Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala- Dar

Mama Maria Maria Nyerere Ammwagia Sifa Katibu Mkuu CCM, Ndugu Bashiru Ally Kwa Kukirejesha Chama Hicho Kwenye Misingi Imara

$
0
0
Mjane wa Mwalimu Nyerere, Mwenyekiti wa Kwanza wa CCM na Rais wa kwanza wa Tanzania, Mama Maria Nyerere amekutana na kuwa na mazungumzo na Ndugu Bashiru Ally Kakurwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Mama Maria ametumia mkutano huu kumpongeza Ndugu Katibu Mkuu kwa juhudi kubwa ambazo anaendelea kuzifanya za kumsaidia Ndugu John Pombe Joseph Magufuli Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kukirejesha Chama na Serikali kwenye misingi ambayo baba wa Taifa aliisimamia.

Mama Maria kwa umahususi na kwa kupitia kwa Ndugu Bashiru amempongeza Ndugu Magufuli kwa kazi nzuri ya ujenzi wa vituo vya afya zaidi ya 200 kote nchini Tanzania ndani ya kipindi kifupi cha miaka miwili, vituo ambayo vina huduma ya afya timilifu (comprehensive health care). 

Mama Maria ameeleza vituo hivi vitakuwa mkombozi wa upatikanaji wa huduma za afya hasa kwa mama, watoto na wazee. Katika Mkutano huo Mama Maria ametoa wito kwa CCM kuendelea kuisimamia Serikali na kuimarisha lishe bora kwa watoto, watu wazima na umma ili kujenga Taifa imara na la watu wenye nguvu ya kuendelea kuchapa kazi sambamba na kauli mbiu ya Rais Magufuli ya Hapa Kazi Tu!

Akipokea pongezi hizo Ndugu Bashiru Ally, amemshukuru Mama Maria kwa kuendelea kutujali, kutukumbusha, kutushauri na kutuombea kila anapopata nafasi. 

Ndugu Bashiru amemjulisha Mama Maria kwamba tarehe 17 na 18 Desemba kutafanyika vikao vya Uongozi vya Taifa, Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa na Halmashauri Kuu ya Taifa ambapo serikali zote mbili ya Jamhuri ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar zitatoa taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya CCM kwa Mwaka 2015 – 2020.

Huu ni muendelezo wa ziara na mazungumzo ya Ndugu Bashiru Ally na viongozi, makada na wanachama wa CCM ili kupokea ushauri, kubadilishana nao uelewa, mipango, mikakati na taarifa za ujenzi wa Chama.

Habari Njema Kwa Wenye Matatizo Ya Nguvu za Kiume, vitambi, nyama uzembe

$
0
0
HABARI NJEMA KWA MLIOATHIRIKA NA MAGONJWA YA MWILI NA AKILI.
Sasa dokta MBALU ana uwezo mkubwa wa kutibu magonjwa yaliyoshindikana,Kama umehangaika kwa muda mrefu bila mafanikio DK.MBALU Ni kiboko kabisaa.

TIBA ATOAZO NI:- (a)Vidonga vya tumbo,kilungulia,Tumbo kujaa gesi.
 (b)Kifua kikuu(TB),Pumu(ATHMA) na Rovu
(c)Miguu kuwaka moto,nyama za magoti kuuma,kiuno na mgongo.
(d)Uzazi na chango.
 (e)Nguvu za kiume,kurefusha na kunenepesha uume,busha,mshipa wa ngiri na tezi dume.
(f)Elimu mwanafunzi kuwa na uwezo mkubwa darasani na kufanya vizuri katika mitihani yake, kupandishwa cheo kazini, kulipwa madeni au mafao yako.
(g) kutoa ushauri nasaha kwa wenye matatizo ya kisaikolojia.

      AINA ZA DAWA.
NINJIWE:-,Hutibu vidonda vya tumbo,tumbo kujaa gesi,na kilungulia,vidonge 16 kwa muda wa siku nne na ya unga.
MPALAMA:-,Hutibu Kifua kikuu (TB), Pumu (ATHMA),na wenye tatizo la uvimbe katika koromeo yaani (ROVU),Huisha na kutorudi Tena.,dozi siku 6.

NKOLA:-,Hutibu miguu kuwaka moto,nyama za goti kuuma,kiuno na mgongo dozi siku 10.
MWATYA:-,Hutibu Uzazi au chango,dozi siku 30,na tatizo kupona kabisa.

LYONGO POWER:-,Hii ni dawa ya heshima kwa akina baba yenye uwezo wa kurefusha na kunenepesha uume kwa wale wenye maumbile madogo yaani (KIBAMIA).

NENGONENGO(4)POWER:-,Hutibu Nguvu za kiume na kuleta hamu ya tendo hivyo kuchelewa kufika kileleni na kuweza kurudia tendo zaidi ya mara (4),ina Nguvu mno Kama Ni muhanga wa tatizo hili   tumia NENGONENGO (4)POWER Ipo aina ya vidonge na unga dozi Ni siku 5 unapona kabisaa wahi Sasa.

NTUNDWA:-,Hutibu busha,mshipa wa ngiri na tezi dume,Busha dozi Ni siku (30),bila kufanyiwa operation,Mshipa wa ngiri dozi siku (4) na tezi dume dozi siku (10).

GWATA:-,kuuwa kesi na shauri kupangiwa tarehe za karibu zaidi na baadae kesi kufutiliwa mbali kabisaa.
NUGWANO:-, Humfanya mtu kuheshimika na kupandishwa cheo kazini pia kulipwa madeni au mafao kwa wakati muafaka.

NKOMA:-, Hurudisha mke,mme,hawara, mchumba ndani ya siku mbili atatimiza mahitaji yote hata Kama yupo mbali na kumfunga asiwe na mtu mwingine..

  Huduma zinatolewa ndani ya masaa 12,Saa moja asubuhi Hadi kumi na mbili jioni,DAR ES SALAAM NA KAHAMA wa mikoani unapata huduma kwa njia ya kusafirisha..na huduma yetu inakufikia ukiwa ofisini au nyumbani kwako..,CONTACTS 0767,  171  ,773
0716, 608  ,959


 OUR SERVICES ARE EASY.

Naibu Waziri Wa Fedha Akagua Matumizi Ya Mashine Za EFD Kariakoo

$
0
0
Na Veronica Kazimoto
NAIBU Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu Kijaji, amefanya ziara ya kushtukiza katika maeneo ya Kariakoo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kukagua matumizi ya Mashine za Kielektroniki za EFD.

Akizungumza mara baada ya kukamilisha ziara hiyo katika maduka mbalimbali, Naibu Waziri huyo amesema kuwa, bado kuna wafanyabiashara ambao hawatoi risiti za EFD na wengine hawatumii kabisa mashine hizo.

“Nimekuwa nikifanya uchunguzi wangu binafsi na wa kiofisi kujiridhisha kama wafanyabiashara wanatoa risiti za kieletroniki na nilichobaini ni kwamba bado kuna baadhi ya wafanyabiashara ambao hawatoi risiti na wananchi wengi hawaombi risiti za EFD,” alisema Dk. Ashatu.

Dk. Ashatu amebainisha kuwa, alifanya uchunguzi binafsi ambapo alikwenda kama mnunuzi na alipoomba risiti za EFD aliambiwa mashine za kutolea risiti hizo ni mbovu na kupewa risiti za kawaida.

Miongoni mwa wafanyabiashara waliotembelewa na Naibu Waziri huyo ni Faridi Mohamed ambaye ni muuzaji wa Vifaa vya Michezo katika Mtaa wa Lindi eneo la Kariakoo aliyemuuzia Dk. Ashatu bidhaa mbalimbali na kumpatia risiti isiyo ya kielektroni na alipoulizwa alidai kuwa mashine ni mbovu.

Dk. Ashatu hakuridhishwa na majibu hayo na kuamua kufanya ziara kukagua maduka yaliyopo katika maeneo hayo ambapo ametoa wito kwa wafanyabiashara kutoa risiti kila wanapouza bidhaa na huduma mbalimbali na wananchi kudai risiti kila wanapofanya manunuzi.

 Mwisho.

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) yajipanga kuongeza makusanyo

$
0
0
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA), Deusdedith Kakoko, amesema mpango wa kufufua bandari bubu ambazo zipo zaidi ya 250 nchi nzima utaongeza mapato ya mamlaka kwa kiasi kikubwa sambamba na kudhibiti bidhaa za magendo nchini.
 
Akizungumza na waandishi wa habari juzi ofisini kwake jijini Dar es Salaam Kakoko alisema jumla ya mapato ya bandari hizo yanakadiriwa kuweza kufikia theluthi moja au nusu ya mapato ya Bandari ya Dar es Salaam.
 
Bandari ya Dar es Salaam ambayo imefikia kuhudumia shehena za tani milioni 16.2 kwa mwaka inaingiza Sh  bilioni 70 kwa mwaka kwa mujibu wa takwimu za TPA za mwaka 2017.
 
Kakoko alisema zipo hatua kadhaa zinazochukuliwa katika mpango wa kufufua bandari bubu ikiwemo kuzianisha, kuwashirikisha wadau, kuzifanyia tathmini, kuandika ripoti ya kuanisha bandari zenye sifa za kuweza kufufuliwa na kisha kuipeleka kwa wizara husika kwaajili ya mapitio na kupitishwa.
 
Alisema kwa sasa zoezi la kuzitambua na kuzianisha zinaendelea na kwamba zoezi hilo linatarajia kukamika mwezi huu, “tunatarajia zoezi likikamilika tunaweza kupata bandari bubu zaidi ya 300.”
 
