Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Okoa Ndoa Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Hii Iitwayo Simpo Power

$
0
0
Okoa Ndoa Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Hii Iitwayo Simpo Power Kwaajili Ya Nguvu Za Kiuume Na Promix Kwaajili Ya Kuongeza Maumbile;
Kwa mwanaume aliyekamilika na mwenye Afya njema ili kumridhisha mke au mpenzi anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara mbili hapo utamridhisha mpenzi wako ila ukiwa unapiga moja au mbili hapo ujue umejilidhisha wewe 

Tiba Ya Tatizo Lako Ni Dawa Hiitwayo Simpo Power No, 1; dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge vya miti shamba na unga ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja :-1 itakufanya urudie tendo zaidi ya mara tatu 
2 itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dakika 15-20 kwa tendo la Kwanza 
3 huimarisha uume uliolegea na kusinyaa 

Je Una Mke Au Mpenzi Aliyebalikiwa Kuwa Na Kario Kubwa Au Mwili Mnene Na Wewe Mume Wake Una   Maumbile Mafupu?; tumia sasa dawa ya PROMIX dawa itakufanya umfikishe shemu nyeti maana inaboresha maumbile saizi upendayo.

Dawa zangu haziina madhara yoyote kwa mtumiaji 

MARKSU; ni dawa ya kisukari dozi siku 21 
MWARU; ni dawa ya uzazi,hufungua milija ya uzazi ata kwa Wale waliofungiwa uzazi  
MTUNDUU; ni dawa ya busha bila kupasua 
MAZANZA; ni dawa ya kisukar zipo dawa za miguu Kuuma,tumbo,kupunguza Matiti,kutoa minyama uzembe ngiri,vidondo vya tumbo  

FIKA OFISINI KWANGU BUGURUNI MALAPA KARIBU NA KOTA ZA POLISI AU PIGA  SIMU ULETEWE MAHALI ULIPO SIMU NO 0783185060,  0752348593  -DR AGU

Je Unapata Pesa Lakini Hujui Iendako Au umetupiwa Jini Chuma Ulete....Bofya Hapa Kupata Suluhu

$
0
0
Je Unapata Pesa Lakini Hujui Iendako Au umetupiwa Jini Chuma Ulete Na Tambua Jinsi Nyota Yako Inavyoweza Kutembelewa Na Watu Bila Wewe Kujijua:Kutana mganga wa tiba asili ambaye anatumia kipaji chake alichajaliwa na muumba wake... anatumia kioo cha asili kutibu magonjwa sugu yaliyoshindikana ata kama upo mbali 

Je Unauza Mali Zako Kama Vile Gari,nyumba,shamba,au Kiwanja lakini havihuziki? wasiliana na Mimi Leo uweze kuona nguvu ya maajabu ili mpaka vitu Mali iyo iwe ni yako halali isiwe na malalamiko hakika mungu atatia mkono wake. 

Je Umepotelewa Na Pesa Au Mali Yako Au Ndugu Yako Aliyepotea Kimiujiza Na Hujui Alipo? Acha kukata tamaa kipo kioo cha asili kitakulejea kile kilichopokea bila masharti magumu 

Je Unahitaji Kupata Mafanikio Bila Kutoa Kafara Au Unahitaji Pesa Za Majini?  acha kuogopa sasa wapo wengi waliokuwa hawaamini kama wewe ila kwa sasa wanamiliki pesa,majumba ya kifahar,maduka ya jumla,pamoja na viwanda kumbuka kuwa uwoga wako ndio umasikini wako na hakuna anayefanikiwa bila kuwa jasiri 

Je Umeachwa Na Mke Au Mme Au Unampenda Lakini Yeye Hakutaki ? onana Leo na chifu Ruyamba ili aweze kukupatanisha na mpenzi wako ndani ya Massa sita 6 tu atakuelewa 

