Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Tunatibu Na Kuponesha Kabisa Upungufu Wa Nguvu Za Kiume, Maumbile Mdogo, Busha Bila Kupasua

$
0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO BUSHA BILA KUPASUA PRESHA VIDONDA VYA TUMBO : Asilimia kubwa ya wanadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wapo waliohangaika sehemu mbalimbali bila mafanikio.

Mabula Clinic ni kituo cha tiba asilia kilichopo mbagara zakhemu njia kuu ya jeshini. Je unaupungufu wa nguvu za kiume au uume wako mdogo na mwembamba? 

Mapro pawer no 2 ndio tiba, kwa sasa hutibu matatizo matatu kwa pamoja 1. itakufanya uchelewe kufika kileleni dikika 15-20 kwa tendo la kwanza 2. Huimalisha misuli iliyolegea na kusinyaa hasa kwa wale walio athirika na upigaji punyeto 3. itakufanya upate hamu ya kurudia tendo zaidi ya mara tatu :Kwa nini ujione mpweke pale ukutanapo na mpenzi au mke wako kisa unawai kukojoa au unakomea bao moja tu na huku dawa zipo 

Makakanua mix ni dawa iliyochanganywa na miti shamba 9 na kuwa na uwezo wa kuongeza uume saizi upendayo inchi 5-8 kwa urefu na unene sentimita 1-5, dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ata wazee wenye umri mkubwa wanapona

 Zipo dawa za mvuto wa mpenzi mme au mke kwa masaa matatu tu ,mvuto wa biashara, kutengeneza mwonekano mzuri wa mwili kwa wanawake yani shepu.

Tunatibu ngiri, miguu, mgongo na kiuno kuumwa, kupunguza kitambi minyama uzembe matiti na mwili mkubwa 

Tiba na ushauli muone Dr Mabula au piga simu no 0743362017.Huduma zangu utazipata popote ulipo kama uwezi kufika ofisini

Mwanajeshi wa Tanzania auawa huko Jamhuri ya Kati Afrika

$
0
0
Askari wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa huko Jamhuri ya Kati Afrika wanaotokea nchini Tanzania, ameuawa na waasi huku wengine 18 wakijeruhiwa vibaya.

Kwenye Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Ulinzi Tanzania imesema kwamba tukio hilo limetokea Juni 3, 2018 huko Afrika ya Kati, ambapo kikosi hiko chenye askari 90 kilishambuliwa na waasi wanaojulikana kwa jina la Sirir, na kusababisha kifo cha askari huyo mmoja, kujeruhi 18 huku watano kati yao wakiwa katika hali mbaya zaidi.

Majeruhi wa shambulio hilo wamepelekwa katika Hospitali ya Kanda ya Umoja wa Mataifa iliyopo Bangui kupatiwa matibabu, huku utaratibu wa kuurejesha mwili wa marehemu nyumbani Tanzania zikiwa zinaendelea.

Mbunge Stephen Ngonyani ( Profesa Majimarefu ) afiwa na mkewe

$
0
0
Mbunge wa Korogwe Vijijini, Stephen Ngonyani maarufu 'Profesa Majimarefu’ leo Jumatano Juni 6, 2018 amefiwa na mkewe, Mariam aliyekuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH).

Mkurugenzi wa mawasiliano wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Aminiel Aligaesha amethibitisha kifo cha mke wa mbunge huyo  na kusema  kuwa aliaga dunia saa 3 asubuhi.

CUF 'Yawashambulia' Wabunge Wake Wanaomtetea Maalim Seif

$
0
0
Chama cha Wananchi (CUF), kimewatuhumu wabunge wa chama hicho kwa kile ilichodai wamekuwa wakitetea na kulinda hadhi ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Sharrif Hamad kupitia Vikao vya Bunge.

Chama hicho kimedai kusikitishwa na hatua ya wabunge hao waliochaguliwa na wananchi kwa lengo la kuwakilisha matatizo yao badala yake baadhi ya yao wameacha jukumu hilo na kujipa jukumu jipya la kulinda hadhi ya Maalim Seif.

Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mahusiano ya Umma wa chama hicho, Abdul Kambaya amesema ni takribani miaka miwili sasa wabunge hao kila wanaposimama hujenga hoja za kutetea Ukatibu Mkuu wa Maalim Seif badala ya kujenga zitakazotatua changamoto zilizopo kwenye majimbo yao kwa kushirikiana na serikali kupitia wizara husika.

