Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Wassira avunja mbavu waombolezaji mazishi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara marehemu John Gabriel Tuppa

$
0
0
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano), Bw. Stephen Wassira aliwavunja mbavu waombolezaji waliofika kwenye mazishi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara marehemu John Gabriel Tuppa yaliyofanyika nyumbani kwake Kilosa mjini, mkoani Morogoro.   Akitoa salamu za rambirambi kwa niaba ya wabunge wa mkoa wa Mara, Bw. Wassira alisema watu wote waliohudhuria mazishi hayo wanataka kwenda peponi

Rais Kikwete astushwa na ajali kubwa iliyotokea Jumamosi, Machi 29, 2014 na kusababisha vifo vya watu 21 na majeruhi 11

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amestushwa na kuhuzunishwa na ajali kubwa iliyotokea usiku wa Jumamosi, Machi 29, 2014, katika Mkoa wa Pwani ikihusisha magari matano na kusababisha vifo vya watu 21 na majeruhi 11. Rais Kikwete amevielezea vifo hivyo kuwa siyo vya lazima na ni upotevu wa bure wa maisha ya Watanzania. Katika salamu za

Majina ya walimu wa Ajira Mpya waliokubaliwa kubadilisha Vituo vya kazi

$
0
0
WALIMU WA AJIRA MPYA 2014 WALIOKUBALIWA KUBADILISHIWA VITUO Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa imefanya mabadiliko ya vituo vya kazi kwa walimu Ajira mpya mwaka 2014 baada ya kupokea na kuchambua maombi mbalimbali kutoka kwa walimu walioomba kubadilishiwa vituo. Hivyo walimu wote walioomba kubadilishiwa vituo lakini majina yao hayapo katika orodha hii kwa ngazi

Watu 6 wauawa kwa milipuko jijini Nairobi Kenya.....

$
0
0
WATU sita wanadaiwa kupoteza maisha wakati 10 wakijeruhiwa baada ya milipuko miwili kutokea eneo la  Eastleigh jijini Nairobi, Kenya jana usiku.   Milipuko hiyo ililipuliwa na magaidi katika mghahawa mdogo na kituo cha mabasi kilichopo eneo hilo la Eastleigh.   Polisi wameeleza kuwa waliopoteza maisha walikuwa wamekwama ndani ya mghahawa huo wakati wakisubiri kununua chakula cha

Magazeti ya leo Jumanne ya tarehe 1 April 2014

$
0
0
                      Magazeti  ya  leo  Jumanne  ya  tarehe  1  April  2014 <!-- adsense -->

Bunge la katiba: Hofu yatanda upitiaji Rasimu.....Wajumbe wahofia misimamo ya vyama kuhusu serikali mbili au tau

$
0
0
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Bw. Samuel Sitta, jana ameahirisha shughuli za Bunge hilo hadi Aprili 4 mwaka huu, ili kutoa fursa kwa kamati 12 zilizoundwa kujadili Rasimu ya Pili ya Katiba kuanzia sura ya kwanza hadi ya sita.   Alisema sura hizo ndizo zilizobeba mfumo mzima wa Serikali, Bunge, Mahakama, Haki za Binadamu na mambo mengine.   Akiahirisha shughuli za Bunge hilo mjini

Mtumbwi wazama mto Rufiji....Watu saba hawajulikani walipo mpaka sasa

$
0
0
MTU mmoja amefariki dunia na wengine saba hawajulikani walipo baada ya mtumbwi waliokuwa wakiutumia kuvuka Mto Rufiji, kupinduka na kuzama majini. Tukio hilo lilitokea juzi saa mbili usiku katika Wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani baada ya mtumbwi huo kugonga kivuko kilichokuwa majini ambapo ajali hiyo ilichangiwa na mto huo kujaa maji.   Akizungumzia ajali hiyo, Kamanda wa Polisi mkoani

