Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Makanga 3 Power; Dawa Bora Nguvu Za Kiume

$
0
0
Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.
Tupo dar es salam mbagala rangi tatu.

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348. Au 0659 103 360.

Victoria Kimani Adai Ana Mwaka Mzima Hamju Mwanaume

$
0
0
Msanii mkali kutoka Kenya mwanadada Victoria Kimambi amefunguka na kuweka wazi kuwa amepitisha mwaka mzima bila kukutana kimwili na mwanaume yoyote.

Victoria amefunguka hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram ambapo ameweka wazi kuwa anasumbuliwa na upweke ambao umesababisha Kupitiasha takribani mwaka mzima bila kufanya mapenzi

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Victoria ameweka kipande cha wimbo chenye maandishi kilochosomeka:

"Huu ni mwezi gani tupo nao? Tangu Mei mwaka jana sija-du na mwanaume yeyote. Kwa hiyo nani ameshindwa? Ni mimi? Au ni wanaume. Ni ngumu. Ni kama tupo kwenye ongezeko la joto duniani”.

Victoria ambaye ameweka makazi yake nchini Nigeria ambapo anafanya kazi zake za kimuziki amekuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na  producer wa video nchini humo ambaye Mahusiano yao yaliisha tangu mwaka jana May.

Silya: Dawa Bora ya Nguvu za Kiume

$
0
0
SILYA:  Ni dawa ya nguvu za kiume inayoponesha na kuongeza ndani ya dakika 10 tu. Dawa hii inaimarisha misuli ya uume iliyolegea au kusinyaa, ni dakika 3 tu.

Dawa hii inarefusha maumbile mafupi kufikia Inch 6-7, inanenepesha uume mfupi cm 4. Dawa hii inakufanya uchelewe kufika kileleni wakati wa tendo la ndoa dk 20-30.

Inaongeza uzalishaji wa mbegu za kiume, inakufanya uweze kurudia tendo hata mara 5 bila kujali umri kama nikijana au mzee.

Pia ipo dawa ya kumrudisha mume, mke aliyekuacha au kumpata yeyote umpendaye.. Je umedhulumiwa,au umeibiwa Pesa zako ? Utarudishiwa ndani ya masaa  3.

Tunatibu Presha, Mgongo,Kisukari, Kiuno, Vidonda vya tumbo, kujaa gesi nk. Pata dawa ya mvuto, toa makovu, chunusi mabaka, punguza unene wa mwili, tumbo.

Tupo Dar es Salaam.

Simu: 0784 066 543 /  0653 715 642- Dr Hussein

Ray C: “Nilikuwa Siwezi Kupanda Stejini Bila Kutumia Madawa Ya Kulevya”

$
0
0
Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo fleva Rehema Chalamila maarufu kama Ray C amefunguka na kuelezea kipindi kigumu alichopitia wakati ameathirika na madawa ya kulevya.

Ray C ambaye kwa sasa anaishi nchini Kenya na kufanya kazi zake kimuziki amefunguka alipohudhuria kongamano la madawa ya kulevya Mombasa.
 
Ray C alipata  nafasi ya kuongelea kuhusu madawa ya kulevya kutokana na yeye kuwa muhanga mkubwa wa madawa hayo ambapo kwa sasa amekiri kuacha  kutumia madawa.

Ray alifinguka kuwa ilifika kipindi akawa mtumwa wa madawa ya kulevya kiasi ya kwamba alikuwa hawezi kupanda hata stejini kutumbuiza bila kutumia madawa ya kulevya.

"Addiction took three of the best of me. I was heartbroken. My brain was taken away by drug use. 

"My brain was not working because there was something else in my brain telling me I could not perform on stage without drugs, that I could not do anything without drugs. 

"I could not go anywhere without drugs, therefore I was a prisoner in my own soul. 

"Wengi wanaoingia kwenye madawa, watu wanaathirika maini kwenye madawa, watu wanatumia sindano pamoja wanapata HIV, wanawake wanajiuza ili mradi aweze kupata pesa aweze kukidhi ule utegemezi wake”

Tangu Ray C aache kutumia madawa ya kulevya ameonekana kufanya vizuri zaidi na hata kurudi kufanya muziki.

