Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo Ya Uume Limekuwa Kubwa Kwa Lika Zote Hapa Kwetu Na Duniani Kote. Tatizo Si Tatizo Bali Ni Iletiba Sahihi Ya Matatizo Haya Chanzo Chake Na Visababisho Vyake.

DALILI;mwili kuchoka, maumivu ya mgongo na kiuno, kutopata choo vizuri hata ukipata choo kinakuwa kigumu au gololi kama mavi ya mbuzi. misuli ya uume kulegea na kusinyaa hata uume kulegea na kushindwa kufika kileleni. miguu kuuma na kuwaka moto.

 TIBA YAKE; 4mix ni dawa pekee inayoweza kutibu matatizo hayo inarudisha nguvu za kiume mara dufu na kufanya urudie tendo la mara tatu bila kuchoka. 

LUKUBA 3 pump; ni dawa inayorefusha na kunenepesha uume hadi inchi 7 hadi 9 na kunenepesha kwa CM 2 na kukupa umbile la uhakika. ITUMIE TIBA HII KUOKOA NDOA YAKO NA KUOKOA KUKIMBIWA NA UMPENDAYE,

 ISABILO; Ni dawa itoayo mafanikio na utajili kwa watu walioshindwa kufanikiwa kimaisha, 

MWITE; Ni dawa ya mvuto kumvuta umpendaye na kumrudisha aliyembali na atakutimizia ahadi zote awe mwanamke au mwanaume. 

LUTA CD; Ni dawa inayotibu magonywa nyemelezi yanayopunguza kinga za mwili na kusababisha mwili kuzoofu na inaondoa miwasho na kuondoa kemikali na taka zinazozagaa mwilini. 

KISUKARI; Tunayo dawa ya DAYON inayotibu na kuzalisha insulin kwa wingi na kumfanya mwenye tatizo hili kupona kabisa ugonjwa wa kisukari, kwani husababisha misuli ya mwili kutokufanya kazi vizuri

MPIGIE DR DAGOTIMAN NDIYE SULUHISHO LA MATATIZO YAKO 0754372325/  0658920640
 
HUDUMA HII INAWEZA KULETWA POPOTE ULIPO OFISI ZETU ZIPO MBAGALA ZAKHEM DAR ES SALAAM.

VIDEO | ROSA REE Ft. EMTEE - WAY UP | Watch/Download

$
0
0
VIDEO | ROSA REE Ft. EMTEE - WAY UP | Watch/Download 


Jinsi Ya Kuandaa Na Kutayarisha Lishe Maalumu Ya Kuongeza Na Kunenepesha Mwili

$
0
0
Kama umekonda  na  kudhoofika  mwili  kutokana  na  sababu  mbalimbali  kama  vile kuugua  magonjwa  na  maradhi  mbalimbali  au  kupatwa  na  msongo  mawazo, basi  fuata  maelekezo  yafuatayo  ili  upate  kujua  namna  ya  kuandaa  na  kutayarishe  lishe  maalumu  ya  asili  itakayo  kusaidia kunenepa  na  kurejesha  afya  ya  mwili  wako  katika  hali  yake  ya  kawaida.

MAHITAJI:
1.    Dawa  Lishe  ya  kuongeza  na  kunenepesha  mwili

2.   Asali  ya  tende

3.   Ufuta

4.     Ukwaju

5.    Kitunguu  swaumu

6.   Giligiliani

7.    Juisi  ya  Komamanga na  Asali

MATAYARISHO  NA  MATUMIZI
Matumizi  ya  lishe  hii, yame  gawanyika  katika  awamu  kuu  mbili. Awamu  ya  kwanza, itachukua  siku thelathini  na  awamu  ya  pili  itachukua  siku  thelathini pia.

Katika  awamu  ya  kwanza , mgonjwa  atatumia  DAWA  LISHE  YA  KUNENEPESHA  MWILI, ASALI  YA  TENDE  NA  UFUTA  na  awamu  ya  pili, mgonjwa  atatumia   UKWAJU, KITUNGUU  SWAUMU, GILIGILIANI  na  JUISI  YA  KOMAMANGA  & ASALI  kwa  kufuata  utaratibu  utakao  elezwa  hapo  chini.

AWAMU   YA   KWANZA
SIKU   THELATHINI  ZA  KWANZA

Mahitaji

1.   Dawa  lishe  ya  kuongeza  na  kunenepesha  mwili

2.   Ufuta

3.   Asali  ya  Tende  (   Dates  Syrup )

MATAYARISHO  , MAELEKEZO  NA  MATUMIZI
1.   Dawa –Lishe  ya  Kunenepesha  Mwili

Chukua  vijiko   vitatu vikubwa  vyenye  dawa  yako, kisha  changanya  na  maji  nusu  lita halafu chemsha  hadi  itokote, Ikiisha  tokota, ipua  acha  ipoe  kidogo kisha  tumia  kunywa  pamoja  na  machicha  yake.  Utafanya  hivyo  mara  mbili  kwa  siku  asubuhi  na  jioni  kwa  muda wa  siku  thelathini.

2.   Ufuta : Matayarisho : Chukua  vijiko  vikubwa  vinane  vyenye  ufuta, kisha  changanya  na  lita  moja  na  nusu  ya  maji. Kama  hauna  tatizo  na  sukari, unaweza  kuongeza  na  sukari  kiasi ili  kuipa  ladha.  Ikisha  tokota, ipua iache  ipoe  kiasi  kisha  tumia  kula  ufuta wote  pamoja  na  supu  yake  ama  juisi  yake. Utafanya  hivyo mara  mbili  kwa siku  asubuhi  na  jioni  kwa  muda  wa  siku  thelathini.

