Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Usaliti wazidi Kuiandama CHADEMA

$
0
0
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA) kimemfukuza uanachama diwani wa kata ya majengo wilaya ya Sumbawanga, Dickson Mwanandenje

Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Chama hicho mkoa wa Rukwa, Shadrack Malila ambapo amesema kuwa Baraza kuu la CHADEMA mkoa wa Rukwa lililokutana limeridhia kwa kauli moja kumfuta uanachama diwani huyo kwa kile kilichoelezwa ni usaliti ndani ya chama.

Amesema kuwa diwani huyo hivi karibuni alionekana kwenye mkutano wa hadhara wa mbunge wa Sumbawanga mjini CCM, Aeshi Hilaly na kupewa nafasi ya kupanda jukwaani ambako alimsifia mbunge huyo pamoja na chama chake (CCM).

“Kwanza alitoka kwenye Kata yake na kwenda hadi Kata ya (Mazwi) ambako mkutano huo ulifanyika, pili akaomba nafasi ya kuongea na kumsifia mbunge huyo akidai ameleta maendeleo ndani ya jimbo kitu ambacho si kweli na sisi kwa tukio hilo tumeona ni usaliti tosha alioufanya hivyo hastahili kuendelea na sisi,”amesema Malila

Hata hivyo, Malila ameongeza walikuwa na taarifa za diwani huyo kutaka kuhamia CCM hivyo wamempa njia ya kwenda bila kujinadi kuwa ameondoka, huku wakiendelea na uchunguzi juu ya diwani mwingine wa CHADEMA ambaye naye anatuhumiwa kuwa miongoni mwa wasaliti na ikithibitika naye watamfuta uanachama.

Waziri Kairuki Awapa Angalizo Wafanyabiashara wa Madini

$
0
0
WAZIRI wa Madini, Angella Kairuki amewataka wafanyabiashara wa madini nchini wazingatie sheria, kanuni na taratibu kwa kufanya biashara halali ili kuziwezesha pande zote yaani serikali na wafanyabishara kunufaika na rasilimali hiyo.

Amesema hayo jana wakati akizungumza na wafanyabiashara wa madini wa jijini Arusha waliohudhuria mkutano huo ulioratibiwa na Chama cha Wafanyabiashara wa Madini Tanzania (TAMIDA).

Kairuki amesema zama zimebadilika na hivyo kuwatahadharisha wale wote wanaofanya vitendo vilivyo kinyume cha taratibu na kueleza kuwa, hawatasalimika na mkono wa sheria kwa kuwa serikali imedhamiria kuhakikisha kwamba rasilimali madini inawanufaisha Watanzania na Taifa.

Amesisitiza kuwa, tayari ana taarifa za kila mfanyabiashara wa madini wa jijini Arusha na kuwataka wote wanaokwenda kinyume kujitafakari upya na kuchukua hatua sahihi kwani anamfahamu kila mmoja.

Kalulumila:Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
 BORA YA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO KALULUMILA.
----------------------------------------
Ni dawa pekee iliyojipatia umaarufu nchini na nje ya nchi kwa kufanya kazi mara 3, kwa wakati mmoja 1, kurefusha uume na kunenepesha saizi uipendayo kuongeza nguvu za kiume na inatibu matatizo na gerentii miaka 30. Na kuendelea haina madhara, inaimarisha mishipa ya uume iliyoregea na udhalishaji wa mbegu za kiume. 


---------NINI HUCHANGIA MATATIZO HAYA--Ngiri ni chanzo kikubwa cha matatizo haya ili kujua kwamba una ngiri ni chanzo kikubwa cha matatizo haya, ili kujua kama unangiri dalili zake ni kufika haraka kileleni wakati wa tendo la ndoa, 2)kushindwa kurudia tendo la ndoa. 3)kutoa choo kama cha mbuzi. 4)tumbo kujaa gesi na kuunguruma. 5)kukosa choo kabisa. 6)maumbile kuingia ndani na kuwa mafupi. 7) korodani moja kuvimba 8)kutosikia hamu ya tendo la ndoa na maumivu ya kiuno wakati wa tendo la ndoa. 9)maumivu ya kiuno na mgongo pia tunatibu kisukari kwa siku7, presha, busha, bila kupasuliwa na magonjwa mbalimbali. 

