Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume,maumbile Madogo, Mvuto Wa Mapenzi ,magonjwa Sugu

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0785687900

Silya: Dawa Bora ya Nguvu za Kiume

$
0
0
SILYA:  Ni dawa ya nguvu za kiume inayoponesha na kuongeza ndani ya dakika 10 tu. Dawa hii inaimarisha misuli ya uume iliyolegea au kusinyaa, ni dakika 3 tu.

Dawa hii inarefusha maumbile mafupi kufikia Inch 6-7, inanenepesha uume mfupi cm 4. Dawa hii inakufanya uchelewe kufika kileleni wakati wa tendo la ndoa dk 20-30.

Inaongeza uzalishaji wa mbegu za kiume, inakufanya uweze kurudia tendo hata mara 5 bila kujali umri kama nikijana au mzee.

Pia ipo dawa ya kumrudisha mume, mke aliyekuacha au kumpata yeyote umpendaye.. Je umedhulumiwa,au umeibiwa Pesa zako ? Utarudishiwa ndani ya masaa  3.

Tunatibu Presha, Mgongo,Kisukari, Kiuno, Vidonda vya tumbo, kujaa gesi nk. Pata dawa ya mvuto, toa makovu, chunusi mabaka, punguza unene wa mwili, tumbo.

Tupo Dar es Salaam.

Simu: 0784 066 543 /  0653 715 642- Dr Hussein

Full on: Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume

$
0
0
Full on: Ni dawa bora ya nguvu za kiume, hukufanya ufurahie tendo la ndoa kwa asilimia mia (100%) bila kuchoka 

Itakufanya urudie tendo la ndoa zaidi ya Mara 4  bila kuchoka, itakufanya pia uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30 kwa tendo la kwanza pia huchochea hormone za ashki,pia kuzalishwa kwa wingi kwenye mfumo wa uzazi

Gembe: huboresha maumbile madogo ya kiume na kuyafanya yawe kwenye umbo sahihi na litakalomtosheleza mke/mpenzi kwa asilimia 100% kwa kuwa matatizo haya huwa na vyanzo vyake kama vile kufanya punyeto,masturbation)diabetes) kisukari,matatizo ya neuron)yaani mishipa ya fahamu,mgoro,ngiri,tumbo kuunguruma,magonjwa ya mfumo wa mkojo mfano U.T.I.gono, miguu kuwaka moto na kufa ganzi.

Pia tunatibu kutokwa na nyama sehemu ya haja kubwa kwa siku3,pia kutibu busha bila kupasua,mvuto wa mapenzi
 
Kama huna muda wa kufika ofisini kwetu utaletewa popote. Mikoani unatumiwa bus 

Tupo Mbagala Rangi tatu

Simu;  0762606571 / 0787575969- Dr Mijingo

Moto Waua Watu 15 Nchini Kenya

$
0
0
Takriban watu 15 wamefariki katika moto mkubwa uliokumba soko moja katika mji mkuu wa Kenya Nairobi.

Zaidi ya watu 50 wamejeruhiwa katika moto huo uliotokea usiku wa leo  na kusababisha uhuribifu wa mali nyingi.

Soko hilo la Gikomba ndio soko kubwa zaidi katika mji huo na moto hutokea mara kwa mara swala linalosababisha uvumi kwamba huenda kuna watu wanaochoma soko hilo.

Jeshi la Polisi nchini humo limesema kuwa bado linafanya uchunguzi kubaini chanzo cha moto huo ulioteketeza mali nyingi za Wafanyabiashara katitka soko hilo na kuunguza baadhi ya nyumba zilizopo jirani na soko hilo.

