Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Sakaya amkingia kifua Maalim Seif bungeni......Ataka TAKUKURU Wamhoji Yeye

$
0
0
Mbunge wa Kaliua, Magdalena Sakaya (CUF) amesema Taasisi ya Kupambana na Rushwa (Takukuru) imhoji yeye  kuhusu fedha za chama hicho kutopelekwa kukaguliwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) badala ya Maalim Seif Sharif Hamad.

Sakaya ametoa kauli hiyo jana bungeni akijibu hoja ya Mbunge wa Konde, Khatib Said Haji ambaye alitaka Maalim Seif ahojiwe kwa kutopeleka hesabu za CUF kwa CAG.

“Khatib kasema Maalim ahojiwe wakati yeye hayuko ofisini tangu mwaka jana. Suala la ruzuku ya chama anatakiwa ahojiwe Sakaya ambaye ndiye anayekaimu nafasi ya Katibu Mkuu.

“Takukuru inihoji mimi maana ndiye najua mambo ya ofisi ya CUF maana huwezi kujua mambo ya ofisini kama uko mitaani,” alisema.

Jana asubuhi wakati akichangia bajeti ya Wizara ya Fedha, Mbunge wa Konde (CUF), Khatib Ally alilitaka Bunge kuamuru, Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif ahojiwe na Takukuru kwa kutopeleka hesabu za fedha za chama kukaguliwa na CAG.

“Kama chama changu kimeshindwa kupeleka taarifa zake kwa CAG kukaguliwa na kama hakijapeleka, Napata wapi ujasiri wa kuhoji  Sh1.5 trilioni?.

Khatibu alisema Katibu Mkuu huyo, hajakitendea haki chama kwa kutopeleka mahesabu kwa CAG, kauli iliyoungwa mkono na Spika wa Bunge, Job Ndugai ambaye alisema; “katika jambo hilo tunakuunga mkono kwa kuwa ni la maana.”

Raia Wawili Washtakiwa kwa Kuhujumi Uchumi Mkoani Tabora.

$
0
0
Watu 2 wamefikishwa Mahakama ya hakimu mkazi Mkoa Tabora kwa kosa la kuhujumu uchumi.

Watuhumiwa hao waliofikishwa mahakamani  jana kwa kosa la kung'oa miundombinu ya barabara ni Mohamed Abdallah na mwanae Ramadhan Mohamed.

Wakili wa Serikali ,Innocent Rweyemamnu, aliiambia mahakama mbele ya hakimu Judica Nkya, aliyeisikiliza kwa niaba ya hakimu mkazi, Joctan Rushwela, kuwa washitakiwa waliharibu miundombinu ya barabara yenye thamani ya Shilingi milioni62.

Ameieleza mahakama kuwa washitakiwa walifanya uharibifu huo katika kijiji cha Upungu kilichopo wilayani Nzega tarehe 9 mwezi uliopita.

Washitakiwa katika Kesi  hiyo ya  uhujumu uchumi namba 13/2018 hawakutakiwa kujibu chochote na kesi hiyo imeahirishwa hadi tarehe 18 mwezi huu itakapotajwa tena na mahakama.

Miundombinu iliyoharibiwa ni vyuma ambavyo vinatumika kama kingo za kuzuia ajali za magari yanayo hama barabarani na kupunguza madhara kwa gari linapopata ajali na hivyo kuokoa mali na abiria wanaokuwepo ndani yake.

Vyuma vilivyong’olewa ni kwenye maeneo ya wilaya za Uyui na Nzega katika barabara Kuu ya Tabora hadi Nzega iliyozinduliwa na Rais John Magufuli mwezi wa nane mwaka jana.

Waziri Mkuu Atoa Ujumbe Mzito Kwa Wabunge

$
0
0
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka wabunge kuonyesha mshikamano na kupendana ili waendeleze jukumu la kuishauri Serikali.

Kiongozi huyo wa Serikali alitoa kauli hiyo jana  katika futari aliyoiandaa kwa wabunge iliyofanyika katika viwanja vya Bunge.

