Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Sugu aweka wazi matumizi yake ya pesa anazopata kwenye muziki

$
0
0
Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi maarufu Sugu, amebainisha matumizi ya pesa zake anazoingiza kwenye muziki amekuwa akizitumia katika kuwahudumia watoto wenye mahitaji maalum ikiwemo yatima.

Sugu ambaye ni Mbunge wa Mbeya Mjini kwa muhula wa pili, amebainisha hayo wakati akimjibu moja ya wafuasi wake kupitia akaunti yake Instagram.

Katika chapisho hilo la Joseph Mbilinyi moja ya wafuasi wake aliyesomeka kwa jina la Emmanuel Syonga aliandika “Mbeya wanahitaji huduma za jamii sio tamasha.”

Akijibu Swali hilo Mbunge huyo aliandika ;“toka niwe mbunge fedha ninazoingiza kupitia muziki huwa zinatumika kununua sare, na mahitaji mengine ya shule kwa watoto yatima, na wale waishio kwenye mazingira magumu Jijini Mbeya.”

Sugu ni miongoni mwa wasanii wa zamani wa muziki wa Hiphop ambao baadaye waliamua kujiingiza kwenye siasa na kushinda ubunge kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA.

Amnesty International Yawakingia Kifua Mashoga.......Yataka RC Makonda Adhibitiwe

$
0
0
Tangazo la mipango ya kuunda kikosi kazi ambacho kitaanza kuwasaka na kuwakamata watu ambao wanadhaniwa kuwa ni mashoga, au watu wa jinsia moja wenye mahusiano ya kimapenzi, kuanzia wiki ijayo, limezua taharuki katika jumuiya ya kimataifa.

Mkurugenzi wa shirika linalotetea haki za binadamu, Amnesty International, katika kanda ya Afrika Mashariki, Pembe ya Afrika na nchi za Maziwa Makuu Joan Nyanyuki ameiambia Sauti ya Amerika mkakati mzima wa kuwepo kikosi kazi ni lazima usitishwe mara moja kwani unachangia kuhamasisha chuki kati ya wananchi.

Mkurugenzi huyo amesisitiza kuwa: "Ni jambo la kusikitisha kuwa Tanzania imechagua kuchukua hatua hii hatari katika kukishughulikia kikundi ambacho tayari ni watu waliotengwa."

Amesema Suala la kikosi kazi ni lazima lisitishwe mara moja kwani linachangia katika kuhamasisha chuki kati ya wanajamii. Mashoga tayari wanakabiliwa na ubaguzi, vitisho na kushambuliwa bila ya kuwepo matamko ya chuki ya aina hii.

“Serikali ya Tanzania lazima ihakikishe kuwa hapana mtu yoyote, hasa wale walioko katika madaraka kama vile Paul Makonda, anatoa matamko au anachukuwa hatua kupandikiza chuki ambazo zinahatarisha maisha ya watu kwa sababu tu ya jinsia yao au maumbile yao.

Hivyo basi serikali inalojukumu la kumlinda kila mtu nchini Tanzania na kuheshimu haki zao za kibinadamu bila ya kuwabagua.

“Serikali inajukumu la kumlinda kila mtu nchini Tanzania na kuheshimu haki zao za kibinadamu bila ya kuwabagua. Ni lazima ichukue jukumu hili kwa uzito mkubwa na isianzishe programu au kutumia vyombo vya dola kuwaibia watu wa jinsia moja wenye mahusiano haki zao.

Credit: Voa

Dalili za Mimba Kuharibika

$
0
0
Kuna sababu nyingi zinazoweza kusababisha mama mjamzito mimba yake kuharibika. Sababu kuu huwa ni magonjwa kama vile ugonjwa hatari wa malaria, ugonjwa unaotokana na zinaa kama vile kaswende na kisonono na U.T.I, dawa fulani fulani mfano Albendazole, Misoprostol, Metronidazole na kadhalika.

Lakini pia mjamzito akifanya kazi za kutumia nguvu nyingi anaweza kusababisha mimba yake kuharibika. Lakini kuna sababu nyingi ambazo zinasababisha mimba kutoka huweza kuzuilika kwa kwenda kliniki mapema yaani pale tu unapohisi una mimba hata kama ni wiki mbili na kufuata ushauri wa wataalamu.

Ukweli ni kwamba kuna wanawake wengi mimba zao huharibika na wao hushindwa kugundua mapema na matokeo yake anakaa na mtoto mfu hata miezi kadhaa bila kujua.

DALILI ZA MIMBA KUHARIBIKA
Zipo dalili ambazo husababisha mimba kuharibika kama tutakavyoona leo hapa. Dalili hizo ni hizi zifuatazo:

KUTOKA DAMU NYINGI SEHEMU ZA SIRI
Mjamzito akitokwa na damu nyingi sehemu za siri ni dalili kwamba mimba imeanza kuachia na mlango wa uzazi umeanza kufunguka, na hiyo inaashiria kwamba kuna mambo mawili yameshatokea kwanza inawezekana mtoto ameshafia tumboni au bado hajafa, lakini kama damu imetoka kwa wingi inaashiria kuwa mtoto huyo aliye tumboni atakufa tu.

MTOTO KUACHA KUCHEZA TUMBONI
Ikiwa mtoto ataacha kucheza tumboni ni tatizo kubwa kwani kwa kawaida mtoto huanza kucheza akiwa na wiki ya 18 mpaka 20 kwa wanawake ambao hawajawahi kubeba mimba na wiki ya 16 mpaka 20 kwa wanawake ambao wameshawahi kuzaa. Ikitokea mtoto aliye tumboni ameshawahi kucheza lakini ghafla akawa hachezi au muda huo umepitiliza na bado kimya kuna uwezekano mkubwa ikawa mtoto huyo amefia tumboni, hivyo haraka sana wahi hospitali kumuona daktari.

KUPOTEA KWA DALILI ZA UJAUZITO
Kupotea kwa dalili za ujauzito ni tatizo lingine baya kwa mama mjamzito. Mara kwa mara mwanamke akiwa na ujauzito anakuwa na dalili nyingi kama vile kuwa na kichefuchefu, kukosa hamu ya kula baadhi ya vyakula, kutapika, kulamba vitu vichachu kama vile limao, ndimu, wengine hula udogo na wengi hubadilika sana tabia, hivyo basi dalili zote hizo za mimba zikisimama ghafla basi ujue mimba imeharibika. 

MIMBA KUTOKUA 
Ikiwa mimba itaacha kuongezeka au kukua ni dalili nyingine ya mimba kuharibika. Kila mtu aliye mjamzito anategemea mimba iwe inakua kila siku  na iwe kubwa kulingana na umri unavyozidi kwenda mbele, ikiwa mimba iko vilevile kwa miezi kadhaa, yaani haikui au ukubwa wa tumbo haubadiliki ujue kwamba mimba hiyo imeharibika, ili kupata uhakika wahi hospitali kupimwa.

TUMBO KUWA NA MAUMIVU MAKALI
Ikiwa mjamzito atakuwa ana maumivu makali ya tumbo wakati ni mjamzito hiyo pia ni dalili mbaya. Kwa kawaida maumivu makali ya tumbo hasa kwa mimba kubwa ya miezi zaidi ya mitano au mimba ndogo kama mwezi mmoja, basi kuna uwezekano mkubwa kondo imeanza kujiondoa kwenye kizazi kwa mimba kubwa au mimba ndogo imeshindwa kuendelea kukua na moja kwa moja hiyo inaweza kuwa dalili ya kuwa mimba imeharibika.

KUTOKA VIPANDE VYA NYAMA SEHEMU ZA SIRI
Ikiwa mama mjamzito atakuwa akitokwa na vipande vya nyama sehemu za siri ni dalili mbaya sana. Kutokwa na vipande vya nyama sirini ni kuashiria kwamba kuna mtoto ameharibika tumboni. Hali hiyo ya hatari ikitokea mjamzito anatakiwa asafishwe kuondoa masalio yaliyobaki.

Jipatie Dawa ya Asili ya Kupunguza Maziwa, Kupunguza Tumbo,Kuongeza Unene, Kuongeza Maumbile ya Kiume na Kuondoa Chunusi

$
0
0
Bidhaa za NATURAL BEAUTY PROD ni bidhaa zilizothibitishwa kiafya na kupewa kibali original cha kuuzwa hadharani.