Kigwangalla Apokea Taarifa Ya Awali Ya Tuhuma Za Mauaji Ya Tembo Zilizotolewa Na Kituo Cha Habari Cha ITV -London

$
0
0
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla akipokea taarifa ya awali ya uchunguzi wa tuhuma za mauaji ya Tembo katika Ikolojia ya Ruaha-Rungwa ambazo ziliripotiwa na kituo cha habari cha ITV-London mwaka 2017, kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati Maalum aliyoiunda kuchunguza tuhuma hizo, Kamishna Mstaafu wa Jeshi la Polisi, Suleiman Kova ofisini kwake Jijini Dodoma jana. 

Katikati ni Naibu Waziri wa wizara hiyo, Japhet Hasunga na Kaimu Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Dk. Iddi Mfunda (kulia). 

Tuhuma hizo ziliwahusisha watumishi wa Serikali na Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo Duniani (UNDP) kupitia mradi wa SPANEST waliokuwa wakiufadhili.

Kamati ya Bunge ya Bajeti Yaishauri Serikali Kutofanya Mabadiliko Yoyote Sheria ya Sheria

$
0
0
Kamati ya Bunge ya Bajeti imeishauri Serikali kutofuta kifungu cha 17A cha Sheria ya Sekta ya Korosho ili kuruhusu ushuru unaotokana na mauzo ya korosho ghafi nje ya nchi kuingizwa katika Mfuko Mkuu wa Serikali.

Kamati hiyo imesema asilimia 65 ya ushuru wa Korosho unapaswa kuachwa ili fedha hizo zipelekwe katika mfuko wa bodi ya korosho kupitia Wizara ya Kilimo.

Kauli hiyo imetolewa leo Alhamisi Juni 28, 2018 bungeni mjini Dodoma na mwenyekiti wa kamati hiyo, Hawa Ghasia.

“Kwa kuwa majukumu ya kuendeleza zao hilo yamehamishiwa Bodi ya korosho, fedha zipelekwe bodi ya korosho kupitia wizara ya kilimo,” amesema Ghasia ambaye pia ni Mbunge wa Mtwara Vijijini (CCM).

Brazil Yatinga 16 Bora Kombe La Dunia,yaichapa Serbia 2-0

$
0
0
Baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Serbia, sasa Brazil imevuka katika hatua ya makundi na kwenda mtoano.

Hatua ya 16 ni hatua ya kwanza ya mtoano katika Kombe la Dunia na Brazil itakutana na wapinzani wao Mexico huku walioshika nafasi ya pili katika kundi lao, Switzerland wakikutana na Sweden.

Brazil, imeonyesha kuwa inakwenda inaimarika lakini bado vijana wengi washambulizi kama Gabriel Jesus, Willian, Neymar na wengine hawajaonyesha cheche zilizokuwa zikitarajiwa.

Serikali yashikilia msimamo wake Sakata la Korosho

$
0
0
Serikali kupitia  kwa  Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango   imeendelea shikilia msimamo wake wa kufuta kifungu cha 17A cha Sheria ya Sekta ya Korosho ili kuruhusu ushuru unaotokana na mauzo ya korosho ghafi  nje ya nchi kuingizwa katika Mfuko Mkuu wa Serikali.

Akizungumza leo Alhamisi Juni 28, 2018 bungeni mjini Dodoma wakati akiwasilisha  muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2018, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango amesema lengo ni kuyafanya makusanyo hayo kuwa sehemu ya mapato ya Mfuko Mkuu wa Serikali badala ya utaratibu wa sasa.

Amesema utaratibu wa sasa asilimia 65 ya mapato hayo ni sehemu ya mapato ya Mfuko wa Kuendeleza zao la Korosho pamoja na gharama za uendeshaji wa bodi ya korosho.

Amesema gharama hizo zitagharamiwa kupitia bajeti ya Serikali chini ya usimamizi wa Wizara ya Kilimo kama inavyofanyika hivi sasa kwa mazao mengine ikiwemo pamba, kahawa na pareto .

“Lengo la hatua hii ya Serikali ni kuhakikisha kwamba mapato  yanayotokana na ushuru kwenye mazao mbalimbali yanasimamiwa ipasavyo na kutumika kwa ajili ya shughuli zilikusudiwa,”amesema.