“CUF imesikitishwa na inawaomba radhi Watanzania kutokana na vitendo vya baadhi ya wabunge hao. Ni jambo la kufedhehesha na kutia aibu sana kupokea posho na mshahara kutoka kwa walipa kodi wa Tanzania kisha unatumia miaka miwili ndani ya vikao vya Bunge kutetea hadhi ya mtu badala ya kujenga hoja zenye manufaa na walipa kodi wa Tanzania.

“Suala la Ruzuku ya CUF na Matumizi yake ni jambo la Kisheria pale ambapo CAG atabaini upotevu wa fedha hizo atatoa taarifa kwa umma, kwa hiyo kujificha kwenye hoja hiyo kwa lengo la kumfanya Maalim Seif aishi kisiasa si tu ni matumizi mabaya ya posho na mishahara  inayotolewa na Bunge lakini pia ni kutotambua wajibu wao kwa wapiga kura wao waliowachagua.

“Mbunge mwenye kujitambua anapaswa kutumia muda, akili na maarifa pale apatapo fursa ya kutoa mchango wake kwa lengo la kuitaka Serikali kutatua au kushirikiana na serikali kutatua changamoto lukuki zilizopo kwenye Jimbo lake, amesema Kambaya.

Neema Kwa Wachezaji, Mashabiki na Viongozi wa Simba SC....Mo Dewji Kaanzisha Tuzo Kwa Ajili Yao, Taarifa Iko Hapa

$
0
0
Mwekezaji katika klabu ya Simba, Mohammed Dewji anapenda kutoa taarifa kuwa ameanzisha tuzo ambazo zitakuwa zikitolewa kwa wachezaji, viongozi na mashabiki wa klabu ya Simba ambazo amezipa jina la Mo Simba Awards.

Kwa mara ya kwanza tuzo hizi zitatolewa siku ya Jumatatu, tarehe 11 Juni, 2018 katika hoteli ya Hyatt Regency – Kilimanjaro iliyopo Jijini Dar es Salaam.

Tuzo hizo zitakuwa na vipengele 16, ambavyo ni Mchezaji Bora wa Mwaka, Goli Bora la Mwaka, Golikipa Bora wa Mwaka, Beki Bora wa Mwaka, Kiungo Bora wa Mwaka, Mshambuliaji Bora wa Mwaka, Shabiki Bora wa Mwaka na Tuzo ya Heshima.

Tuzo zingine ni Mchezaji Bora Mwanamke wa Mwaka, Mchezaji Bora Mdogo wa Mwaka, Tuzo ya Benchi la Ufundi, Kiongozi Bora wa Mwaka, Tuzo ya Wasimamizi wa Mchakato wa Mabadiliko, Mhamasishaji Bora wa Mwaka katika Mitandao ya Kijamii, Mhamasishaji Bora wa Mwaka na Tawi Bora la Mwaka.

Washindi wa tuzo hizo watatokana na kura ambazo zitapigwa na mashabiki kupitia mitandao ya kijamii na tovuti ya mosimbaawards.co.tz na kamati maalumu ya tuzo ambayo itahusisha wadau mbalimbali wa mchezo wa mpira wa miguu nchini.

Akizungumza kuhusu tuzo hizo, Dewji amesema ameanzisha tuzo hizo kwa lengo la kutambua mchango wa wachezaji, viongozi na mashabiki ambao juhudi zao zimeiwezesha Simba SC kupata mafanikio iliyonayo sasa.

Dewji amesema tuzo hizo ni sehemu ya mikakati yake ya kuifanya klabu ya Simba kuwa timu kubwa barani Afrika, ambayo itakuwa na uwezo wa kifedha ambao utaiwezesha kuwa na wachezaji na benchi la ufundi bora ambalo litaiwezesha kushinda mataji makubwa.

“Simba ni timu kubwa inastahili kuwa na tuzo zake ambazo zitakuwa zinatolewa kwa kutambua mchango wa wenzetu ambao umetuwezesha kupata mafanikio haya ikiwepo kushinda taji la Ligi Kuu ya Tanzania Bara. Ni jambo ambalo litawatia moyo kuendelea kujituma lakini hata kwa ambao watakosa itawatia hamasa na hivyo kuongeza juhudi,” amesema Dewji.

Hafla ya utoaji wa tuzo hizo itakuwa mbashara kupitia Azam.

