligi kuu”
“Ohoo utakuwa umefanya la maana”
“Jambo jengine ninalo weza kufanya ni kuichezea timu ya Taifa ya Tanzania”
 
“Hivi wewe ni Mtanzania halisi kweli, kwa maana yule jamaa alivyo niletea ripoti yako sikuwa nina amini amnini?”
“Ndio, mimi ni mchaga kabisa”
“Duuu safi sana, niwachaga wachache sana wanao cheza mpira na wengi wao wanapenda biashara biashara”
“Ni kweli. Jambo la kufanya ni wewe kunitengenezea mazingira ya kuanzisha hiyo ligi, na nitafutie eneo moja ambalo nitaweza kujenga kiwanja changu cha mpira”
“Weeee!!!?”
“Mbona una shangaa mzee kwani mimi ndio nitakuwa wa kwanza kujenga kiwanja, si yupo aliye nitangulia mmiliki wa Azam Club”
“Kweli kweli, ila jinsi unavyo zungumza yaani nina piga picha hicho kiwanja jinsi kitakvyo kuwa”
 
“Hakikisha ligi yangu inafanikiwa kuingia kwenye mzunguko wa nchi hii, na pia nina pata sehemu ya kiwanja changu, baada ya hapo nitakupa fungu lako ambalo hadi unakufa utakuwa unalitafuna hata ukiamua kuto kupokea umshahara wako wa uraisi wa TFF”
“Weee, sawa sawa muheshimiwa nashukuru, tena nashukuru sana”
Mzee huyu alizungumza kwa heshima kubwa sana. Nikaagana naye na akatoka ofisini humu, Latifa akaingia ofisini kwangu na kunikabidhi simu niliyo muagiza.
“Qeen amefahamu ni wapi tukutane?”
“Bado anafikiria”
“Muambie akifahamu aniambie. Humu kuna salio la kiasi gani?”
 
“Elfu kumi”
“Itatosha kweli?”
“Ndio muheshimiwa na namba ya shemeji yangu ipo humu”
“Poa nashukuru”
Muda wa mchana, Qeen akanieleza ni eneo gani ambalo tunatakiwa kukutana na watanielekeza kwa simu kuweza kufika huko. Nikamjulisha bwana Samweli ni eneo gani tunaweza kuonana saa nane ya usiku ili tuweze kupanga mipango ya kuweza kuonana. Nikiwa ndani ya gari langu nikielekea ofisini kwangu nikitoka kupata chakula cha usiku, Biyanka akanipigia simu, tukasalimiana kwa furaha sana.
 
“Vipi mipango yenu?”
“Inakwenda vizuri na tunarudi leo by saa nne usiku tutakuwepo Dar es Salaama, baba anatuhitaji mimi na wewe nyumbani anasema kuna kikao muhimu sana cha kuweza kufanya kama wana familia”
Nikajikuta nikiishiwa na furaha yangu, kwani sikutarajia kumuona Biyanka akirudi leo jijini Dae sa Salaam kwani anaweza kuwa kipingamizi kikubwa sana cha mipango yangu niliyo ipanga kwa siku ya leo.

==>>ITAENDELEA KESHO

Nkoma: Tiba Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
NKOMA
_________________________
NKOMA Ni dawa bora ya nguvu za kiume  yenye mchanganyiko wa mitishamba (7) yenye maajabu yafuatayo/

🔖 (1) inatibu upungufu wa nguvu za kiume mara dufu na kuimalisha misuli ya uume uliolengea wakati wa tendo la ndoa/
🔖 (2) Kurefusha maumbile ya kiume yaliyorudi ndani kuazia nchi 5 - 9/
🔖 (3) kunenepesha uume cm 5 ya upana itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15 - 20 kwa tendo la kwanza na utakuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya 2-4 bila hamu kuisha/

