Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 40

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA 
             
Wakatuamrisha kushuka kwenye gari huku mikono yetu ikiwa ipo juu. Nikamkonyeza Camila nikimuashiria tufanye kama tulivyo agizwa, kwa haraka Camila akaninyonya lipsi zangu huku machozi yakimwagika usoni mwake, taratibu na mimi machozi yakaanza kunimwagika. Nikazitoa lipsi zangu kwa Camila kisha nikafungua mlango wa gari hili na nikawa wa kwanza kushuka huku watu hawa wakianza kunisogelea kwa ukaribu sana, akafwatia Camila naye akashuka huku akitetemeka sana. Jamaa hawa wakatunyooshea mitutu yao ya bunduki, wakazikoki vizuri tayaru kwa kutuua jambo lilizo tufanya tuzidi kujawa na hofu kubwa sana.

ENDELEA
Mmoja wa watu hawa akanisogelea na kunipokonya bastola niliyo ishika huku mikono yangu ikiwa juu. Akanipiga kwa kutumia kitako cha bunduki kifuani mwangu na kujikuta nikianguka chini mzima mzima huku nikihisi maumivu makali sana. 

Wakamvisha Camila kigunia cheusi kichwani mwake huku wakimfunga mikono yake na pingua, japo Camila alijitahidi kurusha rusha miguu na mikono yake, ila hakuweza kuzuia watekaji hawa kutimiza azima yao. 

Wakaninyanyua na mimi, jamaa mmoja akanipiga ngumi ya kifuani mwangu na kujikuta nikigugumia kwa maumivu makali sana. Wakanifunga mikono yangu kwa nyuma kwa kutumia pingu, kisha nami wakanivisha kigunia cheusi ambacho kikanizuia kuweza kuona ni kitu gani ambacho kinaendelea. Nikasukumiwa ndani ya gari ambalo sifahamu ni gari gani.
 
“Camila, Camila”
Niliita ila nikastukia nikipigwa teke la kifuani mwangu.
“Kaaa kimya pumbavu wewe”
Niliisikia sauti ya kiume ikifoka, sikuhitaji kuendelea kupata matatizo zaidi ya kuendelea kukaa kimya kwa maana watu hawa sihitaji waendele kunidhuru zaidi.
‘Ethna upo wapi rafiki yangu’
 
Nililamama huku nikiwa nimelala chini kwa kujikunja ndani ya gari hili ambalo inaonyesha ni lori kubwa sana. Baada ya kama ya saa moja na nusu, nikasikia breki za lori hili, likasimama, watu hawa walio tuteka wakanikamata mikono yangu, wakaninyanyua na kunishusha ndani ya lori hili. 

Nikaanza kutembezwa mkuku mkuku, nikakalishwa kwenye moja ya kiti kisha kigunia nilicho vishwa kichwani mwangu nikavuliwa. Mwanga mkali wa taa yenye mwanga mweupe ikanipiga machoni mwangu, jambo lililo sababisha niyafumbe macho yangu kwani ni maaumivu makali sana ninayo yapata yatokanayo na mwanga huo. Baada ya kumulikwa na taa hizi zenye mwanga mkali kama dakika tano hivi, wakazizima na kuyafanya macho yangu kujaa mawenge mawenge mengi kidogo.
 
Nikamuona Camila akiwa amekalishwa kwenye kiti cha mbele yangu huku akimwagikwa na machozi mengi sana usoni mwake. Mdomoni mwake wamamfunga kitambaa cheusi ambacho sio rahi kwa yeye kuweza kutoa sauti. Pembeni yake wamesimama watu wawili walio shika mitutu ya bunduki.
“Halooo Ethan”
Nilisikia sauti mbaya na nzito ikizungumza huku ikitokea kwenye kipaza sauti kidogo kilicho fungwa pembeni yetu.
“Munataka nini nyinyi wana haramu?”
 Nilizungumza kwa hasira huku nikijitahidi kujitoa mikono yangu kwenye pingu hii.
“Hahaaaa……ni jambo dogo sana tunataka kutoka kwako”
“Zungumzeni basi nipo tayari kuwapatia, ila mke wangu awe salama”
“Hahaaaa…..mke wako hausiani na kile ambacho tunakihitaji kutoka kwako”
 
“Tunahitaji boksi jeusi na Camila tunahitaji baba yako asigombanie uraisi wa hii nchi, ahakikishe anajitoa kwenye kinyang’anyiro hichi mara moja la sivyo tutaikata shingo yako”
Sauti hii iliendelea kutoa kauli ambazo hakika zinatisha.
“Niueni ila sifahamu ni wapi lilipo boksi jeusi”
“Ohoo tukuue”
“Ndio”
Camila akaanza kutingisha kichwa huku akigugumia kwa kulia, maamuzi nilio amua kuyachukua ni magumu sana. Maamuzi ambayo hakika yatamuacha na upweke katika kipindi chote cha maisha yake.
 
“Mpigeni risasi afe”
Sauti hiyo ilizungumza na watu wawili wakasimama mbele yangu huku wakiwa wameshika mitutu yao ya bunduki.
‘Nimekuja’
Niliisikia sauti ya Ethan ndani yangu, mwili wangu ukapata msisimko mmoja wa ajabu, pingu nilizo fungwa mikono mwangu zote zikakatika, nikasimama kwa haraka sana, nikawawahi watu hawa wawili, kwenye shingo zao, nikawanyanyua juu kwa mikoano yangu, kisha nikawarusha walipo simama watu walio mzingira Camila na kusababisha watu wengine kuanza kunishambulia kwa risasi. Kasi iliomo mwilini mwangu na uwezo alio nipatia Ethan, ukanifanya niweze kukwepa risasi zote ambazo wananishambulia.
 
Nikazivunja pingu za Camila za mikononi na nikaifungua miguu yake kisha yeye akamalizia kufujifungua kitambaa cha mdomoni mwake. Camila hakuhitaji kuwa mzembe, akaokota moja ya bunduki na kuanza kuwashambulia watu wengine huku nami nikiwa na kazi ya kutumia nguvu nilizo pewa na Ethan kuwanja vunja viuongo vyao watu hawa. Ndani ya dakika tano watu wote waliomo ndani ya holi hili, tukawabadilisha majina na kuwa ni marehemu. Camila akanikumbatia kwa haraka huku akiwa analia.
 
“Imekwisha baby”
Nilizungumza huku nikiendelea kumkumbatia Camila kwa nguvu sana.
‘Muhusika ana kimbia toka nje’
Niliisikia sauti ya Ethan, nikamuachia Camila na kwa haraka nikaanza kukimbia kueleekea nje, nikakuta gari moja nyeusi aina ya Lexus ikioandoka kwa kasi eneo hili, nikaangza huku na huku na nikaona moja ya pikipiki. Nikaifwata na kwa bahati nzuri nikakuta ikiwa na funguo, nikaiwasha kabla ya sijaondoka, nikamuona Camila akitoka katika holi huku akiwa na bastola mbili mikononi mwake.
 
“Njoo upande”
Nilimuambia huku nikitazama gari hii jisni inavyo timua vumbi. Camila kwa haraka akaokota heliment mbili za pikipiki, akanirushia moja kisha naye akavaa jengine, na kupanda kwenye hii pikipiki. Nikatia gia na kuanza kufukuzia gari hili. Uzuri wa pikipiki hii ina ina spidi mita mia mbili na ijini yake ni kubwa kiasi cha kuifanya iweze kushindana mwendo kasi na gari hili linalo zidi kwenda kwa kasi katika barabara hii ya vumbi.
“Ongeza mwendo”
Camila alizungumza huku akiwa ameizungusha mikono yake kiunoni mwangu.
“Poa poa”
Nilizungumza huku nikiongeza mwendo kasi wa pikipiki  hii kutoka mia moja na stini hadi kuanza kukaribia spidi mita mia mbil, jambo lililo sababisha taa ndogo nyekundu kuanzza kuwaka pembeni ya dashbod ya spidimita.
 
Tukaanza kulikaribia gari hili, Camila akanishika mkono mmoja kiuno changu, huku mkono wake mwengine akiuweka begani mwangu huku akiielekezea bastola aliyo  ishika kwenye gari hilo. Akaanza kufyatua risasi kadhaa kueleke kwenye gari hilo, baadhi ya risasi zikazipiga  gari hili kwa nyuma na kusababisha lianze kuyumba na likapoteza dira na kuvamia miti iliyopo pembezoni mwa eneo hili ambalo ni nje kabisa ya mjini. Nikaanza kupunguka mwendo mara baara ya kulishuhudia gari hili likipinduka matairi juu kichwa chini. Nikasisimamisha pikipiki hii mita chache kutoka eneo la ajali, tukashuka huku tukivua heliment za pikipiki hii.
 
“Nisubirie hapa”
Nilimuambia Camila huku akinikabidhi bastola moja.
“Etha…..”
Nikamtazama kwa macho makali ambayo yaliweza kumpa ishara ya kunyamaza kimya. Nikaanza kutembea kwa umakini sana kuelekea kwenye gari hili, nikamuona dereva akijivuta pembeni akitokea kwenye gari hili huku akiwa analalamika maumivu ya kuvujika mguu. Nikachungulia siti ya nyuma napo nikaona kuna mtu, nikamfungua mlango wa gari hili na kuanza kuivuta miguu ya mtu huyu ambaye sura yake bado sijaiona.
 
Nikastuka sana mara baada ya kuiona sura ya mwanasheria wa kampuni zangu. Mtu ambaye nimemuamini kwa maisha yangu. Mtu ambaye anafahamu siri zangu nyingi sana na hata baadhi ya makampuni yangu anayaongoza yeye.
“Nilikuambia utulie utaona, umejionea sasa?”
Ethan alizungumza huku akiwa amekaa pembeni yangu. Mwili mzima nikaihisi ukinyon’onyea sana. Camila uvumilivu ukamshinda na nikaanza kumuona akija katika eneo hili.
“Camila atakuona”
“Yaa inabidi anione, bila mimi musinge kuwepo hapa. Naamini leo ndio mara yake ya pili ataniona”
Ethan alizungumza huku tukimtazama Camila aliye karibia kufika hapa. Camila alipo muona Ethana, kwa haraka akamnyooshea bastola.
 
“Ondoka pembeni ya mume wangu”
Camila alizungumza kwa ukali sana na kumfanya Ethan kuangua kicheko kikubwa kilicho jaa kejeli ndani yake.
“Nimesema ondoka nitakuua”
“Camila tulia”
“Siwezi kutulia huyo ndio muuaji. Aliwaua walinzi wangu siku ile”
“Ndio niliwaua, unataka kuniua na mimi si ndio”
“Nimesema usinijaribu, nitakuua”
Ethan kwa haraka akasimama mbele ya Camila jambo lililo nifanya nihitaji kupiga hatua moja mbele ila nikagundua adui yangu hadi sasa hivi sijajua amepoteza maisha au amezimia.
“Camila acha, huyu ni fariki yangu na yeye ndio aliye nipatia msaada kwenye maisha yangu”
 
Nilizungumza kwa msisitizo huku nikimtazama Camila usoni mwake. Uso nzima wa Camila umebadilika na kuwa mwekundu kwa hasira.
“Tafadhali mke wangu, sikikilize basi achana na Ethan njoo ushuhudie hili hapa”
“Msikilize mume wako, kwa maana mimi huwezi kuniua kwa maana si binadamu.”
“Si binadamu?”
“Wote acheni ujinga”
Ilinibidi nizungumze kwa kufoka na kuwafanya Camila na Ethan kunitazama.
“Tuna kazi ya kufanya, nahitaji kujua huyu mshenzi kama yupo hai au amekufa. Nyinyi mumekalia upuuzi sitaki ujinga”
Niliendelea kuzungumza kwa kufaka na kumfanya Camila kuishusha bastola yak echini taratibu. Nikakitazama kifua cha mwana sheria na nikakiona kikihema taratibu.
 