Imetolewa na;
Kamati ya Maandalizi ya Tuzo za Mo Simba 2018

Rais Magufuli Atuma Salamu Za Rambirambi Kufuatia Vifo Katika Ajali Mkoani Kigoma

Waziri Mwakyembe Atuma Salam Za Rambirambi Kufuatia Kifo Cha Msanii Mchongaji Focus Senya

Jishindie Gari la Bure Toka Japan.....Kushiriki Ni Bure Kabisa


Polisi waanza uchunguzi matapeli wa meseji za simu

$
0
0
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kupitia kitengo cha upelelezi wa makosa ya mtandaoni, (Cybercrime investigation unit) kimesema kuwa kinafanya uchunguzi kuwabaini wanaotuma ujumbe mfupi wa simu za mkononi kwa nia ya kuwatapeli wananchi.

Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Jeshi la Polisi, Makao makuu, Barnabas Mwakalukwa, leo imesema yeyote aliyetapeliwa anatakiwa kutoa taarifa katika kituo cha polisi alichokaribu nacho.

“Tunawataka wananchi kuacha kutumia simu na mitandao ya kijamii vibaya na badala yake itumike kuhabarisha na kuelimisha jamii juu ya mambo mbalimbali ya maendeleo,” imesema taarifa hiyo.

Taarifa hiyo imesema, baadhi ya jumbe hizo ni zile zinazosema. ‘Ile hela tuma kwa namba hii’ au ‘usipige kwa sasa, spika imeharibika, tuma ujumbe,’ au ‘Mjukuu wangu ile ndagu niliyokutumia imefanya kazi na sasa unapata wateja wengi... sasa njoo uchukue ndagu nyingine ya mvuto na nyingine kama hizo.’

Pamoja na hayo Jeshi la Polisi limetoa wito kwa wananchi kutumia mitandao pamoja na simu katika kuelimisha na kuhabarisha na si vinginevyo ikiwa ni pamoja na kuwataka wananchi kupuuzia  jumbe hizo zenye lengo la kitapeli.

Bavicha: Vifo vya pacha walioungana Maria na Consolata vimeacha funzo

$
0
0
Baraza la Vijana la Chadema, (Bavicha) limesema viongozi hawana budi kushiriki kutoa huduma za afya kwa wananchi badala ya kusubiri pindi wanapofariki.

Akitoa salamu za rambirambi kufuatia vifo vya pacha walioungana, Maria na Consolata leo Juni 6, Mwenyekiti wa Bavicha Taifa, Patrick Ole Sosopi amesema vifo vyao, vimeacha funzo kubwa kwa jamii na Serikali.

Amesema Taifa linapaswa kukubali kuwa kuna tatizo kubwa la huduma za afya na uduni wa mazingira hospitalini.

 “Kila mmoja wetu kwa nafasi yake awaombee wapendwa wetu hawa waliokuwa na vipaji na malengo makubwa katika Taifa, Maria na Consolata Mwakikuti, mbele yetu nyuma yenu, Mungu awape pumziko la amani.

“Bavicha wanatoa pongezi na shukurani kwa Kanisa Katoliki walioweza kuwalea katika kipindi chote cha uhai wao,” amesema Sosopi.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya June 7

Kama Dalili Hizi Unazo Upo Kwenye Hatari Ya Kuishiwa Nguvu Za Kiume Kabisa

$
0
0
Una dalili zifuatazo?
1: Kushindwa kurudia tendo la ndoa
2: Kutojisikia hamu ya tendo la ndoa
3: Maumivu ya kiuno mgongo
4: Tumbo kuunguruma na kujaa gesi
5: Uume kusinyaa, kuingia ndani na kuwa mdogo au mfupi
6: Korodani moja kuvimba

KAMA DALILI HIZI UNAZO UPO KWENYE HATARI YA KUISHIWA NGUVU ZA KIUME KABISA

Kwa matibabu tumia OZYMIX POWER-dawa bora ya nguvu za kiume ya miti shamba ambayo haina kemikali ambayo itakuwezesha kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila hamu kuisha.
Pia tunatoa huduma hizi:>

1.Dawa ya Kuondoa michirizi
2.Kumrudisha mwanaume aliyekuacha 
 
Tunapatikana KAWE UKWAMANI karibu na kituo cha mabasi.
KWA MAWASILIANO ZAIDI ; 0716096205 /0756726865 FIKA OFISIN AU PIGA SIMU NA UTALETEWA DAWA POPOTE ULIPO DAR ES SAALAM NA KWA MIKOANI TUNATUMA KWA NJIA YA MABASI.

