Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Serikali Yatoa Bilioni 2.5 Kwa Ajili Ya Ujenzi Wa Jengo La Mama Na Mtoto Hospitali Ya Rufaa Ya Mkoa Wa Shinyanga

$
0
0
NA WAMJW-SHINYANGA
Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imetoa kiasi cha shilingi bilioni 2.5 zitakazotumika katika ujenzi wa jengo la mama na mtoto katika Hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Shinyanga, lengo likiwa ni kutoa huduma za kibingwa kwa akina mama wajawazito na watoto wachanga.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu wakati alipotembelea ujenzi wa Hospitali hiyo na kukuta jengo la wagonjwa wa nje (OPD) na Utawala likiwa limekamilika.

Waziri Ummy amesema fedha hizo zitafika katika Hospitali hiyo ndani ya wiki mbili ili ziweze kuchochea kasi ya ujenzi na lengo ifikapo mwezi Septemba 2019 Hospitali hiyo ianze kutoa huduma za afya.

“Ninaahidi kutoa shilingi bilioni 2.5 ndani ya wiki mbili ziweze kutumika katika ujenzi wa jengo la mama na mtoto, lengo la serikali ni kuhakikisha kila mama mjamzito anapofika Hospitalini kujifungua atoke akiwa salama yeye na kichanga chake”. Amesema Waziri Ummy.

Waziri Ummy amefikia uamuzi huo baada ya kupokea ripoti ya mkoa kuhusu vifo vitokanavyo na uzazi kutoka kwa Mganga Mkuu wa Mkoa Dkt. Mfaume Rashid, ambapo kwa mwaka 2016/2017 kulikua na vifo 73, na mwaka 2017/2018 vikiwa ni vifo 56, hali ambayo Waziri huyo ameonekana kutoridhishwa nayo.

Hata hivyo Waziri Ummy ameahidi kuongeza fedha zingine kiasi cha shilingi bilioni 3 ndani ya mwezi mmoja, zitakazotumika katika ujenzi wa jengo kwa ajili ya huduma za uchunguzi ikiwemo huduma za maabara, X-ray na CT-Scan pia jengo hilo litakua na vyumba vitatu vya upasuaji.

Waziri Ummy amesisitiza ujenzi wa jengo hilo utumike wa mfumo wa Force Account ambao utahakikisha wananchi wanashiriki kwa asilimia 100 katika kufanikisha ujenzi huo na huduma za afya zianze kutolewa mapema.

Wakati huo huo, Waziri Ummy ametembelea kituo cha afya cha Kambarage katika Manispaa ya Shinyanga kuona hali ya miundombinu ya kituo hicho na utoaji wa huduma za afya huku kwa kiasi kikubwa akionekana kuridhishwa na kasi ya ujenzi wa majengo ya huduma mbalimbali.

Kuhusu uhaba wa watumishi wa kada za afya Waziri huyo ameahidi kutatua changamoto hiyo hali inayopelekea kuwepo kwa msongamano wa wagonjwa.

Aidha, Waziri Ummy amehitimisha ziara yake katika mikoa ya kanda ya ziwa kwa kutembelea Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga na kuridhishwa kwa kiasi kikubwa na hali ya utoaji wa huduma za afya hasa katika jengo la huduma za mama na mtoto na pia katika jengo la kuhifadhia watoto wachanga wenye uhitaji wa uangalizi maalumu (NICU)

Je Unaupungufu Wa Nguvu Za Kiume au Maumbile Mafupi na Membamba...Suluhu iko hapa

$
0
0
Acha kusubilia mpaka mke au mpenzi wako akwambie Mme wangu wewe ni dhaifu tuwepo kitandani,unatakiwa ujitambue mapema ,kwa mwanaume aliyekamilika  na mwenye nguvu za kutosha  ili kumridhisha mke au mpenzi wake anatakiwa awe na uwezo wa kurudia zaidi ya Mara mbili lakini kama unakomea moja au mbili hapo ujue umejilidhisha wewe tu sio na yeye, ili uwe mwanaume mwenye uwezo kamili tumia dawa yako hii hapa

