Ni msanii ambaye anaweza kuwa ametajwa zaidi kwenye tuzo za KTMA 2014 lakini Diamond
Platnumz hajaliacha Baraza la Sanaa Tanzania likae kwa amani kwa uonevu
ilioufanya kwa Jux, Madee na Snura kutokana na kuziondoa nyimbo zao
kwenye mchakato wa KTMA 2014.
Kupitia Instagram, Diamond ameandika:
"Ikiwa kweli tunalengo la kutoipotosha kimaadili jamii yetu na
vizazi vyetu pendwa,
Diamond awachana BASATA kutokana na kuziondoa nyimbo za Jux, Madee na Snura kwenye KTMA
↧
↧
Tangazo la Serikali kuhusu kuvunjwa kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba......
TANGAZO LA SERIKALI KUHUSU KUVUNJWA KWA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA
Mhe. Rais aliunda Tume ya Mabadiliko ya Katika kwa mujibu wa kifungu cha
5 na 6 cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83 kwa Tangazo la
Serikali Na.110 la Mwaka 2012.
Tume ilikusanya maoni na kuandaa Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo imewasilishwa kwenye Bunge Maalum.
Kwa mujibu wa
↧
Baada ya tukio la Westgate, hili ni tukio jingine la kigaidi lililoitikisa Kenya leo
Baada ya tukio la Westgate ambalo lilichukua maisha ya watu wengi,
jiji la Nairobi limekumbwa na tishio jingine la aina hiyo kwenye eneo la
biashara la Nakumatt Junction Barabara ya Ngong ambapo yamekutwa
masanduku manne ya kubebea risasi kwenye eneo la kuegesha magari kwenye
vyumba vya chini (Basement).
Masanduku hayo yalipatikana ndani ya toroli la kubebea mzigo kutoka
kwenye duka
↧
Michael Agustine Lukindo ni mtanzania aliyefariki nchini Marekani....Mwili wake utachomwa moto jumamosi ya tarehe 29 March 2014...Ndugu zake wanatafutwa sana
Mtanzania
mwenzetu amefariki Madison Wisconsin nchini Marekani, na kwa sasa ndugu
zake wanatafutwa.
Yeye ni mtu wa Tanga kwa jina la Michael Agustine
Lukindo. Alikuja USA miaka mingi iliyopita, inasemekana zaidi ya miaka
30. Ameacha mke (African American) na watoto wanne, mkubwa alizaliwa
1989.
Familia
yake haijui ndugu wa Michael. Mazishi yatafanyika Jumamosi March 29,
2014,
↧
Salamu za Rambirambi za Rais Kikwete kufuatia kifo cha mkuu wa mkoa wa Mara
TAARIFA KWA VYOMBO VYA
HABARI
SALAMU ZA RAMBIRAMBI ZA RAIS
WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Waziri wa
Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa
na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe.
Hawa A. Ghasia kufuatia kifo cha Mkuu wa
↧
↧
Watanzania 15 wahukumiwa kunyongwa nchini China...
Katibu
Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. John M.
Haule (kushoto) akiwa pamoja na Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China
nchini Tanzania, Mhe. Lu Youqing wakati wa mkutano na
waandishi wa habari uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari maelezo
siku ya Jumanne tarehe 25 Machi, 2014. Mkutano huo ulizungumzia
maadhimisho ya miaka 50 ya ushirikiano wa
↧
Batuli awaijia juu mastaa wanaowaharibia.....Adai kuwa tabia mbaya za baadhi ya wasanii ndizo zinazowaharibia na kuwafanya wote waonekane hawana maadili.
MSANII wa filamu za Kibongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ amesema
tabia mbaya za baadhi ya wasanii wenzao ndizo zinazowaharibia na
kuwafanya wote waonekane hawana maadili.
Akiongea na GPL, Batuli alisema amekuwa akipata malalamiko kuwa
hawatumii katika filamu zake watoto Jenifer na Jamila waliokuwa
wakifanya kazi na marehemu Steven Kanumba, jambo ambalo amelikanusha.
“Siwezi
↧
Magazeti ya leo Jumatano ya tarehe 26 March 2014
↧
Lulu Michael akubali kupiga picha za nusu uchi kwa ajili ya kuupamba ukurasa wa mbele wa Gazeti
Baada ya Jokate Mwengelo , Diamond Platnumz, Wema Sepetu na Mr.Blue
kutokea kwenye ukurasa wa mbele wa vibe tz magazine, Lulu Michael naye amekubali kuchukuliwa akiwa nusu uchi kwa ajili ya kuupamba ukurasa wa mbele wa gazeti hilo ambapo ndani ya gazeti hilo, Msanii huyu amefunguka mambo mengi kuhusiana na maisha yake binafsi.....
Moja ya toleo la
↧
↧
Habari njema kwa watu wanaopenda Video za Vichekesho....Fichuka wameamua kukuvunja mbavu....BOFYA HAPA
Kampuni ya Fichuka Development Agency wameanzisha mtandao unaoitwa
Fichuka Video Network kwa ajili ya
kukuvunja mbavu kwa video zao za Vichekesho, Mafundisho na habari muhimu......
Video zao zina kasi ya ajabu, hivyo hutumia sekunde chache tu kufunguka huku ikikiacha kifurushi chako cha Intaneti kitumike kwa mambo mengine pia....