(N.B:   KAMA  UNA  NAFASI,  BADALA  YA  KUTUMIA  VIJIKO  VINANE  TU VYA  UFUTA  KWENYE LITA  MOJA  NA  NUSU  YA  MAJI, WEWE  TUMIA  ROBO KILO  YA  UFUTA  KWENYE  LITA  TATU  YA  MAJI, CHEMSHA  HADI  ITOKOTE,  IACHE  IPOE, KISHA  TUMIA  KULA . FANYA  HIVYO  MARA  MBILI  KWA  SIKU  ASUBUHI NA  JIONI  KWA  MUDA  WA SIKU  THELATHINI )

2.   ASALI  YA  TENDE
3.   Tumia  kula  vijiko vikubwa  vinne  vya  tende  mara  mbili  kwa siku  asubuhi  na  usiku   kwa  muda  wa  siku  thelathini. Yaani  asubuhi  kula  vijiko  vikubwa vinne  na  usiku  kula  vijiko  vikubwa vinne  vya  asali  ya  tende.

( HABARI  NJEMA  KWA  WATEJA  WETU  NI  KWAMBA, ASALI  YA  TENDE  SASA  INAPATIKANA  MOJA  KWA  MOJA  DUKANI   KWETU . UTAPATIWA  DAWA  LISHE  PAMOJA  NA  ASALI  YA  TENDE  UTAKAYO  ITUMIA  KWA  MUDA  WA  SIKU  THELATHINI  KWA  UTARATIBU  WA  MAELEKEZO  HAYO  HAPO  JUU )
AWAMU   YA  PILI
Awamu  ya  pili  ya  lishe  hii, itaanza  baada  ya  kukamilika  kwa  siku  thelathini  za  kutumia  dawa  lishe, ufuta  pamoja  na  asali  ya  tende. Kama  ilivyo  kuwa  kwa  awamu  ya  kwanza, awamu  ya  pili  pia  itachukua  muda  wa  siku  thelathini

MAHITAJI, MATAYARISHO   NA  MATUMIZI

1.  UKWAJU
Matayarisho na  Maandalizi
Chukua ukwaju  kiasi  cha  robo kilo , weka  kwenye  maji  kiasi  cha  lita  moja, ongeza pilipili  manga kiasi cha  kijiko kimoja kidogo  ( tea spoon ) halafu ongeza sukari  vijiko  vitatu vikubwa, ongeza karafuu  ya unga  kijiko kimoja kidogo, pamoja  na hiriki vijiko  vikubwa  viwili.

Ukisha  fanya  hivyo, chemsha  hadi  mchanganyiko  wako  utokote. Ukisha  tokota, ipua  na  kuchuja  kisha  weka  kwenye  chombo  kisafi.

MATUMIZI :
Tumia  kunywa  mchanganyiko  huu kila  siku  asubuhi  baada  ya  kunywa  chai. Utafanya  hivyo  kwa  muda  wa  siku  thelathini  mfululizo.

2.   JUISI   YA  KOMAMANGA  NA  ASALI
Matayarisho  na  Matumizi

Tayarisha  juisi  ya  komamanga  kiasi  cha  nusu  lita, changanya  na asali ya  kawaida  vijiko vikubwa    vinane, kisha  ongeza  chumvi kijiko kidogo( tea spoon)

Koroga  mchanganyiko  wako  halafu  tumia  kunywa. Utafanya  hivyo  mara  moja   kwa  siku kwa  muda  wa  siku thelathini.

Matunda  ya  makomamanga  yanapatikana  masokoni, ingawa  mara  nyingi  hupatikana  kwa  uchache. Kama  utabahatika  kupata matunda  mengi, basi  unashauriwa  kuyachukua  kwa  wingi  na  kuyahifadhi, sehemu  salama ili usipate  usumbufu  wakati  wa  kutumia  tiba  yako.

Mbali  na  kutumika  katika lishe  ya  kuongeza  na  kunenepesha  mwili, tunda  la  komamanga, linasaidia  kuondoa  harufu  mbaya  ya  kinywa. Kwa  kuondoa  harufu  mbaya  ya  kinywa, kula  walau  tunda  moja  la  komamanga  kwa  siku  kwa  muda  wa  siku  thelathini  mfululizo. Utapata  matokeo  mazuri . ( HII  ITAWASAIDIA  ZAIDI  WALE  AMBAO  TATIZO  LAO  LA  KUTOKWA  NA  HARUFU  MBAYA  YA  KINYWA  LIMEANZIA  KINYWANI  NA  SIO  TUMBONI

ALTERNATIVE (MBADALA )  WA JUISI  YA  KOMAMANGA  ILIYO  UNGWA  NA  ASALI.

Kama  utashindwa  kupata makoma manga, basi  utafanya  kama  ifuatavyo :

KITUNGUU  SWAUMU
Chukua punje  nne  za  vitunguu  swaumu, zitwange kisha  tia  kwenye  maji nusu lita halafu ongeza  juisi  ya  ndimu  moja  au  limao  moja kisha  chemsha hadi mchanganyiko  wako  uchemke.

Matumizi :  Tumia  hivyo kila  siku  usiku baada  ya  kula  chakula cha  usiku. Utafanya  hivyo  kwa  muda  wa  siku  thelathini mfululizo.

