Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Je Umepungukiwa Nguvu Za Kiume Na Umetumia Dawa Nyingi Bila Mafanikio?

$
0
0
Hakika nawashukuru wote mliotumia hii dawa na kunipa pongezi nyingi Sana sasa offa imeisha maana nilitoa ya wiki 2 tu     na watu wengi walioitumia wamepona kabisa 

Dawa hii ni dawa ya maajabu kabisa na huwezi kuamini ila wengi walioitumia wameiamini maana kati ya watu 89 walioitumia ndani ya wiki 2 watu76 wamepona kabisa na watu 9 hawajapona na watu 4 hawajatoa majibu! 

Dawa hii ni dawa inayotibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na unapona kabisa, dawa hii ni dawa ya asili,(mitishamba) utaitumia mara moja tu na hautatumia dawa ya nguvu za kiume tena 

Dawa hii inawafaa watu kuanzia miaka 18 mpaka miaka 70, zaidi ya miaka hyo haitakusaidia ....watafiti wa dawa asilia pamoja na waganga  wameikubali pia dawa hii inawafaa hata wanawake wasiopata hisia za mapenzi 

Ukitumia hii dawa unakuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara 3 bila hamu kuisha, inauwezo wa ajabu na tiba bora kabisa

 SOMA DALILI HIZI;  kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa 2 .kushindwa kurudia tendo la ndoa 3. kuwahi kufika kileleni 

Dawa hii imesaidia watu wengi sana dawa hii imegunduliwa na dr kiboko mganga wa tiba za jadi kutoka mafia pia tunatibu matatizo mbalimbali kama mambo ya biashara, nyota, kesi, mapenzi, nk, pia tunahitaji WAKALA wa kupokea dawa zetu katka nchi ya KENYA, ZAMBIA, UGANDA, mikoani tunatuma kwanjia ya mabasi au fika ofisini kwangu  Mafia kisiwani  

maelezo zaidi wasiliana na DR KIBOKO 0679923297

Kalulumila:Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
 BORA YA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO KALULUMILA.
----------------------------------------
Ni dawa pekee iliyojipatia umaarufu nchini na nje ya nchi kwa kufanya kazi mara 3, kwa wakati mmoja 1, kurefusha uume na kunenepesha saizi uipendayo kuongeza nguvu za kiume na inatibu matatizo na gerentii miaka 30. Na kuendelea haina madhara, inaimarisha mishipa ya uume iliyoregea na udhalishaji wa mbegu za kiume. 


---------NINI HUCHANGIA MATATIZO HAYA--Ngiri ni chanzo kikubwa cha matatizo haya ili kujua kwamba una ngiri ni chanzo kikubwa cha matatizo haya, ili kujua kama unangiri dalili zake ni kufika haraka kileleni wakati wa tendo la ndoa, 2)kushindwa kurudia tendo la ndoa. 3)kutoa choo kama cha mbuzi. 4)tumbo kujaa gesi na kuunguruma. 5)kukosa choo kabisa. 6)maumbile kuingia ndani na kuwa mafupi. 7) korodani moja kuvimba 8)kutosikia hamu ya tendo la ndoa na maumivu ya kiuno wakati wa tendo la ndoa. 9)maumivu ya kiuno na mgongo pia tunatibu kisukari kwa siku7, presha, busha, bila kupasuliwa na magonjwa mbalimbali. 

---------------------------------------
TUPO TEGETA KWA NDEVU KARIBU NA MACHINJIO YA NGOMBE UTAONA OFSI IMEANDIKWA KALULUMILA HERBALIST CLINIC HOSPITAL SIMU .
----------------------------------------
-0655-557-182.
-0755-557182.
-0784-557-182.
PIA UTAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO.
---------------------------------------
KARIBUNI SANA.
----------------------------------------

Mkuu Mpya wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya Atuma Salamu kwa Wanaomtusi Rais

$
0
0
Mkuu mpya wa Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya amesema atashughulika na watu wote ambao wanamtukana Rais John Magufuli wilayani humo.

Ole Sabaya ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Sambasha, wilayani Arumeru mkoa wa Arusha alitoa kauli hiyo juzi alipokuwa akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara wa kumpongeza kwa kuteuliwa kwake mwishoni mwa mwezi uliopita kushika wadhifa huo.