Ili Kujiunga na
↧
Vyeti feki 1,035 vyakamatwa kwa waombaji wa kazi nchini
Sekretarieti
ya Ajira katika Utumishi wa Umma imekamata vyeti feki 1,035 (sawa na
asilimia1.6) ya maombi ya kazi yaliyotumwa kwa miaka minne tangu
kuanzishwa kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Tangu wakati huo, jumla ya watu 65,000 walijitokeza na kuomba kazi katika sekretarieti hiyo.
Akizungumza na NIPASHE, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Sekretarieti ya
Ajira, Riziki
↧
Jaji Joseph Warioba afunguka....Atoa ufafanuzi wa baadhi ya hoja zake zilizoibua utata bungeni
Wakati Ikulu ikitangaza kwamba Rais Jakaya Kikwete amevunja Tume
ya Mabadiliko ya Katiba, tume hiyo imetoa ufafanuzi wa baadhi ya maeneo
ya Rasimu ya Katiba.
Taarifa ya Ikulu iliyotolewa jana, ilieleza kuwa
Tume ya Jaji Joseph Warioba ilivunjwa tangu Machi 19, ikiwa ni siku moja
baada ya kuwasilisha Rasimu ya Katiba bungeni mjini Dodoma.
↧
"Nilipingana na Mwl. Nyerere....Nikafukuzwa ukuu wa Mkoa"....Kingunge Ngombale Mwiru
Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Kingunge Ngombale Mwiru, alisema kuwa
aliwahi kuvuliwa wadhifa wa ukuu wa mkoa kwa sababu ya kutofautiana
kimtazamo na hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius K. Nyerere.
Kingunge alikumbushia tukio hilo juzi katika semina ya waandishi wa
habari iliyofanyika mjini Dodoma katika Ukumbi wa Msekwa, naye akiwa
mmoja wa watoa mada.
Akijibu swali la
↧
↧
Juhudi za kuiondoa Risasi ndani ya ubongo wa mtoto zaongezeka....Mtoto huyo alipigwa Risasi baada ya magaidi kulivamia kanisa moja mjini Mombasa
Mtoto Satrin akiwa amebebwa na baba yake mzazi Benson Osinya ndani ya ndege kuelekea jijini Nairobi kwa matibabu.
Mtoto Satrin Osinya wakati akipatiwa matibabu mjini Mombasa baada ya kupigwa risasi.
Kaka wa Satrin Osinya, Moses Gift akiwa amembeba mdogo wake baada ya kunusurika kifo.
**
Mtoto aliyejeruhiwa na risasi
iliyomuua mama yake katika shambulio lililofanywa kwenye kanisa la
↧
Picha nne za Shilole akiwa na "Serengeti Boy" wake ndani ya mahaba mazito
KWA mara nyingine, staa anayekimbiza
kwenye filamu na muziki wa mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ au ‘Shishi’
ameibuka katika penzi jipya na bwana mdogo anayechipukia katika muziki
wa Bongo Fleva, Nouh Mziwanda, Risasi Mchanganyiko limeinasa.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, Shilole kwa
sasa hasikii wala haoni kwa Nouh pamoja na kwamba wawili hao wanaonekana
kuwa na tofauti kubwa ya
↧
Mwenyekiti wa bunge asema hotuba ya Rais Kikwete na Jaji Warioba HAZITAJADILIWA na bunge hilo......
Na Magreth Kinabo – Maelezo,Dodoma
Mwenyekiti wa Bunge Maalum Katiba ,Mhe
.Samwel Sitta amesema Bunge halitajadili hotuba ya Rais Jakaya Kikwete
na ile ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph
Warioba kama alivyokuwa ametangaza awali kwa kuwa kufanya hivyo
kutaingilia mchakato wa mjadala wa Rasimu ya Katiba Mpya.
Mhe. Sitta ametangaza uamuzi huo leo
mapema asubuhi
↧
Wajumbe wa Bunge la Maalum la Katiba watakiwa kuzingatia Maslahi ya Taifa na Kuweka Maslahi Binafsi Pembeni.
Na Magreth
Kinabo – Maelezo, Dodoma
Baadhi ya wajumbe wa Bunge la Maalum la Katiba wamewataka
wajumbe wenzao kujitika katika mchakato wa mjadala wa Rasimu ya Katiba
Mpya itakayozingatia maslahi ya taifa na
kuwanufaisha Watanzania badala kujitazama mwenyewe.
Kauli hiyo imetolewa leo na mjumbe wa bunge hilo, ambaye ni
mmoja wa kiongozi wa kundi la TANZANIA KWANZA Dk. Emmanuel
↧
↧
Diamond avalishwa wigi la Wema Sepetu....Ukikutana naye barabarani lazima umzimikie
↧
Magazeti ya leo Alhamisi ya tarehe 27 March 2014
↧
UKAWA wazungumzia sababu za KUIGOMEA Kamati ya Kanuni ya Bunge la Katiba siku ya Jumatano, Machi 26, 2014.
Kwenye video iliyopachikwa hapo chini, viongozi wa Umoja wa Katiba ya
Wananchi (UKAWA) ambao ni wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba,
waheshimiwa. James Mbatia, Freeman Mbowe na Prof. Ibrahim Lipumba
wanazungumzia sababu za kuigomea Kamati ya Kanuni ya Bunge la Katiba
siku ya Jumatano, Machi 26, 2014.
↧
More Pages to Explore .....