Bidhaa hizi zimetengenezwa kwa mimea na matunda hazina chemical wala madhara yoyote kwa mtumiaji
1. SHARK POWER--Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza uume urefu na upana mpaka nchi 7.5 inapatikana kwa @170,000/=
2. VIGA 84000---Hii dawa ya kuspray yenye uwezo mkubwa wa kuchelewesha wakati wa tendo la ndoa @160,000/=
3. HANDSOME UP ORIGINAL-- Hichi ni kifaa cha kuongeza maumbile kwa size uipendayo pamoja na kuimalisha misuli kifaa hichi kinapatikana kwa @230,000/=
4. MAXMAN CAPSULE--- Hii ni dawa ya vidonge ya kuongeza uume urefu na upana pamoja na kuongeza nguvu za kiume kwa wiki mbili tu bei yake ni @200,000/=
5. VIG RX---- Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza uume urefu na upana mpaka nchi 10 inapatikana kwa @190,000/=
6. BODY BOOSTER---Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri @150,000/=
7. BOTCHO MULT PLUS-- Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza (hips mapaja na makalio) kwa size uipendayo unaipata kwa @200,000/=
8. WHITE COLLECTION---- Ni vidonge vya kuwa mweupe mwili mzima pamoja na kuwa soft @150,000/=  N.K

 Wasiliana nasi kwa simu
NO:. +255 759029968
                      AU
           +255 659618585
Popote ulipo utapata huduma zetu.
Pia hakikisha unapatiwa risiti yenye muhuri halisi wa NATURAL BEAUTY PROD ununuapo bidhaa kampuni hii.  
          WELCOME ALL

Habari Njema Kwa Wenye Matatizo Ya Nguvu za Kiume, vitambi, nyama uzembe

$
0
0
(1).Fikiria ulianzia wapi? Je,ulifanikiwa au bado?

(2).Upo tayari kupona kwa haraka?

TIBA ZITOLEWAZO NI,

NGORO 4 POWER; Huongeza nguvu za kiume yenye mfumo wa unga na vidonge dozi siku(6).

MELAMELA; Hurefusha na kunenepesha uume ipo katika mfumo wa unga dozi siku (4).

KASELA; Hurudisha mke,mme,mchumba na hawara ndani ya siku mbili tu,atatimiza mahitaji yote hata Kama yupo mbali na kumfunga asiwe na mtu mwingine.

IKUMBUJA; Humfanya mtu  kupandishwa cheo kazini na kulipwa madeni au mafao yako pia na kumaliza kesi kabisa.

DUDUMA; Huongeza hips,makalio na mguu wa bia.

SWASWA: Hupunguza maziwa makubwa, kitambi, nyama uzembe, michirizi na muwasho sehem za Siri,na harufu mdomoni.

KOOLA;Hutibu magonjwa sugu ya zinaa, tumbo kujaa gesi,kuuma chini ya kitovu, kiuno ,fangasi za miguu, na kuvimba miguu au miguu kuwaka Moto.

Kwa hayo na mengineyo mfatilie DR.HINDU kwani ana uwezo wa kuhudumia ndani na nje ya TANZANIA.Kwa Dar es salaam anapatikana BUGURUNI MALAPA pia KAHAMA anapatikana MARUNGA.

Kwa wasio na mda wa kufika ofisini kwangu Nina vijana wa kukuletea mpaka ulipo kazini ama nyumbani kwako.

OFISI ZINAFUNGULIWA SAA 07 :00 ASUBUHI.

CONTACTS 0744 922 982(WhatsApp), 0716608959.

  "WOTE MNAKARIBISHWA".DR   HINDU NI SULUHISHO LAKO.

Ugonjwa wa Zinaa wa Kaswende (Syphilis) : Dalili Zake, Madhara Yake Na Jinsi Ya Kujikinga

$
0
0
Ugonjwa wa kaswende ni ugonjwa wa zinaa unaosababishwa na bakteria aina ya Treponema pallidum. Ugonjwa wa huu ni kati ya magonjwa ya zinaa yanayoongoza kwa kusababisha madhara mengi. 

Maambukizi ya kaswende wakati wa ujauzito huleta madhara mengi sana kama kujifungua kiumbe mbacho kimeshakufa, mtoto kuathirika na ugonjwa huu wakati wa kuzaliwa, mtoto kupata matatizo wakati wa ukuaji wake, degedege na kuongezeka kwa vifo vya watoto wachanga nchini. 

Ugonjwa wa kaswende huathiri zaidi ya mimba millioni moja duniani kote kila mwaka na huchangia theluthi mbili ya vifo vya watoto wale wanaozaliwa tayari wameshakufa katika nchi za maeneo ya jangwa la sahara. 
 
 Asilimia 30 ya mimba zinazoathiriwa na kaswende huishia watoto kufariki wakati wa kuzaliwa. Asilimia nyengine 30 ya mimba zinazoathiriwa na kaswende husababisha watoto kuzaliwa na ugonjwa huu wa  kaswende, kupata matatizo ya ukuaji wao, degedege na kuongeza vifo vya watoto kwa asilimia 50. 
 
Ugonjwa wa ukimwi na kaswende mara nyingi huambatana pamoja. Ugonjwa wa kaswende huongeza uwezekano wa mtu kupata ugonjwa wa ukimwi.

Visababishi vya ugonjwa wa kaswende

Kama tulivyosema awali, kaswende husababishwa na bakteria aina ya Treponema pallidum. Njia za maambukizi za ugonjwa huu ni kama zifuatavyo;
  • Kupitia kujamiana bila kutumia kinga na mtu aliyeambukizwa kaswende
  • Kujamiana kupitia njia ya haja kubwa (anal sex)
  • Kujamiana kupitia njia ya mdomoni (oral sex)
  • Mama aliyepata ugonjwa wa kaswende wakati wa ujauzito anaweza kumuambukiza mtoto wake wakati wa ujauzito.
  • Kuambukizwa kupitia michibuko au mipasuko kwenye ngozi wakati wa kujamiana au wakati mwengine wowote pale mtu anapogusana na mtu mwenye kaswende ikiwa wote wawili wana mipasuko kwenye sehemu mbalimbali za ngozi zao. Sio rahisi mtu kutambua kama ana michibuko au la kwenye ngozi kwani mengine inakuwa midogo sana isipokuwa ile ambayo inaweza kuonekana kwa macho.
Dalili na Viashiria vya ugonjwa wa kaswende
Dalili na viashiria vya ugonjwa wa kaswende hutegemea na aina ya ugonjwa wa kaswende wenyewe. Kuna aina tano za ugonjwa wa kaswende ambazo ni;
  • Ugonjwa wa kaswende wa awali (Primary syphilis)
  • Ugonjwa wa kaswende wa pili (Secondary syphillis)
  • Kaswende iliyojificha (Latent syphilis)
  • Kaswende ya baadae (Tertiary syphilis)
  • Kaswende ya kurithi (Congenital syphilis)
Kaswende ya awali (primary syphilis)
Dalili ya kwanza ya aina hii ya kaswende ni kutokea kwa kidonda kidogo cha mviringo (chancre kama kinavyojulikana kitaalamu) katika sehemu ambayo bakteria wameingilia na hutokea kati ya siku 10 hadi miezi mitatu (kwa kawaida kuanzia wiki 2 hadi 6) baada ya mtu kupata maambukizi ya kaswende. Kidonda hiki kinaweza kutokea kwenye sehemu ya haja kubwa, shingo ya kizazi kwa wanawake (cervix), mdomoni (lips), uume (penis), ulimi, vulva, tupu ya mwanamke (vagina) na sehemu nyengine mwilini. Tezi (lymph nodes) ambazo zipo karibu na sehemu iliyotokea kidonda hiki kawaida huwa zinavimba baada ya siku 7 hadi 10. 


Kidonda hiki hakiambatani na maumivu na kwa kuwa kinaweza kutokea katika sehemu zilizojificha kama kwenye shingo ya kizazi, sio rahisi mtu kutambua kama na aina hii ya kaswende. Kidonda hiki kinaweza kuwepo kwa muda wa wiki 3 hadi 6 kama mtu hatapata tiba na kinatoweka chenyewe bila tiba au baada ya kupata tiba. 

Robo tatu ya wale ambao hawapati tiba huishia kuingia kwenye kundi la kaswende ya aina ya pili (Secondary syphilis).
 
