Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Wimbo Mpya wa Ruby - Alele

$
0
0
Msanii wa muziki Bongo, Ruby anakukaribisha kusikiliza wimbo wake mpya uitwao Alede. Isikilize hapa

Habari Njema Kwa Wenye Matatizo Ya Nguvu za Kiume, vitambi, nyama uzembe

$
0
0
NAUHABARISHA ULIMWENGU TIBA BORA YA MITI SHAMBA..

  Ninatibu magonjwa 1-100 dawa ninazo Sasa.

KOLA; ni dawa ya kisukari dozi siku 14 ata kama unajihisi itumie kwa kinga zaidi

  THREE(3) POWER MIX,inatibu Nguvu za kiume Ni dawa iliyo Bora na Humfanya mume kuchelewa kufika kileleni dkk 40_47 bila kuchoka.Inaanza kufanya kazi ndani ya door 80 na inatibu kabisa ndani ya siku 6 tu,hutatumia Tena dawa ya Nguvu za kiume three power mix Ni kiboko kabisa,hata Kama unahisi una tatizo unaruhusiwa kutumia kwa ajili ya Kinga baadae.

 DUDUMA MIX 4 POWER,hunenepesha na kurefusha uume na kukomaza uume uliosinyaa kwa mda mfupi,tumia siku 4 na kupona kabisa.

  SHOOLA,Ni dawa ya kutibu tezi dume na kupona kabisa ni ya miti shamba hutumika kwa kunywa bila upasuaji ndani ya siku 14 haina madhara.

 NENGONENGO,dawa ya kutibu Uzazi kwa akina mama walioshindwa kubeba mimba kwa mda mrefu ukitumia utaweza kupata mimba na kujifungua salama.

  KAMINGO,Ni dawa inayotibu Busha bila kufanyiwa operation na aliyevimba korodani inatibu kabisa dozi Ni siku 7 na inaubora wa Hali ya just na unapona kabisa.

  IKUMBIJA,Ni dawa ya kumvuta mpenzi aliekuacha na mwenye ahadi za uongo kukutimizia,na kumkomesha mtu asiwe na mtu mwingine pia atakurudia ndani ya masaa 6.

   MALAMALA,Ni dawa ya vidonda vya tumbo na tumbo kujaa gesi, kilungulia na inafanya kazi kwa haraka zaidi na kupona kabisa ndani ya siku 6.
 

SAALA,Ni dawa inayotibu miguu kuwaka moto,kiuno,mgongo,magoti na viungo vyote mwilini na joints,Sasa tiba yake Ipo kwangu.

   HALALA MIX,Ni dawa mix ya miti 100 inayotibu matatizo yote,Kama majini,kesi,biashara,kazi,mitego na kupoteza kumbukumbu. no

TUNAFANYA KAZI SIKU ZOTE PIA NAKUFIKIA POPOTE ULIPO KWA HARAKA,NAPATIKANA DAR ES SALAAM NA KAHAMA,PIA NINA MAWAKALA MIKOANI SIMIYU,SHINYANGA,MOSHI NA MBEYA.


     KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA: 0784 475946
           0744 922982
    DR,SANDALA.

Wimbo Mpya wa Saida KaroIi - Magenyi

$
0
0
Msanii Saida Karoli anakukaribisha kuutazama wimbo wake mpya uitwao Magenyi. Utazame hapo chini

Serikali yatoa mtambo wa kuchuja madini ya fluoride

$
0
0
Wizara  ya Maji na Umwagiliaji kwa kushirikia na kampuni ya O2 and B imetoa mtambo maalum wa kupunguza kiwango cha madini ya ‘fluoride’ kilichozidi kwenye maji yanayotumiwa na wananchi wa kijiji cha Lemanda, kata ya Oldonyo Sambu wilayani Arumeru.

Mtambo huo, umefanyiwa majaribio na wataalamu wa kampuni hiyo kutoka China ambao wanatengeneza mitambo huo.

