Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Jipatie Tiba ya Asili ya Ngiri, Vidonda vya Tumbo,Kisukari na Nguvu za Kiume

$
0
0
Super nzoka IKEMEKO TRDITONAL clinic Ni dawa ya Asili ya vidonge iliyotengenezwa kwa techknojia ya kisasa na ubora wa hali ya juu 

Huongeza nguvu za kiume maradufu hata kwa wale wasiojiweza kabisa kufanya tendo la ndoa na wapo abao hata wakifanya hushindwa kutoa maji maji maji ambayo ndani yake kuna mbegu za kiume zinazotakitakiwa kurutubisha yai

Dawa hii huboresha na tunatibu nakumaliza matatizo haya kwa muda mfupi tu na haina madhara kwa mtumiaji yeyote hata wa umri wa miaka 80 na kuendelea.... inaongeza hamu, urijali kwa wanaoshindwa kuendelea na tendo la ndoa.

Huanza kufanya kazi baada ya dakika 60 tu na kufanya uchelewe kufika kileleni dakika 20 kwa tendo la kwanza itakuwa unauhakika wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuhisi kuchoka 

SILYA; inakuza uume uliosinyaa kurefusha umbile dogo urefu inchi (6-9)na unene wa cm 4 za upenyo kwa wenye kasoro za kimaumbile na walioathiriwa na kupiga punyeto pamoja na matatizo ya kiafya

Tiba hii ni ya kudumu.Pia tunatibu ngiri ya kupanda na kushuka,tumbo kuuguruma chini ya kitovu ,kaswende kisukari ,maumivu ya mgongo, kiuno, kutopata choo vizuri na uvimbe kupitia njia ya mkojo, presha, vidonda vya tumbo

Wasiliana Nasi kwa namba;  0716343218,0789289945. TUNAPATIKANA MBAGALA ZAKIEM STENDI ya musanga

Katibu Mkuu CCM Dk. Bashiru Ally Asema Serikali ya Mwaka 2010 ilikosa uhalali kisiasa

$
0
0
Katibu  Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ally amesema kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, mwaka 2010 nchi ilipata Serikali ambayo haikuwa na uhalali wa kisiasa.

Dk. Bashiru aliyasema hayo jana mjini Morogoro, alipokuwa akitoa mada katika Kongamano la Mtandao wa Vikundi vya Wakulima (Mviwata) lililofanyika Ukumbi wa Chuo Kikuu cha Kiislamu Morogoro.

Alisema Serikali hiyo ilipatikana kwa sababu zaidi ya asilimia 50 ya wapigakura waliojiandikisha kupiga kura hawakujitokeza siku ya uchaguzi.

Katika uchaguzi wa mwaka 2010 ambao Jakaya Kikwete alichanguliwa kuongoza Serikali kwa awamu ya pili, wapigakura waliojiandikisha walikuwa 20,137,303 lakini waliojitokeza kupiga kura walikuwa 8,626,283 sawa na asilimia 42.84.

Jana akizungumza mjini hapa, Dk. Bashiru alisema; “jambo la nne ninalotaka kuzungumza ni uwajibikaji, mna nafasi gani ya kusimamia Serikali ili iwe upande wenu, kwa sababu ukweli ni kwamba mamlaka ya Serikali yako mikononi mwa umma na umma ni walio wengi ambao ni ninyi.

“Na vyeo vyote vilivyopo Serikali ni mali yenu, isipokuwa kuna mchakato wa usimamizi wa vyeo vyenu kupitia Serikali na moja ya michakato ni uchaguzi, hebu tujiulize tabia yenu na mwenendo wenu wakati wa uchaguzi ikoje?

“Tuambizane ukweli, mkishapewa kofia na T-shirt (fulana), alafu nyimbo zikaanza kupigwa za ‘mbele kwa mbele’, huwa mnapata nafasi za kuhoji sifa za mnayetaka kumchagua?

“Je, sifa ya chama mnachotaka kukichagua kinachopiga ‘mbele kwa mbele’ unaijua?

“Kwa hiyo eneo jingine muhimu kwa nafasi yenu ni kuwa sehemu ya mchakato ya kuwajibisha wote wenye vyeo vyenu. Kwahiyo msichague kiongozi kwa T-shirt, kwa kofia, kwa ubwabwa, kwa pesa.

“Kwa kufanya hivyo mnatengeneza watu watakaokuja kuwaonea, kwa sababu dhuluma zote na uonevu hazifanywi na wakoloni, zinafanywa na wale mliowachagua nyie wenyewe. Au wale walioteuliwa na wale mliowachagua.

“Sasa watu ambao ni wajanja, mimi naweza kusema wapigakura wa Tanzania ambao wamefikia hatua ya kudharau uchaguzi, wanakaa nyumbani (siku ya uchaguzi) kwa sababu wanaona ni kama kituko, ni mchezo wa kuigiza.

“Na ndiyo maana leo kupata watu kuhudhuria kupiga kura imekuwa shida, kote tunakoshinda ni chini ya asilimia 30, chini ya asilimia 40, hakuna mahala ambako wapigakura wamejitokeza kwa zaidi ya asilimia 50.

“Na mwaka 2010 ilitia fora, watu wengi walijiandikisha zaidi ya asilimia 100, kumbe walikuwa wanataka kile kipatarata (kitambulisho cha mpigakura) kwa sababu kinatumika kwenda polisi kudhamini, unajitambulisha, walipokipata wakaingia mitini.

“Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hii, tulipata Serikali ambayo haikuwa na uhalali wa kiasiasa kwa sababu wapiga kura wengi zaidi ya asilimia 50 walibaki nyumbani na tatizo hili halijaisha, lakini mwanasiasa akishashinda anasema ushindi ni ushindi tu hata kama ni kwa kura moja.

“Hajali kwamba ushindi ule unatakiwa uwe na uhalali, tulifika mahala ambapo ikifika wakati wa uchaguzi wagombea wanauza nyumba, wanakopa, wanaitisha mikutano ya kuchangisha, usipomchangia mkali utafikiri anakwenda hospitali kutibiwa.

“Akishazikusanya zile fedha anaenda kuwanunua mawakala na mawakala wanawanunua wapigakura, msimu wa uchaguzi unakuwa msimu wa rushwa ya uchaguzi, ninachowaomba nafasi yenu ni kubomoa na kuharibu soko la kura.”

Dk. Bashiru alisema kwa sababu kama CCM itakuwa imejipanga, mipango mizuri ya kuhudumia umma ipo, wananchi wanaona shule, hospitali hakuna haja ya kwenda kuhonga.

“Ukiona mtu anakuhonga hana sifa, na ndani ya CCM tumeshasema itakuwa sababu ya kutoteua mtu huyo hata kama atakuwa ameshinda kura za maoni.

“Kwa sababu bila kuwa na mfumo wa kuwapata viongozi, na nasikia sasa hivi rushwa imeenda mpaka kwa wenyeviti wa vijiji, kitu ambacho ni hatari, kwa sababu mwenyekiti wa kijiji anasimamia mazingira na wananchi wake, anasimamia migogoro na wananchi wake, anasimamia haki na wananchi wake, akianza kununua uongozi atauza ardhi.

“Kwahiyo mambo haya manne kwangu mimi naona ni muhimu sana, ili uweze kupata nafasi katika uchumi wa taifa hili, uwezo wenu wa kutambua mambo, kutambua kwamba benki ya ardhi ni wizi, kwamba bodi za mazao ni wizi na mimi nashangaa mpaka leo Bodi ya Kahawa ipo,” alisema.

Jiji la Mbeya Lashika Nafasi ya Mwisho Ukusanyaji Mapato

$
0
0
Jiji la Mbeya linalo ongozwa na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kupitia Mbunge wake, Joseph Mbilinyi maarufu kama “SUGU” limetajwa kuwa ni jiji la mwisho kwenye ukusanyaji wa mapato katika orodha ya majiji hapa nchini ikiwemo Dar es salaam, Dodoma, Arusha, Tanga pamoja na mwanza.

Jiji lililo ongoza kwenye ukusanyaji wa mapato ni Dodoma ambalo lilitangazwa na Rais Magufuli mwaka huu, ambapo imekusanya zaidi ya shilingi bilioni 25 ambayo ni sawa na asilimia 130 ya matarajio ya ukusanyaji kodi wa jiji hilo.

Akizungumza katika mkutano na wadau wa halmashauri nchini juu ya hali ya ukusanyaji wa mapato katika halmashauri zao, Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa za Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Suleiman Jaffo ameilitaja Jiji la Mbeya lililo chini ya utawala wa CHADEMA limekuwa la mwisho kwa kukusanya bilioni 7.8 ambayo sawa na asilimia 70 ya matarajio.

