Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Mtoto amuua baba kwa Shoka kisa kunyimwa mahari

$
0
0
Jeshi la Polisi mashariki mwa mji wa Eldoret, kaunti ya Uasin-Gishu magharibi mwa Kenya imemkamata mwanaume mwenye umri wa miaka 28, Andrew Kimutai, akituhumiwa kumuua baba yake, Joseph Marindany .

Akithibitisha tukio hilo OCPD wa Eldoret Mashariki Bw Richard Omanga, amesema kuwa Andrew anatuhumiwa kumuua baba yake kwa kumkata kichwa kwa kutumia shoka, baada ya kukataa kumpa kondoo wa familia ili alipe mahari kukomboa mtoto wake wa kiume aliyempata nje ya ndoa.

“Marehemu alikataa kumpa mwanawe kondoo kwa sababu hakujua alikuwa amezaa mtoto nje ya ndoa kama alivyodai. Mshukiwa alikasirishwa na msimamo wa baba yake ndipo alimvamia baba yake akiwa chumbani mwendo wa saa moja, akamkatakata kwa shoka,” alisema OCPD Omanga.

Mtuhumiwa huyo kwa sasa anazuiliwa katika kituo cha polisi cha Naiberi akisubiri kufunguliwa mashtaka baada ya uchunguzi kukamilika.

Jeshi La Polisi Lakanusha Taarifa Zinazosambazwa Kwenye Mitandao Ya Kijamii Kuhusu Uteuzi....Latoa Onyo Kali

Huna Sababu Ya Kuaibikatena............ Jipatie Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Na Mvuto Wa Mapenz

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0622344969

Sugu atangaza dau nono la Mil. 1 kwa Mtanzania yeyote atakayemfanikishia jambo hili

$
0
0
Mbunge wa Mbeya Mjini, Mhe. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu ametangaza dau la Tsh Milioni  1 kwa mtu yeyote atakayempatia picha yake akiwa amevalia sare za Gerezani kipindi alivyokuwa amefungwa.

Sugu ametoa tangazo hilo kwenye ukurasa wake wa Instagram, ambapo ameeleza kuwa lengo kubwa la picha hiyo ni kutumika kama Cover ya kitabu chake kipya cha ‘SIASA NA MAISHA’ .

Ajali Mbaya ya Gari Yaua Watano Singida

$
0
0
Watu watano wameripotiwa kupoteza maisha kwenye ajali ya gari iliyotokea eneo la Njirii wilayani Manyoni mkoani Singida leo Oktoba 21.

Akithibitisha kutokea kwa ajali hiyo Kamanda wa Polisi mkoa wa Singida, kamshina msaidizi wa polisi Sweetbert Njewike, amesema kuwa ajali hiyo imehusisha magari mawili ikiwemo gari dogo mali ya Wizara ya Kilimo na Chakula iliyokuwa na watu watano pamoja na lori.

Kamanda Njewile amesema kuwa chanzo cha ajali hiyo ni uzembe wa dereva wa gari ndogo iliyokuwa katika mwendokasi ikijaribu kupishana na lori.

"Gari ndogo mali ya Wizara ya Kilimo na Chakula ilikuwa ikitokea Dodoma kwenda Shinyanga ikiwa na watumishi wa wizara hiyo, ilikuwa katika mwendokasi na kugongana uso uso na Lori", amesema Kamanda Njewile.

Kamanda amewataja waliofariki kuwa ni wanawake wawili na wanaume watatu na wote wamehifadhiwa katika hospitali ya Wilaya ya Manyoni.

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 14

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA  

“Sasa kwa nini una nidanganya. Hembu niambie ukweli”
Dada Mery alizungumza huku akiushika mkono wangu wa kulia, akakigusisha kiganja changu kwenye kitumbua chake na kuana kikichezesha chezesha. Japo ni baridi kali, ila jasho halikusita kunitoka mwilini mwangu. Dada Mery akafika mbali zaidi mara tu ya kukiingiza kidogo changu cha katikati katika kitumbua chake na taratibu akaanza kukikatikia kiuno huku mkono wake mwengine wa kushoto akiupitisha pitisha kichwani mwangu na kunifanya nijawe na hisia kali sana.
“Nyinyi NGURUWEEE munafanya nini ndani ya nyumba yangu?”
Tuliisikia sauti ya ukali ya mzee Clopp iliyo nifanya nikurupuke kutoka katika tukio nililo kuwa nina lifanya hadi kuanguka chini huku macho yangu yakimtazama mzee Clopp jinsi alivyo vimba kwa hasia kali kama chui aliye uliwa mwanaye.

ENDELEA
Mzee Klopp akaanza kunifwata kwa hasira, ila dada Mery akamuwahi na kumzuia baba yake.
“Ethan nenda nje”
Dada Mery alizungumza na kunifanya ninyanyuke kwa haraka na kukimbilia sebleni. Bibi Jane Klopp akabaki akinishangaa jinsi ninavyo hema.
“Kuna nini?”
Bibi Jane aliniuliza huku akinitazama machozi mwangu, kwa jinsi nilivyo jawa na woga nikajikuta hata nikshindwa kabisa kumjibu bibi Jane Klopp. Kelele za kufoka za mzee Klopp zikamfanya bibi Jane Klopp kuanza kupandisha ngazi kuelekea gorofani. Kwa haraka nikatoka katika mlango wa kutokea humu ndani na nikaanza kukimbia kuelekea getini.
“Ethan vipi mbona una kimbia kuna nini?”
 
Mlinzi aliniuliza huku akinitazama.
“Kuna mtu ninakwenda kuonana naye hapo mbele tafadhali ninakuomba unifungulie geti”
Mlinzi akaminya batani ya kufungua geti hili, iliyopo ndani ya kibanda chake. Nikaanza kukimbia kuelekea mtaani, kutokana mji huu nimeufahamu kwa asilimia kubwa, hakuna hofo ya mimi kuweza kupota. Nikazidi kutokomea mtaani huku nikiamini kwa kufanya hivi kutasaidia yale mabaya ambayo Ethan alinieleza juu kuuwawa kwa mzee Klopp basi hayato tokea tena. 
 
“Ethan naomba unisaidie”
Nilizungumza huku nikizidi kusonga mbele, nikikatiza katiza kwenye mitaa japo kuna baadhi ya watu ambao walinikodolea macho, nina hisi wengi wao watakuwa wakinifananisha kwa maana katika umri wangu huu mdogo nimeweza kuwa maarufu sana.
‘Hei’
Nilimuona Ethan pembeni yangu akitembea pamoja nami.
‘Nimeondoka nyumbani kwa ajili ya lile tatizo lisitokee’
‘Natambu hilo, pia ni maamumuzi mazuri’
‘Sasa natakiwa kwenda wapi?’   
‘Wewe unataka kwenda wapi?’
‘Sijui na siwezi kurudi kwa yule mzee kwa maana ni aibu kubwa sana mimi kukuta nikifanya vile na yule dada’
‘Hata dada yako hakutarajia kufanya vile ila nilimtuma jini mahaba, kumuingia na kujikuta akikutamani na kufanya vile.
‘Haukuona njia nyingine ya kuweza kufanya hadi unifanyie vile?’
 
‘Ni njia gani nyingine ya kufanya sasa?’
‘Ethan hembu niambie basi maisha yangu ya mbeleni yatakuwaje?’
‘Siwezi kukuambia na mimi sio mtabiri wako. Ninakueleza pale unapo kuwa na tatizo kubwa ambalo litakuhatarishia maisha yako, ila kwa sasa siwezi kukuambia chochote’
Maneno ya Ethan yakanikatisha tamaa kwa kweli. Nikasimama na kutazama majengo mengi yaliyo tuzunguka katika eneo hili.
‘Ili kufanikiwa ni lazima uweze kuitambua shida, shida itakayo kujenga kiakili, kimaarifa na utaweza kuwa makini na mafanikio yako kwa maisha yako ya baadae’
‘Mmmmm’
‘Ndio’
 
Ethan akapotea kwenye uwepo wa macho yangu. Nikatazama nilipo nikashusha pumzi nyingi kisha nikaendelea na mizunguko katika jiji hili la Berlin. Hadi inaitimia usiku wa saa moja sikuweza kupata chochote tumboni mwangu na wala sifahamu ni wapi nitalala katika usiku huu. Nafsi moja ina nishauri niweze kurudi kwa mzee Klopp, ila nafsi nyingine ina nishauri nisiweze kurudi kabisa nyumbani kwa mzee Kloop kwani kwa hasira aliyo nayo juu yangu ni lazima atania. Baridi kali ikazidi kunitesa na kuusumbua moyo wangu, hakika katika hali ngumu ya maisha niliyo ipitia moja wapo ni hii. Nikatamani kuyafuta japo kibanda cha simu niweze kumpigia mpenzi wangu Camila aweze kunisaidia, ila nikaona sio jambo la burasa kwa mimi kuwa omba omba na pia atahitaji kufahamu ni sababu gani ambayo ilinifanya mimi kuweza kuondoka katika nyumba ya mzee Klopp na endapo ataifahamu ni sababu ya kimapenzi nahisi hata msaada wake kwangu naamini unaweza kubadilika. Nikiwa katika moja ya godauni kubwa ambalo lina watu wengi omba omba wanao lala, nikaona kundi kubwa la vijana walio nizidi umri wakinisogelea. Woga ukanijaa na nikaanza kurudi rudi nyuma, ila kwa wingi wao wakafanikiwa kunizunguka na kuniweka katikati.
 
