Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Jinsi Saa Ya Bluetooth Smartwatch Inavyofanya Kazi

$
0
0
JINSI SAA YA BLUETOOTH SMARTWATCH INAVYOFANYA KAZI.


Hii saa bana ngoja nikwambie ni saa fulani ya kawaida sana ila imeshavunja record ya mauzo sehemu mbali mbali..afu ni saa fulani simple iko chini ya mfumo wa digital kiswahili saa za kimwekumweku...hii saa bwana tukija kwenye ubabe wake ina nguvu zake za siri ...saa hii ukiunganisha kwenye smart phone yako basi nguvu hizo za siri utakuwa umeziamsha hebu tuonee nguvu za hii saa sasa

1.INAWEZO WA KUHESABU HATUA UNAZOTEMBEA
saa hii bwana ina ufundi wa kuhesabu hatua unazopiga unavyotembea ndo maana wale watu wa mazoezi huzipenda sana hasa wale wanaokimbia kutoka posta wakati wakitoka kazini...yaaani itakuwa inahesabu ya hatua ulizotembea au kukimbia ....achana na hii saa bwana

2.KUHESABU KILOMETER
hii saa baada ya kukupa hatua ulizotembea pia itakwambia bwana mdogo tulia nikwambie hadi kilometer ulizokimbia bila kukudanganya sasa kama ulikimbia nusu kilometer ukazani kilometer moja saa itakwambia bwana mdogo umekimbia nusu kilometer itakuchana live bila chenga haidanganyi

3.KUHESABU NGUVU ULIZOTUMIA KWA SIKU
kwa wale mlio soma mnajua kabisa fika kuwa nguvu za mwili huitwa calories ...sasa kasaa haka kana tabia ya kuhesabu umechoma calories ngapi kwa siku au wakati wa mazoezi kata kuchekii kisha kata sema hiiiiiiiiiiii😄😄(in magufulis voice) afu katakwambia bwana mkubwa leo umetumia nguvu kidogo sana wewe ni mvivu.....wakati wa mazoezi hii
huhesabu calories vizur kabisa...haya kama unafanya mazoez kupungua hii ndo saa

4.CALL AND TEXT REMINDER
hapa kisaa hiki pia hakiko nyuma kwa mfano simu iko chumbani ww uko sebuleni mtu akapiga simu au kutuma meseji basi saa hii itakushtua au kukumbusha kuhusu simu hiyo au meseji

5.HAINGII MAJI
saa hii pia bwana yenyewe na maji ni marafiki wakubwa wa kufa na kuzikana yaaani ukifika bafuni oga nayo mvua ikinyesha pita tu ukifika swimmig poool zama nayoooo tu...bahari kwenye mavimbi safi tu....kwa hiyo saa hii na maji ni marafiki walitukukaa yaaani toka wakiwa wadogo saa hii na maji ni marafiki hivyo usijali kuhusu maji ....ndo uzuri wake....
 
6.WAPI PA KUIPATA SASA
ebwana mimi hii sasa bila ubishi nilinunua kwenye mtandao kwenye website ya daresalaamshop.com hawa majamaa hawanaga utani wako serious utaletewa saa nyumbani au kokote ulipo kisha wewe ndo unalipia mzigo wako nyumbani hata ukiwa mkoani utalipia mzigo ukifika ARUSHA ,MOSHI DAR,IRINGA,MBEYA ,DODOMA,TANGA,MWANZA na mikoa mingine yote utalipia mzigo ukifika huko huko ,

Hapo chini nimewawekea link ya kununulia ukiipenda agiza hapo
IMEANDIKWA .nicky clemence: muuza saa wa
daresalaamshop

Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota, Mvuto wa Biashara na Mapenzi

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..

JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. 

Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
 
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
 
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi 

+255 622588038au 0679119679 au +255 764318107
NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Rais Magufuli Asali Ibada Ya Jumapili Dominika Ya 13 Kanisa La Mtakatifu Petro Jijini Dar Es Salaam

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana amani na  waumini wengine kusali Ibada ya Jumapili, Dominika ya 13, katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es salaam.
Picha na IKULU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Jaji Mstaafu Mhe. Thomas  Mihayo, ambaye nii mmoja wa wazee wa kanisa  leo Julai 1, 2018 alipoungana na waumini wengine kusali Ibada ya Jumapili, Dominika ya 13, katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es salaam.

Makanga 3 Power; Dawa Bora Nguvu Za Kiume

$
0
0
Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.
Tupo dar es salam mbagala rangi tatu.

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348. Au 0659 103 360.

Mmiliki wa mabasi ya Zakaria ahojiwa kwa tuhuma za kuwapiga risasi maofisa usalama wa Taifa

$
0
0
Mmiliki wa kampuni ya mabasi ya Zakaria, Peter Zakaria anashikiliwa na polisi kwa mahojiano kwa tuhuma za kuwajeruhi kwa risasi watu wawili wanaodaiwa kuwa ni maofisa usalama wa Taifa.

Ingawa mazingira ya tukio hilo na nini maofisa hao walifuata kwenye kituo cha mafuta kinachomilikiwa na mfanyabiashara huyo hayajajulikana, mkuu wa Mkoa wa Mara, Adam Malima alisema jana mjini Musoma kuwa, tukio hilo lilitokea saa mbili usiku wa Juni 29.

Malima alisema baada ya kuwajeruhi kwa risasi maofisa hao, Zakaria alidhibitiwa na maofisa wengine ambao walimfikisha Kituo cha Polisi mjini Tarime.

Akifafanua, mkuu huyo wa mkoa alisema kabla ya tukio hilo, maofisa usalama watano walifika katika kituo hicho cha mafuta kwa nia kujaza mafuta gari lao, ndipo wenzao wawili walishuka na ghafla kushambuliwa kwa risasi.

“Baada ya wenzao kujeruhiwa kwa risasi, maofisa wengine walifanikiwa kumdhibiti Zakaria na kumtia mbaroni na kumkabidhi kwa polisi wanaoendelea kumhoji,” alisema.

Kwa mujibu wa Malima, maofisa waliojeruhiwa wamelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Tarime kwa matibabu huku mmoja akidaiwa kuwa katika hali mbaya.

Kuhusu tukio la polisi kutumia mabomu ya machozi kuutawaanya umati wa wananchi waliokusanyika eneo la hospitali hiyo, kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Tarime/Rorya, Henry Mwaibambe alisema lililenga kurejesha utulivu baada ya wananchi kuhamaki wakitaka kuingia kumuona Zakaria kutokana na kuzagaa taarifa kuwa amejeruhiwa na kulazwa.

Akizungumza kwa sharti la kutotajwa jina, mmoja wa wafanyakazi wa kituo cha mafuta, alidai Zakaria alifyatua risasi ili kujihami baada ya kuhisi kuwa watu walioshuka kwenye gari wakielekea ofisini kwake walikuwa majambazi.

“Kwa kawaida muda ule bosi huwa anapokea fedha za mauzo kutoka sehemu mbalimbali za biashara zake ikiwamo mabasi na vituo vya mafuta. Kitendo cha watu watano kufika na wawili kushuka kuelekea ofisini kwake kiliibua hofu ya usalama kutokana na matukio ya ujambazi, ndipo akaamua kujihami,” alisema mfanyakazi huyo.

Alisema baada ya wenzao kujeruhiwa, watu watatu waliobaki kwenye gari waliteremka na kumkamata Zakaria huku wakijitambulisha kuwa maofisa usalama, hali iliyozua mvutano walipotaka kuondoka naye kwa sababu wafanyakazi hawakuwa na uhakika iwapo walikuwa wema au wahalifu.

Mvutano huo ulisababisha milio ya risasi na watu hao kuondoka na Zakaria kwa nguvu huku wakisababisha hofu kuwa huenda mfanyabiashara huyo ametekwa, jambo lililoibua taharuki mjini Tarime.

