Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Mvuto Wa Mapenzi

$
0
0
*************************
KIBOKO YA  MATATIZO YA  NGUVU  ZA  KIUME MAUMBILE MADOGO MVUTO  WA  MAPENZI .
MAGONJWA SUGU
*************************
Wanaume  wengi wana  upungufu wa  nguvu  za kiume nakuwa  na  maumbile madogo  ya kiume magonjwa kama  kisukari, presha, ngiri  korodani kuvumba, busha, tumbo kuunguruma na kujaa  gesi  na  kutopata  choo  vizuri, punyeto  NK.
___________________________
Huchangia kwa  kiasi kikumbwa upotevu  wa nguvu  za kiume tumia dawa nzuri ya  mitishamba ambayo haina madhara kwa mtumiaji ata uwe  na  miaka 80 inatibu na kumaliza matatizo  hayo:

 SUPER SHAFT 
********'****************
HII NI DAWA  YENYE  UWEZO  MKUBWA WA  KUOGEZA  NGUVU ZA KIUME MARA  DUFU NA MAUMBILE MADOGO  YA KIUME
************************
(1) Itakufanya uwe  na nguvu za  ajabu ukiwa unafanya tendo la ndoa.
___________________________
(2 ) Inaongeza hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi  ya mara  tatu bila kuchoka.
___________________________
(3)Itakufanya uchelewe kufika kileleni ndani ya dk 30 nakukupa nguvu ya ajabu.
___________________________
(4) Pia itakupa nguvu za kusimamisha uume wako barabara kama msumari wakati wa tendo la ndoa.
___________________________

NYATI POWER
*****************
INAREFUSHA NA KUNENE PESHA MAUMBILE YA KIUME  SAIZI UTAKAVYO kuazia Inchi 1 -8 unene sm 2-4.
*************************
(5) Itaimarisha mirija ya uume iliyolegea au kusinyaa.
___________________________
(6)lnasaidia kisafisha mishipa ya kwenye uume na hivyo kusaidia kuogeza kasi ya msukumo wa damu kwenye mishipa ya uume.
___________________________
(7) Usaidia kuurudisha nje uume ulioingia ndani.
___________________________
(8) Inasaidia kuogeza  manini  nyingi abazo vinaviini vya  uzazi.
___________________________
(9)Husaidia kutibu  madhara ya punyeto.
___________________________
Matumizi makali ya madawa  ya kizungu mirungi, bangi na  sigara.
*************************
TUNATIBU MAGONJWA YOTE SUGU, NGIRI, KORODANI KUVIMBA,  BUSHA BILA KUFANYIWA OPARESHENI, TEZI DUME, KISUKARI, PRESHA AINA ZOTE, UGONJWA WA MOYO STROKU. KWIKWI, KICHOMI MIGUU KUFA NGAZI NK
*************************
ANAPATIKANA MAGOMENI MIKUMI, KARIBU NA  KANISA KATOLIKI, TUMAINI HEARST CLINC NDIYO  SULUHISHO LA MATATIZO YOTE
*************************
PIGA  SIMU
📞0745495181 AU
📞0682644040 
*************************
WOTE  MNAKARIBISHWA
*************************
Kama huna nafasi ya kufika ofisini  kwetu  huduma  hii  utaletewa mahali  ulipo na wa mikoani  mtaipata kirahisi.
KWA MENGINEYO INGIA HAPA
*************************

Matokeo Kidato cha Nne 2018: Shule Kumi Za Mwisho Kitaifa

$
0
0
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya kidato cha nne mwaka 2018, na kutaja shule 10 za mwisho katika mtihani huo 

NECTA Yafuta Matokeo ya Wanafunzi 57 wa Tumaini Lutheran Seminari

$
0
0
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limefuta matokeo ya wanafunzi 57 wa kidato cha nne katika shule ya Sekondari ya Tumaini Lutheran Seminari  ya Malinyi mkoani Morogoro baada ya kubaini shule hiyo kuvujisha mtihani huo.

Mbali na kufuta matokeo hayo, Necta imekifungia kituo hicho cha kufanyia mtihani.

Hayo yameelezwa leo Alhamisi Januari 24, 2019 na Katibu Mkuu mtendaji wa baraza hilo, Dk Charles Msonde wakati akitangaza matokeo ya kidato cha nne mwaka 2018 mkoani Dodoma.

Amesema wameagiza wahusika wote kuchukuliwa hatua wakiwemo polisi waliosimamia.

RC Olesendeka Agiza Watekaji Wa Watoto Wasakwa Popote Walipo

$
0
0
Mkuu wa mkoa wa Njombe ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Christopher Olesendeka amesema vyombo vya ulinzi na usalama vitawasaka popote walipo watekaji wa watoto watatu wa familia moja wanaodaiwa kutekwa january 20 na kusababisha taharuki kwa wakazi wa mkoa huo.
 
Wimbi la kutekwa kwa watoto wadogo limezidi kutanda mkoani Njombe tangu liibuke desemba mwaka jana ambapo hadi sasa inaelezwa zaidi ya watoto 10 wametekwa huku wachache wanaopatikana wanakutwa wakiwa wamefariki dunia.
 
Akizungumza na wananchi wa kijiji cha Ikando kata ya Kichiwa wilaya Njombe ambao wamekuwa wakiwatafuta watoto wao bila kukata tamaa usiku na mchana huku wakipigwa na jua na mvua bila mafanikio , Mkuu huyo wa mkoa amesema jeshi limejipanga vyama kuwabaini wahusika wa matukio ya utekaji na mauaji na kuliagiza jeshi la polisi kupitia upya leseni za waganga wa jadi,kuwahoji na kuwafutia leseni waganga wanaojihusisha na upigaji wa ramri chonganishi kwa kuwa ndiyo wamekuwa chanzo cha matatizo hayo.
 
Hali hiyo ya matukio ya utekaji wa watoto ambayo yameambatana na mauaji yakihusishwa na imani za kishirikina , inakigusa chama cha mapinduzi ambapo katibu wa hamasa na chipukizi mkoawa Njombe Johnson Mgimba ambaye anakiri kuumizwa kwa kiasi kikubwa na mikasa hiyo na kueleza kuwa idara yake inaunda kikosi kazi kitakachoingia msituni kuwasaka watekaji ili kunusuru maisha ya watoto.
 
Izack Mwinami na Lazaro Kipagatie ambao ni wakazi wa Ikando wanaeleza jinsi walivyowatafuta usiku na mchana watoto waliotekwa bila ya mafanikio na kutoa rai kwa jeshi la polsi kuongeza nguvu ya uchunguzi wa matukio hayo.
 
Kwa mujibu wa jeshi la polisi tayari watu wawili wanashikiriwa kwa kudaiwa kuhusika na matukio ya utekaji na mauaji ya watoto huku pia ikielezwa waganga ishirini wanahojiwa.

Dr Sandala: Mtaalamu wa Tiba Bora za Mitishamba

$
0
0
DR SANDALA: ANAKUHABARISHA KUHUSU TIBA BORA YA MITI SHAMBA(100%)

  NKURURU:-ni dawa inayotibu miguu kuwaka moto, kiuno tumbo     kupooza/kuparalazi  kupoteza  fahamu  

KALALA; hutibu  kisukari , uti  wa  mgongo,  Chango,.. pumu, busha bila operation, kaswende, kifua  kikuu, muwasho  sehemu  ya siri kwa mda wa siku 60. : 

THREE POWER MIX; Ni  dawa  ya  nguvu za kiume na  kuweka heshima ndani ya nyumba kwa akina baba wasio na uwezo ktk tendo la ndoa na kupona kabisa na tatizo kutokurudia tena ,okoa Ndoa yako sasa na three power mix dozi yake ni mda wa siku sita(6)na utachelewa kufika kileleni kwa mda wa dakika 29-32 

 MPERAMPERA:- ni dawa ya kurudisha Mke, mme, mpenzi,mchumba aliyekuacha /kuteseka, ni kwa mda wa siku 2tu,atakurudia na kukuhudumia hata akiwa mbali ipate na ukomeshe asie heshim mahusiano.