“Hei umefwata nini hapa wewe mtu mweusi?”
Mmoja wao alizungumza huku akinisukuma.Nikashindwa kuwajibu chochote zaidi ya kuendelea kutetemeka kwani katika maisha yangu kitu nisicho kipenda ni kupigana na wala sina ujuzi wowote katika swala la kupigana.
“Hujibu si ndio?”
“Mi…..”
 
Nikastukia ngumi nzito ikitua kwenye shavu langu la upande wa kulia na kunifanya niweweseka na kuona maruwe ruwe mengi sana ambayo hakika yakanipotezea hata uwezo wa kuweza kuona vizuri. Nikastukia mtama mzito ulio niangusha chini mzima mzima. Wakaanza kunivua viatu, wakafwatia surualia yangu pamoja na tisheti niliyo ivaa na wakaanza kunipiga mateka mfululizo. Nikaendelea kujikunyata ili wasiniumize uso wangu, galfa nikahisi kitu chenye ncha kali kikinichoma kwenye mbavu zangu, jamgo lililo nifanya nipige kelele kali sana za maumivu kwani maumivu yake ni makali kupita hata mateke na ngumi wanazo nipiga.
“Hei muna mfanya nini mwenzenu”
Vijana hao mara baada ya kusikia kelele hiyo, wakatawanyika na kukimbia na kuniacha nikiwa nimelala chini huku nikilia kwa uchungu sana. Nikajaribu kuuepeleka mkono wangu wa kulia kwenye mbavu zangu, nikajikuta nikiwa na kisu kikiwa kimezama kwenye mbuvu zangu jambo liilo nifanya nichanganyikiwe sana na kuzidi kulia, hadi nikapoteza fahamu.
                                                                                                                             ***
“Hei ume amka?”
Nilisikia sauti ya kime ikipenya vizuri masikioni mwangu. Nikamtazama mwanaume anaye nisemesha, nikamuona ni mwanaume mwenyea asili ya kiafrika kama mimi. Mwanaume huyu kichwani mwake ana rasta nyingi na defu. Mkononi mwake ameshika msokoto mkubwa wa bangi na katika chumba hichi nilicho lala kimejaa mapicha picha mengi ya mwanamziki Bob Marley.
“Nipo wapi?”
 
Niliuliza kwa upole sana huku nikimtazama jaa huyu, kabla ya kunijibu akapiga fumba moja la bangi aliyo ishika kisha akapuliza hewani na kukohoa kidogo huku akipiga piga kifua chake.
“Dogo upo kwa rasta Man Bob….Wooo, Wooo”
Mwanaume huyu alizungumza huku akirusha rusha nywele zake, nikajitazama nilipo lala. Ni kitanda kimoja kidogo na kina mashuka yanayo nuka kwa uvundo wa kuto kufuliwa kwa siki ningi. Eneo la tumboni mwangu nimezungushiwa bandeji moja kubwa sana.
“Unajisikiaje?”
Aliniuliza huku akivuta kistuli na kukaa pembeni yangu. Taratibu nikanyanyuka na kukaa kitako huku nikimtazama.
“Ninajisikia maumivu”
“Ohoo vuta kitu hichi kidogo, utajisikia poa kabisa”
“Hapana asante”
 
Mwilini kitu nilicho baki nacho ni boksa tu.
“Nipo hapa toka lini?”
“Jana usiku, nilikuokoata kuna madogo walikuwa wanakushambulia”
“Nahitaji kurudi nyumbani”
“Nyumbani?”
“Ndio”
“Kwenu ni wapi?”
Nikajikuta nikishindwa kumjibu rast man huyu mara baada ya kuona taarifa ya kutafutwa kwangu kwenye tv ndogo ya chogo iliyomo ndani humu na endapo mtu atatoa ushirikiano wa kupatikana kwangu atapatiwa dola elfu hamsini na familia yangu. Rasta Man huyu akanitazama vizuri, kisha akarudisha macho yake kwenye tv ili kunifananyisha na kile alicho kiona.
“Ahaa wewe ndio Ethan Klopp?”
 
Nilimjibu rasta man huyu kwa kutingisha kichwa kwamba ndio mimi. Akaruka juu kwa furaha, kwa haraka akata simu yake mfukoni na kuanza kupiga namba za mzee Klopp zinazo onekana kwenye tv.
“Woo wooo rasta mana Bob hapa nina ongea na mzee Klopp mgongoni namba saba machachari”
Rasta man huyu alizungumza kwa shauku kubwa, naamini akili yake hapo ina furahia donge nono lililo ahidiwa na familia ya mzee Klopp.
“Kijana wenu nipo naye, na hali yake sio nzuri. Ila hakikisheni kwamba muna kuja na mpunga wangu kumchukua la sivyo hamta muona”
“Sijamteka mimi, ila nilimsaidia, mikiwa tayari nipigieni simu muje kumchukua”
 
“Poa poa, wooo wooo rasta mana weeeee”
Alikata simu huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana. Mawazo mabaya juu ya adhabu ambayo ninaweza kupewa na mzee Klopp, yakaanza kunitawala kichwani mwangu. Rasta man huyu akazidisha makeke ya kunisaidia, ili maradi niweze kumuona mwema. Baada ya dakika kama kumi hivi simu yake ikaita kwa haraka akaipokea na kuiweka sikioni mwake.
“Ndio, nipo naye hapa. Chukua uzungumze na mama yako”
Rasta man akanikabidhi simu yake taratibu nikaipoke na kuiweka sikioni mwangu.
“Ethan”
Niliisikia sauti ya bibi Jane Klopp akiniita huku analia.
“Naam mama”
 
“Ohoo asante Mungu, unaendeleaje mwanangu?”
“Naumwa mama”
“Ohoo Mungu wangu tunakuja sasa hivi sawa”
“Sawa mama”
Simu ikakatwa, nikamrudishia rasta man. Kwa haraka masta man akaanza kufanya usafi ndani kwake humu, huku mifuko ambayo imejaa misokoto ya bangi akiitoa nje na wala sifahamu ni wapi alipo iweka. Baada ya muda rasta man akaingia ndani humu huku akiwa ameongozana na bibi Jane Klopp pamoja na askari wawili. Bibi Jane Klopp kwa haraka akanikimbilia na kunikumbatia, alipo liona jeraha lililopo kwenye mbavu zangu kwa haraka akapiga simu hospitali na haukupita muda mrefu gari la wagonjwa likafika. Madaktari wakaniweka juu ya machelea maalumu huku waandishi wa habari nao wakijitahidi kuchukua tukio hili. Rasta man akaninyooshea dole gumba, ikiwa ni ishara ya kunitakia safari nje. 
 
Njia nzima bibi Jane Klopp anasali huku machozi yakimwagika usoni mwake. Madaktari wakaanza kunihudumia jeraha langu upya kabisa. Tukafika hospitalini na nikashushwa kwenye machela hii kwa haraka nikakimbizwa kwenye chumba cha upasuaji huku bibi Jane Klopp akizuiwa kuingia ndani ya chumba hichi. Nikachomwa sindano ambayo ndani ya muda mchache nikajikuta nikiishiwa nguvu mwilini mwangu na kulala usingizi fofofo.
                                                                                                                ***
    Cha kumshukuru Mungu upasuaji umefanyia vizuri na kisu nilicho chomwa hakikuni athiri sana katika pamvu zangu. Watu mbalimbali ndani ya nchi hii ya Ujerumani, hawakusita kufika hospitalini hapa kunijulia hali kwani tayari nimezidi kuwa maarufu. Camila na wazazi wake nao hawakuwa nyuma kunitembelea kila siku huku wakionyesha dhairi kwamba wamenikubali kama mkwe wao japo mimi na mtoto wao bado tuna umri mdogo ambao hatupaswi kuingia kwenye mahusiano.
 
“Ethan”
Mzee Klopp aliniita huku akiwa amekaa pembeni ya kitanda changu.
“Naam baba”
“Ninakuomba unisame kwa kila kitu ambacho kimetokea kwenye maisha yangu. Natambu hasira yangu na kung’ang’ania kwangu uwe mchezaji kutokana na tamaa ya kipesa ndio kumekufanya leo hii uwe hapa kitandani. Naomba unisamehe sana”
Mzee Klopp alizungumza kwa unyonge na kwa upole sana na kumfanya Bi Jane kunitazama usoni mwangu.
“Nimekusamehe baba naombeni na mimi munisamehe, nimewapa hasara ya kifedha”
“Hapana hapana Ethan, pesa sio kitu, ila uhai wako ndio kitu muhimu kwenye maisha ya hivi sasa”
Bibi Jane Klopp alizungumza huku akinishika mkono wangu wa kulia. 
 
“Kwa sasa tutakuacha uendelea na mashomo yako na endapo hadi utakapo maliza elimu ya msingi basi unaendelea na hili swala la kufikiria kucheza katika timu kubwa”
“Nashukuru sana baba kwa kuelewa”
Muda wa mzee Klopp na mkewe kukaa ndani humu chumbani kwangu ukaisha na wakaondoka na wakaniacha mimi peke yangu kama siku zote na uangalizi wote hufanywa na madaktari.
‘Za masiku’
Niliisikia sauti ya Ethan, nikatazama kwenye kona moja ya chumba hichi nikamuona akiwa ameiegemea huku akinitazama.
 