---------------------------------------
TUPO TEGETA KWA NDEVU KARIBU NA MACHINJIO YA NGOMBE UTAONA OFSI IMEANDIKWA KALULUMILA HERBALIST CLINIC HOSPITAL SIMU .
----------------------------------------
-0655-557-182.
-0755-557182.
-0784-557-182.
PIA UTAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO.
---------------------------------------
KARIBUNI SANA.
----------------------------------------

Dr Kanengo: Bingwa Wa Tiba Asili Hutibu Matatizo Yafuatayo

$
0
0
NKURURU:-ni dawa inayotibu miguu kuwaka moto, kiuno tumbo kupooza kupoteza fahamu 

MALABALA; hutibu kisukari , uti wa mgogo, Change, pumu, busha, kaswende, kifua kikuu, muwasho sehemu ya siri 

NKURUNGU,: Ni dawa kutibu  N, B, G, POWER :-ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume ni vidonge 20 

MPERAMPERA:- ni dawa ya kurudisha Mke, mme, mpenzi,mchumba aliyekuacha /kuteseka, ni kwa mda wa siku 2 tu kusafisha , pia kuna dawa za kupunguza vitambi(nyama uzembe), maziwa makubwa,michirizi, mikovu makubwa, chunusi sugu. 

NR SIX POWER:-inatibu upungufu wa nguvu za kiume kwa wasio weza kumudu tendo la ndoa itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara 4 bila hamu Kuisha, inaboresha maumbile madogo na inaimarisha misuri iliyo legea na kusinyaa una pona kabisa, ndani ya siku 4 tu 

GASELA:-ni dawa ya maajabu (9) yaliyoshindikana. (1)-Kisukari, vidonda vya tumbo, tezi dume,walioshindikanika kupata watoto(ugumba),busha bila oparesheni, (2)zindiko Kali Katika biashara yako (chuma ulete) ndo kiboko yao kumkamata mwizi aliye kuibia vitu vyako pikipiki, gari, n, k( 2)zindiko la nyumba, mashamba, viwanja,.(4)kukutolea sumu uliyo ikanyaga (Mtego) (5)ujiamini kutumia dawa ya maajabu Saba (6)kutoa mikafara mfano ugomvi ndani ya nyumba kufukuzwa kazini bila sababu (7)kutabiri nyota na kung'arisha (8)kurudisha Mali iliyo potea mazingira ya kutatanisha, kushinda kesi uliyo sumbuka nayo mda mrefu. (9)kufukuza majini wachafu ndani ya mji,.

Haya yote yanawezekana kwa DR KANENGO popote ulipo . Muone  DR KANENGO,anatibu nguvu za kiume anarefusha na kunenepesha uume kwa saizi uipendayo kwa muda mfupi sana, pamoja na kuwa na hamu ya kurudia tendo la ndoa mara 4 bila hamu kuisha Na utachelewa kufika kileleni kwa muda wa dakika 40 bila kuchoka .

Angalizo usitume meseji wala kubipu..
 
You can get it in all East African countries,,our service is fast and easy... contact Whatsapp 0784,47,59,46.Dar es salaam Tanzania. ,..Dr. KANENGO 0744,92,29,82...You are welcome.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Mizizi 29 Power ,ndio Dawa Bora Na Imara Kwa Sasa Kwa Kutibu Na Kuponesha Tataizo La Nguvu Za Kiume Kwa Dakika 30 Tu

$
0
0
Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume limekuwa ni janga kubwa sana kwa sasa sio vijana au wazee wanalalamiki kukimbiwa na wa wapenzi wao au ndoa kuvunjika kutokana na mwanaume kulala na mwanamke kitanda kimoja hata wiki mbili bila kushiriki tendo la ndoa na hii ndio inachangia wanawake wengi kutoka nje ya ndoa kwa nini huteseke na wakati dawa zipo ambazo zitarudisha heshima yako ya ndoa 

MIZIZI 29 POWER; ni ambayo hutibu na kurudisha virutubisho mwilini ambavyo humfanya mwanaume awe na matatizo yafatayo 1 kuwahi kukojoa kabla mke au mpenzi wake

 2. kushindwa kurudia tendo dawa, hii itakufanya kurudia tendo zaidi ya Mara tatu 

3... dawa hii inatibu uume uliolegea na kusinyaa 

4. dawa hii inatoa miungurumo ya tumbo na uchovu wakati wa kumaliza tendo 

NINI KINASABABISHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME 1 kupiga punyeto kwa mda mrefu 
2 upungufu wa vichochoe mwilini 
3 magonjwa ya moyo, kisukari, presha, vidonda vya tumbo kiuno na mgongo 
4 utumiaji ovyo wa madawa ya kizungu 
4 usongo wa mawazo, hasira, tumbo kujaa gesi na kutopata choo.

