Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 162 na 163 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA   

Lucy akanibusu mdomoni mwangu, hakuwajali walinzi wake, nikaingia ndani ya gari na kutoka katika hili eneo. Safari ya kuelekea posta ikaanza, cha kumshukuru Mungu usiku huu barabarani hakuna foleni ya magari, ikanichukua muda mchache sana kufika karibu kabisa na makao makuu ya  NSS, kitengo ambacho nilikitumikia kwa zaidi ya mikaa mitano na ninalitambu vizuri hili jengo kwani limejaa kamera nyingi za ulinzi(CCTV CAMERA).
‘Lazima niiingie humu ndani’   
Nilizungumza huku nikilitazama jengo hili lililo refu kwenda juu, kish taratibu nikashuka kwenye gari na kuanza kutembea kwa kujiamini nikielekea katika geti la kuingia gorofa hili ambapo kuna askari wa NSS wasio pungua watano na wana bunduki za moto pamoja na mbwa wakubwa wakali wenye uwezo wa kumrarua binadamu dakika chache pale watakapo pewa amri ya kufanya hivyo.
   
ENDELEA
Nikaiweka kofia yangu vizuri huku nikiishusha usawa ambao sio rahisi kwa mtu kuweza kuiona sura yangu vizuri. Taratibu nikajikuta nikipunguza mwendo wa hatu zangu baada ya kuuona mlinzi mmoja akinifwata huku ameshika bundiki yake mkononi.
“Habari yako kiongozi”   
Nilimsalimia mlinzi huyu anaye onekana kuwa makini sana katika kunitazama usoni mwangu.
“Unahitaji nini usiku wote huu?”
“Gari yangu kidogo imepata itilafu sasa nikaona niombe msaada wenu hapa kwenu”
“Unahisi hapa ni kwa fundi magari”
“Hapana kiongozi, nimeona niombe msaada”
“Anataka nini huyo?”
Mlinzi mmoja aliuliza huku akitutizama.
“Eti anahitaji msaada gari lake limeharibika”
“Anazingua hembu mpeleke mahala husika huyo”
“Twende huku”
Jamaa alizungumza huku akianza kuongoza mbele.
“Ahaa gari langu lipo kule!!” 
   
Nilizungumza huku  nikijifanya ninashangaa.
“Wewe twende huku”
Mlinzi huyu alizungumza, sikuwa na ujanja zaidi ya kumfwata kwa nyuma.
“Ingia hapo”
Mlimzi huyu alifungua mlango wa moja ya chumba ambacho kwa kukichungulia ndani kina maboksi mengi.
“Samahani mkuu, ila huku sipo nilipo kuwa nina pahitaji kwenda”
“Ingia bwana”
Jamaa huyu alifoka, kwa macho ya haraka nikatazama kamera za hili eneo nikaziona zimeelekea upande mwengine.
“Tena uvu……”
Sikumpa nafasi mlizi huyu ya kumalizia maneno yake. Nikamtandika ngumi kadhaa za shingo kisha nikamvutia ndani ya chumba hichi na kuufunga mlango. Nikamvunja mlinzi huyu shingo yake, nilipo hakikisha roho yake imeacha mwili, nikaanza kumvua nguo zake na kumuacha na nguo zake za ndani.
 
Nikavua nguo zangu nilizo ziva ana kwa haraka nikaanza kuvaa nguo zake, nikachukua maboksi kadhaa ambayo yana uzito kiasi na sikujua yana vitu gani ndani, nikayaweka juu ya mwili wa huyu  jamaa na kumficha na hata kama kuna mtu ataingia ndani ya hichi chumba basi hatoweza kumuona kirahisi.
Nikaivaa kofia yake vizuri kisha nikavaa na kitambulisho chake pamoja na bunduki yake, nikatoka humu chumbani, kisha nikaanza kuelekea getini walipo wezake huku kofia nikiiweka sawa usoni mwangu.
“Vipi umemuweka?”
Jamaa aliye zungumza mara ya kwanza alionge huku akinitazama.
 
“Ndio ndio”
Nilijitahidi kuiingia sauti ya jamaa niliye muua kwani kitu ambacho katika kikosi hichi cha NSS, ni udhaifu mkubwa ni juu ya askari wake kujuana kisura.
“Pombe zake zikimuishia asubuhi tutamuachia”
“Sawa”
Nikapita getini humu na kuanza kuelekea ndani na kuwaacha askari hawa wakiendelea kusimulia story wanazo zijua wao wenyewe. Nikaingia kwenye lifti na taratibu nikaanza kwenda juu, nilipo hakikisha nimefika katika gorofa husika nikatoka kwenye hii lifti na kwa kutumi kitambulisho cha jamaa niliye muua nikafanikiwa kufungua mlango wa kioo ulipo mbele yangu na kuingia kwenye ofisi hii yenye wafanya kazi wengi sana. Kitu ambacho hadi sasa hivi kinanishangaza ni kwa hawa watu kuto weza kunitambua kabisa, japo kofia imeficha sura yangu kiasi ila wameshindwa kabisa kufanya hivyo.
 
Nikatazama mandhari ya eneo hili nikaona chumba cha mahojiano, nikatembea kwa kijiamini hadi katika chumba hichi, nikafungua mlango na kuingia ndani.
“Habari”
Nilimsalimia mlinzi niliye mkuta mlangoni”
“Salama”
Nikamuona waziri mkuu pamoja na askari wengine wa hapa NSS wakiwa wamesimama katika moja ya kioo kikubwa huku Babyanka akiwa ameikunja mikono yake akifwatilia mazungumzo hayo kwa umakini mkubwa sana.
 
‘Hawa wameshindwa kunifahamu, ila Babyanka sidhani kama atashindwa kunifahamu’
Nilizungumza kimoyo huku nikianza kusonga mbele, nikafanikiwa kusimama nyuma ya moja ya askari, nikamuona Samweli jinsi anavyo endelea kupatiwa mateso makali na askari wawili walio shika vifaa maalumu vya mateso huku wakizidi kumlazimisha Erick kuzungumza ukweli wa kwa nini yupo nchini Tanzania.
“Zungumza ukweli ni nani aliye kuagizaa la sivyo tunakuua?”
Sauti ya ilisikika kutoka kwenye spika ndogo zilizopo katika hili eneo.
“Hahaahahaaaa………!! Kufaaa ni jambo la kawaida kwa kila binadamu ukiniua mimi leo kesho nawe pia utakufa”
Martin alizungumza kwa dharaua na kumfanya jamaa huyo aliye muuliza swali kumpiga ngumi ya shavu.
 
“Hakuna njia nyingine ya kumuhoji huyu mtu?”
Waziri mkuu alizungumza huku akimtazama Babyanka.
“Kusema kweli mkuu kila njia tumejaribu ila kusema kweli imeshindikana”
Babyanka alizungumza huku akiishusha mikono yake chini.
“Mchomeni sindano ya sumu afe anatupotezea muda”
“Mkuu”
“Nimesema mchomeni sindano ya sumu kwani kuna serikali itakuja kudai kifo chake na kama itajitokeza serikali itakayo dai kifo cha huyu gaidi basi hiyo ndio  itakuwa imemfuga gaidi Dany”
Waziri mkuu alizungumza kwa msisitizo huku akimtazama Babyanka usoni mwake.
“Sawa mkuu nimekuelewa”   
“Sasa hivi mchomeni sindano ya sumu ninahitaji kuona jinsi anayo kufa”
 
“Munamtaka Dany?”
Martin alizungumza na kuwafanya watu wote hum ndani kustuka na kumfanya hata waziri mkuu kumtazama Martin.
“Ndio seme yupo wapi?”
“Nitawaambia ni wapi alipo ila ni kwa masharti yafwatayo”
“Zungumza hayo masharti yako?”
“Kwanza ninahitaji miniachie huru, pili nahitaji raisi wenu afe”
“Shenzi shenzi kabisa, raisi wetu afe yeye ni nani?”
Waziri kuu alifoka huku akiingia ndani ya chumba cha mahojiano na mateso.
“Choma choma sindano ya sumu kabisa, anacheza na maisha ya raisi wetu”
Babyanka kwa haraka kapita mbele yangu, alipo fika kwenye mlango wa kuingilia katika chumba hicho akasita na kunigeukia na kunitazama kwa sekunde kadhaa.
 