Amesema wakati Rais akihangaika na shida za wananchi ili kupunguza ukali wa maisha wapo baadhi ya watu ambao hakuwataja majina wilayani Hai na katika maeneo mengine wamekuwa wakimtukana Rais ikiwa ni pamoja na kudai anabagua Kanda ya Kaskazini.

“Mheshimiwa Rais amenichagua katikati ya watu milioni 50, akanifanya kuwa Mkuu wa Wilaya, kama hayo maneno yanayosemwa kuwa Rais anabagua kanda hii lakini mimi nimekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai leo, akamchagua Jerry Muro anayetokea Hai (Machame), kama Rais anabagua kama wanavyodai Mungu na aamue sasa.

“Lakini kabla hajaamua hayo maneno yalisemwa Hai tena kanisani, ila naamini ana taarifa na hatarudia tena kufanya uzembe wa namna hiyo kwenye Wilaya ya Hai, hatarudia maneno hayo ya kuchonganisha Serikali na wananchi, Rais anahangaika na viwanda, kupunguza ukali wa maisha na kuwaondolea wananchi tabu na dhiki, anayechukua mamilioni ya fedha kujinufaisha anakwenda kumtukana Rais naamini hatafanya hivyo tena,” amesema Ole Sabaya.

Naye Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma, aliwataka wananchi kutodanganywa na propaganda za ubaguzi zinaoenezwa zikidai Rais hapendi watu wa Kanda ya Kaskazini.

“Watanzania hatuna ubaguzi, tukemee hilo pepo la ubaguzi uwe wa kabila au dini, mimi nilimtengeneza Rais nikiwa Mwenyekiti wake wa mkoa, najua ukishughulika na maisha ya wanyonge lazima mabepari yakushughulikie, nimekaa bungeni  miaka miwili na nusu na simjui mbunge wenu anaitwa nani, anaongeaga kweli hata bungeni? alihoji Musukuma.

“Kwa kuwa ninyi mna lami kila sehemu hana haja ya kuongea, kwa barabara za shida hizi, Ole Sabaya atashughulika na hili jimbo mimi nakwambia kama King, pamoja na ukuu wa wilaya lakini piga kazi mwaka 2020 tutakuja kukuombea kura Mungu akipenda, hii ndiyo safari na wakati mchungaji anaomba nilikuwa nasikiliza nikafikiri anataka kusema hili akaogopa ila mi nasema mchungaji amekuombea ubunge,” aliongeza.

Mtoto Abakwa Na Kusababishiwa Fistula

$
0
0
Mwanafunzi  wa darasa la kwanza mwenye umri wa miaka minane mkoani Manyara, anadaiwa kubakwa na mkazi mmoja wa wa Kijiji cha Maganjwa wilayani Babati na kumsababishia   ugonjwa wa fistula.

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Dareda,  Joseph Lorri,  alithibitisha kupokewa mtoto huyo ambaye alikuwa na hali mbaya ikiwamo kuvuja damu kutokana na majeraha ya kuchanika sehemu za siri ikiwamo haja ndogo na kubwa.

Alisema mtoto huyo alipokewa hospitalini hapo Julai 16, mwaka huu saa 3.30 usiku akiwa ameharibiwa sehemu zake za siri na anavuja damu na kutokwa nyama sehemu zake za  siri.

“Tukio lenyewe linavyoelezea mtoto huyu alibakwa, na mtoto alimtaja aliyembaka ambako jamii ilikuwa ikimtafuta mbakaji huyo.

“Alivyoletwa alikuwa anatoka damu sehemu za siri na kulikuwa na mpasuko wa kidonda  kwenye sehemu ya haja kubwa na ndipo tukaanza kumfanyia vipimo,” alisema Dk. Lorri.

Alisema mtoto huyo alitibiwa kwa kufanyiwa upasuaji  na kushonwa kuunganisha sehemu hizo zilizochanika na kwamba hadi sasa hali yake inaendelea vizuri kwa uangalizi wa madaktari wa hospitali hiyo.

“Tunaendelea na jitihada za kumtibu lakini pi tumemwanzishia matibabu ya dawa za kumkinga dhidi ya maambukizi ya virusi  kutokana na tukio lenyewe jinsi lilivyokuwa,” alisema

Nandy ashinda Tuzo nyingine Kubwa

$
0
0
Msanii wa muziki Bongo, Nandy ameshinda tuzo kutoka Maranatha Awards. Hizi ni tuzo maalumu kwa ajili ya muziki wa Injili ambazo hutolewa nchini Kenya.