 PATA TIBA YANGU NA NI TOFAUTI NA ULIZO WAHI KUTUMIA: 

Je una uume mfupi na mwembamba? MASHESHA MIX ni dawa ya kuboresha uume saiz upendayo asa kwa wale waliofanyiwa tohara wakiwa wadogo.. chagua saizi upendayo inch 5,6,7, adi 8 iyo ni kwa urefu na unene sentimita 2,3,4, adi 5 .dawa hizi zipo za kupaka na kunywa na hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ,

Tunatibu kisukari,vidonda vya tumbo,ngiri, korodani iliyovimba, kupnguza kitambi, maziwa makubwa NK 

KWA TIBA NA USHAULI FIKA OFISINI KWANGU DARE S SALAAMU MBAGALA ZAKHEMU NA MIKOA YA KANDA YA ZIWA YUPO WAKALA WETU HAPO MWANZA NA KWA AMBAO HAWANA NAFASI YA KUJA OFISINI HUDUMA YETU UTALETEWA POPOTE ULIPO PIGA SIMU 0783185060 DR MAKOYE

Huna Sababu Ya Kuaibikatena............ Jipatie Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Na Mvuto Wa Mapenz

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0622344969

RC Hapi Akutana Na Wazee Wa Mkoa Wa Iringa, Asimikwa Rasmi Kuwa Chifu Wa Wahehe

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Salum Hapi amekutana na wazee wa mkoa huo na kusimikwa rasmi kuwa Chifu wa Wahehe kama ishara ya kumpokea na kumpa nguvu ya kutawala mkoa huo.

Katika mkutano huo uliofanyika ukumbi wa siasa na Kilimo uliopo mkoani humo, wazee wa mkoa huo wamejitokeza kwa wingi ili kuweza kumsimika mkuu huyo wa mkoa.

“Mhe Rais amenituma niwape salamu zake. Lakini pia amenipa kazi ya kuhakikisha tunawatumikia na kutatua kero zenu ili wana Iringa mjivunie kuwa hamkukosea kumchagua Rais Magufuli na mjisikie fahari na nchi yenu. Siku zote nitasimama upande wenu wananchi na hasa wanyonge,”amesema Hapi

Aidha, Hapi ametoa fursa kwa wazee hao kueleza matarajio yao na changamoto zao ambazo wangependa serikali ya mkoa izifanyie kazi.

Hata hivyo, Wazee wamemueleza RC Hapi changamoto za huduma zisizoridhisha hospitali ya Mkoa, majibu mabaya ya watoa huduma, migogoro ya ardhi, Maji na mikopo ya kina mama na ucheleweshwaji wa pembejeo kwa wakulima.

Mkuu wa chuo mbaroni akimfanyia mtihani mwanafunzi

$
0
0
Mkuu wa chuo cha ufundi nchini Burundi amekamatwa ndani ya chumba cha mtihani akimfanyia mtihani mtahiniwa.

Benjamin Manirambona, kutoka Chuo cha Ufundi cha Buterere kilichopo kaskazini mwa Bujumbura, ametiwa mbaroni na polisi pamoja na maofisa elimu akiwa kwenye mtihani wa mwisho.

Manirambona alikiri kutenda kosa hilo na kudai kuwa alikuwa akimfanyia mtihani huo kwa niaba ya mwanafunzi mmoja ambaye ni askari yuko kikazi nchini Somalia kwa ahadi ya malipo ambayo angelipwa baada ya askari huyo kurejea nyumbani.

Tukio hilo ambalo limeelezwa kuvunja rekodi nchini humo kwa mkuu wa chuo kufanya udanganyifu ili kumsaidia mtahiniwa apate sifa ya kuingia chuo kikuu.

Imeelezwa kuwa baada ya kupata taarifa, polisi na maofisa elimu walivamia chumba cha mtihani na kumtia mbaroni mtuhumiwa ambaye bado anashikiliwa mpaka sasa.