Dogo Janja Awachana Wanamponda kwamba Hana Sauti Kwa Mkewe Irene Uwoya

$
0
0
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Abubakar Chande maarufu kama 'Dogo Janja' ambaye pia ni mume wa msanii wa filamu nchini Irene Uwoya amedai katika ndoa yao yeye ndio mwanaume na mwenye sauti ya kutoa maamuzi ya jambo lolote tofauti na watu wanavyomfikilia.

Dogo Janja amebainisha hayo wakati alipokuwa anazungumza  na kituo cha  EATV baada ya kuwepo kwa tetesi za kipindi kirefu zilizokuwa zinadai Janjaroo hana maamuzi yoyote katika ndoa yake kwa kuwa mwenye sauti ya kuamua jambo lolote ni mke wake Irene Uwoya.

"Ukiwa hauna maamuzi au sauti kwa mke wako wa halali ni kitu kizuri sana tofauti ukiwa hauna sauti kwa hawala. Mimi nina mtii mke wangu naye pia anafanya hivyo, kwenye ndoa yangu nina simama kama baba", amesema Dogo Janja na kuongeza;

"Watu wengi wanachukulia mambo kwa juu juu tu kwa mzaha, mimi nina sauti kwa mke wangu ninaweza kumwambia leo usitoke na huwa atoki au asifanye kitu fulani na akanisikiliza, 'so' sio kila jambo nitakalo mkataza basi nitangaze ila mpaka mke wangu akifanya jambo fulani mjue nina taarifa nayo na ninaelewa. Ndoa ni taasisi kubwa sana tofauti na watu ambao wapo tu mtaani wanatoa maamuzi yao bila ya kuelewa".

Kwa upande mwingine, Dogo Janja amedai watu wengi wamekuwa wanaongelea kuhusiana na ndoa yake kwenye mitandao ya kijamii bila ya kuwa na ufahamu wa aina yoyote juu ya taasisi hiyo ambayo ina uwanja mpana ndani yake.

Hamissa Mobetto Ajitosa Rasmi Bongo Fleva....Tazama Hapa Kionjo cha Wimbo wake Mpya

$
0
0
Mwanamitindo maarufu hapa nchini, Hamissa Mobetto ameamua kujiingiza katika sanaa ya muziki mara baada ya  kuachia ngoma inayoenda kwa jina la ”Madam hero”, ambayo ameongelea maisha yake akiamini katika kutoa tabasamu kwa jamii inayomzunguka hasa wamama na wadada.

Imekuwa ”suprise” kubwa kwa mashabiki wa mwanamitindo huyo kwani imezoeleka akionekana kupamba video za wanamuziki mbalimbali ikiwemo Diamond Platinumz.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Hamisa Mobetto amewaomba mashabiki wake kufutilia chaneli yake mpya ya You Tube ili waweze kuwa wakwanza kusikiliza ngoma hiyo mpya na kutaarifu kuwa siku za karibuni ataachia video ya wimbo huo.

Bado haijafahamika wazi kama mwanamitindo huyo ameamua kujikita kwenye muziki au vipi.

Bofya hapa kusikiliza kionjo cha wimbo huo, Madam Hero.

Luis Suarez atangaza vita na Ureno

$
0
0
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uruguay Luis Suarez, amesema kwa sasa yupo FIT, tofauti na alivyoanza michezo ya hatua ya makundi katika fainali za kombe la dunia, zinazoendelea nchini Urusi.

Suarez ameweka wazi utimamu wake wa mwili, akiwa katika mkutano na waandishi wa habari uliokua unazungumzia mpambano wa leo wa hatua ya 16, ambao utawakutanisha na mabingwa wa soka barani Ulaya Ureno.

Mshambuliaji huyo wa klabu ya Barcelona ya Hispania, amesema katika michezo ya hatua ya makundi hakuwa katika kiwango kizuri japo alibahatika kufunga bao walipocheza dhidi ya wenyeji Urusi, lakini kwa siku kadhaa alizofanya mazoezi kwa ajili ya mchezo wa hii leo, anajihisi yupo katika kiwango bora.

“Nipo vizuri tofauti na nilivyokua mwanzo, nimejaribu kufanya mazoezi kwa kiwango kikubwa na nimefanikiwa, ninajihisi tofauti na ilivyokua katika mchezo wa kwanza dhidi ya Misri na kisha Urusi.

