Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Huna Sababu Ya Kuaibikatena............ Jipatie Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Na Mvuto Wa Mapenz

0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0622344969

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 13

0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA

“Mungu wangu, jikaze”   
Nilizungumza huku nikizidi kuchanganyikiwa, nikamnyanyua Camila huku nikiwa nimeshika kiuno chake. Camila akajaribu kupiga hatua mbili mbele ila akashindwa kabisa na kuniomba nimkalishe kwenye kiti cha pembeni, nikamkalisha huku jasho likizidi kunimwagika. Gafla mlango wa chumbani kwangu ukaanza kugongwa, ukarudiwa kugongwa mara ya pili.
“Camila ni mimi mama yako, muda wa kuondoka umefika sasa twende nyumbani”
Sauti ya mama Camila ikatustua sote wawili na kujikuta tukiutazama mlango huku Camila kushangaa sana kwani alikuja yeye mwenyewe, kwa haraka nikakimbilia dirishani, nikaona gari za zikiwa zimeongeka na kuwa tano huku baba Camila akiwa amesimama nje ya moja ya gari huku walinzi wakiwa wameimarisha ulinzi kila sehemu na lengo la kuja hapa ni kuondoka na mtoto wao.

ENDELEA
Ujasiri wote ukanipotea, mwili mzima ukaanza kunitetemeka, nikamtazama Camila nikamuona akijitahidi kunyanyuka kutoka kwenye kiti alicho kikali.
“Camila itakuwaje mpenzi wangu”
Nilizungumza huku jasho likiendelea kuutawala mwili wangu.
“Ngoja”
“Mama nitarudi tu na walinzi?”
“Muda gani mwanangu?”
“Kama baada ya lisaa hivi”
“Ila baba yako ana hitaji kukuona”
“Muambie nitakuja tu mama”
“Sawa, kama umehitaji hivyo, ila hakikisheni munakuwa salama”
“Sawa mama”
 
Tukasikia vishindo vya mama Camila akiondoka katika eneo hili, kwa haraka nikafungua kisehemu kidogo katika mlango huu ambacho humsaidia mtu kuchungulia nje pale kunapo kuwa na mtu ana gonga mlango. Nikamshuhudia mama Camila akimaliza kukunja kona ya kuelekea katika ngazi za kushuka gorofani humu. Taratibu nikashusha pumzi huku nikiuegemea mlango huu.
“Wazazi wangu ni waelewa sana na wana nipenda sana”
“Hata kama Camila, hatujapaswa kufanya jambo kama hili”
“Ethan kumbuka kwamba wewe una ondoka na hisia zangu zinahisi kwamba huwezi kurudi, hivi kweli unahitaji mimi niendelee tu kuvumilia pasipo kukupa haki yako ya msingi”
“Camila ila kila kitu ni umri, kumbuka mimi na wewe hata miaka kumi na kitu hatujafikisha, ila mwenzangu ninaona una jua mambo mengi sana kuliko hata mimi”
 
“Ndio nina fahamu, kwani wewe hupendi mimi nifahamu?”
“Ninapenda, ila tungesubiri?”
“Hembu acha woga wako, njoo unisaidie kuninyanyua.”
Camila alizungumza huku akininyooshea mkono wake wa kulia. Taratibu nikaushika na kumnyanyua, mkono wangu wa kulia nikaupitisha kiunoni mwake, na taratibu tukaanza kutembea kuelekea kwenye mlango wa bafu lililomo humu ndani. Nikamkalisha kwenye sinki la kuogea kisha taratibu nikaanza kufungulia maji yenye uvuguvugu kwa maana kipindi hichi bariki katika nchi hii ya Ujerumani ni kali sana.
“Unajisikiaje?”
 
Nilimuuliza Camila huku nikiweka sabuni ya maji taratibu katika maji haya na kusababisha povu jingi.
“Nikajihisi nyonga zote zinaniwaka moto”
“Ila huu mchezo Camila ulio ufanya sio mzuri kwa umri wetu”
“Ethan nikuulize kitu?”
“Niulize?”
“Hujafurahia mimi kukupa wewe utamu?”
“Hee?”
“Hee nini hujafurahia?”
“Nimefurahi”
“Basi kaa kimya, mimi nitajua nini la kufanya. Na unaenda Uingereza, najua wewe ni mzuri na utakuwa maarufu sana, sasa ole wako nisikie una mwanamke mwengine haki ya Mungu nitamua huyo mwanamke. Sitaki kushirikiana na mwanamke mwengine kwenye penzi langu. Umenielewa Ethan?”
 
Camila alizungumza kwa msisitizo hadi nikapatwa na kigugumizi cha kumjibu.
“Ethan umenielewa?”
“Ndio nimekuelewa”
“Asante”
Tukaendelea kuoga huku akilini mwangu nikijitahidi kumfafanua Camila ili niweze kujua ni mtoto wa kike wa aina gani, ila ninashindwa kupata jibu kabisa. Tukatoka bafuni humu huku Camila nikiwa nimeshika mkono.
“Naomba shuka nikutandikie”
Camila alizungumza huku akitoa shuka hili, nikafungua kabati na kutoa shuka jipya na kumkabidhi, akalikunja kunja shuka hili tulio fanyia mapenzi na kuliweka juu ya kiti.
“Hivi unavyo tembea hivyo kwa kuchechema huogopi ukitoka nje?”
 
“Siwezi kuogopa kwani ni nani wa kuniuliza?”
“Camila mbona una jiamini sana? Wa kukuuliza si wazazi wako, au hao nao hawawezi kukuuliza?”
“Ethan ngoja nikuambie tofauti iliyopo kati ya wazazi wa kizungu na kiafrika. Sisi huku tunalindwa na mahakama, endapo itatokea mazizi akamchapa mtoto au akamfokea kwa ukali sana na mtoto akaenda kumstaki mzazi wake kwenye mahakama hiyo na mtoto akakiri kwamba mama au baba ame nyanyasa, basi mzazi anakabiliwa na kifungu cha jela na mtoto atakuwa chini ya uangalizi wa serikali. Ila kwa jinsi ninavyo fahamu wazazi wa Afrika kutokana na histori tunazo soma kwenye mitando, wao kumchapa mtoto wake na kumfokea ni jambo la kawaida sana na mtoto huwa hana sehemu ya kukimbilia kwenda kustaki”
 
“Ila ni kweli?”
“Ndio maana utakuta watoto wengi wa afrika, wanakuwa si rafiki kwa wazazi, kama ni baba ndio mkali basi watoto wana hamia kwa mama na kama mama ni mkali basi wote wana hamia kwa baba jambo ambalo sio zuri. Wote hupaswa kumuheshimu mtoto wao na kumlindia hisia zake”
“Haya nimekuelewa”
Camila akamaliza kutandika shuka hili kisha akanisogelea shemu nilipo simama huku nikiwa kama nilivyo zaliwa. Akaninyonya midomo yangu kwa sekunde kadhaa kisha mikono yake akaipitisha mabegani mwangu na kuikutanisha nyuma ya shingo yangu.
“Ethan hilo shuka nakuomba ulitunze, alama hiyo ya damu ni ukumbusho tosha wa kukumbua hii siku, ni siku moja kubwa sana kwenye maisha yetu ya mapenzi. Ikumbuke tafadhali mpenzi wangu”
 
“Sawa mpenzi wangu”
Camila akaanza kuvaa nguo zake, kisha nami nikavaa nguo zangu.
“Huo mwendo wako wa kuchechemea hakika una niogopesa”
“Usijali mpenzi wangu, nitajikaza tu”
“Hembu jitahidi kutembea tembea humu ndani basi, ili unipe matumaini”
“Jamani Ethan mbona hupendi kuniamini”
Camila alizungumza huku akianza kutembea katika chumba hichi, japo kidogo anaonyesha ana chechemea, ila akazidi kujikaza na kuzunguka zunguka katika chumba changu. Kutokana ni mimi ni mwana michezo nikamfanyisha mazoezi madogo madogo ambayo kwa jinsi nilivyo weza kuamini akafanikiwa kwa asilimia kadhaa. 
 
