Mume wa Jack Patrick akiwa na Salha Israel.
**********
Mume (bado talaka) wa mwanamitindo maarufu Bongo
ambaye kwa sasa yuko korokoroni Macau nchini China kwa msala wa
kukamatwa na unga, Jacqueline Fitzpatrick Cliff, Abdulatif Fundikira
‘Tifu’ anadaiwa kumnasa kimahaba Miss Tanzania 2011, Salha Israel.
Kwa mujibu wa rafiki wa karibu wa Tifu, wawili hao hivi sasa wako
kwenye ‘
Mume wa Jack Patrick alinasa penzi la Miss Tanzania 2011, Salha Israel.
↧
↧
Magazeti ya leo Jumatatu ya tarehe 5 April 2014
↧
SMS za Ngono za Lulu zanaswa....Alikuwa akimtumia kigogo mume wa mtu, Mke azinasa na kuziweka hadharani..."Mimi nina utumbo, we njoo na ndizi, love youu"
"Ni muda mrefu nimekuwa nikifuatilia mienendo ya mume wangu kutokana na tabia yake kubadilika sana siku za hivi karibuni, nikabaini kuwa kuna msichana anawasiliana naye kwa kutumiana meseji za mapenzi, sikuwa na haraka nikaamua kufanya uchunguzi wangu kimyakimya"
"Wiki iliyopita mume wangu akiwa amekwenda kuoga akasahau kuzima simu yake,na siyo
↧
Siri yafichuka : Juma Nature na Jokate Mwegelo wanatafuta Kick....Lengo ladaiwa ni kupandisha chati kandambili za Jokate
Mgogoro unaodaiwa kuwepo kati ya Juma Nature na Jokate Mwegelo inasemekana ni kamba za mchana na kwamba hilo ni dili linachezwa na wawili hao ili kupandisha chati kandambili za Jokate....
Hivi karibuni Nature alidai kufurahishwa na Jokate kuiga wazo la kutengeneza kandambili zenye jina na sura yake, huku akidai kuwa angekuwa ni mwanaume
↧
Mganga wa Diamond atoboa siri nzito juu ya tuzo 7 za Kili Music Awards 2014 alizopewa msanii huyo
Yule mganga maarufu wa mastaa nchini ambaye aliwahi kutangaza kuwa amekuwa na ukaribu na mwanamuziki Diamond ameibuka na kusema kuwa tuzo hizo saba alizozipata zinamaana kubwa sana kwenye kazi zake anazozifanya.
Akiongea na gazeti la Makani Bongo kwa njia ya simu( 0788844490) toka Mwanza alikoalikwa na wananchi wa huko kwa ajili ya kutoa huduma, mganga huyo alisema:
"Niliongea na
↧
↧
Miongoni mwa stori zilizobamba wikiendi hii ni hii ya huyu mamba mkubwa kuuawa kwa risasi nne Kinondoni Dar
Miongoni mwa stori za mjini zilizobamba wikiendi hii ni hii ya Mamba kuuawa Block
41 Kinondoni Dar es salaam kwenye eneo ambalo wanaishi watu kadhaa
maarufu wa Tanzania akiwemo Kalapina wa kikosi cha Mizinga, hii ni nyuma
ya bestbite, Mamba huyu akiwa ametokea kwenye bwawa nyuma ya 41
Records.
Bwawa limezungukwa na nyumba kwenye eneo la kwa Kisamo zamani Kajima
ambapo kwenye hili
↧
Padri wa kanisa Katoliki na Katekista wafariki dunia katika ajali ya gari mkoani Katavi wakiwa njiani kwenda kumpokea askofu aliyehamishwa toka Dodoma kwenda Mpanda
Askofu
Gervas Nyaisonga wa Jimbo katoliki la Mpanda akibusu Ardhi
katika kijiji cha Kamsisi ikiwa ni ishara ya kuhamia rasmi kuliongoza
jimbo la Mpanda akitokea jimbo katoliki la Dodoma
Askofu
Gervas Nyaisonga wa jimbo la Katoliki la Mpanda akisalimiana na Mapadri
wa jimbo hilo katika eneo la mto koga ambapo ndipo
linapoanzia Jimbo katoliki la Mpanda wakati alipokuwa akiwasili
↧
Kinana afuta nyayo za UKAWA Zanzibar, maelfu ya wananchi wahudhuria mkutano wake.....Wazanzibar wadai serikali mbili zinawatosha
Umati wa wananchi uliohudhuria mkutano huo
Wazanzibar wanasema Serikali mbili zinawatosha
Wananchi wakishangilia na kuonesha vidole
kuunga mkono serikali mbili za Muungano wakati wa mkutano wa hadhara wa
CCM kwenye viwanja vya Kibandamaiti mjini Zanzibar.