“Binafsi nilikua najitafakari mara baada ya michezo niliyocheza, nilifahamu sikucheza vizuri, nilitumia majibu ya maswali niliyokua najiuliza kufanya mazoezi katika kiwango cha hali ya juu, hadi ninazungumza nanyi, ninaamini kesho (leo) nitacheza vizuri sana.

“Kwa upande wa timu, kiujumla tupo tayari kwa mpambano dhidi Ureno, tutahakikisha tunacheza kwa ushirikiano wakati wote, ili tufanikishe lengo la ushindi na kusonga mbele kwenye hatua ya robo fainali.”

Uruguay ilimaliza katika nafasi ya kwanza kwenye msimamo wa kundi la kwanza lililokua na wenyeji Urusi, Misri na Saudi Arabia, kwa kufikisha alama 9.

Rais Mnangagwa Amaliza Ziara Yake Nchini na Kurejea Zimbabwe

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe Mhe. Emmerson Dambudzo Mnangagwa tayari amemaliza ziara yake rasmi ya kiserikali ya siku mbili nchini Tanzania, Rais John Pombe Magufuli ambaye alikuwa mwenyeji wake amemsindikiza katika viwanja vya ndege vya Mwalimu Julias Kambarage Nyerere tayari kurejea nchini kwake.

Ujio wa Rais huyo umejikita katika mambo matatu ambayo Rais Magufuli aliyasema pindi alipoongea na waandishi wa habari Ikuli jijini Dar es salaam, ambapo alisema wamezungumza jinsi ya kuimarisha uchumi wa nchi hizi mbili kiuchumi tofauti na uhusiano wa zamani uliokuwa wa kisiasa zaidi.

Pia wamekubaliana kupitia jumuiya ya Ushirikisho wa Nchi za Kusini mwa Afrika (Sadc), kukuza biashara ambapo amesema ipo mikataba mbalimbali ya kulegeza masharti ya kibiashara katika Sadc.

Rais Mafuli ameongezea kuwa wamekubaliana kukuza uwekezaji ambapo watashirikiana kutumia kwa wingi vivuto vilivyopo hapa nchini.


Ratiba Ya Mechi Za Hatua Ya 16 Bora Kombe La Dunia 2018 Urusi

$
0
0

*Jumamosi, Juni 30*
1. 🇺🇾Uruguay🆚Ureno🇵🇹(11:00 jioni)
2. 🇫🇷Ufaransa🆚Argentina🇦🇷(3:00Usiku)

*Jumapili Julai 1*
3. 🇪🇸Hispania 🆚Urusi🇷🇺(11:00)
4. 🇭🇷Croatia🆚Denmark🇩🇰(3:00 Usiku)

*Jumatatu Julai 2*
5. 🇧🇷Brazil🆚Mexico🇲🇽(11:00Jioni)
6. 🇧🇪Ubelgiji🆚Japani🇯🇵(3:00 Usiku)

*Jumanne Julai 3*
7. 🇸🇪Sweden🆚Uswisi🇨🇭 (11:00 Jioni)
8. 🇨🇴Colombia🆚England🇽🇪(3:00 Usiku)

Umoja wa Ulaya (EU) kutoa Bilioni 780 kwa wakimbizi na Watanzania Kigoma

$
0
0
Umoja wa Ulaya (EU) wameahidi kutoa msaada wa Sh780 bilioni kwa wakimbizi waliopo mkoani Kigoma na wananchi pembezoni mwa kambi ya wakimbizi hao.

Ahadi hiyo imetolewa leo Juni 30, 2018 na balozi wa Ujerumani nchini,  Dk Detlef Wachter alipotembelea kambi ya Nduta iliyopo Kibondo mkoani Kigoma akiwa na mabalozi wengine kutoka nchi za EU.

Wakimbizi wamepangiwa kupata Sh390bilioni huku Watanzania wakipangiwa Sh390bilioni kwa ajili ya kuboresha huduma za kijamii na kuwawezesha wananchi kiuchumi ili waondokane na umasikini.

Amesema msaada huo utaongeza uhusiano kati ya wakimbizi na wananchi wanaoishi jirani na kambi.

Balozi wa EU, Roeland Van de Geer amesema kwa miaka mingi Shirika la kuhudumia wakimbizi duniani (UNHCR) walikuwa wanasaidia wakimbizi, sasa mkakati umebadilika na wameanza kusaidia jamii ya wenyeji.