“Nipe sindano nimchome mwenyewe”
Kelele za waziri mkuu zikamfanya Babyanka kugairi kunitazama, na kuingia ndani kumzuia waziri mkuu kuto kumuua Martin.
“Mkuu huyu anafahamu ni wapi Dany alipo na tukimtumia huyu tunaweza kumpata Dany kirahisi.”
“Sasa swala la raisi wetu kufa, anajua raisi wetu ni nani, anajua ana heshima gani kwetu ehee”
“Tunajua hilo muheshimiwa ila ombi lake la pili hatuto weza kulishushulikia”
“Munaraisi au muna gaidi, munahisi Dany ni gaidi ila si gaidi. Nani katika hichi chumba anajua kwamba raisi wenu aliiua familia ya Dany kwa kuwachinja hadi mtoto wake mchanga eheeee?”
Martin alizungumza huku machozi yakimtoka, waziri mkuu na Babyanka wote wakajikuta wakisitisha mazungumzo yao na kumtazama Martin.
 
“Nitakufa kwa ajili ya Dany, musipo niua leo basi siku nyingine zinazo kuja nitakufa na raisi wenu”
“Unazungumza nini wewe mshenzi?”
“Umenisikia muheshimiwa waziri mkuu na usijiingize kwenye vita hii kwa maana utakuf…….”
Waziri mkuu akampiga ngumi ya shavu Martina na kuwafanya jamaa walio kuwa wakimuhoji Martin kumshikilia wakimzuia.
“Njooeni mumtoe muheshimiwa”
Babyanka alizungumza kwa haraka nikaingia huku nikiwa nimeongozana na askari wengine tulio kuwa nje ya chuma hichi. Nikamtazama Martin kwa bahati nzuri macho yetu yakakutana, taratibu Martin akatabasamu kwa maana yeye ndio anaye nijua vizuri hata niwe katika muonekano wa namna gani.
“Wewe hembu vua kofia yako?”
Babyanka alizungumza huku akinitazama kwa macho makali. Kwa haraka sana, kwa kutumia kitako cha bunduki hii nikaanza kuwapiga askari nikio ongozana nao kuingia katika chumba hichi, jambo lilo mshangaza waziri mkuu na Babyanka. 
 
Babyanka akahitaji kutoa bastola yake kiunoni ila akajikuta akishindwa kufanya chochote kwani bunduki yangu tayari nimesha ielekeza kichwani mwa waziri mkuu. Jamaa hawa walio kuwa wanamuhoji Martin wote nao wakajikuta wakishindwa kufanya chochote, huku askari nilio wapiga kwa kitako cha bunduli wapo chini wamepoteza fahamu. Taratibu nikavua kofia yangu na kuwafanya wote mimacho yakiwatoka kwa kunishangaa, ni sawa mtu akakutana na yule asiye mpenda katika wakati ambao hajategemea kabisa kukutana naye.
“Mfungueni”
Nilitoa kali moja iliyo mfanya jamaa kutoa fungoa ya pingu mfukoni mwake na kumfungua Martina haraka sana kwani nina imani kwamba wote wanaijua historia yangu, na huwa nikizungumza mara moja sirudii mara ya pili. Martin akasimama taratibu huku akijinyoosha viungo vya mwili wake.
“Dany huyo hapo mkamateni sasa”
Martin alizungumza huku akiichomoa bastola ya Babyanka kiunoni mwake.
 
“Dogo vaa nguo za mmoja wapo hiyo ndio njia rahisi ya kutoka hapa”
“Sawa mkuu”
Kwa haraka Martin akaanza kuvua nguo zake kisha akamvuaa askari mmoja aliye lala chini akiugulia maumivu. Akazivaa nguo za askari huyo na watu wote ndani ya hichi chumba wanatazama kila kitu kinacho endelea kwani maisha ya mkuu wao yapo mikononi mwao kwani kosa moja kifo cha waziri mkuu kitakacho pelekea hata ugeni wa raisi Donald Bush kusitishwa.
“Wewe kum** umenipiga sana”
Martin alizungumza huku akimpiga jamaa mmoja aliye kuwa akimhoji, teke la tumbo na kumfanya jamaa huyo kuanguka chini hiku akigumia kwa maumivi. Akamtandika mateke mfululizo ya tumbo hadi jamaa akaanza kutapia damu mdomoni mwake.
“Kumbe  vinaume eheee”
“Oya dogo muda wa kuondoka sasa”
“Sasa hawa tunawaacha hai?”
“Usiwaue”
 
“Sawa mkuu”
“Sasa sikieni, sihitaji kuwaua wala sihitaji kua mtu wenu. Mzee utaniongoza kutoka humu ndani, na wewe Babyanka utaniongoza pia. Martin naomba kofia yangu”
Martin akaiokota kofia yangu na kunikabidhi.
“Martin”
“Naam”
“Walaze”
Kwa haraka Martina akaanza kuwashambulia walinzi walio ndani ya hichi chumba na wote akawazimisha. Nikaishusha bunduki yangu taratibu huku nikimtazama waziri mkuu jinsi anvyo tetemeka kwa woga mwingi.
“Twendeni”
Martina akawatazama askari hawa alio washambuli, wote wamezimia hata watu walio kuwa wanamuhoji nao wamezimia. Tukatoka katika chumba hichi huku waziri mkuu na Babyanka wakiwa wametangulia mbele kwa jinsi tunavyo tembea hakuna hata mfanyakazi ambaye anaweza kustuka kwa kwamba tumewatekea viongozi wao.
 
“Madam madam”
Dada mmoja alizungumza huku akimfwata Babyanka na mkononi mwake ameshika karatasi.
“Simama”
Nilizungumza kwa sauti ya chini na kumfanya Babyanka na waziri mkuu kusimama huku wakimtazama msichana huyu anaye tembea kwa haraka kufika hapa tulipo simama.
“Kuna simu kutoka kwa raisi”
“Niunganishe naye kwenye simu yangu ya mkononi”
“Sawa”
Tukaendelea kutembea kueleke kwenye lifti, taratibu tukaingia kwenye lifti na kuanza kushuka chini.
“Dany kwa nini unafanya hivi?”
“Kimya pokea simu ya raisi wako na weka loud speker”
Babyanka akatoa simu yake mfukoni na kuipokea na kufanya kama nilicho muambia.
“Ndio madam raisi”
“Mumefanikiwa kufahamu ni wapi Dany alipo?”
“Hapana madam ila tunaendelea kulishuhulikia”
“Si upo na waziri mkuu?”
 
“Ndio?”
“Mpatie simu”
Babyanka akampatia waziri mkuu simu akabaki akiwa ameishika huku mwili ukimtetemeka.
“Muheshimiwa raisi”
“Waziri mkuu nimepata picha inaonyesha Dany ameingia katika nyumba ya mwanao na kwa sasa walinzi wangu wamemshikilia binti yako kwa mahojiano zaidi kwa maana inaonyesha ana mahusiano mazuri na Dany, labda tunaweza kumtumia binti yako kumkamata Dany sawa waziri mkuu?”
Waziri mkuu akaka kimya huku mwili ukiendelea kumtetemeka kwa woga sana.
“Waziri mkuu”
“Nd……iiiiooo muheshimiwa raisi”
“Umenielewa nilicho kizungumza?”
“Ndi…oo madam raisi”
“Mbona unazungumza kwa wasiwasi mwingi vipi?”
Nikamkazia jicho kali waziri mkuu na kujikuta akiirudisha simu kwa Babyanka pasipo kujibu chochote kwani kuropoka kwake kunaweza kukawa mwisho wa maisha yake hapa duniani.
 
AISIIIII……….U KILL ME 163 

“Haloo”   
Niliisikia sauti ya K2 akizungumza kwenye hii simu hii ni baada ya kuona swali alilo muuliza waziri mkuu limekosa jibu.
“Samahani muheshimiwa raisi naona waziri mkuu amestuka kwa kusikia taarifa hiyo ya mwanaye kuwa kuhisika na kumuhifadhi Dany”
“Sawa basi akiwa sawa nitaomba kuzungumza naye”
“Sawa muheshimiwa raisi”
“Na mutakuwa munatakiwa kunijulisha kila kitu  kinacho endelea baada ya nusu saa”
“Sawa muheshimiwa raisi”
Babyanka akakata simu na kuirudisha mfukoni mwake huku akihema, taratibu lifti ikafunguka na tukaanza kutoka ndani ya lifti hii, iliyo fika chini kabisa ya ardhi ambapo kuna maegesho maalimu ya magari. Tukaingia kwenye moja ya gari huku Babyanka akiwa ndio dereva.
 