Sasa Nandy ameshinda katika kipengele cha Best Worship Song Cover, kupitia wimbo wa Angel Benard unaokwenda kwa jina la Nikumbushe Wema Wako.

Hii ni tuzo ya pili kwa Nandy mara baada ya usiku wa November 12, 2017 kuibuka mshindi kupitia All Africa Music Awards 2017 (AFRIMA) zilizotolewa nchini Nigeria katika kipengele cha cha Best Female Artist In Eastern Africa Award.

Mabasi 12 Ya Kwenda Mikoani yasitisha safari n zake

$
0
0
Mabasi 12 yanayofanya safari za kutoka Dar es Salaam kwenda mikoa mbalimbali leo Jumatatu Agosti 6, 2018 yamesitisha safari zake mpaka yatakapotengenezwa baada ya kubainika kuwa na kasoro katika mfumo wa usukani.

Akizungumza leo wakati akitoa maelezo kwa waandishi wa habari kuhusu ukaguzi wa mabasi katika msafara wa mafunzo ya usalama barabarani kuelekea mkoani Tanga, mrakibu wa Jeshi la Polisi, Abel Swai amesema mabasi hayo hayataruhusiwa kuondoka mpaka yatengenezwe.

Swai ambaye pia ni mkuu wa kitengo cha elimu kwa umma kikosi cha usalama barabarani, amesema changamoto kubwa ya mabasi yaliyo mengi ni tatizo la mikono ya usukani.

Amesema wanaangalia  zaidi kama basi linaweza  kukata kona vizuri, liwe na mneso na kubaini changamoto wanazokutana nazo, hasa kwa mabasi yanayosafiri umbali mrefu akibainisha kuwa kama yatabainika upungufu unaweza kuwa chanzo cha ajali.

"Ukaguzi huu unafanyika kwa mujibu wa sheria ya usalama barabarani sura ya 168 ya mwaka 2002 fungu la 39 ambayo imebainisha mambo ambayo ni ya muhimu katika gari ambayo kama yatakuwa hayafanyi kazi halitaruhusiwa kuendeshwa," amesema.

Mkaguzi wa mabasi wa kikosi cha usalama barabarani katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani cha Ubungo (UBT), Ibrahim Samwix amesema kwa taratibu za Sumatra, mabasi hayo yanatakiwa kufungwa vipuri vipya na baada ya ukaguzi yataruhusiwa kuendelea na safari.

“Mabasi yote yana abiria na tunawapa muda wa kuyatengeneza yasizidi masaa mawili, kama wakishindwa itabidi washushe abiria watafutiwe usafiri mwingine," amesema Samwix bila kutaja majina ya mabasi hayo.

“Changamoto kubwa hata waliopo ndani ya mabasi si mafundi maana mkiingia kukagua basi huko chini wao hawaoni tatizo lolote,” amesema.

“Wanajua kutengeneza lakini hawawezi kubaini tatizo na hawataki kujifunza. Sisi tupo tayari kuwafundisha ila huwa hawajitokezi.”

Picha 6 za mtoto wa Zari na Diamond, Tiffah katika Birthday yake

$
0
0
Binti pekee kutoka kwa Zari The Bosslady na Diamond Platnumz,  Princess Tiffah leo August 06, 2018 ana sherekea siku yake ya kuzaliwa akiwa anatimia umri wa miaka mitatu. Hizi ni picha maalum zilizotoka kwa ajili ya siku hiyo muhimu kwake.

Habarika Masaa 24......Pakua Upya Application Yetu Tukuhabarishe Usiku na Mchana

$
0
0
==>Pakua Upya Application yetu tukuhabarishe masaa 24 usiku na mchana.

Mpendwa msomaji wetu, tunakukumbusha Kuidownload Upya Application yetu ya Mpekuzi Maana ile ya Zamani Tutaifuta.

Kuna Maboresho Mapya Yamefanyika ili kukufanya upate habari zetu kwa wepesi zaidi kama vile kuliko ilivyo sasa.

App ya zamani ilikuwa na tatizo kubwa la kuchelewa kufunguka, kuchelewesha habari na muonekano wake haukuwa wa kiwango kinachostahili.

Chakufanya, Ingia PlayStore, Download Upya Application yetu  MPYA. Ukishaipakua hii Mpya, ya zamani ifute tu.

