Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Lowassa Akanusha Madai ya Kutaka Kuhamia CCM...." Sina Huo Mpango, Msinigombanishe na Rais"

$
0
0
Hatimaye Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Edward Lowassa amejibu mapigo ya taarifa zilizokuwa zimesambaa kuwa anawatanguliza watu CCM ili baadaye  ahamie.

Akizungumza mwishoni  mwa wiki iliyopita katika jimbo la Monduli, Lowassa alikanusha vikali taarifa hizo akidai kuwa wanaoeneza taarifa hizo ni waongo na wambea.

Mbunge huyo wa zamani wa Monduli ambaye pia ni Waziri Mkuu wa zamani alimjibu aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo, Julius Kalanga akimtaka aweke wazi sababu zilizomfanya ahame  kwakuwa ni haki yake ya kikatiba bila kutumia jina lake kwa uongo.

“Waambieni waache umbea na uongo. Anasema uongo kwa kinywa chake. Mimi nimtangulize kwani mimi sina miguu?” alisema Lowassa huku akisisitiza kuwa hana mpango huo.

“Wanasema eti mimi nimekubaliana na Magufuli kuwahamisha wabunge kwenda CCM. Acheni kunichonganisha na Rais, mimi sina mpango wowote na [Rais] Magufuli,” alisema.

Aliongeza kuwa kinachofanywa na wanaohama ni haki yao na wanapaswa kuwaeleza ukweli wananchi kuwa ni shida zao binafsi. Aidha, alimvaa Kalanga akidai kuwa alikuwa na mikopo ambayo imelipwa na kumfanya ahame.

Lowassa ambaye alikuwa mbunge wa Monduli kwa miaka 20, aliwataka wananchi hao ‘kumtoa tongotongo’ kwenye uchaguzi wa Ubunge wa marudio akiahidi kuwa angerejea hapo kwa ajili ya kufanya kampeni za ubunge.

Aliwataka wananchi wa eneo hilo kupuuzia taarifa kuwa hakuna maendeleo ambayo yanafanyika Monduli akiwataka kukumbuka maendeleo ambayo waliyashuhudia alipokuwa mbunge.

Mwanasiasa huyo mkongwe aliwahakikishia wana Monduli kuwa bado yuko imara kwenye kambi ya upinzani na kuwataka kutoyumba huku akitolea mfano Nigeria ambako wanasiasa takribani 600 wamehama vyama vyao. Alisema suala la kuhama vyama ni la kawaida kwa wanasiasa  hivyo lisiwashtue bali liwafanye wawe imara zaidi.

Joto la uchaguzi wa Ubunge Monduli limeanza kupanda baada ya aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo kwa tiketi ya Chadema, Julius Kalanga kujiuzulu na kujiunga na CCM kisha kuchukua fomu ya kugombea tena. 

Chadema ambao watakuwa na kibarua cha kutetea jimbo hilo wako katika hatua za kuwachuja walioomba kugombea akiwemo Freddy ambaye ni mtoto wa Lowassa.

CUF Ya Lipumba: Mtatiro Alikuwa ni Chanzo cha Migogoro, Bora Ameondoka

$
0
0
Mkurugenzi wa habari, uenezi na uhusiano wa umma wa Chama cha Wananchi (CUF), Abdul Kambaya amesema zaidi ya asilimia 70 ya migogoro ndani ya chama hicho imechangiwa na aliyekuwa mwenyekiti wa baraza la uongozi chama hicho, Julius Mtatiro.

Kambaya amesema hayo  ikiwa ni siku moja baada ya Mtatiro kujiengua CUF na kutangaza kuhamia Chama cha Mapinduzi (CCM).

Mtatiro ambaye alikuwa upande unaomuunga mkono Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad, alitangaza kuachana na chama hicho na kujiunga na CCM  Agosti 11, 2018.

Kambaya amesema Mtatiro alipokuwa mwenyekiti wa mkutano mkuu alisababisha chama hicho kugawanyika kwa kutosikiliza maoni ya wajumbe wa mkutano huo na kuamua kuuendesha kibabe.

Ameongeza kuwa Mtatiro alipokuwa Naibu Katibu mkuu alikiingiza chama hicho katika mgogoro uliosababisha Hamad Rashid kufukuzwa uanachama baada ya kuhoji ubadhirifu wa fedha kiasi cha Sh300milioni katika uchaguzi mdogo wa ubunge Igunga.

“Hakuna kitu ambacho Mtatiro amekifanya kwenye chama hiki, kubwa zaidi amesababisha migogoro. Wanasiasa wapambanaji hawakimbii  migogoro ndani ya vyama vyao bali wanakaa humo humo mpaka migogoro itakapokwisha” amedai Kambaya.

Kambaya ambaye  yupo upande unaomuunga mkono mwenyekiti wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba, amesema kuwa; “Tazama Sophia Simba hakukimbia CCM sambamba na Nape Nnauye (mbunge wa Mtama-CCM). Hata Mnyika (John-Mbunge wa Kibamba-Chadema) hakukimbia chama hicho.”

Mtandao wa haki za Binadamu (THRDC) walaani polisi Kuwapiga waandishi wa habari

$
0
0
Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), umesema matukio ya kupigwa na kuteswa kwa raia wakiwa mikononi mwa polisi yanaongezeka siku hadi siku na kuongeza hofu kwa jamii juu ya uwapo wa utawala wa sheria.

Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Mratibu wa THRDC, Onesmo Olengurumwa, alisema matukio hayo yanaongezeka huku baadhi ya watu wakitishwa na kuambiwa siyo raia na wengine kunyang'anywa pasi za kusafiria.