“Tunaelekea wapi?”
“Toka kwanza kwenye hili jengo”
“Ila Dany hili jambo unalo lifanya ni hatari sana kumteka waziri mkuu pamoja na mimi mkuu wa NSS”
“Hatari eheee?”
Nilizungumza huku nikiwa nimekaa siti ya pembeni huku  waziri mkuu akiwa amekaa siti ya nyuma pamoja na Martin. Babyanka hakuzungumza kitu chochote kwani tayari tumefika katika geti la kutoka katika jengo hili taratibu akafungua dirisha, mlinzi wa geti alipo muona ni bosi wake, akarusu geti kufungulia na tuokaondoka.
“Dany tunaelekea wapi?”
“Sehemu salama ni kwako”
“Kwangu unahisi kwamba utashindwa kukamatwa”
“Najua kuna kamera nyingi ila jambo la muhumu ni kuhakikisha kwamba kila kamera iliyo tegwa nyumbani kwako unaizima”
 
“Yaani siamini kama Dany umebadilika kiasi hichi, kwa nini lakini umekuwa muuaji, gaidi?”
Babyanka alizungumza kwa msisitizo huku akinitazama usoni mwangu. Sikumjibu kitu chochote zaidi ya kukaa kimya ukweli wa kila kitu kilicho tokea kwenye maisha yangu anakijua kwa asilimia kadhaa.
“Unaelekea wapi huku?”
Nilimuuliza Babyanka baada ya kumuona anaelekea sehemu nyingine ambayo ni tofauti na sehemu ninayo ifahamu ilipokuwa nyumba yake ambaye alipewa zawadi na raisi aloye pita madarakani.
“Ninaelekea nyumbani kwangu”
“Kwako?”
“Ndio ulihisi nitakuwa ninaishi kwenye nyumba ile ile?”
“Ukifanya makosa yoyote Babyanka nitakuu wewe na huyu mzee hapa”
“Sawa”
 
Tukaelekea tegeta na gari likasimama kwenye moja ya nyumba yenye uzio wa ukuta na geti kubwa, hatukumaliza hata sekunde mbili geti hili likafunguka, tukaingia kwenye eneo la hili nyumba ambayo ni ndogo kiasi, baada ya gari kusimama nikawa mtu wa kwanza kushuka ndani ya gari hili, niksihika bunduki yangu vizuri huku nikitazama eneo la hii nyumba, sikuona dalili  yoyote ya mtu, nikazunguka upande wa dereva na kwa ishara nikamruhusu Babyanka kushuka huku nikiwa nimenyooshea bunduki hii, taratibu Babyanka akashuka akashuka huku mikono yake ikiwa juu. Martin naye akashuka huku akiwa amemnyooshea waziri mkuu bunduki.
Nikiwa ninashangaa kuangalia kitendo cha Martin kuhakikisha kwamba waziri mkuu hafanyi jambo lolote nikastukia teke kali kwenye mikono yangu na bunduki niliyo ishika ikaangukia pembeni. Babyanka akanipiga teke la kifua lililo nirudisha nyuma kidogo ila nikajiweka sawa, Martin akahitaji kuingilia ili swala ila kwa ishara ya mkono nikamuzuia asiingilie hili swala.
Nikajiweka sawa huku nikimtazama Babyanka aliye kunja ngumi za mikono yake huku akiivuta juu kidogo suruali yake ya jinzi ambayo imembana kidogo.
 
Babyanka akaanza kunifwata kwa kasi huku akirusha ngumi ambazo nikaanza kuzizuia kwa mikono yangu, kwani hata mimi mwenyewe kwenye swala la kupigana nipo vizuri sana. Nilipo  ona mashambulizi ya Babyanka yamekuwa makali sana na nimechoka kuyazuia, ikanilazimu na mimi kuanza kujibu mashambulizi hayo kwa haraka kadri nilivyo weza. Uzuri ni kwamba ninamfahamu vizuri Babyanka na tulisha wahi kuwa walinzi wa raisi aliye pita madarakani na tulisha yatoa maisha yetu kwa ajili ya kumlinda raisi huyo ambaye mwisho wa siku alinisaliti kwa kufwata amri ya dada yake K2.
Nikajirusha hewani na kuvurumisha teke langu kwa kumguu wa kulia lililo mpiga Babyanka mabegani mwake na kumuangusha chini.
“Sihitaji kukua ila ukihitaji kukua, nitafanya hivyo”
Nilizungumza huku nikimtazama Babyanka akisimama huku akijiweka sawa mikono yake. Babyanka akajaribu kurusha teke ila nikalizuia hewani kwa teke lililo mfanya ayumbe kwani matarajio yaliyo yatarajia kwa teke lake yameenda tofauti kabisa. Nikamtazama mguu wake wa kulia ambao nimemzuia teka lake nikaona akiutingisha tingisha kuuweka sawa kwani nina imani ameumia kwa kiasi fulani.
 
“Babyanka acha hichi unacho taka kukifanya”
“Siwezi kuwa msaliti kwa ajili ya nchi yangu”
“Unahisi mimi ni msaliti wa hii nchi?”
“Wewe ni msaliti na nilazima nikuue”
“Usiingilie matatizo ambayo hayakuhusu wewe kuingilia”
“Kazi yangu ni kulinda viongozi wa nchi hii”
“Kulinda viongozi ambao hawahitaji kulindwa, viongozi  ambao wameweza kuitekeza familia yangu. Hembu funguka Babyanka utakufa bure, kufa kwa ajili ya vitu vya maana na si kufa kwa ajili ya watu wasio na maana yoyote”
“Siwezi kufwata maneno yako”
Babyanaka baada ya kumaliza kuzungumza maneno yake, akaanza kunishambulia tena. Sikuwa na jinsi zaidi ya kuanza kupigana naye kana kwamba ninapigana na mwanaume mwenzangu. Kila Babyanka alipo jaribu kunishambuli akajikuta akishindwa kabisa kunihimili kwani nimecharukwa na nina uwezo mkubwa sana kuliko yeye. Nikahakikisha  kwamba ninampiga Babyaka hadi mwili ukamlegea kabisa na kulala chini. 
 
“Mmmmmm”
Martin aliguna huku akimtazama Babyanka jinsi anavyo mwagikwa na damu mdomoni mwake.
“Wakistukia hili ni lazima wata itafuta simu ya huyu malaya”
Nilizungumza huku nikihema kwani shuhuli ya kumdhibiti Babyanka nayo sio ndogo.
“Ngoja nichukue simu yake”
“Hapana muangalie huyo mzee”
Nilizungumza huku nikimsogelea Babyanka, nikachuchumaa na kuanza kumpapasa mifukoni mwake, nikaitoa simu yake hata kabla sijasimama simu ya Babyanka ikaita na kuona namba inayo andikwa imeandikwa ‘Madam President’. Nikaitazama simu hii kwa umakini mkubwa kisha nikikaipokea na kuiweka sikioni mwangu.
“Nusu saa limepita Babyanka mumefikia wapi?”
“Mbona unawasiwasi muheshimiwa raisi?”
Nilizungumza kwa sauti yangu ya asilia ambayo nina imani kwamba K2 anaifahamu vizuri sana.
 
“DANYYYY…….!!!!”
“Ninaimani utakuwa umeshangazwa na uwepo wangu karibu na vibaraka wako ulio wajaza sumu ya kunichukia mimi si ndio?”
“Mwanaharamu wewe ni nani aliye kupa ujasiri wa ku…kkuuu..uuu”
“Kufanyeje……? Unapatwa na kigugumizi ikiwa una mamia ya walinzi walio kulinda hapo ikulu. K2, ohooo samahani. Muheshimiwa raisi hili swala ukishirikisha walinzi wako nitahakikisha kwamba Babyanka na waziri mkuu wako wote maisha yao ninayaondoa kwa kuwaua kinyama sana na vifo vyao vitakuwa mikononi mwako”
Nilizungumza kwa msisitizo jambo ambalo nina imani kwamba linampa wasiwasi mkubwa K2, nikaweka simu hii loudspeaker ila sote tulipo hapa tuweze kumsikia muheshimiwa raisi K2.
“Dany unahisi kumua waziri mkuu na Babyanka vifo vyao vitakuwa na hasara kwangu, umekosea baba na nitahakikisha kwamba ninakuwinda hadi mwisho wa pumzi yangu”
 