“Mpuuzi yupo hai huyu”
Nilizungumza huku nikimalizia kumvuta kutoka ndani ya gari. Nikamtazama dereva anaye endelea kulia kwa maumivu makali anayo yahisi. Nikamsogelea na kuchuchumaa pembeni yake.
“Unahisi maumivu si ndio?”
“Ehee….nisaidie….nisaidie tafadhali”
Nikasokomeza bastola yangu mdomoni mwake, akanitolea macho ya woga sana huku akinitazama usoni mwake. Nikafyatua risasi mbili mfululizo na kumfanya kichwa chake kichanguke kwa nyuma na damu zikaanza kutapakaa kwenye mchanga. Taratibu nikaichomo bastola yangu na kurudi eneo alipo mwana sheria ambaye amezungukwa na Ethan pamoja na Camila ambaye anashanga uwepo wa mwana sheria huyu  katika eneo hili.
 
“Ethan huyu si mwana sheria wako?”
“Ndio”
“Mbona yupo hapa?”
“Yeye ndio anahusika kwa kila kitu ulicho kiona leo”
“Ohoo Mungu wangu!!”
“Ethan unaweza kumuamsha?”
“Mmmmm nina weza”
“Muamshe”
Ethan akamshika mwana sheria eneo la shingoni mwake. Taratibu mwanasheria akafumbua macho yake. Ethan akamshika shat lake eneo la kufuani mwake na kumkalisha kitako huku akimuegemeza kwenye gari hili lililo pata ajali. Mwanasheria woga mwingi sana ukamtazama, hakutegemea kutuona hapa sisi watatu, kwa hasira niliyo nayo hadi nikajikuta nikikosa cha kuzungumza na mkono nilio shika bastola ukaanza kutetemeka.
 
“Kwa nini umefanya hivi?”
Nilijikaza kuzungumza ila mwana sheria akakosa cha kunijibu zaidi ya machozi kuendelea kumwagika.
“Haya ndio aliyo  kuagiza baba yangu uyafanye juu yangu si ndio?”
“N…..i…nii same….he…..Ethan”
Mwanasheria alizungumza huku akimwagikwa na machozi usoni mwake.
“Ethna nimefanya hivi kwa ajili ya familia yangu, kwa ajili ya mke wangu na mwanangu”
“Mke wako na mwanao ndio walio kuagiza kuniteka mimi na Camila na kunishinikiza vitu vya kijinga si ndio?”
“A….a…..!!”
Mwanasheria kigugumizi kikaendelea kumbana kifuani mwake.
“Nakuuliza mke wako ndio aliye kuagiza kufanya ujinga huu si ndio?”
“Nd….ndi….ooo”
“Mke wako ndio aliye taka utuue sisi na mume wangu, jamani mbona hana huruma. Tumemfanyia nini jamani ehee?”
Camila alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake.
 
 “Mke wangu anagombania kiti cha uraisi hawa pia ni watu wake aio nikabidhi kufanya nao kazi. Alinishawishi sana nikushawishi umuunge mkono, ila nikakataa  ndio maana akatumia nguvu hii.”
“Ina maana bi Magnalena Schoss ni mke wako?”
Camila aliuliza huku akimtazama mwana sheria usoni mwake.
“Ndio ni mke wangu  na tuna miaka thelethini sasa katika ndoa”
“Boksi jeusi alilihitaji la nini kwangu?”
“Eheeeee!!!”
Mwanasheri alijifanya kama hajasikia, nikampiga na kitako cha bastola kwenye ugoko wa mguu wake wa kushoto na kumfanya alie kwa uchungu sana huku akinitazama usoni mwangu.
 
“Alihitaji boski jeusi  kwa ajili gani?”
“Ni kwa ajili ya kujiimarisha kiusalama zaidi”
“Ahaa…..sawa sawa”
Nilizungumza huku nikiikoki bastola yangu na kumuelekezea kichwani, kama alitoa amri ya mimi kupigwa risasi basi na yeye hana nafasi ya kuishi hapa duniani.
“Ethan ngoja kwanza usimuue”
Ethan alizungumza huku akinitazama.
“Kwa nini?”           
“Kwa kumtumia huyu basi tutahakikisha huyo mwana mama anaenguliwa katika kasi za kugombania uraisi na itazidi kumpa nguvu baba mkwe wako kushinda uchaguzi wa uraisi”
Ethna alizungumza kwa upole, kabla sijafanya chochote simu ya mwanasheria huyu iliyopo kwenye koti lake la suti ikaanza kuita, nikampasa kwa haraka na nikaitoa. Nikakuta namba hiyo ni ya mke wake, nikamuonyesha kisha nikaipokea na kuiweka sikioni mwangu.
“Mume fiki wapi mume wangu. Nipe habari njema”
“SIO HABARI NJEMA, NI HABARI MBAYA MUME WAKO AMEFARIKI DUNIANI”
Nilizungumza kwa sauti nzito na iliyo jaa mikwaruzo mingi sana na kumfanya mwana mama huyo kukaa kimya kwa sekunde kadhaa akisikilizia sauti yangu.

==>>ITAENDELEA KESHO

Rudisha Heshima ya Ndoa Yako.....Pata Tiba Bora ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
Wanaume wengi hawawaridhishi wake au wapenzi wao kwa kutokuwa na nguvu za kiume au uume mdogo? 

Kawaida mwanamke huwa anachukua dakika saba 7 adi kumi 10 ili aweze kufika kileleni na wakati wanaume wengi kwa sasa hutumia dakika tatu 3 hadi tano 5 ameshafika kileleni , hapo utagundua kabisa mke au mpenzi wako hujamtendea haki yake. Dr Nyalobi  anakuletea dawa imara na yenye nguvu tatu?

Simpo power; Hutibu matatizo yafatayo;

1.itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15-20 kwa tendo la kwanza

 2. itakupa uwezo wa kurudia tendo zaidi mara nne 

3 Huimalisha misuli iliyolegea na kusinyaa 

4 Hutoa uchovu pale umalizapo kufanya tendo

 Je kwa nini uzidi kuona aibu pale ukutanapo na mpenzi wako kwa sabubu uume wako mdogo na mwembamba? 

Promix; hii ni dawa ya kuongeza uume saizi upendayo.Dawa zetu ni za mitishamba na hazina madhara yoyote na ni tofauti na ulizowai kutumia ata wazee hutumia 

Mkuya; hii ni dawa ya kisukari dozi siku 21 

Mwaru; hii ni dawa ya uzazi hufungua mirija ya uzazi ata kama uzazi umefungwa

Markusi; ni dawa ya presha zipo dwa za korodani kuvimba,, vindonda vya tumbo, kupunguza kitambi, na minyama uzembe 

Fika ofisini kwetu Buguruni Malapa na Mwanza yupo wakala wetu au piga simu 0752348593 -Dokta Nyalobi

Huna Sababu Ya Kuaibika tena............ Jipatie Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Na Mvuto Wa Mapenz

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0620510598  / 0743543944

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 166 na 167 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA   
   
“DAANY?”
“Waziri mkuu, na mkuu wa NSS hukuona thamani yao hata ta nikiwaua kwako ilikuwa ni POA tuu, sasa huyu mume wako nitamuua kama nilivyo fanya kwa waziri mkuu wako”
Nilizungumza kwa msisitizo huku nikiichomoa bastola yangu moja kiunoni mwangu na kuielekeza kwenye kichwa cha mzee huyu aliye zidi kutetemeka hadi mikojo ikaanza kulowanisha suruali yake.
“Dany Dany ninakuomba, ninakuomba mpenzi wangu usimuue huyo mwanaumee tafadhalii…………………!!”
K2 alizungumza kwa sauti iliyo jaa woga na majonzi hapa ndipo nikagundua udhaifu wa K2 upo kwa huyu mkuu wa polisi ambaye kwa muonekano wa nje ni mbaya mbaya tu na sijui amempa nini K2 hadi leo hii analia kwa ajili yake.
   
ENDELEA   
“Hahaaaa muheshimiwa raisi unaniitaje mimi leo?”
“Dany nipo na wageni ninakuomba hili swala tulizungumze wawili nipo tayari kuonana na wewe na niambie chochote nitafanya tafadhali Dany”
K2 alizungumza kwa sauti iliyo jaa majonzi na kunibembeleza sana.
‘Huu ni mtego’
Nilizungumza kimoyo moyo huku nikimtazama mzee huyu.
“Utaniambia muda na wapi tunaweza kuonana ila una lisaa moja mbele. Andaa sanda yako kwani sinto kwenda kukuacha hai”
Nikasikia mihemo ya K2 jinsi anavyo ishusha kwenye simu yake.
“Naomba masaa mawili”
“Basi utaongeza hili. Hakikisha kwamba unatangaza kujiudhuru hadharani ili nikikuua ufe kama K2 na si raisi K2”
“Sawa Dany nimekuelewa”
Nikata simu na kumtazama mzee huyu.
“Mfunge pingu na tuondoke”
“Sawa mkuu”
“Hakikisha unawavua askari watatu nguo zao, zitatusaidia”
“Usijali mkuu”
Nikaanza kurudi kwenye gari, nikafungua mlango na kuingia kwenye gari, Babyanka akaingia ndani ya gari huku akishusha pumzi nyingi.
 “Hatuna raisi kwa kweli”
“Mulimchagua kwa kura zenu”
“Amesemaje?”
“Nimemuambia kwamba atafute sehemu tuonane na nimemuomba masaa mawili ili tuweze kuonana”
“Hivi unahisi kwamba K2 ni mjinga wa kukubali kuonana nawe kirahisi namna hiyo?”
 