Alisema wanalaani vikali vitendo vya karibuni vya ukiukwaji wa sheria na haki za waandishi wa habari na watetezi wa haki za binadamu kunakofanywa na Jeshi la Polisi lenye wajibu wa ulinzi wa raia na mali zao.

"Tunashuhudia waandishi wakipigwa na kukamatwa na polisi wakati wakitekeleza majukumu yao ya kazi kwa mujibu wa sheria za nchi," alisema.

Alisema kuwa Agosti 8, mwaka huu, mwandishi wa habari wa Wapo Radio, Silas Mbise, alishambuliwa na kukamatwa na polisi akiwa kazini na alipigwa waziwazi na polisi wenye silaha huku akiwa amelala chini na hana silaha yoyote.

Alisema kuwa tukio lingine la hivi karibuni ni la mwandishi wa gazeti la Tanzania Daima, Sitta Tuma, aliyepigwa na kukamatwa na maofisa wa polisi wakati akichukua habari katika mkutao wa kampeni za uchaguzi wa diwani wilayani Tarime mkoani Mara.

"THRDC ilitoa msaada wa kisheria ili kumwezesha kupata dhamana na wakili wake Ernest Muhagama alisema alipofika polisi alielezwa kwa mtuhumiwa huyo kakamatwa kwa kosa la kuandamana kinyume cha sheria. Aliachiwa kwa dhamana Agosti 9," alisema.

Aliyataja matukio mengine ni ya miezi miwili iliyopita dhidi ya wa waandishi wa habari kuwa ni yaliyofanywa dhidi ya George Ramadhani na Christopher Gamaina, waliokamatwa na polisi mkoani Mwanza wakati wakiwa wanatekeleza majukumu yao na walifunguliwa mashtaka mahakamani.

Alisema mwandishi mwingine ni Emmanuel Kibiki aliyekamatwa na polisi mkoani Iringa na kulazimishwa kulala polisi kwa siku kadhaa kabla ya kufikishwa mahakamani.

"Kwa ujumla, hali ya uhuru wa wanahabari na vyombo vya kawaida na vya mitandaoni umezidi kutoweka na kupelekea kuzuia Watanzania kupata habari sahihi na kwa wakati kwa mujibu wa Katiba," alisema.

'Kwa sasa, wanahabari wamejawa na hofu kubwa kutoa taarifa zozote watakazohisi hazitawafurahisha baadhi ya watawala," alisema.

"Tunasikitishwa na kuongezeka kwa matukio ya kupigwa na kukamatwa kwa wanahabari bila sababu za msingi na za kisheria. Wanafanya kazi katika mazingira magumu kutokana na vitendo vya unyanyasaji vinavyofanywa na polisi," alisema.

Kwa mujibu wa Olengurumwa, polisi ni chombo muhimu kinachotakiwa kusimamia uhuru na usalama wa waandishi wa habari na siyo kuwashambulia kama ilivyotokea mara kadhaa kwa baadhi ya maofisa wa polisi kutumia nguvu kubwa kuwashambulia na kuwajeruhi wanahabari wakiwa kazini.

"Ni lazima ikumbukwe kuwa kila mtu anayo haki ya ulinzi kwa mujibu wa sheria za nchi, vyombo vya dola vina wajibu wa kuwalinda raia na mali zao ikiwemo waandishi wa habari na watetezi wa haki za binadamu Tanzania," alisema.

Aliongeza kuwa matukio ya watu kuhojiwa uraia wao yanazidi kuongezeka na sasa wamefika viongozi na raia saba wanaodaiwa siyo raia licha ya kuzaliwa na kuishi Tanzania kwa maisha yao yote.

Aliwataja viongozi hao kuwa ni pamoja na Askofu wa Jimbo la Ngara, Severine Niwemugizi, Olengurumwa, Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania, Abdul Nondo, Mkurugenzi wa Twaweza na Aidan Eyakuze.

Wengine ni Mkurugenzi Mtendaji wa Baraza la Wanawake Wafugaji (PWC), Maanda Ngoitiko na Askofu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, Zacharia Kakobe.

"Matukio kama haya yakiendelea kutokea hasa dhidi ya watetezi wa haki za binadamu, yataendelea kusababisha hofu na kupoteza uhuru wa watetezi wa kufanya kazi zao kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi," alisema na kuongeza:

"Matumizi ya nguvu kupita kiasi na kutojali utawala wa sheria pia vimezidi kuchangia kuzorota kwa hali ya watetezi wa haki za binadamu nchini.

"Baadhi ya vyombo vya dola vinatumia nguvu kubwa kuingilia uhuru wa asasi za kiraia na watetezi wanapotaka kufanya mikutano ya ndani na kudai kuwa lazima wawe na vibali au hali ya usalama hairuhusu mikutano hadi ya ndani."

Jinsi Punyeto Inavyo Sababisha Kusinyaa Na Kudumaa Kwa Maumbile Ya Kiume

$
0
0
Wanaume  wanao  jihusisha  na  upigaji  wa  punyeto  kwa  muda  mrefu  husalia  kuwa  na  maumbile  ya  kiume  yaliyo  sinyaa  na  kudumaa.

Kwa mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu, kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu  huathiri  na  kuharibu  mishipa  na  misuli  ya  uume na  hivyo kusababisha  kujengeka  kwa  mafuta na  tishu  zisizo vutika  kwenye  mishipa  ya  ateri na  hivyo  kuzuia  mishipa ya  ateri  kupanuka na  kuongezeka  pamoja  na  damu  kutiririka  kwenda  kwenye  misuli  ya  uume.

Mambo  hayo  mawili yanapotokea  huathiri  uzalishaji  wa homoni muhimu  zinazo  husika  na ukuaji wa misuli ya  uume, na hatimaye  hufanya  uume  wa  mhusika  kudumaa, kusinyaa, kunywea  na  kurudi ndani  kiasi  cha  kuufanya  uonekane  kama wa  mtoto.