“Naomba Wakuu wa Mikoa wanifuatilie ili wakafanyie kazi kwenye majiji yao, Jiji la Dodoma limekuwa la kwanza kati ya majiji sita kwa kukusanya zaidi shilingi bilioni 25 sawa na asilimia 130, wakati huohuo jiji la Mbeya limekuwa la mwisho kwa kukusanya bilioni 7.8 na makadiro yake yalikuwa bilioni 11”, amesema Waziri Jaffo.

“Kwa upande wa Manispaa, Iringa mjini ndiyo imeibuka kinara ikifuatiwa na Manispaa ya Temeke kwenye ukusanyaji wa mapato.” Ameongeza.

Okoa Ndoa Yako Mke,Mume Na Afya Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Za Asili

$
0
0
Asilimia kubwa ya binadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wengi wamejaribu kutumia tiba sehemu tofauti bila mafanikio na  kukata tamaa hasa kina baba ambao ndoa zao au mahusiano yao na wapenzi wao yapo hatarini kuvunjika kwa sababu Mume hana uwezo wa kumridhisha mpenzi wake 

KWA NINI UJIONE MPWEKE PALE UKUTANAPO NA MKE AU MPENZI WAKO SABABU ETI UNAUPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME AU UUME MDOGO: tumia dawa ya NSENWA POWER ;dawa hii hutibu na kuponesha tatizo la  nguvu za kiume .

1 itakupa uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara tatu 
2 itakupa uwezo kuchelewa kukojoa mda wa dakika 15-20 na kumfanya mpenzi wako naye aridhike 
3 huimalisha misuri iliyo legea na kusinyaa 

JE UNA UUME MFUPI NA MWEMBAMBA : tumia dawa ya MASHESHE NO 2; hii huboresha uume saizi upendayo kuazia urefu wa inch 5,6,7,8 na unene  wa sentumita 2,3,4,5, dawa hizi hazina madhara yeyote kwa mtumiaji hata wazee hutumia na kupona 

MASANZA ni dawa ya vidonda vya tumbo zipo dawa za mvuto wa biashara ,mpenzi,uzazi ngiri,korodani kuvimba miguu. mgongo,kiuno kuuma nk 

MAHALI ILIPO OFISI UNAWEZA UKASHUKIA BUGURUNI MALAPA AU BUGURUNI ROZANA na MWANZA YUPO WAKALA pia unaweza ukaletewa popote ulipo wasiliana nami 0783185060  0752348593 DR AGU

Uingereza Yaishutumu Tena Urusi kwa Uvamizi wa Kimtandao

$
0
0
Uingereza  imeishutumu Idara ya Ujasusi ya Kijeshi ya Urusi (GRU) kwa kuendesha mashambulizi kadhaa ya kimtandao ili kuhujumu demokrasia ya nchi za magharibi.

Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Kituo chake cha Taifa cha Usalama Mitandaoni (NCSC), GRU  ilitumia mtandao wa wadukuzi kusambaza  taarifa duniani.

Kwa mujibu wa vyanzo kadhaa, NCSC  ina uhakika kwa kiwango cha juu kuwa GRU huenda ilihusika na mashambulizi kadhaa ya kimatandao ikiwa ni pamoja na yaliyofanywa dhidi ya chama cha Democratic nchini Marekani kabla ya uchaguzi mwaka 2016.

Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza Jeremy Hunt amesema vitendo vya GRU havifai kwani vinajaribu kuhujumu demokrasia na kuingilia chaguzi katika nchi nyingine.

Hunt ameongeza kuwa ujumbe wao pamoja na washirika wao uko wazi na kuwa watafichua na kujibu jaribio lolote la GRU la kuhujumu uthabiti kimataifa.

Licha ya kutofahamika kama ilivyo kwa lililokuwa Shirika la Ujasusila uliokuwa Muungano wa Kisovieti (KGB), GRU ilihusika kwa kiwango kikubwa  katika baadhi ya matukio katika karne iliyopita ikiwa ni pamoja na wakati wa mgogoro wa makombora nchini Cuba na pia hatua ya kutwaliwa kwa jimbo la Crimea.

GRU ina mawakala duniani kote na inawajibika moja kwa moja kwa mkuu wa utumishi jeshini na pia kwa waziri wa ulinzi.

Mfumo wake wa kiutendaji, idadi ya wafanyakazi na masuala yake ya kifedha viko chini ya idara ya ujasusi ya Urusi.

Hata hivyo. GRU haizungumzii lolote juu ya vitendo vyake hivyo.

Mbwana Samatta Kujiunga na Taifa Stars Cape Verde Kuongeza Nguvu

$
0
0
Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', Mbwana Samatta, ameshindwa kujiunga na kambi ya timu ya Taifa Stars hapa nchini, badala yake atajiunga na timu moja kwa moja nchini Cape Verde.
 
Afisa habari wa TFF Cliford Ndimbo ameweka wazi kuwa nahodha huyo atajumuika na timu huko Cape Verde, huku wachezaji wengine wa kimataifa wakitarajiwa kuwasili nchini kujiunga na timu muda wowote kuanzia leo.

''Tunatarajia wachezaji wetu wanaocheza soka nje ya nchi  watajiunga na timu muda wowote kuanzia leo lakini nahodha wetu Mbwana Samatta ataungana na timu huko Cape Verde'', amesema Ndimbo.

Mbali na hilo Ndimbo amemshukuru kocha wa Lipuli FC Selemani Matola kwa kuwaruhusu moja kwa moja wachezaji wake wawili Ally Sonso na Paul Ngalema kujiunga na kambi bila kutoka kwenda kuichezea timu hiyo ambayo leo inakipiga na Stand United.

Mbwana Samatta jana alikuwa uwanjani kuichezea klabu yake ya KRC Genk kwenye mchezo wa Europa League kundi I, ambapo ilikubali kichapo cha mabao 3-1 ugenini dhidi ya Sarpsborg 08 ya Norway.

Taifa Stars inatarajia kucheza mchezo wake wa tatu katika kundi L kuwania ufuzu AFCON 2019 dhidi ya Cape Verde mjini Praia, 12 Oktoba kabla ya mchezo wa marudio utakaopigwa Jumanne 16, Oktoba jijini Dar es Salaam. Tanzania inashika nafasi ya 2 ikiwa na alama 2 nyuma ya Uganda yenye alama 4.

Huna Sababu Ya Kuaibikatena............ Jipatie Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Na Mvuto Wa Mapenz

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0622344969

Video Mpya ya Ali Kiba Akiwa na Kundi lake la King’s Music Records- MWAMBIE SINA

$
0
0
Msanii wa muziki, Alikiba ameachia video ya wimbo ‘Mwambie Sina’ akiwa ameshirikiana na wasanii wa kundi lake King’s Music Records.

Rufaa ya Mbowe na Wenzake Yatupiliwa Mbali na Mahakama

$
0
0
 Mahakama ya Rufaa imetupilia mbali rufaa iliyofunguliwa na viongozi wa Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe kutokana  na  kasoro za kikanuni katika hati ya taarifa ya kusudio la kukata  rufaa.

Uamuzi  huo wa mahakama ulioandaliwa  na  jopo la majaji watatu wa mahakama hiyo; Dalum Mbarouk (mwenyekiti wa jopo), Shaban Lila na Jacobs Mwambegele, umesomwa  leo Ijumaa Oktoba 5, 2018 na Naibu Msajili, Eddy Fussi.

Kasoro hizo ni hati ya taarifa ya kusudio la kukata rufaa kutobainisha kiini cha uamuzi au amri ya Mahakama Kuu waliokuwa wakiukatia rufaa.

Akisoma uamuzi huo, Fussi amesema kasoro hiyo inaifanya hati hiyo ya taarifa ya kusudio la kukata rufaa kutokuwa na sifa za kuwepo mahakamani, na kwamba kwa hali hiyo mahakama inaitupilia mbali.

Naibu Msajili Fussi amesema kwa kuwa taarifa ya kusudio la kukata rufaa kwenye kesi za jinai ndio msingi wa rufaa, kutupwa kwake kunaifanya hata rufaa yenyewe kukosa uhalali au msingi wa kusimama.

Amefafanua kuwa  haiwezi kusimama yenyewe bila taarifa hiyo ya kusudio la kukata rufaa.

Katika rufaa hiyo, viongozi hao wa Chadema walikuwa wakipinga uamuzi wa Mahakama Kuu uliotolewa na Jaji Rehena Sameji, kutupilia mbali maombi yao ya mapitio ya mwenendo wa kesi yao ya msingi ya jinai inayowakabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Walikuwa wakiiomba Mahakama Kuu iitishe jalada la kesi yao ili kuchunguza na kujiridhisha na uhalali na usahihi wa mwendo wake na amri mbalimbali ambazo mahakama hiyo ilikuwa ikizitoa.

Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kupitia kwa jopo la mawakili wa Serikali, likiongozwa na wakili wa Serikali Mkuu Paul Kadushi aliweka pingamizi, pamoja na mambo mengine akisema kuwa maombi hayo ni batili kwakuwa yanakiuka Sheria ya Mahakama za Hakimu Mkazi.

