DIVA AKIWA NA MKE MWENZA...
Jana
Diva wa Clouds fm amevunja ukimya na kufunguka tena kuhusu penzi lake kwa Mkenya a.k.a Prezzo...
Diva ndani ya pozi la nusu uchi...
HII NI KAULI YAKE:
“Okay now that some bloggers blog about me and Prezzo and Prezzo kuwa womanizer …Prezzo this and that ..blah blah blah OGAWD.
Guys
Prezzo is the President……….he is grown
"SIWEZI KUMWACHA PREZZO HATA AWE MALAYA KIASI GANI....MUNGU ALIMZAA KWA AJILI YANGU"...DIVA WA CLOUDS FM
↧
↧
BALOZI WA MAREKANI NCHINI TANZANIA ADAI KUWA UJIO WA RAIS OBAMA SI KWA AJILI YA RASILIMALI ZA MTANZANIA
Akiongea na waandishi wa habari jana,
Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Alfonso Lenhard amesema ziara ya
mwezi ujao ya Rais wa Taifa la Marekani, Barack Obama nchini Tanzania
haina ajenda ya siri: "kuna maswali mengi naulizwa kwa nini
Rais Obama amechagua kuzuru Tanzania? Ni kweli Rais wetu anakuja
malengo ya ziara yake yatajikita katika mambo ambayo ni malengo ya
Marekani kwa
↧
POLISI WA KITUO CHA MAGOMENI ATIMULIWA KAZI BAADA YA KUPIGA PICHA ZA NUSU UCHI
POLISI wa kike wa Kituo cha
Magomeni, jijini Dar es Salaam aliyejulikana kwa jina moja la Anisa,
ametimuliwa kazi kwa madai ya kupiga picha ya utupu iliyosambaa
mitandaoni.
Chanzo
makini ndani ya jeshi hilo kilisema Anisa alifukuzwa kazi wiki
iliyopita baada ya kuhojiwa na mabosi wake wa makao makuu ya jeshi hilo
na kukiri kuwa picha hiyo ni yake.
“Anisa
aliitwa makao makuu,
↧
"SIKUHUDHU"RIA MAZISHI YA NGWEA KWA SABABU BABA YANGU ALIKUWA NI MGONJWA"... 20 PERCENT
Mwanamuziki
aliyewahi kuvunja rekodi ya mwaka 2010 kwa kunyakua tuzo tano kwa
mfululizo Abasi Kizasa" 20 pacent" ameibuka na kutoa sababu za msingi za
kushindwa kwenda kushiriki kwenye mazishi ya mwanamuziki mwenzake
Arbeth Mangwair kutokana na kuuguliwa sana babaake mzazi ambae ana kansa
ya utumbo.
Akiongea
na Xdjayaz , 20 pacent alisema kuwa baba yake alikuwa ni mgonjwa kiasi
↧
LWAKATARE AMEACHIWA KWA DHAMANA YA MILIONI 10
Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama
wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Muganyizi
Lwakatare ameachiwa kwa dhamana ya shilingi milioni 10 leo katika
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar.
Lwakatare anakabiliwa
na kesi ya kujaribu kumwekea sumu Dennis Msaki. Waliomuwekea dhamana
Lwakatare ni madiwani wawili wa Chadema kutoka kata ya Kimara na Sinza.
↧
↧
KUNDI LA MATAPELI WANAODAI KUTOA MIKOPO BILA RIBA WAVAMIA ACCOUNT ZA DIAMOND NA KUTOA UJUMBE HUU...
Kundi la matapeli wanaojiita Saving Foundation leo wameihack akaunti za Facebook na Twitter za Diamond na kuandika ujumbe unaoonekana kama umeandikwa na Diamond.
Amepigiwa simu Diamond ambaye hakuwa na taarifa zozote kumuuliza kama ni yeye ndiye aliyeandika na amekanusha kuandika ujumbe huo.
Ujumbe huo kwenye akaunti ya Facebook ya Diamond unasomeka:
Naimani kuwa Serikali
↧
MSHINDI WA REDD'S MISS NYAMAGANA 2013 AVULIWA TAJI HILO BAADA YA KUBAINIKA KUWA SIYO MTANZANIA NA ALIDANGANYA UMRI WAKE
Aliyekuwa mshindi katika shindano la kumtafuta mrembo wa wilaya ya
Nyamagana jijini Mwanza, Redd’s Miss Nyamagana 2013 Diana Amimo
amevuliwa taji hilo baada ya kubainika kudanganya umri wake pamoja na
urai, kasoro zilizompunguzia sifa za kuvaa taji hilo.
