MWANAMUZIKI mwenye sauti ya mvuto, Ray C, amelazwa katika
hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam akikabiliwa na homa kali.
Kwa mujibu wa vyanzo vyetu, mwanamuziki huyo
ambaye amekuwa katika tiba ya kuachana na matumizi ya dawa za kulevya
hospitalini hapo, alifikishwa hapo jana Jumatatu asubuhi na baadhi ya
madaktari walibainisha kuwa Ray C anasumbuliwa na ugonjwa wa dengue
Masikini Ray C, augua ghafla, alazwa
↧
↧
Hizi ni Picha Za Tattoo Mpya Ya Agnes Masogange aliyoichora chini ya maziwa yake
↧
Chama cha akina Zitto Kabwe ( ACT-Tanzania ) chapata usajili wa kudumu.....Yadaiwa Dr. Kitila Mkumbo ni mwanachama mwanzilishi na Zitto Kabwe ni mlezi
CHAMA cha siasa cha Alliance for Change and Transparency ( ACT-Tanzania ) ambacho kinatajwa kuasisiwa na mwanasiasa machachari, Zitto Kabwe na vigogo wa zamani wa CHADEMA, jana kilipatiwa usajili wa kudumu na msajili wa vyama vya siasa nchini,Jaji Francis Mutungi....
Jaji Mutungi alikabidhi cheti cha usajili wa kudumu kwa kaimu mwenyekiti wa
↧
Taarifa ya jeshi la polisi mkoani Mwanza kuhusiana na Bomu lililolipuka ndani ya kanisa la KKT Makongoro na kujeruhi mtu mmoja
Mmoja wa majeruhi wa bomu la
kutengenezwa ‘kienyeji’ ambao ulilipuka katika vyumba vya Hosteli za
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (K.K.K.T), mtaa wa Gana jana saa mbili
usiku.
*************
Mtu mmoja amenusurika kufa baada ya kulipukiwa na bomu lili
lotengenezwa kienyeji kisha kuhifadhiwa katika mfumo wa zawadi na
kutegwa katika nyumba ya kupumzikia wageni iliyopo
↧
Kumbe Nay wa Mitego ndiye aliyevunja ndoa ya Skaina iliyodumu kwa mwezi mmoja tu na kuvunjika...!
SASA hakuna ubishi kuwa, ile ndoa iliyofungwa kwa mbwembwe na
kuvunjika kabla ya mwezi mmoja kati ya msanii wa filamu za Kibongo,
Skyner Ally ‘Skaina’ na Saad Omar, chanzo ni Mwanabongo Fleva, Emmanuel
Eribaliki ‘Nay wa Mitego’.
Habari za awali zilisema kuwa, ndoa ya Skaina iliingia mdudu baada ya
mumewe kugundua kuwa alinunua ‘mbuzi kwenye gunia’, kwani bidada huyo
alikuwa na
↧
↧
Anti Lulu: "Najuta kumvulia nguo Amani, sikujua kama ana wivu mkubwa kiasi hiki"
MSANII wa filamu Bongo,Lulu Semagongo 'Aunty Lulu' anadai kuwa anajuta kumvulia nguo mwandani wake aliyemtaja kwa jina la Amani ambaye hivi karibuni alimshushia kipigo kikali baada ya kutaka kwenda kujirusha usiku kwenye kumbi za starehe....
Akizungumza na Mpekuzi wetu,Aunty Lulu alisema katika siku ya tukio ni kweli alitaka kwenda kupata
↧
Mbowe kutangaza Baraza Kivuli kesho...Baraza hilo litawajumuisha wabunge kutoka vyama vingine nje ya Chadema ambavyo ni CUF na NCCR – Mageuzi.
Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe kesho atatangaza Baraza Kivuli la Mawaziri.
Kwa mara ya kwanza tangu Uchaguzi Mkuu uliopita wa
2010 na baadaye kuzinduliwa kwa Bunge la 10, baraza hilo litawajumuisha
wabunge kutoka vyama vingine nje ya Chadema. Vyama vitakavyojumuishwa
ni CUF na NCCR – Mageuzi.
“Nitalitangaza baraza langu jipya la mawaziri
Alhamisi (
↧
Uchaguzi Serikali za Mitaa watengewa Sh5 bilioni
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda jana aliwasilisha bungeni, bajeti ya
ofisi yake na mfuko wa Bunge inayofikia Sh5.21 trilioni. Kati ya hizo,
Sh5 bilioni zimetengwa kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa
uliopangwa kufanyika baadaye mwaka huu.
Hayo yalielezwa bungeni jana na Waziri wa Nchi,
Ofisi ya Waziri Mkuu (Tamisemi), Hawa Ghasia wakati wa maelezo kuhusu
kazi zilizotekelezwa
↧
Vai wa Ukweli ameshindikana.....Afumwa akifanya mambo ya aibu mbele ya wanaume, Hii ni mara ya sita kushiriki matendo ya uzinzi
Ukiwa umepita mwezi mmoja tangu msanii wa Tasnia ya Filamu anayejulikana kwa jina la Isabella Francis 'Vai wa Ukweli' kuripotiwa kujiuza, sasa msanii huyo amekumbwa na kashfa nyingine ya kupiga picha za uchi zikimuonesha akivua nguo mbele ya wanaume....