NSASI, kupunguza vitambi(nyama uzembe),  maziwa makubwa,michirizi, makovu makubwa, chunusi sugu. Nk

SIX POWER:-inatibu upungufu wa nguvu za kiume kwa wasio weza kumudu tendo la ndoa itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara 4 bila hamu Kuisha, inaboresha maumbile madogo na inaimarisha misuri iliyo regea na kusinyaa una pona kabisa, ndani ya siku 4tu

GASELA:-ni dawa ya maajabu (10) yaliyoshindikana.    (1)-Kisukari siku 14 na kuwa normal na kupona kabisa na kutorithisha wanao, vidonda vya tumbo,kutoa gesi na kupona kabisa dozi siku 7, tezi dume ukitaka kupona tezi dume wasiliana nami nikushauri kwani n8 gonjwa sugu a kwangu utapona,dawa ya uzazi hujawahi kupata mtoto na unataka kupata mtoto tiba yake ipo je? unabeba mimba zinatoka ?na unahitaji uitwe mama? tumia dawa ya mapacha 1-4 ,busha bila oparesheni siku 60,na kuendelea kufanya kazi zako. 

Haya yote yana wezekana kwa DR SANDALA popote ulipo ukiniitaji nafika napatikana DAR ES SALAAM, PWANI BAGAMOYO ,SHINYANGA KAHAMA,MOSHI KILIMANJARO NA MBEYA.mawasiliano   simu namba     0753 928 576.

                

Taarifa Kutoka Makao Makuu Ya Jeshi La Zimamoto Na Uokoaji

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 59

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA
Nikanyanyuka na kuanza kumzunguka jamaa huyu kama mara nne hivi huku nikiendelea kumdadisi huku nikihakikisha kwamba udadisi wangu hauwezi kunaswa na kamera hata moja iliyo kwenye chumba hichi kwani kila kiti kina rekodiwa. Nikajikuta nikitabasamu mimi mwenyewe huku nikikaa kwenye kiti nilicho kuwa nimekalia hapo awali. 
 
‘Waseng** hawa wamemleta bubu humu ndani sasa atazungumza nini?’
Nilijikuta nikizungumza kimoyo moyo huku nikimtazama jamaa wa watu jinsi anavyo chirizika damu, nikashusha mikono yangu chini kidogo usawa wa mweza hii na nikaanza kuzungumza na ishara za vidolea huku nikimuuliza jamaa huyu ni kosa gani ambalo limemfanya hadi kukamatwa na polisi. Nikajikuta nikishtajabu sana mara baada ya jamaa huyu kuniambia kosa la yeye kukamatwa na polisi ni kuiba kuku tena jogoo tena mitaa ya uswahilini, taratibu nikajikuta nikishusha pumzi huku nikitingisha kichwa kwa kumsikitia jamaa huyu mnyonge.
   
ENDELEA
Ili kudhibitisha hilo, nikamuuliza tena kwa ishara jamaa huyu kwamba ni kweli amaeiba kuku. Jamaa akakiri kwa kuapa kabisa huku machozi yakimwagika usoni mwake. Nikanyanyuka kwenye kiti changu na kutoka katika chumba hichi.
“Vipi?”
Biyanka aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu kwa umakini sana.
“Afande mumesema kwamba huyu ndio mtuhumiwa aliye nitumie meseje”
 
“Ndio”
“Sasa mbona hazungumzi?”
Niliuliza swali la kizushi kwa maana ishara zote ambazo nilikuwa ninazizungumza na jamaa huyu ni tofauti kabisa na ishara ambazo watu wa kawaida wamezizoea kuweza kuzungumza na watu wenye ulemavu wa kuzungumza(Mabubu). Ishara nilizi zitumia mara nyingi tunazitumia katika mchezo wa mpira pale wachezaji wanapo amua kubadilisha mfumo wa kucheza pasipo timu pinzani kufahamu kwamba kuna mkakati unapangwa.
 
“Nahitaji apelekwe mahakamani”
“Kuna mambo kidogo tunayahitaji kuyapata kutoka kwake, tukiyakamilisha basi tutampeleka mahakamani”
“Ahaa…Itachukua muda gani?”
“Kama siku moja au mbili hivi”
“Sawa afande acha sisi tuende”
Nilizungumza kwa msisitizo hadi Biyanka mwenyewe akashangaa. Tukatoka eneo hili na kuingia kwenye gari tulilo jia.
 
“Tunaelekea ofisini au nyumbani?”
“Ofisini, nimeiacha simu yangu kwenye chaji”
“Poa”
Tukaondoka eneo hili la polisi huku kichwani mwangu nikijaribu kupanga na kupangua mipango ya kuweza kumsaidia mtu huyu aliye kabambikiwa kosa kubwa toafuti na lile alilo lifanya.
 
“Nitampata tu”
Nilijikuta nikiropoka hadi Biyanka akanitazama.
“Nani tena mume wangu”
“Hakuna tatizo”
“Niambie tu mume wangu, kama kuna tatizo lolote ninakuomba uweze kuniambia?”
“Hakuna”
Tukafika ofisini, moja kwa moja tukaeleka ofisini kwangu.
“Mkurugenzi kikao tayari”
Sekretari wangu alizungumza mara baada kuingia ofisini hapa. Nikamruhusu atoke ofisini kwangu na akaendelee na kazi zake.
 
“Unaweza kuingia kwenye kikao na hali hiyo mume wangu?”
“Ndio ninaweza, kwani nipo vipi?”
“Unaonekana kutokuwa sawa. Kama ni adui yako ndio yote tumesha mkamata, askari wakimaliza kufanya upelelezi wao basi watampeleka mahakamani. Au unahitaji polisi wamuulie gerezani ili kusiwe na mlolongo mrefu mume wangu”
Nikamkata jicho kali Biyanka hadi akastuka, toka niwe naye kwenye mahusiano nina imani kwamba hajawahi kukutana na sura yangu ya kuchukizwa kama hii.
“A…ha….a….si..ku….a…w.a na mahaan hiyo mume wnagu”
Nikanyoosha kidole kuelekea mlangoni. Biyanka akautazama mlango kisha akanitazama mimi.
 
“TOKAAAAAAAAAAA”
Nilizungumza kwa hasira huku nikiibamiza meza kwa nguvu, nikamshuhudia Biyanka akiyumba na kujikuta akiakaa chini pasipo kupenda. Akaanza kuhema kama mtu ambaye amefanikiwa kuwatoroka mbwa walio kuwa wanamkimbizi kwa umbali mrefu sana.
“Nikiwa ninafikiria mambo yangu, sihitaji ushauri wa kipuuzi umenielewa?”
“Eheee”
“Nenda ofisini kwako na muda wa kazi ukiisha nenda nyumbani kwako. Leo ninahitaji kuwa peke yangu sawa”
 
“Unas…..”
“Hakuna cha ninasema, ni hivi leo nana hitaji kuwa peke yangu. Sihitaji kukupasua kichwa chako hicho Biyanka”
Nilizungumza kwa kujiamini huku nikimtazama kwa hasira, hadi mikoyo yangu ina nitetemeka. Biyanka taratibu akanyanyuka na kujiweka vizuri koti lake la suti hii ya kaki aliyo vaa. Akaanza kutembea kwa unyonge kuelekea nje. Nikaka kwenye kiti changu na kukiburuza hadi karibu kabisa na kioo kikubwa ambacho ni kama ukuta wa kuelekea nje. Nikaanza kutazama madhari ya magorofa ya jiji hili la Dar es Salaam.
 
Nikaanza kukumbuka kwamba, kipindi nilipo kuwa mdogo, kitu nilicho kuwa nina kihitaji ni nguvu. Nguvu ambayo ni lazima iweze kusimamishwa kwanza na pesa kisha niweze kuwa na watu ambao wanaweza kupigana kwa ajili yangu, iwe kwenye shida au raha.
 
‘Nahitaji kuwaangusha hawa washenzi’
Niliendelea kuwaza akilini mwangu.
‘Lazima niweze kumtafutia mwana sheria kijana huyu. Hapa ndipo ninaweza kuanza kupata nguvu’
Nikaitazama simu yangu sehemu nilipo iweka, nikaichomoa kwenye chaji. Nikaitafuta namba ya Qeen, nilipo ipata, nikataka kumpigia ila nikaona sio jambo zuri. Nikanyanyua na kueleleka katika ukumbi wa mikutano. Nikawakuta wafanyakazi wote pamoja na meneja wao, ambao wanahusika na maswala ya matangazo.
 
