ILIPOISHIA
Nesi akaanza kuniandikia risiti, kisha akanikabidhi. Nikatoka nje na kuelekea sehemu ya maegesho ya magari. Nikasimama kwa muda, huku nikitazama gari nyekundu aina ya benzi inayo simama pembeni yangu.
Dereva wa gari hili akafungua mlamgo kidogo, na kuanguka chini, jambo lililo nifanya nibaki na mshangao, ila nilipo mchunguza kidogo, nikagundua ana jeraha la risasi kwenye kifua chake na nidamu nyingi zinazo endelea kumvuja katika jeraha lake na endepo nisipo fanya msaada wowote kwake basi anaweza kupoteza maisha mbele yangu.
ENDELEA
Kwa haraka nikamuwahi kumfwata hadi sehemu alipo anguka, nikamnyanyua na kumbeba mikononi mwangu, japo ana uzito mkubwa kidogo ila nikajitahidi, cha kumshukuru Mungu manesi waliweza kuniona mapema, wakanisaidia kwa kusogeza kitanda cha wagonjwa, akalazwa na moja kwa moja akapelekwa katika chumba cha upasuaji kwa matibabu ya haraka.
“Amepata tatizo gani?”
Daktari mmoja aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.
“Sifahamu, nilikuwa kwenye maegesho ya magari, akafika akiwa katika hiyo hali”
“Ok asante kwa msaada wako”
“Sawa sawa”
Nikarudi katika sehemu nilipo muacha Rashidi. Sikumkuta ila kwa bahati nzuri nikamkuta nesi akiwa anatoka katika chumba alicho lazwa mama Rashidi.
“Huyu binti aliyekuwa amekaa hii sehemu yupo wapi?”
“Yumo humu ndani”
“Mama yake amepata nafuu?”
“Ndio”
Kwa uwazi mdogo wa mlango nikamuona Rashidi akiwa amekumbatiana na mama yake. Sikuona haja ya kuwasumbua, taratibu nikaondoka na kuelekea nje. Nikalivua koti langu la suti ambalo limejaa damu za jamaa aliye kuja akiwa na jeraha la silaha. Gari nyeusi aina ya Verosa ikasimama mbele ya gari langu, sikuamini macho yangu nilipo muona Mariam akishuka kwenye hii gari. Hakuniangalia mimi, akaanza kukimbilia ndani huku akionekana ni mtu mwenye wasiwasi. Sikuhitaji kufanya papara ya kumfwata Mariam, nikaanza kutazama pande zote za hii hospitali, sikuona mtu ambaye ninaweza kumtilia mashaka katika, nikafungua nyuma kwenye buti ya gari na kuliweka koti hili lenye damu. Nikalichunguza koti langu sikuona doa lolote la damu. Taratibu nikaelekea ndani kufwata Mariam huku bastola nikiwa nimeicha ndani ya gari.
“Huyu dada aliye ingia muda huu amelekea wapi?”
“Kule”
Nesi alinionyesha huku akinyayua mkono wake, nikamuona Mariam akiwa amekaa nje ya mlango wa chumba alicho ingizwa jamaa niliye msaaidia. Nikatembea kwa kujiamini hadi sehemu alipo kaa, huku akiwa amejiinamia chini. Nikavua miwani yangu na kukaa pembeni yake, kitu kilicho mfanya kunitazama.
“DANY……!!!”
Mariam aliniitwa kwa mshangao huku akiwa ameyatoa macho yake.
“Usionyeshe dalili ya kunifahamu”
Nilizungumza huku nikiwa ninaangalia mbele sikuhitaji mtu yoyote katika hii hospitali aweze kufahamu kwamba mimi nina fahamiana na Mariam kwa maana hadi muda huu sifahamu nani yupo nyuma yangu katika kunifwatilia kuona kama ninaweza kuikamilisha hii kazi niliyo pewa kwa maana inaweza kuwa moja ya mtego kwa wana kikundi cha Al-Shabab kuufahamu kwamba mimi ni nani.
“Imekuwaje hadi leo upo hai?”
Mariam aliniuliza kwa sauti ya chini sana huku akiwa amejiinamia chini akionekana kama mtu mwenye mawazo kwa mgonjwa wake.