Akiongea na mpekuzi wetu, mtu mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Bonny alisema picha
↧
↧
Isabela, Luteni Karama mahaba hadharani....Mpambe wetu awanasa wakidendeka hadharani
Wasanii wasioishiwa vituko Tanzania, Miss Ruvuma 2005 Isabela Mpanda na Luteni Karama wameonekana katika viwanja mbalimbali vya burudani wakipeana mahaba momoto na kudai kuwa wanawakomesha waliotia doa mapenzi yao na kusababisha yasambaratike....
Isabela na Karama ambao waligombana na kutengana kabisa kwa madai kuwa Karama siyo mwaminifu katika
↧
Magazeti ya leo Jumatano ya tarehe 7 May 2014
↧
Ray C apata nafuu, aruhusiwa kutoka Hospitali
Mwanamuziki Rehema Chalamila ‘Ray C’, ametoka katika Hospitali
ya Mwananyamala, Dar es Salaam alikokuwa amelazwa.
Mwanamuziki huyo ambaye amekuwa katika tiba ya kuachana na matumizi ya
dawa za kulevya hospitalini hapo, alifikishwa hapo juzi Jumatatu asubuhi
na baadhi ya madaktari walibainisha kuwa Ray C alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa
wa dengue ambao umelipuka katika maeneo mengi jijini
↧
Msanii nyota wa kike, Keisha ajifungua mtoto wa pili wa kiume..."Namshukuru Mungu nimejifungua salama na mtoto anaendelea vizuri"
Msanii nyota wa kike wa muziki wa kizazi kipya nchini, Khadija Shaban
maarufu kama ‘Keisha’ amejifungua mtoto wa kiume siku ya Jumatatu (Mei
5) katika hospitali ya Mount Mkombozi Kinondoni.
Akizungumza nasi leo, Keisha amesema anashukuru Mungu amejifungua
salama na mtoto anaendelea vizuri.
“Nimejifungua mtoto mwingine wa kiume
katika hospitali ya Mount Mkombozi Kinondoni.
↧
↧
Vurugu kubwa Kibaigwa mkoani Dodoma.....Gari la mbunge lapigwa mawe, Maduka yavunjwa...Gari la Polisi nalo lavunjwa vioo, Watu 34 wakamatwa
Na Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Jeshi
la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu 34 wakazi wa Mji mdogo wa
Kibaigwa Kata ya Kibaigwa Wilaya ya Kongwa Mkoa wa Dodoma kwa makosa ya
kufanya fujo na kuharibu mali tukio lililotokea tarehe 05/05/2014 majira
ya saa 13:30Hrs.
Kamanada
wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID
MISIME – SACP
↧
Mahabusu wa Gereza Kuu la Mkoa wa Arusha wavua nguo kupinga wenzao kuachiwa
Mahabusu wa Gereza Kuu la Mkoa wa Arusha, jana walizua tafrani
katika viwanja vya Mahakama ya Hakimu Mkazi jijini hapa, baada ya kuvua
nguo na kugoma kushuka kwenye basi wakipinga kitendo cha watuhumiwa
wawili wa dawa za kulevya kuachiwa kinyemela.
Watuhumiwa wanaolalamikiwa ambao mashtaka yao
yalibadilishwa mara mbili ili wapewe dhamana ni Dharam Patel (26) na
Nivan Patel (20)
↧
Dr Cheni alazwa hospitali kutokana na ugojwa wa Dengue
Msanii wa filamu nchini, Dr Cheni amelazwa toka jana katika hospitali
ya Buruhani jijini Dar es Salaam kutokana na ugonjwa wa Dengue.
Akizungumza nasi leo Dr Cheni amesema kuwa bado hali yake sio nzuri kutokana na kuishiwa damu na mwili kupoteza nguvu.
“Bado ni nipo hospitali ya Buruhani naumwa hili gonjwa jipya,sijui
unaitwa Dengue,” amesema. “Bado hali yangu sio nzuri
↧
Picha za basi la Princes Muro lililopata Ajali Mikumi Mkoani Morogoro leo
↧
↧
Magazeti ya leo Alhamisi ya tarehe 8 May 2014
↧
Mwanamke Azalia kwenye ndoo na kukitupa kichanga chooni.....Polisi wamtia pingu na kumtupa nyuma ya Nondo
MWANAMKE aliyejulikana kwa jina la Hadija Mohammed,
mkazi wa Mchikichini, Ilala jijini Dar es Salaam amekumbana na mkono wa
sheria baada ya kufanya kitendo cha kinyama kufuatia kujifungulia kwenye
ndoo kisha kichanga kukitupa chooni.
Kwa mujibu wa chanzo, mwanamke huyo alikuwa na ujauzito uliotimiza
miezi tisa na kila mtu alikuwa akiuona, lakini ghafla siku ya tukio
baadhi ya ndugu
↧
Nafasi za Mafunzo na kazi toka RafikiElimu Foundation......Baada ya mafunzo haya wahitimu watapata nafasi ya kufanya kazi katika mradi wa 'Wanawake Salama Tanzania'
Taasisi Ya RafikiElimu
FOUNDATION inatangaza
nafasi za MAFUNZO
YA UENDESHAJI NA
USIMAMIZI WA TAASISI
ZISIZO KUWA ZA
KISERIKALI. ( NGO
MANAGEMENT & OPERATION
) kwa waombaji
wenye sifa zifuatazo :
i. Awe
wa jinsia ya
kike.
ii.
Elimu
Ya Kuanzia Kidato
Cha Nne , Sita na
kuendelea.
iii.Uwezo
wa kuwasiliana kwa
ufasaha kwa lugha
za Kiswahili na
↧
More Pages to Explore .....