Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Watu 8 Wafariki Tanga Kwa Ajali ya Maji

$
0
0
Ofisi ya Uhamiaji Mkoa wa Tanga imekiri kutokea kwa vifo vya watu 8 ambao wanatajwa kuwa ni wahamiaji haramu kutoka nchi jirani walikuwa wakisafiri kupitia bahari ya hindi kuingia nchini.

Akizungumza Mkoani humo ofisa uhamiaji mkoani Tanga, Ally Dady amesema watu hao wanatajwa kuwa ni raia wa Ethiopia walitokea nchini Kenya, ambapo miili yao iliokotwa na wavuvi waliokuwa wakiendelea na shughuli zao za uvuvi.

“Waethiopia 8 walipata ajali baharini wakisafiri kutoka Kenya na kuja Tanzania, wavuvi na wanakijiji walisaidia kupatikana miili 8 ya wahamiaji hao haramu”, amesema  Ofisa huyo.

Kwa upande wake Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga Edward, Bukombe amesema jeshi hilo litawafikisha mahakamani baadhi ya manusura wa ajali hiyo kwa kuingia nchini bila kibali.

“Juhudi zilifanyika za kufatilia miili ya watu 8 ambao jumla yao walikuwa 13, na baadhi waliobakia watafikishwa mahakani kwa makosa mbalimbali”, amesema Kamanda Edward Bukombe

Mpaka sasa miili ya wahamiaji hao imehifadhiwa katika hospitali ya Mkoa wa Tanga kwa ajili ya kukabidhiwa ofisi ya ubalozi ili kufanya utaratibu wa mazishi.

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 18

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA   

“Kila mmoja aweke mikono yake juu ya meza”
Wote wakatii amri hadi mwanaume ambaye naye anahusika na mpango huu wa kumteka dada Mery na kuhitaji kuchukua mali kiurahisi. Nikaanza kuwapiga fimbo za mikono kwa kutumia fimbo hii ambayo imetengezwa kwa chuma. Mamenaja hawa wakazidi kulia kwa uchungu sana ila hapakuwa na hata mmoja wao ambaye alithubutu kufanya ujinga wa kunishambulia kwani kilicho tokea kwa mchungaji feki kila mmoja amekishuhudia, kwani ni jambo ambalo binadamu wa kawaida hawezi kulifanya na tukio kama hilo nahisi walisha liona kwenye baadhi ya filamu za Kimarekani kama Spider Men.
       
ENDELEA
“Ni nani aliye mteka dada yangu”
“Ni yule kule mkuu”
Menjea mmoja alizungumza huku machozi yakimwagika kama mtoto mdogo. Nikamtazama mchungaji aliye mnyooshea mkono, kwa haraka nikamfwata mchungaji huyu na kumnyanyua kwa mkono mmoja hadi wote wakashangaa, kwani kwa umri wangu, sina nguvu ya kunyanyua mwanaume kama huyu.
Nikamkalisha mchungaji juu ya kiti chake huku akionekana kuona mawenge mawenge. Nikaanza kumpapasa kwenye suruali yaka na nikatoa simu, nikaiweka mezani huku nikimtazama usoni mwake.
“Wapigie vijana wako wamrudishe dada yangu ndani ya dakika kumi, la sivyo nitavuja kichwa chako na weka loud speaker”
Mchungaji huku akitetemeka mwili mzima, akaichukua simu yake na kuanza kuiminya minya. Akataka kuiweka sikioni mwake, ila kwa ishara nikamuamrisha kuiweka mezani, ila hata anacho kizungumza watu wote waweze kukielewa.
“Ndio boss”
“Mark mrudisheni huyo binti sasa hivi”
“Boss”
“Nimesema mrudisheni sasa hivi sihitaji maswali pumbavu wewe”
“Nahitaji kungumza na Mery nijue yupo salama”
“Wewe ni nani?”
“Acha kuuliza, fanya ulicho ulizwa”
“Ethan”
“Ndio dada yangu upo salama”
“Ndio, ila naona wanageuza gari sijui wanaelekea wapi?”
“Wanakurudisha nyumbani, ikitokea mtu akakushika hata ziwa lako niambie itamgarimu”
“Sawa Ethan”
Nikaichukua simu hiyo na kuikata, kisha nikaibwaga mezani.
“Kuna jambo moja nahitaji niliweke wazi kwenu. Mimi sio mjinga na musijidanganye mukahisi mali hizi nilizo achiwa siwezi kuziongoza, ninaweza tena mara kumi ya hata sasa hivi kwa maana mzee alisha niandaa kuwa kiongozi toka nikiwa nia miaka saba, sijui tunaelewana”
 
“Ndio Boss”
Waliitikiwa kwa unyonge huku wengine wakijipangusa macho kwenye mashavu yao.
“Leo nitawaandishika mkataba wa kifo.”
Wote macho yakawatoka huku wakinitazama kwa umakini.
“Mkataba huu, yoyote atakaye kiuka masharti, basi kama mkataba unavyo sema. Basi adhabu yake ni kifo cha aina yoyote ambacho siku hiyo nitaamua kumpatia sijui tumeelewana?”
“Ndio mkuu”
Waliitikia huku wakilia kwa uchungu sana. Nikafungua mlango wa kutokea ukumbinu humu, nikamuita mwanasheria kwa iashara.
“Ndio”
“Unaweza kuniandalia mikataba muhimu”
“Sasa hivi?”
“Ndio”
“Ngoja nikachukue laptop”
“Fanya hivyo”
Mwanasheria akaondoka kisha nami nikarudi kwenye kiti changu.
 
“Haya yaliyo tokea humu, endapo nitayasikia nje ya hapa basi sinto muacha hata mmoja wenu hai, sinto jali ni wewe, au wewe, au wewe ambaye ulitoa siri. Akifa samaki mmoja basi ni wote wanakufa”
Maneno yangu yakazidi kuwaogopesha mameneja hawa, baada ya muda mwanasheria akarudi huku akiwa ameongozana na dada yangu Mery.
Wote wakaonekanekana kujawa na mshangao kwa maana watu waliomo humu ndani sura zao zimejawa na huzuni kubwa kuliko hata sisi wenye msiba wetu. Nikanyanyuka na kumfwata Mery sehemu alipo simama, nikakumkumbatia kwa nguvu huku kichwa chake akikilza begani mwangu.
“Pole saana dada yangu”
Nilizungumze huku nikiendelea kumkumbatia kwa nguvu.
“Asante. Ethan ni nini kinacho endelea?”
“Tutuzungumza baade, naomba ukakae chumbani pamoja na mama”
“Ethan naogopa”
“Usijali dada yangu, kila kitu kitakwend vizuri, sawa”
“Sawa, alafu yule mchungaji pale ndio mwenye vijana wake walio niteka”
 
Dada Mery alizungumza kwa sauti ya kuninong’oneza huku akinitazama usoni mwangu.
“Usijali nitalishuhulikia, wewe fanya kama nilivyo kuambia dada yangu”
“Sawa, ila inabidi tuwafahamishe askari kwa maana yule mchungaji sio mtu mzuri kabisa”
“Hakuna haja”
“Kwa nini?”
“Kila kitu niachie mimi”
Dada Mery akanikazia macho huku aki akinitazama usoni mwangu.
 
“Sawa”
Dada Mery akamtazama mchungaji kwa jicho kali kisha akatoka ndani humu, nikaufunga mlango kwa ndani na kurudi kwenye kiti changu nilicho kuwa nimekaa.
“Samahani mwana sheria kwa kukusumbua”
“Bila samahani mkuu”
“Nahitaji uandike mkata utao sainiwa na kila mtu humu ndani ya hichi chumba. Mkataba huo ni wa mwaka mmoja katika kuiongoza kampuni anayo iongoza. Masharti ya mkabata huo, nahitaji hadi inafika tarehe ya kama leo na mwezi kama wa leo, mwaka ujao, kila mmoja kwenye kampuni yake awe ameingiza mapato mara mbili ya mapato anayo ingiza hivi sasa hivi. Kwa yoyote atakaye shindwa, adhabu yake ni KIFO”
 