Akizungumza wakati wa kusimika mtambo huo, zoezi lililofanyika katika Shule ya Msingi ya Oldonyo Sambu, Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Arusha, Dk. Wilson Mahera, alisema wamepokea mtambo huo kutoka serikali kuu kupitia Wizara ya Maji na Umwagiliaji.

Mtambo huo unaojulikana kwa jina la “Capacity of Deionization System,” (CDI), mtambo huo una uwezo wa kuchuja maji kwa kiwango kikubwa na kupunguza kasi ya madini ya fluoride kwenye maji.

“Mtambo huu una uwezo mkubwa wa kupunguza kiwango cha madini ya fluoride kilichozidi pamoja na chumvi chumvi kwenye maji, kwa kutumia teknolojia hii ya kisasa ya kuchuja maji bila kutumia kemikali kitapunguza madhara kwa wananchi wetu,” alisema.

Alisema mtambo huo una uwezo wa kuchuja maji na kupunguza kiwango cha fluoride kutoka miligramu 18.7 kwa lita moja hadi kufikia miligramu 0.37 kwa lita moja.

“Matarajio ya serikali ni kukabiliana na tatizo hii na litamalizika na kutoa matumaini mapya kwa wananchi wa Lemanda ya kutooza meno na kupinda miguu kutokana na matumizi ya maji yenye madini ya fluoride,” alisema Mahera.

Rais Trump apokea barua kutoka kwa kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un

$
0
0
Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa anatarajia kukutana na kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un kwa mara ya pili katika hatua ya Washington kuendelea kutafuta mbinu za kuifanya Korea Kaskazini kuachana kabisa na silaha za nyuklia.

Trump amesema hivi karibuni alipokea barua "nzuri" kutoka kwa Kim Jong-un, akidai kuwa Marekani  imepiga hatua kubwa katika mazungumzo na Pyongyang bila ya kueleza maudhui ya barua hiyo.

"Tulianzisha uhusiano mzuri sana, mambo mazuri yanayotokea," Trump aliwaambia waandishi wa habari katika White House.

"Tulifanya mkutano na Kim miezi sita iliyopita huko Singapore. Tunaweza kuwa na mkutano mwingine.Ningependa kukutana na vilevile yeye anataka kukutana."

Uamuzi huo umekuja siku chache baada ya hotuba ya kitaifa ya KimJong Un siku  ya Jumanne ambapo alisema kuwa atakuwa tayari kufanya mkutano tena na Trump.

Hata hivyo Kim Jong Un ameonya kuwa Pyongyang inaweza kufuata "njia mpya" ikiwa Washington haitoondoa vikwazo vyake dhidi ya Korea Kaskazini.

Majadiliano kati ya Marekani  na Korea ya Kaskazini yamekwama kutokana na shinikizo la kiuchumi lililowekwa na Marekani dhidi ya Korea Kaskazini.

Nchi hiyo imeitaka Washington kuondoa vikwazo dhidi ya nchi yake lakini Marekani imesisitiza ya kuwa itafanya hivyo pale tu silaha zote za nyuklia zitakapotokomezwa.

Waziri Mkuu Atoa Maagizo MAZITO Kwa Wakurugenzi Wote Nchini

$
0
0
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka Wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini wafuatilie utendaji kazi wa watumishi kwenye maeneo kubaini kama wanakwenda kwa wananchi na kuwahudumia ipasavyo.

‘Serikali inahitaji kuona watumishi wa umma wanakwenda kwa wananchi  kusikiliza kero na changamoto mbalimbali zinazowakabili ili kushirikiana nao katika kuzipatia ufumbuzi’’.

Waziri Mkuu alitoa agizo hilo jana (Alhamisi, Januari 3, 2019) wakati akihutubia wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha Lugagala, wilayani Songea akiwa katika ziara yake ya kikazi mkoani Ruvuma.

