Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Mhasibu aswekwa 'Lock Up' saa 48 kisa EFDs

$
0
0
Mhasibu  wa Mapato wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Salutare Mlay, amejiingiza kwenye 18 za Mkuu wa Wilaya hiyo, Lengai Ole Sabaya, ambaye ameagiza awekwe mahabusu ya polisi kwa saa 48 kwa kosa la kutoa mashine tano za risiti za kielektroniki (EFD) kwa  watu ambao hawawezi ..

Mlay alikumbana na balaa hilo la kwenda kulala ‘lock up’ kwa siku mbili mfululizo kuanzia jana saa 3:30 asubuhi, muda mfupi baada ya kufika katika Ofisi ya Mkuu huyo wa Wilaya ambaye aliamuru apelekwe moja kwa moja Kituo Kikuu cha Polisi Bomang’ombe.

Mhasibu huyo anatuhumiwa kuwapa mashine hizo, watu ambao hawana utaalamu wa ukusanyaji wa mapato yatokanayo na madini ya mchanga unaochimbwa katika wilaya hiyo, huku wakitoza 7,000 na kupeleka fedha kiduchu katika halmashauri hiyo.

“Afande, huyu aende 48 kwanza, amechukua mashine za EFD amewapa watu ambao hawana utaalamu wa ukusanyaji wa mapato ya halmashauri. Huko wanakusanya mapato yatokanayo na madini ya mchanga, lakini ukiangalia yale makorongo wanayochimba mchanga yanataka kuanguka saa yeyote.

Zaidi alisema: “Wanatoza Sh. 7,000 kwa lori, jana kwa mfano walikusanya lori zaidi ya 30 kwa siku, lakini hapa halmashauri kwa wiki wanaleta Sh. 150,000. Kwa hiyo huyo (Mlay) sehemu yake salama ni huko, hakuna mjadala.”

Jana wakati alipokwenda kukagua machimbo hayo, Sabaya alisitisha shughuli zote za uchimbaji wa madini ya mchanga kwenye wilaya hiyo, hadi hapo uchunguzi utakapokamilika kuhusiana na utaratibu uliotumika katika utoaji wa vibali vya uchimbaji pamoja na ukusanyaji wa mapato.

Mkuu huyo wa wilaya alifikia uamuzi wa kusimamisha shughuli hizo, baada ya baadhi ya maswali yake kukosa majibu.

Pamoja na mambo mengine, Ofisa Mazingira wa Wilaya hiyo, Alfred Njegite, akizungumza mbele ya Sabaya alisema shughuli za uchumbaji wa madini ya mchanga kwenye machimbo hayo siyo rafiki na mazingira, huku zikiibua hofu juu ya usalama wa wachimbaji wadogo kwenye machimbo hayo.

Kadri miaka inavyokwenda tatizo la uchimbaji mchanga linaonekana kuwa kubwa, huku kukiwa hakuna hatua za haraka kukomesha hali hiyo.


Habari Njema Kwa Wenye Matatizo Ya Nguvu za Kiume, vitambi, nyama uzembe

$
0
0
(1).Fikiria ulianzia wapi? Je,ulifanikiwa au bado?

(2).Upo tayari kupona kwa haraka?

TIBA ZITOLEWAZO NI,

NGORO 4 POWER; Huongeza nguvu za kiume yenye mfumo wa unga na vidonge dozi siku(6).

MELAMELA; Hurefusha na kunenepesha uume ipo katika mfumo wa unga dozi siku (4).

KASELA; Hurudisha mke,mme,mchumba na hawara ndani ya siku mbili tu,atatimiza mahitaji yote hata Kama yupo mbali na kumfunga asiwe na mtu mwingine.

IKUMBUJA; Humfanya mtu  kupandishwa cheo kazini na kulipwa madeni au mafao yako pia na kumaliza kesi kabisa.

DUDUMA; Huongeza hips,makalio na mguu wa bia.

SWASWA: Hupunguza maziwa makubwa, kitambi, nyama uzembe, michirizi na muwasho sehem za Siri,na harufu mdomoni.

KOOLA;Hutibu magonjwa sugu ya zinaa, tumbo kujaa gesi,kuuma chini ya kitovu, kiuno ,fangasi za miguu, na kuvimba miguu au miguu kuwaka Moto.

Kwa hayo na mengineyo mfatilie DR.HINDU kwani ana uwezo wa kuhudumia ndani na nje ya TANZANIA.Kwa Dar es salaam anapatikana BUGURUNI MALAPA pia KAHAMA anapatikana MARUNGA.

Kwa wasio na mda wa kufika ofisini kwangu Nina vijana wa kukuletea mpaka ulipo kazini ama nyumbani kwako.

OFISI ZINAFUNGULIWA SAA 07 :00 ASUBUHI.

CONTACTS 0744 922 982(WhatsApp), 0716608959.

  "WOTE MNAKARIBISHWA".DR   HINDU NI SULUHISHO LAKO.

Video Mpya ya Ruby - Ntade (Nitadeka)

Yusuf Manji Aitosa Rasmi Yanga

$
0
0
Hatimaye kilichomfanya mfanyabiashara bilionea, Yusuph Manji, kukataa kurejea kwenye nafasi yake ya Uenyekiti wa Yanga, pamoja na kuombwa na watu mbalimbali, kimebainika.

Bilionea huyo ambaye alikuwa mstari wa mbele kusaidia na kuwapa raha mashabiki wa klabu hiyo ya Jangwani, amekataa rasmi kurejea kwenye nafasi yake na sasa wanajiandaa kwa uchaguzi wa kujaza nafasi zilizoachwa wazi.

Moja ya nafasi hizo ambazo Yanga wanatakiwa kuzijaza, ni ya mwenyekiti iliyokuwa ikishikiliwa na Manji baada ya juhudi za kumshawishi arejee kushindikana.

Baada ya wadau wa Yanga na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe, kuingilia kati na kusimamia msimamo wake wa kukaa pembeni na timu hiyo, juzi Baraza la Michezo Tanzania (BMT), wametaka miamba hiyo ya Ligi Kuu Tanzania Bara kufanya uchaguzi mkuu.

Taarifa za uhakika kutoka kwa mtu wa karibu na Manji zinadai kuwa, bilionea huyo amezuiwa na familia yake hasa mkewe kuendelea na masuala ya soka na kumtaka atulize akili yake baada ya kupitia kwenye changamoto nyingi.

Taarifa hizo zinadai kuwa familia imemwambia wakati alipokuwa kwenye matatizo, baadhi ya watu wa Yanga hawakuonyesha kumjali huku wengine wakimwombea azidi kupatwa na mabaya ndiyo maana wamemshauri kupumzika.

“Kuna wengine walifikia hatua walitaka afungwe ili wafanye mambo yao, walimchukia kupita kiasi kisa kuifadhili timu,” kilisema chanzo hicho cha ndani.

“Japo aliweza kutoa fedha zake bila kinyongo lakini kuna watu walikuwa wanaona kama anafaidika Yanga, huku wakitamani siku yoyote aondoke waingie wao,” kiliongeza chanzo hicho.

Alisema pia kuna baadhi walitamka hadharani kuwa Yanga inaweza kujiendesha yenyewe bila Manji, kwani ina matajiri kibao wanaohitaji nembo ya klabu hiyo.

“Mwacheni apumzike, biashara zake nyingi zimeyumba, hao wanaojifanya wanajua sasa ni wakati wao wa kuvaa viatu vyake kipindi hiki akitafakari, ’’ alisisitiza.

“Anaipenda sana timu lakini kwa hali ilivyokuwa anahitaji kupumzika, labda kwa siku zijazo huko mbeleni anaweza kuja kivingine ila kwa sasa hivi hiyo ndio hali halisi amezuiwa,’’ kilimaliza chanzo hicho.

Credit: Dimba

Ajali Mbaya ya Magari Yaua Watu 7 Mkoani Dodoma

$
0
0
Watu 7 wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari matatu ya serikali Mbande, mkoani Dodoma, usiku wa kuamkia leo.RPC Gilles Murotto amethibitisha.
Endelea kuwa nasi kwa taarifa kamili

Wakulima Waanza Kuuza Korosho Kwa Bei Ya Sh 3,016

$
0
0
Wakulima  wa zao la korosho mkoani Mtwara, wameanza kuziuza mbele ya Waziri wa Kilimo, Dk. Charles Tizeba, kwa bei ya juu ya Sh 3,016 huku bei ya chini ikiwa ni Sh 3,000 na kampuni 11 zilijitokeza kuomba kuzinunua.

Awali wakulima wa mikoa ya Lindi na Mtwara walikataa kuuza korosho zao baada ya wanunuzi kuja na bei waliyoikataa ya Sh 2,717 hadi Sh 2,011 kwa kilo hatua iliyosababisha minada hiyo kusimamishwa hadi Rais Dk. John Magufuli alipotoa tamko la bei elekezi ya Sh 3,000.

Akizungumza wakati wa mnada huo, Tizeba, alisema wanunuzi wanapaswa kufuata maelekezo waliyopewa na Rais Magufuli na si vinginevyo ili kununua korosho hizo.

Alisema hatafurahishwa na kuona mnunuzi akiomba kununua korosho kwa bei isiyoridhisha itakayokuwa chini ya Sh 3,000 na hiyo itakuwa ni kinyume na makubaliano ya kikao cha wanunuzi.

“Nitashangaa kuona mnunuzi mwenye akili timamu akitoa barua na kutaka kuuziwa korosho chini ya shilingi 3,000 au akitaka kwa shilingi 2,500.