“Ukijikaza kutembea hivyo hadi nje kwenye gari basi hakuna ambaye atakustukia kwamba wewe una tatizo”
“Sawa mpenzi wangu”
“Ninakupenda Camila na nimefanya hili tendo kutokana nina kupenda”
“Naamini unajua hisia na moyo wangu vipo wapi. Nakuomba ukajitunze”
“Sawa”
Tukanyonyana midomo yetu kwa dakika kadhaa, kisha tukatoka ndani humu huku nikimfwatilia kwa macho Camila hatu hadi tatua jinsi anavyo tembea. Tukafika sebleni na kumkuta bibi Jane Klopp akisoma moja ya kitabu amacho siku zote nimekuwa nikimuona akikisoma, ila sihitaji kumfwatilia.
 
“Ohoo Camila una kwenda sasa?”
“Ndio bibi”
“Karibu sana na usisite kuja kunitembelea hata kama mpenzi wako atakuwa hayupo”
“Sawa bibi”
Tukatoka nje, Camila akajikaza kutembea hadi kwenye gari lao. Mlinzi akamfungulia mlango na akaingia ndani na walinzi wengine wakaingia ndani ya gari la mbele kisha taratibu wakaanza kuondoka katika eneo hili.
‘Maisha bwana, katoto kadogo kana waamrisha mitu mikubwa’
Nilijikuta nikizungumza huku moyo wangu ukiwa umejawa na furaha, nikaingia sebleni bibi Jane Klopp akaniita wa ishara, nikamfwata hadi sehemu alipo kaa.
 
“Umemfanya nini mtoto wa watu?”
“Mama…….!!!”
“Ndio mimi kwa kukuangalia machoni natambua ni nini ulicho kifanya na huyu binti. Ethan kuwa makini mwanangu, nyinyi bado ni wadogo. Uhuru tulio wapatia tafadhali usiitumie vibaya ume nielewa?”
“Sawa mama nimekuelewa”
“Umemaliza kupanga nguo zako?”
“Ninitamalizia”
“Hakikisha una malizia. Ila muda mwengine Ethan narudia kuwa makini. Huyu ni mjukuu wa mtoto wa raisi, usijitafutie matatizo sawa”
 
“Sawa mama”
Kwa ishara bibi Jane Klopp akaniombe niondoke hapa sebleni, nikarudi chumbani kwangu na kitu cha kwanza nikalichukua shuka hili na kuliweka chini kabisa ya begi langu la nguo nitakalo ondoka nalo. Nikaweka kila kitu changu sawa. Mlango ukagonga, nikafungua na kumkuta Mery akiwa amesimama huku amebeba fuko kubwa.
“Nimekuletea nguo mpya hembu jaribisha”
“Asante dada”
“Usijali”
Nilaanza kujaribisha nguo hizi, kila nguo ambayo amenileta imenikaa mwilini mwangu vizuri na kunipendezesha. “Sasa ukienda huko Uingereza uonekane upo vizuri wewe ni maarufu sasa. Yaani hapa kila ninapo pita watu wananiuliza kweli Ethan ni mdogo wangu.”
 
“Unawajibuje?”
“Khaa ninawaambia ndio nimdogo wangu”
“Hahaaa”
Dada Mery akanisaidia kupanga nguo hizi mpya kwenye begi langu.
“Ethan, tambua kukua kwako kimichezo, usije ukasahau hii familia. Kumbuka kwamba sisi ndio ndugu zako, usije ukajisahau na kutokana na umaarufu ukajikuta ukatukana”
Dada Mery alizungumza kwa sauti ya upole sana huku akinitazmaa usoni mwangu.
“Nimekuelewa na siwezi kufanya hivyo dada?”
“Mungu akatungulie”
“Amen”
 
Tukatoka ndani humu, tukapata kwa pamoja chakula cha usiku kisha tukasali kwa pamoja wote watu wanne na tukarudi kwenye vyumba vyetu. Usiku kucha sikuweza kupata hata lepe la usingizi. Asubuhi na mapema nikaamka, nikaanza kujiandaa kwa safari. Nikatoka nje na kumkuta mzee Klopp naye akiwa tayari amesha jianda kwa kuvalia suti yake nya kijivu ambayo, kitendo cha kuiona moja kwa moja ikaikumbuka ndoti ya ajali ya ndege. Mzee Klopp meno yote thelathini yanaonekana mara baada ya kuniona. Nikamsalimia kwa heshima kubwa sana.
“Ngoja watoke hao wanawake watusindikize hadi uwanja wa ndege”
 
“Sawa baba”
Nilizungumza huku nikiweka begi langu juu ya moja ya meza. Baada ya dakika chache Bi Jane Klopp akatoka humu ndani.
“Mery bado hajatoka?”
Bibi Jane Klopp aliuliza huku akiwa amependeza kwa mavazi yake.
“Ndio mama”
“Nenda kamuite”
Nikapandisha ngazi, nikafika katika chumba cha dada Mery, nikagonga kwa muda huku nikimuita dada Mery jina lake. Dada Mery akaniruhusu kuingia ndani ya chumba hichi. Nikastuka sana mara baada ya kumkuta dada Mery akiwa yupo uchi kama alivyo zaliwa huku akijipaka mafua mwili wake.
 
“Mbona umes tuka?”
“Mmmmm?”
“Njoo ninipake mafuta huku mgongoni”
“Ila dada unge vaa kidogo”
“Nivae kidogo wapi. Njoo au kwa udogo huo unaweza ukanibaka mimi dada yako?”
Nikatingisha kichwa nikiashiri kwamba siwezi kumfanyia kitendo kama hicho.
“Basi njoo unipake.”
 
Huku mwili ukinitetemeka nikaanza kutembea kumfwata dada Mery hadi katika sehemu ya kioo kikubwa. Akaniweka mafuta kiasi kidogo kwenye kiganja changu cha mkono wa kulia, kutokana ni mrefu kiasi, akainama kidogo na kunifanya nizidi kuona kitumbua chake.
Nikaanza kumpaka mafuta hayo taratibu kwenye mgongo wake huku nikianza kuhisi fujo za jogoo wangu jinsi anavyo furukuta ndani ya boksa yangu.
“Jana ulimfanya nini Camila?”
“Ehee?”
“Ethan mdogo wangu niambie ukweli jana ulimfanya nini Camila?”
 
“Sijamfanya chochote?”
“Ethan ni mara ngapi huwa nina kuambia kwamba sipendi uongo?”
“Ni mara nyingi”
“Sasa kwa nini una nidanganya. Hembu niambie ukweli”
Dada Mery alizungumza huku akiushika mkono wangu wa kulia, akakigusisha kiganja changu kwenye kitumbua chake na kuana kikichezesha chezesha. Japo ni baridi kali, ila jasho halikusita kunitoka mwilini mwangu. Dada Mery akafika mbali zaidi mara tu ya kukiingiza kidogo changu cha katikati katika kitumbchake na taratibu akaanza kukikatikia kiuno huku mkono wake mwengine wa kushoto akiupitisha pitisha kichwani mwangu na kunifanya nijawe na hisia kali sana.
 
“Nyinyi NGURUWEEE munafanya nini ndani ya nyumba yangu?”
Tuliisikia sauti ya ukali ya mzee Clopp iliyo nifanya nikurupuke kutoka katika tukio nililo kuwa nina lifanya hadi kuanguka chini huku macho yangu yakimtazama mzee Clopp jinsi alivyo vimba kwa hasia kali kama chui aliye uliwa mwanaye.

==>>ITAENDELEA KESHO

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 112 na 113 )

0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA   

“Alikusaliti kivipi?”           
“Alinichukulia mwanaume wa maisha yangu, alinichukulia mwanaume niliye mpenda. Isitoshe akamuaa mwanaume huyo mbele ya macho yangu”
“Mwanaume huyo ni nani?”
“Ni raisi aliye pita”
“Ina maana K2 alimuua kaka yake?”
“Ndio”
Moyo wangu ukajikuta ukipatwa na ubaridi mkali sana, japo nipo kwenye mateso ila maneno ya Yudia yamezidi kunifanya kumchukia K2 na kuapia nikipata nafasi nyingine nitahakikisha kwamba nitakikata kichwa chake kwa mikono yangu mimi mwenyewe.
   