Jaji mkuu ataka madalali wasimamiwe vyema

$
0
0
JAJI Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma amewakumbusha viongozi wa Mahakama kusimamia kwa makini upangaji na utendaji wa madalali ili kudhibiti matumizi mabaya ya fedha za wadaiwa.

Alisema hayo jijini Dodoma jana wakati akikabidhi hati 24 za uteuzi kwa Mahakimu Wafawidhi wa Mikoa pamoja na kushuhudia uapisho wa Naibu Wasajili tisa uliofanywa na Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Dk Eliezer Feleshi. Profesa Juma alisema kuwa mara nyingi shughuli za madalali hulalamikiwa, wananchi wanafahamu kuwa madalali ni sehemu ya Mahakama, kwa hiyo eneo hilo lazima liangaliwe kwa umakini hasa pale fedha za wadaiwa zinapotumiwa vibaya na baadhi ya madalali.

“Pamoja na Kanuni za sasa kuwataka madalali wapitie mafunzo lakini bado mna wajibu wa kusimamia majukumu yao, pia tunazifanyia mabadiliko kanuni za madalali ambapo watalazimika kuweka fedha zote kwenye akaunti ya Mahakama kabla ya kuweka katika akaunti zao ili tuweze kudhibiti matumizi mabaya ya fedha ambazo ni dhamana kwa wananchi,” alisema.

Profesa Juma aliongeza kuwa upangaji wa kesi ni eneo lingine linalotakiwa kusimamiwa kwa umakini kwani kesi zinatakiwa zipangwe kwa kuzingatia muda wa kusajiliwa au vipaumbele maalumu kama maelekezo yanavyotolewa na viongozi wa Mahakama hali itakayosaidia kuepusha malalamiko kutoka kwa wananchi.

Aidha, aliwataka viongozi hao kuwa kichocheo cha maboresho ya Mahakama ya Tanzania pamoja na kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu mkubwa na bila upendeleo wowote huku wakizingatia sheria, kanuni na miongozo mbalimbali iliyowekwa. Vile vile aliwakumbusha kuwa uteuzi wao ni ishara tosha kwamba wameaminiwa kutekeleza majukumu yaliyoainishwa katika ngazi hizo za uteuzi na wameshakuwa walezi wa watumishi katika maeneo yao hivyo ni jukumu lao kuwatambua viongozi wa baadaye ambao watachukua nafasi zao.

Akizungumzia kuhusu mfumo wa kisasa wa kielektroniki katika utoaji wa huduma, Profesa Juma alisema kuwa mfumo huo wa kufungua mashauri kwa njia ya kielektroniki utasimamiwa na Msajili Mkuu ambapo vitaanzishwa vibanda vya kuwasaidia wananchi kufungua mashauri kwa kielektroniki lengo likiwa ni kumaliza kabisa tatizo la upoteaji wa majalada.

Mahakama yazindua mfumo mpya kuendesha mashauri

$
0
0
MAHAKAMA ya Tanzania imezindua mfumo wa uendeshaji mashauri kwa kutumia magari ‘mobile court’ katika maeneo yasiyofi kika na kwenye mikusanyiko ya watu na kesi mbalimbali zikiwemo za madai ya chini ya Sh milioni 100. Kwa kuanzia, mahakama mbili zinazohama zinatarajiwa kuanza kutoa huduma baadaye mwaka huu.

Zinatengenezwa Afrika Kusini ambapo moja inatarajiwa kukamilika Julai na nyingine Septemba. 

Mahakama imesema, ina mpango wa kuongeza mahakama hizo zinazohamishika ziwe sita iwapo zitapokelewa vema watakaposhughulikia migogoro na mashauri ya madai yasiyozidi Sh milioni 100. 

Mfano wa mahakama hiyo uko katika viwanja vya Mwalimu Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa, Dar es Salaam yanapofanyika maonesho ya 42 ya Biashara ya Kimataifa (DITF) maarufu kama Sabasaba yanayoendelea hadi Julai 13, mwaka huu.