“Unaniwinda ila tambua ya kwamba mimi ndio nitakuwa mtu wa mwisho kuweza kuikatisha pumzi yako na hapo ndipo nami nitakuwa radhi kuingia katika mikono ya hii serikali”
“Hahahahaaaaaaa…..ohoo Mungu wangu Dany unahisi wewe peke yako unaweza kupambana na maelfu ya wanajeshi nilio nao eheee?”
K2 alizungumza kwa dharau kubwa sana hadi waziri mkuu akashangaa. Taratibu nikasimama huku nikiendelea kumtazama Babyanka jinsi alivyo lala chini akiugulia muamivu kwani kipigo nilicho mpiga ni kipigo cha kumnyong’onyeza na si kumuua.
“Unatumia jeshi kulinda mauvo yako ya kumchinja mama yangu, kumchinja dada yangu, kumchinja mwanangu, kumchinja mama wa mwanangu eheee?”
“Yaaa niliwaua kuhakikisha kwamba unaijisikia maumivu ya ujinga wako ulio jaribu kuifanya mbele yangu. Kumbuka kwamba nilikuambia kwamba sisi ndio wenye nchi na nilikuahidi kukuonyesha na ndio nimekuonyesha sasa wewe waue tu huyu waziri mkuu na Babyanka na wala usihisi kwa kuwatumia hao nitasitisha uovu wangu kwako”
 
Simu ikakatwa taratibu nikamuona waziri mkuu akikaa chini huku akionekana haonekani kushangaa sana kwa kile alicho kisikia.
“Mwenye masikio haambiwi sikia mwenye macho haambiwi ona.”
Nilizungumza huku nikimnyanyua Babyanka chini alipo lala na nina imani kwamba amesikia kila kitu kinacho endelea.
“K2, K2, K2 mshenzi mkubwa weweee”
Waziri mkuu alizungumza huku akilia kwa uchungu. Nikafungua mlango wa gari siti ya nyuma na kumkalisha Babyanka.
“Huyu mzee vipi!!?”
Martin aliuliza huku akimtazama mzee huyu jinsi anavyo lalamika chini alipo kaa.
“Muache amesha elewa nchi yake inaenda vipi”
Nilizungumza huku nikiiokota bunduki yangu.
“Dany”
Babyanka aliniita kwa sauti ya upole. Nikamsogelea karibu alipo kaa kwa ajili ya kumsikiliza kitu anacho hitaji kukizungumza.
 
“Samahani”
“Kwa kipi?”
“Kwa hili lililo jitokeza”
“Ulikuwa unafanya kazi yako, sikulaumu katika hilo”
“Siamini kama K2 anahusika na kifo cha mama yako, alikuwa mwalimu wangu mzuri sana”
“Nashukuru kwa kuweza kusikia kwa masikio yako wewe mwenyewe. Je upo tayari kuungana nami?”
“Nipo tayari”
Babyanka alizungumza kisha akatema damu kidogo, nikamtazama waziri mkuu. Taratibu akanyanyuka huku Martin akiendelea kuwa makini naye.
“Mzee upo tayari kwa hili, kwa maana raisi wako haioni thamani yako. Je nikuue kama alivyo sema raisi wako kwamba kifo chako kwake hakina thamani”
Taratibu nikamuona waziri akipiga magoti chini huku akilia kwa uchungu. Taratibu akanishika miguu yangu huku akiniomba msamaha”
 
“Nisameheeeee”
Alizungumza huku akiendelea kulia.
Nikamnyanyua waziri mkuu huku nikimtazama usoni mwake.
“Nina imani mwanao Lucy yupo mikononi mwa K2 na ninakuambia kwamba hayupo salama, anaweza kumfanya chochote ili mradi mimi nijisalimishe, ili hayo yote yanaweza kwenda tofauti pale tu utakapo amua kuungana nami”
 
“Nipo tayari, nipo tayari”
Waziri mkuu alizungumza huku akinitazama usoni mwangu kwa macho yalio jaa uwekundu wa machozi yanayo endelea kumwagika usoni mwake.
“Dany eneo hili sio salama tena na nina imani kwamba NSS, wamepewa kazi ya kunitafuta na wakija kunipata hapa basi hata wewe utakuwa umekamatwa”
“Twendeni shambani kwangu”
Waziri mkuu alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.
“Ni wapi?”
“Bagamoyo ndani ndani, sidhani kama huko kuna mtu anaweza kuja au kufahamu kwamba tupo huko”
“Hatuwezi kutumia gari hili tena”
Babyanka alizungumza kwa sauti ya upole huku akiwa ameinama.
“Tunaweza kupata gari lolote?”
“Lipo gari langu moja ni jipya kabisa nimelinini wiki  iliyo pita nina imani linaweza kutupeleka huko”
 
“Twende tukachukue funguo”
Nilizungumza huku nikimpa mkono Babyanka akaushika na taratibu tukaanza kutembea kuelekea ndani kwenye nyumba yake hii, akaniomba nitoe funguo chini ya kapeti, na nikafanya hivyo na kumkabidhi funguo. Moja kwa moja tukaelekea hadi chumbani kwake, Babyanka akachukau funguo kwenye droo ya dressing table yake.
“Unajisikiaje?”
Nilizungumza huku nikimtazama Babyanka usoni mwake.
“Najisikia maumivu kwenye mbavu na tumboni”
“Utakuwa umepata itilafu kidogo, ila utakaa sawa”
“Yaaa, hembu fungua hilo kabati la nguo”
“Kuna nini?”
“Kuna begi lina silaha”
Nikafungua kabati hili na kukuta begi kubwa jeusi, nikalitoa na kulibeba mkononi tukatoka humu ndani na kuifunga nyumba yake. Moja kwa moja tukaelekea nyuma ya nyumba hii ambapo kuna maegesho ya magari. Babyanka akanionyesha gari husika tukaingia ndani, ya hili gari na taratibu nikaliwasha gari hili na kuliweka sawa na kuanza kuelekea getini. 
 
“Magari yangu yote yana kifaa maalumu nilicho funga kwa chini, hayawezi kunadwa na rada wala satelaiti popote niendapo”
“Kwa nini umefunga kifaa hicho?”
“Niliamua tu kufunga kwa usalama wangu binafsi”
Waziri mkuu na Martin wakaingia ndani ya gari hili aina ya Toyota TX. Taratibu geti likafunguka nikaanza kutoa gari hili taratibu. Kabla hata sijakunja kona ya kuingia barabarani gari zipatazao nne kutoka katika kitengo cha NSS, nikaziona zikija kwa kasi jambo lililo nifanya nianze kufikiria kwa haraka ni kitu gani ninaweza kukifanya ili kuhakikisha kwamba ninawakimbia askari hawa wa kikosi cha NSS, mabao tayari wamesha gundua kwamba mkuu wao pamoja na waziri mkuu wapo mikononi mwangu jambo ambalo nina imani wanaamini kwamba ni hatari kwao.
 
 ITAENDELEA
“Haya sasa Babyanka na Waziri mkuu wameungana na Dany kuhakikisha kwamba wanamtoa madarakanni raisi K2 je umoja wao utadumu. Usikose sehemu inayo fwata ya hadi hii ya kusisimua kutoka kwa muandishi mahiri Eddazaria G.Msulwa”

Waziri Mkuu: Serikali Imejipanga Kumaliza Tatizo La Maji Nchini

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imepanga kumaliza tatizo la upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama kwa kuchimba visima virefu na vifupi pamoja na kutumia maji ya maziwa na mito na kuyapeleka katika maeneo mbalimbali ya wananchi nchini.
 
Pia, Waziri Mkuu amewaagiza wakuu wa wilaya kusimamia uhifadhi wa maeneo ambayo yana vyanzo vya maji ili kuyafanya yaendelee kuwa chepechepe, hivyo kuhakikisha vijiji vyote vinapata maji ya uhakika. “Lazima maeneo hayo yatambuliwe na yahifadhiwe.”

Ameyasema hayo leo (Jumanne, Novemba 27, 2018) alipozungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa shule Sekondari Bugando kata ya Nzera wilayani Geita, wakati akiwa katika ziara yake ya kikazi za siku nne mkoani Geita.

Waziri Mkuu amesemaSerikali kupitia Kampeni ya Rais Dkt. John Magufuli ya kumtua mama ndoo kichwani, itahakikisha wananchi katika maeneo yote nchini wanapata huduma ya maji safi na salama karibu na maeneo yao ya makazi.

Amesema Serikali imejipanga vizuri kuhakikisha kila kijiji kinapata huduma ya maji safi na salama, hivyo amewaagizawatendaji wote wa vijiji kuainisha maeneo yote yenye misitu na vyanzo vya maji na kuhakikisha yanalindwa.

Kadhalika, Waziri Mkuu amesema mbali na huduma ya maji, pia Serikali imedhamiria kusambaza umeme katika vijiji vyote ambavyo bado havijaunganishiwa nishati hiyo nchini vitaunganishiwa katika awamu ya tatu ya Mradi wa Nishati Vijijini (REA).

“Rais wetu Dkt. John Magufuli anataka kuona nyumba ya kila Mtanzania inapata umeme tena kwa gharama nafuu na ametenga fedha nyingi zitakazotosheleza kusambaza umeme katika vijiji vyote nchini. Gharama za kuunganishiwa umeme huo ni sh. 27,000 tu.”