ENDELEA           
“Ila nilisikia kwamba raisi aliye pita aliugua akashindwa kuiongoza nchi?”
 
“Ndio aliugua kutokana K2 alimuwekea sumu iliyo kuwa ikimua taratibu taratibu na nilikuja kushuhudia akimalizia kwa kumziba uso wake kwa mto”
“Daaa, ninakuomba basi uweze kuniachia, au muachie mke wangu aondoke”
“Dany, mke wako  kwa sasa amesha ingia kwenye mtandao wa kigaidi, akitoka uraiani huyo hata wananchi wa kawaida wanaweza kumua. Na kitu kingine kumbuka kwamba mimi na wewe ni maadui bado japo tunazungumza ila sikuamini, wala mimi najua huwezi kuniamini”
“Hilo la kuaminiana ninaamini kwamba halito kuja kutokea siku hata moja”
Yudia akachomo bastola yake baada ya mzee mmoja akuingia akiwa amebeba laptop aina ya Mac.
“Unahitaji kufanya nini?”
“Halikuhusu, tulia kama ulivyo”
Mzee huyu akamkabidhi Cajoli laptop hiyo, taratibu Yudia akamsogelea Cajoli huku akiwa amemnyooshea bastola ya kichwa.
 
“Unaweza kuhamisha pesa hiyo kwa namba ya benki ambayo nitakupatia”
“Yudia unafika mbali, haufuhamu kwamba hiyo pesa mimi nimeitafuta kwa tabu gani?”
“Dany kelele hili ni kati yangu mimi na Cajoli na kama anahitaji wewe uishi basi akubaliane kwa kile ambacho ninamuhitaji yeye kufanya”
“Tafadhali Yudia ninakuomba hiyo pesa usiichukue, nimepata tabu, nimehangaika miaka yangu yote ili niweze kupata nguvu ya kulipiza kisasi”
Nilizungumza huku machozi yakinilenga lenga usoni mwangu.
“Dany kuzungumza kwa muda mfupi sio kwamba sisi ni marafiki unanisikia. Muda wowote na wakati wowote endapo utajaribu kurudia kufanya ujinga wako wakuzungumza mambo yako ya kijinga, nitahakikisha kwamba mke wako ninamfumua ubongo wake ujue kwamba sina huruma”
“Dany pesa tutatafuta”
 
Cajoli alizungumza huku akijipangusa machozi usoni mwake. Taratibu Cajoli akaanza kuminya minya batani za laptop hiyo, baada ya dakika tano akamgeuzia mzee huyo laptop, taratibu mzee huyo akatingisha kichwa chake huku akimtazama Yudia usoni. Gafla Cajol pasipo kuwa na huruma akamtandika Cajoli risasi ya kichwa, taratibu nikamshuhudia Yudia akianguka chini huku damu nyingi zikimtoka kichwani mwake. Macho yangu yakanitoka, mwili mzima ukaanza kutetemeka kwa hasira kali, Yudia akanigeukia na kunitazama kwa macho ya dharau kisha akatoka ndani ya chumba hichi huku akiwa ameongozana na watu wake. 
 
“CAJOLIIIII”       
Niliita kwa nguvu huku machozi yakinimwagika usoni mwangu, taratibu nikaanza kujisogeza na kiti changu japo ni zoezi gumu, ila nikajikaza hivyo hivyo kuhakikisha kwamba ninamfikia Cajoli mke wangu ambaye tayari emasha poteza maisha.
Gaidi mmoja akanisogele huku akinitazama usoni mwangu, akamtazama Cajoli kisha akatoka katika chumba hichi. Magaidi wote wakatoka katika chumba hichi na kunicha nikiwa na maiti ya mke wangu.
 
‘Yudia nitakuua kifo kibaya sana’   
Nilizungumza huku nikijitahidi kusogea taratibu hadi alipo mke wangu Cajoli. Nikakajiangusha chini na kiti changu, nikabaki nikimtazama kwenye sura yake huku machozi yakiendelea kunimwagika.
“Cajoli nisamehe mke wangu, haya yote yametokea kwa ajili yangu”
Milio ya risasi ikaanza kurindima ndani ya mapango haya jambo lililo nifanya sasa nianze kujaribu kujifungua mikono yangu, ila sikuweza kufanikiwa kutokana na kukazwa sana kwenye hichi kiti. Akaingia gaidi ambaye muda machache alitoka kunitazama, akaanza kukata kamba nilizo fungwa.
“Tumevamiwa na jeshi”
Jamaa alizungumza huku akinifungua kamba zangu kwa nyuma. Akanikabidhi bastola moja huku akinitazama, sikujua ni kwa nini ameamfua kunisaidia.
“Ni wakati wa kuondoka sasa tukiendelea kukaa hapa tutakamatwa na wanajeshi”
Nikamnyooshea bastola huyu jaama huku nikimtazama kwa macho makali usoni.
 
“Wewe ni nani?”   
“Jina langu ninaitwa Stive, nilikuwa mpelelezi chini ya mama yako katika kikosi hichi”
“Mama yangu?”
“Ndio mimi ndio nilikuwa nikimpatia mama yako habari zote na mipango ambayo inaendelea ndani ya kundi hili”
“Kwa nini umeamua kunisaidia?”
“Dany huu sio muda wa kuendelea kuulizana maswali muda wowote hapa tutakuja kukamatwa, na kama unavyo ona tayari siri uliyo kuwa umeifanya imesha gundulika ni muda wa kondoka sasa”
Nikamgeukia Cajoli wangu, taratibu nikapiga magoti chini, kwa nguvu nikamnyanyua na kumuweka begani mwangu kitendo kilicho mdafnya Stive kushangaa.
“Amesha kufa huyo t……..”
Nilimkatisha kwa kumnyooshea bastola ya usoni mwake.
“Huyu ni mke wangu na wala hufahamu ni uchungu gani ambao ninao.”
 
“Sawa mkuu, chukua miwani hii”
Stive akanikabidhi miwani inayo weza kumsaidia mtu kuona katika giza kali. Tukaanza kutoka huku tukikimbia, sikuhitaji kumuangalia mke wangu kwa maana anaweza kunipa simanzi kubwa kwye maisha yangu. Tukaendelea kukimbia kwenye njia ambazo Stive anaonekana kuzifahamu ivuziri.
“Huku tunaelekea wapi?”   
“Tuna mwendo mrefu na tutatokea nchini Kenya”
“Tutatumia msasaa mangapi?”
“Masaa mawili kwa mguu, ila njia hizi zinatisha sana kwa hiyo unatakiwa uwe jasiri”
“Wewe twende tu”
 
Tukaendelea kusonga mbele, huku tukiwaachia kizaa zaa Yudia na watu wake. Sehemu ambayo ilitulazimu kukimbia, inatubidi kukimbia na sehemu iliyo tulazimu kutembea basi ikatubidi kutembea kwa mwendo wa haraka sana huku mwili wa mke wangu nikiendelea kuubeba begani.
“Ilijuana vipi na mama yangu?”
“Mama yako alikuwa ni mwalimu wangu, na hata kuingia kwenye kundi hili la Al-Shabab yeye ndio alihitaji mimi kuingia ili kuweza kufanikisha mipango yake”
“Alikuwa ni mwalimu wa nini?”
“Sayansi na teknolojia, na hicho ndio kitu ambacho kilinifanya niweze kuishia kwenye kundi hili kwa muda wa miaka sita sasa”
“Na mauji dhidi ya mama pamja na ndugu zangu ulilifahamu hilo?”
 
“Nililifahamu baada ya tukio kutokea, tena hii ni baada ya kuanza kupita wiki pasipo mama kuzungumza na mimi, ilinibidi kuanza kufanya uchunguzi wa chini chini hadi nikafanikiwa kuona maiti zao”
Tulizungumza huku tukizidi kusonga mbele, kwa mwendo wa kutembea kwa haraka sana. Tukafika kwenye moja ya majabali yaliyo chungoka vizuri kama viti.
“Ninaomba tupumzike hapa”   
“Hii sehemu sio salama tuzidi kusonga mbele”
Ikanibidi kumbadilisha Cajoli na kumlaza kwenye bega jengine kwa maana hili ninaona linaweza kuvunjika.
“Je baba yangu unamfahamu?”
“Ndio ninamfahamu”
“Vipi kuhusu yeye?”
“Yeye ndio mtu wa kwanza kuuwawa na K2, baada ya hapo ndio ikafwatia familia nzima. Ila kuna kitu kimoja muhimu tukifika nchini Kenya nitakukabidhi, niliambia nikupe wewe na baba yako”
“Kitu gani?”
“Utakifahamu palee tutakapo fanikiwa kufika nchini Kenya”
“Ilikuwaje baba yangu akakukabidhi wewe kitu hicho”
“Ukweli ni kwamba……..”
Stive akaka kimya kwa muda huku tukiendelea kusonga mbele.
 
