KATIKA hali ambayo ni ya kushangaza, mkazi wa Kata ya Majengo Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, anadaiwa kukutwa akifanya ngono na mbwa.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kilimanjaro, Robert Boaz, alitaja jina la mtu huyo (jina tunalihifadhi), akisema anadaiwa kukutwa akifanya kitendo hicho usiku wa kuamkia jana kwenye chumba chake.
Kamanda Boaz alisema majirani zake, ndiyo
Mkazi wa Kata ya Majengo Manispaa ya Moshi anaswa akifanya mapenzi na Mbwa....Mtuhumiwa akimbia, Polisi inamsaka mbwa huyo kumfanyia uchunguzi
↧
↧
Diamond Platnumz kufanya video nyingine mpya nchini Uingereza
Diamond Platnumz anazidi kudhihirisha kuwa
yeye ni mfano wa kuigwa kutokana na jitihada kubwa anazozifanya za
kujiimarisha na kujitangaza katika soko la Afrika. Baada ya kufanya
collabo na baadhi ya wasanii wa Nigeria aliko hivi sasa, ameweka wazi
mpango wake wa kufanya video nyingine nchini Uingereza.
Platnumz ambaye amefanikiwa kufanya collabo na Kukere master Iyanya,
amesema mara
↧
Scenes za Uchi kwenye filamu ya TITANIC bado zinamsumbua Kate Winslet ambaye alikubali kusaula nguo zake kwenye filamu hiyo ili Leonardo DiCaprio’ alichore umbo lake
Kate Winslet bado anasumbuliwa na scene yake ya uchi kwenye filamu ya ‘Titanic.’
Mshindi huyo wa tuzo ya Oscar aliyeigiza kama Rose DeWitt Bukater,
alisaula nguo zake kwenye filamu hiyo ya mwaka 1997 ili Leonardo
DiCaprio’ aliyeigiza kama Jack Dawson alichore umbo lake tupu,
anakubali kuwa hukosa amani kuangalia sehemu za filamu hiyo na hukataa
kusaini picha zilizochorwa kuigiliza
↧
Daz Baba akanusha kutumia Bangi na Madawa mengine ya kulevya ....Adai bado yupo physically and mentally fit
Msanii wa zamani wa kundi la Daz Nundaz, Daz Baba amesema kuwa hatumii madawa ya kulevya kama watu wengi wanavyodhani.
Muimbaji huyo ambaye wiki hii ameachia wimbo mpya uitwao ‘Jela’
amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM kuwa yupo fit kuendeleza
gurudumu lake la muziki.
“Kikumbwa mashabiki wangu wajue zile habari walizokuwa wanazisikia
kwenye magazeti ni uzushi tu,” alisema.
“
↧
Afrika Kusini yaanza kugawa bure kondom zenye rangi na harufu nzuri kwa wanafunzi wa sekondari
Serikali ya Afrika Kusini imeanza mpango wa kuwapa bure vijana wa
shule za sekondari kondom zenye rangi tofauti tofauti na ambazo zina
harufu nzuri ya kuvutia.
Mpango huu unalenga kuzuia wanafunzi kuchoka kutumia mipira ya
kawaida ya kondom wanaposhiriki ngono. Waziri wa afya Aaron Motsoaledi,
ameyasema hayo baada ya utafiti uliofanywa nchini humo kuonyesha kuwa
matumizi ya mipira
↧
↧
Mwalimu amchapa mwanafunzi wa darasa la saba hadi kufariki dunia
Hii
ni taarifa kutoka Kenya ambapo inasemekana Wazazi katika kaunti ya
Kirinyaga mkoa wa Kati nchini Kenya wameandamana kwa hasira baada ya
mwalimu mmoja kumchapa mtoto mmoja wa shule ya msingi hadi kupoteza
maisha.