Mtuhumiwa huyo alikamatwa na wanafunzi wengine ambao nao wanatuhumiwa kufanya udanganyifu kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa polisi kwa siri.

Serikali Yasisitiza Wafungwa Kutumika Katika Shughuli Za Uzalishaji

$
0
0
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhandisi Hamad  Masauni  amekabidhi mashine 10 za kufyatulia matofali kwa  jeshi la magereza la mkoa wa Lindi na kuwataka kuzitumia ipasavyo ili kukabiliana na changamoto zinazowakabili ikiwemo makazi duni.

Mashine hizo ni sehemu ya ahadi aliyoitoa mwaka mmoja na nusu uliopita baada ya kufanya ziara katika mkoa wa Lindi.

Masauni alikabidhi mashine hizo  katika gereza la Lindi mjini  mkoani hapa na kuwataka jeshi la magereza kujipanga ipasavyo namna ya  kuzitumia ili ziwe na tija na manufaa kwao.

Alisema mwaka uliopita alifanya  ziara ya kukagua shughuli za magereza na kukutana na changamoto mbalimbali ikiwamo makazi duni ya nyumba za udongo hasa katika gereza la Lindi Mjini.

“Nawakabidhi mashine hizi leo, natarajia kuona mabadiliko yenye tija kutoka kwenu. Mkifanya vizuri nitawatafuta wadau wengine kwa ajili ya kuongeza mashine hizi,” alisema Masauni na kuongeza kuwa;

“Nataka gereza la Lindi Mjini liwe la mfano kwa magereza ya mkoa huu. Tumieni nguvu kazi ya wafungwa mlionao kwa ajili ya kuboresha makazi yenu,” alisema Masauni.

Alisema atalishangaa jeshi la magereza endapo hawatumii ipasavyo nguvu kazi ya wafungwa wakati wana changamoto mbalimbali zinazowakabili na njia za kuzitatua zipo wazi.

Hata hivyo, Masauni alisema ana matumaini makubwa na magereza katika kukabiliana na changamoto mbalimbali na watazitumia mashine kwa ufanisi ili wapate makazi bora kwa manufaa ya askari na maofisa wao.

Kwa upande wake, Mkuu wa Magereza ya Mkoa wa Lindi (RPO), Kamishna Msaidizi Mwandamizi , Rajab Nyange  alisema hali ya makazi ya askari wa jeshi hilo siyo nzuri hivyo alimshukuru Masauni kwa msaada wa mashine hizo za ujenzi.

Mkuu wa gereza la Lindi Mjini (SP), Emanuel Pagali alisema mashine hizo ni nzuri na zitawasaidia kwa utekelezaji wa majukumu yao ikiwamo kuboresha makazi ya maofisa na askari wa jeshi hilo

Serikali Yazifutia Kodi Taasisi Zinazotoa Huduma

$
0
0
Na. Hassan Maabuye, Wizara ya Ardhi
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi amesema serikali imefuta kodi ya pango la ardhi katika majengo na maeneo yote ya taasisi ambazo zinatoa huduma katika jamii bila kufanya biashara na kuzalishi faida.

Waziri Lukuvi amesema hayo wakati alipofanya ziara ya utatuzi wa migogoro ya ardhi ya wakazi wa jiji la arusha ambapo ametoa agizo kwa maafisa wote wanaohusika na ukusanyaji wa kodi ya pango la ardhi kuziondoa katika orodha ya madeni taasisi binafsi, za dini, za serikali na mashirika yote ambayo hayazalishi faida.

Hata hivyo waziri Lukuvi amesema kwamba sheria hiyo imeanza kutekelezwa kuanzia tarehe 1 julai 2018 ambapo Serikali kupitia Bunge imeridhia kuondolewa kodi ya pango la ardhi taasisi za elimu, shule za msingi, sekondari, vyuo, vituo vya afya, hospitali, taasisi za umma na taasisi za dini kama misikiti na makanisa ambayo yalikuwa yanalipa kodi hiyo.

Pamoja na msamaha huo wa kodi Waziri Lukuvi amewaagiza wakurugenzi wote wa halmashauri kote nchini kupima maneo yanayotoa huduma kwa jamii ili kuitambua mipaka ya shule, zahanati na maeneo mengine na kuzipatia hati miliki za ardhi zitakazo wawezesha kutambua mipaka ya maeneo hayo lakini taasisi hizo hazitalipa kodi tena.

