Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Wimbo Mpya: Rich Mavoko - Mahaba Full Chaji

$
0
0
Wimbo Mpya: Rich Mavoko - Mahaba Full Chaji

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Alhamisi ya January 24

Wimbo Mpya wa Barnaba - Washa

VIDEO: Jolie Ft. Susumila – UNANIMALIZA

$
0
0
VIDEO: Jolie Ft. Susumila – UNANIMALIZA

Lulu Michael: “Nimeamua kuuza nguo zangu nipate pesa”

$
0
0
Wakati Siku ya Wapendanao — February 14 mwaka huu —  inakaribia,  staa wa filamu,  Elizabeth Michael Lulu,  amekuja na kitu kwaajili ya siku hiyo na kuipa jina la “Save My Valentine”.

Kupitia ukurasa wa instagram wa Elizabeth Michael  ametoa ufafanuzi kuhusiana na siku ya wapendanao baada ya siku kadhaa kupita kuwahi kutangza kugawa nguo zake pamoja na viatu lakini kupitia siku hiyo ya February 14 amekuja na kitu cha tofauti.
 

“Wakati Wengine Tumepata Fursa Ya Kuwa Na Furaha Kwa Vile Tulivyonavyo Kuna Baadhi Ya Wenzetu Wamekosa Nafasi Hiyo….. Na HUU NI MPANGO WA MUNGU🙏Kuelekea Siku Ya Wapendanao Februari 14,Nimeamua Kuuza Sehemu Ya Nguo Zangu Ambazo Yawezekana Umeshawahi Kuziona au Haujaziona”

“Na Pesa Yote Itakayopatikana Kupitia Mauzo Haya Itaenda Kusaidia Vitu/Watu Wenye Uhitaji Katika Jamii.Please Join me to Save My Valentine.#Savemyvalentine “ Ameandika

Rudisha heshima yako Kwa Mpenzi Wako, Mke Wako...Tumia Tiba Hii ya Asili

$
0
0
Rudisha heshima yako sasa kwa kutumia Dawa hii iitwayo SUPER GAFINA, kwa ajili ya nguvu za kiume na NKOLOMIJE ni kwaajili ya kuongeza maumbile.

Kwa mwanaume aliye kamilika anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara mbili ,ila ukiwa unapiga moja tena kwa shida wewe ujue  unamatatizo ya upungufu wa nguvu za kiume.

TIBA YA TATIZO LAKO NI; Dawa iitwayo SUPER GAFINA, dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge na unga wa asili ambavyo havina madhara kwa mtumiaji ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja;-

1).itakufanya urudie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuchoka.

2).ltakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dk.15 hadi 20 kwa tendo la kwanza.

3).lnaimarisha uume uliolegea na uliosinyaa na kuupa nguvu maradufu.

Je unamaumbile madogo pamoja na uume mfupi? NKOLOMIJE ni suluisho la tatizo lako. Na ni dawa inayoboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi kuanzia inch. 5 hadi 8 kwa muda mfupi sana .Dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk.30 ukisha tumia guarantee miaka 50  ikishakutibu.

Pia ninatibu;- KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU, MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE ,BP, NK.

IGULYATI, ni dawa ya mvuto wa biashara, kazi,kupandishwa cheo na humfanya mfanyakazi kupendwa na mwajiri wake. Pia humvuta mke,Mme,hawara ,mchumba unae muitaji utampata kwa dk.30 tu na atatulia na kumfunga asitoke nje ya ndoa, Pia natoa Pete za bahati ambazo zimetajirisha wengi.

Pia ipo dawa ya kupunguza matiti,unene ,tumbo,na kitambi ,hupunguza mafuta ,kuondoa makovu,chunusi,michilizi mwilini na kuongeza hipsi, makalio na mguu wa bia nk. 

Kwa maelezo zaidi wasiliana na DR,HOSUTWA .Anapatikana Mbagara

Simu no, 0756241666 na 0672186977.