TEMBELEA KATIKA BLOG YETU HAPA>>>;

Rais Magufuli afanya uteuzi mwingine

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa Athumani Selemani Mbuttuka  kuwa wa Msajili wa Hazina.

Taarifa hiyo iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa imesema kuwa uteuzi wa. Mbuttuka utaanza  Juni 6, 2018.

Aidha, kabla ya uteuzi huo, Mbuttuka alikuwa Naibu Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Taifa (DAG) katika Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali  (NAOT).

Mbuttuka anachukua nafasi ya Dkt. Oswald Mashindano ambaye tayari amekwisha staaafu.

Wakurugenzi Halotel, Zantel Watupwa Mahabusu Kwa Uhujumu Uchumi

$
0
0
Watu  sita wakiwamo wakurugenzi watendaji wa Kampuni za Simu za Mkononi, Le Van Dai (35) wa Halotel na Sherif El-Barary wa Zantel, wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na mashtaka ya uhujumu uchumi.

Makosa yao yanahusisha kula njama, kuingiza, kufunga mitambo, matumizi ya laini za simu bila usajili wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na kuisababishia serikali hasara ya zaidi ya Sh. bilioni moja.

Washtakiwa hao walisomewa mashtaka yao mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Mfawidhi, Calvin Mhina, anayesikiliza usikilizwaji wa awali katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam.

Upande wa Jamhuri uliongozwa na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Nassoro Katuga akisaidiana na Wakili wa Serikali, Jaqline Nyantori.

Nyantori aliwataja washtakiwa wengine ni Lei Cao maarufu kama Peter (28), Huang Yu Meng (27), Msimamizi wa Biashara wa Halotel Zanzibar, Jimmy Mosha (26), Meneja Masoko Halotel, Willy Ndoni (29), Kampuni ya Viettel Tanzania Ltd maarufu kama Halotel iliyopo Kinondoni, na Kampuni ya ZanzibarTelecomunication PLC maarufu kama Zantel ilioyopo Msasani, jijini Dar es Salaam.

Alidai katika shtaka la kwanza, kati ya Januari Mosi, 2017 na Aprili 30, mwaka huu nchini Tanzania, mshtakiwa wa kwanza hadi wa sita, walikula njama ya kutenda kosa la kutumia huduma za mawasiliano kwa njia ya udanganyifu.

Shtaka la pili, katika ya Mei Mosi, 2017 na Aprili 30, mwaka huu katika jengo la Spring lililopo Mbezi, mshtakiwa wa kwanza hadi wa sita, kwa pamoja walifunga mitambo ya mawasiliano kwa njia ya udanganyifu na kujipatia huduma za mtandao wa Halotel na Zantel bila kibali cha TCRA .

Shtaka la tatu, nne, tano na sita kati ya Januari Mosi na Desemba 31, 2017, Aprili 30,mwaka huu jijini Dar es Salaam, mshtakiwa wa tatu na wa nne, waliingiza nchini, waliifunga na kuendesha mitambo ya mawasiliano kwa kuunganisha na kampuni hizo za simu bila kibali cha TCRA.

Shtaka la nane, kati ya Mei Mosi, 2017 na Aprili 30, mwaka huu katika jengo la Spring City, mshtakiwa wa tatu na wanne, walikutwa wakitumia laini za simu za mkononi zisizosajiliwa na TCRA 281,272 za Halotel na 11,920 za Zantel.

Aidha, upande wa Jamhuri ulidai katika shtaka la 10 kati ya Mei, 2017 na Aprili 30, mwaka huu katika matawi ya Zantel ya jijini Dar es Salaam, mshtakiwa wa pili na wa nane walitumia kwa makusudi laini za simu 11,920 zisizokuwa na usajiliwa TCRA.

Shtaka la 11 na 12, kati ya Mei Mosi, 2017 na Aprili 30, mwaka huu, washtakiwa waliisababishia serikali hasara ya Sh. 1,131,936,400.

Kwa mujibu wa mashtaka yanayowakabili washtakiwa, kisheria hawakutakiwa kujibu chochote hadi upelelezi utakapokamilika itasilizwa Mahakama Kuu Tanzania, Divisheni ya Uhujumu Uchumi au kwa kibali maalumu kutoka kwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP).

