Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Kiama cha Madereva wa Magari Ya Serikali......Waziri Atangaza Maamuzi Magumu

$
0
0
Na.Alex Sonna,Dodoma
Kufuatia ongezeko  la magari yanayoendeshwa na madereva wa Serikali kupata ajali, Baraza la Taifa la Usalama Barabarani Tanzania limeibuka na  kutoa tamko la kufuatilia na kuhakikisha madereva wanaoendesha magari ya viongozi wa Serikali wanapata mafunzo ya kuwaendesha viongozi hao.

Akizungumzana na waandishi wa habari Jijini Dodoma Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza hilo,Hamadi Masauni wakati akitoa tamko la kwanza mara baada ya kuchaguliwa kwa baraza hilo  huku akiwa ameongoza na Makamu Mwenyekiti wa baraza,Naibu Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano,Elias Kwandikwa na wajumbe wengine wa Baraza hilo.

Mhe.Masauni amesema kuwa baraza lilopita lilifanya kazi nzuri ila baraza jipya lina malengo yake ya kupunguza ajali nchini hasa za viongozi wa Serikari kwa kuwafuatilia na kuhakikisha madereva wanaoendesha magari hayo wanapata mafunzo ya kuwaendesha viongozi hao.

Aidha amesema kuwa kwa sasa wanaishauri Serikali kutoa waraka maalum utakaosaidia kuwadhibiti viongozi ambao wanatoa maelekezo kwa madereva wakimbize magari kwa mwendokasi na malengo ya baraza hilo ni kuimarisha utendaji wa kamati za usalama za mikoa na kuweka mikakati ya pamoja ya utendaji na usimamiaji wa majukumu ya kamati hizo.

“Kudhibiti mwendokasi na kuovateki kunakofanywa na madereva wa magari kwa kuwakamata,kuwaweka mahabusu na kuwaondolea sifa za madaraja C na E kwenye leseni zao hivyo kukosa sifa ya kuondesha magari hayo,”amesema Masauni

Amesema kuwa baraza hili lina malengo mengi ya kufanya utafiti na kutoa ushauri kwa Serikali kuhusu ukaguzi wa alama za magari,kuongeza muda wa kutoa huduma,kwa mabasi ya abiria ya masafa marefu.

Mhe.Masauni amesema kuwa Pikipiki za kubeba abiria kuwa na tela,ushauri ambao unazingatia matumizi ya vyombo hivyo barabarani,mazingira ya barabara yanayotumika na madhara ambayo yanaweza kujitokeza.

Naibu Waziri amesema kuwa kazi kubwa ya mwendelezo wa baraza jipya ni kufanya utafiti wa vyanzo vya ajali na kuchukua hatua na kuishauri Serikali hatua mbadala za kuchukua.

Kwa upande wake Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Nchini,Fortunatus Muslim,aliwashangaa wale wanaohoji utendaji kazi wa Trafiki nchini katika kupiga tochi, huku akidai kwamba wao huwa hawapangiwi wafanyaje kazi kinachotakiwa ni madereva kufuata sheria

Hivyo amesema kuwa Trafiki hatakiwi kupangiwa kazi kwani wao wanafanya kazi kubwa na kuwashangaa watu wana hoji hoji tu,nawaambia nyakua nyakua inaendelea nchini kwa wale wanaokiuka sheria za barabarani.

Aidha amesema kuwa kuhusiana na misafara ya viongozi kukimbia,misafara hiyo inataratibu zake ikiwemo kuweka askari katika kingo za barabara za kuingia barabara kuu hivyo inakuwa rahisi kuzuia watu wenye magari na pikipiki kuuvamia msafara huo

Mahakama Yaamuru Pedeshee Ndama Mtoto Wa Ng'ombe Akamatwe

$
0
0
Mahakama  ya Hakimu Mkazi Kisutu imetoa hati ya kukamatwa kwa mfanyabiashara, Ndama Shabani Hussein maarufu ‘Pedeshee Ndama Mtoto ya Ng’ombe’ baada ya kukiuka taratibu za dhamanana.

Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo, Maira Kasonde, ametoa hati hiyo jana, Jumatano Oktoba 24, 2018, baada ya mshtakiwa huyo kushindwa kufika mahakamani hapo bila kutoa taarifa, wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa..

Aidha Hakimu Maira ametoa barua ya wito kwa wadhamini wa mshtakiwa huyo kufika mahakamani na kueleza alipo mshtakiwa.

