MFANYAKAZI wa Jaji Kileo, Philemon Laiza (27) anadaiwa kumchinja
mtumishi wa ndani wa jaji huyo, ambaye ni raia wa Kenya, Perpetua Mainab
(30).
Mtuhumiwa huyo, ambaye alikuwa ni mtunza bustani katika nyumba
ya Jaji Kileo, alifanya unyama huo wiki iliyopita.
Akizungumza jijini
Dar es Salaam jana, Kamishna wa Polisi Kanda Maalum, Suleiman Kova,
alisema mwili wa mtumishi huyo wa
MUUAJI WA DADA ALIYECHINJWA KAMA KUKU MIKOCHENI B AMEPATIKANA
↧
↧
JIPATIE NAKALA YAKO YA RASIMU YA KATIBA MPYA HAPA ......
↧
MWANA FA AFUNGUKA KUHUSU BIFU LAKE NA LADY JAYDEE
Baada ya kutibuana na Lady Jaydee, Mwana FA ameamua kuvunja ukimya na kuwataka mashabiki wachukulie poa maana ni hali ya kawaida tu katika maisha ya kibinadamu.....
Ugomvi wa wasanii hawa ulianza baada ya Mwana FA ku re -tweet post moja ya shabiki wake ambayo ilikuwa ikiiponda show ya Lady Jaydee...
Lady jaydee alijaribu kumuonya mara
↧
BAADA YA VIFO VINGI, WASANII WAHAMASISHANA KUMRUDIA MUNGU
KUTOKANA na vifo vya mara kwa mara vya wasanii, staa wa filamu za
Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameibuka na kusema ni wakati wa wasanii
kumrudia Mungu.
Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, Dude alisema kwa kipindi
kifupi vimetokea vifo vingi vya wasanii tena wenye umri mdogo, hivyo
anawataka wasanii wabadili mfumo wao wa maisha kwa kuachana na mambo
maovu, anasa za dunia kwani
↧
PICHA ZA MAMA ALIYEKAA JUU YA PAA KWA SIKU TANO KUZUIA NYUMBA YAKE KUUZWA NA BENKI YA TIB
Huyu
mama alikaa juu ya paa kwa siku tano tangu jumamosi kupinga nyumba yao
kuchukuliwa na bank.Anasema mumewe alimdhamini mtu ambaye alichukua mkopo
bank miaka mingi iliyopita na kushindwa kulipa mkopo huo.
Kwa mujibu wa maelezo yake , kesi yao bado ipo mahakamani kwani tayari yule mdaiwa kuna mali zake zilizotaifishwa.
Mdaiwa
alikopa ml 240, wameuza nyumba zake 2 na mabasi
↧
↧
LADY JAYDEE NA MWANAFA KESHO HAPATOSHI....SUGU AMPA SHAVU LADY JAYDEE NA ZITTO KABWE KALALA KWA MWANAFA
Ile the Big Square 1, show za magwiji wa muziki Tanzania
mwana FA ‘The Finest’ na Lady Jay Dee ‘Miaka 13 ya Lady Jay Dee’ zitapigwa
kesho June 14, huku presha ikiwa inaongezeka hasa kwa fans wanaotamani
kuhudhuria show walioichagua na kuona ukubwa wa show kama walivyotarajia.
Show hizi kubwa zina nguvu sana kutokana na ukubwa wa majina
ya wasanii husika. Kwa mujibu wa lady Jay Dee
↧
GARI AINA YA TOYOTA GLANZA TURBO INAUZWA KWA SH. MILIONI TANO ..
↧
BREAKING NEWS: MSANII LANGA AFARIKI DUNIA
↧
HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT. WILLIAM AUGUSTAO MGIMWA (MB) AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI
<!-- adsense -->
HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT. WILLIAM AUGUSTAO MGIMWA (MB) AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NAMATUMIZI KWA MWAKA 2013/2014
-----------------------
KAMA HAISOMEKI VIZURI, BASI BOFYA HAPO CHINI
< < HOTUBA YA WIZARA YA FEDHA>>
KAMA HAISOMEKI VIZURI, BASI BOFYA HAPO CHINI
< < HOTUBA YA
↧
↧
POST ZA MWISHO ZA FACEBOOK NA TWITTER NA VIDEO YA MWISHO YA MAREHEMU LANGA KILEO
<!-- adsense -->
Ikiwa ni siku chache baada ya kuondokewa na mpendwa wetu Albert Mangwea, tasinia ya Muziki wa kizazi kipya imepata pigo jingine kubwa kwa kuondokewa na msanii wa Hip Hop anaejulikana kwa jina la Langa Kileo.
Langa amefariki dunia akiwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kulazwa jana akisumbuliwa na malaria kali
Zifuatazo ni post za mwisho za
↧
HUU NI UJUMBE ALIOTUMA MTANZANIA MWENZETU AMBAYE AMEFUNGWA ANGOLA BAADA YA KUNASWA NA MADAWA YA KULEVYA
Baadhi ya ndugu na marafiki wa Mtanzania aliehukumiwa kifungo cha miaka
nane nchini Angola baada ya kupatikana na dawa za kulevya alizokua
akizisafirisha kwenda Afrika Kusini, wamepaza sauti kuomba msaada wa
Serikali ili ndugu yao aje kufungiwa gerezani Tanzania.Khaleed
Bin Abad amesema huyu Mtanzania aliondoka South Afrika na kwenda kufata
dawa za kulevya Brazil na akafanikiwa kuchukua
↧
KILICHOSEMWA NA HOSPITALI YA MUHIMBILI KUHUSU KIFO CHA MSANII LANGA
Aminiel
Aligaesha ambae ni Afisa Uhusiano wa hospitali ya Taifa Muhimbili
amethibitisha kwamba msanii Langa amefariki dunia June 13 2013 saa kumi
na moja jioni baada ya kufikishwa hospitalini hapo toka juzi jioni
ambapo kutokana na sababu za kimaadili kwenye tiba, Muhimbili hospitali
hawawezi kusema rapper huyu alikua anaumwa nini bali ndugu ndio wenye
mamlaka ya kufanya hivyo.Kwenye
↧
"NAFIKIRIA KUAHIRISHA SHOW YANGU ILA SI KWA KUMUOGOPA MWANAMKE"...MWANA FA
MSANII wa muziki wa
kizazi kipya nchini Tanzania Mwana FA anafikiria kuahirisha shoo yake
ya kesho kufuatia kifo cha msanii mwenzake wa kizazi kipya Langa Kileo,
kilichotokea leo jijini Dar es Salaam.