“Nasisitiza mshikamano miongoni mwetu katika Bunge hili la Bajeti tangu lianze, tumeonyesha mshikamano na tuendeleze mshikamano huu na kupendana miongoni mwetu ili tuendelee na jukumu la kuishauri serikali,” alisema Majaliwa.

Naye Spika wa Bunge, Job Ndugai akitoa shukrani kwa niaba ya wabunge alisema ni heshima kubwa kwani kualikwa na Waziri Mkuu si jambo ndogo.

“Kwa hiyo tujihesabie katika waliobahatika. Mheshimiwa Waziri Mkuu, tunakushukuru na tunakuombea Mwenyezi Mungu akuongezee pale palipopungua,” alisema Spika Ndugai.

Futari hiyo iliyoandaliwa na Waziri Mkuu, imehudhuriwa na wabunge karibu wote wakiwamo wa upinzani.

Kama Dalili Hizi Unazo Upo Kwenye Hatari Ya Kuishiwa Nguvu Za Kiume Kabisa

$
0
0
Una dalili zifuatazo?
1: Kushindwa kurudia tendo la ndoa
2: Kutojisikia hamu ya tendo la ndoa
3: Maumivu ya kiuno mgongo
4: Tumbo kuunguruma na kujaa gesi
5: Uume kusinyaa, kuingia ndani na kuwa mdogo au mfupi
6: Korodani moja kuvimba

KAMA DALILI HIZI UNAZO UPO KWENYE HATARI YA KUISHIWA NGUVU ZA KIUME KABISA

Kwa matibabu tumia OZYMIX POWER-dawa bora ya nguvu za kiume ya miti shamba ambayo haina kemikali ambayo itakuwezesha kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila hamu kuisha.
Pia tunatoa huduma hizi:>

1.Dawa ya Kuondoa michirizi
2.Kumrudisha mwanaume aliyekuacha 
 
Tunapatikana KAWE UKWAMANI karibu na kituo cha mabasi.
KWA MAWASILIANO ZAIDI ; 0716096205 /0756726865 FIKA OFISIN AU PIGA SIMU NA UTALETEWA DAWA POPOTE ULIPO DAR ES SAALAM NA KWA MIKOANI TUNATUMA KWA NJIA YA MABASI.

TEMBELEA KATIKA BLOG YETU HAPA>>>;

Jipatie Tiba ya Asili ya Ngiri, Vidonda vya Tumbo,Kisukari na Nguvu za Kiume

$
0
0
Super nzoka IKEMEKO TRDITONAL clinic Ni dawa ya Asili ya vidonge iliyotengenezwa kwa techknojia ya kisasa na ubora wa hali ya juu 

Huongeza nguvu za kiume maradufu hata kwa wale wasiojiweza kabisa kufanya tendo la ndoa na wapo abao hata wakifanya hushindwa kutoa maji maji maji ambayo ndani yake kuna mbegu za kiume zinazotakitakiwa kurutubisha yai

Dawa hii huboresha na tunatibu nakumaliza matatizo haya kwa muda mfupi tu na haina madhara kwa mtumiaji yeyote hata wa umri wa miaka 80 na kuendelea.... inaongeza hamu, urijali kwa wanaoshindwa kuendelea na tendo la ndoa.

Huanza kufanya kazi baada ya dakika 60 tu na kufanya uchelewe kufika kileleni dakika 20 kwa tendo la kwanza itakuwa unauhakika wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuhisi kuchoka 

SILYA; inakuza uume uliosinyaa kurefusha umbile dogo urefu inchi (6-9)na unene wa cm 4 za upenyo kwa wenye kasoro za kimaumbile na walioathiriwa na kupiga punyeto pamoja na matatizo ya kiafya

Tiba hii ni ya kudumu.Pia tunatibu ngiri ya kupanda na kushuka,tumbo kuuguruma chini ya kitovu ,kaswende kisukari ,maumivu ya mgongo, kiuno, kutopata choo vizuri na uvimbe kupitia njia ya mkojo, presha, vidonda vya tumbo

Wasiliana Nasi kwa namba;  0716343218,0789289945. TUNAPATIKANA MBAGALA ZAKIEM STENDI ya musanga

Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo Ya Uume Limekuwa Kubwa Kwa Lika Zote Hapa Kwetu Na Duniani Kote. Tatizo Si Tatizo Bali Ni Iletiba Sahihi Ya Matatizo Haya Chanzo Chake Na Visababisho Vyake.