Mwanasheria macho yakamtoka huku akionekana ni jambo jipya kwa yeye kulisikia.
“Ethan pasipo kukuvunjia heshima, ila hili swala halipo katika sheria yoyote hapa nchini Ujerumani”
Mwanasheria alizungumza huku akinitazama, mameneja wote pamoja na mchungaji na mwezake wamekaa kimya kwani wanatambua ni kitu gani nilicho wafanya.
“Hiyo ni sheria yangu na mali zangu. Unatambu kwamba huyo mchungaji leo alihitaji kuniua na ndio aliye mteka Mery”
“Mery alitekwa….!!?”
“Ndio na mchungaji ndio mtekaji, huyo jamaa mwenye manywele yake, naye ni mshawishi kwa hawa wajinga sita hapa ili kila mmoja ajimilikishe kampuni anayo iongoza.”
Maneno yangu yakazidi kumshangaza mwana sheria pamoja na hawa watu wengine kwa maana nina hisi kitu wanacho jiuliza sana, nimejuaje juu ya mipango yao ya siri.
“Ninajua kila mpango wenu na ninajua munacho kifikiria juu ya kutoka hapa. Sasa ole wake mtu yoyote afanye ubadhilifu hawa wa dola moja ndani ya kampuni, mkataba wako utaisha siku ambayo utaonana na mimi nikiwa katika sura nyingine”
“Kwa aliye iba pesa za kampuni na kuhamishia pesa Uingereza, Uswiz, na sehemu nyingine duniani. Nahitaji hadi inatimia saa moja asubuhi pesa muwe mumezirudisha kwenye akaunti za viwanda.”
Baada ya kumaliza kuwapa mameneja maagizo yangu, nikamgeukia mchungaji na mwenzake.
“Wewe una jishuhulisha na kitu gani?”
“Ni…ni ni muuzaji wa magari kwa nchi za Asia na Afrika”
“Nahitaji asilimia sabini ya hisa zako za kampuni yako kabla ya saa moja asubuhi, ila kama huitaji nilicho mfanya mchungaji ni mara mbili na kile nitakacho kufanya wewe”
“Asilimia sabini?”
“Ndio au nimezungumza kilugha.”
“Samahani mkuu”
“Mchungaji una miliki nini, ole wako unidanganye?”
“Nina kasino moja lipo Munich, nina hotel ipo London na nina kanisa lina matawi mia moja na hamsini ndani na nje ya Ujerumani”
“Nahitaji asilimia sabini ya kipato kitokanacho na makanisa yako yote kingie katika mashirika ya kusaidia watoto yatima barani Afrika hususani Tanzania”
“Sawa mkuu”
“Tena, mwanasheria utanisaidia kufungua shirika ambalo nitaliita Ethna Childrean Foundation”
“Sawa sawa”
 
“Pesa yote ingiza kwenye shirika nitakalo lifungua, sijui umenielewa?”
“Nimekuelewa mkuu”
“Mwanasheria kufungua shirika inachukua muda gani?”
“Kama wiki hivi mkuu, kwani tutafwata sheria zote za kiserika na kutokana ni shirika ambalo ni la msaada kwa mataifa yote duniani, ndio maana litachukua muda hivyo”
“Nashukuru”
Nikajilaza vizuri kwenye kiti changu hichi cha kuzunguka huku nikiwatazama watu wote humu ndani.
‘Hii ndio nguvu niliyo kuwa nikikueleza toka ulivyo kuwa mtoto’
‘Kweli nime iona hiyo nguvu’
‘Kwa umri wako ila wana kuogopa kuliko hata simba’
‘Hivi kweli hawato nisaliti?’
‘Kwa sasa hakuna ambaye ata kusaliti. Wameshika adabu yao’
‘Hahaaa, ila nashukuru sana msaada wako’
Nilizungumza kimoyo moyo na hakuna hata mmoja ambaye anasikia mazungumzao yangu mimi na Ethan’
‘Usijali ni jukumu langu na niliweka ahadi toka usiku ule ulivyo weza kutupwa mtoni’
 
‘Ehee nimekumbuka’
‘Umekumbuka nini?’
‘Ni kina nani walio nitupa mtoni na ilikuwaje?’
‘Usijali, nitakuelea kila jambo pale nitakapo pata muda’
‘Leo huwezi nieleza?’
‘Maliza kwanza kitu kimoja, ndio ufwate jambo jengine.’
‘Sawa sawa’
“Nimemaliza mkuu”
Mwanasheria alizungumza huku akinyanyuka kweye kiti chake. Akabeba laptop yake hadi kwenye mashine ya kutolea kopi, akatoa kopi ya karatasi kadhaa kisha akaanza kuzitandaza mezani kwa kila mmoja. Akanikabidhi na mimi karatasi moja. Nikaisoma, kila nilicho muhitaji aandike amekifanya kama vile ninavyo hitaji.
 
“Mikataba yetu, inaeleweka na inasomeka vizuri na muna saini tukiwa na mwana sheria wa kampuni zote. Haya sasa kazi kwenu, muna kalamu au tuwa azime”
“Mimi ninayo”
Mzee mmoja alizungumza huku akito kalamu kwenye mfuko wake wa koti. Akasaini sehemu anayo takiwa kusaini, inayo mpa kiapo kwamba amekubaliana na masharti ya mkataba wangu. Baada ya kila mtu kutia saini ya mkataba, mwanasheria akaikusanya na kunipatia. Nikaanza kuupitia mkabata mmoja baada ya mwengine huku nami nikitia saini kama mtoaji masharti hayo.
“Naona tumemaliza na asanteni sana baba zangu na babu zangu. Niwatakie usiku mwema”
Nilizunugmza huku nikimkabidhi mwana sheria kalamu ambayo aliitoa meneja mmoja.
 
‘Ethan kalamu hiyo ina ushahidi wa kila kitu milicho kizungumza’
‘Kalamu gani?’
‘Hiyo muliyo saini’
Nikageuka nyuma na kumuona mwana sheria akimkabidhi meneja huyo kalamu hiyo na taratibu mzee akaaweka katika mfuko wake wa suti, huku sura yake kidogo ikonyesha kuwa na furaha. Nikarudi hadi katika kiti alicho kaa, akanitazama kwa wasiwasi, nikamnyooshea mkono huku nikimtazama usoni mwake.
“Nini mkuu?”
“Kalamu”
Mzee huyu nikamuona jinsi anavyo babaika, wasiwasi mwingi ukamjaa na kujikuta akinisukuma na kuanza kukimbilia mlangoni, kwa kasi ambayo hata mimi mwenyewe sifahamu nimeitolea wapi nikajikuta nikiwa nimesimama mlangoni huku nikimsubiria kufika hapa mlangoni. Nikamshika mzee huyu shingoni mwake na kumnyanyua juu kwa mkono mmoja hadi mimi mwenyewe nikajishangaa hii nguvu niliyo nayo.
 
“Naomba kalamu”
Meneja huyu akatoa kalamu na kunikabidhi mkononi mwangu huku mwili mzima ukimtetemeka.
‘Ethan huyu amenisaliti nimfanyaje?’
‘Mrushie kwenye meza kule’
Nikamrusha mzee huyu hadi mezani ambapo ni mita kama ishirini kutoka hadi hapa nilipo simama. Watu wote wakaka kimya wakimshuhudia mwenzo jinsi anavyo angukia katika viti. Nikashusha pumzi taratibu huku nikiminya kalamu hii katika eneo la kifuniko, mazungumzo niliyo kuwa nikiyazungumza ndani humu yote yakaanza kusikia kwa kila mtu.
 
“Yoyote mwenye ujinga kama huu, labda umeurekodi kwenye simu yako. Toa simu yako sasa hivi na ufute kile kitu mbele yangu. Mameneja na mchungaji wakaanza kutazamana.
‘Hakuna aliye fanya hivyo’
‘Kweli Ethan?’
‘Niamini mimi’
NIkamuona meneja akijitahidi kunyanyuka kwenye viti hivyo alivyo vivunja.
“Nenda kamsaidieni mwenzenu”
Nilizungumza kisha nikafungua mlango na nikatoka ndani humu, huku mwanasheria akinifwata kwa nyuma kwa mwendo wa haraka.
“Ethan”
“Naam”
“Hembu niambie ni wewe au ni macho yangu yaliona vibaya kitu ulicho kifanya”
Nikasimama na kumgeukia mwana sheria.
“Ulicho kiona ndani ya ofisi nahitaji kibaki ndani ya ofisi. Umenielewa?”
“Sawa sawa mkuu”
Tukarudi katika jumba ambalo watu mbalimbal wamakusanyika na wapo kwa ajili ya kutupatia pole kwa msiba ulio tupata.
“Ethan”
Muandishi wa habari wa BBC aliniita, nikakumbuka ahadi niliyo mpatia, nikasimama na akanifwata nilipo.
“Samahani naona nusu saa nililo kuahidi lilipita dada yangu”
“Usijali, sijui tunaweza kufanya mahujiano?”
“Ndio tunaweza, kutoka nilikuahidi inabidi nitimize ahadi yangu niliyo kuambia”
 
“Nashukuru kusikia hivyo. Tunaweza kutoka nje na kuelekea katika gari letu la kurusha matangazo”
“Sawa”
Nikaongozana na dada huyu hadi kwenye gari lao kubwa la kurusha matangazo. Vijana wake wakasha kamera, akachukua maiki yake, akajiweka vizuri kwenye zake. Kamera man, akaanza kuhesabu vidole vyake kuanzia moja hadi tatu.
“Habari za muda huu watazamaji wa BBC, tupo katika nyumba ya mzee Klopp, mchezaji wa zamani wa nchi ya Ujerumani na timu ya B. Dotmund. Hapa nipo na mwanaye wa kiume, Ethan Klopp atatuelezea ni kitu gani kilicho tokea hadi baba yake mzaza akapoteza maisha. Karibu sana”
 
Kabla sijalijibu swali la muandishi wa habari huyu, nikashuhudia gari la wagonjwa likisimamishwa kwa haraka aneo la mbele la nyumba hii. Wauguzi wakashuka kwa haraka kwenye gari hilo huku wakiwa na kitanda cha kusukuma na kukimbilia ndani ya nyumba hii. Wasiwasi mwingi ukanijaa moyoni mwangu, makamera man wakageuzia kamera zao katika eneo lilipo gari hilo la wagonjwa. Nikaanza kutembea kueleka katika eneo hilo la gari huku nikifwata kwa nyuma na waandishi hao wa habari. Kabla sijalifikia gari hili nikawaona wauguzi wakitoka ndani humu huku juu ya kitanda wakiwa wamemlaza bibi Jane Klopp huku akihemea pumzi ya oksijeni jambo lililo nistusha sana kwani sifahamu ni kitu gani ambacho kimempata mama yangu, bi Jane Klopp.