“Siku zote ulikuwa wapi?”
“Kwani nilikueleza kitu gani?”
“Sawa, kunieleza kutu hichi ndio kukufanya uondoke na kuniacha peke yangu kwenye matatizo na ona sasa jinsi nilivyo jeruhiwa”
Nilizungumza kwa jazba kidogo huku nikimtazama Ethan. 
“Wooo sasa kwa nini usipambane na wale vijana?”
“Ethan hembu acha kunitania bwana. Uliniambia kwamba utanipa nguvu sasa nguvu zenyewe mbona sizioni?”
“Kwani umesha kuwa?”
“Hata kama, ila nahitaji wale vijana nao niwafanye kitu kibaya”
“Kweli?”
“Ndio”
“Twende”
“Wapi?”
“Si sehemu walipo ukawafanyie kitu kibaya”
“Si unaona kabisa nina jeraha”
“Huniamini au?”
Nikamtazama Ethan kwa muda kidogo, kisha nikachomoa sindano inayo ingiza maji kwenye mishipa yangu. Nikashuka kitandani, Ethan akanikumbatia kwa kasi ya ajabu tukatoka katika eneo hili la hapo hospitalini na kuanza safari ya kwendaeneo walipo vijana amabo walinipiga na kunichoma kisu changu katika mbavu zangu.

==>>ITAENDELEA KESHO

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 114 na 115 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA

“Wiki sasa”           
“Hahaah one week ndio inakufanya ulie namna hiyo kwa ajili ya huyo mwanamke?”
“Stive katika hilo ninakuomba usiningiilie”
“Hilo ndio tatizo lako mdogo wangu, mama wewe si alikuagiza kichwa cha K2, hadi leo kipo wapi?”
Stive alizungumza huku akiongeza mwendo kasi wa gari.
“Dany sasa hivi moyo wako ninahitaji usipende, ninahitaji moyo wako uwe ni mgumu, yupo wapi mkeo, yupo wapi mwanao. Ukiwa unafanya kazi hii unatakiwa swala la kujenga familia uliweke kando kwa maana kupitia familia yako adui zako wanaweza kukuyumbisha kama alivyo fanya Maria”
Jina la Mariam nilipo lisikia masikioni mwangu, taratibu nikajikuta na yeye nikimuweka kwenye mabano na kuzidi kuapia kwamba nikifika nchini Somalia ni lazima nitamuangamiza Mariam na mama yake.
       
ENDELEA   
“Umejuaje kwamba nilikuwa na mahusiano na Mariam?”
“Mariam mimi nimemfahamu baada ya kuiua familia yetu, nilimfwatilia sana na hapo ndipo nikagundua alifanya kazi hiyo kwa kushinikizwa”
“Alishinikizwa na nani?”
 
“K2 eti ndio raisi wa nchi, hivi watu walikosa kuchagua mtu wa kueleweka hadi wakamuweka yeye madarakani?”
Nikakaa kimya huku nikifikiria furaha niliyo kuwa nayo kipindi nipo kijana mdogo sana. Mama yangu alituea vizuri sana na mdogo wangu Diana. Hapakuwa na mtu aliye itambua huzuni katika maisha yetu.
“Listi aliyo iacha baba ni lazima tuweze kuitekeleza, la sivyo tutateseka sisi na vizazi vyetu. Mimi siwahamu ndugu wengine, ninakujua wewe peke yako tu na tukisema sisi tuangamie basi utambue kwamba tukakufa kifo cha aibu sana”
Stive alizungumza na wala mazungumzo yake sikuyafwatilia kabisa, kwani kichwani mwangu ninacho kiwaza ni kitu kilicho pita miaka mingi nyuma.
“Ahaaa ndio maana siipendi Nairobi”   
Stive alizungumza huku akipunguza mwendo kasi wa gari, ikanibudi kutazama mbele, nikaona kizuizi cha askari wakikagua magari yote yanayo pita katika barabara hii inayo katiza hapa.
 
“Watakuwa wanatafuta nini?”   
“Sifahamu ila kausha na ukumbuke kile nilicho kuambia, kiswahili hapa kiwe cha Kikenya, sasa wewe zungumza kiswahili fasaha hapa uone watacho kufanya”
“Poa”
Taratibu Stive akasimamisha gari pembeni ya barabara na akafungua vioo vya gari, kwa kupitia kioo cha pembeni tukamuona askari wa kiume akitufwata huku ameshika bunduki yake. Alipo niona akapiga saluti na mimi nikapiga saluti ya kiskaji tu kwa maana nimepita cheo.
“Jambo afande”   
“Jambo ona elekea mujini?”
“Ndio, nini endelea mbona road block kubwa?”
Nilizungumza kiswahili hichi hadi Stive akanitazama kwa jicho la kuiba.
 
“Gaidi toka Tanzania, ingia Kenya, wametoroka baada ya vurumai huko mapango ya Amboni, sasa zidi imarisha ulinzi mana Tanzania lipuliwa bomu la nyuklia”
“Ahaa hakikisha gari zote muna fanya chake up ya uhakika, hakuna jambazi katiza katika City yetu”
“Sawa afande”
“Kazi njema”
Taratibu nikafunga kioo cha upande wangu na tukaondoka eneo hili huku Stive akiwa amejawa na tabasamu pana usoni mwake.
“Kwa kiswahili hicho lazima tutoboe bila kistukiwa”
“Yaaa, kwenye uigizaji nipo vizuri”
“Hahaa hongere sana”
“Shukrani aiseee kwa maana mmm”
Safari ikazidi kusonga mbele huku nikimuadisia Stive maisha ya mateso niliyo wahi kupitia katika maisha yangu, sikuwa ni binadamu mwenye furaha kabisi kwa maana kila kukicha kwangu kuna matukio mapya.
“Katika mazungumzo yako yote, chanzo kikubwa cha matatizo yako ni mapenzi”
 
“Usinilaumu  sana kuhusiana na mapenzi kwa maana kila mtu kwenye maisha yake anapenda”
“Ndio kupenda kupo, ila si kuwa mdhaifu kama wewe unavyo fanya. Tazama kuachana na K2 si ndio kumekufanya wewe kuteseka kwa maana, kama unavyo zungumza umesema amekupandikizia kesi za ajabu ukaonekana gaidi, so kama ungekuwa sio kupenda penda kwako, leo hii mama, Diana wote wangekuwepo”
“Stive maisha hayo yamesha pita, usije juu kisa kupenda kwangu au kupendwa kwangu, kwani wewe kwenye maisha yako hukuwahi kupenda wewe”
Nilizungumza kwa kufoka, ikambidi Stive kufunga breki za gafla na gari likasimama kwenye barabara hii iliyopo katikati yam situ. Stive akashuka kwenye gari huku akiwa amekasirika sana, na mimi nikashuka huku nikiangalia jinsi jua linavyo zama taratibu ili kuruhusu giza kuchukua nafasi yake.
 
“Kwa stahili hii Dany utanifelisha katika mipango yangu ninayo taka kwenda kuipanga Somali”
“So unahisi kwamba mimi ninafanya kazi chini yako, au unahisi kwamba mimi nitakuwa mjakazi wako. Sina kaka kwenye maisha yangu haya na wala sihitaji kuwa na kaka kwa maana sikuwahi kusikia habari yako kwenye familia yako”
“Unasemaje Dany?”
Stive alizungumza huku akinisogelea, nikamkazia macho nikakumbuka jana alivyo nipiga taratibu nikaanza kukunja ngumi na endapo atajaribu kuleta ujinga wowote nitamvuruga kama sio mimi.
“Umenisikia, kunisaidia kutoka katika yale mapango usihisi kwamba ndio unaweza kuniongoza akili yangu. Na swala lakuwa ndugu mimi na wewe sahau, huna hata chembe chem…….”
 
Nikastukia ngumi nzito ikitua kwenye mbavu zangu, nikajikunja kwa maumivu makali ninayo yapata. Stive akajaribu kunipiga kigoti ila nikafanikiwa kukiona na kukikwepa kwa kuruka pembeni. Nikasimama wima huku nikimtazama Stive, akanisogelea kwa ajili ya kunipiga, ila katika vitu ambavyo amevikosea kwenye maisha yake ni kujaribu kupambana na mimi. Kitendo cha kunisogelea, nikajirusha hewani na kumrudisha kwa teke zito lililo tua kifuani mwake, sikumpa nafasi ya kujipanga, nikamsogelea na kuanza kumtandika makonde mazito ya uso, kila alipo jaribu kurudisha mapigo yayo, niliweza kumdhiniti kwa kuhakikisha kwamba haingizi ngumi yoyote kwenye mwili wangu.
    Uzuri wa hii barabara haina magari yanayo pita mara kwa mara kwa hiyo, kipigo hichi ninacho mpatia Stive hakina shahidi yoyote ambaye anaweza kwenda kuita waamuzi.
“Stive umekosea sana kujihisi wewe ni mbabe, huniwezi hata kwa ndumba”
 
Nilizungumza huku nikiwa nimemkaba kabali moja ya shingo, iliyo mfanya Stive kuweweseka sana akijaribu kutitoa kwa mikono yake.
“Nieleze ukweli wewe ni ndugu yangu, au ninafunja shingo yao hii”
“Ndio, ndio mimi ni ndugu yako”
“Una uhakika?”
“Ndio Dany”
“Hakuna mpango wowote ambao umeupanga na wajina wezako wa kuniaminisha ili nirudi Somalia mukaniue”
“Hakuna Dany, na…na…aa apia kwa mu….ng…..”
Nilipo muona Stive anaweza kukata roho, nikamuachia kwa kumsukuma chini, akaanza kukohoa huku akijaribu kuvuta pumzi kwa haraka kwa maana kabali niliyo mkaba imempotezea hewa nyingi sana.
“Endapo utajaribu kuenenda kinyume na mimi nitakuvunja shingo sawa?”
“Sawa”
 
Stive aliendelea kunijibu huku badi akiwa ameinama chini akitafuta pumzi. Nikaingia kwenye gari upande wa dereva, nikampigia honim taratibu akaingia kwenye gari huku akiwa ameshika koo lake.
“Nielekeze hapa tunaelekea wapi?”       
“Tunanyoosha moja kwa moja”
“Poa”
Tukaondoka eneo hili na kazi ya Stive ikawa ni kunielekeza njia za kupita hadi tukafanikiwa kufika mpakani. Eneo hili linanikumbusha siku nilipo kuwa ninatoroka kutoka nchini Somalia na watu wa baba hawa ndipo walipo nizuia na kupita mateso mengi.
“Vipi unasubiriwa wewe kufungua kioo”
Stive alizungumza baada ya kuniona nikiwa nimeshikwa na bumbuazi kubwa sana kwa maana macho yangu na akili yangu bado inafikiria tukio ambalo lilinipta katika sehemu hii. Nikashusha kioo na kumtazama afande huyu aliyopo pembeni yangu. Akanipigia saluti kama wanavyo fanya wezake.
 