Mtoto
huyo inasemekana alichapwa kichwani na mwalimu na kuzirai na alipokua
akipelekwa hospitali alifariki dunia,ambapo wazazi hao wameandamana kwa
amani wakitaka hatua
↧
Watu watatu wafariki dunia baada ya kufukiwa na kifusi machimboni Dar es Salaam
Watu watatu waliofahamika kwa
majina ya Msagala, Jacob na Mhando wakazi wa Bunju jijini Dar es Salaam wamefariki dunia.
Shughuli ya uokoaji ikiendelea.
Waokoaji baada ya kugundua mwili ulipo.
Watu waliofika eneo la tukio kuwatambua marehemu.
Watu watatu waliofahamika kwa majina ya Msagala, Jacob na Mhando
wakazi wa Bunju jijini Dar es Salaam mchana wa leo wamefariki dunia
↧
Jaji Augustino Ramadhani awataka wajumbe kujadili Rasimu ya katiba kwa makini.....
Makamu
mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Mstaafu Augustino
Ramadhani akiongea jijini Dar es Salaam jana Aprili 3, 2014 katika wa
mjadala kuhusiana na umuhimu wa Tanzania kuwa na katiba mpya ya kipekee,
Mjadala ulioandaliwa na asasi isiyo ya kiserikali ya The Open Society
Initiative For Eastern African Tanzania (OSIEA). Kulia kwake ni
Mwenyekiti wa Mjadala huo, Profesa
↧
Mgombea ubunge Chalinze, Ramadhani Mgaya avamiwa na kukatwa mapanga
Mgombea Ubunge katika Jimbo la Chalinze, wilaya ya Bagamoyo mkoani
Pwani, Ramadhani Mgaya (pichani juu) kupitia chama cha AFP amejeruhiwa
kwa mapanga na watu wasio julikana.
Mgaya amesema amevamiwa na kujeruhiwa na mtu ambaye hamfahamu majira
ya saa sita za usiku akiwa katika nyumba ya kufikia wageni ya Goodtime
Chalinze.
"Nimevamiwa na kujeruhiwa na mtu ambaye simfahamu
↧
↧
Walimu Wapya waliopangiwa Mkoani Kigoma wapokelewa kwa Shangwe kubwa....Wapewa magodoro, taa na pesa ya ziada ya kujikimu
Walimui zaidi ya 350 wa shule za msingi na sekondari waliopangiwa
kufanyakazi ya kufundisha katika halmashauri ya wilaya ya kigoma
wamepokelewa kwa mbwe mbwe na bashasha huku wakipewa motisha mbali mbali
kwa kuwahamasisha kufanya kazi kwa bidii hatua inayotarajia kuinua
kiwango cha elimu wilayani humo na mkoa wa kigoma kwa ujumla kwa mpango
wa matokeo makubwa sasa.
Walimu
hao
↧
Magazeti ya leo Jumamosi ya tarehe 5 April 2014
↧
Lulu Michael awataka wasichana kujishughulisha ili wapate pesa za kujikimu badala ya kutegemea Kuhongwa na wanaume
Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambaye kwa sasa yupo jijini Mwanza kusaka vipaji vya Bongo Movie amewaasa wasichana wenzake
kujitahidi kujishugulisha na kazi mbalimbali za kuwaingizia pesa badala ya kutegemea kuhongwa fedha na matajiri wa kiume kwani ni aibu.
Akizungumza nasi pasipo kuweka wazi kama alishawahi kuhongwa au la, Lulu alifunguka:
“Jamani
wasichana
↧
Muimbaji wa kike wa Nigeria adai ataitoa bikira yake kwa mwanaume atakayemnunulia mama yake ndege
Muimbaji wa kike wa Nigeria, Adokiye Kyrian amesema bado ni bikira na
ataendelea kuwa hivyo hadi pale atakapopata mwanaume sahihi.
Kwenye mahojiano na jarida la Vanguard, muimbaji huyo mrembo alisema:
Hujawahi kuona msichana mrembo ambaye ni bikira? Mtu yeyote
atakayemnunulia mama yangu ndege binafsi nimemuahidi (mama yangu)
ataushika moyo wangu.”