Je Umegombana Na Bosi Wako Au Unataka Kupandishwa Cheo Au Wewe Ni Mpenzi Wa Kucheza Bahati Nasibu? acha kujiona mpweke utapatiwa Pete au saa itakayoendana na shughuli yako unamdai mtu ataki kukulipa au unakesi mahakamani ujui cha kufanya CHIFU RUYAMBA NDIO SURUHISHO WA YOTE .Hata kama ujawai pata mtoto uzazi wako utafunguliwa pia natibu kisukari,presha,busha bila kupasua,nguvu za kiume,na kuongeza maumbile ya kiume  saizi upendayo 

OFISI INAFUNGULIWA SAA MBILI ASubui adi saa mbili usiku na kwa sasa CHIFU RUYAMBA KAANZA  ZIARA MIKOANI PIGA SIMU 0764638796

Diamond ammwagia sifa Mpenzi wake Mpya......"Ni Binti Mrembo, Ananijali...Lazima Nimuoe"

$
0
0
Baada ya kuachana na Zari, kwa sasa Diamond ameweka majeshi kwa mrembo  wa Kenya, ambaye ni mtangazaji wa Kituo cha Luninga cha NRG, aitwaye Natasha.

Diamond inaelezwa kuwa amepagawa na penzi la Tanasha Donna kwa sasa anawaza ndoa tu.

Wiki iliyopita Diamond alifanya show mjini Thika na Tanasha alikuwepo na hapo akatambulishwa rasmi kwa mashabiki kwamba, ndiye mpango mzima kwa sasa.

Pia, Diamond aliweka bayana kwamba, miongoni mwa wasichana aliowahi kuwa nao amemwelewa zaidi Tanasha hivyo, anataka kufuta rekodi zote za nyuma na kutulia na mrembo huyo.

“Tanasha ndiye mwanamke pekee aliyeonesha kujali na uzito juu ya jambo hilo hivyo rasmi natangaza kumuoa huyu. Ana sifa zote za mwanamke wa kuoa, lakini unajua sisi wanaume wengi huwa tunaangalia sura, umbo na vingine vya mwilini kisha ndiyo inafuata tabia. Lakini nimejiridhisha kwamba mbali na umbo na mvuto wa kipekee pia ni mwanamke mwenye tabia nzuri,” Diamond alikiambia chombo kimoja cha habari nchini Kenya alikokuwa wiki iliyopita kwaajili ya show.

Video Mpya: Tiwa Savage - One

$
0
0
Msanii wa muziki kutoka nchini Nigeria, Tiwa Savage anakukaribisha kutazama video ya wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la One.

Itazame Hapa Video Mpya Ya Bright - Shotoa

$
0
0
Msanii wa muziki Bongo, Bright ameachia video ya wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Shotoa. Itazame hapa

Kutana Na Dr Chikago Bingwa Na Mwokozi Kwa Waliosumbuka Na Magonjwa Bila Mafanikio

$
0
0
Ninauwezo wa kumrudisha mume, mke ,mchumba, hawara, mtu unaempenda ndani ya masaa mawili tu (2) na kumfunga asiwe na mtu mwingine zaidi yako na kumfanya akutimizie kilakitu unachokihitaji kutoka kwake hata km yupo mbali na atatulia kabisa

GALIMBO 3 MIX;  nidawa ya mitishamba iliyitengenezwa kwa kwa utabibu wa hali ya juu kwakuchanganya miti na matundatiba , Huogeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15 -85 ) , inakomaza zisizo na viini vya uzazi (manii)  inaimalisha mishipa iliyolegea wakat wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaid ya Mara tatu bila ham kuisha wara kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 18-40.

YOLANI :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inch (6-8) na unene wa sm (3-4)

Matatizo haya husababishwa na mambo mbalimbali km upigaji wa punyeto, kisukali,  vidonda vya tumbo, tumbo kuunguluma na kujaa gesi, ngili, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani, maumivu ya mgongo ama kiuno, namengineyo mengi  (nk )

SUPER MBUKE :- nidawa inayotatua tatizo la kisukali na kupona kabisa Kwa mda mfupi sana na utakuwa na uwezo wakula chakula chochote chenye sukali baada ya kupona,

vilevile ninadawa ya uzazi kwa akina Mama na akina Baba, kurudisha mali iliyopotea kwamda mfupi sana, vidonda vya tumbo, kaswende,presha,chango la uzazi, gono,nyama uzembe, kusafisha nyota, kuzuia majini wachafu, kinga ya mwili, kuuza vitu bila kununuliwa, dawa za biashara, pesa nyingi (utajili)  mambo ya kes nk