DALILI;mwili kuchoka, maumivu ya mgongo na kiuno, kutopata choo vizuri hata ukipata choo kinakuwa kigumu au gololi kama mavi ya mbuzi. misuli ya uume kulegea na kusinyaa hata uume kulegea na kushindwa kufika kileleni. miguu kuuma na kuwaka moto.

 TIBA YAKE; 4mix ni dawa pekee inayoweza kutibu matatizo hayo inarudisha nguvu za kiume mara dufu na kufanya urudie tendo la mara tatu bila kuchoka. 

LUKUBA 3 pump; ni dawa inayorefusha na kunenepesha uume hadi inchi 7 hadi 9 na kunenepesha kwa CM 2 na kukupa umbile la uhakika. ITUMIE TIBA HII KUOKOA NDOA YAKO NA KUOKOA KUKIMBIWA NA UMPENDAYE,

 ISABILO; Ni dawa itoayo mafanikio na utajili kwa watu walioshindwa kufanikiwa kimaisha, 

MWITE; Ni dawa ya mvuto kumvuta umpendaye na kumrudisha aliyembali na atakutimizia ahadi zote awe mwanamke au mwanaume. 

LUTA CD; Ni dawa inayotibu magonywa nyemelezi yanayopunguza kinga za mwili na kusababisha mwili kuzoofu na inaondoa miwasho na kuondoa kemikali na taka zinazozagaa mwilini. 

KISUKARI; Tunayo dawa ya DAYON inayotibu na kuzalisha insulin kwa wingi na kumfanya mwenye tatizo hili kupona kabisa ugonjwa wa kisukari, kwani husababisha misuli ya mwili kutokufanya kazi vizuri

MPIGIE DR DAGOTIMAN NDIYE SULUHISHO LA MATATIZO YAKO 0754372325/  0658920640
 
HUDUMA HII INAWEZA KULETWA POPOTE ULIPO OFISI ZETU ZIPO MBAGALA ZAKHEM DAR ES SALAAM.

RPC Shana: Majambazi Nane Yakamatwa Pwani

$
0
0
Na Mwamvua Mwinyi,Pwani
JESHI la polisi Mkoa wa Pwani linawashikilia watu nane wanaosadikiwa kuwa majambazi kwa tuhuma za kuhusika na tukio la utekaji wa gari.
 
Aidha jeshi hilo limefanikiwa kuwatia mbaroni wahamiaji haramu saba kutoka nchi ya Ethiopia kwa kosa la kuingia nchini bila kibali.
 
Tukio hilo lilitokea Juni 4 mwaka huu, katika eneo la Vigwaza ambapo watu wawili waliojifanya wasamaria wema walisimamisha gari hiyo yenye namba za usajili T 311 DHS aina ya Fuso lililokuwa likiendeshwa na Abeid Victor likitokea Dar es Salam kwenda Iringa.
 
Kamanda wa Polisi mkoani Pwani (ACP) Jonathan Shanna alithibitisha kutokea kwa tukio hilo .
 
Alieleza watu hao wawili walimsimamisha dereva huyo wakihitaji msaada lakini baadae walimgeuka na kumpora gari hilo.
 
Shanna alisema, gari hilo lilikua limebeba unga wa ngano kilo 205, baada ya tukio hilo Jeshi hilo kwa kushirikiana na polisi wa mkoa wa Morogoro waliendesha msako ambao ulifanikiwa kuwakamata watuhumiwa hao kwenye mikoa ya Pwani, Morogoro, Lindi, Mtwara na Dar es Salam.
 