“Mimi ndio nikuulize imekuwaje hupo hai na hapa Somalia unafanya nini?”
“Ni historia ndefu sana, je wewe kwa upande wako?”
“Pia ni historia ndefu. Ninaomba tuweze kuonana nje ya hapa?”
“Hilo halina shaka, ngoja niweze kupata majibu ya mgonjwa wangu?”
“Huyu jamaa ni mgonjwa wako?”
“Ndio, kwani unamfahamu?”
“Hapana, niambie ni wapi tuweze kuonana?”
“Kesho saa moja asubuhi tuonane kwenye mgahawa mmoja haupo mbali sana na hii hospitali”
“Sawa kuwa makini sana katika hili”
“Ok”
Nikanyanyuka na kuondoka katika eneo hili. Moja kwa moja nikaelekea kwenye gari langu, nikaanza safari ya kurudi hotelini. Nikafika hotelini salama. Bastola yangu pamoja na magazine za bastola hii nikatotoa nazo na kuelekea chumbani kwangu.
Furaha niliyo nayo moyoni mwangu ikazidi kunitawala kadri muda unavyo zidi kwenda. Kuonana na Mariam ni moja ya mafanikio makubwa kwangu kwenye kazi hii ambayo nimepanga kuifanya nina amini kwamba itakwenda kama vile ninavyo hitaji kwenda. Kijiusingizi kakanipitia kidogo nikiwa nimekaa kwenye sofa.
Mwanga wa jua unao ingia kupitia dirishani, ukanifanya niweze kufumbua macho yangu na kunyanyuka kwenye sofa nililo kali. Nikaingia bafuni na kuoga, nikajiandaa kwa kutoka. Sikua na muda wa kupoteza nikatoka ndani ya chumba changu, nikaingia kwenye gari langu, na kuelekea kwenye mgahawa ambao ndio upo pekee katika eneo la karibu la hospitali. Nikatafuta sehemu iliyo jificha nikaka, nikatoa simu yangu mfukoni na kumpigia Hawa.
“Ndio mkuu”
“Vipi umefanikiwa?”
“Kuna asilimia kadhaa ambayo ninaamini nitafanikiwa”
“Jana ulifanikiwa kumuona huyo adui?”
“Hapana sikufanikiwa japo nilikaa hadi muda wa usiku sana”
“Ukihitaji msaada hakikisha kwamba unanifahamisha”
“Sawa mkuu”
“Asubuhi njema”
“Nawe pia mkuu”
Nikakata simu, haukupita muda mwingi, akaingi Mariam, akatazama kila kona ya huu mgahawa, alipo niona akanifwata hadi sehemu nilipo kaa huku akiwa amevaa kofia kubwa ambayo si rahisi kwa kuweza kuiona sura yakeyote kirahisi.
“Habari yako”
“Salama”
Marim akaka kwenye kiti ambacho tunatazama na katikati tumetenganishwa na meza. Ukimya ukatawala katikati yetu, kila mtu akiwa anamtazama mwenzake usoni.
“Dany hujabadilika chochote mume wangu”
“Hata wewe haujabadilika, ila ninahitaji kufahamu vitu vingi sana kutoka kwako kwa maana sielewi kitu kinacho endelea?”
“Ni kweli unahitaji kufahamu mambo mengi sana kutoka kwangu. Tangu nilipo chukuliwa na Livna Livba na kunipeleka katika ngome ambayo tulitokea, waliweza kunipatia mateso makali sana. Mateso yale yalinipelekea kukubaliana kwa kile ambacho nilikuwa wanahitaji mimi niweze kukifanya”
“Kitu gani?”
Mariam akaka kimya huku akinitazama usoni mwangu.
“Ni kitu kimoja kikubwa sana kwenye maisha yangu, sikuwa na jinsi nyingine zaidi ya kuhakikisha ninafanya hivyo”
“Ndio uniambie ni kitu gani hicho”
“Ahaa Dany tuachane nacho hicho kitu. Naomba tuzungumzie yaliyo tukutanisha hapa”
Japo ninahitaji kufahamu ni kitu gani anacho anakizungumzia ila nikanyamaza ili mradi nifahamu mambo mengi kutoka kwake.