“Rais wetu Dkt John Magufuli ni muumini wa maadili na mchapakazi ,ndio maana amesisitiza umuhimu wa watumishi wa umma kwenda kuwahudumia wananchi katika maeneo yao, kwani baadhi yao hawana uwezo wa kufikia maeneo ya kutolea huduma.”

Waziri Mkuu aliongeza kuwa ni vema kwa watumishi wa umma wahakikishe wanapanga muda wa siku tatu kwa wiki kutoka maofini kwenda kuwahudumia wananchi hususani waishio maeneo ya pembezoni.

Alitumia fursa ya mkutano huo kuwataka wananchi waendelee kuiamini Serikali yao pamoja na watendaji wake waliopo kwenye maeneo mbalimbali nchini kwani Serikali inatambua matatizo yao na kuahidi kuwa yatapatiwa ufumbuzi kwa wakati.

Waziri Mkuu aliongeza kuwa Serikali haina msamaha na watumishi wazembe, hivyo wananchi waendelee kuwa watulivu na imani kwani watahudumiwa na ahadi zote zilizotolewa na Rais Dkt Magufuli katika maeneo yao zitatekelezwa.

Kadhalika, Waziri Mkuu alimuagiza Mkuu wa Wilaya ya Songea asimamie zoezi la kuwaondoa wananchi wote wanaoishi na kufanya shughuli za kibinadamu ikiwemo kilimo katika maeneo ya vyanzo vya maji kwa sababu watasababisha vyanzo hivyo vikauke.

Awali, Waziri Mkuu aliweka jiwe la msingi katika mradi wa maji wa Luyehela kwenye kijiji cha Muungano Zomba, kuzindua kituo cha kuchotea maji cha kijiji cha Lugagala na kukagua mradi wa ujenzi ya zahanati wa kijiji hicho.

Mkutano huo ulihudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenister Mhagama ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Peramiho na Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga.

Wengine ni Naibu Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, Naibu Waziriwa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Damas Ndumbaro, Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme na maafisa wengine wa Serikali.

(mwisho)
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,

Wamiliki Wa Nyumba za Kupanga Wapewa ONYO

$
0
0
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angeline Mabula, amewaonya baadhi ya watu wanaomiliki nyumba na kuendelea kuwatoza wapangaji wao kodi za miezi sita na mwaka mmoja, kinyume na maelekezo ya serikali, kuheshimu maelekezo hayo.

Naibu waziri huyo alitoa onyo hilo jana, alipokuwa akihojiwa na kituo kimoja cha redio na kuwataka wenye nyumba hao kuwasaidia mwananchi wa kawaida.

"Lengo na madhumuni ni kumsaidia Mtanzania wa kawaida ambaye hutegemea kipato cha mshahara ama biashara, ili aweze kufanya bajeti yake kama kulipa nyumba ama matumizi mengine. Unapomwambia alipe miezi sita ama mwaka mmoja unamtaka atafute kipato cha ziada akuridhishe mwenye nyumba halafu mpangaji abaki na madeni kitu ambacho hakimsaidii Mtanzania," alisema.

Alisema mkakati wa serikali ni kuweka vitu katika usawa ili kuwawezesha wapangaji.

Mabula alisema sheria kuhusu suala hilo bado haijatungwa, lakini ni vizuri wenye nyumba wakajiandaa mapema ili sheria itakapopitishwa wawe wameshazoea.

"Kwa sasa ipo katika mchakato haujapelekwa muswada wa kusomwa bungeni kwa kuwa bado hatujachukua maoni ya wadau, lakini ndani ya mwaka wa fedha unaokuja itakuwa tayari maana imeonekana ni hitaji kubwa," alisema.

Mwishoni mwa mwaka juzi, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, aliagiza watu wanaomiliki nyumba za kuzipangisha, kuacha kuwatoza wapangaji wao kodi za miezi sita hadi mwaka mmoja ili wasio na uwezo waweze kumudu maisha.

Waziri Lukuvi, wakati akitoa agizo hilo, alisema mpangaji anatakiwa kulipa kodi kila mwezi labda atake mwenyewe kulipa kwa miezi zaidi ya mmoja.