Mahakama Kuu katika uamuzi wake ilikubaliana na hoja za pingamizi hilo na ikayatupilia mbali maombi hayo ikisema kuwa haina mamlaka ya kuyasikiliza na kutoa amri ambazo vigogo hao wa Chadema walikuwa wakiziomba.

Kutokana na uamuzi huo ndipo walipokata rufaa Mahakama ya Rufani.

Mabasi ya Mikoani Kuanza Safari Saa 11 Alfajiri Kuanzia Wiki Ijayo

$
0
0
Serikali imetanga kuanza mpango wa mabasi ya abiria katika mikoa mitano nchini, kuanza safari za ndani na nje ya nchi saa 11 alfajiri kuanzia Oktoba 9, 2018 ili kurahisisha safari kwa abiria na kufika mapema.

Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye akizungumza na waandishi wa habari  Oktoba 4,  2018 jijini Arusha, katika ziara ambayo aliifanya Uwanja wa Ndege wa Arusha, alisema awali safari hizo, zilitarajiwa kuanza mapema lakini kuna masuala yaliyokuwa yanashughulikiwa na Sumatra.

"Kuanzia Jumanne ijayo, Oktoba 9, baadhi ya magari ya abiria katika mikoa mitano, Dar es Salaam, Mwanza, Arusha, Mbeya na Dodoma yataanza safari saa 11 alfajiri," alisema.

Alisema alitoa agizo hilo kwa mara ya kwanza, akiwa Ubungo jijini Dar es Salaam wiki mbili zilizopita lakini safari hizo zilichelewa kuanza kutokana na Sumatra kuwasiliana na vyombo vingine ikiwepo polisi na wamiliki wa mabasi ili kurekebisha ratiba.

Naibu waziri huyo, amesema hatua hiyo pia itachukuliwa kwa mikoa mingine, baada ya kujiridhisha kuwa kutakuwa na usalama.

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu Auagiza Uongozi Wa Hospitali Ya St Francis Kushusha Bei Za Matibabu Mara Moja

$
0
0
Na WAMJW – Ifakara
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu ameuagiza uongozi wa Hospitali ya Dini ya St.Francis kupunguza gharama za matibabu kwa wananchi ndani ya mwezi mmoja kabla hajarudi kufanya ukaguzi wa mara ya pili.

Ameyasema hayo wakati akiwa katika ziara ya kukagua hali ya utoaji huduma za afya katika Hospitali ya St Francis iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Ifakara Mkoa wa Morogoro kufuatia taarifa isiyoridhisha juu ya gharama za matibabu iyoripotiwa siku ya Octoba 3 na Televisheni ya Taifa (TBC).

Waziri Ummy alisema kwamba, Serikali inatoa Jumla ya Watumishi 243 sawa na Asilimia 68% katika Hospitali hiyo, lengo ni kuwasaidia wananchi wa kipato cha chini kupata huduma za  bora za afya na zenye unafuu ikiwa ni moja kati ya ahadi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli wakati anaingia madarakani.

“Kati ya Watumishi 352, watumishi 219 wanalipwa mshahara na Serikali Kuu, ambapo kila mwezi tunalipa shilingi milioni 153.7, bila kuhesabu gharama za watumishi 12 walioshikizwa kutoka Wizara ya Afya, Watumishi 12 kutoka Halmashauri ya Kilombero, Katibu tawala Morogoro ameleta watumishi 2, jumla watumishi 243, ambao ni sawa na  Asilimia 68% wanalipwa mshahara kutoka Serikali kwa Asilimia 100%”. Alisema Mhe. Ummy Mwalimu.

Waziri Ummy aliendelea kusema kuwa mwaka wa bajeti 2015/2016 Serikali ilipeleka dawa zenye thamani ya shilingi Millioni 119.5, bajeti ya mwaka  2016/2017 shilingi milioni 177.9 huku kwa mwaka 2017/2018 dawa zenye thamani ya shilingi milioni 118.7 zilinunuliwa hospitalini hapo.

Kwa upande mwingine Waziri Ummy alisema kuwa mwongozo wa Wizara ya Afya, unazitaka Hospitali zote kuhakikisha kuwa wanawake wajawazito, wazee wasio na uwezo na watoto walio chini ya umri wa miaka mitano kupata huduma za matibabu bila malipo.

Mbali na hayo Waziri Ummy alitoa rai kwa wananchi wa Mkoa wa Morogoro kujiunga na mifuko ya Bima ya Afya bila kuwasahau watoto walio chini ya umri wa miaka 18 ambao hupata bima ya afya kwa shilingi 50,400/=

“Wakati umefika  wa Watanzania kujenga utamaduni wa kuwa na uhakika wa matibabu kabla ya kuugua, na uhakika huo ni wa kupitia Bima ya Afya”, alihimiza Waziri Ummy kwa msisitizo.

Waziri Ummy, aliendelea kusema kuwa, Serikali inaelekea kutunga sheria ambayo itamlazimu kila Mtanzania kupata Bima ya Afya, ili aweze kupata huduma za matibabu ya Afya bila kikwazo chochote cha fedha.

Naye Mbunge wa Jimbo la Kilombero Mhe. Peter Ambrose Lijualikali amemuomba Waziri wa Afya, Mhe. Ummy Mwalimu kuikumbuka Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero kwa kujenga Hospitali ya Wilaya, jambo litaloimarisha hali ya utoaji huduma za Afya kwa wananchi.

Mwenyekiti wa Bodi ya Hospitali ya St. Fransis, Baba Askofu Salutaris Libena ameishukuru Serikali kupitia Wizara ya Afya kwa kufika hospitali hapo na kuahidi kutekeleza maelekezo yote ambayo yametolewa na Serikali.

” Tunaahidi kwamba tumeelewa na tutatekeleza maelekezo yote, katika lengo la kuboresha huduma za Afya kwa wananchi “, alisema Baba Askofu Libena.

Wananchi Wafurika Tandale Kusherehekea Siku ya Kuzaliwa Msanii Diamond ikiwa ni Pamoja na Kupatiwa Mitaji, Bima

$
0
0
Mwanamuziki Naseeb Abdul, 'Diamond' amesimamisha shughuli zote za Tandale na kuwafanya mamia ya wakazi wa kitongoji hicho kujitokeza kwa wingi kwenye Uwanja wa Magunia kusheherekea siku yake ya kuzaliwa.

Mamia ya wanawake wamefurika kwa ajili ya kuandikisha majina ya kupatiwa mitaji na bima za afya za watoto.

Uandikishaji huo umeanza tangu asubuhi katika uwanja huo, ambao wanawake wameonekana kuwa katika foleni kwa watu watatu tofauti waliopewa kazi ya kuandika majina.

Shughuli nyingine atakazofanya Diamond ni pamoja na kugawa bodaboda kwa vijana, kukarabati shule zote za msingi za Tandale akianza na ile aliyosoma, kuchinja ng’ombe nyumbani alikozaliwa na kula na wanaTandale huku siku ya Jumapili anatarajiwa kufanya sherehe kubwa na marafiki zake katika boti ya kifahari.

Mpinzani wa Rais Kagame, Diane Rwigara aachiliwa na Mahakama Kuu ya Rwanda

$
0
0
Mahakama Kuu mjini Kigali imeamua kumuachilia huru kwa dhamana mwanasiasa wa upinzani Diane Rwigara na mamake na watafuatiliwa wakiwa nje ya gereza.

Jaji wa mahakama kuu mjini Kigali ametangaza kwamba maombi yao ya dhamana yamekubaliwa lakini wakawekewa masharti ya kukabidhi Pasport zao kwa mwendesha mashtaka. Aidha wametakiwa kutovuka mipaka ya jiji la Kigali bila kibali maalumu.

Wawili hao walikuwa kizuizini tangu mwaka jana kwa tuhuma za kuchochea vurugu na mgawanyiko miongoni mwa wananchi pamoja na kughushi nyaraka. Walikanusha madai hayo wakisema yana misingi ya kisiasa.

Mashtaka yanayomkabili Rwigara na mtetezi maarufu wa haki za wanawake nchini Rwanda na familia yake inasema matatizo yake yalianza wakati aliamua kuwania urais.

TRA Yakamata Watu Wawili Kwa Kosa La Kugushi Risiti Za Efd

$
0
0
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewakamata watu wawili mwanamke na mwanaume kwa kosa la kugushi Risiti za Kielektroniki za EFD katika maeneo ya Sinza Mori jijini Dar es Salaam.

Akizungumzia tukio hilo, Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi wa mamlaka hiyo Richard Kayombo, amesema kuwa, watuhumiwa hao ni Doreen Urassa (40) mkazi wa Kunduchi na Raymond Alexander (31) mkazi wa Kinondoni Mkwajuni jijini hapa.

"Tarehe 4 Oktoba, 2018 majira ya saa 1 jioni, tulifanikiwa kuwakamata watu wawili maeneo ya Sinza Mori wakiwa wanagushi risiti za EFD. Watuhumiwa hawa tutawafikisha mahakamani kwa ajili ya kuchukuliwa hatua za kisheria", alisema Kayombo.