Kabla ya kutolewa kwa amri hiyo ya kukamatwa kwa mshtakiwa, wakili wa Serikali, Mosia Kaima, alidai kuwa, kesi hiyo  ilikuja kwa kutajwa lakini mshtakiwa hayupo nahata mashaidi wake pia hawapo.

Kesi hiyo imeahirishwa hadi Novemba 12. 2018 kesi hiyo itakapokuja kwa kutajwa.

Ndama anakabiliwa na mashtaka matano yakiwemo ya kughushi na kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu,

Mwarabu Fighter afunguka kuhusu Kumlinda Irene Uwoya

$
0
0
Aliyekuwa mlinzi wa msanii Diamond Platnumz, Mwanarabu Fighter ameeleza kwanini kwa sasa anafanya kazi na Irene Uwoya.

Akizungumza na Wasafi TV, Mwarabu Fighter ameeleza kuwa mrembo huyo ndiye aliyetaka huduma ya ulinzi kutoka kwake.

"Irene kwa mara ya kwanza aliponihitaji akaja ofisini kwangu lakini sipo naye kila anapokwenda. Mimi namuheshimu tu kama boss anayeniletea riziki, kwa hiyo siwezi kumchunguza mambo yake mengine," amesema Mwarabu.

Mwanarabu Fighter ana kampuni yake pia  ambayo inatoa huduma ya ulinzi.

==>>Msikilize hapo chini

Wimbo Mpya: Shilole ft. Chid Benz - Champion

$
0
0
Muimbaji Shilole anakukaribisha kusikiliza wimbo wake mpya uitwao Champion ambao amemshirikisha Chid Benz. Usikilize hapa

Wimbo Mpya: Young Killer ft. Fid Q & Belle 9 - Hatuna Kesi

$
0
0
Msanii wa muziki Bongo, Young Killer ameachia wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Hatuna Kesi ambayo amewashirikisha Fid Q na Belle 9. Isikilize hapa.

Polepole: Watu Waache Nongwa, CCM Tulihangaika Sana Kuhakikisha Mo Dewji Anapatikana Baada ya Kutekwa

$
0
0
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole amezungumzia kutekwa kwa mfanyabiashara Mohammed Dewji (Mo) na kusema chama chao kimehangika sana kushughulikia tukio hilo, hivyo watu waache nongwa kwakuwa matukio ya uhalifu yanatokea duniani kote.

“Unajua watu waache nongwa, matukio haya ya uhalifu yapo duniani kote, sisi tumehangaika sana kama chama. Wametekwa watu Afrika Kusini hili si jambo la mzaha, watu wanatekwa kweli, kwa mfano Uingereza wametekwa watu miaka nane hawajarudi na polisi wanasema wanafamilia wasizungumzie hii kuonyeshwa kwamba huyo mtu hajarudi,” alisema Polepole.

Alisema kwa Tanzania kumetokea matukio mbalimbali yakiwemo ya mauaji ya watu katika wilaya za Kibiti na Mkuranga.

“Hapa kwetu tumepata shida mara kadhaa Mkuranga na Kibiti, hili jambo sisi ambao tupo katika uongozi wa chama na Serikali tunaona mzigo mzito, bahati mbaya wenzetu wanafanya mzaha kwenye mambo haya makubwa,” alisema Polepole.

Alisema kazi ya vyombo vya ulinzi na usalama ni kuhakikisha ulinzi unaimarika, hivyo inapotoea mtu ametekwa wao ndio wana kazi ya kufuatilia na kuchimbua kitaalamu kwa kushirikiana na wenzao wa kimataifa.

Polepole alisema Watanzania wamepiga maombi na dua kuhakikisha Mungu anawezesha kila chombo kinachofanya kazi kihakikishe Mo anarudi akiwa salama na kabariki ikafanikiwa, lakini cha kushangaza wapo watu wanaodai kuwa mfanyabiashara huyo hakutekwa.

“Mo amerudi anatokea mpuuzi anasema haaa, haaa Mo hakutekwa, mbona hawakumkata vidole. Sasa wakati tunaomba Mungu mlikuwa mnategemea nini? Unasema  basi ndiyo kiongozi huyo amechaguliwa na watu.

“Baadhi ya watu hao walioomba kuingia CCM wasahau tu, hatutachukua watu ambao wanashindwa kuwa na utaratibu, wanashindwa kuelewa wanatamani watu wengine wapate tabu ili waamini kweli ilikuwa tabu,” alisema Polepole.

