Subira ya mashabiki wa Ray C inaelekea ukingoni huku hamu ya kusikia sauti yake tena ikiongezeka kila anapo-tease ujio wake.
Jana, Ray C amepost kwenye Instagram picha ambazo zinaonekana kuwa ni
maalum kwa ajili ya utambulisho wa ujio wa kazi zake huku maandishi
yake kwenye post moja yakiashiria huenda picha hizo zikawa ni sehemu ya
video ya wimbo wake.
“Behind the seen @
Ray C kuonekana kwenye TV na Cover ya wimbo mpya hivi punde, apiga picha za ujio wake
↧
↧
Uchawi: Chungu cha ajabu chaibuka juu ya kaburi la mtoto huku kikivuja damu
Chungu
cha ajabu kilichokutwa juu ya kaburi la mtoto Agnes Mlawa katika
makaburi ya Makanyagio mjini Iringa leo kikiwa kinafoka damu.
Baada ya kufunguliwa chungu hicho ndani kulikuwa na damu, maini na kichwa cha ndege.
Wananchi wakishuhudia chungu hicho cha ajabu kilichopo kushoto karibu na jembe.
Baba wa mtoto Agnes Mlawa akichimbua chungu hicho.
Baba wa mtoto huyo kulia
↧
Wagombea ubunge jimbo la Chalinze wapiga kura zao
Mgombea
wa Ubunge Jimbo la Chalinze kupitia tiketi ya CCM, Ndugu Ridhiwani
Kikwete akihakiki taarifa zake kabla ya kupiga kura kwenye kituo cha
Ofisi ya Mtendaji Kata namba 3 Bwilingu, Chalinze.
Aziza
ambaye ni mtoto wa mgombea wa Ubunge Jimbo la Chalinze kupitia CCM,
Ndugu Ridhiwani Kikwete akimsaidia baba yake kuweka kura kwenye sanduku
la kura. Ridhiwani alipigia kura yake
↧
Rais Kikwete na Mama Salma Kikwete waungana na wanaChalinze kumchagua mbunge wao leo
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akisoma karatasi ya
kupigia kura kabla ya kupiga kura kumchagua Mbunge wa Jimbo la Chalinze
kwenye kituo cha kupigia kura cha Zahanati Msoga leo.
Rais Jakaya Mrisho
Kikwete akiwa kwenye chumba cha kupigia kura wakati wa kupiga kura za
kumchagua Mbunge mpya wa Jimbo la Chalinze leo.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete
↧
Matokeo ya awali Jimbo la Chalinze yanaonesha kuwa Ridhiwani Kikwete ( CCM ) anaongoza kata zote 15 kwa kishindo
Matokeo ya awali kwa baadhi ya vituo yanaonesha kuwa mgombea wa CCM Ridhiwani Kikwete anaongoza kata zote 15....
Kazi ya kuhesabu kura katika Jimbo la Chalinze imemalizika na matokeo rasimi yatatangazwa muda wowote kuanzia sasa.
Aziza ambaye ni mtoto wa
mgombea wa Ubunge Jimbo la Chalinze kupitia CCM, Ndugu Ridhiwani Kikwete
akimsaidia baba yake kuweka kura kwenye sanduku
↧
↧
Magazeti ya Leo Jumatatu ya tarehe 7 April 2014
↧
Ridhiwani Kikwete ashinda kwa asilimia 86 ( 86.8 % ) uchaguzi wa Ubunge Jimbo la Chalinze.....
Kwa mujibu wa taarifa ya habari ilyosomwa TBC saa moja asubuhi ya
Aprili 7, 2014, Msimamizi wa Uchaguzi wa jimbo la Chalinze,
Samuel Sarianga amemtangaza aliyekuwa mgombea wa kiti cha Ubunge wa
jimbo hilo kupitia CCM, Ridhiwani Jakaya Kikwete kuwa ndiye mshindi.
Mgombea huyo amepata jumla ya kura 20,828 (86.8%).