Taarifa Muhimu kuhusu ziara ya Rais Kikwete nchini Uingereza

$
0
0
Uingereza inajivunia kuwa nchi inayoongoza katika uwekezaji nchini Tanzania na itaendelea kuisaidia Tanzania katika jitihada zake za kiuchumi na kuleta maendeleo . Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron amemuambia Rais Kikwete wakati wa mazungumzo yaliyofanyika 10 Downing Street,   tarehe 31 March, 14, ambapo ndipo yalipo Makao Makuu ya Waziri Mkuu wa Uingereza. "Tunafurahia sana uhusiano

Wahanga wa shambulizi la kigaidi kwenye ubalozi wa Marekani wa Kenya na Tanzania (1998) kulipwa $907m

$
0
0
Jaji John Bates Jaji wa mahakama ya Washington nchini Marekani ameamuru kulipwa jumla ya dola milioni 907 za Marekani kwa wahanga wa shambulio la kigaidi la bomu kwenye ubalozi wa Marekani jijini Nairobi, Kenya na Dar es Salaam, Tanzania mwaka 1998. Hukumu hiyo ilitolewa March 28 na Jaji John D. Bates. Katika shambulio hilo la August 1998 kwenye balozi za Kenya na Tanzania zaidi ya

Mtoto asababisha FUMANIZI zito ndani ya hospitali ya Mwananyamala.....

$
0
0
TAFRANI ilizuka usiku wa kuamkia jana katika Hospitali ya Mwananyamala, Kinondoni jijini Dar es Salaam, ikihusisha wanandoa baada ya mke aliyekuwa amempeleka mtoto kutibiwa, kumbamba mumewe akimleta anayedaiwa kuwa kimada pia kupata matibabu hospitalini hapo.   Mwandishi ambaye alikuwa hospitalini hapo saa 5 usiku, alishuhudia mke huyo anayedaiwa kuwa wa ndoa akimpiga ngumi ‘nyumba ndogo’

Matukio katika picha kwenye kamati za Bunge Maalum la Katiba.

$
0
0
Mwenyekiti wa Kamati namba tano(5) ya Bunge Maalum la Katiba Hamad Rashid Mohamed (katikati) akiongoza mjadala wa Kamati hiyo leo mjini Dodoma wakati wanapitia vifungu mbalimbali vya rasimu ya Katiba mpya. Mwenyekiti wa Kamati namba kumi(10) ya Bunge Maalum la Katiba Paul Kimiti (katikati) akiongoza mjadala wa Kamati hiyo leo mjini Dodoma wakati wanapitia vifungu mbalimbali vya

Kamati za Bunge Maalum la Katiba zaanza kazi vizuri, ila baadhi wasema muda wa siku mbili hautoshi kujadili sura ya 1 na sura ya sita.

$
0
0
Mwenyekiti wa Kamati namba 11 ya Bunge Maalum la Katiba   Anne Kilango Malecel akifafanua jambo kwa waandishi wa habari hawapo pichani  katika ukumbi wa mikutano wa St. Gasper  leo mjini Dodoma. ******* Na Magreth Kinabo – Dodoma Kamati 12 za Bunge Maalum  zimeaanza kazi vizuri  ya  kuchambua Rasimu ya Katiba, huku baadhi ya wenyeviti wakisema kuwa muda wa siku mbili wa kujadili sura ya

Magazeti ya leo Jumatano ya tarehe 2 April 2014

$
0
0
                        Magazeti  ya  leo  Jumatano  ya  tarehe  2 April  2014 <!-- adsense -->

Watoto wawili wa familia moja wateketea kwa moto.....

$
0
0
Watoto wawili wa kiume wa familia moja, Daniel Paul (8) na mdogo wake, Emmanuel Paul (3), wamepoteza maisha wakiwa pamoja baada ya kuteketea kwa moto ndani ya nyumba. Tukio  hilo lilijiri majira ya saa 1:00 asubuhi, maeneo ya Mtaa wa Rufita, Mwanza-Road mjini Tabora  baada ya nyumba waliyokuwa wakiishi kuteketea kwa moto huku wakiwa wamelala ndani.   Habari za awali zilieleza

Zoezi la kuondoa ombaomba katikati ya jiji la Dar es salaam limeanza.