“Tayari tumeshafanya vikao na wakuu wote wa mikoa na wilaya  ambazo zina bandari bubu na nusu ya viongozi wote wa vijiji na kata katika maeneo hayo tayari tumeshazungumza nao na zoezi hilo linaendelea,” alisema Kakoko.
 
Alisema ushirikishwaji huo wa wadau umefanyika ili kupata ushirikiano katika utekelezaji wa usimamizi wa bandari hizo pindi zitakaporasimishwa na kutopata mapingamizi.
 
Kuhusu gharama za kuendesha bandari hizo pindi zitakaporasimishwa alisema kwa kiasi kikubwa hazihitaji gharama kubwa kwani zitakodishwa kwa halmashauri, vijiji au watu binafsi ili kuziendesha na kukusanya mapato kwa niaba ya TPA.
 
Akizungumzia faida za kurasimisha bandari bubu Kakoko alisema zaidi ya kuingiza mapato pia inasaidia kuondoa biashara za magendo, kuepusha uingizaji wa bidhaa zisizoruhusiwa, na uingizaji wa silaha kinyume cha sheria.
 
Amesema hatua hiyo ni miongoni mwa mabadiliko makubwa yanayofanywa na TPA katika kuhakikisha bandari zinachangia kwa kiasi kikubwq ukuaji wa uchumi wa taifa.
 
“Tuliwahi kusikia Rais wa Rwanda Paul Kagame akisema angepewa bandari ya Dar es Salaam tu ingetosha kuendesha nchi bila kutegemea kitu kingine, na ni kweli kabisa kwasababu bandari ni fedha ndiyo maana serikali sasa imeamua kuwekeza katika uboreshaji wa miundombinu, mifumo ya teknolojia ya habari na mawasiliano, ulinzi na kuimarisha kitengo cha masoko, mahusiano na mawasiliano kwa umma,” amesema.
 
Amesema pia wamewekeza katika kuongeza ujuzi kwa rasilimali watu kwa kutoa mafunzo ya kitaalamu hasa katika matumizi ya tehama ambapo vijana wakitanzania wamepelekwa nje na wengine wqkipatowa mafunzo hapa nchini.
 
Ameongeza kuwa pia wametangaza nafasi za kazi kwà nafasi zilizokuwa wazi pamoja na kuweka nafasi nuingine mpya ambazo zimeonekana kuwa zinahitajika katika kuibadilisha bandari.
 
Alisema miradi mbalimbali ya upanuzi wa bandari mbalimbali nchini unaendelea katika mwambao wa pwani na katika maziwa makuu ambako magati mapya yanajengwa.
 
“Tumeona hapa bandari ya Dar es Salaam tayari gati namba moja imekamilika na wiki ijayo tunatarajia kupokea meli kubwa katika gati hiyo na gati ya magari inaendelea ikiwa imefkkia imefikia asilimia 65.
 
Alisema baada ya miradi hiyo ambayo yote inatarajia kuwa iwe imekamilika na wqtaanza ujenzi wa tunakwenda kujenga gati namba mbili na tatu pamoja

Gari la kubebea maiti Lililotolewa na Naibu Waziri Laibua Mjadala

$
0
0
Gari la kubebea maiti lililonunuliwa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, Anthony Mavunde, limeibua mjadala mkali kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii.

Mavunde ambaye pia ni Mbunge wa Dodoma Mjini (CCM), alitoa gari hilo juzi na kulikabidhi kwa wananchi ili kila anayefiwa kwenye jimbo hilo alitumie bila malipo kwa ajili ya shughuli ya maziko.

Gari hilo aina ya Isuzu lililonakshiwa vizuri limeandikwa kwa herufi kubwa mbele kwamba gari la mazishi limenunuliwa na Mbunge wa Dodoma Mjini, Anthony Mavunde.

Ingawa baadhi ya waliochangia walisema nia ya Waziri Mavunde ni njema, wengine waliokuwa wakichangia kwenye mitandao ya kijamii walihoji mbunge kuwapa wananchi gari la kubebea maiti badala ya kuweka utaratibu wa kuwatibu wanapougua ili wasife.

Wakati akikabidhi gari hilo juzi, Mavunde alisema alichukua uamuzi wa kununua gari hilo baada ya wananchi wengi kufika ofisini kwake mara kwa mara kuomba fedha za kuwasafirisha wapendwa wao wanapofariki dunia kutoka hospitalini kwenda kwenye mazishi.

Baadhi ya wachangiaji kwenye mitandao ya kijamii walihoji kama hicho ndicho kipaumbele cha wananchi wa jimbo la Dodoma Mjini huku wengine wakipongeza hatua hiyo kuwa itasaidia wananchi.

Siku moja kabla ya uzinduzi wa gari hilo, Mavunde alitumia ukurasa wake wa Facebook kuwakaribisha wananchi kushiriki uzinduzi huo na ndipo alipoanza kupata mashambulizi.

Kikwete Awataka Wahitimu Vyuo Vikuu Wajiandae Kisaikolojia

$
0
0
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Jakaya Kikwete amewataka wahitimu wa shahada za ualimu kujiandaa kisaikolojia kufundisha shule za msingi badala ya shule za sekondari kama yalivyo matarajio yao.

Ameyasema hayo kwenye mahafali ya 10 ya Chuo Kikuu Kishiriki cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam cha Elimu Mkwawa cha mjini Iringa baada ya kutunuku Shahada za kawaida kwa wahitimu 1,340 na Stashahada ya Uzamili kwa wahitimu sita.

“Serikali sasa inapeleka wanafunzi wenye shahada kufundisha shule za msingi, jambo hili halikupokewa vizuri na wale wa mwanzo, waliona kama wanashushwa hadhi kwa sababu stahili yenu ni kufundisha sekondari,” alisema na kuongeza kuwa maamuzi hayo ya Serikali ni sehemu ya mapinduzi makubwa ya elimu yanayoendelea kutokea nchini na kwa mazingira ya sasa hayaeupikiki.

“Tulikuwa na walimu wa shule za msingi waliokuwa wahitimu wa darasa la saba na la nane, leo hawapo sasa tuna wa daraja la tatu A ambao ni wa kidato cha nne ambao nao watapotea kwa sababu ya ongezeko la walimu wa Diploma na Shahada,” alisema.

Akizungumzia mapinduzi ya elimu katika nchi zilizoendelea, Kikwete alisema walimu wanaofundisha kuanzia chekechea hadi sekondari katika nchi hizo ni wale wenye elimu ya chuo kikuu.

Kutokana na mabadiliko hayo amesema uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam umeanza kuangalia namna utakavyobadili mitaala yake ili wahitimu wa shahada za ualimu katika vyuo vyake waweze kumudu kufundisha wanafunzi wa ngazi ya msingi hadi sekondari.

Awali, Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi ya Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Mkwawa na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa William Anangisye aliwataka wahitimu hao kutumia elimu yao kuikomboa jamii badala ya kuibomoa.

Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Jaji mstaafu Damian Lubuva alisema baraza linaendelea kushirikiana na wadau kuimarisha chuo na kusimamia utekelezaji wa sera mbalimbali.

Katika hotuba yao iliyosomwa na mhitimu aliyefanya vizuri kuliko wanafunzi wote, Emanuel Kayuni, wahitimu hao waliwaasa wanafunzi wenzao wanaobaki chuoni hapo kujituma katika masomo yao, kudumisha umoja, nidhamu, hekima na mshikamano.

Waziri Kakunda aitaka Veta kuwekeza kwenye teknolojia ya kisasa

$
0
0
Waziri wa Viwanda Biashara na Uwekezaji Joseph Kakunda amesema ni vyema Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) kuanza kuwekeza katika kubuni teknolojia za kisasa na kuzalisha mashine za kurahisisha shughuli za viwanda nchini.

Kakunda aliyasema hayo alipotembelea banda VETA katika Maonesho ya Tatu ya Bidhaa za Viwanda Tanzania yanayofanyika katika Viwanja vya Mwl. J.K. Nyerere-Sabasaba jijini Dar es Salaam.

Amesema kutokana na mkakati wa serikali kwenda katika uchumi wa kati kupitia viwanda, VETA  inawajibu wa kuzalisha nguvu kazi yenye uwezo wa kubuni teknolojia ambazo zitarahisisha kufanya uchakataji wa malighafi zinazolishwa nchini.

 Kakunda amesema kuwa mali ghafi zikichakatwa nchini zitasaidia kuongeza mnyororo wa thamani wa malighafi hizo na hatimaye kuwasiadia wakulima kunufaika na kilimo wanachokifanya.

“VETA mna nafasi kubwa nchini katika maendeleo ya viwanda na serikali inawategemea katika uzalishaji wa teknolojia na nguvu kazi ili kusaidia kusukuma maendeleo hayo,” alisema.

Maonesho ya tatu ya bidhaa za viwanda yanafanyika katika viwanja vya Sabasaba kuanzia tarehe 5 hadi 9 Desemba 2018.

Shoo Ya Diamond Tamasha la Wasafi Festival Sumbawanga Yaahirishwa

$
0
0
Tamasha la Wasafi Festival lililokuwa likifanyika jana (Jumamosi) usiku limeahirishwa baada ya mvua kubwa kunyesha na hivyo kushindwa kuendelea.

Hata hivyo onesho hilo lililokuwa likifanyika katika Uwanja wa Nelson Mandela mjini hapa liliahirishwa huku wasanii Country Boy, Queen Darlin, Gigy Money, Lavalava na Young Killer  wakiwa tayari wameshamaliza kupiga shoo zao jukwaani.