       Huduma hii utaipata popote ulipo

Jipatie Dawa ya Asili ya Kupunguza Maziwa, Kupunguza Tumbo,Kuongeza Unene, Kuongeza Maumbile ya Kiume na Kuondoa Chunusi

$
0
0
Je, Dada unataka kuwa mrembo? Na kaka unataka kuwa mtanashati??

Tumia bidhaa za NATURAL BEAUTY ni bidhaa zenye matokeo ya uhakika na kwa haraka zaidi.

Bidhaa hizi ni salama kabisa zimetengenezwa kwa mimea na matunda hazina kemiko wala madhara yoyote.

 🍉🥑🍇🍒🍑🍐

1. BOTCHO MULT PLUS- Hii ni dawa ya kuongeza ( Hips mapaja na makalio) inapatikana kwa @250,000/=

2. BOTCHO HOLOGRAM CREAM-Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza hips na makalio inapatikana kwa@220,000/=

3. HANDSOME UP ORIGINAL-- Hichi ni kifaa cha kuongeza maumbile kwa size uipendayo pamoja na kuimalisha misuli kifaa hichi  kinapatikana kwa @250,000/=

4. LEG  BOOSTER- Dawa ya kupaka ya kuongeza miguu kuwa ( Chupa ya bia) @170,000/=

5. MAXMAN 2 CAPSULE-Hii ni dawa ya vidonge ya kuongeza uume urefu na upana pamoja na kuongeza nguvu za kiume kwa wiki mbili  inapatikana kwa @250,000/=

6. VIG RX- Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza uume urefu na upana mpaka nchi 11.5 inapatikana kwa @220,000/=

7. BODY BOOSTER- Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri  @150,000/=

8. WHITE COLLECTION---- Ni vidonge vya kuwa mweupe mwili mzima pamoja na kuwa soft  vinapatikana kwa @170,000/=

9. SHARK SUPER POWER-Ni dawa ya kuongeza maumbile mpaka nchi 7.5 ndani ya wiki tatu tu @200,000/=

10. YODI PILLS-- Ni vidonge vya kuongeza (hips mapaja na makalio) vinapatikana kwa @250,000/=.      N.K

Wasiliana nasi kwa simu
NO. +255 75902996
                   AU
          +255 659618585

Popote ulipo utapata huduma zetu.
Pia hakikisha unapatiwa risiti yenye muhuri halisi wa NATURAL BEAUTY PROD ununuapo bidhaa kampuni hii.

                         WELCOME ALL

Tabora watakiwa kufungua njia mbadala kwa mifugo

$
0
0
Na Tiganya Vincent
Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeutaka uongozi  wa Mkoa wa Tabora kusimamia ufunguzi njia za muda zinazopendekezwa na wataalamu zitakazotumika kusafirisha mifugo kwenda na kutoka katika Mnada wa Ipuli uliopo kwenye Manispaa ya Tabora ili kuwarahishia wafanyabiashara kutekeleza majukumu yao na kuondoa migogoro baina yao na Manispaa.

Kauli hiyo imetolewa jana na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega wakati wa kikao cha majumuisho ya ziara yake ya kukutana na wadau wa sekta ya mifugo katika Manispaa ya Tabora, Halmashauri ya Wilaya ya Tabora-Uyui, viongozi wa Chama cha Mapinduzi(CCM) , na viongozi wa Mkoa wa Tabora.

Alisema wakati suluhisho la kudumu likitafutwa juu ya kuendelea au kutendelea kwa Mnada wa Ipuli kuwepo mahali ulipo hivi sasa ni vema mapendekezo yaliyotolewa na wataalamu ya kuwa na njia mpya ya kupeleka mifugo mnadani baada ya ile ya zamani kuvamiwa na kujengwa ni vema Mkoa kwa kushirikiana na wadau kuangalia uwezekano wa kutumia njia hiyo.