Kayombo ametoa wito kwa watu wote wanaojishughulisha na makosa hayo kuacha mara moja kwa kuwa TRA itaendelea kufanya msako mkali na mtu yeyote akibainika anagushi risiti, atachukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria.

Aidha, Mkurugenzi Kayombo amewaomba wasamalia wema waendelee kutoa taarifa za kuwafichua wanaogushi risiti na kuwahakikishia kuwa, majina yao hayatatajwa popote.

“Mamlaka haitamvumilia mtu yeyote anayejaribu kukwamisha ukusanyaji mapato ya serikali iwe kwa kugushi risiti au biashara ya magendo au njia nyingine yoyote ya udanganyifu. Hivyo, tunawaomba wasamalia wema waendelee kutupa ushirikiano kwa kuwafichia watu wadanganyifu na tunawahakikishia kutunza siri kwa kutoyataja majina yao popote pale”, alifafanua Kayombo.

Mamlaka ya Mapato Tanzania inaendelea na zoezi la kuwasaka watu wote wanaojishughulisha na vitendo vya kugushi risiti ikiwa ni pamoja na kukamata biashara za magendo ambapo wanaobainika hufikishwa mahakamakani kwa ajili ya kuchukuliwa hatua za kisheria.

Mwisho.

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 89 na 90 )

$
0
0
ILIPOISHIA       
Nesi akaanza kuniandikia risiti, kisha akanikabidhi. Nikatoka nje na kuelekea sehemu ya maegesho ya magari. Nikasimama kwa muda, huku nikitazama gari nyekundu aina ya benzi inayo simama pembeni yangu.
Dereva wa gari hili akafungua mlamgo kidogo, na kuanguka chini, jambo lililo nifanya nibaki na mshangao, ila nilipo mchunguza kidogo, nikagundua ana jeraha la risasi kwenye kifua chake na nidamu nyingi zinazo endelea kumvuja katika jeraha lake na endepo nisipo fanya msaada wowote kwake basi anaweza kupoteza maisha mbele yangu.

ENDELEA       
Kwa haraka nikamuwahi kumfwata hadi sehemu alipo anguka, nikamnyanyua na kumbeba mikononi mwangu, japo ana uzito mkubwa kidogo ila nikajitahidi, cha kumshukuru Mungu manesi waliweza kuniona mapema, wakanisaidia kwa kusogeza kitanda cha wagonjwa, akalazwa na moja kwa moja akapelekwa katika chumba cha upasuaji kwa matibabu ya haraka.
 
“Amepata tatizo gani?”
Daktari mmoja aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.
“Sifahamu, nilikuwa kwenye maegesho ya magari, akafika akiwa katika hiyo hali”
“Ok asante kwa msaada wako”
“Sawa sawa”
Nikarudi katika sehemu nilipo muacha Rashidi. Sikumkuta ila kwa bahati nzuri nikamkuta nesi akiwa anatoka katika chumba alicho lazwa mama Rashidi.
“Huyu binti aliyekuwa amekaa hii sehemu yupo wapi?”
“Yumo humu ndani”
“Mama yake amepata nafuu?”
“Ndio”
 
Kwa uwazi mdogo wa mlango nikamuona Rashidi akiwa amekumbatiana na mama yake. Sikuona haja ya kuwasumbua, taratibu nikaondoka na kuelekea nje. Nikalivua koti langu la suti ambalo limejaa damu za jamaa aliye kuja akiwa na jeraha la silaha. Gari nyeusi aina ya Verosa ikasimama mbele ya gari langu, sikuamini macho yangu nilipo muona Mariam akishuka kwenye hii gari. Hakuniangalia mimi, akaanza kukimbilia ndani huku akionekana ni mtu mwenye wasiwasi. Sikuhitaji kufanya papara ya kumfwata Mariam, nikaanza kutazama pande zote za hii hospitali, sikuona mtu ambaye ninaweza kumtilia mashaka katika, nikafungua nyuma kwenye buti ya gari na kuliweka koti hili lenye damu. Nikalichunguza koti langu sikuona doa lolote la damu. Taratibu nikaelekea ndani kufwata Mariam huku bastola nikiwa nimeicha ndani ya gari.
“Huyu dada aliye ingia muda huu amelekea wapi?”
 
“Kule”
Nesi alinionyesha huku akinyayua mkono wake, nikamuona Mariam akiwa amekaa nje ya mlango wa chumba alicho ingizwa jamaa niliye msaaidia. Nikatembea kwa kujiamini hadi sehemu alipo kaa, huku akiwa amejiinamia chini. Nikavua miwani yangu na kukaa pembeni yake, kitu kilicho mfanya kunitazama.
 
“DANY……!!!”
Mariam aliniitwa kwa mshangao huku akiwa ameyatoa macho yake.
“Usionyeshe dalili ya kunifahamu”
Nilizungumza huku nikiwa ninaangalia mbele sikuhitaji mtu yoyote katika hii hospitali aweze kufahamu kwamba mimi nina fahamiana na Mariam kwa maana hadi muda huu sifahamu nani yupo nyuma yangu katika kunifwatilia kuona kama ninaweza kuikamilisha hii kazi niliyo pewa kwa maana inaweza kuwa moja ya mtego kwa wana kikundi cha Al-Shabab kuufahamu kwamba mimi ni nani.
 
“Imekuwaje hadi leo upo hai?”
Mariam aliniuliza kwa sauti ya chini sana huku akiwa amejiinamia chini akionekana kama mtu mwenye mawazo kwa mgonjwa wake.
“Mimi ndio nikuulize imekuwaje hupo hai na hapa Somalia unafanya nini?”
“Ni historia ndefu sana, je wewe kwa upande wako?”
“Pia ni historia ndefu. Ninaomba tuweze kuonana nje ya hapa?”
“Hilo halina shaka, ngoja niweze kupata majibu ya mgonjwa wangu?”
“Huyu jamaa ni mgonjwa wako?”
“Ndio, kwani unamfahamu?”
“Hapana, niambie ni wapi tuweze kuonana?”
“Kesho saa moja asubuhi tuonane kwenye mgahawa mmoja haupo mbali sana na hii hospitali”
“Sawa kuwa makini sana katika hili”
“Ok”
 
Nikanyanyuka na kuondoka katika eneo hili. Moja kwa moja nikaelekea kwenye gari langu, nikaanza safari ya kurudi hotelini. Nikafika hotelini salama. Bastola yangu pamoja na magazine za bastola hii nikatotoa nazo na kuelekea chumbani kwangu.
Furaha niliyo nayo moyoni mwangu ikazidi kunitawala kadri muda unavyo zidi kwenda. Kuonana na Mariam ni moja ya mafanikio makubwa kwangu kwenye kazi hii ambayo nimepanga kuifanya nina amini kwamba itakwenda kama vile ninavyo hitaji kwenda. Kijiusingizi kakanipitia kidogo nikiwa nimekaa kwenye sofa.
Mwanga wa jua  unao ingia kupitia dirishani, ukanifanya niweze kufumbua macho yangu na kunyanyuka kwenye sofa nililo kali. Nikaingia bafuni na kuoga, nikajiandaa kwa kutoka. Sikua na muda wa kupoteza nikatoka ndani ya chumba changu, nikaingia kwenye gari langu, na kuelekea kwenye mgahawa ambao ndio upo pekee katika eneo la karibu la hospitali. Nikatafuta sehemu iliyo jificha nikaka, nikatoa simu yangu mfukoni na kumpigia Hawa.
 
“Ndio mkuu”
“Vipi umefanikiwa?”
“Kuna asilimia kadhaa ambayo ninaamini nitafanikiwa”
“Jana ulifanikiwa kumuona huyo adui?”
“Hapana sikufanikiwa japo nilikaa hadi muda wa usiku sana”
“Ukihitaji msaada hakikisha kwamba unanifahamisha”
“Sawa mkuu”
“Asubuhi njema”   
“Nawe pia mkuu”
Nikakata simu, haukupita muda mwingi, akaingi Mariam, akatazama kila kona ya huu mgahawa, alipo niona akanifwata hadi sehemu nilipo kaa huku akiwa amevaa kofia kubwa ambayo si rahisi kwa kuweza kuiona sura yakeyote kirahisi.
 