NB: App mpya ina Icon ya Njano

Tumekurahisishia;


Dr Kanengo: Bingwa Wa Tiba Asili Hutibu Matatizo Yafuatayo

$
0
0
NKURURU:-ni dawa inayotibu miguu kuwaka moto, kiuno tumbo kupooza kupoteza fahamu 

MALABALA; hutibu kisukari , uti wa mgogo, Change, pumu, busha, kaswende, kifua kikuu, muwasho sehemu ya siri 

NKURUNGU,: Ni dawa kutibu  N, B, G, POWER :-ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume ni vidonge 20 

MPERAMPERA:- ni dawa ya kurudisha Mke, mme, mpenzi,mchumba aliyekuacha /kuteseka, ni kwa mda wa siku 2 tu kusafisha , pia kuna dawa za kupunguza vitambi(nyama uzembe), maziwa makubwa,michirizi, mikovu makubwa, chunusi sugu. 

NR SIX POWER:-inatibu upungufu wa nguvu za kiume kwa wasio weza kumudu tendo la ndoa itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara 4 bila hamu Kuisha, inaboresha maumbile madogo na inaimarisha misuri iliyo legea na kusinyaa una pona kabisa, ndani ya siku 4 tu 

GASELA:-ni dawa ya maajabu (9) yaliyoshindikana. (1)-Kisukari, vidonda vya tumbo, tezi dume,walioshindikanika kupata watoto(ugumba),busha bila oparesheni, (2)zindiko Kali Katika biashara yako (chuma ulete) ndo kiboko yao kumkamata mwizi aliye kuibia vitu vyako pikipiki, gari, n, k( 2)zindiko la nyumba, mashamba, viwanja,.(4)kukutolea sumu uliyo ikanyaga (Mtego) (5)ujiamini kutumia dawa ya maajabu Saba (6)kutoa mikafara mfano ugomvi ndani ya nyumba kufukuzwa kazini bila sababu (7)kutabiri nyota na kung'arisha (8)kurudisha Mali iliyo potea mazingira ya kutatanisha, kushinda kesi uliyo sumbuka nayo mda mrefu. (9)kufukuza majini wachafu ndani ya mji,.

Haya yote yanawezekana kwa DR KANENGO popote ulipo . Muone  DR KANENGO,anatibu nguvu za kiume anarefusha na kunenepesha uume kwa saizi uipendayo kwa muda mfupi sana, pamoja na kuwa na hamu ya kurudia tendo la ndoa mara 4 bila hamu kuisha Na utachelewa kufika kileleni kwa muda wa dakika 40 bila kuchoka .

Angalizo usitume meseji wala kubipu..
 
You can get it in all East African countries,,our service is fast and easy... contact Whatsapp 0784,47,59,46.Dar es salaam Tanzania. ,..Dr. KANENGO 0744,92,29,82...You are welcome.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Huna Sababu Ya Kuaibikatena............ Jipatie Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Na Mvuto Wa Mapenz

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0622344969

Mizizi 29 Power ,ndio Dawa Bora Na Imara Kwa Sasa Kwa Kutibu Na Kuponesha Tataizo La Nguvu Za Kiume Kwa Dakika 30 Tu

$
0
0
Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume limekuwa ni janga kubwa sana kwa sasa sio vijana au wazee wanalalamiki kukimbiwa na wa wapenzi wao au ndoa kuvunjika kutokana na mwanaume kulala na mwanamke kitanda kimoja hata wiki mbili bila kushiriki tendo la ndoa na hii ndio inachangia wanawake wengi kutoka nje ya ndoa kwa nini huteseke na wakati dawa zipo ambazo zitarudisha heshima yako ya ndoa 

MIZIZI 29 POWER; ni ambayo hutibu na kurudisha virutubisho mwilini ambavyo humfanya mwanaume awe na matatizo yafatayo 1 kuwahi kukojoa kabla mke au mpenzi wake

 2. kushindwa kurudia tendo dawa, hii itakufanya kurudia tendo zaidi ya Mara tatu 

3... dawa hii inatibu uume uliolegea na kusinyaa 

4. dawa hii inatoa miungurumo ya tumbo na uchovu wakati wa kumaliza tendo 

NINI KINASABABISHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME 1 kupiga punyeto kwa mda mrefu 
2 upungufu wa vichochoe mwilini 
3 magonjwa ya moyo, kisukari, presha, vidonda vya tumbo kiuno na mgongo 
4 utumiaji ovyo wa madawa ya kizungu 
4 usongo wa mawazo, hasira, tumbo kujaa gesi na kutopata choo.