Washiriki wengine na kura walizopata ni CHADEMA 2,544 (10.5%) CUF
↧
Mamalaka ya mawasiliano Tanzania ( TCRA ) imetoa TAHADHARI 15 muhimu dhidi ya uhalifu unaofanywa kwa kutumia simu za mkononi
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
TAARIFA KWA UMMA
TAHADHARI DHIDI YA UHALIFU UNAOFANYWA KUTUMIA SIMU ZA MKONONI
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kwa kuzingatia kifungu 5 (b)
na (e) cha Sheria ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania ya 2003 inatoa
tahadhari kwa watumiaji wa huduma za mawasiliano, wananchi na umma kwa
ujumla kujihadhari na utapeli unaofanywa kwa kutumia simu za
↧
Penny afunguka....Adai bado yupo SINGLE tangu amwagane na Diamond, asema akipata mwingine lazima kila mtu ajue
Mtangazaji wa Runinga ya DTV, Peniel Mungilwa ‘Penny’ amefunguka kuwa siku zote hawezi kudumu katika penzi la siri.
Penny alifunguka hayo alipokuwa akizungumza na gazeti la Ijumaa kuainisha kuwa tangu amwagane na Diamond (Nasibu Abdul) ambaye kila mtu
alikuwa anamjua, bado hajabahatika kuwa na mtu mwingine.
“Bado
nipo nipo sana na kama ujuavyo, mimi siwezi kuyaficha mapenzi kama
↧
↧
CHADEMA mkoani Katavi yabariki kung'olewa madarakani kwa mwenyekiti wa mkoa wa chama hicho na kuwavua uanachama baadhi ya madiwani
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Chadema mkoani Katavi wameridhia kwa kauli moja na kubariki uamuzi wa kumsimamisha uongozi Mwenyekiti wa Mkoa wa Chama hicho, John Malack na viongozi wengine watatu waandamizi wa chama hicho, Jimbo la Mpanda Mjini.
Viongozi hao watatu ni pamoja na Mwenyekiti wa chama hicho Jimbo la Mpanda Mjini, Seif Sipia, Katibu wa jimbo hilo, Joseph Mona ambaye pia ni Katibu
↧
Serikali YABANA usajili wa Sekondari....Kuanzia sasa shule yoyote mpya isiyokuwa na maabara ya sayansi na maktaba haitasajiliwa na wala kuruhusiwa kutoa huduma
KUANZIA sasa, shule yoyote mpya isiyokuwa na maabara ya sayansi na maktaba haitasajiliwa na wala kuruhusiwa kutoa huduma; Serikali imeagiza.
Wakati agizo hilo linagusa shule za Serikali pamoja na za binafsi zinazojengwa, kwa upande wa shule zilizopo ambazo hazina mahitaji hayo, unaandaliwa mkakati hatimaye zote ziwe na maabara na maktaba.
Akizungumza na mwandishi katika mahojiano
↧
Watanzania wanne wakamatwa na polisi wa Macau China wakijihusisha na biashara ya ngono
Wanawake wanne wa Kitanzania wamekamatwa katika jimbo
linalojitegemea la Macau, nchini china wakituhumiwa kufanya biashara ya
ukahaba na wengine kwa kusafirisha watu kwa lengo la kufanya biashara ya
ngono. kinyume cha sheria (human trafficking)....
Polisi walipewa fununu kuwa kuna biashara ya ukahaba inafanyika
katika hoteli moja iliyopo jimboni humo. Polisi walipofanya msako,
↧
Lulu amkumbuka Kanumba ikiwa ni miaka miwili tangu kifo chake kilipotokea....."R.I.P daddy angu"
Leo (April 7), ni miaka miwili tangu afariki Steven Kanumba,
muigizaji aliyeacha pengo kubwa kwenye tasnia ya filamu Tanzania na
Afrika mashariki kwa ujumla.