“Habari yako afande”
“Salama, ninaelekea kwenye oparesheni hapo Somalia”
“Na weza ona kitambulisho chako mkuu”
“Mumeanza lini kuuliza vitambulisho vya mabosi wenu”
Nilizungumza kwa kufoka huku  nikimtazama afande huyu usoni mwake anaye onekana ndio kwanza ni mgeni kazini.
“Samahani afande ndio utaratibu wa hapa”
Taratibu nikatoa kitambulisho changu mfukoni na kumpatia, akakitazama kisha akanirudishia.
“Ninaenda huku, nikirudi nikute barua yako ya maelezo juu ya hili ulilo lifanya”
Nikamkoromea kijana wa watu na kumfanya azidi kunitolea macho, taratibu nikaondoa gari nikafunguliwa geti na kuendelea na safari yangu.
“Tusielekee Mogadishu moja kwa moja”   
“Kwa nini?”
“Ni rahisi kustukiwa, kuna club moja hapo tutafikia kisha tutaanza kupata taarifa zote zinazo endelea katika nchi hii”
“Hiyo Club una iamini vipi?”
 
“Mimi nina wenyeji wangu wengi hapo kwahiyo ni rahisi kwa sisi kukaa pasipo bugza ya mtu yoyote”
“Poa”
Stive akanielekeza sehemu yenye club hiyo na hadi inatimu saa tano usikuwa tukawa tumefika katika club hii niliyo kuta gari nyingi nje, ikionyesha kwamba ndani kuna watu wengi sana.
“Ngoja nishuke kwanza nikaandae mazingira”
“Tunakwenda wote”
“Dany acha ubishi basi, watu hawa wakikuona wewe na hayo mavazi wanaweza kuhisi kwamba nimekuleta hapa kuwapeleleza”
“Kwani hii Club ni ya watu wa aina gani?”
“Dany una maswali mengi hadi muda mwingine unakera. Natambua kwamba huniamini, ila jaribu hata kujenga imani yao kidogo kwangu”
 
Stive alizungumza huku akinitazama usoni mwangu. Nikaka kimya kwa sekunde kadhaa huku nikiendelea kuyasoma mazingiya ya hili eneo.
“Sasa na hili gari la polisi?”   
“Hakuna tabu, kikubwa ninakuomba unisubirie”
“Poa una dakika tano, zikizidi zaidi ya hizo ninaingia ndani mwenyewe”
“Poa”
Stive akashusha kwenye gari akaanza kutembea kuelekea ndani huku akitazama kila eneo la hii Club. Baada ya Stive kuingia ndani ya hii Club, nikachukua begi lenye silaha lililopo nyuma ya gari, nikalifungua, nikatoa bastola moja, nikaitazama kama ipo vizuri, nikaikuta ipo safi, nikaichomeka kwenye buti la upande wa kulia nililo vaa. Nikaitoa laptop ya Stive nikaiangalia vizuri na kuirudisha ndani ya begi kisha begi nikaliweka sehemu nilipo litoa.
 
Baada ya dakika nne, nikamuona Stive akirudi akiwa ameongozana namsichana mmoja mrefu na aliye valia nguo nyeusi, kwa mtazama wa huyu msichana inaonyesha kwamba si msichana wa masihara kabisa.
“Oya Dany twende ndani”
Stive alizungumza huku akichungulia kwenye kioo cha upande wake alio shuka.
“Hili begi je?”   
“Nalichukua”
Tukatazamana na msicha huyu kwa sekunde kadhaa kisha akanikonyeza na kulipokea begi alilo kabidhiwa na Stive. Nikashuka kwenye gari na kulifunga, tukaanza kuelekea ndani, tukafungua mlango na kukutana na mabaunsa wanne wakiwa wamesimama, wakanizuia.
 
“Nipo pamoja naye huyo”
Stive alizungumza na ikawafanya mabaunsa hao kuniachia huku wakinitazama kwa macho makali na ya kunichunguza. Kwenye club hii sikutegemea kuweza kukuta mziki wa wasanii wa kitanzani ukipigwa na watu wanaucheza kwa shangwe sana. Kitu kingine kilicho nishangaza ni uchafu unao fanyika humu ndani.
“Dany unashngaa nini ndio mambo yako”
“Acha ujinga hao ni mashoga?”
“Yaaa leo hakikisha kwamba unatoa ngezi zako zote tukitoka hapa tunafanya kazi tu na si mapenzi sawa dogo”
Stive alizungumza huku tukimtazama jimama moja lililopo juu ya meza kubwa katika hii Club, linacheza uchi kabisa huku likitingisha makalio yake makubwa sana jambo lililo nifanya nijikute nikimeza mate kwa kulitamani.
                                                                           
AISIIIII……….U KILL ME 115
 
“Twendeni”   
Binti aliye beba begi letu alizungumza huku akitutazama, na kutufanya sote kuyatoa macho yetu kwa jimama hilo na kuendelea kumfwata. Kuzimu ambayo siku zote tunaisikia kwenye vitabu vya dini ipo humu ndani yaani kitu kinacho kosekana humu ni moto wa kuwaunguza watu waliomo humu ndani. Tukaingia kwenye moja ya chumba na kukuta mabinti wa kisomali zaidi ya kumi wakiwa wamevalia bikini na sidiria huku wengine wakiwa hawana sidiria kabisa. Kila msicha ninaye mtazama mkono mwake ameshika bastola, huku wengine wakiwa wameshika bunduki aina ya SMG. Tukasimama kwenye meza kubwa huku kwenye kiti kilichopo nyuma ya hii meza kukiwa na jimama kubwa jeusi lililo jichora mwili mzima hadi usoni mwake.
“Stive huyo ndio mdogo wako”       
Jimama hilo lilizungumza kwa sauti nzito huku likinitazama usoni mwangu
 
“Yaaa huyu anaitwa Dany”   
“Mbona anaonekana legevu legevu?”
“Yupo vizuri”
“Ahaa wapi simuamini, hei hembu mpime huyo”
Jimama huyu lilimpa ishara msichana mmoja na watu wote wakasogea pembeni hadi Stive. Msichana mmoja mrefu mwenye kisu mkononi mwake akanisogelea huku akinitazama kwa macho makali sana. Akanitisha kidogo, katika kuyumba kwangu nikastukia akinichana na kisu chake mkononi mwake, watu wote wakashangilia ndani ya chumba hichi.
“Dany usimuonee huruma atakuua huyo”
Stive alizungumza huku akinitazama usoni, nikamtazama msichana huyu kuanzia chini hadi juu. Afya yake aliyo nayo wala haistahili kupambana na mimi na kwa maana amedhohofika hata chupi aliyo ivaa emeibana kisawa wasa kwa mikanda yake.
 
Msichana huyu akajaribu kurusha mateke huku akitoa milio ya ajabu kama waigizaji wakichina wakipigana.
‘Nitakiua hiki masikini wee’
Nilizungumza huku nikiendelea kukikwepa kisichana hichi ambacho kusema kweli hakijiwezi, katika kurusha rusha kwake mateke na ngumi nikamdaka mkono alio shika kisu, nikamtandika makofi si chini ya sita kisha nikasukumia kwa wezake walio kuwa wamesimama pembeni yangu na kuwafanya wote kuanguka kwa pamoja.
“Stive huwa sihitaji majaribio kwenye maisha yangu na kama tumekuja hapa kujaribiana ni bora mimi niondoke”
Nilizungumza huku nikimtazama Stive kwa hasira usoni mwake, taratibu Stive akanisogelea akanishika bega la upande wa kuli huku akiwa katika hali ya huzuni.
 