 SUPER MAJINJAS MIX; dawa hii ni tofauti na ambazo uliwai kutumia inamichanganyo ya miti na matunda zaidi ya saba ndio maana inakupa uwezo wa ,KURUDIA TENDO ZAIDI YA MARA TATU,NA ITAKUFANYA UCHELEWE KUFIKA KILELENI DAKIKA 10-15 KWA TENDO LA KWANZA,NA PIA HUIMALISHA MISULI ILIYOLEGEA NA KUSINYAA KWA WALE AMBAO WALIPIGA SANA PUNYETO,dawa hii ni ya vidonge na unga na haina madhara yoyote

MAKAKANUA NO 5 MPYA; dawa hii uboresha uume saizi upendayo UREFU WA INCHI 5,6,7,NA 8 NA UPANA WA CM 2,3,4 NA 5 dawa hii ipo ya kunywa na kupaka  na pia usahidia zaidi kwa mwanaume aliyefanyia tohara ukubwani,

ISENYE NO 3; hii ni dawa kwa wenye kisukari dozi siku 21 tatizo la kisukari na ndio chazo kikubwa cha kuishia nguvu za kiume,

NGWALUSA ; hii ni dawa ya uzazi ambayo ufungua milija ya uzazi ata kwa wale walifungwa uzazi,zipo dawa za busha,vidonda vya tumbo,miguu au viungo kufa gazi kupungza kitambi,minyama uzembe,na matiti makubwa 

TUNAPATIKANA DARES SALAAMU buguruni na MOROGORO YUPO WAKALA na MWANZA YUPO MTAA WA BIZA C, NA KAHAMA MJINI kwa mawasiliano zaidi piga simu 0744040721, 0683645920 DR BRUNO pia unaweza ukaletewa popote ulipo

VIDEO : Nuh Mziwanda - Natapatapa

$
0
0
VIDEO :  Nuh Mziwanda - Natapatapa

Wimbo Mpya: Nini X Wyse - Chota

Dr Sandala: Mtaalamu wa Tiba Bora za Mitishamba...Tezi Dume, Vidonda vya Tumbo..Mimba Kutoka, Nguvu za Kiume

$
0
0
DR SANDALA: ANAKUHABARISHA KUHUSU TIBA BORA YA MITI SHAMBA(100%)

  NKURURU:-ni dawa inayotibu miguu kuwaka moto, kiuno tumbo     kupooza/kuparalazi  kupoteza  fahamu  

KALALA; hutibu  kisukari , uti  wa  mgongo,  Chango,.. pumu, busha bila operation, kaswende, kifua  kikuu, muwasho  sehemu  ya siri kwa mda wa siku 60. : 

THREE POWER MIX; Ni  dawa  ya  nguvu za kiume na  kuweka heshima ndani ya nyumba kwa akina baba wasio na uwezo ktk tendo la ndoa na kupona kabisa na tatizo kutokurudia tena ,okoa Ndoa yako sasa na three power mix dozi yake ni mda wa siku sita(6)na utachelewa kufika kileleni kwa mda wa dakika 29-32 

 MPERAMPERA:- ni dawa ya kurudisha Mke, mme, mpenzi,mchumba aliyekuacha /kuteseka, ni kwa mda wa siku 2tu,atakurudia na kukuhudumia hata akiwa mbali ipate na ukomeshe asie heshim mahusiano.

NSASI, kupunguza vitambi(nyama uzembe),  maziwa makubwa,michirizi, makovu makubwa, chunusi sugu. Nk

SIX POWER:-inatibu upungufu wa nguvu za kiume kwa wasio weza kumudu tendo la ndoa itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara 4 bila hamu Kuisha, inaboresha maumbile madogo na inaimarisha misuri iliyo regea na kusinyaa una pona kabisa, ndani ya siku 4tu

GASELA:-ni dawa ya maajabu (10) yaliyoshindikana.    (1)-Kisukari siku 14 na kuwa normal na kupona kabisa na kutorithisha wanao, vidonda vya tumbo,kutoa gesi na kupona kabisa dozi siku 7, tezi dume ukitaka kupona tezi dume wasiliana nami nikushauri kwani n8 gonjwa sugu a kwangu utapona,dawa ya uzazi hujawahi kupata mtoto na unataka kupata mtoto tiba yake ipo je? unabeba mimba zinatoka ?na unahitaji uitwe mama? tumia dawa ya mapacha 1-4 ,busha bila oparesheni siku 60,na kuendelea kufanya kazi zako. 