 Homoni  hizo hujulikana   kitaalamu kama  HGH  na  huzalishwa  kwenye  ini.

Sababu nyingine   inayo  tajwa  na  wataalamu  ni kwamba, mtu  anaye fanya punyeto   hutumia  akili,  nguvu na  nishati  nyingi sana, jambo ambalo  huathiri utendaji  wa  ogani  nyingine  muhimu  katika  mwili , likiwemo  ini.

Na kwamba  ini  linapo kosa  nishati   ya kutosha  hushindwa  kufanya kazi  zake  vizuri  na  moja  kati  ya  kazi kubwa  za  ini  ni  pamoja  na  uzalishaji  wa  homoni  zijulikanazo  kitaalamu kama  HGH  ambazo  kama  ilivyo andikwa  hapo juu, zinahusika na  kuchochea  ukuaji  wa  sehemu mbalimbali  katika  mwili  wa  mwanadamu  ikiwemo   misuli  ya  uume.

Mbali na  kuathiri  utendaji  wa  ogani  nyingine  mwilini, upigaji  punyeto  husababisha  athari nyingine  kwenye  mwili wa  mwanadamu  kama  vile uchovu  sugu  wa mwili  pamoja na kunyonyoka kwa  nywele.

Athari nyingine  za  upigaji punyeto  ni  pamoja  na  kupoteza  kumbukumbu, kuwahi  kufika  kileleni  ambako  husababishwa  na  kulegea  kwa  mishipa  ya  ateri, kushindwa  kurudia  tendo  la  ndoa, kukosa  hamu  ya  tendo  la  ndoa, uume  kusimama  katika  hali  ya  ulegelege,   maumivu  wakati  wa  tendo  la  ndoa  husuani  wakati  wa  kurudia  tendo  la pili na    mara  baada  ya  tendo  la  ndoa  la  kwanza.

KWANINI   WATU WENGI  WANAO  JIHUSISHA  NA  UPIGAJI  PUNYETO  WANA  MAUMBILE  MADOGO  YA  KIUME YALIYO  DUMAA, SINYAA  NA  KURUDI NDANI.

Uzeofu  unaonyesha  kuwa,  asilimia  kubwa  ya  wanaume  ambao  wamewahi  kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu, wanakabiliwa  na  tatizo  la kuwa  na  maumbile  ya  kiume yaliyo dumaa, sinyaa  na  kurudi ndani.

SABABU  KUBWA   NI  HII  HAPA
Sababu  kubwa  ni kwamba   vijana wengi  wa  kiume, huanza  kujihusisha  na  punyeto   wakiwa  na  miaka  kumi  na sita , kumi na  saba  au  chini  ya  hapo.

Hiki ni  kipindi  ambacho  vijana  hawa  ndio  wanakuwa  wamebalehe.

Na kwa mujibu  wa  tafiti  za kisayansi, katika  kipindi  hiki cha  balehe  ndio  kipindi  ambacho  homoni za  HGH  ambazo huhusika  na  ukuaji  wa  sehemu  mbalimbali  za  mwili  ikiwemo  maumbile ya  kiume, huzalishwa  kwa wingi.

Kama  tulivyo ona  hapo  juu, upigaji  punyeto  huathiri  uzalishwaji  wa   homoni  hizo.

Mwisho wa  siku  maumbile  ya  kiume  ya  wahusika, hushindwa  kukua  na  kuishia  kudumaa na  kusinyaa.

Na  hii ndio  sababu  kubwa  wanaume  wanao  kabiliwa  na  tatizo  hili  husalia  kuwa  na  maumbile yenye  ukubwa  ule  ule  walio kuwa  nao wakati wa  kubalehe

NINI  TIBA  ASILIA  YA  TATIZO  LA  KUDUMAA, KUSINYAA  NA  KURUDI NDANI KWA  MAUMBILE  YA  KIUME.
Kama uume wako  umedumaa, sinyaa, legea, nywea  na  kurudi ndani  kwa  sababu  ulifanya  punyeto  kwa  muda  mrefu  na  unataka  kuondokana  na  hali  hiyo. HII  NI HABARI NJEMA  SANA  KWAKO! 
 
Ipo dawa  ya ASILI   ambayo  HUTIBU  na  KUPONYESHA  KABISA  tatizo la  KUDUMAA, KUSINYAA, KUNYWEA  NA  KURUDI NDANI  KWA MAUMBILE  YA  KIUME kunako  tokana  na  ufanyaji  punyeto  wa  muda  mrefu.
 
Ni  dawa  ya  asili  kabisa ambayo  hutibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la kudumaa  na  kusinyaa  kwa  uume  ndani ya siku thelathini.

JINSI YA  KUPATA  TIBA  HII : Kupata  tiba  hii  fika  ka6ika  duka  la  kuuza  dawa  za  aslili  la  NEEMA  HERBALIST.  Tunapatikana  UBUNGO  jijini  DAR  ES  SALAAM  jirani  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING  nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA.

Kwa wateja  waliopo  jijini  Dar  Es  Salaam  ambao  hawana  nafasi  ya  kufika  ofisini  kwetu  watapelekewa  dawa  mahali  walipo  ( HOME & OFFICE  DELIVERY )  na kwa  wateja  waliopo  nje  ya  mkoa  wa  Dar  Es  Salaam  watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  usafiri  wa  mabus  au  boti  kwa  waliopo  Zanzibar.

Wasiliana  nasi  kwa  simu  namba  :    0693  005 189.

Breaking News: Rais Magufuli Kafanya Uteuzi Mwingine Mkubwa....Fuatilia Hapa LIVE Toka Ikulu

$
0
0
Rais Magufuli leo August 13 amefanya mabadiliko ya Wakurugenzi mbalimbali  wa Halmashauri hapa nchini.