 PATA TIBA YANGU NA NI TOFAUTI NA ULIZO WAHI KUTUMIA: 

Je una uume mfupi na mwembamba? MASHESHA MIX ni dawa ya kuboresha uume saiz upendayo asa kwa wale waliofanyiwa tohara wakiwa wadogo.. chagua saizi upendayo inch 5,6,7, adi 8 iyo ni kwa urefu na unene sentimita 2,3,4, adi 5 .dawa hizi zipo za kupaka na kunywa na hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ,

Tunatibu kisukari,vidonda vya tumbo,ngiri, korodani iliyovimba, kupnguza kitambi, maziwa makubwa NK 

KWA TIBA NA USHAULI FIKA OFISINI KWANGU DARE S SALAAMU MBAGALA ZAKHEMU NA MIKOA YA KANDA YA ZIWA YUPO WAKALA WETU HAPO MWANZA NA KWA AMBAO HAWANA NAFASI YA KUJA OFISINI HUDUMA YETU UTALETEWA POPOTE ULIPO PIGA SIMU 0783185060 DR MAKOYE

Diwani Mwingine wa CHADEMA Kahamia CCM

$
0
0
Madiwani wawili wa Chadema na NCCR-Mageuzi  manispaa ya Bukoba wamejiuzulu uanachama na kujiunga na CCM, Akiwemo meya wa zamani wa manispaa hiyo, Dk Anatory Aman.

Dk Aman  aliyekuwa diwani wa Kagondo Agosti 20, 2015 alihama CCM na kujiunga na NCCR-Mageuzi na kuwania udiwani katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, 2015.

Mbali na Dk Aman, mwingine ni aliyekuwa diwani wa Hamugembe (Chadema), Muhaji Kachwamba. Wote wameshakabidhi  barua za kujivua nyadhifa zao katika ofisi za CCM Mkoa wa Kagera tukio lililoshuhudiwa na viongozi mbalimbali.

Akitaja sababu za kurejea CCM, Dk Aman amesema ameridhishwa na utendaji kazi wa Rais John Magufuli.

Amesema CCM ni sehemu sahihi ambayo anaweza kumsaidia Rais Magufuli kutekeleza ilani ya chama hicho tawala, kubainisha kuwa ameondoka NCCR na waliokuwa wakimuunga mkono.

Mwenyekiti wa CCM manispaa ya Bukoba, Ioas Muganyizi amesema milango bado ipo wazi kwa wanachama wengine wanaotaka kujiunga na chama hicho.

Mbunge wa CCM Akamatwa kwa Rushwa

$
0
0
Mbunge wa Kishapu (CCM), Suleiman Nchambi na viongozi watatu wa mgodi wa Stamigold ulioko Tulawaka wilayani Biharamulo mkoani Kagera, wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya rushwa.

Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Wilaya ya Biharamulo, Hassan Mosi amesema mbunge huyo na wenzake walikamatwa na kuwekwa rumande katika gereza la wilaya hiyo Jumamosi Agosti 4, 2018.

Amesema leo Jumatatu Agosti 6, 2018 watafikishwa mahakama ya wilaya ya Biharamulo kwa kosa la kufanya miamala ya kupokea rushwa.

Mosi amesema kitendo hicho ni kinyume na  kifungu cha15 cha  sheria namba 11 ya mwaka 2007 ya kupambana na kuzuia rushwa.

"Wakifikishwa mahakamani watasomewa mashtaka yanayowakabili. Wanaweza kukiri au kukanusha na sheria itachukua mkondo wake,” amesema.

Akaunti ya Zari Yadukuliwa Mapema Leo.

$
0
0
Akaunti ya instagram ya mwanamama Zari the Bossy leo mapema baada tu ya kuweka  birthday wishes za mtoto wake wa kike imedukuliwa na kufutwa kila kitu katika akaunti hiyo.

Mwanadada huyo ambae hivi karibuni tu aliweza kufikisha followers zaidi ya 4.2  milion anaripotiwa kutoonekana wala kupatikana kwa sasa katika mtandao huo kutokana na wajanja hao kumfanyia mchezo huo mchafu.