“Somalia umefikaje?”
“Baada ya kumaliza kazi ambayo nilipatiwa na Livna, niliweza kuwa huru kufanya chochote ambacho ninatakiwa kukifanya. Niliamua kabisa kuachana na mambo yote ya ugaidi, niishi kama wasichana wengine. Ndipo nikafanikiwa kupata mwanaume ambaye alinipenda, japo nilianza kumpenda taratibu”
“Vizuri sana”
Nilizungumza kauli ambayo sikutarajia kama inaweza kunitoka, ila kwa mbali moyo wangu ukaniuma sana kusikia kwamba ana mwanaume mwengine.
“Dany natambua kwamba unajisikia vibaya katika hilo”
“Ahaa hapana kwa maana huna kosa lolote, Je ulisha wahi kwenda Tanzania?”
“Tanzania nilisha hama kabisa, mimi na mama yangu”
“Kwa hiyo mama yupo hapa Somalia?”
“Ndio yupo hapa Somalia”
“Tunaweza kwenda kumuona muda huu?”
“Ndio”
“Umekuja na usafiri wako au twende na wangu?”
“Tuongozane”
Tukatoka kwenye huu mgahawa, kila mmoja akaingia kwenye gari lake. Tukaeleka hadi nyumbani kwa Mariam. Mandhari yah ii nyumba ina ulinzi wa kutosha na imezungushiwa gati kubwa na kuna walinzi kadhaa nje. Tukasimamisha magari yetu katika sehemu maalimu ya maegesho, tukashuka, Marima akanikaribisha ndania kiwa na furaha. Tukaingia sebleni, nikamkuta mama Mariam akiwa anatazama Tv, alipo niona kwa haraka akanikimbilia na kunikumbatia kwa nguvuu. Joto la mama Marima likamfanya jogoo wangu kuanza kufurukuta ndani na kujikuta akianza kunyanyuka taratibu. Mama Mariam akazidisha kunikumbatia huku akiniminya minya kiunjanja kwenye mbavu zangu pasipo Mariam kuona chochote.
“Dany ninahamu na wewe, kum**na mkund** wangu vilivyo kuona vyote vimeniwasha baby”
Mama Mariam alizungumza kwa sauti ya chini, huku akizidi kunifinya kwenye mbavu zangu kwa hisia kali sana.
AISIIIII……….U KILL ME 90 . Taratibu nikamuachia mama Mariam huku nikiwa na tabasamu pana usoni mwangu.
“Shikamoo mama”
Nilisalimia kwa kuzuga tu ila Mariam asifahamu ni kitu gani ambacho kinaendelea.
“Marahab mwanangu, aisee umebadilika sana”
“Kwa nini?”
“Umezidi kugangamala mwili wako”
“Mama siku hizi una maneno, kwani Dany si yupo kawaida tu”
“Mmmm labda macho yangu”
“Dany mwaya karibu kwenye sofa. Unatumia kinywaji gani?”
“Chochote aisee”
“Mletee wyne”
“Asubuhi yote hii mama?”
“Ahaa Dany namjua anapenda sana kunywa”
Mariam na mama yake walizungumza kwa furaha sana. Sikuzungumza chochote zaidi ya kuendelea kumtazama mama Mariam, jinsi anavyo zidi kumeremeta kama sio mtu mwenye umri mkubwa.
“Ehee Dany ulikuwa wapi siku zote hizo kwa maana ni muda mrefu sasa tangu tuonane?”
“Mizunguko ya maisha tu mama yangu”
“Ahaa ndio uwe bize. Sisi hadi tunahama Tanzania, ninamuambia Mariam akautafute anasema kwamba haupo kabisa”
“Ni kweli nilikuwa na mizunguko mingi sana, isinge kuwa rahisi kwa Mariam kuweza kuniona mimi”
“Kweli isinge kuwa rahisi kwa yeye kuweza kukuona, tena kwa staili ile ya kujibadilisha muonekano na kuwa msichana basi ilikuwa ni ngumu sana”
“Ehee Dany ulijibadilisha kuwa msichana?”