Kaimu Mkuu wa Wilaya Kibondo, Dk Gabriel Chitupila ameishukuru EU kwa misaada wanayotoa huku akisisitiza wasaidie kuboresha huduma za kijamii kama afya, elimu, maji na hifadhi ya mazingira.

Mkoa wa Kigoma una kambi tatu za wakimbizi ambazo ni Nyarugusu, Nduta na Mtendeli zenye zaidi ya wakimbizi 350,000 kutoka Burundi na Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo (DRC).

Dogo Janja Aponda Mavazi Ya Rayvanny

$
0
0
Msanii wa muziki wa Bongo fleva anayefanya vizuri na ngoma yake ya ‘Banana’ Dogo Janja amedai msanii kutoka label ya WCB Rayvanny anamuangusha sana Kwenye suala la mavazi.

Siku za nyuma Dogo Janja ameshawahi kuachia ngoma maalumu kwa ajili kuvaa na kupendeza Inayoitwa ‘Ukivaaje unapendeza”.

Kwenye mahojiano na Wasafi Tv, Dogo Janja amefunguka na kuweka wazi kama  akipata fursa ya kumvalisha Rayvanny atafanya hivyo.

"Nikiambiwa msanii ambaye niwe namvalisha namchagulia mavazi, nitamchagua Rayvanny huwa ananiangusha sana sometimes.

"Kuna muda huwa anapatia halafu kuna muda unaweza ukatema mate kule, anaweza akala njano juu mpaka chini”.

Dogo Janja yupo katika Media Tour kwa ajili ya kutangaza rasmi Single yake mpya ‘Banana’ inayoendelea kufanya vizuri Kwenye chati mbali mbali.

RC Makonda kula sahani moja na wanaowatumia watoto waishio mazingira magumu kama kitega uchumi

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda ametangaza vita na watu wenye tabia za kuwachukuwa watoto yatima,walemavu na waishio katika Maisha magumu Kama mitaji ya kujinufaisha watakamatwa na kuchukuliwa hatua Kali za kisheria.

RC Makonda ametoa kauli hiyo wakati wa uzinduzi wa Ripoti ya matokeo ya utafiti wa idadi ya Watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani kinyume na Sheria hali inayopelekea kushindwa kutumia fursa ya Elimu Bure iliyotolewa na Rais Dkt. John Magufuli jambo ambalo RC Makonda ameapa kulivalia njuga.

Utafiti huo umebaini Mkoa wa Dar es salaam pekee una jumla ya watoto 3,312 wanafanya kazi mitaani na kati ya hao watoto 2,984 walionekana wakifanya kazi nyakati za mchana na 328 wanafanya kazi nyakati za usiku.

RC Makonda amesema idadi hiyo ya watoto wanaoishi mitaani ni matokeo ya kukosekana kwa misingi bora ya familia na mmonyoko wa maadili ndio maana aliamua kuunda tume ya kupitia sheria ya mtoto na mikataba ya kimataifa ambayo itasaidia kuweka haki stahiki za watoto.

Aidha RC Makonda amewaonya watu wenye tabia ya kuwapatia ombaomba fedha barabarani kuwa Ndio wanaohalalisha uwepo wa watu hao ambapo amesema Kama mtu anataka kweli kusaidia waishio maisha magumu wapeleke misaada kwenye vituo vilivyopo kwa mujibu wa sheria kwakuwa vituo hivyo vinafuatilia mienendo ya watoto kitabia, elimu na matibabu ambapo ukimpa pesa mtoto barabarani unatengeneza mazingira ya kuwa na fedha ambayo hana uhalali nayo na anapokuwa mtu mzima anakuwa mkabaji,mporaji na kuchoma visu watu wasio na hatia.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa shirika la Babawatoto Center Bwana Mgunga Mwa Mnyenyelwa amempongeza RC Makonda kwa kufanya Zoezi la kutafuta haki ya mtoto alietelekezwa kwakuwa kupitia Zoezi hilo limewezesha watoto wengi kuingia kwenye mfumo rasmi wa kupata fedha ya matunzo kila mwezi pamoja na bima ya matibabu Bure.

Amesema utafiti huo umefanywa na shirika la Babawatoto Center for Children and Youth kupitia mradi wa USAID Kizazi Kipya kwenye mikoa mitano ambapo wamebaini nusu ya watoto wa mitaani wanapatikana mkoa wa Dar es salaam.