Kutokana kuahirishwa kwa tamasha hilo Msanii Diamond Platnumz alipanda jukwaani na kuwaomba radhi mashabiki waliokuwa uwanjani hapo na ambapo alitangaza kuwa Tamasha hilo litaendelea tena uwanjani hapo leo Jumapili jioni kuanzia saa 10:00.

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH....Anatoa Pete za Bahati, Anasafisha Nyota, Anazuia Chuma Ulete na Mengine

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH Adam Shariff,  Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika
Anatibu kwa Njia ya Simu Ukiwa Nchi Yoyote / Mkoa wowote
 
..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Chief Sultan Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU(LIMBWATA). Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine?Una Mpenzi wako ana Pesa na Unataka kumkamata? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
 
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Adam Shariff Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
 
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA,Hutoa PETE ZA BAHATI inayoendana na NYOTA YAKO. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.HUZUIA CHUMA ULETE NA KUKUPA DAWA YA KUONGEZA FAIDA KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA AU KUDHULUMIWA.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. 

Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI.Humaliza Kabisa Tatizo la Nguvu za KIUME na Kurefusha Uume kwa Saizi Unayotaka,HUMALIZA KESI YA AINA YOYOTE NDANI YA SIKU 14. na mengi zaidi

Mawasiliaono: +255715971688  au +255756914036
 
Tiba ni kwa Watu wenye Imani na Dini zote

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 42

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA   
“Ni watu wa huyu mzee”
“Ohoo samahani mume wangu kwa kukuamisha kwamba ni watu wa serikali. Tukashuhudia helicopter nyingine nayo ikilipuka mlipuko mmoja mkali sana. Wanajeshi wanao tushambulia tukawashuhudia jinsi wanavyo anguka mmoja baada ya mwengine.
“Nilikuambia Ethan, hii vita si ndog….”
“Nyamaza nguruwe wewe”
Nilizungumza huku niligeuza gari hili kwa kasi sana, likayumba kidogo ila nikafanikiwa kuliweka sawa.
“Tupa hiyo simu ya huyo mzee”
Tuliisikia sauti ya Ethan akizungumza nasi, tukatazamana na Camila usoni mwetu. Nikaanza kujipapasa mifukoni mwangu na kuipata simu ya mzee huyu, nikashusha kioo kidogo na kuitupa dirishani na kuanza safari ya kutokomea sehemu ambayo kwa kweli hatuifahamu na hatujui ni nini hatima yetu na mwanasheria wangu huyu.

ENDELEA
“Tunakwenda wapi huku mume wangu?”
Camila alizungumza huku tukiendelea kufwatisha barabara ndogo iliyopo katikati ya msitu huu wenye miti mirefu kwenda juu na iliyo fungamana sana.
“Twende tu mke wangu, hatuwezi kurudi mjini kwa hali hii”
Meneja akakurupuka na kujikuta nikitazama nyuma alipo kaa. Nikamuona Ethan akiwa amekaa pembeni yake.
“Unaniogopa ehee?”
Ethan alizungumza huku akimshika meneja shati lake. Ethan akaniomba nisimamishe gari na nikafanya hivyo. Kwa ishara akaniomba nishuke kwenye gari ili tuweze kzungumza.
“Muangualie huyu”
 
Nilizungumza huku nikimtazama Camila, akanijibu kwa kutingisha kichwa huku akiwa ameishika bastola yake vizuri. Nikafunga mlango na tukazunguka nyuma ya gari hili.
“Hali ya usalama wenu sio nzuri rafiki yangu. Hali ni mbaya na munawindwa kuuwawa”
Ethan alizungumza kwa sauti ya upole sana
“Duuu na inakuwaje watu wa serikalini ndio wanahitaji kutuangamiza?”
“Raisi wa sasa hivi haitaji kuachia madaraka kwenye chama cha baba yako mkwe. Kumbuka kwamba huyu raisi chama chake ndio hicho anacho gombania huyo mke wa mwanasheria wako. Wewe kwa kumpa msaada wa kipesa wa asilimia hamsini, umewafanya wajenge uadui mkubwa sana. Hivyo wakiwaua wewe na Camila basi baba yake atajitoa kwenye kinyang’anyiro cha kugombani uraisi”
 
“Hii taarifa inabidi Camila aweze kuifahamu”
“Sawa”
Nikarudi upande wa siti ya Camila, nikamuomba ashuke kwenye gari huku akichomoa funguo za gari hili na tukaifunga milango. Tukasimama nyuma ya gari hili huku tukimtazama Ethan.
“Shemeji kuna swala hapa nahitai kukueleza, nilianza kumueleza Ethan kidogo akaona sio mbaya akakushirikisha na wewe”
“Swala gani?”
“Vita ambayo mupo nayo hivi sasa imeanzia serikalini. Lengo lao ni kuwaua nyinyi wawili ili kuhakikisha kwamba baba yenu anatoka kwenye kinyang’anyiro cha uchaguzi wa raisi”
“Ohoo Mungu wangu, kwa hiyo haya yanayo tokea hivi sasa ni kwasababu ya raisi huyu wa sasa?”
 
“Ndio”
“Sasa tutafanyaje jamani”
“Popote ambapo mutakuwa ndani ya hii nchi ni lazima muta uwawa kwa maana adui yetu anakuja kwa sura nyingi, mara wanajeshi mara hivi, hivyo hata mimi japo nina uwezo mkubwa, ila wananizidi akili sana na laiti ningekuwa mbali nanyi hawa wanejeshi wangewaua”
Nikashusha pumzi huku nikimtazama Ethan.
“Nina rafiki yangu mmoja yupo nchini Tanzania. Nitawasiliana naye kwa sasa ili aweze kuwasaidia kuwaficha huko. Naamini kwamba mashambulizi ya kumuangusha huyu mama kutoka madarakani itaanzia huko huko Tanzania sawa”
 
“Sawa shemeji ila uchaguzi umebakisha siku ishirini na hivi sasa baba tupo kwenye kampeni kweli si wanaweza kumdhuru”
“Hadi kumfikia baba yako ni kazi ngumu sana na ukumbuke kwamba baba yako anasaidiwa na babu yako ambaye naye alikuwa ni raisi wa hii nchi. Hivyo bado kuna nguvu ambayo aimeicha ndani ya serikali”
“Sawa nimekuelewa shemeji”
Ethan akatoa simu yake na kusogea pembeni.
“Sasa mume wangu kama tukielekea Tanzania, itakuwaje mama na dada yako?”
“Nina imani atawalinda kama anavyo tulinda nasi”
“Kweli?”
“Ndio”
Ethan mara baada ya kumaliza kuzungumza na simu akarejea sehemu tulipo.
 
“Nimesha zungumza naye. Mutaondoka hapa na helicopter hadi nchini Ufaransa. Kuanzia hapo mutaiaza safari ya kuelekea nchini Tanzania na huko mutapokelewa na mwana dada huyo”
“Sawa, sasa dada yangu na mama nina waacha huku itakuwaje rafiki yangu?”
“Nitakuwa nao pamoja na nimeweza kuweka hali ya wao kusahulika, hakuna adui ambaye anaweza kuwakumbuka hata mmoja”
“Ahaa, sawa.”
“Ila nitahitaji kuzungumza na mama pamoja na baba ili tuwatoe wasiwasi?”
“Kwa sasa si rahisi na salama kuzungumza nao. Mutazungumza nao kipindi mukifika nchini Tanzani, sawa”
“Sawa”
 
“Ingieni kwenye gari, sasa hivi nitawaendesha”
Nikamkabibidhi Ethan funguo, kisha mimi nikapanda siti ya nyuma na kukaa na mwanasheria huku Ethan na Camila wakikaa siti ya mbele.
Safari ikaendelea huku tukizidi kukatiza kwenye msitu huu. Mwanasheria mwili wake unamtetemeka kila anapo mtazama Ethan mwenzangu.
“Yaani sikuamini kama wewe unaweza kuja kuwa mtu ambye unaweza kuja kuniharibia maisha yangu na nimekuwa mkimbizi wa kukimbia kimbia katika nchi ambayo nimekuwa toka nilipo kuwa mtoto mdogo”
“Haya yote nimefnya kwa shinikizo, sio mimi, laiti kama ningekuwa ni mimi nisinge fanya hivi”
 
“Hiyo sio pointi ya kujitetea”
“Ethan huyo nitabaki naye mimi hapa Ujerumani”
“Sawa nashukuru, ila hakikisha anakuwa hai hadi pale anapo mshuhudia mke wake anavyo anguka na ikiwezekana anakwenda jela kwa kosa hili”
“Sawa”
Tukafika kwenye moja ya kiwanja kidogo ambacho kimezungukwa na miti. Tukakuta helicopter moja ya kifahari ikiwa katika eneo hili. Tukashuka ndani ya gari na kumuacha mwanasheria peke yake.
“Huyu mzee anatawapeleka hadi Ufaransa, mutapanda ndege na maelezo yote nimemueleza na tutawasiliana mukiwa ndani ya ndege”
“Sawa”
 