Hata hivyo watu wake wa karibu wamethibitisha hilo huku wakisema kuwa wanafanya kila liwezekanalo ili kutatua tatizo hilo.

Viongozi Wasioendana na Kasi ya Time ya Madini Kutumbuliwa

$
0
0
Greyson Mwase na Asteria Muhozya, Morogoro

Waziri wa Madini, Angellah Kairuki amesema kuwa viongozi pamoja na maafisa waandamizi walioteuliwa kufanya kazi katika Tume ya Madini teuzi zao zinaweza kutenguliwa iwapo watafanya kazi kinyume na taratibu za utumishi wa umma.

Waziri Kairuki ameyasema hayo leo tarehe 06 Agosti, 2018 wakati wa ufunguzi wa mafunzo  ya kazi kwa viongozi  na maafisa waandamizi wa Tume ya Madini  iliyofanyika mjini Morogoro na kuhudhuriwa na watendaji na watumishi kutoka Wizara ya Madini, Tume ya Madini, Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Prof. Florens Luoga na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dkt. delardus Kilangi.

Alisema kuwa, Serikali imewateua kufanya kufanya kazi na Tume ya Madini  huku ikiwa na matarajio makubwa ikiwa ni pamoja na kuondoa kabisa urasimu kwenye utoaji wa leseni kwa kuhakikisha kuwa wanatoa leseni kwa wakati, kutatua mogogoro ya wachimbaji wadogo na kuwa wabunifu kwenye ukusanyaji wa mapato yanayotokana na madini.

Aidha, Waziri Kairuki aliongeza kuwa watendaji wapya wanatakiwa kuwa makini kwenye zoezi zima la utoaji wa leseni kwa kuhakikisha kuwa wanahakiki historia za waombaji wa leseni kwenye uchimbaji madini kabla ya kutoa leseni mpya.

“Ni vyema mkahakikisha kuwa mnafahamu kwa kina historia za waombaji wa leseni za madini hususan kwenye mapato na matumizi kwa mwaka, ulipiaji wa leseni, ushiriki katika utoaji wa huduma za jamii, uzingatiaji wa kanuni za uhifadhi na mazingira na kuwapatia leseni waombaji  wale tu watakaokidhi vigezo,” alisisitiza Waziri Kairuki.

Katika hatua nyingine,Waziri Kairuki alitoa onyo kwa watumishi watakaothubutu kuhujumu mfumo wa huduma za leseni za madini kwa njia ya mtandao ujulikanao kama online mining cadastre transactional portal na kuongeza kuwa Wizara haitasita kuwachukulia hatua za kisheria watakaohujumu mfumo.

Waziri Kairuki aliwataka maafisa madini wa mikoa kuhakikisha wanaainisha maeneo kwa ajili ya wachimbaji wadogo wa madini na kumpatia taarifa mapema na kuhakikisha wanafanya mikutano ya mara kwa mara na wachimbaji wadogo ili kubaini changamoto zao.

Awali akielezea mafunzo hayo, Waziri Kairuki alisema mafunzo hayo ya siku sita yatalenga kutoa elimu kuhusu historia ya mabadiliko ya sheria ya madini, sheria ya madini ya mwaka 2010 na marekebisho yake ya mwaka 2017, muundo wa tume ya madini na mawasiliano ya ndani na nje ya tume.

Aliendelea kueleza maeneo mengine kuwa ni pamoja na muundo na mfumo wa mawasiliano wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), taratibu za ofisi na makusanyo na maduhuli ya Serikali kwa njia ya kieletroniki (GEPG), usimamizi na utunzaji wa mali za umma, taratibu za utoaji wa leseni za shughuli za madini na ushirikishwaji wa wananchi/wazawa katika shughuli za madini.

Maeneo mengine ni pamoja na ukaguzi wa madini na biashara, utatuzi wa migogoro katika sekta ya madini, taratibu za uwasilishaji wa taarifa makao makuu ya Tume na kwenye mamlaka nyingine zinazohusika, utunzaji wa siri katika utumishi wa umma, masuala ya utawala na rasilimaliwatu, sheria, kanuni na taratibu za fedha, usimamizi wa mifumo ya udhibiti wa ndani, maadili katika utumishi wa umma na mfumo wa uwazi wa upimaji utendaji kazi (OPRAS)

Alisema kuwa  kwa kuwa tume imepata watumishi wa kutosha inatakiwa kuunda kamati mbalimbali za kisheria na kitendaji kama vile kamati ya maadili, kamati ya ukaguzi, kamati ya ajira za kigeni na baraza la wafanyakazi ili kuifanya tume iweze kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu zilizopo.