Rayvanny Amvaa Dogo Janja...... ‘Unanikosea heshima’

$
0
0
Baada ya Dogo Janja kudai kuwa Rayvanny hajui kuvaa, muimbaji huyo amejibu hilo.

Rayvanny amesema kuwa Dogo Janja anakosea kusema hivyo kwani kuna tofauti kati ya mtu kujua kuvaa na mtu kupendeza.

“Kuna tofauti kati ya kuvaa na kupendeza, mtu akikuambia hujui kuvaa, anakosea, labda akuambie hujui kupendeza,” amesema.

“Cheni yake ambayo anaivaa sasa hivi, aliivaa Dully Sykes kwenye wimbo wa Sugar Mami. Kwa hiyo ukija kusema eti una uwezo wa kumvalisha Rayvanny hajui kuvaa, no!, unanikosea heshima kwa sababu mimi nimeenda sehemu nyingi nimeona watu wanavaa vitu tofauti,” Rayvanny ameiambia Wasafi TV.

Rayvanny ameongeza kuwa Dogo Janja kudai yeye ndiye anapendeza kuliko wasanii wote Bongo si kweli. Kwa haraka haraka amewataja wasanii ambao anaona wanapendeza ambao ni Jux, Diamond, Ben Pol, Chege na Harmonize.

PICHA: Tazama jinsi Makamu wa Rais alivyokutana na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa

$
0
0
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan amekutana na kusalimia na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Amina J. Mohammed ambapo walikutana katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mohammed V mjini Casablanca Morocco. 

Makamu wa Rais alikuwa njiani kuelekea nchini Mauritania ambako mkutano wa 31 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika unafanyika.

Full on: Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume

$
0
0
Full on: Ni dawa bora ya nguvu za kiume, hukufanya ufurahie tendo la ndoa kwa asilimia mia (100%) bila kuchoka 

Itakufanya urudie tendo la ndoa zaidi ya Mara 4  bila kuchoka, itakufanya pia uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30 kwa tendo la kwanza pia huchochea hormone za ashki,pia kuzalishwa kwa wingi kwenye mfumo wa uzazi

Gembe: huboresha maumbile madogo ya kiume na kuyafanya yawe kwenye umbo sahihi na litakalomtosheleza mke/mpenzi kwa asilimia 100% kwa kuwa matatizo haya huwa na vyanzo vyake kama vile kufanya punyeto,masturbation)diabetes) kisukari,matatizo ya neuron)yaani mishipa ya fahamu,mgoro,ngiri,tumbo kuunguruma,magonjwa ya mfumo wa mkojo mfano U.T.I.gono, miguu kuwaka moto na kufa ganzi.

Pia tunatibu kutokwa na nyama sehemu ya haja kubwa kwa siku3,pia kutibu busha bila kupasua,mvuto wa mapenzi
 
Kama huna muda wa kufika ofisini kwetu utaletewa popote. Mikoani unatumiwa bus 

Tupo Mbagala Rangi tatu

Simu;  0762606571 / 0787575969- Dr Mijingo

Tunatibu Na Kuponesha Kabisa Tatizo La Nguvu Za Kiume Kuboresha Uume Mdogo Tunatibu Busha Na Vidond Vya Tumbo

$
0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME KUBORESHA UUME MDOGO TUNATIBU BUSHA NA VIDOND VYA TUMBO :acha kujiona mpweka pale ukutanapo na mke au mpenzi wako kwa sababu kutokuwa na uwezo wa kumridhisha na ni chazo kikubwa cha ndoa nyingi kuvunjika au kusababida mke au mpenzi kusalitiana

 NI NINI TIBA YA NGUVU ZA KIUME 
Mapro power no 2 ndio tiba tosha kwa sasa kwani hutibu matatizo yafutayo;
 1 kuwai kufika kileleni kabla mwenzi wako hajakojoa, dawa hii itakufanya uchelewa kwa mda wa dakika 15 -20 
2 dawa hii itakufanya urudie tendo La ndoa zaidi ya Mara tatu 3, dawa hii hutibu tatizo La uume kuwa legelege 

4 dawa hii huondoa uchovu, miungurumo ya tumbo pale umalizapo kufanya tendo La ndoa.