Akizungumza katika maonesho hayo, Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Ufuatiliaji na tathmini wa mahakama, Sebastian Lacha alisema magari hayo yatakuwa na mfumo wa uendeshaji mahakama yenye uwezo wa kukaa watu wanne akiwemo karani, mwendesha mashtaka na hakimu. Alisema wananchi na wadau watakuwa na sehemu ya kukaa nje ya mahakama hiyo itakayoendeshwa maeneo yaliyochaguliwa masoko au kwa wafugaji.

Mkurugenzi Msaidizi wa mahakama, Daniel Msangi alisema mchakato wa kubadilisha sheria ili kutambua mahakama zinazotembea uko katika hatua za mwisho kabla ya kuanza utekelezaji. 

Alisema kuanzia Septemba wataanza kutoa elimu kwa wananchi jinsi ya kufungua mashauri na sehemu za kufungulia na kutoa huduma kwa majaribio kwa mwaka mmoja jijini Dar es Salaam.

Alisema kama huduma itapokelewa vyema na wananchi, watanunua magari mengine sita na kusambaza maeneo mbalimbali ikiwemo yasiyofi kika kwa urahisi kama visiwani na kwa wafugaji wakiangalia kuwa na mahakama za boti. 

Alisema gharama ya kutengeneza mahakama moja yenye vifaa vyote ikiwemo intaneti na mifumo ya kimahakama ni takribani Sh milioni 300 hadi 350. Alisema uendeshaji kesi utakuwa ule wa kawaida.

Dawa Za Nguvu Za Kiume Na Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa

$
0
0
Asilimia 45-80 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kutowatimizia vyema wake au wapenz wao na kuwasababishia kutoka nje ya mahusiano yao. 

NINI CHANZO CHA HAYO? Kupiga punyeto,Ngiri, Vidonda vya tumbo, Korodani moja kuvimba, Msongo wa mawazo, Presha, Magonjwa ya zinaa, Kufanyiwa tohara ukiwa na umri mkubwa, Kisukari. 

DR. LUTAJA Sasa anakuletea tiba sahihi ya tatizo la Nguvu za kiume. 

NTOMBO :Hii hutibu na kuponya kabisa tatizo la Nguvu za kiume, utakuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kafika kileleni kwa mda wa dk 20-45. Dawa hii imechanganywa na miti 18,Hata wazee wenye umri mkubwa wa zaidi ya miaka 85 wanapona kabisa okoa mahusiano yako, ndoa yako sasa. 

SUNGURURU MIX:Ndio tiba sahihi kwa wale wenye maumbile madogo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo nchi 3-8 na unene cm 2-5,dawa hii ipo katika mfumo wakupaka nakunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji :Hii ni tiba tofauti kabisa nazile ambazo umekwisha wahi kutumia. 

Pia tunadawa za Kupandisha nyota , Uzazi, Pumu, Malaria sugu, miguu kuwaka moto, Kaswende, Kisonono pamoja na mvuto wa mpenzi.

 DR. LUTAJA ANAPATIKANA DAR-ES-SAALAM Simu 0713-821823 kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote ulipo.

Majadiliano gesi asilia kubeba maslahi ya taifa

$
0
0
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema serikali inachukua tahadhari kwenye majadiliano ya utekelezaji wa mradi wa Kuchakata na Kusindika Gesi Asilia (LNG) utakaogharimu dola za Marekani bilioni 30. Majaliwa aliyasema hayo alipokuwa akilihutubia bunge wakati wa kuahirisha Mkutano wa 11 wa Bunge mjini hapa.

Alisema kutokana na umuhimu wa mradi huo kwa taifa, serikali imekuwa makini katika majadiliano hayo na kampuni za kimataifa za mafuta katika utekeleza mradi huo. 

“Ni vema tukatambua kuwa mradi huu una maslahi makubwa kwa taifa, hivyo Serikali inachukua tahadhari kubwa kwenye majadiliano yanayoendelea baina ya Timu ya Majadiliano ya Serikali (GNT) na kampuni za mafuta (IOCs)... serikali inaendelea na majadiliano na kampuni hizi ili mradi huo uanze kutekelezwa mapema kwa kuzingatia maslahi mapana ya nchi yetu,” alisema.