Ulega aliongeza kuwa ni pamoja na kuwaondoa watu wote waliopo katika njia ya Mgogoro uliojitokeza kati ya wafanyabiashara wa mifugo

Aidha aliutaka uongozi wa Mkoa wa Tabora kwa kushirikiana na wadau wengine kuhakikisha wanaweka  alama ambazo zitasaidia kuonyesha vivuko vya mifugo ambazo zitasaidia kuepusha mifugo kugonga na magari na wakati mwingine mifugo kukamatwa kwa kuvuka sehemu isiyo rasmi na hivyo kuwasababishia hasara wafugaji.

Naibu Waziri huyo aliutaka uongozi wa Manispaa ya Tabora kuratibu vizuri zoezi la kuwakamata wafugaji wanaovunja Sheria bila kuwaonea na kuwanyanyasa na kuongeza zoezi hilo lazima lizingatie taratibu na sheria zilizopo.

Katika hatua nyingine ameziagiza Halmashauri kuanzisha minada midogo katika maeneo yote ambayo wameyaanisha wakati wakisubiri kupandishwa madaraja kwa kuwa ni kazi rahisi kuanza na mnada mkubwa kama ulivyo wa Ipuli mara moja.

Alisema ili kuanzisha Mnada mpya zinahitajika kiasi cha shilingi milioni 650 ili kukamilisha Mnada sawa na ule wa Ipuli na kuongeza kuwa ujenzi wa uzito tu unagharimu milioni 250 na fedha nyingine ni kwa ajili ya miundo mbinu mingine.

Ulega aliongeza kuwa vigezo kingine ni pamoja na kuwepo na wateja na miundo mbinu inayovutia wafanyabiashara wa mifugo na wadau lazima washirikishwe na wakubaliane.

Awali viongozi wa Halmashauri zote walionyesha sehemu ambazo wako tayari kuanzisha Mnada ambao uyui walimuonyesha eneo la Ilolanguru lenye ukubwa wa ekari 30 na linguine la Kinyamwe –Magiri lenye ukubwa wa ekari 600.

Kwa upande wa Manispaa ya Tabora , uongozi wa Kata ya Misha ulisema uko tayari kutoa eneo la ekari 20 kwa ajili ya uanzishwaji wa Mnada mpya ili kuhamisha ule wa Ipuli kutokana na kukua kwa mji wa Tabora.

Kwa upande wa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri aliwataka wafanyabiashara wa mifugo kuendelea kufanyakazi zao kwa kuzingatia Sheria zinazosimamia Manispaa ya Tabora ya kukataza mifugo kuzurura ovyo katikati miji.

Alisema mifugo ambayo itakutwa ikizurura katikati ya mji na maeneo ya huduma za jamii, hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi ya mhusika.

Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Uyui Lubasha Makoba alisema utatuzi wa tatuzi hilo umesaidia kujenga imani kwa wafanyabiashara wa mifugo na kuepusha kudonda kwa uchumi.

Alimuomba Naibu Waziri kuangalia uwezekano wa kuanzisha Mnada katika maeneo mengine wilayani Uyui.

Je Unaupungufu Wa Nguvu Za Kiume au Maumbile Mafupi na Membamba...Suluhu iko hapa

$
0
0
Acha kusubilia mpaka mke au mpenzi wako akwambie Mme wangu wewe ni dhaifu tuwepo kitandani,unatakiwa ujitambue mapema ,kwa mwanaume aliyekamilika  na mwenye nguvu za kutosha  ili kumridhisha mke au mpenzi wake anatakiwa awe na uwezo wa kurudia zaidi ya Mara mbili lakini kama unakomea moja au mbili hapo ujue umejilidhisha wewe tu sio na yeye, ili uwe mwanaume mwenye uwezo kamili tumia dawa yako hii hapa

