Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota, Mvuto wa Biashara na Mapenzi

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..

JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. 

Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
 
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
 
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi 

+255 622588038au 0679119679 au +255 764318107
NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

PICHA: Rais Magufuli Alivyotembelea Bustani Ya Marehemu Dada Yake Monica, Chato

$
0
0
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikagua bustani za mbogamboga mbalimbali zilizokuwa zikilimwa na Marehemu Dada yake Monica Magufuli katika kijiji cha Mlimani Chato mkoani Geita.

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikagua bustani za mbogamboga mbalimbali zilizokuwa zikilimwa na Marehemu Dada yake Monica Magufuli katika kijiji cha Mlimani Chato mkoani Geita.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikagua bustani za mbogamboga mbalimbali zilizokuwa zikilimwa na Marehemu Dada yake Monica Magufuli katika kijiji cha Mlimani Chato mkoani Geita.
 

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikagua bustani za mbogamboga mbalimbali zilizokuwa zikilimwa na Marehemu Dada yake Monica Magufuli katika kijiji cha Mlimani Chato mkoani Geita.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikagua bustani za mbogamboga mbalimbali zilizokuwa zikilimwa na Marehemu Dada yake Monica Magufuli katika kijiji cha Mlimani Chato mkoani Geita.

Marekani yatuma Manowari ya kivita kuidhibiti Urusi na China

$
0
0
Jeshi la Majini la Marekani limepeleka manowari yake ya kivita, 2nd Fleet, kwaajili ya kuimarisha ulinzi upande wa Kaskazini mwa bahari ya Atlantic ambapo jeshi la Urusi linafanya operesheni za kivita katika kasi ambayo haijawahi kushuhudiwa tangu kumalizika kwa Vita Baridi vya Dunia.

Mabadiliko hayo kwa sehemu kubwa ni ya kiutawala na yamemrudisha msimamizi mwenye cheo cha admiral atakaye husika kusimamia manowari za kivita zote za Marekani wakati zikiendelea kulinda eneo kati ya Pwani ya Mashariki ya Marekani na Bahari ya Barents, iliyoko nje ya pwani ya Norway na Urusi.

Aidha, kurudishwa kwa manowari hiyo inaonyesha kuwa kuna mabadiliko makubwa katika mkakati wa jeshi la Marekani, ambapo jambo la msingi linalozingatiwa ni kuhama kutoka katika vita ya ugaidi, Mashariki ya Kati, na kuangalia ushindani unaozidi kupamba moto kati yake na Urusi na China.

“Sisi hatutaki vita lakini kinachofanyika ni kuweza kujilinda kwa nguvu zote na uwezo wa hali ya juu ili kuweza kukabliana na chochote kile,”amesema Mkuu wa Operesheni za Jeshi la Majini, John Richardson akiwa katika manowari ya kivita USS George H. W. Bush inayobeba ndege za kivita huko Norfolk, Virginia

Richardson ameongeza kusema kwamba iwapo itahitajika, manuari ya 2nd Fleet “ itafanya operesheni ya mashambulizi muhimu kumtokomeza adui yoyote.”

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati Zenye Uwezo wa Kubadili Maisha Yako

$
0
0
Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara,M saniiwa Maigizo, Mwanamziki, ama mwanafunzi tunazo Dawa na PETE za Bahati zenye uwezo mkubwawakuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu. 
Kutana na Chief MAKATA.Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota zab inadam na bingwa wa tiba za asili Afrikam ashariki. Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. chief MAKATA  ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOASHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA-  Chief Sasa amezianza ziara zake za mikoani na atayatembelea maeneo mbali mbali ndani na inje ya nchi. 
Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nayasiojulikana kwakutumia QUR_AN MAJI , KIOO MAJINI NA MITISHAMBA.
Anazo dawa za mapenzi( Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu LIMBWATA) kumrudishaa alipote, kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizpotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi, kutoa ndagu, Kutoa kinga ya mwili, nyumba, Biashara, kufukuza majini wabaya, KUUZA kwa haraka (shamba, NYUMA, GARI..), Kesi mahakamani, Kuweka Zindiko ya mwili, nyumba, shamba, Gari, kupata Kazi na kupandishwa cheo, mali naU TAJIRI bila masharti na mengine mengi yaS iri. (Anazo Pia Pochi zisizo kwisha Hela MAGIC WALLET)

Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa
nambari ya simu
+255 676 014 385
+255 767 202 654 Chief MAKATA

Papa Francis awasili Ireland kwa masikitiko

$
0
0
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa John Francis amewasili nchini Ireland akiwa na huzuni kubwa baada ya Kanisa hilo kushindwa kushughulikia tatizo la unyanyasaji wa kingono wa watoto unaofanywa na mapadri.