Hakimu Mhina alisema kesi hiyo itatajwa Juni 20, mwaka huu na washtakiwa watakwenda mahabusu.

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati Zenye Uwezo wa Kubadili Maisha Yako

$
0
0
Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara, Msanii wa Maigizo, Mwanamziki, ama mwanafunzi tunazo dawa na PETE za bahati zenye uwezo mkubwa wakuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu.
 
Kutana na Sharif Al_noor. Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota za binadam na bingwa wa tiba za asili Afrika mashariki. Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. -SHARIF ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOASHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA- Sasa amezianza ziara zake za mikoani na atayatembelea maeneo mbali mbali ndani na inje ya nchi.
 
Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nasiojulikana kwakutumia QUR_AN MAJI , KIOO MAJINI NA MITISHAMBA.
 
Anazo dawa za mapenzi( Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu LIMBWATA) kumrudisha  alipotea(MSUKULE), kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizpotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi, kutoa ndagu, Kutoa kinga ya mwili, nyumba, Biashara, kufukuza majini wabaya, KUUZA kwa haraka (shamba, NYUMA, GARI..), Kesi mahakamani, Kuweka Zindiko ya mwili, nyumba, shamba, Gari, kupata Kazi na kupandishwa cheo, mali na UTAJIRI bila masharti na mengine mengi ya Siri. (Anazo Pia Pochi zisizo kwisha Hela MAGIC WALLET) Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa nambari ya simu
 
+255 746 426 604

Nandy adai amekatazwa na Boyfriend wake kumzungumzia Bill Nass

$
0
0
Msanii wa muziki Bongo, Nandy amedai kuwa amekatazwa na Boyfriend wake kuzungumzia kile kilichotokea kati yake na Bill Nass.

Muimbaji huyo ameiambia U-Head, Clouds FM kuwa hata alipokuwa katika media tour nchini Kenya ni kitu ambacho alikuwa anaulizwa mara kwa mara na kukiri kuwa kilikuwa kinamsumbua.

“Kawaida nimefanya interview hayo maswali yalikuwepo, hakikuwa kitu kidogo kilienda mbali sana na kilinisumbua kiukweli lakini yameshapita,” amesema.

“Unavyoniuliza maswali sijui ya Bill Nass nimeshakatazwa na Boyfrind wangu kuyaongelea mambo hayo,” amesisitiza Nandy.

April 12, 2018 Nandy na Bill Nass walikamata headlines za kiburudani Bongo hasa katika upande wa udaku kufuatia kuvuja kwa video yao ikiwaonesha wakiwa faragha. Suala hilo lilifika hadi bungeni na polisi waliweza kuwahoji wahusika.

Bavicha Watoa Kauli kuhusu Kifo cha Maria na Consolata

$
0
0
Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), limeitaka serikali kujifunza kupitia kifo cha mapacha walioungana, Maria na Consolata ambao wamefariki Jumamosi Usiku wakati wakipatiwa matibabu katika hospitali ya Rufaa Iringa.

Kupitia taarifa ya mwenyekiti BAVICHA, Patrick Ole Sosopi amesema kuwa kama taifa inabidi kukubaliana na ukweli kuwa sekta ya afya ina changamoto nyingi ikiwepo huduma za Afya na uduni wa mazingira hivyo viongozi wanapaswa kushughulikia matatizo hayo na siyo kuwa mbele katika kushiriki misiba.

Amesema kuwa taifa limepoteza nguvu kazi ambao walikuwa na malengo pamoja na ndoto kubwa katika taifa pindi watakapokuwa wamemaliza masomo yao.

Maria na Consolata walizaliwa Novemba 19, 1997 na wamefariki Juni 2, 2018 ambapo enzi za uhai wao walikataa kutenganishwa miili yao na waliishi kwa miaka 21 wakiwa wameungana  hivyo hivyo.

Septemba mwaka jana, baada ya kufaulu mtihani wa kidato cha sita, Maria na Consolata walijiunga na Chuo Kikuu cha Kikatoliki cha Ruaha, Iringa na walianza kuugua maradhi ya moyo na Desemba mwaka jana, wakahamishiwa taasisi ya maradhi ya moyo ya Jakaya Kikwete katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam ambako walilazwa kwa miezi miwili.