Serikali kupitia Shirika la Maendelo ya Petroli Tanzania (TPDC) inatarajia kutekeleza mradi huo kwa kushirikiana na wawekezaji ambao ni kampuni za kimataifa za mafuta ikiwa ni hatua ya kuendeleza rasilimali hiyo. 

Mjaliwa alisema mradi huo ambao utatumia gesi asilia iliyogunduliwa kwenye kina kirefu cha bahari, una lengo la kuiwezesha Tanzania kuvuna na kuuza rasilimali ya gesi katika soko la dunia sambamba na kukidhi mahitaji ya soko la ndani yanayojumuisha matumizi ya viwanda na majumbani.

Alisema mradi huo ambao unachukua eneo lenye ukubwa wa hekari 2,071.7 pamoja na mambo mengi utasaidia kuongeza mapato ya serikali kupitia mauzo ya gesi katika soko la ndani na nje. 

“Pia itasaidia upatikanaji wa nishati ya uhakika kwa ajili ya viwanda na matumizi ya nyumbani na pia kuwa chanzo cha malighafi za viwanda kwa ajili kuzalisha mbolea, plastiki na kimikali za petrol,” alisema.

Alisema mradi huo pia utakuwa chanzo cha ajira ambapo wakati wa ujenzi wake, mradi huo utaajiri takribani watu 10,000 na wengine wapatao 3,000 wakati wa uendeshaji. 

Majaliwa alisema pia utasaidia ukuaji wa uchumi wa miji la Lindi na Mtwara utakaokwenda sambamba na kupanuliwa kwa bandari na uwanja wa ndege.

Mkataba wa kusitisha mapigano Sudan Kusini umevunjika

$
0
0
Mkataba wa kusitisha mapigano uliotiwa saini na Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir na waasi ulikiukwa Jumamosi ikiwa ni saa chache baada ya utekelezwaji wake huku pande zote zikishutumiana kwa kufanya mashambulizi katika taifa hilo changa duniani.

Msemaji wa waasi Lam Paul Gabriel alivishutumu vikosi vya serikali kwa kushambulia maeneo ya waasi yaliopo nje ya kusini-magharibi mwa mji wa Wau huko Sudan Kusini, takribani saa sita baada ya usitishwaji mapigano kuanza.

Wakati huo huo msemaji wa serikali Ateny Wek Ateny aliliambia shirika la habari la Associated Press-AP kwamba upinzani ulishambuliwa “wana uongozi huru. Hawadhibitiwi na mtu yeyote”.
 
Rais Kiir na mpinzani wake Riek Machar ambaye alikuwa msaidizi wa zamani wa Kiir walitia saini mkataba wa kusitisha mapigano siku ya Jumatano baada ya mazungumzo ya ana kwa ana yaliyofanyika katika nchi jirani kwenye mji mkuu wa Sudan, Khartoum. 

Mkataba huo unatoa wito wa kufunguliwa njia za barabara kwa ajili ya kufikisha msaada wa kibinadamu, kuachiwa huru kwa wafungwa na kuondoa vikosi vya jeshi kulingana na shirika la habari la SUNA. 

Shirika hilo la SUNA pia liliripoti vikosi vya jeshi na Umoja wa Afrika na kundi la IGAD watafuatilia usitishaji huo wa mapigano.

Maelfu ya watu wameuwawa tangu vilipoanza vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Sudan Kusini mwaka 2013 chini ya miaka miwili baada ya nchi hiyo kujipatia uhuru wake kutoka Sudan. Mzozo huo pia umewalazimisha watu milioni tatu kukimbia nyumba zao.

Ofisa Tarafa Atiwa Mbareoni Kwa Kuomba Rushwa ya Laki 3

$
0
0
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani hapa imemfikisha mahakamani ofisa tarafa ya Siloka katika halmashauri ya wilaya ya Bukombe kwa makosa ya kuomba na kupokea rushwa.