“Nimemuambia atangaze kujiudhuru nafasi ya raisi ndani ya masaa mawili ya jayo, pasipo kufanya hivyo huyu mzee nina muua”
Nilizungumza huku tukiondoka eneo hili kwa kasi sana, kwani hatuna tulicho kibakisha.
“K2 umeanza naye mahisiano lini ikiwa ana mume wake?”
Nilimuuliza mzee huyu huku nikizidi kuongeza mwendo kasi wa gari hili.
“N…….ii..i.i.i aa…aaal….i….li…taka”
“Zungumza vizuri wewe”
Martin alizungumza kwa ukali huku akimtandika ngumi ya mbavu mkuu huyu wa polisi na kumfanya atoe kilio cha maumivu makali sana.
“Alinitaka yeye mwenyewee”
“Umempa nini hadi ana kupapatikia hivi, au ulimla m***?”
“Weee Dany swali gani hilo?”
“Babyanka unashangaa kwa raii wako kufanya
 
“Wewe umejuaje?”
“Tuachane na hayo”
“Au na wewe umesha a kwa maana kipindi kile nilikuwa siwaelewi elewi”   
“Tunaelekea wapi Babyanka tuachane na hayo mazungumzo”
“Kwanza zima simu ya huyo mzee toa laini na itupe la sivyo kufwatiliwa ni lazima”
Nikamkabidhi Babyanka simu yamzee huyu, akatoa betri pamoja na laini kisha akaitupa. Kunja kushoto”
Babyanka alizungumza na kunifanya nipunguze mwendo kasi wa gari na kukunja kushoto.
“Tunaelekea wapi?”
“Tukipite barabara hii kukamatwa ni lazima”
“Sawa”
Tukazidi kusonga mbele huku tukihakikisha kwamba tunaweza kufika jijini Dar es Salaam pasipo kukamatwa na mtu yoyote. 
 
“Kuna rafiki yangu maeneo ya hapo Tegeta inabidi tufike kwake”
“Anafanya kazi gani?”
“Alikuwa NSS, ila alikuja kuacha na kuunda kikosi chake cha ulinzi”
“Ulinzi gani?”
“Hawa walinzi walnao linda kwneye makampuni binafs”
Babyanka alizungumza huku akitoa simu yake mfukoni, akaminya minya batani na kumpigia rafiki yake huyo.
“Winy upo wapi mama?”
“Nipo karibu na getini kwako”
“Sawa dakika moja tu nitakuwa hapo”
Babyanka alizungumza kisha akakata simu
“Utasimama kwenye nyumba ile pale”
Taratibu nikapunguza mwendo kasi wa gari hadi kwenye geti la jumba hili la kifahari, nikasimama getini taratibu geti hili kubwa likafunguliwa, nikaingiza gari hili ndani na kulisimamisha nyuma ya gari jengine.
 
“Nisubirini”
Babyanka alizungumza huku akishuka kwenye gari hili. Akazungumza na dada mmoja mrefu mweusi kiasi na ana umbo jembaba kidogo. Taratibu nigemgeukia mzee huyu aliye kaa siti ya nyuma na Martin. Nikamtazama vizuri kuanzia usoni mwake hadi kifuania mwake, kisha nikajikuta nikitabasamu.
“Mzee una nifahamu mimi?”
Mzee huyu akatingisha kichwa akionyesha kunifahamu.
“Unanifahamu mimi kama nani?”
“Ehee?”
“Mzee wangu unaelewa maswali yangu mbona unajifanya huelewi”
Kabla mzee huyu kunijibu kitu chochote Babyanka akagonga kidogo kioo cha upande wangu, taratibu nikashuha kioo.
“Unaweza kushuka”
Taratibu nikashuka, dada huyu alipo nitazama akaonekena kushangaa sana.
 
“Ulihisi ninakutania Winy”
“Yaa nilihisi unanitania kwa manaa wewe ndio ulikuwa unaongoza jaramba la kumkamata Dany ila leo hii upon aye yaani siamini”
“Ndio uamini. Dany huyu ni rafiki yangu wa damu kabisa, anaitwa Winy. Winy huyu ni Dany”
“Nashukuru kukufahamu Dany”
Winy alizungumza kwa furaha huku akinipa mkono, taratibu nikaupokea mkono wake huku nikiutingisha kidogo.
“Asante Winy”
“Yupo na kijana wake pamoja na fala mmoja hivi tumemkamata njiani”
“Waambie washuke”
Nikaonyesha ishara ambayo nina imani kwamba Martin anaifahamu, akashuka kwenye gari huku bunduki yake akiwa ameishia vizuri. Akatufwata shehemu tulipo akasalimiana na Winy, kisha akafungua mlango na kumtoa mkuu wa Polisi.
“Wewe fala ulihisi sinto kupata eheee?”
Winy alizungumza huku akianza kumfwata mzee huyu jambo lililo tushangaza wote hapa. Akamsukumia mkuu wa polisi kwenye gari huku akilikunja shati la mzee huyu maeneo ya kifuani mwake.
“Ulihisi sinto kupata mjinga wewe”
“Vipi shosti?”
“Huyu mzee jana amemlaza ndani mdogo wangu, na akakataa asitolewe dhamana”
“Kwa nini usiniambie?”
“Nilijaribu kukupigia sikukupata hewani”
Winy akamtandika makofi mawali mazito mzee huyu hadi machozi yakaanza kumlenga lenga.
“Sasa leo umeingia mikononi mwangu, utaona sasa kama humu utatoka kwa dhamana”
“Huyu dada anaonekana na ni mbabe?”
Martin alizungumza kwa sauti ya chini chini huku tukimtazama Winy.
 
“Anaonekana hapendi ujinga”
“Ila yupo vizuri”
“Umemtamani nini?”
“Yaa ingekuwa sio haya matatizo ningemtokea”
“Acha uhuni, tufanye kazi”
“Sawa bosi”
“Jamani samahani kwa kuweza kumshuhulikia mtu wenu ila kwa upande wangu pia ni mtu ambaye nina muwinda”
“Usijali”
“Kuna chumba tunaweza kumfungia”
“Martin chukua uangalizi wa hilo”
“Sawa”
Martin akamshika mzee huyu na kuanza kuongozana na Winy, wakazunguka nyuma ya jumba hili. Baada ya dakika kadhaa Martin na Winy wakarudi sehemu walipo tuacha mimi na Babyanka, akatukaribisha ndani.
 
“Karibuni kwangu jamani, japo kupo kimya ila karibuni sana”
“Unaishi peke yako hapa?”
“Nipo na mdogo wangu wa kiume ambaye kwa sasa yupo polisi kwa ajili ya huyo mjinga muliye kuja”
“Shukrani”
“Eheee nielezeni mipango yenu kwa maana nina hamu ya kurudi kwenye game, kwa maana ni siku nyingi sijaua mtu”
“Shosti mbona una haraka”
“Yaani ulivyo niambia kwamba umekuja na Dany, ki** changu kimenicheza yaani nikia mtu n** zeto huwa zinaniisha”
Tukabaki tukitazamana na Martin kwa mshangao.
“Jamani musinione ninazungumza sana ila huo  ndio ukweli”
“Mumzoee ndio alivyo”
“Sawa”
Nikaanza kumuelezea Winy mpango wa kumuua K2 na kwa sasa nisubiria hotuba yake kwenye Tv ya kujiudhuru, kisha nionane naye.
 
“K2 hawezi kufanya hivyo hata siku moja”
“Ninatambua ila mwanaume tuliye mshika ni kama roho yake”
“Roho ya K2 sio huyo mwanume, na atamtumia mwanaume huyo kukua. K2 ana watu ana jeshi, ana mazagazaga ya kila aina”
Winy alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.
“Dany nilikuambia kwamba K2 hawezi kujisalimisha kwa ajili ya huyo mkuu wapolisi. Ameigiza kupagawa ili mradi uingie kwenye kumi na nane zake kwa maana kila kitu ambacho amekifanya amekukosa”
“Mkuu hapo ninashauri tungekaa kwa muda, K2 asipo jiudhuru basi mpango umefeli na huyu mzee tunamuua kama tulivyo waua askari wake”
 
“Sawa, ila kuna watu bado nipo nao kichwani?”
“Kama nani?”
“Hawa na raisi Donald Bush”
“Unataka kumuua Donald Bush!!!?”
Winy alizungumza huku akinishangaa kwani mtu ninaye mzungumzia analindwa zaidi ya anavyo lindwa K2.
“Ndio”
“Mmmmm Dany una kazi wewe”
“Huo ndio mpango ulio nileta Tanzania, baada ya hapo nitaondoka Tanzania na hata nikifa basi nitakuwa sija jinsi na nitakufa kihaki”
“Winy unatambua kwamba Donald Bush atalala wapi?”
“Hapana sijafahamu bado, ila ngoja nimuulize mtu”
“Sawa”
Winy akachukua simu yake iliyopo kwenye meza ya Tv, akampigia mtu anaye hitaji kuzungumza naye.
“Baby”
 
“Nimekumis jamani”
“Ohoo ndio munampeleka raisi Donald hotelini?”
“Hoteli gani?”
“Ahaa baada ya hapo?”
“Hadi ziara yake iishe?”
“Mmmm haya jamani mpenzi wangu, hapa k** yangu inahitaji
“Nakupenda mume wangu”
“Kazi njema. Mwaaaaa”
Winy akakata simu huku akiachia msunyo mkali sana na kuing’ong’a simu yake.
“Mijiwanaume mingine ni usalama wataifa ila mijimbea kama nini”
“Kwa nini?”
“Alikuwa na haja gani ya kuniambia kwamba wanampeleka raisi Serea Hoteli”
“Amesaidia kutufahamisha”
“Yaaa. Ehee mutaingiaje Serena kwa maana inalindwa kuliko hata ikulu?”
Sote tukakaa kimya huku tukitazamana kwa maana hili jambo ni gumu sana.
“Tanzania hivi hakuna njia za chini ya ardhi?”
Martin alituuliza hukua kitutazama kwenye nyuso zetu.
“Barabara za chini hakuna”
Winy akawahi kujibu maswali.
“Hapana sio barabara za chini, anamaanisha mabomba makubwa nayayo pitisha maji machafu”
“Hayo yapo, tena tukitumia mabomba hayo tutafika Serena Hoteli pasipo wasiwasi wa aina yoyote.”
 
Babyanka alizungumza kwa msitizo. Kabla ya mtu yoyote kuzungumza kitu chochotea, taarifa ya dharura(Breaking News) ikakatisha mziki unao onekana kwenye chanel ya Tv kubwa iliyopo humu sebleni. Macho yangu yalipo  muona raisi K2 amesimama kwenye sehemu maalumu ya raisi anayo hutubia taifa kupitia vyombo vya habari ikanifanya taratibu kuichukua rimoti iliyopo mezani na kuongeza sauti kwenye hii Tv ili niweze kusikia kwa kile ambacho K2 anakwenda kukizungumza kwa taifa la Tanzania kwa maana nilimpa chaguo la kuachia madaraka kama vile alivyo nipa chaguo hilo mimi kipindi nilipo kuwa jeneral katika kundi la kigaidi la Boko Haramu.

AISIIIII……….U KILL ME 167
“Habari zenu Watanania, matumaini yangu ninaimani kwamba mutakuwa muwazima buheri wa afya. Tumeweza kumpokea raisi wa Marekanai kwa shangwe na vifijo nina imani kwamba ziara yake ya siku mbili hizi  kwetu itakuwa na manufaa makubwa kwa Taifa letu”
K2 akakaa kimya huku akionekana kutafakari kitu. Sote sebleni tukabaki tukiwa kimya huku tukimtazama K2 kupitia hii Tv.
“Tunashukuru Mungu, kwamba ulinzi umezidi kuimarishwa katika maeneo yote ya nchi. Na nikiwa kama raisi wa Tanzaa nitahakikisha kwamba ninamkamata huyu gaidi Dany. Nina ahidi kwamba kabla ya kupambazuka nitakuwa nimemshika mikononi mwangu. Ninacho waomba Waanzania ni kuhakikisha munatoa taarifa ya kupatikana kwa Dany kupitia simu namba 0657072588.  Nasi jeshi langu nitahakikisha kwamba tunafika sehemu ya tukio na kumkamata Dany, kwa maana hatuwezi kuona mtu mmoja anasumbua serikali hii ikiwa, nchi yetu ni nchi ya amani na upendo.”
 