“Zungumza huo ukweli?”
“Dany ni muda wa kuhakikisha kwamba tunatoka salama kwenye haya mapango, ninakuomba hayo mazungumzo tukayafanyie Kenya”
Tukaendelea kusonga mbele, ikafikia hatua Stive akanisaidia kumbeba Cajoli begani mwake na safari hii ndefu kwa miguu ikazidi kusonga mbele. Tukafanikiwa kutoka nje ya mapango haya salama salimini, sehemu tuliyo tokea ni kwenye msitu mkubwa sana na wenye hewa ya baridi kubwa sana.
“Tuelekee huku”   
Stive aliendele kuzungumza na mimi sikuwa na budi zaidi ya kuendelea kusonga mbele. Tukafika kwenye kijumba kimoja kilicho tengenezwa kwa mbao.
“Karibu nyumbani?”   
“Huyu!!?”
 
“Ndio hapa ndio kwenye maficho yangu”
Stive alizungumza huku akifungua mlango wa chumba hichi. Tartaibu tukaingia ndani huku nikiangaza macho yangu huku na kule. Kajumba haka kana seble moja pamoja na chumba kimoja, tukaingia ndani ya chumba chii, nikaona ngazi zinazo elekea ndani ya chumba hichi. Stive akaendelea kuongoza na kuelekea chini. Aminya swichi ya ukutani na kuziruhusu taa zote zililomo ndani ya chumba hichi kuwaka kwa pamoja. Akaandaa kitanda kidogo, kisha nikamlaza mke wangu Cajoli ambaye ni mda mrefu alisha paukua kutokana na kupoteza maisha. Taratibu Stive akanisogelea na kunishika begani kwa mkono wake wa kulia.
 
“Unatakiwa kuwa jasiri, mkakamavu. Kufariki kwa shemeji iwe ni moja ya changamoto kubwa kwenye maisha yako, kwa maana huyu ni shemeji wa pili kufariki”
Stive alizungumza maneno yaliyo nifanya nianze kumwagikwa na machozi huku nikimtazama Cajoli alivyo lala kwenye hichi kitandani.
 
“Kuna listi kubwa ya watu ambao aliniachia mzee, watu hawa tunatakiwa kuwaondoa kwenye uso wa dunia”
“Hiyo orodha ipo wapi?”
“Ninayo”
Stive akafungua kabati lililopo humu chumbani na kutoa kidabu kidogo cha kuhifadhia kumbukumbu, katika kukitazama vizuri nikaweza kugundua kwamba kitabu hichi nilisha wahi kumuona nacho baba.
“Hichi kitabu mzee alinikabidi na kunipa maelezo kwamba nikupatie wewe, kina maeleo yote ya jinsi ya kuwapata watu hao ambao tunatakiwa kuwaa”
“Inakuwaje kwamba baba anahitaji niwaue watu wake ikiwa mimi pia nina watu wangu ambao ninatakiwa kuweza kuwashuhulikia?”
 
“Kusema kweli siwezi kufahamu, yeye alinipa maelezo hayo wiki chache kabla ya yeye kufariki”
Nikafunua kitabu hichi na kupitisha pitisha macho yangu kwa haraka katika kurasa chache kisha nikakiingiza mfukoni.
“Kwa sasa kichwa changu akipo vizuri, ninahitaki kufanya mazishi ya mke wangu”
“Sawa”
“Ila si unatambua Yudia ni wapi alipo au maficho yake makubwa yanakuwa wapi?”
“Ndio ninafahamu ni wapi maficho yake yalipo kwa maana yeye kwa muda mwingi anapenda kunishirikisha katika mambo yake mengi nikiwa kama mshauri wake”
“Ningeomba kwa sasa unisaidie kumtafuta Yudia, kwa maana ninahitaji kumua kama alivyo mua mke wangu”
“Swala la kumzika shemeji ndio basi tena?”
“Nitamzika baada ya kumliza mauji yangu. Hadi sasa nina maiti mbili za kuzika, moja ipo hospitali ya Bombo mkoani Tanga”
 
“Mmmm, bisi inabidi umchome sindano shemeji ya kuukausha mwili wake”
“Nitaipata wapi kwa muda huu hiyo sindano”
“Mimi ninayo”
Stive akafungua kabati jengine, akatoa kichupa kidogo cha dawa kisha akachukua bomba la sindano. Akaliandaa vizuri kwa kuifunga sindando kisha akavuta dawa ya kutosha.
“Hii dawa inakaa wiki moja kabla ya mwili kuanza kuoza”
“Wiki moja nina imani nitakuwa nimesha maliza kazi yangu”
Stive akanikabidhi sindano iliyo jaa damu, taratibu nikaichoma kwenye mkono wa Cajoli na kuisukuma dawa yote ndani.
“Dani unajua muda ule nilihitaji kuzungumza kitu gani?”
“Zungumza”
“Mimi ni kaka yako wa damu moja”
Maneno ya Stive yakanifanya nimgeukie na kumtazama kwa mshangao sana kwa maana katika kipindi cha kuishi na wazazi wangu wala sikuwahi kusikia kwamba nina kaka zaidi ya kujijua kwamba mimi kwenye familia yangu ndio mtoto wa kwanza.

AISIIIII……….U KILL ME 113 
         
“Hahaa acha kunitania Stive”       
“Trust me Dany, mimi ni kaka yako”
Nitaamini vipi kama wewe ni kaka yangu kwa maana sikuwahi kukusikia ukiongelewa na mtu yoyote kwenye familia yangu”
Stive hakuzungumza chochote, akafungua droo na kutoa laptop, akaiwashana kuiweka mezani akafungua faili moja wapo la video ambayo inamuonyesha baba akiwa akaa kwenye kiti cha ofisini kwake.
 
“Dany ni kwa muda mrefu hii siri mimi na mama yako tuliamua kuificha ili mradi wewe usiweze kufahamu wala mdogo wako Diana asiweze kuligundua hili kw amaana lingeinua chuki katika familia yangu jambo ambalo nilikuwa sihitaji kulisikia wala kuliona linatokea”
Nikasimama vizuri huku nikiwa nimeikunja mikono yangu kifuani mwangu, nikiendelea kutazama video hii.
“Dany nina kaka yako ambaye amekupita miaka miwili. Anaitwa Stive ni miongoni mwa wanamgambo wa kundi la Al-Shabab, mimi na mama yako tuliamua kumpeleka hapo akawe ni mpitisha habari wa kundi hilo kwa maana tuna ndoto kubwa ambazo mimi na mama yako hatutoweza kuzitimiza, hii ni kutokana na kuzungukwa na maadui wengi sana.”
 