==>>ITAENDELEA KESHO

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 122 na 123 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588  ILIPOISHIA 
 “Baby hii kazi tunayo kwenda kuifanya ni hatari, nikifa hakikisha kwamba kisasi unakilipiza kwa wale wote walio kutendea ubaya, hususani baba yangu”
Hawa alizungumza kwa sauti ya chini, taratibu akausogeza mdomo wake karibu na wangu, nikaupokea taratibu na tukaanza kunyonyana, nikamuona Mariam aliye simama nyuma ya Hawa, uso wake ukijikunja na moja kwa moja nikatambua kwamba wivu ndio unao mpelekea kuwa katika hali hiyo ya chuki na hasira.
   
ENDELEA   
Taratibu nikamuachia Hawa na kuyashika mashavu yake kwa viganja vyangu.
“Nitakulinda mke wangu, nitahakikisha kwamba kila jambo linakwenda katika usalama”
“Nashukuru mume wangu”   
“Mkuu tuna dakika moja kabla ya kuzama kwenye maji”
Lusi alizungumza huku akitutazama, Hawa akanipiga busu la mdomo kisha akavaa mrija wa kuhemea. Kila mtu akavaa mrija wa kuhemea huku kila mmoja akiwa ameshika tochi ambazo hutumika hata ndani ya maji. Lusi kwa ishara ya vidole akaanza kuhesabu kuanzia tano, kuja nne, tatu, mbili hadi inafika moja kila mtu akaanza kujitosa kwenye maji akiwa na mtungi wake mgongoni. Sote tukazama ndani ya maji ya na kuanza kumfwata Lusi ambaye ndio muongozaji wa hii oparesheni. Katika masiha yangu nimewahi kufanya mambo mengi ya hatari ila hili la uzamiaji ndani ya maji tena usiku ni hatari sana kuliko hata nilivyo kuwa ninafikiria. Tukazidi kusonga mbele huku mara kwa mara Hawa alinisogelea karibu yangu na tunazungumza kwa ishara ya vidole. Tukazidi kusonga mbele, baada ya dakika kumi na tano tukaifikia meli hii ambayo ipo katika mwendo wa kawaida.
 
Lusi akaendelea kutuonyesha njia ya kupita ili kuepuka mtu kukatwa na ma feni makubwa yaliyopo pembezoni mwa hii hii meli huku chini ya maji. Lusi akaanza kufungua moja ya sehemu kwa kumia kifaa malumu cha kukatia, haikuchukua mud asana akafanikiwa kuikata sehemu hii. Akaanza kuingia yeye, akafwatia Mariam, Hawa, mimi kisha akamalizia mume wa Mariam.
“Hapa maji si yanaweza kuingia ndani ya meli?”
Nilimuuliza Lusi huku nikitazama sehemu tuliyo tumia kuingilia.
“Hapana, nitaifunga”
Lusi akaanza kuifunga sehemu hii kwa kutumia gundi ambayo ndani ya muda mchache ikawa imeganda. Kila mmoja akaanza kuvua vifaa tulivyo vitumia katika kuogelea. Lusi  akafungua begi lake ambalo haliingii maji, akatoa laptop ndogo, akaiwasha na kuanza kuiminya minya batani.
“Unafanyaje?”    
 
“Hapa nina hack system yote ya humu ndani, kuanzia kamera hadi uendeshaji wa mitambo”
“Lusi yupo vizuri kwenye maswala haya”
Hawa alizungumza na kunifanya nibaki kimya tu nikimuangalia Lusi jinsi anavyo fanya utundu wake kwenye maswala ya mitandao.
“Itachukua muda gani?”
“Five minutes”
“Ok”   
Tukaendelea kusubiri katika chumba hichi kilicho jaa mitambo ya uendeshaji wa hii meli. Ndani ya dakika tano mashine kadhaa ambazo zinatembea ndani ya hii meli zikaanza kuzima moja baada ya nyingine, Lusi akajawa na tabasamu kubwa usoni mwake. 
 
“Nimekata mawasiliano yao yote, hakuna mtu anaye weza kuwasiliana na simu kwenda sehemu yoyote ndani na hata nje ya ya hii meli. Na kwa sasa meli nimeisimamisha, ni wakati wetu wakuweza kufanya mashambulizi”
Lusi alizungumza huku akitutazama kila mmoja kwenye uso wake, akatoa vinasa sauti vidogo vya kuvaa masikioni, akatukabidhi kila mmoja.
“Naamini tunasikiana?”
“Ndio Lusi, je kuna walinzi wangapi ndani ya hii meli?”
“Wapo walinzi thelathini, hao ni walinzi wa hii meli, ila kuna walinzi wa matajiri binafsi zaidi ya ishirini”
“Sawa”
“Je simu za mikononi haziwezi kutoka?”
“Yaa mawasiliano yote nimakata, na hata wakiitafuta hii meli kwa satelaiti hawato weza kuiona”
 
“Jamani natambua nyinyi nyote hapa mupo kwa ajili yangu, hii kazi sio yangu mimi peke yangu kama Hawa, hii kazi ni kwa ajili yetu sote. Itapo tubidi kuua, itabidi kuweza kufanya hivyo kwa ajili ya kujilinda sisi wenyewe. Lengo kubwa linalo tupeleka humu ndani, kwanza ni kujipatia nguvu ya pesa ambayo sehemu yoyote na muda wowote tunaweza hata kuinunua serikali na kumgeukia baba yangu, natambu kila mmoja ameweza kufanyiwa mauvu na baba yangu, ni wakati wa sisi kuhakikisha kwamba tunafanikiwa katika hili”
Hawa alizungumza kwa kujiamini sana huku akimtazama kila mmoja machoni mwake.
“Tuna lisaa moja kuhakikisha kwamba oparesheni hii inakwenda vizuri. Tutajigawa katika makundi mawili, Dany utaongozana na Mariam na mimi nitaongozana na kaka yangu, Lusi wewe utahakikisha kwamba hakuna mawasiliano yoyote yanayo tolewa nje na hawa watu, na utatuelekeza ni wapi walipo walinzi ili iwe rahisi kwa sisi kuweza kuwafanyia mashambulizi”
 
“Sawa mkuu”
“Timu yangu itakuwa timu A na Dany timu yako itakuwa ni timu B. Narudia tena, inapo tulazimu kuua itabidi tuue na itapo tulazimu kumsukuma mtu ili kuhakikisha kwamba tunapata kile kilicho tupeleka humu dani, cheni za dhahabu madini kila kitu chenye thamani na kina weza kubebeka itatubasa kukibeba sawa”
 
“Sawa”
Lusi  akatukabidhi kila mmoja kibegi chepesi cha kuvaa mgongoni chenye mikanda myembamba sana.
“Hawa”   
Nilimuita Hawa huku nikisogea pembeni, akanifwata na kusimama mbele yangu.
“Kwa nini umefanya maamuzi haya”
“Maamuzi gani Dany?”
“Nilikuambia kwamba nitakulinda, sasa inakuwaje ujiweke timu moja na kaka yako na mimi unipatie Mariam”
“Nina maana yangu ya kufanya hivyo Dany”
“Maana gani, ikiwa unatambua kabisa kwamba Mariam ni adui yangu na unatambua bado nina hasira naye”
“Dany hii ni kazi, kwenye kazi ninakuomba uadui uuweke pembeni na mapenzi pia uyaweke pembeni kwa muda, tukimaliza hii kazi ndani ya lisaa kila jambo litaendelea kama ilivyo kuwa”
“Hujanifanyia haki Hawa, hata kama wewe watu hawa wanaisikiliza amri yako, ila na mimi pia unatakiwa kunisikiliza maoni yangu na si kujiamulia”
“Dany nikiwa kwenye kazi huwa ni mtu mwengine, nimepanga na maamuzi yangu hayawezi kuvunjika. Tuingie kwenye kazi”
Hawa baada ya kumaliza kuzungumza, akaondoka na kuniacha nikiwa ninamshangaa kila mtu kwenye hichi chumba aliweza kuyasikia mazungumzo yetu kwa maana vinasa sauti tulivyo vivaa masikioni mwetu vinanasa mazungumzo yetu watu wote watano.
“Lusi tuambie tunze upande gani?”
“Hapa tulipo ni chini kabisa ya meli, hii meli ika gorofa nne kwenda juu. Kuna ngazi za kuapndika kutokea humu ndani ambazo ni zile pale. Timu A inaweza kuchukua uangalizi wa gorofa ya kwanza na timu B inaweza kuchukua uangalizi wa gorofa ya pili na baada ya hapo kila mmoja anaweza kwenda kuchukua ungalizi wa gorofa moja moja”
“Sawa, tutawanyike”
Nikamtazama Hawa jinsi anavyo jiweka vizuri jaketi lake la kuzuia risasi, nikamtazama na Mariam, nikatamani kubaki nyuma kwenye hii kazi ila nikajiona ninaweza kusababisha kila jambo kufeli katika hii kazi. Nikaanza kutembea kuelekea kwenye ngazi huku nikiwa na bastola yangu moja mkononi. Nikasimama kwenye mlango, nikashia kitasa taaribu, nikaufungua na kuchungulia nje nikawaona mafundi wawili wakija katika usawa wa huu mlango. Niaifunga bastola yangu kiwambo cha kuzuia sauti, kisha nikajitokeza na kuwapiga wote risasi.
 