Mama Fatma Karume akihutubia katika
mkutano huo na kukemea Ukawa wanaotaka kuuvunja Muungano kwa kutaka
↧
Kilio cha produza wa Diamond...."Kwa nini KTMA wameninyima tuzo wakati nimetayarisha wimbo (#Number One) uliochukua tuzo ya wimbo bora wa mwaka?"
Kama ilivyo siku zote yanapofanyika mashindano lazima kuwe na pande
mbili, moja ikiwa ni ya wale watakaofurahia matokeo kutokana na kushinda
na upande wa wale ambao hawatafurahia kutokana na kushindwa na mara
nyingine kutoridhishwa kabisa na matokeo.
Producer aliyetengeneza hit ya ‘Number One’ ya Diamond Platnumz,
Sheddy Clever ni miongoni mwa wale ambao hawakubahatika
↧
↧
Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unatatizo la kufika kileleni mapema?....Bofya hapa ukutane na maajabu ya korodani za mbuzi na kuku na dawa ya Jiko katika kutibu tatizo hilo
Ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume ni ile hali ya mwanaume kutokuwa na uwezo wa kukamilisha tendo la ndoa kwa ufasaha.
Tatizo hili linawakabili mamilioni ya wanaume duniani na limekuwa na
athari nyingi kama vile kuvunjika kwa mahusiano na hata ndoa.
Mwanaume mwenye tatizo la ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume anakuwa
hana uwezo wa kumtosheleza mwanamke kwenye tendo la ndoa.
↧
Hivi ni vielelezo vya mabadiliko ya uelekeo wa daladala jijini Dar.....Bofya hapa kuvisoma
Kielelezo kinaonyesha mabadiliko jinsi daladala zinazoingia katikati ya jiji kutokea barabara ya Morogoro....
Kielelezo kinachoonyesha mabadiliko jinsi daladala zinazoingia katikati ya jiji kutokea barabara ya Ally Hassani Mwinyi.....
Kielelezo kinaonyesha mabadiliko jinsi daladala zinazoingia katikati ya jiji kutokea barabara ya Uhuru......
↧
Picha za mazishi ya sheikh Ilunga Hassan Kapungu aliyefariki dunia usiku wa kuamkia leo.....Mazishi yake yalikuwa ni ya kihistoria, mchanga wa kaburi umefukiwa kwa mikono badala ya jembe
Maalim
Seif akishiriki katika mazishi ya Sheikh Ilunga Shekh Hassan Kapungu
yaliofanyika katika makaburi ya Mwinyimkuu Magomeni Dar es Salaam
Sheikh Ilunga Shekh Hassan Kapungu enzi za uhai wake
Wananchi wakishiriki katika mazishi ya Shekh Ilunga Hasaan Kapungu katika makaburi ya Magomeni Mwinyimkuu jijini Dar-es-Salaam.(Picha na Salmin Said OMKR)
******
Na Hassan Hamad.
↧
AJALI: Tanki la mafuta lalipuka moto maeneo ya Shelui mkoani Singida ....Barabara ya Mwanza - Dodoma yafurika moshi, wasafiri wakwama kwa muda
Msururu wa magari ukiwa mkubwa katika eneo hilo baada ya kushindwa kupita kutokana na moto mkubwa uliokuwa ukiwaka.
Wananchi na wasafiri mbalimbali wakitoka kuangalia tukio hilo.
Askari wa usalama barabarani akihakikisha mambo yanakwenda sawa na usalama unaimarishwa katika eneo hilo.