Mariam alizungumza kana kwamba hafahamu kitu chochote kilicho kuwa kinaendelea ilaukweli ana fahamu kila kitu kuhusiana na mimi na hata dakika ya mwisho alishuhudia jinsi tukio la usaliti lililo fanywa na Livna Livba.
“Ahaa weee acha tu, hali ilikuwa tete nilisakwa hadi nikajifanya mwanamke”
“Ila hadi tunaondoka, haukuwa unatangazwa kwenye vyombo vya habari”
Mama Mariam alizungumza huku akinitazama usoni mwangu kwa macho ya mitego kidogo.
“Kwani muna muda gani hadi kuwa hapa?”
“Kama miezi sita sasa etii Mariam?”
“Ndio miezi sita”
“Ahaaa, ila Tanzania hali ipoje kwa manaa nina muda sasa sijarudi?”
“Tanzania mambo ni yale yale hakuna jipya. Ila kuna mauaji mabaya yalitokeaa”
“Mamaaa………”
Mariam alizungumza huku akimtazama mama yake kwa uso ulio jikonja kidogo. Ikambidi mama Mariam kutabasamu na kubadilisha mada hiyo.
“Ndio hivyo Tanzania yetu ipo, raisi anafanya kazi yake tu”
“Sawa”
Sote tukamtazama Mariam baada ya mlio wa simu yake kuanza kuita. Akaipokea na simu kuiweka sikioni mwake.
“Ndiooo”
“Ni mbaya?”
“Ninakuja sasa hivi”
Marima akakata simu huku akionekana kuwa na wasiwasi mwingi.
“Kuna nini?”
“Ally hali yake inazidi kuwa mbaya ngoja nielekee hospitali kumuona”
“Sawa”
“Dany nakuomba usiondoke hadi nirudi, jisikie hapa upo nyumbani”
“Aondoke aende wapi, leo atalala hapa hapa nyumbani”
“Mpe pole mgonjwa”
“Sawa Dany”
Marim akachukua funguo za gari lake alizo kuwa ameziweka mezani, akatoka ndani hapa na kuniacha mimi na mama yake. Mama Mariam akasimama na kukimbilia dirishani, akachungulia kwenye pazia nje, baada ya dakika mbili akanigeukia.
“Vipi?”
“Nilikuwa namtazama kama anaondoka”
Mama Marim alizungumza na kuufwata mlango wa mbele, akafunga kwa ndani kisha akarudi na kusimama mbele yangu huku akiwa ananitazama kwa macho malegevu. Nikaipanua miguu yangu, taratibu akapiga magoti chini na kunikumbatia kwa nguvu sana. Akaanza kuninyonya midomo yangu kwa kasi sana huku akihema, jogoo wangu aliye kuwa ametulia kidogo akanyanyuka na kunizidishia midadi. Nikajikuta na mimi nikidisha kasi ya kunyonya midomo ya mama Mariam, mikono yetu ikawa na kazi ya kupita sehemu mbali mbali za miili yetu.
Tukaanza kuvuana nguo huku, kila mmoja akiwa na midadi ya kuweza kupata penzi la mwenzake. Hata dakika moja haikuisha sote tukawa kama tulivyo zaliwa. Mama Mariam akamshika jogoo wangu vizuri na kuanza kumnyonya taratibu huku akiminya minya makend** yangu. Mama Mariam hakuishia hapo, akaanza kuyalamba makend** yangu kwa ulimi wake, huku kwa mara kadhaa anatumia lipsi zake kuyaminya minya, kitendo kilicho nifanya nianze kutoa miguno kadhaa huku nikihema.
Akanza kumpigisha pisha jogoo wangu kwenye mashavu yake, alipo hakikisha ameridhika kucheza na jogoo wangu ambaye ana hamu kwa kipindi kirefu sasa. Akaka kwenye sofa huku ameipanua miguu yake, nikaanza na mimi kunyonya kitumbua chake, mama Mariam akaanza kutuoa miguno ya mhaba huku akiyachezea chezea maziwa yake kwa kuyaminya miya. Nilipo hakikisha ameridhika na unyonyaji wangu, shuhuli ikaanza. Jogoo wangu akawa na kazi moja tu, ya kuhakikisha kwamba anakishuhulikia kitumbua cha mama Mariam hadi yeye mwenyewe aridhike.