“Watuhumiwa hao walikamatwa wakiwa na mzigo huo wa unga na vifaa mbalimbali vya gari hilo waliloliteka”
 
“Baada ya kuhojiwa walikiri kuhusika katika tukio hilo na kisha kuonyesha walipohifadhi mzigo huo na vifaa vya gari vilivyokua vimekatwa ambavyo ni kichwa cha gari, kadi ya gari, namba za usajili wa gari, giabox na engine” alisema.
 
Shanna aliwataja watuhumiwa hao ni pamoja na Juma Chilala, Edgar Musa, Abdallah Mohamed, Ashama Bakari, Said Selemani, Kassim Nassoro na Masumbuko Selemani .
Alisema anatarajia kufikishwa mahakamani muda wowote kuanzia sasa.
 
Katika tukio lingine Jeshi hilo limefanikiwa kuwatia mbaroni wahamiaji haramu .
 
Wahamiaji hao walikamatwa katika msako unaoendeshwa na Jeshi hilo katika eneo la wilaya ya Kipolisi ya Chalinze ambapo raia hao wa Ethiopia walikutwa kwenye nyumba ambayo haijakamilika huko Pingo.
 
Shanna aliwataja wahamiaji hao kutoka Ethiopia kuwa ni Malakwi Abala(20),Elias Tadela(40), Mohamed Awole(31), Degafa Hanadamo(22)Sadebo Cakebo(38),Abraham Lamango(35) na Mahalu Tahifae wote watakabidhiwa kwa idara ya Uhamiaji kwa taratibu za kisheria.
 
Aliwaonya wahamiaji ambao wanaingia nchini bila kibali na yeyote atakayekamatwa  Sheria itachukua mkondo wake.

Maxcom Africa – Maxmalipo Wafafanua Tatizo La Tiketi Kwenye Usafiri Wa Mwendo Kasi Tarehe 3 Na 4 Juni 2018


Kauli ya Serikali Kuhusu Milioni 50 Kwa Kila Kijiji

$
0
0
Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango amesema ahadi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya kutoa Sh50 milioni kila kijiji itaanza kutekelezwa mara baada ya mfumo wa kuanza kuzitoa utakapokamilika.

Dk Mpango ametoa kauli hiyo jana jioni bungeni wakati akijibu hoja ya Mbunge wa Karagwe (CCM), Innocent Bashungwa aliyoitoa wakati Bunge likiwa limekaa kama kamati kupitia vifungu kwa vifungu vya Bajeti ya Wizara ya Fedha na Mipango ya mwaka 2018/19.

Bashungwa alisema, “Ilani ya CCM ya mwaka 2015/2020, tulitoa ahadi ya kutoa Sh50 milioni kila kijiji.” “Bajeti ya mwaka 2016/17 ilitengwa Sh60 bilioni na mwaka 2017/18 ilitenga Sh60 bilioni lakini mpaka sasa hazijaenda, nataka kujua kwa nini hazijaenda?”

Akijibu hoja hiyo, Dk Mpango alisema, “ni kweli jambo hili ni ahadi ya chama na ninaomba nikumbushe kwamba ni ahadi ya chama kwa kipindi cha miaka mitano.

Alieua mateka afa akiwatoroka polisi

$
0
0
Jeshi  la Polisi Mkoa wa Geita, limemuua kwa kumpiga risasi mtu anayedhaniwa kuwa kiongozi wa kundi la watekaji na wauaji wa watu wanaotekwa kwa lengo la kujipatia fedha.

Polisi ilisema jana kuwa mtu huyo aliuawa wakati alipojaribu kuwatoroka punde baada ya kuonyesha mashimo mawili yaliyokuwa na miili ya watu aliowaua baada ya kuwateka.

Akizungumza na waandishi wa habari jana ofisini kwake mjini Geita, Kamanda wa Polisi Mkoa, Mponjoli Lotson alimtaja marehemu huyo kuwa Panda Kinasa.