Kaswende aina ya pili (Secondary syphilis)
Aina hii hutokea wiki 4 hadi 10 baada ya mtu kupata kaswende ya awali. Dalili za aina hii ya kaswende ni;
  • Vipele ambavyo haviwashi katika viganja vya mikono au nyayo za miguu. Vipele hivi pia vinaweza kutokea mwili mzima au sehemu mbalimbali za mwili.
  • Uchovu
  • Kuumwa kichwa
  • Homa (fever)
  • Kunyofoka nywele
  • Vidonda vya koo (sore throat)
  • Kuvimba kwa matezi mwili mzima
  • Maumivu ya mifupa (joint pain)
  • Kupungua uzito
Kaswende ya aina hii inakuwepo kwa wiki kadhaa na hupotea hata bila kupata tiba kwa mtu aliyeathirika. Pia inaweza kujirudia rudia katika kipindi cha mwaka mmoja hadi miwili na mtu huingia kwenye kundi la aina ya tatu ya ugonjwa wa kaswende (latent syphilis) baada ya miaka miwili.
 
Kaswende iliyojificha (Latent syphilis)
Hii inajulikana kama kaswende ambayo inaweza kuthibika tu kwa kutumia vipimo vya maabara (serological test). Imegawanyika katika makundi mawili:
i. Early latent syphilis (kaswende iliyojificha ya awali) – Hii ni ile ambayo hutokea ndani ya kipindi cha mwaka mmoja baada ya muathirika kuugua kaswende aina ya pili (secondary syphilis). Aina hii huwa na dalili zinazojirudia kama za kaswende ya pili (secondary syphilis)
ii. Late latent syphilis (kaswende iliyojificha ya kuchelewa) – Hii hutokea baada ya mwaka mmoja wa kuugua kaswende ya aina ya pili (secondary syphilis). Wakati wa kuugua aina hii, muathirika anakuwa hana dalili wala viashiria vyovyote vile na uwezo wake wa kuambukiza mtu mwengine unakuwa chini au hawezi kabisa kumuambukiza kaswende mtu mwengine.

 
Kaswende ya baadae (Tertiary syphilis)
Asilimia 30 ya wagonjwa wa kaswende ambao hawakupata tiba hapo awali huingia kwenye kundi hili na hutokea miaka 15 – 30 baada ya maambukizi ya kaswende hapo awali. 


Aina hii inaweza kuathiri viungo kama macho, ubongo, mishipa ya fahamu (Neurosyphilis), jointi au viunganishi vya mifupa, uti wa mgongo, moyo, mishipa ya damu na hivyo kusababisha madhara makubwa kama;
  • Upofu
  • Magonjwa ya moyo – Aortic dissection type B, syphilitic aortitis
  • Magonjwa ya akili
  • Magonjwa ya mishipa ya fahamu
  • Mtu kuwa kiziwi
  • Kupungukiwa na kumbukumbu (Memory loss)
  • Kifo
Pia aina hii ya kaswende inaweza kuathiri mfumo wa chakula (abdominal organs), mfumo wa kupumua (respiratory system) na mfumo wa uzazi (reproductive system).
 
Kaswende ya kurithi (Congenital syphilis)
Aina hii hutokea wakati wa ujauzito au baada ya mtoto kuzaliwa. Robo mbili ya wototo wanaozaliwa hawaonyeshi dalili zozote. Nusu ya watoto wenye maambukizi ya kaswende hufariki muda mfupi kabla ya kuzaliwa au baada ya kuzaliwa. Dalili za aina hii ya kaswende kwa mtoto mchanga zinaweza kutokea baada ya kuzaliwa au wiki 2 hadi miezi 3 baada ya kuzaliwa;
  • Kutoongezeka uzito au kushindwa kukua
  • Homa
  • Kukasirika haraka (irritability)
  • Kutochongoka kwa pua, pua inakuwa bapa (no bridge to nose or saddle nose)
  • Vipele kwenye viganja vya mikono na kwenye nyayo
  • Vipele vya rangi ya madini ya shaba kwenye uso, viganja vya mikono na nyayo
  • Vipele kwenye mdomo, sehemu za siri na sehemu ya haja kubwa
  • Kutokwa na majimaji puani
  • Kuongezeka ukubwa wa ini na bandama (hepatosplenomegally)
  • Ngozi kuwa ya njano (jaundice)
  • Upungufu wa damu mwilini (anemia)
Dalili kwa mtoto mkubwa
  • Kuathirika meno (Hutchinson teeth)
  • Maumivu ya mifupa
  • Upofu
  • Kupungua uwezo wa kusikia au mtoto kuwa kiziwi
  • Ukungu kwenye mboni za macho (Clouding of cornea)
  • Vidonda rangi ya kijivu kwenye sehemu ya haja kubwa na kwenye tupu ya mwanamke (vagina)
  • Ngozi kuwa na mabaka meusi kwenye mdomo, sehemu za siri na sehemu za haja kubwa
  • Maumivu kwenye mikono na miguu
  • Kuvimba jointi za mifupa
Ugunduzi wa ugonjwa wa kaswende
Ugunduzi wa ugonjwa wa kaswende huusisha utambuzi wa dalili na viashiria vya ugonjwa huu (hii hufanywa na daktari) kupitia historia ya mgonjwa, vipimo vya damu na vipimo vya kugundua bakteria aina ya Treponema pallidum. 

 
a. Utambuzi wa dalili na viashiria vya ugonjwa wa kaswende
  1. Hufanywa na daktari
  2. Huusisha historia ya mgonjwa
b. Vipimo vya damu
Vipimo hivi vinahusisha utambuzi wa chechembe za antibodies dhidhi ya bakteria Treponema pallidum. Majibu yanaweza kuwa false positive (Wale ambao vipimo vimeonyesha wana kaswende lakini hawana ugonjwa huu,hii hutokea kwa wale ambao waliugua kaswende awali na hali hii inaweza kuwepo hadi miezi mitatu baada ya kupona ugonjwa huu au wale wenye ugonjwa wa kifua kikuu, malaria, wajawazito, measles, endocarditis, connective tissue disease nk.) au false negative (Wale ambao wameathirika na kaswende lakini vipimo vinaonyesha hawana kaswende). Mara nyingi ni vigumu sana kuthibitisha uwepo wa ugonjwa huu, hivyo vipimo hurudiwa ili kupata uthibitisho.
  • RPR (Rapid plasma reagin) test
  • VDRL (Veneral Disease Research Laboratory)
  • The microhemagglutination assay [MHA-TP] Hufanywa kuthibitisha ugonjwa wa kaswende
  • Fluorescent-treponemal-antibody absorption [FTA-ABS, enzyme-linked immunosorbent assay ELISA]) Hufanywa kuthibitisha ugonjwa wa kaswende
  • PCR (Polymerase Chain Reaction) – Kipimo cha kuangalia vina saba (DNA) vya Treponema pallidum.
  • Complete Blood Count - Kipimo cha kuangalia wingi wa damu na aina tofauti za chembechembe za damu
c. Vipimo vya kugundua bakteria
Hufanywa kwa kutumia hadubini ( Dark field microscopy).
d. Vipimo kwa wale wenye madhara ya kaswende
  • Picha ya X-ray ya kifua, uti wa mgongo
  • Vipimo vya moyo – ECG, transesophageal echocardiogram,aortic angiography, doppler ultrasonography, chest MRI, cardiac CT scan (contrast), CT angiography.
  • CT scan ya kichwa, mfumo wa chakula (abdominal CT)
  • MRI ya kichwa, uti wa mgongo, brainstem
  • Bone scan (Vipimo vya mifupa)
  • Vipimo vya macho
  • Vipimo vya masikio
  • Lumbar puncture – Kipimo cha kuangalia bakteria kwenye maji ya uti wa mgongo
  • Cerebral angiogram – Kipimo cha kuangalia mishipa ya damu kwenye ubongo
  • Nerve conduction tests
Tiba ya ugonjwa wa kaswende
Tiba ya ugonjwa wa kaswende inahusisha matumizi ya dawa za antibiotic za kundi la penicillin. Dawa nyengine ni aina ya polyketides antibiotics (doxycyline nk.) lakini hizi hazitumikia kwa wajawazito. Kwa wale ambao wanapata madhara baada ya kutumia penicillin ni bora kumjulisha daktari mapema. 