 SUPER MAJINJAS MIX; dawa hii ni tofauti na ambazo uliwai kutumia inamichanganyo ya miti na matunda zaidi ya saba ndio maana inakupa uwezo wa ,KURUDIA TENDO ZAIDI YA MARA TATU,NA ITAKUFANYA UCHELEWE KUFIKA KILELENI DAKIKA 10-15 KWA TENDO LA KWANZA,NA PIA HUIMALISHA MISULI ILIYOLEGEA NA KUSINYAA KWA WALE AMBAO WALIPIGA SANA PUNYETO,dawa hii ni ya vidonge na unga na haina madhara yoyote

MAKAKANUA NO 5 MPYA; dawa hii uboresha uume saizi upendayo UREFU WA INCHI 5,6,7,NA 8 NA UPANA WA CM 2,3,4 NA 5 dawa hii ipo ya kunywa na kupaka  na pia usahidia zaidi kwa mwanaume aliyefanyia tohara ukubwani,

ISENYE NO 3; hii ni dawa kwa wenye kisukari dozi siku 21 tatizo la kisukari na ndio chazo kikubwa cha kuishia nguvu za kiume,

NGWALUSA ; hii ni dawa ya uzazi ambayo ufungua milija ya uzazi ata kwa wale walifungwa uzazi,zipo dawa za busha,vidonda vya tumbo,miguu au viungo kufa gazi kupungza kitambi,minyama uzembe,na matiti makubwa 

TUNAPATIKANA DARES SALAAMU buguruni na MOROGORO YUPO WAKALA na MWANZA YUPO MTAA WA BIZA C, NA KAHAMA MJINI kwa mawasiliano zaidi piga simu 0744040721, 0683645920 DR BRUNO pia unaweza ukaletewa popote ulipo

Alichokisema Rayvanny baada Kutolewa Kifungoni na BASATA

$
0
0
Msanii wa Muziki kutoka lebo ya WCB, Rayvanny ameeleza vile anavyojisikia baada ya kufunguliwa na Baraza la Sanaa la Taifa-BASATA.

Rayvanny na Diamond Walifungiwa kujihusisha na sanaa kwa muda usiojulikana  baada ya kutoa Wimbo wa Mwanza, ambao haukuwa na maudhui mazuri.

Rayvanny ameiambia Wasafi Tv amelishukuru Baraza, Wizara na Serikali na wale wote waliokuwa wanatamani wao wafunguliwe.

"Kiukweli unapopata habari nzuri lazima ufurahi, kiukweli nimefurahi sana, kwasababu nilikuwa kwenye situation ambayo ni sintofahamu kiukweli then hivi vitu ndio first time kuviface hivi vitu, niseme tu nashukuru serikali, nashukuru Baraza, Wizara pia nawashukuru na wale waliokuwa wanatamani sisi kufunguliwa," amesema Rayvanny.

Msikilize Hapo chini

Viongozi Wanaokiuka Kiapo Cha Maadili Kuchukuliwa Hatua Kali

$
0
0
Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma imetakiwa kuwachukulia hatua kali za kinidhamu viongozi wanaokula Kiapo cha Ahadi ya Uadilifu na kutoa Tamko la Rasilimali na Madeni lakini wanashindwa kutekeleza kiapo hicho.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) wakati akizungumza na watumishi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, alipofanya ziara ya kikazi makao makuu ya ofisi hizo jijini Dodoma yenye lengo la  kuhimiza uwajibikaji, kufahamu kwa kina majukumu ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na kujiridhisha namna inavyotekeleza wajibu wake.

Mhe. Dkt. Mwanjelwa amesema, baadhi ya viongozi wamekuwa wakila Kiapo cha Ahadi ya Uadilifu na kusoma Tamko la Rasilimali na Madeni lakini maisha na tabia zao ni tofauti kabisa na viapo wanavyoapa, hivyo ameisisitiza Sekretarieti ya Maadili kutumia sheria kuwawajibisha viongozi wa namna hiyo kwani ni mzigo kwa taifa.