“Clear”
Nilizungumza huku nikianza kusonga mbele, Marim akaanza kunifwata huku na yeye akiwa na bastola yake mkoni. Tukaanza kuua walinzi mmoja baada ya mwingine huku tukifwata maelekezo ya Lusi kupitia vinasa sati tulivyo vivaa masikioni, tukapandisha katika gorofa ya pili. Kusema kweli hii meli imebeba mtajiri watupu kwa maana ina kila aina ya starehe. Nikachomoa bastola yangu ambayo sijaifunga kiwambo cha kuzuia sauti, nikapiga risasi juu, milio ya risasi ikawafanya watu kuanza kuchanganyikiwa na kulala chini. Hapa ndipo tukapa nafasi ya kuwaona walinzi, ambao walijikuta wakianza kujibu mashambulizi. Kutokana na uwezo mkubwa wa matukio haikuwa ni jambo gumu sana kwetu kuwashambulia hawa walinzi.
“Dany”
Mariam aliniita, kwa ishara akanikonyeza niiname kidogo, akafyatua risasi na kunifanya niangalie nyumba yangu na kumkuta mwanamama amelala chini, damu zikimtoka kifuani na mkononi mwake ana kiji bastola kidogo ambacho huwa kinaingia risasi tano.
“Kaa hapa”
Nilimuambia Mariam huku nikianza kuondoka”
“Dany”
“Ndio”
Mariam akanitazama kwa matamshi ya ishara yam domo pasipo kutoka sauti akaniomba niweze kurudi salama kwa maana ninakwenda gorofa nyingine, nikatingisha kichwa huku nikimyooshea kidole gumba. Nikaondoka katika gorofa hii na kuanza kuwasiliana na Lusi.
 
“Hawa ameshikilia gorofa ya kwanza na gorofa ya tatu yupo kaka, wewe nenda gorofa ya nne”
“Sawa, kuna walinzi wangapi?”
“Ahahaaa, subiri subiri kidogoo…….Wapo walinzi kumi na wote wamevaa suti”
“Poa”
Nikachomoa magazine ya bastola yangu hii, nikaitazama na kukuta ikiwa na risasi mbili, nikaitoa na kuweka nyingine, nikapandisha kwenye ngazi za kwenda gorofa ya nne ambayo ndipo wanapo kaa matajiri wenye pesa nyingi. Nikaanza kunyanta kwenye kordo hii iliyo tulia na ina vyumba vicheche sana.
 
“Dany”
“Ndio Lusi”
“Kushoto kwako kuna mlango umeouona”
“Ndio”
“Ingia hapo, kuna ukumbi na matajiri wote wapo humo ndani wamejificha na walinzi wao”
“Poa nimekupata, je kuna kamera za ndani?”
“Yaaa, kamera ya ndani inaonyesha kuna walinzi wanne wapo mlangoni na bastola zao wamezinyooshea mlangoni”
“Poa poa”
“Dany”
Niliisikia sauti ya Hawa
“Ndio”
“Ninakuomba usiingie hapo peke yako, ngoja nikusaidie”
“Kaa katika nafasi yako, tupo kazini sihitaji msaada wako. Ninajua nini ninafanya”
 
“Please Dany”
“Hawa ninajua ninacho kifanya”
Nilizungumza kwa hasira, nikaangalia katika kuta za hii kordo, kwenye moja ya kordo nikaona mtungi wa gesi, kwa harkaa nikaukimbilia nikauchukua na uchomoa sehemu ulipo chomekwa, nikarudi nao hadi kwenye mlango, nikausimamisha vizuri kisha nikaifungua gesi ikaanza kutoka taratibu, nikarudi nyuma hadi kwenye moja ya kona, nikakaulenga mtungi huo, nilipo hakikisha umekaa kwenye tageti ya mikono yangu, nikafyatua risasi kadhaa, mlipuko mkubwa ukatokea katika eneo hili, malango ukavunjika, nikasikia mlio ya risasi inavyo toka kwa mfululizo ndani ya ukumbi walio jificha matajiri wakubwa. Kwa haraka nikaaza kurudi hadi mlangoni nilicho kifanya ni kulala chini kwa haraka na kunza kuwashambulia walinzi baadhi kwa kutokea chini nilipo lala. Moshi unao endelea kuzagaa katika hili eneo ukawa ndio nafasi yangu nzuri ya kuwashambulia walinzi hawa.
 
Nikafanikiwa kuingia ndani ya ukumbi huu, huku nikizidi kushambuliana na walinzi hawa hadi nikafanikiwa kuwaua wote.
“Kweli Dany unajua unacho kifanya”
Niliisikia sauti ya Lusi akizungumza, nikatabasamu huku nikitazama kamera moja iliyopo humu ndani.
“Ukinyanyuka itakuwa ndio kifo chako kama hawa walinzi ambao mumewaamini na kuwapa pesa za kuwalinda nyinyi na familia zenu. Ninacho kihitaji mimi, ni pesa, dhahabu zenu ukikiuka kufanya ninacho kueleza basi nitakuua”
 
Nilizungumza kwa kingereza huku nikiwatazama wazee hawa wa jinsia ya kiume na kike.
“Mtoto wa malaya, ni nani aliye kutuma kuvamia hii meli”
Mzee mmoja alizungumza huku akijaribu kunyanyuka, nikampiga risasi mbili za miguu yake, akaanguka chini, kifudifudi mke wake anayanyuka na kumgeuza mume wake anaye lia kw uchungu sana.
“Ninarudia tena, atakaye leta ujinga nitamuua. Wewe nyanyuka hapo”
Nilimuita muhudumu mmoja wa kike, akanyanyuka huku akitetemeka sana. Nikamkabidhi kibegi changu kidogo na kumumrisha kuanza kumpitia tajiri mmoja baada ya mwengine na ahakikishe kwamba kila kitu cha thamani kinawekwa ndani ya kibegi changu. Muhudumu huyu akanza kupitisha kwa kila tajari, ila alipo fika kwa mwanaume mmoja aliye valia suti ya garama, akasimama na kuzidi kutetemeka.
“Mr president ninakuomba uweke”
 
Msichana huyo alizungumza kwa sauti ya chini sana ila niliweza kusikia anacho kizungumza, taratibu nikaanza kutembea kwa tahadhari hadi kwa mwanaume huyu, nikamtazama kwenye koti lake upande wa kushoto nikaona nembo ya bendera ya Marekani, mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio. Taratibu mzee huyu akaingiza mkono wake mfukoni, nikajikuta nikiishika bastola yangu kwa umakini huku nikiwa nimemnyooshea kichwani mwake ili hata akitaka kutoa silaha basi nitamuwahi kumuua. Sikuamini macho yangu nilipo muona anatoa kitambulisho chenye nembo ya raisi wa marekani.
 
Nikampokonya mzee huyu, nikaisoma kitambulisho hichi na ni kweli kinamuonyesha ni raisi wa Marekani jambo lililo zidi kunitisha kwa maana natambua wanajeshi wa Marekani walio sambaa dunia nzima lazima kwa muda huu watakuwa wanamtafuta raisi wao.
“Fuc**”
Nilizungumza huku nikisoma jina la raisi huyu anaye itwa Donald Bsh
“Vipi?”
Lusi aliniuliza
“Kuna tatizo”
“Tatizo gani?”
Niliisikia sauti ya Hawa akiniuliza kwa shauku kubwa ya kuhitaji kufahamu, nikajikuta nikimtazama raisi Donald Bsh, taartibu akatingisha kichwa huku machozi yakimwagika usoni mwake jambo lililo nifanya nishushe pumzi nyingi na kushindwa kumjibu Hawa swali alilo niuliza.
 