AU
Vile vile , mbadala  mwingine wa  kutumia  juisi  ya komamanga  iliyo  changanywa  na  asali, unaweza  kutumia  JUISI  YA  GILIGILIANI  kwa  kufuata  utaratibu  ufuatao :

JUISI   YA   GILIGILIANI
MATAYARISHO   NA   MATUMIZI YA  JUISI  YA  GILI GILIANI

Chukua giligiliani  fresh, kisha zi -blend ( ZISAGE ) ili  kupata  juice  yake  kiasi  cha  robo  lita.

 Ndani  ya  juisi  yako  ya  giligiliani, kamuliamo ndimu fresh moja, halafu  ongeza  chumvi  kiasi robo  kijiko  kidogo ( tea spoon), koroga  kisha  tumia  kunywa.  Utakunywa  usiku  baada  ya  kula  chakula  cha  usiku. Utafanya  hivyo mara   moja  kwa  siku  kwa  muda  wa  siku  thelathini  mfululizo.

PIA : Jenga  utaratibu  wa  kuwa  unakula    giligiliani kwa wingi. Hakikisha  katika  kila  mlo  wako, inakuwepo  mboga  ya  giligiliani  pembeni.

VITU   VINGINE VYA   KUZINGATIA..
Pamoja na kutumia  lishe  hii  ya  asili  kwa  kufuata  utaratibu  huo  hapo  juu, unashauriwa  kuzingatia  matumizi  ya  vyakula  vifuatavyo:

TANGAWIZI
Jenga  tabia  ya  kuwa  una tumia  tangawizi, kila  mara  upatapo  nafasi.  Utaratibu  wa  jinsi  ya  kutayarisha  tangawizi ni  kama  ifuatavyo :

Chukua kipande  kimoja  cha  tangawizi, kisha  kitwange  halafu ongeza  vikombe  viwili vya  maji  vyenye  ujazo  wa  milimita  mia  mbili  na  hamsini ( 250 mills). Chemsha pamoja  kisha ongeza  maziwa  kiasi cha  robo lita  na  sukari ili kupata  ladha.  Fanya  hivi  kila  mara  uapatapo  nafasi. Ukiweza kufanya  hivyo walau  mara  mbili  kwa  siku, itakuwa  vizuri  zaidi.

  AU  chukua  kipande  kimoja  cha  tangawizi, kitwange kisha  chemsha pamoja  na  chumvi nusu  kijiko  kidogo  kwenye  maji kiasi  cha  nusu   lita  halafu tumia  kunywa  kikombe  kimoja  nusu  saa  kabla  ya  kula  chakula chako  cha  asubuhi, mchana  na usiku.

HIRIKI
Jenga utaratibu  wa  kuwa  unakunywa  mara  kwa  mara  chai  iliyo  changanywa  na  hiriki.

MACHUNGWA
Jenga utaratibu  wa  kuwa  unakula  machungwa kwa  wingi,  kwa  kadri utakavyo  weza. Unashauriwa  kuwa  unachanganya na  chumvi  kidogo  pamoja  na  pilipili  manga.

KWA  MAHITAJI  YAKO  YA  DAWA-LISHE  YA  KUNENEPESHA  & KUONGEZA  MWILI  PAMOJA  NA  ASALI  YA  TENDE.

Kwa  mahitaji  yako  ya  DAWA-LISHE ya  kuongeza & kunenepesha  mwili, pamoja  na  asali  ya  tende, fika  katika  duka  la  NEEMA  HERBALIST.

Tunapatikana  UBUNGO  jijini  DAR  ES  SALAAM, jirani  na  SHULE  YA  MSINGI   UBUNGO  NATIONAL  HOUSING  nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA.

WASILIANA  NASI  KWA  SIMU  NAMBA  0766 53 83 84.

Kwa wateja  wetu  waliopo  jijini  Dar  Es  Salaam, ambao  hawana  nafasi  ya  kufika  dukani  kwetu  Ubungo, tunayo  huduma  ya  kuwapelekea  dawa  mahali  walipo ( HOME & OFFICE  DELIVERY  )

Kwa wateja  waliopo  nje  ya  mkoa   wa  Dar  Es  Salaam,  watatumiwa  dawa  kwa  kutumia  mabasi  mbalimbali.

Kwa  wateja  waliopo  Zanzibar, watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  usafiri  wa  boti.

Kwa  wateja  waliopo  ughaibuni, watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  POSTA  au  DHL.

Na kwa  taarifa  zaidi  kuhusu  huduma  zetu, tutembelee  kila  siku  katika  blogu  yetu :

Makonda Awachongea Wakazi wa Dar kwa Makamu wa Rais " Wakazi wa Dar ni Wachafu na Wanatia Aibu"

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amemwambia Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu kuwa wakazi wa Mkoa huo ni wachafu na wanatia aibu.

Makonda ameyasema hayo katika Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani, ambapo amesema kuwa usafi ni tatizo kubwa katika mkoa huo.

“Usafi ni moja ya tatizo kubwa katika Mkoa wa Dar es Salaam, na kwa kweli tunavyoonekana ni wastarabu na baadhi ya Mikoa mingi wanatamani kuwaona wajanja wa Dar es Salaam, lakini ukweli usiofichika Mh. Makamu wa Rais Dar es Salaam ni wachafu na wanatia aibu,” alisema RC Makonda.

Diamond Aungana na familia Yake kwa Mara ya Kwanza Tangu Alipogombana na Mama Watoto Wake.