Mbunge CUF atimuliwa bungeni......“Mheshimiwa Bobali toka nje tukutane mkutano ujao wa Bunge.”

$
0
0
Mbunge wa Mchinga (CUF), Hamidu Bobali ametolewa nje ya ukumbi wa Bunge  leo Alhamisi Juni 28, 2018 na Spika Job Ndugai.

Ndugai amechukua uamuzi huo baada ya kuibuka mvutano kati yake na mbunge huyo.

Mvutano huo ulianza baada ya Bobali kusimama na kumpa taarifa mbunge wa Siha (CCM), Dk Godwin Mollel aliyekuwa akichangia kuhusu Muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2018, kuunga mkono kufutwa lwa  kifungu cha 17A cha Sheria ya Sekta ya Korosho ili kuruhusu ushuru unaotokana na mauzo ya korosho ghafi  nje ya nchi kuingizwa katika Mfuko Mkuu wa Serikali.

Wakati Bibali akiendelea kutoa taarifa yake kwa Dk Mollel, Ndugai alimtaka akae chini kwa maelezo kuwa anachokizungumza hakina uhusiano na anachokieleza mbunge huyo wa Siha.

Bobali kabla hajamaliza kumpa taarifa Dk Mollel, Spika Ndugai amemtaka Bobali kukaa chini kwa kile alichomweleza kwamba anachokizungumza hakina uhusiano na anachochangia Dk Mollel

Mara baada ya Bobali kuketi,  Spika Ndugai alimtaka aheshimu kikao cha Bunge.

Baada ya kumtaka Dk Mollel kuendelea na mchango wake, Ndugai amesema, “mheshimiwa Bobali toka nje tukutane mkutano ujao wa Bunge.”

Dk Mollel aunga mkono ushuru wa korosho Kutopelekwa kwa Wakulima

$
0
0
Mbunge wa Siha (CCM) Dk Godwin Mollel ameunga mkono uamuzi wa Serikali kufuta kifungu cha 17A cha Sheria ya Sekta ya Korosho ili kuruhusu ushuru unaotokana na mauzo ya korosho ghafi  nje ya nchi kuingizwa katika Mfuko Mkuu wa Serikali, kwamba kuitaifanya Tanzania kuwa ya viwanda.

Akizungumza leo Alhamisi Juni 28, 2018 katika mjadala wa Muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2018, Dk Mollel amesema, “hatukatai kuwa wakulima wamefanya vizuri katika uzalishaji.  Ila kwa utaratibu huu kutasaidia kuanzishwa kwa viwanda vya Korosho.

Amesema hata daraja la Mkapa limejengwa kwa fedha zilizotokana na mapato kutoka maeneo mbalimbali na si fedha za korosho, kuwashawishi wabunge kukubaliana na uamuzi wa Serikali.

“Tunaunga mkono mawazo haya, hayaendi kumnyang’anya pato mkulima bali yanaenda kuondoa watu wa kati na wanaopinga kuanzishwa kwa viwanda vya kubangua korosho,” amesema.

Alichokisema Mbunge Hamidu Bobali Muda Mfupi Baada ya Kutimuliwa Bungeni

$
0
0
Muda mfupi baada ya mbunge wa Mchinga (CUF), Hamidu Bobali kutolewa nje ya ukumbi wa Bunge na Spika Job Ndugai, amesema chanzo ni uamuzi wake wa kutaka kueleza ukweli kuhusu suala la ushuru wa Korosho.

Bobali ametimuliwa nje ya ukumbi wa Bunge leo mchana baada ya kuibuka mvutano kati yake na Ndugai.

Bobali amesema alisimama kupingana na maelezo yaliyokuwa yakitolewa na mbunge wa Siha (CCM), Dk Godwin Mollel kwa madai kuwa alikuwa akilipotosha Bunge.