Nikazima Tv na kuwageukia wezangu, wote macho yao yapo usoni mwangu kwani kile nilicho kuwa nimekitegemea ni tofauti na hichi ninacho kiona hapa.
“Nilisema”
Winy alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.
“Mkuu ni nini tutafanya ikiwa muhusika bado anaamini nguvu aliyo nayo inaweza kutuangusha.”
“Muacheni kwanza”
Babyanka alizungumza baada ya kuniona nimekodoa macho yangu sehemu moja hata pasipo kuzungusha sura yangu. Kila ninacho kifikiria akilini mwangu ninaona hakifai kabisa.
“Ninawazo”   
 
Winy alizungumza, na kunifanya taratibu nimtazame huku nikiwa sina matumaini ya kufanya chochote kwa wakati huu.
“Munaonaje tukafanya pigo kwa K2”   
“Pigo gani?”
“K2 ukiachilia huyu mzee, ila ana mtoto wake”
“Unahisi mtoto wake ni rahisi kumpata kwa muda huu?”
Babyanka alizungumza huku akimtazama Babyanka.
“Hata kwa siku zijazo?”       
“Unahisi siku zote hizo tutaendelea kuwa huru kama sasa hivi?”
“Hapa kwangu kupo salama, hakuna anaye weza kuwakamata”
“Mkuu niruhusu nimchinje yule mzee”
Macho yakanitoka na kubaki nikiwa nimemtazama Martin.
“Kumchinja!!?”
Babyanka akauliza naye akiwa ameshikwa na bumbuwazi.
“Ndio, anamuita gaidi bosi wangu, ili aone kwamba sisi ni magaidi kichwa cha huyu mzee inabidi kipelekwe kama zawadi kwake. Jinsi atakavyo kasirika sisi kwetu ndio itakuwa ni udhaifu mkubwa wa kuweza kumpata kirahisi”
“Ila swala la kuchinja jamani hilo ni kubwa?”
“Hilo nitalifanya mimi mwenyewe kama bosi ataniruhusu”
“Dany zungumza kitu?”
 Babyanka aliniambia kwani muda wote nilibaki kimya huku nikimtazama usoni mwake kwani muda wote nimeshindwa kuzungumza chochote.
 
“Mchinje”
“Dany!!!!”
“Ndio fanya hivyo Martin na kichwa chake niletee hapa”
“Hilo ni jambo jema. Usiogope Babyanka”
Winy alizungumza huku  akitoka sebleni hapa na Martin na kutuacha mimi na Babyanka.
“Dany hili  munalo taka kulifanya litazidi kuhatarisha usalama wako”
“Unahisi nipo salama?”
“Najua haupo salama ila…..”
“Ila nini, hivi unatambua ni jinsi familia yangu ilivyo kufa?”
Babyanka akaka kimya huku akinitazama usoni mwangu.
“Aliwaua watu wa karibu yangu kwa kuwachinja sasa na mimi nitawaua watu anao wapenda kwa kuwachinja”
Nilizungumza huku nikiiwasha Tv, sikukuta hotuba ya raisi tena zaidi ya vipindi vingine kuendelea kwenye hii Tv.
“Dany”   
Nikamgeukia Babyanka na kumtazama usoni mwake.
“Una, una…..una….”
“Nina nini?”
“Bado unanipenda?”
Tartibu nikajikuta nikiyafumba macho yangu kisha taratibu nikayafumbua na kumtazama vizuri Babyanka.
“Sina hisia za mapenzi moyoni mwangu”
 
Kabla Babyanka hajazungumza kitu chochote Martin na Winy wakaingia huku wakiwa na boksi kubwa. Walilo lizungushia mfuko wa rambo, wakaliweka mezani, taratibu nikalisogelea boksi hili na kulitazama vizuri. Japo mimi ninaroho ya kikatili na swala la kumuua mtu ni kawaida, ila kusema kweli  kwa hichi walicho kifanya kwa huyu mzee ni ukatili ulio pitiliza kwani kichwa chake wakekichinja kama kuku aliye chinjwa, ila kilicho nizidisha kuniogopesa ni jinsi walivyo kikata kata kwa kitu chenye makali makubwa.
“Mbona mume mkata kata hivi?”
“Aliteta tabu ikabidi nimtandike mapanga kadhaa kichwani”
Winy alijibu kwa kujiamini sana, hadi mwili ukanisisimka kwa woga mkali. Babynka wala hakuhitaji kuusogelea hili boksi.
“Haya tutalifikisha vipi kwa muhusika?”
“Tutalipeleka mkuu”
“Ikulu!!?”
“Hapana sio ikulu, hapa cha kufanya ni kupiga simu kwenye namba husika aliyo itangaza K2 kisha tutajidai kama tumekuona kwenye eneo tutakalo hilo eneo  sasa hapo utaandika ujumbe ambao wewe utamfikia K2 huko alipo”
Nikamtazama Martin jinsi anavyo zungumza kisha nikatingisha kichwa changu kwa kukubaliana naye.
 
“Naomba karatasi”
Winy akachuka moja ya daftari na kalamu vilivyopo kwenye moja ya meza yenye computer ndogo kisha akanikabidhi. Nikachana moja ya karatasi kwenye hili daftari kisha taratibu nikaka kwenye sofa na kuanza kufikiria cha kuandika.
“Mkuu acha tujiandae kuna zile nguo za polisi naamini zitatusaidia”
“Sawa”
Martin na Winy wakatoka sebleni hapa.
‘HUU NI MWANZO TU, HUWEZI KUNIUA HADI NIHAKIKISHE NINAKUUA, ILA USIPO ANGALIA WATU WAKO WOTE WAKARIBU YAKO WATAKUFA KIFO KAMA HICHI. DANY’
Baada ya kuyaandika maneno hayo nikasimama na kuikunja taratibu karatasi yenye maandishi, taratibu nikalisogelea boksi lenye kichwa cha mume wa K2 kisha nikaidumbukiza huku nikiwa nimeikunja vizuri sana.
Winy na Martin wakarudi wakiwa wamevalia mavazi ya askri ambao tuliwaua.
“Ila yana damu ila yataufaa hivi hivi”
Winy alizungumza huku akinitazama.
“Mwili wake mumeuweka wapi?”
“Mwili wake upo kule kule stoo”
“Twende tukauone”
 
Nilumuambia Martin, lengo la kutoka sebleni hapa si kwenda kuuona mwili huo pekee, ila lengo kubwa ni kuhakikisha kwamba ninazungumza na Martin juu ya huu mpango. Tukaiingia kwenye chumba alichokuwa ameingizwa mkuu wa polisi. Nikaukuta mwili wake ikiwa imelazwa chini huku damu nyingu zikiwa zimesambaa kwenye sakafu.
“Unatakiwa kuwa makini na huyu mwanamke”
“Sawa mkuu”
“Tusimuamini moja kwa moja, ikiawa hatujui ni wapi tulipo tokea, na amekubali kirahisi rahisi kuingia kwenye huu mpango. Ukiona anaenenda kinyume nasi muue”
“Usijali mkuu nitalifanya hilo”
“Kitu kingine kama ni mtu anaye elekeweka hakikisha unaosha rungu ili asiondoke mikononi mwetu”

“Sawa mkuu nitahakikisha ninampa mambo ya kina Jonyyyy”
Martina alizungumza huku akiwa ametabasamu kwa furaha kubwa sana.
“Hakikisha humpi nafasi  ya kuwa mbali nawe, kosa moja ua asirudie kosa jengine itatugarimu na wakikukamata sasa hivi watakuua, hawato kupa hata nafasi ya kukuhoji kwani tayari umesha kuwa most wanted kama mimi”
Nilizungumza kwa sauti ya chini sana huku nikimtazama Martin machoni mwake.
 
“Sawa mkuu”
Tukatoka ndani ya chumba hichi na kurudi sebleni na kuwakuta Babyanka na Winy wakiwa wanelekezana kitu kwenye hii computer iliyopo hapa sebleni.
“Tayari bibie tuondoke”
“Ngoja ninamuelekeza Babyanka jinsi ya kuweza kutuona kila tunapo kwenda kupitia satelaiti”
“Haito kuwa hatari kwetu?”
“Hapana, pia katika hichi kichwa nimechokea kifaa ambacho tutaweza kukiona kila kitakapo kwenda”
“Babyanka unaweza kufanya hayo mambo?”
“Ndio japo sio sana”
“Sawa”
Winy na Babyanka wakaelekezana kwa muda kidogo walipo hakikisha kwamba wamemaliza. Martin na Winy wakatuaga na kuondoka huku kila mmoja akiwa ana silaha yake, huku Martin akiwa amelibeba boksi lenye kichwa cha mume wa K2. Nimsogela Babynka alipo kaa, nikatazama anacho kifanya kwenye hii computer, tukawaona Winy na Martina wakingia kwenye gari jengine linalo milikiwa na Winy ana kuondoka katika hili eneo.
 
“Unahisi huu mpango utafanikiwa?”
“Mbona unakuwa na mashaka sana Babyanka upo nasi au haupo nasi?”
Ilinibid kuzungumza kwa ukali huku nikimtazama Babyanka machoni mwake. Taratibu Babyanka akasogeza kiti chake cha matairi alicho kikalia, akasimama mbele yangu huku akinitazama kwa macho malegevu.
“Nina mashaka na wewe Dany, sihitaji kukupoteza kama nilivyo kuacha mara ya kwanza ulivyo potea”
“Tupo katika kazi mapenzi tuyaweke kando kwanza, tazama wanapo elekea wezetu”
Babyanka akanibusu mdomoni mwangu kisha akarudi na kukaa kwenye kiti. Tukazidi kulifwatilia gari walilopanda Winy na Martin hadi wakafika katika daraja la Sarenda. Wakasimamisha gari pembeni, na Winy akashuka kwenye hili gari, taratibu akashuka hadi chini ya daraja na kuweka boksi hili na kwa haraka akrudi kwenye gari. 
 
“Wanafanyaje?”
“Ninahisi watakuwa wanazungumza na simu”
“Hembu vuta hiyo video karibu”
Babyanka akafanya hivyo na taratibu video ikaanza kuwajia karibu hadi tukamuona Winy akizungumza na simu, baada ya kuzungumza ancho kizungumza, akaitupa simu hiyo pembeni ya barabara na wakaondoka katika eneo hili.
“Unaweza kupata video katika hilo boksi?”
“Ndio”
“Fanya hivyo”
Ikamlazimu Babynka kutoa video inayo onyesha gari walilo panda Winy na Martin, akaonyesha video hii inayo tokea kwa juu,  inayo onyesha boksi lenye kichwa cha mume wa K2. Hazikupita hata dakika tano gari zipatazo kumi za NSS, zikafika katika eneo la daraja la Sarenda. Wakashuka na kuanza kulizunguka daraja hilo, huku kila mmoja akiwa naa silaha yake.
 
