Viongozi Dini wakiongoza
ibada ya kuuaga mwili wa Marehemu John Gabriel Tupa aliyekuwa Mkuu wa
Mkoa wa Mara na hapo awali aliwahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya
Dodoma,aliefariki ghafa siku kadhaa zilizopita.
Waziri Mkuu,Mh. Mizengo
Pinda akitoa heshima za mwisho kwa Mwili wa Marehemu John Gabriel Tupa
aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara na hapo awali aliwahi kuwa Mkuu wa Wilaya
ya Dodoma,
Waziri Mkuu aongoza mamia ya wananchi wa Mkoa wa Dodoma kuuaga mwili wa aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mara, marehemu John Gabriel Tupa
↧
↧
Rais Kikwete apokea ripoti ya mahesabu ya Serikali toka kwa mkaguzi mkuu wa Serikali Ikulu jijini Dar
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipokea Ripoti ya Mwaka kutoka kwa Mthibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za
Serikali Bw. Ludovick Utouh Ikulu jijini Dar es salaam leo.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akisikiliza muhtasari toka kwa Mthibiti na Mkaguzi Mkuuwa Hesabu za
Serikali Bw. Ludovick Utouh kabla ya kupokea Ripoti ya mwaka Ikulu jijini Dar es salaam leo.
Rais
Dkt
↧
Yaliyojiri Bungeni Dodoma Ijumaa ya leo ya tarehe 28 Machi 2014 kuhusu Maamuzi ya kura ya WAZI au ya SIRI
Wapendwa wasomaji, kama Mwenyekiti wa Bunge Maalum, Sammuel Sitta alivyotangaza jana
wakati akiahirisha kikao cha jioni, kwamba, kazi kubwa ya leo ni
kufanya maamuzi juu ya vifungu vya 37 na 38 vya Kanuni za Bunge Maalum
ambavyo vinahusu jinsi ya kufanya maamuzi. Mjadala hapa ambao umeteka
hisia za wananchi wengi ndani na nje ya Bunge ni juu ya Kura ya Siri au
ya Wazi.
Hakika
↧
Wawili wafariki dunia, Saba wajeruhiwa na wanne hawajulikani walipo baada ya ajali ya treni ya mizigo Gulwe mkoani Dodoma
Wafanyakazi
walioajiriwa na shirika la Reli Tanzania (TRL) wakitoa mchanga kwenye
kichwa cha treni ya mizigo kilichopata ajali usiku wa kuamkia katika
stesheni ya Gulwe, Wilaya ya Mpwampwa. Katika ajali hiyo watu wawili
wamefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa na kulazwa katika hospital
ya Benjamin Mkapa Wilayani Mpwampwa.
Sehemu
ya mabehewa ya mafuta na ngano ambayo
↧
Bunge Maalum la Katiba lapitisha azimio la kura ya mseto....Kura ya SIRI na ya WAZI itatumika kwa pamoja katika kuendesha bunge hilo
Na Magreth Kinabo,
Dodoma
Hatimaye
baada ya mvutano wa baadhi wa wajumbe wa Bunge
la Maalum la Katiba kuhusu upigaji wa
kura ya siri na ya wazi kuendelea leo Mwenyekiti wa Kamati ya Kanuni
na Haki za
Bunge Maalum, Mhe . Pandu Ameir Kificho amewasilisha azimio la
mapendekezo ya ya upigaji kura wa wazi na siri kutumika kwa pamoja
katika kaununi ya 37 na
38, ambalo
↧
↧
Picha: Madhara yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha jijini Dar....Barabara hazipitiki
Mvua zilizoanza kunyesha juzi usiku na kuendelea jana
jijini Dar es Salaam zimesababisha adha katika makazi ya watu hasa
wanaoishi katika maeneo ya mabondeni na watumiaji wa barabara kutokana
na miti kuanguka na kuziba njia huku maji yakijaa barabarani na
kusababisha ugumu kwa vyombo vya moto kupita....