“Wafanyabiashara wasipangiwe muda wa kuchukua korosho ghalani kwa ajili ya usafirishaji na wasipangiwe kutumia bandari gani, wawe huru kulingana na maagizo yaliyotolewa na Magufuli,” alisema Tizeba.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa, alisema wakulima wanapaswa kuwaepuka watu wanaofanya korosho kuwa jukwaa la siasa badala yake waangalie masilahi yao.

“Watu wanaotaka kukwamisha wakulima wasiuze tunapaswa kujua kuwa korosho inayotolewa hapa inauzwa kimataifa na wakati wowote sokoni bidhaa inaweza kupanda ama kushuka.

“Wapo wakulima walinunua korosho kinyume cha utaratibu hali inayowafanya wao watumie majukwaa ya siasa kuwarubuni nyinyi msiuze korosho, wapuuzeni na msiwape nafasi,” alisema.

Kwa upande wake, Meneja wa Chama  Kikuu cha Ushirika cha Tandahimba na Newala (Tanecu), Mohamed Mwinguku, alisema chama hicho kimeuza korosho tani 2,141 kwa bei ya Sh 3,016 hadi 3,000 kwa kilo huku tani 3,800 zikibaki ghalani.

“Awali tulikuwa na tani 7,000 ambazo zilikuwepo ghalani lakini kutokana na barua za tenda tulizosoma katika mnada tumelazimika kuuza tani 2,141 tu, jambo hili linatupa faraja kwa kuwa wanunuzi wameitikia wito wa Magufuli, tunaamini kuwa zilizopo na zitakazoongezeka zitauzwa mnada unaofuata,” alisema.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa pekee iliyotibu watu wengi nchini na nje ya nchini kwa kufanya kazi Mara 3 kwa wakati mmoja 1 ...kurefusha uume na kunenepesha saizi upendayo, kuogeza nguvu za kiume na inatibu matatizo , ikisha tibu aina madhara inaimalisha mishipa ilio regea na uzalishaji wa mbegu za kiume. TAHADHARI HAKIKISHA UNA MKE AU    MPENZI. 

NINI HUCHANGIA MATAZO HAYA . Ngiri ni chanzo Kikubwa cha matatizo,haya kujua kwamba una ngiri dalili zake ni 1.kufika haraka kileleni wakati  watendo la ndoa 
2.Kushindwa kulundia tendo la ndoa 
3.Kutoa choo kama cha mbuzi 
4. Tumbo kujaa gesi na kuunguruma 
5 kukosa choo kabisa 
6 Maumbile kuingia ndani na kuwa mafupi 
7 korondani moja kuvimba 
8 kutosikia hamu ya tendo la ndoa
 9 maumivu ya kiuno na mgongo  

Pia tunatibu busha bila kufanyiwa opresheni .Umeachwa na umpendae na bado unamwitaji?

WASILIANA  NA MTALAM  CHALLO 0714 006521. YUPO MBAGALA.

Sakata la Zitto lamuibua Lema, sasa kuitisha mkutano wa dharula wa wabunge wote

$
0
0
Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Godbless Lema amewataka wabunge kuandaa mkutano maalum utakaojadili masuala mbalimbali yanayohusu nchi kwa sasa kwa kile alichokidai kuwa hiyo ni haki yao ya kisiasa.

Ameyasema hayo jijini Arusha alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari, ambapo amesema kuwa ataitisha mkutano wa dharula utakaohusisha wabunge ili kujadili mambo mbalimbali.

Lema amependekeza kuanzishwa kwa tume huru ya uchunguzi ili kuchunguza taarifa ya mauaji iliyotolewa na jeshi la polisi na kuleta mkanganyiko dhidi ya taarifa iliyotolewa na mbunge Zitto Kabwe.

“Mkutano wa dharula uitwe Dar es salaam au Dodoma, na wabunge wote tukutane ili tutafute njia sahihi ya kupigania haki zetu za mikutano, na hatawakizuia ila iwe chanzo cha kuheshimu katiba. Hatuwezi kuendelea kuishi hivi.” Amesema Lema

Aidha, amesema kuwa Zitto amesema watu waliokufa ni wengi, idadi ya watu waliokufa ndiyo kinachopingwa na anachopendekeza kiwepo chombo cha mbadala cha uchunguzi ili ijulikane nani mkweli kati ya  Zitto, Polisi au Mbunge wa jimbo lile Mwilima.
 
Zitto Kabwe jana  alifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa makosa matatu ya uchochezi, ambapo aliachiwa kwa dhamana na kesi yake itasikilizwa novemba 12 mwaka huu.

Sakata la Mashoga: Dudu Baya Atinga Polisi Osyterbay

$
0
0
Msanii  wa Hip Hop Bongo, Godfrey Tumaini ‘Dudu Baya’, ametinga katika Kituo cha Polisi cha Oysterbay jijini Dar es salaam kuitikia wito wa jeshi hilo ikiwa ni siku chache baada ya kuanika hadharani majina ya watangazaji wa kiume wanaojihusisha na vitendo vya ushoga.

“Naelekea kituo cha Polisi kuitikia wito wa jeshi, nikipelekwa gerezani kwa ajili ya hawa mashoga naomba ndugu yangu yeyote asiniletee chakula, nitashinda na kulala njaa lakini nitapigana kuishinda hii vita ambayo hata vitabu vya dini vimeilaani.” Amesema Dudu Baya

Dudu Baya ambaye anajiita Oil Chafu, Konki Konki Konki Master, Mamba amefika Ostabay Polisi kwaajili ya kuhojiwa na Mkuu wa Upelelezi kuhusiana na orodha yake aliyoitoa mtandaoni ya watu aliodai wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja (mashoga).

Masunzu Power Mix Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
🌸MASUNZU POWER MIX; ni dawa ya asilia yenye mchanganyiko wa mitishamba 7 yenye maajabu yafuatayo (1) inatibu upungufu wa nguvu za kiume Mara dufu na kuimalisha uume   uliolegea wakati wa tendo la ndoa 
(2) kurefusha uume uliorudi ndani nchi 5-8 
(3) kunenepesha uume sm4 ya upana itakufanya uchelewe kufika kileleni dk (15-20) kwa tendo la kwanza na utakuwa nauwezo wa kurudia tendo la ndoa Mara (2-4) bila hamu kuisha nainatibu kabisa. 

Dawa hii haina madhara yoyote kwa mtumiaji huanza kufanya  kazi baada ya dk 50 tu🌾🌾🌾🌾🌾🌾🌾🌾      

 MATATIZO HAYA HUSABABISHWA NA ;ngiri. au umejichua kwa muda mrefu. Punyeto kisukari. Presha. Tumbo kujaa gesi na kuunguruma chini ya Kitovu. Kutopata choo vizuri. Msongo wa mawazo. Kaswende. Gono. Haya yote husababisha kuwa na maumbile madogo na kukosa nguvu za kiume 

🌸SOSOMA DX. ni dawa ya kumvuta mme au mke au mpenzi wako arudi haraka na kuanza mapenzi mapya kama mlivyo anza mwanzo baada ya masaa 2 atarudi na kutulia ndani ya nyumba na kutimiza ahadi yako 

🌸GINDU EXTRA; ni dawa ya kutibu kisukari siku 14 unapona kabisa hata kama imepanda itashuka haraka Sana. Tunatibu busha bila upasuaji nk. 

Dar es salaam tunapatikana Buguruni chama au unaweza kuletewa popote ulipo wasiliana na tabibu ATHUMAN SIMU +255767104343 / +255653207272

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume,maumbile Madogo, Mvuto Wa Mapenzi ,magonjwa Sugu

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMBO ATAKUSAIDIA SM NO :- 0744391089  au  0653182109

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 25

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA
Camila akaanza kwa kunipatia mabusu mototomo ambayo yaliyo ufanya mwili wangu wote kusisimka kimahaba.
“Nakupenda sana Ethan wangu”
“Nakupenda pia mpenzi wangu”
“Yaani sikuamini kama unaweza kutoa timu yako kidedea hakika sijakosea kuwa nawe Ethan nakupenda sana, tena sana mpenzi wangu na ninakuomba tukimaliza masome unioe”
Camila alizungumza kwa hisia kali sana huku nikihisi machozi yakimwagika.
“Etha nakuomba unioe”   
“Nitakua mpenzi wangu”
Kelele za gafla zikaibuka kwenye basi na wachezaji wezangu wakaanza kunifwata kwenye siti niliyo kaa huku basi likifunga breki kali sana na kunisababisha hofu na mashaka makubwa sana kwani sijua ni kitu gani kilicho sababisha dereva kufunga breki za gafla.

ENDELEA
“Ngoja ninakupigia mpenzi wangu”
Nilipo maliza kuzungumza maneno hayo     nikakata simu na kuiingiza mfuoni simu yangu. Nikashuhudia gari mbii nyeusi kubwa zikiwa zimesimama mbele ya basi letu huku pikipiki aliyo kuwa ikiendeshwa na askari, ikiwa pembeni mwa barabara huku ikiwa imegongwa vibaya. Watu walio valia nguo nyeusi, huku wamezificha sura zao na mikononi mwao wakiwa na bunduki. Wakalizunguka basi letu kwa haraka huku wakimuamrisha dereva kufungua mlango huu wa basi.
“Nyote rudini nyuma”
 
Nilizungumza kwa amri huku nikitembea kuelekea mbele alipo dereva. Dereva mwili mzima unamtetemeka, hata mimi mwenyewe japo nimajitahidi kufika hapa mbele ila mwili mzima umejawa na jasho litokanalo na woga. Nikauona mkono wa dereva ukielekea kwenye kitufe cha kufungulia mlango.
“Usiminye”
Nilimuambia dereva huyu na kwa haraka akaurudisha mkono wake nyuma huku akiendelea kutetemeka sana kwa woga. Watekaji mmoja akapiga risasi kwenye kioo cha mlango wa gari hili na kikavunjika. Woga ukazidi kututawala, dereva pasipo kipingamizi cha aina yoyote akaminya batani hiyo na mlango ukafunguka, wakaingia watekaji wanne, wawili wakanifwata mimi na kunipiga na kitako cha bunduki usoni mwangu na kusababisha gizo zito kwenye mboni zangu za macho na kuanzia muda huu sifahamu ni kitu gani kinacho endelea.
                                                                                                                   ***
Sauti ya za wanaume wawili wakizungumza lugha ya Russia, zikanistua kutoka katika dimbwi zito la kulala. Nikajaribu kunyanyua mkono wangu mmoja ila nikashindwa kutokana na kufungwa nyuma katika kiti hichi nilicho kalia.
 