“Shem ni nani ambaye atatupokea huko?”
“Ohoo usijali shemeji, mukiwa kwenye ndege mutakabidhiwa kila kitu chenye melezo sawa”
“Sawa nashukuru shemeji yangu, ninaweza kukumbatia?”
Macho yakanitoka kidogo kwa ombi hilo la Camila kwa Ethan.
“Acha wivu. Unaweza kunikumbatia”
Ethan akapanua mikono yake kidogo na Camila akamkumbatia kwa nguvu sana.
“Imetosha sasa, kukumbatiana gani huko”
“Haahaaa haya”
Ethan alizungumza huku akimuachia Camila taratibu. Tukaanza kutembea na Ethan hadi  kwenye helicopter hii. Tukakuna na mzee mmoja wa kifaransa kwenye ndefu nyingi nyeupe.
“Anaitwa mzee Fransico. Mzee Fransico huyu ni Ethan wajina wangu na huyu ni Camila ni mpenzi wake”
“Nashukuru kwa kuwafahamu”
“Karibuni sana nimewajia na nguo za kubadilisha”
“Tunashukuru”
“Munaweza kuingia ndani ya helicopter mukabadilishia humo humo ndani”
 
“Sawa”
Mimi na Camila tukaingia ndani ya helicopter hii, tukakuta nguo kadhaa, nikavaa suti mija nyeusi yenye shati jeupe, huku Camila naye akivaa gauni moja refu la rangi ya nyeupe ila ina vimweko mweko ya dhahabu. Camila akaziweka nywele zake vizuri huku akivaa miwani moja nzuri ambayo kwa asilimia kubwa imebadilisha muonekano wake.
“Tayari”
Nilizungumza mara baada ya kufungua mlango wa helicopter hii.
“Ohoo umependeza sana wajina”
“Nashukuru ndugu yangu”
“Sawa, hati za kusafiria zote zipo tayari. Mzee atawakabidhi mukifika uwanja wa ndege”
“Poa”
 
Mzee Fransico akaingia kwenye helicopter hii upande wa rubani. Taratibu akawasha helicopter hii na tukaanza kuondoka katika eneo hili huku tukimpingia mkono Ethan ambaye tukamshuhudia akiingia kwenye gari na kuondoka eneo hili. Safari ya kuondoka nchini hapa Ujerumani ikaanza huku Camila akionekana kujawa na mawazo mengi sana kichwani mwake.
“Baby mbona una mawazo?”
“Namfikiria baba yangu, naondoka nchini kwangu pasipo hata kutegeme kama kweli ninaondoka muda huu”
“Ni kweli mke wangu, ila hili swala litakwisha nina imani kwamba baba akiingai madarakani kila jambo linaweza kwenda vizuri naamini atakuwa na nguvu ya kupigania hili jambo”
 
“Ni kweli ila nina ogopa sana”
“Usijali nipo karibu nawe”
Safari ya kuelekea nchini Ujerumani ikatuchukua masaa kadhaa hadi kufika katika kiwanja cha Paris Orl. Tukashuka kwenye helicopter ikiwa ni majira ya saa moja kasoro usiku, tukainagi kwenye ndege ya kukodi ambayo ni private jet.
“Ndani ya ndege kuna simu mbili na zina maelezo ya nani atawapokea mukifika nchini Tanzania. Hii ni card ya benk ambayo inaweza kutoa pesa katika nchi yoyote duniani. Ni Gold Master Card”
 
Mzee Fransico alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.
“Nashukuru mzee”
“Ndani ya ndege kuna kila aina ya huduma ambayo mutahitaji na marubani wetu ni wawili. Mr Cosovo na Mis Anna.
“Tunashukuru kwa msaada wenu”
“Ndani ya akaunti kuna kiasi cha dola milioni tano za Kimarekani, hakikisheni kwamba munaitunza vizuri”
“Asante”
Tukaagana na mzee Fransico kisha tukaingia kwenye ndege hii ambayo abiri ni sisi wawili. Tukaa kwenye siti mbili nzuri, tukajifunga mikanda na taratibu ndege hii ikaanza kuondoka kwenye uwanja huu. 
 
“Nikupe matunda?”
“Ndio mke wangu”
Camila alizungumza huku akiwa amefungua friji ndogo iliyopo pembeni yake. Akatoa matunda mawili aina ya Apple.
“Sikutarajia kurudi nchini Tanzania leo”
“Ndio tunarudi mum wangu”
“Baada ya miaka kumi na mbili sasa nina rudi nchini kwangu”
“Kweli”
“Ndio, hembu naomba simu hapo nisome maelezo ya mpokeaji”
Camila akanikabidhi simu moja, nikaiwasha na kukutana na melezo ya jinsi ya kuifungua simu hii. Nikakutana na maelezo ya jinsi gani ninaweza kuifungua simu hii. Nikaanza kukutana na maelekezo ya kuifungua simu hii. Nikakuta picha ya msichana mmoja ambaye anaitwa Jojo Dany. Ni msichana mmoja mzuri na anaye vutia kwenye macho ya mwanaume.
“Mbona unashangaa sana”
 
“Huyu ndio msichana ambaye tunakwenda kukutana naye”
Nilizungumza huku nikimgeuzia Camila simu hii niliyo ishika.
“Sawa”
Camila aliitikia kinyonge.
“Ethan nahitaji kuzungumza na baba yangu”
“Sasa hivi?”
“Ndio mume wangu nahitaji kuzungumza naye”
Tukaitazama simu hii niliyo ishika, kisha nikamkabidhi Camila na akaingiza namba ya mkononi ya baba yake.
“Vipi simu inaita?”
“Ndio”
“Halo baba”
“Ohoo asante Mungu kwa kuisikia sauti yako”
“Nipo salama baba yangu, nina mshukuru Mungu, nipo kwenye ndege hivi sasa nina eleeka nchini Tanzania”
“Tutazungumza mambo mengi baba nikifika nchini humo”
“Nipo na Ethan, huu hapa zungumza  naye”
 
“Sawa”
Camila akanikabidhi simu huku usoni mwake akiwa amejawa na batasamu kidogo. Nikaipokea simu hii na kuiweka sikioni mwangu.
“Ndio mzee”
“Nashukuru kwa kuendelea kumlinda mwanangu, ila ninakuomba huko Tanzania munapo kwenda uhakikishe kwamba anakuwa salama”
“Nashukuru baba, ila nina imani kwamba unaelewa ni jambo gani ambalo linaendelea?”
“Ndio kuna kijana amenifwata kama masaa manne yaliyo pita na amenieleza kwa kila kila kile kinacho endelea kwa sasa”
“Sawa baba, nashukuru kwa kulifahamu, ila ninacho kuomba kuanzia hivi sasa jilinde, nahitaji uingie ikulu. Ukiingia ikuli tutakuwa tayari kurudi nchini Ujerumani”
“Sawa nitahakikisha kwamba ninaichukua nchi na maadui zangu wote watakwenda kulipa kwa hili jambo ambalo wamelifanya.”
“Sawa sawa”
“Ila kuna kitu kimoja ninaomba unisaidie baba mkwe”
“Kitu gani hicho mwanangu?”

==>>ITAENDELEA KESHO

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 170 na 171 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA   
“Kijana mbona unatushangaa?”
Raisi Donald Bush alizungumza huku akiupeleka mkono wake wa kulia kwenye tumbo la Hawa na kuanza kulipapasa taratibu taratibu. Nikafungua kifungo cha shati langu, taratibu nikaiinamisha sura yangu chini, nikaanza kuvua sura hii ya bandia hadi ninaimalizia na kuinyanyua sura yangu na kuwatazama raisi Donald na Hawa, wote wakabaki wamenitumbulia macho hata mkao  wa kimahaba walio ukaa ukavurugika kila mtu akaka jinsi anavyo jua yeye mwenyewe huku mwili wake ukiwa unawatetemeka, kwani yule wanaye muogopa na waliye mkimbia huko walipo toka yupo mbele yao.
                                                                          
ENDELEA      
“Da……..”
Hawa wala hakumalizia sentensi yake akapoteza fahamu, raisi Donald akataka kumshika mke wake ila alivyo yatupia macho yake kwenye mkono wangu ulio shika bastola akajikuta akishindwa hata kumsogelea. Kwa jabza kubwa ambayo ninayo nikajikuta nikishindwa kabisa kuzungumza, kifua changu kikaanza kutanuka kwa pumzi kali ninayo ivuta na kuitoa nje.
 
“Nilitee maji ya baridi”
Nilizungumza kwa sauti iliyo jaa mikwaruzo mingi inayo tokana na hasira, Winy akafungua friji na kunitolea chupa ya maji kisha akanikabidhi. Nikameza fumba moja la mate kisha nikafungua kifuniko cha chupa hii ya maji. Nikamtazama jinsi Hawa alivyo lalaa, maji yote ndani ya kichupa hichi nikamwagia usoni mwake jambao lililo mfanya akurupuke huku akijifuta futa uso wake. Hawa akanitumbulia macho huku akitetemeka sana, taratibu nikaanza kufunga kifuniko cha hii chupa ya maji kisha nikaitupia pembeni. Hata mlio wa chupa katika kuigusa hii meza ikamfanya raisi Donald Bush kushuka.
 