“Mdogo wangu, hawa watu wanaweza kutusaidia katika kazi ambayo sisi tunaweza kwenda kuifanya. Ninahitaji tuwafanyie ambushi Al-Shabab, kwa sisi wawili ni ngumu sana kwa sisi kuweza kufanikiwa katika hilo”
“Unawaamini vipi hawa watu, ikiwa hakuna hata mmoja ambaye mimi ninamfahamu”
“Niamini mimi Dany, kila jambo litakwenda poa, kuwa mpole katika hili”
“Mdogo wako anaonekana ni mtu wa hasira sana?”
“Yaa kila kitu nitakimaliza mimi wala usijali katika hilo”
“Dogo, sisi kundi letu kaka yako ametuletea kazi, uzuri ni kwamba tuna uhasama mkubwa sana na hao wanaojiita Al-Shabab, na kama utakubali msaada wetu basi tunaweza kukusaidia ila kama huto hitaji msaada wetu unaweza kuondoka”
 
Jimama hilo lilizungumza huku likinitazama usoni mwangu, nikamshika mkono Stive na kumvuta pembeni kwa ajili ya kuzungumza naye.
“Stive isije tukawa tunajiingiza kwenye mitego sisi wenyewe, kwa maana moyo wangu kwa sasa hivi haumuamini mtu yoyote”
“Hilo haliwezekani, huyu bi maza ni rafiki yangu kwa miaka tisa sasa, ananijua na ninamjua vizuri tangu alipokuwa Al-Shabab”
“Kujuana na mtu sio ishu, hivi mimi kama Mariam nilihisi kwamba ipo siku atakuja kunifanyia unyama mkubwa kwenye familia yangu?”
“Hayo ya Mariam hembu achana nayo kwa muda huu, tuangalie ni kitu gani tunaweza kukipanga na huyu mama akatupa vijana wake, kwa maana mimi ninaifahamu kambi hiyo  basi inaweza kuwa rahisi kwetu kuivamia kwa urahisi mkubwa sana”
 
Nikaka kimya kwa muda huku nikimtazam Stive usoni mwake, nikamtazama pia jimama hili lililo kaa kwenye meza yake likiendelea kuvuta sigara kubwa kwa fujo.
“Dany hii ndio nafasi ya pekee kuweza kutimiza kilie ambacho kipo mbele yangu.”
“Poa”
“Ila Dany kesho itabidi mimi nikuache hapa, mimi nielekee kwenye kambi ya Al-Shabab kwenda kufanya upelezi wangu kisha tujue ni wapi tutakapo anzia”
“Uniache hapa?”
“Kuwa na amani, utahudumiwa kwa kila kitu wewe kuwa na amani”
Nikashusha pumzi taratibu, nikarudia kuwatazama watu waliomo humu ndani ya hichi chumba kwa haraka haraka, sijaona msichana ambaye anaweza kuniletea madhara hata kwa kupambana na mimi.
“Fine nimekubali, ila utakwenda kwa muda maalumu sio kwenda na uzamie huko?”
“Itabidi nitumie siku mzima kuwa huko kwa maana bila kufanya hivyo inaweza kustukiwa”
“Poa”
 
Tukarudi mbele ya meza ya jimama huyu,
“Zero, dogo amekubaliana na kila kitu”
“Ahaa dogo karibu kwenye ulimwengo wa Ziro”
“Asante”
Nilijibu kwa unyonge huku nikimtazama mama huyu usoni mwake, likanyanyuka kwenye kiti chake hapa ndipo nilipo weza kuona umbo lake lililo jazia minyama nyama mingi. Akatusogeleka na kunipatia mkono wake wa kulia, nikautazama kwa sekunde kadhaa kisha na mimi nikampatia mkono wangu. Akanivutia karibu yake, akanitazama kwa sekunde kadhaa kisha likanipiga busu la mdomo na kunifanya nirudi nyuma kidogo huku nikiwa nimekunja sura yangu.
“Dogo busu tu unanuna”   
Nikataka kuzungumza kitu ila Stive akaniwahi kuniziba mdomo kwa maana anatambua kitu kitakacho toka kinywani mwangu kinaweza kuchafua hali ya hewa kwa kila mmoja ndani ya chumba hichi.
 
“Ningeomba mutupatie chumba cha kulala”
“Hakuna tabu wee K wapeleke wageni chumba namba ishirni”
“Sawa bosi”
Binti tuliye ingia nanye humu ndani akatuongoza kuelekea katika chumba hicho, akatufungulia na kutupa funguo huku akitukaribisha ndani. Chumba hichi hakina ubora kabisa wa mtu kuweza kulala kwa amani. Kwanza kina harufu ya uvundo, pili kitanda chake mashuka ni machakavu kupita maelezo.
“Oya nitalala kwenye gari na si humu ndani”
“Kwa nini?”
“Ahaa wewe huu uvundo huusikii?”
“Kawaida, acha ubishoo Dany”
“Wewe ubishoo kwenye uvundo, hivi nikiumwa na mafua unahisi kwamba hata hiyo kazi yenyewe nitaifanya kama nilivyo hitaji?”
 
“Poa bwana”
“Unapesa ambayo ninaweza kuitumia kununua hata kinywaji?”
“Fungua kwenye hiyo zipu ya pembeni ya begi utaona kuna vibunda amavyo nimeviweka humo”
Nikafungua zipu aliyo nielekeza Stive nikakuta vibunda vitatu vya pesa za kimarekani, nikachukua kibunda kimoja kisha nikatoka nje. Nikajichanganya kwenye wingi wa watu ndani ya huu ukumbi, nikasimama kwenye kaunta ya kununulia vinywaji, nikaagizia mzinga wa whyne, nikaulipia na kuanza kuunywa taratibu. Wasichana wengi waliopo karibu yangu, macho yao yote yakawa kwangu, sikulijali hilo kwa maana kichwa changu bado kinamuza Cajoli, msichana aliye tokea kujali hisia zangu na kujitolea maisha yake kwa ajili yangu. Nikatoa nje ya Club hii na kuanza kutembea kuywe barabara hii iliyo zungukwa na jagwa kwa maana hata Club yenyewe ipo kwenye jangwa. 
 
Sikuwa na wasiwasi wowote zaidi ya kusonga mbele huku  nikiwa nimeshika chupa yangu ya whyne na kwa mara kadhaa nikawa nikigigida mafumba kadhaa ili mradi kuyatoa mawazo ya Cajoli kichwani mwangu. Katika kutembea kwangu pembezoni mwa barabara nikaona jiwe kubwa lililo chongoka. Kwa mwendo wa ulevi nikaanza kulisogelea hadi sehemu lilipo, nikalitazama vizuri na kuanza kulizunguka taratibu. Gafla nikaona gari zipatazo nne aina ya Toyota pickup, zikipita kwa kasi katika barabara hii wakielekea katika eneo la Clib huku zikiwa zimejaza watu wengi wenye silaha wachache kati yao wakiwa wameshika bendera nyeusi ambazo moja kwa moja niliweza kuzitambua kwamba zimetoka katika kundi la Al-Shabab.
 
Nikataka kujitokea kwenye jiwe hili, ila nikasita hadi gari zote zilivyo pita. Hazikupita hata dakika tano nikaanza kusikia milio ya risasi ikitokea kwenye Club, nikaichomo bastola yangu kwenye viatu vyangu na kuanza kukimbia kueleka katika eneo la Club. Pombe yote ambayo ilisha anza kunitawala kichwani mwangu taratibu ikaanza kunipotea, hadi ninafika eneo la Club, sikuhitaji kuuliza ni kitu gani kinacho endelea ikiwa ninesha ona jinsi wanamgambo hawa wa Al-Shabab jinsi wanavyo endelea kushambulia watu wasio na hatia.
 
‘Leo mutanikoma’
Nilizungumza huku nikiua kila mwanajeshi wa Al-Shabab ambaye kwa sasa wote ni maadui kwangu, sikujali mauaji yangu yanafanyika vipi, nikijisikia kumpiga mtu risasi ya kichwa basi ninampiga kichwani, nikijisikia kupiga risasi ya kifua basi nitampiga hapo. Bastola yangu ikaisha risasi, sikulijali hilo nilicho kifanya ni kuokota bundiki ya adui yoyote ambaye amefariki na nilicho kifanya ni kuendeleaza mashambulizi. Hadi zinatimia dakika kumi, wanajeshi wote wa Al-Shabab, waliopo nje nikawa nimewamaliza. 
 
Nikamuona Ziro akitoka nje akiwa ameongozana na watu wake huku Stive akiwa ni mmoja wapo. Kila mmoja alivyo niona na wingi wa maiti zilivyo sambaa nje wote wakaonekana kushangaa sana.
“Dany Dany Dany”
Stive aliniita huku akinitingisha kwa maana hadi wananifikia, nilikubwa ninamtazama adui mmoja jinsi alivyo lala chini. Nikampiga risasi zisizo na idadi adui huyo aliye lala chini kisha bunduki nikaitupa pembeni.
“Dany tulia mdogo wangu”   
Nikamtazama Stive kwa jicho kali pasipo kumsemesha kitu chochote zaidi ya kuachana naye kutafuta sehemu nikakaa. Ziro pamoja na Stive wakanifwaya eneo nililo kaa, Stive akachuchumaa huku akinitazama usoni mwangu.
“Dany yameisha”  
  
“Yameanza, sihitaji wewe uendee kwenye hiyo kambi, nitahitaji kwenda mimi mwenyewe”
“Dany”
“Ninajua ni nini cha kufanya sihitaji kufundishwa katika hili”
“Dogo, ungeacha tukakusaidia nina vijana wengi”
“Sihitaji vijana wowote, inaonyesha ni jinsi gani wewe na vijana mulivyo wanyonge, mumevamiwa, ni kitu gani cha maana ambacho mumekifanya”
“Dany usizungumze hivyo”
“Sikia Stive. Hii ni kazi yangu na hichi ni kisasi changu, mtu ninaye muhitaji katika kambi ya Al-Shabab ni mmoja tu ama wawili, nikishawapata hao, mimi na wao hatutokuwa na shida nao”
Nilizungumza huku nikisimama, nikaanza kumpitia maiti mmoja baada ya mwengine huku nikiwafungua sura zao.
“Unafanyaje?”
“Nahitaji kutafuta nguo ya kuvaa”
“Unataka kwenda huko peke yako?”
“Ndio”
 
Nikaipata maiti moja ambayo risasi yake imetua kichwani mwake. Kwa haraka nikaanza kumvua nguo zake, nikamuacha na nguo za ndani tu alizo zivaa.
“Dany ila kwenda mwenyewe inaweza kuwa ni hatari kwa upande wako?”
“Stive nina mafunzo mengi sana na si mjinga kama unavyo hisi, tazama hawa jamaa waliwavamia wewe na huyo rafiki yako, wote mulibaki kufunga miliango na kushambulia mukiwa ndani kuna hata adui ambaye muliweza kumua?”
Stive akaka kimya asijua nini cha kujibu. Nikavua nguo zangu na kuanza kuvaa nguo za adui huyu, nikatafuta kilemba ambacho wanajeshi wa kundi hili huwa wanajifunga na vyote huwa vinafanana. Nikajifunga kichwani mwangu na kubakisha macho yangu tu.
 