“Wamelipata boksi”
Babyanka alizungumza huku akinionyesha askari aliye lishika boksi hilo. Askari hawa wakaanza kulizunguka hili boksi huku wakionekana kuwa na woga sana.
“Kwa nini askari wako ni waoga?”
“Nahisi wanahisi hilo ni bomu”
“Watafikisha kweli mzigo huo?”
“Ngoja tuone”
Askari hawa wakaliweka bosky hilo katitaki ya barabara na magari yao wakayaweka umbali kidogo kutoka sehemu lilipo boski. Tukawaona askari wawili wakiwa wamevalia mavazi maalumu ya kutegulia mabomu wakianza kulisogela boski hilo taratibu.
“Umeandika huo ujumbe umfikie raisi?”
“Hapana”
“Watausoma na tulicho kifanya ni kazi bure”
“Sio kazi bure ngoja tuone”
Askari hao wakalisogelea boksi na taratibu wakalifungua, wote wakaonekana kustuka hadi mmoja wao akaanguka chini.
Askari wengine walio kaa umbali kidogo wakaonekana kuwa makini huku wakiwatazama wezao. Askari aliye anguka chini akasimama tarataibu na kuonyesha ishara iliyo wafanya wezake kusogea taratibu. Kila askari aliye tazama ndani ya boksi hilo akaonekana kustuka sana.
“Tunaweza kusikia wanacho kizungumza?”
“Hapana hatujatega vinasa sauti”
“Sawa”
 
Tukamuona askari mmoja akizungumza na simu, baada ya muda kidogo akakata simu hiyo na kurudi eneo lilipo  boksi. Babyanka akamtazama askari huyo anavyo zungumza na wezake, kisha Babyanka akanigeukia na kunitazama.
“Anazungumza nini jamaa?”
“Amewaambia wezake waimarishe ulinzi kwa maana raisi amehitaji kufika eneo la tukio”
“Umejuaje?”
“Nimetazama mdomo wake jinsi unavyo zungumza na nimeweza kulijua hilo. Umesahau kama nina uwezo mkubwa wa kufahamu jinsi mtu anavyo zungumza hata kama hajatoa sauti”
“Nakumbuka”
“Niamini basi katika nililo kuambia”
“Poa”
Baada ya dakika kumi na tano, gari nne nyeusi zenye bendera ya rasi pamoja na bendera ndogo ya nchi hii, zikafika katike eneo la tukio. Wakashuka walinzi wote, walipo  hakikisha usalama upo vizuri akashuka K2, aliye anza kutembea kwa kasi kuelekea sehemu lilipo boksi lenye kichwa cha mume wake.
 
“Laiti kama wangeweka bomu basi hii ingekuwa shabaha yangu ya pekee kuhakikisha kwamba K2 anakufa”
“Ni kweli, ila kama mtu mmoja simuoni katika walinzi wake ikiwa wasichana wengine nimewaona”
“Nani?”
“Livna Livba”
Hata kabla sijatazama vizuri, mlango wa hapa sebleni ukafunguliwa. Sote tukajikuta tukigeuka nyuma, tukamuona Martin akiingia humu ndani ila uso wake ukivuja damu na ametulia sana, akaingia na Winy naye jicho moja limemvimba, nikaishika bunduki yangu vizuri huku nikipiga hatua moja mbele. Martin akatingisha kichwa akiashiria kunikataza kusogea mbele kwani kufanya hivyo inaweza kuwa hatari kwangu, kwani sifahamu ni nani aliyopo nyuma  yao.

 ITAENDELEA
“Haya sasa Winy na Martin wamepata walicho kipata huko watokapo na K2 amefika sehemu husika lilipo boksi lenye kichwa cha mume wake. Je nini kitampata baada ya kukiona kichwa chiho.? Usikose sehemu inayo fwata ya hadi hii ya kusisimua kutoka kwa muandishi mahiri Eddazaria G.Msulwa”

Waziri Mkuu Afungua Mafunzo Kwa Wakuu Wa Mikoa Na Ma’ras

$
0
0
*Mfunzo hayo yatawasaidia kusimamia utumishi na kuzingatia miiko ya uongozi

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amefungua mafunzo kwa Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa, ambapo amesema  baada ya mafunzo hayo Serikali inatarajia watasimamia kikamilifu nidhamu katika utumishi wa umma na wao wenyewe watakuwa kioo katika kuzingatia miiko ya utumishi wa umma.

Kadhalika, Waziri Mkuu amesema viongozi hao wa mikoa watazingatia kikamilifu mipaka ya madaraka yao na kwamba hatua watakazozichukua katika uongozi na utendaji wao zitazingatia sheria, kanuni na taratibu zilizopo nchini.

Waziri Mkuu amefungua mafunzo hayo yanayoendeshwa na Taasisi ya Uongozi leo (Jumatatu, Desemba 3, 2018) katika ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, ambapo pamoja na mambo mengine amewataka wakasimamie kikamilifu mapambano dhidi ya madawa ya kulevya.

“Mkadumishe uhusiano mwema baina yenu na watumishi walio chini yenu, kwa kuzingatia kuwa kila mtumishi anao mchango katika kuboresha utendaji kwenye kituo chake cha kazi. Nina matarajio makubwa kuwa mtadumisha uhusiano mzuri kikazi na viongozi wa juu na pia uhusiano wa diplomasia ya heshima na viongozi wengine ndani ya mihimili yetu mitatu.”

Hata hivyo, Waziri Mkuu amewataka viongozi hao wahakikishe kila mmoja wao anaandaa mpango kazi unaoainisha shughuli zake za kila siku. 

“Mkuu wa Mkoa, Katibu Tawala wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi na Wakuu wa Idara wote na Watumishi wote wawe na mpango kazi wa utekelezaji wa majukumu yao.”
 
Amesema viongozi hao wanatakiwa wasimamie nidhamu kazini na uwajibikaji wa watumishi kwa wananchi, ambapo pia amewasihi watende haki kwa wananchi na watumishi walio chini yao. Pia lazima watumishi wa Serikali wawapokee na kuwahudumia wananchi kwa staha, wawasikilize kero zao na kuzitafutia ufumbuzi.

Waziri Mkuu amesema viongozi hao wanatakiwa waendelee kusimamia amani na utulivu kwenye mikoa yao ili watu waendelee kufanya shughuli zao bila wasiwasi wowote kwani  amani na utulivu ndiyo itawawezesha nchi iendelee kuwavutia wawekezaji wa ndani na nje.

“Tunakumbushwa sisi viongozi tuhakikishe tunaziendeleza rasilimali za nchi hii kwa faida ya Watanzania wote bila kubagua jinsia, kabila, dini, rangi ya ngozi, mtu atokako ndani ya nchi

ilimradi hajavunja sheria; wala ubaguzi mwingine wa aina yoyote.  Tunaaswa tuwahudumie Watanzania wote kwa usawa.”

Kuhusu mada zitakazowasilishwa kwenye mafunzo hayo, Waziri Mkuu amesema zitawawezesha viongozi hao kupata fursa ya kutafakari na kujitathmini kuhusu hatua za kujiimarisha zaidi kiuongozi na kiutendaji. “Hatua hizo ni lazima ziwe pamoja na kubadilika kwa mtazamo na kujirekebisha endapo mtabaini maeneo mliyokuwa mkikosea tangu mlipokabidhiwa ofisi hadi sasa.”

Waziri Mkuu amesema mada zitakazowasilishwa kwenye mafunzo hayo zinahusu majukumu na mipaka ya kazi,ambapo watajifunza namna ya kufanya kazi bila mikwaruzano isiyo na tija baina yao na viongozi wa mihimili mingine ya dola, viongozi wa kisiasa na watendaji wengine Serikalini.

Amesema mada nyingine inahusuuongozi, hisia na mahusiano mahali pa kazi, ambapo itawawezesha kujiimarisha katika mbinu za kuwaongoza watumishi walio chini yao kwa kujenga na kudumisha mshikamano na ushirikiano wa pamoja.

“Mada itafafanua pia namna mnavyotegemeana na watumishi wa kada na ngazi mbalimbali katika kutimiza majukumu yenu. Ni muhimu sana kufanya kazi kama timu moja ili muweze kuyafikia malengo ya taasisi kwa upana wake na si malengo ya mtu au kiongozi mmoja.”

Amesema kwenye mada inayohusu muundo wa Serikali na namna inavyofanya kazi watauelewa vizuri zaidi muundo wa Serikali ulivyo na jinsi unavyofanya kazi. Pia wataielewa vizuri zaidi itifaki na kuheshimiana kwa ngazi mbalimbali kutoka Waziri, Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, Makatibu Tawala, Wakurugenzi, Wakuu wa Idara hadi Wananchi.

Kwa upande wake, Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uongozi, Profesa Joseph Semboja amesema  mafunzo hayo ya wiki moja yatajikita katika maeneo makuu matatu ambayo ni kuimarisha uwezo wa washiriki katika kufanya maamuzi ya kimkakati yanayozingatia mahitaji na manufaa mapana ya sasa na ya baadae kwa jamii.

Ametaja eneo la pili kuwa ni kuimarisha uwezo wa washiriki katika kuongoza rasilimali watu na kusimamia rasilimali nyingine ili kutekeleza kikamilifu na kwa mafanikio maamuzi ya kimkakati waliyoyafanya katika kipengele cha kwanza.

“Eneo la tatu ni la kuimarisha uwezo wa washiriki katika kujijengea sifa binafsi za uongozi ili awe na ushawishi kwa wananchi anaowaongoza. Hili ni jambo la msingi, kiongozi mwenyewe awe mfano bora wa kuigwa. Awe muadilifu, mtenda haki, mfuata sheria na taratibu pamoja na kufahamu na kuheshimu miiko ya uongozi.”

Mafunzo hayo yamehudhuriwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Selemani Jafo. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi na Utawala Bora, Kapteni Mstaafu, George Mkuchika, Mkuu wa mkoa wa Dodoma, Dkt. Binilith Mahenge na Naibu Waziri  Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Josephat Kandege pamoja na maafisa wengine wa Serikali.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU

Waziri wa Kilimo: “Timu Ya Uhakiki Wa Wakulima Wa Korosho Yaongezeka, Bil 35 Zimeshalipwa”

$
0
0
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Mtwara
Timu ya wataalamu wa Uhakiki wa wakulima wa Korosho imeongezeka katika mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma kutoka 11 mpaka kufikia timu 20 ili kuongeza uharaka wa uhakiki kwa ajili ya malipo ya wakulima.

Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga ameyasema hayo tarehe 3 Disemba 2018 wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa CBT Mkoani Mtwara kutoa ufafanuzi juu hali ya ununuzi wa korosho.

Katika mkutano huo pia Waziri Hasunga amesema kuwa timu ya wataalamu tayari imewasili mkoani Pwani kwa ajili ya kuanza uhakiki wa wakulima wa korosho kuanzia leo tarehe 3 Disemba 2018 ambapo mkoa wa Pwani utakuwa mkoa wanne kuhakikiwa ukiungana na mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma.