“Dany ninakuomba unisameheee”
Hawa alizungumza huku machozi yakianza kumwagika usoni mwake. Nikachomoa kiwambo cha sauti kwenye mfuko wangu na taratibu nikaanza kikifunga kwenye mdomo wa bastola yangu. Nilipo hakikisha nimekikaza vizuri nikamnyooshea bastola hii raisi Donald Bush.
“Da…da….ny u….un…a una jua….jua kwa….kwa….”
Sikuwahi kumuona raisi Donald Bush kuwa na kigugumizi ila muda huu amekipata na hata maneno anayo yazungumza hakuna hata moja linalo kamilika mdomoni mwake.
“Dany ninakuomba utusamehee, tazama hali yangu. Tumboni nimebeba malaika wa bwa……”
 
Nikamtandika raisi Donald Bush risasi ya paja na kumfanya kutoa ukelele mkali sana. Hawa akazidi kuangua kilio, akataka kunipigia magoti chini ila nikamkatalia kwa ishara.
“Hawa ulifikiria nini?”
Nilizidi kuzungumza kwa sauti nzito iliyo jaa mikwaruzo mingi, Hawa akashindwa kabisa kunijubu kwani kilio kimenamfanya hadi matamshi kuhindwa kumtoka na kubaki akichezesha chezesha mdomo wake.
“Nilidhani kwamba huyu mwanaharamu umekuwa naye kwa ajili ya kulipiza kisasi cha baba yako, ila umekwenda kumkumbatia hadi akakupatia mimba kwa nini?”
Nilizungumza kwa kufoka huku nikimtazama Hawa usoni mwake. Ujanja wote wa Hawa umemuishia, nikamtandika raisi Donald Bush risasi ya mguu wake wa pili na kumfanya kugaragara kwenye sofa hili kwa maumivi makali hadi akajikuta akianguka chini huku akiendelea kulia kwa uchungu sana.
 
“Mulihisi  kwamba nitakufa. Hawa nilikuamini sana, nilikujali sana iweje unisaliti hadi umuue mtoto wa rafiki yako Yemi, mwanye amekufanyia nini. Je ni wivu wa mapenzi kisa nilikuwa naye eheeee”
Nilizungumza huku nikimvamia Hawa karibu yake na kumkaba koo lake kwa mkono wanug wa kulia nilio  ukataza ila kwa hasira ambayo nipo nayo mkono unatetemeka. Nikamuachia Hawa koo lake na kumfanya akohoe huku akivuta pumzi kwa haraka sana kwani ningeendelea japo hata dakika mbili ningempotezea maisha yake.
“Niambie ni kitu gani ulikosa kwangu eheee”
Nilizungumza huku nikirudi kwenye kiti nilicho kuwa nimekaa, kabla ya kukaa nikamtazama raisi Donald Bush jinsi anavyo garagara hapa chini, nikamkanyaga kwenye jeraha la risasi mguu wake wa kulia huku  nikigandamiza nguvu jambo lililo mfanya raisi huyu kuzidisha kilio.
 
“Ehee”
Nilisikia sauti ya Livna akishangaa anacho kiona. Nikaanza kumkanyaga haraka haraka raisi Donald kwenye jeraha lake huku nikiwa nimeyakaza meno yangu, hadi Livna akanizuida na kunisogeza pembeni.
“Dany hatupo chumba cha adhabu, hapa ni sebleni. Fikiria ni nini cha thamani unaweza kukipata kutoka kwako sawa”
 “Kipi cha thamani hapo ambacho ninaweza kukipata kutoka kwao zaidi ya uhai wao”
“Kufa ni lazima uwaue, ila tazama kuna mali, mamlaka na mambo mengi sana ambayo unatakiwa kuyapata Dany”
“Sihitaji hivyo vyote zaidi ya maisha yao”
Nikaachana na Livna na kaunza kurudi sehemu walipo Hawa na mume wake, nikamnyanyua raisi Donald Bush na kumkalisha kwenye sofa.
 
“Wewe mseng** leo utalifahamu jina nililo zaliwa utotoni”
Nikamtandika ngumi nzito ya uso  iliyo zidi kuzidisha maumivu makali  kwa raisi huyu. Mlio wa simu wa Livna ukanifanya kusitisha zoezi zima la kumpiga raisi Donald na kumtazama Livna.
“K2”
Livna alizungumza huku akinigeuzia simu yake, nikaon jina la K2, nikataka kunyanyuka na kuipokea simu hiyo ila Livna kwa ishara akanizuia.
“Mzibe mdomo huyo anaye piga makelele”
Nikachukua kijimto kidogo na kumshindilia nacho raisi Donald cha mdomo na kukishikilia kuhakikisha kwamba hakichomoi mdomoni mwake na kupiga makelele yake.
 
“Muheshimiwa raisi?”
“Livna raisi wa Marekani haonekani”
Niliweza kuisikia sauti ya K2 kutokana na kuweka loud spoker, nikamtazama Hawa anaye endelea kulia kwa uchungu.
“Walinzi wake je?”
“Bado haijajulikana wapo wapi. Hembu wewe na timu yako fwatilieni”
“Sawa mkuu”
Livma akakata simu na kunitazama usoni mwangu, nikauchomoa mto mdogo kutoka mdomoni mwa raisi Donald Bush.
“Mpumbavu unahisi  kwamba nchi yangu itakuacha salama katika hili?”
Raisi Donald Bush alizungumza kwa ukali huku akinitazama usoni mwangu. Sikumjibu kitu chochote zaidi ya kumpiga ngumi nyingine iliyo tua mdomoni mwake na kupelekea meno kadhaa kuanguka.
 
“Dany nakuomba unisamehee kama nitakufa nife ila ufahamu ukweli”
Hawa alizungumza huku akiendelea kulia.
“Ukweli gani ambao unaweza kuniambia?”
“HII MIMBA NI YAKO……”
“Ku**k** msen** wewe unahisi mimi boya wa kudanganyika kirahisi eheeee?”
Nilifoka huku nikinyanyuka kwa hasira nikaishika tena shingo ya Hawa na kuanza kuiminya kwa nguvu huku nikimkazia macho usoni mwake.
“Unahisi kwamba mimi ni fala wa kukubaliana na mimba zisizo na msingi wowote kwenye maisha yangu eheee”
“Kw…..ee….li…..”
Hawa alizungumza kwa sauti ya kukata kata kwani koo lake ninaliminya kisawa sawa.
 
“Dany ngoja kwanza”
Nikaisikia sauti ya Babyanka, nikamuachia Hawa koo lake huku nikisimama mikono yote ikinitetemeka kwa hasira.
“Dany kwa mke wa raisi nakuomba umpatie nafasi ya kuishi”
“Babyanka hivi unajua ni mangapi ambayo nimeyapitia eheee?”
“Natambua Dany, mimba iwe yayo au isiwe yako, ila ana kiumbe tumboni mwake kipe nafasi ya kuishi kipe nafasi ya kukaa”
“Siwezi kuishi maisha ambayo kiumbe chake kije kulipiza kisasi kwa kiumbe chochote ambacho kitabatizwa jina la baba kuwa ni Dany. Nitamuua yeye na kiumbe chake na ikiwezekana nitamfanyia oparesheni hapa watu wote mukishihudia”
“Dany tafadhalii sana”
Babyanka alizungumza huku machozi yakianza kumlenga lenga usoni mwake.
“Sipo kwa ajili ya kukuvurugia mipango yako, sipo kwa ajili ya kukuzuia  kwa kile unacho kifanya. Dany damu ya kiumbe kilichopo tumboni mwake, hakina hatia yoyote, kiumbe hicho hakijafanya makoasa ya wazazi wazazi wake, kipe nafasi amini kile anacho kizungumza huyo dada tafadhali Dany, ninakuomba kama rafiki yako”
 
Babyanka alizungumza huku machozi yakimwagika, kwa hasira ambayo ninayo nikajikuta nikinyanyua kiti nilicho kikalia na kuanza kupiga nacho raisi Donald Bush hadi kikakatika vipande vipande.
“AKHAHAAAAAAAAA”
Nilipiga makelele ya hasira, uchungu ninao usikia kwenye moyo wangu hauna maelezo, kumbukumbu za wanajeshi zaidi ya laki mbili na nusu nilio  kuwa ninawaongoza, pumzi zao zimetolewa na amri ya mjinga huyu. Nikamtazama raisi Donald Bush nikaona jinsi anavyo mwagikwa na damu usoni mwake.
Nikamshika mkono na kuanza kuburuta kuelekea nje.
“Mlindeni huyo malaya”   
Nilimuambia Babyanka huku nikimtazama usoni mwake. Livna akaanza kunifwata nyuma. Marrtin na wezake wanao imarisha ulinzi huku nje walipo niona wakabaki wakiwa wamenikodolea macho ya kunishangaa.
 
“Mkuu”
“Pisha njia”
Nilimfokea Martin na akatii amri yangu, nikaendelea kumburuza raisi Donald hadi kwenye chumba ambacho Martin na Winy walimchinja mkuu wa polisi.
“Shiii ni nini hichi Dany?”
Livna aliniuliza huku akiziba pua yake kwani mwili wa mkuu wa polisi umesha anza kuoza.
“Huyo ni malaya wa K2”
Nilizungumza huku nikimsukumia raisi Donald Bush pembeni ya maiti ya mkuu wa polisi.
“Nani aliye ifanya hii kazi?”
“Martin”
“Ana roho mbaya kama hii?”
“Tuachane na hayo, ninahitaji Wamarekani wafahamu mimi ni nani na wajua wanadili na mtu wa aina gani sawa”
Nilizungumza kwa msisitizo huku nikimtazama Livna usoni mwake, japo kuna harufu mbaya ya uozo, ila kusema kweli siisikii kabisa wala kuihisi puani mwangu.
“Unataka mimi nifanye nini?”
“Simu yako si inachukua kamera vizuri?”
“Ndio”
 
“Nirekodi nikimchinja huyu malaya tena ninaanza kumkata **o yake”
“Dany are you serious?”
“Unahisi ninacheza au?”
Nilifoka huku nikichukua kisu kikubwa kilicho ganda damu, kilicho tupwa pembeni ya mwili wa mkuu huyu wa polisi. Nikaanza kufungua mkanda wa suruali wa raisi Donald Bush.
“Toa simu yako unirekodi unashangaa nini?”
“Sawa sawa”
Livna alizungumza huku akionekana kama haamini kama hichi ninacho taka kukifanya kitafanikiwa au laa. Nikaivua suruali ya raisi Donald Bush nikaimalizai nguo yake ya ndani, nikamtazama jinsi anavyo hema kwa tabu hapo chini.
“Nilimuamini sana huyu msen**”
Nilizungumza huku nikiipiga piga **o yake kwa kiatu changu cha mguu wa kulia.
“Shusha kamera huku chini watu  waone ninavyo toa kikojoleo cha huyu malaya”
Nikachuchumaa huku nikimtazama raisi Donald Bush usoni mwake, nikaishika **o yake na kuanza kuitingisha tingisha.
 