<!-- adsense -->
↧
Aunt Ezekiel achizika na busu la MBWA......
Diva wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel ameonekana kuchizika na busu
la mbwa baada ya kunaswa akiwa amewabeba mbwa wawili na kufurahia mmoja
wapo alipombusu.
Tukio hilo lilitokea juzikati nyumbani kwa Wema Sepetu, Kijitonyama,
jijini Dar. Alipoulizwa furaha aliyokuwa nayo baada ya kubusiwa na mbwa
huyo, Aunt alisema: “Haipimiki. Natamani na mimi kuwafuga wawe wananibusu kila siku.”
↧
Mwanamke ashitakiwa kwa kumuua mwanae wa miaka 4 baada ya kuhisi ni SHOGA .... ujumbe wa Facebook wammaliza
Mwanamke aliyetajwa kwa jina la Jessica Dutro, anakabiriwa na kesi ya
mauaji huko Washington Marekani baada ya kutuhumiwa kuwa alimpiga
mwanae wa miaka 4 hadi kumuua baada ya kuhisi kuwa atakuwa ‘shoga’.
Waendesha mashitaka walidai kuwa August 14, 2012 mama huyo aliwapiga
vibaya watoto wake watatu, lakini kipigo kilikuwa kikali zaidi kwa
mwanae aitwae Zachary Dutro- Boggess ambaye
↧
Magazeti ya leo Jumapili ya tarehe 30 March 2014
↧
↧
CCM yaendelea na mbio zake katika kampeni za uchaguzi mdogo Chalinze
Mgombea
Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi
CCM,Ridhiwani Jakaya Kikwete akiwahutubia wananchi wa Kijiji cha
Hondogo,Kata ya Mandera wakati wa muendelezo wa Mikutano yake ya Kampeni
za kuomba ridhaa ya kuwa Mbunge wa Jimbo hilo, Machi 29,2014.
Mbunge
wa Jimbo la Kisarawe,Suleiman Jaffo akiwahutubia wananchi wa Kijiji cha
Mandera Kibaoni wakati
↧
Makamu wa Rais Dr. Bilal aongoza mazishi ya aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mara, marehemu John Gabriel Tupa mkoani Morogoro
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal akiaga mwili wa aliyekuwa mkuu wa mkoa
wa Mara Marehemu John Gabriel Tupa, baada ya mazishi yake yaliyofanyika jana
Machi 29-2014 Wilayani Kilosa Mkoani
Morogoro.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal akiweka shada la maua kwenye kaburi la
aliyekuwa mkuu wa
↧
Watanzania wenzetu wazuia KUCHOMWA MOTO kwa mpendwa wetu Augustino Michael Lukindo aliyefariki Wisconsin, Marekani
Watanzania wenzetu wamezuia kuchomwa moto kwa mpendwa wetu Augustino Michael Lukindo
aliyefariki dunia jijini Madison, jimboni Wisconsin nchini Marekani jumapili ya March 16, 2014.
Wameomba msaada kwa Watanzania
wengine waishio Marekani na kokote pale Duniani kujitahidi kadri
tuwezavyo tuweze kumstiri Mtanzania mwenzetu .Gharama za mazishi ni
$6,000 ....
jina la AC ni
↧
Ajali MBAYA yaua wanawake 12 mkoani Kilimanjaro waliokuwa wakienda msibani....Majina yao yatajwa, Saba wajeruhiwa
Waombolezaji
12 waliokuwa njiani kuhani msiba wa mtoto aliyepoteza maisha baada ya
kusombwa na mafuriko, wamefariki dunia na wengine saba wamejeruhiwa,
baada ya gari lao kugongwa na malori mawili kwa wakati mmoja.