$
0
0
Baaada ya tetesi nyingi kusambaa kwamba mwanamuziki Diamond Platinumz inawezekana amerudiana na mama mzazi wa watoto wake Zari the bossy ambae kwa sasa yuko Afrika ya Kusini, sasa imethibitika baada ya kusambaa kwa picha ikimuonyesha msanii huyo akiwa na watoto wake.

Pamoja na kwamba mara ya kwanza alikuwa akisema amekuwa akienda kuwaona watoto wake afrika ya kusini lakini hakukuwahi kuwa na picha iliyowahi kuthibitisha  hilo mpaka jana walipotoa picha hiyo kwa mara ya kwanza kwa takribani miezi minne tangu walipokuwa wamegombana

Waziri Mkuu: Kutangaza Nyongeza Ya Mishahara Hadharani Kuna Madhara

$
0
0
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeweka wazi kuwa suala la kutangaza nyongeza za mishahara kwa watumishi wa umma hadharani husababisha athari kwa jamii nzima na kwa wale ambao siyo watumishi.

Hayo yamesemwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati akiwa bungeni kwenye kipindi cha maswali kwa Waziri Mkuu wakati akijibu swali la Mbunge Suzani Lyimo aliyehoji ni kwa nini serikali ya awamu ya tano inakiuka sheria ya utumishi wa umma ya kutoa nyongeza kwa watumishi wake.

Mh. Majaliwa amesema kwamba siyo kwamba serikali haikusudii kuongeza mshahara kwa watumishi wake  lakini kutumia siku kama Mei 1 kutangaza nyongeza za mishahara husababisha athari kwa wananchi wote kwani vitu vinaweza kupanda bei na kusababisha usumbufu kwa watu wengine wasiopokea mishahara.

Pamoja na hayo, Mh Majaliwa ameeleza kuwa "Suala la mshahara ni siri ya mtu. Siyo lazima litangazwe hadharani. Ndiyo maana hata tunapolipa madeni hatutangazi lakini wanaodai wanaona kwenye mishahara yao kwamba malipo yanaingia. Lengo la serikali ni kupunguza na gharama za maisha".

Ameongeza "Serikali ina utaratibu wa kuwapa stahiki watumishi kadiri inavyotakiwa na inaratibiwa vizuri.  Tunaendelea na uboreshaji wa maeneo hayo kama nyongeza za mshahara, na upandishaji wa wa madaja. Watumishi wawe na imani na serikali. Rais alitenga zaidi ya bilioni 200 na tumeshaanza kulipa madeni. Nyongeza za mishahara zitatolewa kwani Rais alikwisha ahidi"

Waziri Mkuu Asisitiza Kuzichukulia Hatua Asasi Za Kiraia

$
0
0
Mbunge wa Longido (CCM) Dkt. Steven Kiruswa ameitaka Serikali kuyafutia usajili Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGO’s) ambayo huongeza uchochezi nchini kwa kujishughulisha katika masuala ya siasa na hivyo kuhatarisha amani ya watanzania

Mbunge Dkt. kiruswa amesema hayo leo Juni 7, 2018 Bungeni Jijini Dodoma, wakati wa kipindi cha maswali na majibu kwa Waziri Mkuu, na kuongeza kuwa Mashirika hayo yamekuwa yakifanya shughuli ambazo haziendani na malengo ya kuanzishwa kwake na kutaka kauli ya Serikali kusema ni lini itazifuta Taasisi hizo.

Akijibu swali hilo Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema kwamba zipo sheria ambazo zinayaongoza Mashirika hayo baada kupewa usajili na endapo kutatokea ukiukwaji wa Kanuni na taratibu serikali haitasita kuchukua hatua

“Pale ambapo itaibanikia NGO’s hizi hazitimizi wajibu wake na zinafanya shughuli nyingine na zinazopelekea mtafaruku ndani ya jamii, upo utaratibu wa kisheria ambao unachukuliwa kama ambavyo sheria inaruhusu, kwahiyo Serikali itaendelea na utaratibu wake wa kawaida wa kuzipitia hizo NGO’s kuona kazi zinazofanywa ndizo zilizokusudiwa wakati wa usajili”, amesema Majaliwa.

Waziri Mkuu Majaliwa ameongeza kuwa Mashirika hayo yasiyo ya kiserikali yana umuhimu wake katika nchi, kwasababu husaidia serikali kutimiza baadhi ya majukumu ya kijami kwakuwa serikali haiwezi kufanya kila kitu.

Naibu Spika Amkingia Kifua Waziri Mkuu Kuujibia Waraka Wa KKKT

$
0
0
Siku moja baada ya Msajili wa Vyama kuiandikia barua Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT)  kukanusha waraka walioutoa wakati wa Pasaka, Mbunge wa Vunjo, James Mbatia ameitaka Serikali kutoa kauli kuhusiana na hilo.

Mbatia ameihoji serikali leo wakati wa maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.

“Mheshimiwa Waziri Mkuu, jana msajili wa vyama ameiandikia kanisa la KKKT barua akitaka ifute waraka wake wa pasaka, serikali inatoa kauli gani kuhusiana hilo na ikizingatiwa hawa ni wadau wakubwa wa amani kwa taifa letu na hapo spika ameanza kwa kuomba dua,”amehoji Mbatia.

Kutokana na hilo, Naibu Spika, Dk. Tulia Ackson amemkia kifua Waziri Mkuu akisema kwamba itakumbukwa kuwa Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea alihoji kuhusu masuala ya dini lakini Spika Job Ndugai akamwambia waziri mkuu hawezi kujibu masuala ya imani.