📌 Na inatibu kabisa, unashauriwa uitumie dawa hii kama kinga ya magonjwa sugu./
 📌 Haijalishi umri hata kama una miaka 85 itumie huanza kufanya kazi dk 50 tu na haina madhara yoyote kwa mtumiaji/

📍📍📍📍📍📍📍📍📍
            MATATIZO HAYA HUSABABISHWA NA.
_________________________
🔖 (1)Tumbo kujaa gesi, na kuunguruma chini ya kitovu/
🔖 (2)Choo kama cha mbuzi/
🔖(3)Ngiri/
🔖(4)Kama umejichua sana punyeto/
🔖(4)Kaswende/
🔖(5)Gono/

📌Haya yote husababisha kuishiwa nguvu za kiume na kuwa na uume mdogo/
📌 Itumie leo, bado hujachelewa ni tofauti na nyingine.
_________________________
DR MAKOBA ANAPATIKANA DAR ES SALAAM, PIA UNAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO.
___________________________
WASILIANA NA
Dr MAKOBA SIMU.
📞0754832349
📞0683490600
____________________________
*****************************

Serikali Kuendelea Kushirikiana na Sekta Binafsi

$
0
0
Mwandishi wetu-MAELEZO
Serikali itaendelea kushirikiana na sekta binafsi katika kutoa fursa kwa watu wengi kwa kuwezesha utekelezaji wa miradi mingi kwa mapana, katika Taasisi za serikali na Taasisi binafsi.

Akizungumza katika mjadala wa Clouds Media katika kipindi cha The Big Breakfast chenye kauli mbiu ya The power of Man yaani Nguvu ya Pamoja kilichofanyika leo Jijini Dar es Salaam katika hoteli ya Serena, Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Habari MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt Hassan Abbasi alisema kuwa serikali inaendelea na jukumu la ujenzi wa nchi kwa kushirikiana na sekta binafsi.

“Tunatambua na kuheshimu nguvu ya wengi kama kauli mbiu hii inavyoeleza, katika dhana ya maendeleo kuna mengi Serikali inafanya ili kutekeleza azma yake kwa wananchi, mfano Ujenzi wa madaraja mbalimbali nchini, Miradi ya Maji, Miradi ya Umeme, Ujenzi wa vituo vya afya na Hospitali na kulete ndege, kwetu sisi haya ni maendeleo makubwa sana”, Dkt. Abbasi.

Katika dhana ya Nguvu ya pamoja, Dkt. Abbasi alisema kuwa kauli mbiu hii inaonesha namna gani sasa haya mambo ambayo Serikali inafanya yanawafikia wananchi na kuwanufaisha  popote walipo.

Dkt.Abbasi alieleza kuwa katika mjadala  wa nguvu ya pamoja dhana ya maendeleo ina nadharia mbili ambazo wasomi wanazijadili duniani kote ikiwa ni moja ya miongozo ya maenedeleo duniani, huku wakiamini katika nadharia ya  maendeleo ni watu na wengine wakiamini katika nadharia ya maendelo ni vitu.

“nilichokisema ni kwamba duniani kuna mjadala mkubwa sana katika suala la  maendeleo, wapo wanaoamini kwamba maendeleo ni watu kwa mambo yanafanyika moja kwa moja  na yanagusa watu, wapo wanaoamini kwamba maendeleo ni vitu kwamba huwezi kuwaendeleza watu bila kuwajengea miundombinu kama vile barabara, reli, umeme na maji”, Dkt Abbasi.

Katika kuunga mkono kauli mbiu ya nguvu ya pamoja, Dkt Abbasi alieleza kuwa katika nadharia mbili za maendeleo Serikali inaamini katika nadharia zote  yaani maendeleo ni vitu kwani inatekeleza miradi mbalimbali kama barabara, Umeme, Maji, Afya na elimu, huku ikiwawezesha wananchi kupata elimu bure, dawa katika vituo vya afya na umeme, ambao kwa sasa unafika mpaka vijijini kwa maana ya maendeleo ni watu.