Alisema kitendo cha Mo kurudi bila kupata madhara yoyote ni cha kumshukuru Mungu, na Serikali ya CCM wamevielekeza vyombo vya ulinzi na usalama kufanya kazi mchana na usiku kuhakikisha wote wanaofanya vitendo hivyo wanapatikana.

“Wakipatikana washughulikiwe ipasavyo na kufanywa vitendo vyote vibaya kwa mujibu wa sheria ili iwe fundisho kwa wengine wote ambao wanataka kufanya mchezo na spidi kubwa ya maendeleo ambayo tunaileta  katika taifa letu la Tanzania,” alisema Polepole.

Jinsi Ya Kuzuia Chumaulete Katika Biashara Yako Kwa Kutumia Ndulele Na Mkaa....

$
0
0

Je unaijua *Chuma ulete...? Kwa kisukuma wanaita *BHUGINDU*

Na je unafahamu kinga yake na zuio ili wasikuibie pesa, unga, au chochote ndani mwako....? Dawa ya kukinga ni hii ukipata mkaa ulio dondoka njiani basi uchukue nenda kauweke kwenye kapu la pesa ukiwa pamoja na tunda lile la njano la ndulele unaviweka pamoja.
 
Ili huyo mwenye chuma ulete pia ili asiweze kuingia ndani kwako kukwiba unga, pesa na chochote kile basi pale mlangoni unapoingilia napo ning'iniza ndulele na huo mkaa ukiwa umeuweka pamoja au ufunge kwenye kitambaa cheusi kisha uning'inize kwa mlango wako hutokaa uone hata chuma ulete anayekuja kukwibia vitu dukani au nyumbani kwako akijaribu ataumbuka mchana kweupe.

Kujua Namna ya Kuiondoa na Njia nyingine ya Kujikinga wasilina na Chief Sultan Makata 0769160792

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume,maumbile Madogo, Mvuto Wa Mapenzi ,magonjwa Sugu

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMBO ATAKUSAIDIA SM NO :- 0744391089  au  0653182109

Jinsi Punyeto Inavyo Sababisha Kusinyaa Na Kudumaa Kwa Maumbile Ya Kiume

$
0
0
Wanaume  wanao  jihusisha  na  upigaji  wa  punyeto  kwa  muda  mrefu  husalia  kuwa  na  maumbile  ya  kiume  yaliyo  sinyaa  na  kudumaa.

Kwa mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu, kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu  huathiri  na  kuharibu  mishipa  na  misuli  ya  uume na  hivyo kusababisha  kujengeka  kwa  mafuta na  tishu  zisizo vutika  kwenye  mishipa  ya  ateri na  hivyo  kuzuia  mishipa ya  ateri  kupanuka na  kuongezeka  pamoja  na  damu  kutiririka  kwenda  kwenye  misuli  ya  uume.

Mambo  hayo  mawili yanapotokea  huathiri  uzalishaji  wa homoni muhimu  zinazo  husika  na ukuaji wa misuli ya  uume, na hatimaye  hufanya  uume  wa  mhusika  kudumaa, kusinyaa, kunywea  na  kurudi ndani  kiasi  cha  kuufanya  uonekane  kama wa  mtoto.

 Homoni  hizo hujulikana   kitaalamu kama  HGH  na  huzalishwa  kwenye  ini.

Sababu nyingine   inayo  tajwa  na  wataalamu  ni kwamba, mtu  anaye fanya punyeto   hutumia  akili,  nguvu na  nishati  nyingi sana, jambo ambalo  huathiri utendaji  wa  ogani  nyingine  muhimu  katika  mwili , likiwemo  ini.

Na kwamba  ini  linapo kosa  nishati   ya kutosha  hushindwa  kufanya kazi  zake  vizuri  na  moja  kati  ya  kazi kubwa  za  ini  ni  pamoja  na  uzalishaji  wa  homoni  zijulikanazo  kitaalamu kama  HGH  ambazo  kama  ilivyo andikwa  hapo juu, zinahusika na  kuchochea  ukuaji  wa  sehemu mbalimbali  katika  mwili  wa  mwanadamu  ikiwemo   misuli  ya  uume.

Mbali na  kuathiri  utendaji  wa  ogani  nyingine  mwilini, upigaji  punyeto  husababisha  athari nyingine  kwenye  mwili wa  mwanadamu  kama  vile uchovu  sugu  wa mwili  pamoja na kunyonyoka kwa  nywele.