Alisema aliuawa juzi wilayani Bukombe mkoani Geita kwa kupigwa risasi baada ya kupewa onyo na kukaidi kusimama.

Kamanda Mpojoli alisema Kinasa alipigwa risasi kwenye tako na alifaraiki dunia wakati akikimbizwa kwenda Hospitali ya Bukombe, kutokana na kupoteza damu nyingi.

Mwezi uliopita katika nyakati tofauti, alisema kamanda huyo, mtuhumiwa alivamia nyumba ya mfugaji Mbuga Siga katika kijiji cha Ikuzi Lunzewe wilayani Mbogwe usiku wa saa tatu na kumteka mchunga ng'ombe wake Renard Samwel mwenye umri wa miaka 18.

Akisimulia zaidi, Kamanda Mponjoli alisema baada ya kutekeleza utekaji huo, mtuhumiwa aliacha karatasi yenye ujumbe na namba ya simu 0752 901908 akielekeza kutumiwa Sh. milioni 2 kwenye namba hiyo ili aweze kumuachia huru mateka.

"Familia ilitoa taarifa polisi na kufunguliwa jalada ambapo upelelezi ulianza kwa kufuatilia namba hiyo kupitia kitengo maalum cha Jeshi la Polisi kinachohusiana na makosa ya uhalifu wa mitandao ili kubaini alipo mtuhumiwa," alisema.

Wakati polisi ikiendelea na upelelezi wa tukio hilo, Mei 7 saa saba za usiku mtuhumiwa alivamia tena katika kitongoji cha Bwendaseko, Kijiji cha Buganzu wilayani Bukombe na kumteka Nkwambi Mwandu (25), alisema kamanda huyo.

Baada ya utekaji huo pia aliacha ujumbe na namba ile ile 0752 901908 ukielekeza atumiwe Sh. milioni 7 ili aweze kumuachia Nkwambi, alisema.

Kamanda Mponjoli alisema familia ya Nkwambi ilimudu kutuma Sh. 500,000 kwa mpesa na kisha kuripoti Polisi.

Kutokana na ripoti ya pili hiyo iliilazimu kuendeshwa operesheni maalum ambapo Mei 31 polisi walifanikiwa kumnasa mtuhumiwa kupitia mtandao na baada ya kuhojiwa alikiri kuhusika na matukio yote mawili, alisema.

"Baada ya kumkamata mtuhumiwa alikiri na kuwapeleka makachero wa polisi katika msitu uliopo Kijiji cha Msasa na kisha kuwaonyesha shimo lenye urefu wa zaidi ya futi 20 ambamo mwili wa Renard Samwel ulikuwa umetupwa na kutelekezwa," alisema Kamanda Mponjoli. Mwili huo umetambuliwa na ndugu zake.

Mtuhumiwa Kinasa anayedaiwa na polisi kuwa na ujuzi na ubobezi katika matumizi na kucheza na mtandao wa simu, alidai alimuua Samwel baada ndugu zake kushindwa kumtumia fedha aliyokuwa ameomba ili aweze kumuachia.

"Baada ya kuonyesha mwili huo mtuhumiwa aliwapeleka tena (polisi) katika shimo jingine katika msitu uliopo katika kitongoji cha Ibogolre wilayani Mbogwe na kuwaonyesha mwili wa marehemu Nkwabi Mwandu uliokuwa umetupwa na kutelekezwa kwenye shimo lenye urefu wa zaidi ya futi 30," alisema kamanda huyo na kwamba "nao umetambuliwa na ndugu zake."

Baada ya kuonyesha miili yote miwili, mtuhumiwa Kinasa alimpinga kikumbo mmoja wa askari aliokuwa nao na kuanza kukimbia kwa lengo la kutoroka, alisema zaidi Kamanda Mponjoli na kwamba hata baada ya kupewa onyo la kusimama, alikaidi na ndipo polisi walipomfyatulia risasi na kumpiga takoni.

Mwili wake umehifadhiwa katika Hosptali ya Wilaya ya Bukombe na polisi inaendelea na upelelezi ili kuwatambua washirika wa mtuhumiwa, alisema.