Wapo walioenguliwa na wengine wamebadilishiwa vituo vya kazi.

==>>Fuatilia kila kitu hapo chini

LIVE | Katibu Mkuu CCM Anaongea na Waandishi wa Habari Muda Huu

$
0
0
Katibu Mkuu CCM Dkt. Bashiru Ally anaongea na waandishi wa habari muda huu. Kuliko? Msikilize hapo chini

Rais Magufuli Apongeza Jimbo La Mbulu Kupata Askofu Mpya

$
0
0
RAIS John Magufuli amewapongeza wananchi wa wilaya za Mbulu, Babati na Hanang’ mkoani Manyara na Karatu mkoani Arusha zinazounda Jimbo la Mbulu kwa kumpata askofu wa tano wa Jimbo hilo Anthony Lagwen.

Waziri wa Katiba na Sheria Profesa Palamagamba Kabudi ambaye alimwakilisha Rais Magufuli aliyasema hayo jana mjini Mbulu Mkoani Manyara, kwenye tukio la kusimikwa kwa askofu Lagwen.

Waziri kabudi alisema pamoja na kuwapongeza, kanisa katoliki limekuwa msaada mkubwa kwa serikali kwa kutoa huduma ya elimu, afya na maji hasa kwa watu wa kawaida.

Alisema jimbo la Mbulu linaloundwa tangu mwaka 1953 limekuwa mfano wa kuigwa katika kuhakikisha jamii ya eneo hilo inapata huduma za kiroho na kimwili.

“Tunapongeza kanisa katoliki jimbo la Mbulu kwa kutoa huduma za afya ikiwemo hospitali za misheni za Dareda na Bashnet wilayani Babati,” alisema.

Alipongeza jimbo hilo kumiliki kituo cha redio Habari Njema ambacho kwa namna moja au nyingine kinatoa huduma ya uinjilishaji na kuhabarisha jamii.

“Kituo hicho cha redio kiendelee kusisitiza amani kwani bila uwepo wa amani hakutawezekana kufanyika chochote,” alisema.

Alisema taasisi za dini kwa kiasi kikubwa zimechangia maendeleo mengi na ustawi wa jamii hivyo serikali itaendelea kushirikiana kwa pamoja ili kuhakikisha jamii inasonga mbele.

Askofu mkuu wa Jimbo kuu la Dar es salaam, mwadhama Policarp Kardinali Pengo alisema japokuwa askofu Lagweni ni mzaliwa wa jimbo la Mbulu lakini atakumbana na changamoto zile zile wanazokumbana nazo maaskofu ambao wanaongoza majimbo ambayo hawajazaliwa.

“Mimi siwezi kuona Sumbawanga ndiyo bora zaidi kuliko sehemu ninayoongoza waumini hivyo nawe waongoze waamini kama inavyopaswa kuwaongoza,” alisema Kardinali Pengo.

Rais wa baraza kuu la maaskofu wakatoliki nchini (TEC) askofu wa jimbo la Mpanda, Gervas  Nyaisonga alisema askofu Lagwen ameteuliwa na Baba mtakatifu papa Francisco wakati huu ambapo wanasherehekea jubilee ya miaka 150 ya uinjilishaji.

Askofu Nyaisonga alisema askofu Lagwen baada ya kupata nafasi hiyo anapaswa kuwaangalia usoni waumini ili kuzidi kuwajenga kiroho.

Mkuu wa mkoa wa Manyara, Alexander Mnyeti alisema serikali ya mkoa huo itashirikiana na jimbo hilo katika kufanikisha ustawi wa wananchi wa eneo hilo.

Mnyeti alisema askofu Lagweni amepata daraja hilo la uaskofu ambapo ni heshima kwa wananchi wa Mbulu, Manyara na Tanzania kwa ujumla.

“Japokuwa wewe umezaliwa katika jamii ya wairaqw hata ungekuwa mmeru au msukuma lakini kwa kuwa umeteuliwa kuwa askofu wa Mbulu, umepakwa mafuta kwa uwezo wa roho mtakatifu,” alisema Mnyeti.

Akizungumza baada ya kusimikwa askofu Lagwen alisema anamuomba Mungu amsaidie kutimiza wajibu wake mpya wa kiroho katika kuwahudumia waamini wa eneo hilo.

Askofu Lagwen alisema wanashirikiana na serikali katika kufanikisha huduma mbalimbali na miradi ya elimu, afya, maji, mazingira, habari na nyingine.

Aliwashukuru wote walifanikisha tukio hilo na akawaahidi kuwa atatoa ushirikiano unaostahili kupitia nafasi yake kwa upendo na umoja watumikie.

Askofu Anthony Lagwen alizaliwa  Julai 5 mwaka 1967 kwenye Kijiji cha Tlawi, wilayani Mbulu mkoani Manyara na kuanza masomo ya elimu ya msingi na masomo ya sekondari katika seminari ndogo ya Sanu, Jimbo Katoliki la Mbulu.

PICHA: Mgombea Ubunge wa Buyungu-CCM Christopher Chiza akipokea Hati yake ya Ushindi

$
0
0
Mgombea Ubunge wa Buyungu-CCM Christopher Chiza akipokea Hati yake ya Ushindi baada ya kutangazwa mshindi kwa kura 24,578 akifuatiwa na Eliya Michael-Chadema aliyepata kura 16,910.


Mabadiliko Madogo ya Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi Yaliyofanywa na Rais Magufuli

$
0
0
Rais John Magufuli leo tarehe 13 Agosti, 2018 amefanya mabadiliko madogo ya wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa halmashauri mbalimbali nchini.