Mhe. Dkt. Mwanjelwa amesema viapo na matamko ni lazima viendane na uhalisia, hivyo ameitaka Sekretarieti hiyo kufanya ufuatiliaji na kuchukua hatua bila uwoga wowote kwa kiongozi anayeenda kinyume kwani kiongozi wa namna hiyo anakosa sifa ya kuwa kiongozi bora.

Mhe. Dkt. Mwanjelwa amesema ni lazima kuunga mkono kwa vitendo jitihada za Serikali ya Awamu ya Tano za kupambana na viongozi ambao hawana maadili mema ili kuleta maendeleo kwa taifa.

Aidha, Mhe. Dkt. Mwanjelwa amewataka watumishi wa Sekretarieti hiyo kuishi na kufanya kazi katika maadili mema ili wawe mfano kwa wanaowasimamia katika suala zima la maadili.

“Ni lazima maadili mema yaanzie kwetu sisi ili tunapozungumza na kutoa elimu ya maadili kwa viongozi tuwe kioo kwani huwezi ukazungumzia maadili kwa viongozi kama wewe mwenyewe huna maadili, hivyo ni lazima kuonyesha mfano,” Mhe. Dkt. Mwanjelwa amesisitiza.

Awali, akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Kamishna wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Mstaafu, Mhe. Harold Nsekela amesema, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ilianzishwa kwa mujibu wa Ibara ya 132 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa lengo la kuchunguza tabia na mwenendo wa kiongozi wa umma yeyote kwa madhumuni ya kuhakikisha kwamba masharti ya Sheria ya Maadili ya viongozi wa umma yanazingatiwa ipasavyo.

Mhe. Nsekela ameyataja majukumu ya Sekretarieti kuwa ni pamoja na kupokea matamko ya viongozi wa umma kuhusu rasilimali na madeni yanayopaswa kutolewa kwa mujibu wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma, kuanzisha na kufanya uchunguzi wowote kuhusu ukiukwaji wa maadili yaliyotajwa na Sheria, kupokea na kushughulikia malalamiko na taarifa za ukiukwaji wa maadili kwa mujibu wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma kutoka kwa wananchi na kufanya uhakiki wa Tamko la Rasilimali na Madeni ya Viongozi wa Umma wanaotajwa na Sheria.

Mhe. Nsekela ameyataja baadhi ya matarajio ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kuwa ni kujenga na kuimarisha maadili ya kitaifa na kuyafanya yawe sehemu ya jamii ili kuzuia mmomonyoko wa maadili katika nchi kwa kujumuisha somo la maadili katika mitaala kuanzia shule za msingi hadi vyuo vikuu, kufanya marekebisho ya Sheria zinazohusu ukuzaji wa maadili nchini ikiwemo Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma pamoja na kutungwa kwa Sheria ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala- Dar

Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Champongeza Rais Magufuli......Wamshangaa Tundu Lissu Kwa Kuichafua Tundu Lissu

$
0
0
Hussein Ndubikile,Harakati za Jiji
Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimesema kinampongeza na kufurahishwa na hatua ya Rais DKT John  Magufuli  kwa kufanya uamuzi ya kuanzisha Wizara inayoshughulikia  masuala ya uwekezaji, tofauti na awali ambapo shughuli zote za kituo hicho  zilikuwa zikifanyika chini ya Wizara ya Viwanda,Biashara  na Uwekezaji.
 
Aidha kituo hicho, kimesema kimefurahishwa na hatua ya Rais Magufuli kumteua, Angellah Kairuki kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu na Uwekezaji na kubainisha kuwa kufanya hivyo kutachangia kwa kiasi kikubwa kutelekeza majukumu yake ipasavyo hasahasa kwenye masuala ya uwekezaji.