Akiwa katika Kasri la Dublin, Papa Frances amesema naye pia anahisi maumivu na aibu juu ya kushindwa kwa mamlaka ya Kanisa Katoliki kushughulikia kashfa hiyo ya kunyanyaswa kingono watoto.

"Kushindwa kwa mamlaka ya kanisa - maaskofu, wakuu wa kidini, makuhani na wengine - kushughulikia uhalifu kumesababisha hasira na bado ni chanzo cha maumivu na aibu kwa jumuiya ya Kikatoliki, "amesema Frances akiwa katika Kasri la Dublin alipokutana na Waziri Mkuu Leo Varadkar.

Francis atakutana na wahanga wa unyanyasaji wa kingoni unaofanywa na mapadri wa kanisa katoliki, wakati wa ziara yake hiyo ya masaa 36 nchini Ireland. 

Ni mara ya kwanza katika kipindi cha miongo minne kwa papa wa Kanisa Katoliki kuizuru Ireland. Mamlaka ya Vatican imesema ziara hiyo itatoa fursa nyingi za kuweza kulijadili tatizo la unyanyasaji wa kingono linaloendelea katika kanisa Katoliki.

Ingawa watu 600,000 wanatarajiwa kuhudhuria Misa itakayoongozwa na Frances Jumapili, idadi hiyo ni kidogo ikilinganishwa na miaka 40 iliopita.

Zaidi ya thuluthi tatu ya idadi jumla ya watu wa Ireland ilimiminika barabarani kumuona Papa John Paul II mwaka 1979, katika wakati ambapo talaka ya ndoa pamoja na utumiaji wa njia za uzazi wa mpango vilikuwa ni vitu visivyoruhusika nchini humo.

Leo hii, Ireland sio tena nchi inayoongozwa kwa misimamo ya Kikatoliki, na katika miaka mitatu iliyopita wapiga kura wameidhinisha utoaji mimba pamoja na ndoa za jinsia moja kupitia kura za maoni, hatua zote zikiwa ni kinyume na mafundisho ya madhehebu ya Kikatoliki.

Idadi ya watu wataokakusanyika barabarani au kuungana na Papa Frances katika sala ya pamoja, inatarajiwa kuwa robo tu ya watu milioni 2.7 waliompokea John Paul II mwaka 1979. 

Hali hiyo inaashiria jinsi gani ufuasi wa Kanisa Katoliki umepungua, tokea kudhihirika kwa visa vya unyanyasaji wa kingono kwa watoto katika miaka ya 1990.

Uzinduzi wa kampeni za CHADEMA Ukonga, Sumaye amvaa Waitara

$
0
0
Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye, amesema Mwita Waitara aliyehama Chadema na kuhamia CCM, amewadharau wana Ukonga.

Sumaye ameyasema hayo jana Agosti 25 katika uzinduzi wa kampeni za Chadema, jimbo la Ukonga.

Asia Msangi, ndiye mgombea ubunge jimbo hilo kupitia Chadema katika uchaguzi utakaofanyika Septemba 16.

“Waitara alikuwa mbunge, leo anazungumza habari za Mbowe. Mbowe ndiyo alimchagua kuwa mbunge? Waitara amewadharau sana, amewadharau wana Ukonga kupita kiasi,” amesema.

“Kwanini mtu afanye madharau ya namna hii na sisi tutake kumfikiria? Haya machama yanayojidai yameleta uhuru yana kiburi hujawahi kuona,” aliongeza

Sumaye ambaye ni mjumbe wa Kamati kuu Ya chama hicho, alisema nchi zote zenye maendeleo ni zile ambazo zimeondoa vyama kongwe.

Kadhalika alisema iwapo nchi haina demokrasia ya kweli ya vyama vingi basi taifa litakuwa na wanyonge, na maskini.

“Sisi wengine tumetoka CCM kule ndio kulikuwa na makulaji, kila kitu kipo safi lakini nikasema raha yangu iko wapi kama watanzania wanateseka. Lazima maslahi ya umma yawe mbele kuliko maslahi binafsi,” amlisema.

