WATU watatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma kwa
kufanya mkusanyiko usio halali huku wakiwa wamebeba mabango
yanayohamasisha uvunjifu wa amani.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi
(SACP) David Misime alisema tukio hilo lilitokea jana katika maeneo
mawili tofauti.
Aliwataja waliokamatwa katika tukio hilo ni Augustino Pancras (60),
Polisi Mkoani Dodoma yakamata watu watatu waliokuwa wakiandamana na mabango kwa lengo la kulivuruga bunge maalumu la Katiba
↧
↧
Tangazo la nafasi za kazi kutoka Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma lililotolewa jana tarehe 1 April 2014.....Mwisho wa maombi ni April 15
Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho kimeundwa kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa na Sheria Na. 18 ya mwaka 2007 kifungu 29(1). Kwa mujibu wa Sheria hiyo, chombo hiki, pamoja na kazi zingine kimepewa jukumu la kutangaza nafasi wazi za kazi zinazotokea katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Waajiri (Taasisi za Umma).
↧
Wimbo Mpya:Professor Jay ft Diamond Platinumz- KIPI SIJASIKIA
↧
IKULU yafafanua kuhusu madai ya tume ya katiba Kutupiwa virago, kupewa kiinua mgongo cha sh. milioni 200/= kwa kila mjumbe na kunyang'anywa magari
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Gazeti la Raia Mwema lililotoka leo, Jumanne, Aprili 2, 2014, limeandika
habari zisizokuwa za kweli chini ya kichwa cha habari : “Warioba: Ikulu imetutupia virago”.
Habari hiyo inamkariri aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya
Katiba, Mheshimiwa Jaji Joseph Warioba akidai kuwa Tume yake ilifukuzwa
kazi, kwamba haikupewa muda wa kuandaa na
↧
Wazazi 100 mkoani Ruvuma wafikishwa mahakamani kwa kosa la kusherehekea watoto wao kefeli mitihani
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Said Thabit Mwambungu ameiambia FIKRA PEVU
leo Jumatano, Aprili 2, 2014 kuwa Serikali ya Mkoa huo imewafikisha
mahakamani wazazi 100 kwa tuhuma za kufanya sherehe baada ya watoto wao
kufeli mitihani.
Pamona na wazazi/walezi hao kujitetea kuwa walikosa karo ya kuwapeleka
watoto hao shule, imeelezwa pia kuwa mazingira duni ya kufundishia na
kujifunza katika
↧
↧
Magazeti ya leo Alhamisi ya tarehe 3 April 2014
↧
Mchungaji adai hajaoga tangu mwaka 2001 kwa sababu alimbiwa na Mungu asioge
Nadhani ulishawahi kusikia ama kushuhudia watu wa eneo Fulani ama
jamii fulani wakimlazimisha kichaa kuoga kwa nguvu kwa kuwa amezidi kuwa
mchafu, lakini hii ni tofauti kwa waumini wa dhehebu analolisimamia
mchungaji Wale Olanguji wa Nigeria.
Mchungaji Wale wa kanisa la Divine Seed of God wa Ibadan, Oyo,
Nigeria ameliambia jarida la People City la Nigeria kuwa hajawahi kuoga
↧
Watu watano wafariki dunia katika Mapigano ya wakulima na wafugaji wa mipaka ya Shinyanga na Tabora
Mapigano ya kugombea ardhi kati ya wakulima na wafugaji katika eneo la
mpaka kati ya wilaya za Kishapu mkoani Sninyanga na Igunga, mkoani
Tabora yameua watu watano.
Mapigano hayo yaliyotokea Jumapili iliyopita katika kijiji cha Magalata
wilayani Kishapu na kusababisha vifo hivyo na mtu mmoja kujeruhiwa baada
ya kushambuliana kwa kutumia mikuki.
Waliouawa ni Peter Korongo Masolwa(72)
↧
Jokate Mwegelo adai bado yupo single....Kazi kwenu akina kaka
Jokate Mwegelo yupo single ...
Staa huyo mwenye vipaji lukuki alisema hayo Jumatatu hii kwenye kipindi
kipya cha TV1, ‘The One Show’ anachokiendesha kwa kushirikiana na Ezden
Jumanne aka The Rocker.
Katika kipindi hicho cha kwanza kuoneshwa, watangazaji hao walianza
kwa kuhojiana wao kwa wao kwanza na moja ya maswali aliyoulizwa Jokate
ni kama yupo kwenye uhusiano wowote wa
↧
↧
Rais Kikwete amteua Mwandosya kuwa Mkuu wa Chuo cha MUST
Rais Jakaya Kikwete amemteua Profesa Mark Mwandosya kuwa Mkuu wa
Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (Must) wakati Profesa Joseph
Msambichaka akiteuliwa Makamu Mkuu wa chuo hicho.