Hata hivyo, Waziri Mkuu amesema  wananchi hawatowajibika tena katika kulipia gharama za nguzo wala fomu za maombi ya kuunganishiwa umeme kwa sababu tayari gharama hizo zimeshabebwa na Serikali.

Naye, Mbunge wa jimbo la Geita Vijijini, Joseph Musukuma ameishukuru Serikali kwa utekelezaji wa miradi na ahadi zikiwemo na zile zilizotolewa za Rais Dkt. John Magufuli. “Nashukuru Serikali pia kwa kutuzindulia hospitali ya halmashauri ya wilaya ya Geita.”

Kuhusu suala la umeme, Mbunge huyo ameishukuru Serikali kwa kuwa vijiji vyake vyote vimeshaunganishiwa umeme isipokuwa vitongoji vichache, ambapo ameomba navyo viunganishiwe nishati hiyo muhimu kwa maendeleo ya wananchi.

Awali,Waziri Mkuu alikagua na kuzindua hospitali ya wilaya ya Geita inayojengwa katika kata ya Nzera na aliupongeza uogozi wa halmashauri ya wilaya ya Geita kwa hatua waliyofikia katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo.

Jinsi ya Kubadili Picha yako na Kuwa Cartoon

$
0
0
Kama wewe ni mpenzi wa picha, utakuwa umeshasikia au kutumia baadhi ya programu za kuedit picha au hata kuzibadili kabisa na kuzifanya kuwa katuni. 

Katika makala hii fupi, tutaangalia programu mbadala za kubadili picha ukiacha ile maaarufu iliyozoeleka miongoni mwetu ya Adobe Photoshop.

Kwa muda mrefu uliopita kama ungemuuliza mtu ni ipi programu nzuri kwa kubadili picha sikuzote angesema Photoshop. Sawa nikweli Photoshop itaendelea kuwa programu kubwa na imara ila ni tabu kidogo kuitumia  maana ina mambo mengi na inahitaji ujuzi wa hali ya juu.

Hapo chini tumekuwekea Program mbadala ambazo zitakufanya u edit picha zako kwa wepesi zaid na pia zitakusaidia kujibadili na kuwa Katuni. 

#1. Be Funky
#2.Cartoonize
#3.Toonyphotos
#4.Cartoon photo 

Maelezo ya jinsi ya kuzipata au kuzitumia Progamu hizo yanapatikana hapa<<HAPA>>

Endelea kuwa nasi, tutaendelea kukuletea makala fupifupi kama hizi

Katibu Mkuu CCM Amtaka Zitto Kabwe Ahamie CCM

$
0
0
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally amempongeza kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo na Mbunge wa Kigoma mjini, Zitto Kabwe kwa kuibua mijadala ya kiuchumi na kumkaribisha ajiunge na Chama chake cha CCM.

Akizungumza akiwa ziarani mkoani Iringa, Dkt. Bashiru amesema kuwa kiongozi huyo amekuwa akiibua mijadala mbalimbali ya kiuchumi na kumkaribisha kujiunga na chama hicho.

"Nampongeza kiongozi wa ACT-Wazalendo ndugu Zitto Kabwe kwa kuibua mijadala mbalimbali ya kiuchumi, nimtake na kumkaribisha ajiunge na CCM, chama cha ujamaa wa kweli", amesema Dkt Bashiru na kuongeza;

"Napenda kutumia hadhara hii kwa wote walioadhibiwa na wale waliosimamishwa uanachama milango ipo wazi kuomba msamaha na kusamehewa, tunajua walikosea ila hatutaendelea na visasi".

Katibu huyo ameongeza kuwa vyama vitakavyokufa kwenye uchaguzi ujao ni vyama vinavyoendeshwa kwa ajenda za matukio, vyama tegemezi vinavyotegemea mabepari, vyama vilivyochukua mafisadi na kuwaweka ngazi za juu.

"Hakuna mtu anayezuiliwa kugombea ila ni lazima afuate taratibu, atakayekiuka taratibu atakiona, baadhi wanatafuta Urais Zanzibar, wanapoteza muda Urais hauombwi, ni unaombwa. Hatuna urais wa udalali kwani ulipita toka mwaka 2015", ameongeza Dkt. Bashiru.

Hii Ndo Maktaba ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Iliyozinduliwa Leo na Rais Magufuli

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 27 Novemba, 2018 amefungua maktaba mpya, kubwa na ya kisasa ya Kikuu cha Dar es Salaam iliyojengwa katika Kampasi Mlimani (Mwl. Julius K. Nyerere) Jijini Dar es Salaam.

Maktaba hiyo kubwa Afrika Mashariki na Kati imejengwa kwa gharama ya shilingi Bilioni 93.6 ikiwa ni msaada kutoka Serikali ya China na inakuwa maktaba kubwa kuliko maktaba zote ambazo China imezijenga barani Afrika.

Katika taarifa yake Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Prof. William Anangisye amesema majengo ya maktaba hiyo yenye ghorofa mbili yamechukua eneo lenye ukubwa wa meta za mraba 20,000 yakiwa na uwezo wa kuhifadhi vitabu 800,000, kukalisha watumiaji 2,100 kwa wakati mmoja, yana kompyuta 160 zilizounganishwa na mtandao kwa ajili ya kusoma vitabu kwa njia ya kielektroniki, ofisi za wafanyakazi, eneo la wanafunzi wenye mahitaji maalum na ukumbi wa kisasa wa mihadhara wenye uwezo wa kuchukua watu 600.

Prof. Anangisye ameishukuru Serikali kwa mchango mkubwa uliosaidia kufanikisha ujenzi wa maktaba hiyo, ameishukuru Serikali ya China kwa kutoa msaada wa fedha za ujenzi huo na kampuni ya ujenzi ya Jiangsu Jiangdu ya China kwa kujenga majengo yenye ubora na hadhi ya hali ya juu.

Ameahidi kuwa Jumuiya ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam itahakikisha majengo ya maktaba hiyo yanatunzwa vizuri na maktaba inatumika kuwanufaisha wanafunzi wa chuo hicho pamoja na wanafunzi wa taasisi zingine za vyuo na wananchi wa kawaida.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako amemshukuru Mhe. Rais Magufuli kwa namna anavyotoa kipaumbele kwa sekta ya elimu na ameahidi kuwa wizara yake itaendelea kuhakikisha taasisi zote zilizo chini ya wizara hiyo zinaendeshwa kwa kuzingatia maadili na matumizi bora ya rasilimali, pia amemshukuru Balozi wa China hapa nchini Mhe. Wang Ke kwa kusimamia na kufuatilia kwa ukaribu ujenzi wa maktaba hiyo na kwa Serikali ya China kutoa shilingi Bilioni 50.8 kwa ajili ya ujenzi wa chuo cha elimu ya mafunzo ya ufundi stadi (VETA) Mkoani Kagera.

Akizungumza katika sherehe hizo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemshukuru Balozi wa China hapa nchini Mhe. Wang Ke na kumuomba apeleke shukrani za Tanzania kwa Rais wa China Mhe. Xi Jinping kwa misaada ambayo China imekuwa ikiitoa kwa Tanzania, ikiwemo ujenzi wa Maktaba hiyo na Chuo cha VETA kitakachojengwa Mkoani Kagera.

Mhe. Rais Magufuli amesema urafiki wa China na Tanzania ulioasisiwa na Baba wa Taifa Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere na Mwenyekiti Mao Zedong umeendelea kuleta manufaa makubwa na kwamba Serikali ya Awamu ya Tano na itauendeleza na kuukuza uhusiano na ushirikiano huu mzuri.

“Jambo la kufurahisha ni kwamba misaada yao haiambatani na masharti. Wenyewe wakiamua kukupa wanakupa, walitujengea TAZARA, URAFIKI na pia wametusaidia katika maeneo mengine ya maendeleo” amesema Mhe. Rais Magufuli na kumhakikishia Mhe. Balozi Wang Ke kuwa Serikali itahakikisha kila msaada unaotolewa unatumiwa vizuri.

Aidha, Mhe. Rais Magufuli amempongeza Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Mstaafu Prof. Rwekaza Mukandala kwa kuandaa mpango wa ujenzi wa maktaba hiyo, na pia amewapongeza Jumuiya ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa kupata maktaba ambayo itawasaidia kuongeza kiwango cha ubora wa elimu.

Amewataka wana Jumuiya ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuhakikisha maktaba hiyo inatunzwa vizuri na ametoa wito kwa Watanzania kujifunza lugha ya Kichina katika jengo mojawapo la maktaba hiyo litakalokuwa likifundisha lugha hiyo kwa kuwa kuna manufaa makubwa kwa Watanzania kujifunza lugha hiyo.