Diana Amimo (katikati)
Mratibu wa shindano hilo lililofanyika (May 11) jijini Mwanza, bwana
Mukhsin Mambo wa Stoppers Entertainment,
↧
"NIKIFA ASHA BARAKA ASIJE KWENYE MSIBA WANGU, NA KAMA ATAKUFA YEYE BASI SITAENDA".....ALLY CHOKI
MKURUGENZI wa Extra Bongo Ally Chocky ametoa kauli nzito kuhusu waajiri wake wa zamani, Asha Baraka na Baraka Msilwa.Katika
maongezi yake Chocky alisema katika watu asiowapenda duniani ni Asha
Baraka (Mkurugenzi wa ASET) na Baraka Msilwa (Mwenyekiti wa ASET). Asha
Baraka na Baraka Msilwa ni mtu na kaka yake.Kiongozi
huyo wa Extra Bongo akaenda mbali zaidi kwa kusema: “Nikifa leo
↧
MWANAMKE AFUNGWA MIAKA 3 KWA KOSA LA KUMNG'ATA MUMEWE SEHEMU ZA SIRI HUKO IRAMBA SINGIDA
MAHAKAMA
ya Wilaya ya Iramba mkoani Singida umemhukumu mwanamke mmoja mkazi wa
kijiji cha Kisana wilayani humo, Sayuni Ramadhani (42) kwenda jela
miaka mitatu baada ya kukiri kosa la kumng’ata mumewe sehemu zake za siri.Mwendesha
mashitaka mkaguzi wa polisi, Vincent Ndasa alidai mbele ya hakimu
mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya Iramba, Kariho Mrisho kuwa Juni 4
mwaka huu
↧
↧
IGP SAID MWEMA AKUTANA NA VIONGOZI WA KANISA KATOLIKI KUPANGA MBINU ZA KUIMARISHA ULINZI KANISANI
Mkuu
wa Jeshi la Polisi Nchini , IGP Said Mwema akizungumza katika kikao cha
Mashauriano kati ya Jeshi la Polisi na viongozi wa makanisa ya
kikatoliki.kikao hicho pia kilihudhuriwa na Askofu Mkuu wa Kanisa
Katoliki nchini Kardinali Pengo .Mkutano huo uliofanyika jijini Dar es
Salaam.
Mkuu
wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Said Mwema akiwa na Askofu Mkuu wa Kanisa
Katoliki nchini
↧
DHARAU ZA PAUL KAGAME KWA USHAURI WA RAIS KIKWETE .....
DHARAU za Rais wa Rwanda Paul Kagame kwa Rais wa Jamhuri wa Muungano
wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Jakaya
Mrisho Kikwete zimewagawa Watanzania na kuwafanya wawe na mitazamo tofauti.
Wapo wanaomuunga mkono Rais Kagame na wapo pia wanaompinga kwa kauli yake...
Rais Kagame alimkejeli Rais Kiwete kwa kuuita ushauri wake ni
↧
AJALI MBAYA KATI YA MWENDESHA BODABODA NA LORI.....DEREVA WA BODABODA AMEFARIKI DUNIA
↧
PICHA ZA MAZISHI YA MSANII WA BONGO MOVIE ( KASHI ) ALIYEFARIKI JANA
Msanii Kashi katika enzi za uhai wake
Pichani juu ni mazishi ya msanii
ya mwigizaji Jaji Khamis 'Kashi' aliyefariki jana mchana katika
Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar yaliyofanyika leo mchana majira
ya saa nane kwenye makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Marehemu
Kashi alikumbwa na umauti baada ya kuugua ghafla malaria na kifua.
Mwenyezi
↧
↧
HII NDO VIDEO YA MCHUNGAJI ALIYENASWA AKIMTOMASA MUUMINI WAKE....
KATIKA hali ya kushangaza , mchungaji mmoja
huko nchini Nigeria amejikuta akiaibika baada ya video yake aliyokuwa akimtomasa mwanamke wakati wa maombi kuvuja na
kusambaa kitika mitandao mbali mbali ya kijamii.
Video hiyo ilirekodiwa kwa kutumia kamera zilizokuwa zimetegeshwa kitika ofisi ya mchungaji huyo bila yeye kujua.