Kwa huduma n msaada wasiliana na Dr CHIKAGO atakusaidia hatakama ulikata tamaa utarudisha furaha yako

Napatikana Dar es salaam  sm no 0743543944   /0620510598

Nb :km huna nafasi ya kufika ofisin huduma hii itakufikia popote ulipo kwawatu wa mkoani tunatuma kwanjia ya mabasi.

Wabunge wa Upinzani Wapewa Onyo Wanapokuwa Dodoma

$
0
0
Wabunge wanaotoka Vyama vya Upinzani nchini wametakiwa kufuata sheria na taratibu pindi wanapoenda kwenye vikao vya Bunge Jijini Dodoma, na wala wasifanye shughuli ambazo zitapelekea kutiwa nguvuni na vyombo vya dola.
 
Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Patrobasi Katambi .

Katambi amebainisha kuwa hajawahi kukutana na wabunge wa upinzani pindi wanapokuja kwenye vikao vya bunge Jijini Dodoma, lakini amewaahidi atawashughulikia endapo watafanya makosa ambayo wamekuwa wakifanya sehemu nyingine.

"Mimi sijawahi kukutana na mbunge yeyote wa upinzani lakini kila wanapokuja Dodoma lazima wafuate sheria, na taratibu za nchi kwa sababu Dodoma ni makao makuu ya nchi, serikali na chama kinachoongoza dola kwa hiyo wanapokuwa hapa wafanye kazi za kibunge na si vitu vingine kwa sababu watakuwa chini yangu kama Mkuu wa wilaya." Amesema Katambi.

Akijibu swali juu ya kauli hiyo kama hadhani inalenga kuwatisha wabunge wa upinzani Katambi amesema;  "Siwatishi na wala simtishi mtu yeyote awe mbunge au mtanzania yeyote waje tu lakini lazima akifika Dodoma afuate sheria, na aoneshe uzalendo anapokuwa Dodoma."

Mapema wiki hii Mkuu huyo wa Wilaya aliweka masharti ya kuelewana na Mwenyekiti wake wa zamani Freeman Mbowe kuwa lazima ajipambanue kuwa ni mtu ambaye anaunga mkono jitihada zinazofanywa na serikali.

Katambi pia alikanusha madai ya kufanya udhalilishaji kwa baadhi ya watuhumiwa ambao amekuwa akiwakamata na kuwaonesha kwenye vyombo vya habari.

Warioba Kafunguka Mambo Mazito Kuhusu Siku ya Uhuru- Disemba 9

$
0
0
Waziri Mkuu wa 5 wa Tanzania, Joseph Warioba amefunguka juu ya tarehe 9 Disemba, siku ya ambayo Tanzania imekuwa ikisheherekea kupatikana kwa uhuru, ambapo ameeleza kwa wakati huo kuendesha nchi ilikuwa ni kitu kigumu sana kwa sababu kulikuwa na wasomi wachache.
 
Kwa mujibu wa Warioba ambaye kwa sasa ana miaka 78, wakati Tanganyika inapata uhuru yeye alikuwa na miaka 21 na kwa wakati huo nchi nzima ilikuwa na wahandisi wawili tu.

"Nakumbuka nilikuwa kijana wakati ule, na tulikuwa kwenye mapambano ya kupata uhuru, na tulishangazwa sana kuona bendera ya mkoloni inashushwa na bendera yetu ya Tanganyika inapanda, na baada ya hapo Mwalimu Nyerere alitushinikiza tufanye kazi kwa bidii." Amesema.

"Wakati tunapata uhuru kulikuwa na ubaguzi, waafrika tulikuwa tunaonekana ni watu wa hali ya chini, lakini siku hiyo tukaanza kujiona ni binadamu kama binadamu wengine." Ameongeza Warioba.