****
Tanki la mafuta la kampuni ya
B. Clarke Haulege Construction limelipuka na kuwaka moto
↧
↧
Magazeti ya leo Jumanne ya tarehe 6 May 2014
↧
Bunge la Bajeti linaanza leo na hizi ni posho mpya walizoongezewa wabunge hao
Baada ya kuhairishwa kwa Bunge la maalum la Katiba,Bunge la bajeti
linaanza leo Mei 06 Dodoma ambapo wabunge wanatarajiwa kuanza kulipwa
viwango vipya vya posho ambapo itakua ni shilingi 300,000 kwa siku
ambayo ni sawa na viwango sawa na walivyokuwa wakilipwa wajumbe bunge
maalum la katiba.
Kabla ya kupandishwa kwa posho hizo Wabunge walikua wakilipwa 200,000
kwa siku ambayo mgawanyo
↧
Mabinti wajiuza kwa sh. 2000/= bustanini.....sh. 5000/= kinyume na maumbile na sh 10,000/= ndani ya gari la mteja
BAADHI ya wakazi wa jijini Tanga, wameomba uongozi wa Wilaya ya Tanga kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, kuweka mkakati endelevu, utakaodhibiti wimbi la vijana wa kike wanaojiuza miili yao nyakati za usiku kwenye baadhi ya barabara za katikati ya mji na bustani za kupumzikia.
Wamesema hatua hiyo, itasaidia kukomesha vitendo hivyo vinavyoendelezwa bila woga na kudhibiti kasi ya ongezeko
↧
Freemasons nyuma ya ajali ya basi la Summry iliyoua watu 19
IMANI ya kuabudu inayotiliwa shaka duniani ya Freemason imetajwa kuwa
nyuma ya pazia la ajali mbaya ya Basi la Sumry iliyotokea katika Kijiji
cha Ulyampiti mkoani Singida mwanzoni mwa wiki iliyopita na kusababisha
vifo vya watu 19, wakiwemo polisi wa usalama barabarani wanne.
Habari za uhakika kutoka kijijini hapo zinasema siku moja baada ya
ajali hiyo mbaya, basi moja linalosafiri
↧
↧
Yaliyojiri leo Bungeni: Wabunge wapya Ridhiwani Kikwete na Godfrey Mgimwa waapishwa
Spika
wa Bunge,Mh. Anne Makinda na watendaji wa Bunge la Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania. Wakiimba wimbo wa Taifa kabla ya shughuli za Bunge kuanza
leo mei 6, 2014.
Mbunge Mpya wa Jimbo la Kalenga,Mh. Godfrey Mgimwa akisindikizwa na wabunge wa CCM kuingia Bungeni mjini Dodoma leo Mei 2014.
Mbunge
Mpya wa Jimbo la Chalinze,Mh. Ridhiwani Kikwete akisindikizwa na
wabunge wa
↧
Kiongozi wa Boko Haram asema atawauza wanafunzi wa kike aliowateka nyara....“Nimewateka nyara wasichana wenu. Nitawauza sokoni, kwa jina la Mungu.”
Hofu inazidi kutanda nchini Nigeria na matumaini ya kuwapata
wanafunzi wa kike zaidi ya 200 waliotekwa nyara na kundi la Boko Haram
yanapungua baada ya kiongozi wa kundi hilo kutangaza kuwa amepanga
kuwauza.
“Nimewateka nyara wasichana wenu. Nitawauza sokoni, kwa jina la
Mungu.” Alisema kiongozi wa Boko Haram, Abubakar Shekau kwenye video
ambapo aliongea kwa lugha ya Hausa na
↧
Diamond kunyakua tuzo 7 za KTMA ....Imebainika Wema Sepetu ndo HIRIZI yake, Diamond ashauriwa kutohangaika tena kwa waganga wa Jadi
Ama kweli kila nyuma ya mafanikio ya mwanaume kuna mwanamke imara.Hili limejidhihirisha mwishoni mwa wiki iliyopita wakati msanii kiwango wa bongo fleva Naseeb Abdul 'Diamond Plutnumz' alipoweka rekodi ya msanii aliyechukua tuzo nyingi za Kili Music tangu tuzo hizo zianzishwe.....
Diamond akiwa ameongozana na mpenzi wake Wema Sepetu kwenye
↧
More Pages to Explore .....