Alisema kuwa hadi kufikia tarehe 1 Disemba 2018 jumla ya vyama vya ushirika 212 vilikwisha hakikiwa kati ya vyama 504 vilivyopo katika mikoa hiyo mitatu ya kusini.
Aidha, Vyama 157 vimekwishalipwa fedha zao kati ya vyama 617 vinavyojihusisha na korosho nchini.

Mhe Hasunga alisema kuwa tayari Bilioni 35,540,709,854 zimekwishalipwa kwa wakulima wa korosho ambapo kilo Milioni 10,769 za korosho zimekwishalipiwa.

Mhe Hasunga ameviambia vyombo vya habari kuwa idadi ya wakulima ambao wameshalipwa mpaka tarehe mosi Disemba ni wakulima 34,938

Amefafanua zaidi kwa kusema kuwa katika mkoa wa Lindi tayari Bilioni 12.7 zimelipwa ilihali katika Mkoa wa Ruvuma ni Bilioni 4.9 na Mkoa wa Mtwara ni Bilioni 17.9

MWISHO

Naibu Waziri Wa Fedha Na Mipango Aagiza Mfanyakazi Wa TRA Dodoma Asimamishwe Kazi Kwa Kukiuka Maadili Ya Kazi

$
0
0
Benny Mwaipaja, WFM, Dodoma
NAIBU Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji, ameuagiza uongozi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania-TRA, kumsimamisha kazi maramoja mfanyakazi wake mmoja katika Ofisi ya TRA mkoa wa Dodoma, DANIEL KINGU, kupisha uchunguzi wa kuhusika kwake na tuhuma zinazomkabili za kumbughudhi mfanyabiashara mmoja Jijini humo.

Dkt. Kijaji, ametoa maagizo hayo baada ya kufanya ziara ya kushitukiza kwenye mitaa ya Jiji la Dodoma baada ya kupata malalamiko kutoka kwa mfanyabiashara mmoja kwamba amekuwa akipokea simu za vitisho kutoka kwa mfanyakazi huyo akishirikiana na watu wengine na kumtaka ampelekee shilingi laki 7 za kulipia mashine ya kutolea stakabadhi za kielektroniki (EFD Machine) la sivyo angefungiwa biashara yake.

"Mteja wetu awe salama!! na nitaendelea kufuatilia, lakini kuanzia muda huu Kingu aondoke ofisini, hatuwezi kuwavumilia watu wa jinsi hii hata kidogo kwa sababu kazi ya kuuza EFD machine si yake na anamwambia mteja aende ofisini kwake chumba namba fulani, anafanya haya mambo ndani ya ofisi ya Serikali, akitoka nje inakuwaje?" alihoji Dkt. Kijaji

Alisema hatasita kuchukua hatua hizo kwa wafanyakazi wengine wa Mamlaka ya Mapato popote walipo nchini wanaojihusisha na vitendo vya ukiukwaji wa maadili.

Naibu Waziri huyo wa Fedha na Mipango, amewataka watendaji wa TRA nchini kote kufanyakazi zao kwa kuzingatia maadili yao ya kazi, kukadiria kodi kwa haki,  watumie lugha nzuri kwa wateja wao na kutoa elimu kwa umma kuhusu haki na wajibu wa wafanyabiashara katika masuala ya kodi badala ya kuwakadiria kodi kubwa isiyolipika.

"Ni lazima tuwalee wafanyabiashara hawa wadogo na ndio watakaotulipa kodi kubwa huko mbeleni badala ya kuwaumiza tangu wanapoanza biashara zao na ni lazima tuangalie viwango vyetu vya kodi tunavyotoza" Alisisitiza Dkt. Kijaji

Meneja wa TRA mkoa wa Dodoma, Bw. Thomas Masese, ameahidi kutekeleza maagizo hayo na kufanya uchunguzi wa kina kuhusu suala hilo huku naye akirejea wito kwa watumishi wa Mamlaka hiyo mkoani humo, kufanyakazi zao bila kuwanyanyasa wafanyabiashara pamoja na kutohusisha na vitendo visivyofaa ikiwemo kuomba rushwa.

Mwisho

Waziri Mkuu awataka mawaziri kutumia vizuri mitandao ya kijamii

$
0
0
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka mawaziri na viongozi wengine wa Serikali kutumia vizuri mitandao ya kijamii ili kuepuka mambo ambayo jamii haikubaliani nayo.

Ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Desemba 3, 2018 wakati akifungua mafunzo ya wakuu wa mikoa na makatibu tawala wa mikoa jijini Dodoma.

“Jana nimewaambia mawaziri wote tuliojiunga katika mitandao hii tuitumie vizuri, wewe kama kiongozi wa Serikali unatakiwa kusoma kilichoandikwa kwenye mtandao na kuona umuhimu wa kwenda kuchangia ama la,” amesema Majaliwa.

Kwa upande wake ofisa mtendaji mkuu wa taasisi ya Uongozi, Profesa Joseph Semboja amesema programu hiyo ya mafunzo ya uongozi, ni ya kwanza na ya aina yake iliyoandaliwa mahsusi kwa ajili ya viongozi hao.

“Lengo la programu hii ni kuimarisha uwezo wa wakuu wa mikoa na makatibu tawala katika kufanya uamuzi wa kimkakati, kuongoza watu na kusimamia rasilimali nyingine, pamoja na kujijengea sifa binafsi za uongozi,” amesema.

Kilimanjaro Kuna Shida Kati ya Mkuu wa Mkoa na Wakuu wa Wilaya.....Waziri Mkuu Awatuma Mawaziri Wawili Kwenda Kutatua Tatizo

$
0
0
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewaagiza mawaziri wawili katika Ofisi ya Rais kwenda mkoani Kilimanjaro kutatua tatizo la uhusiano kati ya Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira na wakuu wa wilaya za mkoa huo.

Mawaziri waliopewa maagizo hayo wakati Majaliwa akifungua mafunzo ya wakuu wa mikoa na makatibu tawala wa mikoa ya Tanzania Bara leo Jumatatu Desemba 3,  2018 ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Tamisemi), Seleman Jafo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala Bora),  George Mkuchika.

Majaliwa amesema wakati mwingine kauli na hatua ambazo si muhimu zinaweza kuifanya Serikali kuonekana  si sekta muhimu.

“Mheshimiwa waziri ameeleza hapa juu ya matumizi ya adhabu ya kuweka watu ndani. Tumeona mabishano haya kati ya kiongozi wa mkoa na wakuu wa wilaya wanapochukua hatua lakini bado kuna shida,” amesema Majaliwa.

“Nataka niagize waziri wa Tamisemi nenda mkoani Kilimanjaro bado kuna shida. Kuna shida ya mahusiano kati ya mkuu wa mkoa na wakuu wa wilaya tena wengi sio mmoja.”

Amemuagiza pia Mkuchika atakapopata muda kwenda Kilimanjaro aendeshe semina ya wakuu wa wilaya juu ya itifaki na kuheshimu mamlaka ya watu wengine ili kuwezesha mkoa kufanya kazi yake vizuri.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Disemba 4

CCM Watoa TAMKO Kuhusu Malumbano ya Benard Membe na Katibu Mkuu wa Chama Hicho

$
0
0
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinapenda kuujulisha umma wa wana CCM na watanzania kuhusu matokeo ya uchaguzi mdogo wa Udiwani katika Kata 47 Tanzania Bara uliyofanyika tarehe 02 Desemba 2018 na kwamba CCM imepita bila kupingwa katika Kata 41 na katika Kata 6 ambako kumefanyika uchaguzi CCM imeshinda kwa kishindo.

Katika chaguzi hizi ambazo CCM imeendelea kuongoza inajivunia umakini mzuri wa kufuata Taratibu, Kanuni na Sheria za Nchi yetu, Sera nzuri, ahadi zinazotekeleka na siasa safi na uongozi bora.

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinapenda kuwashukuru watanzania na wanaCCM wote kwa kuendelea kukiamini na kukichagua na kwamba CCM itaendelea kushirikiana na wananchi katika kuhakikisha maendeleo yanapatikana kwa haraka katika maeneo yao.

Aidha Chama kinapenda kuwafahamisha kuwa tarehe 17 hadi tarehe 18 Desemba 2018 Jijini Dar es salaam kutakuwa na vikao vya Chama vya kawaida vya Uongozi Taifa ambapo tarehe 17 Desemba 2018 kutakuwa na Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa na tarehe 18 Desemba 2018 Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa kitaketi. Hivyo taarifa hii inawajulisha wajumbe wote wa vikao husika kufika katika vikao hivyo.

CCM inapenda kuwafahamisha kuwa imefuatilia kwa ukaribu mjadala unaoendelea kwenye mitandao ya kijamii kuhusu wito alioutoa Ndg. Bashiru Ally Katibu Mkuu wa CCM kwa Ndg. Benard Membe ambaye ni Mwanachama wa CCM kama sehemu ya utaratibu wa kawaida wa Katibu Mkuu kukutana na Viongozi na Wanachama wa CCM katika kuendelea kuimarisha umoja na mshikamano wa wanaCCM. 

Tunapenda kutoa rai kwa watanzania kuwa wito wa Katibu Mkuu ulikuwa ni wito wa kawaida wa Kiongozi wa CCM kwa mwanachama wa CCM, hivyo uzushi, uchonganishi, fitina na uvumi mwingine wowote unaoendelea hasa katika mitandao ya kijamii na baadhi ya Magazeti yenye hila mbaya, wana CCM na Umma wa watanzania wanaombwa waupuuze.

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinawataka wana CCM na watanzania kwa ujumla kuendelea kuwa na umoja, mshikamano na upendo zaidi katika kipindi hiki ambacho Ndg. John Pombe Joseph Magufuli Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anandelea kutuongoza katika Mageuzi makubwa ya kiuchumi na ya kimaendeleo kwa watanzania wote.

Waziri Mkuchika Akerwa na Wakuu wa Mikoa, Wilaya Wanaowaeka Watu Rumande Bila Sababu za Msingi

$
0
0
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora, Kapteni mstaafu George Mkuchika, amewashangaa wakuu wa mikoa na wilaya wanaoweka watu ndani saa 48 na kusema katika kipindi chake cha miaka 22 alichokuwa mkuu wa mkoa na wilaya hajawahi kumweka mtu ndani.
 
Aidha, alisema anajivunia kuwa Mtanzania aliyeteuliwa na marais watano nchini kushika nyadhifa mbalimbali ikiwamo za ukuu wa mkoa na wilaya.

Mkuchika alitoa kauli hiyo jana kwenye mafunzo ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa ya Tanzania Bara yaliyoandaliwa na Taasisi ya Uongozi, jijini hapa.

Akielezea jinsi alivyoteuliwa katika vipindi vya marais watano, alisema hayati Baba wa Taifa Julius Nyerere, alimteua kuwa mkuu wa wilaya akiwa na umri wa miaka 35, Rais mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, alimteua kuwa mkuu wa wilaya na Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa alimteua kuwa mkuu wa mkoa.

"Rais mstaafu Jakaya Kikwete yeye alinipa uwaziri, Rais John Magufuli amenipa uwaziri sasa namngoja Rais wa awamu ya sita," alisema.