“Samahani kwa kuchelewa”
“Hakuna mashaka mkurugenzi”
“Sawa, kikao changu hakito kuwa kirefu sana zaidi ya kuhitaji kutoa maagizo machache kwenu nyinyi. Kama munavyo fahamu, nyingi nio watu muhimu sana katika kuhakikisha kwamba wateja wanatumia mtandao wetu wa simu. Ninahitaji kwa mwenzi huu unao kuja, tushushe kiwango cha bei za bando za internet, pia bando za watu kuzungumza. Asilimia ya kushusha iwe ni ishirini kwa kila kifurushi. Lengo ni kuwafikia watu wengi sana ambao wengi wao ni wa hali ya chini. Sijui nimeeleweka?”
“Ndio mkurugenzi una eleweka”
“Mfano mdogo tu, endapo wezetu bando zao zitaanzia buku si ndio munavyo sema”
“Yaa elfu moja”
 
Meneja alizungumza huku akitabsamu.
“Sisi tukaweka GB 1 kwa sh mia sita tu, nina imani kwamba katika mzunguko wa kibiashara tuatapa wateja wengi sana kuliko wale watakao weka GB moja kwa sh elfu mbili.”
“Wekeni matangazo mazuri, yakuvutia. Wekeni wadada wazuri na wakaka wazuri sana wanao vutia. Walipeni vizuri, sihitaji figisu figisu huko kwenye mitandao ya kijamii kuhusiana na malipo. Kama mtu atafanya kazi ya kutuingizia mabilioni ya pesa, munashindwaje kumlipa milioni mia au mia mbili kwa tangazo. Hilo meneja lifanyie kazi. Munaona tumeshika namba mbili, awamu inayo kuja nahiji tushike namb moja na kama ni moja basi tusing’oke kabisa. Nakaribisha maswali”
 
Nilizungumza huku nikiwatazama wafanyakazi wangu wote.
“Ahaa mkurugenzi unaonaje tukakuweka kwenye tangazo moja wapo kwa maana una lipa kwa kweli?”
“Haaha, mutanilipa kiasi gani?”
Jibu langu likawafanya watu wote kucheka humu ndani.
“Nilikuwa ninatania jamani. Kwa mimi kuwa katika matangazo ya kampuni yangu mwenyewe, kwanza itakuwa ni roho mbaya, kwani kuna vijana wanajitahidi masikini ya mungu kwenda gym kila siku kutengeneza vifua. Wadada wengine nao ndio hao kila siku kuweka diate kwa ajili ya kutengeneza miili yao. Sasa inabidi juhudi zao siku moja ziweze kuzaa matunda. Nina imani kwmaba nitakuwa nimekujibu kisiasa japo mimi sio mwana siasa”
 
Watu wakaendelea kucheka, japo moyoni mwangu nimejawa na chuki kubwa sana ila nina hakiksisha kwamba hakuna mfanyakazi wangu hata mmoja ambaye anaweza kutambua ni kitu gani kinacho endelea kwangu.
 
“Mkurugenzi mimi nikuahidi, hili jambo mimi na timu yangu tutalishuhulikia kwa haraka sana na baada ya mipango yote kuweza kukamilika basi tutakueletea taarifa”
“Sawa. Nina wazo jengine moja muhimu sana. Hivi munaweza kuanzisha mashindano ya mpira wa miguu kwa timu kubwa kubwa?”
 
“Ndio inawezekana mkurugenzi”
“Tunaweza kuanzisha kombe letu. Hivi hawa wanao shiriki ligi kuu ya hapa nchini wanagombania milioni ngapi?”
“Sabini au themanini hivi”
“Ni themanini mkuu”
“Ahaa, sasa sisi tuanzishe kombe letu, mshindi wa kwanza ana pata dola laki moja na nusu itakuwa kama kiasi gani?”
“Milioni miatatu na usheee”
“Ushee ndio nini jamani?”
“Hahaaa, mkurugenzi ushee inamaanisha ushenzi. Mara nyingi hutumika kwenye kuongezea vionjo vya pesa nyingi nyingi hivi. Kama milioni kumi na ushenzi hivi”
Meneja bwana George alinielewesha na kujikuta nikiwa na furaha sana ya kufahamu kishwahili cha aina hiyo.
 
“Sawa hilo anza kulifwatilia kisha utanipa ripoti. Ila hili la matangazo hakikisheni kwamba linafanyiwa kazi haraka iwezekanavyo”
“Sawa sawa muheshimiwa”
“Kikao kimekwisha”
Baada ya kumaliza hivyo tukanyanyuka kwenye viti vyetu na kutoka ukimbini humu. Nikapita kwenye mlango wa ofisi ya Biyanka, nikapiga hatua mbili mbele kisha nikarufi nyuma. Nikasoma kibao kilichopo juu katika mlango wake huu. Taratibu nikafungua mlango wake na kuingia ndani.
 
“Nimesema sitaki watu h……..”
Biyanka mara baada ya kunyanyua uso wake alio kuwa ameuinamisha chini ya meza yake na kuniangalia ni mimi akakatisha sentensi yake. Mashvu yake yote yamelowana na machozi, macho yamekuwa mekundu, unyonge mwingi umemtawala hadi nikaanza kumuonea huruma. Taratibu nikatembea hadi alipo kaa, nikamnyoosha mkono wangu wa kulia na taratibu akaupokea, nikamnyanyua na kumshika kiunoni na kumsogeza kifuani mwangu.
“Una lia nini mpenzi wangu?”
Nilizungumza kwa sauti nzito kidogo ila iliyo jaa mahaba mazito hadi nikahisi mwili wangu ukinisisimka.
 
“We….w…e….si…umenifukuza”
Biyanka alizungumza kwa sauti ya kudeka, nikakiinamisha kichwa chake begani mwangu.
”Nisamehe mke wangu, haikuwa akili yangu. Unajua toka nimekutana na tukio lile la kutishiwa uhai wangu, basi limeniathiri kisaikolojia na nimejikuta ni mtu wa hasira na mtu wa kutamani kukaa peke yangu muda wote”
Nilijitetea kwa hilo ili kuweza kuficha yale ninayo yafahamu juu ya Biyanka na baba yake.
“Ohoo jamani mpenzi wangu. Kama vipi twende kwa mwana saikolojia akakupe japo ushauri mdogo unao weza kuirudisha furaha yako. Hivi leo ndio nimekona na kufahamu kwamba una tisha Ethan”
 
“Yaa nalitambua hilo mke wangu?”
“Nimeogopa kwa kweli, nimeshindwa kujizuia mwili wangu hadi nimeanguka chini mpenzi wangu. Nakuomba sana mpenzi wangu twende kwa mwana saikolojia tukitoka hapa kazini. Kwa hali ile tukiwa ndani peke yetu siku unaweza kunivunja hata kiuno changu”
“Sinto weza kufanya hivyo mpenzi wangu. Huko kwenda, tutakwenda siku nyingine sawa mama”
“Sawa, nitampigia ili atupangie siku yetu ya pekee na akatushauri juu ya hili swala”
“Poa mke wangu, mimi kuna kazi ninakwenda kuimalizia ofisini kwangu, nitahitaji utulivu wa kuto buguziwa”
 
“Sawa mpenzi wangu”
Tukanyonyana midomo yetu na Biyanka kwa sekunde kadhaa kisha nikatoka ndani humu. Nikarudi ofisini kwangu na kukaa kwenye kiti. Nikaindika barua pepe kwa wakurugenzi wote wanao simamia kampuni zangu zote duniani na kuwaarifu leo saa nane usiku kwa maasaa ya Afrika mashariki tutakuwa na kikao kwenye mtando wa skype na kila mmoja wao nimemuagiza kufika na ripoti ya mapato ya miezi takribani tisa ambayo sikuwepo katika bara la ulaya. Kila mmoja aliweza kujibu kwamba ameipata email yangu.
 