“Siendi kupeleleza ninakwenda kufanya mauaji. Wewe Ziro tazama baadhi ya wateja wako wameuawa, na siku zote umesema kwamba huwa muna uhasama na hawa jamaa, sasa leo ni nafasi ya nyinyi kulipiza kisasi, kama mutaamua kunifwata sawa kama mutaamua kukausha poa”
“Hatujajipanga na watu wangu kwa sasa wana pombe kichwani”
“Ahaa endeleeni kunywa mutakuja kufa na pombe zenu”
Nikachukua bunduki mbili zilizo jaa risasi, nikaziingiza kwenye moja ya gari la Al-Shabab, nikingia nikawasha na kuondoka katika eneo hili huku kila mmoja akiwa ananishangaa. Kutokana ninafahamu kambi ilipo halikuwa tatizo kubwa sana kwangu kukosea njia.
 
Baada ya kama saa moja na nusu nikafanikiwa kufika katika geti kubwa la kuingilia katika ngome hii ya Al-Shabab, walinzi walipo nisogelea nikaanza kuzungumza kiarubu huku nikiwapa taarifa kwamba wezetu wameuwawa na mimi nimekuja kutoa ripoti.
Mlinzi akakubali kunifungulia geti, nikaingia kwa kasi na nikalisimamisha gari kwenye eneo la maegesho. Laiti kama wangefahamu kwamba mimi sio mwenzao na nimekuja kufanya mauaji ya wakuu wao wanao waabudu kama miingu watu basi wala wasinge weza kuniruhusu kuingia humu ndani. Kwa haraka nikashuka kwenye gari huku nikiwa na bunduki moja mkononi, nikaanza kukimbilia katika nyumba wanayo kaa viongozi.
“Hei”
Niliisikia sauti nyuma yangu, ikanifanya nisimame pasipo kugeuka.
“Unakwenda wapi katika jengo la waheshimiwa usiku wote huu”
Sauti ya mtu huyu sio ngeni kabisa masikioni mwangu, ni sauti ya mwalimu wangu aliyekuwa ananipenda kipindi nikiwa ni mwanachama wa hili kundi.
 
“Wezangu wameuwawa, nimekuja kuomba watu zaidi  kuweza kunisaidia katika kulipiza kisasi”
Nilizungumza kwa sauti nyinyine tofauti kabisa na sauti ambayo mwalimu wangu huyu anaifahamu.
“Usinidanganye, geuka kabla sijakupiga risasi”
Mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio huku jasho likianza kunimwagika usoni mwangu, taratibu nikaanza kuwaza ni jinsi gani ninaweza kumtuliza huyu mwalimu.
“Dany nimekufahamu geuka tu”
Mwalimu kulitaja jina langu ndio akazidi kunizidisha woga na wasiwasi mwingi, taratibu nikageuka na kumkuta akiwa amesimama peke yake huku bastola yake akiwa ameielekezea chini.
“Nifwate”
Alizungumza huku akitazama kila eneo la hapa tulipo simama. Tukaongozana hadi kwenye chumba chake, tukaingia ndani na akawasha taa.
 
“Umekuja kufanya nini Dany?”
“Kwanza umenijuaje mwalimu?”
Nilizungumza huku nikivua kitambaa hichi usoni mwangu.
“Hujanijibu swali langu”
“Nimekuja kumchukua Yudia”
“Yudia, mbona una hatari sana?”
“Kwa nini?”
“Yudia analindwa sana kuliko hata Hawa, na Yudia kwa sasa ana cheo kikubwa kuliko Hawa”
“Kisa ni nini cha Hawa kushushwa cheo ikiwa yeye ni mtoto wa mkuu”
“Kisa cha yeye kushushwa cheo na kupokonywa madaraka yote ni wewe Dany”
Nikabaki nikiwa nimekodolea macho mwalimu kwa maana nina kipindi kirefu sana tangu mimi kuondoka katika hii kambi na sijafahamu ni kitu gani Hawa amekifanya na kinacho nihusu mimi hadi kupokonywa madaraka yake na kukabidhiwa Yudia.

==>>ITAENDELEA KESHO

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatatu ya October 22


Waziri Mkuu Aagiza Kubomolewa Kwa Uzio Na Kusitisha Ujenzi

$
0
0
*Ni baada ya kujengwa kwenye eneo la wazi na kuziba barabara

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Mkurugenzi wa jiji la Dodoma, Bw. Godwin Kunambi kubomoa uzio wa mabati uliojengwa kwenye eneo la wazi lililotengwa kwa ajili ya kuchezea watoto na kusitisha mara moja shughuli za ujenzi kwenye eneo hilo.

Uzio huo ambao mbali na kujengwa katika eneo la wazi lililotengwa kwa ajili ya kuchezea watoto kwenye mtaa wa Mji Mpya kata ya Madukani pia umeziba barabara ya tisa, hivyo kusababisha usumbufu mkubwa kwa watumiaji wa barabara hiyo.

Waziri Mkuu ametoa agizo hilo jana (Jumapili, Oktoba 21, 2018) wakati akiwa katika ziara yake ya kikazi jijini Dodoma, ambapo alitembelea eneo hilo na kuagiza libomolewe na lisalie kama inavyoonekana katika ramani na aliyeuziwa atafutiwe eneo lingine.

“Huu mji umejengwa kwa ramani, hamuwezi kubadili ramani kwa lengo la kumpa mtu eneo. Kwa nini mmeziba barabara ya tisa na huu mji unatambulika kwa barabara, sasa bomoeni hapa nataka barabara iendelee kutumika na eneo la kuchezea watoto libaki wazi,”

Waziri Mkuu amemuagiza mkurugenzi wa jiji ahakikishe wanayatumia maeneo ya wazi kwa ajili ya kujenga sehemu za mapumziko ili kuwawezesha wananchi kupata maeneo ya kupumzika mara wanapomaliza kufanya shughuli zao za kikazi.

Amesema ni vema jiji likatenga ardhi na kupima viwanja kwa ajili ya matumizi mbalimbali yakiwemo ya biashara, makazi, taasisi, huduma za jamii, viwanda pamoja na maeneo ya wazi kwa ajili ya mapumziko. “Msifanye makosa kama yaliyofanyika Dar es Salaam.”

Kwa upande wake, Mkuu wa Idara ya Ardhi na Mipangomiji wa jiji la Dodoma, Bw. Joseph Mafulu alimuonyesha Waziri Mkuu ramani ambayo iliyotolewa na iliyokuwa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu Dodoma (CDA) ambayo ilibadilisha matumizi ya eneo hilo na kumpa muwekezaji.

Baada ya Bw. Mafulu kuonesha ramani hiyo Waziri Mkuu alitoa ramani halisi ya jiji la Dodoma ambayo inaonesha eneo hilo ni la wazi na ni mahususi kwa ajili ya michezo ya watoto, hivyo alisisitiza kuwa litumike kama ilivyokusudiwa na si vinginevyo.

Kufuatia hatua hiyo, Waziri Mkuu aliwaonya watumishi wa halmashauri ya jiji la Dodoma kutorudia makosa yaliyofanywa na CDA na kwamba jukumu lao ni kuhakikisha wanayasahihisha makosa yaliyofanywa na mamlaka hiyo ili jiji liweze kupangika vizuri.

Naye Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Bw. Kunambi aliahidi kuyafanyia kazi kikamilifu maelekezo yote yaliyotolewa na Waziri Mkuu na kesho (Jumatatu, Oktoba 22, 2018) ataandika barua kwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mheshimiwa William Lukuvi kwa ajili ya kufuta hati ya eneo hilo na muwekezaji watampa eneo lingine.

Awali,Waziri Mkuu alizungumza na watumishi wa halmashauri ya jiji la Dodoma, ambapo aliwataka wabadilike na wasimamie vizuri rasirimali za umma pamoja na kuwahamasisha na kuwasisitiza wananchi wafanye kazi kwa bidii ili kufikia malengo maendeleo ya Taifa.

 Waziri Mkuu alisema mtumishi asiyeweza kufanya kazi kwa bidii anaweza kupata matatizo kwa sababu Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa Rais Dkt. John Magufuli imedhamiria kuwahudumia wananchi ipasavyo.