“Nilishindwa kuvumilia ndio maana nilitaka kumpata taarifa Dk Mollel kuhusu ukweli wa masuala ya korosho. Sikupendezwa na maelezo yake wakati wa mjadala wa Muswada wa Sheria ya Fedha ya mwaka 2018,” amesema.

“Hata hivyo nashukuru Mungu kwa kuniepusha kwa sababu sitaki kuwa sehemu ya watu watakaopitisha sheria hii ambayo naona inakwenda kuua zao la Korosho hasa kwa watu wa mikoa ya kusini,”amesema Bobali na kusisitiza kuwa sasa anarejea kwa wananchi wa jimbo lake kuwaeleza kuhusu suala la Korosho.

Zitto Kabwe Ataka Mwanasheria Mkuu wa Serikali Achukuliwe Hatua Kwa Kulipotosha Bunge

$
0
0
Wabunge Zitto Kabwe na Cecil Mwambe leo Alhamisi Juni 28, 2018 wamemuomba Spika Job Ndugai kuitaka Kamati ya  Maadili, Kinga na Madaraka ya Bunge kumhoji na kumchukulia hatua Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG),  Dk Adelardus Kilangi kwa madai kuwa amekipotosha chombo hicho cha Dola.

Zitto ambaye ni mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo) na Mwambe (Ndanda-Chadema) wametoa kauli hiyo leo bungeni mjini Dodoma wakati wa mjadala wa Muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2018.

Wakati Mwambe akizungumza katika mjadala huo, Zitto alisimama na kumpa taarifa kutokana na kile alichokuwa akizungumza.

“Juzi wakati mawaziri wakijibu hoja mbalimbali za wabunge, AG alipewa nafasi ya kuchangia. Sina hakika kama ni makusudi au kuna mtu alimwagiza kuamua kulidanganya Bunge,” amesema Mwambe.

Alinukuu kidogo kile alichokisema AG Kilangi kwamba, “pamoja na marekebisho yatakayoletwa na Serikali, kwamba hukumu iliyotolewa na mahakama Desemba mwaka 2000, fedha zilizokuwa zinakatwa za Export levy zilikuwa ni mali ya umma.”

Mwambe alipingana na maelezo yaliyotolewa na AG siku mbili zilizopita kuwa fedha za ushuru wa mauzo ya korosho nje ni za umma na Serikali ndio yenye mamlaka ya kupanga matumizi yake, akisema kuwa fedha hizo ni za wakulima.

Katika maelezo yake siku hiyo, Dk Kilangi alisema fedha za ushuru wa mauzo ya korosho nje ni za umma zinazokusanywa na bodi ya zao hilo kwa niaba ya Serikali, kwamba msimamo huo umetokana na uamuzi katika kesi zilizofunguliwa na Mfuko wa Korosho katika Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufaa na haujawahi kupingwa.

Wakati Mwambe akieleza hayo, Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, William OleNasha alisimama na kupingana na maelezo yake na kubainisha kuwa kilichozungumzwa na AG ni sahihi.

Maelezo hayo yalimnyanyua Zitto na kubainisha kuwa kilichoelezwa na AG kuhusu kesi hiyo si sahihi

“Mwanasheria Mkuu wa Serikali alilipotosha Bunge kwa kusoma kesi ambayo haikuwapo bungeni na ninatoa hoja mheshimiwa Spika  iagize kamati ya maadili imhoji AG kwa kulipotosha Bunge, aadhibiwe katika hili.”

Mara baada Zitto kueleza hayo, Mwambe alimuunga mkono akitaka mwanasheria mkuu huyo wa Serikali achukuliwe hatua.

Ajali Yaua Watano Mtwara Baada ya Gari Kupinduka na Kuwaka Moto

$
0
0
Watu watano wamefariki dunia baada ya gari aina ya Toyota Noah walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka, kisha kuwaka moto.