“Yale maeneo ambayo yana hati ya pamoja wakati sehemu ya eneo inatumika kuzalisha faida basi maafisa ardhi watakokotoa eneo linalozalisha faida na wataliondoa lile eneo linalozalisha faida na kulitoza kodi, mfano eneo la Mlimani City ambalo linazaliosha faida katika Chuo Kikuu cha Dar es salaam” amsema Mhe Lukuvi.

Aidha, katika hatua nyingine Waziri Lukuvi amesema kwamba kuanzia sasa vibali vya ujenzi vitakuwa vinatolewa kila wiki na vitakuwa vinatolewa na maafisa wa serikali waliopo wilayani ambao ni maafisa mipango miji, maafisa ardhi, wapimaji na wathamini ambao ni wataalamu.

“Kulikuwa na ucheleweshaji wa utoaji vibali vya ujenzi Mheshimiwa Rais ameshatoa maelekezo kwamba vibali vya ujenzi havitatolewa tena na kamati za madiwani kwasababu ilikuwa inachukua muda na walikuwa lazima walipwe posho, kwahiyo vibali vya ujenzi vitakuwa vinatoka kila wiki na vitatolewa na wataalamu wa serikali waliopo wilayani” amsema Mheshimiwa Lukuvi.

Amesema kwamba Serikali imeamua kubadili utaratibu huo ili kuwawezesha wananchi ambao walikuwa wana fedha ya kujenga maeneo yao lakini vibali vya ujenzi vilikuwa havitolewi kwa wakati, na kuna watu ambao walikuwa wanakaa mwaka mzima wakisubiri vibali vya ujenzi kitendo amabacho kilichangia ujenzi holela katika miji.

Mheshimiwa Lukuvi amesema serikali imeamua kuchukua hatua hizo ili kuondoa kero kwa wananchi ambao walikuwa wanapata tabu ya urasimu uliokuwepo hapo awali, kitu ambacho kilikuwa ni kikwazo katika kuleta maendeleo ya nchi yetu.

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi amesikiliza kero za migogoro ya ardhi ya wananchi zaidi ya 200 wa jiji la Arusha ambao walihudhuria katika mkutano wa hadhara kwenye viwanja vya Azimio la Arusha jijini hapo.

Serikali Yakataa Ombi la Wadau Kuhusu Kuondolewa kwa Channel za Channel Ten, ITV, Star Tv, EATV na Clouds Tv

$
0
0
SERIKALI imewataka watoa huduma wa ving’amuzi vya Azam, Multichoice na Zuku wazingatie sheria na kanuni kwa kutorusha maudhui ya televisheni ambayo hayamo kwenye leseni zao za biashara.

Hatua hiyo ya serikali imekuja baada ya huduma za utangazaji wa maudhui za Channel Ten, ITV, Star Tv, EATV na Clouds Tv kusitishwa kwenye king’amuzi cha Azam kwa mujibu wa tangazo la Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) la Agosti 7, mwaka huu.

TCRA ilitangaza hivi karibuni kupitia vyombo vya habari kusudio la kuzifunga leseni za kampuni ya Multichoice, Zuku na Azam endapo wataendelea kuonesha maudhui ya chaneli hizo za televisheni kwa watazamaji kwa vile ni kinyume cha sheria na kanuni za leseni zao.

Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe alisema Agosti 11 mwaka huu, vituo vya ITV, Clouds Tv, EATV na Channel Ten walitoa tamko lao kupitia mitandao ya kijamii vikitaka busara iliyotumika awali kwa vituo hivyo kupeleka maudhui yao kupitia ving’amuzi vya Zuku, Azam na Multichoice kinyume na sheria, iendelee wakati utaratibu wa kurekebisha hali hiyo ukiendelea.

Kamwelwe alisema hoja hiyo imepingwa na serikali kwa kuwa TCRA haiwezi kukaa kimya huku sheria na kanuni za utangazaji zikivunjwa na watoa huduma hao.

“Watoa huduma hao Azam, Multichoice na Zuku waliamua kwenda Mahakama Kuu kupinga maamuzi ya TCRA, lakini Mahakama Kuu ilitupilia mbali pingamizi hilo la Agosti 22, 2017,” alieleza Kamwelwe.