“Munahitaji nini kutoka kwangu”
Nilizungumza kwa hasira sana huku nikiwatazama wanaume hawa wawili wenye bunduki mikononi mwao. Wakanitazama kwa muda ila hawakunijibu kitu chochote zaidi ya kukaa kimya.
“Nawauliza nyinyi washenzi muna hitaji nini kutoka kwangu”
Mmoja wao akanisogelea, akasimama mbele yangu kwa sekunde kadhaa. Kisha akanitandikia kofi moja jito sana hadi nikaanguka na kiti changu mzima mzima. Akaninyanyua na kunikalisha tena huku akionekana kujawa na hasira kali sana. Akatoa kitambaa chake kikubwa mfukoni, akakikunja kunja vizuri kisha akanifunga mdomoni mwangu kwa nguvu na ujanja wote wa kuzungumza ukaniishia.
“Kaa kimya la sivyo utakufa”
Baada ya kuzungumza maneno hayo akaondoka katika eneo hili na kurudi mlangoni alipo simama mwenzaje na wakaendelea kuzungumza mazungumzo wanayo yajua wao wenyewe. 
 
‘ETHAN UPO WAPI RAFIKI YANGU’
Nilizungumza kimoyo moyo huku nikimwagikwa na machozi mengi sana. Ethna hakuweza kunijibu kitu cha aina yoyote zaidi ukimya kutawala. Nikarudia kumuita Ethan mara kwa mara ila sikuweza kumpata hadi ikafikia hatua nikapoteza matumaini yangu kabisa. Baada ya nusu saa, wakaingia wanaume wawaili mmoja akiwa ni mzee sana huku mwengine akiwa ni kijana ila amevalia suti nyeusi.
“Ethan Klopp habari za siku nyingi”
Mzee huyu alinisalimia huku akinitazama usoni mwangu. Nikamtazama kwa muda huku nikijitahidi kuvuta kumbukumbu za wapi niliweza kumuona.
 
“Naamini itakuwa ni vigumu sana kunikumbuka si ndio”
Alizungumza huku akinivua kitambaa hicho mdomoni mwangu.
“Unataa nini kwangu”
“Ni kitu kidogo sana ninacho kihitaji kwako”
“Kitu gani?”
“Nahitaji boksi jeusi”
“Boski jeusi!!?”
“Ndio boksi jeusi, baba yako Mzee Klopp alilichukua kwetu na hatujui ni wapi alipo liweka hivyo basi nalihitaji”
“Kwa kweli sifahamu unazungumza nini mzee, naomba uniachie kabla ya nchi yangu ya Ujerumani haijachukua hatua kali sana dhidi yako”
 
“Hahahaaa……upo mbali sana na Ujerumani. Hapa ni Russia na hutoweza kwenda popote hadi pale nitakapo pata boksi langu”
Nikashusha pumzi nyingi sana huku nikimtazama mzee huyu usoni mwake. Akanyoosha mkono kwa mwanaume aliye ingia naye humu ndani, mwanaume huyu akamkabidhi simu na akaweka video.
“Huyu ni dada yako Mery hapa watu wangu wanamuangalia popote pale anapo kwenda, ukifanya mchezo wa aina yoyote basi dada yako nitamuua”
 
“Ole wenu mujaribu kumgusa dada yangu nitahakikisha kwamba ninawachinja mmoja baada ya mwengine”
“Haahahaa Ethan acha hasira zisikudanganye, huna uwezo wa kufanya jambo lolote juu yangu. Tutakuachia huru ila kwa sharti la kuniletea boksi hapa nchini mwangu”
Kwa ishara mzee huyu akamuamrisha mmoja wa watu wake walio simama mlangoni, akanifwata na kunifunga kitambaa cheusi mdomoni na kukirudisha kitambaa alicho kifunga mdomoni mwangu na kunifanya nishindwe kuona wala kuzungumza chochote. Wakaanza kunitembea, hatua kadhaa mbeleni mwangu nikasiki mngurumo wa helicopter. Nikaingizwa kwenye helcopter hii na taratibu safari ya kuondoka katika eneo hili ikaanza. Ukimya mwingi ukatawala ndani ya hii helicopter sikuweza kusikia sauti za watu wakizungumza.
 
‘Ethan upo wapi rafiki yangu?’
Nilizungumza kimoyo moyo ila sikuweza kuhisi uwepo wake. Safari hii ikazidi kuchukua masaa mengi sana hewani.
“Tunakaribia kutua”
Niliisikia sauti ya mwanaume huyo ambaye kwa haraka haraka akili yangu inahisi kwamba anazungumza na simu.
“Sawa bosi”
Nikahisi kitu chenye ncha kali kikinichoma kwenye mkono wangu wa kulia, na baada ya sekunde kadhaa nikapitia na usingizi mmoja mzito sana ambao umenifanya nisijue ni kitu gani kinaendelea.
                                                                                                                   ***
“Ethan…..Ethan”
 
Niliisikia sauti ya Mery akizungumza huku akilia, nikajaribu kufumbua macho yangu ila ukungu mwingi ulio nitawala usoni mwangu, ukanifanya nishindwe kuweza kuomuona Mery. Sauti za kuzungumza zikaongezeka huku nikisikia madaktari jinsi wanavyo elezana vitu vya kufanya. Nikapatia huduma ya haraka sana na baada ya muda kidogo nikaanza kujihisi nafuu huku nikimuona Mery akiwa amekaa pembeni ya kitanda changu huku amenishika mkono wangu wa kulia.
“Ethan”
“Mmmmm”
“Unajisikiaje?”
“Kidogo afadhali”
“Pole sana”
“Asante”
“Ni nini kilicho tokea?”
“Ehee?”
“Nini kilicho tokea?”
“Kwani imekuwaje?”
 
“Tulikuokota leo asubuhi katika hoteli ambayo uliniagiza niwachukulie wachezaji wezako”
“Muliniokota?”
“Ndio”
“Wachezaji wezangu wapo wapi?”
“Wapo nje huku wanakusubiria”
“Ni siku ya ngapi toka nipotee?”
“Ya tatu leo, nchi nzima kumekuwa na msako wa kukutafuta na ukipata nafuu basi wana usalama watakuhoji maswali kadhaa”
“Umesema ni siku ya ngapi leo?”
“Ya tatu?”
“Mungu wangu leo usiku timu yangu si inacheza?”
“Ndio ila huto weza kwenda kucheza Ethan, umenipa hofo kubwa sana kwa kupotea kwako. Huwezi amini ndani ya siku hizo tatu nimekuwa ni mtu wa kushindia maji tu, chakula hakikuweza kukatiza kabisa kwenye koo langu”
Kabla sijazungumza chochote, mlango ukafunguliwa, akaingia Camila na kwa haraka akanifwata kitandani nilipo na kunikumbatia kwa nguvu sana huku akilia kwa uchungu. Tukakumbatia kama kwa dakika tano hivi, kisha taratibu Camila akaanza k... midomo yangu.
 
“Umerudi lini kutoka nchini Tanzania?”
“Yaani sasa hivi ndio ninatoka uwanja wa ndege, nilighairisha safari yangu nikiwa nchini Kenya, ilimlazimu baba kutuma private jet kuja kunichukua Kenya na ndio nimefika. Nilistushwa sana na kutekwa kwako mpenzi wangu, tambua siwezi kwenda mbali nawe kwenye maisha yangu”
Camila alizungumza huku akimwagikwa na machozi usoni mwake.
“Nipo nje”
Dada Mery alizungumza huku akinyanyuka kwenye kiti alicho kikalia. Camila akamshika mkono, kisha wakakumbatiana kwa muda.
“Samahani Ethan wachezaji wezako wanahitaji kukuona”
Daktari alizungumza huku akiwa amesimama mlangoni mwa chumba hichi.
 
“Waruhusu tu waingie”
Wachezaji wezangu wakaingia kwa utaratibu huku wakinitazama, nikaweka tabasamu usoni mwangu ili kuto waogopesha kama nina matatizo.
“Vipiti mimu kapteni”
“Safi, mbona mumekuwa wanyonge sana, mutaweza kucheza kweli mechi ya leo?”
“Bila ya sisi kufahamu afya yako kaka hatuwezi kufanya kitu chochote, na tutashindwa kuingia uwanjani na tupo tayari kwa wapinzani wetu wapewe point tatu kwa sisi kushindwa kuingia uwanjani”
Kapteni msaidizi alizungumza kwa unyonge sana huku machozi yakiwalenge lenga usoni mwao. Hakika kwa hali waliyo nayo dhairi inaonyesha kwamba wananipenda sana na kunikubali.
 