“....., si unajua kuwapa mimba mademu za watu ehee”
“Dany kweli unawe…….”
Hata kabla Livna hajamalizia sentensi yake, nikaikata **o ya raisi Donald na kusababisha damu nyingi kunirukia usoni mwangu.
“Woooooooooooo”
Nilizungumza huku nikisimama na kuanza kuzunguka ndani ya chumba hichi huku nikishangilia kwa furaha sana. Kazi ya Livna ni kuhakikisha kwamba anarekodi kila kitu ninacho kifanya.
“America, muliwaua wanajeshi wangu. Muliwaangamiza pasipo huruma, muliwachukua mateka na kuwaua wengine pasipo huruma na hichi ndio ninacho kifanya kwa raisi wenu.
Nilizungumza huku nikiwa nimeisogelea simu ya Livna, nikaanza kuionyesha **o ya raisi huyu kwenye kamera hii.
“Na…..kufa….fa”
 
“Kufa k** k**”
Nilizungumza huku nikiwa nimejawa na furaha kubwa. Nikamnyanyua raisi Donald Bush na kumpigisha magoti. Nikakishika kichwa chake huku nikiwa nimesimama nyuma yake. Kumbukumbu ya familia yangu kuchinjwa ikanijia kichwani mwangu, woga wa kulifanya hili ninalo lifanya hivi sasa ukaniishia kabisa na kujikuta nikianza kukipitisha kisu hichi kwa nguvu kwenye shingo ya raisi Donald Bush, japo ni jambo gumu kulifanya ila nikazidi kujipa ujasiri wa kuendelea kukata kwa nguvu kichwa chake ili kuhakikisha kwamba ninakitenganisha na kiwili wili cha kichwa chake. Hadi ninamaliza kukitengenisha kichwa hichi nikamkuta Livna akiwa ameyafumba macho kwa woga.
 
“Hei”
Niliita huku nikijipangusa damu zilizo jaa usoni mwangu, nikakishika kichwa cha raisi huyu huku nikishisha pumzi nyingi.
“Jesus Christ Dany!!”
Livna alizungumza baada ya kuniona nimekinyanyua kichwa cha raisi Donald Bush juu.
“Kuanzia hivi sasa jina langu limeingia kwenye historia ya dunia kwa kumuua raisi wa taifa kubwa na kumchija kama kukua. Kizazi na vizazi vitanikumbuka jina langu kama munavyo mkumbuka Osama Bin Laden. Jina langu ninaitwa DANY, DANY LEONDARD”
Baada ya kuzungumza maneno hayo nikakishusha chini kichwa cha raisi Donald Bush ambaye kwa sasa ni marehemu tayari.
“Zima kamera yako kazi imeisha”
Livna akafanya kama nilivyo muagiza huku akinitazama usoni mwangu kwa wasiwasi mwingi.
“Usiogope mtoto wa kike”
“Dany sijawahi kushuhudia hichi ulicho kifanya leo, naogopa Dany”
 
“Usiogope mpenzi, njoo hapa”
“Ahahaa, sihitaji mijidamu hiyo”
Nikatabasamu, nikaokota **o ya raisi Donald kisha nikaanza kutoka humu ndani huku nikiwa nimeshika viongo vyake vyote viwili, watu wote walio niona wakabaki wakiwa wameshangaa, nikaingia sebleni na kumkuta Babyanka akiwa anazungumza na Hawa, walipo niona nimejawa damu wote wakabaki wameshtuka, ila hakuna aliye ona kwani vitu hivyo nimeficha kwa kuirudisha mikono yangu nyuma. Hawa akaanza kulia tena baada ya kuniona ninamsogelea, nikasimama mbele yake kisha nikamrushia kichwa cha mume wake pamoja na **o yake vikatua kwenye mapaja yake jambo lililo mfanya Hawa kupiga ukunga mkubwa hata Babyanka aliye kaa pembeni yake akakurupuka kwa kuogopa sana kuona viungo hivi.

AISIIIII……….U KILL ME 171

“Dany”
Babyanka alizungumza huku macho yakiwa yamemtoka, mwili mzima ukimtetemeka.
“Rudi hapa”   
Nilizungumza kwa ukali huku  nikimtazama Hawa usoni mwake. Hawa akaanza kutingisha kichwa huku naye mwili mzima ukimtetemeka.
“Nimesema njioo”
Niliendelea kuzungumza kwa hasira, nikamsogelea Hawa na kumshika mkono wake.
“Nahitaji chumba”
Nilizungumza huku nikimtazama Winy usoni mwake,  akanielekeza gorofani, kwa haraka nikaanza kumvuta Hawa na kuwaacha watu wote wakiwa wanashangaa. Tukapandisha gorofani, nikafungua mlango wa chumba cha kwanza nilicho kikuta. Chumba hichi kina kitanda kikubwa pamoja na sofa moja na friji ndogo. Nikamsukuma Hawa kitandani huku nikimtazama kwa macho makali.
“Malaya wako nimesha muua, sasa niambie ukweli hii mimba ni ya nani?”
 
“Ya…..aa…..”
“SEMAAAA, Yaa…..yaa nini eheee?”
“Yako….ni yako Dany”
“Una uhakika?”
“Ndio Dany, siku ile tu…livyo fanya pale, kule kambini uliniacha na ujauzito”
Nikatabasamu kidogo kisha taratibu nikaanza kuvua nguo zangu, nikapanda kitandani. Hawa akaanza kurudi nyuma huku akiendelea kuniogopa.
 
“Wewe ndio ulianza kunisaliti Dany, ulitambua kabisa ni jinsi  gani nilikuwa ninakupenda. Ukaona njia ya rahisi kuikamilisha kazi yako ni kunisaliti na kutembea na Yemi. Nililia sana zaidi ya siku mbili Dany, yaani nilotoka kwenye maisha ambayo nilipoteza kila kitu kwenye maisha yangu na wewe ndio mtu wa pekee ambaye nilikuwa nimebakiwa na ulikuwa na thamani kubwa sana ila ukaamua kunisaliti ni kwa nini na wewe ulifanya vile?”
Hawa alizungumza huku akianza kutokwa na machozi.
“Kitu kilicho kuja kunichanganya zaidi ni pale nilipo jigundua kwamba nina ujauzito wako, ili mwanangu aje kuishi maisha mazuri niliamua kuwa kimahusiana na raisi Donald Bush kwani wewe tayari ulisha ungana na Boko haramu”
Kitu alicho kizungumza Hawa nikajikuta kikiniingia akilini mwangu taratibu nikamsogelea na kusogeza karibu yangu, nikamkumbatia huku nikimbembeleza taartibu.
 
“Hawa”
“Beee”
“Sijui kama ninaweza kumuona mwanangu, sidhani kama dunia hususani Marekani itaniacha hai kwa hili nililo lifanya. Kama kweli ni damu yangu ninakuomba umtunze na asije kuwa kama mimi baba yake niliye ishia kwa kulipiza vissai kwenye maisha yangu yoye.”
“Utamlea mume wangu”
“Sina sifa ya kuitwa mume, Hawa kwa sasa sihitaji mahusiano na mwanamke wa aina yoyote. Ulipoteza familia yako kwa ajili yangu, sihitaji upoteze hichi kiumbe kwa ajili yangu”
Nikamuachia hawa taartibu na kurudi lilipo bomba, tukaanza kuoga kwa pamoja tulipo maliza tukatoka humu bafuni.
“Dany”
“Ndio”
“Tutavaa nini?”
Hawa alizungumza hukua akinionyesha nguo zetu, ngup zangu zimejaa damu huku gauni lake nikiwa nimelichana. Nikachukau nguo yangu ya ndani na kuvaa.
 
“Ngoja nikakutafutie nguo”
 Nikatoka chumbani humu na kuanza kushusha ngazi za kueleka chini, nikawakuta Livna, Winy, Babyanka na Martin wakiwa wamekaa haa sebleni. Kila mmoja alipo niona akaonekana kushangaa uvaaji wangu.
“Kuna mpya?”
“Hakuna mpya zaidi ya K2 kunipigia simu kuniuliza kama nimefanikiwa kumpata raisi Donald”
“Winy wifi yako unaweza kumsaidia nguo”
“Wifi…..!!?”
“Unashangaa nini sasa”
“Kushangaa ni lazima kwa maana ni lisaa tu limepita ulikuwa unamzaba makofi huyo unaye muita wifi”
“Yamepita ninakuomba ukamsaidie nguo. Na kama inawezekana na mimi ninaombeni nguo”
“Sawa zipo huku juu”
Winy alizungumza huku akiondoka sebleni hapa.
“Mkuu ni niini kinacho fwata?”
“Kwa sasa nina imani kwamba K2 yupo kwenye hali ya wasiwasi mwingi, na huu ndio wakati wetu kuhakikisha kwamba tunampata”
“Kwa leo itakuwa ni ngumu?”
“Kwa nini?”
 