"Ni kweli wakati ule kulikuwa na wasomi wachache sana, mfano wahandisi nchi nzima walikuwa wawili tu na ukija kwenye taaluma nyingine walikuwa ni wachache tu japo mipango ilishaanza kuwepo ya kuwa na wasomi, ndiyo maana miezi miwili kabla ya uhuru kikafunguliwa chuo kikuu." Amesema.

Ameongeza kuwa kuhusu usafiri kipindi kile hali ilikuwa ngumu sana, ukilinganisha na sasa hivi, ambapo tumeendelea sana, kila kona kuna lami maeneo na yanafikika kwa urahisi.

Disemba 9, Tanzania inaadhimisha miaka 57 ya uhuru, ambapo Rais Magufuli licha ya kuwasihi watanzania kuendelea kufanya kazi pia aliamuru kiasi cha fedha kilichopangwa kutumika kwenye maadhimisho hayo kikatumike kujenga hospitali ya Uhuru Jijini Dodoma pamoja na kutangaza kuwasamehe wafungwa

Fid Q Awajibu Waliompanda Hana Gari...Sasa Kaamua Kuliweka Hadharani

$
0
0
Msanii wa muziki wa hip hop, Fareed Kubanda aka Fid Q ameamua kuonyesha gari lake jipya aina ya Jeep Renegade Lift Kit yenye rangi ya ‘Bluu bahari’ kupitia mtandao wake wa kijamii wa Instagram.
 
Kupitia mtandao huo Fid Q, ameandika ujumbe unaosomeka ‘ChengaChengaZaKekiYangu’ huku akionyesha gari hilo.

”Weekend njema waungwana, #ChengaChengaZaKekiYangu,” ameandika msanii huyo wa muziki wa hip hop, Fareed Kubanda aka Fid Q.

Siku za hivi karibuni Msanii huyo aliingia kwenye kutoelewana na baadhi ya viongozi wa WCB, hali iliyopelekea mmoja wa viongozi hao kuandika ujumbe kuwa hana gari.

Gari hiyo ya Fid Q, Jeep Cherokee inauzwa dola 33,320 ambayo ni sawa na zaidi ya milioni 76 za Tanzania.

LIVE| Tazama Hapa Shindano la Miss World 2018 LIVE

$
0
0
LIVE| Tazama Hapa Shindano la Miss World 2018 LIVE

Waziri Wa Kilimo: Korosho Zote Zitabanguliwa Nchini

$
0
0
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo- Mtwara
Serikali imeagiza korosho zote inazonunua kwa wakulima kupitia Bodi ya Nafaka na Mazao mchanganyiko kuanza kubanguliwa nchini.

Agizo hilo la serikali limetolewa na Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) leo tarehe 8 Disemba 2018 wakati akizungumza kwenye Mkutano wa wamiliki wa viwanda vya kubangua korosho kwenye ukumbi wa mikutano kwenye Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara.

Hasunga alisema kuwa Mkakati wa serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Mhe Dkt John Pombe Magufuli ni kuwanufaisha wakulima nchini hivyo maamuzi ya kununua korosho ni sehemu ya maamuzi mema kwa manufaa ya wakulima wote.

Alisema wakati serikali inaendelea kukamilisha uhakiki wa wakulima wa korosho pamoja na kuendelea na malipo ya wakulima mpaka hivi sasa tayari wakulima 77,380 wamekwishalipwa hivyo hakuna korosho itakayoruhusiwa kusafirishwa kwenda nje ya nchi bila utaratibu maalumu badala yake korosho zote zitabanguliwa nchini.

Mhe Hasunga aliongeza kuwa Korosho zitakazoruhusiwa kwenda nje ya nchi ni zile Tani 2000 pekee zilizonunuliwa mnadani na kampuni mbili kwa utaratibu uliokuwa ukitumika awali.

“Hakuna kampuni yoyote wala mfanyabiashara yoyote anayeruhusiwa kusafirisha korosho nje ya nchi baada ya tamko la serikali kutolewa” Alikaririwa Mhe Hasunga

Aliongeza kuwa kutokana na uamuzi huo wa serikali imechukua takwimu zote za korosho zilizozalishwa mwaka jana ambazo zilikuwa bado hazijabanguliwa hivyo haitegemei kusikia wafanyabiashara wakisema wana korosho nyingi walizohifadhi badala yake kuwa wazalendo kwa kusema ukweli.