Unasubili nini sasa... OKOA NDOA YAKO NA MAISHA YAKO SASA 

Makakanua;hii ni dawa ya kuboresha uume mdogo na mwembamba na kurudi kwenye hali yake ya awali kwani dawa hii husaidia kuitanua misuli ya uume haswa kwa wanaume waliofanyiwa tohara wakiwa watu wazima, kumbuka hakuna dawa ya kuongeza maumbile endapo umezaliwa ukiwa na uume mdago

NI NINI KINACHOSABABISHA UUME KUWA MDOGO 1 kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima
 2 unene kupita kiasi 
3 kuvaa nguo za kubana sana
 4 kulala na nguo hasa zile za kubana kwa wale wanaoishi maeneo ya joto

TUNATOA DAWA YA KISUKALI,PRESHA, MIGUU KUUMA, KUPUNGUZA KITAMBI, MATITI MAKUBWA, PIA ZIPO DAWA ZA MVUTO WA MPENZI, MVUTO WA WATEJA KWENYE BIASHARA NK

Fika Mbagara Zakhemu barabara iendayo Kibonde maji utaona ofisi imeandikwa Mabura Crinic au piga simu no 0752348593 DR MABULA 

Kwa wateja wa Mwanza na mikoa ya jirani yupo wakala wetu hapo Mwanza. DAWA HIZI NI TOFAUTI NA ULIZOWAI KUTUMI WOTE MNAKALIBISHWA

Argentina Yatupwa Nje Kombe La Dunia......Mbappe amfanya kitu mbaya Messi

$
0
0
Timu ya Taifa ya Ufaransa imefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Dunia nchini Urusi jioni hii baada ya kuitungua Argentina ikiongozwa na kapteni wao, Lionel Messi kwa bao 4-3, mchezo uliokuwa mkali na wenye hisia miongoni mwa mashabiki.

Ushindi huo wa Ufaransa umechagizwa zaidi na Kylian Mbappe ambaye ametupia kambani mabao mawili huku akisababisha penati ya bao la kwanza.

Ufaransa walikuwa wa kwanza kufunga kunako dakika ya 13 kupitia kwa Antoine Griezmann kwa mkwaju wa penati baada ya Mbappe kufanyiwa madhambi ndani ya boksi kabla ya Angel Di Maria kusawazisha dakika ya 43. Hadi kipindi cha kwanza kinamalizika, Ufaransa 1-1 Argentina.

Kipindi cha pili, Argentina walianza na kasi ya ajabu ambapo dakika ya 48 walifanikiwa kupata bao la pili kupitia kwa Gabriel Mercado.

Game ikawa ngumu kwa upande wa Ufaransa, lakini upepo ulibadilika  ambapo Benjamin Pavard alisawazisha na kufanya bao kuwa 2-2. Dakika ya 64, Kylian Mbappe akaandika bao la tatu kwa Ufaransa na kabla ya mchezaji huyo kuwamaliza na bao la 4 dakika ya 68.

Argentina walizinduka dakika za mwisho na kufunga bao la tatu kupitia kwa Sergio Aguero dakika ya 90. Mpaka kipenga cha mwisho kinapulizwa, Ufaransa 4-3 Argentina.

Ureno Yatupwa Nje Kombe La Dunia.....Cristiano Ronaldo Ashindwa Kuisaidia Timu Yake

$
0
0
Timu ya taifa ya Uruguay imefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Dunia, baada ya kuitoa timu ya taifa ya Ureno kwa mabao 2-1 kwenye mchezo wa hatua ya 16 bora uliomalizika usiku huu.

Mabao ya Edinson Cavani katika dakika za 7 na 62 yametosha kuipeleka mbele timu hiyo ambayo mwaka 2010 iliinyima Ghana nafasi ya kucheza nusu fainali kwa tukio la Luis Suarez kudaka mpira uliokuwa unaelekea nyavuni. Bao la Ureno limefungwa na mlinzi Pepe dakika ya 55.

Baada ya Suarez kutoa msaada kwa bao la kwanza la Cavani, muunganiko wao sasa kati ya Luis Suarez na Edinson Cavani umetengeneza jumla ya mabao 4 kwenye Kombe la Dunia. Wanazidiwa na muunganiko wa Grzegorz Lato na Andrzej Szarmach wa Poland, mabao 5 na ule wa Michael Ballack na Miroslav Klose wa Ujerumani, mabao 5. Hii ni kuanzia mwaka 1966.