“Hatuwezi kuwapa nafasi maadui zetu kushinda. Tunatakiwa kufanya jambo katika hili”
“Ila kapteni haupo sawa”
“Ndio sipo sawa, ila nahitaji nyinyi muwe sawa. Kwa umoja wenu, kwa kushikamana kwenu na kwa kupambana kwenu nahitaji mechi ya leo wote mukacheze kwa pamoja. Mukacheze kwa umoja na mushinde kwa pamoja. Lazima tuimarishe uhodari wetu. Wapinzani wetu wasitumie udhaifu wa kuto kuwepo mimi uwanjani, kuwashindwa nyinyi. Munatakiwa kuwa na NGUVU. Nguvu ya mshikamamo wa pamoja, nilazima tushinde sawa?”
Nilizungumza kwa msisitizo huku machozi yakinimwagika usoni mwangu. Wachezaji wezangu nikawaona wakimwagikwa na mchozi.
“Mimi ni kama tawi katika mti, nikikatika ni lazima mzizi usimame imara kuhakikisha unanizaa tena na tena. Nyinyi ni mzizi, ingieni leo uwanjani na ninahitaji mechi hii ya leo mushinde kwa ajili yangu sawa”
 
“Sawa timu kapteni”
“Nilazima mushinde kwa ajili yangu. Sawa”
“Sawa”
Nikazidi kuwahimiza wachezaji wangu. Nguvu na faraja ambayo hapo awali waliipoteza ikarejea upya kabisa.
“Kwa ajili ya mpenzi wangu. Ninawaomba muhakikishe munashinda mechi hii, nina imani mukishinda hata yeye kesho tu hapa atapona sawa jamani”
Camila alizungumza huku akiwatazama wachezaji wezangu.
“Sawa shemeji ni kwa ajili yenu tutashinda”
“Frenando yupo wapi?”
 “Kesho atatoka hospitalini na ataanza mazoezi na timu kesho kutwa”
“Naamini nami pia nitaanza mazoezi hivi karibu. Ila ninacho waomba leo mushinde goli nyingi zaidi ya munavyo weza. Pinto hakikisha mambo yanakwenda vizuri”
“Usijali kapteni”
Tukaagana na wachezaji wezangu na wakaondoka hospitalini hapa na moja kwa moja wakaelekea uwanjani kwa ajili ya mechi ya leo. Camila akawasha tv iliyomo humu ndani na kuweka stesheni inayo onyesha mpira huu moja kwa moja kutoka uwanjani(Mubashara). 
 
“Dada Mery unaweza kunisaidia chakula?”
“Ndio ngoja nikakuchukulie”
Dada Mery akanyanyuka hapa kitandani na kutoka humu chumbani, mlangoni akapishana na Ethan pasipo yeye kumuona. Ethan akatembea kwa kujiamini hadi karibu kabisa mwa kitanda changu. Akamtazama Camila kwa muda kisha akamshika mkono wake pasipo Camila yeye mwenyewe kujijua, hazikupita hata dakika tano Camila akakilaza kifua chake kifuani mwangu huku akilala usingizi fofofo.
“Umemfanya nini mpenzi wangu?”
“Tunacho takiwa kuzungumza sisi wawili yeye hakimuhusu”
“Hakimuhusu vipi?”
“Umesahau masharti yetu. Endapo utamueleza mtu yoyote kuhusiana na mimi basi nitakwenda kumuua huyo mtu pasipo huruma ya aina yoyote”
 
Ethan alizungumza huku mboni za macho yake zikibadilika badilika rangi, mara nyeusi, mara rangu ya blue na akazidi kutisha zaidi, zilipo badilika kuwa rangi nyekundu, huku machozi ya rangi nyekudu yakimwagika usoni mwake jambo lililo nifanya nijawa na woga mkubwa sana na wasiwasi.
“Najua uliniita sana, ila kila jambo lililotokea kwa sababu ya huyu mwanamke wako. Kwa ajili yake yeye nilazima sadaka ya damu za wanadamu zitolewe ili furaha yako izidi kudumu zaidi na zaidi”
Ethan alizungumza kwa sauti nzito sana iliyo jaa utetemeshi mithili ya radi hadi nikajikuta mimi mwenyeweni nikiogopa sana kwani kila analo lizungumza linasababisha vitu vilivyomo ndani ya hichi chumba kupeperushwa na kuanguka chini.

==>>ITAENDELEA KESHO

Kuwa Wakwanza Kupokea Habari Zetu....Download App Yetu Kwa Kubonyeza Hapa, Huhitaji tena kuwa na Computer

$
0
0
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa urahisi kabisa kupitia simu yako ya mkononi muda wowote hata usiku wa manane au ukiwa kazini...

Pata kurasa za mbele Magazetini, habari za kitaifa, matukio yote ya kisiasa, burudani na udaku   kupitia simu yako ya mkononi.

Huhitaji tena kuwa na Computer. Ingia Play Store, pakua App yetu  tukuhabarishe masaa 24.

CCM Kunirudisha Kugombea Ubunge Si Zawadi, Bali ni Kitu Ninachostahili

$
0
0
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Babati mjini kupitia Chama Cha Demoklrasia na Maendeleo (CHADEMA) na baadaye kutangaza kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Pauline Gekul, amesema hatua ya kurejeshwa kugombea nafasi hiyo si zawadi bali ni kitu alichostahili kwa kile alichokisema kuaminiwa na chama chake kipya.

Kada huyo mpya wa Chama Cha Mapinduzi, Pauline Gekul amesema hata kama watu wengi wanakosoa mimi kurudishiwa kuwania tena nafasi hiyo wana matatizo yao.

“Kwangu mimi kurudishiwa hii nafasi si zawadi bali nimepewa kazi na wamenipa wajibu wakufanya, kwa hiyo ni imani kubwa sana kwangu ambayo chama changu kimenipatia ya kuwania ubunge.”Amesema Gekul

“Na juzi nilifika ofisi ya mkurugenzi kwa ajili ya kuchukua fomu ya kuwania ubunge muhimu tu naendelea kukishukuru chama changu kipya, na nitawawakilisha vizuri wananchi wakinichagua tena.”

Hivi karibuni Kamati kuu ya Chama cha Mapinduzi  iliwapitisha  Pauline Gekul kuwania Jimbo la Babati, James Milya jimbo la Simanjiro, Joseph Mkundi Jimbo la Ukerewe na Marwa Ryoba ambaye atawania nafasi ya ubunge jimbo la Serengeti.

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 136 na 137 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA   
  “Meneja?”   
Yemi Okocha alizungumza huku akimtazama meneja kwa macho ya mshangao. Kwnai hili lililo tokea hapa ni jambo lililo tushangaza sisi sote. Kwa haraka meneja akamkaba Yemi Okocha kabali kwa nyuma huku akitoa kisu kidogo mfukoni mwake na kumuwekea Yemi Okocha shingoni mwake.
“Mtu yoyote akinisogelea nitamuua jaji wenu”
Meneja alizungumza kwa msisitizo, walinzi wa Yemi wakabaki wakiwa ameduwaa tu wasijue ni nini cha kufanya kwa kitisho walicho patiwa na meneja huyu ambaye hadi sasa hivi tatujui lengo lake ni nini haswa.
   
ENDELEA           
“Unahitaji nini kutoka kwetu?”
Nilimuuliza meneja wa hii hoteli, akabaki akiwa ameduwaa duwaa huku akikaza kumkaba Yemi Okocha ambaye naye anaonekana kuto kujiweza kabisa katika swala la kupambana.
“Hilo halikuhusu”
Meneja alizungumza huku akianza kurudi nyuma nyuma kuelekea mlangoni huku akiwa amemshika Yemi Okocha. Nikataka kupiga hatu ili nimfwate Yemi ila akatishia kumkita kisu  cha shingo, ikanilazimu kusimama tu. Meneja akafungua mlango na kutoka chumbani huku, ikanibidi na mimi kutoka kwa haraka, nikamkuta meneja akiminya kitufe cha kufungulia lifti. Ilipo funguka, akamsukuma Yemi Okocha na yeye akaingia ndani na lifti ikajifunga. Kwa haraka nikamkimbilia Yemi chini alipo anguka. 
 
“Vipi umeumia?”
“Hapana”
Yemi alizungumza huku akikohoa kohoa. Nikamkanyanyua taratibu, nikatazama mshale ulipo juu ya mlango wa hii lifti unaonyesha kwamba lifti hii inaelekea juu gorofani.
“Muangalieni jaji mimi ninakuja”
Nilizungumza huku nikimuachia Yemi, nikaminya kitufe cha lifti nyingine.
“Calx naomba simu yako na ingia chumbani utaona simu yangu kitandani hapo tumia hiyo kunipigia na kuniambia kwamba lifti imesimama gorofa ya ngapi”
“Sawa Peter”
“Wapigieni simu polisi”
Nikaingia kwenye lifti na ikajifunga huku nikiwa nimeishika simu ya Yemi Calx. Nikaminya batani ya gorofa ya ishirini ambayo ndio ya mwisho kabisa ili hata kama hapo katikati kutakuwa na mabadiliko yoyote ninaweza kuminya batani ya gorofa husika na itasimama. Simu ikaita, nikaipokea kwa haraka na kuiweka sikioni.
 
“Peter amepanda hadi gorofa namba kumi na tisa”
“Poa”
Nikaminya batani ya gora namba kumi na tisa, sikumaliza hata dakika moja nikawa nimefanikiwa kufika, lifti ikafunguka na kutoka, kwenye kordo hii kumetulia sana, na hakuna mtu yoyote ambaye aliyopo kwenye hii kordo na vyumba vyote vimefungwa. Nikasikia vishindo vya miguu vikipandisha kwenye ngazi za kueleka gorofa inayo fwata. Nikaanza kuzipandisha ngazi hizi kwa kasi sana nikamuona meneja akijitahidi kupandisha ngazi hizi kwa kasi sana. Nikazidisha mwendo wa kupandisha ngazi hizi huku nikijitahidi kulikaza taulo langu mara kwa mara ili lisianguka. Meneja akazidi kukimbilia gorofa ya juu zaidi na akatokea juu kabisa ya gorofa. Meneja hakutaka kusimama zaidi ya kuzidi kukimbia kuelekea kwenye ukingo wa hili gorofa. 
 
