Na Magreth Kinabo/MAELEZO,
Dodoma
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mahusiano na Utaribu, Stephen
Wassira amesema Serikali itawasilisha Hati ya Makubaliano ya Muungano katika Bunge Maalumu la Katiba baada ya siku mbili
zijazo.
Wassira ambaye ni
Mwenyekiti wa Kamati Namba Sita ya Bunge hilo ambazo zilikuwa zikijadili Sura
ya Kwanza na ya Sita za Rasimu ya Katiba, alitoa
Hati ya Muungano kuwasilishwa Bunge Maalum la Katiba baada ya siku mbili....
↧
↧
Tamko la Katibu Mkuu Kiongozi kwa Vyombo vya habari kuhusu Hati ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ---Ikulu Dar es Salaam.
TAMKO
LA KATIBU MKUU KIONGOZI KWA VYOMBO VYA HABARI
KUHUSU
HATI YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR
IKULU,
DAR ES SALAAM, TAREHE 14 APRILI, 2014
_________________________________________
Siku
12 zijazo tutasherehekea miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, na
kuzaliwa kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wamezaliwa watu ndani ya Muungano
huu na wengine wana
↧
Waombolezaji katika msiba wa mzee Muhidin Maalim Gurumo nyumbani kwake Jana
Sehemu
ya Waombolezaji wa Msiba wa nguli wa Muziki wa Dansi hapa nchini na
aliekuwa kiongozi wa Bendi ya Msondo Ngoma,Marehemu Mzee Muhidin Maalim
Gurumo wakiwa nyumbani kwake Mabibo (Tabata Makuburi),jana.
Mmoja
wa wanamuziki wa zamani na aliewahi kufanya kazi Pamoja na Marehemu
Mzee Muhidin Maalim Gurumo,Mzee Shaaban Dede (wa pili kushoto) akiwa ni
miongoni mwa waombolezaji
↧
Masaa 72 ya mwisho wa Muhidini Maalim Gurumo.....Alipewa chakula, akala, aliposhiba akasema hatakula tena
Mwanamuziki nguli wa muziki wa dansi nchini, Muhidini Maalim Gurumo
aliyefahamika pia kama kamanda na mashabiki wa muziki wa dansi, aliyeaga
dunia Jumapili iliyopita katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar,
alikutana na mateso ya kwa saa 72 za mwisho wake baada ya kulazwa akiwa
taabani kwa siku tatu.
Mtoto wa marehemu anayejulikana kwa jina la Abdalah aliliambia Uwazi kuwa siku mauti
↧
Mafuriko jijini Dar.....Waliopoteza maisha wafika 13
Idadi ya waliokufa kutokana na mafuriko jijini Dar es Salaam imefikia watu 13 kufikia Jumatatu.
Mkuu
wa mkoa wa Dar es Salaam, Sadiq Meck Sadiq amesema idadi hiyo huenda
ikaongezeka baada ya kupata taarifa za matukio ya mafuriko kutoka maeneo
yote ya mkoa wa Dar es Salaam.
Kwa
siku tatu mfululizo tangu Ijumaa iliyopita, mvua kubwa ziliendelea
kunyesha na kusababisha madhara makubwa
↧
↧
Magazeti ya leo Jumanne ya tarehe 15 April 2014
↧
Akamatwa kwa kufukua maiti ya mtoto, kuipika mchuzi na kuila
Ni visa mbavyo wengi tulivisikia katika hadithi za kale, watu kuliwa
na majitu, lakini katika siku za karibuni tumeshuhudia watu wakila
viungo vya wenzao Jamhuri ya Afrika ya Kati katika jazba ya kulipiza
kisasi dhidi ya watu waliowadhulumu katika uongozi uliong'olewa
mamlakani wa Seleka.
Nchini Pakistan Polisi wamewakamata wanaume wawili kwa makosa ya kuiba maiti ya mtoto kutoka
↧
Matangazo ya moja kwa moja ya Bunge Maalum la Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
↧
Majambazi yavamia na kupora fedha katika Benki ya Barcrays tawi la KINONDONI jijini Dar Es Salaam
Watu wanaosadikiwa ni majambazi wamevamia Benki ya Barcrays tawi la
KINONDONI jijini Dar Es Salaam na kupora kiasi kikubwa cha fedha ambazo
idadi yake haijajulikana mara moja.
Tukio hilo limetokea leo likihusisha watu watatu waliokuwa na pikipiki mmoja wao akiwa na bastola.
Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar Es Salaam, Suleiman Kova amefika
katika eneo la tukio na kuahidi
↧
↧
Safari ya Mwisho ya Marehemu Muhidin Gurumo katika makaburi ya Masaki-Kisarawe, Pwani
Mwili wa marehemu Muhidin 'Maalim' Gurumo ukiwekwa eneo la makaburi ya Masaki-Kasarawe tayari kwa maziko.
*******
Mwili wa Mzee Gurumo umezikwa
makaburi ya Masaki-Kisarawe, Pwani ambapo mamia ya watu wamehudhuria
maziko ya nguli huyo wa muziki wa dansi aliyefariki dunia juzi Jumapili
Aprili 13, 2014.
(Picha kwa hisani ya Global publishers)
<!-- adsense -->
↧
Waliolipua bomu Arusha Kunaswa.....
WATU waliohusika na kutega bomu linalohisiwa kuwa ni la kienyeji
katika baa ya Arusha Night Park huenda wakanaswa kirahisi baada ya
polisi kuchukua mitambo ya usalama (CCTV) iliyofungwa kwa ajili ya
kufanya uchunguzi.