“Tuwe na uwezo wa kubangua ama hakuna lakini korosho zote zitabanguliwa nchini, hivyo wito wangu kwa wafanyabiashara kuchangamkia fursa ya ubanguaji usiku na mchana” Alisema

Mhe Hasunga aliongeza kuwa serikali imeanza mchakato wa kuwafuatilia baadhi ya wafanyabiashara wenye uwezo wa kujenga viwanda kwa kufunga mitambo ndani ya muda mfupi.

Kwa upande wake Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe Joseph Kakunda (Mb) amesema kuwa serikali imedhamiria kuimarisha uchumi wa viwanda hivyo Serikali haitakubali kuhujumiwa inapoendelea kuboresha uwekezaji, uanzishaji na uendelezaji wa viwanda.

Alisema kuwa Tanzania ni nchi yenye amani na upendo hivyo wafanyabiashara kote Duniani wana wajibu wa kujitokeza na kuanzisha biashara zao pasina kadhia yoyote.

Aliongeza kuwa mawakala wanaotumiwa kuvuruga uchumi wa viwanda na serikali kwa ujumla wake watachukuliwa hatua zinazopaswa kwa mujibu wa sheria.

MWISHO

Waziri Mkuu Atembelea Shamba La Miwa La Mkulazi na Kutoa Maagizo Liendeshwe Kisasa

$
0
0
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Kasike kupeleka  wataalamu wengi wa kilimo katika shamba la miwa la Mkulazi  ili walisimamie kitaalamu.

Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo jioni ya Desemba 7, 2018 alipotembelea shamba la miwa Mkulazi na Mbigiri mkoani Morogoro alipokuwa njiani kuelekea jijini Dodoma.

Amesema lengo la kuanzishwa shamba la miwa la Mkulazi ni jitihada za Serikali  kuhakikisha mahitaji ya sukari nchini yanafikikia katika kiwango kinachohitajika.

Waziri Mkuu amesema Serikali imepanga kuzalisha sukari itakayotosheleza mahitaji na njia pekee  ni kuboresha kilimo cha miwa, kujenga viwanda vitakavyozalisha sukari ya kutosha.

Amesema shamba hilo linaendeshwa kwa ubia kati ya NSSF na Jeshi la Magereza,  kuagiza menejimenti mpya ya Mkulazi kuhakikisha shamba hilo linasimamiwa kikamilifu.

“Nataka shamba hili lisimamiwe kitaalamu, uzalishaji uwe wa kitaalamu na liwe mfano na mashamba mengine, tusishindwe na watu binafsi,” amesema.

Kadhalika, Waziri Mkuu amewataka watafute mashine nyingine zitakazotosha kumwagilia shamba hilo wakati wa kiangazi ili miwa isiharibike na iendelee kuwa ya kijani wakati wote.

Pia, amewataka wakuu wa wilaya za Kilosa na Mvomero mkoani Morogoro kuhakikisha wanawahamasisha wananchi katika maeneo yao kuchangamkia fursa ya kilimo cha miwa.

Amesema Serikali imeanzisha Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania kwa lengo la kuwasaidia wakulima wapate mitaji ili waongeze tija.

Kwa upande wake  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu,Jenistar Mhagama amesema shamba la Mkulazi II ni miongoni mwa mashamba mawili yanayomilikiwa na wabia wawili yaani NSSF na Jeshi la Magereza.

Amesema walikubaliana wao na Magereza wafanye kazi kwa kuongozwa na uzalendo, maadili ya utendaji wa kazi, uaminifu ili mwisho wa siku mradi huo uwe na tija na uweze kuwafikisha katika malengo yaliyokusudiwa.

Amesema wanaamini fedha zilizowekezwa kwenye mradi huo ambazo ni za wanachama zinatakiwa zirudishe faida kwa wanachama wenyewe na kujenga uchumi wa Taifa.