Hayo yamesemwa jana  jijiniDar es Salaam na Mkurugenzi Mtendaji wa TIC, Geofrey Mwambe wakati akizungumza na wanahabari ambapo alisema kitendo cha kituo kupewa Waziri kamili na katibu wake kutarahisisha utekelezaji wa mipango na majukumu yake ikiwemo kuendelea kuvutia wawekezaj wa ndani na nje, kutengeneza mazingira rafiki ya uwekezaji na kuandaa namna bora ya kujadili masuala ya uwekezaji.
 
Alibainisha kuwa kituo hicho kina umuhimu katika kujenga uchumi wa nchi kupitia uwekezaji na kwamba  na kwamba anaamini uwepo wa viongozi ni chachu ya nchi kuelekea uchumi wa kati kupitia uwekezaji wa viwanda.
 
 Mwambe ametoa wito  kwa taasisi binafsi, taasisi za Serikali pamoja na  serikali za mitaa kuendelelea kushirikiana na TIC katika kuibua fursa na kutangaza fursa za uwekezaji ndani na nje ya nchi.
 
“Jana niliongea Waziri wa Fedha na Mipango, alitusisitiza tujitahidi sana kujenga mazingira ya uwekezaji na yawe rafiki zaidi asiwepo mtu wa kukwepa kulipa kodi na tukifanya hivyo tutamsaidia sana Rais na wawekezaji waendelee kuiona Tanzania kuwa nchi salama katika uwekezaji, ” alisema Mwambe.
 
 Amezitaka taasisi binafsi na mashirika yasiyo ya kiserikali,  kushiriki kikamilifu katika kutangaza fursa za uwekezaji huku akibainisha kuwa hali ya uwekezaji Duniani mwaka 2018,  ilishuka kwa 23%  kwa Afrika Mashariki Tanzania  ilipata Dola za kimarekani  billion 1.365 mwaka 2017,mwaka 2018 ilishuka hadi dola za kimarekani  billion 1.2  lakini iliongoza  Afrika Mashariki na kufanya vizuri kimataifa.
 
Katika hatua nyingine, amesema amesikitshwa na kitendo cha Kitendo cha Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu kwa kutoonyesha uzalendo wakati akihojiwa na kituo cha Televisheni cha nje ambapo alisikika akitamka maneno ya kuibomoa nchi.
 
” Nimeona clip ya Tundu Lissu akihojiwa na kituo cha televisheni huko nje ya nchi, huo siyo uzalendo  inaonekana Mtangazaji  anajua zaidi anaipenda Tanzania kuliko yeye, nimemshangaa  sana ,anaibomoa nchi wakati yeye ndiyo anasema anataka kugombea 2020″alisema.

Mwambe ameishukuru Serikali kwa kuiongezea TIC watumishi na Mikoa iliyotenga maeneo ya Uwekezaji ukiwemo mkoa wa Pwani na Kigoma.

Msikilize hapo chini

Alichokisema Diamond Platnumz Baada Ya BASATA Kuwafungulia....Kagusia Pia Tamasha la Wasafi Festival

$
0
0
Msanii wa Muziki, Diamond Platnumz ameshindwa kutoa kauli ya moja kwa moja kama tamasha la Wasafi Festival Dar litafanyika au la.

Diamond na Rayvanny Walifungiwa kujihusisha na sanaa kwa muda usiojulikana  baada ya kutoa Wimbo wa Mwanza, ambao haukuwa na maudhui mazuri. Tamasha la Wasafi Festival nalo lilifutwa pia.

Akiongea na Wasafi TV, Diamond amesema kuwa hawezi kutoa kauli yoyote kwasasa kama afanye au asifanye huku akieleza kuwa mpaka wakae na Team aone maoni yao.

"Siwezi kusema kauli yoyoe kama itafanyika au itakuja nyingine Wasafi Festival 2019 kwasababu lazima nikae na Team, Bodi watoe maoni yao kama inafanyika au haifanyiki ila kwa mimi nimewamisi watu wangu wa Dar Es salaam kuwafanyia kitu kikubwa na kiukweli Wasafi Festival ya Dar tulikuwa tumeipania sana," amesema Diamond Platnumz Wasafi Tv.