Aidha Dkt Abbasi alieleza kuwa kauli mbiu ya Nguvu ya pamoja kutoka Clouds Media ni moja ya njia kubwa katika kutimiza malengo la wananchi kwa kutekeleza na kusimamia miradi mbalimbali ambayo  ndiyo inawawezesha wananchi kufanya shughuli zao za maendeleo.

Kwa upande wa sekta ya habari Dkt.Abbasi alieleza kuwa Serikali inafanya kazi kubwa kwa kushirikiana na sekta binafsi katika sekta hiyo muhimu pamoja na sekta zingine ambazo zinawezesha wananchi kujikwamua kimaendeleo.

“Serikali ndiyo mwezeshaji mkuu wa sekta mbalimbali, Sekta haiwezi kufanya kazi nchini bila Serikali kuiwezesha kwa hiyo katika dhana hiyo hiyo ya Nguvu ya pamoja Serikali inashiriki kwa nguvu zote”, Dkt Abbasi.

Dkt. Abbasi aliongeza kuwa Serikali itaendelea kuheshimu uwepo wa sekta binafsi katika sekta ya habari kwani mpaka sasa imewezesha upatikanaji wa leseni kwenye majarida na mageti 202, Vituo vya Televisheni 35 na Redio 160.

Alieleza pia kuwa nguvu ya pamoja ni pamoja na watendaji wa Serikali kushirikiana na sekta binafsi ili kuwawezesha kupata huduma  mara moja pale inapohitajika kwa sababu watakuwa wanatenda jambo la kuwafanya wengi kupata ajira katika sekta hizo.

“Ukiangalia uanzishwaji wa viwanda ni lazima kuna mtendaji alijituma kutoa leseni, maendeleo ya biashara mbalimbali, kilimo na sekta zingine ni lazima upate leseni ni hata  kwenye sekta ya habari hii inamaana kuwa mtendaji wa Serikali unapoharakisha kwa kufuata sheria na taratibu kuhakikisha mtu anapata leseni ya kuanzisha kiwanda, Biashara kubwa au gazeti utakuwa umeajiri watu wengi bila kujua na hii ndiyo the power of man (Nguvu ya pamoja)”, Alisisitiza Dkt. Abbasi.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu na Mumiliki wa Clouds media Group Joseph Kusaga aliahidi kushirikiana na Serikali katika kutangaza maendeleo ya nchi hasa kwenye sekta ya usafiri wa anga (shirika la ndege la Tanzania AirTanzania) pamoja na sekta ya utalii  katika kampeni mbalimbali zitakazokuwa zinatangazwa Clouds Media.

Jaji Mkuu ampongeza Msajili aliyekataa Kusajili Kesi ya Zitto Kabwe

$
0
0
Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma amempongeza Msajili wa Mahakama ya Rufani, Katarina Revocatus kwa kukataa kupokea kesi zenye mapungufu kisheria ikiwemo ile ya mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe.

Jaji Profesa Juma ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maadhimisho ya sherehe za wiki ya Sheria na mwaka wa mahakama zinazotarajiwa kufanyika mjini Dodoma.

Jaji Profesa Juma amesema kuwa hawapendezwi na malalamiko ya jumla jumla yanayotolewa na watu hali ya kuwa kuna mfumo maalum wa mahakama wa kupokea malalamiko.

“Hauwezi kuwazuia Wanasiasa wasizungumze ndio kazi yao, sisi tunafanya kazi kimya kimya na ukitaka majibu utayakuta katika nyaraka,” amesema.

Pia amesema anamsifu Msajili huyo Katarina Revocatus kwa kusimama kidete na kukataa kusajili kesi zenye dosari, hivyo anampongeza kwa ujasiri.

Jaji Juma ametoa pongezi hiyo ikiwa ni siku chache tangu Msajili huyo alipokataa kupokea kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya Spika wa Bunge kutokana na kuwa na dosari ikiwemo ya kutokuambatanishwa kwa kiapo cha Spika kwenda kwa Msajili.