Dr Kanengo: Bingwa Wa Tiba Asili Hutibu Matatizo Yafuatayo

$
0
0
NKURURU:-ni dawa inayotibu miguu kuwaka moto, kiuno tumbo kupooza kupoteza fahamu 

MALABALA; hutibu kisukari , uti wa mgogo, Change, pumu, busha, kaswende, kifua kikuu, muwasho sehemu ya siri 

NKURUNGU,: Ni dawa kutibu  N, B, G, POWER :-ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume ni vidonge 20 

MPERAMPERA:- ni dawa ya kurudisha Mke, mme, mpenzi,mchumba aliyekuacha /kuteseka, ni kwa mda wa siku 2 tu kusafisha , pia kuna dawa za kupunguza vitambi(nyama uzembe), maziwa makubwa,michirizi, mikovu makubwa, chunusi sugu. 

NR SIX POWER:-inatibu upungufu wa nguvu za kiume kwa wasio weza kumudu tendo la ndoa itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara 4 bila hamu Kuisha, inaboresha maumbile madogo na inaimarisha misuri iliyo legea na kusinyaa una pona kabisa, ndani ya siku 4 tu 

GASELA:-ni dawa ya maajabu (9) yaliyoshindikana. (1)-Kisukari, vidonda vya tumbo, tezi dume,walioshindikanika kupata watoto(ugumba),busha bila oparesheni, (2)zindiko Kali Katika biashara yako (chuma ulete) ndo kiboko yao kumkamata mwizi aliye kuibia vitu vyako pikipiki, gari, n, k( 2)zindiko la nyumba, mashamba, viwanja,.(4)kukutolea sumu uliyo ikanyaga (Mtego) (5)ujiamini kutumia dawa ya maajabu Saba (6)kutoa mikafara mfano ugomvi ndani ya nyumba kufukuzwa kazini bila sababu (7)kutabiri nyota na kung'arisha (8)kurudisha Mali iliyo potea mazingira ya kutatanisha, kushinda kesi uliyo sumbuka nayo mda mrefu. (9)kufukuza majini wachafu ndani ya mji,.

Haya yote yanawezekana kwa DR KANENGO popote ulipo . Muone  DR KANENGO,anatibu nguvu za kiume anarefusha na kunenepesha uume kwa saizi uipendayo kwa muda mfupi sana, pamoja na kuwa na hamu ya kurudia tendo la ndoa mara 4 bila hamu kuisha Na utachelewa kufika kileleni kwa muda wa dakika 40 bila kuchoka .

Angalizo usitume meseji wala kubipu..
 
You can get it in all East African countries,,our service is fast and easy... contact Whatsapp 0784,47,59,46.Dar es salaam Tanzania. ,..Dr. KANENGO 0744,92,29,82...You are welcome. Yuko pia Khahama Mjini, Bunda kwa sasa

Mbossoa Akana Kunyonywa na WCB

$
0
0
Msanii kutokea WCB, Mbosso amesema hadi sasa fedha iliyotumika na lebo hiyo kwenye kazi zake haijarudi, hivyo hawezi kusema ananyonywa.

Muimbaji huyo kwenye mahojiano na The Playlist ya Times FM amesema suala la kunyonywa kwake na WCB halipo kabisa.

"Mimi leo hii nikisema nanyonywa , nitakataa kabisa kwa sababu nikijiangalia Mbosso wa mwaka jana hadi sasa najiona nimesogea hatua kubwa sana," amesema.

"Ukiachilia hilo mimi naona kama nawanyonya wao  kwa sababu hadi leo naweza kusema pengine pesa walizowekeza kwenye kazi zangu hata nusu yake sijairudisha bado," amesema Mbosso.

Alipoulizwa ni ushauri gani anaukumbuka kutoka kwa Rich Mavoko, alijibu; "Kuna siku alishaniambia kuhusu kurekodi nyimbo tu, akaniambia ili uwe msanii mzuri hakikisha nyimbo zilizoko ndani ni nyingi kuliko zilizotoka,".

Hatimaye RC Mbeya Akubali Kuachia uenyekiti wa CCM Iringa

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya,  Albert Chalamila amesema ameachia uenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa kwa maelezo kuwa ameambiwa achague nafasi moja.