Kwa mujibu wa Kamwelwe, leseni namba moja ya vituo vya televisheni nchini inawataka kutoa matangazo yao ikiwemo habari, sherehe za kitaifa, matukio ya magonjwa, vipindi vya watoto na sherehe za kitaifa bure bila kuwataka wananchi kulipia huduma hizo.

Amesema huduma binafsi kama vile mchezo wa mpira kwenye nchi za nje pamoja na tamthiliya ni michezo binafsi ambayo mwananchi kwa ridhaa yake anaweza kulipia ili aone.

Baada ya kadhia hiyo, Kamwelwe alisema endapo watoa huduma hao, hawataendelea kutoa huduma wanazotakiwa kisheria kwa mujibu wa leseni zao, serikali itato tamko la kuwataka wawafidie wananchi ambao ni wateja wao

DSTV Nao Wasalimu Agizo la TCRA la Kuziondoa Channel za Channel Ten, ITV, Star Tv, EATV na Clouds Tv Kwenye King'amuzi Chao

Arusha: Mgombea Udiwani CHADEMA Achomwa Visu

$
0
0
Jeshi la polisi mkoani Arusha limefungua jalada la uchunguzi wa matukio ya vurugu katika uchaguzi kata ya Kaloleni jijini Arusha baada ya watu wawili kuchomwa visu huku mbunge wa Arusha mjini (Chadema), Godbless Lema akishushiwa kipigo.

Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha, Ramadhani Ng'azi amesema Lema ametoa taarifa za kushambuliwa sambamba na mgombea wa chama hicho katika kata hiyo, Boniface Kimario pamoja na wakala wake.

Amesema baada ya taarifa hiyo, majeruhi walipelekwa katika hospitali ya mkoa ya Mount Meru wanakoendelea na matibabu.

Katika tukio hilo, Lema anadaiwa kushushiwa kipigo na watu wanaodaiwa kuwa walinzi wa CCM wakimtuhumu kutaka kufanya vurugu eneo la Tangi la Maji.

Mbali na Lema, wakala wa Chadema, Ibrahim Ismail amechomwa visu na kulazwa katika hospitali ya mkoa ya Mount Meru.

Katika vurugu hizo, pia inadaiwa mwenyekiti wa CCM kata ya Kaloleni, Iddi Mukuru amejeruhiwa kwa kuchomwa visu.

Chadema wajitoa uchaguzi Songoro jijini Arusha

$
0
0
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo mchana Jumapili Agosti 12, 2018 wametangaza kujitoa katika uchaguzi kata ya Songoro wilayani Arumeru kwa madai kuwa mawakala na mgombea wao wamepigwa na vijana wanaodaiwa kuwa makada wa CCM.

Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari amesema baada ya mashauriano kati ya chama na mgombea, Godluck Nanyaro wameona hakuna sababu ya kuendelea na uchaguzi.

“Tumeamua kuwaondoa vituoni mawakala wetu katika vituo 14 kutokana na kuwepo kwa ukiukwaji mkubwa wa taratibu,” amesema.

“Mgombea amepigwa, mawakala wanapigwa vituoni na wengine walizuiwa kuingia vituoni muda mrefu huku upigaji kura ukiendelea.”

Nassari akiwa pamoja na Katibu wa Chadema mkoa Arusha, Isaya Mungure amesema mapema leo asubuhi katika eneo la Shule ya Msingi Urisho, mawakala wao walizuiwa.

Amebainisha kuwa Nanyaro alikwenda kushuhudia hali hiyo katika kituo cha Urisho A lakini alivamiwa na vijana aliodai ni wa CCM na kumshushia kipigo jambo lililowalazimu polisi kuingilia kati na kuwapeleka wote kituoni.

Msimamizi uchaguzi Arumeru Mashariki, Christopher Kazeri amesema Chadema waliondoa mawakala wao saa 5 asubuhi bila kueleza sababu za kujitoa.

Amesema vyama vina hiari ya kujitoa lakini hatua hiyo haipotezi uhalali wa uchaguzi kuendelea.

Lugola Aagiza Polisi Kuwakamata Waliofanya Ufisadi Sekta Ya Michezo

$
0
0
Na Felix Mwagara, MOHA
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amemtaka Mkuu wa Polisi wa Wilaya ya Bunda kuwakamata watu walioshiriki kuwatapeli wananchi katika Sekta ya michezo wilayani humo, Mkoa wa Mara.