Tukakaa mikao ya kila aina yote ni kuhakikisha kwamba tunaridhishana, kwa manaa kila mmoja ana udhoefu na mwenzake.
“Dany”
Mama Mariam aliniita kwa sauti ya mahaba huku akimkalia jogoo wangu taratibu.
“Ehee”
“Nifir** honey”
“Ehee!!”
“Yeahaa nipe mpenzi wangu”
Mama Marim alizungumza huku akimuhamishia jogoo wangu kutoka kwenye kitumbua hadi kwenye mkund**. Japo huu mchezo huwa siupendi sana, ila una utamu wake. Mama Mariam akaanza kuzungusha kiuno chake huku makalio yake yakinipigia piga kwenye mapaja yangu. Na kwa jinsi alivyo nipa mgongo, nilijikuta ninazidi kusikia furaha sana, kwa maana anayeweza.
Mama Mariam akahakikisha anajikuna haswa haswa hadi anaridhika, akamrudisha joo wangu kwenye kiumbua chake, hapa ndipo akazidi kuongeza mautundu hadi sote tukajikuta tukiumaliza macheazo kwa pamoja.
“Nakupenda sana Dany wangu”
Mama Mariam alizungumza huku akihema sana.
“Nami pia”
“Nawe pia nini?”
“Ninakupenda”
“Asante baby. Nyanyula tukaoge, isije huyu mtoto akaja akatukuta hivi tukadhalilika bure”
“Sawa”
Nikanyanyuka na tukaelekea bafuni, huku mama Mariam akiwa mbele yangu na mimi nimekumbatia kwa nyuma. Akafungua bomba la maji ya mvua, taratibu yakaanza kushuka kwenye miili yetu.
“Dany yaani ubora wako haujapungua, yaani nimeona umeongezeka mara dufu”
“Mmmm”
“Uisigune, huo ndio ukweli. Yaani hapa ninajisikia mwepesi sana, nilikaa kwa kipindi chote nikijichokoa choa na mbo** za bandia tu”
“Kwa nini haukuwa na mwanaume mwengine?”
“Ahaa nimpatie wapi, yaani wanaume wengine nawaona machok** tu, hakuna anaye weza kuniimili zaidi yako, kwa maana unafahamu jinsi ya kucheza na kuta za kum** yangu”
“Mmmm sawa. Muda ule ulisema kuna mauji makubwa yalitokea Tanzania?”
“Ndioo tena ni mauji ya kusikitisha sana”
“Weeee ni mauaji ya nani?”
“Tumalize kwanza kuoga baby, kisha tunywe chai na nitakuelezea mambo mengi yaliyo tokea Tanzania”
“Sawa”
Hatukuchukua muda mrefu sana tukamaliza kuoga. Mama Mariam akanifunga taulo, ambalo lipo humu bafuni. Tokatoka huku yeye akiwa kama alivyo zaliwa, tukaingia kwenye chumba chake cha kulala. Taratibu akaanza kunifuta maji mwilini mwangu.
“Yaani Dany mama aliye kuzaa ninampa hongera sana”
“Kwa nini?”
“Amejua kutengeneza kipande cha mwanaume, yaani wewe sijui nikufananishe na nani”
“Mungu ndivyo alivyo kuwa amepanga”
“Kweli, yaani pale nilipo kuona mimi mwenyewe nilihisi mwili mzima ukinitetemeka kwa furaha”
“Mwenyewe Maram alipo niambia kwamba upo nyumbani, wala sikuona haja ya mimi kuendelea kukaa naye kwenye huo mgahawa nilicho kuwa nimekihitaji ni kukuona wewe”
“Hivi Dany unajisikiaje kuwa na mimi?”
“Ni furaha, sana ila kwa sasa ninakuomba kaniletee nguo zangu, si unajua Mariam anaweza kurudi muda wowote”
“Kweli, tena ngoja nikazilete”
Mama Mariam akatoka chumbani huku akiwa amefunga taulo niliko kuwa nimejifunga mimi. Hakuchukua muda mwingi sana akarudi huku akiwa na nguo zetu sote wawili. Nikaanza kuvuaa nguo ya ndani, kisha nikafwatia na suruali yagu, nilipo hakikisha kwamba nimevaa vizuri nikatoka chumbani humu na kumuacha mama Mariam akivaa vaa vizuri.