Aliongeza kuwa haamini katika
↧
↧
[Audio]: Ridhiwani Kikwete asema anauhitaji ukatibu mkuu wa CCM kuliko Urais ....."Na siku moja nitakuwa tu"
Mtoto wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ridhiwani Kikwete
ameeleza nia na ndoto yake ya kuwa katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi
(CCM) siku za usoni.
Ridhiwani Kikwete ameeleza ndoto yake hiyo katika kipindi cha Sun
Rise cha 100.5 Times Fm, wakati akijibu swali kuhusu nafasi ya uongozi
anayoipenda zaidi, swali lililoulizwa na Fred ‘Fredwaa’ Fedilis.
“Mimi wishes zangu…
↧
Mtambo wa kudhibiti simu uliozinduliwa na Rais Kikwete wakabiliwa na changamoto
Mamlaka
ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema mtambo uliozinduliwa hivi
karibuni na Rais Jakaya Kikwete kwa ajili ya kudhibiti udanganyifu
katika mitandao ya simu za kimataifa, unakabiliwa na changamoto ikiwamo
kutokuwa na uwezo wa kubaini uhalifu wa simu unaofanywa ndani ya nchi.
Hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam na Meneja wa Mawasiliano wa
TCRA, Innocent Mungy, kwa niaba
↧
UKAWA waumbuana ndani ya bunge......Ni kwa kutafuta kasoro ndogo ndogo za kutaka Bunge liahirishwe mara kwa mara
TABIA ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, hasa kutoka vyama vya upinzani waliounda kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kutafuta kasoro ndogo ndogo za kutaka Bunge liahirishwe mara kwa mara, imewatokea puani. Jana baadhi ya wajumbe hao akiwepo Ismail Jussa Ladhu, Tundu Lisu, John Mnyika na Moses Machali, walisimama kupinga marekebisho ya kanuni za Bunge Maalumu kwa madai kuwa
↧
Ibara muhimu sura ya kwanza na ya sita zakataliwa na wajumbe wa bunge maalumu la katiba
Baadhi
ya ibara muhimu za sura ya kwanza na ya sita za Rasimu ya Katiba
zimekataliwa na wajumbe wa kamati mbalimbali za Bunge Maalum la Katiba
baada ya kukosa theluthi mbili kutoka kila upande wa Muungano Tanzania
Bara na Zanzibar.
Kwa mujibu wa wenyeviti wa kamati hizo imeshindikana kutoa uamuzi
kutokana na kanuni kuelekeza idadi ya wajumbe wanaopaswa kufanya maamuzi
kufikia
↧
↧
Michango Imeshindikana....Mtanzania mwenzetu Agustine Michael Lukindo imebidi ACHOMWE MOTO huko Wisconsin, Marekani
Watanzania
wa Wisconsin, Marekani wanapenda kutoa shukurani kwa wote waliojaribu kuokoa
kutokuchomwa moto kwa ndugu yetu, mpendwa wetu Agustine Michael Lukindo....
Pamoja na
jitihada zote zilizofanyika tunasikitika kuwataarifu kwamba mpendwa
wetu ilibidi achomwe moto na jana Ijumaa April 4, 2014 majivu yake
walikabidhiwa familia yake kwa mtoto wa kwanza wa marehemu kwenda
kuchukua
↧
Wananchi wa Chalinze kumchagua mbunge wao leo.....
Baada ya kampeni zilizodumu kwa mwezi mmoja, hatimaye uchaguzi mdogo
wa Ubunge katika Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo, Pwani unatarajiwa
kufanyika leo ili kumpata mrithi wa Said Bwanamdogo aliyefariki dunia
Januari 22 mwaka huu kutokana na maradhi.
Katika kipindi chote cha kampeni, vyama vitano vilichuana kumwaga
sera usiku na mchana katika Kata 15 za jimbo hilo, kila kimoja
↧
Magazeti ya leo Jumapili ya tarehe 6 April 2014
↧
More Pages to Explore .....