“Vipi”
Nilizungumza kwa sauti ya chini chini huku simu yangu nikiwa nimeiweka sikio la upande wangu wa kulia.
“Safi”
“Sasa nahiji namba ya yule shemeji yenu ambaye ni mbunge”
“Sawa mkuu”
“Jambo jengine, kuweni tayari muda wowote na wakati wowote kuna sehemu ninaweza kuwaita”
“Sawa mkuu”
 
Nikakata simu mara baada ya kuzungumza na Qeen na Latifa ambao simu zao niliweza kuziunganisha kwa pamoja. Muda wa kuondoka ofisini ukawadia. Tukaondoka na Biyanka huku nikimuomba anipeleke eneo ambalo wana uza laptop zenye ubora wa hali ya juu. Baada ya kununua laptop moja tukaelekea hotelini tunapo ishi.
“Laptop hii ya kazi gani?”
“Leo nina hitaji kuzungumza na wakurugenzi wezangu wa kampuni zangu”
“Ahaaa, sasa kwa nini usinge niambia nikupe laptop yangu?”
“Hapana unajua vitu hivi ni kama simu vile. Unaweza ukawa umeweka mambo yako ya siri ambayo mimi sipaswi kufahamu na mwishowe nikajikuta ninaviona na ikawa shida kwenye mapenzi yetu”
 
“Ni kweli lakini”
Simu ya Biyanka aikaanza kuita, akaipoke ana kuiweka sikioni mwake.
“Sasa ngapi mama?”
“Sawa ngoja nimuage mkwe wako hapa”
Biyanka akaka simu na kunieleza kwamba mama yake ana muomba waweze kuelekea mkono Arusha kwa ziara ya siku mbili, ikiwa ni moja ya mipango ya kutengeneza njia nzuri za baba yake atakapo pita kwenye kampeni aweze kupata wafuasi wengi bila shida na ukitegemea wanawake wengi ndio wanao penda chama tawala.
 
“Sawa, muunge mkono mama.”
“Acha basi nieeleke nyumbani kwake. Tutawasiliana mume wangu”
“Nashukuru”
Biyanka akanipiga busu na kutoka ndani humu. Majira ya saa sita usiku nikaondoka hotelini hapa na kwenda kwenye hoteli Ramada, nikawatarifu Qeen na Latifa waweze kufika katika hoteli hii na nikawapa maelekezo ya chumba nilichopo. Baada ya kama dakika aruboini hivi wakaweza kufika hotelini hapa.
 
“Mkurugenzi umetuita usiku sana vipi kuna tatizo?”
“Hakuna tatizo, ila tunakwenda kuianza kuianza kazi ya kumuangusha mgombea wenu munaye mpenda bwana Poul Mkumbo katika uchaguzi huu”
Qeen na Latifa wakabaki wakiwa wameduwaa, kwani wanafahamu uhusiano wangu wa kimapenzi na Biyanka na mtu ninaye hitaji kumfanyia ukatili ni baba yangu mkwe mtarajiwa.

==>>ITAENDELEA KESHO

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 200- MWISHO )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA  
     
Ndani ya muda machache nikaoiona sura ya K2 kwenye Tv ya mbele yangu, uso wake baada ya kuniona mimi akastuka sana, wasiwasi mwingi ukamjaa, kigugumizi kikampata kwani ninaona jinsi kinywa chake kinavyo jaribu kuzungumza neno ila kinashindwa.
 
“K2 baada ya Marekani wewe ndio unafwata. Jiandae”
Nilizungumza kwa sauti nzito sana ambayo tangu kuzaliwa kwangu sikuwahi kuitoa kinywani mwangu. Baada ya kuzungumza maneno hayo nikaipiga ngumi tv hii na ikapasuka pasukua, nikiashiria kwamba ni muda wa kwenda kuonana na K2 uso kwa uso.

ENDELEA
Nikawageukia Logate na Magret wakabaki wakinitazama, nikatazama chini maiti ya Ester na wasichana wengine. Kisha nikaanza kutoka humu ndani pasipo kuzungumza kitu chochote na kuwafanya wanifwate kwa nyuma. Wakaokota silaha za wasichana wezao ambao wameuwawa, kila mmoja akaokota silaha yake kwa muda wake. Tukaanza kupambana na wanajeshi tunao kutana nao hadi tukafanikiwa kutoka nje. Tukamkuta Jojo akiwa amewaua wanajeshi wote, hakuna  hata helicopter moja inayo katiza hewani.
 
“Mupo salama?”   
Jojo aliwauliza Magreti na Logate.
“Ndio”
“Tuondokeni”
Tukaingia kwenye moja ya boti ya jeshi na kuondoka eneo hili la meli kwa kasi sana.
“Hawa, na Yemi wapo wapi?”   
“Wamechukuliwa wote wanne”
Logate alinijubu huku akinitazama usoni mwangu.
“Wamechukuliwa na nani?”   
“Wanajeshi wa Marekani, wamechukuliwa, Livna, Yemi, Babyanka na Hawa”
“Baba hao wapo sehemu salama”
“Sawa”
Tukazidi kusonga mbele, huku Jojo akiwa ndio muendeshaji  wa boti hii. Tukafika Pemba katika nyumba tunayo ishi. Tukashuka  sote wanne na kuingia ndani.
 
“Hapa ndipo ninapo ishi karibuni sana”
“Asante”
Magret alijibu huku akishangaa shangaa eneo hili.
“Inabidi kwenda sasa hivi kumvamia K2?”
“Muda huu sio mzuri baba?”
“Kwa nini?”
“Muache ajipange yeye na jeshi lake kwa maana kama tunahitaji kukata mti inabidi tung’oe na mizizi yake”
Jojo alizungumza huku akivua shati lake la jeshi na akabakiwa na sidiria. Akaingia jikoni na kuridi akiwa ameshika jagi kubwa la juisi ya maembe, akawamiminia Magret na Logate kila mmoja kwenye glasi yake.
 
“Jojo K2 anaweza akatoroka?”
“Hana pa kukimbilia kwa maana hakuna nchi duniani kwa sasa ambayo inahitaji kumfadhili K2, kama Marekani mwenyewe tumrmfanya hivyo ulivyo mfanya hivi unahisi ni nani anahitaji kutiwa hasara ikiwa yeye mwenyewe hajajipanga vizuri”
Jojo alizungumza kw amsisitizo, nikamtazama kwa sekunde kadhaa kisha nikaingia chumbani kwangu. Haikupita hata dakika moja Jojo akaingia.
“Baba najua una hasira ya K2 ila kuna kitu ninahitaji kukisubiria kikikamilika ndio tutakwenda?”
“Lini tutakwenda?”
Nilizungumza kwa ukali kidogo huku nikimtazama Jojo usoni mwake.
 
“Ni leo baba, bado muda mchache tu nitakuambia twende tukamvamie K2, ninakuomba unielewe baba yangu”
“Ni jambo gani hilo ambalo unahitaji likamilike?”
Jojo akaka kimya kwa muda huku akinisogela karibu yangu, akasimama futi chache sana kutoka hapa nilipo simama.
“Damu ya Magret itakufanya wewe uishi miaka yote ukiwa kijana na nguvu zako zote na hotokuwa na haja ya kunywa damu tena maishani mwako”
Jojo alizungumza kwa sauti ya chini sana, nikaka kimya huku nikimtazama usoni mwake.
 
“Unataka kumaanisha nini?”
“Ninamanisha kwamba, ninahitaji umuue Magret kwa mikono yako wewe mwenyewe na kuinywa damu yake. Ukiweza kufanya hivyo hakuna ambalo litanshindikana kwenye maisha yako baba yangu”
“Jojo siwezi kumuua Magreti hana hatia yoyote kwenye hili tunalo lifanya?”
“Nalijua hilo baba yangu, sasa hivi ukisema uende kupambana na K2, ana wanajeshi zaidi ya laki mbili wameizingira ikulu, unahisi baba wote watakukosa hata kwa risasi eheeee. Na hapo wakikupiga risasi nilazima ufe, sihitaji kukupoteza baba yangu. Ninakupenda baba, ukifa wewe mimi nitabaki na nani huku duniani, ikiwa wewe ndio mtu wa pekee ambaye unaweza kuishi na mimi na kujua yale yote niliyo kuwa nayo”
 
Jojo alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake, nikaka kimya kwa sekunde kadha huku nikimtazama Jojo usoni mwake.
“Hivi Logate akifahamu kwamba nimemua magreti unahisi itakuwaje?”
“Logate ni wangu, nitammaliza mimi mwenyewe. Kumbuka baba kuna malengo mengi unayo takiwa kuyakamilisha kwenye maisha yako pia unatakiwa kuyakakimilisha kwenye hii nchi, tafadhali baba nakuomba ufanye hivyo kwa maana kuna miaka zaidi ya isirini na kitu hivi hadi uje kukutana na raisi ambaye ataipeleka hii nchi kwenye malengo ulio achiwa na babu Hitler”
Jojo aliendelea kuongea kwa msisitizo huku akinitazma usoni mwangu. 
 