Akizungumza leo Alhamisi Juni 28, 2018 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, Lucas Mkondya amesema ajali hiyo imetokea jana saa 10 jioni katika kijiji cha Chingweje wilaya ya Nanyumbu mkoani hapa.

Amesema kati ya waliopoteza maisha, wawili  wameungua na moto na  imeshindikana kuwatambua na wengine watatu wameungua kiasi, “kati ya waliofariki dunia ambao mpaka sasa wametambulika ni dereva wa gari hilo Babuu Maroro.”

Amesema  majeruhi wa ajali hiyo waliolazwa katika Hospitali ya Mkomaindo Masasi ni Daria Bushiri (30) mkazi wa Masuguru, Afkam Ling'ande (4) na Khalid Salum  ambaye ni kondakta wa gari hilo.

“Huyu Salum anashikiliwa na polisi kwa uchunguzi zaidi maana aliruka kabla ya ajali kutokea. Eneo ilipotokea ajali kulikuwa na mteremko mkali na mbele zaidi kulikuwa na kosa, gari ilimshinda dereva na ikagonga gema la barabara na kupinduka, kuwaka moto,” amesema.

“Lilivyoanza kuwaka moto, watu watatu walitoka salama ila watano walioshindwa kutoka waliungua, kati yao wawili wameungua vibaya na hawatambuliki. Watatu kidogo wanaweza kutambulika. Tunaomba ndugu jamaa kujitokeza kutambua miili ya marehemu ambayo imehifadhiwa katika hospitali ya Mkomaindo.”

Zitto Kabwe : Fedha za Korosho ni za wakulima

$
0
0
Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo) Kabwe Zitto amesema kitendo cha Serikali kutaka kuchukua asilimia  65 za ushuru wa mauzo ya korosho nje ya nchi si sahihi kwa sababu fedha hizo ni za wakulima.

Kiongozi  huyo wa ACT-Wazalendo pia amezungumzia uamuzi wa Serikali kutaka  kuanzisha Akaunti Jumuifu ya Hazina (TSA), akibainisha kuwa  ni uvunjifu wa Katiba na Sheria za  ukaguzi.

Zitto ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Juni 28, 2018 bungeni mjini Dodoma katika mjadala wa Sheria ya Fedha ya mwaka 2018.

“Hakuna zao lolote lenye ushuru wa mauzo nje zaidi ya Korosho, hili linatakiwa kueleweka kwanini iwe korosho,” amesema.

Amesema utaratibu uliopo sasa kuhusu korosho ulianzishwa na wadau wenyewe wa zao hilo, si Serikali na kwamba lengo ni kuboresha zao hilo baada ya kutambua Serikali haina fedha.

Zitto amesema mwanzo walianza kwa kukubaliana kukatwa  asilimia tatu na sasa imefikia asilimia 65 ili asilimia 35 ziiende serikalini.

“Fedha hizo asilimia 65 ni za wakulima na si za Serikali kama anavyosema AG (Dk Adelardus Kilangi-Mwanasheria Mkuu wa Serikali),” amesema.

Baada ya maelezo hayo, Spika Job Ndugao alimhoji Zitto kama Mfuko wa Korosho haukuwa mali ya umma kwanini makusanyo yake yafanywe na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

Akijibu swali hilo, Zitto amesema, “wadau walisema kati ya asilimia 100, asilimia 35 zitakuwa zinakwenda TRA kama malipo ya kuwakusanyia fedha kwa hiyo mheshimiwa spika hizi asilimia 65 ni za kwao kuzichukua fedha hizi haiwezekani. Tusiwe  wakatili jamani kwa mambo ambayo wameomba wenyewe watozwe.”

Kuhusu uanzishwaji wa akaunti ya TSA, Zitto amesema inakiuka sheria ya ukaguzi wa Taifa kwa kumpa mamlaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kukaguza akaunti hiyo.