“Dany hivi kwa hili ambalo umelifanya unahisi kwamba Wamarekanai watakuwa wamelela. Yaani hivi sasa Dar nzima naihisi imejaa wapelelezi wa Kimarekani, NSS yenu yaani kila kikosi cha ulinzi kinaingia kwenye harakati za kumtafutua raisi Donald na mke wake”
“Ile ume ipost kwenye mitandao ya kijamii?”
“Bado”
“Unasubiria nini?”
“Hukuniruhusu, na hata ukiniruhusu siwezi kuipost hii kwa maana kuna sauti yangu imesikika humo, utanihatarishia maisha yangu ikiwa mimi sio muhusika sana kwa kifo chake”
“Ila tumeshirikiana kumteka si ndio?”
“Hata kama, acha kwanza tuangalie hali halisi tukiwa wajinga sote tutakufa pasipo kukamilisha lengo la huu umoja wetu”
“Ila alicho kizungumza Livna ni kweli mkuu inabidi kutulia kwanza hili tulilo lifanya ni kubwa sana kwa maana ni pigo kwa dunia na sin chi ya Marekani pekee”
Babyanka naye akashauri, nikamtazama Martin naye akatingisha kichwa kukubaliana na ushari nilio pewa.
“Sawa bila nyinyi mimi leo nisinge kamilisha hili nililo lifanya leo”
 
“Hayo ndio maneno. Ehee vipi huyo mke wa raisi?”
“Nimempa nafasi ya kujifungua mtoto wake kwa maana anadai kwamba ni mtoto wangu”
“Katika vitu ambayo Dany nimekupa asilimia mia ya mia ni katika hilo “
Babyanka alizungumza huku akiwa amejawa na furaha.
“Dany hembu angalia hizi nguo zitakutosha?”
Winy aizungumza hukua kinikabidhi suruali na tisheti, nikaanza kuvivaa taratibu na kwa bahati nzuri vikanienea mwilini mwangu.
“Shukrani”
“Inabidi mimi nitoke nikaangalie hali halisi inayo endelea huko nje”
Livna alizungumza huku akitutazama.
“Si inaweza kuwa hatari kama wakigundua kwamba wewe ndio ulihisika katika kumteka raisi Donald?”
Martin alizungumza huku akimtazama Livna usoni mwake.
“Hawawezi, kuna timu yangu nyingine ambayo inanilinda na si rahisi kwao kuacha ushaidi wa aina yoyoyte ambao unaonyesha mimi au sisi tumehusika katika hili”
“Sawa kama kuna salama”
“Pia kitu kingine nitatafuta sehemu nyingine ambayo itakuwa ni nzuri kwa sisi kuweza kujificha khadi hii hali itakapo tulia”
“Kichwa cha yule fala na **o yake vipo wapi?”
 
“Tumevihifadhi”
“Tumtumie K2 au munasemaje?”
“Dany acha papara, tumekulaliana kuangalia hali  halisi ambayo inaendelea huko nje, sasa maswala ya kumtumia K2 hicho kichwa  ya raisi mwenzake nakuhakikishia utakamatwa, wewe tulizana kwanza sawa”
Livna alizungumza kwa msisitizo sana huku akinitazama usoni mwangu.
“Sawa mkuu”
“Nitawaacha wasichana wangu wawili hapa ninaondoka na wengine, ninawaomba huduma zote muwapatie”
“Hilo halina shaka, tutegeeme utarudi muda gani?”
“Usiku kuanzia saa tano ila nitawapatia habari ya kila kitu kinacho endelea”
 
“Inabidi ni kupatie namba yangu”
Winy alizungumza huku akimtazama Livna usoni mwake
“Sawa”
Winya kamtajia Livna namba yake ya simu kisha Livna akampigia Winy.
“Ndio hii inayo ishia na nane nane”
“Ndio, ila usinipigie hadi mimi nikupigie”
“Sawa”
Livna akaondoka na vijana wake huku akiondoka na gari moja tulilo kuja nalo. Winy na wezake wakaanza kuandaa chakula.
“Mkuu”
Martin aliniita kwa sauti ya chini huku  akinisogelea karibu yangu.
“Ndio”
“Ninataka kula Winy”
“Mmmmm”
“Yaaa nimesha rekebisha mambo yapo poa?”
“Sawa kama ni hivyo, mimi ngoja nikamtazame huyo bibie huko juu”
“Sawa”
Nikanyanyuka kwenye sofa nililo na kuanza kupndisha gorofani, nikaingia kwenye chumba nilicho muacha Hawa, nikamkuta akiwamalizia kuvaa nguo.
 
“Muda wote ulikuwa unavaa?”
Nilizungumza huku nikisimama nyuma ya Hawa na mikono yangu nikaipitisha kiunoni mwake na kushika tumboni mwake.
“Yaaa sina hata hamu ya kutoka huko nje”
“Kwa nini, au bado unaniogopa?”
“Hapana sikuogopi ila nina wasiwasi na wewe na hichi kiumbe”
“Wasi wasi wa nani kwa manaa hata leo nikikamatwa wewe wala huto guswa na utaokolewa kama mke wa raisi”
“Mmmmm ila kumbuka wewe ndio baba”
“Ya……”
Sikumalizia sentensi yangu nikaanza kusikia mlio wa helicopter kwa haraka nikamuachia Hawa na kukimbilia dirishani, nikafungua pazia taratibu nikaona helicopter ya jeshi la kimarekani ikishusha wanajeshi wanao tumia kwene nyumba ya tatu kutoka hapa tulipo jambo lililo niogopesha sana kwani kama wameshuka kwenye nyumba ya tatu kutoka tulipo basi kutufikia sisi hapa ni haraka sana jambo ambalo ni hatari sana kwangu na watu wanao nisaidia mimi.
 
ITAENDELEA
‘Haya sasa Wamarekani wamesha gundua ni wapi alipo jificha Dany na kikosi chake, Je ninani aliye itoa siri hiyo? Usikose sehemu inayo fwata ya hadi hii ya kusisimua kutoka kwa muandishi mahiri Eddazaria G.Msulwa”

Je Unapata Pesa Lakini Hujui Iendako Au umetupiwa Jini Chuma Ulete....Bofya Hapa Kupata Suluhu

$
0
0
Je Unapata Pesa Lakini Hujui Iendako Au umetupiwa Jini Chuma Ulete Na Tambua Jinsi Nyota Yako Inavyoweza Kutembelewa Na Watu Bila Wewe Kujijua:Kutana mganga wa tiba asili ambaye anatumia kipaji chake alichajaliwa na muumba wake... anatumia kioo cha asili kutibu magonjwa sugu yaliyoshindikana ata kama upo mbali 

Je Unauza Mali Zako Kama Vile Gari,nyumba,shamba,au Kiwanja lakini havihuziki? wasiliana na Mimi Leo uweze kuona nguvu ya maajabu ili mpaka vitu Mali iyo iwe ni yako halali isiwe na malalamiko hakika mungu atatia mkono wake. 

Je Umepotelewa Na Pesa Au Mali Yako Au Ndugu Yako Aliyepotea Kimiujiza Na Hujui Alipo? Acha kukata tamaa kipo kioo cha asili kitakulejea kile kilichopokea bila masharti magumu 

Je Unahitaji Kupata Mafanikio Bila Kutoa Kafara Au Unahitaji Pesa Za Majini?  acha kuogopa sasa wapo wengi waliokuwa hawaamini kama wewe ila kwa sasa wanamiliki pesa,majumba ya kifahar,maduka ya jumla,pamoja na viwanda kumbuka kuwa uwoga wako ndio umasikini wako na hakuna anayefanikiwa bila kuwa jasiri 

Je Umeachwa Na Mke Au Mme Au Unampenda Lakini Yeye Hakutaki ? onana Leo na chifu Ruyamba ili aweze kukupatanisha na mpenzi wako ndani ya Massa sita 6 tu atakuelewa 

Je Umegombana Na Bosi Wako Au Unataka Kupandishwa Cheo Au Wewe Ni Mpenzi Wa Kucheza Bahati Nasibu? acha kujiona mpweke utapatiwa Pete au saa itakayoendana na shughuli yako unamdai mtu ataki kukulipa au unakesi mahakamani ujui cha kufanya CHIFU RUYAMBA NDIO SURUHISHO WA YOTE .Hata kama ujawai pata mtoto uzazi wako utafunguliwa pia natibu kisukari,presha,busha bila kupasua,nguvu za kiume,na kuongeza maumbile ya kiume  saizi upendayo 

OFISI INAFUNGULIWA SAA MBILI ASubui adi saa mbili usiku na kwa sasa CHIFU RUYAMBA KAANZA  ZIARA MIKOANI PIGA SIMU 0764638796

Kutana Na Dr Chikago Bingwa Na Mwokozi Kwa Waliosumbuka Na Magonjwa Bila Mafanikio

$
0
0
Ninauwezo wa kumrudisha mume, mke ,mchumba, hawara, mtu unaempenda ndani ya masaa mawili tu (2) na kumfunga asiwe na mtu mwingine zaidi yako na kumfanya akutimizie kilakitu unachokihitaji kutoka kwake hata km yupo mbali na atatulia kabisa

GALIMBO 3 MIX;  nidawa ya mitishamba iliyitengenezwa kwa kwa utabibu wa hali ya juu kwakuchanganya miti na matundatiba , Huogeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15 -85 ) , inakomaza zisizo na viini vya uzazi (manii)  inaimalisha mishipa iliyolegea wakat wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaid ya Mara tatu bila ham kuisha wara kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 18-40.