Haya yote yana wezekana kwa DR SANDALA popote ulipo ukiniitaji nafika napatikana DAR ES SALAAM, PWANI BAGAMOYO ,SHINYANGA KAHAMA,MOSHI KILIMANJARO NA MBEYA.mawasiliano   simu namba     0753 928 576.

                

Video Mpya: Professor Jay Ft. Victoria Kimani - WOMAN

$
0
0
Video Mpya: Professor Jay Ft. Victoria Kimani - WOMAN

Naibu Waziri Mabula Akerwa Wadaiwa Sugu Kodi Ya Ardhi Kutofikishwa Mahakamani

$
0
0
Na Munir Shemweta, DODOMA
NaibuWaziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angelina Mabula ameshangazwa na halmashauri za wilaya ya Mpwapwa na Kongwa mkoani Dodoma kushindwa kuwafikisha katika Mabaraza ya Ardhi na Nyumba wadaiwa sugu wa kodi ya pango la ardhi pamoja na baadhi yao kupelekewa ilani za madai.

Dk Mabula ameziagiza halmashauri hizo mbili kuhakikisha zinawafikisha wadaiwa hao katika Mabaraza ya Ardhi kwa hatua zaidi ambapo alielezea kuwa huko maamuzi yake ni mawili ambapo mdaiwa anatakiwa kulipa ama kunyanganywa miliki yake kufidia deni.

Naibu Waziri wa Ardhi alitoa agizo hilo jana alipozitembelea wilaya hizo mbili ikiwa ni mfululilzo wa ziara zake kutembelea halmashauri mbalimbali kwa nia ya kuhamasisha ukusanyaji maduhuli ya serikali kupitia kodi ya ardhi.

Kwa mujibu wa Dkt Mabula, halmashauri hizo zina wamiliki wengi wa viwanja wasiolipia kodi ya ardhi na hivyo kuzifanya kudai kiasi kikubwa cha fedha lakini idara za ardhi zinashindwa kuwachukulia hatua jambo linaloikosesha serikali mapapto.

Naibu Waziri wa Ardhi alisema, halmashauri ya wilaya ya Kongwa inadai jumla ya shilingi milioni 152 kutoka kwa wamiliki wasiolipa kodi huku ile ya Mpwapwa ikidai milioni 128,013,696.90.

Afisa Ardhi Msaidizi wa Halmashauri ya wilaya ya Kongwa Anjelina Ndemera alisema halmashauri yake pamoja na kuwa na madeni kutoka kwa wadaiwa wa kodi ya pango la ardhi lakini haikuweza kutoa ilani za madai kwa wadaiwa hao.

Kwa upande wa wilaya ya Mpwapwa, Mkuu wake wa Idara Anderson Mwamengo alisema halmashauri hiyo ina wadaiwa sugu wa kodi ya pango la ardhi mia tatu na thelathini  ambao wameandikiwa na kukabidhiwa ilani hizo.

Dkt Mabula alisema, pamoja na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli kuhimiza suala la kulipa kodi na Wizara ya Ardhi kujitahidi kusaidia suala hilo lakini halmashauri hazifanyi jitihada zozote katika kukusanya maduhuli ya Serikali kupitia kodi ya ardhi.

‘’Kila siku inaelezwa pelekeni ilani za madai ya kodi ya ardhi kwa wamiliki lakini hakuna ufuatiliaji wowote unaofanywa na watendaji wa sekta ya ardhi jambo linalorudisha nyuma jitihada za serikali ya awamu ya tano kukusanya maduhuli ya serikali.