Aliongeza: "Mimi naitwa Waziri wa Utawala Bora sina mipaka, wewe mkuu wa wilaya umepewa mamlaka ya kumweka mtu saa 24 au 48, napiga simu kwa bosi wako kwa kuwa umetumia madaraka yako vibaya akikupeleka mahakamani unashtakiwa."

Alisema serikali inaendeshwa kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni, hakuna mtu anayeweza kuendesha bila kujua hizo sheria zinasemaje.

Alisema baada ya wakuu wa wilaya kupata mafunzo, figisu figisu za kuweka watu ndani zimepungua.

"Mimi nimekuwa DC (Mkuu wa Wilaya) miaka 14, nimekuwa mkuu wa mkoa miaka minane, sijawahi kuweka mtu ndani hata siku moja."

"Sheria inasema unamuweka mtu ndani kwa usalama wake kama ameua, ndugu wa marehemu wanataka kulipiza kisasi unaenda kumficha ndani, sasa mtu kachelewa kwenye mkutano wa DC au RC unamuweka ndani wakati zipo taratibu za kushughulika naye," alihoji.

Alisisitiza serikali kuendeshwa kwa kutumia sheria, taratibu na kanuni.

"Nataka kusisitiza muendesha serikali kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni," alisema.

Aidha, alisema waziri kufunga safari bila kutoa taarifa kwa mkuu wa mkoa mahali anapokwenda ni kosa.

"Ningekuwa mimi mkuu wa mkoa ningepeleka polisi kwenda kublock kwa kuwa mimi sina taarifa na ugeni huu, lakini na mimi nimefanya hiyo kazi kuna wengine wagumu, taratibu za kiserikali zinataka waziri unapokwenda kutembelea kwenye mkoa unatuma taarifa," alisema.

Jinsi Ya Kuandaa Na Kutayarisha Lishe Maalumu Ya Kuongeza Na Lunenepesha Mwili

$
0
0
LISHE hii ni maalumu kwa watu walio Linda na kudhoofika kwa sababu ya kuugua matatizo mbalimbali ya kiafya .

Pia inawasaidia na wale walio konda kwa sababu ya msongo wa mawazo.

MAHITAJI
1. Dawa LISHE ya kunenepesha mwili ( Hii ni dawa ya asili ambayo kazi yake ni KUONGEZA na kunenepesha mwili ulio dhoofika kwa kuugua.

2. Karoti 2
3 . Pilipili mbuzi 2
4. Chumvi kijiko kidogo kimoja.
5. Ndimu fresh moja.
6. Nanasi robo  kilo
7. Njegere robo kilo.
8. Kunde mbichi robo  kilo.
9. Papai bichi 1.
10. Embe kubwa moja
11. Parachichi moja.

MATAYARISHO NA MATUMIZI.
1. Chukua vijiko vidogo viwili vya dawa LISHE kisha changanya  kwenye kikombe chenye maji ya moto au vugu vugu  koroga na unywe. Utafanya hivyo Mara mbili kwa siku asubuhi jioni kwa muda wa siku thelathini.

2. Chukua vitu vyote vilivyo orodheshwa hapo juu yani karoti, ndizi mbivu, chumvi,ndimu,nanasi,njegere,kunde mbichi,papai bichi,karanga,embe na parachichi kisha visage  kwenye blends kupata juisi yake.

MATUMIZI: Utakuwa unatumia kunywa glasi moja asubuhi na glasi nyingine utakuwa unatumia kunywa usiku.

Utakuwa unaweka interval ya dakika tano tangu unywe dawa LISHE yani ukisha kunywa dawa LISHE unakaa dakika tano kisha unakunywa juisi yako.

Unaweza KUONGEZA vipimo vyako kwa kutengeneza kiasi cha juisi ambayo unaweza kutumia kwa muda wiki nzima ili usisumbuke kutengeneza kila siku na utakuwa unahifadhi juisi yako kwenye friji.

Hii ni Tiba sahihi kabisa kwa MTU ambae amekonda na anataka kurejesha afya yake.

KUPATA DAWA LISHE YAKO FIKA KATIKA DUKA KA KUUZA DAWA ZA ASILI LA NEEMA HERBALIST. TUNAPATIKANA UBUNGO  JIJINI DAR ES SALAAM JIRANI NA SHULE YA MSINGI UBUNGO NATIONAL HOUSING NYUMA YA JENGO LA UBUNGO PLAZA.

WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0693 005 189

Serikali Yaombwa Kuweka Jicho La Pekee Kunusuru Zao La Ngozi

$
0
0
Umoja wa Wataalam Wasaidizi Tanzania (TAVEPA), umeiomba Serikali kuweka mkakati wa makusudi wa kunusuru zao la ngozi kwa kuwa sasa hivi hakuna soko la uhakika la zao hilo.

Mwenyekiti wa (TAVEPA) Bw. Salim Msellem, alisema hayo jana (03.12.2018) Jijini Arusha wakati wa ufunguzi wa mkutano wa 14 wa wataalam wasaidizi wa afya ya mifugo nchini.

“Ngozi nyingi hutupwa, kitu ambacho kinaletea hasara taifa kwa kukosa fedha za kigeni, pia kudhoofisha uchumi wa mfanyabiashara mmoja mmoja wa ngozi hapa nchini,” alisema Bw. Msellem.

Alisema pia lazima kuwe na mkakati wa dhati wa kuanzisha viwanda vidogo vidogo vya kuchakata ngozi utasaidia kunusuru zao la ngozi.

Akizungumzia uwezo mdogo wa wahitimu wa stashahada ya afya na uzalishaji mifugo (DAHP), alisema, TAVEPA imepata malalamiko toka maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu suala hilo.

“Wahitimu wa DAHP imebainika muda wa mwaka mmoja wa masomo ya stashahada ya afya ya Mifugo (DAHP) hautoshi, ombi letu tunaomba stashahada iwe kama awali, ya miaka miwili au miaka mitatu na msisitizo uwe mafunzo kwa vitendo ili kumuandaa mhitimu kufanya kazi kwa ufanisi kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.

“Kwa sasa inaonekana wanasoma kwa ajili ya kwenda vyuo vikuu na siyo kwenda kuwasaidia wafugaji kule vijijini, hakika uwezo wao kwa vitendo ni mdogo sana,” alisema Bw. Msellem.

Aidha umoja huo umeiomba serikali kuandaa mkakati wa dhati wa kusimamia mafunzo rejea kwenye tiba, matumizi sahihi ya dawa, ukaguzi wa vyama, ubora wa ngozi na ubora wa wanyama wanaotaka kuchinjwa kwa watumishi wa umma na sekta binafsi mara kwa mara ili kuwajengea uwezo.

Mwenyekiti wa Chama cha Madaktari wa Mifugo (TVA), Prof. Dominic Kambarage, alisema Tanzania ina ng'ombe wengi na inauza ng'ombe hizo nchi mbalimbali za Afrika Mashariki hivyo ni vyema wafugaji wakachangamkia Soko la Pamoja la Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Prof. Kambarage alisema ni vyema sasa wafugaji wakapewa elimu ya kutosha pamoja na upatikanaji wa chanjo za mifugo ili kudhibiti magonjwa pamoja na kupata masoko ya uhakika ili kila mtu anufaike na rasilimali hiyo.

"Sekta ya mifugo ni sekta muhimu katika ukuaji wa uchumi na Tanzania ni ya pili Barani Afrika kwa kuwa na mifugo mingi, hivyo mifugo hiyo ikitumika vyema itasaidia kupunguza tatizo la ajira na kuongeza kipato, " alisema.

Naye Msajili wa Baraza la  Veterinari (VCT) nchini, Dkt. Bedan Masuruli, alisema ni vyema kudhibiti magonjwa yatokanayo na mifugo kwani asilimia 70 ya magonjwa ya kupe yanaua mifugo hivyo ni vyema wafugaji wakaogesha mara kwa mara mifugo yao ili kudhibiti ugonjwa wa kupe.

MWISHO.

Imetolewa: Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
                   Wizara ya Mifugo na Uvuvi

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati Zenye Uwezo wa Kubadili Maisha Yako

$
0
0

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara, Msanii wa Maigizo, Mwanamziki, ama mwanafunzi tunazo Dawa na PETE za Bahati zenye uwezo mkubwa wa kuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu.

Kutana na Sheikh Jumaa Bilal. Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota za binadam na bingwa wa tiba za asili Afrika mashariki. 

Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. Sheikh Jumaa Bilal ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOASHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA-  Sheikh Sasa amezianza ziara zake za mikoani na atayatembelea maeneo mbali mbali ndani na Nje ya nchi.

Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nayasiojulikana kwakutumia QUR_AN MAJI , KIOO MAJINI NA MITISHAMBA.

Anazo dawa za mapenzi( Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu LIMBWATA) kumrudishaa alipote, kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizpotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi, Kutoa kinga ya mwili, nyumba, Biashara, kufukuza majini wabaya, KUUZA kwa haraka (shamba, NYUMBA, GARI..), Kuweka Zindiko ya mwili, nyumba, shamba, Gari, kupata Kazi na kupandishwa cheo, mali na UTAJIRI bila masharti na mengine mengi ya Siri. (Anazo Pia Pochi zisizo kwisha Hela MAGIC WALLET)

*{لَا يُؤَاخِذُكُمُ اللَّهُ بِاللَّغْوِ فِي أيْمَانِكُمْ وَلَٰكِنْ يُؤَاخِذُكُمْ بِمَا عَقَّدْتُمُ الْأَيْمَانَ ۖ فَكَفَّارَتُهُ إِطْعَامُ عَشَرَةِمَسَاكِينَ مِنْ أَوْسَطِ مَا تُطْعِمُونَ أَهْلِيكُمْ أَوْ كِسْوَتُهُمْ أَوْ تَحْرِيرُ رَقَبَةٍ ۖ فَمَنْ لَمْ يَجِدْ فَصِيَامُ ثَلَاثَةِ أَيَّامٍ ۚ ذَٰلِكَ كَفَّارَةُ أَيْمَانِكُمْ إِذَا حَلَفْتُمْ ۚ وَاحْفَظُوا أَيْمَانَكُمْ ۚ كَذَٰلِكَ يُبَيِّنُ اللَّهُ لَكُمْ آيَاتِهِ لَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ }* ﴿٨٩﴾

✨Wabillahhi Tawfiq Asallam  Alaikum

Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa
nambari ya simu

+255 688 745 790
+255 672 861 042
Whatsapp :  0762 252 102

SUMA JKT Yaagizwa Kukabidhi Jengo La Wizara Ya Mifugo Na Uvuvi Desemba 30

$
0
0
Na. Edward Kondela
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega amemtaka mkandarasi SUMA JKT, aliyepewa kazi ya kujenga jengo la ofisi ya wizara hiyo katika mji wa serikali eneo la Ihumwa, Jijini Dodoma, kuhakikisha jengo hilo linakamilika kwa wakati ifikapo Desema 30 mwaka huu.

