Mfanyakazi wa ndani aliyejiua kisa mapenzi aitwaye Devotha Sanga leo
ameagwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam.
Marehemu Devotha alijinyonga Juni 4 mwaka huu akiwa nyumbani kwa bosi
wake eneo la Kitunda jijini Dar kwa wivu wa mapenzi.
Devotha alikuwa
katika penzi na kijana mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Christopher
anayedaiwa kuwa na
SAKATA LA HOUSE GIRL ALIYEJINYONGA KISA PENZI LA CHRISTOPHER
↧
↧
MWANAUME AFARIKI DUNIA NDANI YA URODA GEST HOUSE ILIYOKO MANZENSE LEO MCHANA......
Difenda ya polisi ikiuchukua mwili wa marehemu...
Mwanaume mmoja ambaye hakujulikana
jina lake leo amekutwa amekufa katika gesti bubu iitwayo Uroda iliyopo
Manzese Midizini jijini Dar.
Kwa mujibu wa mashuhuda waliokuwa eneo la
tukio ni kwamba marehemu alikuwa na mpenzi wake ambaye waliingia wote
katika gesti hiyo lakini alikutwa jamaa peke yake.
Mwili wa marehemu
↧
WASHINDI WA TWEET ILIYOMKUNA REGINALD MENGI AKABIDHIWA KITITA CHA SH. MILIONI MOJA
Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Dkt. Reginald Mengi akimkabidhi kitita
cha shilingi milioni moja mshindi wa kwanza wa shindano la, "Tweet Wazo
Jipya Kuondoa Umaskini", Jilly Gaudence Kyomo katika hafla iliyofanyika
jijini Dar es Salaam.
Kushoto ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Institute Of
Management and Enterprenuership, Dkt. Donath Olomi.
Kulia ni mshindi wa
pili, Peter George
↧
WAASI WA M23 WAKUBALI KUREJEA KATIKA MEZA YA MAZUNGUMZO YA AMANI NA SERIKALI
Kiongozi wa kundi la M23 Bertrand Bisimwa Photo AFP / Isaac Kasamani
Kundi
la waasi la M23 la nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC
linarejea katika mazungumzo ya amani na serikali ya Kinshasa mwishoni
mwa juma hili mazungumzo ambayo serikali ya nchi hiyo inaona kuwa ni
jambo sahihi katika utatuzi wa mgogoro huo.
M23
chini ya kiongozi wake Bertrand Bisimwa walitangaza uamuzi
↧
MFULULIZO WA VIFO VYA WASANII WAMFANYA DOKII AFUNGUKE KUWA NI MUNGU ANAWAADHIBU
MWIGIZAJI Bongo, Ummy Wenslaus ‘Dokii’ ameibuka na kusema kuwa vifo
vya wasanii vimetokea kutokana na kujisahau hivyo Mungu ameamua
kuwaadhibu.
Akiongea
na mwandishi wetu katika Viwanja vya Leaders Club, Juni 5, mwaka huu
ambapo mwili wa Mangwea ulikuwa ukiagwa, Dokii alisema matukio ya vifo
vya wasanii mbalimbali yaliyotokea miaka miwili mfululizo ni pigo kubwa
kwani wengi ni vijana
↧
↧
NAIBU WAZIRI WA JINSIA NA WATOTO AIBUA KASHIFA YA RUSHWA YA NGONO KATIKA CHUO KIKUU CHA DODOMA
Suala la uwepo wa rushwa ya ngono kwenye Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) limetinga bungeni.Suala hilo Lilijitokeza
jana wakati Mbunge wa Kilwa Kaskazini, Murtaza Mangungu (CCM),
alipomaliza kujieleza bungeni akiomba kura kwa wabunge wamchague awe
mjumbe kwenye taasisi hiyo.
Baada
ya Mbunge huyo kumaliza kujieleza, alisimama Mbunge wa Viti Maalumu,
Naibu Waziri wa Jinsia na Watoto, Ummy Ally
↧
TUZO ZA KILIMANJARO MUSIC AWARDS LIVE MTANDAONI...FUATILIA HAPA LIVE
↧
"MNAOWANIA URAIS MSIKUBALI KUPOKEA PESA ZA HUYU MFANYABIASHARA FISADI AMBAYE NI KINARA WA MADAWA YA KULEVYA".... REGINALD MENGI
Mwenyekiti
wa makampuni ya IPP Reginald Mengi ametoa ya moyoni kwa wote wenye mpango wa
kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania miaka miwili ijayo.