“Mtakumbuka kuwa Kubenea aliwahi kuuliza masuala ya dini hapa lakini spika akamwambia kwamba waziri mkuu hawezi kujibu swali hilo kwa kuwa ni suala la imani,”amesema.

Upinzani Wawataka KKKT, Kanisa Katoliki Kutojibu Barua Ya Msajili

$
0
0
Wabunge wa Kambi ya Upinzani Bungeni, wamewataka viongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania  (KKKT) na Kanisa Katoliki, kutoijibu serikali kuhusu barua waliyopewa na Msajili wa Vyama ya kukanusha waraka wao.

Akizugumza na waandishi wa habari kwa niaba ya kambi hiyo leo jijini Dodoma, Mbunge wa Vunjo, James Mbatia amesema mamlaka za nyaraka za makanisa hayo ni mamlaka ya kibiblia.

Amesema makanisa hayo makubwa nchini yamekuwa yakitoa huduma kubwa katika jamii hivyo kwa jambo lililofanywa na msajili wa vyama kisaikolojia wamedharauliwa.

“Sisi tunawashauri viongozi hawa wa dini kutowajibu serikali halafu tuone wanachukua hatua gani,” amesema.

Kwa upande wake Mbunge wa Kibamba, John Mnyika amesema serikali inapaswa kukanusha barua hiyo na kwamba jambo hilo halitakwisha watatumia kanuni za bunge ndani siku 10 kuomba miongozo hadi pale serikali itakapotoa majibu.

“Naibu Spika ametumia madaraka vibaya kwa kumkingia Waziri Mkuu asilijibu hili bungeni. Jambo hili haliwezi kuisha leo katika siku hizi 10 tutahakikisha tutauliza maswali, kuomba miongozo hadi serikali itakapowajibika na tutalifanya kwa umoja wetu hadi haki ya viongozi hawa ipatikane,” amesema Mnyika

Bodi ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Kikangooni Bungeni Leo....PAC Leo Watawahoji Kuhusu Matumizi ya Bilini 12

$
0
0
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) leo Alhamisi Juni 7, 2018 inakutana na bodi na menejimenti ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuihoji juu ya tuhuma zinazowakabili.

Benki hiyo inatuhumiwa kutumia bima binafsi badala ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF).

“Leo tumewaita na tutakutana nao. Baada ya kukutana nao taarifa tutaiwasilisha kwa Spika kama alivyotuagiza," amesema  mwenyekiti wa PAC Naghenjwa Kaboyoka ambaye pia ni mbunge wa Same Mashariki (Chadema)

Tuhuma kuhusu BoT ziliibuliwa na mbunge wa Ulanga (CCM), Goodluck Mlinga Juni 4, 2018 bungeni  katika mjadala wa bajeti ya Wizara ya Fedha na Mipango mwaka 2018/19.

Mlinga amesema BoT inatumia Sh12bilioni kwa mwaka badala ya Sh1bilioni kugharamia matibabu ya watumishi wake.

Peter Msigwa, DC Kasela Warushiana Maneno 'Machafu' Mitandaoni Kisa Msiba wa Mapacha

$
0
0
Siku moja baaada ya pacha walioungana, Maria na Consolata kuzikwa, kumetokea mzozo baina ya Mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msigwa na Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Richard Kasesela katika akaunti ya mtandao wa kijamii wa Twitter.

Mzozo ulianza jana Juni 6, 2018 baada ya Msigwa kuandika twiti akisema: “DC Kasesela anafanya siasa kwenye msiba wa Maria na Consolata. Bila aibu hajaacha kutaja jina langu akidhani kwa kufanya hivyo itamsaidia kisiasa. Kasesela usitumie huo msiba kwa faida ya kisiasa. Shame on you! Umeshindwa hata kumtambua Meya wa mji.”

Asubuhi ya leo Juni 7, 2018 Msigwa ameandika tena twiti akisema: “DC Kasesela kila wakati is looking for attention! niliwahi kusimuliwa watu wa aina hii! Kukiwa na harusi anatamani awe bwana harusi! Kukiwa na ubatizo anatamani awe mbatizwaji! Kukiwa na msiba anatamani awe jeneza. Boys are always looking for attention, men always have attention.”

Akijibu hilo, Kasesela akaandika: “Mheshimiwa Mbunge is this Real you?! Nimesema neno gani baya?”

Msigwa akaandika: “Umesema mbele ya hadhara kuwa mimi sijatuma rambirambi ulijuaje? Kwani mimi nilipaswa kukupa wewe ? Hao wabunge wa CCM hawajakuambia kama nilichangia! Kwani unadhani watu wa Iringa hawamjui mbunge wao?”

Kasesela: “Omba re play you should not stress yourself nimegundua hukunisikia umeambiwa.”

Msigwa: “Nimekusikia watu walikushangaa sana unaposema eti Rita ni mbunge wa Iringa! Na walikupinga! Umeshindwa kumheshimu Meya wa Mji! Hata wewe hustahili heshima.”

Kasesela: “Sasa Rita Kabati ni mbunge wa wapi.”

Msigwa: “Acha ushamba”

Kasesela: “Mimi nimekubali ushamba toka jana Kaka”

Msigwa; “Kwa Kweli washamba wanaviherehere!”

Zitto Kabwe, Polepole, Dr Mashinji Wafunguka Mazito Sakata la Waraka KKKT

$
0
0
Lile sakata la serikali kuliandikia barua Kanisa la Kiinjili la Kilutheri, (KKKT) limezua mjadala kwenye twitter za viongozi mbalimbali wa kisiasa.