Credit: Nipashe

Basi lagonga treni...7 Wafariki Dunia

$
0
0
Watu 7 wamefariki dunia na wengine 27 wamejeruhiwa vibaya, baada ya basi la Kampuni ya Hamida kugonga treni ya mizigo mkoani Kigoma.

Akithibitisha kutokea kwa ajali hiyo Kamanda wa polisi mkoani Kigoma Martin Otieno, amesema kwamba ajali hiyo imetokea majira ya saa 12:15 asubuhi ya leo katika eneo la Gungu, baada ya basi hilo ambalo linafanya safari zake kutoka Mkoani Kigoma kwenda Tabora, kugonga treni ya mizigo iliyokuwa ikipita kwenye njia yake, licha ya dereva wa treni kupiga honi kumpa tahadhari dereva wa basi.

Dereva wa basi hilo ambaye hajajulikana jina ni miongoni mwa watu waliofariki, huku idadi ya vifo ikitajwa kuweza kuongezeka, kutokana na majeruhi wengi kuwa kwenye hali mbaya.

Kamanda Otieno amesema kwa sasa jeshi la polisi lipo eneo la tukio likiendelea kuokoa miili na majeruhi wengine, na taarifa zingine zitafuata mara baada ya zoezi kukamilika.

Bungeni: Serikali Yatangaza Neema ya Ajira kwa Wataalamu Sekta Ya Umwagiliaji

$
0
0
Wizara ya Maji na Umwagiliaji kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji inatarajia kuwaajiri wataalamu wa kutosha katika fani ya umwagiliaji.

Kauli hiyo imetolewa leo bungeni na Waziri wa wizara hiyo, Isaac Kamwelwe wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu, Shally Raymond ambaye alihoji iwapo kuna mpango wowote unaotekelezwa wa kuwapata wataalamu wa umwagiliaji katika muda mfupi.

Akijibu swali hilo, Kamwelwe amesema Tume ya Taifa ya Umwagiliaji inaendelea kufanya mawasiliano na Ofisi ya Rais- Menejementi ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa ajili ya kupata kibali cha kuajiri wataalamu wa kutosha katika fani ya umwagiliaji.

“Pamoja na hayo halmashauri ambazo hazina wataalam wa umwagiliaji zinashauriwa kuajiri watalaamu wa fani hizo,” amesema.

Bungeni: Serikali Kujenga Kituo Kikubwa cha Kupoozea Umeme Jimbo la Kibamba

$
0
0
Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) inatarajia kujenga kituo kikubwa cha kupoozea umeme katika Jimbo la Kibamba baada ya Kituo cha Ubungo kuzidiwa.

Kauli hiyo imetolewa leo bungeni na Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu wakati akijibu swali la Mbunge wa Kibamba, John Mnyika ambaye alihoji serikali inachukua hatua gani kwa tatizo la kukatika katika umeme katika jimbo lake.

“Serikali kupitia Tanesco inajenga kituo kikubwa cha kupoozea umeme Kibamba kwa sababu kituo cha kusambaza umeme kutoka Ubungo kwenda Kibamba kilizidiwa.

“Kituo hicho kitajengwa baada ya kukamilika vituo vya Gongolamboto na sasa unaelekea Kibamba,” amesema Mgalu.

Naye Mbunge wa Viti Maalumu, Tunza Malapo (CCM), katika swali lake la msingi amehoji ni lini tatizo la kukatika kwa umeme mara kwa mara litaisha katika Mkoa wa Mtwara.

Akijibu swali hilo, Mgalu amesema tatizo la kukatika umeme mara kwa mara katika mikoa ya Mtwara na Lindi inayopata umeme kutoka kituo cha kuzalisha umeme kwa kutumia gesi asilia kilichopo mkoani Mtwara kulitokana na kuharibika kwa mitambo ya kuzalisha umeme iliyochagizwa na uchakavu wa mitambo hiyo.

“Serikali kwa kushirikiana na Tanesco imechukua hatua mbalimbali ili kutatua tatizo la kukatika umeme katika mikoa hiyo,” amesema.