Uteuzi huo alioufanya Rais Magufuli umetangazwa leo Ikulu jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi.

“Uteuzi huu umefanyika kufuatia mkuu wa wilaya ya Chato aliyeteuliwa hivi karibuni kwenda nje ya nchi kwa ajili ya mafunzo ya kijeshi, Kanali Patrick Norbert Songea,” amesema Balozi Kijazi.

Mabadiliko hayo ni pamoja na, uhamisho wa Mkuu wa Wilaya ya Kwimba, Msafiri Simion aliyehamishiwa wilayani Chato, wakati Senyi Ngaga akipelekwa Kwimba.

Kwa upande wa mabadiliko ya wakurugenzi wa halmashauri, Rais Magufuli ameteua wakurugenzi arobaini na moja (41) wapya na kuwahamisha wakurugenzi 19, akiwemo Dkt. Maulid Madeni aliyeteuliwa kuwa Mkurugenzi mpya wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, huku Emanuel Mkongo akiteuliwa kuwa Mkurugenzi mpya wa Halmashauri ya Manispaa ya Meru.

“Rais Magufuli Amefanya uteuzi na uhamisho wa wakurugenzi wa halmashauri ya wilaya, miji,  manispaa na jiji, kwa kuteuwa wakurugenzi wapya 41 na kuhamisha vituo wakurugenzi 19. Mabadiliko haya ni kutokana  na wakurugenzi waliokuwa vituo hivyo kustaafu, kuhamishwa na  kupangiwa kazi nyingine na wengine kuondolewa kwenye nafasi za ukurugenzi.


“Wakurugenzi ambao katika mabadiliko haya wamebadilishwa vituo vya kazi, wanapaswa kwenda kuripoti katika vituo vyao vya kazi mara moja."amesema Balozi Kijazi na kuongeza;
 
“Kwa wale wakurugenzi walioteuliwa kwa mara ya kwanza wanatakiwa kuripoti kwa katibu mkuu wa Tamisemi siku ya Jumatano kwa ajili ya kiapo cha uadilifu na maelekezo ya majukumu yao.”

Balozi Kijazi amesema watakapokwenda Dodoma wanapaswa kuwa na vyeti vyao vya kidato cha nne, kidato cha sita na elimu ya taaluma.

Kalulumila:Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
 BORA YA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO KALULUMILA.
----------------------------------------
Ni dawa pekee iliyojipatia umaarufu nchini na nje ya nchi kwa kufanya kazi mara 3, kwa wakati mmoja 1, kurefusha uume na kunenepesha saizi uipendayo kuongeza nguvu za kiume na inatibu matatizo na gerentii miaka 30. Na kuendelea haina madhara, inaimarisha mishipa ya uume iliyoregea na udhalishaji wa mbegu za kiume. 


---------NINI HUCHANGIA MATATIZO HAYA--Ngiri ni chanzo kikubwa cha matatizo haya ili kujua kwamba una ngiri ni chanzo kikubwa cha matatizo haya, ili kujua kama unangiri dalili zake ni kufika haraka kileleni wakati wa tendo la ndoa, 2)kushindwa kurudia tendo la ndoa. 3)kutoa choo kama cha mbuzi. 4)tumbo kujaa gesi na kuunguruma. 5)kukosa choo kabisa. 6)maumbile kuingia ndani na kuwa mafupi. 7) korodani moja kuvimba 8)kutosikia hamu ya tendo la ndoa na maumivu ya kiuno wakati wa tendo la ndoa. 9)maumivu ya kiuno na mgongo pia tunatibu kisukari kwa siku7, presha, busha, bila kupasuliwa na magonjwa mbalimbali. 

---------------------------------------
TUPO TEGETA KWA NDEVU KARIBU NA MACHINJIO YA NGOMBE UTAONA OFSI IMEANDIKWA KALULUMILA HERBALIST CLINIC HOSPITAL SIMU .
----------------------------------------
-0655-557-182.
-0755-557182.
-0784-557-182.
PIA UTAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO.
---------------------------------------
KARIBUNI SANA.
----------------------------------------

Dr Kanengo: Bingwa Wa Tiba Asili Hutibu Matatizo Yafuatayo

$
0
0
NKURURU:-ni dawa inayotibu miguu kuwaka moto, kiuno tumbo kupooza kupoteza fahamu 

MALABALA; hutibu kisukari , uti wa mgogo, Change, pumu, busha, kaswende, kifua kikuu, muwasho sehemu ya siri 

NKURUNGU,: Ni dawa kutibu  N, B, G, POWER :-ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume ni vidonge 20 

MPERAMPERA:- ni dawa ya kurudisha Mke, mme, mpenzi,mchumba aliyekuacha /kuteseka, ni kwa mda wa siku 2 tu kusafisha , pia kuna dawa za kupunguza vitambi(nyama uzembe), maziwa makubwa,michirizi, mikovu makubwa, chunusi sugu. 

NR SIX POWER:-inatibu upungufu wa nguvu za kiume kwa wasio weza kumudu tendo la ndoa itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara 4 bila hamu Kuisha, inaboresha maumbile madogo na inaimarisha misuri iliyo legea na kusinyaa una pona kabisa, ndani ya siku 4 tu 

GASELA:-ni dawa ya maajabu (9) yaliyoshindikana. (1)-Kisukari, vidonda vya tumbo, tezi dume,walioshindikanika kupata watoto(ugumba),busha bila oparesheni, (2)zindiko Kali Katika biashara yako (chuma ulete) ndo kiboko yao kumkamata mwizi aliye kuibia vitu vyako pikipiki, gari, n, k( 2)zindiko la nyumba, mashamba, viwanja,.(4)kukutolea sumu uliyo ikanyaga (Mtego) (5)ujiamini kutumia dawa ya maajabu Saba (6)kutoa mikafara mfano ugomvi ndani ya nyumba kufukuzwa kazini bila sababu (7)kutabiri nyota na kung'arisha (8)kurudisha Mali iliyo potea mazingira ya kutatanisha, kushinda kesi uliyo sumbuka nayo mda mrefu. (9)kufukuza majini wachafu ndani ya mji,.