Rudisha heshima yako Kwa Mpenzi Wako, Mke Wako...Tumia Tiba Hii ya Asili

$
0
0
Rudisha heshima yako sasa kwa kutumia Dawa hii iitwayo SUPER GAFINA, kwa ajili ya nguvu za kiume na NKOLOMIJE ni kwaajili ya kuongeza maumbile.

Kwa mwanaume aliye kamilika anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara mbili ,ila ukiwa unapiga moja tena kwa shida wewe ujue  unamatatizo ya upungufu wa nguvu za kiume.

TIBA YA TATIZO LAKO NI; Dawa iitwayo SUPER GAFINA, dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge na unga wa asili ambavyo havina madhara kwa mtumiaji ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja;-

1).itakufanya urudie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuchoka.

2).ltakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dk.15 hadi 20 kwa tendo la kwanza.

3).lnaimarisha uume uliolegea na uliosinyaa na kuupa nguvu maradufu.

Je unamaumbile madogo pamoja na uume mfupi? NKOLOMIJE ni suluisho la tatizo lako. Na ni dawa inayoboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi kuanzia inch. 5 hadi 8 kwa muda mfupi sana .Dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk.30 ukisha tumia guarantee miaka 50  ikishakutibu.

Pia ninatibu;- KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU, MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE ,BP, NK.

IGULYATI, ni dawa ya mvuto wa biashara, kazi,kupandishwa cheo na humfanya mfanyakazi kupendwa na mwajiri wake. Pia humvuta mke,Mme,hawara ,mchumba unae muitaji utampata kwa dk.30 tu na atatulia na kumfunga asitoke nje ya ndoa, Pia natoa Pete za bahati ambazo zimetajirisha wengi.

Pia ipo dawa ya kupunguza matiti,unene ,tumbo,na kitambi ,hupunguza mafuta ,kuondoa makovu,chunusi,michilizi mwilini na kuongeza hipsi, makalio na mguu wa bia nk. 

Kwa maelezo zaidi wasiliana na DR,HOSUTWA .Anapatikana Mbagara

Simu no, 0756241666 na 0672186977.

       Huduma hii utaipata popote ulipo

Okoa Ndoa Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Hii Iitwayo Simpo Power

$
0
0
Okoa Ndoa Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Hii Iitwayo Simpo Power Kwaajili Ya Nguvu Za Kiuume Na Promix Kwaajili Ya Kuongeza Maumbile;

Kwa mwanaume aliyekamilika na mwenye Afya njema ili kumridhisha mke au mpenzi anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara mbili hapo utamridhisha mpenzi wako ila ukiwa unapiga moja au mbili hapo ujue umejilidhisha wewe 

Tiba Ya Tatizo Lako Ni Dawa Hiitwayo Simpo Power No, 1; dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge vya miti shamba na unga ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja :-1 itakufanya urudie tendo zaidi ya mara tatu 
2 itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dakika 15-20 kwa tendo la Kwanza 
3 huimarisha uume uliolegea na kusinyaa 

Je Una Mke Au Mpenzi Aliyebalikiwa Kuwa Na Kario Kubwa Au Mwili Mnene Na Wewe Mume Wake Una   Maumbile Mafupu?; tumia sasa dawa ya PROMIX dawa itakufanya umfikishe shemu nyeti maana inaboresha maumbile saizi upendayo.

Dawa zangu haziina madhara yoyote kwa mtumiaji 

MARKSU; ni dawa ya kisukari dozi siku 21 
MWARU; ni dawa ya uzazi,hufungua milija ya uzazi ata kwa Wale waliofungiwa uzazi  
MTUNDUU; ni dawa ya busha bila kupasua 
MAZANZA; ni dawa ya kisukar zipo dawa za miguu Kuuma,tumbo,kupunguza Matiti,kutoa minyama uzembe ngiri,vidondo vya tumbo  

FIKA OFISINI KWANGU BUGURUNI MALAPA KARIBU NA KOTA ZA POLISI AU PIGA  SIMU ULETEWE MAHALI ULIPO SIMU NO : 0783185060 au 0752348593  -DR AGU

Waziri Mkuu Kuzindua Mashine 5 za X-ray zilizogharimu Bilioni 2.1

$
0
0
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa anatarajiwa kuzindua mashine tano za mionzi (X-ray) za kidigitali katika Hospitali za Rufaa za mikoa mitatu na mbili za wilaya.