Athari nyingine  za  upigaji punyeto  ni  pamoja  na  kupoteza  kumbukumbu, kuwahi  kufika  kileleni  ambako  husababishwa  na  kulegea  kwa  mishipa  ya  ateri, kushindwa  kurudia  tendo  la  ndoa, kukosa  hamu  ya  tendo  la  ndoa, uume  kusimama  katika  hali  ya  ulegelege,   maumivu  wakati  wa  tendo  la  ndoa  husuani  wakati  wa  kurudia  tendo  la pili na    mara  baada  ya  tendo  la  ndoa  la  kwanza.

KWANINI   WATU WENGI  WANAO  JIHUSISHA  NA  UPIGAJI  PUNYETO  WANA  MAUMBILE  MADOGO  YA  KIUME YALIYO  DUMAA, SINYAA  NA  KURUDI NDANI.

Uzeofu  unaonyesha  kuwa,  asilimia  kubwa  ya  wanaume  ambao  wamewahi  kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu, wanakabiliwa  na  tatizo  la kuwa  na  maumbile  ya  kiume yaliyo dumaa, sinyaa  na  kurudi ndani.

SABABU  KUBWA   NI  HII  HAPA
Sababu  kubwa  ni kwamba   vijana wengi  wa  kiume, huanza  kujihusisha  na  punyeto   wakiwa  na  miaka  kumi  na sita , kumi na  saba  au  chini  ya  hapo.

Hiki ni  kipindi  ambacho  vijana  hawa  ndio  wanakuwa  wamebalehe.

Na kwa mujibu  wa  tafiti  za kisayansi, katika  kipindi  hiki cha  balehe  ndio  kipindi  ambacho  homoni za  HGH  ambazo huhusika  na  ukuaji  wa  sehemu  mbalimbali  za  mwili  ikiwemo  maumbile ya  kiume, huzalishwa  kwa wingi.

Kama  tulivyo ona  hapo  juu, upigaji  punyeto  huathiri  uzalishwaji  wa   homoni  hizo.

Mwisho wa  siku  maumbile  ya  kiume  ya  wahusika, hushindwa  kukua  na  kuishia  kudumaa na  kusinyaa.

Na  hii ndio  sababu  kubwa  wanaume  wanao  kabiliwa  na  tatizo  hili  husalia  kuwa  na  maumbile yenye  ukubwa  ule  ule  walio kuwa  nao wakati wa  kubalehe

NINI  TIBA  ASILIA  YA  TATIZO  LA  KUDUMAA, KUSINYAA  NA  KURUDI NDANI KWA  MAUMBILE  YA  KIUME.
Kama uume wako  umedumaa, sinyaa, legea, nywea  na  kurudi ndani  kwa  sababu  ulifanya  punyeto  kwa  muda  mrefu  na  unataka  kuondokana  na  hali  hiyo. HII  NI HABARI NJEMA  SANA  KWAKO! 
 
Ipo dawa  ya ASILI   ambayo  HUTIBU  na  KUPONYESHA  KABISA  tatizo la  KUDUMAA, KUSINYAA, KUNYWEA  NA  KURUDI NDANI  KWA MAUMBILE  YA  KIUME kunako  tokana  na  ufanyaji  punyeto  wa  muda  mrefu.
 
Ni  dawa  ya  asili  kabisa ambayo  hutibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la kudumaa  na  kusinyaa  kwa  uume  ndani ya siku thelathini.

JINSI YA  KUPATA  TIBA  HII : Kupata  tiba  hii  fika  ka6ika  duka  la  kuuza  dawa  za  aslili  la  NEEMA  HERBALIST.  Tunapatikana  UBUNGO  jijini  DAR  ES  SALAAM  jirani  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING  nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA.

Kwa wateja  waliopo  jijini  Dar  Es  Salaam  ambao  hawana  nafasi  ya  kufika  ofisini  kwetu  watapelekewa  dawa  mahali  walipo  ( HOME & OFFICE  DELIVERY )  na kwa  wateja  waliopo  nje  ya  mkoa  wa  Dar  Es  Salaam  watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  usafiri  wa  mabus  au  boti  kwa  waliopo  Zanzibar.

Wasiliana  nasi  kwa  simu  namba  :    0693  005 189.