Ametoa kauli hiyo jana Jumamosi Agosti 25, 2018 wakati akizungumza na wafanyabiashara wa soko la Sido mjini Mbeya akiwa sambamba na maofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

Chalamila alilazimika kuweka bayana jambo hilo baada ya mfanyabiashara, Mohamed Miraji kumuuliza swali juu ya kauli za baadhi ya viongozi wanaosema kuwa maendeleo katika eneo fulani  yanaletwa na CCM wakati wapo wanaotoa kodi na si wafuasi wa chama chochote cha siasa, kutaka Watanzania kushikamana.

Katika majibu yake Chalamila amesema, “Analozungumza ndugu Miraji ni jambo la msingi.  Mimi kweli ni mwanasiasa, ni mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa lakini Mbeya ni  mkuu wa Mkoa.”

“Ila kule (Iringa) lazima nitaachia  tu hakuna namna kwa sababu nimeambiwa nichague kitu kimoja. Sasa na wao wananiambia nichague kitu kimoja,   ukuu wa mkoa na uenyekiti wa chama wanategemea nitaenda wapi?”

Amesisitiza, “Jamaa (Miraji) amezungumza pointi kubwa sana kwamba wakati mwingine kwa sababu labda Mbeya ni ya Chadema au kwa sababu kata fulani ni ya CCM maendeleo  hayafiki kwa sababu ni upinzani.”

“Nasema hivi wakati mwingine sisi wanasiasa tuna vikauli ambavyo  huwa vinachukiza lakini mvione kama ni vikauli vya Yanga na Simba, vikauli vya Manchester United na Real Madrid, vikauli vya Wasafwa na Wanyakyusa au mvione kama vikauli vya Wahehe na Wabena, lakini tusihamishie mihemko hiyo kwenye  maendeleo.”

Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo Ya Uume Limekuwa Kubwa Kwa Lika Zote Hapa Kwetu Na Duniani Kote. Tatizo Si Tatizo Bali Ni Iletiba Sahihi Ya Matatizo Haya Chanzo Chake Na Visababisho Vyake.

DALILI;mwili kuchoka, maumivu ya mgongo na kiuno, kutopata choo vizuri hata ukipata choo kinakuwa kigumu au gololi kama mavi ya mbuzi. misuli ya uume kulegea na kusinyaa hata uume kulegea na kushindwa kufika kileleni. miguu kuuma na kuwaka moto.

 TIBA YAKE; 4mix ni dawa pekee inayoweza kutibu matatizo hayo inarudisha nguvu za kiume mara dufu na kufanya urudie tendo la mara tatu bila kuchoka. 

LUKUBA 3 pump; ni dawa inayorefusha na kunenepesha uume hadi inchi 7 hadi 9 na kunenepesha kwa CM 2 na kukupa umbile la uhakika. ITUMIE TIBA HII KUOKOA NDOA YAKO NA KUOKOA KUKIMBIWA NA UMPENDAYE,

 ISABILO; Ni dawa itoayo mafanikio na utajili kwa watu walioshindwa kufanikiwa kimaisha, 

MWITE; Ni dawa ya mvuto kumvuta umpendaye na kumrudisha aliyembali na atakutimizia ahadi zote awe mwanamke au mwanaume. 

LUTA CD; Ni dawa inayotibu magonywa nyemelezi yanayopunguza kinga za mwili na kusababisha mwili kuzoofu na inaondoa miwasho na kuondoa kemikali na taka zinazozagaa mwilini. 

KISUKARI; Tunayo dawa ya DAYON inayotibu na kuzalisha insulin kwa wingi na kumfanya mwenye tatizo hili kupona kabisa ugonjwa wa kisukari, kwani husababisha misuli ya mwili kutokufanya kazi vizuri

MPIGIE DR DAGOTIMAN NDIYE SULUHISHO LA MATATIZO YAKO   0658920640/ 0754372325 / 0620806813
 
HUDUMA HII INAWEZA KULETWA POPOTE ULIPO OFISI ZETU ZIPO MBAGALA ZAKHEM DAR ES SALAAM.