Watu hao ambao walitangaza kuanzisha ligi wilayani humo na kuzitaka timu za mpira wa miguu kata mbalimbali zichangie fedha na baadaye ligi hiyo haikufanyika na watu hao walikimbia na fedha hizo na kufanya wananchi hao waandamane wakitaka fedha zao zirudishwe.

Waziri Lugola akizungumza na mamia ya wananchi wa Mji wa Bunda baada ya kulizindua Bonanza la Amani wilayani humo, alisema kitendo walichokifanya watu hao ni ufiadi mkubwa hivyo lazima wakamatwe ili iwe funzo kwa wale wote wenye tabia ya kufanya ufisadi wa aina hiyo katika sekta ya michezo nchini.

“Nimeambiwa wanamichezo ambao walichangishwa waliandamana mpaka kwa Mkuu wa Wilaya kuelezea jinsi walivyoibiwa na watu hao, hata hivyo Mkuu wa Wilaya alitangaa watu hao warudishe fedha hizo, ila mimi nahitaji hawa watu wakamatwe haraka iwezekanavyo, huu ni ufisadi mkubwa na hakika Serikali hii ya awamu ya nne haitakubaliana na ufisadi huo.

Aliongeza kua, mahakama ya ufisadi inahitaji wateja hivyo waliofanya wizi huo pia ni mafisadi hivyo lazima wakamatwe haraka iwezekanavyo ili sheria ichukue mkondo wake.

Aidha, Bonanza ambalo alilizindua waziri huyo, linatarajiwa kufanyika nchini nzima limezinduliwa mjini humo na baadaye litafanyika nchi nzima likiwa na lengo kuu kutangaza amani nchini.

Waziri Lugola alisema, michezo inaleta amani michezo inaleta ushirikinao, michezo inaimarisha undugu, michezo inaimarisha ushikamano na michezo uepusha wananchi wasijiingize katika uhalifu, hivyo Wizara yake inatarajia Bonanza hilo litazidi kudumisha amani zaidi.

“Michezo ikiimarishwa tunaimarisha amani, tukishiriki michezo kama hivi wanaokuja kutazama na nyie mnaocheza,  hivyo muda mwingi tunautumia katika kufurahi pamoja na ndio mana vitendo vya uhalifu vitapungua kwasababu watu tunataka tuwe wamoja kupitia michezo,” alisema Lugola. 

Waziri Lugola aliongeza kua, Bonanza la kuhubiri amani sio kwamba linafanya wilyani Bunda bali litafnyika nchi nzima likiwa na lengo la kuwaweka watanzania pamoja ili amani nizidi kudumu.

“Hapa tulipo ni uwanja wa CCM na hii ilani ni ya CCM na katika ibara ya 160, 161 na 162 inazungumzia kuimarisha na kudumisha sekta ya michezo, hivyo tupo hapa kutokana na ilani hii ya CCM na lengo kuu ni kudumisha amani,” alisema Lugola.

Waziri Lugola yupo wilayani Bunda mkoani Mara kwa ajili ya ziara ya kutembelea miradi ya maendeleo ndany ya jimbo lake la Mwibara wilayani humo.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya Agosti 13

Waziri Mkuu Aagiza Kaimu Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu Akamatwe........Ni baada ya walimu kumtuhumu kwa ulevi, rushwa, kughushi nyaraka

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Lindi, Bibi. Pudencis Protas  kumkamata Kaimu Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) wa wilaya ya Ruangwa Bw. Anthon Mandai kutokana na tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka.

Ametoa agizo hilo baada ya kupokea malalamiko kutoka kwa walimu wakimlalamikia kiongozi huyo kuwa na tabia za kudai rushwa, kutowapandisha madaraja, ulevi pamoja na kuwaita walimu hao kwenye vilabu vya pombe kwa ajili ya kuwasikiliza matatizo yao.

Waziri Mkuu ametoa agizo hilo jana (Jumapili, Agosti 12, 2018) wakati akizungumza na watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Ruangwa akiwa katika siku ya mwisho ya ziara kyake ya kikazi  wilayani hapa. Bw. Mandai anakaimu nafasi hiyo tangu Juni, 2012.

Amesema mbali na kulalamikiwa na walimu kwa tuhuma mbalimbali zikiwemo za ulevi na kuwaita walimu katika vilabu vya pombe pindi wanapohitaji kuhudumiwa, pia amekuwa akighushi nyaraka za mirathi, jambo linalosababisha baadhi ya familia za waliokuwa walimu kuchelewa kupata haki zao.