Mtalaam Wa Magonjwa Yote Sugu Nayaliyoshindikana Kama Vile Pumu, Vidonda Vya Tumbo, Busha,

$
0
0
MTALAAM NA BINGWA WA MAGONJWA YOTE SUGU NAYALIYOSHINDIKANA KAMA VILE PUMU, VIDONDA VYA TUMBO, BUSHA, NGUVU ZA KIUME.

Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo ya uume limekuwa kubwa kwa lika zote hapa duniani

Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:KISUKARI, NGIRI,CHANGO, TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI, KIUNO KUUMA, MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA YA ZINAA, KORODANI KUVIMBANAKUUMA,VIDONDA VYA TUMBO, NK.

Tiba sahihi nabora ya tatizo la nguvu zakiume ni 3Power,Nidawa ya vidonge asilia vilivyotengenezwa kwa kiwango bora na salama kwa ajili yakutibu mojakwamoja tatizo la nguvu za kiume maradufu

1,hutibu nguvu za kiume mda mfupi sana kati ya umri wa miaka 18-85 naitakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 20 hadi 40 tendo lakwanza bila kuchoka naitakufanya uwe nahamu yakuendelea na tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila hamu kuisha.

FINA Power; Nidawa yakuboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi uipendayo inchi 6,7 hadi 8 kwa mda mfupi sana.dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk 67 ukisha tumia guarantee miaka 55 ikishakutibu.

Pia tunatibu, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU,MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE, BP, BUSHA BILA UPASUAJI NK.

ISHOSHA,Nidawa ya mvuto wa biashara,kazi,,humvuta mme,mke,hawara,mchumba,unaemhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zako kwa dhati utampata kwa mda wa dk 45 tu naatatulia milele nakumfunga asitoke inje ya ndoa.

SHEPU EXRA,Nidawa ya yakupunguza matiti,unene tumbo,kitambi kwa akina baba,hutoa mafuta mabaya mwilini,makovu sehemu mbalimbali mwilini,chunusi sugu,minyama uzembe,michirizi mwilini,nakuongeza makalio hips,mguu wa bia nk.

HUDUMA HIZI NANYINGINE NYINGI MTALAAM BINGWA DR ZENGO.

Anapatikana  Dar es Salaam.

SIMU NO; 0784,47,59,46 / 0744,92,29,82 / 0652121197

NAKAMA NAFASI YAKUFIKA OFISINI HAIPO UTALETEWA HAPO ULIPO.

Makanga 3 Power; Dawa Bora Nguvu Za Kiume

$
0
0
Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.
Tupo dar es salam mbagala rangi tatu.

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348.

THRDC yalaani mauaji ya Polisi Watatu Kigoma

$
0
0
Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umelaani wananchi kuwashambulia na kuwaua askari watatu wa Jeshi la Polisi Mkoani Kigoma.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kaimu Mratibu wa mtandao huo, Deogratias Bwire, imeeleza kitendo hicho ni cha kikatili dhidi ya Polisi.

“Kwa mujibu wa taarifa tulizonazo, polisi watatu akiwemo Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Nguruka (Ramadhani Mdimi), Uvinza mkoani Kigoma walishambuliwa vibaya na wananchi waliokuwa na silaha za jadi na kusababisha vifo vya askari hao,” imesema taarifa hiyo.

Amesema THRDC inafanya kazi kama mwamvuli wa watetezi wa haki za binadamu nchini imekuwa mstari wa mbele katika kutambua na kutetea haki za Watetezi wa Haki za Binadamu wakiwamo polisi.

Pamoja na mambo mengine, amesema jitihada zimekua zikifanywa na THRDC katika kutambua, kuwatetea na kuwalinda askari wetu wanaofanya kazi kubwa ya kuwalinda raia na mali zao.

“Mtandao unapenda kutoa pole kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Simon Siro, Jeshi la Polisi kwa ujumla, ndugu wa marehemu na Watanzania wote kwa kupoteza nguvu kazi ya taifa,” amesema.

TAKUKURU Kuchukua Harbinder Sethi Mahakamani

$
0
0
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imeiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kumchukua mshtakiwa Harbinder Sethi ili ikamilishe kuchukuliwa maelezo yake.

Ombi hilo limetolewa leo saa 3:03 asubuhi na Wakili wa Takukuru, Leonard Swai mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Huduma Shaidi.

Kabla ya kueleza hayo, Wakili Swai alidai kesi hiyo ilipangwa mahakamani hapo kwa ajili ya kutajwa kwa sababu upelelezi bado haujakamilika.

Swai aliitaarifu Mahakama kuwa wachunguzi wa Takukuru wataenda kumchukua Sethi gerezani kwa ajili ya kumuhoji.