Uzinduzi huo unatarajiwa kufanyika leo, Ijumaa katika Hospitali ya Ruvuma. Mashine zote zimeigharimu serikali jumla ya Sh bilioni 2.1.

Hospitali zilizofungiwa mashine hizo in pamoja na hospitali za rufaa za mkoa wa Morogoro, Simiyu na Ruvuma na Hospitali za halmashauri za wilaya ya Chato na Magu. 

Aidha, Hospitali nyingine tano za mikoa na moja ya halmashauri inaendelea kukamilisha ufungaji wake.

Lugola Ampa Siku 7 Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoa wa Kagera (RCO)

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, ametoa siku saba kwa Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoa wa Kagera (RCO), Obassy Nguvillan, kupeleleza upya kesi ya mama aliyechomewa nyumba katika eneo la Kyakailabwa Kata ya Nyanga, Manispaa ya Bukoba.

Lugola alitoa agizo hilo jana kutokana na watuhumiwa kukamatwa kisha kuachiwa na baadaye jalada kufungwa na Mwanasheria wa Serikali.

Kabla ya agizo hilo, mama huyo, Sauda Amir, alilalamika kwa Waziri Lugola katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Uhuru Manispaa ya Bukoba na baadaye RCO alikiri kuwa inawezekana Jeshi la Polisi lilipeleleza kesi hiyo kwa udhaifu.

Lugola alisema kuwa haiwezekani mwanamke huyo achomewe nyumba, watuhumiwa anawafahamu halafu kesi iishe katika mazingira ambayo yana utata na kulazimika kumwita RCO kujibu.

“RCO natoa muda wa wiki moja ufanye kazi hii wewe mwenyewe, uchunguze kesi hii upya na unipe majibu,” alisema.

Akizungumzia tukio hilo, Sauda anayedai alifiwa na mumewe, alisema kuwa nyumba yake ilichomwa moto Juni 11, mwaka jana na kuwa kutokana na tukio hilo, kwa sasa hana mahala pa kuishi.

“Mheshimiwa Waziri, naomba unisaidie suala langu lipatiwe ufumbuzi, nahangaika na watoto, sina pa kuishi, kwa sasa mimi na watoto wangu saba tumepewa hifadhi na mama mmoja katika eneo la Kyakailabwa,” Alisema mama huyo

Nguvu ya Miti Katika Kubatilisha Uchawi....Sehemu ya Kwanza

$
0
0
Na. DOKTA  MUNGWA  KABILI……0744  000  473.
Miti  ina  nguvu  sana  katika  uganga  na  uchawi.  Karibu  asilimia  tisini  ya  nguvu  za  uganga  na uchawi  inatokana  na  miti.

Katika  mfululizo  wa  makala haya  nitaelezea  nguvu  ya  miti  mbalimbali  katika  uganga  na  uchawi.

==>>Nguvu  Ya  Miti  Katika  Kuondosha  Matatizo  Ya  Kimaisha  Yanayo  Sababishwa  Na  Wachawi  Pamoja  Na  Majini  Wa  Kisheitwani ( Nuksi, Balaa  Na  Mikosi  )

Katika  kukabiliana  na   vifungo  mbalimbali  vya  kichawi, ipo  miti  mingi  sana  inayo  tumika.  Miti  hii  hufanya  kazi  kufungua vifungo  vya  kichawi  vya  aina  zote pamoja  na  kuondosha  nuksi, mabalaa  na  mikosi  mbalimbali  inayo w asumbua  wanadamu.