“Habari yako”
“Salama”
Marim akaka kwenye kiti ambacho tunatazama na katikati tumetenganishwa na meza. Ukimya ukatawala katikati yetu, kila mtu akiwa anamtazama mwenzake usoni.
“Dany hujabadilika chochote mume wangu”
“Hata wewe haujabadilika, ila ninahitaji kufahamu vitu vingi sana kutoka kwako kwa maana sielewi kitu kinacho endelea?”
“Ni kweli unahitaji kufahamu mambo mengi sana kutoka kwangu. Tangu nilipo chukuliwa na Livna Livba na kunipeleka katika ngome ambayo tulitokea, waliweza kunipatia mateso makali sana. Mateso yale yalinipelekea kukubaliana kwa kile ambacho nilikuwa wanahitaji mimi niweze kukifanya”
 
“Kitu gani?”
Mariam akaka kimya huku akinitazama usoni mwangu.
“Ni kitu kimoja kikubwa sana kwenye maisha yangu, sikuwa na jinsi nyingine zaidi ya kuhakikisha ninafanya hivyo”
“Ndio uniambie ni kitu gani hicho”
“Ahaa Dany tuachane nacho hicho kitu. Naomba tuzungumzie yaliyo tukutanisha hapa”
Japo ninahitaji kufahamu ni kitu gani anacho anakizungumzia ila nikanyamaza ili mradi nifahamu mambo mengi kutoka kwake.
“Somalia umefikaje?”
“Baada ya kumaliza kazi ambayo nilipatiwa na Livna, niliweza kuwa huru kufanya chochote ambacho ninatakiwa kukifanya. Niliamua kabisa kuachana na mambo yote ya ugaidi, niishi kama wasichana wengine. Ndipo nikafanikiwa kupata mwanaume ambaye alinipenda, japo nilianza kumpenda taratibu”
 
“Vizuri sana”
Nilizungumza kauli ambayo sikutarajia kama inaweza kunitoka, ila kwa mbali moyo wangu ukaniuma sana kusikia kwamba ana mwanaume mwengine.
“Dany natambua kwamba unajisikia vibaya katika hilo”
“Ahaa hapana kwa maana huna kosa lolote, Je ulisha wahi kwenda Tanzania?”
“Tanzania nilisha hama kabisa, mimi na mama yangu”
“Kwa hiyo mama yupo hapa Somalia?”
“Ndio yupo hapa Somalia”
“Tunaweza kwenda kumuona muda huu?”
“Ndio”
“Umekuja na usafiri wako au twende na wangu?”
“Tuongozane”
 
Tukatoka kwenye huu mgahawa, kila mmoja akaingia kwenye gari lake. Tukaeleka hadi nyumbani kwa Mariam. Mandhari yah ii nyumba ina ulinzi wa kutosha na imezungushiwa gati kubwa na kuna walinzi kadhaa nje. Tukasimamisha magari yetu katika sehemu maalimu ya maegesho, tukashuka, Marima akanikaribisha ndania kiwa na furaha. Tukaingia sebleni, nikamkuta mama Mariam akiwa anatazama Tv, alipo niona kwa haraka akanikimbilia na kunikumbatia kwa nguvuu. Joto la mama Marima likamfanya jogoo wangu kuanza kufurukuta ndani na kujikuta akianza kunyanyuka taratibu. Mama Mariam akazidisha kunikumbatia huku akiniminya minya kiunjanja kwenye mbavu zangu pasipo Mariam kuona chochote.
“Dany ninahamu na wewe, kum**na mkund** wangu vilivyo kuona vyote vimeniwasha baby”
Mama Mariam alizungumza kwa sauti ya chini, huku akizidi kunifinya kwenye mbavu zangu kwa hisia kali sana.

AISIIIII……….U KILL ME 90 .                                                                                                 
Taratibu nikamuachia mama Mariam huku nikiwa na tabasamu pana usoni mwangu.
“Shikamoo mama”
Nilisalimia kwa kuzuga tu ila Mariam asifahamu ni kitu gani ambacho kinaendelea.
 
“Marahab mwanangu, aisee umebadilika sana”
“Kwa nini?”
“Umezidi kugangamala mwili wako”
“Mama siku hizi una maneno, kwani Dany si yupo kawaida tu”
“Mmmm labda macho yangu”
“Dany mwaya karibu kwenye sofa. Unatumia kinywaji gani?”
“Chochote aisee”
“Mletee wyne”
“Asubuhi yote hii mama?”
“Ahaa Dany namjua anapenda sana kunywa”
Mariam na mama yake walizungumza kwa furaha sana. Sikuzungumza chochote zaidi ya kuendelea kumtazama mama Mariam, jinsi anavyo zidi kumeremeta kama sio mtu mwenye umri mkubwa.
“Ehee Dany ulikuwa wapi siku zote hizo kwa maana ni muda mrefu sasa tangu tuonane?”
“Mizunguko ya maisha tu mama yangu”
“Ahaa ndio uwe bize. Sisi hadi tunahama Tanzania, ninamuambia Mariam akautafute anasema kwamba haupo kabisa”
 
“Ni kweli nilikuwa na mizunguko mingi sana, isinge kuwa rahisi kwa Mariam kuweza kuniona mimi”
“Kweli isinge kuwa rahisi kwa yeye kuweza kukuona, tena kwa staili ile ya kujibadilisha muonekano na kuwa msichana basi ilikuwa ni ngumu sana”
“Ehee Dany ulijibadilisha kuwa msichana?”
Mariam alizungumza kana kwamba hafahamu kitu chochote kilicho kuwa kinaendelea ilaukweli ana fahamu kila kitu kuhusiana na mimi na hata dakika ya mwisho alishuhudia jinsi tukio la usaliti lililo fanywa na Livna Livba.
“Ahaa weee acha tu, hali ilikuwa tete nilisakwa hadi nikajifanya mwanamke”
 
“Ila hadi tunaondoka, haukuwa unatangazwa kwenye vyombo vya habari”
Mama Mariam alizungumza huku akinitazama usoni mwangu kwa macho ya mitego kidogo.
“Kwani muna muda gani hadi kuwa hapa?”
“Kama miezi sita sasa etii Mariam?”
“Ndio miezi sita”
“Ahaaa, ila Tanzania hali ipoje kwa manaa nina muda sasa sijarudi?”
“Tanzania mambo ni yale yale hakuna jipya. Ila kuna mauaji mabaya yalitokeaa”
“Mamaaa………”
Mariam alizungumza huku akimtazama mama yake kwa uso ulio jikonja kidogo. Ikambidi mama Mariam kutabasamu na kubadilisha mada hiyo.
“Ndio hivyo Tanzania yetu ipo, raisi anafanya kazi yake tu”
“Sawa”
Sote tukamtazama Mariam baada ya mlio wa simu yake kuanza kuita. Akaipokea na simu kuiweka sikioni mwake.
“Ndiooo”    
 
“Ni mbaya?”
“Ninakuja sasa hivi”
Marima akakata simu huku akionekana kuwa na wasiwasi mwingi.
“Kuna nini?”
“Ally hali yake inazidi kuwa mbaya ngoja nielekee hospitali kumuona”
“Sawa”
“Dany nakuomba usiondoke hadi nirudi, jisikie hapa upo nyumbani”
“Aondoke aende wapi, leo atalala hapa hapa nyumbani”
“Mpe pole mgonjwa”
“Sawa Dany”
Marim akachukua funguo za gari lake alizo kuwa ameziweka mezani, akatoka ndani hapa na kuniacha mimi na mama yake. Mama Mariam akasimama na kukimbilia dirishani, akachungulia  kwenye pazia nje, baada ya dakika mbili akanigeukia.
 
“Vipi?”
“Nilikuwa namtazama kama anaondoka”
Mama Marim alizungumza na kuufwata mlango wa mbele, akafunga kwa ndani kisha akarudi na kusimama mbele yangu huku akiwa ananitazama kwa macho malegevu. Nikaipanua miguu yangu, taratibu akapiga magoti chini na kunikumbatia kwa nguvu sana. Akaanza kuninyonya midomo yangu kwa kasi sana huku akihema, jogoo wangu aliye kuwa ametulia kidogo akanyanyuka na kunizidishia midadi. Nikajikuta na mimi nikidisha kasi ya kunyonya midomo ya mama Mariam, mikono yetu ikawa na kazi ya kupita sehemu mbali mbali za miili yetu. 
 
Tukaanza kuvuana nguo huku, kila mmoja akiwa na midadi ya kuweza kupata penzi la mwenzake. Hata dakika moja haikuisha sote tukawa kama tulivyo zaliwa. Mama Mariam akamshika jogoo wangu vizuri na kuanza kumnyonya taratibu huku akiminya minya makend** yangu. Mama Mariam hakuishia hapo, akaanza kuyalamba makend** yangu kwa ulimi wake, huku kwa mara kadhaa anatumia lipsi zake kuyaminya minya, kitendo kilicho nifanya nianze kutoa miguno kadhaa huku nikihema.
 
Akanza kumpigisha pisha jogoo wangu kwenye mashavu  yake, alipo hakikisha ameridhika kucheza na jogoo wangu ambaye ana hamu kwa kipindi kirefu sasa. Akaka kwenye sofa huku ameipanua miguu yake, nikaanza na mimi kunyonya kitumbua chake, mama Mariam akaanza kutuoa miguno ya mhaba huku akiyachezea chezea maziwa yake kwa kuyaminya miya. Nilipo hakikisha ameridhika na unyonyaji wangu, shuhuli ikaanza. Jogoo wangu akawa na kazi moja tu, ya kuhakikisha kwamba anakishuhulikia kitumbua cha mama Mariam hadi yeye mwenyewe aridhike.
Tukakaa mikao ya kila aina yote ni kuhakikisha kwamba tunaridhishana, kwa manaa kila mmoja ana udhoefu na mwenzake.
 