“Naomba muda wa kufirikia hili”
“Sawa baba, leo ni lazima tumuua K2 ila lazima ufanye nilicho kuambia baba yangu”
“Nimekuelewa Jojo ninakuomba nipumzike kwanza nifikirie hili”
Jojo akanibusu kwenye paji langu la uso kisha akatoka chumbani humu na kuniacha peke yangu. Nikajitupa kitandani mwangu huku nikifiria ni mbinu gani ninaweza kumuua Magret ambaye kusema kweli roho yangu inaniuma sana katika kutekeleza swala hili.
 
‘Siwezi kumuua Magreti, acha nife mimi ila nilazima nimuue K2 kabla ya mimi kufa’
Niliwaza kimoyo moyo, nikakaa kitako kitandani, hata kabla sijanyanyuka, mlango ukafungulia na nikamuona Magret akiingia akiwa katika sura ya huzuni. Akaufunga mlango kwa ndani na taratibu akaanza kunisogelea nilipo na akakaa pembeni yangu.
Ukimya ukatawala katikati yetu, nikamtazama Magret kwa jicho la kuiba na nikamuona akimwagikwa na machozi usoni mwake.
 
“Unalia nini?”
Nikamuuliza Magreti huku nikimgeukia.
“Dany, sina familia sasa hivi. Wanafamilia wangu wote nimeshindwa kuwalinda na wote wamekufa. Nina haja gani ya mimi kuendelea kuishi kwenye hii dunia.?”
Maneno ya Magreti yakaanza kuufanya moyo wangu kuanza kunienda kasi sana kwa maana ni muda mchache tumetoka kuzungumzia juu ya kumuua.
“Kwa nini unazungumza hayo maneno?”
“Dany, nilisha zoeza kuishi kwenye ile meli, unahisi kurudi huku uraiana na tunaishi sehemu hii ambayo kusema kweli sijazoea Dany, nasikia kufa, nahitaji kufa”
 
‘Masikini weee’
Nilizungumza kimoyo moyo huku nikimtazam Magreti usoni mwake, taratibu akanikumbatia kwa nguvu huku akiendelea kulia kwa uchungu. Taratibu akausogeza mdono wake hadi kwenye mdomo wangu, tukaanza kunyonyana midomo yetu huku ndimi zetu zikwa na kazi ya kuchezeana mdomoni.
Hisia za mapenzi zikazidi kupamba kwenye mmili yetu na kujikuta tukianza kuvua nguvo zetu na ndani ya muda mchache sana tukajikuta tukiwa kama tulivyo zaliwa. 
 
Nikaanza kumshuhilikia Magreti ambaye yeye mwenyewe amedhamiria kwamba anahitaji kufa kwenye mikono yangu. Kila muda unavyo zidi kwenda na ninavyo itazama shingo yake, ninajikuta nikianza kuingiwa na roho inayo nishawishi nimng’ate kwenye shingo yake hii.
Ili kuto kuipata tamaa hii, nikamgeuza Magreti na yeye akawa juu yangu huku akiwa amenikalia kisawasawa
 
“Naumia Dany”
“Jitahidi”
Magreti akaanz akuzungusha kiuno chake huku sura yake akionekana kuyavumialia maumivu anayo yapata
“Da….d….y nina…..nina……kupe……”
Gafla nikastukia kumuona Magreti akilala kifuani mwangu, huku shingo yake ikiwa imevunjika. Nikamuona Jojo akiwa amesimama mbele yetu huku akiwa katika hali ya kukasirika na kutisha sana, mikononi mwake anavuja damu nyingi sana.
“Baba unafaya nini sasa…..”
 
Jojo alizungumza huku akihema mihemo inayo tisha.
“Wewe ndio nikuulize unafanyaje?”
“Baba hiyo sio kazi ambayo nimekuambia. Haya sasa nimekurahisishia kumuua kunywa damu yake”
Jojo aliendelea kuzungumza huku akiwa amenikazia macho, kwa kulidhihirisha hilo, akamsukuma Magreti aliye poteza maisha, pembeni yangu. Jojo hakunionea aibu kumuona jogoo wangu ambaye bado amesimama na anahitaji kuendelea na mechi.
“Siwezi kuionyonya damu yake nikiwa katika hali hii”
“Hiyo ndio hali nzuri baba, fanya”
Jojo alizungumza kwa ukali, akazichomeka kucha zake zilizo chongoka kwenye shingo ya Magreti na damu ikaanza kutoka nje.
 
“Mnyonye haraka kabla damu yake haijakauka”
Nikamtazama Jojo kwa muda kidogo kisha taratibu nikausogeza mdomo wangu karibu kabisa na shingo ya Magret na kuanza kumnyonya taratibu damu yake. 

Sikuweza kuisikia ladha wala harufu ya damu yake zaidi ya kuhisi kama ninakunywa maziwa fulani hivi yaliyo changanywa na choclate. Nikajihisi nikipata nguvu nyingi sana hadi ninamaliza mdomo wangu wote umejaa damu. Jojo akanipa mkono wake wa kulia taratibu nikaushika na akaninyanyua kitandani hapa, akaanza kunilamba sehemu zote za mdomo wangu lilizo jaa damu.
“Tunamiaka mingi ya kuishi baba yangu”
“Kweli”
 
“Ndio, ingia bafuni sasa ukaoge, tujiandae na kazi iliyopo mbele yetu”
Nikamtazama Jojo kisha nikamtazama jogoo wangu ambaye bado yupo kwenye ubora wake wa kusimama kama namba moja.
“Mimi ni mwanao siwezi kukusaidia katika hilo”
Maneno ya Jojo yakaniondoka hapa chumbani na kuingia bafuni, nikaoga baada ya muda nikatoka na kukuta maiti ya Magreti ikiwa haipo kitandani mwangu na kitanda kikiwa kimebadilishwa shuka kabisa.
Nikakuta suti nzuri nyeupe pamoja na shati jeupe na viatu vyeupe vikiwa juu ya kitanda. Taratibu nikaanza kuviva taratibu hadi nikamaliza.
 
“Tunadakika ishirini za kukaa hapa kabla ya kuondoka”
Jojo alizingumza huku akiwa amejifunga taulo kifuani mwake.
“Jiandae sasa tuondoke”
“Dakika chache tu nitakuwa nipo tayari”
“Ok fanya hivyo”
Nikamaliza kuvaa na kutoka chumbani humu, nikakuta bastola kadhaa zikiwa zimepangwa juu ya meza pamoja na majambia mawili yenye urefu mkubwa kiasi. Jojo akatoka chumbani kwake huku akiwa amevalia suruali nyeusi inayo meremeta pamoja na kikoti kinacho fanania na surualia yake. Chini amevalia viatu virefu vinavyo fahamika kwa jina la travota. Mkononi mwake ameshika kitambaa cheusi na nywele zake amezibana kwa nyuma.
 
“Nipo tayari baba mbona unanishangaa hivyo”
“Ninakushangaa mwangu uvaaji wako umependeza sana”
“Eti eheee”
“Yaa umependeza sana mwanangu, sasa kweli utaweza kuifanya kazi iliyopo mbele yetu?”
“Niamini baba nitaweza, nimekuandalia bastola zako ninaimani unazipenda kwenye utendaji wako wa kazi”
“Yaaa umejuaje, mimi kubebe silaha kubwa kusema kweli siwezi kabisa”
“Nimeligundua hilo”
“Yaani labda itokee kama dharura tu, ila nikiwa na bastola chochote kilichopo mbele yangu ni lazima nitahakisha ninakihimili.”
 
Jojo akachukua majambii haya mawili na kuyachomeka mgongoni mwake kwenye sehemu maalumu iliyopo kwenye kikoti chake. Nikachukua bastola nne pamona na magazine za kutosha, tulipo hakikisha kwamba tumekamilika katika maandalizi yetu tukaelekea eneo ambalo lina boti yetu na taratibu tukaaondoka eneo hili, huku moyoni mwangu nikijihisi mwenye furaha kubwa sana kwani ninakwenda kukamilisha kibarua kilichopo mbele yangu japo ni hatari ila moyoni mwangu ni furaha sana.
 