Katika uteuzi huo uliofanyika mwishoni mwa Machi
mwaka huu, Rais pia amemteua Profesa Osmund Kaunde kuwa Naibu mkuu wa
chuo upande wa taaluma, utafiti na ushauri, wakati Profesa Emmanuel
Luoga
↧
Kamati za bunge maalumu la katiba zaendelea vyema kujadili rasimu ya katiba.....Hizi ni picha za vikao vya kamati hizo toka mjini Dodoma
Mwenyekiti wa Kamati namba sita ya Bunge Maalum
la Katiba Stephen Wassira(katikati) akisoma dua ya kuharisha kikao cha Kamati
leo mjini Dodoma. Wengine ni Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samuel
Sitta(kulia) na Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo Dkt. Maua Abeid
Daftari(kushoto).
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Ismail Jussa
akitoa mchango wake leo mjini Dodoma kwa Mwenyekiti wa wa Bunge
↧
Video: Wema Sepetu Azua Timbwili Kubwa Globalpublishers Kwa Madai Ya Kuandikwa vibaya na Magazeti ya kampuni hiyo
Wema Abraham Sepetu amezivamia ofisi za Global Publishers zilizoko
Bamaga – Mwenge, Dar es Salaam akidai kuwa ameandikwa vibaya kwenye
magazeti ya kampuni hilo na kuzua tafrani.
Ni kama unaangalia filamu mpya ya Wema Sepetu ambayo huenda jina
halijafahamika..lakini pigia msitari tu kwamba kituko hiki kimetokea kweli kama kinavyoonekana katika video hapo chini kwenye
↧
Halmashauri ya jiji yabomoa meza za machinga maeneo ya posta jijini Dar
↧
↧
CHADEMA yazidi kuchanja mbuga katika kampeni zake za lala salama jimbo la Chalinze
Makamu
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Issa Said
Mohamed akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Miono, katika mkutano wa
kampeni, uliofanyika kijijini hapo.
Baadhi
ya wananchi wa kijiji cha Miono wakiitikia kauli mbiu ya Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ya "Peoples Power" wakati wa mkutano
wa kampeni uliofanyika katika kijiji cha Miono.
Kiongozi
↧
Kuelekea ukingoni mwa kampeni za uchaguzi Chalinze, CCM yazidi kuzibomoa ngome za wapinzani wake
Katibu
wa NEC,Itikadi na Uenezi wa CCM,Nape Nnauye sambamba na Mgombea Ubunge
katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ridhiwani Jakaya
Kikwete wakiyarudi magoma wakati wa Mkutano wa Kampeni za
CCM uliofanyika April 2,2014 katika Kijiji cha Lugoba,Kata ya
Lugoba.
Mgombea
Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ridhiwani Jakaya
Kikwete akiwahutubia
↧
Magazeti ya leo Ijumaa ya tarehe 4 April 2014.......
↧
Jaji Warioba aijibu IKULU....Adai tume yake ilifanya kazi hadi March 18 2014, Akerwa na kitendo cha kuitwa mnafiki, ahoji wajumbe wake kutorudishwa nyumbani
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji
Joseph Warioba amesema waliokuwa wajumbe wa tume hiyo hawajawahi kudai
malipo ya pensheni ya Sh200 milioni kama inavyodaiwa.
“Wajumbe wa Tume hawajatoa madai ya kulipwa
shilingi milioni mia mbili. Hakuna mjumbe yeyote aliyetoa dai kama hilo
na Serikali inajua,” alisema
Jaji Warioba katika taarifa yake kwa vyombo vya
↧
↧
Mama adai kuibiwa mtoto na Manesi akiwa Leba
Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jinala Shakila Bakari (30),mkazi wa
Mbagala jijini Dar, ametoa madai mazito kuwa manesi wa hospitali moja
(jina linahifadhiwa) iliyopo Mbagala wamemuiba mmoja wa watoto wake
wawili aliojifungua Machi 28, mwaka huu.
Akizungumza na gazeti la Ijumaa juzi, Shakila alisema siku ya tukio majira
ya saa 6 mchana,alijifungua mtoto wake wa kwanza,lakini
↧
TFDA yatoa matokeo ya ukaguzi wa maduka ya Vyakula jijini Dar es salaam .....Supamaketi 29 zafungwa
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Chakula na Dawa(TFDA) Bw.Hiiti
Sillo (kulia) akitoa ufafanuzi wa maziwa yaliyokamatwa yakiwa kwenye
kifungashio kisichokua na maelezo yoyote yakiuzwa kwenye maduka ya kuuzia vyakula
“Supermarkets” na Mini-Supermarkets katika jiji la Dar es salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Chakula na Dawa(TFDA) Bw.Hiiti
Sillo akizungumza na waandishi wa habari leo
↧
Mkuu wa Mkoa wa Dar ampasha John Mnyika....Adai hawezi kusitisha agizo lake la pikipiki na bajaj kuingia katikati ya jiji
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadik amesema hawezi kusitisha agizo lake la pikipiki na bajaj kuingia katikati ya jiji, kwani hana mamlaka hayo, kwani anasimamia sheria.
Alisema hayo jana Dar es Salaam wakati akizungumza na Habari leo kuhusu ombi la Mbunge wa Ubungo, John Mnyika kutaka asitishe agizo hilo kupisha mazungumzo baina ya Serikali, wahusika wa bodaboda na bajaj na
↧