AUDIO | Mesen Selekta - Baunsa | Download

$
0
0
AUDIO | Mesen Selekta - Baunsa | Download 

DC Jerry Muro Afanya Ziara ya Kushitukiza

$
0
0
Mkuu wa wilaya ya Arumeru Mh.Jerry Muro amefanya ziara ya kushtukiza  katika baranara ya mchepuko Arusha Bypass katika eneo la muungano Makumira  na kubaini uwepo wavitendo vinavyoashiria ukiukwaji wa taratibu za kazi na haswa katika kazi zinazofanywa na  raia  kutoka nje.

Mh Muro Pamoja nakuridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa barabara hiyo itakayosaidaia kupunguza msongamao wa magari kuelekea Jijini Arusha ameonyeshwa kukerwa na tabia ya baadhi ya wageni kufanya kazi zinazoweza kufanywa na watanzania jambo linaloendela kuminya fursa ya vijana wa kitanzaia kupata ajira.

Kutokana na sababu hiyo DC Muro alilazimika kuchukua hatua  ya kuwaagiza maofisa wa Uhamiaji kufuatilia suala hilo jambo lililopelekea kubainika uwepo wa raia tisa ( 9 ) wa kigeni wanaofanya kazi hizo pasipo kuwepo na baadhi ya vibali husika vya kufanya kazi.

Katika ziara hiyo DC Muro aliambatana na Naibu katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Mhandisi Steven Mlote ambao ni waratibu wa ujenzi wa Barabara hiyo.

DC muro anaendelea na zoezi la ukaguzi wa miradi mbalimbali ya ujenzi katikaa wilaya ya Arumeru yenye kata 53 na Halmashauri mbili za Arusha Dc na Meru Dc.

Imetolewa na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Arumeru

Huna Sababu Ya Kuaibikatena............ Jipatie Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Na Mvuto Wa Mapenz

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0622344969

New Music: Aslay - Hakuna

Rais Mstaafu Kikwete aondoka nchini kueleka Zimbabwe kumuwakilisha Mhe. Rais Magufuli

$
0
0
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ameondoka nchini asubuhi hii kuelekea Harare nchini Zimbabwe ambapo anakwenda Kumuwakilisha  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kwenye  Sherehe za kuapishwa Rais Mteule wa Jamhuri ya Zimbabwe Mhe.Emmerson Mnangagwa zinazofanyika leo tarehe 26 Agosti, 2018 katika uwanja wa michezo waTaifa Mjini Harare.
 
Akizungumza kabla ya kuondoka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini DSM, Mhe.Rais Mstaafu  Kikwete ambaye amefuatana na  Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (Bara) Ndg. Philip Mangula na Mwenyekiti wa Chama cha UDP Ndg. John Cheyo , amesema Tanzania na Zimbabwe zimekuwa na uhusiano wa muda mrefu  wa kindugu kwani katika kipindi ambacho Zimbabwe ilikuwa ikidai uhuru, baadhi ya wananchi wake  waliwahi kuishi nchini Tanzania, husasani wanachama wa Chama cha ZANU PF, na kupata mafunzo hapa nchini.
 
‘’Baadhi ya wanajeshi wetu wameshiriki pamoja na wanajeshi wa Zimbabwe katika harakati za ukombozi wa Zimbabwe na ndio maana kwenye Jeshi letu kuna medani ya Zimbabwe’’ amesema Rais Mstaafu Kikwete.
 
Rais Mnangagwa anaapishwa leo kuongoza taifa la Zimbabwe baada ya kushinda katika uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo uliofanyika tarehe 30 Julai, 2018

Jaffar Haniu
Naibu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar es Salaam
26 Agosti, 2018

Ofa Ya Hadithi Tamu Na Za Kusisimu

$
0
0

Je umesha soma hadithi hizi mwanzo wake na ukakosa muendelezo.

SORRY MADAM SEASON TWO, TANGA RAHA SEASON ONE na AIISSII YOU KILL ME SEASON ONE
Sasa ni wakati wa kusoma muendelezo wa hadithi hizo zilizo andaliwa kwa utaalamu wa hali ya juu na muandishi wako Eddazaria G.Msulwa. Sasa una weza kupata muendelezo wa hadithi hizo kwa bei  nafuu kabisa.
 