Tiba kwa wale wenye kaswende iliyoathiri mishipa ya fahamu ni penicillin inayotolewa kupitia kwenye mishipa ya damu na wanahitaji kulazwa hospitali kwa matibabu zaidi. Wale ambao wameathiriwa na kaswende kwenye viungo vya mwili, madhara hayo sio rahisi kurekebishika na mengine hayarekebishiki.
 
Tiba ya upasuaji
Tiba ya upasuaji kwa wale wenye madhara ya ugonjwa wa kaswende kama kwenye moyo na nk.
Wagonjwa wa syphilitic aortitis wanaweza kutibiwa kwa angiography/angioplasty lakini kama wana magonjwa mengine ya moyo kama coronary heart disease basi tiba hii haifanyiki. 

 
Madhara ya ugonjwa wa kaswende
  • Magonjwa ya moyo
  • Magonjwa ya akili
  • Mtu kuwa kiziwi
  • Upofu
  • Magonjwa ya mishipa ya fahamu
  • Kupungukiwa kumbukumbu (memory loss)
  • Upungufu wa damu mwilini
  • Mimba kutoka wakati wa ujauzito
  • Kuzaa mtoto ambae ameshafariki
  • Madhara kwenye mifupa
  • Vifo vya watoto
Jinsi ya kujikinga na ugonjwa wa kaswende
  1. Kufanya ngono salama kwa kutumia kondomu, njia sahihi ni kuepuka kabisa ngono
  2. Wale walioathirika kuacha kufanya ngono na wenza wao hata kama wameanza tiba mpaka vidonda vipone
  3. Kwa wajawazito, kuhudhuria kliniki mapema ili kama ukigundulika kuwa na kaswende hivyo kupata tiba haraka.
  4. Epuka kugusana na majimaji yoyote yanayotoka kwa mtu aliyeathirika kwa ugonjwa huu.

Video Mpya ya Walter Chilambo - Unaniona

$
0
0
Video Mpya ya  Walter Chilambo - Unaniona . Itazame hapo chini

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa pekee iliyotibu watu wengi nchini na nje ya nchini kwa kufanya kazi Mara 3 kwa wakati mmoja 1 ...kurefusha uume na kunenepesha saizi upendayo, kuogeza nguvu za kiume na inatibu matatizo , ikisha tibu aina madhara inaimalisha mishipa ilio regea na uzalishaji wa mbegu za kiume. TAHADHARI HAKIKISHA UNA MKE AU    MPENZI. 

NINI HUCHANGIA MATAZO HAYA . Ngiri ni chanzo Kikubwa cha matatizo,haya kujua kwamba una ngiri dalili zake ni 1.kufika haraka kileleni wakati  watendo la ndoa 
2.Kushindwa kulundia tendo la ndoa 
3.Kutoa choo kama cha mbuzi 
4. Tumbo kujaa gesi na kuunguruma 
5 kukosa choo kabisa 
6 Maumbile kuingia ndani na kuwa mafupi 
7 korondani moja kuvimba 
8 kutosikia hamu ya tendo la ndoa
 9 maumivu ya kiuno na mgongo  

Pia tunatibu busha bila kufanyiwa opresheni .Umeachwa na umpendae na bado unamwitaji?

WASILIANA  NA MTALAM  CHALLO 0714 006521. YUPO MBAGALA.

Masunzu Power Mix Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
🌸MASUNZU POWER MIX; ni dawa ya asilia yenye mchanganyiko wa mitishamba 7 yenye maajabu yafuatayo (1) inatibu upungufu wa nguvu za kiume Mara dufu na kuimalisha uume   uliolegea wakati wa tendo la ndoa 
(2) kurefusha uume uliorudi ndani nchi 5-8 
(3) kunenepesha uume sm4 ya upana itakufanya uchelewe kufika kileleni dk (15-20) kwa tendo la kwanza na utakuwa nauwezo wa kurudia tendo la ndoa Mara (2-4) bila hamu kuisha nainatibu kabisa. 

Dawa hii haina madhara yoyote kwa mtumiaji huanza kufanya  kazi baada ya dk 50 tu🌾🌾🌾🌾🌾🌾🌾🌾      

 MATATIZO HAYA HUSABABISHWA NA ;ngiri. au umejichua kwa muda mrefu. Punyeto kisukari. Presha. Tumbo kujaa gesi na kuunguruma chini ya Kitovu. Kutopata choo vizuri. Msongo wa mawazo. Kaswende. Gono. Haya yote husababisha kuwa na maumbile madogo na kukosa nguvu za kiume 

🌸SOSOMA DX. ni dawa ya kumvuta mme au mke au mpenzi wako arudi haraka na kuanza mapenzi mapya kama mlivyo anza mwanzo baada ya masaa 2 atarudi na kutulia ndani ya nyumba na kutimiza ahadi yako 

🌸GINDU EXTRA; ni dawa ya kutibu kisukari siku 14 unapona kabisa hata kama imepanda itashuka haraka Sana. Tunatibu busha bila upasuaji nk. 

Dar es salaam tunapatikana Buguruni chama au unaweza kuletewa popote ulipo wasiliana na tabibu ATHUMAN SIMU +255767104343 / +255653207272

Saratani ya tezi dume : Madhara Yake, Dalili Zake, Chanzo na Tiba Yake

$
0
0
Moja ya maradhi yanayoshuhudia kampeni kubwa kukabiliana nayo katika miaka ya hivi karibuni duniani ni pamoja na saratani ya tezi dume kutokana na ukubwa wa athari inazosababisha.

Ni maradhi yanayoshika nafasi ya tatu kwa kusababisha vifo vinavyotokana na saratani kwa wanaume duniani.

Pia ni chanzo kikuu cha vifo vinavyosababishwa na saratani kwa wanaume wenye umri wa miaka 70 na kuendelea.

Hata hivyo, satarani ya tezi dume kwa sasa inawapata zaidi wanaume kuanzia miaka 25.


Maana ya saratani
Saratani maana yake ni ukuaji holela bila mpangilio wa seli baada ya kuparanganyika kwa mfumo wa seli unaodhibiti ukuaji na uhai wake. Na uvimbe wa kawaida wa tezi maana yake ni kuwa seli zimetutumka tu lakini hakuna mparanganyiko wa seli wala kukua kwa kusambaa kiholela kama ilivyo kwa saratani.

Hivyo, ndio maana kuna tatizo la kuvimba tezi dume na wengine kupata saratani ya tezi dume kwa wanaume wenye umri mkubwa.

Tezi dume ni sehemu mojawapo ya mfumo wa uzazi wa kiume. Inaundwa na sehemu mbili ambazo zimeunganishwa na kufunikwa kwa nje kwa utando wa tishu.

Tezi hii ipo mbele kidogo ya puru (rectum) na chini kidogo ya kibofu cha mkojo. Tezi dume inauzunguka mrija unaounganisha kibofu cha mkojo na uume (urethra).

Kazi ya tezi dume
Mojawapo ya kazi za tezi dume ni kutoa majimaji yanayochanganyika na mbegu za kiume (sperms) wakati wa kilele cha tendo la kujamiana. Mchanganyiko huu wa mbegu pamoja na majimaji hayo hutengeneza shahawa (semen).

Majimaji hayo husaidia kuzipa mbegu za kiume nguvu ya kusafiri kwenye uke mpaka kufikia kwenye mirija ya uzazi, tayari kwa utungisho na yai la kike. 


Vilevile husaidia kupunguza hali ya kitindikali iliyopo katika uke, ambayo isiporekebishwa, huua mbegu nyingi za kiume na kufanya utungisho kuwa wa tabu..

Vyanzo Vinavyopelekea Tezi Dume Kutanuka:
Tatizo la kutanuka kwa tezi dume limekuwa kwa kasi sana hii ni kutokana na mitindo ya maisha wanaume wengi wanayoishi. Pia na elimu ndogo iliyoko kwenye jamii kuhusu afya zao.