“Lakini ni kinyume cha Katiba ya nchi naliomba Bunge  kutokuwa sehemu ya uvunjifu huu wa sheria na Katiba,” amesema.

Waziri Mkuu:Tanzania Ni Kimbilio Kwa Waliokosa Amani

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuvumiliana na kustahamiliana ndiko kunakolifanya Taifa la Tanzania kuwa mfano wa kuigwa na kimbilio la wale waliovurugikiwa na amani katika nchi zao.

Kadhalika, uwepo wa amani nchini si tu unatoa fursa ya kutekeleza majukumu ya kiuchumi na kijamii bila hofu bali pia ni sababu muhimu ya wenzetu wengine kutoka nje kuona fursa ya kuwekeza na kushirikiana nasi katika kujenga maendeleo ya nchini.

Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Alhamisi, Juni 28, 2018) wakati akizindua Umoja wa Kimataifa wa  Wabunge Wapenda Amani tawi la Tanzania (IAPP), kwenye mkutano uliyofanyika katika ukumbi wa Msekwa Bungeni, jijini Dodoma.

Amesema amani na utulivu ni tunu kubwa sana katika jamii yoyote ile Duniani na Tanzania muda wote imeendelea kuenzi tunu hiyo iliyojengwa kwenye misingi imara kupitia waasisi wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere na Sheikh Abeid Amani Karume.

Kadhalika, Waziri Mkuu amezungumzia kuhusu Shirikisho la Amani kwa Wote  (Universal Peace Federation (UPF), ambalo lilianzishwa kwa lengo la kumkomboa binadamu kutoka katika udhalili wa kukosa mahitaji muhimu.

“Hili linadhihirika kupitia mipango ya shirikisho hilo ya kushirikiana na jamii nyingine katika kuimarisha sekta zenye kugusa maisha ya watu wengi kama vile kilimo, mazingira, afya, elimu, miundombinu na nyinginezo,” amesema.

Hata hivyo, Waziri Mkuu amesema utekelezaji wa mipango hiyo utategemea kwa kiasi kikubwa uwepo wa amani na utulivu katika jamii husika, ambapo amewahakikishia kwamba Serikali ipo tayari na itaendelea kushirikiana nao katika nyanja hizo za kijamii na maeneo mengine kwa ajili ya kulinda maslahi ya pande zote mbili na kuwaletea maendeleo wananchi.

“Nitoe rai kwa Waheshimiwa Mawaziri wa sekta husika kwamba hakikisheni mnaanzisha mazungumzo na wawakilishi wa UFP nchini kwa lengo la kuona namna nzuri ya kuchangamkia fursa zinazopatikana kupitia shirikisho hilo hususan katika sekta za kilimo, elimu, afya, mazingira na miundombinu,” amesema.

Awali, Mwenyekiti Mwanzilishi wa IAPP, Bw. Mussa Ntimizi amesema Shirikisho la Amani kwa Wote  litasaidia nchi kuboresha miradi mbalimbali ya maendeleo kama ya kilimo, afya kwa sababu hakuwezi kuwa na amani bila maendeleo.

Naye, Makamu Mwenyekiti wa umoja huo, Bw. William Ngeleja amesema Shirikisho la Amani kwa wote  limetenga dola bilioni tatu kwa ajili ya kusaidia sekta ya afya katika nchi 10 za Bara la Afrika na Tanzania ikiwemo.

Katika hafla hiyo Waziri Mkuu amepewa tuzo ya Balozi wa Amani na Mwenyekiti wa Shirikisho la Amani kwa Wote (UPF), Dkt. Thomas Walsh. Viongozi wengine walipewa tuzo hiyo ni pamoja na Spika wa Bunge, Job Ndugai, Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson, Makamu Mwenyekiti wa umoja huo,Bw. William Ngeleja Katibu Msaidizi wa umoja huo Bibi Anna Lupembe, Mweka hazina Bibi Ritta Kabati.