“Meneja meneja”   
Nilimuita huku nikimkimbiza, akafika ukingoni mwa gorofa akasimama huku akinitazama. Kwa haraka nikaingia upande wa kurekodi video na kuanza kurekido tukio hili kwani sihitaji kuingia kwenye matatizo na serikali ya nchi hii.
“Niaembie meneja una tatizo gani meneja. Tafadhali simama hili swala tutalimaliza kiume hakuna chombo cha sheria ambacho kitakachoingilia”
Meneja huyu akabaki akitabasamu tu, akarudi hatua moja nyuma, na kumebaki usawa mdogo ambao akicheza vibaya basi anaanguka chini.
“Hujui unadili na watu wa aina gani”   
Meneja alizungumza kisha akajirusha kwenye hili gorofa nikakimbia kwa haraka hadi kwenye ukingo wa hili gorofa huku simu ya Calx ikiendelea kurekodi matukio haya, nikatazama chini na kumkuta meneja ndio akiangukia juu ya gari lililo simamishwa pembeni ya hii hoteli. Nikamvuta kwa karibu kutumia kamera ya hii simu, nikaona kichwa chake kilivyo pasuka kwa nyuma.
“Shitiii.”
 
Nilizungumza kwa hasira huku  nikikatisha kamera hii kuendelea kurekodi tukio hili. Nikawaona watu wakikusanyika katika gari hili, taratibu nikaanza kurudi ndani ya hili gorofa huku nikiwa nimekasirika sana. Nikarudi katika gorofani namba mbili kilipo chumba changu. Nikawakuta Yemi Okocha akiwa na baadhi ya maofisa wa polisi.
“Peter ni kitu gani kilicho tokea”
Nikamkabidhi Yemi simu huku nikimuwekea video niliyo irekodi. Yemi akaitazama, sura yake ikaonekana kujikunja kidogo, video ilipo isha akawakabidhi polisi mmoja ambaye naye pia aliitazama na kuwapatia wezake wawili.
“Yupo wapi Moses?”   
“Amesha chukuliwa na polisi anapelekwa kituoni”
“Calx na wezake?”
“Wapo katika chumba kingine, pamoja na walinzi wangu”
“Sawa sawa”
“Peter vaa nguo tuondoke katika hii hoteli tuelekee eneo salama”
“Peke yangu?”
“Tunaenda mimi na wewe, kesho washiriki wengine watakuja tutakapo kuwa”
 
“Sawa, ila kuna simu yangu kwa Calx ningeomba niweze kuichukua”
“Hii hapa ameniachia”
Yemi Okocha alizungumza huku akiitoa simu yangu mfukoni. Nikachukua suruali yangu na kuingia bafuni, nikavaa. Nikaitoa simu yangu nyingine mfukoni na kukuta ipo katika usalama mzuri. Nikamaliza kuvaa nguo zangu kisha nikatoka bafuni. Nikamalizia kuvaa viatu na tisheti yangu, nikamfwata Yemi sehemu alipo simama.
“Tayari jaji mkuu”
“Sawa twende zetu”
Tukawaacha polisi wawili humu ndani na kuongozana na polisi mmoja ambaye ndio alite kabidhiwa simu na Yemi. Tukashuka chini kabisa kwa kutumia lifti, tukatokea eneo la maegesho ya magari yaliyopo chini ya ardhi.
“Jaji walinzi wako wapo wapi?”
“Watawalinda washiriki wengine na sisi tunaelekea sehemu salama na huyu askari atatulinda”
“Tunaweza kuzungumza jaji mkuu”
“Ndio”
Tukasogea pembeni na kumuacha askari huyu akielekea kwenye gari la Yemi ambalo ni lina milango sita kama analo tumia raisi wa Marekani na baadhi ya matajiri wakubwa duniani.
 
“Kama nitakuwa ninakuvunjia heshima katika hili ninalo kwenda kulizungumza, ninakuomba unisamehe sana jaji mkuu”
“Zungumza tu Peter”
“Mimi ninaomba niweze kujivua katika haya maswala ya uwana mitindo”
Nilizungumza kwa ajili ya kumpima Yemi Okocha akili yake, japo ni jambo la hatari ambalo linaweza kuhatarisha ukaribu wangu naye ila inanibidi kufanya hivi ili hata kama ana maswali kadhaa ya kunihisi vibaya kichwani mwake, basi asipate majibu ya haraka haraka.
“Peter hicho kitu kwa sasa siwezi kukikubali kabisa, si kwajili ya hii kazi ila ni kwa ajili ya usalama wangu mimi mwenyewe”
“Kivipi jaji?”
“Peter, nimewaacha walinzi wangu kwa maana ninaona wanakula mishahara ya bure pasipo kufanya kazi ya aina yoyote. Wewe nimekujua leo ila umeonekana kujali usalama wangu kuliko wao, kwa hiyo nipo radhi kukulipa kiasi chochote cha pesa na uwe mlinzi wangu binafsi na nitakutaka wewe mwenyewe na sinto hitaji mlinzi mwengine binafsi”
 
Yemi alizuzungumza kwa msisitizo huku akinitazama usoni mwangu. Kimoyo moyo nikaanza kufurahia kwani mpango wangu unazidi kwenda vizuri.
“Ni bora wewe kunilinda kuliko kuacha kabisa maswala ya uwana mitindo”
“Hilo swala la kukulinda jaji mkuu mimi sina elimu nayo?”
“Hiyo hiyo ndogo uliyo kuwa nayo ndio ninayo ihitaji saawa Peter”
“Ninaomba unipe muda nifikirie”
“Sawa ila kwa sasa nitahitaji tuendelee nah ii safari”
Tukaingia kwenye gari na polisi huyu akawa na kazi ya kutuendesha. Yemi Okocha akachukua chupa ya pombe kali iliyomo ndani ya hili gari, akamimina kiasi kwenye glasi moja, akainywa yote kwa kasi huku akikunja sura yake na inaonyesha kwamba pombe hiyo ina kereketa sana kooni.
“Peter unatumia hii?”
“Hapana jaji huwa situmii kilevi”
“Kwel?”
“Yaaa”
“Hiyo itakuwa ni vizuri sana kwani walinzi wangu wale, ukiwapa pombe wanakunywa sasa kwa mfano kama leo kwa kile kililo jitokea, wamebaki wakiwa wamenitumbulia macho tu”
 
“Kwani walikuwa wamekunywa?”
“Wala sifahamu, ila wamezubaa kusema kweli.”
Sikutaka kuzungumza chochote kuepuka kuonekana kwamba imi ni mroho sana wa hiyo kazi. Tukatumia lisaa zima njani na tukafanikiwa kufika katika hoteli moja kubwa ambayo ipo pembezoni mwa bahari. Tukaagana na askari huyu na kuingia ndani ya hii hoteli.
“Mume wangu yupo humu”
“Umeolewa?”
“Yaa nimeolewa, na nina mtoto mmoja sema ninapenda kujiweka katika hali ya mazoezi ndio maana ukioniona huwezi kuamini kama nina mtoto”
Maeno ya Yemi yakanifanya nishushe macho yangu chini hadi kwenye mkono wake wa kushoto na kweli nikaona amevaa pete ya ndoa.
“Hongera kwakweli”
Nilizungumza huku nikitabasamu. Tukaingia kwenye lifti na taratibu tukaanza kuelekea juu.
 
“Peter kusema kweli wewe una roho ngumu”
“Kwa nini jaji?”
“Nimeshangaa kuona ulivyo mkata paja yule Moses, nilihisi kwamba unaweza kutania.
“Hahaaa unajua laiti nisinge fanya vile, mungenikuta na mimi ni maiti mule ndani”
“Kweli, ila natambua ni hasira uliyo kuwa nayo dhidi yake”
“Ndio”
Lifti ikafunguka katika gorofa namba tano, mlango ukafunguka na kuanza kufunguka. Tukafika kwenye moja ya chumba, Yemi akatoa kadi ya kufungulia mlango na akanikabidhi.
“Chumba chako ni hichi hapa, changu ni hichi hapa nina kadi yangu maalumu ambayo inafungua kila mlango wa hii hoteli”
“Ina maana hii hoteli ni mali yako?”
“Yaa hii ni hoteli ya mume wangu, chumba hicho hapo wanalala walinzi wangu na hichi ninalala mimi na mume wangu pale tunapo kuwa humu ndani”
 
“Sawa jaji mkuu nikutakie usiku mwema”
“Nawe pia Peter, ila zingatia kwa kile nilicho kueleza, naamini asubuhi utakuwa umenipatia jibu sahihi”
“Sawa jaji”
Nikafungua mlango huu na kuingia ndani na kuufunga kwa ndani. Nikawasha taa, chumba nilicho ingia ni kizui mara kumi ya chumba nilicho kuwa katika ile hoteli niliyo vamiwa. Uzuri wa chumba hichi, ni kikubwa sana, na kina huduma zote za nyumba ya wastani. Kuna sehemu ya jiko la kupikia, seble ndogo, choo chenye bafu ndani. Kitanda kimetengenezwa kwa muundo wa tairi kubwa. Nikakikalia kitanda hichi huku nikikiminya minya.
Nilipo hakikisha kwamba nimekagua chumba hichi vizuri, nikanyanyuka na kuelekea jikoni, nikafungua friji hili na kukuta likiwa limejaa vinywaji vingi. Nikachukua bia moja na kuifungua, nikaka kwenye kiti kirefu kilichopo hapa chumbani. Nikatoa simu aina ya iphone, taratibu nikaminya namba ya meja na kumpigia simu huku nikishusha mafunda kadhaa ya bia hii. Simu ya meja sikuipata hewani, ikanibidi kumpigia raisi Donald Bush moja kwa moja kwa namba yake ya mkononi. Simu yake ikaita na ikapokelewa.
 