Akizungumza mara baada ya kufika katika eneo hilo, kukagua hatua za awali za ujenzi wa jengo la ofisi za Wizara ya Mifugo na Uvuvi, akiambatana na Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulika Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel pamoja na Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Uvuvi Dkt. Rashid Tamatama, Mhe. Ulega alisema zaidi ya Shilingi Bilioni Moja tayari zimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa jengo hilo.

“Sisi tunamuahidi Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli, wizara yetu imeanza kazi ya kujenga jengo letu hapa Jijini Dodoma kwa kufuata maelekezo yake, hivyo tunatarajia kufika Desema 30 mwaka huu tukabidhiwe jengo hili na tuanze kulitumia mara moja, hivyo mkandarasi SUMA JKT ahakikishe anakamilisha jengo kwa wakati, tunajivunia tunahamia rasmi Dodoma kwa vitendo.” Alisema Mhe. Ulega.

Kwa upande wake Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel, alimweleza Mhe. Naibu Waziri Ulega kuwa jengo hilo linalojengwa kwa sasa ni la awali ambalo litaweza kuwahudumia waziri, naibu waziri, makatibu wakuu pamoja na baadhi ya wakurugenzi wa wizara hiyo, kabla ya kuanza kwa ujenzi wa jengo kubwa katika eno hilo la Ihumwa.

“Mhe. Naibu waziri hili eneo lina ukubwa wa Hekari Sita na sasa katika hatua za ujenzi tunahakikisha, huduma zote muhimu ziweze kufikishwa hapa tukianza kutumia jengo hili ikiwemo huduma ya maji na umeme na pia tunazingatia utunzaji wa mazingira katika ujenzi huu ili eneo hili la mji wa serikali liwe la kipekee hususan katika majengo yetu ya wizara ya mifugo na uvuvi yatakayojengwa.” Alisema Prof. Gabriel 

Naye Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Uvuvi Dkt. Rashid Tamatama alisema katika bajeti ya mwaka wa fedha 2019/2020, Wizara ya Mifugo na Uvuvi, inatarajia kuanza mchakato wa kujenga jengo kubwa katika eneo hilo ambalo litakuwa na uwezo wa kuwahudumia wafanyakazi wote wizara hiyo waliopo makao makuu ya nchi Mjini Dodoma.

“Tunajitahidi kuhakikisha tunakamilisha dhamira ya Mheshimiwa Rais Dkt John Magufuli, kuhakikisha tunakuwa na jengo letu na katika bajeti ijayo tunatarajia kutenga fedha ambazo zitawezesha kujenga jengo kubwa, kwa sasa tunajenga hili ambalo litatumika na viongozi kutii agizo la mheshimiwa rais.” Alisema Dkt. Tamatama.

Eneo la Ihumwa katika Mji wa Dodoma ni eneo rasmi ambalo limetengwa na serikali kwa ajili ya ujenzi wa majengo ya serikali yakiwemo ya wizara ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa ofisi za serikali kuhamia rasmi Mjini Dodoma, kutokana na agizo lililotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli wakati akiingia madarakani mwezi Novemba mwaka 2015, ambapo kwa sasa ofisi mbalimbali za serikali zinafanya shughuli zake katika majengo ya kupangisha.

MWISHO.

Imetolewa: Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
                   Wizara ya Mifugo na Uvuvi

Dhamana Ya Mbowe,Matiko Bado Hakijaeleweka

$
0
0
Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), bado anasubiri mwenendo wa uamuzi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, uliotupilia mbali pingamizi lake la awali dhidi ya rufani ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na Mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko, wanaoendelea kusota mahabusu.

Novemba 30, mwaka huu Mahakama Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, ilisikiliza pingamizi la awali la DPP la kutaka rufani ya kupinga kutenguliwa dhamana ya walalamikaji Mbowe na Matiko isisikilizwe, itupiliwe mbali.

Hata hivyo, walalamikaji kupitia mawakili wao, Peter Kibatala, Jeremia Mtobesya na Dk. Rugemeleza Nshala, waliiomba mahakama kutupilia mbali pingamizi hilo.

Mahakama hiyo iliyoketi chini ya Jaji Sam Rumanyika, ilikubaliana na hoja za walalamikaji kwa kutupilia mbali pingamizi la mlalamikiwa DPP, kwamba halina mashiko kisheria.

Mlalamikiwa hakuridhika na uamuzi huo aliwasilisha kusudio Mahakama ya Rufani kupinga uamuzi wa Jaji Rumanyika.

Jaji Rumanyika alisitisha mwenendo wa kesi hiyo hadi Mahakama ya Rufani itakaposikiliza na kutoa uamuzi wa rufani ya DPP.
 
Mbowe na Matiko wamekata rufani Mahakama Kuu kupinga uamuzi wa Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri wa kuwafutia dhamana kwa sababu waliidharau na kukiuka masharti ya dhamana ya mahakama hiyo.

Walifutiwa dhamana kwa madai kwamba hawakufika mahakamani kuhudhuria kesi inayowakabili ya uchochezi, Novemba Mosi na 8, mwaka huu na taarifa za kutokuwapo zilikinzana.

Mbowe na Matiko walipelekwa mahabusu na kesi ya msingi itatajwa Desemba 6, mwaka huu.

Lugola Awataka Polisi Kuimarisha Ulinzi Msimu Wa Sikukuu.....Aagiza Vibaka, Matapeli Na Majambazi Wakamatwe

$
0
0
Na Felix Mwagara, (MOHA), Mara.
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amelitaka Jeshi la Polisi nchini liimarishe ulinzi wakati wa sikukuu za krismasi na mwaka mpya na kuwataka wananchi kutokujisahau kwasababu ya sikukuu hizo.

Akizungumza na Wananchi wa Kijiji cha Kisorya, Kata ya Kisorya, Jimbo la Mwibara, Wilayani Bunda Mkoa wa Mara, Lugola ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo hilo, alisema msimu huu wa sikukuu vibaka, majambazi na matapeli hutumia sikukuu hizo kufanya uhalifu.

Alisema Polisi wanapaswa kujipanga zaidi ili kuhakikisha sikukuu hizo zinasherekewa kwa amani kwa kufanya ulinzi kona zote za nchi ili wananchi waweze kufanya shughuli zao kwa usalama na kuendelea kuijenga nchi yao.

“Hili tatizo la kuwepo vibaka na kuwafanya wananchi waishi kwa wasiwasi nchini, sasa napenda niwaambie nyie wananchi wa hapa Kisorya, na Tanzania kwa ujumla, Jeshi lipo imara, hao vibaka pamoja na majambazi wote, sasa hawana nafasi, nawaagiza polisi kufanya msako mkali kuwakamata matapeli, vibaka na majambazi wanaojitokeza hasa kipindi hiki cha maandalizi za sikukuu za krismasi na mwaka mpya, “ alisema Lugola.

Pia Lugola aliwataka wananchi watoe taarifa polisi iwapo wataona dalili zinazoashiria uvunjifu wa amani katika maeneo mbalimbali ili Jeshi la Polisi liweze kuzifanyia kazi mapema taarifa hizo.

Aidha, Lugola aliwataka Polisi nchini kuwakamata watu wanaowarubuni wanafunzi pamoja na kuwatia mimba, wawafungulie mashtaka haraka iwezekanavyo kutokana na tatizo hilo kushika kasi nchini na kuwafanya wanafunzi kukatisha masomo yao.

“Wananchi wa Kisorya, tatizo hili ni la nchi nzima, na mara kwa mara nalikemea na kuwapa maagizo polisi kuwakamata watu wanaoharibu watoto wadogo wa shule kwa kuwatia mimba, nawataka polisi muwe wakali sana kuhusu hilo, hakuna kucheka na mtuhumiwa, kamateni wekeni rupango na apelekwe mahakamani mtuhumiwa ili kukomesha tatizo hili sugu hapa nchini,” alisema Lugola.

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Lydia Bupilipili, alikiri tatizo hilo kuwa sugu wilayani humo, hata hivyo alimuahidi Waziri Lugola watalishughulikia na wahalifu wote watakamatwa.

“Mheshimiwa Waziri, matatizo ya wananfunzi kutiwa mimba hili lipo wilayani hapa, ila siku za nyuma tuliwahi kumkamata mwalimu ambaye alimtia mimba mwanafunzi na baadaye akasingizia kuwa mimba hiyo siyo yake na alipigwa na mwanafunzi mwenzake, hivyo tupo wakali kuhakikisha tunalimaliza tatizo hilo kwa kuwakamata na kuwapeleka mahakamani watuhumiwa,” alisema Bupilipili.

Pia katika mkutano huo, Waziri Lugola aliwataka wananchi wa jimbo lake waanze maandalizi ya kilimo cha mazao ya chakula na biashara ili kuepuka janga la njaa lisije likawakumba endapo hawatalima. Hata hivyo, kijiji hicho alichokitembelea, kwa mujibu wa taarifa ya mipango yao ya kilimo walisema kuwa wana upungufu mkubwa wa mbegu za mazao mbalimbali hasa zao la pamba.

“Nimeagiza maafisa ugani waje kuangalia upungufu wa mbegu za pamba na kutatua kero hii kutokana na taarifa yenu ya mpango wa kilimo ya mwaka 2018/2019, na pia nasisitiza zaidi mlime mazao ya chakula kwa wingi,” alisema Lugola.

Lugola anaendelea na ziara jimboni kwake akisikiliza kero za wananchi pamoja na kuhamasisha kilimo cha mazao ya pamba, mahindi, mpunga, viazi na mengineyo ambayo wakazi wa jimbo lake wanalima mazao hayo kwa wingi.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Rudisha Heshima ya Ndoa Yako.....Pata Tiba Bora ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
Wanaume wengi hawawaridhishi wake au wapenzi wao kwa kutokuwa na nguvu za kiume au uume mdogo? 

Kawaida mwanamke huwa anachukua dakika saba 7 adi kumi 10 ili aweze kufika kileleni na wakati wanaume wengi kwa sasa hutumia dakika tatu 3 hadi tano 5 ameshafika kileleni , hapo utagundua kabisa mke au mpenzi wako hujamtendea haki yake. Dr Nyalobi  anakuletea dawa imara na yenye nguvu tatu?

Simpo power; Hutibu matatizo yafatayo;

1.itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15-20 kwa tendo la kwanza

 2. itakupa uwezo wa kurudia tendo zaidi mara nne 

3 Huimalisha misuli iliyolegea na kusinyaa 

4 Hutoa uchovu pale umalizapo kufanya tendo

 Je kwa nini uzidi kuona aibu pale ukutanapo na mpenzi wako kwa sabubu uume wako mdogo na mwembamba? 

Promix; hii ni dawa ya kuongeza uume saizi upendayo.Dawa zetu ni za mitishamba na hazina madhara yoyote na ni tofauti na ulizowai kutumia ata wazee hutumia 

Mkuya; hii ni dawa ya kisukari dozi siku 21 

Mwaru; hii ni dawa ya uzazi hufungua mirija ya uzazi ata kama uzazi umefungwa

Markusi; ni dawa ya presha zipo dwa za korodani kuvimba,, vindonda vya tumbo, kupunguza kitambi, na minyama uzembe 

Fika ofisini kwetu Buguruni Malapa na Mwanza yupo wakala wetu au piga simu 0752348593 -Dokta Nyalobi
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images