Baada ya kukabidhi tuzo hizo, Dkt. Walsh shirikisho lao linahitaji kufanya kazi nna Serikali, sekta binafsi, asasi za kiraia kwa ajili ya kuboresha maendeleo na amani. Amesema katika Taifa kukiwa na maendeleo amani lazima itakuwepo.

Hafla hiyo imehudhuriwa na Spika wa Bunge, Job Ndugai, Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson, Mwenyekiti wa Shirikisho la Amani kwa Wote (UPF), Dkt. Thomas Walsh, Katibu wa Shirikisho la Amani kwa Wote Kanda ya Afrika (UPF_Afrika), Bw. Adama Doumbia, Katibu wa Shirikisho la Amani kwa Wote Tanzania (UPF_Tanzania), Bw Stylos Simbamwene,

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,

Hatima ya Mbowe na wenzake kujulikana Julai 2

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, July 2,2018 inatarajia kutoa uamuzi wa muda wa kusitisha ama kutositisha usikilizaji wa kesi inayowakabili viongozi wa CHADEMA akiwemo mwenyekiti wake Freeman Mbowe.

Hatua hiyo imekuja baada ya upande wa mashtaka kupinga maombi yaliyowasilishwa na upande wa utetezi.

Wakili wa Serikali Mkuu, Paul Kadushi amewasilisha maombi hati kinzani mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbrad Mashauri ambapo amepinga usitishwaji wa kesi hiyo kwa sababu maombi yao ni batili.

Kadushi amedai msingi mkuu wa pingamizi hizo ni kwamba maombi ya waombaji ni batili kwa kuwa utaratibu uliotumika kuielekeza mahakama hiyo iweze kutoa amri walizoomba una dosari.

Amedai mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza maombi hayo na kutoa nafuu zilizoombwa, hivyo aliomba yatupiliwe mbali.

Katika maombi ya upande wa utetezi, yaliyowasiishwa na Peter Kibatala wameiomba mahakama isimamishe kwa muda usikilizwaji wa kesi hiyo kwa sababu wamewasilisha maombi ya marejeo Mahakama Kuu ya Tanzania juu ya uamuzi mdogo uliotolewa na mahakama hiyo.

Kutokana na mvutano wa kisheria, Hakimu Mashauri ameahirisha kesi hiyo hadi July 2,2018.

Mbali na Mbowe, washtakiwa wengine ni Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Vincent Mashinji, Mbunge wa Iringa Mjini Peter Msigwa, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Salum Mwalimu na Naibu katibu Mkuu bara na Mbunge wa Kibamba, John Mnyika.

Pia wengine ni Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche, Mbunge wa Kawe Halima Mdee, Mbunge wa Bunda, Esther Bulaya na Mbunge wa Tarime mjini, Esther Matiko.

Inadaiwa kuwa washtakiwa walitenda makosa hayo February 16, mwaka huu katika maeneo ya Viwanja vya Buibui, Mwananyamala na barabara ya Kawawa Kinondoni Mkwajuni.

Wanadaiwa kuwa February 16,mwaka huu katika barabara ya Kawawa Kinondoni Mkwajuni washitakiwa hao wakiwa na wenzao 12 ambao hawapo mahakamani walikiuka tamko la kuwataka kutawanyika la Mrakibu Mwandamizi wa Polisi, Gerald Ngiichi kwa kugoma kutawanyika na kupelekea uvunjifu wa amani.

Inadaiwa kitendo cha kugoma kulisababisha hofu iliyochangia kifo cha Mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwilina Akwiline na majeruhi kwa askari wawili ambao ni H.7856 PC Fikiri na E.6976 CPL Rahim Msangi.

Afisa Utumishi Mkuu wa TAKUKURU ametoa ushahidi kesi ya Mhasibu Mkuu Wao

$
0
0
Afisa Utumishi Mkuu wa TAKUKURU Ayoub Akida ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa aliyekuwa Mhasibu mkuu wa taasisi hiyo, Godfrey Gugai anayekabiliwa na kesi ya kumiliki mali za Bilioni 3.6 aliajiriwa June 11, 2001 kwa mshahara wa Sh. 120,940.