AISIIIII……….U KILL ME 123 

“Dany zungumza kuna tatizo gani?”   
Hawa aliniuliza, nikaka kimya kwa sekunde huku nikimtazama raisi Donald Bsh
“Hakuna tatizo nimesha lishuhulikia”
“Sawa, tunadakika chache zilizo salia, kila mtu anatakiwa kumaliza kazi yake”
“Sawa mkuu”
Nikamshi mkono raisi na kumnyanyua juu, nikamsogeza pembeni kwenye sehemu ya vinywaji. Nikamziba mdomo na kisha nikatazama eneo la juu hapa, hakuna kamera, nikakivua kinasa sauti kilichopo sikioni na kukikanyaga chini, ninatambua wezangu wote lazima watasikia kelele kali.
“Mimi sio mtu mbaya kwako na wala sio mtu ninaye hitaji kukuumiza wewe, ninaitwa Dany. Natambua kwamba ni raisi wa nchi kubwa Marekani, sihitaji kuliweka taifa lako katika hali ngumu. Unachotakiwa kufanya ni hichi nitakacho kuambi. Sawa”
Raisi akatingisha kichwa huku akiwa amenitolea macho.
“Tulio iteka hii meli tupo wanne, ninaamini kwa sasa wezangu watakuwa katika harakati za kuja kunichukua, hakikisha kwamba unatafuta sehemu ambayo unaweza kujificha na yenye usalama, ninacho kuomba ni wewe kuchukua hii bastola na unipige risasi ya bega sawa”
 
“Siwezi kufanya hivyo”
“Usipo fanya hivyo wapo watakao kuja kukuaa humu ndani, najua waafrika wengi na hususani watu nilio kuwa nao kwenye hii kazi hawaipendi Marekani, na wakijua kwamba raisi wa Marekani yupo humu ndani watakuua, fanya nilicho kuambia sawa”
Raisi mwili mzima ukazidi kumtetemeka, nikamkabidhi bastola yangu, watu wote humu ndani wakaonekena kunishangaa kwa maamuzi ninayo yafanya.
“Unajua ni wapi kwa kijificha?”   
“Ndio kuna mlago hapa ndani ya huu ukumbi ninaweza kujificha na kuna chumba….chumba salama”
“Ok fanya hivyo”
Raisi akakafumba macho yake huku akiwa amejawa na woga mwingi sana, nikamsogelea na kuigandamiza bastola yangu kwenye bega, akafnyatua risasi iliyo ingia kwenye bega langu na kuniangusha chini. Japo ni maumivu makubwa sana ambayo ninayapata, ila sina jinsi zaidi ya kuhakikisha kwamba ninayaokoa maisha ya raisi huyu raisi. Hazikupita hata dakika mbili akaingia Hawa akiwa na bastola yake mkononi, watu wote ambao walianza kunyanyuka walijikuta wakirudi chini na kulala kwenye sakafu.
“Dany Dany”       
Hawa aliniita kwa haraka huku akinisogelea, akanishika bega langu na kunitazama jeraha langu.
“Ilikuwaje mume wangu”
Nilimtazama Hawa huku jasho likinimwagika usoni mwangu kwa maana maumivu ninayo jisikia ni makali sana.
“Dany amejeruhiwa kwa risasi, ninarudia tena Dany amejeruhiwa na risasi”
Hawa alizungumza huku akishika sikio lake, taratibu akaninyanyua, akawatazama walinzi nilio wauoa humu ndani.
 
“Pole mume wangu”   
“Hei wewe lete hicho kibegi”
Hawa alizungumza, dada muhudumua ambaye alikuwa ndio mkusanyaji wa vitu vyote vya garama nilivyo chukua kwa watu wote humu ndani. Hawa akakivaa kibegi hichimgongoni na tukaanza kutoka ndani ya chumba chichi huku tukiwaacha watu wakiwa wamelala chini. Tukaanza kushuka kwenye ngazi kueleka chini, tukafanikiwa kufika katika chumba killichopo chini kabisa tulipo ingilia.
“Lusi una vifaa vya huduma ya kwanza?”
“Ndio mkuu”
“Nitolee haraka”
Hawa alizungumza huku akinikalisha chini, wakaanza kunihudumia kuhakikisha kwamba wanaitoa risasi pamoja na kuzuia damu kutoka. Zoezi hili halikuchukua muda mwingi wakawa wamefanikiwa kunitoa risasi na kunifunga jeraha langu.
“Ni wakati wa kuondoka sasa”
“Ila mume wangu ataogeleje?”
“Katika hii meli kuna boti ndogo za dharura kuna moja ambayo tayari nimesha iweka tayari”
 
“Ipo wapi?”
“Kuna mlango ule pale tutapandisha juu kidogo na ngazi kisha tutakuta mlango mwengine ambao tukitoka hapo tutakuta hiyo boti”
Mariam na mume wake wakingia wakiwa pamoja. Tukaanza kutoka katika chumba hichi huku Hawa akinisaidia kutembea, tuapita katika sehemu ambayo Lusi alituelekeza, tukakuta boti ndogo ambazo mara nyingi zinatumika kwa dharura pale meli inapo patwa na dhahama ya kuzama. Tukapande sote na kuondoka eneo hili kwa kasi sana. Hawa akatoa rimoti ndogo na kuishika mkononi mwake huku akitazama meli hii tunayo zidi kuiacha.
“Unataka kufanyaje?”
Nilimuuliza Hawa huku nikimtazama.
“Tumetegema mabomu mule nataka kulipua meli nzima”
“Usifanye hivyo?”
“Dany hatuwezi kuacha meli hivi ikiwa nyuso zetu zimeonekana na watu wengi, wewe unafikiriaje kwa mfano tukaacha watu hai”
“Kuna watoto wadogo mule, hawajui hata raha ya maisha na unataka kulipua hembu achana na huo mpango”
“Siwezi”
 
Hawa akaminya batani ya rimoti aliyo ishika, milipuko mingi ikaanza kulipuka katika meli, jambo lililo nikasirisha sana. Hawa akanitazama akataka kunishika mkono wangu ila nikakwepesha asinishike. Safari yetu ikachukua karibia masaa mawili na tukafanikiwa kufika pembezoni mwa bahari. Nikashuka mwenyewe kwenye boti hii na wala sikuhitaji msaada wa mtu yoyote kwa maana msaada wote nilio utoa kwa raisi wa Marekani ni bure kwani yeye na watu wote walio baki hai wamelipuka kwenye kwenye meli hiyo.
“Mkuu gari lipo tayari”
Lusi alizungumza huku akimtazama Hawa usoni, sikuzungumza chochote zaidi ya kusimama pembeni kidogo, Hawa taratibu akaanza kunifwata.
“Dany mume wangu, natambua kwamba nitakuwa nimekuudhi, ila ninakuomba unisamehe”
Nikamuangalia Hawa, kisha nikampita pembeni yake, tukaanza kuelekea huko Lusi anapo sema kwamba kuna gari linalo tusubiria. Tukafika barabarani na kuwakuta walinzi wawili wa Hawa, kila mmoja akiwa na gari lake. 
 
“Dany”
“Nini?”
“Tuingie gari hili”
“Nitapanda huku”
“Tafadhali Dany, ninahitaji kuzungumza na wewe”
“Tutazungumza huko tunapo kwenda sawa”
“Sawa”
Safari ikaanza ya kuondoka eneo hili ikaanza huku nikiwa nimejawa na huzuni kubwa sana moyoni mwangu kuona maelfu ya watu walikuwa ndani ya meli hii wamekufa. Japo nimeua baadhi ya walinzi ila nilifanya hivyo kuhakikisha kwmaba ninajilinda mimi mwenyewe. Tukafika katika moja ya nyumba iliyopo porini, na wala sikufahamu tupo nchi gani. Tukashuka wote kwenye magari, katika eneo hili nikawakuta baadhi ya walinzi wa Hawa ambao ninawafahamu kutokana na mafadha yao waliyo yavaa. Tukaingia ndani, nikaka kwenye sofa la kujitenda, Hawa akanitazama kwa macho yaliyo jaa simanzi kisha akaanza kuzungumza.
 
“Tunashukuru Mungu kazi yetu imekwenda vizuri japo mwenzetu pale amepigwa risasi, imekwenda vizuri sana. Kwa sasa ningeomba tupumzike asubuhi na mapema tutapanga mipango ya kuhakikisha kwamba tunawarudia vipi maadui zetu”
“Sawa mkuu”
Hawa baada ya kumaliza kuzungumza nikawa wa kwanza kunyanyuka kwenye sofa, nikatoka nje na kumfanya Hawa anifwate kwa nyuma.
“Dany”
“Ndio”
“Kwa nini huitaji kuzungumza na mimi, kwani kuna kosa gani kubwa ambalo nimelifanya na litapelekea wewe kuninunia na kunikasirikia”
“Hawa nisikilize, sinto weze kuaendelea kufwata amri yako, eti kisa wewe umenisaidia sawa. Ninapokuwa ninakushauri kitu na kujiona wewe ndio wewe katika hilo jambo ni vyema kwa sasa nijivue”
“Ujivue, una maana gani?”
“Ili kulinda penzi langu mimi na wewe, nitahitaji kila mtu sasa hivi atumie jinsi anavyo weza yeye mwenyewe kulipiza kisasi sawa”
 