Vifuatavyo ni vyanzo vya kutanuka kwa tezi dume:
- Ukosefu wa lishe kamili na Virutubisho muhimu mwilini.
- Uwepo wa sumu nyingi mwilini.
- Kutokufanya mazoezi.
- Matumizi ya pombe kali, na uvutaji wa sigara.
- Uzito mkubwa (uliopindukia, uliokithiri), na Kitambi.
- Kutokukaa sawa kwa vichocheo vya mwili (Hormone Imbalance).
- Msongo wa mawazo (Stress).
- Magonjwa ya zinaa.
- Umri mkubwa.
- Upasuaji wa korodani, kuzaliwa na korodani moja.
- Historia ya Familia (Kurithi).
- Mazingira (Ethnicity).

Dalili za saratani ya tezi dume ni zipi?

a) Dalili za awali
- Kukojoa mkojo uliochanganyikana na damu
- Kukojoa mkojo wenye mtiririko dhaifu
- Maumivu kwenye mfumo wa mkojo
- Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa
- Kuhisi kibofu kimeja mkojo muda wote na ukienda kukojoa mkojo hautoki, lakini ukirudi kukaa unahisi kukojoa tena.
- Homa
- Kukojoa mara kwa mara wakati wa usiku

b) Dalili za mtu aliyeathirika
- Maumivu ya mifupa hasa chini ya mgongo, kiuno na mbavu
- Miguu kuwa dhaifu
-Kushindwa kumudu tendo la ndoa, au Kuhisi maumivu makali wakati unamaliza tendo la ndoa
- Kushindwa kuzuia mkojo, pindi unapohisi kukojoa
- Kushindwa kuzuia haja kubwa (kinyesi cha maji maji)
- Tumbo kuja gesi mara kwa mara


Vipimo gani vitathibitisha kuwa nina saratani ya tezi dume?
Utambuzi wa saratani ya tezi dume hujumuisha kufahamu historia ya mgonjwa pamoja na familia yake, kufahamu dalili alizo nazo mgonjwa pamoja na kufanya vipimo kadhaa. Vipimo vinavyoweza kufanywa ni pamoja na
  1. Digital rectal exam: Daktari ataingiza kidole cha shahada katika puru (rectum) ili kuhisi tezi dume kupitia ukuta wa puru. Aidha atahisi pia sehemu zote zinazozunguka tezi dume kutambua iwapo tezi ni ngumu au kama ina uvimbe wowote.
  2.  Kipimo cha damu kuchunguza Prostate Specific Antigen (PSA): PSA ni aina ya protein inayozalishwa na seli za tezi dume. Uzalishaji wake huongezeka wakati wa BPH, tezi dume inapopata uambukizi (prostitis) , na saratani ya tezi dume. DRE pamoja na PSA huonesha uwepo wa tatizo kwenye tezi dume lakini vipimo hivi havina uwezo wa kutofautisha iwapo tatizo hilo linamaanisha saratani au BPH. Hivyo basi, ili kuweza kutofautisha kati ya magonjwa hayo mawili, kipimo kiitwacho Prostate biopsy hufanywa.
  3. Prostate biopsy: Kipimo hiki hufanywa kwa kuchukua kipande cha nyama (tishu) kutoka tezi dume kwa ajili ya uchunguzi maabara.
Kipimo kingine huitwa transrectal ultrasound ambacho husaidia kuonesha ukubwa na sura ya tezi dume lilivyo.

Ili kutambua kama saratani imesambaa sehemu nyingine za mwili vipimo vya CT scan, MRI pamoja na PET navyo vyaweza kufanyika pia.

Madhara ya Tezi Dume:
Yafuatayo ni madhara ya tezi iliyotanuka:
- Kibofu cha mkojo kuuma: hivyo hupelekea mkojo kurudi juu, na kuharibu figo na Ini … … n.k.
- Kufunga kwa njia ya mkojo kabisa
- Figo kushindwa kufanya kazi (Kidney Failure)
- Kushindwa kumudu tendo la ndoa (Ndoa zinavunjika)
- Ugumba (Infertility, Frigidity for men)
- Kutokea kwa majipu sehemu ya Tezi Dume
- Kifo

Saratani ya tezi dume inatibika?
Ndiyo! Kuna njia kadhaa za matibabu ya saratani ya tezi dume. Hata hivyo uamuzi wa njia gani itumike unategemea ushauri na maoni ya daktari kulingana na hatua ya ugonjwa ulipofikia na umri wa mgonjwa husika.

Katika hatua za awali za ugonjwa, daktari anaweza kushauri mgonjwa atibiwe kwa kufanyiwa upasuaji na tiba ya mionzi, wakati kwa wagonjwa wazee, daktari anaweza kushauri kumfuatilia mgonjwa kwa ukaribu bila kumfanyia upasuaji au bila kumpatia tiba ya mionzi.

Iwapo saratani imesambaa na kuathiri sehemu nyingine za mwili, matibabu yake yanaweza kujumuisha upasuaji wa kuondoa korodani, matumizi ya dawa za kupunguza kiwango cha homoni ya testosterone katika damu (hormonal therapy), au matumizi ya kemikali za kuua seli za saratani (chemotherapy).

Upasuaji
Upasuaji hufanyika kwa wagonjwa walio katika hatua za awali za ugonjwa (stage I na stage II) ingawa pia hufanywa kwa baadhi ya wagonjwa walio katika hatua za mwisho za ugonjwa huu yaani stage III na stage IV. Upasuaji unaofanywa ni ule wa kuondoa tezi dume pamoja na baadhi ya tishu zinazozunguka tezi hiyo.

Tiba ya Mionzi
Hii ni aina ya tiba inayotumia mionzi kuua seli zenye saratani. Tiba ya mionzi hutumika kutibu saratani ya tezi dume ambayo haijasambaa kwenye sehemu nyingine za mwili. Aidha inaweza pia kutumika kuua masalia ya tishu zenye saratani mara baada ya kufanyika kwa upasuaji.

Kwa wagonjwa walio katika hatua ya mwisho ya saratani yaani wale ambao saratani tayari imeshasambaa mwilini, mionzi hutumika kupunguza maumivu makali ya mifupa.

Madhara anayoweza kupata mgonjwa kutokana na aina hii ya tiba ni pamoja na kushindwa kusimamisha uume au uhanithi, kukosa hamu ya kula, uchovu, ngozi kubabuka, kuharisha na kutoa mkojo uliochanganyika na damu.

Tiba ya Homoni
Hii ni aina ya tiba inayotumia dawa zinazopunguza kiwango au ufanyakazi wa homoni ya testosterone mwilini. Testosterone ni homoni ya kiume inayochochea ukuaji wa tezi dume, hivyo basi matumizi ya dawa hizi husaidia kupunguza ukuaji huu na kusambaa kwa seli za saratani.

Tiba ya homoni hutolewa kwa wanaume walio katika hatua za mwisho za ugonjwa huu kwa nia ya kupunguza maumivu na kutibu dalili za ugonjwa. Dawa zinazotumika kwa tiba ya aina hii zimegawanyika katika makundi mawili, zile zinazochagiza uzalishaji wa homoni ya luteinizing (luteinizing hormone-releasing hormones, LH-RH) kwa mfano goserelin, nafarelin na leprolide; na zile zinazozuia ufanyaji kazi wa homoni ya androgen kwa mfano flutamide, bicalutamide na nilutamide.

Madhara yanayoweza kusababishwa na utumiaji wa dawa hizi ni pamoja na kichefuchefu na kutapika, upungufu wa damu, kuongezeka uzito, uhanithi na kukosa hamu ya tendo la ngono, matatizo katika ini na matiti kuwa makubwa.

Baadhi ya madaktari hutumia upasuaji wa kuondoa korodani kama njia ya kupunguza kiwango cha homoni za kiume mwilini kwa kigezo kwamba kiwango kikubwa cha homoni hizi huzalishwa kwenye korodani. Hata hivyo tiba hii haifanyiki mara kwa mara.

Baada ya matibabu?
Baada ya matibabu, mgonjwa wa saratani ya tezi dume hufuatiliwa kwa ukaribu kuhakikisha kuwa saratani haisambai sehemu nyingine za mwili. Ufuatiliaji hujumuisha mgonjwa kufanyiwa uchunguzi wa mara kwa mara pamoja na kupima PSA kwa kipindi cha miezi mitatu mitatu mpaka mwaka mmoja.