“Baba hii inabidi tuingilie na ufukwe wa baharini, kuna ulinzi mkali, ila inabidi kuhakikisha kwamba tunapambana nao, natambua sasa hivi una hisia za kuweza kusikia kitu chochote cha hatari ambacho kinaweza kuja mbele yako, sasa huu ni muda wa kuitumia”
“Sawa Jojo”
“Baba mbona una furaha hivyo”
“Ahaaa nina imani kwamba leo itakuwa ni kazi yangu ya mwisho kwenye maisha yangu kuikamilisha”
“Yaa ni ya mwisho ila ni badae sana tutakuwa na kazi nyingine”
 
“Badae leo?”
“Hapana, ni miaka mingi mbeleni”
“Ok”
Taratibu Jojo akasimamisha boti hii anayo iendesha tukiwa bado hatujafika mahala husika.
“Mbona umesimamisha boti”
Jojo hakunijibu kitu chohchote zaidi ya kukaa kimya, akaitazama saa yake ya mkononi.
“Sasa hivi  ni saa kumi na mbili jioni inabidi tukae hapa hadi saa mbili usiku”
“Mmmm mbona unapelekea masaa mbele?”
“Baba usiku ndio muda mzuri kwako, ngoja nikuambie udhaifu wako mmoja ambao ninauona kwako”
“Ni nini?”
 
“Kukiwa na mwanga, wa jua, hutoweza kuifanya kazi yako kikamilifu, na maadui zako ni lazima uhakikishe kwamba unakabiliana nao usiku”
“So huo ndio udhaifu wangu?”
“Ndio baba, ni vyema nikakuambia mapema kuliko nikaa kimya alafu likajitokeza tatizo na mwisho wa kisku likatokea tatizo na ukashindwa kulihimili hilo tatizo”
“Sawa mwanangu, ila mbona kama tulikwenda kuvamia kwenye meli kule?”
“Ulikuwa bado hujapata mtu wa kukufanya uishi miaka mingi kama ulivyo, umeipata damu ya Mageti na umebadilika sasa baba”
“Sawa mwanangu”
 
Tukakaa hapa hadi ilipo timu usiku wa saa mbili tukaindoka eneo hili kwa kasi sana. Kwa mbali tukanza kuona boti za jeshi zinazo zingira ufukwe wa ikulu. Jojo hakupunguza mwendo kasi wa boti, wanajeshi hawa walivyo jaribu kutuzuia ikawa ni kosa kubwa sana kwako kwani nikaanza kazi ya kuwashuambulia kwa kasi sana ubora wa mashambulizi kwa upande wangu kusema kweli umeongezeka sana. Kila risasi yangu moja inaua mwanajeshi mmoja.
Tukafanikiwa kufika ukingoni, Jojo kama kawaida yake akazidi kuwashambulia wanajeshi hawa kwa kuwakata kata kwa wanajeshi kila alio wafwaata. Baba  na mwana kwa kazi ikazidi kuwa nzito, hatukuwa na huruma yoyote na mwanajeshi yoyote katika eneo hili.
 
Ndani ya nusu saa tukawa tumewamaliza wanajeshi wote wanao linda nje ya ikulu. Ngou zangu zote zimenijaa damu, Jojo ukimtazama mwili mzima naye amatapakaa damu kwani uuaji wake kusema kweli  ni zaidi ya ukatili. Tukaingia ndani ya ikulu, na kukuta walinzi wengine walio jitahidi kutuzuia ila hakuna ambaye anaweza kutuzuia,  tukazidi kupambanana nao hadi tukafanikiwa kuwamaliza wote. Nikafumba macho yangu, nikavuta hisia kwa kasi sana na kugundua kwamba K2 yupo katika mlango mbele yetu. 
 
Nikaanza kutembea kwa taratibu hadi nikafanikiwa kuufikia, nikausukuma kwa nguvu. Nikawakuta wanajeshi wanne walio simama mbele ya K2 huku mikononi mwao wakiwa wameshika bunduki zao.
“Washambulieni………………”
K2 alizungumza kwa ukali sana, nikajaribu kufyatua risasa, ila bastola zangu zote mbili zimeisha risasi na sina magazine yoyote mifukoni mwangu yenye risasi. Hata kabla hawajanifyatulia risasi mbele yangu kwa haraka nikatukia vichwa vya wanajeshi hawa vikianguka chini na miili yao ikafwata kwa kuanguka na akabaki K2 na mwanae wakiwa wanatetemeka kwa woga sana. Hata bastola aliyo ishika mkonon mwake ameshindwa kabisa kuitumia na kujikuta ikimuanguka chini.
 
“K2 ulihisi hatuto onana eheeee?”
Nilizungumza kwa dharau huku nikivua koti langu lililo jaa damu ambazo unaweza hata kulikamua na ukajaza glasi kadhaa za juisi.
“Watu wote hawa wamekufa kwa ajili yako, familia yagu imekufa kwa ajili yako. Mamilio ya wamarekani wamekufa kwa ajili yako. Umejisikiaje?”
 
K2 akazidi kutetemeka, mwanaye haja ndogo ikamtoka.
“Ulihisi  kwamba unaniweza, mimi ni DANY, DANY HITLER. Nimezaliwa kuwa gaidi na nimekuwa gaidi, ulinifanya kijakazi wako, ulinitumikisha NSS, ukanifanya fala nikutumie ku** yako na m** wako, ukanifanya niwe mbali na wale ninao wapenda. So leo hii nipo mbele yako una kipi cha kiniambia.”
K2 naye akaanza kujikojolea, ujanja na umahiri wake mwana mama huyu ukamuisha wote. Hakuishia katika kujikojolea tuu bali hata kujinyea napo kukamtawala.
“Huyo ni mwanao, Bonge. Hembu niambie nimuuaje?”
“Da….add….ny huyo ni mtoto hana tatizo lolote na wewe naomba umsamhehe maisha yake”
“Mmmmmm eti eheee?
“Malaika wangu ulimchinja kwa ujinga wako alikuwa na haki yoyote”
 
Nilizungumza huku nikimnyooshea mkono Jojo, akanikabidhi jambia lake moja, nikavuta mtoto wa K2 kutoka mikononi mwake kuku nikimtazama K2.
“Maamamaaaaa”
Mtoto wa K2 alilia na kumfanya K2 kujaribu kumshika ila Jojo kwa uhodari akamtandika teke la kifua lililo mkalisha chini.
“Sema kwaheri kwa mpumbavu mama yako”
“Ma……..”
Mtoto wa K2 hakuimalizia sentensi yake nikakikata kichwa chake na kumfanya K2 kupiga kelele za kulia kwa uchungu sana nikamrushia kichwa cha mwanae jambo lililo mfanya K2 kurudi nyuma akiogopa kichwa cha mwanae.
 
“Nahitaji dunia iweze kujua leo ninamuua K2, so ni…..”
“Kipo baba chumba cha kurushia matangazo”
Nikamnyanyua K2 kwa mkono mmoja na kuanza kuondoka naye hapa ndani huku Jojo akiongoza kuelekea katika chumba cha mawasiliano. Tukafanikiwa kufika katika chumba hichi, Jojo akaanza kuwasha karma moja baada ya nyingine.
“Mambo tayari”
Nikamvuta K2 mbele ya kamera hizi kisha Jojo kama kawaida akaninyooshea dole ngumba.
“Ninaimani kwamba huyu atakuwa ni mtu wa watu kumuua mbele ya macho yenu. Leo hii nipo tayari kuitangazia dunia kwamba chanzo cha mimi kufanya hivi ni kutokana na K2 kuniulia wazazi wangu kwa kuwachinja.”
 
Nilizungumza huku nikiwa nimepitisha jambia langu shingoni mwa K2.
“Leo ndio itakuwa mara yangu ya mwisho kumuua mtu kwenye maisha yangu na nipo kwa ajili ya kuisaidia nchi,  maraisi wajao musiwe kama K2 kwa maana nitakuwepo na nitaendelea kuwepo kwa ajili ya kuilinda nchi yangu.
 
Baada ya kumaliza kuyazungumza maneno yangu bila ya huruma nikaanza kuichinja shingo ya K2 na kusababisha damu nyingi kuruka hewani na nina imani kwamba watu wanao angalia matangazo haya ni lazima watafumba macho yao kumshuhudia raisi wao anavyo kufa kikatili sana. Nikakishika kichwa cha K2 na kuusukuma mwili wake pembeni.
 