TAKUKURU Yaomba Kumhoji Mshitakiwa Gerezani

$
0
0
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imeiomba mahakama ya hakimu mkazi Kisutu kwenda gerezani kumhoji mshtakiwa wa pili Alloycious Mandago katika kesi ya kuisababishia Serikali hasara ya Sh2bilioni.

Wakili wa Takukuru Leonard Swai ameeleza hayo  jana Alhamisi, Januari 24, 2018 mbele ya hakimu mkazi mkuu Thomasi Simba wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa.

Swai alidai kesi hiyo iko hatua za mwisho kwa ajili ya kuandaa maelezo lakini wanaombi kwa ajili ya kumhoji mshtakiwa wa pili akiwa magereza.
 
Mahakama iliridhia mshtakiwa huyo kuhojiwa na kesi hiyo imeahirishwa hadi Februari 8, mwaka huu itakapokuja kwa ajili ya kutajwa.

Mbali na Mandago, washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni mfanyabiashara Mohamed Yusufali na Isaac Kasanga ambao kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka 39 likiwemo la kuisababishia serikali hasara ya Sh2 bilioni.

Serikali Yatoa Bilioni 2.5 Kwa Ajili Ya Ujenzi Wa Jengo La Mama Na Mtoto Hospitali Ya Rufaa Ya Mkoa Wa Shinyanga

$
0
0
NA WAMJW-SHINYANGA
Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imetoa kiasi cha shilingi bilioni 2.5 zitakazotumika katika ujenzi wa jengo la mama na mtoto katika Hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Shinyanga, lengo likiwa ni kutoa huduma za kibingwa kwa akina mama wajawazito na watoto wachanga.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu wakati alipotembelea ujenzi wa Hospitali hiyo na kukuta jengo la wagonjwa wa nje (OPD) na Utawala likiwa limekamilika.

Waziri Ummy amesema fedha hizo zitafika katika Hospitali hiyo ndani ya wiki mbili ili ziweze kuchochea kasi ya ujenzi na lengo ifikapo mwezi Septemba 2019 Hospitali hiyo ianze kutoa huduma za afya.

“Ninaahidi kutoa shilingi bilioni 2.5 ndani ya wiki mbili ziweze kutumika katika ujenzi wa jengo la mama na mtoto, lengo la serikali ni kuhakikisha kila mama mjamzito anapofika Hospitalini kujifungua atoke akiwa salama yeye na kichanga chake”. Amesema Waziri Ummy.

Waziri Ummy amefikia uamuzi huo baada ya kupokea ripoti ya mkoa kuhusu vifo vitokanavyo na uzazi kutoka kwa Mganga Mkuu wa Mkoa Dkt. Mfaume Rashid, ambapo kwa mwaka 2016/2017 kulikua na vifo 73, na mwaka 2017/2018 vikiwa ni vifo 56, hali ambayo Waziri huyo ameonekana kutoridhishwa nayo.

Hata hivyo Waziri Ummy ameahidi kuongeza fedha zingine kiasi cha shilingi bilioni 3 ndani ya mwezi mmoja, zitakazotumika katika ujenzi wa jengo kwa ajili ya huduma za uchunguzi ikiwemo huduma za maabara, X-ray na CT-Scan pia jengo hilo litakua na vyumba vitatu vya upasuaji.

Waziri Ummy amesisitiza ujenzi wa jengo hilo utumike wa mfumo wa Force Account ambao utahakikisha wananchi wanashiriki kwa asilimia 100 katika kufanikisha ujenzi huo na huduma za afya zianze kutolewa mapema.

Wakati huo huo, Waziri Ummy ametembelea kituo cha afya cha Kambarage katika Manispaa ya Shinyanga kuona hali ya miundombinu ya kituo hicho na utoaji wa huduma za afya huku kwa kiasi kikubwa akionekana kuridhishwa na kasi ya ujenzi wa majengo ya huduma mbalimbali.