Akida ameyaeleza hayo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba wakati akiongozwa na Wakili wa Serikali, Pius Hilla akiwa ni shahidi wa kwanza upande wa mashtaka katika kesi hiyo.

Akida amedai kuwa ajira ya Gugai ilianza kama Afisa Mchunguzi daraja la 3 na kwamba ajira yake hiyo ilifikia ukomo August 2016.

“Baada ya kuajiriwa alikuwa akilipwa mshahara wa Sh.120,940 kwa mwezi na kwamba mbali na mshahara huo hakuwa na chanzo kingine cha mapato,” amesema Akida

Akida amedai kuwa kumiliki Mali siyo tatizo iwapo wangeziona katika fomu ya tamko la Mali na madeni isingekuwa lakini mali zake hakuzijaza kwenye fomu hizo za tamko la Mali na madeni.

Amedai kuwa baada ya Gugai kuajiriwa alithibitishwa kazini June 14,2002 na kwamba baadaye alipandishwa cheo na kulipwa mshahara wa kati ya Sh 1,382,450 na 1,521,830 na kwamba mbali na mshahara huo alikuwa akilipwa fedha ya umeme sh 150,000 na Sh 70,000 ya simu.

Shahidi hiyo amedai kuwa Mali zinazopaswa kujazwa kwenye tamko la Mali na madeni ni Mali zote zinazohamishika na zisizohamishika.

Aliongeza kuwa Gugai alichukuliwa hatua za kinidhamu na Mkurugenzi wa TAKUKURU baada ya kupata taarifa alikuwa na Mali nyingi maeneo tofauti tofauti nchini ikiwamo nyumba na viwanja.

Baada ya kueleza hayo, kesi imeahirishwa hadi July 10,2018 ambapo mashahidi wa upande wa mashtaka wataendelea kutoa ushahidi katika kesi hiyo.

Mbali ya Gugai, washtakiwa wengine ni George Makaranga, Leonard Aloys na Yasin Katera.

Washtakiwa hao wanakabiliwa na makosa 43, kati ya hayo 19 ni ya kughushi, 23 ni utakatishaji fedha na moja ni kumiliki mali zilizozidi kipato halali.

Gugai anakabiliwa na kosa la kumiliki mali kinyume na kipato chake, ambapo alitenda kosa hilo kati ya January 2005 na Decemba 2015.

Inadaiwa akiwa jijini Dar es Salaam kama mwajiriwa wa TAKUKURU alikuwa akimiliki mali za zaidi ya Sh 3.6 bilioni ambazo hazilingani na kipato chake cha awali na cha sasa cha zaidi ya  Tsh.milioni 800,huku akishindwa kuzitolea maelezo.

Senegal Yaaga Mashindano Ya Kombe La Dunia..... Yachapwa 1-0 Na Colombia

$
0
0
Senegal imeaga mashindano ya Kombe la Dunia katika mchezo wa kundi H baada ya kukubali kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Colombia.

Bao pekee la mchezo huo limewekwa kimiani na Yerry Mina katika dakika ya 74 kipindi cha pili na kuweza kuwapa mkono wa kwaheri Senegal kwenye michuano hiyo.

Wakati huo Poland nayo imeungana na Senegal licha ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Japan.

Baadaye kutakuwa na michezo mingine miwili kutoka kundi G ambapo England itakuwa inacheza dhidi ya Ubelgiji huku Tunisia ikimailisha ratiba kwa kucheza dhidi ya Panama kuanzia saa 3  usiku huu.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Ijumaa ya June 29

Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota, Mvuto wa Biashara na Mapenzi

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..

JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. 

Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
 
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
 
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi 

+255 622588038au 0679119679 au +255 764318107
NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images