$
0
0
Zoezi la kuwaondoa ombaomba katikati ya jiji la Dar es Salaam limeanza ambapo halmashauri ya manispaa ya temeke imefanikiwa kuwakamata baadhi ya ombaomba walioonekana katika maeneo ya manispaa yao kwa lengo la kuwafikisha mahakamani na wengine kurejeshwa makwao.    Zoezi hilo limeendeshwa na maafisa wa manispaa ya Temeke kwa kuzungunguka katika maeneo mbalimbali ya manispaa hiyo kwa

Jini Kabula afunguka......Adai kuwa UKIMWI utawamaliza wasaii wengi wa Bongo Movie kwa kuwa wanapenda maisha ya anasa

$
0
0
  Katika hali isiyokuwa ya kawaida na kustua ,msanii mkongwe  katika kiwanda cha Bongo movie nchini Miliamu Jolwa maarufu kama Jini Kabula ameibuka na kusema kuwa hakika gonjwa hatari la UKIMWI  litawateketeza wasanii wote wa Bongo movie na hakuna atakayebaki kama hawatobadilika kitabia.   Akiongea na gazeti la  Maskani Bongo  Jini  Kabula alisema kuwa  wasanii  wengi  wa  bongo  movie 

Bunge la Afrika Mashariki lavunjika

$
0
0
Arusha. Bunge la Afrika Mashariki (Eala) limeanza kuonekana kufanana na Bunge la Katiba linaloendelea mjini Dodoma.   Bunge hilo jana limevunjika bila kujulikana litakutana tena lini baada ya kuibuka mabishano ya kisheria kuhusu hoja ya kutokuwa na imani na Spika, Margret Zziwa.   Hoja ya kumng’oa Spika Zziwa ilianza

Kiongozi wa kidini mjini Mombasa, Sheikh Abubakar Shariff (Makaburi) auawa kwa kupigwa risasi

$
0
0
  Kiongozi wa Waislam wa mlengo wa siasa kali anayeitwa   Abubakari Sharif  maarufu kama Makaburi  ameuawa  kwa kupigwa risasi nchini Kenya  usiku  wa  kuamkia  leo.  Habari  zinasema  kuwa Makaburi aliuawa katika mtaa wa Shanzu mjini Mombasa ambako alikuwa anaishi.   Polisi wamekuwa wakimtuhumu Makaburi kwa kueneza itikadi kali za kiisilamu miongoni mwa vijana wa kiisilamu mjini

Kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya CHADEMA yapigwa kalenda hadi Mei 29.

$
0
0
KESI ya madai iliyofunguliwa na aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Kabwe Zitto dhidi ya chama hicho, imeahirishwa hadi Mei 29 mwaka huu, itakapotajwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.   Msajili wa Mahakama Kuu, Amir Msumi aliahirisha kesi hiyo jana kwa kuwa Jaji John Utamwa anayeisikiliza, anaumwa.   Katika kesi hiyo, Zitto anaomba Mahakama itoe zuio kwa Kamati Kuu au

Inasikitisha sana: Kijana auawa kwa KUCHOMWA MOTO wilayani Ilemela Mkoani Mwanza baada ya kutuhumiwa kuiba pikipiki na paneli ya Solar

$
0
0
  Mtu mmoja anaesadikiwa kuwa ni jambazi ambaye hakufahamika jina anayekadiliwa kuwa na umri wa miaka 25 ameuwawa kwa kupigwa mawe kisha kuchomwa moto na mwingine kunusurika kuuwawa. Tukio hilo limetokea jana  alfajiri  katika kijiji cha Shibula kata ya Bugongwa wilayani Ilemela Mkoani Mwanza kufuatia tukio la wizi lilotokea usiku wa kuamkia jana katika mtaa  wa  Nyamwilolelwa
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images