Naibu Waziri wa Ardhi aliziagiza halmashauri hizo mbili kufikia tarehe 31 Machi 2019 watendaji wake wa sekta ya ardhi wawe wamewafikisha katika Baraza la Ardhi wadaiwa wote waliopelekewa ilani za madai.

Aidha, Dkt Mabula ameitaka idara ya ardhi kuhakikisha orodha ya wadaiwa wa kodi ya pango la ardhi waliopewa ilani za madai inafikishwa katika kila kikao cha kamati ya Uchumi na Mazingira vya kila robo mwaka ya Baraza la Madiwani katika kila halmashauri lengo likiwa kuitaka kamati husika kuelewa suala hilo na kufanya ufuatiliaji.

Taarifa MUHIMU Toka Ofisi ya Waziri Mkuu

$
0
0
Ofisi ya Waziri Mkuu inapenda kuujulisha UMMA wa Watanzania kuwa kumekuwepo na taarifa zilizozua taharuki baina ya wananchi kupitia mitandao ya kijamii ikiwemo “Whatsapp” kuhusu Ukaguzi Maalumu utakaohusisha Maafisa kazi kupita nyumba kwa nyumba na kukagua Mikataba ya Kazi, Mshahara kima cha chini cha Mshahara, Mazingira ya Kazi, malipo ya Hifadhi ya Jamii na fidia kwa Wafanyakazi wote wakiwemo wafanyakazi wa majumbani.

 Aidha, tangazo hilo liliainisha faini ya mil 50 kwa kutojisajili kwenye mfumo wa fidia kwa wafanyakazi (WCF). Taarifa hiyo ilieleza pia kuwa zoezi hilo litaanzia Mkoani Mbeya.
 
Ofisi inakanusha taarifa hizo na kuueleza UMMA kuwa wapuuze taarifa hizo kwa kuwa hazina ukweli wowote na wala hazijatolewa na Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, ambayo ndio yenye dhamana ya kusimamia Sheria za Kazi
 
Ofisi inawataka watu wanaoeneza taarifa hizo za uongo kuacha upotoshaji huo mara moja. Aidha, Serikali kupitia vyombo mbalimbali inafuatilia taarifa hizi ili kubaini chanzo chake na wahusika, ili kuchukua hatua za Kisheria na haki ionekane inatendeka dhidi yao.
 
Aidha, Ofisi inatoa wito kwa Waajiri wote kuendelea kutekeleza Sheria za Kazi kwa kuwapatia Wafanyakazi wao mikataba na kuwalipa stahiki zao kwa mujibu wa Sheria ili kuepuka usumbufu unaoweza kujitokeza katika kaguzi mbalimbali.
 
Imetolewa na,
KAMISHNA WA KAZI
DODOMA
24/01/2019

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala- Dar

Makanga 3 Power, Dawa Bora Za Nguvu Za Kiume

$
0
0

Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.

Tupo dar es salam Buguruni

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi Yafanya Uteuzi wa Diwani Mwanamke wa Viti Maalumu

$
0
0
 Kwa mujibu wa Kifungu cha 86A (8) cha Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, Tume ya Taifa ya Uchaguzi katika kikao chake cha tarehe 23 Januari, 2019 imemteua Ndg. FATUMA MICHAEL SHIJA kuwa Diwani wa Viti Maalum (CCM) katika Halmashauri ya Manispaa ya Temeke.
 
Uteuzi huu umefanyika baada ya kupokea taarifa kutoka kwa Waziri mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa, ambaye kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 13(1) cha Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, aliitaarifu Tume ya Taifa ya Uchaguzi uwepo wa nafasi hiyo wazi, kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) baada ya aliyeteuliwa awali kufariki dunia.
Imetolewa  tarehe 23 Januari, 2019.

Dkt. Athumani J. Kihamia
MKURUGENZI WA UCHAGUZI

Kuwa Wakwanza Kupokea Habari Zetu....Download App Yetu Kwa Kubonyeza Hapa, Huhitaji tena kuwa na Computer

$
0
0
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa urahisi kabisa kupitia simu yako ya mkononi muda wowote hata usiku wa manane au ukiwa kazini...