Kuhusu uhaba wa watumishi wa kada za afya Waziri huyo ameahidi kutatua changamoto hiyo hali inayopelekea kuwepo kwa msongamano wa wagonjwa.

Aidha, Waziri Ummy amehitimisha ziara yake katika mikoa ya kanda ya ziwa kwa kutembelea Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga na kuridhishwa kwa kiasi kikubwa na hali ya utoaji wa huduma za afya hasa katika jengo la huduma za mama na mtoto na pia katika jengo la kuhifadhia watoto wachanga wenye uhitaji wa uangalizi maalumu (NICU)

VIDEO : Nuh Mziwanda - Natapatapa

$
0
0
VIDEO :  Nuh Mziwanda - Natapatapa

Wimbo Mpya: Nini X Wyse - Chota

Video Mpya: Professor Jay Ft. Victoria Kimani - WOMAN

$
0
0
Video Mpya: Professor Jay Ft. Victoria Kimani - WOMAN

Rais mpya wa DRC augua ghafla baada ya kuapishwa

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Felix Tshisekedi aliyeapishwa jana kushika nafasi hiyo ameugua ghafla alipokuwa akitoa hotuba yake punde baada ya kula kiapo.

Hata hivyo, alirejea jukwaani badaye na kumalizia hatuba yake hiyo ya kwanza kama Amiri Jeshi Mkuu.

Imeelezwa kuwa hali hiyo ilitokana na uchovu alioupata kutokana na mchakamchaka wa kampeni pamoja na hali ya tukio la kuapishwa, kwa mujibu wa BBC.

Tshisekedi ambaye alitangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais wa Desemba 30 mwaka jana kwa tiketi ya chama cha upinzani cha Union for Democracy and Social Progress, ameapishwa kuwa Rais wa nchi hiyo akiandika historia ya kuwa wa kwanza kupokea madaraka kwa njia ya kidemokrasia tangu nchi hiyo ilipopata uhuru.

Hata hivyo, kutokana na kile ambacho wengi wanaamini ni vuguvugu la mvutano mkali wa uhalali wa kura zilizotangazwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ya Congo (CENI), tukio la kuapishwa kwake halikuhudhuriwa na viongozi wengi wa nchi za jirani.

Rais Uhuru Kenyatta, alikuwa Rais pekee aliyehudhuria tukio hilo la kihistoria akiambatana na Waziri Mkuu wa zamani, Raila Odinga pamoja na Kalonzo Musyoka. Marais 17 walialikwa.

Mpinzani wa Tshisekedi, Martin Fayulu ameendelea kulalama licha ya kushindwa kesi ya kupinga matokeo ya urais mahakamani. Ameendelea kuwasihi wafuasi wake kuandamana kupinga Urais wa Tshisekedi kwa madai kuwa yeye ndiye aliyeshinda na kwamba Rais Joseph Kabila aliingia makubaliano na mpinzani wake huyo na kubadili matokeo.

Kwa mujibu wa CENI, Tshisekedi alipata kura milioni 7 ikiwa ni kura 400,000 zaidi ya alizozipata Fayulu aliyemfuatia.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumamosi ya January 26

Naibu Waziri wa Maji Amsweka Ndani Mhandisi wa Wilaya na Mkandarasi

$
0
0
Dixon Busagaga,Monduli.
NAIBU Waziri wa Maji na Umwagiliaji ,Juma Aweso ameamuru kukamatwa na kuwekwa mahabusu kwa Mhandisi wa Maji wa wilaya ya Monduli ,Charles Saidea na Mkandarasi kutoka kampuni ya Meru Constructions ,Ayo Jeremia kwa tuhuma za kufanya udanganyifu katika miradi wa maji inayoendelea katika vijiji 10 vya Halmashauri ya wilaya ya Monduli .