“Video hii nitamuachia kaka yako Stive, kwa kupitia hii video utamuamini kwa maana yeye anakufahamu wewe ila wewe akafuhamu, Stive atakuwa kiongozi wa kukufanikisha kutimiza ndoto ya mama yako kuwa raisi”
Nikaminya batani ya kuisimamisha video hii na kumgeukia Stive na kuanza kumtazama kuanzia juu hadi chini, nikarudia kufanya hivyo kwa mara kadhaa kuhakikisha kwamba ninapata japo kitu ambacho kitanifanya nimuamini kwamba ni ndugu yangu japo kwa kufanana.
“Haijaisha bado”   
“Sina haja ya kuendelea kuimaliza”
“Ila Dany unatakiwa kutimiza ndoto ya kuwa raisi”
“Hiyo ndoto sio ya kwangu sawa, aliye kuwa naye amesha kufa na wala sikuwahi kuja kufikiria kwamba ipo siku nitakuja kuwa raisi”
 
“Dany unatakiwa kulifanya hilo”
Stive alizungumza kwa msisitizo huku akinitazama usoni mwangu, taratibu nikamsogelea hadi sehemu alipo simama huku nikiwa nimejawa na hasira kubwa sana moyoni mwangu.
“Hunijui sikujui, siamini kitu alicho kizungumza baba yangu kama unahitaji nisaidie kumtafuta Yudia ila kama huitaji basi nitamtafuta mimi peke yangu. Tumeelewana”
Kwa sauti niliyo izungumza na iliyo jaa msisitizo mkubwa ikamfanya Stive kutingisha kichwa kiwoga.
“Naomba sururu na chepe”   
“Eheee?”
“Umenisikia”
Stive akarudi nyuma hatua kadhaa akatoa chepe na sururu vilivyokuwa nyuma ya moja ya kabati katika hichi chumba, akanikabidhi, nikamtazama Cajoli wangu, machozi yakanimwagika pasipo kuzungumza kitu chochote nikatoka nje ya nyumba hii, nikatafuta sehemu iliyo kaa vizuri na kuanza kuchimba kaburi peke yangu. Jasho lilivyo zidi kunitiririka, ikanilazimu kuvua shati langu na kuendelea kuchimba kaburi hili huku nikiwa na hasira kubwa sana moyoni mwangu.
 
“Yudi ulipo fika ni mbali sana”   
Nilizungumza huku nikiendelea kuchimba kaburi hili, nilipo hakikisha kwamba nimechimba kimo ambacho ninaweza kumlaza mke wangu, nikatoka ndani ya kaburi hili, nikarudi ndani na kumkuta Stive akiwa anaminya minya batani za Laptop yake. Nikamnyanyua Cajoli na kumuweka begani, taratibu Stive na yeye akasimama na kuanza kunifwata kwa nyuma.
Tukafika sehemu ya kaburi taratibu nikamshusha Cajoli na kumlaza chini huku machozi yakinimwagika usoni mwangu na kilio changu chote ninakililia ndani kwa ndani. Taratibu nikausogeza mdomo wangu kwenye kinywa cha Cajoli, nikampiga busu zito lililo dumu kwa dakika tano.
‘Nisamehe mke wangu, sikukusudia mwisho wako uwe hivi. Ninatambua haya yote yametokea kwa ajili yangu, pumzika kwa amani Cajoli wangu’
 
Nilizungumza kimoyo moyo huku nikimtazama Cajoli, taratibu nikashuka kwenye shimo na kumuomba Stive anipatie mwili wa mke wangu, japo ninamzika kwa aibu kubwa na nikinyume na sheria za kidini yangu, ila sina jinsi zaidi ya kufanya hivi. Stive akanipatia mwili wa Cajoli, taratibu nikaupokea na kuulaza chini taratibu. Nikaitazama cheni iliyopo shingoni mwa Cajoli nikaikata na kutoka nje ya kaburi. Nikachuku chepe na kuanza kufukia kaburi kwa hasira kubwa sana. Stive akarudi ndani, baada ya muda akarudi akiwa na chepe. Tukasaidia kufukia kaburi hadi tukafanikiwa tumemaliza.
“Nitahitaji hii sehemu niijengee”
“Kwa leo itashindikana kwa maana hapa sina vifaa vya kujengea”
“Poa”
Nikaondoka katika eneo la kaburi huku nikiwa ninaburuza chepe langu, nikaingia ndani.
“Dany unatakiwa kuoga sasa”   
“Nitaoga, umefanikiwa kumpata Yudia?”
“Ndio nimefanikiwa kupata location aliyopo kupitia satelait”
“Yupo bado Tanzan?”
“Hapana kwa sasa ninamini kwamba anaelekea nchini Somalia”
 
“Itabidi twende leo”
“Dany unatakiwa kupumzika kidogo”
“Nipummzike, mke wangu amekufa kwa ajili yake, kama ni pesa alichukua, inakuwaje amuue mke wangu eheeee”
Nilizungumza kwa kufoka huku nikimtazama Stive usoni mwake.
“Dany kazi kama hizi haziogozwi kwa hasira, ni akili hapa ndio inahitajika kutumiwa sawa, ukikurupuka utaingia tena mikononi mwao”
“Huo ni ujinga na upumbavu unao uzungumza. Kwanza wewe ni nani hadi unizuie kuhusiana na mipango yangu”
“Mimi ni kaka yako na ni mshauri wako na unahitajika kufwata amri nitakayo kuambia”
“Samahani sijakusikia vizuri”
“MIMI NI KAKA YAKO NA UTAFWATA AMRI NITAKAYO KUAMBIA”
Stive alizungumza kwa sauti nzito huku akinisogelea kwa ukaribu sana. Kwa hasira nikamsukuma akapepesuka kidogo, akajaribu kunishika mkono wangu wa kulia, ila nikawahi kuutoa kwenye kiganja chake na kurusha ngumi kwa mkono wa kulio iliyo mpata kichwani mwake na kumfanya awewesuke tena, nikarusha ngumi nyingine mfululizo ila zote Stive akazikwepa.
 
“Dany sihitaji kupambana na wewe na wala sihitaji kukuumiza”
Sikumjibu chochote Stive zaidi ya kuendelea kupambana naye, ila kadri nilivyo jaribu kupambana naye Stive alinikwepa sana na wala hakuhitaji kuipiga ngumi yoyote mwilini mwangu.
“Dany tulia sihitaji kukuumiza tafadhali”   
Stive alizungumza huku akijaribu kunishika, mikono yangu, nikamtandika kichwa cha pua na kumfanya aishike pua yake. Gafla nikastukia akinipiga teke moja la shingo, lililo nifanya nianguke chini na giza kali likatawala kwenye macho yangu.
                                                                                                       ***
“Cajoli”   
Nilikurupuka usingizini huku nikihema sana, jasho jingi linanimwagika mwilini mwangu. Nikamtazama Stive aliye simama pembeni yangu. Ukimya ukatawala kati kati yetu huku kwa mara kadhaa tukiwa tunatazamana pasipo kuzungumza chochote.
“Nikuletee chai”   
“Kwani ni saa ngapi muda huu?”
“Ni saa kumi na mbili alfajiri”
”Imekuwaje hadi nimelala muda wote huo”
“Hilo sio jambo la kulizungumzia kwa wakati huu. Nimepanga safari ya sisi kuelekea Somalia kuhakikisha tunatoa hukuma kwa wale wote ambao wamesababisha maumivu ya mioyo yetu”
“Umepata ni sehemu gani alipo Yudia?”
“Ndio sehemi hiyo sio ngeni kwako, kwa maana ulisha fika”
“Una maana ni kambi ya Al-Shabab?”
 
“Ndio ni kwenye kambi hiyo na hapo ndipo Yudia alipo”
“Sawa kazi nzuri Stive”
“Ingia bafuni humo, oga njoo unywe chai.”
Stive alizungumza huku akinitupia taulo, akatoka chumbani na kuniacha peke yangu, nikaingia bafuni nikavua suruali niliyo lala nayo na kuanza kuoga. Kila ninapo jaribu kuyafumba macho yangu ninahisi kuiona sura ya Cajoli, jambo lililo nifanya nianze kujisikia vibaya moyoni mwangu.
Nikatoka bafani huku nikiwa nimejifunga taulo, nikaeleka katika chumba kilichopo chini ya aridhi na kukuta ngo za polisi wa nchini Kenya.
 