Sherehe hizo zimehudhuriwa na viongozi mbalimbali wakiwemo Balozi wa China hapa nchini Mhe. Wang Ke, Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma, Mawaziri Wakuu Wastaafu Mhe. Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba na Mhe. Edward Ngoyai Lowassa, Mawaziri, Mabalozi wa nchi mbalimbali na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda.

Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar es Salaam
27 Novemba, 2018

Rais Magufuli Atuma Salamu za RambiRambi Kufuatia Ajali Mbaya ya Gari Iliyoua Watu 16 Tarime

$
0
0
Salamu za rambirambi za Mhe. Rais Magufuli kufuatia vifo vya watu 16 vilivyosababishwa na ajali ya kugongana uso kwa uso na kisha kuungua moto kwa mabasi madogo ya abiria huko Tarime Mkoani Mara

Zitto Kabwe Kagoma....Amtaka Katibu Mkuu CCM Ahamie ACT- Wazalendo

$
0
0
Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo na Mbunge wa Kigoma mjini, Zitto Kabwe amefunguka kuwa kuhamia kwake CCM hakutomaliza changamoto za Watanzania.
 
Zitto ametoa kauli hiyo baada ya kukaribishwa na Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally  kujiunga na chama hicho, ambapo alimpongeza kwa kuibua mijadala yenye maslahi ya kiuchumi.

"Mimi kujiunga CCM sio jawabu la shida za Watanzania na changamoto zinazoikabili nchi kama vile watu kukosa Uhuru wa mawazo, kukosoa, kupashana Habari na ukandamizwaji mkubwa wa vyama vya upinzani, Wananchi wanyonge kama Wakulima, Wavuvi, Wafugaji na uporaji wa Mali za watu wakiwemo Wafanyabiashara", amesema Zitto na kuongeza;

"Namwomba Bashiru,  CCM ni kundi la wasaka vyeo na walinda vyeo. Chama pekee cha Kijamaa nchini ni ACT Wazalendo kupitia Azimio la Tabora. Namtaka Mjamaa Bashiru Ally aachane na CCM iliyofilisika kiitikadi na ajiunge na ACT Wazalendo, Chama pekee cha Kijamaa Nchini na Afrika Mashariki".

Mapema leo akizungumza na wanachama wa CCM mkoani Iringa, Katibu Mkuu wa chama hicho Dkt. Bashiru Ally ikiwa ni ziara yake ya kikazi mkoani humo amesema kuwa Zitto Kabwe anatakiwa kujiunga na chama hicho, kwani busara zake zinafaa kukitumikia chama hicho chenye Itikadi ya Kijamaa.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatano ya Novemba 28


Wimbo: Wildad - Legeza

$
0
0
Msanii wa muziki Bongo, Wildad anakukaribisha kutazama video ya wimbo wake mpya uitwao  Legeza. Itazame hapa.

Dr.Mjukuu wa kushosha : Pata Tiba Asili ya Tatizo la Uzazi, Kutopata Hedhi kwa Mpangilio, Nguvu za Kiume, UTI Sugu

$
0
0
SIX(6) power; Ni dawa ya Nguvu za kiume inayofanya kuchelewa kufika kileleni dkk 30 Hadi 46 unaweza kurudia tendo utakavyo,pia inarutubisha mbegu za kiume kwa wasio na sifa ya kupata mtoto,dozi Ni siku sita mabadiliko masaa manne.Tumia six(6) power ndio kiboko wa yote usisubiri kuhadithiwa.

SHOOLA 4 POWER; Wenye maumbile madogo (KIBAMIA) inanenepesha na kurefusha uume,kama tatizo Ni la kuzaliwa siku 12 Kama Ni la ukubwani siku 6.

MBUKE; Dawa ya Uzazi kwa aliyefungwa na kutofanikiwa kupata mtoto,kwa asie pata hedhi kwa mpangilio mzuri tatizo huisha kabisaa..Ni ya unga.

LYONGO;dawa ya mvuto wa mapenzi Kama umeachwa yote yatakwisha aliembali atakuhudumia mwenza wako atarejea ndani ya SAA 12 hata Kama yupo mbali.

HOLAZA; Ni dawa ya kumaliza matatizo mengi mengi Kama kesi,dhuluma,kushindwa kuuza eneo nyumba na Kama biashara haziendi.

TALIGULA;dawa ya kufungua kitu kilichofungwa kuchawi,kimizimu,majini wabaya mashuleni,kutokupata ajira,kuoa au kuolewa na Safari zilizofungwa
 
KASELA;Ni kiboko ya kusafirisha mizigo na kufika salama..iwe majini,migodini pia katika kilimo na ufugaji.

DR.Mjukuu wa kushosha asema kwanini usumbuke na maradhi mwilini wakati tiba zipo?? ,Amini tiba asilia Sasa maradhi yako yatakwisha .

Je,wewe una maradhi gani mwilini mwako??

(1)Sukari ya kupanda na kushuka(TUNDWA)Ni ya unga inayochemshwa ,dozi Ni siku 20.

(2)Presha ya kupanda na kushuka(NGADA) ni dawa ya unga dozi siku 14

(3)maleria sugu(NINJIWE) dozi siku 8 unapona kabisa

(4)U.T.I sugu(GUMO)Dozi siku 4 habari kwisha kabisa.

(5)Typhoid sugu(IKWATA) Dozi siku 3

(6)Kifua kubana,moyo,Figo(LUGALA)dozi siku 7

(7)Tezi dume(Dozi siku 8 - unga),ngiri,busha bila operation (SALIUNGU)dozi siku 14

(8)Miguu kuwaka moto (JIMYA) dozi siku 6

(9) kilungulia,kwikwi(INJACHI)dozi masaa 6.

(10)msongo wa mawazo.

(11) vidonda vya tumbo (MPALALA) Dozi siku 7.

Hizo Ndizo Huduma Zitolewazo Na Nyingine Nyingi,usitume Meseji Wala Kubip,nahudumia Duniani Pote Ulipo.

Ofisi Zipo Katika Mikoa Miwili Shinyanga Wilaya Ya Kahama Na Dar Es Salaam Wilaya Ya Ilala..Sehemu Zingine Nasafirisha..niulize Kwa Mawasiliano Yafuatayo...

     0744 922 982
     0716 608 959
     0784 475 946.

Watanzania wahimizwa kuchangamkia ajira za Umoja wa Mataifa ( UN )

$
0
0
Tanzania licha ya kuwa miongoni mwa nchi zinazoongoza duniani kwa kuchangia vikosi vya kulinda amani vya Umoja wa Mataifa, lakini ajira za raia wake kwenye Sekretarieti ya Umoja huo ni ndogo mno.  Kauli hiyo ilitolewa leo na Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa, Bi. Huda Hanina ambaye yupo nchini kwa ajili ya kutoa semina kwa Watanzania itakayowawezesha kuwa na ujuzi na mbinu za kuomba ajira katika Umoja wa Mataifa.

Semina hiyo inahusisha washiriki kutoka Vyuo Vikuu, vyombo vya ulinzi na usalama, Wizara na mashirika ya umma inafanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar Es Salaam tarehe 26 hadi 28 Novemba 2018.

“Tanzania kwa sasa inashika nafasi ya 12 katika nchi zinazochangia vikosi vya kulinda amani duniani na utendaji wa vikosi hivyo unajulikana na kila mtu, hivyo, Sekretarieti inapenda kuona raia wa kawaida wanaajiriwa ndani ya Umoja wa Mataifa ili watoe mchango kama unaotolewa na vyombo vya usalama”, Alisema 

Alieleza kuwa Umoja wa Mataifa una wanachama 193 kati ya hao, nchi ambazo raia wake wameajiriwa na Umoja huo ni 168 pekee ikiwemo Tanzania yenye watumishi 91 ambao ni chini ya nusu asilimia ya watumishi wote wa Umoja huo.

Bi. Hanina aliwasihi washiriki wa semina hiyo na Watanzania kwa ujumla kuingia katika Tovuti ya Sekretarieti ya Umoja wa Mataifa, https://careers.un.org/ ili kufuatilia ajira zinazotangazwa na kuangalia inayofaa kulingana na ujuzi mtu alio nao na kutuma maombi.

Alisisitiza umhimu wa kuandaa wasifu kulingana na sifa zilizoainishwa na nafasi husika. Alisema tatizo kubwa linalowakabili watu wengi wakiwemo Watanzania ni kuandaa wasifu unaokidhi viwango kulingana na kazi iliyotangazwa.  “Watu wengi wanaandaa historia badala ya wasifu, kitu ambacho sio sahihi. Kinachotakiwa ni kuandaa wasifu ambao unaainisha ujuzi na sifa zinazotakiwa katika kazi iliyotangazwa”. Alisema.