“Ndio Dany”
“Habari yako?”
“Salama tu, vipi kuna hatua yoyote uliyo ipiga?”
“Ndio nipo naye kwa sasa na nimekuw amlinzi wake binafsi”
“Kazi nzuri, tena sana”
“Nashukuru muheshimiwa raisi. Hawa anaendeleaje?”
“Anaendelea vizuri, na kwasasa amekwenda Lass Vegacy na mwanagu wa kike”
“Ulinzi ni mzuri muhesimiwa?”
“Kwa hilo wala isitie shaka, yaani mwanangu ametokea kuwa rafiki mkubwa na mke wako hadi inafurahisha kwa kweli”
“Shukrani muheshimiwa r……..”
Mlango wa chumbani kwangu ukafunguliwa kwa nguvu.
“Badae muheshimiwa”
Nilizungumza kwa sauti ya chini huku nikikata simu na kuirudisha mfukoni mwangu, nikamuona Yemi Okocha akiingia huku analia na moja kwa moja akaka kwenye sofa na kujiinamia chini akizidi kuendelea kulia, kwa haraka nikanyanyuka kwenye kiti na kumfwata sehemua alipo kaa. Nikachuchumaa mbele yake na kumnyanyua taratibu uso wake.
 
“Kuna tatizo gani jaji”
“Ni…ni…memkuta mume wangu akiwa amelala na wasichana wawili kweliii”
Yemi Okocha alizungumza huku akizidi kulia kwa uchungu, mlango ukafunguliwa na akaingia mwanaume mrefu, huku akiwa amevalia suruali tu na hana tisheti yoyote juu yake.
“Mke wangu ninakuomba unisa…….”
Yemi Okocha kwa haraka akanishika mashavu yangu na kuanza kuninyonya lispi zangu huku machozi yakizidi kumchuruzika jambo lililo nifanya nibaki nimeduwaa kwa maana nimeingizwa kwenye kesi ambayo hainihusu kabisa.
                                                                                    
AISIIIII……….U KILL ME 137

    Nikastukia nikivutwa kwa nyuma na kuachanishwa na Yemi Okocha na nikaangukia pembeni. Mume wake akamnyanyua na kumtandika kofi zito la shavu lililo mrudisha Yemi Okocha chini. Kwa haraka nikanyanyuka na kumuwahi kumshika jamaa huyu kwa nyuma, huku nikijitahidi sana kumzuia asimpige Yemi.
 
Kutokana jamaa ana nguvu nyingi sana, akaniponyoka mikononi mwangu, akanigeukia na kunipiga kichwa kizito cha uso, nililicho nifanya nianguke chini pasipo msaada wa kuhiwahi. Kizunguzungu kikali kilicho nitawala baada ya kupigwa kichwa hichi, kikanifanya nilale chali kwa sekunde kadhaa.
“Niumeeeee”       
Nilisikia sauti ya Yemi Okocha akilia kwa uchungu, nikaka kitako, nikamuona mume wa Yemi akiwa amemkaba Yemi shingo yake, huku ameminya kwenye sofa na nisipo fanya msaada wowote basi ninaweza kushuhudia kifo cha Yemi mbele yangu. Nikajikaza kiume na kunyanyuka, nikamsogelea jamaa na kupiga kigoto cha mbavu na kumfanya kulegeza mikono yake kwenye koo la Yemi Okocha, akanigeukia huku akijaribu kurusha ngumi nzito. Jambo hili likanifanya nizidi kuwa makini sana, huku nikikwepa ngumi zake kwa ajili ya usalama wake kwa maana jamaa ananguvu nyingi sana na kamaa akinibahatisha kwa mara nyingine kunipiga basi nitajiweka katika hali mbaya hata ya kuuwawa. 
 
    Sikua na namna nyingine ya kufanya zaidi ya mimi kuanza kujilinda kwa kumzuia jamaa huyu kuwa kumpiga sehemu ambazo ziliweza kumpunguza kasi kila jinsi alivyo jaribu kunivamia. Kazi ya miguu yangu ni kurusha mateke yanayo tua kwenye mapaja yake kwa upande wa nyuma na kumnyong’onyeza. Zoezi hili likazaa matunda kwani jamaa alijikuta akipiga magoti chini pasipo kupenda kwani mapaja ya liishiwa nguvu na uwezo wa kuhimili mwili wake mkubwa.
“Mpumbavu wewee, ni nani aliye kupa ruhusua ya kumbusu  mke wangu”
Jamaa alizungumza huku akihema sana, jasho jingi likimwagika usoni mwake. Yemi akanyanyuka haraka kwenye sofa na kumrukia mume wake na kumuanguka chini. Akaanz akupiga makofi ya uso huku akimkwaruza na kucha. Hapa ndipo nilipo weza kuona hasiri ya Yemi, kwani bila ya huruma, akang’ata mumewe sikio aliye jitajidi kumtoa huku akipiga makofi ya mgongoni, ila Yemi hakuachia sikio hilo. Nilipo ona anaweza kumuumiza Yemi, ikanibidi kimshika mikono yake kwa nguvu na kumuacha Yemi amalizei anacho kifanya kwani baada ya dakika akatoka na kipande cha sikio kikiwa kinaning’inia mdomoni mwake na akakitema pembeni na kumfanya jamaa kupiga mayowe ya maumivu. Nikamuachia jamaa mikono yake na kumnyanyua Yemi Okocha na kumbeba kwa nguvu kwani bado alihitaji kumng’ata sikio la pili.
 
“Niache nimtie vilema malayaa huyu.”
Yemi alizungumza akijitahidi kujitoa mikononi mwangu, ila nikazidi kumkumbatia ili asiende kumvamia jaama ambaye kwa sasa amekaa kitako huku ameshika sikio lake lililo ng’ata akilia kwa uchungu sana.
“Malaya wewe, ulikuja kwangu ukiwa masikinii, leo nimekupa pesa, ku* na bado umenisaliti na malaya tuu wa hii hoteli na kuanzia hivi sasa nakuambia kwamba kila kitu ambacho ni changu nitakichukuaa, msen** wewe”
Yemi aliendelea kutukana huku akiendelea kujitahidi kujitoa mikononi mwangu.
 
“Peter niachee nikamuonyesheee msen... huyuuuuu. Awezi kulala na malaya ambao pesa, kula wanapata kutoka mikononi mwangu”
“Tulia Yemi, tulia adhabu uliyo mpa uliyo mpa inamtosha”
“Baado na nitakuwinda wewe. Nigeria yote hii utaiona chungu. Ku***** wewee”
Yemi aliendelea kufungulia kitabu chake cha matusi huku jasho likimwagika. Kusema kweli muwaone tu watu wakiwa wanacheka na kutabasamu, ila usije ukakutana na mtu wa aina hiyo akiwa katika kukasirika, hakika utajikuta ukiwa unaangukia pembeni.
Jamaa taratibu akanyanyuka huku akiyumba, huku sikio lake likiendelea kumvuja damu.
“Nitahakikisha ninakuua wewe malaya uliye msaidia mke wangu kunifanya hivi”
“Weeeee, weee mguse uonene. Nitamuambia baba yangu akunyoosheee. Na ninakuambia sasa kwamba huyu ndio ataichukua nafasi yako. Kwanza mwanaume gani usiye jiweze kwa chochote hadi usaidie na mwanamke.”
“Wewe ongea tuu, ila nitahakikisha huyo basha wako nina muua”
“Eheee ninaapa kwa jila la marehemu mama yangu, nitakuua hata kabla hujamgusa yeyee. Tena Peter niachie”
 
“Hapana Yemi”
Nikastulkia Yemi akining’ata mkono mwangu, nikajikuta nikimuachia kwa haraka akakimbilia sehemu yenye jiko, akachukua kisu kirefu na kuanza kukimbilia sehemua laipo simama mume wake. Mumewe kwa haraka wala hakuambiwa ni kitu gani kinacho kwenda kumtokea, kwani mlango alio uingilia aliufungua hata sikuona alipo elekea. Yemi akaufunga mlango kwa hasira huku akikikita kisu alicho kishika kwenye mlango.
“Hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa”   
Yemi Okocha alipiga kelele huku akishika kichwa chake. Akaanza kubinua binua binua meza ya kioo iliyopo humu ndani akihitaji kuvunja kwa kuikanyaga jambo ambalo ni hatari kwani endapo kioo chochote kitamkata mguuni basi kutakuwa na zoezi la kuuguza kidonda. Nimamshika kiunoni mwake kwa nguvu na kuanza kumbebe juu juu.
“Peter niacheee ninahamu ya kuua mtuu”
“Achana na hilo swala Yemi, tahari imesha mpa kilema achana naye tafadhali”
 
“Peter nataka kuuaa, nataka kuuaaaaaaaaaaa………”
Yemi alizungumza huku akihema kwa nguvu, huku macho ameyatoa. Uzuri wake wote ukampotea usoni mwake. Nikamlaza kitandani kwa nguvu huku nikiendelea kumbana mikono na miguu yake ili asijaribu kunyanyuka.
“Peter, sawa nimetulia nimetulia naomba uniachie”
“Tafadhali niaahidi uto fanya kitu chochote cha kijinga”
“Ndio sinto fanya, nimesha rudi kwenye hali yangu ya kawaida”
Yemi alizungumza kwa upole. Taratibu nikamuachia Yemi Okocha huku nikikaa pembeni yake nikihema kwa kuchoka kwa maana ninatumia nguvu nyingi kumzuia mtu mwenye hasira kali. Gafla Yemi akashuka kitandani akaanza kukimbilia mlangoni, ikanibidi na mimi kunyanyuka kwa haraka, kabla hajakifikia kisu alicho kikita mlangoni nikawanikiwa kumuwahi kwa kumshika kiunoni mwake, nikamgeuza kwa hasira huku nikimtazama usoni mwake. Nikamsogeza kwa kasi hadi ukutani na kumgandamiza huku nikiwa nimeyang’ata meno yangu kwa hasira. 
 