YOLANI :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inch (6-8) na unene wa sm (3-4)

Matatizo haya husababishwa na mambo mbalimbali km upigaji wa punyeto, kisukali,  vidonda vya tumbo, tumbo kuunguluma na kujaa gesi, ngili, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani, maumivu ya mgongo ama kiuno, namengineyo mengi  (nk )

SUPER MBUKE :- nidawa inayotatua tatizo la kisukali na kupona kabisa Kwa mda mfupi sana na utakuwa na uwezo wakula chakula chochote chenye sukali baada ya kupona,

vilevile ninadawa ya uzazi kwa akina Mama na akina Baba, kurudisha mali iliyopotea kwamda mfupi sana, vidonda vya tumbo, kaswende,presha,chango la uzazi, gono,nyama uzembe, kusafisha nyota, kuzuia majini wachafu, kinga ya mwili, kuuza vitu bila kununuliwa, dawa za biashara, pesa nyingi (utajili)  mambo ya kes nk

Kwa huduma n msaada wasiliana na Dr CHIKAGO atakusaidia hatakama ulikata tamaa utarudisha furaha yako

Napatikana Dar es salaam  sm no 0743543944   /0620510598

Nb :km huna nafasi ya kufika ofisin huduma hii itakufikia popote ulipo kwawatu wa mkoani tunatuma kwanjia ya mabasi.

Zitto Kabwe na Viongozi Wengine wa Vyama 15 vya Siasa Kutoa Tamko Leo

$
0
0
Leo, Desemba 9 ni siku ya kumbukumbu ya Uhuru wa Tanzania Bara (Tanganyika) ambao ulipatikana mnamo mwaka 1961 chini ya uongozi wa hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere.
 
Katika kuikumbuka siku hii muhimu, Kiongozi wa Chama cha ACT-wazalendo na Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe ametumia kupaza sauti juu ya hali ya demokrasia ya vyama vya siasa ilivyo nchini hasa katika Muswada wa Mabadiliko ya Sheria za Vyama Vya Siasa uliopendekezwa.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Zitto Kabwe ameandika, "1961 tulipata Uhuru na kujitawala. 1965 tukawa nchi ya Chama kimoja cha Siasa. 1992 tukagundua makosa na kurejea kwenye siasa ya vyama vingi vya siasa. 2018 umependekezwa muswada wa vyama vya siasa  ili ifikapo 2019 turudi kwenye ‘defacto’ Chama Kimoja Cha Siasa".

Pia katika kupinga muswada huo, Zitto amesema kuwa chama chake cha ACT pamoja na vyama vingine 14 vimeazimia kufanya mkutano wa pamoja na wanahabari leo jijini Dar es salaam ili kutoa tamko la pamoja kuhusu Mswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Vyama vya Siasa.

Ikumbukwe kuwa, (Jumanne, Novemba 20, 2018) Rais Dkt. John Magufuli aliagiza kiasi cha shilingi milioni 995.182 zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya kufanikisha sherehe za Uhuru mwaka huu zitumike kwa ajili ya ujenzi wa hospitali mkoani Dodoma.

Taarifa hiyo ilitolewa na Waziri Mkuu wakati alipokutana na viongozi waandamizi wa mkoa wa Lindi pamoja na wilaya zake katika kikao cha maandalizi ya shughuli za kuzima Mwenge kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi.

Alisema hospitali hiyo itakayojengwa katika eneo la kati ya barabara ya kwenda Hombolo na Chamwino  kwenye barabara ya kwenda Dar es Salaam itakuwa inawahudumia wakazi wa mkoa wa Dodoma pamoja na wananchi wengine watakaokuwa  mkoani humo.

Kadhalika, Waziri Mkuu alisema kuwa Rais Dkt. Magufuli amewaagiza wakuu wa mikoa na wilaya waandae matukio watakayoyatekeleza katika maeneo yao yatakayoashiria maadhimisho ya siku ya Uhuru ikiwemo  kufanya usafi maeneo ya wazi au kwenye hospitali.

LIVE| Tazama Hapa Vyama 15 vya Siasa Vikitoa Tamko Zito

$
0
0
Leo Desemba 09, 2018, Vyama vya siasa 15 nchini kupitia viongozi wake wakuu vimekutana na kutoa tamko la pamoja kuhusiana na mabadiliko ya sheria ya Vyama vya siasa uliowasilishwa hivi karibuni na serikali Bungeni wakati wa mkutano wa 13 wa Bunge la 11 jijini Dodoma. Tazama Video Live Hapo Chini

PICHA: Nikki wa Pili amvisha pete ya uchumba mpenzi wake

$
0
0
Msanii wa muziki wa hip hop Bongo, Nikki wa Pili amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake. 

Rapa huyo kutoka kundi la Weusi amefikia hatua huyo ikiwa ni wiki kadhaa tangu Bibie kuhitimu elimu yake ya Chuo Kikuu. 
 
Tazama picha zaidi chini;

Diamond Amnyooshea Mikono Juu Young Killer Wasafi Festival

$
0
0
Show ya rapa Young Killer Msodoki Wasafi Festival mkoani Sumbawanga imemfanya rais wa WCB, Diamond Platnumz kutoa kauli yake juu ya uwezo wa kijana huyo.

Rapa huyo usiku wa kuamkia Jumamosi hii alipandishwa stejini na kitanda cha wagonjwa akionekana kuwa hoi huku akiwa amefungwa bandeji mkononi na kichwani lakini baada ya kusikia shangwe la mashabiki wake hao aliinuka kitandaoni na kuanza kufanya show.

Baada ya show hiyo, mratibu wa Tamasha hilo Diamond Platnumz ameibuka na kumwagia sifa nyingi rapa huyo kijana.

"Wengi, Hawakunielewa kwanini Your My Favorite Rapper..!!! na Wakastaajabu kabisa kuona eti Diamond kaacha Wanigeria kamshirikisha @youngkillermsodokii kwenye PAMELA…. Hawakukiona Nilichokiona Ndani YaKo….NOW kupitia #WasafiFestival2018 THEY SEE!!!\nSUMBAWANGA!!!! SUMBAWANGA!! nimewaahidi na tunafanya Hivyo, kuanzia saa sita njoo na familia Nzima #WasafiFestival2018 leo inafanyika BUUUUUURE Pale Viwanja vya NELSON MANDELA… kuanzia saa sita MCHANA hadi saa MOJA usiku MWISHO!!!!… Tunaimba na KUCHEZA ngoma ZOTE!!! @WasafiTv"

Toka rapa huyo apate show za Wasafi Festival ameamua kuwa mbunifu katika show zake zote alizofanya. Angalia full video hapo chini.

Vyama 15 vya Siasa Nchini Vyatoa Tamko la Kuupinga Mswada Mpya Wa Vyama Vya Siasa

$
0
0
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Vicent Mashinji amesema muswada wa marekebisho wa sheria ya vyama vya siasa unaondoa uhuru wa kushirikiana kisiasa na kumpa msajili kinga ya kutoshtakiwa au kupingwa katika vyombo mbalimbali vinavyotoa haki.

Ameeleza hayo leo Desemba 9 wakati wa mkutano uliovikutanishwa Vyama 15 vya siasa vya upinzani wakati vikitoa tamko  lao la kupinga muswada wa marekebisho ya sheria ya vyama vya siasa uliosomwa bungeni Novemba 16 mwaka huu.

Mashinji amesema Chadema haikubaliani na inapinga muswada huo kwa sababu unalenga kumtengeneza mfalme mpya ndani ya vyama vya siasa.

“Hatukubaliani, muswada huu ni dhaifu, wa hovyo na unalenga kuondoa ushirikiano baina yetu,” amesema

Naibu katibu Mkuu CUF, Joram Bashange amesema sheria hiyo imechukua mapendekezo mengi yaliyofanywa na nchi ya Rwanda 2013 uliompa nguvu Rais wa nchi hiyo Paul Kagame kufanya kile anachokihitaji.

“Hivyo tutapinga kwa nguvu zote kuhakikisha suala hili halifanikiwi ili kuweza kukinga madhara yanayoweza kutokea baadaye na nitashirikiana na mtu yoyote atakayesimama kupinga suala hili,” amesema

Baraza la vijana CHADEMA Wamtembelea Mbowe Gerezani

$
0
0
Baraza la vijana chadema (Bavicha) wakiongozwa na mwenyekiti Patrick Olesosop na mwenezi Edward Simbeye wamefika katika gereza la Segerea kwaajili ya kumwona mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe na Ester   Matiko waliofutiwa dhamana.

Bavicha walifika Segerea majira ya saa nne ikiwa ni utekelezaji wa hadi yao ambayo waliitoa juzi Desemba 8 ambapo Mwenyekiti wao  Patrick Ole Sosopi alisema kufuatia kuahirishwa kwa sherehe za Uhuru, wamepanga kutembelea magereza mbalimbali nchini ili kuzungumza na wafungwa na mahabusu.

Sosopi alisema wameamua kufanya hivyo baada ya Serikali kutangaza kuahirishwa kwa sherehe za miaka 57 ya Uhuru, ambapo fedha zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya shamrashamra hizo zitatumika kujengea Hospitali ya Uhuru jijini Dodoma.

Alisema katika ziara yao magerezani itabeba ujumbe wa hali ya mambo ilivyo nchini kwa sasa.

 “Tunawaomba Desemba 9 iwe siku muhimu sana kuwatembelea mahabusu na wafungwa,” alisema. Katika hatua nyingine, alilaani nguvu inayotumiwa na Jeshi la Polisi wakati wa usikilizwaji wa kesi zinazowakabili viongozi wa chama hicho.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images