Naye Naibu Waziri wa Madini, Doto Biteko akizungumza katika mafunzo hayo alimshukuru Waziri Kairuki kwa uteuzi wa watendaji wapya wa Tume ya Madini na kuwataka washiriki wa mafunzo hayo kuyafanyia kazi yote watakayojifunza.

Wakati huohuo, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk. Adelardus Kilangi alisema kuwa mabadiliko ya sheria ya madini yaliyofanyika Tanzania ni hatua ya ushujaa na kuongeza kuwa mataifa mengine yameanza kujifunza.

Alisema kutokana na muhimu wa Sekta ya Madini kwenye mchango wa ukuaji wa uchumi wa nchi ameamua kufika mwenyewe kuja kutoa mafunzo kwa viongozi na maafisa waandamizi wa Tume ya Madini ili waweze kusimamia ipasavyo sekta hiyo kwa kutumia sheria na kanuni za madini.

Roma na Stamina Waitwa BASATA

$
0
0
Ikiwa ni siku tatu zimepita tangu wasanii wawili wa hip hop nchini Tanzania, Roma Mkatoliki na Stamina wanaounda kundi la ROSTAM kuachia wimbo wao mpya wa ‘PARAPANDA’. Wawili hao tayari wameitwa BASATA leo Agosti 6, 2018 kupigwa msasa wa sheria na kanuni mpya za Baraza hilo.

Mkurugenzi Mtendaji wa BASATA, Godfrey Mngereza amethibitisha taarifa hizo ambapo amedai kuwa ni kweli Roma na Stamina wameitwa Barazani hapo kwa lengo la kujadili kanuni mpya huku akieleza kuwa sio jambo la kushangaza kwani wao ni kama nyumba ya wasanii.

“Ni kweli wamekuja BASATA, na kimsingi hapa ni nyumbani kwao, kama wasanii wengine hapa ni nyumbani kwao na leo tulikuwa tunapitia kanuni na kama kutakuwa na jipya basi tutafahamishana,“amesema Mngereza na kusisitiza kuwa endapo kutakuwa na jambo lingine BASATA watatoa taarifa zaidi baadae.

Wiki iliyopita Roma Mkatoliki na Stamina waliachia ngoma yao mpya ya ‘PARAPANDA’ ngoma ambayo kwenye baadhi ya mistari kuna sehemu inasema “ROMA – Kwani anayesimamia sanaa ni nani?… STAMINA anajibu- Lipo Baraza ila wasanii wanaishi uwani.“.

Wawili Wafariki Dunia kwa Kufukiwa na Kifusi

$
0
0
Watu wawili wamefariki dunia kwa kufukiwa na kifusi cha udongo wakati wakichimba madini ya dhahabu katika machimbo madogo yaliyoko mtaa wa Buguti Kata ya Turwa wilayani Tarime.

Akizungumza leo Jumatatu Agosti 6, 2018 Kamanda wa polisi Kanda Maalum ya Tarime/Rorya, Henry Mwaibambe amesema tukio hilo limetokea jana Jumapili Agosti 5 na  kuwataja waliofariki kuwa ni Bisaku Chacha (19) na Charles Mairo (18).

Amesema marehemu waliingia kwenye shimo lililokuwa limeachwa kwa siku nyingi wakitafuta mawe ya dhahabu matokeo yake waliangukiwa na mawe hayo.

Mzazi wa Charles, Mairo Wembe amesema hakuziamini taarifa za mwanae kufariki dunia, baada ya kurejea nyumbani ndio aliamini.

Dereva wa Kigwangalla aachiwa kwa dhamana

$
0
0
Jeshi la Polisi mkoani Manyara limemuachia kwa dhamana Juma Salehe (59), dereva wa Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamisi Kigwangalla na kumtaka kuripoti polisi kila siku hadi uchunguzi wa ajali utakapokamilika.

Salehe alikuwa akiendesha gari la waziri huyo lililopata ajali Agosti 4, 2018 eneo la Magugu mkoani Manyara na kusababisha kifo cha aliyekuwa ofisa habari wa wizara hiyo, Hamza Temba.

Baadhi ya waliokuwemo katika gari hiyo walipata majeraha sehemu mbalimbali mwilini, akiwemo Dk Kigwangalla aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH).