Katika tukio hilo lililotokea mwishoni mwa wiki iliyopita, jumla ya
watu 17 walijeruhiwa, baadhi yao vibaya sana wakati wakinywa na
kufuatilia katika televisheni
↧
Mvua yailazimisha DAWASCO kuzima mitambo ya maji
Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASCO) limezima mitambo
miwili ya uzalishaji maji kwenye mitambo yake ya Ruvu Juu uliopo
Mlandizi, mkoani Pwani na Mtoni uliopo Temeke, Dar es Salaam.
Hatua
ya DAWASCO imetokana na mvua kubwa zilizonyesha kusababisha madhara
mbalimbali katika miji ya Kibaha, Pwani na Dar es Salaam.
Taarifa
ya DAWASCO kwa vyombo vya habari jana
↧
Picha za Rais Kikwete alipohani Msiba wa Muhidin Maalim Gurumo Ubungo Makuburi jana jioni
Mmoja wa wana familia
Bw. Salim Zagar akitoa taarifa fupi ya msiba wa marehemu Muhidin Maalim
Gurumo pamoja na mazishi yake kwa Mhe. Rais Jakaya M. Kikwete (picha:
IKULU)
Rais
Kikwete akimfariji mjane wa marehemu Muhidin Maalim Gurumo (mwenye
shuka nyeupe) na wanafamilia alipokwenda kuhani msiba huo Ubungo
Makuburi jana jioni ya April 15, 2014, siku ambayo marehemu alizikwa
↧
↧
Maafisa wa jeshi la India wafutiwa kesi ya ubakaji baada ya kukubali kumuoa waliyembaka na mdogo wake pia
Maafisa wawili wa jeshi la India ambao walikuwa wakikabiriwa na kesi
nzito ya kumbaka msichana mmoja wameachiliwa huru baada ya kukubali
kumuoa msichana waliyembaka pamoja na mdogo wake.
Kwa mujibu wa Daily Mail, mafisa hao waliotajwa kwa majina ya Sachin
Gupta (27) na Saurab Chopra (25) walikuwa wakishitakiwa kwa kosa la
kumbaka msichana mwenye umri wa miaka 21 ndani ya hotel
↧
Kabla Mzee Gurumo hajafariki alimwandikia wimbo Diamond Platnumz, lakini bahati mbaya alikuwa hajamkabidhi
Star wa Bongo fleva Diamond Platnumz amesema kuwa siku chache kabla
mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi Maalim Muhidin Gurumo hajaaga
dunia alikuwa amemuandikia wimbo kama shukrani kwa kumpa zawadi ya gari
mwaka jana.
Platnumz amesema meneja wake Babu Tale alimpa taarifa hiyo njema ya
kuandikiwa wimbo na Gurumo lakini kwa bahati mbaya mzee Gurumo alifariki
kabla hajamkabidhi wimbo
↧
Magazeti ya leo Jumatano ya tarehe 16 April 2014
↧
Wamiliki wa magari aina ya Toyota ( RAV 4, Hilux na Fortuner ) watakiwa kuyarudisha kwa ajili ya uchunguzi.....
Wamiliki wa magari ya Toyota nchini wametakiwa kuhakiki magari
yao na kuyarejesha kwa uchunguzi yale yatakayobainika kuwa na hitilafu
za kiufundi katika mfumo wa baadhi ya vifaa vyake.
Taarifa ya Toyota Tanzania kwenye vyombo vya
habari ilieleza jana kwamba magari yanayohusika ni RAV 4, Hilux na
Fortuner yaliyotengenezwa kati ya mwaka 2006 na 2010.
Hatua hiyo imekuja baada ya
↧
↧
Bunge Maalum la Katiba kuahirishwa Aprili 25 mwaka huu ili kupisha Bunge la Bajeti
Na Magreth
Kinabo, Dodoma.
Mwenyekiti
wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta amesema Bunge hilo litahairishwa Aprili 25, mwaka huu.
Bunge hilo, litaihirishwa ili kuweza kupisha Bunge la
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuendelea na shughuliza maandalizi ya Bajeti Kuu ya Serikali.
Kauli hiyo imetolewa
leo na Mwenyekiti huyo mara baada ya kuanza kwa kikao cha
↧
Jeshi la Polisi latangaza kitita cha Sh. Milioni 10 kwa mtu atakayesaidia kukamatwa kwa watu waliolipua bomu juzi jijini Arusha katika baa ya Night Park
Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini (DCI),Isaya Mngulu
*****
Jeshi la Polisi nchini limetangaza zawadi ya Sh. milioni 10 kwa
atakayewezesha kukamatwa kwa watu waliotumia mabomu kulipua baa ya
Night Park mwishoni mwa wiki iliyopita.
Katika mlipuko huo, watu 17 wameripotiwa kujeruhiwa kati ya hao,
waliobaki wodini kuendelea na matibabu ni nane baada ya wengine
kuruhusiwa
↧
Mafuriko jijini Dar.....Idadi ya waliofariki yafikia 41
Mafuriko yaliyotokea Jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki yamesababisha vifo vya watu 41.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki alisema vifo 25 vimethibitishwa. Ameagiza polisi kufanya uchunguzi zaidi kubaini watu wengine ambao hadi sasa hawaonekani waliko.
Kwa mujibu wa mkuu wa mkoa, eneo la Ilala, vilitokea vifo 11 ingawa inahisiwa watu wengine wawili hawaonekani.
↧
More Pages to Explore .....