“Nitarudi kwa ajili ya kuwasaidia wananchi wangu, liwekeni hili akilini”
Baada ya kuzungumza maneno haya nikaondoka mbele ya kamera hii huku nikiwa nimekishika kichwa cha K2, kwa haraka Jojo akanikumbatia huku akiwa na furaha sana.
“Baba umefanikisha, umefanikisha baba yangu kumaliza kila kitu”
“Asante mwanangu. Kina Livna je?”
“Wapo mikono salama baba yangu, twende tukaishi maisha ya amani”
Jojo alizungumza huku akiwa ameniachia mkono wangu, tukaondoka eneo hili la ikulu huku nikitazama maiti za wanajeshi hawa wengi. Tukaingia kwenye boti yetu na kuondoka eneo hili huku tukiwa na furaha na amani sana kwani tunakwenda kuanza maisha mapya yasiyo na tabu wala kutafutana, nikakitazama kichwa cha K2 kwa sekunde kadhaa. Nikakipiga busu kwenye mdomo wake.
“Kwa heri mpenzi wangu K2”
Taratibu nikakitupa kichwa cha K2 baharini na kuanza kushangilia kwa furaha sana kwani sasa amani ipo moyoni mwangu.
                                                                                           MWISHO
Ninamshukuru Mungu kwa kuweza kunisaidia kumaliza stori hii ambayo imenigarimu niezi 9 .Ni stori ambayo kusema kweli imeweza kunipa hatua kubwa ya uandishi kwenye maisha yangu. 

Ninamshukuru Mama yangu kwa kunisupport katika kazi zangu, washabiki zangu, wapendwa wangu na watu wote ambao mumekuwa nami bega kwa bega .

Majina  yote yaliyo tumika kaika stori hii ni ya kutunga. MUNGU ibariki kazi ya mikono yangu, Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika. Ninawapenda sana.

Endeleeni Kufatilia hadithi kali ya POWER inayoendelea kupitia mtandao huu pendwa wa Mpekuzi .

Ndani ya muda mfupi ntawaletea kitu kingine ili kiungane na POWER

Majaliwa Akutana Na Wajumbe Wa Bodi Ya Mishahara Na Maslahi Katika Utumishi Wa Umma

$
0
0
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa  amekutana na kufanya mazungumzo wa wajumbe wa Bodi ya Mishahara na Maslahi katika Utumishi wa Umma na ameitaka ifanye kazi kwa weledi.

Ameiagiza ifanye marekebisho ya maslahi kulingana na mazingira ya mtumishi, akitolea mfano kada za elimu, afya, kilimo na mifugo ili yalingane na kazi wanazozifanya.

Amekutana na wajumbe wa bodi hiyo leo (Alhamisi,Januari 24, 2019) katika kikao kilichofanyika kwenye makazi ya Waziri Mkuu Oysterbay jijini Dar es Salaam.

Waziri Mkuu amesema Serikali ina nia njema ya kuhakikisha mishara na maslahi ya watumishi wa umma nchini yanaboreshwa, hivyo ameiagiza bodi hiyo ifanye kazi kwa bidii.

Amesema Serikali imeunda bodi hiyo ili kupata ushauri utakaotokana na tathmini sahihi ya nini Serikali inatakakiwa kufanya ili kuboresha utendaji wa watumishi wa umma nchini.

Serikali inaimani kubwa na wajumbe wote wa bodi hiyo kutokana na uzoefu walionao kwenye  utumishi wa umma.

“Tunataka muongozo mzuri wa kuwafanya watumishi wa umma wafanye kazi yao kwa waledi bila ya kuwa na vishawishi vya aina yoyote ikiwemo kuomba na kupokea rushwa.”

Amesema Serikali inataka kila mtumishi wa umma anawajibika ipasavyo katika kuwatumikia wananchi mambo ambayo yatakuwa yameimarishwa kutokana na upatikanaji wa maslahi mazuri.

 IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Ijumaa ya January 25

Alichokisema Leo Mchungaji Josephat Mwingira Mbele ya Rais Magufuli

$
0
0
Leo January 23, 2019  Rais wa Jahmuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amekutana na viongozi mbalimbali wa Dini Ikulu Dar es Salaam na kuongea nao.

Mchungaji Josephat Mwingira alipata nafasi ya kusimama na kuongea mbele ya Rais Magufuli. 


“Mipango miji ni ya Mungu, mivurugano ni ya shetani, tuwe na mpango mkakati wa muda mrefu mathalani wa miaka 50 katika Miundombinu ili tusiwavunjie vunjie wananchi nyumba zao kila wakati, tuna Wataalam tuliowasomesha kwa nini hili linaendelea? tuliangalie hili.”  Amesema Mchungaji Josephat Mwingira.

Ameendelea kusema; “Suala la Wakuu wa Wilaya kutoa amri ya kuwaweka watu ndani wakiwemo Viongozi wa dini, unamweka Kiongozi ndani hii inanipa shida kidogo, je wanataka tuichukie Serikali yetu? Naomba wakuu hao wasipewe mamlaka hayo, wanaitia aibu Serikali kwa kudhalilisha watu.

“Mimi nina ushahidi, kule Sengerema Mchungaji wangu aliswekwa ndani na Kanisa likabomolewa, sasa nikajiuliza hii maana yake nini? Wakuu wa Wilaya wana madaraka yaliyopitiliza, wanaitia aibu Serikali.”

“Mhe. Rais, samahani kwa kusema umechelewa kidogo kutuita, ninashauri tu kwamba kabla haujazipeleka sera zako, ni vizuri tukae pamoja na kujadili kwa sababu ukiwa peke yako inakuwa vigumu sana.” Amemalizia kusema Mch. Josephat Mwingira.

Kamati Ya Nidhamu Fifa, Yamfungia Wambura Maisha

$
0
0
Kamati ya nidhamu ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), limetangaza kumfungia Michael Wambura maisha.Kifungo hicho kinamfanya Wambura kutojihusisha na soka maisha.


Michael Wambura alichaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka nchini TFF katika uchaguzi mkuu wa mwezi Julai mwaka 2017, kabla ya kufungiwa na shirikisho hilo mwaka uliopita kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha.

Alikata rufaa Mahakamani, ambapo Mahakama iliamuru kurejeshwa katika nafasi yake mwishoni mwa mwaka uliopita lakini TFF ilikata rufaa FIFA.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Alhamisi ya January 24

Wimbo Mpya wa Barnaba - Washa

VIDEO: Jolie Ft. Susumila – UNANIMALIZA

$
0
0
VIDEO: Jolie Ft. Susumila – UNANIMALIZA

TAKUKURU Yaomba Kumhoji Mshitakiwa Gerezani

$
0
0
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imeiomba mahakama ya hakimu mkazi Kisutu kwenda gerezani kumhoji mshtakiwa wa pili Alloycious Mandago katika kesi ya kuisababishia Serikali hasara ya Sh2bilioni.

Wakili wa Takukuru Leonard Swai ameeleza hayo  jana Alhamisi, Januari 24, 2018 mbele ya hakimu mkazi mkuu Thomasi Simba wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa.

Swai alidai kesi hiyo iko hatua za mwisho kwa ajili ya kuandaa maelezo lakini wanaombi kwa ajili ya kumhoji mshtakiwa wa pili akiwa magereza.
 
Mahakama iliridhia mshtakiwa huyo kuhojiwa na kesi hiyo imeahirishwa hadi Februari 8, mwaka huu itakapokuja kwa ajili ya kutajwa.

Mbali na Mandago, washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni mfanyabiashara Mohamed Yusufali na Isaac Kasanga ambao kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka 39 likiwemo la kuisababishia serikali hasara ya Sh2 bilioni.

Rais mpya wa DRC augua ghafla baada ya kuapishwa

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Felix Tshisekedi aliyeapishwa jana kushika nafasi hiyo ameugua ghafla alipokuwa akitoa hotuba yake punde baada ya kula kiapo.

Hata hivyo, alirejea jukwaani badaye na kumalizia hatuba yake hiyo ya kwanza kama Amiri Jeshi Mkuu.

Imeelezwa kuwa hali hiyo ilitokana na uchovu alioupata kutokana na mchakamchaka wa kampeni pamoja na hali ya tukio la kuapishwa, kwa mujibu wa BBC.

Tshisekedi ambaye alitangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais wa Desemba 30 mwaka jana kwa tiketi ya chama cha upinzani cha Union for Democracy and Social Progress, ameapishwa kuwa Rais wa nchi hiyo akiandika historia ya kuwa wa kwanza kupokea madaraka kwa njia ya kidemokrasia tangu nchi hiyo ilipopata uhuru.