Jana Juni 6, mara baada ya kusambaa kwa barua hiyo inayodaiwa kuandikwa Mei 30 na Wizara ya Mambo ya Ndani ikilitaka KKKT kuufuta waraka wa maaskofu, viongozi wa kisiasa walianza kutuma ujumbe kwenye akaunti zao za twitter.

Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo) Zitto Kabwe ameandika katika ukurasa wake akisema: “Tishio la serikali kwa kanisa la KKKT linapaswa kupingwa na kila mtanzania. Tukiruhusu KKKT kuingiliwa, hakuna atakayepona.”

Jana jioni, Zitto aliandika tena na safari hii alipeleka ujumbe moja kwa moja kwenda kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi, wa CCM, Humphrey Polepole akisema:

“Nimeambiwa kuwa TEC ya Kanisa Katoliki pia imepewa barua kama ya KKKT. Serikali ya CCM ya awamu ya Tano imeamua kupambana na makanisa 2 makuu nchini ...”

Baada ya kutumwa kwa ujumbe huo na Zitto, Polepole amejibu akisema:

“Serikali makini ina wajibu wa kukumbusha, kuelekeza, kuonya au kuchukua hatua kwa mtu/taasisi yoyote inayokwenda kinyume na taratibu za nchi ambazo tumejiwekea. Nimeisoma barua ya Msajili anazo hoja za msingi. Usijichomeke hapa kutafuta huruma na umaarufu hewa. Soma Warumi 13:1-5.”

Kwa upande wake, Katibu Mkuu wa Chadema, Vincent Mashinji yeye ameandika akisema:

“Nimeona barua hii kwa masikitiko na majonzi makubwa. Naweza sema tu kwamba: “hakuna mtu mwenye akili timamu aliyewahi kuvunja kioo kilichomwonyesha uchafu wake.”

Tunatibu Na Kuponesha Kabisa Upungufu Wa Nguvu Za Kiume, Maumbile Mdogo, Busha Bila Kupasua

$
0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO BUSHA BILA KUPASUA PRESHA VIDONDA VYA TUMBO : Asilimia kubwa ya wanadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wapo waliohangaika sehemu mbalimbali bila mafanikio.

Mabula Clinic ni kituo cha tiba asilia kilichopo mbagara zakhemu njia kuu ya jeshini. Je unaupungufu wa nguvu za kiume au uume wako mdogo na mwembamba? 

Mapro pawer no 2 ndio tiba, kwa sasa hutibu matatizo matatu kwa pamoja 1. itakufanya uchelewe kufika kileleni dikika 15-20 kwa tendo la kwanza 2. Huimalisha misuli iliyolegea na kusinyaa hasa kwa wale walio athirika na upigaji punyeto 3. itakufanya upate hamu ya kurudia tendo zaidi ya mara tatu :Kwa nini ujione mpweke pale ukutanapo na mpenzi au mke wako kisa unawai kukojoa au unakomea bao moja tu na huku dawa zipo 

Makakanua mix ni dawa iliyochanganywa na miti shamba 9 na kuwa na uwezo wa kuongeza uume saizi upendayo inchi 5-8 kwa urefu na unene sentimita 1-5, dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ata wazee wenye umri mkubwa wanapona

 Zipo dawa za mvuto wa mpenzi mme au mke kwa masaa matatu tu ,mvuto wa biashara, kutengeneza mwonekano mzuri wa mwili kwa wanawake yani shepu.

Tunatibu ngiri, miguu, mgongo na kiuno kuumwa, kupunguza kitambi minyama uzembe matiti na mwili mkubwa 

Tiba na ushauli muone Dr Mabula au piga simu no 0743362017.Huduma zangu utazipata popote ulipo kama uwezi kufika ofisini

Ahadi za Wagombea Urais Zahojiwa Bungeni

$
0
0
Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema), Sophia Mwakagenda amehoji ni lini Serikali itazuia ahadi za wagombea urais  ambazo zinachukua muda mrefu kutekelezeka.

Sophia ameuliza swali hilo bungeni mjini Dodoma leo Alhamisi Juni 7, 2018, kuwa “Ni lini Serikali itazuia ahadi za wagombea urais ambazo wanatumia muda mrefu kuzitekeleza kama vile ujenzi wa barabara na zahanati.”

Akijibu swali hilo,  Naibu Waziri wa Tamisemi, Josephat Kandege amesema wagombea urais huenda kuuza sera na ilani za vyama vyao ili wachaguliwe na wananchi.

“Ilani ni mikataba ya miaka mitano hakuna sababu ya kuzuia kwasababu zimekuwa zikitekelezwa na mheshimiwa Naibu Spika wewe umekuwa shuhuda wa majibu yanayotolewa ya utekelezaji wa Ilani ya CCM,”amesema.

Urusi Yatoa Kauli mkutano wa Trump na Kim

$
0
0
Urusi imetoa kauli yake kuhusu maandalizi ya mkutano wa kihistoria yanayoendelea kati ya Rais wa Marekani, Donald Trump na kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un.

Akizungumza hivi karibuni, Rais  wan chi hiyo, Vladimir Putin amesema kuwa nchi yake itahakikisha kuwa mkutano huo unafanikiwa huku akitoa tahadhari ya ziada.

Rais Putin amezitaka nchi za Magharibi pamoja Urusi yenyewe kuihakikishia Korea Kaskazini usalama na maendeleo ya kiuchumi ili mkutano huo uzae matunda ya kudumu.