Msikilize hapo chini

PICHA: Basi la Fikoshi Lapinduka na Kuua Watu Wanne....42 Wajeruhiwa

$
0
0
Watu wanne wamefariki dunia na wengine 42 kujeruhiwa baada ya basi la kampuni ya FIKOSHI linalofanya safari zake kati ya Kigoma na Mwanza kupoteza mwelekeo na kupinduka katika eneo la Uvinza mkoani Kigoma usiku wa kuamkia leo.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma Martin Otieno, amesema kwamba chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi aliokuwa nao dereva wa basi hilo, na kusababisha kupinduka.

“Ajali imetokea  maeneo ya Uvinza, kuna sehemu inaitwa Mnarani, ni barabara ya Vumbi, ilipofika maeno hayo ambayo ina kona kona nyingi, kwa mujibu wa mashuhuda wamesema dereva alikuwa kwenye mwendo kasi, alipofika maeno hayo, gari ikapinduka na kusababisha vifo vyo watu wanne wanaume watatu na mwanamke mmoja, na majeruhi 42.
 
"Majeruhi tumewachukua kuwapeleka hospitali ya Maweni ya Mkoa ambako wanaendelea kupata matibabu”, amesema Kamanda Otieno.

Rais Magufuli: Hakuna Mwanasiasa Aliyezuiliwa Kufanya Mikutano Kwenye Eneo Lake

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amesema hakuna kiongozi wa kisiasa ambaye amezuiliwa kufanya mikutano kwenye eneo lake ambalo amechaguliwa na kusema hali hiyo ndiyo demokrasia.

Rais Magufuli alitoa kauli hiyo jana Jijini Dar es salaam wakati akizungumza na viongozi wa madhebebu mbalimbali ya dini ili kujadili masuala mbalimbali yanayoendelea nchini.

Akijibu swali la mchungaji Lyimo ambaye aliohudhuria hafla hiyo, Rais wa Magufuli amesema hakuna mtu aliyezuiliwa kufanya mikutano kwenye maeneo yao bali lengo ni kuhakikisha waliochaguliwa na wanapewa nafasi.

 
Alibainisha, hakuna mikutano iliyozuiliwa bali baada ya uchaguzi kila aliyeshinda anatakiwa afanye mikutano katika eneo lake bila kuingilia wengine kwa lengo la kudumisha amani na kuwapa watu muda wa kufanya kazi.
 
“Demokrasia si kuruhusu maandamano tu na demokrasia ina mipaka yake, hatuwezi kuruhusu watu wawe wanaandamana
tu na kutukana. Tukienda kwa utaratibu huo tutashindwa kuitawala nchi na tutashindwa kufanya mambo mengine,” alisema Rais Magufuli na kusisistiza:
 
“Hakuna aliyezuiliwa kwenda kufanya mikutano mahali pake na wapo wanafanya hata ninyi (viongozi wa dini) mmeshuhudia. 

"Tunataka kama viongozi wa dini mnavyoheshimiana na usivyoweza kwenda kwenye kanisa la mwenzako na kuanza kutoa maneno, ndivyo hivyo na vyama vyetu viheshimiane. Hiyo ndiyo ninayoamini ni demokrasia nzuri ya kufanya kazi kwenye eneo lako.”
 
Aidha, viongozi hao wa dini pamoja na mambo mengine walimpongeza kwa kazi kubwa anayoifanya hasa ya kujali maslahi ya wanyonge .
 
Rais Magufuli, alisikiliza michango kutoka kwa viongozi 42 ambapo pamoja na kumsifu kwa mambo mazuri aliyofanya kila mmoja alieleza changamoto za taifa na zile zilizowahusu wao binafsi.