Waziri Lugola Apiga Marufuku Viongozi Kuwatisha, Kuwanyanyasa Askari Na Watumishi Wanaotoa Kero Zao Katika Vikao Vyake

$
0
0
Na Felix Mwagara, MOHA-Morogoro
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, amewataka askari pamoja na watumishi mbalimbali waliopo ndani ya Wizara yake wawe huru kuuliza maswali, kusema kero zao zinazowakabili katika vikao vyake na hakuna kiongozi yeyote atakaye wanyanyasa baada ya yeye kuondoka.

Waziri Lugola amesema hayo baada ya kuona baadhi ya watumishi katika ziara mbalimbali anazozifanya nchini, wanakua na woga wa kusema kero zao wakihofia watapata matatizo baada ya yeye kumaliza kikao.

, wakati anapata mambo mengi ambayo yanamsaidia kutatua kero za watumishi wake licha ya kuwa baadhi ya watumishi wanakua na woga wa kusema matatizo yanayowakabili.

Akizungumza katika kikao na askari na Maafisa wa Jeshi la Magereza wa Gereza la Kilimo la Mbigiri, liliopo Wami-Dakawa wilayani Mvomero mkoani Morogoro, jana, Lugola alisema ili aboreshe utendaji kazi wa Wizara na Idara zake, anahitaji kujua matatizo mbalimbali ya watumishi wake, hivyo katika kikao chake ruksa watumishi kuuliza maswali kwasababu kupitia maswali hayo yanamsaidia sana kutatua kero zao.

“Mimi ndio Waziri wenu, ulizeni swali lolote, toeni kero zenu na hakuna wakuwafuatilia baada ya kikao hiki, hiki ni kikao cha Waziri wenu mmepata nafasi hii ulizeni, niambieni matatizo yenu yanayowakabili ili tuyafanyie kazi,” alisema Lugola.

Pia aliwaambia watumishi hao endapo watapata matatizo baada ya kusema kero zao katika kikao chake, wawe huru kumuambia japo anaamini hakuna chochote kitakacho wakuta maana kikao chake ambacho ni huru.

Lugola aliyasema hayo baada ya baadhi ya askari wa Gereza hilo kuwa na hofu wakati walipokua wanauliza maswali ambapo mmoja wao akitoa kero yake huku akitahadharisha kuwa Waziri huyo amlinde endapo atapata matatizo mara baada ya kikao hicho kumalizika.

“Hivi huwa mnakua karibu na viongozi wenu? Kwa mfano unakuta ukaribu huu wa kukaa hapa kwa kumkaribia Mkuu wa Gereza katika kikao hiki ni wa leo tu kwasababu nipo, lakini baada ya kikao hiki unakuta Mkuu wa Gereza au kiongozi yeyote mkubwa katika Jeshi hafikiwi na askari, hii haiwezekani kuweni karibu na viongozi wenu, waambieni kero zenu na pia nyie viongozi msiwatishe hawa askari wenu, sikilizeni kero zao,” alisema Lugola.

Hata hivyo, Lugola aliutaka uongozi wa Gereza hilo kuacha malalamiko na badala kutafuta  majibu ya changamoto zinazowakabili na pia wahakikishe wanasimamia nidhamu kwa askari na kutooneana, na pia waendelee kutumia vitendea kazi vilivyopo katika Gereza hilo ili waweze kuongeza uzalishaji katika shughuli mbalimbali za kilimo.

Kwa upande wake Mkuu wa Gereza hilo, Kamishna Msaidizi wa Jeshi hilo, (ACP) Shija Fungwe, alimshukuru Waziri Lugola kwa kufanya ziara katika Gereza lake, na pia maagizo yake aliyoyatoa watayafanyia kazi likiwemo la kuongeza uzalishaji kupitia vitendea kazi walivyonavyo na pia yeye pamoja na askari na Maafisa mbalimbali wa Gereza hilo aliweka wazi kuwa wanaishi vizuri, kwa ushirikiano na pia wapo huru kuzungumza naye kuhusu jambo lolote la utendaji kazi.

“Tunakushukuru sana Mheshimiwa Waziri kwa kufanya ziara katika Gereza letu, tunakuahidi kufanyia kazi maagizo yako uliotupa na pia tutaendelea kutumia vitendea kazi tulivyonavyo ili tuzidi kuboresha, pamoja na kuimarisha uzalishaji wa Gereza hili,” alisema ACP Fungwe.

Waziri Lugola alifanya ziara ya kushtukiza katika Gereza hilo ambalo linafanya shughuli za kilimo ya mazao mbalimbali pamoja na ufugaji  wa ng’ombe, kondoo, mbuzi na kuku ambapo kwa ujumla wana mifugo zaidi ya 1000.

Watalii MASHOGA Kutimuliwa Nchini

$
0
0
Waziri wa Mali Asili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla, ameweka wazi juu ya mpango wa kuwarudisha kwao watalii watakaoingia nchini, ambao watabainika kuwa wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja.

Kigwangalla ameweka wazi msimamo huo kupitia ukurasa wake wa Twitter alipokuwa akijibizana na wafuasi wake ambao walikuwa wakijaribu kumuonya kuhusu kuingilia kati suala la 'ushoga' kuwa litaathiri utalii wa nchi.

Waziri Kigwangalla amesema kwamba watu hao watarudishwa kwao wakiwa uwanja wa ndege mara tu baada ya kutua.

"Machoko hawatoingia hapa, wataishia airport na kurudishwa walikotoka"-Ameandika Kigwangalla

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume,maumbile Madogo, Mvuto Wa Mapenzi ,magonjwa Sugu

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMBO ATAKUSAIDIA SM NO :- 0744391089  au  0653182109

Sheria Kutumika Kudhibiti Vimelea Hatarishi

$
0
0
Na. Mwandishi Maalum
Wataalam wa Afya moja nchini ambao ni wataalam wa sekta ya Afya ya binadamu, Afya ya wanyamapori, mifugo, mazingira pamoja na wanasheria wa sekta hizo, wameanza mchakato wa kuandaa sheria ya kudhibiti athari za vimelea hatarishi kwa jamii, sheria hiyo itasimamia ulinzi na usalama wa sampuli za vimelea hivyo.

Vimelea hatarishi vinaweza sambaza magonjwa kwa wanyama na binadamu iwapo ulinzi na usalama wake hautaimarishwa wakati wa kuvichukua  kwa wanyama, binadamu na mimea  au  wakati wa kusafirisha vimelea hivyo na  kuvipeleka maabara kwa ajili ya Uchunguzi  pia wakati wa kuviharibu mara baada ya kuvifanyia uchunguzi.

Akiongea wakati  wa mkutano wa Kamati ya Ufundi ya Usalama wa Afya na Ulinzi dhidi ya vimelea hatarishi vya magonjwa Jijini Dar es salaam, Mkurugenzi Idara ya Uratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kanali Jimmy Matamwe amebainisha kuwa serikali kupitia Dawati  la uratibu wa Afya moja lilipo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu inategemea sana utaalamu wa kamati hiyo kutoa maoni yatakayojumuishwa katika sheria zitakazo simamia udhibiti wa vimelea hatarishi. 

 “Serikali itaendelea kuilinda jamii ya watanzania dhidi ya majanga yanayoweza kusababishwa na vimelea hatarishi ambavyo husababisha magonjwa ya mlipuko na hatimaye kuleta majanga kwa jamii, kwa kulitambua hilo Ofisi ya Waziri Mkuu imeamua kuwakutanisha wataalamu husika ili watoe maoni yao juu ya udhibiti wenye nguvu ya kisheria” Amesema kanali Matamwe.

Nao waratibu wa masuala ya Ulinzi na Usalama wa vimelea hatarishi katika wizara ya Afya na Mifugo Bw. Jacob Lusekelo na Joseph Masambu walibainisha kuwa udhibiti wa vimelea hatarishi ni muhimu kuwa na nguvu ya sheraia kwani kumekuwepo  na muingilianao mkubwa baina ya nchi mbalimbali,  ambapo muingiliano huo  hungeza milipuko ya magonjwa  kwa afya ya binadamu,     wanyama na mimea.

Afya Moja ni dhana inayojumuisha sekta ya afya ya binadamu, wanyamapori, mifugo na mazingira katika kujiandaa, kufuatilia na kukabili magonjwa yanayoathiri binadamu, wanyamapori na mifugo. Kwa kutambua umuhimu huo  Idara ya Uratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kushirikiana Wizara ya Afya wameratibu mkutano huo kwa kupata wataalamu kutoka  Shirika la DTRA na Ufadhili wa CDC.