Bwana Mengi
ameyatoa maombi yake ya moyoni na kuyaweka hadharani kupitia akaunti yake ya
twitter June 7, na hiki ndicho alichokiandika.
“Nawaombea
Mungu wanaotaka Urais wasipokee mshiko wa mfanyabiashara fisadi mkubwa ambaye
↧
NDOA YA PREZZO ILIVUNJIKA KUTOKANA NA UMALAYA WAKE NA MATUMIZI YA MADAWA YA KULEVYA...... KAZI KWAKO DIVA
Siku za hivi karibuni rapper mwenye asili ya Kenya na Tanzania Prezzo
alitweet kuwa anaenda mahakamani huko Kenya lakini hakuweka wazi
alikuwa anakabiliwa na kesi gani.
Yawezekana ukawa unashangaa kusikia story kila kukicha juu ya king wa
bling ana date na warembo wengi kwa wakati mmoja, mara Goldie
(marehemu), mara Huddah, mara Diva, na jana tumesikia ameonekana
akikiss na
↧
↧
"NDOTO ZANGU NI KUOLEWA NA MSANII AY"....SALAMA JABIR
Mtangazaji mahili wa show za TV/Radio aliyeisimamisha wima show mpya na kali inayorushwa kupitia channel 5 ‘Mkasi’
namzungumzia Salama Jabir ametupia ‘neno’ kupitia kipindi hicho kuwa huenda siku
moja akaolewa na AY!
Kama uliiangalia show ya Mkasi jumatatu ama marudio yake leo
(jumamosi) ambapo crew nzima ya kipindi cha mkasi chini ya C.E.O na Producer wa
show Ambwene Yesaya ‘AY’
↧
MBUNGE WA MTWARA MJINI AKAMATWA NA POLISI KWA TUHUMA ZA KUCHOCHEA VURUGU ZA MTWARA
Jeshi la Polisi mkoani Mtwara limemkamata mbunge wa Mtwara Mjini
(CCM), Hasnain Murji likimtuhumu kuchochea vurugu za kupinga mradi wa
bomba la gesi kutoka mkoani humo kwenda jijini Dar es Salaam.
Habari zilizopatikana na kuthibitishwa na Msemaji
wa Jeshi la polisi nchini, Advera Senso zinaeleza kuwa Murji alikamatwa
jana jioni nyumbani kwake maeneo ya
↧
KALA JEREMIAH NA OMMMY DIMPOZ WATISHA BAADA YA KUJINYAKULIA TUZO TATU TATU KILA MMOJA
Mwaka huu umekuwa mwaka mzuri zaidi kimuziki kwa msanii toka
rock City Mwanza Kala Jeremiaha ambae maombi yake kwa ‘Dear God’ yamesikika na
amepata majibu kwa njia ya kipekee na wimbo wake ‘Dear God’ umeweza kuchukua
tuzo tatu katika Kilimanjaro Music Awards 2013.
Kala Jeremiah ametumia
mkuki mmoja kunasa ‘swala’ wake watatu muhimu mwaka huu, Dear God imeweza kumpa
nafasi kubwa na
↧
FEDHEHA : FATMA WA MALAWI NA NJEMBA IITWAYO ONEAL WAKIOGA PAMOJA NDANI YA JUMBA LA BIG BROTHER
<!-- adsense -->
Jumba la Big Brother limeendela kutowatendea haki akina dada wa kiafrika ambao wako ndani ya jumba hilo lililojaa kamera mpaka chooni.....
Chochote kinachofanyika hurekodiwa na kuachiwa live hadharani......
Video nyingi za washiriki wakiwa bafuni zimekuwa zikisambazwa na jumba hilo .....
Sasa ni zamu ya Fatma na Onel
↧
↧
HII NDO LIST NZIMA YA WASHINDI WA TUZO ZA KILLLIMANJARO MUSIC AWARDS- 2013
Usiku wa tuzo za KTMA ulipambwa na burudani ya aina yake kutoka kwa
wasanii mbalimbali wakiwemo Linah, Amini, Richie Mavoko, Mataluma,
Hussein Jumbe, Zahir Zorro, Patricia Hillary na Barnaba. Wengine ni
Snura, Godzilla, Mabeste, Madee na Afande Sele.