“Tutakuwa tunasubiri matokeo ya mkutano kati ya Rais Trump na kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un na tutatoa ushirikiano kufanikisha mkutano huu kadiri iwezekanavyo,” alisema Rais Trump.

Aidha, alizitaka nchi zote kuipa ushirikiano Korea Kaskazini endapo mkutano huo utafanikiwa na nchi hiyo kuachana na mpango wake wa silaha za kinyuklia.

Hivi karibuni, Rais Trump alisema kuwa Korea Kaskazini inaweza kuwa nchi tajiri baada ya kuachana na mpango wake wa kinyuklia na kufunguliwa mlango wa kuungana na dunia.

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo alisistiza kuwa Trump anapaswa kumhakikishia ulinzi Kim Jong Un ili kufanikisha mpango wao.

Trump na Kim wanatarajiwa kukutana Juni 12 mwaka huu nchini Singapore kuandika historia ya kwanza ya viongozi wa juu wa nchi hizo mbili walioko madarakani kukutana kwa mara ya kwanza.

Makamu wa Rais: Tuna Kazi Kubwa Kuelimisha Jamii Kuhusu Fistula

$
0
0
Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan amesema bado kuna kazi kubwa kuhakikisha jamii inafikishiwa ujumbe kuhusu tatizo la fistula na athari zake kwa afya ya mama na uchumi kwa ujumla.

Mama Samia amesema hayo leo Alhamisi Juni 7, alipozungumza katika Viwanja vya Hospitali ya CCBRT ambako alifanya ziara kujionea huduma mbalimbali zinazotolewa hospitalini hapo.

“Mliponifata kuomba kurekodi ule ujumbe ambao unasambaa mitandaoni kwa njia ya sauti na video hata sikuwa naelewa kwa kina kuhusu tatizo hili, mkanieleza na sikujua kwamba kwa kuzungumza kule kungesaidia kufikisha ujumbe, kumbe imesaidia, lakini bado ujumbe unahitajika kupelekwa kwa jamii.

“Siku moja nikiwa kwenye mkutano kule Zanzibar wanawake walinifuata na kunihoji kuhusu tatizo la fistula, nikaanza kuwaeleza, utaona namna ambavyo elimu hii inahitajika zaidi hasa katika ngazi ya chini ya jamii tena ile masikini,” amesema.

Awali akizungumza Ofisa Mtendaji Mkuu wa CCBRT, Erwin Telemans ameiomba serikali kuipunguzia kodi hospitali hiyo ili iweze kuendelea kutoa huduma bora kwa jamii.

Naye, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema serikali inakusudia kuirejeshea tena Hospitali ya CCBRT ruzuku kama ilivyokuwa ikipatiwa hapo awali ili kuiwezesha izidi kutoa huduma bora kwa wananchi.

Madaktari Wasema Puto Lililo Tumboni Mwa Kigogo wa Escrow Limeisha Muda Wake na Linatakiwa Kutolewa

$
0
0
Jopo la madaktari lililomfanyia uchunguzi, Mmiliki wa kampuni ya kufua umeme ya IPTL, Habinder Seth, limebaini kuwa, puto lililopo tumboni mwa mshtakiwa huyo, linatakiwa kuondolewa.

Wakili kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Leonard Swai ameieleza mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Juni 7, 2018, wakati shauri hilo lilipokuja kwa ajili ya kutajwa.

Swai amedai mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo, Huruma Shahidi, kuwa wamepokea ripoti ya jopo la madaktari kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), ambayo imeeleza kuwa Seth hasumbuliwi na tatizo lolote, isipokuwa anatakiwa kutolewa puto lililo tumboni, alilowekewa kwa sababu za kiafya na sasa limeisha muda wake.

"Katika taarifa ya uchunguzi niliyopewa na jopo hilo, wameeleza kuwa wanamsubiri daktari wa Seth kutoka Afrika Kusini ndio wamfanyie upasuaji wa kuliondoa puto hilo, kwa sababu mshtakiwa aliomba, wakati anafanyiwa upasuaji, daktari wake awepo," alidai Swai.

Awali, Swai alidai kuwa kesi hiyo ilikuja kwa ajili ya kutajwa na upelelezi wa ndani umekamilika na kwamba  upande wa mashtaka wanaendelea na mawasiliano na nchi husika ili kupata nyaraka muhimu kwa ajili ya kukamilisha upelelezi.

Katika hatua nyingine, Mahakama hiyo imemruhusu Mke wa Seth kwenda kumuona Mume gerezani.

Uamuzi huo umetolewa na Hakimu Shahidi, baada ya Wakili wa Seth, Dora Maraba kuiomba mahakama kibali kwa ajili ya mke wa Seth, kwenda kumuona mumewe gerezani.

"Tuliandika barua kwa mkuu  wa Gereza la Ukonga, tukiomba  mke wa Seth, aweze kuruhusiwa kumuona mumewe lakini imeshindikana, hivyo tunaomba  Mahakama yako, itupatie kibali ili Seth aweze kuonana na mke wake," alidai Maraba na kuongeza

"Mwezi uliopita, mke wa Seth alifiwa na mama yake mzazi, hivyo tangu kutokee kwa msiba huo, mkewe hajapata nafasi ya kuonana na mume wake, gerezani" alidai Wakili Maraba.

Hakimu Shahidi, baada ya kusikiliza maelezo ya pande zote, amesema mshtakiwa ana haki ya kupewa nafasi ya kuonana na kuongea na mke wake kwa sababu bado hajatiwa hatiani.