Pata kurasa za mbele Magazetini, habari za kitaifa, matukio yote ya kisiasa, burudani na udaku   kupitia simu yako ya mkononi.

Huhitaji tena kuwa na Computer. Ingia Play Store, pakua App yetu  tukuhabarishe masaa 24.

Rudisha heshima yako Kwa Mpenzi Wako, Mke Wako...Tumia Tiba Hii ya Asili

$
0
0
Rudisha heshima yako sasa kwa kutumia Dawa hii iitwayo SUPER GAFINA, kwa ajili ya nguvu za kiume na NKOLOMIJE ni kwaajili ya kuongeza maumbile.

Kwa mwanaume aliye kamilika anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara mbili ,ila ukiwa unapiga moja tena kwa shida wewe ujue  unamatatizo ya upungufu wa nguvu za kiume.

TIBA YA TATIZO LAKO NI; Dawa iitwayo SUPER GAFINA, dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge na unga wa asili ambavyo havina madhara kwa mtumiaji ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja;-

1).itakufanya urudie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuchoka.

2).ltakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dk.15 hadi 20 kwa tendo la kwanza.

3).lnaimarisha uume uliolegea na uliosinyaa na kuupa nguvu maradufu.

Je unamaumbile madogo pamoja na uume mfupi? NKOLOMIJE ni suluisho la tatizo lako. Na ni dawa inayoboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi kuanzia inch. 5 hadi 8 kwa muda mfupi sana .Dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk.30 ukisha tumia guarantee miaka 50  ikishakutibu.

Pia ninatibu;- KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU, MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE ,BP, NK.

IGULYATI, ni dawa ya mvuto wa biashara, kazi,kupandishwa cheo na humfanya mfanyakazi kupendwa na mwajiri wake. Pia humvuta mke,Mme,hawara ,mchumba unae muitaji utampata kwa dk.30 tu na atatulia na kumfunga asitoke nje ya ndoa, Pia natoa Pete za bahati ambazo zimetajirisha wengi.

Pia ipo dawa ya kupunguza matiti,unene ,tumbo,na kitambi ,hupunguza mafuta ,kuondoa makovu,chunusi,michilizi mwilini na kuongeza hipsi, makalio na mguu wa bia nk. 

Kwa maelezo zaidi wasiliana na DR,HOSUTWA .Anapatikana Mbagara

Simu no, 0756241666 na 0672186977.

       Huduma hii utaipata popote ulipo

Mlinzi wa Zahanati Ajinyonga Kwenye Chumba cha Sindano

$
0
0
Mlinzi wa zahanati ya Kijiji cha Katani, Kata ya Nkandasi wilayani Nkasi mkoani Rukwa Laudifasi Sokoni (60) amejinyonga katika chumba cha kuchomea wagonjwa sindano cha Zahanati hiyo kwa kutumia shuka lake.

Tukio hilo lilibainika asubuhi ya Januari 23,2019 muda mfupi baada ya wahudumu kufika kazini kwa ajili ya kuanza maandalizi ya kutoa huduma.

Akizungumzia tukio hilo Mwenyekiti wa Kijiji hicho, Jofrey Kisato alisema baada ya wahudumu wa zahanati hiyo kufika kazini na kuanza kuandaa mazingira ya kutoa huduma ndipo walipogundua tukio hilo hali iliyosababisha watoe taarifa kwenye uongozi wa kijiji nao ukatoa taarifa kituo cha polisi.

Alisema marehemu alikuwa ni mlinzi wa Zahanati ya Kijiji na kuwa alikuwa akiishi peke yake kwa muda mrefu kutokana na mkewe kufariki dunia na mpaka sasa hawajui chanzo cha yeye kuamua kujinyonga.