“Si hitaji ujinga tenaa……”
Nilizungumza kwa hasira huku sauti nzito ikinitoka, jambo lililo mfanya Yemi kutulia kimya kwani nina imani hakutarajia kukutana na sura ya kutisha kama ninayo muonyesha.
“Umenielewa…….!!?”
Yemi akatingisha kichwa akisema kwamba amenielewa. Tukaendelea kutazamana kwa dakika kadhaa kisha nikamuachia. Nikachomoa kisu alicho kikita mlangoni, nikaanza kutembea kuelekea sehemu ya jiko na kumuacha Yemi akikaa chini taratibu huku akilia kwa uchungu sana. Nikarudisha kisu sehemu kilipo tolewa, nikaishika bia yangu na kuanza kuinywa kwa hasira huku nikimtazam Yemi anaye endelea kulia kwa hasira kali iliyo mtawala. Nikachukua bia nyingine kwenye friji, nikaifungua kifuniko chake kwa kutumia meno, nikaendelea kunywa. Nilipo ona kilio cha Yemi Okocha kinapungua, nikafungua friji na kuchukua chupa nyungine ya bia. Nikaanza kutembea kwa mwendo wa taratibu hadi sehemu alipo kaa. Nikaka pembeni yake huku nikimkabidhi bia hii niliyo kuja, akaitazama kwa sekunde kadhaa kisha akaichukua, akapiga funda moja na kuishika vizuri chupa hii.
“Mapenzi…..mapenziiiii. Nikitu kuzuri ila muda mwingine ni kitu kibaya”
 
Nilizungumza kwa sauti ya utaratibu, nikapiga fumba la bia, kisha taratibu nikashusha pumzi yangu huku nikimtazama Yemi usoni mwake.
“Mapenzi yalibadilisha maisha yangu na kuyafanya yawe mabaya kwa kiasi kikubwa. Mapenzi yalinifanya niwe mtu wa ajabu na muda mwingine nilichukiwa na kila mtu ambaye alinisikia pasipo kuniona na wala kunigundua mimi kwamba sina makosa yoyote katika kila jambo la uovu ambalo alilisikia”
“Una maaga gani?”
Yemi aliniuliza kwa sauti ya chini sana huku akinitazama usoni mwangu.
“Ni historia ndefu, ila kiufupi ni kwamba kwa sasa siyahitaji mapenzi, na wala siyatamani kwani madhara yake ni makubwa sana kama hivi uliyo yaona”
“Peter”
“Ndio”
“Samahani kwa kila kilicho tokea sikutarajia kama ninaweza kukuhusisha katika huu ugomvi ambao hauna tija yoyote kwako”
“Naelewa hakuna tabu na kuja kwako humu ndani ni kwamba uliniamini na ulitambua kwamba utakuwa upo kwenye mikono salama”
 
“Kweli wewe ni mtu wa tofauti sana, toafauti na watu nilio wahi kuwaona kwenye maisha yangu, upo tayari kuyahatarisha maisha yako kwa ajili ya mtu mwengine”
“Jukumu langu kwa sasa ni kukulinda wewe”
Nilizungumza kwa kujiamini huku nikimtazama Yemi Okocha usoni mwake, kimoyo moyo furaha inazidi kunitawala kwani mpango wa kumuweka Yemi Okocha karibu yangu unazidi kukomaa.
“Kweli Peter?”   
“Ndio, lazima mume wako atahitaji kulipiza kisasi kwa kile ulicho mfanyia, Kwa hiyo kitu kikubwa ni sisi kuwa makini sana kwa kila hatua ambayo tutaipiga”
“Nashukuru Peter kwa maneno yako ya ujasiri, nitakulipa kiasi chochote cha pesa utakacho kihitaji kwenye maisha yako”
“Sawa”
Yemi Okocha akasimama, akaipandisha suruali yake iliyo kuwa imeshuka kidogo, na kuyafanya makalio yake kujibana vizuri. Akaanza kutembea kuelekea kwenye friji, akachukua chupa za bia kumi na kuziweka kwenye kikapu kidogo cha plastiki, akarudi sehemu niliyo kaa akafungua chupa mbili na kunipatia moja kisha yeye akabaki na chupa moja.
“Peter”
“Ndiooo”
“Nataka tunywe tuleweeee. Tumsahau huyu mpumbavu”
“Sawa Yemi”
 
Tukaanza kunywa kwa kushindana, mchezo ulio tufanya tumalize bia hizi haraka sana, nikanyanyuka na kwenda kwenye friji, nikaongeza bia nyingine kumi na kurudi nazo, tukaendelea kunywa kwa mashindano, kadri muda unavyo zidi kwenda ndivyo jinsi nilivyo muona Yemi akipagawa kwa pombe kwani akaanza kufanya vituko vya kimapenzi.
Kwa mara kadhaa Yemi, akaninyonya lispi zangu huku akinisifia kwamba nina lispi nzuri. Sikuhitaji kuonyesha hisia zozote za mapenzi wala kumtamani kwani nimeweka ahadi kwa mke wangu Hawa kwamba nitajitahidi kuhakikisha kwamba ninalinda penzi lake.
Yemi akauweka mkono wa kushoto juu ya wangu, akaanza kupapasa papasa jambo lililo nifanya nianze kusisimka.
“Mmmmmm Peter”
“Eheee”
“Mimi ni bosi wako si ndioo”
Yemi alizungumza kwa sauti ya ulevi huku akiwa wamenilegezea macho yake.
“Ndio wewe ni bosi wangu”
“Kwani kuna ubaya wa sisi ku....
“Ndio wewe ni bosi wangu siwezi kufanya hivyo”
Nilizungumza kwa kujikaza tu, ila tayari jogoo wangu anasikiliazia maumivu ya kubanwa na nguo yangu ya ndani.
“Mmmmm, muongo. Kwa hiyo wewe unashindwa kuni...mimi kisa mimi ni bosi wako?”
“Ndio ninakuheshimu bosi wangu”
“Acha hizo, hembu shika hapa”
 
Yemi aliuchukua mkono wangu wa kulia na kuuweka kifuani mwake, akaanza kuushikisha ma..yake huku akinitazama usoni mwangu.
“Peter”
Yemi aliniita na nikajikuta nikishindwa kabisa kumjibu kutokana na kumeza funda la mate la kutamani sana kufanya anacho kihitaji Yemi Okocha.
“Peter, si nimekuita?”
“Yaa nimesikia bosi”
“Shika z.. langu hili liminye minye”
Yemi alizungumza huku akiusaidia mkono wangu kwa kushika na mkono wake katika kuminya ziwa lake la upande wa kulia. Yemi akashindwa kujizuia, na kujikuta akikaa kwenye mapaja yangu,
‘Hawa nisamehe, nipo kazini mama’
Nilizungumza kimoyo moyo huku nikikishika kiuno cha Yemi Okocha. Tukazidi  midomo yetu, nikajikaza taratibu huku nikinyanyuka chini na Yemi hakuendelea kuning’anga’ania mwili mwangu. Nikaanza kutemba hivyo hivyo kwa kujikaza hadi kwenye kitandaa, nikamvua Yemi
 

Nikajilaza pembeni huyu nikihema kwa nguvu kwani ni shuhuli kubwa, taratibu Yemi akajivuta na kulaza kichwa chake kifuani mwangu. Hatukuchukau hata dakika nyingi usingizi mzito ukatupitia.
“Baba umefwata nini chumbani kwangu!!”
Niliisikia sauti ya Yemi Okocha akizungumza kwa mshangao, nikahisi labda yupo usingizini.
“Huyu ndio aliye kufanya umsaliti mumeo”
Sauti nzito ya mwanaume ikanifanya nifumbua macho yangu, nikakutana na sura ya baba Yemi ambaye ni gaidi niliye tumwa kuja kumtafuta nchini hapa Ningeria, pembeni yake wamesimama wanajeshi wawili wakiwa na bunduki mkononi mwao, na mlangoni nikamuona mume wa Yemi Okocha akituzama kwa hasira kali huku Yemi naye amekaa pembeni yangu huku amejifunika kwa shuka kuficha maungo yake ya ndani.

==>>ITAENDELEA KESHO

Waziri Mkuu: Nimeridhishwa Na Kasi Ya Ujenzi wa mfumo wa Reli ya kisasa (SGR)

$
0
0
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na kasi na viwango vya ujenzi wa mfumo wa reli ya kisasa (SGR) inayojengwa na kampuni ya Yapi Merkezi.

Amesema kipande cha kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro chenye urefu wa km. 300 ambacho kilitakiwa kukamilika Julai 2019, wataalamu wamesema watakamilisha Aprili 2019.

Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumamosi, Novemba 3, 2018) alipotembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa kuanzia eneo la Shaurimoyo Dar esSalaam hadi Soga,  Pwani.