Katika   sehemu  ya  kwanza  ya  makala  haya  tutaitazama  miti  ya  aina  tano  kama  ifuatavyo :

MTI  NAMBA  MOJA :  Huu  ni  mti  wa  porini ambao  ukiwa  mbichi  unatoa  harufu  yenye  kunukia  kama  udi.   Ni mti wenye  matumizi  mengi  sana  katika  uganga.  Moja  kati  ya  matumizi  ya  mti  huu  ni  kufungua  vifungo  vya  kichawi  hasa  hasa  vifungo  vilivyo  shindikana.

Kama  unataka  kujifungua  vifungo  vya  kichawi  kwa  kutumia  mti  huu  basi  tafuta  kamba  ya  kuokota  ikiwa  imefungwa  fundo  (  Kamba  kama  hizi  unaweza  kuzipata  sehemu  kama  majalalani  nakadhalika )

Kamba  hiyo  utaiokota  kwa  mguu  wa  kushoto  na kuipokea  kwa   mkono  wa  kushoto  na  kwenda  nayo  hadi  nyumbani  kwako.

Ukifika  nyumbani  kwako  utaifungua  kwa  manuizi  yafuatayo.  “ WEWE  KAMBA  UMEFUNGWA  NA  MIMI  NIMEFUNGWA.  ALIEKUFUNGA  SIMJUI  NA  MIMI  ALIYE  NIFUNGA  SIMJUI.  SIJUI   KAMA  UMEFUNGWA  NA  MWANAMKE  AU  UMEFUNGWA  NA  MWANAUME   NA  MIMI  SIJUI  KAMA  ALIE  NIFUNGA  NI  MWANAMKE  AU  MWANAUME.  NINAKUFUNGUA  WEWE  NA  MIMI  NAJIFUNGUA. KAMA  ALIYE  NIFUNGA  NI  MWANAMKE  NAJIFUNGUA.  KAMA  ALINIYE  NIFUNGA  NI  MWANAUME  NAJIFUNGUA.

Viwanja vya Makazi, Vinauzwa: Bunju na Mapinga (Baobab sec)

$
0
0
Viwanja vya Makazi, Vinauzwa: Bunju na Mapinga (Baobab sec)

Kwa Bunju B, kipo Kiwanja chenye ukubwa wa sqm 1800 na tayari kina msingi imara wa ghorofa, kina view nzur ya kuona Bahari. Kipo mita 500 tu kutoka Main Road (Bagamoyo Road). Bei ya property hii ni tsh 85 milion, Negotiable.

Kwa Mapinga (Baobab sec), vipo Viwanja kuanzia ukubwa wa 20/20 bei milion 6, ukubwa 20/30 bei milion 9,  ukubwa wa 30/40 bei milion 18, ukubwa wa 40/50 bei milion 30, ukubwa wa 40/60 bei milion 36, ukubwa wa 50/60 bei milion 45.

Viwanja hivi viko umbali wa km 2 tu kutoka main road (Bagamoyo Road). Viwanja vyote vina miundombinu ya barabara (lami), umeme na maji.

Hakuna dalali/udalali, contact mhusika, call 0758603077, whatsap 0757489709

Ukipata ujumbe huu mjulishe ndugu/jamaa/rafiki.

Mtoto Anayedaiwa Kufungiwa Kabatini Hatoi Sauti....Wataalamu Waanza Kutafuta Sababu

$
0
0
Wakati vyombo vya dola vikiendelea na uchunguzi wa hali ya mtoto anayedaiwa kufungiwa kabatini kwa miezi mitano, madaktari wametaja tatizo jingine walilolibaini kwa mtoto huyo kuwa hatoi sauti.

Mtoto huyo aliyelazwa wodi ya watoto wenye utapiamlo katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma, amegundulika kuwa na tatizo la kutotoa sauti hata anapolia, hivyo kuwafanya madaktari kuanza kutafuta sababu.