Haya yote yanawezekana kwa DR KANENGO popote ulipo . Muone  DR KANENGO,anatibu nguvu za kiume anarefusha na kunenepesha uume kwa saizi uipendayo kwa muda mfupi sana, pamoja na kuwa na hamu ya kurudia tendo la ndoa mara 4 bila hamu kuisha Na utachelewa kufika kileleni kwa muda wa dakika 40 bila kuchoka .

Angalizo usitume meseji wala kubipu..
 
You can get it in all East African countries,,our service is fast and easy... contact Whatsapp 0784,47,59,46.Dar es salaam Tanzania. ,..Dr. KANENGO 0744,92,29,82...You are welcome.

Jipatie Tiba ya Asili ya Ngiri, Vidonda vya Tumbo,Kisukari na Nguvu za Kiume

$
0
0
Super nzoka IKEMEKO TRDITONAL clinic Ni dawa ya Asili ya vidonge iliyotengenezwa kwa techknojia ya kisasa na ubora wa hali ya juu 

Huongeza nguvu za kiume maradufu hata kwa wale wasiojiweza kabisa kufanya tendo la ndoa na wapo abao hata wakifanya hushindwa kutoa maji maji maji ambayo ndani yake kuna mbegu za kiume zinazotakitakiwa kurutubisha yai

Dawa hii huboresha na tunatibu nakumaliza matatizo haya kwa muda mfupi tu na haina madhara kwa mtumiaji yeyote hata wa umri wa miaka 80 na kuendelea.... inaongeza hamu, urijali kwa wanaoshindwa kuendelea na tendo la ndoa.

Huanza kufanya kazi baada ya dakika 60 tu na kufanya uchelewe kufika kileleni dakika 20 kwa tendo la kwanza itakuwa unauhakika wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuhisi kuchoka 

SILYA; inakuza uume uliosinyaa kurefusha umbile dogo urefu inchi (6-9)na unene wa cm 4 za upenyo kwa wenye kasoro za kimaumbile na walioathiriwa na kupiga punyeto pamoja na matatizo ya kiafya

Tiba hii ni ya kudumu.Pia tunatibu ngiri ya kupanda na kushuka,tumbo kuuguruma chini ya kitovu ,kaswende kisukari ,maumivu ya mgongo, kiuno, kutopata choo vizuri na uvimbe kupitia njia ya mkojo, presha, vidonda vya tumbo

Wasiliana Nasi kwa namba;  0716343218,0789289945. TUNAPATIKANA MBAGALA ZAKIEM STENDI ya musanga

Breaking News: Mbunge Mwingine CUF Ajivua Uanachama na Kuhamia CCM

$
0
0
Mbunge mwingine toka Chama cha Wananchi CUF jimbo la Liwale, Zuberi Kuchauka kwa hiari yake mwenyewe  ameamua kujivua uanachama wa chama hicho na kujiunga na Chama cha Mapinduzi CCM

Ametangaza uamuzi huo leo August 12, 2018  katika mkutano wa waandishi wa habari uliofanyika katika ofisi ndogo za CCM Lumumba jijini Dar es Salaam, akiwa sambamba na Katibu Mkuu wa chama hicho tawala, Dk Bashiru Ally.

Kuchauka amesema moja ya sababu iliyomuondoa CUF ni utendaji kazi wa Rais John Magufuli pamoja na mgogoro unaokitafuta CUF.

Makanga 3 Power; Dawa Bora Nguvu Za Kiume

$
0
0
Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.
Tupo dar es salam mbagala rangi tatu.

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348. Au 0659 103 360.

CCM waibuka na ushindi kata ya Bugalama.

$
0
0
Na, magdalena kashindye.. Kahama
Chama cha mapinduzi CCM kimeibuka na ushindi katika uchaguzi wa marudio katika kata ya Bugalama iliyopo katika halmashauri ya Msalala wilayani Kahama Mkoani shinyanga.

Kwenye uchaguzi huo uliofanyika Agosti 12 mwaka huu Vyama vitatu vilisimamisha wagombea watatu katika kata hiyo na mgombea wa CCM Izengo Josephath alitangazwa mshindi kwa kura 2137 akiwashinda wapinzani wake Stephano Izengo wa CHADEMA kwa kura 571 huku mgombea wa ACT wazalendo Jilala Seni akipata kura 32.

Uchaguzi huo wa marudio ulifanyika kufuatia aliyekuwa diwani wa CHADEMA Izengo Josephath kuhamia chama cha mapinduzi CCM na chama hicho kilimpa ridhaa ya kupeperusha bendera ya chama hicho.

Waziri Mkuu Awataka Viongozi Wabadilike Kimtazamo

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka viongozi wanaoshiriki kozi fupi ya tano ya viongozi wahakikishe watakaporudi kwenye maeneo yao ya utendaji wawe wamebadilika kimtazamo, kihoja, kiushauri pamoja na utoaji maamuzi.

Ameyasema hayo leo (Jumatatu, Agosti 13, 2018) wakati akifungua kozi ya tano ya muda mfupi ya viongozi inayofanyika katika Chuo cha Taifa cha Ulinzi, Kunduchi jijini Dar es Salaam.