Waziri wa Kilimo Dkt Tizeba Awapongeza Wakuu Wa Mikoa Kwa Usimamizi Bora Uliopelekea Kuongezeka Kwa Uzalishaji Wa Pamba

$
0
0
Na Mathias Canal-WK, Mwanza
Waziri wa kilimo Mhandisi Dkt Charles Tizeba (Mb) amewapongeza wakuu wa mikoa yote nchini inayozalisha pamba, Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi kwa usimamizi bora uliopelekea uzalishaji wa zao hilo kuwa maradufu katika msimu wa ununuzi wa mwaka 2018/2019.

Dkt Tizeba ametoa pongezi hizo leo jumapili tarehe 4 Novemba 2018wakati akifungua mkutano wa 14 wa wadau wa sekta ndogo ya Pamba katika mkutano ulifanyika katika ukumbi wa Benki Kuu Jijini Mwanza na kusema kuwa Uzalishaji wa pamba katika msimu wa ununuzi wa mwaka 2018/19 umeongezeka kwa asilimia 67 kutoka tani 133,000 hadi tani 221,600.

Pamoja na pongezi hizo waziri huyo amewataka viongozi hao kuongeza ufanisi wa usimamizi wa zao hilo kwani pamoja na kuongezeka kwa uzalishaji lakini bado matarajio ya uzalishaji hayakufikiwa kwa mujibu wa makubaliano.

Alizitaja sababu zilizopunguza uzalishaji kuwa ni pamoja na Ukame mkali kati ya mwezi Januari na Februari ulipukutisha vitumba vichanga; Mripuko wa wadudu wakiwemo viwavi jeshi vamizi, vidung’ata, chawa jani, vithiripi, vidukari. Wadudu wanaofyonza miaka ya nyuma halikuwa tatizo kwenye pamba; Mvua kubwa kupita kiasi kati ya Machi na Mei ilizamisha pamba kwenye maeneo yote ya mbuga na mabondeni; sambamba na Ufahamu mdogo wa wakulima kuhusu matumizi ya viuadudu.

Alisema,  mfumo wa kuzalisha mbegu bora za pamba umefufuliwa na unafanya kazi. Mbegu mama (Breeder seed) inazalishwa katika Taasisi ya Utafiti ya Ukiriguru na inakwenda kupandwa katika shamba la Nkanziga lililopo Wilayani Misungwi ili kuzalisha (Prebasic seed)

Mbegu hiyo inakwenda kupandwa katika Kata ya Mwabusalu wilayani Meatu ili kuzalisha mbegu ya Msingi (Basic seed). Mbegu ikitoka Mwabusalu inakwenda kupandwa Wilaya ya Igunga ili kuzalisha mbegu iliyothibitishwa (Certified Seed).

“Katika kipindi cha miaka 2 tumefanikiwa kuzalisha mbegu mpya ya UKM08 kwa ajili ya wakulima wote wa pamba. Kuanzia msimu huu wa kilimo wa 2018/19 wakulima wote watapanda mbegu mpya ya UKM08. Nichukue fursa hii kuwapongeza Wadau wote mlioshiriki kufanikisha uzalishaji wa mbegu bora kwa ajili ya wakulima wetu” Alikaririwa Dkt Tizeba

Aidha, alisema kuwa Kilimo cha pamba bado kina matatizo ya msingi ikiwemo huduma za ugani kutowafikia wakulima. “Hili ni tatizo kubwa la uendelevu wa kilimo nchini si pamba peke yake. Maelekezo mengi yametolewa kuhusu umuhimu wa kuboresha utoaji wa huduma za ugani, lakini utekelezaji wake ni hafifu. Nakitaka kikao hiki tulijadili suala hili na tuliwekee azimio linalotekelezeka ili tija katika kilimo cha pamba na mazao mengine iweze kuongezeka” Alisema

Pia ameiagiza Bodi ya Pamba kugawa kamba za kupandia kabla ya tarehe 10 Novemba 2018.

Alisema, Uamuzi wa Serikali kubadili mfumo wa ununuzi wa pamba ulipokelewa kwa hisia mbalimbali lakini Vyama vya Ushirika vya Msingi vimesimamia kwa weledi na ufanisi mkubwa zoezi la ununuzi wa pamba.

“Natambua yapo mapungufu yaliyojitokeza katika shughuli ya ununuzi wa pamba ikiwemo AMCOS kupoteza fedha za makampuni ya pamba mfano Wilaya ya Maswa na kuchelewesha kulipa baadhi ya wakulima katika Wilaya za Bunda na Serengeti” 

“Namuagiza Mrajis kuchukua hatua za haraka za kisheria kwa viongozi wote wa AMCOS waliofanya ubadhirifu ili haki itendeke na ionekane inatendeka. Taarifa ya hatua zilizochukuliwa niipate tarehe 30 Novemba 2018” Alisisitiza Dkt Tizeba

Tatizo la Kutokwa na usaha Wakati wa Kukojoa

$
0
0
Bila shaka wapo wengi ambao wana tatizo kama hili. Naomba tuwe pamoja kwenye makala hii ili ujifunze kuhusu tatizo la mtu kutokwa usaha wakati wa kukojoa.

Tatizo la Kuwepo kwa chembechembe za usaha au usaha kwenye mkojo hujulikana kama pyuria ambapo linaweza kuonekana kwa kutumia hadubini (microscope) au kama tatizo ni kubwa linaweza kuonekana kwa macho.

Visababishi vya tatizo la Kutokwa Usaha Wakati wa Kukojoa ni nini?

Visababishi vya tatizo hili ni kama vifuatavyo;
  1. Ugonjwa wa mfumo wa mkojo (UTI)-Maambukizi kwenye figo, kwenye mrija wa mkojo na kwenye kibofu cha mkojo (cystitis- amabayo huonekana sana)
  2. Magonjwa ya Zinaa-Kama ugonjwa wa kisonono au ‘’gono’’ kama wengi wanavyoita, ugonjwa wa Chlamydia na Trichomoniasis
  3. Sumu inayotokana na kemikali (Chemical poisoning) kama 4-Aminodiphenyl inayotumika kwenye maabara na kwa ajili ya tafiti
  4. Tatizo linajulikana kama Reiter’s syndrome
  5. Pyelonephritis-Maambukizi ya bakteria kwenye sehemu za figo zinazojulikana kama calyces, renal pelvis na tishu za figo
  6. Madhara ya pyelonephritis ambayo husabababisha ugonjwa unaojulikana kama renal abscess
  7. Maambukizi kwenye tezi dume-Prostatitis (Kwa wanaume)
  8. Upungufu wa kinga mwilini
  9. Mcharuko (Inflammation) kutokana kuwa na mawe kwenye kibofu cha mkojo au kwenye figo
  10. Mzio (Allergy) au kuota uvimbe sehemu yoyote ya mfumo wa mkojo
Viashiria vya tatizo hili ni;
  1. Maumivu makali ya kuchoma (Painful burning sensation) wakati wa kukojoa
  2. Maumivu chini ya kitovu
  3. Homa
  4. Kutapika
Tatizo hii likidumu kwa muda mrefu husababisha kupungua uzito kwa mgonjwa

Vipimo vya uchunguzi
  1. Urinalysis – Kipimo cha mkojo
  2. Urine for culture and sensitivity - Kipimo cha kuangalia bakteria kwenye mkojo
  3. Complete blood count – Kipimo cha kuangalia wingi wa damu na chembechembe za damu (husaidia  kuonyesha kama kuna maambukizi kwenye mwili)
  4. Blood culture - Kuangalia kama kuna maambukizi kwenye damu
  5. Prostate –Specific Antigen (PSA) Test-Kipimo cha tezi dume
  6. Kipimo cha mionzi ya X-ray - Huonyesha kama tatizo ni kubwa sana
  7.  Kipimo cha ultrasound
  8. Kipimo cha CT scan au MRI - Husaidia kuonyesha kama tatizo hili lipo ndani ya tishu za figo  (Intra-renal abscess) au nje ya tishu za figo (Extra-renal abscess)
Vichagizi vya Tatizo la Kutokwa Usaha Wakati wa  Kukojoa (Predisposing Factors)