“Inaonekana alidhamiria kujinyonga kwani alikwenda eneo lake la lindo na shuka, usiku wa kuamkia siku hiyo aliamua kujitundika kwa kutumia shuka hilo na wahudumu wa Zahanati hiyo waligundua mwili wake ukining’inia wakati wakiandaa mazingira ya kutoa huduma hali iliyosababisha baadhi ya wagonjwa kuingiwa hofu na kutimua mbio bila kupata huduma,” alisema mwenyekiti wa kijiji hicho.

Kwa upande wake Kamanda wa polisi mkoa wa Rukwa George Kyando alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kuongeza kuwa marehemu hakuacha ujumbe wowote. Alisema baada ya polisi kufanya uchunguzi wa awali walibaini kuwa chanzo cha marehemu kufikia maamuzi hayo ni kutokana na kukabiliwa na maisha magumu pamoja na upweke.

Kamanda Kyando alisema tangu mke wa marehemu kufariki dunia mlinzi huyo alibaki akionekana kuwa na msongo wa mawazo pamoja na hali ngumu ya maisha inayomkabili ndiyo sababu zilizopelekea kujinyonga. Alisema pamoja na kuwepo kwa sababu hizo za awali lakini polisi wanaendelea na uchunguzi wa kina ili kubaini chanzo hasa cha Sokoni kufikia maamuzi ya kujinyonga.

BREAKING: Mahakama Yamwachia Huru Tido Mhando

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa TBC, Tido Mhando, baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha mashtaka dhidi yake. 

Hukumu hiyo imetolewa leo na  Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi baada ya upande wa mashtaka kushindwa kudhibitisha mashtaka yake.

Tido alifikishwa Kisutu kwa mara ya kwanza Januari 26, 2018, kujibu mashtaka matano.

Katika kesi hiyo ya uhujumu uchumi namba 7/2018, Tido alikabiliwa na mashtaka matano, mashtaka manne ni ya kutumia madaraka vibaya na moja la kuisababishia Serikali hasara ya Sh887.1 milioni.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.


Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Aliyekuwa Kamishna Mkuu TRA Kitilya na wenzake kusomewa maelezo ya mashahidi Feb.8

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga Februari 8, mwaka huu kuwasomea maelezo ya mashahidi (commital) aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Harry Kitilya na mwenzake wawili wanaokabiliwa na mashtaka 58 yakiwemo ya utakatishaji fedha.
 
Hatua hiyo imefikiwa baada ya jana upande wa utetezi kueleza hayo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Huruma Shaidi kupinga maombi ya upande wa mashtaka ya kutaka kesi hiyo ihairishwe kwa siku 14 wakieleza kuwa wapo katika hatua za mwisho za kufaili taarifa hivyo wanaomba siku hizo kwa ajili ya kukamilisha zoezi hilo.
 
Upande wa utetezi ukiongozwa na Wakili Masumbuko Lamwai ulidai, kuwa washtakiwa hao wamekaa ndani kwa miaka mitatu, kisha kesi hiyo ikafutwa kiujanja ujanja na kuileta tena hivyo wanashangaa ni kitu gani kinakwamisha watu hao wasisomewe maelezo ya mashahidi.
 
“Watu hawa wameshakaa ndani miaka mitatu sasa, walifutiwa kesi kiujanja na kuleta tena kesi hii ili wakae tena ndani, hivi ni kitu gani kinazuia commital (maelezo ya mashahidi), alidai na kuongeza kuwa ...Wiki iliyopita walisema leo (Jana) watawasomea na sasa wanasema wapo kwenye hatua za mwisho watueleze hiyo hatua,”.
 
Awali Wakili wa TAKUKURU Leonard Swai alidai, kuwa kesi hiyo ilikuja kwa ajili ya kutajwa wanaomba tarehe nyingine ili wakamilishe zoezi la kuwasilisha taarifa kwani wapo katika hatua za mwisho.
 
Mbali na Kitilya washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni Maofisa wa benki ya Stanbic, Shose Sinare na Sioi Solomon, Kamishna wa Sera ya uchambuzi wa Madeni kutoka Wizara Fedha na Mipango, Bedason Shallanda na Msaidizi wake Alfred Misana.
 