Mwana
FA anafikiria kuahirisha shoo yake ya kesho iliyopangwa kufanyika
katika viwanja vya Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam na tayari
ameanza kuwasiliana na meneja wake kwa
↧
↧
MAJINA NA KAMBI ZA JESHI WALIKOPANGIWA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA 2013...TAREHE YA KURIPOTI NI 24 MWEZI HUU
TANGAZO
MKUU WA JKT MEJA JENERALI RAPHAEL MUHUGA ANAWAITA VIJANA 10,849 WALIOHITIMU KIDATO CHA SITA MWAKA 2013 KUJIUNGA NA JKT KWA MUJIBU WA SHERIA KAMA IFUATAVYO:-1. VIJANA WOTE WALIOHITIMU KIDATO CHA SITA WALIOPATA DIVISION I NA DIVISION II.2. VIJANA WOTE WALIOHITIMU KIDATO CHA SITA WALIOSOMA MASOMO YA MCHEPUO WA SAYANSI NA KUPATA DIVISION III.3.
VIJANA HAO WANATAKIWA KURIPOTI KATIKA
↧
MTANDAO MPYA WA KIJAMII ( MAYOCOO) WAZINDULIWA
Mwanafunzi wa Chuo kikuuu cha Dodoma, ndugu Justice Donatus amefanikiwa kutengeneza mtandao wake wa kijamii uitwao MAYOCOO ambao utasaidia kuiunganisha jamii ya kitanzania na kimataifa..
Akiongea na mwandishi wetu mjini Dodoma, Justice ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika chuo hicho ameeleza furaha aliyo nayo kwa kutimiza ndoto yake ya
↧
KINANA AMBURUZA KORTINI MBUNGE MSIGWA BAADA YA KUMWUITA JANGILI
KATIBU Mkuu wa
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdul-rahman Kinana amemfungulia kesi Mbunge
wa Iringa Mjini, Peter Msigwa (Chadema), kutokana na kumtuhumu
anajihusisha na ujangili na biashara haramu ya pembe za ndovu.
Kinana amefungua kesi hiyo katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam
kutokana na kitendo cha Mbunge huyo kutoa tuhuma hizo dhidi yake kwa
nyakati tofauti nje na ndani ya Bunge,
↧
"TUMEFUKUZWA KAZI BAADA YA KUYAKAMATA MAGARI YA VIGOGO SERIKALINI AKIWEMO RAIS MSTAAFU SMZ".....HII NI KAULI YA POLISI
ASKARI
15 wa Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam waliofukuzwa kazi
hivi karibuni kwa kosa la kupokea rushwa ili kupitisha mizigo bandarini
kwa njia za magendo wameibuka na kutoa siri ya kufukuzwa kwao.
Mmoja
wa askari hao akizungumza kwa niaba ya wenzake, alisema sababu ya
kufukuzwa kwao imetokana na wao kukamata magari ya vigogo serikalini,
akiwemo aliyekuwa Rais
↧
↧
BAJETI YA SERIKALI YAPANDISHA BEI YA BIA NA SIGARA
Serikali imeendelea kuongeza kodi kwenye magari makuukuu, bia,
vinywaji vikali, na baridi kama ambavyo kodi imekuwa ikifanya kila
mwaka na kuwaathiri watumiaji.
Kutokana na hali hiyo wanywaji
pombe na sigara pamoja na waagizaji magari watalazimika kutumia fedha
nyingi zaidi ili kupata huduma hizo.
Vilevile baadhi ya
bidhaa zisizokuwa za mafuta nazo zimefanyiwa marekebisho na
↧
KICHANGA CHAOKOTWA KIKIWA KIMEKUFA HUKO MAGOMENI
Mwili wa mtoto ukiwa umetupwa
Wakazi wakishuudia mototo mchanga akiwa ametupwa na kufariki dunia katika eneo hilo na mtu asiyefaamika.
Askari
polisi wa kituo cha magomeni usalama wakiwa katika eneo ambalo
ametupwa mototo mchanga akiwa amefariki kwa ajili yakumchukua kumpeleka
sehemu husika
Wakazi
wa eneo la magomeni zilipovunjwa nyumba za( KOTA) jijini Dar
↧
RATIBA YA MAZISHI YA MSANII LANGA KILEO ALIYEFARIKI JANA
Ratiba
ya mazishi ya ndugu yetu Langa Kileo itakuwa kama ifuatavyo, msiba upo
nyumbani kwa wazazi wa Langa maeneo ya Mikocheni nyuma ya Hospitali ya
AAR zamani kulikuwa na ofisi za Benchmark Production.
Mwili wa marehemu
utaagwa siku ya Jumatatu majira ya saa 7 mchana na baada ya hapo mwili
utaelekea makaburi ya Kinondoni kwa mazishi majira ya saa kumi alasiri.
<!-- adsense -->
↧
More Pages to Explore .....