Breaking: Matokeo Ya Kidato Cha Nne 2018 Yatangazwa......Bonyeza Hapa

$
0
0
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) leo limetangaza matokeo ya kidato cha nne mwaka 2018 ambapo ufaulu umeongezeka kwa asilimia 1.29 kutoka asilimia 77.09 mwaka 2017 hadi asilimia 78.38.

Kutazama matokeo《 BONYEZA HAPA》

Necta yataja shule 10 zilizofaulu zaidi Pamoja na mwanafunzi bora

$
0
0
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya kidato cha nne mwaka 2018, na kutaja shule 10 zilizofanya vyema katika mtihani huo kwa shule zenye watahiniwa zaidi ya 40.

Wakati shule binafsi zikifanya vyema, mwanafunzi aliyefanya vizuri zaidi katika mtihani huo ni wa shule ya sekondari Ilboru ya Arusha, Hope Mwaibanje.

Akitangaza matokeo hayo leo Alhamisi Januari 24, 2019 mkoani Dodoma katibu mkuu wa baraza hilo, Dk Charles Msonde amezitaja shule hizo kuwa ni 
  1. St Francis Girls
  2. Kemebos
  3. Marian Boys
  4. Ahmes
  5. Marian Girls
  6. Canossa
  7. Bright Future Girls
  8. Maua Seminari
  9.  Precious Blood
  10. Bethel Sabs Girls
Kutazama matokeo BONYEZA HAPO CHINI.

Matokeo Ya Kidato Cha Nne (Csee) 2018 Link 1
Matokeo Ya Kidato Cha Nne (Csee) 2018 Link 2
Matokeo Ya Mtihani Wa Maarifa (Qt) 2018 Link 1
Matokeo Ya Mtihani Wa Maarifa (Qt) 2018 Link 2

Super Mkongo: Kiboko ya Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
********************************
SUPER MKONGO MPYA,
_______________________________
********************************
Ni dawa bora ya kutibu na kumaliza matatizo yote ya nguvu za kiume na sababu zake zote kama vile,

- kuwahi kufika kileleni dakika moja ushakojoa
- maumbile kusinyaa na kulegea wakati wa tendo
- kukosa hamu ya tendo la ndoa
- kushindwa kurudia tendo la ndoa
- uume kusimama kwa kulegea
- uume kulegea katikati ya tendo
- kuathirika kwa kujichua kwa muda mrefu
- kuishiwa nguvu kutokana na punyeto.

Epuka aibu hii leo kwa kutumia SUPER MCONGO MPYA, kiboko ya matatizo haya.
_______________________________
Pia kuna MCONGO POWER Kiboko ya uume mdogo inaboresha maumbile ya uume kwa kurefusha na kunenepesha kwa saizi uipendayo haijalishi umri hata kwa walioathirika na upigaji punyeto.
_______________________________
Kwanza fahamu sababu zinazopelekea kuwa na upungufu wa nguvu za kiume na uume mdogo.
_______________________________
(1) kujichua (punyeto) kwa muda mrefu maana hupelekea misuli ya uume kulegea.
(2) ngiri
(3) kuugua chango la uzazi kwa muda mrefu.
(4) kupungukiwa hormone za testosterone.
(5) ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi na visivyo na virutubisho  vya kutosha.
(6) kutokufanya mazoezi na mwenendo wa maisha.
(7) kisukari.
(8) tumbo kuunguruma na kujaa gesi.
(9) maumivu ya kiuno nk.
_______________________________
Kwanini uhangaike? Kwanini uhuzunike?
Hii ni spesho kwa waliotumia madawa mengi bila kufanikiwa hakika hautajuta kuitumia. _______________________________
WASILIANA NA:
DR. MCONGOMANI
SIMU NO:
📞0658816558
📞0682323682
Popote ulipo huduma hii inakufikia
_______________________________
********************************

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.


Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images