 Kadhalika, Waziri Mkuu aliwaagiza wakurugenzi wa halmashauri nchini pamoja na mameneja wasimamie vizuri utendaji kazi wa watumishi mbalimbali katika maeneo yao. Alisisitiza kuwa lazima watumishi wafanye kazi na matokeo yaonekane.

 Pia Waziri Mkuu alifungua ofisi kuu ya kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Makutupora na kisha alitembelea kiwanda cha kusindika zabibu cha Alko Vintage na kukagua uzalishaji wa mvinyo katika kiwanda hicho kilicho jijini Dodoma.

Godbless Lema Aitwa Polisi

$
0
0
Mbunge wa Arusha Mjini kwa Tiketi ya CHADEMA, Godbless Lema ametakiwa kujisalimisha kituo kikuu cha Polisi mkoani humo.

Mhe. Lema kupitia ukurasa wake wa Twitter amesema ametakiwa popote alipo afike polisi kabla ya nguvu kutumika kumsaka.

“Nimepigiwa simu na Polisi kwamba natakiwa kuripoti kituo kikuu cha Polisi Arusha leo bila kukosa, sijaelezwa sababu lakini wito unaonekana kuwa wa lazima sana, lakini nafikiri kupigania haki ndio linaweza kuwa kosa langu kubwa. Msiogope,” ameandika Lema.

Hata hivyo, jana jioni Mbunge huyo aliahidi kutii wito huo huku Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha, Ramadhani Ng’azi akiahidi Kutoa taarifa zaidi Leo.

Polisi Wamuhoji January Makamba Sakata la Mo Dewji Kutekwa

$
0
0
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam jana usiku Oktoba 21, 2018 lilimhoji kwa saa kadhaa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), January Makamba kuhusiana na tukio la kutekwa kwa  mfanyabiashara Mohammed Dewji ‘Mo’.

Kamanda wa Polisi wa kanda hiyo, Lazaro Mambosasa amethibitisha mahojiano hayo na kwamba waziri huyo aliruhusiwa kuondoka baada ya kuhojiwa.

Mo Dewji alitekwa Oktoba 11, 2018 katika Hoteli ya Colosseum alikokwenda kwa ajili ya kufanya mazoezi na kupatikana Oktoba 20 saa nane usiku, baada ya waliomteka kumtelekeza katika viwanja vya Gymkhana, jijini Dar es Salaam.

Makamba ni miongoni mwa watu waliopata taarifa mapema za kupatikana kwa bilionea huyo na kuandika katika mtandao wa kijamii wa Twitter.

Katika ukurasa wa Twitter Makamba aliandika, “Mohammed Dewji amerudi nyumbani salama. Nimezungumza naye kwa simu dakika 30 zilizopita. Sauti yake inaonyesha mzima bukheri wa afya. Shukrani kwa wote kwa dua na sala. Naenda nyumbani kwake kumuona muda huu.”

Mwakyembe Apangua Kauli ya Makonda Akizindua Tamasha La 37 La Sanaa Na Utamaduni Bagamoyo

$
0
0
Waziri wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe amesema Taasisi ya Sanaa Bagamoyo (TaSUba) ni kiwanda cha wasanii na kushauri watu kuacha kukibeza.

Waziri Mwakyembe ameyasema hayo jana  alipokuwa akifungua tamasha la 37 la sanaa na utamaduni Bagamoyo linalotarajia kufikia kilele Oktoba 27.
 
Kauli hiyo ya Mwakyembe inakuja ikiwa ni siku chache tangu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akiwa katika hafla ya msanii wa muziki wa kizazi kipya Diamond (Nasiib Abdul) ya kukutana na wakazi wa Tandale kudai kwamba chuo hicho hajawahi kusikia kimetoa msanii maarufu.
 
Mwakyembe alisema historia ya chuo hicho inaonyesha wasanii wengi waliopikwa hapo wanafanya vizuri ikiwamo nje ya nchi na kuiweka Tanzania katika ramani ya dunia.
 
"Wanaofikiri chuo hiki hakina umuhimu watakuwa wanajidanganya sana, kwani hata hao maofisa sanaa na utamaduni mnaowaona nchi nzima asilimia 95 wametoka hapa na wamekuwa wakiisaidia Serikali kwa kiasi kikubwa.”
 
"Pia watendaji akiwamo Katibu wa Bodi ya Filamu, Joyce Fisoo ambaye amewahi kushinda tuzo mbalimbali za filamu kimataifa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), Godfrey Mngereza ambaye ni mpigaji mzuri wa vyombo vya muziki wametoka hapa,” alisema na kuongeza:
 
"Bado tuna wahadhiri wengi katika vyuo vyetu vikuu ambao wamewapika wasanii wengine, sijui hao supastaa mnaowataka nyie ni wapi?" alihoji Mwakyembe.
 
Alishauri watu kwenda kupata historia ya chuo hicho kabla ya kukinyooshea kidole na utendaji wake na viongozi wa chuo nao kujitahidi kukitangaza ili kuepuka kuwapa watu nafasi kukizungumzia ndivyo sivyo.
 
Akizungumza kuhusu tamasha hilo la utamaduni linalokutanisha nchi 10 zikiwamo za Ulaya, Mwakyembe aliwasihi Watanzania kuhudhuria kwa wingi ili kujifunza tamaduni za watu mbalimbali.
 
Aliwataka wasanii kutumia fursa za warsha zinazotolewa katika kipindi chote cha tamasha hilo kama njia ya kuwasaidia kuboresha kazi zao.

Diamond, Rayvanny na Nandy Washinda tuzo Za African Entertainment Awards USA 2018 Huko Marekani

$
0
0
Muimbaji wa Bongo Flava, Diamond Platnumz ameshinda tuzo mbili za African Entertainment Awards USA 2018 zilizofanyika October 20, New Jersey Nchini Marekani.

Msanii huyo kutokea WCB ameshinda kwenye vipengele vya Best Collaboration Of the Year kupitia wimbo wake uitwao AfricanBeauty ambao amemsjirikisha Omarion kutoka Marekani, pia ameshinda kama Best Male Artist of the Year.

Pia DJ wa Diamond Platnumz, Rommy Jones ameshinda kwenye kipengele cha Best Dj of the Year.

Msanii mwingine kutokea WCB, Rayvanny amefanikiwa Kushinda tuzo hiyo kwenye kipengele cha ya Best Vocalist of the Year. Huku Nandy akishinda kama Best Single Female kupitia wimbo wake uitwao Kivuruge.

Waziri Mkuu Aagiza Mradi Wa Umwagiliaji Mpwayungu Ukaguliwe

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Bilinith Mahenge ampeleke Afisa Kilimo wa mkoa Bw. Bernad Abraham  akakague mradi wa umwagiliaji wa Mpwayungu wilayani Chamwino ili kubaini waliohusika na ubadhilifu wa sh. bilioni 1.2 za mradi huo.

Alitoa agizo hilo jana jioni (Jumamosi, Oktoba 20, 2018) baada ya mbunge wa jimbo Mtera, Livingstone Lusinde kumuomba awasaidie kuhusu upotevu wa sh. bilioni 1.2 zilizotolewa kwa ajili ya mradi wa umwagiliaji ambazo matumizi yake hayajulikani.

Waziri Mkuu ambaye alikuwa katika ziara ya kikazi wilayani Chamwino, Dodoma alipokea ombi hilo la mbunge wakati akizungumza na wananchi wa Tarafa ya Mpwayungu, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha Mpwayungu.

Alisema mara baada ya Afisa Kilimo, Bw. Abraham kukamilisha ukaguzi wa mradi huo wa umwagiliaji apelekewe taarifa ili waliohusika na ubadhilifu wa kiasi hicho cha fedha wachukuliwe hatua kwa mujibu wa sheria.

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu alivunja kamati ya kusimamia huduma maji ya kijiji cha Mpwayungu na alimuagiza Mhandisi wa Maji wa wilaya ya Chamwino Bw. Godfrey Mbabaye aunde kamati mpya.

Waziri Mkuu alichua hatua hiyo baada ya kutoridhishwa na utendaji wa kamati hiyo ambayo ilishindwa kutekeleza majukumu yake ikiwemo ujenzi wa vituo vya kuchotea maji licha ya kukusanya sh. milioni 20 kwa mwezi, mradi huo unavituo vinne tu.

Alisema kitendo cha kamati hiyo kushindwa kuongeza kujenga vituo vingine vya kuchotea maji licha ya kukusanya fedha nyingi kwa mwezi kinasababisha malalamiko kutoka kwa wananchi ambao ndio wanufaika wa mradi huo.

Pia Waziri Mkuu alimuagiza mhandisi huyo aombe taarifa ya akaunti ya benki ya mradi huo ili kubaini katika mfuko wa mradi huo una fedha kiasi na ndipo aunde kamati mpya ya maji ambayo anatakiwa ashirikishe wanawake kwa kuwa wao ndio wahusika wakuu.

Kumvuta Mpenzi Kwa Kutumia Mshumaa

$
0
0

Hii ni mojawapo ya njia za kumvuta mpenzi au kumrudisha mpenzi aliyetoroka au kuchukuliwa na mtu.


Chukua Mshumaa Mweupe, chagua ule ambao utayeyuka upesi kwa sababu utakapouwasha unatakiwa uwe unauangalia mpaka umalizike, usichukue mshumaa utakaowaka kwa masaa 24, Hakikisha mshumaa unakuwa mnene. 