Abiria hao walikuwa wanasafiri na gari dogo aina ya Toyota Pick Up namba
T 170 AKZ kwenda kuhani msiba uliotokea katika kijiji cha Kongei
kilichoko Hedaru mkoani
↧
↧
Lulu Michael ABUGI Instagram baada ya kuweka picha hii.....Mashabiki wamtandika Matusi, wadai AMEJIDHALILISHA....
Muda mfupi jana baada ya Lulu Michael kuposti mwonekano wa mbele wa jarida la
VIBE utakavyo kuwa, huku ukiwa umepambwa na picha yake ya nusu uchi, watu wengi walianza kumshambulia kwa maneno machafu kwamba ameiga pozi la
Rihana alilotumia katika Jarida GQ mwaka jana.
Wengi wamelalamika na
kusema kuwa Lulu amejishusha sana na amechafua sifa ya gazeti hilo kwa
↧
INASITIKISHA.....Watu wengine 21 wafariki dunia katika ajali mbaya iliyohusisha magari manne mkoani Pwani
Watu 21 wamefariki dunia katika ajali mbaya iliyotokea jana saa mbili
usiku katika Wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani ikihusisha magari 4 na
wengine 11 kujeruhiwa.
Akizungumzia tukio hilo kwa njia ya simu jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa
Pwani, ACP Ulrich Matei, alisema ajali hiyo imetokea katika Barabara
Kuu ya Dar es Salaam-Lindi, eneo la Ikwiriri, wilayani humo.
Awali ajali hiyo
↧
Magazeti ya leo Jumatatu ya tarehe 31 March 2014
↧
"Mimi na Gardner tumefikia hatua ya kuishi kama DADA na KAKA"....Lady Jayde
Staa wa kike katika muziki wa bongo, Judith Wambura a.k.a Lady Jaydeee au
Jide amefunguka kuwa yeye na mumewe, Gardner Habash ‘Kapteini’ kwa sasa
wanaishi kama kaka na dada hivyo kuibua swali kivipi?
Akizungumza
na gazeti la Ijumaa Wikienda katika mahojiano maalum yaliyofanyika kwenye mgahawa
wa staa huyo wa Nyumbani Lounge uliopo Ada Estate, Kinondoni jijini Dar
mwishoni mwa
↧
↧
Snura wa Majanga asimulia jinsi KIUNO chake kilivyomponza na kusababisha KTMA wamteme
Baada ya kutolewa video yake ya Nimevurugwa kwenye tuzo za KTMA
2013/2014, Snura amefunguka kuhusu kile ambacho
kilionekana kusababisha video yake kufungiwa na kutolewa kwenye
mashindao ya Kilimanjaro Tanzania Music Awards kwa kudai kuwa kiuno chake ndo tatizo hivyo katika video yake mpya hakutakuwa na mauno ya mitego!:
"Snura mpya ataonekana kwenye video ya
↧
Njia 64 za daladala jijini Dar zitasitishwa kutokana na kuanza kwa Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka Dar es Salaam (DART)
NJIA 64 za magari ya daladala jijini Dar es Salaam zitakoma kutumika kutokana na kuanza kwa Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka Dar es Salaam (DART).
Kwa kuanzia matayarisho ya kupisha mradi huo, Wakala wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (DART) umetaka wamiliki wote wa mabasi ya daladala yanayopita katika Barabara ya Morogoro au kukatiza katika njia hiyo, kufika katika ofisi
↧
TANAPA yakanusha taarifa zinazodai kuwa Hifadhi ya Taifa ya Katavi imeuzwa
SHIRIKA la Hifadhi za Taifa (TANAPA), limekanusha taarifa zinazodai Hifadhi ya Taifa ya Katavi ipo kwenye mpango wa kukabidhiwa kwa wawekezaji kutoka nchini Afrika Kusini.
Habari hiyo iliandikwa Machi 25 mwaka huu na gazeti moja linalotoka mara moja kwa wiki ikiwa na kichwa cha habari kinachosema, "Nyalandu 'auza' Hifadhi”.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TANAPA kupitia Idara
↧
More Pages to Explore .....