Vichagizi vya tatizo hili ni;
  1. Kutosafisha vizuri sehemu za siri baada ya kujisaidia haja ndogo
  2. Kujamiana na mtu mwenye maambukizi ya ugonjwa wowote wa zinaa
  3. Ugonjwa wa kisukari
  4. Madhara yanayotokana na kutumia mpira wa mkojo - Kwa wale wote waliowekewa mpira huu wa mkojo (catheter)
  5. Saratani ya kwenye mfumo wa mkojo au sehemu za siri
  6. Matumizi ya dawa za jamii aina ya Non-steoridal anti-inflammatory drugs (NSAIDS) au madawa yanayopunguza kinga mwilini (Immuno-suppressant medications) kwa muda mrefu
  7.  Kuvimba kwa tezi dume
Matibabu
  1. Tiba hutegemea na chanzo cha tatizo hili
  2. Dawa za kutibu vimelea (antibiotics)
  3. Matibabu ya mawe kwenye kibofu cha mkojo au kwenye figo
  4. Kunywa maji kwa wingi mara kwa mara ili kusaidia kutoa chembechembe za usaha kupitia njia ya haja ndogo-Ikumbukwe ya kwamba maji sio tiba
Angalizo:-mgonjwa Atahitaji Kumuona Daktari Ili Apate Tiba Stahiki  Kulingana Na Chanzo Cha Tatizo La Kutoka  Usaha  Wakati Wa Kukojoa

Habari Njema Kwa Wenye Matatizo Ya Nguvu za Kiume, vitambi, nyama uzembe

$
0
0
(1).Fikiria ulianzia wapi? Je,ulifanikiwa au bado?

(2).Upo tayari kupona kwa haraka?

TIBA ZITOLEWAZO NI,

NGORO 4 POWER; Huongeza nguvu za kiume yenye mfumo wa unga na vidonge dozi siku(6).

MELAMELA; Hurefusha na kunenepesha uume ipo katika mfumo wa unga dozi siku (4).

KASELA; Hurudisha mke,mme,mchumba na hawara ndani ya siku mbili tu,atatimiza mahitaji yote hata Kama yupo mbali na kumfunga asiwe na mtu mwingine.

IKUMBUJA; Humfanya mtu  kupandishwa cheo kazini na kulipwa madeni au mafao yako pia na kumaliza kesi kabisa.

DUDUMA; Huongeza hips,makalio na mguu wa bia.

SWASWA: Hupunguza maziwa makubwa, kitambi, nyama uzembe, michirizi na muwasho sehem za Siri,na harufu mdomoni.

KOOLA;Hutibu magonjwa sugu ya zinaa, tumbo kujaa gesi,kuuma chini ya kitovu, kiuno ,fangasi za miguu, na kuvimba miguu au miguu kuwaka Moto.

Kwa hayo na mengineyo mfatilie DR.HINDU kwani ana uwezo wa kuhudumia ndani na nje ya TANZANIA.Kwa Dar es salaam anapatikana BUGURUNI MALAPA pia KAHAMA anapatikana MARUNGA.

Kwa wasio na mda wa kufika ofisini kwangu Nina vijana wa kukuletea mpaka ulipo kazini ama nyumbani kwako.

OFISI ZINAFUNGULIWA SAA 07 :00 ASUBUHI.

CONTACTS 0744 922 982(WhatsApp), 0716608959.

  "WOTE MNAKARIBISHWA".DR   HINDU NI SULUHISHO LAKO.

Boko Haram wachoma moto kijiji kizima

$
0
0
Wapiganaji wa kikundi cha kigaidi cha Boko Haram, wamevishambulia vijiji vitatu vya Bulaburin, Kofa na Dalori nje kidogo ya mji wa Maiduguri katika Jimbo la Borno na kusababisha maafa makubwa kwa wananchi.

Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Al Jazeera, watu 12 wamefariki dunia katika tukio hilo baada ya Boko Haram kuvishambulia vijiji vitatu vilivyoko Kaskazini-Mashariki mwa Nigeria.

Mashuhuda wanasema wanamgambo wa Boko Haram wanadaiwa kuwasili wakiwa ndani ya magari saba na kuvishambulia vijiji vya Bulaburin, Kofa na Dalori nje kidogo ya mji wa Maiduguri katika Jimbo la Borno.

“Magaidi walifanya mashambulizi makubwa na kuchoma moto vijiji vya Bulaburin na Kofa baadaye wakaendelea hadi kijiji cha Dalori ambako nusu yake kimeshambuliwa na kuchomwa moto,” alisema shuhuda Babakura Kolo, alipozungumza na shirika la habari la AFP.

“Wameua watu tisa Kijiji cha Bulaburin, wawili katika Kijiji cha Dalori, lakini waliposhambulia Kijiji cha Kofa walipora vyakula na kuchoma moto

Takribani nyumba 10,000 zimechomwa moto katika Kijiji cha Dalori.

Rais Magufuli Ashiriki Maadhimisho ya Miaka 150 ya Ukatoliki....Awataka Watanzania Waendelee Kumuombea

$
0
0
Rais John Magufuli amesema kazi ya kuongoza nchi ni nzito yenye kuhitaji umakini wa hali ya juu na akawaomba waumini wa dini zote na Watanzania kumuombea.

Ametoa kauli hiyo leo Jumapili Novemba 4, 2018 wakati akitoa salamu zake kwenye maadhimisho ya miaka 150 ya Ukatoliki Tanzania Bara yaliyofanyika Bagamoyo mkoani Pwani.

Amesema  licha ya changamoto nyingi anazokutana nazo katika uongozi wake, haishi kujiuliza maswali viongozi waliopita walitumia mbinu gani kuhakikisha wanatatua yale waliyokumbana nayo.

“Nahitaji maombi sana kutoka kwenu na hata maoni, changamoto za kazi hizi ni ngumu sana nawaza hivi hawa wazee walionitangulia kina Mzee Kikwete (Jakaya), Mkapa (Benjamin) na Mwinyi (Ali Hassan)  walimalizaje miaka 10, ni kazi nzito inahitaji maombi kwelikweli,” amesema.

Hata hivyo, amewapa moyo wananchi kuwa licha ya changamoto hizo ana imani kwamba nchi itafanikiwa
Rais Magufuli aliwaomba viongozi wa dini wahubiri amani, upendo na haki ili kujenga jamii iliyostaarabika na yenye kujua majukumu yake katika kuijenga nchi.

“Naamini wanaokula rushwa, wabakaji, mafisadi si wapagani tu wengine ni waumini wenu,” amesema.

“Tuwe na imani ya matendo na kuondokana na matendo yanayotutenganisha na Mungu tutaweza kuipeleka nchi mahali pazuri na kutimiza azma ya upendo.”

Kuhusu maadhimisho hayo, Rais Magufuli amesema anaamini kuwa miaka mingine 150 ya Jubilee hakuna ambaye atasherehekea, hivyo ni muda muafaka sasa kukumbuka waanzilishi wa kanisa hilo ili kuenzi juhudi zao.

“Katika kufikia mahali tulipo ambako sasa tunaweza kusherehekea, tuwakumbuke Wamisionari wa kwanza ambao walipambana na changamoto nyingi za kukatisha tamaa lakini hawakukata tamaa na hata wengine waliuawa.”

Amesema Serikali itaendelea kushirikiana na madhehebu yote katika kuijenga nchi yenye amani na upendo, kwani inatambua mchango wa madhehebu mbalimbali.

BREAKING: Serikali YAMKANA Makonda sakata la mashoga Nchini

$
0
0
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa niaba ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inapenda kuwajulisha wananchi na jumuiya ya kimataifa kupitia vyombo vya habari vya ndani na nje ya nchi kuhusu masuala ya ushoga yaliyoongelewa na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam hivi karibuni.

Katika mkutano wake na vyombo vya habari, Mhe. Mkuu wa Mkoa alitangaza kampeni ya kukabiliana na vitendo vya ushoga katika jiji la Dar es Salaam.

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ingependa kufafanua kwamba, hayo ni mawazo yake na sio msimamo wa Serikali.

Aidha, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ingependa kutumia nafasi hii kukumbusha na kusisitiza kwamba, itaendelea kuheshimu mikataba yote ya kimataifa inayohusu haki za binadamu ambayo imesaini na kuridhia.

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaendelea na itaendelea kuheshimu na kulinda haki hizo kama zilivyo katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Imetolewa na:
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,
Dodoma.
 04 Novemba, 2018
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images