Washiriki wa semina hiyo wamehimizwa ujuzi waliopata wawafundishe Watanzania wengine ili katika kipindi kifupi kijacho Watanzania wengi waweze kuomba ajira na hatimaye kuajiriwa kwenye Umoja wa Mataifa.

Semina hiyo imekuja kufuatia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kupitia Ofisi yake ya Uwakilishi wa Kudumu katika Umoja wa Mataifa jijini New York kufanya maombi maalum kwenye Umoja huo ya kuwapatia Watanzania mafunzo na mbinu za kupata ajira katika chombo hicho kikubwa duniani.

Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali,
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,
Dar Es Salaam, Tanzania
Tarehe 27 Novemba 2018

Waziri wa Kilimo Ataka Mbolea Iwafikie Wakulima Kwa Wakati

$
0
0
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dar es salaam
Waziri wa kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) amewataka wafanyabiashara kusambaza mbolea haraka iwezekanavyo ili ziwafikie kwa wakati wakulima kwani msimu wa kilimo umeanza.

Mhe Hasunga ameyasema hayo tarehe 27 Novemba 2018 wakati alipotembelea kampuni ya utengenezaji na usambazaji wa Mbolea ya Yara Tanzania Ltd ambayo kwa nchini Tanzania Makao makuu yake yapo Jijini Dar es salaam.

Waziri Hasunga ametoa wito kwa Taasisi zinazohusika na upakuaji wa mizigo bandarini kufanya kazi ya upakuaji kwa haraka ili mbolea ziwafikie wakulima kwani msimu wa kilimo tayari umeanza.

Alisema kuwa sio jambo jema mbolea inayotakiwa kuwa mashambani kwa wakulima katika msimu huu wa kilimo kuendelea kukaa bandarini kwani kwa zaidi ya wiki moja.

“Kadri mbolea inavyochelewa kuwafikia wakulima itasababisha kuongezeka kwa gharama zisizo na tija kwani atakayeumia ni mkulima jambo hili halipaswi kutazamwa kama jambo la kawaida badala yake wahusika wote watekeleze majukumu yao ipasavyo” Alikaririwa Mhe Hasunga na kuongeza kuwa

“Wakulima wengi vijijini hawajui mambo ya kukaa muda mrefu kwa mbolea bandarini wao wanachokijua serikali inatakiwa kuwapatia mbolea msimu wa kilimo unapofika, na mbolea inahitajika haraka kwani kilimo cha Tumbaku kinaendelea na tayari malalamiko yameanza”

Pamoja na mambo mengine Mhe Hasunga ameipongeza kampuni hiyo ya mbolea ya Yara Tanzania Ltd, ambayo imewekeza katika maabara ya kupima udongo ili kuweza kutambua virutubisho vilivyopo na vinavyokosekana kwenye udogo.

Meneja wa kampuni hiyo nchini Tanzania na Rwanda Bw William Ngeno, alisema "lengo kuu la kampuni ya Yara Tanzania kuweka maabara ya udongo, ni kuweza kuwapa wateja wao huduma nzuri na mpangilio sahihi wa lishe bora na linganifu ya mimea"
 
Alisema mara baada ya matokeo ya udongo kampuni hiyo kupitia wataalamu wake hutoa ushauri kwa wakulima nini cha kufanya kulingana na zao lililolimwa au linalotarajiwa kulimwa.

Aidha, alimpongeza Waziri huyo wa Kilimo kwa kutembelea kampuni hiyo kujionea hali ya utendaji kazi.

Mbolea za YARA zimegawanyika katika makundi makuu matano Yara Mila:  Kundi hili lina aina za mbolea zenye madini makubwa matatu NPK  (Nitrogen, Phosphorus, Potassium), Yara Liva:  Kundi hili lina aina za mbolea zenye asili ya Calcium Nitrate ambazo ni kama vile Nitrabor, Tropicoti na Calicinite, Yara Bela:  Kundi hili ni Kundi lenye mbolea zenye asili ya Ammonium Sulphate Nitrate, zina Nitrojen na Sulphur ambazo ni Sulfan, Yara Vita:  Kundi hili ni la mbolea zile zenye madini yanayohitajika kwa kiwango kidogo na mmea (MicroNutrients) lakini muhimu katika ukuaji wa mmea sambamba na Yara Vera:  Kundi la tano ni mbolea za UREA.

MWISHO.

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati Zenye Uwezo wa Kubadili Maisha Yako

$
0
0

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara, Msanii wa Maigizo, Mwanamziki, ama mwanafunzi tunazo Dawa na PETE za Bahati zenye uwezo mkubwa wa kuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu.

Kutana na Sheikh Jumaa Bilal. Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota za binadam na bingwa wa tiba za asili Afrika mashariki. 

Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. Sheikh Jumaa Bilal ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOASHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA-  Sheikh Sasa amezianza ziara zake za mikoani na atayatembelea maeneo mbali mbali ndani na Nje ya nchi.

Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nayasiojulikana kwakutumia QUR_AN MAJI , KIOO MAJINI NA MITISHAMBA.

Anazo dawa za mapenzi( Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu LIMBWATA) kumrudishaa alipote, kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizpotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi, Kutoa kinga ya mwili, nyumba, Biashara, kufukuza majini wabaya, KUUZA kwa haraka (shamba, NYUMBA, GARI..), Kuweka Zindiko ya mwili, nyumba, shamba, Gari, kupata Kazi na kupandishwa cheo, mali na UTAJIRI bila masharti na mengine mengi ya Siri. (Anazo Pia Pochi zisizo kwisha Hela MAGIC WALLET)

*{لَا يُؤَاخِذُكُمُ اللَّهُ بِاللَّغْوِ فِي أيْمَانِكُمْ وَلَٰكِنْ يُؤَاخِذُكُمْ بِمَا عَقَّدْتُمُ الْأَيْمَانَ ۖ فَكَفَّارَتُهُ إِطْعَامُ عَشَرَةِمَسَاكِينَ مِنْ أَوْسَطِ مَا تُطْعِمُونَ أَهْلِيكُمْ أَوْ كِسْوَتُهُمْ أَوْ تَحْرِيرُ رَقَبَةٍ ۖ فَمَنْ لَمْ يَجِدْ فَصِيَامُ ثَلَاثَةِ أَيَّامٍ ۚ ذَٰلِكَ كَفَّارَةُ أَيْمَانِكُمْ إِذَا حَلَفْتُمْ ۚ وَاحْفَظُوا أَيْمَانَكُمْ ۚ كَذَٰلِكَ يُبَيِّنُ اللَّهُ لَكُمْ آيَاتِهِ لَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ }* ﴿٨٩﴾

✨Wabillahhi Tawfiq Asallam  Alaikum

Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa
nambari ya simu

+255 688 745 790
+255 672 861 042
Whatsapp :  0762 252 102

Wimbo Mpya: Martha Mwaipaja – Sipiganagi Mwenyewe

$
0
0
Msanii wa nyimbo za injili, Martha Mwaipaja ameachia wimbo mpya uitwao Sipiganagi Mwenyewe. Utazame hapo chini

Video: Diamond alivyotembelea kiwanda cha Pepsi

$
0
0
Msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz  jana November 27, 2018 alitembelea kiwanda cha vinywaji baridi cha Pepsi ambao ndio wadhamini wakuu wa Wasafi Festival. Tazama video hapo chini

Lugola awashukia tena Polisi wala Rushwa

$
0
0
Waziri  wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, amesema baadhi ya askari ndani ya Jeshi la Polisi bado wanaendekeza vitendo vya rushwa na kuwaambia dawa yao iko jikoni.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara na wananchi wa Kijiji cha Namibu, Jimbo la Mwibara juzi, Lugola alisema baadhi ya polisi wanalichafua jeshi hilo kutokana na tamaa zao, hivyo kusisitiza kuwa serikali ya awamu ya tano si ya kuchezewa.

Alisema licha ya kutoa taarifa mara kwa mara kuwataka askari hao kufanya kazi kiuadilifu kwa kuacha tabia ya kuomba rushwa, baadhi yao hawajamwelewa, hivyo kuahidi kupambana nao mpaka jeshi hilo litakapokuwa safi.

Lugola alisema anapokea taarifa mbalimbali kutoka kwa wananchi kuwalalamikia baadhi ya polisi kufanya matukio hayo ambayo hayakubaliki. Aliwataka askari hao wajue kuwa kati ya maagizo aliyopewa na Rais John Magufuli ni kupambana na rushwa ndani ya wizara hiyo, hivyo hawezi kumwangusha.