Waziri Mkuu amesema chuo hicho kilianzishwa kwa lengo la kulisaidia Taifa kujenga uwezo wa viongozi ili wanaohitimu mafunzo hayo wawe na uchambuzi wa kina na wa kimkakati ili kuweza kutatua mambo mbalimbali ya usalama wa Taifa na matatizo yanayotakiwa kushughulikiwa kimkakati.

“Chuo hiki kilianzishwa ili kuwaleta washiriki kutoka taasisi zote za Serikali na sekta binafsi waweze kujadili mambo mbalimbali ya kimkakati ili wanapokuwa wanatekeleza wajibu wao watambue kuwa ni kwa kiasi gani matokeo ya maamuzi yao yataathiri mambo ya kijamii, kiuchumi, uhusiano wa kidiplomasia na siasa za ndani kwa ujumla wake”.

Amesema ushirikiano kuhusu kutatua matatizo uanze wakati wa mafunzo hayo na uendelee hata hapo baadaye watakaporejea kwenye maeneo yao ya kazi. “Sisi viongozi wenu tunatarajia kuona kuwa mtakapohitimu mafunzo haya mtakuwa mmebadilika kimtizamo na kwamba taasisi zenu zitakuwa kwenye nafasi nzuri ya kuzungumza lugha moja”.

Waziri Mkuu amesema suala hilo ni muhimu sana katika kusukuma maendeleo ya nchi kwa haraka hususan wakati huu ambao Serikali inalenga kukuza uchumi wa viwanda, ambapo amewataka viongozi hao watambue kwamba changamoto za sasa ni mtambuka na hivyo, si rahisi kutatuliwa na taasisi moja moja.

“Changamoto hizi zimebadili hali ya nchi yetu ikiwa ni pamoja na uharibifu wa mazingira, ongezeko la watu, uhaba wa ajira, makosa ya kimtandao, ugaidi, na mengine mengi ambayo yote zinahitaji mikakati ya pamoja ili kuweza kukabiliana nayo”.

Awali, Mkuu wa chuo hicho Luteni Jenerali, Paul amesema mafunzo hayo yanayoanza leo Agosti 13 yanatarajia kuisha Agosti 17, ambapo mafunzo hayo yamelenga kuwanoa na kuwawezesha washiriki kujua mambo ya Usalama wa Taifa na uzalendo kwa nchi.

Pia watajifunza namna ya kuendesha Serikali kwa kutumia mikakati mbalimbali pasipo kuathiri usalama pamoja na kupata uzoefu katika mambo mbalimbali na kuwafanya wawe na uwezo wa kutengeneza, kuendeleza na kusimamia utekelezaji wa mikakati inayolenga kujenga na kuimarisha Usalama wa Taifa.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
JUMATATU, AGOSTI 13, 2018.

Ay na mkewe Wapata Mtoto Wa Kiume

$
0
0
Ikiwa imepita miezi sita tangu mwanamuziki, Ambwene Yessayah (AY) na Remy wafunge ndoa usiku wa kuamkia Jumatatu Agost 13,2018 leo wamebarikiwa kupata mtoto wa kiume waliyempa jina la Aviel lenye maana kwamba ‘God is my father’,.

Jumatatu hii rapa huyo ameutaarifu umma kwamba mke wake huyo amepata mtoto wa kiume aitwaye Aviel.

“Mungu ni mwema na namshukuru sana kwa kutubariki mimi na My Beautiful Wife #Remy tarehe 12.08.2018 Medical City Healthcare Dallas -Texas tumepata mtoto wa kiume AVIEL maana yake GOD IS MY FATHER…. 3.9Kgs & 27 inches…Welcome to the World AVIEL YESSAYAH 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿,” aliandika rapa huyo kupitia instagram yake.

AY na Remy ambae ni raia wa Rwanda walifunga ndoa Februari 24,mwaka huu jijini Dar es Salaam ambapo kulihudhuriwa na mastaa kibao.

Orodha ya Wakurugenzi Walioteuliwa na Rais Magufuli Leo

$
0
0
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi akitangaza majina ya, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya, Miji, Manispaa na Majiji walioteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es Salaam leo tarehe 13/08/18. PICHA NA IKULU

 ***********
RAIS John Magufuli leo tarehe 13 Agosti, 2018 amefanya mabadiliko madogo ya wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa halmashauri mbalimbali nchini.

Uteuzi huo alioufanya Rais Magufuli umetangazwa leo Ikulu jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi.

Mabadiliko hayo ni pamoja na, uhamisho wa Mkuu wa Wilaya ya Kwimba, Msafiri Simion aliyehamishiwa wilayani Chato, wakati Senyi Ngaga akipelekwa Kwimba. 

==>>Hapo chini kuna Orodha ya Wakurugenzi.
 
Mkoa wa Arusha:
Jiji la Arusha: Mkurugenzi ni Maulid Suleiman Madeni( Mpya)

Halmashauri ya Meru: Mkurugenzi ni Emanuel Mkongo( Mpya)

Mkoa wa Dar es Salaam
Manispaa ya Temeke: Mkurugenzi ni Rusubilo Mwakabibi aliyetoka Wilaya ya Kakonko

Ubungo: Mkurugenzi ni Beatrice Kwayi aliyetokea Mtwara

Ilala: Mkurugenzi ni Jumanne Kyango Shauri aliyetoka Korogwe

Kigamboni: Mkurugenzi ni Mwilabusu Ndatwa Rudigija aliyetoka Wilaya ya Rudewa

Mkoa wa Dodoma
Kondoa: Mkurugenzi ni Msitafa Ysyf( Mpya)

Kondoa mji: Mkurugenzi ni Msoreni Juma Dakawa( Mpya)

Mpwapwa: Mkueugenzi ni Paul Mamba Swea( Mpya)

Kongwa: Mkurugenzi ni Dkt, Omary Nkuru( Mpya)