“Hapana Dany usizungumze hivyo”
“Kulikuwa na haja gani ya kuwau watu wengine, ninakueleza bado ukafanya, maana yake wewe si una mamlaka yako peko yako na huitaji mtu yoyote aweze kukushauri si ndio?”
Nilizungumza kwa hasira huku nikimsogelea Hawa karibu kabisa na uso wake. Hawa akakaa kimya huku akiwa amenikodolea macho.
“Umepata ambacho ulihitaji kukipata, basi kazi zako utazifanya wewe mwenyewe na mimi ninaomba nijiweke kando katika kila kazi yako”
“Dany”
Hawa aliniita huku machozi yakimwagika usoni mwake. Taratibu akaanza kushuka chini, akapiga magoti na kuishika miguu yangu kwa mikono yake huku akiangua kilio kikubwa.
“Dany naomba unisamehe mume wangu, siwezi kukaa mbali na wewe mume wangu. Ninakupenda sana, nilicho kifanya natambua ni makosa tafadhali sana mume wangu”
 
Taratibu nikamnyanyua Hawa, nikamkumbatia taratibu, tukarudi ndani kwa pamoja. Moja kwa moja tukapitiliza hadi chumbani. Hawa akanivua nguo zangu, akanibadilisha bandeji kwenye jeraha langu na kunifunga jeraha langu. Tukaingia bafuni na kuoga kwa pamoja. Usiku huu ni usiku wa furaha kwetu kwa maana tulijikuta tukizama kwenye penzi zito na Hawa, katika kitanda cha sita kwa sita kilichopoa humu ndani.
    Asubuhi na mapema nikaamka, nikavaa suruali yangu pamoja na tisheti nyepesi, nikatoka chumbani na kuelekea nje, nikawakuta walinzi wachache wakiwa wanaimarisha ulinzi. Nikaanza kuzunguka katika maeneo ya karibu katika hili eneo. Kwa mbali nikaona maji mengi ambayo kwa haraka haraka niliweza kugundua kwamba maji haya ni maji ya bahari. Nikaanza kutembea kwa taratibu kuelekea katika eneo hilo. Sikuchukua muda mrefu sana kufika katika fukwe hii iliyo tulli.
 
Kwa mbali kidogo nikaona boti ndogo iliyo goma kwenye mchanga mwingi ulipo kwenye fukwe hii. Nikaanza kutembea kwa mwendo wa taratibu huku nikiwa makini sana, nikiwa karibu katika boti hii nikasikia sauti ya mtoto mchanga akilia sana ndani ya boti hii. Nikazidi kuongeza umakini wangu kuanzia kutembea hadi kutazama eneo zima la hii fukwe. Nikafika katika eneo la hii boti, nikafanikiwa kumkuta mtoto mdogo akiwa amelala kifuani mwa raisi Donald Bsh anaonekana kujawa na majeraha kadhaa mwilini mwake.

“Muheshimiwa raisi, muheshimiwa raisi”
Nilimuita huku nikimchukua mtoto huyu mchanga aliye lala kifuani mwake. Nikavua tisheti yangu kwa haraka, nikaitandika chini kisha nikamlaza mtoto huyu. Nilipo hakikisha ametulia, nikamtoa raisi Donald Bsh kwenye hii boti. Nikafungua vifungo vya shati lake, kisha nikasikilizia mapigo ya moyo wake yanavyo dunda kwenye kifua chake, kwa mbali nikasikia mtingishiko wa kifua chake ukiashiria kwamba mapigo yake ya moyo yapo vizuri. Nikampanua mdomo wake kidogo kisha nikaanza kumpulizia pumzi mdomoni mwake, nilipo hakikisha kwamba nimepulizia pumzi ya maana, nikaanza kukiminya kifua chake kwa nguvu, nikarudia tena kumpulizia raisi pumzi mdomoni mwake, gafla raisi akafumbua macho yake na kuanza kuhema kwa kasi.
 
“Mr president”
Nilimuita huku nikimtazama usoni mwake.
“Dany”
Raisi aliniita huku akiwa amenikazia macho. Hata kabla sijazungumza kitu chochote helicopter sita za kijeshi zikaanza  kutua katika eneo hili, huku zikiwa zimetuweka kati mimi na raisi. Wanajeshi wengi wa kimarekani wakaanza kushuka mmoja baada ya mwingine, huku wakiwa na bunduki zao mikonini na wakaniamrisha kunyoosha mikono juu na kukaa mbali na raisi wao. 

==>>ITAENDELEA KESHO

Waziri Mkuu Apokea Ripoti Ya Kivuko Cha Mv Nyerere

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amepokea ripoti ya uchunguzi wa  ajali ya kivuko cha MV Nyerere kutoka kwa kamati iliyoundwa na Serikali kwa ajili ya kuchunguza ajali hiyo.

Amepokea ripoti hiyo leo (Alhamisi, Oktoba 25, 2018) kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati  hiyo, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Mstafu, Jenerali George Waitara,kwenye makazi ya Waziri Mkuu, jijini Dar es Salaam.

Waziri Mkuu ametumia fursa hiyo kuishikuru kamati hiyo kwa niaba ya Rais Dkt. John Magufuli kwa kazi kubwa waliyoifanya ambayo imethibitisha umakini wao.

Pia ameipongeza kamati hiyo kwa namna walivyotumia muda wao vizuri kwa kufanya kazi hiyo na kutoa mapendekezo kwa Serikali juu ya mambo waliyoyabaini.

“Nimepokea taarifa kwa niaba ya Serikali, Serikali itafanya mapitio ya taarifa yote na viambatisho vyake na itapitia kwa kina mapendekezo mliyoyatoa ambayo yote yatafanyiwa kazi.”

Waziri Mkuu ameongeza kuwa Serikali inaamini mambo yote yaliyosheheni katika taarifa hiyo ni yale ambayo Watanzania wanasubiri kuona yakifanyiwa kazi.

MV Nyerere ilipindika na kuzama Septemba 20, mwaka huu katika ziwa Victoria ambapo Watanzania zaidi 200 walipoteza maisha na wengine Zaidi ya 40 waliokolewa.

Septemba 24 mwaka huu Waziri Mkuu alitangaza kamati ya kuchunguza ajali ya kivuko cha MV Nyerere yenye wajumbe saba ambayo iliyoongozwa na Jenerali mstaafu, Waitara.

Akitangaza majina hayo kwenye kijiji cha Bwisya katika kisiwa cha Ukara, wilayani Ukerewe, mkoani Mwanza, Waziri Mkuu alisema wajumbe hao wanapaswa kuikamilisha kazi hiyo ndani ya mwezi mmoja.

Aliwataja wajumbe wengine ni aliyekuwa Mbunge wa Ukerewe, Bw. Joseph Mkundi, Mhandisi Marcelina Magesa, Wakili Julius Kalolo na Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Bi. Queen Mlozi.

Wengine ni SACP Camillus Wambura na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Uratibu Maafa katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Bw. Bashiru Taratibu Hussein.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU
ALHAMISI, OKTOBA 25, 2018.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa October 26

Mkurugenzi wa Mashtaka: Tunafanya Kazi Kwa Kuzingatia Katiba Na Sheria Na Sio Kwa Shinikizo

$
0
0
Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Bw. Biswalo Mganga amesema Ofisi ya Taifa ya Mashtaka (NPS) inafanya kazi kwa kufuata Katiba ya Jamhuri ya Muungano  wa Tanzania ya mwaka 1977 na Kifungu cha 8 cha Sheria ya Taifa ya Mashtaka Sura ya 430 na kuzingatia nia ya kutenda haki, kuzuia matumizi mabaya ya taratibu za utoaji haki na maslahi ya umma na sio kwa kushinikizwa au kwa kuwalinda watumishi au makampuni.

DPP Mganga amesema hayo jijini Dodoma alipokutana na waandishi wa habari kufafaunua juu ya taarifa zinazosambazwa na wamiliki wa makampuni hayo juu ya kufikishwa Mahakamani kwa watumishi wao na kampuni zao za Pangea Minerals Limited, North Mara Gold Mine Limited, Exploration Minerals Du Nord LTEE na Bulyanhulu Gold Mine Limited kuwa kunatokana na shinikizo la Serikali.

“Ofisi ya Taifa ya Mashtaka (NPS) inafanya kazi kwa kufuata matakwa ya Ibara ya 59B (4) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano  wa Tanzania ya mwaka 1977 na Kifungu cha 8 cha Sheria ya Taifa ya Mashtaka Sura ya 430 huku tukizingatia nia ya kutenda haki, kuzuia matumizi mabaya ya taratibu za utoaji haki na maslahi ya umma; kwa msingi huo hatufanyi kazi zetu kwa mashinikizo au kwa kuwawinda watumishi au kampuni fulani,” amesema DPP.

Amesema Ofisi ya Taifa ya Mashtaka (NPS) hutekeleza majukumu yake kwa kutegemea uhusika wa watuhumiwa katika vitendo vya jinai na kufafanua kuwa kufikishwa Mahakamani kwa watumishi hao na kampuni zao kunatokana na kuridhishwa na ushahidi uliopatikana na mabao unaonesha  matendo ya kijinai ya watumishi hao kwa nafasi zao ndani ya makampuni hayo kwa nyakati zilizotajwa kwenye hati ya mashtaka na ushiriki wa makampuni hayo kwa wakati huo ambapo uchunguzi umebaini kuwa walivunja sheria.