Waziri wa Elimu Profesa Ndalichako alivyomwaga machozi msiba Maria na Consolata

$
0
0
Miili ya mapacha Maria na Consolata Mwakikuti (20) waliofariki dunia Jumamosi iliyopita katika Hospitali ya Mkoa wa Iringa, imeagwa katika viwanja vya Chuo Kikuu cha Ruaha (RUCU) kabla ya kuzikwa katika makaburi ya viongozi wa dini yaliyopo Tosamaganga mkoani humo leo Jumatano, Juni 6, 2018.

Maria na Consolata ambao enzi za uhai wao walikataa kutenganishwa, watazikwa kwenye jeneza moja litakalokuwa na misalaba miwili.

Familia za baba na mama wa mapacha hao kutoka Tukuyu, Mbeya na Bukoba, Kagera, waliokuwa walezi wa mapacha hao, masista wa Consolata wa Iringa, na waombolezaji wengine,  wameungana katika kuwasindikiza mapacha hao katika safari yao ya mwisho duniani.

Pia viongozi mbalimbali wa kimkoa na wa kitaifa wameungana na waombolezaji  kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho kwa pacha hao, Maria na Consolata Mwakikuti.

Miongoni mwa waliofika ni pamoja na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Joyce Ndalichako na mkuu wa wilaya ya Mufindi Jamhuri Willium. 

Serikali Yalitaka Baraza la Maaskofu KKKT Kuufuta Waraka wa Pasaka

$
0
0
Serikali  ya Tanzania imelitaka Baraza la Maaskofu la Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania (KKKT) Tanzania kufuta waraka lililoutoa wakati wa mfungo wa kwaresma kwa madai kuwa Baraza hilo halina mamlaka kisheria ya kutoa waraka huo.

Leo Juni 6, 2018 imesambazwa barua inayoonyesha imeandikwa na Wizara ya Mambo ya Ndani kwenda kwa mwenyekiti /askofu mkuu wa KKKT iliyoandikwa Mei 30, 2018 ikitoa maelekezo ya kufutwa waraka huo ndani ya siku 10 tangu ilipoandikwa barua hiyo.

Ikiwa na kichwa cha habari ‘Ujumbe wa Baraza la Maaskofu wa KKKT’ barua hiyo inaeleza baraza hilo halitambuliki kisheria katika ofisi ya msajili.


Aidha, barua hiyo inaeleza kuwa Katiba inayotumiwa na Kanisa hilo ni ya mwaka 1960 ambayo ilipitishwa na msajili mwaka 1963. Hivyo Serikali inalitaka Kanisa hilo kuomba kibali cha kufanya marekebisho ya katiba hiyo.

==>Bado tunaendelea kufuatilia uhalisia wa barua hiyo ambayo iko hapo chini  na tutaendelea kukujuza.


Waziri Ndalichako : “Maria na Consolata ni Mashujaa wa Taifa”

$
0
0
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako ameongoza waombolezaji  kutoa heshima za mwisho kwa Mapacha walioungana Maria na Consolata mkoani Iringa amabapo alizungumza na waandishi wa habari na kusema mapacha hao  Maria na Consolata  ni  mashujaa wa Taifa  na kwamba wameliacha taifa katika simanzi nzito.

"Mara ya mwisho niliwaona pale Mwaisela wakiwa wodi ya wagonjwa mahututi, inaniumiza mno lakini mapenzi ya Mungu yatimizwe," amesema.

Amesema wizara hiyo imepoteza watu muhimu waliokuwa wakipigania elimu bila kujali ulemavu na namna walivyo.

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati Zenye Uwezo wa Kubadili Maisha Yako

$
0
0
Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara, Msanii wa Maigizo, Mwanamziki, ama mwanafunzi tunazo dawa na PETE za bahati zenye uwezo mkubwa wakuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu.
 