Waziri Aweso ametoa agizo hilo katika kijiji cha Lendinyika wakati wa ziara yake ya siku moja katika wilaya ya Monduli kukagua utekelezaji wa Miradi ya Maji katika vijiji 10 vya Halmashauri hiyo,ziara  ambayo hata hivyo alilazimika kuikatisha mara baada ya kubaini  kuwepo kwa taarifa zinazo kinzana na taarifa ya utekelezaji wa mradi wa maji wenye thamani ya Sh Bil 1 na Mil 79 .

Mbali na uwepo wa dosari nyingi za kiufundi ,mradi huo unaotajwa kukamilika kwa asilimia 85 bado haujaanza kutoa maji huku Mkandarasi akieleza kuidai Serikali sehemu ya fedha za mradi huo jambo ambalo Mhandisi alionekana kupinga uwepo wa madai hayo.

Hoja ya kuwepo kwa Mabomba ya plastiki yaliyopita katika Makorongo iliibuliwa na mmoja wa wakazi wa kijiji cha Lendikinya Lemta Naisikie baada ya kutaka kujua kama ni sahihi kwa mkandarasi kupitisha Bomba hizo katika sehemu za wazi badala ya bomba za chuma.

“Swali langu ni moja ,Bomba zilizotandazwa kuleta maji katika kisima kuu  ,kuna sehem za Makorongo zote zimewekwa hii bomba la mpira ,hii naona ni changamoto afadhali ingewekwa bomba la chuma na maeneo mengine kuna mawe tungeomba mkandarasi atandaze bomba la chuma ili zisilete athari baadae”alisema Naisikie.

Baada ya kutolewa kwa hoja hiyo Naibu Waziri ,Aweso aliamua kutembelea baadhi ya Makorongo na kujionea Bomba la Plastiki likiwa limepita juu badala ya Bomba la Chuma ndipo akaamua kutoa maelekezo .
 
“Viongozi wenu wote wanazungumzia swala la maji ,Lendikinya ni moja ya vijiji vyenye changamoto kubwa sana ya maji ,Mbunge wenu amepiga sana kelele kuhusu maji kwa wananchi wa Monduli,sasa sisi leo tumekuja hapa tumeona kuna mradi wa zaidi ya sh Bil 1 na Mil 79 lakini mradi uko zaidi ya asilimia 80 lakini maji kwa wananchi hakuna .”alisema Aweso

“Unawauliza wataalamu wetu wakupe taarifa zile sahihi ,hawakupi ,leo mwananchi huyu wa kawaida kabisa anakupa taarifa sahihi mahala ambapo yalitakiwa kuwekwa mabomba ya chuma yameweka mabomba ya plastiki na hakuna usimamizi wa iana yoyote .”aliongeza Aweso.
 
Mwisho .

Video: Gabu Ft. Mbosso – Mastory

$
0
0
Video: Gabu Ft. Mbosso – Mastory

Video Mpya ya Barnaba - Washa

Jipatie Dawa ya Asili ya Kupunguza Maziwa, Kupunguza Tumbo,Kuongeza Unene, Kuongeza Maumbile ya Kiume na Kuondoa Chunusi

$
0
0
Je, Dada unataka kuwa mrembo? Na kaka unataka kuwa mtanashati??

Tumia bidhaa za NATURAL BEAUTY ni bidhaa zenye matokeo ya uhakika na kwa haraka zaidi.

Bidhaa hizi ni salama kabisa zimetengenezwa kwa mimea na matunda hazina kemiko wala madhara yoyote.