Amesema upelelezi unaondelea ndio kigezo kikuu kinachotumiwa na NPS kufungua kesi ya jinai na kuongeza kuwa katika kesi hiyo idadi ya washtakiwa, aina ya mashtaka na kiasi cha fedha kilichohusika  vitaendelea kubadilika kwa kadiri upelelezi juu ya masuala hayo utakavyokuwa unaendelea na kukamilika.

“Ieleweke wazi kwamba katika kesi zilizofunguliwa idadi ya washtakiwa, aina ya mashtaka na kiasi cha fedha kilichohusika  vitaendelea kubadilika kwa kadiri upelelezi juu ya masuala hayo utakavyokuwa unaendelea na kukamilika; upelelezi unaondelea ndio kigezo kikuu kinachotumiwa na Ofisi yetu kufungua kesi ya jinai,” alisisitiza DPP.

Amesema hii sio mara ya kwanza kwa watumishi na makampuni yao kushtakiwa mahakamani kwani wapo baadhi ya watumishi na makampuni yao kesi zipo mhakaman  na nyingine zimeisha kwa watumishi na makampuni yao kutiwa hatiani na kuadhibiwa.

DPP Mganga pia ameeleza kuwa kesi ilizofunguliwa dhidi ya watumishi hao na makampuni yao hazihusiani na shauri au mashauri yaliyofunguliwa katika Baraza la Usuluhishi  na makampuni yay a Bulyanhulu na Buzwagi na kwamba kuwepo kwa mashauri hayo katika baraza hilo la usuluhishi hakuizuii NPS kufungua shauri la jinai kwa mtu au kampuni

DPP Mganga amewataka wananchi na wawekezaji kutekeleza majukumu yao bila hofu au mashaka kwa kuzingatia kuwa Tanzania ni nchi ya amani inayofuata misingi ya utawala wa sheria na kuzingatia Katiba ya nchi.

Oktoba 17 na 23 2018, Watumishi watatu akiwamo mmoja  mstaafu pamoja na kampuni nne za Pangea Minerals Limited, North Mara Gold Mine Limited, Exploration Minerals Du Nord LTEE na Bulyanhulu Gold Mine Limited nayo pia walifikishwa Mahakamani wakikabiliwa na mashtaka 39 yakiwemo ya kula njama, kughushi, kukwepaji kodi, kutakatisha fedha, kutoa msaada kusimamia mkakati wa kihalifu kwa ajili ya kupata faida, rushwa na kuongoza kutendeka kwa uhalifu.

Washtakiwa hao hawakutakiwa kujibu chochote kwa kuwa Mahakama waliyopelekwa haina uwezo wa kusikiliza mashtaka hayo na walipelekwa rumande hadi Oktoba 31 ambapo kesi hiyo itakapotajwa tena.

Polisi Waendelea Kumsaka Dereva wa Lori la Dangote Lililosababisha Ajali na Kuua Watu Watano

$
0
0

Kamanda wa Polisi Mkoani Lindi, Prudeciana Protas amethibitisha kukimbia kwa dereva wa gari aina ya lori, mali ya kampuni ya Dangote ambalo limesababisha ajali iliyopelekea vifo vya watu 5.

Kamanda huyo amesema kuwa ajali hiyo imetokea jana majira ya asubuhi ambapo kwa mujibu wa mashuhuda, chanzo cha ajali ni gari hilo la mizigo kuacha njia yake.

“Tukio lilitokea saa kumi na mbili kasoro robo asubuhi, ndani ya 'hiace' ambayo ilikuwa na watu 6 ambapo watano kati yao walifariki. Chanzo cha ajali ni dereva wa roli kuhama upande wake, na baada ya kusababisha ajali dereva alikimbia na tunamtafuta, tunamuomba ajitokeze.” Amesema Kamanda Prudeciana

Katika ajali hiyo watu watano walifariki na mmoja kujeruhiwa baada ya 'Hiace' yenye namba T 760 CUZ iliyokuwa ikitokea Kiranjeranje kuelekea Lindi mjini kugongwa na gari ya mizigo ya kampuni ya Dangote yenye nambari T-515 katika kijiji cha Likahakwa mkoani Lindi

Polisi Kuwachia Huru Mmoja Anayeshikiliwa Kuhusiana Na Tukio La Kutekwa Mo Dewji

$
0
0
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema mtu mmoja aliyebaki kati ya saba waliokuwa wakishikiliwa na Jeshi hilo kutokana na tukio la kutekwa kwa mfanyabiashara Mohamed Dewji, ataachiliwa wakati wowote kwa sababu wameshamalizana naye.

Dewji maarufu ‘Mo Dewji (43)’, alitekwa wiki mbili zilizopita katika Hoteli ya Collesium, iliyopo Osterbay jijini Dar es Salaam na kupatikana baada ya siku tisa katika maeneo ya Gymkhana alikotelekezwa na wanaodaiwa kuwa watekaji huku pia wakitelekeza gari aina ya Toyota Surf likiwa na silaha kadhaa za moto.

Mtu anayeendelea kushikiliwa na Polisi ni miongoni mwa watu 26 waliokamatwa awali baada ya kuwaachia wengine 19 na kubakia saba na kisha sita wakaachiliwa na kubakia mmoja.

Miongoni mwa waliokamatwa na kuachiliwa ni pamoja na msemaji wa klabu ya Simba, Haji Manara aliyeshikiliwa na polisi kwa takribani wiki moja tangu alipokamatwa siku moja baada ya kutekwa kwa mfanyabiashara huyo.

Mzee wa miaka 76 ajinyonga hadi kufa

$
0
0
Mzee anayenufaika na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Tasaf, Anthony Mikami (76) amejinyonga kwa kamba ya chandarua katika kijiji cha Nyabihanga kata ya Bukiriro wilaya ya Ngara mkoani Kagera kwa kile kinachodaiwa kuwa na msongo wa mawazo

Mwenyekiti wa Kijiji cha Nyabihanga, Eradius Batakanwa amesema mzee huyo alijinyonga kwa kujitundika kamba kwenye mti mbali na makazi ya watu na aligundulika jana Jumatano Oktoba 24, 2018 saa 9:30 mchana kwa waliokwenda mabondeni kuvuna maharage.

Batakanwa amesema siku za hivi karibuni wakati wa uhai wake akiwa mnufaika wa Tasaf kijijini humo aliunguliwa na nyumba wakati akichoma viroboto na kuiteketeza nyumba hiyo.

"Baada ya kuunguliwa nyumba alichanganyikiwa maana alikuwa hana chakula cha usiku na mchana huku akiwa hana wasaidizi licha ya kujaliwa watoto watano wa ...kiume mmoja na wakike wanne," amesema Batakanwa na kuongeza kuwa hilo ni tukio la pili baada ya lile la kwanza lililotokea Februari.

Video Mpya ya Barnaba - It's Over

$
0
0
Msanii wa muziki Bongo, Barnaba anakukaribisha kutazama video ya wimbo wake mpya uitwao It's Over. Itazame hapa.

Video Mpya ya Aslay - Ananikomoa

$
0
0
Msanii wa muziki Bongo, Aslay anakukaribisha kutazama video ya wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Ananikomoa. Itazame hapa.

Diva Ampongeza Wema Sepetu Kwa Kuomba Msamaha Baada ya Video zake Chafu Kusambaa

$
0
0
Mtangazaji wa Clouds FM, Diva amempa pole Wema Sepetu kufuatia kusambaa kwa video yake ya faragha mtandaoni.

Diva ameeleza kuwa kitu hicho kinaweza kumtokea yeyote na kumtaka Wema kutulia kwa sasa. 

Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika;

"Nakupongeza Wema kwa kitendo chako cha ujasiri cha kuomba msahama, najua sisi ni Binadamu na hakuna aliyekamilika. Mimi nina yangu na kila mtu ana yake,hakuna msafi kabisa duniani, tunajifunza kutokana na makosa.

"Mungu akupe kila hitaji la moyo wako na akuongoze na akuponye with whatever ur goin thru. Mimi ni mkweli na muwazi na naamini baada ya hili utabadilika na kuwa mtu ambaye Wema wanamtaka, hujachelewa babay you cna stil do it," ameeleza Diva.

 April Mwaka huu pia msanii Nandy na Bill Nass kulivuja video ya faragha mtandaoni kitu kilipelekea hadi suala hilo kuzungumziwa bungeni pamoja na kuchukulia hatua na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).

Serikali yamchukulia hatua Wema Sepetu kwa Kusambaza Picha na Video Chafu

$
0
0
Naibu Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo, Mhe. Juliana Shonza
***
Msanii wa filamu nchini Tanzania, Wema Sepetu leo ameitwa kuhojiwa na Bodi ya Filamu Tanzania kuhusu kusambaa kwa picha zake za faragha kwenye mitandao ya kijamii.

Akiongea na kituo cha runinga cha EATV, Naibu Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo, Mhe. Juliana Shonza amesema wameanza kuwachukulia hatua wasanii wote waliochapisha video zenye maudhuhi ya picha za ngono mitandaoni.