Kwa upande wake Cavani yeye amefikisha mabao 3 kwenye fainali hizi hivyo kuwa nyuma ya Cristiano Ronaldo na Romelu Lukaku wenye mabao manne kila mmoja pamoja na Harry Kane mwenye mabao matano. Pia analingana na Kylian Mbappé, Diego Costa na Denis Cheryshev wenye mabao matatu kila mmoja.

Hii pia imekuwa ni mara ya kwanza kwa Uruguay kushinda katika mechi tatu ambazo timu hizo zimecheza tangu mwaka 1972. Katika mechi mbili zilizopita Ureno ilikuwa imeshinda mara moja na kutoka sare mechi moja.

Kwa upande wake mchezaji bora duniani na nahodha wa Ureno, Cristiano Ronaldo ameshindwa kufunga licha ya kupiga mashuti 6 ambapo moja tu ndio lililolenga lango. Timu nzima ya Uruguay imefanikiwa kupiga mashuti matano pekee huku matatu yakilenga lango.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya July 1

Waziri Mkuu: NHC Mna Jukumu La Kuwafikia Watu Wa Chini

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) lina jukumu kubwa la kuhakikisha sekta hiyo inakua na kuwafikia watu wa kipato cha chini.

Amesema ya Serikali ya Awamu ya Tano, inayoongozwa na Rais Dkt. John Magufuli inahimiza uchumi wa viwanda, hivyo sekta ya nyumba ina mchango mkubwa sana katika kuchochea ukuaji wa viwanda.

Ameyasema hayo jana (Jumamosi, Juni 30,2018) wakati akizindua mradi wa Singidani Commecial Complex, mjini Singida. Jengo hilo la biashara na ofisi limejengwa na NHC kwa ajili ya kupangisha wafanyabiashara na taasisi mbalimbali.

Waziri Mkuu amesema sekta ya nyumba ni mtambuka kwa kuwa huchochea ukuaji wa uchumi, kutoa ajira na kukuza uwekezaji wa viwanda vya vifaa vya ujenzi kama saruji, mabati, nondo, marumaru na vinginevyo, ambavyo  vinafungua fursa kubwa ya ukuaji wa viwanda.

Hivyo, Waziri Mkuu amesema wadau mbalimbali wanapaswa kuitazama sekta ya nyumba kama sekta mtambuka katika kuleta maendeleo endelevu ya uchumi na jamii kwa ujumla.

“Napenda kutoa pongezi kwa Shirika la Nyumba la Taifa kwa kujenga jengo hili zuri na la kisasa kabisa hapa mjini Singida. Vilevile, jengo hili limeboresha na kupendezesha mandhari ya mji wa Singida kwa kiwango kikubwa kabisa,” amesema.

Waziri Mkuu amesema amefurahi kusikia jengo hilo limesanifiwa na ujenzi wake kusimamiwa na Watanzania wenyewe, wakandarasi washauri wakiwa ni NHC wenyewe na kwamba Watanzania zaidi ya 600 walipata ajira wakati wa ujenzi.

Awali, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Bw. Felix Maagi alisema mradi wa jengo hilo la ofisi na biashara la Singidani lililogharimu sh. bilioni 3.4 ulianza Januari 26, 2015 na kukamilika Februari 17, 2018 na linatarajia kuliingizia shirika pango ya sh. milioni 420 kwa mwaka. Tayari asilimia 50 ya jengo hilo  limepangishwa.

Mkurugenzi huyo alisema mbali na mradi huo wa Singidani, pia shirika limeendelea kukua na kuimarika katika utendaji wake ambapo thamani ya mali zote imeongozeka kutoka sh. trilioni 1.7 mwaka 2011 mpaka kufikia sh. trilioni 4.8 mwaka 2018.

Bw. Maagi alisema mapato ya shirika yamekua kutoka sh. bilioni 40 kwa mwaka 2011 hadi kufikia sh. bilioni 154 mwaka 2018.” Pia shirika linalipa gawio la Serikali kila mwaka na gawio hilo limekua kutoka sh. milioni 250 mwaka 2011 hadi sh. bilioni 1.2 kwa mwaka 2018,”

Uzinduzi huo ulihudhuriwa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, Mkuu wa mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi, wabunge wa mkoa wa Singida, viongozi wa dini na maafisa wa Serikali.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images

<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>
<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596344.js" async> </script>