-SORRY MADAM SEASON THREE(PRESIDENT WIFE) ni sh 8000/= TU
-TANGA RAHA SEASON TWO(RETURN OF OLVIA HITLER) episode moja utaitapa kwa sh 250 UKINUNUA EPISODE 20+20=5000/=
EPISODE 40=40=10000/=
AIISSII YOU KILL ME SEASON TWO(AIISSII YOU KILL ME LEGACY) ni sh 10000/= TU
 
Pia una weza kupata ofa ya hadithi MPYA KABISA MJINI iitwayo SIN. Episode moja ni sh 250 Tu. UKINUNUA
EPISODE 20+20=5000/=
EPISODE 40=40=10000/=
 
HADITHI HIZI ZINA PATIKANA KWA WATUMIAJI WA WHATSAPP NA EMAIL TU. WASILIANA NAMI WHATSAPP KWA NAMBA 0657072588 au 0742334453. 

EMAIL NI eddazariaM@gmail.com
Una weza kunipigia  simu kwa mamba 0657072588 AU 0768516188
 
MALIPO NI KUPITIA
 MPESA 0768516188 JOYCE MBWAMBO
TIGOPESA 0657072588 AZARIA MSULWA
 
NOTE   
UNAPO FANYA MALIPO AU  KABLA YA KUFANYA MALIPO HAKIKISHA UNA WASILIANA NAMI KWENYE NAMBA MOJA WAPO HAPO ILI IWE RAHISI KUKUPATIA HUDUMA KWA UHARAKA SANA. KARIBUBI SANA HADITHI HIZI ZITA KUBURUDISHA NA KUKUPA AFYA NZURI YA UBONGO WAKO.
BY
EDDAZARIA G.MSULWA

Mbosso afunguka kumuimbia Diamond baada ya kuachwa na Zari

$
0
0
Msanii wa muziki Bongo, Mbosso amesema si kweli kwamba wimbo wake unaokwenda kwa jina la Nimekuzoea alimuimbia Diamond Platnumz baada ya kuachwa na mzazi mwenzie, Zari The Bosslady.

Muimbaji huyo kutokea WCB katika mahojiano na The Playlist ya Times FM amesema wimbo huo ulikutana na tukio hilo na ulikuwepo kwa kipindi kirefu.

"Hapana, ni wimbo ambao ulikutana tu na tukio, ni wimbo wangu ambao nilishawahi kuimba zamani sana kipindi nipo Yamoto Band," amesema.

"Sasa nilipokuja kuingia WCB ni moja ya nyimbo zangu alikuwa anazipenda sana Bosi (Diamond), akaniambi inabidi uufanye, sasa kipindi ambacho nautoa ndio ua mwana  wa weusi," amesema Mbosso.

Wimbo wa Mbosso, Nimekuzoea ulitoka February 09, 2018 wakati usiku wa February 14, 2018 ambayo ilikuwa ni siku ya Wapendanao (Valentine Day) ndipo Zari The Bosslady aliposti Ua Jeusi kwenye ukurasa wake wa Instagram na kueleza kuwa ameachana rasmi na Diamond Platnumz.

CHADEMA, ACT Wazalendo Wasusia Uchaguzi wa Marudio Tanga

$
0
0
Vyama vya CHADEMA, ACT Wazalendo na NCCR Mageuzi vimetangaza kugomea kushiriki uchaguzi wa udiwani katika Kata ya Mwanzage jijini Tanga kwa kile walichoeleza ni kuwepo kwa zuio la mahakama juu ya uchaguzi huo.

Wakiongea katika mkutano wa pamoja, viongozi hao wamesema mbali na zuio la mahakama lakini hawaoni kama uchaguzi utakuwa wa huru na haki kutokana na kuwepo kwa mazingira yasiyoridhisha ikiwemo ucheleweshwaji wa kuchukua fomu za kugombea.

''Sababu mama ni zuio la mahakama linaloonesha kufanya uchaguzi ni batili, pili katika uchaguzi uliofanyika kata ya Mabokweni haukuwa wa haki pamoja na matumizi makubwa ya nguvu ya dola', amesema Katibu mkuu wa CHADEMA wilaya ya Tanga Jonathan Baweji.

Naye Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Hamin Kidege ametaja sababu ya chama chao kutoshiriki ni kukosekana kwa uungwana 'Fair play' katika chaguzi za kata mbalimbali zilizopita hivyo hawaoni kama katika kata hii mambo yamebadilika.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi wilaya ya Tanga, Richard Abel amesema chama chake kimeamua kuungana na vyama vingine kujitoa katika uchaguzi huo, kutokana na kupuuzwa kwa agizo la mahakama la kutofanyika kwa uchaguzi huo.