“Japokuwa hatupaswi kuingilia taratibu za magereza, lakini mshtakiwa ana haki ya kupewa nafasi ya kuongea na mke wake, hivyo naomba aruhusiwe kuongea na mke wake," amesema Hakimu Shahidi. Kesi hiyo imeahirishwa hadi Juni 21, 2018, itakapotajwa.

Sethi na Rugemarila wanakabiliwa na mashtaka  12 ya  uhujumu uchumi  kwa kula njama, kujihusisha mtandao wa uhalifu , kughushi,  kutoa nyaraka za kughushi.

Pia wanadaiwa kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu,  kutakatisha fedha  na kusababisha hasara ya Dola za Marekani 22,198,544.60 na Sh 309,461,300,158.27.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya June 8

Habarika Masaa 24......Pakua Upya Application Yetu Tukuhabarishe Usiku na Mchana

$
0
0
==>Pakua Upya Application yetu tukuhabarishe masaa 24 usiku na mchana.

Mpendwa msomaji wetu, tunakukumbusha Kuidownload Upya Application yetu ya Mpekuzi Maana ile ya Zamani Tutaifuta.

Kuna Maboresho Mapya Yamefanyika ili kukufanya upate habari zetu kwa wepesi zaidi kama vile kuliko ilivyo sasa.

App ya zamani ilikuwa na tatizo kubwa la kuchelewa kufunguka, kuchelewesha habari na muonekano wake haukuwa wa kiwango kinachostahili.

Chakufanya, Ingia PlayStore, Download Upya Application yetu  MPYA. Ukishaipakua hii Mpya, ya zamani ifute tu.

NB: App mpya ina Icon ya Njano

Tumekurahisishia;

Mkuu Wa Majeshi Ahamasisha Vijana Kujiunga Jkt Kupata Stadi Za Kazi Ziwasaidie Kujiajiri

$
0
0
Na Stella Kalinga, Simiyu
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi  Jenerali Venance Mabeyo amewahamasisha vijana kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa ili waweze kupata stadi za ufundi na hatimaye wajiajiri badala ya kutegemea kuajiriwa na Serikali.

Jenerali Mabeyo ametoa ushauri huo wakati alipokutana na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu na Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Simiyu mjini Bariadi Juni 07, 2018.

Mabeyo amesema vyombo vya habari vinapaswa kuwahamasisha vijana kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa ili waweze kupata stadi za ufundi na hatimaye wajiajiri na hivyo waondokane na dhana ya kuajiriwa  .

“Vijana tunaowachukua JKT ni kwa ajili ya kuwapa elimu na stadi za kazi ili hata kijana akikosa nafasi katika vyombo vya Ulinzi na Usalama anaweza kurudi kijijini akafanya vitu vya maendeleo, mimi nadhani watu wanahamasishana vibaya kuwa kila anayekwenda JKT lazima aajiriwe,  ipo haja ya kubadili mtazamo” alisema Jenerali Mabeyo

“Jeshi linachukua vijana elfu ishirini kwa mafunzo, wanaochukuliwa na vyombo vya ulinzi na usalama hawazidi vijana 2000 sasa hawa wengine 18,000 wanaenda wapi, kama mawazo yatakuwa ni kwenda JKT ili kuajiriwa hatutafanikiwa lakini kama watakwenda JKT kujifunza stadi za kazi kuwasaidia ili ziwasaidie kujiajiri na kubadili maisha yao tutafanikiwa sana” alisisitiza

Katika hatua nyingine Jenerali Mabeyo ametoa pongezi kwa  juhudi zinazofanywa na Mkoa wa Simiyu katika mkakati wa Kilimo cha Umwagiliaji ili kuwa na ziada ya chakula cha kutosha.

“Suala la umwagiliaji halikuwepo katika fikra za watu wengi, walio wengi wanategemea mvua na isiponyesha hawalimi na  maisha yanakuwa duni  wanaanza kuilalamikia Serikali, lakini sisi hapa tunayo maji ya Ziwa Victoria, Mkuu wa Mkoa nawapongeza sana kwa juhudi zinazofanywa katika kilimo cha Umwagiliaji, zitasaidia kuwatoa wananchi kwenye ufukara” amesema  Mabeyo.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Anthony Mtaka amesema mkoa huo umeweka malengo ya kujitosheleza kwa chakula na kupitia mkakati wa kuwa na mradi wa kilimo cha umwagiliaji katika bonde la Mwamanyili wilayani Busega, ambapo amebainisha kuwa Benki ya Maendeleo ya Kilimo imeahidi kutoa shilingi bilioni 12kwa ajili ya mradi huo.

“ Lengo letu kama mkoa ni kuifanya wilaya ya Busega kuwa eneo ambalo linafanya vizuri katika kilimo cha umwagiliaji kwa kuwa lina maji ya uhakika ya Ziwa Victoria, Benki ya Kilimo wameahidi kutupa shilingi bilioni 12 kwa ajili ya mradi wa Kilimo cha Umwagiliaji wa Mwamanyil” alisema Mtaka.

Akizungumzia suala la elimu Mtaka amesema mkoa huo umejipanga kiushindani ambapo madarasa ya mitihani. yatakuwa na makambi ya kitaaluma  ambazo zitawakutanisha wanafunzi kwa ajili ya kupitia maeneo yaliyo magumu ili waweze kujiandaa vema na mitihani ya Kitaifa.

MWISHO
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images