“Dany”
Mama Mariam aliniita kwa sauti ya mahaba huku  akimkalia jogoo wangu taratibu.
“Ehee”
“Nifir** honey”
“Ehee!!”
“Yeahaa nipe mpenzi wangu”
Mama Marim alizungumza huku akimuhamishia jogoo wangu kutoka kwenye kitumbua hadi kwenye mkund**. Japo huu mchezo huwa siupendi sana, ila una utamu wake. Mama Mariam akaanza kuzungusha kiuno chake huku makalio yake yakinipigia piga kwenye mapaja yangu. Na kwa jinsi alivyo nipa mgongo, nilijikuta ninazidi kusikia furaha sana, kwa maana anayeweza.
 
Mama Mariam akahakikisha anajikuna haswa haswa hadi anaridhika, akamrudisha joo wangu kwenye kiumbua chake, hapa ndipo akazidi kuongeza mautundu hadi sote tukajikuta tukiumaliza macheazo kwa pamoja.
“Nakupenda sana Dany wangu”
Mama Mariam alizungumza huku akihema sana.
“Nami pia”
“Nawe pia nini?”
“Ninakupenda”
“Asante baby. Nyanyula tukaoge, isije huyu mtoto akaja akatukuta hivi tukadhalilika bure”
“Sawa”
Nikanyanyuka na tukaelekea bafuni, huku mama Mariam akiwa mbele yangu na mimi nimekumbatia kwa nyuma.  Akafungua bomba la maji ya mvua, taratibu yakaanza kushuka kwenye miili yetu.
 
“Dany yaani ubora wako haujapungua, yaani nimeona umeongezeka mara dufu”
“Mmmm”
“Uisigune, huo ndio ukweli. Yaani hapa ninajisikia mwepesi sana, nilikaa kwa kipindi chote nikijichokoa choa na mbo** za bandia tu”
“Kwa nini haukuwa na mwanaume mwengine?”
“Ahaa nimpatie wapi, yaani wanaume wengine nawaona machok** tu, hakuna anaye weza kuniimili zaidi yako, kwa maana unafahamu jinsi ya kucheza na kuta za kum** yangu”
“Mmmm sawa. Muda ule ulisema kuna mauji makubwa yalitokea Tanzania?”
“Ndioo tena ni mauji ya kusikitisha sana”
“Weeee ni mauaji ya nani?”
 
“Tumalize kwanza kuoga baby, kisha tunywe chai na nitakuelezea mambo mengi yaliyo tokea Tanzania”
“Sawa”
Hatukuchukua muda mrefu sana tukamaliza kuoga. Mama Mariam akanifunga taulo, ambalo lipo humu bafuni. Tokatoka huku yeye akiwa kama alivyo zaliwa, tukaingia kwenye chumba chake cha kulala. Taratibu akaanza kunifuta maji mwilini mwangu.
“Yaani Dany mama aliye kuzaa ninampa hongera sana”
“Kwa nini?”
“Amejua kutengeneza kipande cha mwanaume, yaani wewe sijui nikufananishe na nani”
“Mungu ndivyo alivyo kuwa amepanga”
“Kweli, yaani pale nilipo kuona mimi mwenyewe nilihisi  mwili mzima ukinitetemeka kwa furaha”
 
“Mwenyewe Maram alipo niambia kwamba upo nyumbani, wala sikuona haja ya mimi kuendelea kukaa naye kwenye huo mgahawa nilicho kuwa nimekihitaji ni kukuona wewe”
“Hivi Dany unajisikiaje kuwa na mimi?”
“Ni furaha, sana ila kwa sasa ninakuomba kaniletee nguo zangu, si unajua Mariam anaweza kurudi muda wowote”
“Kweli, tena ngoja nikazilete”
Mama Mariam  akatoka chumbani huku akiwa amefunga taulo niliko kuwa nimejifunga mimi. Hakuchukua muda mwingi sana akarudi huku akiwa na nguo zetu sote wawili. Nikaanza kuvuaa nguo ya ndani, kisha nikafwatia na suruali yagu, nilipo hakikisha kwamba nimevaa vizuri nikatoka chumbani humu na kumuacha mama Mariam akivaa vaa vizuri. 
 
Nikaitazama tazama nyumba hii ya Mariam, nikaona moja ya chumba amacho mlango wake upo wazi kidogo. Sikusita kufungua taratibu na kuingia ndani. Chumba hichi kimehifadhiwa vitabu vingi vilivyo pangwa vizuri kwenye sehemu maalumu zilizo jengewa kwenye kuta za chumba hiki. Nikachukua kitabu kimoja, nikakuta kimeandikwa na maandishi makubwa TANGA RAHA. Nikafungua kurasa kadhaa, na kuzipitishia pitishia macho kisha nikakirudisha katika sehemu ambayo kilikuwepo.
“Dany”
“Naam”
Ikanibidi kutoka katika chumba hichi baada ya kuisikia sauti ya mama Mariam ikiniita.
“Ohoo kumbe upo huku maktaba”
“Yaaaa”
“Njoo unywe chai, uchangamshe tumbo lako, kwa maana kitomb** ulicho nipatia, naamini hapo ulipo una njaa ya kutosha”
 
“Yaaa nina njaa kido kiasi”
Nikaka kwenye kiti, mama Mariam akaniandalia kifungua kinywa akaninawisha mikono, kisha taratibu tukaanza kula.
“Imekuwaje umefika huku Somalia?”
“Ni mihangaiko tu, si unajua mwanaume popote ni kambi”
“Kweli popote ni kambi, tena nimekumbuka ngoja nionyeshe picha za mauaji ambayo yametokea nchini Tanzania”
Mama Mariam akanyanyuka na kuelekea chumbani kwake, huku akinitingishia makalio yake makubwa, hii yote ni uchokozi wa kimapenzi. Nikaendelea kula chakula taratibu, mama Mariam akarudi akiwa ameshika simu yake mkononi aina ya Samsung Galax Note 5.
 
“Yaani Tanzania sasa hivi, yanatokea matukio ya kutisha sana hembu tazama hizi picha”
Mama Mariama akanipa simu yake, nikaipokea taratibu, kabla sijatizama picha anazo taka kunionyesha, mlango ukafunguliwa, akaingia Mariam huku akiwa katika hali ya huzuni. Kwa mwendo wake wa kinyonge akatembea hadi sehemu tulipo kaa, akanibwaga kwenye kiti komoja wapo, huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake.
“Kuna nini?”
Mama Mariam aliuliza huku akimtazama Mariam usoni, hata mimi mwenye nikabaki nikiwa ninamtazama Mariam.
“Ally amefariki”
“Ally huyu huyu mpenzi wako uliye kuja naye jana mchana hapa?”
“Ndio mama”
 
Mariam alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake, mama Mariam akanyanyuka kwenye kiti alicho kalia, akamsogelea Mariam na kumnyanyua taratibu, wakakumbatiana, huku mama Mariam akiwa na kazi ya kumbeleza Mariam. 

Kutokana ni mama na mwana wapo kwenye hali ya majonzi, ikanibidi nitazame picha ambazo mama Mariam alihitaji kunionyesha. Picha ya kwanza nikaona watu wakiwa wamekatwa shingo zao na wametupwa barabarani. Nikatazama picha ya pili, nikaona askari mmoja akiwa amepigwa risasi ya kichwa, picha ya tatu ikanifanya ninyanyuke kwa haraka huku macho nimeyatoa. 

Ili kuhakikisha ninacho kiona ni chenyewe na si utani, nikaikuza picha ya mama yangu anaye onekana kuchinjwa kikatilia sana jambo lililo nifanya nianze kutetemeka mwili mzima, huku nguvu za mwili nikihisi zinaanza kunishia. Nikajikaza hivyo hivyo kusogeza picha ya mbeleni, hapo napo nikamuona Diana mdogo wangu akiwa amachinjwa huku maziwa yake yakiwa yamekatwa jambo lililo nifanya nijikute nikiiachia simu ya mama Mariam ikaanguka chini, hata mimi mwenyewe siku sikumaliza hata sekunde tatu, nikajikuta nikianguka chini na kutulia tuli.
                                                                            ITAENDELEA   KESHO

Habari Njema Kwa Wasomaji Wetu: Zile Riwaya Zoka Kali Zilizokuwa Zimesimama Kwa Muda Zimeanza Tena hapa hapa Mpekuzi

$
0
0
Riwaya kali na za kusisimua zilizokuwa zimesimama kwa  muda zimeanza kuruka hewani tena hapa hapa Mpekuzihuru.com

Riwaya hizo zilisimama kwa muda kutokana na sababu za kiufundi, lakini kwa sasa kila kitu kiko vizuri.