Kwa upande mwingine, Mhe. Shonza amesema kuwa licha ya wasanii hao kuhojiwa na Bodi ya  filamu pia watahojiwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).

Rais wa Urusi Vladimir Putin Aionya Marekani...."Tupige, Tuwapige. Hamtakuwa na Muda wa Kujuta zaidi ya Kwenda Kaburini"

$
0
0
Rais wa Urusi, Vladimir Putin ameahidi kuzifuatilia kwa karibu hatua za Marekani zilizotangazwa na Rais Donald Trump kuhusu mpango wa kujenga upya vinu vya silaha zake za kinyuklia.

Putin amezungumzia hatua hizo za Marekani baada ya Trump kutishia kuachana na mpango wa makubaliano ya udhibiti wa makombora yenye uwezo wa kupiga maeneo nyeti ya Ulaya, uliosainiwa mwaka 1987 kati ya viongozi wa dola ya Kisoviet na Marekani, maarufu kama ‘INF treaty’.

Rais huyo wa Urusi ameonya nchi za bara la Ulaya kuwa zitakuwa kwenye hatari ya mstari wa mapambano kama Marekani na Urusi zitafutilia mbali makubaliano hayo ya mwaka 1987.

Akizungumza mwishoni mwa wiki iliyopita alipoalikwa kama mgeni rasmi kwenye mjadala wa Valdai, Putin alisisitiza kuwa Urusi haimuogopi mtu yeyote wala nchi yeyote.

Hata hivyo, alisisitiza kuwa nchi yake haitaanzisha mashambulizi kwa nchi yeyote lakini ikipigwa itajibu kwa kipigo kikali zaidi. “Tupige, tukupige,” anakaririwa.

Akifafanua kauli yake, aliweka ucheshi kuwa muathirika wa kipigo hicho cha majibu hatakuwa na muda wa kutubu kwani kipigo kitampeleka moja kwa moja kaburini.

Mwaka jana, Trump amewahi kukaririwa akionya kuwa hakuna atakayesalimika katika vita ya makombora ya nyuklia kati ya nchi yake na Marekani.

“Sidhani kama kuna atakayesalimika kwenye mgogoro huo wa kinyuklia,” alisema Putin. “Lakini kuna matumaini ya utulivu kwetu wakati wote, hadi itakapofikia hatua ya kutusukuma na kuwa tayari kutuzika,” aliongeza.

Hata hivyo, wachambuzi wa masuala ya kivita wamekaririwa na BBC kuwa mgogoro huo utabaki kuwa katika kauli za viongozi na hautakuwa na madhara ya hatua za kweli za kijeshi, kwani kauli hizo na uhusiano wa nchi hasimu pamoja na washirika wao haujafikia hata robo ya joto la vita baridi.

Imeripotiwa kuwa Putin na Trump wanaweza kukutana hivi karibuni jijini Paris nchini Ufaransa kuzungumzia joto la mkataba wa INF.

Jinsi Ya Kuzuia Chumaulete Katika Biashara Yako Kwa Kutumia Ndulele Na Mkaa....

$
0
0

Je unaijua *Chuma ulete...? Kwa kisukuma wanaita *BHUGINDU*

Na je unafahamu kinga yake na zuio ili wasikuibie pesa, unga, au chochote ndani mwako....? Dawa ya kukinga ni hii ukipata mkaa ulio dondoka njiani basi uchukue nenda kauweke kwenye kapu la pesa ukiwa pamoja na tunda lile la njano la ndulele unaviweka pamoja.
 
Ili huyo mwenye chuma ulete pia ili asiweze kuingia ndani kwako kukwiba unga, pesa na chochote kile basi pale mlangoni unapoingilia napo ning'iniza ndulele na huo mkaa ukiwa umeuweka pamoja au ufunge kwenye kitambaa cheusi kisha uning'inize kwa mlango wako hutokaa uone hata chuma ulete anayekuja kukwibia vitu dukani au nyumbani kwako akijaribu ataumbuka mchana kweupe.

Kujua Namna ya Kuiondoa na Njia nyingine ya Kujikinga wasilina na Chief Sultan Makata 0769160792

BASATA Yacharuka.....Yadai Wema ni Mnafiki, Amber Rutty Kukiona Cha Moto

$
0
0
Baraza la sanaa Taifa (BASATA) limefunguka juu ya tukio la kusambaa ka video ya ngono ya msanii na video queen, Amber Ruty, na kumchukulia hatua kali za kinidhamu.

Katibu Mtendaji wa BASATA, Godfrey Mngereza, amesema kwamba msanii huyo amevuka kiwango cha uhayawani, na kutaka mtu au taasisi yoyote kutofanya kazi na msanii huo.

“Kuna mmoja ameenda mbali kabisa amevuka hata kiwango cha uhayawani, na imeleta taharuki sana katika jamii, huyu Amber Ruty huyu, halafu hata hashtuki, sitarajii kwamba huyu atakuja nimsajili kama msanii, sitarajii, huyu anachafua kwa makusudi kabisa sanaa, na nitamke wazi kuwa mtu yeyote au taasisi yoyote itakayofanya naye kazi ya sanaa, huyu Amber Ruty, Baraza halitasita kuchukua hatua”, amesema Mngereza.

Wakati huo huo Katibu huyo wa BASATA amezungumzia juu ya msamaha aliouomba jana muigizaji Wema Sepetu, na kusema kuwa ni unafiki mkubwa kwani sio mara ya kwanza wala ya pili kwake.

“Hii ni kama unafiki fulani, kwa sababu hii sio mara ya kwanza kwa msanii huyu, wala sio mara ya pili, na niseme tu kwamba kwa upande wa Baraza lina mchango wake kufikia hapo alipofikia, ile ni unafiki, haitoshi, mmtu mara ya kwanza ya pili unasema hii ni tabia zake, na kwa vile kuna sheria zingine zilizovunjwa, lazima wahusika wachukue hatua zake, hii haitoshi, lazima awe mfano”, ameongeza.

Hapo jana msanii Wema Sepetu aliitisha mkutano na waandishi wa habari kuomba msamaha kwa tukio lake la udhalilishaji na kuaibisha la kusambaa kwa video yake chafu ya ngono

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume,maumbile Madogo, Mvuto Wa Mapenzi ,magonjwa Sugu

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMBO ATAKUSAIDIA SM NO :- 0744391089  au  0653182109

Makanga 3 Power; Dawa Bora Nguvu Za Kiume

$
0
0
Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.
Tupo dar es salam mbagala rangi tatu.

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348.

Kauli ya Serikali Kuhusu Kushitakiwa Kwa Watumishi wa Makampuni ya Migodi ya Dhahabu na Kampuni Zao

Mtalaam Wa Magonjwa Yote Sugu Nayaliyoshindikana Kama Vile Pumu, Vidonda Vya Tumbo, Busha,

$
0
0
MTALAAM NA BINGWA WA MAGONJWA YOTE SUGU NAYALIYOSHINDIKANA KAMA VILE PUMU, VIDONDA VYA TUMBO, BUSHA, NGUVU ZA KIUME.

Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo ya uume limekuwa kubwa kwa lika zote hapa duniani

Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:KISUKARI, NGIRI,CHANGO, TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI, KIUNO KUUMA, MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA YA ZINAA, KORODANI KUVIMBANAKUUMA,VIDONDA VYA TUMBO, NK.

Tiba sahihi nabora ya tatizo la nguvu zakiume ni 3Power,Nidawa ya vidonge asilia vilivyotengenezwa kwa kiwango bora na salama kwa ajili yakutibu mojakwamoja tatizo la nguvu za kiume maradufu

1,hutibu nguvu za kiume mda mfupi sana kati ya umri wa miaka 18-85 naitakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 20 hadi 40 tendo lakwanza bila kuchoka naitakufanya uwe nahamu yakuendelea na tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila hamu kuisha.

FINA Power; Nidawa yakuboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi uipendayo inchi 6,7 hadi 8 kwa mda mfupi sana.dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk 67 ukisha tumia guarantee miaka 55 ikishakutibu.

Pia tunatibu, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU,MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE, BP, BUSHA BILA UPASUAJI NK.

ISHOSHA,Nidawa ya mvuto wa biashara,kazi,,humvuta mme,mke,hawara,mchumba,unaemhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zako kwa dhati utampata kwa mda wa dk 45 tu naatatulia milele nakumfunga asitoke inje ya ndoa.

SHEPU EXRA,Nidawa ya yakupunguza matiti,unene tumbo,kitambi kwa akina baba,hutoa mafuta mabaya mwilini,makovu sehemu mbalimbali mwilini,chunusi sugu,minyama uzembe,michirizi mwilini,nakuongeza makalio hips,mguu wa bia nk.

HUDUMA HIZI NANYINGINE NYINGI MTALAAM BINGWA DR ZENGO.

Anapatikana  Dar es Salaam.

SIMU NO; 0784,47,59,46 / 0744,92,29,82 / 0652121197

NAKAMA NAFASI YAKUFIKA OFISINI HAIPO UTALETEWA HAPO ULIPO.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images