Mkoa wa Geita
Nyankwale: Mkurugenzi ni Maria Caaurembo(Mpya)

Chato: Mkurugenzi ni Eliud Reonard aliyetoka Misungwi

Mkoa wa Iringa
Iringa Manispaa: Mkurugenzi ni Ahamed Njomvu aliyetoka Manispaa ya Sumbawanga

Mkoa wa Kagera
Halmashauri ya Misenyi: Mkurugenzi ni Innocent Mkandala(Mpya)

Bukoba Manispaa: Mkurugenzi ni Benard Moris aliyetoka Misenyi

Halmashauri Bukoba: Mkurugenzi ni Solumon Kimilike(Mpya)

Mkoa wa Katavi
Halmashauri ya Simbo: Mkurugenzi ni Ramadhan Mohamed(Mpya)

Mkoa wa Kigoma
Kigoma: Mkurugenzi ni Smith Pangani ametoka Halmashauri Simbo

Kakonko: Mkurugenzi ni Masumbuko Magangira(Mpya)

Halmashauri Kigoma: Mkurugenzi ni Upendo Erick Mangali(mpya)

Mkoa wa Kilimanjaro
Mwanga: Mkurugenzi ni Kimoro Lubuva

Moshi: Mkurugenzi ni Tatu Selemani Kikwete katokea Halmashauri ya Kibaha

Mkoa wa Lindi
Halmashauri Liwale: Mkurugenzi ni Bakari Mbaga aliyetokea Temeke

Kilwa: Mkurugenzi ni Renatus Mchau(Mpya)

Mkoa wa Mara
Msoma: Mkurugenzi wake ni Kayombo John ametoka Ubungo

Butiama: Mkurugenzi wake ni Mgarani Alfonce(Mpya)

Mkoa wa Mbeya
Mbeya: Mkurugenzi wake ni Edward Katemba ametoka Kigamboni.

Jiji Mbeya: James Kasusula( mpya)

Kyela: Mkurugenzi wake ni Lucy Mganga( Mpya)

Mkoa wa Morogoro
Halmashauri ya Kilombelo: Mkurugenzi wa ni Eng. Stephan Kaliwa(Mpya)

Halmashauri ya Morogoro: Mkurugenzi ni Kayombe Ryoba(Mpya)

Malinyi: Mkurugenzi ni Mussa Elias Mnyeti

Kilosa :Mkurugenzi ni Lucas Mwambambale(Mpya)

Mkoa wa Mtwara
Mtwara: Mkurugenz ni Kanali Emanuel Mwaigobeko

Mkoa wa Mwanza
Misungwi: Mkurugenzi ni Kisena Magena(Mpya)

Ukerewe :Mkurugenzi ni Esther Chaura(Mpya)

Mkoa wa Njombe
Waging'ombe :Mkurugenzi ni Philip Lukoa ametoka Chalinze

Ludewa ;Mkurugenzi ni SUnday George(Mpya)

Mkoa wa Pwani
Chalinze: Mkurugenzi ni Amina Mohamed Kiwanuka aliyetoka Waging'ombe

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Mizizi 29 Power ,ndio Dawa Bora Na Imara Kwa Sasa Kwa Kutibu Na Kuponesha Tataizo La Nguvu Za Kiume Kwa Dakika 30 Tu

$
0
0
Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume limekuwa ni janga kubwa sana kwa sasa sio vijana au wazee wanalalamiki kukimbiwa na wa wapenzi wao au ndoa kuvunjika kutokana na mwanaume kulala na mwanamke kitanda kimoja hata wiki mbili bila kushiriki tendo la ndoa na hii ndio inachangia wanawake wengi kutoka nje ya ndoa kwa nini huteseke na wakati dawa zipo ambazo zitarudisha heshima yako ya ndoa 

MIZIZI 29 POWER; ni ambayo hutibu na kurudisha virutubisho mwilini ambavyo humfanya mwanaume awe na matatizo yafatayo 1 kuwahi kukojoa kabla mke au mpenzi wake

 2. kushindwa kurudia tendo dawa, hii itakufanya kurudia tendo zaidi ya Mara tatu 

3... dawa hii inatibu uume uliolegea na kusinyaa 

4. dawa hii inatoa miungurumo ya tumbo na uchovu wakati wa kumaliza tendo 

NINI KINASABABISHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME 1 kupiga punyeto kwa mda mrefu 
2 upungufu wa vichochoe mwilini 
3 magonjwa ya moyo, kisukari, presha, vidonda vya tumbo kiuno na mgongo 
4 utumiaji ovyo wa madawa ya kizungu 
4 usongo wa mawazo, hasira, tumbo kujaa gesi na kutopata choo.

 PATA TIBA YANGU NA NI TOFAUTI NA ULIZO WAHI KUTUMIA: 

Je una uume mfupi na mwembamba? MASHESHA MIX ni dawa ya kuboresha uume saiz upendayo asa kwa wale waliofanyiwa tohara wakiwa wadogo.. chagua saizi upendayo inch 5,6,7, adi 8 iyo ni kwa urefu na unene sentimita 2,3,4, adi 5 .dawa hizi zipo za kupaka na kunywa na hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ,

Tunatibu kisukari,vidonda vya tumbo,ngiri, korodani iliyovimba, kupnguza kitambi, maziwa makubwa NK 

KWA TIBA NA USHAULI FIKA OFISINI KWANGU DARE S SALAAMU MBAGALA ZAKHEMU NA MIKOA YA KANDA YA ZIWA YUPO WAKALA WETU HAPO MWANZA NA KWA AMBAO HAWANA NAFASI YA KUJA OFISINI HUDUMA YETU UTALETEWA POPOTE ULIPO PIGA SIMU 0783185060 DR MAKOYE
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images