Kwa siku tutaweka sehemu mbili mfululizo, na kuanzia kesho October 6 tutaanza na kitu kingine kipya  kiitwacho POWER kwa ajili yako msomaji wetu.

Endelea kuitembelea Mpekuzi au Install App yetu kwenye simu yako ili usipitwe na lolote

Tandale Yote Leo Imesimama: Meneja wa Diamond Kapangua Tuhuma za Kugawa Bima kwa Upendeleo

$
0
0
Meneja wa mwanamuziki Diamond Platnumz, Babu Tale amekanusha madai kuwa msaada wa bima ya afya unaotolewa na msanii wake ni kwa ajili ya watu maalum.
 
Tale amelazimika kusema hayo baada ya kuwepo malalamiko ya watu  wakiamini kuwa wanaopata waliandaliwa.
 
Meneja huyo yupo katika uwanja wa Magunia kutoa  bima hizo kwa niaba ya Diamond ambaye bado hajawasili amesema wanatoa bila kuchagua.
 
"Jamani kutoa riziki ni kazi ngumu ndio maana Mungu amejificha kwahiyo hayo malalamiko yenu nayaelewa hakuna aliyechaguliwa kabla kila kitu kinafanyika hapa hapa, msije mkaniroga bure mie nimetumwa tu.
 
“Kijana wenu ameamua kutoa bima hizi kwa ajili ya wanaTandale wote bila ubaguzi ” -Babu Tale

Jinsi ya Kumtambua Mpenzi Tapeli na Muongo

$
0
0
Inawezekana upo katika uhusiano na tapeli wa mapenzi bila kujua, hiyo ni sumu na unachotakiwa kufanya sasa ni kuanza kumchunguza mpenzi wako mapema isije kuwa upo kwenye foleni!

Hakuna kitu kibaya kama kuwa katika foleni ya wapenzi kwa mpenzi mmoja, tena mbaya zaidi awe ni yule ambaye moyo wako umempenda kwa dhati.

Kumbuka, kuwa katika uhusiano na mtu ambaye haeleweki ni sawa na kukaribisha matatizo katika maisha yako, huna sababu ya kuishi kwa wasiwasi ukiwa hujui mpenzi wako anakuchukulia vipi.

Anza kumuwekea mitego mapema. Lakini katika mitego yako achana na simu yake kabisa, huna sababu ya kuchunguza simu yake lakini kama ni msaliti utajua tu, unafikiri atajificha mpaka lini?

Atafanya mambo yake gizani mpaka lini? Kuna siku utagundua na kumuacha aendelee na umalaya wake kama ameona ndiyo maisha. Usikubali kabisa kuwa katika penzi la kitumwa, penzi la kisaliti, kuwa na mtu ambaye anakuchanganya wa kazi gani zaidi ya kukupotezea muda na kukukaribishia machozi?

UTAMJUAJE MPENZI LAGHAI?
Hapa ndipo kwenye kazi, kwa bahati mbaya sana kama ikitokea ukampenda mtu sana hata kama akifanya mabaya kiasi gani unaweza usiyaone, kama wewe ni wa aina hii unapaswa kubadilika kifikra. Mwone wa kawaida, fanya uchunguzi wako polepole na kama ukiona moja kati ya mambo yafuatayo, ujue kuna kitu.

(a) Hataki ujulikane na rafiki zake
Hii ni kati ya alama walizonazo matapeli wa mapenzi, ni mtu wa kufanya mambo kwa upekee sana. Kila dakika hakaukiwi na neno nakupenda sana, lakini moyoni mwake hakuna alama hata moja ya mapenzi kwako.

Ni vigumu kumtambua mtu wa aina hii lakini chunguza kuhusu hili, hapendi kabisa kukukutanisha na rafiki zake na hata mkikutana nao kwa bahati mbaya basi hatakutambulisha na kama akikutambulisha hatakutambulisha kama mpenzi wake rasmi. Ataishia kusema ninyi ni marafiki mlioshibana!

Tangu lini mpenzi akatambulishwa kama rafiki? Mtu anapomtambulisha mpenzi wake humtambulisha kwa kujisikia furaha moyoni kwamba anamtambulisha mpenzi wake lakini inakuwaje kwako akutambulishe kama rafiki?

Baadaye utakapomuuliza hawezi kuwa na jibu la maana, atabaki kukuambia hata kama akikutambulisha kama rafiki jamaa ataelewa kuwa ni mpenzi wake, hii inaingia akilini kweli?

Hakuna ukweli kama huo ndugu zangu! Huo ni ulaghai na anaogopa kukutambulisha kama mpenzi maana tayari ameshaonwa akiwa na wapenzi wengine. Sasa kama ndivyo, atatambulisha wangapi? Aseme wewe ni nani? Amka ndugu yangu!

(b) Msiri kupitiliza
Hii ni alama nyingine waliyonayo wanaume wa aina ninayoielezea katika mada hii. Siku zote mambo yake ni kwa siri kubwa, kama mna ahadi ya kukutana, hataki muongozane, atakuambia mkutane moja kwa moja sehemu husika. Hata muda wa kuondoka atafanya kila njia ili kila mmoja aondoke mwenyewe na kama mkiondoka pamoja basi ujue ni usiku na hakuna atakayewaona.

Ikitokea akakubali kuongozana na wewe, hatapenda muongozane pamoja. Atalazimisha utangulie mbele yeye afuate nyuma, kwa nini? Kwa sababu anaogopa kujulikana kuwa yeye ni mpenzi wako na kama anaogopa anakupenda kweli? Mapenzi gani hayo yanafanywa kwa siri? Anakupotezea muda huyo.

(c) Hapendi ndugu wafahamiane
Mpenzi wa aina hii ni mjanja sana, kwanza kabisa atajifanya mtu mwenye ‘ubize’ sana, yote hii ni kukwepa kuwajua ndugu zako au wewe kuwajua ndugu zake! Wakati mwingine anakuwa hapendi ndugu zako na wake wakutane wakijua wazi kuwa nyie mna uhusiano, hili ni tatizo.

Hakuna uhusiano wenye heri na malengo ya kuishi pamoja siku zijazo ukawa wa kificho cha kiasi hicho. Kama ana nia na wewe basi atahakikisha anawafahamu baadhi ya ndugu zako na wewe unawafahamu baadhi ya ndugu zake, hayo ndiyo mapenzi ya kweli.

Mapenzi hayaishii kwa nyie wawili pekee bali hata kwa ndugu zenu. Mnapojuana inakuwa rahisi kusaidiana hata katika mambo mengine ya kawaida.

MWILI wako  una thamani kubwa sana, usiidharau jinsi yako, usijishushe kiasi hicho, huyo anayekupotezea muda na kukuchezea sasa hivi hana thamani kama huyo aliyeandaliwa kwa ajili yako. 

#Pakua App Yetu tukuhabarishe, Sasa Tumerudi Upya


Wanawake Ndo Chanzo cha Upungufu wa Nguvu za Kiume kwa Wanawake....Soma Hii Kitu

$
0
0
Kesi ya wanaume kupungukiwa nguvu za kiume zimezidi kushika kasi, kiasi cha kufanya dawa za kuongeza nguvu hizo kuwa maarufu na zenye mahitaji makubwa katika jamii.

Waganga wa kienyeji wamekuwa wakitumia dawa hizo kama tiba ya msingi ya kuwavutia wateja kwenye biashara zao. Hii inaonesha kuwa tatizo hili ni kubwa miongoni mwa wanaume wengi katika jamii yetu.

Hata hivyo, utafiti unaonesha kwamba wengi kati ya wanaume waliowahi kutumia dawa za asili na zile za hospitali kuondokana na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume hawakufanikiwa kupata tiba ya kudumu, matokeo yake wamegeuzwa kuwa watumwa wa kila wanapotaka kushiriki tendo lazima wabwie ‘kolezo’ la kuwasaidia kuamsha hisia zao.

Kwa wanaume, ukosefu wa nguvu ni jambo linalouma na kuondoa kabisa ujasiri. Wengi kati yao wako tayari kutumia pesa na uwezo wao wote kuhakikisha kuwa heshima ya tendo la ndoa inakuwa katika miliki yao daima.

Lakini, watafiti wa masuala ya mapenzi wamegundua kuwa wengi kati ya hao wanaolalamika kupungukiwa nguvu za kiume, hawafahamu chanzo cha matatizo na namna wanavyoweza kuepukana na kasoro hizo.

Ushahidi uliopatikana kwa waathirika wa tatizo hili, unaonesha kuwa wanaume wanapokabili upungufu wa nguvu za kiume huishia kujuta na kujilaumu wenyewe bila kutazama upande wa pili wa washirika wao, namaanisha wanawake.