Katika mashtaka hayo washtakiwa hao wanakabiliwa na mashtaka matatu ya kughushi, moja la kuongoza uhalifu, 49 utakatishaji fedha, mawili ya kutoa nyaraka za uongo, kujipatia fedha kwa njia ya udanyanyifu moja na shtaka moja la kutoa nyaraka kwa nia ya kumdanganya kwa Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango.
 
Wanadaiwa kati ya Machi 15, mwaka 2013 na Januari 10, mwaka 2014 ndani ya jiji la Dar es Salaam kwa nia ya kudanganya washtakiwa wote walijipatia Dola za Kimarekani Milioni sita wakionesha kuwa fedha hizo zilikuwa ni malipo ya ada ya uwezeshaji wa upatikanaji wa mkopo na zililipwa kupitia Kampuni ya Egma T Ltd.

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Mvuto Wa Mapenzi

$
0
0
*************************
KIBOKO YA  MATATIZO YA  NGUVU  ZA  KIUME MAUMBILE MADOGO MVUTO  WA  MAPENZI .
MAGONJWA SUGU
*************************
Wanaume  wengi wana  upungufu wa  nguvu  za kiume nakuwa  na  maumbile madogo  ya kiume magonjwa kama  kisukari, presha, ngiri  korodani kuvumba, busha, tumbo kuunguruma na kujaa  gesi  na  kutopata  choo  vizuri, punyeto  NK.
___________________________
Huchangia kwa  kiasi kikumbwa upotevu  wa nguvu  za kiume tumia dawa nzuri ya  mitishamba ambayo haina madhara kwa mtumiaji ata uwe  na  miaka 80 inatibu na kumaliza matatizo  hayo:

 SUPER SHAFT 
********'****************
HII NI DAWA  YENYE  UWEZO  MKUBWA WA  KUOGEZA  NGUVU ZA KIUME MARA  DUFU NA MAUMBILE MADOGO  YA KIUME
************************
(1) Itakufanya uwe  na nguvu za  ajabu ukiwa unafanya tendo la ndoa.
___________________________
(2 ) Inaongeza hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi  ya mara  tatu bila kuchoka.
___________________________
(3)Itakufanya uchelewe kufika kileleni ndani ya dk 30 nakukupa nguvu ya ajabu.
___________________________
(4) Pia itakupa nguvu za kusimamisha uume wako barabara kama msumari wakati wa tendo la ndoa.
___________________________

NYATI POWER
*****************
INAREFUSHA NA KUNENE PESHA MAUMBILE YA KIUME  SAIZI UTAKAVYO kuazia Inchi 1 -8 unene sm 2-4.
*************************
(5) Itaimarisha mirija ya uume iliyolegea au kusinyaa.
___________________________
(6)lnasaidia kisafisha mishipa ya kwenye uume na hivyo kusaidia kuogeza kasi ya msukumo wa damu kwenye mishipa ya uume.
___________________________
(7) Usaidia kuurudisha nje uume ulioingia ndani.
___________________________
(8) Inasaidia kuogeza  manini  nyingi abazo vinaviini vya  uzazi.
___________________________
(9)Husaidia kutibu  madhara ya punyeto.
___________________________
Matumizi makali ya madawa  ya kizungu mirungi, bangi na  sigara.
*************************
TUNATIBU MAGONJWA YOTE SUGU, NGIRI, KORODANI KUVIMBA,  BUSHA BILA KUFANYIWA OPARESHENI, TEZI DUME, KISUKARI, PRESHA AINA ZOTE, UGONJWA WA MOYO STROKU. KWIKWI, KICHOMI MIGUU KUFA NGAZI NK
*************************
ANAPATIKANA MAGOMENI MIKUMI, KARIBU NA  KANISA KATOLIKI, TUMAINI HEARST CLINC NDIYO  SULUHISHO LA MATATIZO YOTE
*************************
PIGA  SIMU
📞0745495181 AU
📞0682644040 
*************************
WOTE  MNAKARIBISHWA
*************************
Kama huna nafasi ya kufika ofisini  kwetu  huduma  hii  utaletewa mahali  ulipo na wa mikoani  mtaipata kirahisi.
KWA MENGINEYO INGIA HAPA
*************************