Kwa upande wa wakili wa utetezi, Dorah Mallaba aliieleza Mahakama kuwa Sethi wakati akichukuliwa maelezo wakili wake lazima awepo.

Hata hivyo, mawakili wa utetezi, Mallaba na Paschal Kamala waliusisitiza upande wa mashtaka kukamilisha upelelezi wa kesi hiyo mapema na kwa wakati.

Baada ya mawakili hao  kueleza hayo, Hakimu Shaidi aliahirisha kesi hiyo hadi Novemba 8 kwa ajili ya kutajwa ili kuangalia kama upelelezi utakuwa umekamilika ama la.

Mgombea wa Uenyekiti Simba ajiondoa

$
0
0
Aliyekuwa mgombe wa nafasi ya Uenyekiti katika klabu ya Simba ambaye pia ni nyota wa zamani wa timu hiyo, Mtemi Ramadhani, amejiondoa kwenye kinyang'anyiro hicho.

Mtemi ametangaza kujiondoa leo ikiwa ni siku 9 pekee zimebaki kabla ya tarehe ya kufanyika kwa uchaguzi huo ambao umepangwa kufanyika Novemba 3, 2018.

Mtemi ameweka wazi sababu zilizomfanya aondoe jina lake katika uchaguzi huo kwa kile alichodai kuwa na majukumu mengi na huenda asiwepo tena jijini Dar es salaam hivyo anaogopa anaweza asiitumikie vizuri klabu yake.

"Sababu kubwa kwasasa nina majukumu mengi ninaweza kuhamia Dodoma kwa hiyo nadhani sitaweza kuitumikia vyema klabu yangu ya Simba lakini pia ningependa kuona klabu ina umoja katika kipindi hiki ambacho tunataraji kutetea ubingwa wetu ambao tuliupata msimu uliopita." ameeleza.

Mtemi amefafanua kuwa mara nyingi nafasi hizi zimekuwa zikiwagawa wanachama na kupelekea kuleta makundi ambayo yanakuwa hasimu na kuondoa umoja ambao ungepelekea timu kufanikiwa badala inafanya vibaya.

Pamoja na kujitoa lakini Mtemi ametoa rai  kwa wanachama wa klabu hiyo akiwataka wachague viongozi waadilifu na imara ambao watasaidia kuitoa klabu hiyo katika sehemu moja kwenda nyingine hususani kipindi hiki wanachofanya mabadiliko.

Baada ya Mtemi Ramadhani kujiondoa, mchakato huo unabakia na mgombea mmoja pekee katika nafasi ya Uenyekiti ambaye ni Sued Nkwabi.

Wagombea katika nafasi mbalimbali.
 
UENYEKITI
Sued Mkwabi
 
WAJUMBE
1) Hussein Kitta Mlinga
2) Iddy Noor Kajuna
3) Zawadi All Kadunda
4) Mohamed Wandi
5) Selemani Harubu Said
6) Abdallah Rashid Mgomba
7) Christopher Kabalika Mwansasu
8) Alfred Matin Elia
9) Ally Suru
10) Mwina Mohamed Kaduguda
11) Said Tully
12) Jasmine Badar Soudy
13) Juma Abbas Pinto
14) Hamis Ramadhani Mkoma
15) Abubakari Zebo
16) Patrick Paul Rweyemamu
17) Asha Ramadhani Baraka.
 
Walioenguliwa ni:
1) Selemani Omari Selemani
2) Omar Juma Mazola

Wema Sepetu Aomba Radhi Baada ya Video zake chafu Kusambaa

$
0
0
Mwigizaji Wema Sepetu, leo Oktoba 25 ameomba radhi akisema video na picha zake chafu zilizoenea mtandaoni zimesababisha usumbufu kwa mamlaka za Serikali na Watanzania kwa ujumla.

Katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika nyumbani kwa mama yake, Sinza jijini Dar es Salaam, Miss Tanzania huyo wa mwaka 2006 amesema kuenea kwa picha na video hizo kumetokana na utoto.

Wema aliyeonekana kuwa mtulivu amesema: “Kuenea kwa picha hizo kumetokana na upumbavu na utoto wangu, ninawaahidi Watanzania kuwa hilo halitatokea tena naomba radhi kwenu wote.”

Huku akisoma maelezo hayo yaliyoandikwa katika karatasi mbili, Wema alisema hakuna mwingine wa kulaumiwa kwa kuenea kwa picha na video hizo lakini anaomba asamehewe kwa kitendo hicho.