Ofisa Muuguzi, Dina Msesa jana alisema hali ya mtoto huyo inaendelea kuimarika baada ya kumwanzishia lishe ya vyakula vya kuboresha afya yake, lakini tatizo lipo kwenye utoaji wa sauti.

“Mtoto huyu hatoi sauti yoyote wala halii, ila ametulia jambo linalofanya wataalamu waanze kukuna vichwa kutafuta tatizo,” alisema Msesa.

Kuhusu mama wa mtoto huyo ambaye alikuwa mtumishi wa ndani, alisema afya yake imeimarika na mkono uliokuwa umeumia umepona ambapo sasa anaweza kuunyayua tofauti na awali.

Jana, zilizagaa taarifa kuwa msichana huyo na mtoto wake hawapo hospitalini hapo ikidaiwa kuwa wamechukuliwa na wanaharakati na kupelekwa jijini Dar es Salaam kwa matibabu.

Taarifa hizo zilikanushwa na Mganga Mfawidhi wa hospitali hiyo, Dk Ernest Ibenzi aliyesema binti huyo yupo akiwa anaendelea kupatiwa matibabu pamoja na mwanaye.
 
Mwalimu anayedaiwa kumfanyia ukatili msichana huyo bado anashikiliwa na polisi, lakini wanaharakati wanataka afikishwe mahakamani ili haki ijulikane.

Credit:Mwananchi

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Taarifa MUHIMU Toka Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais IKULU Asubuhi Hii

$
0
0
Mhe. Rais Magufuli leo Januari 04, 2019 atashuhudia utiaji saini mkataba wa mauziano ya mahindi kati ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) na Shirika la Chakula Duniani (WFP) kuanzia saa 5:00 asubuhi. 

Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa imesema kuwa tukio hili litarushwa LIVE kupitia Redio, TV, http://www.ikulu.go.tz,  youtube na Mitandao.

Huna Sababu ya Kuabika Tena, Jipatie Dawa Bora ya Nguvu za Kiume, Maumbile Madogo na Mvuto wa Mapenzi

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiathiri watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine ....kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapungufu katika mwili wake.

Kuna sababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huathiri misuli ya uume, 


Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0620510598  / 0743543944

Fatma Karume: Sina Mpango Wa Kumiliki Kadi Yoyote Ya Chama Cha Siasa

$
0
0
Rais wa Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Fatma Karume, amesema hana mpango wowote kwa sasa wa kumiliki kadi ya chama cha siasa nchini badala yake amedai ataendelea kutoa maoni juu ya masuala mbalimbali nchini kupitia taaluma yake ya sheria.
 
"Sijawahi kumiliki na wala sitaki kumiliki kadi ya chama chochote, kuhusu kushiriki kwenye siasa naweza kushiriki bila kuwa mwanachama wa chama chochote, kwani sasa hivi nawakosoa vizuri sana kwa hiyo naweza kutoa maoni yangu hata kama wakiniita mwanaharakati." amesema Fatma Karume.

"Kuhusu kuwa mfuasi wa chama cha siasa kwa sasa nikitaka nitafanya nisipotaka nitaacha, nitawaambia nikimiliki kadi ya chama chochote." ameongeza Fatma Karume.

Hivi karibuni akizungumzia kuonekana kwake kwenye maazimio ya vyama vya upinzani nchini Fatma Karume alisema alionekana kwenye mkutano huo baada ya  kualikwa na vyama husika kutoa elimu juu ya masuala ya katiba.

LIVE: Rais Magufuli kwenye uwekwaji wa saini wa Mauziano ya mahindi na WFP

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Rais Magufuli leo januari 4 anashuhudia utiaji saini mkataba wa mauziano ya mahindi kati ya wakala wa Taifa wa Hifadhi ya chakula (NFRA) na Shirika la Chakula Dunia (WFP).

Tazama kila kitu hapo chini

Breaking News:Tazama Hapa Matokeo Ya Kidato Cha Pili 2018 Na Matokeo Ya Darasa La Nne 2018

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images