Kikao Cha Mawaziri Wa Tanzania Na Uganda Wanaohusika Na Mradi Wa Bomba La Mafuta Ghafi Chafanyika Kampala Leo

$
0
0
Waziri wa Nishati, Dkt Medard Kalemani, Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Paramagamba Kabudi, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, January Makamba wamefanya kikao kati yao na wataalam kutoka Taasisi mbalimbali nchini Tanzania walio katika  Timu ya Kitaifa ya Majadiliano ya Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi kutoka Uganda hadi Tanzania.

Kikao hicho kinachofanyika Kampala – Uganda ni cha maandalizi kabla ya kufanyika kikao na Mawaziri wa Uganda wanaohusika na mradi huo baadaye leo.

Kikao cha Mawaziri wa Tanzania na Uganda wanaohusika na mradi huo kinafanyika kufuatia majadiliano ya wataalam wa nchi hizi mbili yaliyoanza tarehe 21/1/2019 na kufuatiwa na Kikao cha Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali zinazosimamia mradi kutoka Tanzania na Uganda kilichofanyika tarehe 24/1/2019

Waziri Kigwangalla Ahamasisha Uwekezaji Katika Sekta Ya Utalii Nchini Hispania

$
0
0
Na Mwandishi wetu-Hispania
Waziri wa Maliasili na Utalii,Dkt. Hamisi Kigwangalla amewaita Wawekezaji kuja nchini Tanzania kwa ajili ya kuwekeza katika sekta ya Utalii wakati aliposhiriki kongamano la 10 la Uwekezaji na Biashara katika sekta ya Utalii Afrika.

Kongamano hilo limefanyika jana katika jiji la Madrid nchini Hispania likiwa limeandaliwa na Shirika la Utalii  la Umoja wa Mataifa (UNWTO)kwa kushirikiana na Taasisi za Casa Afrika pamoja na Taasisi yamaonesho ya Biashara ya Madrid (IFEMA) na kushirikisha nchi mbali mbali duniani.

Katika Kongamano hilo, Waziri Kigwangalla alipata fursa ya kuwa mmoja wa wazungumzaji ambapo amewahakikishia Wawekezaji wenye nia ya kuja kuwekeza nchini Tanzania kwamba ni sehemu salama ukizingatia hali ya amani na utulivu iliyopo nchini lakini pia kuna vivutio vingi vya utalii na fursa za kuwekeza.

“Nawakaribisheni nyote, Njooni Tanzania muwekeze kufuatia uwepo wa mazingira na miundombinu bora kwa ajili uwekezaji katika sekta ya utalii pamoja na viwanda” Alisema

Waziri Kigwangalla pia  alitumia nafasi hiyo kwa kuutangaza ukanda mpya wa kusini mwa Tanzania ambao umejaliwa kuwa na vivutio vya Utalii vya kipekee vinavyopatikana katika  Hifadhi ya Taifa ya  Ruaha, Mikumi pamoja  Pori la Akiba Selous.

Katika hatua nyingine , Waziri Kigwangalla wakati akizungumza  katika kongamano hilo aliwaeleza washiriki hao  kuhusu  juhudi mbalimbali zinazofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli kwa kutaja mifano michache kama vile kufufua kampuni ya ndege (ATCL) kwa kununua ndege mpya sita pamoja kujenga chanzo kikubwa cha kuzalisha  umeme katika mto Rufiji.

Alisema serikali ya Tanzania pia inaendelea na mradi wa kisasa wa ujenzi wa njia mpya ya kisasa ya reli (Standard Gauge) pamoja na kuboresha miundombinu ya barabara ili kurahisisha usafirishaji wa abiria na mizigo.

Alibainisha kuwa kutokana na juhudi hizo zilizochukuliwa  na Serikali hiyo, sekta ya utalii itaweza kusonga mbele ikiwa pamoja na kurahisisha usafiri kwa watalii pamoja na  wawekezaji kwa ujumla.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images