“Nimeridhishwa na viwango na maendeleo ya ujenzi kwa sehemu ulivyofikia pamoja na ushiriki wa Watanzania wengi katika mradi huu, tunataka muendelee kujenga kwa kasi hii.”

Waziri Mkuu amesema Serikali inataka kuona malengo ya Rais Dkt. John Magufuli ya kutaka kuona SGR  inakamilika na kuanza kutumika nchini yanatimia.

Kuhusu suala la ajira, Waziri Mkuu amesema amefarijika kusikia asilimia 96 ya watu walioajiriwa katika mradi huo ni Watanzania, amewataka wawe mabalozi wazuri.

“Watanzania mnaofanya kazi katika mradi huu hakikisheni mnawajibika kwa kufanyakazi kwa bidii, uaminifu na muwe mabalozi wazuri ili wengine waweze wapate ajira.”

Awali,Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa alisema awamu ya kwanza ya mradi huo wa reli  kutoka Dar es Salaam hadi Makutupora unagharimu sh. trilioni 7.1.

Alisema mradi wa ujenzi wa reli hiyo yenye urefu wa km 1,219 kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza umegawanyika katika vipande vitano, kipande cha kwanza ni kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro chenye urefu km 300 na kitagharimu sh. trilioni 2.7.

“Kipande kingine ni kutoka Morogoro hadi Makutupora chenye urefu wa km. 422 ambacho kitagharimu sh. trilioni 4.4, Makutupora hadi Tabora km. 376.5, Tabora hadi Isaka km 162.5 na Isaka hadi Mwanza km. 311.25.”

Mkurugenzi huyo alisema kukamilika kwa reli hiyo ya kisasa kutachochea mipango ya Serikali katika kutekeleza sera ya viwanda na kulifikisha Taifa kwenye uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025.

Pia reli hiyo itachochea mapinduzi ya kiuchumi kwa kanda nzima ya Afrika Mashariki na Kati hususan kwa nchi zisizopakana na bahari kwani watasafirisha mizigo yao kwa haraka na uhakika.

Akizungumzia mradi huo kwa ujumla, Kadogosa alisema maendeleo ya mradi huo ni asilimia 32 kwa kipande cha Dar es Salaam-Morogoro na asilimia 3. 31 kwa kipande cha Morogoro-Makutupora.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
JUMAMOSI, NOVEMBA 3, 2018.

Wimbo Mpya wa Kayumba - Maumivu

a: Balozi wa EU nchini Tanzania hajafukuzwa, ameitwa Wakazungumze

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Augustine Mahiga amesema Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini Tanzania, Roeland van de Geer anayeondoka leo usiku Jumamosi Novemba 3, 2018  kurejea kwao, hajafukuzwa bali ameitwa.

Akizungumza na wanahabari jijini Arusha leo Balozi Mahiga amesema de Geer ameitwa katika makao makuu ya umoja huo Brussels, Ubelgiji.

Ametoa kauli hiyo baada ya wanahabari kutaka kujua kama balozi huyo amefukuzwa nchini Tanzania, huku kukiwa na taarifa kuwa ameitwa kujadili masuala ya kisiasa ya hivi karibuni nchini.

“Balozi ameitwa na umoja wa nchi za Ulaya. Kuitwa kwake tumeshauriana na tumejulishwa kwa hiyo amerudi pengine wana jukumu na kazi nyingine,” amesema.

“Ameitwa na amerudi na sisi tumejulishwa kuhusu hilo. Hajafukuzwa ameitwa na shirika lake na mara nyingi vitu kama hivyo hutokea mtu anaitwa na Serikali yake na kupewa majukumu mengine.”

Amesema Serikali imekuwa ikifanya nao kazi vizuri na kushauriana sambamba na kupeana taarifa mbalimbali.

“Kazi ya balozi ni kuwakilisha nchi au shirika lake kama kuna masuala yanahitaji majadiliano na ushirikiano hilo ni lao. Hata mie nilipokuwa balozi niliitwa nyumbani tushauriane na kutoa taarifa na tathmini kuhusu yale niliyotumwa.”

Jana balozi msaidizi, Charles Stuart alisema, “Balozi Roeland ameitwa makao makuu Brussels kwa majadiliano na ngazi za juu za kisiasa wiki ijayo kuhusu matukio ya hivi karibuni.”

Taarifa kutoka ubalozi huo zimeeleza kuwa balozi huyo anatarajiwa kuondoka nchini saa 5:55 usiku leo.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumapili ya November 4

Waziri Mkuu: Wizara, Mikoa Ondoeni Vikwazo Ujenzi Wa Viwanda

$
0
0
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amezitaka Wizara zinazohusika na masuala ya viwanda, Ofisi za Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Mamlaka za Serikali za Mitaa pamoja na sekta binafsi watambue na waondoe vikwazo na urasimu dhidi ya ujenzi na ustawi wa viwanda nchini.

Pia, Waziri Mkuu amemuagiza Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage ampelekee taarifa ya hatua iliyofikiwa juu ya kampuni ya Budget Motors walioomba kibali cha kutengeneza na kuunganisha bodi za mabasi tangu mwaka jana na hawajajibiwa.

Waziri Mkuu ametoa agizo hilo jana (Jumamosi, Novemba 3, 2018) wakati akifunga wiki ya maonesho ya viwanda yaliyofanyika kwenye Viwanja vya Sabasaba katika kata ya Picha ya Ndege, Kibaha mkoani Pwani. Amesena uwepo wa viwanda nchini unatoa ajira nyingi.

“Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Magufuli imeamua kujenga uchumi wa viwanda utakaokuwa mhimili mkuu wa maendeleo ya Taifa na wananchi, hivyo itaendelea kutoa ushirikiano ili kuhakikisha ajenda ya ujenzi wa viwanda inafanikiwa.”

Amesema katika kupunguza vikwazo na kuboresha sera nchini, Rais Dkt. Magufuli ameweka msukumo wa kutosha ili kurahisisha na kuondoa ukiritimba kwenye shughuli zote za kibiashara, lakini pia katika kuboresha sera za Taifa za kodi ili kulinda viwanda vya ndani

Waziri Mkuu amesema umuhimu wa viwanda umetokana na Ilani ya uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2015/2020 ambayo inaielekeza Serikali kuweka nguvu katika ujenzi wa viwanda ili kufikia malengo ya Dira ya Maendeleo ya Taifa ya mwaka 2025.

Amesema kwa msingi huo, Rais Dkt. Magufuli alitoa msukumo wa sekta binafsi nchini kuanzisha viwanda vinavyotumia malighafi zinazozalishwa nchini kutokana na mazao ya kilimo, mifugo, uvuvi na maliasili, vikiwemo viwanda vya nguo, sabuni, korosho na matunda.

Waziri Mkuu ameongeza kuwa uwepo wa viwanda nchini utasaidia kuongeza wigo wa mapato ya Serikali kupitia kodi na tozo mbalimbali. “Huu ndio mwelekeo wa Serikali ya awamu ya tano unaolenga kuifikisha nchi kwenye uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025.”

Kuhusu suala la kampuni ya Budget Motors, Wiziri Mkuu amesema ifikapo Ijimaa (Novemba 9, 2018) Waziri wa Viwanda Biashara na Uwekezaji awasilishe taarifa kuhusu suala hilo la kibali. “Huu ni urasimu, ni bora apewe atengeneze na akikosea arekebishwe.”

Kampuni ya Budget Motors inadai kuwa iliomba kibali cha kuwa na uthibitisho wa kutengeneza na kuunganisha bodi za mabasi kutoka Shirika la Viwango Tanzania (TBS), kwa takribani mwaka mmoja bila ya kujibiwa. Walitoa malalamiko hayo kwa Waziri Mkuu alipotembelea banda lao.

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu ametoa rai kwa taasisi zenye miradi mbalimbali nchini pamoja na wananchi kuthamini na kuzitumia bidhaa zinazozalishwa na viwanda vya hapa nchini zikiwemo na za viwanda vya mkoa wa Pwani kwani zina viwango vya ubora.

“Wakati natembelea mabanda kwenye maonesho haya nimeshuhudia bidhaa nyingi nzuri na zenye ubora. Nimeona wazalishaji wa saruji, mabati, nondo, marumaru, mabomba ya plastiki, chuma, zana za kilimo, vyakula, vinywaji na vifungashio.”

Waziri Mkuu amesema kupitia maonesho hayo ya viwanda vilivyopo katika mkoa wa Pwani vimeudhihirishia umma kuwa vina uwezo mkubwa wa kuzalisha bidhaa zilizo bora na hata kuzidi zile zinazoingizwa kutoka nje, amewahamasisha wananchi kutumia bidhaa za ndani.

Kwa upande wake, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Selemani Jafo ameiagiza mikoa yote nchini kuhakikisha inatumia bidhaa zinatengenezwa na viwanda vya ndani katika miradi mbalimbali ya ujenzi wanayoitekeleza kama ujenzi wa hospitali za wilaya na vituo vya afya.

Amesema Wakuu wa Mikoa ni lazima wahakikishe bidhaa kama saruji, nondo, marumaru, mabati zinavyotumika katika ujenzi ziwe vimezalishwa na viwanda vya ndani kwa sababu vina viwango vya ubora unaotakiwa na pia itasaidia kuondoa tatizo la soko la bidhaa hizo.

Naye,Waziri Mwijage amewataka watendaji wanaohusika na masuala ya viwanda kutoweka vikwazo kwa wawekezaji ambao wanakwenda katika ofisi zao kwa ajili ya kutafuta maeneo ya kuwekeza kwenye viwanda au wanaohitaji vibali kwani jambo hilo halina tija.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images