“Chuku nguo zako hizo utavaa, tutatumia usafiri wa gari  la polisi kuhakikisha kwamba tunapitoka ndani ya nchi ya Kenya pasipo wewe kustukiwa na mtu yoyote”
“Somali je?”
“Huko napo nitakueleza ni nini cha kufanya cha muhimu ni kuhakikisha kwamba tunatoka ndani ya Kenya salama salami”
Sikuwa na maswali lolote zaidi ya kuchukua nguo hizi na kuzivaa. Nikavaa buti za polisi pamoja na kofia. Kisha Stive naye akavaa nguo zake, tukajiandaa vya kutosha na kila mtu kwenye shati lake ana tumia jina tofauti huku mimi nikitumia jina la sajenti Ulolo David nay eye akitumia jina la Koplo Celvin Orig.
“Kuna gari lipo nyuma ya nyumba, ni gari la polisi, hakikisha kiswahili tunacho kitumia kitafanana kabisa na Kiswahili cha Kenya”
 
“Hicho Kiswahili cha Nyanya ndio bibi?”
“Hicho hicho. Kumbuka kwamba hii kazi tunayo iendeea hatuendi kusalimia mtu, ila tunakwenda kumua mtu, sasa wewe ule ugonjwa wako wa kuonyeshwa kum** na mwanamke na ukajisahau sinto hitaji kuusikia”
“Sawa”
“Chai kwanza ndio tuondoke”
Tuikaka mezani na kupata kifungua kinywa, tuakamaliza kwa mapamoja, kila kitu cha maandalizi ya kazi Stive alisha kiandaa na kukiweka kwenye begi. Tukatoka ndani ya yumba, moja kwa moja tukaelekea hadi lilipo kaburi la Cajoli, taratibu nikachuchumaa.
 
“Baby ninakwenda kufinya hii kazi, ninakuomba uniombee huko nilipo, siku si nyingi nitakuja huko ulipo”
Macho yakanilenga lenga, kusema kweli kifo cha Cajoli kinaniuma kupita maelezo kwa maana ninajiona kama mimi ndio chanzo kikubwa sana na laiti ingekuwa si mimi kukubali kumuhusisha kwenye matatizo yangu wala leo asinge kuwa ndani ya hili kaburi. Honi ya gari ikanistua na kunitoa kwenye dimbwi kubwa la mawazo, kwa ishara Stive akaniita ili tuondoke katika hili eneo. Nikanayanyuka taratibu huku nikiwa na mawazo mengi sana, nikaingia kwenye gari na taratibu tukaondoka katika eneo hili.
“Hivi ni vitambulisho vyote ni feki ila ni original”
Ni feki na ni original ndio lugha gani?”
“Kwani majina yaliyopo kwenye mashati yetu ni majina yetu ya kuzaliwa?”
“Poa umeshinda”
“Una muda gani na mkeo?”
“Wiki sasa”
 
“Hahaah one week ndio inakufanya ulie namna hiyo kwa ajili ya huyo mwanamke?”
“Stive katika hilo ninakuomba usiningiilie”
“Hilo ndio tatizo lako mdogo wangu, mama wewe si alikuagiza kichwa cha K2, hadi leo kipo wapi?”
Stive alizungumza huku akiongeza mwendo kasi wa gari.
“Dany sasa hivi moyo wako ninahitaji usipende, ninahitaji moyo wako uwe ni mgumu, yupo wapi mkeo, yupo wapi mwanao. Ukiwa unafanya kazi hii unatakiwa swala la kujenga familia uliweke kando kwa maana kupitia familia yako adui zako wanaweza kukuyumbisha kama alivyo fanya Mariam”
Jina la Mariam nilipo lisikia masikioni mwangu, taratibu nikajikuta na yeye nikimuweka kwenye mabano na kuzidi kuapia kwamba nikifika nchini Somalia ni lazima nitamuangamiza Mariam na mama yake.

==>>ITAENDELEA KESHO

PICHA: Muonekano wa Ndani wa Gari Lililomteka Mo Dewji.........Watekaji Walitaka Kulichoma Moto

0
0
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, amesema watu wanaodaiwa kumteka mfanyabiashara Mohammed Dewji, walitaka kulichoma moto gari lililotumika kumteka mfanyabiashara huyo mara baada ya kulitelekeza eneo la Gymkhana

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es salaam leo, IGP Simon Sirro amesema kupitia jeshi hilo limefanikiwa kukamata silaha 4 ziliyokuwa na risasi nyingi na zimekutwa ndani ya gari hiyo ambayo inadaiwa kumteka mfanyabaishara Mo Dewji.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumapili ya October 21

John Heche Alaani Kitendo cha Wanachama wa CHADEMA Kukamatwa Wakiwa Lodge

0
0
Mbunge wa Tarime Vijijini kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, amelalamikia hatua ya jeshi polisi wilayani bariadi kuzuia mkutano wa ndani wa chama hicho ambao ulilenga kutoa mafunzo kwa wanachama wake kuelekea uchaguzi.

Kwa mujibu John Heche amesema chama hicho kinaendesha mafunzo kwa wanachama wake ambao wataenda kusimamia suala la uchaguzi kwenye ngazi ya msingi hivyo wamehuzunishwa na jeshi la polisi kuzuia mkutano wao licha ya kuwa wameshatumia gharama kuandaa.

"Sisi tuna uchaguzi ndani ya chama chetu kwa hiyo tunatoa mafunzo kwa viongozi wetu wa kanda mbili za Viktoria na kanda Serengeti ni jinsi gani wanaenda kutoa mafunzo ya kusimamia uchaguzi wilayani, lakini ghafla  watu wetu wa mafunzo wamefika wamezuiliwa." Amesema John Heche

"Mkuu wa wilaya kaitisha mkutano, kasema haitaki kuiona CHADEMA wilayani kwake, lakini jana akaenda kukamata baadhi ya wanachama wetu waliokuwa wamelala lodge pamoja na wamiliki kwa sababu gani wameruhusu wanachama wetu kulala kwenye lodge, lakini kiujumla ni vikao vya ndani ambavyo Rais ameruhusu." Ameongeza John Heche.

Waziri Mkuu Atoa Siku 25 Kwa Watumishi Chamwino.....Ni wale washio nje ya kituo, wawe wamehamia ifikapo Desemba 15

0
0

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwaametoa siku 25 kwa watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Chamwino wanaoishi nje ya kituo chao cha kazi wawe wamehamia.

 Pia amemkabidhi Mkuu wa wilaya hiyo Bibi Vumilia Nyamoga orodha ya watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Chamwino ambao wanaishi nje ya kituo cha kazi kwa hatua zaidi.

 Waziri Mkuu ametoa agizo hilo jana (Jumamosi, Oktoba 20, 2018) wakati akizungumza na watumishi wa halmashauri ya wilaya na ofisi ya mkuu wa wilaya ya Chamwino.

 “Ifikapo Desemba 15 mwaka huu watumishi wote wawe wamehamia katika kituo chao cha kazi. Sheria ya utumishi inamtaka mtumishi aishi katika maeneo ya kituo cha kazi.”

 Waziri Mkuu amesema lazima watumishi wote wa umma wafuate sheria, kanuni na taratibu za utumishi na atakayeshindwa kuhamia atakuwa amejiondoa kwenye utumishi.

 Kadhalika, Waziri Mkuu amewataka watumishi wa halmashauri hiyo kwa kushirikiana na wakuu wa idara na madiwani watambue vyanzo vyote vya mapato.

 Amesema baada ya kuvitambua wasimamie utaratibu wa ukusanyaji kwa njia ya kielekroniki ili kuiwezesha halmashauri kupanga miradi na kuitekeleza kupitia fedha za ndani.

 Pia Waziri Mkuu amekagua barabara za mitaa katika mji wa Chamwino zenye urefu wa kilomita 3.5 zinazojengwa kwa kiwango cha lami na kuweka jiwe la msingi la ujenzi huo.

 Baada ya kukagua barabara hizo, Waziri Mkuu alikagua ujenzi wa miundombinu ya majengo ya kituo cha Chamwino na kisha kuzungumza na wananchi waliofika  kituoni hapo.

Mwanamke Ajifungua mfuko wa Rambo wenye takataka

0
0
Sara Daniel (22), mkazi wa kijiji cha Bulego, Ngara mkoani Kagera, amezua taharuki kwa wananchi, baada ya kujifungua mfuko wa rambo wenye takataka.

Tukio hilo la aina yake limemkuta mwanamke huyo mara nne mfululizo katika kipindi cha mwezi huu, licha ya ujauzito alioubeba wa miezi minane sasa.

Tukio hilo lilitokea Oktoba 12, mwaka huu, nyumbani kwao katika kitongoji cha Kigona, mara baada ya mwanamke huyo kusikia uchungu na kujifungua.

Akisimulia mkasa huo, mume wa mwanamke huyo, Josia Philemon, alisema kabla ya siku ya tukio hilo Oktoba 5, mwaka huu, mke wake alilalamika kusikia uchungu.