Mrembo wa Mexico Aibuka Mshindi Fainali za Miss World 2018...Uganda Yaiburuza Tanzania

$
0
0
Mrembo Vanessa Ponce de Leon kutoka nchini Mexico ameibuka mshindi wa taji la mrembo wa dunia 2018 kwenye shindano lililomalizika jioni hii huko nchini China. Ponce mwenye umri wa miaka 26, amekuwa Miss World wa 68 tangu kuanzishwa kwa mashindano hayo.

Wakati Vanessa akishinda taji la Dunia 2018 mrembo kutoka Uganga, Quiin Abenakyo, ameiwakilisha vyema Africa mashariki, kwa kutwaa taji la mrembo wa Dunia Africa.

Mrembo kutoka Tanzania, Queen Elizabeth Makune, licha ya kuchuana vikali na Mrembo kutoka Uganda, katika kipengele cha Kura hajabahatika kuingia hata 30 bora kwenye mashindano hayo.

Abenakyo, amefanikiwa kuingia kwenye 30 bora na baadae kuingia katika hatua iliyofuata ya 12 bora na kuendelea kupiga hatua kubwa zaidi mpaka kufika tano bora.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumapili ya Disemba 9

Video Mpya ya Davido: Wonder Woman

$
0
0
Msanii wa muziki kutokea nchini Nigeria, Davido anakukaribisha kutazama video ya wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Wonder Woman.

Video Mpya ya Tekno: On You....Itazame Hapa

$
0
0
Msanii wa muziki kutokea nchini Nigeria, Tekno anakukaribisha kutazama video ya wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la On You. Itazame hapo chini

Video mpya: King Promise & Wizkid – Tokyo

$
0
0
Msanii kutokea nchini Nigeria, King Promise ameachia video ya wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Tokyo akiwa amemshirikisha Wizkid. Itazame hapa.

Video Mpya | Edu Boy – Sikuoni

$
0
0
Video Mpya  | Edu Boy – Sikuoni

Wimbo Mpya | Sister P Ft. Msami - Minoti

$
0
0
Wimbo Mpya | Sister P Ft. Msami - Minoti

Okoa Ndoa Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Hii Iitwayo Simpo Power

$
0
0
Okoa Ndoa Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Hii Iitwayo Simpo Power Kwaajili Ya Nguvu Za Kiuume Na Promix Kwaajili Ya Kuongeza Maumbile;
Kwa mwanaume aliyekamilika na mwenye Afya njema ili kumridhisha mke au mpenzi anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara mbili hapo utamridhisha mpenzi wako ila ukiwa unapiga moja au mbili hapo ujue umejilidhisha wewe 

Tiba Ya Tatizo Lako Ni Dawa Hiitwayo Simpo Power No, 1; dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge vya miti shamba na unga ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja :-1 itakufanya urudie tendo zaidi ya mara tatu 
2 itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dakika 15-20 kwa tendo la Kwanza 
3 huimarisha uume uliolegea na kusinyaa 

Je Una Mke Au Mpenzi Aliyebalikiwa Kuwa Na Kario Kubwa Au Mwili Mnene Na Wewe Mume Wake Una   Maumbile Mafupu?; tumia sasa dawa ya PROMIX dawa itakufanya umfikishe shemu nyeti maana inaboresha maumbile saizi upendayo.

Dawa zangu haziina madhara yoyote kwa mtumiaji 

MARKSU; ni dawa ya kisukari dozi siku 21 
MWARU; ni dawa ya uzazi,hufungua milija ya uzazi ata kwa Wale waliofungiwa uzazi  
MTUNDUU; ni dawa ya busha bila kupasua 
MAZANZA; ni dawa ya kisukar zipo dawa za miguu Kuuma,tumbo,kupunguza Matiti,kutoa minyama uzembe ngiri,vidondo vya tumbo  

FIKA OFISINI KWANGU BUGURUNI MALAPA KARIBU NA KOTA ZA POLISI AU PIGA  SIMU ULETEWE MAHALI ULIPO SIMU NO 0783185060,  0752348593  -DR AGU
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images