Aliyekuwa mpenzi wake na muigizaji aliyeshirikiana nae katika kazi ya
uigizaji wa filamu tangu akiwa mdogo, Elizabeth ‘Lulu’ Michael amepost
video yenye picha kadhaa za Kanumba na za kwake na ameandika ujumbe
maalum kwa ajili
↧
↧
Timu ya watoto wa mitaani ya Tanzania yatwaa ubingwa wa dunia
Timu ya Taifa ya Watoto wa Mitaani ya Tanzania imetwaa ubingwa wa
Dunia wa Watoto wa Mitaani baada ya kuilaza Burundi mabao 3-1 katika
mchezo wa fainali uliochezwa jana (Aprili 6), jijini Rio de Janeiro,
Brazil.
Mshambuliaji Frank William alifunga mabao matatu katika mechi hiyo
iliyochezwa uwanja mkongwe na maarufu wa klabu ya Fluminense huku mgeni
rasmi akiwa Waziri wa Fedha wa
↧
Magazeti ya leo Jumanne ya tarehe 8 April 2014
↧
Viongozi wanne wa CHADEMA Mkoani Arusha wajivua Uongozi, Warudisha kadi za chama na kujivua uanachama wa chama hicho
Viongozi wanne wa CHADEMA toka ngazi ya Wilaya na Kata katika Mkoa wa
Arusha wameachia nyadhifa zao na kujitoa uanachama wa chama hicho.
Viongozi hao, Amani Torongey (Mwenyekiti Monduli), Revocatus Parapara
(Mwenyekiti Ngorongoro), Gerald Majengo (Mwenyekiti Kata ya Terati) na
Prosper Mfinanga (Katibu Mwenezi Kata ya Olorien) wamekutana na
wanahabari kueleza kuwa wameamua kuwa raia
↧
Rais Kikwete na Rais wa Zanzibar waongoza mamia kumuombea dua Abeid Karume
Rais Jakaya Kikwete na rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein jana wamewaongoza mamia ya wananchi
katika dua maalum ya kumuombea Rais wa Kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi marehemu Abeid Amani Karume.
Karume aliuawa April 7 mwaka 1972 akiwa katika jengo lililokuwa Makao
Makuu ya Chama cha Afro Shirazi huko Kisiwandui mjini
↧
↧
Polisi wa Uganda wakiwa na bunduki wavamia Tanzania na kuanza kufyatua risasi ovyo.....Watanzania wawili wajeruhiwa kwa risasi
Askari
saba kutoka nchini Uganda wakiwa na bunduki ambazo idadi yake
haijafahamika, wamevamia eneo la Mutukula, mkoani Kagera, na kuanza
kufyatua risasi ovyo.Hali hiyo ilizua hofu na kusababisha tafrani kubwa
miongoni mwa wakazi wa eneo hilo.
Habari kutoka eneo hilo zinaeleza kuwa askari hao waliokuwa wamevalia
kiraia, walifanya uvamizi huo majira ya saa 11:00 jioni, kwa kile
↧
Mwenyekiti wa bunge maalumu la katiba atembelea viongozi wa dini.....
Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo(kushoto) akimkaribisha Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samuel Sitta (kulia) ofisini kwake leo mjini Dar es salaam kuhusu maendeleo ya Bunge Maalum.
Katibu
Mkuu wa Bakwata, Suleiman Lolila akisalimiana na Sitta alipowasili
ofisi za Makao Makuu ya Bakwata jijini Dar es Salaam leo.
Shehe Mkuu wa Tanzania, Issa Bin Simba akiwa ofisini kwake
↧
Ofisi ya Taifa ya Takwimu Yatoa taarifa ya Mfumuko wa Bei nchini....Yadai kuwa mfumuko wa bei umeongezeka ikilinganishwa na mwezi uliopita
Mkurugenzi wa Takwimu za Jamii na sensa ya Watu
na Makazi Bw. Ephraimu Kwesigabo akizungumza na waandishi wa habari leo jijini
Dar es salaam kutoa taarifa ya mfumuko wa bei nchini unapimwa kwa kipimo
cha mwezi.
( Na. Aron Msigwa/MAELEZO - Dar es salaam)
Ofisi ya Taifa ya
Takwimu imeeleza kuwa mfumuko wa bei nchini kwa mwezi Machi umeongezeka ikilinganishwa na
mwezi uliopita
↧
More Pages to Explore .....