Mshatakiwa huyo Tumbo Madaraka alifikishwa mahakamani mbele ya hakimu wa mahakama ya wilaya ya Bukombe, Veronica Seleman.

Mwendesha mashtaka wa Takukuru, Husna Kiboko aliieleza mahakama kuwa Aprili 28, 2018 katika halmashauri ya wilaya ya Bukombe mshtakiwa  alimkamata mtu aliyebeba magogo bila kibali halali na kumuomba hongo ya Sh350,000 ili asimchukulie hatua za kisheria.

Amedai mahakamani hapo kuwa mshtakiwa huyo alitenda kosa kinyume na kifungu cha 15 cha sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa namba 11 ya mwaka 2007.

Mshtakiwa alikana kutenda kosa na yuko nje kwa dhamana baada ya kukidhi vigezo vya kuwa na wadhamini wawili wenye mali isiyohamishika yenye thamani ya Sh5 milioni.

Kesi hiyo itatajwa tena Julai 17,2018 kwa ajili ya mshtakiwa kusomewa maelezo ya awali.

RPC Arusha Azungumzia Sakata la Godbless Lema Kushikana Mashati na Polisi

$
0
0
Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema anatarajiwa kesho Julai 2, 2018 kuwasilisha maelezo kwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Ramadhani Ng'anzi kuhusu kudhalilishwa hadharani.

Lema anadai kudhalilishwa na mtu anayesadikiwa kuwa ni askari kwa kumshambulia kwa maneno.

Kamanda Ng'anzi amesema  kuwa Lema alimpigia simu akilalamikia kitendo hicho kilichofanyika akiwa saluni na watoto wake wawili.

Amesema tukio hilo lilitokea jana Juni 30, 2018 alipotoka nje kununua skafu ndipo alipokutana na askari huyo anayetajwa kwa jina moja la Anthony.

"Hizi taarifa sijazipata rasmi, nimeziona kwenye mitandao ya kijamii Jumamosi lakini vilevile mbunge alinipigia kulalamikia kitendo alichofanyiwa na kuniahidi kuja kesho tuzungumze suala hilo," amesema Kamanda Ng'anzi.

Amesema wameshafungua jalada na askari wanaendelea na uchunguzi wa tukio hilo kwa kuwa inadaiwa lilifanyika eneo la wazi.

Kamanda Ng’anzi amesema maelezo ya Lema yatasaidia kufahamu chanzo cha mgogoro huo.

Akizungumzia tukio hilo, Lema amedai anafahamiana na askari huyo kwa muda mrefu na amekuwa akitaka amsaidie kukutana na viongozi wake wa juu ili atoe kilio chake cha kushushwa cheo alichokuwa nacho cha Mkaguzi wa Polisi.

Lema amesema hata wakati wa mkutano wa Bunge kuhusu bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani alitaka kwenda Dodoma ili amsaidie akutane na waziri wa wizara hiyo na Mkuu wa Jeshi la Polisi lakini alimzuia kwa kile alichodai wabunge wa upinzani hawasikilizwi hoja zao.

Mbunge huyo amedai katika hali ya utani alimwomba askari huyo amnunulie skafu, lakini alimrushia maneno ya kashfa ndipo alipomkabili na watu waliokuwa karibu waliingilia kati.

Lema amesema aliamua kurudi saluni ambako askari huyo alimfuata na kuendelea kulalamika kwamba ameshindwa kumsaidia.

Amesema kitendo hicho kilimfadhaisha mbele ya watoto wake na wapiga kura, hivyo ataangalia ni hatua gani za kuchua.

Breaking News: Hiace tatu Zagongana na lori Mbalizi Mbeya.....Tazama Picha za Tukio

$
0
0
Lori limegonga daladala tatu eneo la Mlima Mbalizi wilayani Mbeya.

Wananchi wakishirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama wanaendelea na jitihada za kulinasua daladala lililolaliwa na lori hilo.

Ajali hiyo imetokea mchana wa leo Julai Mosi, 2018 baada ya lori hilo kugonga daladala zilizokuwa zinatoka stendi ya Mbalizi kuelekea Mbeya mjini. Taarifa kuhusu majeruhi na vifo bado haijatolewa.

Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Amos Makalla na  kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya, Mussa Taibu wapo eneo la tukio.

Kazi ya uokoaji inaendelea kufanywa na vijana wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakishirikiana na wananchi.

Breaking News: Mwigulu Nchemba Atumbuliwa, Kangi Lugola Achukua Nafasi Yake

$
0
0
Rais John Magufuli leo amefanya mabadiliko katika baraza la mawaziri na katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kama ifuatavyo:

Kangi Lugola, aliyekuwa Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) sasa anakuwa  Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ambapo amechukua nafasi ya Mwigulu Nchemba.

Rais Magufuli amefanya mabadiliko hayo mchana huu kupitia Katibu Mkuu Kiongozi Ikulu, Balozi John Willium Kijazi.

Taarifa hiyo imesema kwamba nafasi  ya Kangi Lugola inaenda kuchukuliwa na Mbunge wa Singida Mjini, Mh. Mussa Ramadhan Sima.

Aidha Rais amefanya uteuzi wa Naibu Waziri katika Wizara ya kilimo kutokana na umuhumu wa Wizara hiyo ambapo, Mbunge wa Morogoro Kusini Omary Mgumba ameteuliwa kushika nafasi hiyo.

Pamoja na hayo, katika mabadiliko hayo madogo, Rais Mgufuli amefanya Uhamisho Waziri Prof. Makame Mbarawa kutokea Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi anaenda kuwa Waziri wa Maji na Umwagiliaji, huku aliyekuwa kwenye Wizara hiyo, Mhandisi Isack Kamwelwe anaenda kuwa Waziri wa Uchukuzi.

Hata hivyo Balozi Kijazi amesema tarehe ya kuapishwa kwa viongozi hao itatajwa hapo baadaye

Baada ya Mwigulu Nchemba Kutumbuliwa, Polepole amvaa Zitto Kabwe, Nape Naye Atia Neno

$
0
0
Baada ya Rais Magufuli kutangaza mabadiliko madogo katika Wizara kadhaa na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Mwigulu Nchemba kuachwa, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole na Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe wameanza kuvutana mitandaoni kuhusu kuachwa kwa Mwigulu.

Kupitia mtandao wa wa Twitter Zitto Kabwe amemkaribisha, Dkt. Nchemba kwa kumwambia sasa ni wakati wake wa kuwatumikia wananchi na kwamba msimamo wake ndiyo uliomponza.

"Ndugu yangu Mwigulu Nchemba karibu 'back bench' ufanye kazi ya Wananchi. Tunajua msimamo wako kuhusu barua ya KKKT umekuponza. Ulikuwa msimamo madhubuti na ulisimamia haki" -  Zitto

Kufuatia kauli hiyo, Humphrey Polepole katika ukurasa wake, ameamua kumvaa Kiongozi huyo wa ACT kwa kumuita mzee wa kurukia treni kwa mbele  na kwamba Rais amefanya mabadiliko kutokana na dhamana aliyopewa na Katiba na si vinginevyo na kumtaka asipotoshe watu.

Polepole ameandika "Mzee wa kurukia treni kwa mbele ushaanza, mbona unapenda ubashiri na vitendo vya kilozi? Rais hutenda impendezavyo kwa dhamana aliyopewa Kikatiba".

"Sisi tuliohudumu kwenye Serikali na Chama tunajua na kuheshimu. Usijitaftize huruma kwa mtu. Acha kupotosha hiyo si siasa safi. SAD! " Polepole

Kwa upande wa Mbunge wa Mtama ambaye aliwahi kuwa Waziri wa Habari, Sanaa, Michezo na Utamaduni, Nape Nnauye amemkaribisha kiongozi huyo na kumtaka waungane kuwatumikia wananchi.

"Cde Karibu Sana! Tuliolelewa humu ni kama Mwanzi, upepo ukivuma Mwanzi unalala, upepo ukiisha Mwanzi unasimama ukiwa imara zaidi! Tuwatumikie waliotupa kura!" Nape.


Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya July 2

Silya: Dawa Bora ya Nguvu za Kiume

$
0
0
SILYA:  Ni dawa ya nguvu za kiume inayoponesha na kuongeza ndani ya dakika 10 tu. Dawa hii inaimarisha misuli ya uume iliyolegea au kusinyaa, ni dakika 3 tu.

Dawa hii inarefusha maumbile mafupi kufikia Inch 6-7, inanenepesha uume mfupi cm 4. Dawa hii inakufanya uchelewe kufika kileleni wakati wa tendo la ndoa dk 20-30.

Inaongeza uzalishaji wa mbegu za kiume, inakufanya uweze kurudia tendo hata mara 5 bila kujali umri kama nikijana au mzee.

Pia ipo dawa ya kumrudisha mume, mke aliyekuacha au kumpata yeyote umpendaye.. Je umedhulumiwa,au umeibiwa Pesa zako ? Utarudishiwa ndani ya masaa  3.

Tunatibu Presha, Mgongo,Kisukari, Kiuno, Vidonda vya tumbo, kujaa gesi nk. Pata dawa ya mvuto, toa makovu, chunusi mabaka, punguza unene wa mwili, tumbo.

Tupo Dar es Salaam.

Simu: 0784 066 543 /  0653 715 642- Dr Hussein

Viongozi Wote Walioteuliwa Jana na Rais Magufuli Wataapishwa Leo

Dawa Za Nguvu Za Kiume Na Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa

$
0
0
Asilimia 45-80 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kutowatimizia vyema wake au wapenz wao na kuwasababishia kutoka nje ya mahusiano yao. 

NINI CHANZO CHA HAYO? Kupiga punyeto,Ngiri, Vidonda vya tumbo, Korodani moja kuvimba, Msongo wa mawazo, Presha, Magonjwa ya zinaa, Kufanyiwa tohara ukiwa na umri mkubwa, Kisukari. 

DR. LUTAJA Sasa anakuletea tiba sahihi ya tatizo la Nguvu za kiume. 

NTOMBO :Hii hutibu na kuponya kabisa tatizo la Nguvu za kiume, utakuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kafika kileleni kwa mda wa dk 20-45. Dawa hii imechanganywa na miti 18,Hata wazee wenye umri mkubwa wa zaidi ya miaka 85 wanapona kabisa okoa mahusiano yako, ndoa yako sasa. 

SUNGURURU MIX:Ndio tiba sahihi kwa wale wenye maumbile madogo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo nchi 3-8 na unene cm 2-5,dawa hii ipo katika mfumo wakupaka nakunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji :Hii ni tiba tofauti kabisa nazile ambazo umekwisha wahi kutumia. 

Pia tunadawa za Kupandisha nyota , Uzazi, Pumu, Malaria sugu, miguu kuwaka moto, Kaswende, Kisonono pamoja na mvuto wa mpenzi.

 DR. LUTAJA ANAPATIKANA DAR-ES-SAALAM Simu 0713-821823 kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote ulipo.

Croatia Yaing'oa Denmark Kombe La Dunia Kwa Penalti 3-2 ......Yussuf Poulsen Kuungana Na Ronaldo, Messi Kurejea Nyumbani

$
0
0
Croatia imetinga robo fainali ya Kombe la Dunia baada ya kuifunga Denmark anayochezea Yussuf Poulsen kwa penalti 3-2.

Hii ni baada ya mechi kwisha kwa dakika 120 kukiwa na sare ya bao 1-1, yote mawili yakiwa yamefungwa ndani ya dakika 4 za mwanzo.

Mikwaju ilikuwa na burudani kubwa huku makipa wa kila upande wakionyesha ujuzi wa kupangua penalti.

Ivan Raktic ndiye aliyemalizia mkwaju wa mwisho na kuimaliza Denmark ambayo ilionekana kama ina nafasi ya kusonga baada ya kipa wake, Kasper Schmeichel kuonyesha ujuzi akipangua penalti mfululizo.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images