Pembeni akiwa amesimamiwa na meneja wake, Martin Kadinda na rafiki yake Petit man, Wema alisoma karatasi hizo huku akionekana mwenye  huzuni na alipomaliza alisimama na kuondoka eneo hilo akiwaacha waandishi wa habari wakiwa na kiu ya kuuliza maswali zaidi.

Moja ya swali kuu kutoka kwa waandishi lilikuwa kufahamu ni nani aliyevujisha video na picha hizo katika mitandao ya kijamii.

Wema ni kama alilijibu swali hilo  katika maelezo yake aliposema, hamlaumu yeyote kwa kuvunja kwa picha hizo kwa kuwa ujinga wake ulisababisha zikawepo.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa pekee iliyotibu watu wengi nchini na nje ya nchini kwa kufanya kazi Mara 3 kwa wakati mmoja 1 ...kurefusha uume na kunenepesha saizi upendayo, kuogeza nguvu za kiume na inatibu matatizo , ikisha tibu aina madhara inaimalisha mishipa ilio regea na uzalishaji wa mbegu za kiume. TAHADHARI HAKIKISHA UNA MKE AU    MPENZI. 

NINI HUCHANGIA MATAZO HAYA . Ngiri ni chanzo Kikubwa cha matatizo,haya kujua kwamba una ngiri dalili zake ni 1.kufika haraka kileleni wakati  watendo la ndoa 
2.Kushindwa kulundia tendo la ndoa 
3.Kutoa choo kama cha mbuzi 
4. Tumbo kujaa gesi na kuunguruma 
5 kukosa choo kabisa 
6 Maumbile kuingia ndani na kuwa mafupi 
7 korondani moja kuvimba 
8 kutosikia hamu ya tendo la ndoa
 9 maumivu ya kiuno na mgongo  

Pia tunatibu busha bila kufanyiwa opresheni .Umeachwa na umpendae na bado unamwitaji?

WASILIANA  NA MTALAM  CHALLO 0714 006521. YUPO MBAGALA.

Kilichoendelea Leo Mahakamani Kuhusu Kesi Ya Mbowe na Vigogo Wengine CHADEMA

$
0
0
Kesi ya viongozi tisa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), akiwamo Mwenyekiti  wa chama hicho, Freeman Mbowe, wanaokabiliwa na mashtaka 13, ikiwamo uchochezi, itaanza kusikilizwa Novemba Mosi mwaka huu kwa washtakiwa kusomewa maelezo ya awali.

Uamuzi huo umetolewa leo Alhamisi Oktoba 25, na Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, baada ya Mbunge wa Iringa mjini, Peter Msigwa  kupata wakili wa kumtetea mahakamani hapo, kutokana na wakili aliyekuwa akimtetea, Jeremiah Mtobesya, kujitoa Agosti 23, mwaka huu.

Wakili wake huyo Jamhuri Jonson amejitambulisha mbele ya Hakimu Mashauri na kudai kulingana na umuhimu wa kesi hiyo anaomba ahirisho ili apate nafasi ya kupitia jalada la kesi hiyo  aweze kujua nini kimekwisha tokea.

Wakili wa Serikali, Faraja Nchimbi amedai mahakamani hapo, amesikia ombi la wakili wa utetezi la kuomba ahirisho ili apate muda wa kupitia jalada la kesi hiyo, hata hivyo upande wa jamhuri ulipinga ombi hilo.

Hakimu Mashauri baada ya kusikiliza hoja za upande zote mbili, ameihirisha kesi hiyo hadi Novemba Mosi, mwaka huu kwa ajili ya kutoa nafasi ya wakili huyo kupitia jalada na kwamba washtakiwa hao watasomewa maelezo hayo ya awali siku hiyo.

Washtakiwa wengine wanaokabiliwa na kesi hiyo ni Katibu Mkuu wa Chama hicho, Dk Vincent Mashinji Naibu Katibu Mkuu Zanzibar, Salum Mwalimu, Naibu Katibu Mkuu bara na Mbunge wa kibamba John Mnyika, Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche, Mbunge wa Kawe, Halima Mdee, Mbunge wa Bunda, Esther Bulaya na Mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko.

Washtakiwa hao kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka 13, ikiwamo kula njama,  kufanya mkusanyiko wenye ghasia, kuhamasisha hisia za chuki, kushawishi hali ya kutoridhika, uchochezi na kushawishi utendaji wa kosa la jinai kati ya Februari Mosi na 16, mwaka huu.