“Jeshi la Polisi linalinda usalama wa raia na mali zao, linapambana na rushwa katika mambo mbalimbali yakiwamo ya ardhi hapa kijijini, hivyo ndugu wananchi mnapopata migogoro mbalimbali ikiwamo ya ardhi na mengineyo, hakikisheni mnatoa taarifa polisi ili kusaidiwa,” alisema Lugola.

Alisema anapofanya ziara sehemu mbalimbali nchini anapokea maswali na pia anatumiwa ujumbe wa maandishi kwa njia ya simu kulalamikia tabia ya baadhi ya askari polisi ambao wanaomba rushwa hasa wale wa usalama barabarani.

Lugola aliongeza kuwa licha ya kuwa polisi wanaendelea kupambana na rushwa, nchi iko salama, hivyo wananchi popote wanapaswa kuwa na amani na kuendelea kufanya shughuli za maendeleo.

“Mimi sitakubali kuona mwananchi anateseka, mwananchi anaonewa, nasema hivi hao askari ambao ni wachache sana nitahakikisha ninapambana nao bila huruma. Kwa nini mnaonea wananchi ambao wengi wao ni maskini kwa kuwaomba rushwa. Hii haijakaa sawa,” alisema Lugola.

Lugola ambaye Septemba mwaka huu, alitangaza kuwa vituo vya polisi vifanye kazi saa 24 kwa kutoa dhamana kwa mwananchi yeyote mwenye sifa bila kujali ni Jumamosi au Jumapili, akiwa na maana kuwa ataondoa rushwa katika vituo, pia alitangaza kupambana na askari wala rushwa na watumishi wote walioko wizarani kwake na serikali kwa ujumla.

Waziri Mkuu: Wakuu Wa Mikoa, Wilaya Na Wakurugenzi Simamieni Uwajibikaji

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaagiza Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini wahakikishe wanasimamia vizuri uwajibikaji na utowaji wa huduma kwa wananchi katika maeneo yao bila ya woga. 
 
Kadhalika, Waziri Mkuu amemtaka kila mtumishi wa umma nchini awajibike katika kufanya kazi kwa bidii na kwamba Serikali ya Awamu ya Tano haitowavumilia watumishi ambao ni wezi, wabadhilifu, wavivu  na haitosita kuwachukulia hatua.

Waziri Mkuu aliyasema hayo jana jioni (Jumanne, Novemba 27, 2018) alipozungumza na watumishi, viongozi wa mkoa, wilaya ya Geita na taasisi za umma katika mkutano uliofanyika kwenye ukumbi wa Mamlaka ya Mji Geita.

“Watumishi fanyeni kazi kwa bidii na msitarajie kuundiwa tume pale mnapofanya vibaya, ukiharibu kazi tunakushughulikia hapo hapo na huu ndio msimamo wa Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Magufuli.”

Waziri Mkuu aliwaeleza watumishi hao kuwa wanatakiwa wafanye kazi kwa kuzingatia sheria na kanuni za kazi na pia watambue dhamana kubwa waliyonayo, ambayo ni kuwahudumia wananchi wote bila ya ubaguzi wa aina yoyote.

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amewaagiza watumishi wa umma hususani Wakuu wa Idara wahakikishe wanakuwa na kitabu cha Ilani ya Uchanguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili wapate muelekeo wa utekelezaji washughuli zao.

Waziri Mkuu amesema kitabu cha Ilani ya uchanguzi cha CCM 2015/2020 kina maelekezo ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ambayo kila idara inatakiwa kuangalia maelekezo yaliyotolewa kuhusu idara husika na kuyafanyia kazi.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel alimuhakikishia Waziri Mkuu kwamba yeye kwa kushirikiana na viongozi wenzake watayafanyia kazi maelekezo yote ambayo ameyatoa.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
JUMATANO, NOVEMBA 28, 2018.

Mahakama Yapokea Hati 8 za Viwanja vya Aliyekuwa Mhasibu TAKUKURU

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jana Jumanne Novemba 27, 2018 ilipokea hati nane za viwanja vinavyodaiwa kumilikiwa na aliyekuwa  mhasibu mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Godfrey Gugai.

Gugai anakabiliwa na kesi ya utakatishaji fedha na kumiliki mali zilizozidi kipato chake katika Mahakama hiyo.

Hati hizo ambazo ni moja ya mali anazotuhumiwa kumiliki Gugai katika mikoa ya Dar es Salaam na Pwani,  zilitolewa mahakamani hapo kama kielelezo baada ya shahidi wa nne wa upande wa mashtaka kutoa ushahidi wake dhidi ya Gugai.

Wakili wa Serikali Mwandamizi,  Awamu Mbagwa akisaidiana na Vitalis Peter, alidai mbele ya hakimu Mkazi Mkuu,  Thomas Simba  kesi hiyo ilikuja kwa ajili ya kuendelea na ushahidi na upande wa mashtaka wana shahidi kutoka Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

Shahidi huyo, Joanitha Kazinja kutoka ofisi ya msajili wa Ardhi,  aliwasilisha mahakamani hapo majalada nane ya hati za viwanja vya Gugai, ambavyo anadaiwa kumiliki.

Kazinja ambaye ni msajili wa hati msaidizi  kutoka wizara hiyo, alidai Gugai ni mmoja wa wamiliki walioandikishwa katika kumbukumbu za hati za ardhi ambao wamesajiliwa na wizara ya Ardhi.

"Naomba majalada haya ya hati za viwanja yapokelewe na mahakama kama kielelezo ili yaweze kutumika katika ushahidi huu" Alidai Kazinja.

Baada ya mahakama kuyapokea majalada hayo,  Kazinja alianza kuchambua jalada moja baada ya jingine kwa kuieleza mahakama kuwa hati hizo zimeanza kumilikiwa lini na zipo maeneo gani.

Mbali na Gugai, washtakiwa wengine ni George Makaranga, Leonard Aloys na Yasin Katera.

Washtakiwa hao wanatetewa na jopo la mawakili  Alex Mgongolwa, Semi Malimi, Denis Tumaini, Nduluma Majembe na John Mhozya.

Katika kesi ya msingi, Gugai na mwenzake wanakabiliwa na makosa 43, kati ya hayo 19 ni ya kughushi, 23 ni utakatishaji fedha na moja ni kumiliki mali zilizozidi kipato halali ambalo linamkabili Gugai.

Gugai anakabiliwa na kosa la kumiliki mali kinyume na kipato chake, akidaiwa kutenda kosa hilo kati ya Januari 2005 na Desemba 2015.

 Inadaiwa kuwa akiwa Takukuru Dar es Salaam, Gugai alikuwa akimiliki mali za zaidi ya Sh3.6 bilioni ambazo hazilingani na kipato chake huku akishindwa kuzitolea maelezo.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Rudisha Heshima ya Ndoa Yako.....Pata Tiba Bora ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
Wanaume wengi hawawaridhishi wake au wapenzi wao kwa kutokuwa na nguvu za kiume au uume mdogo? 

Kawaida mwanamke huwa anachukua dakika saba 7 adi kumi 10 ili aweze kufika kileleni na wakati wanaume wengi kwa sasa hutumia dakika tatu 3 hadi tano 5 ameshafika kileleni , hapo utagundua kabisa mke au mpenzi wako hujamtendea haki yake. Dr Nyalobi  anakuletea dawa imara na yenye nguvu tatu?

Simpo power; Hutibu matatizo yafatayo;

1.itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15-20 kwa tendo la kwanza

 2. itakupa uwezo wa kurudia tendo zaidi mara nne 

3 Huimalisha misuli iliyolegea na kusinyaa 

4 Hutoa uchovu pale umalizapo kufanya tendo

 Je kwa nini uzidi kuona aibu pale ukutanapo na mpenzi wako kwa sabubu uume wako mdogo na mwembamba? 

Promix; hii ni dawa ya kuongeza uume saizi upendayo.Dawa zetu ni za mitishamba na hazina madhara yoyote na ni tofauti na ulizowai kutumia ata wazee hutumia 

Mkuya; hii ni dawa ya kisukari dozi siku 21 

Mwaru; hii ni dawa ya uzazi hufungua mirija ya uzazi ata kama uzazi umefungwa

Markusi; ni dawa ya presha zipo dwa za korodani kuvimba,, vindonda vya tumbo, kupunguza kitambi, na minyama uzembe 

Fika ofisini kwetu Buguruni Malapa na Mwanza yupo wakala wetu au piga simu 0752348593 -Dokta Nyalobi
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images