Andaa sehemu utakapofanyia kazi ndani ya chumba.Tandika kitambaa cheupe, andaa sehemu nzuri ya kuweka mshumaa ili usianguke, na uweke chochote kinachomuhusu huyo unayemtaka umdhibiti akiwa mpenzi au bosi wako au yoyote yule. Unaweza kuweka picha yake, nguo yake, nywele zake, kucha, au kitu chake chochote ambacho aidha amekivaa au amekishika.

Mshumaa utakaotumia unatakiwa uandikwe maneno yafuatayo mara tatu, (3) "Mapenzi yako yote yaje kwangu" Maandishi hayo uyaandike kwa kutumia mwiba wa Mti wa Waridi au unaweza kutumia pini.


Kazi hi inatakiwa ifanyike usiku wa kuamkia ljumaa, kuanzia saa sita na dakika moja na kuendelea, na imalizike kabla ya jua halijatoka.


 Weka mshumaa kati kati ya kitamaba cheupe na uuwashe, Katika kipindi ambao mshumaa unawaka unatakiwa uuangalie mshumaa huo huku ukisema kwa sauti ndogo jinsi unavyotaka mapenzi kutoka kwa huyo unayemfanyia kazi au namna utakavyomdhibiti, useme unataka nini kwake. 

Awe vipi kwako. baada ya nusu saa ya kazi hiyo ondoka lala na uwache mshumaa uwake wenyewe mpaka utakapomalizika.

Mshumaa unapokwisha chukua mabaki yake na uyafunge na kitambaa cheupe ambacho ulikikalia wakati ukifanya kazi yako na uyahifadhi mabaki hayo mahala salama ambapo mtu yoyote hatayaona. 


Baada ya hapo toka Nje, elekea Kaskazini na ita jina la unayemkusudia mara saba (7) na urudi ndani bila kuangalia nyuma. 

Matokeo ya kazi hiyo ni kuwa utapata unachokitaka kutoka kwa huyo uliyemkusudia bila kukosa, Mapenzi yanaweza yakawa makubwa sana au yakawa ya kawaida, ila wewe ridhika na mapenzi yake na muonee huruma na uwe mkarimu kwake. 

Ikiwa imetokea hapo baadae wewe ukawa hutaki tena kuwa na huyo uliyemkusudia unaweza ukavunja penzi hilo kwa njia rahisi tu, inategemea na unavyotaka wewe... 

Wasiliana Chief Sultan kwa msaada zaidi +255 769160792

Ndalichako aingilia kati wanafunzi 682 waliofutiwa usajili UDSM

$
0
0
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako, ameagiza wanafunzi 682 walioondolewa katika usajili wa chuo Kikuu cha Dar es Salaam kurudishwa.

Akizungumza jijini Dar es Salaam leo Jumatatu Oktoba 22, muda mfupi baada kufungua mafunzo ya wahasibu yanayoendelea jijini Dar es Salaam Profesa Ndalichako amesema amesikia suala hilo mwishoni mwa wiki na tayari ameshauagiza uongozi wa Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) na uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kukaa pamoja na kumaliza tofauti hizo.

“Chuo Kikuu kina nafasi 3,000 tatizo lilikuwa ni la kiufundi kutokana na wanafunzi wengi kupenda chuo hicho ,hivyo nimeomba uongozi kumaliza tatizo hilo na watoto waweze kupokelewa.

“Wengi wanapenda UDSM na tatizo lilikuwa linaweza kurekebishika na wote ni idara za serikali, TCU na UDSM hawakutakiwa kushindana na ndiyo maana nimewaagiza hadi Jumamosi wawe wamemaliza tofauti zao nafikiri hadi leo saa tisa watakuwa wameshawekana sawa,” amesema Profesa Ndalichako.

PICHA:Godless Lema Kaitikia Wito wa Jeshi la Polisi

$
0
0
Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema leo Jumatatu October 22, ameripoti makao makuu ya Jeshi la Polisi jijini Arusha kama alivyotakiwa kufanya hivyo jana.

Lema amewasili polisi saa 4:55 asubuhi akiwa katika gari aina ya Benzi  na kuegesha gari hilo ndani ya eneo la polisi lakini akatakiwa kuliondoa na kuliegesha nje.

Baada ya kushuka, aliingia polisi akiongozana na Katibu wa Chadema Mkoa wa Arusha, Elisa Mungure, mkewe, Neema na ofisa habari wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Muzeki Joseph.


Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa pekee iliyotibu watu wengi nchini na nje ya nchini kwa kufanya kazi Mara 3 kwa wakati mmoja 1 ...kurefusha uume na kunenepesha saizi upendayo, kuogeza nguvu za kiume na inatibu matatizo , ikisha tibu aina madhara inaimalisha mishipa ilio regea na uzalishaji wa mbegu za kiume. TAHADHARI HAKIKISHA UNA MKE AU    MPENZI. 

NINI HUCHANGIA MATAZO HAYA . Ngiri ni chanzo Kikubwa cha matatizo,haya kujua kwamba una ngiri dalili zake ni 1.kufika haraka kileleni wakati  watendo la ndoa 
2.Kushindwa kulundia tendo la ndoa 
3.Kutoa choo kama cha mbuzi 
4. Tumbo kujaa gesi na kuunguruma 
5 kukosa choo kabisa 
6 Maumbile kuingia ndani na kuwa mafupi 
7 korondani moja kuvimba 
8 kutosikia hamu ya tendo la ndoa
 9 maumivu ya kiuno na mgongo  

Pia tunatibu busha bila kufanyiwa opresheni .Umeachwa na umpendae na bado unamwitaji?

WASILIANA  NA MTALAM  CHALLO 0714 006521. YUPO MBAGALA.

Okoa Ndoa Yako Mke,Mume Na Afya Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Za Asili

$
0
0
Asilimia kubwa ya binadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wengi wamejaribu kutumia tiba sehemu tofauti bila mafanikio na  kukata tamaa hasa kina baba ambao ndoa zao au mahusiano yao na wapenzi wao yapo hatarini kuvunjika kwa sababu Mume hana uwezo wa kumridhisha mpenzi wake 

KWA NINI UJIONE MPWEKE PALE UKUTANAPO NA MKE AU MPENZI WAKO SABABU ETI UNAUPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME AU UUME MDOGO: tumia dawa ya NSENWA POWER ;dawa hii hutibu na kuponesha tatizo la  nguvu za kiume .

1 itakupa uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara tatu 
2 itakupa uwezo kuchelewa kukojoa mda wa dakika 15-20 na kumfanya mpenzi wako naye aridhike 
3 huimalisha misuri iliyo legea na kusinyaa 

JE UNA UUME MFUPI NA MWEMBAMBA : tumia dawa ya MASHESHE NO 2; hii huboresha uume saizi upendayo kuazia urefu wa inch 5,6,7,8 na unene  wa sentumita 2,3,4,5, dawa hizi hazina madhara yeyote kwa mtumiaji hata wazee hutumia na kupona 

MASANZA ni dawa ya vidonda vya tumbo zipo dawa za mvuto wa biashara ,mpenzi,uzazi ngiri,korodani kuvimba miguu. mgongo,kiuno kuuma nk 

MAHALI ILIPO OFISI UNAWEZA UKASHUKIA BUGURUNI MALAPA AU BUGURUNI ROZANA na MWANZA YUPO WAKALA pia unaweza ukaletewa popote ulipo wasiliana nami 0783185060  0752348593 DR AGU

TFF Yatangaza Wajumbe Wapya Kamati Ya Uchaguzi, Nidhamu Na Rufaa Maadili

$
0
0
Kamati ya Utendaji iliyokutana Jumamosi Oktoba 20,2018 Makao Makuu ya TFF Karume, Ilala ilipitia masuala mbalimbali ikiwemo kuchagua wajumbe wa kamati ya Uchaguzi, Kamati ya Nidhamu na Rufaa Maadili.

Pia Kamati ya Utendaji imepitisha tarehe ya Mkutano Mkuu wa TFF wa mwaka. Mkutano huo utafanyika Jijini Arusha Disemba 29,2018

Mkutano huo unafanyika kwa mujibu wa Katiba ya TFF na umepata siku 60 za kutangazwa kabla ya kufanyika

Aidha kikao hicho cha Kamati ya Utendaji kimepitisha mabadiliko madogo kwenye kamati ndogo ndogo za TFF.

Mabadiliko hayo yametokana na baadhi ya Wajumbe kujiuzulu na Wajumbe wengine kukabiliwa na majukumu mengi.

MABADILIKO YA KAMATI ZA  TFF YAPO HAPA CHINI

KAMATI YA UCHAGUZI
1.MALANGWE ALLY -Mwenyekiti
2.Mh . MOHAMED MCHENGELA  -M/Kiti
3.BENJAMINI KARUME   -  Mjumbe
4.MOHAMED GOMBATI  -  Mjumbe
5/HAMISI ZAYUMBA  - Mjumbe

KAMATI YA NIDHAMU
1.KIOMONI  KIBAMBA - Mwenyekiti
2.PETER HELLA - M/Mkiti
3.KASSIM DAU - Mjumbe
4. HANDLEY MATWENGA - Mjumbe
5.  TWAHA MTENGERA - Mjumbe

KAMATI YA RUFAA MAADILI
1.RICHARD MBARUKU - Mwenyekiti
2.THADEUS KARUA  -M/Kiti
3.MH . MUSSA ZUNGU -Mjumbe
4.ASP BENEDICT NYAGABONA-Mjumbe
5.LUGANO HOSEA -Mjumbe
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images