Okoa Ndoa Yako Mke,Mume Na Afya Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Za Asili

$
0
0
Asilimia kubwa ya binadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wengi wamejaribu kutumia tiba sehemu tofauti bila mafanikio na  kukata tamaa hasa kina baba ambao ndoa zao au mahusiano yao na wapenzi wao yapo hatarini kuvunjika kwa sababu Mume hana uwezo wa kumridhisha mpenzi wake 

KWA NINI UJIONE MPWEKE PALE UKUTANAPO NA MKE AU MPENZI WAKO SABABU ETI UNAUPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME AU UUME MDOGO: tumia dawa ya NSENWA POWER ;dawa hii hutibu na kuponesha tatizo la  nguvu za kiume .

1 itakupa uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara tatu 
2 itakupa uwezo kuchelewa kukojoa mda wa dakika 15-20 na kumfanya mpenzi wako naye aridhike 
3 huimalisha misuri iliyo legea na kusinyaa 

JE UNA UUME MFUPI NA MWEMBAMBA : tumia dawa ya MASHESHE NO 2; hii huboresha uume saizi upendayo kuazia urefu wa inch 5,6,7,8 na unene  wa sentumita 2,3,4,5, dawa hizi hazina madhara yeyote kwa mtumiaji hata wazee hutumia na kupona 

MASANZA ni dawa ya vidonda vya tumbo zipo dawa za mvuto wa biashara ,mpenzi,uzazi ngiri,korodani kuvimba miguu. mgongo,kiuno kuuma nk 

MAHALI ILIPO OFISI UNAWEZA UKASHUKIA BUGURUNI MALAPA AU BUGURUNI ROZANA na MWANZA YUPO WAKALA pia unaweza ukaletewa popote ulipo wasiliana nami 0783185060  0752348593 DR AGU

Tiba Bora ya Nguvu za Kiume, Kisukari, Ngiri, Miguu Kuvimba

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume yanawaathiri watu wengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona tofauti sana na wengine. Kawaida mwanaume anatakiwa kuwa na uume kuanzia nchi 6- 8, vinginevyo mtu huwa na matatizo. Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo. 

Baadhi ni upungufu wa vichocheo hivi; Homoni za getrogen ambazo mwanaume anapobalehe, vichochea hivi huchochea ukuaji wa uume.

Ngiri; Hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na hufanya tumbo kuunguruma na kujaa gesi. Sababu zingine ni korodani moja kuvimba, kupopata choo vizuri.

Sababu hizi na zingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara kwa mara husababisha kukosa tendo ya kurudia tendo na baadae kushindwa kabisa

MWIFU: Ni dawa inayozalisha homoni zxa Gestrogen na kufanya uume kukua na kuongezeka hadi nchi 6-8
 
WET POWER: Ni dawa bora ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba na matunda ambayo huongeza nguvu za kiume kuanzia miaka 15-95 na hukomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi, ina imariisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara mbili bila hamu kuisha na pia itakuchelewesha kufika kileleni

Pia tunatibu kisukari, presha, ngiri, miguu kuvimba na kuwaka moto

Wasiliana na Sheikh Khatib akutatulie matatizo yako. Namba zake; 0782682648  au 0656 551 093  au 0746473974

Wabunge Ethiopia Wamchagua Rais Mwanamke

$
0
0
Wabunge nchini Ethiopia wamemchagua Sahle-Work Zewde, kuwa rais wa kwanza mwanamke baada ya aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Mulatu Teshome, kujiuzulu ghafla leo.

Sahle-Work ni mwanadiplomasia mwenye uzoefu ambaye sasa amekuwa kiongozi wa kipekee mkuu mwanamke barani Afrika.

Kuchaguliwa kwake katika wadhifa huo, kunajiri wiki moja baada Waziri Mkuu, Abiy Ahmed, kuliteua baraza la mawaziri ambapo nyadhifa nusu katika baraza hilo zimewaangukia wanawake.

Katika hotuba yake ya kukubali wadhifa huo, Rais Sahle-Work, amezungumza kuhusu umuhimu wa kudumisha amani.

Rais Sahle-Work amewahi kuwa Balozi wa Ethiopia nchini Senegal na Djibouti na amewahi kushika nyadhifa kadhaa katika Umoja wa Mataifa ikiwamo Mkuu wa Kujenga Amani katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images