Philemon alisema baada ya hapo, alijifungua mfuko wa rambo wenye taka na siku mbili zilizofuata, hali hiyo ilijirudia tena kwa kujifungua mifuko yenye taka, hali iliyowalazimu kumpeleka hospitalini.

"Aliamka siku ya Jumapili tena akadai anasikia vichomi sana tumboni. Wakati tunasema tujiande kwenda hospitalini, alianza kusikia maumivu kama ya uchungu na muda mfupi baadaye, alijifungua mfuko huo wa rambo mweusi," alisema.

Philemon alisema baada ya kujifungua mfuko wa rambo kwa mara ya tatu, waliuchana ili wajue ndani yake kuna nini ndipo walipokuta mkaa, vibao, mawe, msumari, jivu na majani ya mgomba.

"Baada ya kuona vitu hivyo tuliamua kumpeleka hospitalini ambako daktari alihitaji kuviona, tukarudi kuchukua tukampelekea akaona," alisema.

Pia alisema baada ya daktari kumfanyia vipimo walibaini kuwa mimba yake ipo na ilikuwa ikiendelea vizuri.

"Walimlaza kwa siku tatu ili kuangalia hali yake inaendeleaje na walipoona anaendelea vizuri walimruhusu kurudi nyumbani," alisema Philemon.

Kwa mujibu wa mume huyo, baada ya kurudi nyumbani Oktoba 12, mwaka huu, tukio hilo lilijirudia na mke wake alijifungua tena mfuko mweusi wa rambo wenye takataka.

Alitaja vitu walivyokuta ndani kuwa ni karatasi iliyoandikwa kuwa 'mchawi ameshindwa', msumbari wa inchi tatu, noti ya fedha ya zamani iliyoandikwa East Afrika (Afrika Mashariki) ambayo pia imetobolewa.

Alisema vitu vingine vilivyokutwa ni miti miwili iliyofungwa kwa kamba za maji, vigae vya chungu, mikaa, chumvi na majivu.

Philemon alisema ndoa yao ina miaka mitatu na tayari wana mtoto mmoja na mimba ya pili ya mke wake iliharibika kabla ya kubeba hiyo ya tatu yenye mauza uza.

Alisema anampenda sana mke wake na hayuko tayari kumuacha kwa sababu za mauza uza hayo na kumtaka anayehusika na tukio hilo awasamehe kwa kuwa hakumbuki kama kuna kitu kibaya aliwahi kumfanyia mtu.

"Naomba kama kuna mtu nimemkosea kwa namna yoyote ile anisamehe. Najua hakuna mtu anayenidai na kama ananidai mimi sijui, aje aniambie tu nimlipe hata kama sina hela, nipo tayari kwenda kumlimia shamba lake, kuliko kuendelea kumtesa mke wangu hivi," alisema Philemon.

Kwa upande wake, Sara alisema tangu amebeba ujauzito huo, amekuwa akipatwa na mauzauza ambayo haelewi chanzo chake.

Alisema amekuwa akisikia maumivu ya tumbo yanayoambatana na uchungu na baadae kujifungua.

"Nimekuwa nikisikia dalili za uchungu mara kwa mara na nguvu zikiniishia na nikijifungua nazaa mfuko wa rambo wenye takataka,"alisema Sara.

Kwa upande wake, Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Murugwanza, Lemi Andrew, ambako alipelekwa mama hiyo, alisema baada ya kumpokea alimpima na kubaini bado ana ujauzito wa miezi nane na kwamba hana tatizo lolote la kuuhatarisha.

Alisema walimpa ushauri na kumruhusu arudi nyumbani na endelee na ratiba zake za kwenda kliniki na inapotokea amepata tatizo lolote aende hospitali iliyokaribu.

Mganga huyo alitaja vitu alivyovishuhudia kuwa ni majani ya mgomba, makasha ya konokono, mawe na waya.

Credit:Nipashe

Waziri Mkuu Aagiza Mradi Wa Umwagiliaji Mpwayungu Ukaguliwe

0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Bilinith Mahenge ampeleke Afisa Kilimo wa mkoa Bw. Bernad Abraham  akakague mradi wa umwagiliaji wa Mpwayungu wilayani Chamwino ili kubaini waliohusika na ubadhilifu wa sh. bilioni 1.2 za mradi huo.

Alitoa agizo hilo jana jioni (Jumamosi, Oktoba 20, 2018) baada ya mbunge wa jimbo Mtera, Livingstone Lusinde kumuomba awasaidie kuhusu upotevu wa sh. bilioni 1.2 zilizotolewa kwa ajili ya mradi wa umwagiliaji ambazo matumizi yake hayajulikani.

Waziri Mkuu ambaye alikuwa katika ziara ya kikazi wilayani Chamwino, Dodoma alipokea ombi hilo la mbunge wakati akizungumza na wananchi wa Tarafa ya Mpwayungu, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha Mpwayungu.

Alisema mara baada ya Afisa Kilimo, Bw. Abraham kukamilisha ukaguzi wa mradi huo wa umwagiliaji apelekewe taarifa ili waliohusika na ubadhilifu wa kiasi hicho cha fedha wachukuliwe hatua kwa mujibu wa sheria.

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu alivunja kamati ya kusimamia huduma maji ya kijiji cha Mpwayungu na alimuagiza Mhandisi wa Maji wa wilaya ya Chamwino Bw. Godfrey Mbabaye aunde kamati mpya.

Waziri Mkuu alichua hatua hiyo baada ya kutoridhishwa na utendaji wa kamati hiyo ambayo ilishindwa kutekeleza majukumu yake ikiwemo ujenzi wa vituo vya kuchotea maji licha ya kukusanya sh. milioni 20 kwa mwezi, mradi huo unavituo vinne tu.

Alisema kitendo cha kamati hiyo kushindwa kuongeza kujenga vituo vingine vya kuchotea maji licha ya kukusanya fedha nyingi kwa mwezi kinasababisha malalamiko kutoka kwa wananchi ambao ndio wanufaika wa mradi huo.

Pia Waziri Mkuu alimuagiza mhandisi huyo aombe taarifa ya akaunti ya benki ya mradi huo ili kubaini katika mfuko wa mradi huo una fedha kiasi na ndipo aunde kamati mpya ya maji ambayo anatakiwa ashirikishe wanawake kwa kuwa wao ndio wahusika wakuu.

oung Killer aondoka Wanene Entertainment

0
0
Msanii wa hip hop Bongo, Young Killer ameweka wazi kuwa mtataba na lebo yake ya Wanene Entertainement umemalizika.

Rapper huyo ameeleza kuwa mkataba wao ulikuwa wa miezi sita na sasa umeisha na hawezi kuendelea nao. Kupitia ukurasa wake wa Instagram Young Killer ameandika;

"Napenda kuwashukuru Wanene Studios Kwa kuniamini na kupiga kazi pamoja na mimi kwa muda wa mkataba wa kipind cha miezi 6 ambacho tumepiga kazi. Ambapo mkataba wetu umeisha rasmi na sitoweza kuendelea

 "Nashukuru sana kwa kazi nzuri tulizoshirikiana kufanya kwa kipindi chote cha mkataba ambacho tulikuwa pamoja, tulifanya kazi pamoja na lengo letu lilikuwa nikuona mimi nafika mbali zaidi. Nimepitia vitu vingi sana changamoto nyingi sana. Yote kwa yote napenda kusema nimejifunza vingi ambavyo vitabaki kua kama alama ambayo itaniongoza kwenye safari yangu nyingine."

Utakumbuka kuwa Young Killer alisaini kuwa chini ya lebo ya Wanene April 13, 2018 na kutoa wimbo wake wa kwanza uitwao Shots ambao amemshirikisha Khaligraph Jones kutokea nchini Kenya.

Kumvuta Mpenzi Kwa Kutumia Mshumaa

0
0

Hii ni mojawapo ya njia za kumvuta mpenzi au kumrudisha mpenzi aliyetoroka au kuchukuliwa na mtu.


Chukua Mshumaa Mweupe, chagua ule ambao utayeyuka upesi kwa sababu utakapouwasha unatakiwa uwe unauangalia mpaka umalizike, usichukue mshumaa utakaowaka kwa masaa 24, Hakikisha mshumaa unakuwa mnene. 