Jipatie Tiba ya Asili ya Ngiri, Vidonda vya Tumbo,Kisukari na Nguvu za Kiume

$
0
0
Super nzoka IKEMEKO TRDITONAL clinic Ni dawa ya Asili ya vidonge iliyotengenezwa kwa techknojia ya kisasa na ubora wa hali ya juu 

Huongeza nguvu za kiume maradufu hata kwa wale wasiojiweza kabisa kufanya tendo la ndoa na wapo abao hata wakifanya hushindwa kutoa maji maji maji ambayo ndani yake kuna mbegu za kiume zinazotakitakiwa kurutubisha yai

Dawa hii huboresha na tunatibu nakumaliza matatizo haya kwa muda mfupi tu na haina madhara kwa mtumiaji yeyote hata wa umri wa miaka 80 na kuendelea.... inaongeza hamu, urijali kwa wanaoshindwa kuendelea na tendo la ndoa.

Huanza kufanya kazi baada ya dakika 60 tu na kufanya uchelewe kufika kileleni dakika 20 kwa tendo la kwanza itakuwa unauhakika wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuhisi kuchoka 

SILYA; inakuza uume uliosinyaa kurefusha umbile dogo urefu inchi (6-9)na unene wa cm 4 za upenyo kwa wenye kasoro za kimaumbile na walioathiriwa na kupiga punyeto pamoja na matatizo ya kiafya

Tiba hii ni ya kudumu.Pia tunatibu ngiri ya kupanda na kushuka,tumbo kuuguruma chini ya kitovu ,kaswende kisukari ,maumivu ya mgongo, kiuno, kutopata choo vizuri na uvimbe kupitia njia ya mkojo, presha, vidonda vya tumbo

Wasiliana Nasi kwa namba;  0716343218,0789289945. TUNAPATIKANA MBAGALA ZAKIEM STENDI ya musanga

Tanzia:msanii Sam Wa Ukweli Afariki Dunia

$
0
0
Msanii  wa Bongo Fleva, Sam wa Ukweli amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Palestina iliyopo Sinza jijini Dar es Salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu na mwili wake umehifadhiwa katika Hospital ya Mwananyamala.

Taarifa hiyo imethibitishwa na msambazaji wa nyimbo zake ambaye pia Meneja wa ‘Team Mtaa kwa Mtaa’, Amri the Business aliyeeleza kwa masikitiko alivyopokea makubwa kuwa Sam amefariki dunia na kumtakia kupumzika kwa amani.

“Siamini kilichotokea muda huu ila sina jinsi, kwani woote safari ni moja, pumzika kwa amani Sam wa Ukweli, hakika nilikupenda kama ndugu yangu wakuzaliwa tumbo moja, #rip” amesema Amri the Business.

Aidha, aliyekuwa mtayarishaji wa nyimbo za Sam wa Ukweli, Producer Steve amesema Sam alizidiwa zaidi Jumamosi iliyopita na walipomuuliza alisema ni ‘UKIMWI wa kulogwa’.

Sam wa Ukweli aliwahi kutamba na ngoma kama Sina Raha, Hata Kwetu Wapo, Sisikii, Milele na nyingine nyingi kali kuanzia mwaka 2010.

Mama Mzazi wa Hamisa Mobetto Alia Mwanaye Kudhalilishwa Kisa Diamond

$
0
0
Mama Mazazi wa Hamisa Mobetto amevunja ukimya kwa kile kinachoendelea kwa sasa.

Mama Hamisa amesema asingependa kuona mwanae anatukanwa mtandaoni kwani ni kitu kinachomuumiza sana. Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika;

"Mmenitukania Mwanangu hadi Tumbo la Uzazi limeniuma 😔😔 , natamani ningewazaa wawili ili ajifariji kwa mwenzie.

"Pia ningeomba familia zote zilizopo Instagram, Mpunguzieni matusi na kumdharilisha Mwanangu, kama kawakosea ninamwombea Msamaha mwezi huu mtukufu . .

"Mpeni Amani ili na mimi nifurahie furaha ya Uzazi wangu. Ni mwenyezi Mungu pekee huchagua barabara atakayopitia Mwanaadamu."

Utakumbuka Hamisa Mobetto amekuwa katika mvutano na familia ya Diamond Platnumz mara baada ya hivi karibuni kuwepo na drama tele kuwa Diamond anarudiana na mzazi mwenzie, Zari The Boss Lady. Hamisa na Diamond pia wana mtoto mmoja.

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images