Kwa mujibu wa ratiba ya Tume ya taifa ya uchaguzi (NEC), uchaguzi wa udiwani na wambunge katika kata na majimbo yaliyotangazwa utafanyika Septemba 16, mwaka huu.

TRA Yaendelea Kutoa Elimu Ya Msamaha Wa Riba Na Adhabu Ya Malimbikizo Ya Kodi

$
0
0
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inaendelea kutoa elimu juu ya namna ya kuomba msamaha wa riba na adhabu ya malimbikizo ya madeni ya kodi kwa wafanyabiashara na wadau mbalimbali nchini.

Akizungumza wakati wa semina elekezi kwa wafanyabiashara na wadau mbalimbali mkoani Kigoma, Afisa Elimu Mkuu kwa Mlipakodi wa mamlaka hiyo Rose Mahendeka amewaambia wafanyabiashara hao kuwa lengo la kutoa msamaha huo ni kuwapunguzia mzigo ili waweze kulipa kodi ya msingi isiyokuwa na riba wala adhabu ambapo mwisho wa kulipa kodi hiyo ni tarehe 30 Juni, 2019.

"Serikali imeamua kutoa msamaha wa riba na adhabu kwenye malimbikizo ya madeni ya kodi kwa asilimia 100 ili kuwasaidia wafanyabiashara kulipa kodi ya msingi tu ambayo mfanyabiashara anaweza kuilipa mara moja au kwa awamu ndani ya Mwaka wa Fedha 2018/19," alisema Mahendeka.

Mahendeka ameeleza kuwa, msamaha huu ni wa miezi 6 na ulianza mwezi Julai na utamalizika Desemba, 2018 na kuongeza kuwa huu ni muda muafaka wa wafanyabiashara hao kutuma maombi ya msamaha huo kabla muda uliopangwa haujamalizika.

"Natumia fursa hii kuwasihi wafanyabiashara kutuma maombi TRA ya msamaha huu kabla ya mwezi Novemba, 2018 na msisite kuwasiliana na ofisi yetu ya hapa mkoani pindi mtakapohitaji ufafanuzi zaidi," aliongeza Mahendeka.

Aidha, Mahendeka alisisitiza kuwa TRA itatoa majibu ya maombi ya msamaha huo kwa maandishi ndani ya siku thelathini (30) tangu siku ya kupokea maombi.

Naye Mfanyabiashara wa Vifaa vya Ujenzi ambaye pia ni Katibu wa Jumuiya ya Wafanyabiashara mkoani hapa Raymond Ndabhiyegetse ameishukuru TRA kwa kutoa elimu hiyo ya msamaha wa kodi  na kuiomba mamlaka kuwashawishi watengeneza hesabu (wahasibu) kuwekeza mkoani Kigoma kwa kuweka wahasibu wengi ambao watawasaidia kutengeneza hesabu za biasahara zao.

"Mimi napenda kuishukuru TRA kwa kutupatia uelewa huu wa namna ya kuomba msamaha wa riba na adhabu za kodi, kwakweli elimu mliyotupatia leo imetusaidia sana. Pia naomba TRA mtusadie kuwashawishi watengeneza hesabu waje Kigoma kwa sababu tuna changamoto kubwa ya watengeneza hesabu na kwa sasa tunao wawili tu, hivyo tunapata changamoto kubwa katika kutengeneza hesabu zetu," alisema  Ndabhiyegetse.

Baada ya Serikali kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania kutoa msamaha wa riba na adhabu ya malimbikizo ya madeni ya kodi kwa asilimia 100, TRA imejiwekea mikakati ya kufikisha ujumbe huo kwa njia mbalimbali ikiwa ni pamoja na kukutana na wafanyabiashara kwa lengo la kutoa uelewa juu ya namna ya kuomba msamaha huo kabla muda uliopangwa haujamalizika.

Breaking: Mama Mzazi Wa Sugu Afariki Dunia

$
0
0
Mama mzazi wa mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ Desderia Mbilinyi amefariki dunia leo Jumapili Agosti 26, 2018 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH).

Taarifa iliyotolewa leo na uongozi wa Muhimbili imesema, Desderia alikuwa amelazwa hospitalini hapo na hali yake ilibadilika usiku wa kuamkia leo na kuhamishiwa chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu (ICU).
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images