Hata hivyo, kutokana na kile ambacho wengi wanaamini ni vuguvugu la mvutano mkali wa uhalali wa kura zilizotangazwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ya Congo (CENI), tukio la kuapishwa kwake halikuhudhuriwa na viongozi wengi wa nchi za jirani.

Rais Uhuru Kenyatta, alikuwa Rais pekee aliyehudhuria tukio hilo la kihistoria akiambatana na Waziri Mkuu wa zamani, Raila Odinga pamoja na Kalonzo Musyoka. Marais 17 walialikwa.

Mpinzani wa Tshisekedi, Martin Fayulu ameendelea kulalama licha ya kushindwa kesi ya kupinga matokeo ya urais mahakamani. Ameendelea kuwasihi wafuasi wake kuandamana kupinga Urais wa Tshisekedi kwa madai kuwa yeye ndiye aliyeshinda na kwamba Rais Joseph Kabila aliingia makubaliano na mpinzani wake huyo na kubadili matokeo.

Kwa mujibu wa CENI, Tshisekedi alipata kura milioni 7 ikiwa ni kura 400,000 zaidi ya alizozipata Fayulu aliyemfuatia.

Urusi Yatoa Tamko Zito Baada ya Marekani kutangaza kumtambua kiongozi wa upinzani kama rais wa mpito Venezuela

$
0
0
Urusi imelaani vikali hatua ya Marekani kumuunga mkono kiongozi wa upinzani wa Venezuela aliyejitangaza kuwa ndiye Rais wa mpito wakati Rais Nicolás Maduro akiwa madarakani.

Marekani ambayo ni hasimu wa Rais Maduro, jana ilitangaza kuwa inamtambua Juan Guaidó aliyejiapisha mwenyewe wakati maandamano makubwa ya kupinga Serikali yakiendelea.

Urusi imesema kitendo hicho cha Marekani ni kutaka kupokonya madaraka halali ya Rais Maduro na kuchochea umwagaji damu. Imeeleza kuwa Marekani imevunja sheria za kimataifa kwa hatua iliyoichukua.

“Tunachukulia hatua ya kutaka kupokonya madaraka ya Serikali halali nchini Marekani kama hatua ya kutaka kuleta umwagaji damu na kuvunja sheria za kimataifa,” Reuters inaikariri taarifa ya Ikulu ya Urusi. “Tunamtambua Maduro kama kiongozi halali wa Serikali,” imeongeza.

Rais Maduro amewatimua wanadiplomasia wote wa Marekani nchini humo kama hatua ya kujibu mapigo na akatangaza kuvunja rasmi uhusiano na taifa hilo lenye nguvu duniani.

Mwanasiasa huyo anayeiongoza Venezuela tangu mwaka 2013, aliapishwa mapema mwezi huu kuongoza kwa muhula wa pili, baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa mwezi Mei mwaka jana. Ushindi huo umepingwa vikali na wapinzani wakidai kuwa ulitokana na wizi wa kura.

Guaidó ambaye ni kiongozi wa upinzani na kiongozi wa Bunge la Venezuela, amedai kuwa Katiba ya nchi hiyo inamruhusu yeye kama kiongozi wa Bunge kuiongoza nchi hiyo katika kipindi cha mpito ikiwa kuna hali ya sintofahamu ya matokeo ya uchaguzi.

Aliungwa mkono na Rais wa Marekani, Donald Trump aliyedai kuwa wanamtambua kama Rais wa mpito wa nchi hiyo, hatua ambayo imekosolewa vikali na jamii ya umoja wa mataifa.

Marekani pia imeyataka majeshi ya Venezuela kumuunga mkono Guaidó, lakini yamekataa na kubaki watiifu kwa Rais Maduro.

Marais wa Mexico, Bolivia, Cuba na Uturuki wameeleza kuwa wanamuunga mkono Maduro kuliongoza taifa hilo lenye watu milioni 32 na utajiri wa mafuta.

“Ndugu yangu Maduro kuwa imara, tunasimama nawe,” ametweet Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdoğan.

Maduro alipokea kijiti cha kuiongoza Venezuela kutoka kwa Hugo Chavez aliyekuwa Rais wa nchi hiyo wakati yeye akiwa Makamu wake.

Kizimbani kwa kuchapisha taarifa za uongo dhidi ya Rais Magufuli

$
0
0
Mfanyabiashara Henry Munisi mkazi wa jiji la Mbeya mwenye umri wa miaka 30 amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusomewa shtaka la kuchapisha taarifa za uongo zinazomhusisha Rais Dkt, John Magufuli na upotevu wa Sh 1.5 Trilioni.

Munisi anashtakiwa kwa kuandika katika ukurasa wake wa Facebook taarifa za uongo zinazomhusu Rais  Magufuli akizihusisha na ununuzi wa ndege za Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL).

Wakili wa Serikali mwandamizi, Patrick Mwita akitoa madai yake mbele ya Hakimu mkazi mwandamizi, Salum Ally amesema kuwa mshtakiwa alitenda kosa hilo Desemba 28, 2018 akiwa Jijini Mbeya.

Mshtakiwa huyo anadaiwa kuchapisha katika ukurasa wake wa Facebook taarifa inayosomeka “Jinsi Magufuli alivyochota Tril, 1.5 za ATCL akitumia ujanja wake wa kuleta ndege ili atuibie.”

Wakili Mwita ameiambia Mahakama kuwa mshtakiwa alifanya hivyo huku akijua taarifa hizo ni za uongo na zina lengo la kupotosha umma.

Baada ya kusomewa mashtaka alikana kuhusika na tukio hilo, ambapo wakili wa serikali, Mwita alidai kuwa upelelezi haujakamilika na kuomba tarehe nyingine ya kutajwa kwa shauri hilo.

Hakimu Ally aliagiza mshatakiwa awe na wadhamini wawili wenye barua za utambulisho watakaosaini bondi ya sh. 500,000, ambapo alifanikiwa kutimiza na kuachiwa kwa dhamana.

Kesi hiyo imeahirishwa hadi Februari 6, mwaka huu.

Jipatie Dawa ya Asili ya Kupunguza Maziwa, Kupunguza Tumbo,Kuongeza Unene, Kuongeza Maumbile ya Kiume na Kuondoa Chunusi

$
0
0
Je, Dada unataka kuwa mrembo? Na kaka unataka kuwa mtanashati??

Tumia bidhaa za NATURAL BEAUTY ni bidhaa zenye matokeo ya uhakika na kwa haraka zaidi.

Bidhaa hizi ni salama kabisa zimetengenezwa kwa mimea na matunda hazina kemiko wala madhara yoyote.

 🍉🥑🍇🍒🍑🍐

1. BOTCHO MULT PLUS- Hii ni dawa ya kuongeza ( Hips mapaja na makalio) inapatikana kwa @250,000/=

2. BOTCHO HOLOGRAM CREAM-Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza hips na makalio inapatikana kwa@220,000/=

3. HANDSOME UP ORIGINAL-- Hichi ni kifaa cha kuongeza maumbile kwa size uipendayo pamoja na kuimalisha misuli kifaa hichi  kinapatikana kwa @250,000/=

4. LEG  BOOSTER- Dawa ya kupaka ya kuongeza miguu kuwa ( Chupa ya bia) @170,000/=

5. MAXMAN 2 CAPSULE-Hii ni dawa ya vidonge ya kuongeza uume urefu na upana pamoja na kuongeza nguvu za kiume kwa wiki mbili  inapatikana kwa @250,000/=

6. VIG RX- Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza uume urefu na upana mpaka nchi 11.5 inapatikana kwa @220,000/=

7. BODY BOOSTER- Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri  @150,000/=

8. WHITE COLLECTION---- Ni vidonge vya kuwa mweupe mwili mzima pamoja na kuwa soft  vinapatikana kwa @170,000/=

9. SHARK SUPER POWER-Ni dawa ya kuongeza maumbile mpaka nchi 7.5 ndani ya wiki tatu tu @200,000/=

10. YODI PILLS-- Ni vidonge vya kuongeza (hips mapaja na makalio) vinapatikana kwa @250,000/=.      N.K

Wasiliana nasi kwa simu
NO. +255 75902996
                   AU
          +255 659618585

Popote ulipo utapata huduma zetu.
Pia hakikisha unapatiwa risiti yenye muhuri halisi wa NATURAL BEAUTY PROD ununuapo bidhaa kampuni hii.

                         WELCOME ALL
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images