Host wa tuzo hizo mwaka huu alikuwa ni Zembwele na TJ.
Hii ni list nzima ya tuzo hizo.
Wimbo bora wa mwaka
Dear God – Kala
↧
KIGODA CHA MWENGE WA UHURU CHAIBIWA JIJINI ARUSHA....
KATIKA hali isiyo ya kawaida na inayoashiria uzembe katika ulinzi wa
mbio za Mwenge wa Uhuru, juzi kijana mmoja mkazi wa eneo la Phillips
katika Kata ya Sekei jijini Arusha, Hamad Rashid (32) aliiba kiti
(kigoda) cha kukalishia Mwenge.
Kuibwa kwa kiti hicho kumethibitishwa na Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa
Arusha, Liberatus Sabas. Kiti hicho hutumika kuwekea Mwenge wa Uhuru
↧
BAADHI YA PICHA ZA WASHINDI WA KILIMANJARO MUSIC AWARDS- 2013
Kala Jeremiah akipokea tuzo zake.
Gardner G Habash akipokea tuzo ya Msanii Bora wa Kike kwa niaba ya Lady Jaydee.
Ommy Dimpoz kwa mara nyingine tena! Tuzo ya Video Bora ya Mwaka..Baadae!
Mashujaa Band wakifurahia Tuzo ya Band Bora.
Gardner G Habash akipokea tuzo ya Msanii Bora wa Kike kwa niaba ya Lady Jaydee
Chalz Baba akiwa na Tuzo zake!
Ben Pol akiwa kwenye stage na
↧
CHADEMA WANAJITEKENYA NA KISHA WANACHEKA WENYEWE
UMOJA wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) wilaya ya Mbeya Mjini
kimesema kuwa Chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) wilayani humo
kimefikia hatua ya kujichekesha chenyewe kisha kucheka.
Wakizungumza na waandishi wa habari Jijini Mbeya leo, Umoja huo umesema
kuwa hatua hiyo ya Chadema inatokana na kuona dalili zote za kushindwa
katika uchaguzi mdogo wa kata ya Iyela unaotarajiwa
↧
↧
RAIS KIKWETE AMFARIJI MALKIA WA MIPASHO ( KHADIJA KOPA ) KWA KUFIWA NA MUMEWE
Rais
Dk. Jakaya Kikwete akimfariji Msanii wa taarabu Hadija Kopa nyumbani
kwake mjini Bagamoyo jana kufuatia kifo cha Mumewe Marehemu Jaffari
Ali Yusuf aliyefariki na kuzikwa wiki iliyopita.
Rais
Dk. Jakaya Kikwete akiwafariji wanafamilia, ndugu jamaa na marafiki
wa msanii maarufu wa taarabu na mjumbe wa Halmashauri Kuu Taifa CCM,
Hadija Kopa kufuatia kifo cha mumewe
↧
MBUNGE WA MTWARA ASOMEWA SHITAKA LA UCHOCHEZI NA KUREJESHWA RUMANDE BAADA YA KUKOSA DHAMANA
Mbunge
wa Mtwara Mjini (CCM), Hasnein Murji (kushoto) akiingia katika chumba
cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mtwara jana kusomewa shtaka la
kufanya uchochezi. (picha: Haika Kimaro/MWANANCHI)
Mbunge
wa jimbo la Mtwara Mjini (CCM), eneo ambalo limekumbwa na vurugu hivi
karibuni kusini mwa Tanzania, Hasnein Murji na watuhumiwa wengine 91
wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu
↧
"KAMA NINGEKUWA RUGE NINGEMPIGIA MAGOTI LADY JAYDEE NA KUMUOMBA MSAMAHA'....SEBO WA MAGIC FM
Katika kipindi cha Sun Downer cha Magic
FM, mtangazaji huyo amesema kwamba shangwe zilizolipuka mara baada ya
Jaydee kutajwa kuwa miongoni mwa wanaowania tuzo ya msanii bora wa kike
katika tuzo za KTMA, ni ishara ya mwanadada huyo kukubalika katika jamii.
Mtangazaji huyo amesema kwamba Jaydee ni mwanamke mwenye uthubutu katika
harakati za kuyasaka maisha na kwamba yeyote mwenye
↧
More Pages to Explore .....