 Kamanda wa polisi mkoani humo, Augustine Senga amesema, “tulikuwa tumemshikilia kama kawaida kwa kusababisha ajali na sasa yupo nje kwa dhamana anakuja kuripoti hapa ofisini.”

Amesema uchunguzi ukikamilika faili litapelekwa kwa mwanasheria wa Serikali kwa taratibu nyingine za kisheria.

Kamanda Senga amesema gari hilo lilikuwa na watu sita, mmoja alifariki dunia na watatu kujeruhiwa huku wawili wakitoka salama.

Amesema chanzo cha ajali hiyo ni twiga kukatiza barabarani ghafla na dereva katika jitihada za kumkwepa aliyumba kushoto na kulia na kusababisha gari hilo kupinduka.

Amewataja majeruhi katika ajali hiyo kuwa ni mwandishi wa habari Michael Mlingwa (30) na msaidizi wa waziri huyo, Ramadhan Magumba (30).

Amesema katibu wa Dk Kigwangalla, Ephraim Mwangombe (47) na Salehe hawakupata jeraha lolote kwenye ajali hiyo.

Amesema mpaka sasa Magumba amelazwa hospitali akiendelea na matibabu baada ya kuumia shingo.

Mawakili wa CHADEMA Kibatala na Mtobesya waikwamisha Kesi ya Akina Mbowe

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imehairisha Kesi inayowakabili viongozi wa ngazi za juu na Wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) leo, hadi Agosti 13, 2018 kwa kile kilichodaiwa kutofika kwa mawakili wanaosimamia kesi yao.

Maamuzi hayo yametolewa na Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Wilbard Mashauri leo Agosti 06, 2018 baada ya kutolewa udhuru wa kutokuwepo Mahakamani hapo kwa mawakili wa upande wa utetezi, Peter Kibatala na Jeremiah Mtobesya kutokana na mawakili hao kuwa na kesi nyingine wanazifuatilia.

Akiwakilisha udhuru huo kwa niaba yao, Wakili wa upande wa utetezi Hekima Mwasipu aliiambia Mahakama kuwa Wakili Kibatala yupo Mahakama Kuu mbele ya Jaji Luvanda ambako alikuwa na shauri jingine, huku Wakili Mtobesya naye pia ana kesi nyingine Mahakama Kuu Mtwara.

Mbali na hilo, Hakimu Mashauri amemuonya mshtakiwa namba 5 ambaye ni Mbunge wa Tarime vijijini kutorudia kuondoka bila kutoa taarifa sahihi kwa mdhamini wake, kwa kuwa ilielezwa mahakamani hapo amekwenda nchini Kenya.

Mnamo Agosti 02, 2018 mshtakiwa huyo alishindwa kuhudhuria Mahakamani kama alivyotakiwa kwa kile alichokieleza Mahakamani hapo leo, kuwa alipigiwa simu ya dharula na mwalimu anayemfundisha mtoto wake akimtaka aende shuleni hapo kwa kuwa mwanae anaumwa.

Usikilizwaji wa kesi ya CHADEMA umekuwa ukihairishwa mara kwa mara kutokana na baadhi ya washtakiwa kutoka ndani ya chama hicho kushindwa kufika Mahakamani kusikiliza kesi, kutokana na dharula wanazozipata pamoja na Mawakili wao pia kuwepo katika Mahakama nyingine wakiendelea na kesi.

Viongozi wa CHADEMA wanaoshtakiwa ni pamoja na Mwenyekiti wao Freeman Mbowe, Katibu Mkuu wa chama hicho Dkt. Vicent Mashinji, Naibu Katibu Mkuu bara John Mnyika, Naibu katibu Mkuu Zanzibar, Salim Mwalimu.

Wengine ni Mbunge wa Tarime vijijini John Heche, Mbunge Tarime mjini Esther Matiko, Mbunge wa Bunda mjini Ester Bulaya, Mbunge wa Iringa Mjini Peter Msigwa pamoja na Mbunge wa Kawe Halima Mdee.

Wote hao wanaandamwa na mashtaka 13 ikiwemo la kufanya mkusanyiko isiyokuwa na kibali kwenye chaguzi ndogo za marudio Jimbo la Kinondoni Jijini Dar es Salaam zilizofanyika Februari 17, 2018
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images

<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>
<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596344.js" async> </script>