Tazama video ya mchungaji huyo hapa
<!-- adsense -->
↧
CCM YAPINGA UWEPO WA SERIKALI TATU....
Chama Cha
Mapinduzi (CCM), kimepinga muundo wa Muungano wa Serikali tatu
unaopendekezwa katika rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya
Mabadiliko ya Katiba mwanzoni mwa wiki iliyopita.
Chama hicho tawala kimesema bado kinaamini katika muundo wa Serikali mbili.
Katibu wa Itikadi
na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye aliwaambia waandishi wa habari mjini
Dodoma jana kwamba mapendekezo
↧
PICHA ZA WAKENYA WALIVYOANDAMANA JUNE 11 NA KINYAGO CHA NGURUWE NA DAMU WAKIPINGA MISHAHARA YA WABUNGE
Miungano ya kijamii ikiongozwa na Bunge la mwananchi,Muhuri
na pawa 254 miongoni mwa mengine yameandaa maandamano ya pili kupinga
juhudi za wabunge kuhujumu tume ya kuratibu mishahara nchini kenya SRC
ili kujiongezea mishahara ya hadi laki nane kinyume na ilivyopendekezwa
na SRC.
Tofauti na wiki kadhaa zilizo pita ambapo waandamanaji
waliwaelekeza nguruwe walioandikwa majina ya
↧
WAFANYAKAZI WA SUPERMARKET HUKO MOSHI WAANDAMANA KUPINGA RUSHWA YA NGONO WANAYOOMBWA NA BOSS WAO
Mkuu wa Mkoa wa
Kilimanjaro, Leonidas Gama
WAFANYAKAZI wa Supermarket ya Nakumatt,
iliyopo mjini Moshi mkoani Kilimanjaro, wameulalamikia uongozi wa duka
hilo kwa madai ya kuwanyanyasa na kuwaomba rushwa ya ngono.Wafanyakazi
hao ambao tayari walishafikisha malalamiko yao kwa Mkuu wa Mkoa wa
Kilimanjaro, Leonidas Gama walidai wamekuwa wakifanyiwa vitendo vya
unyanyasaji ikiwemo kuombwa
↧
↧
UKUMBUSHO: TAREHE KAMA YA LEO, RAIS NELSON MANDELA ALIFUNGWA MIAKA 27 JELA
Siku kama ya leo (June 12) mwaka 1964 viongozi wapatao 8 wa chama cha
ANC akiwemo rais wa zamani wa Afrika Kusini Nelson Mandela walihukumiwa
kwenda jela, ambako mzee Mandela alitumikia kifungo kwa miaka 27.
Mzee Madiba ambaye leo anafikisha siku ya 5 akiwa amelazwa
hospitalini akisumbuliwa na mapafu huko Afrika Kusini, ndiye alikuwa
rais wa kwanza mweusi kwa taifa hilo.
Kwa mujibu
↧
FAMILIA YA NGWEA YAMKATAA MTOTO WAKE ALIYELETWA NA MAMA YAKE MAKABURINI
Siku chache baada ya aliyekuwa mkali wa Hip Hop Bongo, Albert Kenneth
Mangweha ‘Ngwea’ kupumzishwa kaburini kufuatia kifo cha usingizini
nchini Afrika Kusini kilichotokea Mei 28, mwaka huu, mambo kibao
yanazidi kuibuka.
Mtoto wa Ngwea akiwa na baadhi ya wanafamilia wakati wa mazishi ya baba yake.
Habari zinadai kuwa familia ya marehemu Ngwea
imemkataa mtoto aliyeletwa na mama yake
↧
MKE AMTWANGA MUMEWE BAADA YA KUMKUTA AKITAZAMA RUNINGA KABLA YA KUMALIZA KAZI ZA NYUMBANI
MWANAMUME mmoja katika mtaa wa Mwanzo,
Eldoret anauguza majeraha baada ya kupigwa na mkewe kufuatia mzozo
uliotokana na yeye kupatikana akitazama runinga kabla ya kumaliza kazi
ya nyumbani.Kwa mujibu wa majirani mkewe mwanamume huyo,
alirejea nyumbani jioni kutoka kazini mnamo Jumatatu na kumkuta
akitazama televisheni. Mara moja, alimrukia na kumpiga vibaya.Mwanaume
huyo aliokolewa na
↧
More Pages to Explore .....