Kutana na Sharif Al_noor. Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota za binadam na bingwa wa tiba za asili Afrika mashariki. Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. -SHARIF ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOASHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA- Sasa amezianza ziara zake za mikoani na atayatembelea maeneo mbali mbali ndani na inje ya nchi.
 
Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nasiojulikana kwakutumia QUR_AN MAJI , KIOO MAJINI NA MITISHAMBA.
 
Anazo dawa za mapenzi( Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu LIMBWATA) kumrudisha  alipotea(MSUKULE), kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizpotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi, kutoa ndagu, Kutoa kinga ya mwili, nyumba, Biashara, kufukuza majini wabaya, KUUZA kwa haraka (shamba, NYUMA, GARI..), Kesi mahakamani, Kuweka Zindiko ya mwili, nyumba, shamba, Gari, kupata Kazi na kupandishwa cheo, mali na UTAJIRI bila masharti na mengine mengi ya Siri. (Anazo Pia Pochi zisizo kwisha Hela MAGIC WALLET) Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa nambari ya simu
 
+255 746 426 604

Bingwa Wa Magonjwa Yote Sugu Yanayosumbua Kama Vile Pumu, Vidonda Vya Tumbo, Busha, Nguvu Za Kiume, Kisukari,

$
0
0
BABU MADUHU NI BINGWA WA MAGONJWA YOTE SUGU YANAYOSUMBUA KAMA VILE PUMU, VIDONDA VYA TUMBO, BUSHA, NGUVU ZA KIUME, KISUKARI, MIVUTO YOTE, KUSAFISHA NYOTA, KURUDISHA MALI, NK.

Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo ya uume limekuwa kubwa kwa lika zote hapa duniani

Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:

KISUKARI, NGIRI,CHANGO, TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI, KIUNO KUUMA, MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA YA ZINAA, KORODANI KUVIMBANAKUUMA,VIDONDA VYA TUMBO, NK.

Tiba sahihi nabora ya tatizo la nguvu zakiume ni NYASOSE MIX, Nidawa ya vidonge asilia vilivyotengenezwa kwa kiwango bora na salama kwa ajili yakutibu mojakwamoja tatizo la nguvu za kiume maradufu

1. MKEBE NO.1 Hutibu nguvu za kiume mda mfupi sana kati ya umri wa miaka 18-85 naitakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 20 hadi 40 tendo la kwanza bila kuchoka naitakufanya uwe na hamu ya kuendelea na tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila hamu kuisha.

MHESHA POWER
MKEBE NO 2 ni dawa ya kuboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi uipendayo inchi 6,7 hadi 8 kwa mda mfupi sana.dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk 67 ukisha tumia guarantee miaka 55 ikishakutibu.

Pia tunatibu,

KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU,MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE, BP, BUSHA BILA UPASUAJI NK.

ITINYA,
Nidawa ya mvuto wa biashara,kazi,hupandisha cheo humfanya mfanyakazi apendwe na mwajiri wake, humvuta mme,mke,hawara,mchumba,unaemhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zako kwa dhati utampata kwa mda wa dk 45 tu naatatulia milele nakumfunga asitoke inje ya ndoa pia ana pete za bahati ambazo zimetajilisha wengi.

SUPER POWER,
Nidawa ya yakupunguza matiti,unene tumbo,kitambi kwa akina baba,hutoa mafuta mabaya mwilini,makovu sehemu mbalimbali mwilini,chunusi sugu,minyama uzembe,michirizi mwilini,nakuongeza makalio hips,mguu wa bia nk.

BABU MADUHU ANAPATIKANA MAGOMENI MOROCCO HOTEL/KANISANI

SIMU NO 0652 102 152/0755 684 297/0788 330 105.

HUDUMA HII UNAWEZA KUIPATA/KULETEWA MAHALI POPOTE NCHINI

Makanga 3 Power; Dawa Bora Nguvu Za Kiume

$
0
0
Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.
Tupo dar es salam mbagala rangi tatu.

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348. Au 0659 103 360.

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume,maumbile Madogo, Mvuto Wa Mapenzi ,magonjwa Sugu

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0785687900
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images