 🍉🥑🍇🍒🍑🍐

1. BOTCHO MULT PLUS- Hii ni dawa ya kuongeza ( Hips mapaja na makalio) inapatikana kwa @250,000/=

2. BOTCHO HOLOGRAM CREAM-Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza hips na makalio inapatikana kwa@220,000/=

3. HANDSOME UP ORIGINAL-- Hichi ni kifaa cha kuongeza maumbile kwa size uipendayo pamoja na kuimalisha misuli kifaa hichi  kinapatikana kwa @250,000/=

4. LEG  BOOSTER- Dawa ya kupaka ya kuongeza miguu kuwa ( Chupa ya bia) @170,000/=

5. MAXMAN 2 CAPSULE-Hii ni dawa ya vidonge ya kuongeza uume urefu na upana pamoja na kuongeza nguvu za kiume kwa wiki mbili  inapatikana kwa @250,000/=

6. VIG RX- Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza uume urefu na upana mpaka nchi 11.5 inapatikana kwa @220,000/=

7. BODY BOOSTER- Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri  @150,000/=

8. WHITE COLLECTION---- Ni vidonge vya kuwa mweupe mwili mzima pamoja na kuwa soft  vinapatikana kwa @170,000/=

9. SHARK SUPER POWER-Ni dawa ya kuongeza maumbile mpaka nchi 7.5 ndani ya wiki tatu tu @200,000/=

10. YODI PILLS-- Ni vidonge vya kuongeza (hips mapaja na makalio) vinapatikana kwa @250,000/=.      N.K

Wasiliana nasi kwa simu
NO. +255 75902996
                   AU
          +255 659618585

Popote ulipo utapata huduma zetu.
Pia hakikisha unapatiwa risiti yenye muhuri halisi wa NATURAL BEAUTY PROD ununuapo bidhaa kampuni hii.

                         WELCOME ALL

Video Mpya: Wyse X Nini - Chota

Je Unaupungufu Wa Nguvu Za Kiume au Maumbile Mafupi na Membamba...Suluhu iko hapa

$
0
0
Acha kusubilia mpaka mke au mpenzi wako akwambie Mme wangu wewe ni dhaifu tuwepo kitandani,unatakiwa ujitambue mapema ,kwa mwanaume aliyekamilika  na mwenye nguvu za kutosha  ili kumridhisha mke au mpenzi wake anatakiwa awe na uwezo wa kurudia zaidi ya Mara mbili lakini kama unakomea moja au mbili hapo ujue umejilidhisha wewe tu sio na yeye, ili uwe mwanaume mwenye uwezo kamili tumia dawa yako hii hapa

 SUPER MAJINJAS MIX; dawa hii ni tofauti na ambazo uliwai kutumia inamichanganyo ya miti na matunda zaidi ya saba ndio maana inakupa uwezo wa ,KURUDIA TENDO ZAIDI YA MARA TATU,NA ITAKUFANYA UCHELEWE KUFIKA KILELENI DAKIKA 10-15 KWA TENDO LA KWANZA,NA PIA HUIMALISHA MISULI ILIYOLEGEA NA KUSINYAA KWA WALE AMBAO WALIPIGA SANA PUNYETO,dawa hii ni ya vidonge na unga na haina madhara yoyote

MAKAKANUA NO 5 MPYA; dawa hii uboresha uume saizi upendayo UREFU WA INCHI 5,6,7,NA 8 NA UPANA WA CM 2,3,4 NA 5 dawa hii ipo ya kunywa na kupaka  na pia usahidia zaidi kwa mwanaume aliyefanyia tohara ukubwani,

ISENYE NO 3; hii ni dawa kwa wenye kisukari dozi siku 21 tatizo la kisukari na ndio chazo kikubwa cha kuishia nguvu za kiume,

NGWALUSA ; hii ni dawa ya uzazi ambayo ufungua milija ya uzazi ata kwa wale walifungwa uzazi,zipo dawa za busha,vidonda vya tumbo,miguu au viungo kufa gazi kupungza kitambi,minyama uzembe,na matiti makubwa 

TUNAPATIKANA DARES SALAAMU buguruni na MOROGORO YUPO WAKALA na MWANZA YUPO MTAA WA BIZA C, NA KAHAMA MJINI kwa mawasiliano zaidi piga simu 0744040721, 0683645920 DR BRUNO pia unaweza ukaletewa popote ulipo
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images