Zipo kesi za wanaume kujiua au kujinyofoa sehemu zao za siri kwa sababu ya kushindwa katika tendo la ndoa. Hali hii inatoa picha kwamba wanaume wengi hujitwika mzigo wa lawama wenyewe.

Dokta Bianca P. Acevedo kutoka Chuo Kikuu cha California, Santa Barbara anasema, wanawake huchangia kwa kiasi kikubwa tatizo la upungufu wa nguvu za kiume, jambo ambalo nami nalithibitisha kwa ushahidi wa kitaalamu ufuatao:

1: KAULI
Miongoni mwa mambo ambayo mwanaume hataki kuyasikia yakitoka kwenye kinywa cha mwanamke ni kuambiwa HAWEZI TENDO LA NDOA. Mwanamke akimwambia mwanaume wakati au baada ya tendo kuwa hawezi, atakuwa amemsababishia tatizo kubwa la kisaikolojia ambalo litampelekea kupotea nguvu za kiume taratibu.

Msaada unaohitajika kwa mwanamke anayekutana na mwanaume dhaifu kwenye tendo si kumwambia hawezi, bali ni kumtia moyo na kumsaidia kuweza. Wanawake wamewasababishia waume zao upungufu wa nguvu za kiume kwa kuwaambia maneno kama haya: “Yaani siku hizi sijui umekuwaje, yaani huwezi kazi kabisa!”

2 : UJUZI
Wanawake wengi hasa waliopo kwenye ndoa, wanapuuza ujuzi kwenye tendo la ndoa. Hawajishughulishi kumsaidia mwanaume ‘kuwika’, si wabunifu na watundu, jambo hili humfanya mwanaume kushiriki tendo kwa kutegemea kupanda kwa hisia zake mwenyewe, hivyo anapokuwa amechoka au ana mawazo, hawezi kusisimka kwa vile hapati ushirikiano toka kwa mwenzake.

Pamoja na wengi kutokuwa wajuzi, lakini wapo wengine ambao ni watundu mno kwenye sita kwa sita kiasi cha kumfanya mwanaume ajione kama mgeni wa mchezo huo.

Kimtazamo, wanaume hupenda sana ushindi wakati wa ‘kazi’, lakini pale wanapogeuzwa ‘chekechea’ hupunguza uwezo wa kujiamini na kuruhusu hofu kuongezeka mawazoni mwao, hivyo kuwasababishia tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.

Inashauriwa kwamba, mwanamke anapokuwa na uelewa mkubwa wa masuala ya mapenzi hasa wakati wa tendo, asioneshe kiwango kikubwa kwa haraka bali amchukulie mwenzake kama mwanafunzi, asiwe na maneno kama: “Leo nakuja kukupa vitu adimu kuliko vya juzi, hakuna kulala kasi mtindo mmoja.” Kauli hizi huwaogopesha wanaume na kuwafanya wapungukiwe na nguvu.

3.USAFI
Mwanamke anapokuwa si msafi, huweza kumsababishia mwanaume matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume. Sote tunafahamu umuhimu wa usafi wa mwili na kero za uchafu wakati wa tendo, hivyo ni wazi kuwa mwanamke akiwa mchafu atamfanya mwanaume apoteze msisimko na uwezo wa tendo la ndoa. Unadhifu wa mavazi na mwili ni muhimu sana katika mapenzi.

4.GUBU
Jambo lingine linaloweza kumsababishia mwanaume upungufu wa nguvu za kiume ni gubu au karaha za maneno ya uchokozi yasiyokuwa na kichwa wala miguu. Uchokonozi wa mambo, ugomvi, usaliti na hali ya kutokuwa na staha ni mambo yanayosababisha tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.

Mwanamke anapokuwa mwingi wa maneno ya kashfa, dharau na matusi huweza kumfanya mume amchukie na kutopenda kushiriki naye tendo. Uchunguzi unaonesha kwamba wanawake walioolewa wenye tabia hii, huwafanya waume zao wawe na msisimko wa kimapenzi kwa wanawake wa nje kuliko wake zao hao.

5.USALITI
Tabia ya usaliti kwa mwanamke ni chanzo kingine cha mwanaume kupata tatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Mwanaume anapoona, kuhisi au kubaini kuwa anasalitiwa, huumia sana moyoni, maumivu ambayo hatimaye humfanya muhusika kuwa na mawazo mengi ambayo humuondolea hamu ya tendo.

Mada hii imezungumzia zaidi wanawake, lakini vipengele vilivyomo kwenye somo hili vinatumika pia kwa upande wa wanaume kuwasababishia wanawake matatizo ya kupoteza msisimko wakati wa tendo.

#Pakua App Yetu tukuhabarishe, Sasa Tumerudi Upya 

Mwalimu Atiwa Mbaroni Kwa Kumlawiti Mwanafunzi

$
0
0
Na John Walter-Babati
Jeshi la polisi mkoa wa Manyara linamshikilia Mwalimu wa shule ya Msingi Rift Valley English Medium mkazi wa mruki mjini Babati kwa tuhuma za kumlawiti Mwanafunzi wake wa kiume [11] anayesoma darasa la tano.

Kaimu Mganga mfawidhi wa Hospitali ya mji wa Babati Mrara Dr. Catherine Palanjo amethibitisha kupokelewa kwa mtoto huyo  [jina  tunalihifadhi],ambaye aliambatana na mzazi wake [mama] mkazi wa Angoni pamoja na askari polisi ambapo walipatiwa  huduma na vipimo vyote vilivyohitajika na daktari wa zamu na baada ya hapo akarudi nyumbani.

Akizungumzia tukio hilo Kamanda wa polisi mkoa wa Manyara Agustino Senga amesema limetokea Septemba 28.2018 majira  ya saa saba mchana  ambapo Mama wa mtoto aliefanyiwa ukatili huo Silivia  William[42] daktari wa kituo cha afya Galapo Mkazi wa Angoni C aligundua kuwa mwanae hayupo katika hali ya kawaida ndipo alipomuhoji na kumjibu kuwa amefanyiwa kitendo cha ulawiti na mwalimu wake  ajulikanaye kwa jina la Charles Melkiory maarufu Msele [32] mkazi wa mtaa wa Mruki kata ya Maisaka wakati wakiwa wanaendelea na vipindi vya dini shuleni hapo.

Kamanda ameeleza kuwa siku ya tukio mwanafunzi huyo alikuwepo shuleni ambapo ilipofika mapumziko ya kunywa uji saa 4:00 asubuhi  mwanafunzi mwenzake wa darasa la tano  alimfuata na kumueleza kuwa mwalimu [mtuhumiwa] anamuhitaji ofisini kuna maelekezo anataka kumpatia, na alipofika alimwambia urudi saa tano,lakini ilipofika muda wa kipindi cha dini  alimwambia kwamba tutakutana bwenini kuna jambo la msingi nataka kukuambia.

Kamanda aliendelea kwa kueleza kuwa ilipofika majira ya saa saba mchana mwanafunzi huyo akiwa na mwenzake ambaye yupo bweni alikwenda kuchukua daftari na kwenda wote,yule wa bweni akarudi darasani  kwenye kipindi cha dini lakini yeye alibaki kusubiri maelekezo ya mwalimu wake ambaye alifika na kumvua nguo na kumuingilia kwa kumpaka mafuta huku akimpa vitisho vikali na kwamba asimweleze mtu yeyote.

Akizungumza mkuu wa shule ya Rift Valley Babati kwa upande wa Sekondari Dadly Wilfredy  amesema tukio hilo ni la mara ya kwanza kutokea na  kwamba  sio desturi ya shule hiyo na kuwataka wazazi wenye  wasiwe na hofu kwani walimu wapo kwa ajili ya  kuwasaidia  watoto ambapo kwa sasa wamejipanga kuwapa ushauri na ulinzi madhubuti.

“Huyu mwalimu kwanza ni mgeni sana hapa shuleni hana hata mwaka,amepata hii ajira ndani ya miezi sita tu,kwa hiyo hatujaweza kutambua kikamilifu tabia yake ila tunavyojua ni kwamba kwa walimu waliopo shuleni zaidi ya miaka sita hatujawahi kumona yeyote mwenye tabia mbaya,hawa watu wanaweza kusema hivyo kwa Interest zao lakini msema ukweli ni pale upelelezi utapofika mwisho na kuweza kutoa taarifa kamili,”alisema Mwalimu Wilfredy.

Kwa upande wa afisa Maendeleo ya Jamii mji wa Babati Jackline Gudluck ametoa ushauri kwa wazazi kuhakikisha kuwa wanakuwa karibu na watoto wao na kuzungumza nao na sio kuwakemea ili waweze kugundua changamoto mbalimbali zinazowakabili pindi wanapokuwa mashuleni.

Jeshi la polisi mkoa wa Manyara limeeleza kuwa linamalizia upelelezi wa tuhuma hizo na mtuhimwa yupo mahabusu na muda wowote atafikishwa mahakamani kujieleza.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images