 “Huyu Katibu ameshindwa kuwasaidia walimu katika kutatua changamoto zao na badala yake amekuwa akitumia vibaya majina ya viongozi wakuu, ambapo hata mimi alijaribu kutaka kunichakachua kwa kughushi muhtasari wa kikao cha mirathi ya Mwalimu Suwedi Chikawe akitumia jina langu kuwa nilikuwa mwenyekiti wa kikao hicho kilichokuwa na agenda ya kumbadilisha msimamizi wa mirathi aliyeteuliwa na familia jambo ambalo si la kweli,” amesema.

Waziri Mkuu amesema mbali na kukamatwa kwa Bw. Mandai, pia amemuagiza Kamanda Pudencis afanye uchunguzi wa kina utakaowezesha kukamatwa kwa mtandao wa watu wote wanashirikiana na kiongozi huyo katika kughushi nyaraka za vikao vya mirathi.

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amewataka watumishi wa umma wabadilike na wafanye kazi kwa bidii, waachemazoea na watumie utalaamu wao vizuri katika kuwahudumia wananchi na Serikali haitowavumilia wafanyakazi watakaoshindwa kutekeleza majukumu yao.

Pia amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Bw. Godfrey Zambi kuwachukulia hatua watumishi wote wanaoshindwa kutekeleza majukumu yao kwa sababu wanaitia hasara halmashauri yao na Serikali kwa ujumla.

"Msimamo wa  Serikali ni kuhakikisha wananchi wanahudumiwa ipasavyo, hivyo watumishi wajiepushe na vitendo vya rushwa na matumizi mbaya ya fedha za umma."

Pia Waziri Mkuu amewataka watendaji hao wawe na mpango wa kuwatembelea wananchi katika maeneo yao hususan ya vijijini kwa ajili ya kusikiliza kero zinazowakabili na kushirikiana nao katika kuzipatia ufumbuzi.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU

Serikali Yaanza Kuandaa Kanauni Za Kutoa Vibali Vya Kuwinda Wanyamapori Kwa Ajili Ya Kitoweo

$
0
0
Na Lusungu Helela-morogoro
Serikali imesema inaandaa kanuni  zitakazoruhusu kufanyika uwindaji wa kiasili (Local Hunting)  kwenye maeneo ya wazi kwa ajili ya kitoweo ili wananchi waweze kunufaika moja kwa moja na Maliasili zao ili waone umuhimu wa kuhifadhi.

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga amesema hayo jana  wakati alipokuwa akizungumza na Menejimenti ya Hifadhi ya Taifa ya Mikumi ikiwa ni muendelezo wa ziara zake za kikazi mkoani Morogoro kwa ajili ya kutatua changamoto mbalimbali  zinazoikabili Maliasili, Malikale na Uendelezaji Utalii.

Amesema wawindaji hao watapewa vibali maalum  vitakavyowawezesha kuwinda kwa ajili ya kujipatia vitoweo vya  nyamapori na kutakuwa na maeneo maalum kwa ajili ya kuuzia vitoweo hivyo  kwa jamii.

Aidha, Ametaja aina za vitoweo vitakavyokuwa vinauzwa kwenye maeneo hayo  maalum  ikiwa pamoja na  nyama ya mamba, nyati,swala viboko na wengineo.

Kwa upande wake, Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi za Taifa za Mikumi, Godwell Ole Meng'ataki amesema kama kutakuwa na utaratibu mzuri itaweza kusaidia kuongeza mapato kwa nchi.

Aliongeza kuwa utaratibu huo wa kuwa na sehemu maalum ya kuuzia vitoweo si mgeni kwa vile nchi kama Afrika Kusini wamekuwa wakifanya hivyo na pia wana  maeneo maalum kwa ajili ya kuuzia viteweo vya nyamapori.

CCM yaibwaga Chadema jimbo la Buyungu

$
0
0
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeibuka na ushindi katika uchaguzi mdogo wa Ubunge na madiwani katika Kata mbalimbali uliofanyika hapo jana.

Katika uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Buyungu lililopo mkoani Kigoma, mgombea ubunge kupitia tiketi CCM, Christopher Chiza ametangazwa kuwa mshindi wa jimbo hilo.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images