Andaa sehemu utakapofanyia kazi ndani ya chumba.Tandika kitambaa cheupe, andaa sehemu nzuri ya kuweka mshumaa ili usianguke, na uweke chochote kinachomuhusu huyo unayemtaka umdhibiti akiwa mpenzi au bosi wako au yoyote yule. Unaweza kuweka picha yake, nguo yake, nywele zake, kucha, au kitu chake chochote ambacho aidha amekivaa au amekishika.

Mshumaa utakaotumia unatakiwa uandikwe maneno yafuatayo mara tatu, (3) "Mapenzi yako yote yaje kwangu" Maandishi hayo uyaandike kwa kutumia mwiba wa Mti wa Waridi au unaweza kutumia pini.


Kazi hi inatakiwa ifanyike usiku wa kuamkia ljumaa, kuanzia saa sita na dakika moja na kuendelea, na imalizike kabla ya jua halijatoka.


 Weka mshumaa kati kati ya kitamaba cheupe na uuwashe, Katika kipindi ambao mshumaa unawaka unatakiwa uuangalie mshumaa huo huku ukisema kwa sauti ndogo jinsi unavyotaka mapenzi kutoka kwa huyo unayemfanyia kazi au namna utakavyomdhibiti, useme unataka nini kwake. 

Awe vipi kwako. baada ya nusu saa ya kazi hiyo ondoka lala na uwache mshumaa uwake wenyewe mpaka utakapomalizika.

Mshumaa unapokwisha chukua mabaki yake na uyafunge na kitambaa cheupe ambacho ulikikalia wakati ukifanya kazi yako na uyahifadhi mabaki hayo mahala salama ambapo mtu yoyote hatayaona. 


Baada ya hapo toka Nje, elekea Kaskazini na ita jina la unayemkusudia mara saba (7) na urudi ndani bila kuangalia nyuma. 

Matokeo ya kazi hiyo ni kuwa utapata unachokitaka kutoka kwa huyo uliyemkusudia bila kukosa, Mapenzi yanaweza yakawa makubwa sana au yakawa ya kawaida, ila wewe ridhika na mapenzi yake na muonee huruma na uwe mkarimu kwake. 

Ikiwa imetokea hapo baadae wewe ukawa hutaki tena kuwa na huyo uliyemkusudia unaweza ukavunja penzi hilo kwa njia rahisi tu, inategemea na unavyotaka wewe... 

Wasiliana Chief Sultan kwa msaada zaidi +255 769160792

Wimbo Mpya: Kassim Mganga ft.Nandy & Fid Q - InBobo

0
0
Msanii wa Cassim Mganga anakukaribisha kusikiliza wimbo wake mpya uitwao InBobo ambao amewashirikisha Nandy na Fid Q. Usikilize hapa.

Lulu Michael Karudi UPYA Ndani ya Bongo Movie

0
0
Msanii wa Filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ yupo locationi kwa ajili ya kuandaa movie mpya ambayo haijajulikana ni lini hasa itatoka.

Aliyefichua hilo ni mchumba wa Lulu, Majizzo ambaye amepostu picha ya Lulu kwenye ukurasa wake wa Instagram na kusindikizia na caption iliyomeka;  Back to business Elizabeth Michael'

Novemba 13, 2017 muigizaji wa filamu Bongo, Lulu alihukumiwa kifungo cha miaka miwili jela baada ya kukutwa na hatia ya kumuua aliyekuwa muigizaji mwenzake Steven Kanumba bila kukusudia.

Utakumbuka kifo cha Kanumba kilitokea April 04, 2012 na mwaka huo alifunguliwa mashkata na hukumu ikaja kutoka 2017.

Usiku wa May 13, 2018 ziliaza kusambaa taarifa mtandaoni kuwa Lulu yupo uraiani, siku iliyofuata mamlaka husika zilithibitisha kuwa Lulu ametoka kwa msamaha wa Rais Magufuli. Hivyo baada ya hayo yote Lulu anarejea tena kwenye filamu kwa kufungua ukurasa mpya.

Okoa Ndoa Yako Mke,Mume Na Afya Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Za Asili

0
0
Asilimia kubwa ya binadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wengi wamejaribu kutumia tiba sehemu tofauti bila mafanikio na  kukata tamaa hasa kina baba ambao ndoa zao au mahusiano yao na wapenzi wao yapo hatarini kuvunjika kwa sababu Mume hana uwezo wa kumridhisha mpenzi wake 

KWA NINI UJIONE MPWEKE PALE UKUTANAPO NA MKE AU MPENZI WAKO SABABU ETI UNAUPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME AU UUME MDOGO: tumia dawa ya NSENWA POWER ;dawa hii hutibu na kuponesha tatizo la  nguvu za kiume .

1 itakupa uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara tatu 
2 itakupa uwezo kuchelewa kukojoa mda wa dakika 15-20 na kumfanya mpenzi wako naye aridhike 
3 huimalisha misuri iliyo legea na kusinyaa 

JE UNA UUME MFUPI NA MWEMBAMBA : tumia dawa ya MASHESHE NO 2; hii huboresha uume saizi upendayo kuazia urefu wa inch 5,6,7,8 na unene  wa sentumita 2,3,4,5, dawa hizi hazina madhara yeyote kwa mtumiaji hata wazee hutumia na kupona 

MASANZA ni dawa ya vidonda vya tumbo zipo dawa za mvuto wa biashara ,mpenzi,uzazi ngiri,korodani kuvimba miguu. mgongo,kiuno kuuma nk 

MAHALI ILIPO OFISI UNAWEZA UKASHUKIA BUGURUNI MALAPA AU BUGURUNI ROZANA na MWANZA YUPO WAKALA pia unaweza ukaletewa popote ulipo wasiliana nami 0783185060  0752348593 DR AGU

Video Mpya: Morgan Heritage ft. Diamond Platnumz & Stonebwoy - Africa x Jamaica

0
0
Kundi la muziki wa reggae kutoka nchini Jamaica limeachia video ya wimbo wao mpya uitwao Africa x Jamaica  ambao wamewashirikisha Diamond Platnumz na  Stonebwoy. Itazame hapa.

VIDEO MPYA | KAREN - WASHA

0
0
Msanii wa muziki Bongo, Karen ameachia video ya wimbo wake mpya uitwao Washa . Itazame hapa.

Video Mpya: Barakah The Prince - Furaha

0
0
Itazame Hapa Video mpya ya msanii Baraka Da Prince iitwayo Furaha

Wimbo Mpya: Harmonize ft. Professor Jay - Yatapita

0
0
Msanii wa muziki Bongo, Professaor Jay ameachia video ya wimbo wake mpya uitwao Yatapita ambao amemshirikisha Harmonize. Itazame hapa.

Sakata la Mo Dewji Lamuibua Askofu Gwajima

0
0
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amewataka waumini wa kanisa hilo kuendelea kuliombea Taifa kwa sababu Mungu anasikiliza maombi yao ikiwamo kupatikana kwa mfanyabiashara maarufu nchini, Mohammed Dewji ‘Mo’ ambaye alikuwa ametekwa.

Askofu Gwajima aliyasema hayo leo jijini Dar es Salaam wakati wa ibada iliyohudhuriwa na mamia ya waumini katika kanisa lake.

Alisema wiki iliyopita walimwombea Mo Dewji kama ambavyo wamekuwa wakiliombea Taifa na viongozi wake na kama walivyoomba wakati wa mauaji ya watu Kibiti mkoani Pwani.

"Tuendelee kuwa watiifu katika kuliombea  Taifa letu. Mungu wetu anasikia," alisema Askofu Gwajima huku waumini wake wakipiga makofi na kushangilia.

Kanisa la Ufufuo na Uzima ni miongoni mwa makanisa yaliyofanya ibada wiki iliyopita kumwombea Mo Dewji apatikane akiwa salama baada ya kutekwa na watu wasiojulikana alfajiri ya Oktoba 11 katika Hoteli ya Colloseum jijini Dar es Salaam na jana Jumamosi bilionea huyo alipatikana baada ya kutelekezwa viwanja vya Gymkana.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images