Nikaitazama tazama nyumba hii ya Mariam, nikaona moja ya chumba amacho mlango wake upo wazi kidogo. Sikusita kufungua taratibu na kuingia ndani. Chumba hichi kimehifadhiwa vitabu vingi vilivyo pangwa vizuri kwenye sehemu maalumu zilizo jengewa kwenye kuta za chumba hiki. Nikachukua kitabu kimoja, nikakuta kimeandikwa na maandishi makubwa TANGA RAHA. Nikafungua kurasa kadhaa, na kuzipitishia pitishia macho kisha nikakirudisha katika sehemu ambayo kilikuwepo.
“Dany”
“Naam”
Ikanibidi kutoka katika chumba hichi baada ya kuisikia sauti ya mama Mariam ikiniita.
“Ohoo kumbe upo huku maktaba”
“Yaaaa”
“Njoo unywe chai, uchangamshe tumbo lako, kwa maana kitomb** ulicho nipatia, naamini hapo ulipo una njaa ya kutosha”
“Yaaa nina njaa kido kiasi”
Nikaka kwenye kiti, mama Mariam akaniandalia kifungua kinywa akaninawisha mikono, kisha taratibu tukaanza kula.
“Imekuwaje umefika huku Somalia?”
“Ni mihangaiko tu, si unajua mwanaume popote ni kambi”
“Kweli popote ni kambi, tena nimekumbuka ngoja nionyeshe picha za mauaji ambayo yametokea nchini Tanzania”
Mama Mariam akanyanyuka na kuelekea chumbani kwake, huku akinitingishia makalio yake makubwa, hii yote ni uchokozi wa kimapenzi. Nikaendelea kula chakula taratibu, mama Mariam akarudi akiwa ameshika simu yake mkononi aina ya Samsung Galax Note 5.
“Yaani Tanzania sasa hivi, yanatokea matukio ya kutisha sana hembu tazama hizi picha”
Mama Mariama akanipa simu yake, nikaipokea taratibu, kabla sijatizama picha anazo taka kunionyesha, mlango ukafunguliwa, akaingia Mariam huku akiwa katika hali ya huzuni. Kwa mwendo wake wa kinyonge akatembea hadi sehemu tulipo kaa, akanibwaga kwenye kiti komoja wapo, huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake.
“Kuna nini?”
Mama Mariam aliuliza huku akimtazama Mariam usoni, hata mimi mwenye nikabaki nikiwa ninamtazama Mariam.
“Ally amefariki”
“Ally huyu huyu mpenzi wako uliye kuja naye jana mchana hapa?”
“Ndio mama”
Mariam alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake, mama Mariam akanyanyuka kwenye kiti alicho kalia, akamsogelea Mariam na kumnyanyua taratibu, wakakumbatiana, huku mama Mariam akiwa na kazi ya kumbeleza Mariam.
Kutokana ni mama na mwana wapo kwenye hali ya majonzi, ikanibidi nitazame picha ambazo mama Mariam alihitaji kunionyesha. Picha ya kwanza nikaona watu wakiwa wamekatwa shingo zao na wametupwa barabarani. Nikatazama picha ya pili, nikaona askari mmoja akiwa amepigwa risasi ya kichwa, picha ya tatu ikanifanya ninyanyuke kwa haraka huku macho nimeyatoa.
Ili kuhakikisha ninacho kiona ni chenyewe na si utani, nikaikuza picha ya mama yangu anaye onekana kuchinjwa kikatilia sana jambo lililo nifanya nianze kutetemeka mwili mzima, huku nguvu za mwili nikihisi zinaanza kunishia. Nikajikaza hivyo hivyo kusogeza picha ya mbeleni, hapo napo nikamuona Diana mdogo wangu akiwa amachinjwa huku maziwa yake yakiwa yamekatwa jambo lililo nifanya nijikute nikiiachia simu ya mama Mariam ikaanguka chini, hata mimi mwenyewe siku sikumaliza hata sekunde tatu, nikajikuta nikianguka chini na kutulia tuli.
ITAENDELEA KESHO